Professional Documents
Culture Documents
Biashara Ya Kusindika Mahindi
Biashara Ya Kusindika Mahindi
🔴UTANGULIZI
Biashara hii ni miongoni mwa biashara zenye uhitaji wa mtaji wa wastani kuianzisha kwani
huhitaji utengenezaji wa kiwanda kidogo kwa shughuli za uchakataji, upakiaji na usambazaji wa
bidhaa. pia ni miongoni mwa biashara zitoazo faida kubwa na ya haraka.
➡Hutumika kutengeneza vyakula mbalimbali kama vile ugali, uji, togwa na vyakula vya watoto.
(Pia vinavyotumia mafuta kwa ajili ya watu wa vijijini vipo.Tupo Vingunguti Estate, nyerere
road.+255 716 811 838 ).
🔴JINSI YA KUSINDIKA MAHINDI KUPATA UNGA
• Mashine ya kusaga
• Ungo
• Debe
• Mifuko
• Chekeche ya nafaka
1.KUSINDIKA MAHINDI KUPATA UNGA WA DONA
👉JINSI YA KUSINDIKA
➡Pepeta na pembua mahindi ili kuondoa vumbi na takataka nyingine kwa kutumia chekeche,
ungo au sinia.
👉JINSI YA KUSINDIKA
➡ Pepeta na pembua mahindi ili kuondoa vumbi na takataka nyingine kwa kutumia chekeche,
ungo au sinia
➡Koboa na saga
🔴MAKADIRIO YA FAIDA
👉 Gunia la kilo kg100 lina debe tano (5) = kilo 100 hadi kilo 120 za unga.
👉 Kikawaida mahindi huuzwa kati ya sh.45,000 had sh.67,000 kutegemeana na mazingira husika.
👉 So. gunia (kilo 100 --> 120) litakupa wastani wa sh.120,000 --> 144,000.
🔴KUMBUKA
Isajili.bidhaa yako kwa mamlaka.husika na lipia sido upate kutengenezewa vifungashio kwajili
ya bidhaa yako.
Imetayarishwa na Mwl. Aloyce Kandonga
Follow instagram: sed20.19
#SED4LYF
by @sharak
Man Ngege
Hakuna vitu vya kuweka kwenye unga ili kuongeza ubora
48w
Reply
Mayanga Mahugija
Nategemea mwezi huu kununua Kinu sb50 na Mota HP 40 no shilingi ngapi 0719767780
3y
Reply
Daniel Patrick
Mwl Aloyce kunakitu umekosea naomba kurekebishwa kama nitakua nimesema uongo. Gunia la
kilo mia za mahindi haziwezi kutoa kilo 100 achana na 120 uliyo andika. Debe moja la mahindi
kina kilo 16-18 inategemea na mbegu husika. ukikoboa gunia la kilo 100 unapata unga kilo 68-
73 inategemea na kinu cha kukoboa. Hivyo basi kwenye kila gunia toa gharama za usafiri na
mifuko, umeme , wafanyakazi kuna faida ya 7000 tu
3y
Reply
Real Profesa Ndyamukama
Nataka nifungue mradi huu ifikapo mapema January 2021