Professional Documents
Culture Documents
Kanisa La Kiinjili La Kilutheri Tanzania Dayosisi Ya Kaskazini Kati Mtihani Wa Madarasa Ya Kipaimara Na Ubatizo Wa Watu Wazima MWAKA 2021
Kanisa La Kiinjili La Kilutheri Tanzania Dayosisi Ya Kaskazini Kati Mtihani Wa Madarasa Ya Kipaimara Na Ubatizo Wa Watu Wazima MWAKA 2021
MWAKA 2021
JINA LA MWANAFUNZI……………………………………………………….
JINSIA/MVULANA………./MSICHANA……………….
USHARIKA …………………………………….MTAA…………………………..
MAELEKEZO MUHIMU
1. Mtihani una jumla ya Maswali 150
2. Mtihani umegawanyika katika sehemu kuu tatu; (i)A (ii) B (iii) C
3. Jibu Maswali yote uliopewa katika Mtihani huu
4. Kila Swali limebeba Alama Mbili
1
SEHEMU B: FURAHINI KATIKA BWANA (MASWALI 15)
Chagua jibu lililo sahihi (Weka alama ya vyema kwenye jibu utakalolichagua).
1. Mungu aliumba mbingu na nchi kwa kutumia
i. Udongo na Neno
ii. Maji na udongo
iii. Neno
2. Mbingu na nchi ziliumbwa kwa siku (I) siku sita (ii) siku saba (iii) siku tatu
3. Mwanadamu kuwa mfano wa Mungu maana yake ni (i) kuwa na akili nyingi (ii)
kujua jema na baya (iii) kuwa mwerevu kama nyoka.
4. Kwa nini Mungu alimtoa mwanaye Yesu Kristo (i) kwa ajili ya ukuu wake (ii)
kwa ajili ya mamlaka yake (iii) kwa ajili ya upendo wake.
5. Mwanadamu anaokolewa kwa (i) Neema tu (i) kwa kuomba na kumlilia Mungu
(iii) Kwa kuhudhuria ibadani kila siku
2
CHAGUA UHURU
1. Taja njia za kujikinga na ugonjwa wa Korona 1 __________________________
2_______________________________ 3________________________________
2. Ni amri ya ngapi inayokataza mtu asizini?________________________________
3. Ungonjwa wa Korona unaambukizwa kwa njia zipi ?_______________________
4. Yusufu aliikimbia zambi ya ___________________________________________
5. Taja madhara matatu ya ulevi na madawa ya kulevya_______________________
__________________________________________________________________
__________________________________________________________________
6. Taja athari za Mimba za utotoni________________________________________
__________________________________________________________________
__________________________________________________________________
7. Taja madhara ya uharibifu wa Mazingira_________________________________
__________________________________________________________________
__________________________________________________________________
__________________________________________________________________
8. Taja njia za utunzaji wa Mazingira______________________________________
__________________________________________________________________
__________________________________________________________________
__________________________________________________________________
9. Taja njia za kuambukiza virusi vya ukimwi_______________________________
__________________________________________________________________
__________________________________________________________________
__________________________________________________________________
10. Taja Magonjwa yanaambukizwa kwa njia ya zinaa_________________________
____________________________________________________________________
____________________________________________________________________
____________________________________________________________________
____________________________________________________________________
3
KKKT DAYOSISI YA KASKAZINI KATI
1. Sijaona
2. 27
3. Mwanzo
4. Ibrahimu, Isaka na Yakobo
5. Musa
6. Hararati
7. Mana
8. Yakobo
9. Yakobo
10. Musa
11. Kuuwawa kwa wazaliwa wa kwanza
12. Mungu
13. Agano la Kale
14. Wachungaji
15. Dhahabu, uvumba na manemane
16. Yohana mbatizaji
17. Tupu
18. Nguvu ya Mungu
19. Mariamu na Magdalena
20. Yusufu
B
1. Njooni
2. Mfalme Herode katika Bethlehemu
3. Yosefu na Maria
4. Ajili ya dhambi
5. Tatu
C
1. Tano (5)
2. Lutherani
3. Askofu Dr. Solomon Masangwa
4. Askofu Dr. Fredirick Onaeli Shoo
4
5. Mchungaji wa usharika…..
SEHEMU C: KATEKISMO
1. Baba yako na mama yako
2. Dr. Matrin Luther
3. Sakramenti ya chakula cha Bwana na Sakramenti ya Ubatizo
4. Si maji matupu tu ni maji yatumikayo kwa amri ya Mungu unaondoa makosa,
unatuokoa katika kufa na katika nguvu ya shetani unatuletea uzima wa milele
5. Mimi namkataa shetani na kazi zake zote na mambo yake yote najitoa kwako
ee Mungu baba mwana na Roho Mtakatifu nikutegemee na kukutumikia kwa
uaminifu hata nitakapo kufa.
6. Kuungama dhambi na kupokea ondoleo la dhambi
7. Maji
8. Ya nne
9. Unaondoa makosa, unatuokoa katika kufa na katika nguvu ya
shetaniunatuletea uzima wa milele
10. Usinzi
CHAGUA UHURU
1. Kuvaa barakoa, kuepuka misongamano na kunawa mikono na maji tiririka na
kutumia vitakasa mikono (sanitaizer)
2. Ya sita
3. Hewa, kushika kitu chenye virusi, chafya bila kuzuia, kikohozi bila kuzuia,
mikusanyiko,
4. Zinaa
5. Kukatiza masomo, kuchanganyikiwa, kujiingiza katika vitendo viovu,
kujihusisha na makundi mabaya, kudhoofika kiafya,
6. Kifo, kukatiza masomo na ndoto zake, kuvuja damu nyingi, kushindwa kulea
mtoto na madhara ya kiafya, hofu na masononeko, kutengwa na wenzake na
jamii.
7. Ukame, hewa ukaa, mvua chache, jangwa, kupotea kwa uoto nwa asili,
kupotea kwa viumbe hai.
8. Kupanda miti, kuacha kutupa taka ovyo, kutunza vyanzo vya maji, kuzuia
mmomnyoko wa udongo, kuacha kutumia mbola ya viwandani kwa wingi,
kupunguza idadi ya mifugo, kufuata kanuni za kitaalamu za kilimo n.k
9. Kujamiana/ ngono zembe/ kushirikiana vitu vya ncha kali, kuongezewa damu
isiyosalama
10. Kisonono, Kaswende, Ukimwi