Professional Documents
Culture Documents
Dodoso Ya Mwaka Wa Pili 2021, Shinyanga-2-Masahihisho 250921
Dodoso Ya Mwaka Wa Pili 2021, Shinyanga-2-Masahihisho 250921
7. Jinsi
1. Me
2. Ke
8. Una umri gani? (miaka)……………..
9. Una uhusiano gani na mtoto?
1. Mama
2. Baba
3. Bibi/Babu
4. Mfanyakazi wa ndani
5. Ndugu……...Taja………………………………………….
10. Kabila la mzazi/mlezi ni lipi?..........................................................
11. Hali ya ndoa ya mzazi/mlezi
1. Sijao/sijaolewa
2. Nimeoa/Nimeolewa/Naishi na mwenza
3. Nimetengana
4. Mjane/mgane
12. Nani anayetafuta kipato cha kuhudumia familia hii?
1. Baba
1
2. Mama
3. Baba na mama
4. Babu/Bibi
5. Sijui
6. Mwingine (Taja) ……
2
13. Je anafanya/wanafanya shughuli gani ya kujipatia kipato? (weka vema panapofaa,
usimsomee muache ataje mwenyewe )
1. Kilimo
2. Mfugaji
3. Mwjiriwa
4. Mfanya biashara
5. Sijui
6. Nyingine taja ………………………………………..
16. Jinsi
1. Me
2. Ke
17. Tarehe ya kuzaliwa …......... (angalia kwenye kadi)
18. Uzito wa mtoto pindi alipozaliwa ulikuwa kiasi gani (Kg)…………………… (Angalia
kwenye kadi kama hana kadi na hajui ama hakumbuki andika sijui)
3
3. Sikumbuki (Nenda swali la 2422)
21. Kwanini ulimlisha mtoto kabla ya kumnyonyesha mara baada ya kujifungua?
1. Maziwa yalikuwa hayatoki
2. Mama alikuwa mgonjwa
3. Mtoto alikataa nyonyo
4
26. Je kwa nini ulianza kumpa mtoto vyakula vingine?
1. Maziwa yalikuwa hayatoshi
2. Mtoto alikuwa analia sana
3. Sababu ya ajira/kazi
4. Sababu ya shule
5. Mtoto alikataa nyonyo
6. Nilikatazwa kumnyonyesha
7. Mtoto alikuwa mkubwa tayari
8. Nilibeba ujauzito mwingine
9. Sababu nyinginezo …………………………………………...
27. Mtoto aliachishwa kunyonya maziwa ya mama akiwa na umri gani?
28. Taja Sababu za mtoto kutonyonyeshwa/ kuachishwa maziwa ya mama
1. Mama alifariki
2. Maziwa yalikuwa hayatoshi
3. Mtoto alikuwa analia sana
4. Sababu ya ajira/kazi
5. Sababu ya shule
6. Mtoto alikataa nyonyo
7. Nilikatazwa kumnyonyesha
8. Mtoto alikuwa mkubwa tayari
9. Nilibeba ujauzito mwingine
10. Sababu nyinginezo …………………………………………...
29. Je unatumia chombo gani kumnywesha mtoto maziwa, chakula, maji nk?
1. Chupa yenye chuchu
2. Kikombe na kijiko
3. Njia nyingineyo ………………
5
II. KWA MTOTO MWENYE UMRI WA MIAKA 2- 5
36. Weka vema iwapo mtoto alikula vyakula vifatavyo katika masaa 24 kuanzia jana
Aina ya chakula Weka vema kama
alikula
Nafaka: mahindi, mchele, viazi, ndizi, magimbi, ndizi, mihogo 1. Ndiyo
6
2. Hapana
Nyama ya ng`ombe, nguruwe, kondoo, mbuzi, kuku, njiwa, bata, ini, figo, 1. Ndiyo
moyo au kiungo chochote cha mnyama kinacholiwa, samaki au dagaa 2. Hapana
Mayai 1. Ndiyo
2. Hapana
39. Je, kwa muda wa wiki nne zilizopita, ulikuwa na hofu kuwa chakula hakitatosha ndani ya
kaya yako?
1. Ndiyo
2. Hapana
a) Hali hii ilijitokea mara ngapi?
