You are on page 1of 16

Waislam kukaa Itqaf siku saba za sensa - Uk.

Sauti ya Waislamu

Mtandao wa Tawheed

ISSN 0856 - 3861 Na. 1031 SHAWWAL 1434, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

www.tawheedtz.org Unakuhimiza ufanye Ibada ya Hijja 2012 Fanyeni Haraka Kuhiji. Maana Hajui Mmoja Wenu Kitakachomtokea Ibn Abbas Mkabala na Msikiti wa Makonde, Kariakoo, Dar es Salaam 022 2182068; 0776 070770; 0719 689528

Mh. Waziri Mkuu hii nyumba ni yetu sote

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda

SHEIKH Alhad Mussa

Serikali yalikoroga dakika za majeruhi Mratibu azuiya Waislamu kuswali Idd


Umati wakusanyika Polisi Tanga Wawatoa Masheikh waliokamatwa Kwa Waziri Mkuu Pinda futari yadoda

Sensa ya Watu na Makazi 26 Agosti 2012:

Wachungaji ni kero Muungano Zanzibar


MCHUNGAJI amekasirika. Anahoji maamuzi yetu Wazanzibari kupitia Waziri wetu wa KATIBA na SHERIA, na WAZIRI wa Utamaduni Utalii na Michezo. Anataka ufutwe na utokemezwe kwa mbali ule ustaarabu wa Wazanzibari wa kuheshimu Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Anafoka na kuhoji ni kwa nini ni marufuku kutembea nusu uchi, kula chakula hadharani, kuvuta sigara na kupigana mabusu ovyo barabarani, unywaji wa pombe

Kudhani Kelele za mpangajini kujidanganya Sana mnachelewesha tu muda wa kulipuka bomu Tutahaha kutafuta mchawi wakati mchawi serikali

Wanataka waingie Barazani Chukwani Wakatoe hoja kuzika ustaarabu wa Kiislam Kama ndio gharama ya muungano, hatulipi

kiholela kwa kipindi cha Mwezi mtukufu wa Ramadhani! Kuvunjika Muungano ni Jambo la hatari. Lakini Zanzibar kumezwa na kupoteza uwezo wa kujiamulia mambo yake kitaifa na kimataifa na kupotea katika ramani ya dunia, ni Jambo la hatari zaidi. Ni nani anaeridhia kuona mamlaka ya familia yake yanamilikiwa na ndugu yake alie jirani? Hiyo ni kashfa! Haikubaliki. (Soma Uk. 7)

Ni Sensa ya liwalo na liwe-Ponda

WAISLAMU Mjini Arusha wakiwa katika swala ya pamoja ya Eid iliyofanyika Msikiti Mkuu Arusha Jumapili iliyopita.

Serikali, Waislamu bado ngoma nzito kesho Waazimia kukaa Itiqaf Misikitini. Bukoba wasema Serikali isipate tabu itangaze waje wenyewe jela

2
S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786 Cel: 0784 370 208, 0652 849227, 0713 110148, DSM. www.ipctz.org E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk Osi zetu zipo: Manzese Tip Top Usangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri/Habari
AN-NUUR

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012

AN-NUUR

Serikali yalikoroga dakika za majeruhi


Na Mwandishi Wetu

Waliokuwa wakiabudu Ramadhani imeondoka


ULE mwezi mtukufu wa Ramadhani, mwezi wa swaumu, mwezi wa toba, umepita. Waislamu kote duniani wamehitimisha nguzo hii ya nne ya Uislamu kwa kusherehekea Sikukuu ya Eid Fitr mwishoni mwa wiki. Wa k a t i R a m a d h a n i ikiondoka, tunaamini kuwa Waislamu watakuwa wameiva baada ya kuhitimu mafunzo ya mwezi mmoja ya ucha Mungu. Mwenyezi Mungu ameeleza katika Quran, Enyi mlioamini imelazimishwa kwenu funga kama ilivyolazimishwa kwa wale ambao waliopita kabla yenu ili mpate ucha Mungu. (Baqara: 183). Hivyo tunataraji kwamba Umma wa Kiislamu kwa darsa lililopatikana ndani ya Ramadhani, utaendelea kumcha Mwenyezi Mungu kwa usahihi na kwa taqwa zaidi hata katika miezi mingine iliyosalia. Na hili hasa ndio lengo la Ramadhani kwa Waislamu. Wakati wa Ramadhani, bila ya shaka sote tulishuhudia jinsi misikiti ilivyokuwa ikijaa waumini katika muda wa swala. Qur ani Tukufu ilikuwa ikisomwa kwa wingi Misikitini na hata majumbani, hali kadhalika na tasbihi, ibada za Tahajud, tarawehe, witir, kukesha usiku wa Lailatul Kadir nk. Ilimradi kilikuwa kipindi cha ibada zaidi. Hofu yetu ni iwapo umma wa Kiislamu utadumu katika kumcha Mungu kama ilivyokuwa katika Ramadhani. Kuna hatari kwamba baada ya Waislamu kukamilisha Ramadhani, mambo yote mema na mazuri yataishia

