Professional Documents
Culture Documents
Local Food
Local Food
njia nyengine kataka bamia, viazi kata vipande vidogo vidogo na biriga ya pia vipande vidogo vdgoo..
kaanga kwa mafuta mingi toa weka kando zijichuje mafuta. kaanga kitunguu nyanya weka pilipil
ukipenda na tomato paste kidog weka maji kiduchu viivee vikikauka weka vile ulivyokaangaa mix vizur
enjoy
Mpenzi wangu nimefurahi sana kuwa unapenda vyakula vyetu vya kipemba
Uzile
Mdasili
Garam masala
Tandori masala
Zananjiro
Paprika
Corianda poda
Pilipili manga
Chumvi
Na ndimu
Maggie cube
Wali wa mchaichai na iliki jaman chefs jaribuni hii mlete mrejesho so tasty 😋
Nimechemsha maji na mchaichai yalipochemka nikachuja maji halafu nikakaanga kitunguu maji , nikatia
iliki na yale maji ya mchaichai nikaweka chumvi na mchele wangu.
SIRI YA MAPISHI YA HALF CAKE TAMU SANA
MAHITAJI
7.Siagi vijiko 3 vya chakula au mafuta ya kupikia vijiko vitatu vya chakula
11.Maji ya uvuguvugu
12.Mafuta ya kupikia
MAPISHI
2.Tengeneza kama shimo katika unga wa ngano kisha mimina siagi,mimina maziwa mimina vanilla na
mimina ute wa yai kisha changanya vizuri na unga.
3.Anza kukanda unga wa ngano kwa maji ya uvuguvugu hadi uwe mgumu mgumu lakini sio sana na
usinate kwenye chombo wala kwenye mikono.Ngano ya half keki haitakiwi kuwa laini kama ya maandazi
4.Tengeneza duara kubwa kisha lipake mafuta na paka mafuta kwa pembeni katika chombo cha
kukandia.
6.Funua ngano kisha ikate katika madonge makubwa kiasi kama kabichi dogo
7.Sukuma madonge hayo kama chapati nene kiasi kisha anza kukata vipande vya half cake.
8.Weka kikaango katika moto wa wastani kisha kaanga half keki zako hadi ziwe na rangi ya kahawia kwa
nje, na geuza upande wa pili.
9.Toa half keki katika kikaango kisha ziweke katika chujio au tissue ili zichuje mafuta.
10.Half keki zipo tayari
KUKU WA KUKAANGWA
MAHITAJI
2.Paste ya kitunguu na tangawizi - (Vitunguu saum na tangawizi vilivyosagwa):- Kijiko kimoja cha chakula
7.Garam masala au biryani masala au chicken masala kijiko kimoja cha chai
10.Corn flour vijiko vitatu vya chakula (Utaweka kama unahitaji kuku atafunike kama kaukau)
11.Chumvi kiasi
MAPISHI
2.Chukua bakuli la plastiki au la glass kisha mimina viungo vyote kasoro chumvi na limao
5.Mimina vipande vya kuku kwenye bakuli kisha changanya vizuri na viungo vyote
6.Funika bakuli kisha acha kuku kwa muda wa saa 1, au weka bakuli katika fridge kwa muda wa saa 2
8.Weka kikaango jikoni kisha mimina mafuta ya kupikia acha yapate moto kiasi
9.Anza kukaanga vipande vya kuku au kuku mzima hadi rangi ibadirike iwe ya kahawia
10.Weka vipande vya kuku katika chujio au sinia lenye tissue ili kuchuja mafuta
11.Katakata vitunguu viweke juu ya vipande vya kuku au majani ya giligilani ili kuongeza harufu nzuri
Unachukuwa
Unga
Chumvi
Hamira kidogo
Sukari kidogo
Blueband vijiko 2
Unakanada na maji
Nyama ya kusaga
Nyama
Chumvi
Pilipili
Pilipili manga
Na carrot
Na pilipili boga
Unachoma kwenye oven kama huna ovrn hata ukikanga inakuwa nzuri tu