I. Mara chache (mara 1 au 2 )
II. Mara nyingine ( mara 3-10)
III. Kila mara (> mara 10)
7
40. Je, kwa muda wa wiki nne zilizopita, wewe au kuna mtu yeyote wa kaya hii aliyeshindwa
kula vyakula anavyopendelea kwa sababu ya ukosefu wa upatikanaji wa vyakula hivyo?
1. Ndiyo
2. Hapana
a) Hali hii ilijitokea mara ngapi?
i. Mara chache (mara 1 au 2 )
ii. Mara nyingine ( mara 3-10)
iii. Kila mara (> mara 10)
41. Je, kwa muda wa wiki nne zilizopita, kuna mtu yeyote wa kaya hii aliyelazimika kula
baadhi ya vyakula tofauti na anavyopendelea kwa sababu ya ukosekanaji wake?
1. Ndiyo
2. Hapana
a) Hali hii ilijitokea mara ngapi?
I. Mara chache (mara 1 au 2 )
II. Mara nyingine ( mara 3-10)
III. Kila mara (> mara 10)
42. Je, kwa muda wa wiki nne zilizopita, kuna mtu yeyote wa kaya hii aliyelazimika kula
vyakula vingine asivyopendelea kwa sababu ya uhaba wa upatikanaji wa vyakula
anavyopendelea?
1. Ndiyo
2. Hapana
a) Hali hii ilijitokea mara ngapi?
I. Mara chache (mara 1 au 2 )
II. Mara nyingine ( mara 3-10)
III. Kila mara (> mara 10)
43. Je, kwa muda wa wiki nne zilizopita, kuna mtu yeyote wa kaya hii aliyelazimika kula
chakula kidogo sana kwa sababu ya ukosekanaji wa vyakula vya kutosha?
1. Ndiyo
2. Hapana
a) Hali hii ilijitokea mara ngapi?
I. Mara chache (mara 1 au 2 )
II. Mara nyingine ( mara 3-10)
III. Kila mara (> mara 10)
44. Je, kwa muda wa wiki nne zilizopita, kuna mtu yeyote wa kaya hii aliyelazimika kula
mulo mdogo kwa siku, kwa sababu ya ukosefu wa chakula cha kutosha?
1. Ndiyo
8
2. Hapana
46. Je, kwa muda wa wiki nne zilizopita, wewe au kuna mtu yeyote wa kaya hii ambaye
usiku na mchana hakupata chakula chochote kwa sababu hakukuwa na chakula cha kutosha?
1. Ndiyo
2. Hapana
a) Hali hii ilijitokea mara ngapi?
I. Mara chache (mara 1 au 2 )
II. Mara nyingine (mara 3-10)
III. Kila mara (> mara 10)
47. Je, kuna vyakula ambavyo mtoto chini ya miaka mitano huzuiliwa kula?
1. Ndiyo …… ..Taja…..……………………………………….
2. Hapana
9
3. Sijui
48. Je katika jamii yenu wazazi wanaruhusiwa kunyonyesha watoto maziwa ya mwanzo
pindi wanapojifungua?
1. Ndiyo
2. Hapana…Taja Sababu ……………………………………….
49. Je katika jamii yenu wanaume huwa wanayonya maziwa ya mama pindi mama
akijifungua
1. Ndiyo
2. Hapana
3. Sijui
a) Mara ngapi
I. Mara moja
II. Mara mbili
III. Hasafishi
51. Je mtoto wako amewahi kupata tatizo la kinywa au meno?
1. Ndiyo
2. Hapana (nenda 56)
52. Kama ndiyo, ni tatizo gani alilopata?
1. Kuoza/Kutoboka jino
2. Fizi kutoa damu
3. Kidonda mdomoni
4. Mengine. Taja_____________
53. Ulaji wa mtoto ulikuwaje kipindi akiwa na tatizo hilo?
1. Kawaida
2. Ulipungua
3. Uliongezeka
4. Alikataa kula
10
54. Ulifanya nini baada ya kugundua kwamba mwanao ana tatizo la kinywa/meno?
1. Nilimpa dawa ya kutuliza maumivu
2. Nilimpeleka hospitali
3. Nilimpa dawa za kienyeji
4. Nilimwacha apone
11
≥ miezi 6 Vit. A supplementation
≥ miezi 12 Dawa za minyoo
SEHEMU YA IX: ANTHROPOMETRIC MEASUREMENTS (mdodosaji tu)
12