Professional Documents
Culture Documents
MBALIMBALI
YALIYOMO
1. Mapishi ya chapati
2. Mapishi ya chapati za maji
3. Mapishi ya Maandazi ya kawaida
4. Mapishi ya Maandazi ya kuoka
5. Mapishi ya Half Keki
6. Mapishi ya Kachori
7.Mapishi ya skonsi
8. Mapishi ya
vitumbua 9.Mapishi ya
sambusa za nyama
10.Mapishi ya
sambusa za viazi
11.Mapishi ya bagia
dengu
12. Mapishi ya mikate ya
mchele/mikate ya kumimina
13. Mapishi ya bagia za kunde
14. Mapishi ya mkate wa ndizi mbivu
15. Mapishi ya kababu
16. Mapishi ya Egg chop
17. Mapishi ya Donuts
25.Mapishi ya keki za
vikombe 26.Mapishi ya
keki za kuganda
27.Mapishi ya
shawarma
28.Mapishi ya
chauro 29.Mapishi
ya jalebi
30.Mapishi ya pizza za Zanzibar – Mikate
ya nyama
31. Mapishi ya vitumbua vya
maembe 32. Mapishi ya
biskuti za tangawizi
1.MAPISHI YA CHAPATI (NJIA YA
KWANZA)
MAHITAJI
1. Ngano kilo moja
2. Mafuta ya kupikia kwa ajili ya
kukandia robo tatu ya kikombe kidogo
(yaani kikombe kijae na kuacha nafasi
kidogo) au siagi (blueband au
margarine) vijiko vitatu vya chakula au
samli nusu kikombe
3. Chumvi kijiko kimoja na nusu
cha chai 4.Sukari kijiko kimoja
cha chakula 5.Maji ya
uvuguvugu
6.Mafuta ya kupaka chapati na ya
kuchomea chapati.
Kikombe kinachozungumziwa hapa ni
kikombe cha robo lita – 250 mls
*Kama unatumia siagi au samli pasha
moto kwanza ili ziyeyuke.
MAPISHI
KUKANDA CHAPATI NA KUKUNJA
1. Mimina ngano katika
beseni,mimina humo chumvi na
sukari kisha changanya
2. Mwagia mafuta ya kukandia pande
zote za ngano kisha changanya vizuri
3. Anzakumwagia maji ya uvugu
vugu huku ukichanganya unga na
maji taratibu,hakikisha huzidishi
maji.
4. Ngano ikishalowa maji anza
kukanda, kanda ngano kwa dakika
chache kama 15 kisha iache na ifunike
kwa muda wa dakika 15
5. Funuangano kisha kanda tena kwa
dakika 10, ifunike tena kwa muda wa
dakika 10
6. Funuangano kisha tengeneza
madonge madonge ya kiasi cha chapati
unachohitaji – Kwa ngano kilo moja
unaweza kutengeneza madonge 5 hadi
20 inategemea unahitaji chapati za kula
nyumbani au biashara.
7. Andaamafuta katika kibakuli na kijiko
cha kuchotea mafuta, sukuma donge
moja kutengeneza chapati kisha kwa
kutumia tumbo la kijiko pakaa mafuta
kwa juu hadi mafuta yaenee, kisha kunja
chapati kama unavyokunja mkeka, kisha
zungusha hiyo chapati kama
unavyozungusha kamba ili kutengeneza
kama kiota cha kutagia kuku au ndege,
mwisho wa kuzungusha pachika ile
ngano kwa chini ili isijifungue, kisha
weka katika sinia,
8. Endelea kuzungusha madonge yaliyobaki.
9. Anzakusukuma hayo madonge
ulozungusha katika kibao cha chapati,
kumbuka kunyunyuzia unga na kupaka
msukumio unga endapo chapati
itanata katika kibao.Hakikisha
unasukuma chapati
kuanzia pembeni kuja kati ili kupata
duara zuri,pia usisukume sana kati ili
chapati isiwe nyembamba katikati na
kusababisha iwe ngumu wakati wa
kuchoma.
KUCHOMA CHAPATI
1. Moto wakuchomea chapati
unatakiwa usiwe mkali sana wala
mdogo sana, yaani iwe kati na kati
kuelekea kwenye ukali.
2. Wekakikaango cha chapati jikoni
kisha weka chapati uliyosukuma, iache
ipate moto hadi utakapoona inaanza
kuinuka kwa kutoa vipulizo pulizo,
hapo iegeuze upande wa pili, paka
mafuta pande zote kwa tumbo la kijiko
upande uliogeuza kisha pindua tena
choma upande uliopaka mafuta, huku
ukipaka mafuta upande usio na mafuta,
hakikisha unaizungusha zunguusha
chapati kwa kijiko na unaifunua funua
kuona kama imeiva.
