You are on page 1of 4

KUSANYIKO LA MZUNGUKO LA

MASHAHIDI WA YEHOVA
LILILO NA MWANGALIZI WA MZUNGUKO
2017-2018

USIFE
MOYO
KATIKA
KUFANYA
MEMA!
ASU B U H I
3:30 Muziki

3:40 Wimbo Na. 77 na Sala

3:50 Kwa Nini Ni Vigumu Kufanya Mema?

4:05 Mfululizo: Epuka Kupanda kwa Mwili

˙ Tumia Mitandao ya Kijamii kwa Hekima

˙ Chagua Burudani Zinazofaa

˙ Shinda Mwelekeo wa Kuwa na Wivu

˙ Jitafutie Wakati Ujao Salama

5:05 Wimbo Na. 45 na Matangazo

5:15 Endelea Kuwatendea Watu Wote Mema

5:30 Wakfu na Ubatizo

6:00 Wimbo Na. 63


AL ASIR I
7:10 Muziki

7:20 Wimbo Na. 127 na Sala

7:30 Hotuba ya Watu Wote:


Epuka Kumdhihaki Mungu—Jinsi Gani?

8:00 Muhtasari wa Mnara wa Mlinzi

8:30 Wimbo Na. 59 na Matangazo

8:40 Mfululizo: Endelea Kupanda kwa Roho

˙ Sitawisha Mazoea Mazuri ya Kujifunza

˙ Tumia Kanuni za Biblia Kuongoza


Maisha Yako

˙ “Usipumzishe Mkono Wako”

9:40 Kile Ambacho Tutavuna Ikiwa


Hatutachoka Kabisa

10:15 Wimbo Na. 126 na Sala


Tafuta Majibu ya Maswali Haya:
1. Kwa nini ni vigumu kufanya mema? (1 Pet. 5:8;
Rom. 12:2; Rom. 7:21-25)

2. Kupanda kwa mwili kunamaanisha nini, na


tunaweza kuepukaje kufanya hivyo? (Gal. 6:8)

3. Tunapaswa ‘kuwatendea nani mema’? (Gal. 6:10)

4. Tunaweza kupanda kwa roho katika njia zipi?


(Gal. 6:8)

5. Tutavuna nini ikiwa hatutachoka kabisa?


(Gal. 6:9)

CA-copgm18-SW

You might also like