MAONI YETU

hapo. Ramadhani inaweza kuondoka na ucha Mungu wake. Umefika muda wa kuacha mazoea haya ya kuabudu Ramadhani badala ya Mwenyezi Mungu (sw). Kweli Ramadhani imekwisha hadi mwakani, lakini tuliyekuwa tunafunga na kuswali kwa ajili yake yu hai milele, hamaliziki na wala haishi kama ilivyokwisha Ramadhani. Badala ya Muislamu kuharibu funga yake kwa kuasi baada ya Ramadhani, ni vyema akafungamana na marejeo ya mkufunzi Ramadhani (reference) ili kujiepusha na hasara kubwa inayoweza kupatikana. Kufunga sita katika mfungo Mosi inaweza kuwa msaada mkubwa wa kutoharibu yale tuliyojifunza ndani ya Ramadhani na itamsaidia muumini kuzoea kudumu katika ibada siku zinazofuata. Kama Muislamu kaweza kufunga mwezi mzima, ni aibu na fedheha kwamba Muislamu huyu atashindwa kulinda yale aliyokuwa akiyafanya ndani ya Ramadhani na kurejea kwenye uchafu aliokuwa akiishi nao kabla ya Ramadhani. Tulilo na uhakika nalo sote ni kwamba, Muislamu atakayeshindwa kulinda ucha Mungu alioupata ndani ya Ramadhani kwa kuendelea nao katika muda unaoendelea, huyo ndiye aliyeshindwa vibaya kabisa katika mafunzo ya Chuo Kikuu Cha Ucha-Mungu, Ramadani. Atakuwa ameambulia sifuri. Mwenyezi Mungu atuwezeshe tudumu katika ucha Mungu na kuujengea heshima Uislamu hapa ulimwenguni. Amiin.

I K I WA n d i o s i k u y a sensa imewadia, bado hali si shwari Waislamu wakibaki na msimamo wa kutokuhesabiwa. Katika kukabiliana na hali hiyo, kumekuwa na kamatakamata wakiandamwa wale wanaotuhumiwa kusambaza vipeperushi vinavyowakataza Waislamu kuhesabiwa au kuwashawishi kwa namna yoyote. Habari kutoa mikoa, wilaya na vijiji mbalimbali, zinaonyesha kuwa badala ya serikali kutafuta namna ya kutuliza mambo, imekuwa ikichukua hatua ambazo zinawafanya hata wale Waislamu ambao walikuwa hawana msimamo juu ya ususiaji huo, sasa waungane na wenzao. H a b a r i k u t o k a Ta n g a zinafahamisha kuwa jana umati mkubwa wa Waislamu ulifurika katika kituo cha Polisi Chumbageni kujua hatma ya Masheikh waliokuwa wamekamatwa wakidaiwa kuhamasisha watu kususia sensa. Waliokamatwa walikuwa ni Sheikh Chambuso, Ustadh H a m a d Ay o u b , F a d h i l Chambo, Hussein Idd na Mwalimu Kassim Amar. Mfumokristo upo kazini, Sheikh Chambuso na Mwalimu Kassim Amar wamekamatwa kwa kuwaeleza Waislamu wa Tanga vijijini dhulma iliyopo nchini dhidi ya Waislamu. Wameshikiliwa katika kituo cha Polisi Mtandikeni, Duga Maforoni toka jana usiku wa saa tatu. Waislamu simameni kuwahami Askari hawa wa Allah, Makamanda wa Mtume (s.a.w). Fikisha ujumbe huu kwa nduguzo Waislamu. Ujumbe huu wa maneno ulioanza kusambaa jana saa nne usiku, ndio uliowavuta mamia ya Waislamu jijini Tanga leo asubuhi baada ya kupata taarifa kuwa Masheikh hao walikuwa wameletwa Chumbageni. Hadi tukienda mitamboni, Masheikh hao walikuwa wameachiwa na kusindikizwa kwa maandamano hadi Masjid Qubah ambapo Waislamu walikariri msimamo wao wa kususia sensa. Katika maelezo yao walisema kuwa walimfahamisha wazi Mkuu wa Kituo cha Polisi kuwa si kweli kuwa serikali haina dini, bali dini ni ya serikali ipo na ndiyo hiyo ya watu ambao wao ndio wenye kusikilizwa, huku Waislamu