Ukiona upande wa chini umebadirika
rangi na kuwa kahawia, geuza chapati
upande huu ambao nao umeupaka
mafuta, kisha choma kwa kuzunguusha
zunguusha na kwa kufunua funua hadi
uone nao umebadirika rangi na kuwa
kahawia.
3. Toa
chapati hifadhi katika sahani au
hotpot na funika ili zilainike zaidi.
4. Endelea kuchoma chapati nyingine.
MAPISHI YA CHAPATI (NJIA YA
PILI) – NJIA NYEPESI/NJIA YA
BIASHARA
Njia hii ni njia nyepesi na inafaa kwa
wafanya biashara wa chakula
wanaohitaji kupika chapati nyingi
kwa wakati mmoja, kwa maana
hauhitaji kukunja chapati zako.
Tofauti hapa ni kwamba mafuta ya
kukandia ni mengi, pia utaikanda
ngano kidogo na utaifunika kwa muda
wa saa 1 ili ilainike, na utaikanda tena
kidogo kama dakika 10 ili kuiweka
vizuri.
MAHITAJI
1. Ngano kilo moja
2. Mafuta ya kupikia kwa ajili ya
kukandia kikombe kimoja na nusu au
siagi (blueband au margarine) vijiko
vinne vya chakula au samli kikombe
kimoja.
3. Chumvi kijiko kimoja na nusu
cha chai 4.Sukari kijiko kimoja
cha chakula 5.Maji ya
uvuguvugu
6.Mafuta ya kupaka chapati na ya
kuchomea chapati.
*Kama unatumia siagi au samli pasha
moto kwanza ili ziyeyuke.
MAPISHI
KUKANDA CHAPATI NA KUSUKUMA
1. Mimina ngano katika
beseni,mimina humo chumvi na
sukari kisha changanya
2. Mwagia mafuta ya kukandia pande
zote za ngano kisha changanya vizuri
3. Anzakumwagia maji ya uvugu
vugu huku ukichanganya unga na
maji taratibu,hakikisha huzidishi
maji.
4. Ngano ikishalowa maji anza
kukanda, kanda ngano kwa dakika
chache kama 15 kisha iache na ifunike
kwa muda wa saa nzima.
5. Funuangano kisha kanda tena kwa
dakika 10.
6. Funuangano kisha tengeneza
madonge madonge ya kiasi cha chapati
unachohitaji – Kwa ngano kilo moja
unaweza kutengeneza madonge 5 hadi
20 inategemea unahitaji chapati za kula
nyumbani au biashara.
7. Sukumachapati moja kwa moja bila
kukunja na anza kuchoma.
Utaratibu wa kuchoma ni ule ule.
*Tumia kikaango kizito au non-stick
pan ili kupata matokeo mazuri ya
chapati.
2.MAPISHI YA CHAPATI ZA MAJI
MAHITAJI
1.Unga wa ngano
nusu kilo 2.Mayai
mawili
3.Maziwa robo kikombe
cha chai 4.Hiriki ya unga
nusu kijiko cha chai
5.Blueband au margarine kijiko kimoja
cha chakula 6.Sukari kijiko kimoja cha
chai
7. Chumvi kijiko kimoja na nusu cha chakula
8. Karoti saizi ya kati
moja 9.Hoho saizi
ya kati moja
10.Kitunguu maji
kimoja 11.Maji
12.Mafuta ya kupikia
MAPISHI
MAHITAJI
1.Unga wa ngano
kilo mbili 2.Nazi
kubwa moja
3.Hamira kijiko kimoja cha
chakula 4.Sukari nusu
5. Hiriki kijiko kimoja cha chai
6. Baking powder kijiko kimoja cha
chakula 7.Mafuta ya kupikia kikombe
kimoja cha robo lita
MAPISHI
1. Weka
unga wa ngano katika sufuria
kubwa au beseni
2. Miminasukari,hiriki,hamira na
baking powder kisha changanya
kwa pamoja na unga wa ngano.
3. Chemsha mafuta ya kupikia katika
sufuria ndogo hadi yawe ya moto.
4. Kwauangalifu miminia mafuta ya
moto katika unga wa ngano huku
unachanganya na unga wa ngano kwa
mwiko.
