Professional Documents
Culture Documents
Kitabu Cha Barafu
Kitabu Cha Barafu
NAMNA YA KUANDAA
Anza kwa kumimina sukari katika sufuria
au beseni safi kisha ongeza kilainishi
koroga vizuri kisha ongeza maji na
ukoroge koroga sana sababu kilainisha
kina tabia ya kuwa na mabuja koroga
sana mpaka mchanganyiko ulainike
baada ya hapo ongeza maziwa na
ukoroge vizur tena baada ya kukoroga
vizur weka mchanganyiko wako jikoni na
uupike kwa moto mdogo kwa muda wa
dakika 10 hivi na utaona mchanganyiko
wako unakua na uzigo fulani hivi kiasi na
uzito huo ndo husaidia ice cream zako
ziwe laini baada ya hapo epua
mchanganyiko wako uchuje vizuri na
uuache upoe kisha tenga katika vyombo
Mwandishi ni Madam Aisha: 0744796049
ICECREAM ZA UBUYU
MAHITAJI
Mwandishi ni Madam Aisha: 0744796049
NAMNA YA KUANDAA
MAHITAJI
• MAANDALIZI
Anza kwa kuchemsha maziwa yako
yakishachemka chukua bakul pemben
kisha koroga kilainishi chako na
umimine katika maziwa yaliyopo
jikoni huku ukiendelelea kukoroga na
utaona mchanganyiko wako unaanza
kua mzito baad ya hapo ongeza
maziwa ya unga na uendelee kukoroga
Mwandishi ni Madam Aisha: 0744796049
MAHITAJI
JINSI YA KUANDAA
➖Endelea kuchanganya
Mchanganyiko wako jikoni
Utaona sasa Maziwa yako ni Mzito
Mwandishi ni Madam Aisha: 0744796049
➖Endelea kuchanganya
MAHITAJI
✓ Strawberry 5 -10
✓ Sukari kiasi
✓ Tangawizi Kiasi
JINSI YA KUTENGENEZA
MAHITAJI
√ Maji lita 10
√ Sukari vijiko 3
JINSI YA KUANDAA
Enjoy
Mwandishi ni Madam Aisha: 0744796049
MAHITAJI
Mwandishi ni Madam Aisha: 0744796049
✓ Ukwaju wa 1000
✓ Juice cola za unga 3(au zaidi kulingana
na utamu unaotaka)
✓ Hiliki
✓ Unga wa muhogo robo
✓ Mifuko ya kufungiwa
NAMNA YA KUTENGENEZA
✓ Ukwaju nusu kg
✓ Sukari vibakuli 2
✓ Rangi kiasi
NAMNA YA KUANDAA
NB:-
teleka= kuweka jikoni
TAMU: EJOY
Mwandishi ni Madam Aisha: 0744796049
SWEET POPSICLES