WAZIRI Mkuu Pinda wakipuuzwa, kubaguliwa na kudharauliwa. Kwa mtindo huo ndio maana Waislamu wameona serikali iendelee na hao inaowathamini katika zoezi hili la sensa. Kwa upande wa Wilayani Same, habari zinafahamisha kuwa Mratibu wa Sensa aliye katika kituo cha Kisiwani amelikoroga baada ya kuwakosesha Walimu kuswali swala ya Idd. Habari zinasema kuwa ilitolewa maelekezo kuwa hakuna cha kuswali Idd, bali semina kwa walimu waliopangwa kuhesabu watu itaendelea kama kawaida wakati swala ya Idd inaendelea. Hata baada ya Walimu Waislamu kulalamika, bado Mratibu alisisitiza hakuna cha kuswali Idd. Habari zilizokuwa zimevuja zilisema kuwa huo ulikuwa mkakati uliowekwa toka Wilayani kuwa wakikosa kuja katika semina hiyo iwe sababu ya kuondolewa. Walimu hao walifika na kwa mshangao, Mratibu alipoita majina na kuona Waislamu wapo akasema hakuna semina watu warudi nyumbani wakale Idd. Hata hivyo, wakati huo swala ilikuwa ishamalizika watu wanarejea kutoka misikitini. Mpasha habari wetu anafahamisha kuwa walimu Waislamu walikuja juu na wakataka kuwa maadhali wamekoseshwa swala, basi semina iendelee. Tukio hilo limewafanya Waislamu wengi kuona kuwa kuna njama dhidi ya Waislamu na hivi sasa gumzo ni jinsi idadi kubwa ya Walimu Waislamu mjini Same walioomba kuwa wahesabuji walivyoachwa na kuchukuliwa Wakristo watupu. Kwa upande mwingine inafahamishwa kuwa hali si shwari Sumbawanga ambapo futari iliyoandaliwa na Mkuu

wa Mkoa ilidoda baada kususiwa na Waislamu. Tukio hilo lilitanguliwa na lile la futari iliyoandaliwa na Katibu Tawala wa Mkoa (RAS) 16 Agosti, 2012 ambapo baada ya watu kumaliza maakuli, Mkuu wa Wilaya ya Nkasi alisimama na kuzungumza lakini akabaki akishangaa baada ya kujikuta akiachwa pweke baada ya kundi la Waislamu kunyanyuka na kuondoka mara tu alipoanza kuzungumzia sensa. Habari za tukio hilo la Waislamu kugomea Sensa mbele ya Mkuu wa Wilaya na RAS katika haa ya mwaliko wa futari, zilisambaa kwa kasi na kuwa mada ya Khutba za Ijumaa takribani kwa Misikiti yote Sumbawanga mjini msisitizo ukiwa Waislamu kukataa kuhesabiwa. Khatibu wa Ijumaa Msikiti wa Qiblatain, Abdillah Salim Kanazawa, alielekeza Waislamu nini umuhimu wa Shura na nini madhara ya kupinga Shura. Baadhi ya Maimamu akiwemo Imam Rajab waliwasisitiza Waislamu kuwa kinachohitajika ni umoja na kupigania haki na heshima ya Uislamu na Waislamu. Katika kuhakikisha wapo pamoja na wanasaidiana kwa lolote litakalotokea, kumetolewa namba za simu kwamba mahali popote mtu atakapobughudhiwa kwa kukataa kuhesabiwa apige ili ipigwe Adhana katika Misikiti mbalimbali Waislamu wakusanyike na kuamua la kufanya. Ilikuwa ni baada ya tukio hilo Mkuu wa Mkoa naye akaandaa futari katika jitihada za kupoza mambo. Hata hivyo pamoja na kuandaliwa watu wa TV na magazeti, futari ilidoda baada ya Waalikwa Waislamu walio wengi kususia kwa kujua kuwa agenda itakuwa sensa. Futari hiyo ilifanyika Agosti 18, 2012. Katika tukio jingine kutoka Sumbawanga Mjini, mtoto mmoja wa chini ya miaka 10 aliwaacha hoi wahesabuji waliokuwa katika zoezi la majaribio baada ya kukataa kuhesabiwa na kusema kuwa akihesabiwa atakuwa kari. Baba kasema sisi Waislamu hatuhesabiwi! Baba kasema ambaye atahesabiwa atakuwa kari. Alisema mtoto huyo aliyekutwa akiwa peke nyumbani na kutimua mbio akiwacha maosa wa sensa wakishangaa.