5. Chukuatui la nazi miminia kwenye
ngano ukiwa unakanda hiyo ngano,
unamimina kidogo kidogo hadi
utakapoona ngano ni laini
6. Ukimaliza
kukanda funika ngano yako
na ungo au kitambaa kisha weka
sehemu yenye joto kidogo acha kwa
muda wa kama saa mbili hivi hadi
ngano yako iumuke.
7. Funua
ngano yako kisha fanya
kama unaikandamiza na ngumi ili
upepo utoke kisha ikusanye vizuri
kama duara.Ikate kate kisha
tengeneza maduara kadhaa (mfano
maduara 10) ili usipate shida wakati wa
kukata vipande
8. Sukuma hayo maduara kama
chapati nene na katakata vipande
vipande kisha anza kuchoma
maandazi yako kwa kuanzia vile
vipande vya mwanzo kukatwa
9. Hakikisha
moto si mkali sana ili
maandazi yaive vizuri.
MAHITAJI
1.Unga wa ngano
kilo moja 2.Sukari
kikombe kimoja
3.Baking powder kijiko kimoja na
nusu cha chai 4.Baking soda nusu
kijiko cha chai
5.Hiriki ya unga robo kijiko cha
chai 6.Maziwa fresh kikombe
kimoja (ukihitaji)
7. Siagi vijiko 3 vya chakula au mafuta ya
kupikia
MAPISHI
MAHITAJI
1.Viazi mbatata sado moja
na nusu 2.Vitunguu thomu
punje tano kubwa
3.Kitunguu maji kikubwa
kimoja 4.Pilipili moja kubwa
5.Limao kubwa moja na
kipande 6.Ngano nusu kilo
7.Chumvi kiasi
Ongeza vitu hivi katika viazi wakati
unavichemsha ukihitaji kutokana na
bajeti yako:-
-Manjano:- nusu kijiko cha chai
-Tangawizi iliyopondwa:- Kijiko kimoja cha
chai
-Pilipilimanga ya unga:- nusu
kijiko cha chai huwekwa viazi
vikishaiva
-Binzari nyembamba ya unga nusu kijiko
cha chai
-Karoti ya kusaga huwekwa wakati wa
kuponda viazi
-Garam masala:- Kijiko kimoja cha chai
MAPISHI
1. Menyaviazi kisha kata vipande
vipande vya nusu kwa nusu
2. Menya vitunguu saum na vitunguu
maji kisha vikate katika vipande vidogo
vidogo kisha
pasua pilipili na toa mbegu zake na
katakata pilipili katika vipande vipande
Pilipili tunaiweka kwa ajili ya ladha tu
na si kwa ajili ya kuwasha, ndio maana
tunaitoa mbegu zake.Hivyo usihofu
kuwa kachori zitawasha.
3. Wekaviazi katika sufuria mwagia
chumvi ya kutosha kisha chemsha hadi
mvuke uanze kutokea
4. Mwagia vipande vya kitunguu maji
na vitunguu saum na pilipili humo
kwenye viazi kisha funika.
MAHITAJI
MAPISHI
1. Chukuabakuli kubwa changanya
sukari,chumvi,hamira, na maji kiasi ya
uvuguvugu kisha funika acha kwa
dakika 5
MAHITAJI
1. Mchele vikombe vitano vya robo lita
2. Unga wa ngano kikombe kimoja
cha robo lita 3.Tui la nazi vikombe
viwili vya robo lita 4.Mayai matano
5.Hamira kijiko kimoja cha
chakula 6.Sukari vikombe
viwili vya robo lita
7.Hiriki vijiko viwili
vya chai 8.Mafuta ya
kupikia.
MAPISHI
1.Loweka mchele usiku kucha
au saa 8 2.Changanya hamira
na tui la nazi.
3. Mimina mchele,ngano,ute wa
mayai,hiriki, tui la nazi katika blenda
kisha saga hadi vitu vyote
vichanganyike vizuri
AU:- Mchele ulioloweka anika juani
kisha saga unga wa kutosha kwa ajili ya
vitumbua, hivyo badala ya kusaga
mchele katika blenda utakuwa
unatumia huo unga unachanganya na
vitu vingine.
