You are on page 1of 4

Ufanye Moyo wa

Yehova Ushangilie!
Methali 27:11

KUSANYI KO LA M Z U NG U KO
LA MAS HAH I D I WA YE HOVA
LILILO NA MWANGALIZI WA MZUNGUKO  2020-2021
ASUBUHI
3:30 Muziki

3:40 Wimbo Na. 29 na Sala

3:50 Ufanye Moyo wa Yehova Ushangilie!

4:05 Mfululizo: Kuiga Sifa Nne


za Pekee za Yehova
˙ Haki

˙ Nguvu

˙ Hekima

˙ Upendo

5:05 Wimbo Na. 81 na Matangazo

5:15 Mtukuze Mungu kwa


“Kuzaa Matunda Mengi”

5:30 Wakfu na Ubatizo

6:00 Wimbo Na. 49


ALASIRI
7:10 Muziki

7:20 Wimbo Na. 28 na Sala

7:30 Hotuba ya Watu Wote: Unaweza Kumfanya


Mungu Ashangilie!—Jinsi Gani?

8:00 Muhtasari wa Mnara wa Mlinzi

8:30 Wimbo Na. 35 na Matangazo

8:40 Mfululizo: Mfurahishe Yehova Katika . . .


˙ Maisha Yako ya Kibinafsi

˙ Familia Yako

˙ Kutaniko Lako

˙ Eneo Unaloishi

9:40 “Shangwe ya Yehova Ndiyo Nguvu Yenu”

10:15 Wimbo Na. 110 na Sala


TAFUTA MAJIBU YA
MASWALI HAYA:
1. Tuna mapendeleo gani tukiwa
watumishi wa Yehova? (Met. 27:11)

2. Tunaweza kumwigaje Yesu na kuufanya


moyo wa Yehova ushangilie? (Yoh 8:29)

3. Tunaweza kumleteaje Yehova shangwe


tunapokuwa katika huduma? (Yoh. 15:8)

4. Tunaweza kumfurahishaje Yehova katika sehemu


zote za maisha yetu? (Yoh. 14:31; Efe. 6:1-4;
Zab. 35:18; 1 Pet. 2:12)

5. Tunaweza kukabilianaje kwa mafanikio na majaribu,


mambo yanayovunja moyo, na vishawishi? (Neh. 8:10)

˘ 2020 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania


CA-copgm21-SW

You might also like