3
Na Bakari Mwakangwale

ITAKUWA ni sensa ya liwalo na liwe, baada ya serikali kugoma kusikiliza madai ya waislamu. Hiyo ni Kauli ya Sheikh Ponda Issa Ponda wakati akisoma risala ya Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu katika Baraza la Idd. Ponda amesema kuwa, bado wanaishauri Serikali kuakhirisha Sensa mpaka mwakani ili iweze kufanya Sensa ya Kitaifa badala ya kufanya Sensa ya Liwalo na lilwe. Kwa upande mwingine, kwa wanaokataa sensa msimamo umekuwa kuwa kama ni kuwafunga, serikali isipate tabu, itangaze watakuja wenyewe katika vituo vya Polisi na magereza kama itaona kwa busara zake kuwa hiyo ndiyo stahiki ya wasiotaka kuhesabiwa. Wa m e y a s e m a h a y o baadhi ya Waislamu kutoka maeneo mbalimbali nchini wakiitaka Serikali kuacha kutumia vitisho kuhusu suala la Sensa ya watu na makazi na badala yake kujenga tabia ya kuwasikiliza Waislamu kama inavyofanya kwa maaskofu. Katika tamko lililotolewa wakati wa sherehe za Baraza la Idd ambalo liliandaliwa na Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislam Tanzania na kufanyika katika viwanja vya Mwembeyanga Jijini Dar es Salaam, Baraza Kuu limesisitiza kuwa Waislamu hawatashiriki zoezi hilo la Sensa na kwamba siku ya Sensa Waislamu wanatakiwa kubaki Misikitini katika Ibada ya Itiqaaf na hata ikiwa watafungwa jela watakuwa tayari, kuliko kukubali kuhesabiwa. Akisoma tamko hilo mbele ya umati mkubwa wa Waislamu waliohudhuria sherehe hizo, Sheikh Ponda Issa Ponda alisema ingawa Serikali kupitia vyombo vyake vya habari imeendeleza propaganda za kuwa wamekubaliana na Waislamu juu ya kushiriki Sensa, ukweli ni kwamba hawajakubaliana popote juu ya hilo. Kuhusu taarifa zilizochapishwa magazetini za Mkurugenzi wa TBC1 kuwaomba radhi Waislamu kwa kutoa takwimu za uwongo zinazowahujumu, na hiyo ndiyo kuwa sababu ya wao kuachana na madai yao, Sheikh Ponda alisema TBC1 ni kama mtoto, na hivyo malalamiko yao yalikuwa ni kwa Serikali inayomiliki chombo hicho cha habari. Madai ya mapendekezo

ya Waislamu kuhusu namna ya kuzuia hujuma katika Sensa ya watu na makazi hayakuelekezwa kwa wale walioghushi takwimu (TBC1) na wenzake, bali ni kwa Serikali kupitia Idara ya Takwimu ya Taifa, alisema. Akasema kufuatia taarifa hizo zinazodaiwa kusambazwa kwamba eti muafaka baina ya Serikali na Waislamu umekwishapatikana na kwamba sasa Waislamu watashiriki Sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kuanza Agosti 26, 2012, bado msimamo wa Waislamu wa kutoshiriki uko palepale.