NA VIAZI
Utengenezaji wa sambusa unahitaji
ujuzi tu wa kutengeneza manda
Hivyo angalia namna ya kutengeneza
manda
NAMNA YA KUTENGENEZA MANDA ZA
SAMBUSA MAHITAJI
2. Chukua
ngano yako uliyokanda kisha
igawanye katika madonge kumi kisha
sukuma kutengeneza chapati ndogo
ndogo,
chukua chapati moja ipake mafuta juu
kisha nyunyuzia ngano kidogo na
sambaza kisha weka chapati nyingine
juu yake nayo ipake mafuta na
nyunyuzia ngano kidogo na sambaza
kisha weka chapati nyingine juu,endelea
hadi zifike chapati tano zisukume kwa
pamoja kutengeneza chapati moja
kubwa, kandamiza kidogo kwa kiganja
kwa juu kisha
3. Weka chuma cha kukaangia chapati
jikoni bila kuweka mafuta kisha weka
chapati hizo na
zibabue pande zote mbili hadi ziive bila
kubadirika rangi wala kukauka. Endelea
hivi kwa madonge matano mengine.
4. Banduahizo chapati kisha chukua
chapati moja moja weka kwenye
kibao cha chapati kisha kata sehemu
nne sawa
MAHITAJI YA UTENGENEZAJI WA
SAMBUSA ZA NYAMA
MAHITAJI
1. Nyama ya kusaga nusu kilo
2. Kitunguu maji
kilichokatwa katika
vipande vidogo vidogo mfano wa
voboxi
3. Karoti iliyosagwa
4. Majani ya giligilani yaliyosagwa kiasi
5. Kitunguu saum nusu kijiko cha chai
MAPISHI
1. Chukuanyama mbichi ya kusaga kisha
weka katika sufuria, kamulia limao weka
na tangawizi iliyosagwa na pilipilimanga
ya unga kidogo na chumvi na maji kiasi
kisha chemsha hadi iive.
2. Weka
sufuria au kikaango jikoni kisha
mimina mafuta ya kupikia kiasi acha
yapate moto na mimina vipande vya
kitunguu maji,kaanga hadi vianze
kulainika kisha mimina thomu
iliyosagwa endelea kukoroga kisha
mimina majani ya giligilani
yaliyopondwa kiasi kidogo sana kisha
mimina nyama na changanya vyema
kisha mimina pilipili iliyosagwa
changanya, nyunyuzia garam masala
kisha changanya vyema, hakikisha
moto ni wa wastani, kamulia tena
limao kiasi kidogo weka chumvi kiasi
changanya na funika.
MAHITAJI
1.Unga wa dengu kikombe kimoja au
robo kilo 2.Manjano robo kijiko cha
chai
3.Binzari nyembamba ya unga nusu
kijiko cha chai 4.Kitunguu saum
kilichosagwa robo kijiko cha chai
5.Baking powder nusu kijiko cha chai
6. Kitunguu maji kimoja
7. Hoho moja
dogo 8.Pilipili
mbichi kiasi
9.Pilipilimanga robo kijiko
cha chai 10.Chumvi kiasi
11.Mafuta ya kupikia
MAPISHI
1. Katakata
pilipili mbichi na kitunguu
maji na hoho katika vipande vidogo
vidogo sana.
2. Katika bakuli kubwa mimina unga
wa
dengu,manjano,pilipilimanga,chumvi
na baking powder na maji kiasi kisha
changanya
3. Mimina viungo vyote vilivyobaki
katika bakuli kisha changanya vizuri
4. Miminamaji kidogo kidogo huku
unachanganya mchanganyiko (Tumia
mwiko au kipekecho cha mkono au
kipekecho cha umeme (mixer) au
blenda)
MAHITAJI
MAPISHI
4. Mimina
mchanganyiko katika
chombo kikubwa kisha funika na acha
uumuke kwa dakika 40.
MAHITAJI
1.Kunde vikombe viwili vya
robo lita 2.Kitunguu maji
kimoja
3. Pilipili mbichi kiasi
cha chai
7. Tangawizi iliyosagwa kijiko
kimoja cha chai 8.Curry powder
kijiko kimoja cha chai 9.Chumvi
kiasi
10.Mafuta ya kupikia
MAPISHI
1. Osha
na loweka kunde kwenye maji ya
moto kwa masaa 8 au usiku mzima
2. Katakatakitunguu maji na pilipili
mbichi katika vipande vidogo vidogo
3. Chuja maji katika kunde
4. Miminakunde tangawizi,kitunguu
saum,curry powder,pilipili, na maji ya
limao kwenye
mashine
ya kusagia chakula au blender kisha
saga na zisilainike sana au twanga vitu
vyote kwenye kinu.
5. Kunde zikilainika ongeza vipande
vya kitunguu maji kisha saga kiasi na
vitunguu visisagike sana.
6. Weka
mchanganyiko kwenye bakuli
kubwa.
