You are on page 1of 3

MKATE WA SEMBE

1. Unga wa ngano glass 1,


2. Unga wa sembe glass
3. Maziwa glass 1
4. Mayai 4
5. Sukari glass 1
6. Mafuta ½ glass
7. Baking powder vijiko viwili vya chakula

JINSI YA KUPIKA
1. Vunja mayai uchanganye na sukar, uchukue mchapo (whisk} upige huo mchanganyiko
bila kuachia mkono, mpaka uvimbe uje juu, kisha tia mafuta endelea kupiga na baadae
tia mafuta endelea kupiga na baadae tia maziwa, kisha endelea kupiga kama dk 3 kisha
tia unga wa sembe na wa ngano ambao umeuchanganya na ile Baking powder
uchanganye vizur kwa kutumia mwiko.

2. Weka mchanganyiko katika sufuria ambayo umeipaka mafuta kisha choma kwa oven au
mkaa hakikisha moto umeshakorea

3. Choma mpaka uwe na rangi ya gold, uchome na kijiti kirefu ktk mkate, kama kijiti
kitatoka kisafi hakina mnato hapo mkate wako tayari, utoe katika sufuria uache upoe
kisha ukate

PICCALILI SQUA
5lb chicken breast cubed Green

KEKI YA NDIZI : Nusu kg

MAHITAJI
1. Ndiz mbivu 2
2. Unga wa ngano 2
3. Baking powder, kijiko 1 kikubwa
4. Cocoa
5. Maziwa kikombe 1
6. Sukar kikombe 1
7. Compound chokulete
8. Mafuta nusu
9. Ark kijiko 1

MAANDALIZI
Weka ndizi ndani ya Blender weka sukar Pamoja na mafuta kisha saga
Mimina katika bakuli kisha chukua unga wa ngano changanya na kokoa au chokuleti ya ungu,
wengine wanaweka kahawa, weka na Baking Powder weka kwenye chujio. Halafu chukua
mchanganyiko wanye dizi changanya na unga kisha changanya kwa mwiko au kijiko kikubwa.
Hapo utakuwa mzito sana
Chukua maziwa yako, mimina, kisha changanya vizuri kwa mwiko weka na Arki yako
Mchanganyiko ½ weka chokolet kisha weka kwenye Oven
JINSI YA KUPIKA DAGAAA
 Kaanga dagaa
 Weka zichuuje mafuta
 Mafuta kiasi
 Kitunguu maji
 Nyanya chungu, zikaange kiasi
 Weka swaumu na tangawizi
 Nyanya,funika kwa dk3, kisha weka bamia
 Weka dagaa
 Weka karoti
 Weka hoho
 Weka fishi masala
 Weka Chumvi kiasi
 Weka maziwa mgando
 Weka tui la nazi
 Weka maji kiasi
 Kisha funika kwa dk5 kisha epua tali kwa kula

TEMBELE
 Loweka tembele
 Weka mafuta kiasi
 Weka vitunguu maji
 Nyanya 2
 Weka tembele
 Chumvi kidogo
 Mchuz mix /carpoda
 Karoti
 Hoho
 Tui
 Limao

SAMAKI WA KUOKA
 Limao
 Fish masala
 Pilipili nyeupe
 BBQ masala
 Chumvi
 Mafuta
 Tangawizi & swaumu
 Koroga, nap aka Samaki
VITUMBUA
Loweka mchele usiku kucha

ASUBUHI
 Utoe weka kwenye blender
 Weka sukar kiasi
 Weka hiliki
 Weka amira
 Weka vanira
 Weka tuli la nazi
 Saga mpaka ulainike, funika kwa mda wasaa moja, kisha changanya
 Tayari kwa kuchomwa

NDIZI ZILIZOIVA SANA


 Ndsizi 3 ziponde,
 Ongeza mayai mawili
 Iliki nusu
 Vanilla nusu
1
Changanya mchanganyiko weka Baking powder kijiko kimoja,kisha weka ngano 1 kg,
2
changanya kisha tumbukiza kijiko kwenye mafuta ili kisishike unga anza kuchoma
Halafu pitisha kwenye makapi ya nazi makavu.

MAIN ROST
 Mafuta
 Maini
 Chumvi
Acha yachemke mpaka yaive kisha weka
 Limao
 Saum
 Beef masala
 Viazi mviringo
Vitunguu maji changanya hoho, sweet chich, nyanya ya kusaga funika hoho, karoti,na
pilipili mbuzi, Tuli la nazi

You might also like