Ni Sensa ya liwalo na liwe-Ponda


Tunatamka kuwa, pamoja na propaganda za TBC1 kuomba radhi na vitisho vya Serikali, msimamo wa Waislamu wa kutoshiriki zoezi la Sensa Agost 26, 2012 upo palepale, lilisema tamko hilo la Waislamu lenye kurasa tatu. Katika hatua nyingine mwandishi wa habari hizi alishuhudia mwamko wa umati huo wa Waislamu wa kususia zoezi hilo la Sensa kwa kugombania vipeperushi vilivyoandikwa kwa herufi kubwa kuwa, NYUMBA HII NI YA WAISLAMU, H AT U A N D I K I S H W I SENSA. Mbali ya suala la Sensa ya watu na makazi, jambo jingine ambalo lilivuta hisia za Waislamu mkutanoni hapo ni lile linalohusiana na mchakato wa maoni juu ya Katiba mpya ambayo ilihudhurishwa na Sheikh Kondo Juma Bungo. Katika mkutano huo, Sheikh Bungo alisisitiza umuhimu w a Wa i s l a m u k u s h i r i k i vema katika kuhakikisha wanawasilisha maoni yao kuhusiana na masuala mbalimbali yanayowagusa. Katiba ndiyo sheria mama ambayo inaelekeza namna viongozi watakavyoongoza na

Habari

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012


raia wanavyotakiwa kufuata sheria hizo. Sasa kanuni mojawapo ya sheria duniani kote ni kwamba haiwezi kufanya kazi mahala ambapo sheria zilizopo zinakinzana na sheria hiyo, alisema huku akitoa mifano kadhaa kutoka kwenye Quran na Sunnah. Habari kutoka Bukoba zinasema kuwa serikali imetakiwa kutokupata tabu kusambaza Polisi kukamata Muislamu mmoja mmoja, bali iseme wale wote wasiotaka kuhesabiwa waje jela gani na Waislamu wataka. Maoni hayo yametolewa na Masheikh na Maimamu mbalimbali baada ya kutokea hali ya kusumbuliwa kwa baadhi ya viongozi wa Kiislamu wakidaiwa kuhamasisha waumini wao kukataa sensa.

AN-NUUR

Waislam kukaa Itqaf siku saba za sensa


Watafunga siku tatu, kusoma Kunuti Mufti, RC wapata wakati mgumu Songea DC, Madiwani, Waziri Malima hoi Mkuranga
kiongozi wa Jumuia na Taasisi ya Kiislamu aliyewahi kuhubiri kuwa sensa ni haramu, bali wametoa sababu zao za msingi za kususia zoezi hilo ambazo wamezieleza na kuzifafanua vizuri, ila serikali inapotosha kwa makusudi. Akasema, Viongozi wa Jumuiya wametaja baadhi ya madai ya Waislamu kuwa ni suala la wanafunzi wa Kiislamu wa kidato cha sita kufelishwa kwa makusudi na Baraza la Mitihani la Taifa na hakuna hatua zilizochukuliwa dhidi ya wahusika. Tu k i o j i n g i n e a m b a o limepuuzwa ni Waislamu kuletewa Kadhi asiye na nguvu za kisheria. Taarifa ya Jumuia hiyo imeeleza kuwa Waislamu wanataka Kadhi aliyeteuliwa na Jumuia zote za Kiislamu na ambaye anatambuliwa na Katiba ya nchi. Suala la tatu limetajwa kuwa ni sensa ya watu na makazi ambapo Waislamu wanataka kiwepo kipengele cha dini kwenye dodoso la sensa ili kujua idadi kamili ya watu na dini zao, lengo likiwa ni kuondoa takwimu potofu zinazoendelea kutumiwa na serikali na taasisi zisizo za kiserikali kwa maslahi yao na kwa hasara ya Uislamu. Aidha, Waislamu kwa muda mrefu wametaka serikali kujiunga na Jumuia ya Kiuchumi ya Kiislamu ya OIC, lakini licha ya serikali yenyewe kukiri kuwa hakuna athari mbaya kwa nchi kujiunga na jumuia hiyo, bado haitaki kwa sababu Maaskofu