7. Ongeza
chumvi na baking powder,
changanya vizuri
MAHITAJI
1.Unga wa ngano nusu kilo:- ½ Kg
Wheat flour 2.Sukari robo kilo:- ¼
Kg. sugar
3. Mayai mawili:- Two eggs
MAPISHI
7. Funika
mchanganyiko wako na acha
uumuke kwa muda wa dakika 30
8. Paka
mafuta au siagi chombo cha kuokea
mkate
10. Joto la
oven linatakiwa liwe 180 C au
350 F, kama unatumia mkaa weka
chombo cha kuokea katika sufuria
kubwa funika kisha weka jikoni katika
moto wa wastani.
11. Oka mkate wako kwa muda wa
dakika 30 hadi saa 1, choma kijiti katika
mkate na kikitoka kikiwa kikavu mkate
unakuwa umeiva.
12. Mkate wa ndizi mbivu upo tayari
15.MAPISHI YA KABABU
MAHITAJI
1.Nyama ya kusaga
kilo moja 2.Vipande
vya mkate vitatu
3.Mayai matatu
4. Ungawa binzari nyembamba kijiko
kimoja cha chai au binzari ya kababu
nusu paketi
5. Binzari ya manjano kijiko kimoja cha chai
6. Kitunguu saum kilichosagwa kijiko
kimoja cha chai 7.Tangawizi iliyosagwa
kijiko kimoja cha chai 8.Pilipili mbichi
iliyosagwa kijiko kimoja cha chai 9.Pilipili
manga nusu kijiko cha chai
10.Ndimu kipande kimoja au juisi ya
limao kidogo 11.Chumvi kiasi
12.Mafuta ya kupikia
MAPISHI
1. Chukuabakuli kubwa weka nyama
ya kusaga iliyochemshwa.
2. Loweka vipande vya mkate katika maji
kisha fanya kama una vikamua kisha
vikatekate vipande vipande na
changanya na nyama ya kusaga.
3. Miminaviungo vyote na mayai
mabichi katika bakuli,kamulia ndimu
na changanya vizuri.
4. Lowekachumvi kwenye maji kidogo
kisha mimina kwenye mchanganyiko na
changanya vizuri.
5. Tengeneza
kababu zako katika
maumbo ya viduara au maumbo
ya karoti.
6. Weka kababu zako katika sinia kisha
ziache kwa muda kama saa moja
iliviungo vikolee vizuri.
7. Miminamafuta ya kupikia katika
kikaango acha yapate moto vizuri.
8. Anzakukaanga kababu zako hadi
ziive upande mmoja kisha zipindue
upande wa pili.
9. Toa kababu zako na ziweke
kwenye chujio ili zichuje mafuta.
10. Kababu zako zipo tayari kwa kula.
16.MAPISHI YA EGG CHOP
MAHITAJI
1.Unga wa ngano
kilo moja 2.Mayai
matatu
3.Mayai mawili ya
kutengenezea kastadi
4.Maziwa fresh lita moja
5.Siagi (blueband) vijiko vinne vya
chakula 6.Sukari robo kilo
7.Sukari robo kilo ya
kutengenezea kastadi 8.Hamira
vijiko viwili vya chai
9.Hiriki ya unga kijiko kimoja
cha chai 10.Baking powder
kijiko kimoja cha chai
11.Vanilla vijiko viwili vya chai
12.Chumvi kijiko kimoja cha
chai
13.Maziwa ya unga
robo 14.Mafuta ya
kupikia
MAPISHI
1. Chemsha maziwa fresh nusu lita
kisha yahifadhi kwenye chombo
yapate uvugu vugu
2. Miminahamira katika maziwa ya
uvuguvugu kisha changanya vizuri acha
mchanganyiko kwa dakika 5 hadi
yatokee mapovu.
3. Yeyusha siagi yako hadi iwe kimiminika
MAHITAJI
1.Ubuyu wa mbegu
vikombe vinne 2.Sukari
vikombe 2
3. Maji vikombe 2
MATAYARISHO
1. Katika
sufuria,weka maji,sukari,hiriki,
chumvi,pilipilimanga,pili pili ya unga na
rangi. Moto uwe juu kiasi na changanya
vyote hivyo vichanganye vizuri hadi
sukari iyeyuke.
2. Acha
mchanganyiko uchemke
hadi mapovu yaanze kutokea kwa
juu.
3. Anza kukoroga na endelea
kukoroga hadi mchanganyiko
(shira) uwe mzito na mapovu
kupungua
7. Chukua
unga wa ubuyu anza
kunyunyuzia juu ya mbegu za ubuyu
ambazo umezimwagia shira - Hakikisha
unga wa ubuyu unaenea sehemu zote
na
kuwa makini unga wa ubuyu usimeze
shira katika mbegu za ubuyu -
Hakikisha rangi inaonekana.