Na Shaaban Rajab, Bakari Mwakangale


WAISLAMU wametakiwa kufurika misikitini kwa ajili ya ibada ya Itiqaf na Dua kuanzia usiku wa Jumamosi ya Agosti 25 siku ya sensa na kufunga swaumu siku tatu kuanzia tarehe hiyo kumuomba Allah juu ya kadhia inazowakabili hivi sasa. Wito huo umetolewa na Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu jana Agosti 24, 2012. N d u g u Wa i s l a m u , tumuogope Allah na kamwe tusiogope vitisho. Sote kwa pamoja tutekeleze maazimio haya ili historia ituandike kuwa tulipigania haki za Waislamu Tanzania. Ilieleza taarifa ya Jumuia hiyo. Akizungumza katika kikao kilichoandaliwa na Jumuia hiyo na kuhudhuriwa na Maimamu kutoka misikiti mbalimbali ya jijini Dar es Salaam, kilichofanyika katika ukumbi wa Makao Makuu ya TAMPRO Magomeni Mapipa jana, Katibu wa Jumuia na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema Masheikh wa Jumuia na Taasisi 63 nchini kwa pamoja wamekubaliana Waislamu nchini kutekeleza ibada hizo kufuatia kitendo cha serikali kwa makusudi kupuuza madai ya Waislamu. Ponda amesema hakuna

hawataki. Alisema, inasikitisha kwamba hata wasomi walishiriki kupotosha suala hili katika jitihada za kuzima hoja ya Waislamu kuitaka serikali kujinga na OIC. Akakumbusha kuwa Prof. Mwesiga Baregu aliwahi kutetea hatua ya serikali kuzima uwezekano wa kujiunga na Jumuia hiyo pale aliponukuliwa akisema kuwa moja ya kanuni na masharti ya OIC ya kujiunga mwanachama mpya, ni lazima mwanachama huyo (nchi) iwe na idadi kubwa ya Waislamu, kinyume na hapo mwanachama huyo atakuwa hajakidhi kigezo cha kujiunga na jumuia hiyo. Alisema, umefika wakati Waislamu wa Tanzania kuwa na msimamo na kushikamana pamoja katika masuala ya msingi yanayohusu maslahi ya Waislamu na Uislamu. N d u g u Wa i s l a m u tumuogope Allah na kamwe tusiogope vitisho. Sote kwa pamoja tutekeleze maazimio haya ili historia ituandike kuwa tulipigania haki za Waislamu Tanzania, usiku wa terehe 25 kuamkia 26 Agosti sote tuelekee katika misikiti ya jirani kwa ajili ya ibada za itiqaf na kunut. Kwa pamoja tutekeleze maazimio haya ili historia idhihiri, ilisema sehemu ya azimio hilo la Jumuia na Taasisi za Kiislamu nchini. Aidha imefahamishwa kuwa Mufti wa Bakwata

Issa Shaaban Simba akiwa pamoja na Mkuu wa Mkoa w a R u v u m a B w. S a i d Kalembo, wametahayari mjini Songea pale Waislamu walipowahakikishia kwamba wao hawahesabiwi. Mufti Simba amekuwa Songea akishirikiana na Mkuu wa mkoa kuhamasisha Waislamu kushiriki katika sensa. Wakati Mufti na baadhi ya Masheikh wa Bakwata wakifanya ziara za mikoani k u s h i n i k i z a Wa i s l a m u kushiriki sensa, huko Mkuranga wamedhihirisha hadharani kwamba hawatoshiriki zoezi hilo. Hayo yamejiri katika mkutano uliohudhuriwa na Madiwani pamoja na Naibu Waziri wa Kilimo Bw. Adam Malima, ambao walihamasisha Waislamu kushiriki zoezi la sensa na kukemea vipeperushi vilivyokuwa vikielezea sababu za Waislamu kugomea sensa hiyo. Tukio hilo lilikuja baada ya Ust. Abdulswamad kutoka Baraza Kuu kupewa nafasi ya kuhutubia katika mkutano huo huku wageni wengine wakidhani kuwa anatoka BAKWATA baada ya kusikia kuwa anatoka Baraza Kuu. Ust. Abdulswamad baada ya kupata nafasi hiyo alibainisha kuwa yeye ni miongoni mwa walioandaa kipeperushi hicho na kuwataka Waislamu kupima yale waliyoelezwa katika kipeperushi na yale waliyoelezwa na mawakala wa serikali kujua ukweli. Hata baaada ya kutoa nasaha zake Waislamu walisisitiza kwamba hawatashiriki zoezi la sensa mbele ya mawakala hao wa serikali.

4
Na Mwandishi Wetu.

Habari

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012 mengi ya kujiuliza juu ya sifa hizo walizopewa

AN-NUUR

TOKA jana Alhamisi, Waislamu jijini Arusha wapo katika swaumu hadi kesho Jumamosi wakiomba subra kwa Allah katika kukamilisha msimamo wao wa kususia sensa. Aidha, imefahamika kuwa waumini wa Mkoa huo watakuwa katika ibada ya Itiqaaf ambayo itafanyika katika Misikiti yote usiku wa Jumamosi kuamkia sensa. Habari zilizopatikana jana kutoka jijini Arusha zinafahamisha kuwa katika kuandaa Itiqaaf hiyo, mipango inafanywa kupata ngombe 7 na mbuzi saba kwa ajili ya chakula kwa Waislamu watakaojitokeza kukaa Itqaaf katika Msikiti Mkuu wa Ijumaa. Habari kama hizo zimetangazwa pia na baadhi ya vyombo vya habari ambapo imehimizwa kuwa Waislamu wafunge siku tatu kuanzia jana kisha kufanya Itiqaaf na kuleta Dua maalum. Wa k a t i h u o h u o , Imamu wa Msikiti Mkuu, Sheikh Hambali a m e w a t a k a Wa i s l a m u kuendelea kupinga dhulma wanazofanyiwa wanafunzi wa Kiislamu na Baraza la Mitihani Tanzania. Hanbal anasema dhulma

Arusha wapo katika funga


Msikiti Mkuu Bondeni kuchinja ngombe 7 Dr. Ndalichako hajaachwa kutajwa

Baraza la Mitihani, je sifa walizopewa zimetokana na kazi walizofanya kuwadhulumu wanafunzi wa Kiislamu kwenye mitihani yao? Au kazi waliofanya ya kupuuza malalamiko ya Waislamu kana kwamba hakuna kitu kilichotokea? Au sifa za kufuata maelekezo ya mfumokristo juu ya kuwadhulumu Waislamu? Amehoji Hanbal. Akasema, kuajiriwa mchungaji kwa ajili ya kulinda maslahi y a Wa k i r i s t o n a kuwadhulumu wanafunzi Waislamu, ni uovu, upendeleo na dhulma iliyo wazi, lakini serikali imekaa kimyaa haijali. Kuhusu Mahkama ya Kadhi, Imam Hanbal amesema kuwa Waislamu bado hawajapata Mahkama ya Kadhi na kwa hivyo hakuna Kadhi Mkuu. Akifafanua akasema WAISLAMU Mjini Arusha wakiwa katika swala ya pamoja ya Eid iliyofanyika kuwa kilichofanywa na Mufti wa Bakwata ni Msikiti Mkuu Arusha Jumapili iliyopita. hii wanafanyiwa watoto wa haki ila Allah. majibu juu ya madai ya kiini macho ambacho Kiislamu si kwa sababu Akasema, jambo la Waislamu, Waziri husika kinadhihirisha tu jinsi nyingine, bali ni kule kusikitisha na kushangaza analisifia Baraza hilo ili baraza hilo linavyotumiwa
kusema kwao hapana Mola apasaye kuwabudiwa kwa

KUALA LUMPAR Mashirika ya Kiislamu yasiyo ya serikali ya nchi wanachama katika Jumuiya ya ASEAN yameungano kwa ajili ya kuwasaidia Waislamu wa Myanmar na kutatua matatizo yao. Shirika la habari la Malaysia Barnama, limeripoti kuwa Jumuiya ya Kimataifa ya Ushirikiano wa Kiislamu ya Malaysia (Ikiam) imepewa jukumu la kubuni muundo wa muungano huo. U a m u z i w a kuanzishwa muungano huo ulichukuliwa katika kikao cha jumanne iliyopita cha Jumuiya za Kiislamu zisizo za serikali katika nchi za Kusini Mashariki mwa