9. Hifadhi
ubuyu katika chombo chenye
mfuniko au weka ubuyu katika
vifungasha vilivyozibwa tayari kwa
kuuza au kwa kula
(Vipande 20)
MAHITAJI
1.Cocoa powder:- vijiko 10
vya chakula 2.Sukari:-
vikombe 3
3.Maziwa fresh:- kikombe
kimoja na nusu 4.Siagi (Butter):-
vijiko vinne vya chakula
5. Vanilla:- kijiko kimoja cha chai
MAPISHI
1. Andaa bakuli la bati la umbo la mstatiri
(ikiwa ni bakuli la bati ni vizuri zaidi)
kisha lipake mafuta - Au chukua bakuli la
plastiki kisha weka foil humo iweze
kukaa katika umbo la mstatiri (box) au
tumia silicon tray special kwa ajili ya
kutengenezea chocolate.
5. Acha
mchanganyiko upoe kiasi na uwe
vuguvugu
6. Chukua kifaa cha kuchanganyia
(mixer) kisha changanya
mchanganyiko hadi uwe mzito.
MAHITAJI
1. Viazi mbatata robo kilo
2. Samaki
vibua au samaki yoyote
mwenye minofu nusu kilo:- Samaki
mbichi
3. Ngano nusu
kikombe 4.Mayai
matatu 5.Ndimu
moja
6. Kitunguu saum kilichopondwa nusu kijiko
cha chai
7. Kitunguu maji
kidogo 8.Pilipili
mbichi moja
9.Karoti moja
ndogo 10.Chumvi
11. Mafuta ya kupikia
12. Pilipilimanga
ya unga kijiko
kimoja cha chai kisijae sana
MAPISHI
1. Chukua pilipili mbichi ikate nusu na
ondoa mbegu zake zote, chukua nusu
yake ikate kate vipande vidogo dogo
sana
2. Menyaviazi mbatat kisha vikate vipande
vipande
3. Safisha
samaki vyema, kisha kamulia
ndimu,weka kitunguu thomu na
tangawizi na chumvi kiasi anza
kuchemsha hadi maji yakauke, waive
lakini wasilainike sana.
4. Weka viazi katika sufuria kisha
mimina vipande vya kitunguu maji na
vipande vya pilipili mbichi kisha
chemsha kwa maji kiasi hadi viazi viive
lakini visiive sana.
13. Hakikisha
katlesi zimekuwa na
rangi ya hudhurungi au kahawia
au brown
21.MAPISHI YA BISKUTI
Idadi:-
Biskuti 12
MAHITAJI
1. Unga
wa ngano aina ya (Plain flour)
gramu 150 au kikombe kimoja
2. Bicarbonate of soda au baking powder
nusu kijiko cha chai
3. Corn flour vijiko 3 na robo vya chakula
4. Sukari
kikombe kimoja (ukipata sukari
ya unga ni vizuri zaidi)
5. Siagi
Vijiko 10 na nusu vya chakula -
(Yeyusha siagi na ipoe)
6. Vanilla nusu kijiko cha chai
7. Yai moja lililopasuliwa na
kuchanganywa 8.Chumvi kiasi
MAPISHI
1. Washaoven katika joto la digrii 180 (C)
au 350 (F)
2. Paka
mafuta vifaa vya kuokea kisha
weka karatasi ya kuokea
3. Pasua yai katika bakuli na lichanganye
kiasi
4. Weka
ngano katika bakuli kubwa kisha
changanya na bicarbonate of soda
5. Mimina sukari,mimina siagi au
margarine iliyoyeyushwa,ute wa yai na
vanilla kisha changanya vyema.
11. Zitoe
biskuti na ziache zipoe kisha
zihifadhi katika chombo chenye
mfuniko zitumie ndani ya wiki mbili
CHOCOLATE
MAHITAJI
1.Unga wa Cocoa (Cocoa powder) -
nusu kikombe 3.Maziwa fresh vikombe
viwili
4. Sukari nusu kikombe
MAPISHI
1. Weka sufuria jikoni kisha mimina
maziwa na anza kuyachemsha,
yakiaanza kuchemka mimina
sukari,cocoa na siagi kisha koroga hadi
vitu hivyo viyeyuke.
2. Miminacorn flour humo kisha
endelea kukoroga hadi upate uji uji
mzito.
3. Mimina
karanga humo kisha
changanya vyema kwa kutumia
mwiko
4. Chukua trei ya pembe nne ya kuokea
vitu au kifaa chochote kipana kisha paka
mafuta na mwagia
humo mchanganyiko na sambaza
vizuri katika unene unaohitaji
5. Acha huo mchanganyiko upoe na
uwe mgumu, unaweza ukahifadhi
katika freezer au fridge
6. Toa
trei yako kisha bandua sheet ya
kashata ya chocolate na anza kukata
vipande kwa kutumia kisu au kifaa
maalumu cha kukatia
7. Kashata za chocolate zipo tayari.
23.MAPISHI YA KALIMATI
MAHITAJI
1. Unga wa ngano robo kilo
2. Hamira kijiko kimoja na nusu cha chai
3. Mtindi
nusu kikombe au tui la nazi
au maziwa fresh.
4. Blueband kijiko kimoja cha
chakula 5.Maji
6.Mafuta ya
kupikia 7.Sukari
vikombe vitatu
8. Hiriki robo kijiko cha chai
9. Vanilla
au ladha yoyoye kidogo
kama robo ya kijiko cha chai
MAPISHI
1. Yeyusha blueband
2. Chukua bakuli kisha mimina unga wa
ngano,mimina blueband,mtindi, mafuta
kijiko kimoja cha chakula na hamira
kisha mimina maji kiasi na koroga hadi
uji uwe mzito kiasi na usiwe na mabuja
buja
3. Funika
unga kwa muda wa nusu saa ili
uumuke
4. Weka kikaango jikoni kisha mafuta
ya kupikia yaache yapate moto kiasi.
5. Chota uji wa kalimati kwa kijiko cha
chakula na mimina katika mafuta kisha
choma kalimati zako hadi upande
mmoja uwe kahawia na geuza upande
wa pili nao uwe kahawia kisha toa
kalimati zako ziweke katika chujio au
tissue ili zichuje mafuta.
6. Andaa shira kwa kuweka sufuria
jikoni mimina maji kikombe kimoja,
mimina sukari koroga hadi sukari iwe
nzito na inayonata ukiishika kwa vidole
viwili.
NZIMA
MAHITAJI
1.Karanga kilo moja
na nusu 2.Sukari kilo
moja
MAPISHI
CAKES
MAHITAJI
1.Unga wa ngano
nusu kilo 2.Mayai
sita
3.Maziwa kikombe
kimoja 4.Sukari
kikombe kimoja
5. Siagi
(Blueband) kikombe kimoja au
kopo dogo moja
6. Baking powder vijiko viwili vya chai
7. Vanilla kijiko kimoja cha
chai 8.Rose essence robo
kijiko cha chai 9.Chumvi
nusu kijiko cha chai
MAPISHI
dakika 3
MAHITAJI
1. Vipandevya biskuti
vilivyovunjwa vunjwa vikombe
vitatu
2. Siagi (Margarine au Blueband) -
Vijiko 10 3.Vipande vya chocolate
vikombe vitatu 4.Zabibu za
kukaushwa - Vijiko 5 vya chakula
5. Asali vijiko viwili vya chakula
MAANDALIZI
1. Weka vipande vya biskuti ndani ya
mfuko wa plastiki kisha pondaponda na
msukumio wa chapati au kitu chochote
kizito, hakikisha hazipondeki sana
2. Weka chocolate,siagi na asali katika
bakuli ya glass au ya plastiki kisha weka
bakuli juu ya sufuria yenye maji makali
ya moto kisha acha viyeyuke na
kutengeneza ujiuji na changanya vizuri
3. Baada
ya mchanganyiko kupoa,
mimina vipande vya biskuti,vipande vya
korosho na zabibu zilizokaushwa kisha
kwa kutumia mwiko changanya vizuri
4. Chukua bakuli kubwa la umbo la
mstatiri weka foil kwa ndani iendane na
umbo la hiyo bakuli kisha mimina huo
mchanganyiko humo chukua mfuniko
wa bapa au kifaa maalum cha
kukandamizia kisha kandamiza kwa juu
ili ipatikane msawazo.
MAHITAJI
1.Minofu ya kuku isiyo na mifupa:-
Chicken fillets 2.Karoti moja:- Carrot
3. Hoho moja:- Capsium
4. Kitunguu maji kimoja:- Onion
5. Kitunguu
saumu kilichosagwa kijiko
kimoja cha chai:- 1 tsp garlic paste 1
6. Tangawizi iliyosagwa kijiko kimoja cha
chai:- 1 tsp ginger paste
7. Pilipili
manga ya unga kijiko kimoja cha
chai:- 1 tsp blackpepper powder
8. Pilipili
mbichi au ya unga:- Chilli or
chilli powder :- Ukihitaji (Optional)
MAPISHI
****Andaa tortilla
((MAPISHI YA
TORTILLA
MAHITAJI
4. Siagi
(Blueband au Margarine)
iliyoyeyushwa kijiko kimoja cha
chakula
5. Maji ya moto kikombe kimoja
6. Chumvi kijiko kimoja cha chai
MAPISHI
7. Chukua
msukimio wa chapati kisha
sukuma donge mojawapo katika mduara
mwembamba
11. Hifadhi
tortilla katika hotpot yenye
mfuniko ili ziwe laini
MAHITAJI
4.Korosho zilizokaangwa:-
Kikombe kimoja
kiasi kidogo
9.Majani ya mchuzi (Curry
13.Mafuta ya
kupikia
MAPISHI
8. Vunja
vunja crips ziwe katika
vipande vidogo vidogo
9. Chukua bakuli kubwa kisha mimina
vitu vyote humo, kisha mimina
chumvi,sukari, ndimu ya unga
na pilipili ya unga na changanya kwa
pamoja hadi vitu vyote vichanganyike
kwa pamoja.
MAHITAJI
vitatu 5.Maji
vikombe vitatu
moja au ndimu
9.Mafuta ya kupikia
MAPISHI
1. Chukuabakuli kubwa mimina unga wa
ngano, unga wa dengu, baking soda
kisha changanya vizuri kwa kutumia
mwiko
3. Funika
bakuli kisha hifadhi sehemu
yenye joto kwa saa 8, na kama upo
sehemu yenye baridi hifadhi
mchanganyiko kwa siku nzima.
7. Funua mchanganyiko wa
kutengenezea jalebi na andaa chupa
yenye kizibo ambacho kina kitobo,
mimina mchanganyiko kwenye chupa
MAHITAJI
1.Ngano nusu
kilo 2.Nyanya
tatu 3.Karoti
moja kubwa
4.Hoho moja
kubwa
5.Nyama ya kusaga iliyochemshwa
nusu kilo 6.Mayai matano
7. Manjano kijiko kimoja cha chai
8. Kitunguu
saum kilichopondwa kijiko
kimoja cha chai
9. Vitunguu maji
10. Majani ya giligilani kiasi
MAPISHI
1. Katakata
kitunguu
maji,nyanya,karoti,na hoho katika
vipande vidogo vidogo sana
3. Pasua
mayai weka chumvi kiasi kisha
changanya vizuri kupata rojo
4. Mimina vipande vya kitunguu maji
koroga hadi viwe kahawia,mimina
vitunguu saum koroga hadi vibadirike
rangi kiasi,mimina karoti,hoho na
vipande vya nyanya kisha endelea
kukoroga kiasi,mimina manjano, mimina
chumvi kidogo koroga, mimina majani ya
giligilani kisha changanya tena, epua
mchanganyiko na acha upoe kidogo.
5. Mimina
rojo la mayai katika
mchanganyiko na koroga vizuri
6. Kanda
ngano kama unavyokanda
ngano ya kupika chapati, kisha ifunike
kwa nusu saa
7. Andaa madonge kadhaa
8. Chukua
madonge kisha sukuma na
tengeneza chapati nyepesi sana
9. Kwakutumia kijiko chota
mchanganyiko wa mayai na viungo kisha
weka katika chapati na fungasha chapati
kama vile box lenye unene kiasi,
tengeneza rojo la ngano zito kaisi kwa
kuchanganya ngano na maji kiasi kisha
tumia kama gundi katika kufunga hiko
kibox cha ngano
MAEMBE
MAHITAJI
1.Unga wa mchele kikombe
3. Rojo la
embe mbivu zilizosagwa
kikombe kimoja na nusu
4. Maziwa nusu
kikombe 5.Sukari
nusu kikombe
cha chai
9.Mafuta ya kupikia au siagi au samli
MAANDALIZI NA MAPISHI
MAHITAJI
8.Chumvi kiasi
2. Wekatangawizi na bicarbonate of
soda katika unga kisha changanya
vizuri
3. Changanya
siagi katika unga hadi unga
uwe kama umeachana achana kisha
mimina sukari
4. Pasua
yai na likoroge katika bakuli
pembeni kisha mimina katika bakuli
lenye unga, kisha mimina asali na
changanya vizuri kisha anza kukanda
8. Ingiza
trei katika oven kisha oka biskuti
kwa dakika 10 hakikisha zimekuwa na
rangi ya kahawia.
oven
KARIBU UJIPATIE VITABU VYETU
VINGINE