Asia. Katika kikao hicho imetajwa lengo la kuanzishwa muungano huo kuwa ni kufanya jitihada za kukomesha mgogoro wa Myanmar na ukatili unaofanyika nchini humo dhidi ya Waislamu katika jimbo la Arakan. Myanmar pia ni mwanachama katika Jumuiya ya Nchi za Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN). Naye Katibu Mkuu wa

Mashirika ya Kiislamu yaungana kuwasaidia Waislamu Myanmar


Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) Ekmeleddin Ihsanoglu, ametaka hatua za haraka zichukuliwe kuwakishia misaada Waislamu wa Myanmar wanaoendelea kuuawa na kunyanyaswa na serikali ya nchi hiyo. Amesema kuwa wakati sehemu kubwa ya Waislamu wakiwa katika shamrashamra za kusherehekea sikukuu ya Eid el fitr, sehemu nyingine za ulimwengu wa Kiislamu zinakabiliwa

ni kuwa badala ya serikali kuchunguza na kutoa

kucha uozo na dhulma. Hapa kuna maswali

kirahisi kuhujumu haki za Waislamu nchini.

na matatizo mengi. Ameongeza kuwa Waislamu wa Myanmar wanakabiliwa na matatizo yanayokwenda sambamba na vitendo vya mabavu ambavyo vinahatarisha maisha yao katika ardhi zao za jadi. Kwa msingi huo amewataka Waislamu wote ulimwenguni kujali na kuwazingatia wenzao wanaoteseka huko Myanmar na kuwafikishia haraka misaada ya kibinadamu.

Katibu Mkuu huyo wa OIC ameutaka umma wa Kiislamu pia kuwajali ndugu zao wanaopata matatizo huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel na kuchukua hatua za dharura kwa lengo la kulinda Quds Tukufu na utambulisho wake wa Kiislamu, vilevile kuilinda kutokana na hujuma ya Mayahudi na Wazayuni. Ihsanoglu amewataka Waislamu wawaunge m k o n o Wa p a l e s t i n a katika mapambano yao dhidi ya utawala wa Israel hadi pale watakapofanikiwa kuunda nchi huru mji mkuu wake ukiwa ni Quds Tukufu. (IQNA)

Makala

Saudia waandamana dhidi ya Ufalme Botswana yatakiwa kukataa Kuwepo kambi ya Marekani
RIYADH Wananchi wa Saudi Arabia wamefanya maandamano katika maeneo kadhaa ya nchi hiyo ikiwa ni ishara ya kupinga serikali kuendelea kukumbatia utawala wa kifalme. Duru za habari zinaeleza kuwa, wakazi wa mji wa Qatif wamefanya maandamano makubwa wakipinga utawala wa nchi hiyo na kumuunga

RAIS Muhammad Mursi wa Misri

RAIS Muhammad Mursi wa Misri amependekeza kuundwa timu maalumu itakayoundwa na nchi za Iran, Misri, Saudi Arabia na Uturuki kwa ajili ya kutafuta ufumbuzi mgogoro wa Syria. Wachambuzi wa mambo ya kisiasa wanasema kuwa pendekezo hilo linaweza kuzua shauku zaidi juu ya mtizamo iwapo pendekezo la Rais Mursi linatekelezeka au la. Wachambuzi wengine wanasema kuwa, pendekezo hilo linaonyesha wazi misimamo ya Rais Mursi ya kutaka kuirejeshea Misri

Mursi ataka Iran, Saudia Uturuki kuisaidia Syria


nafasi yake katika masuala ya ulimwengu wa Kiislamu iliyoipoteza miaka mingi iliyopita, baada ya kutiwa saini mkataba wa Camp David kati ya nchi yake na utawala wa Kizayuni wa Israel. Huku hayo yakiripotiwa, jeshi la Syria limeendelea kuyasafisha magenge ya kigaidi katika miji mbalimbali ya nchi hiyo hasa mji wa Halab. Kwa upande mwingine, Waziri wa Mambo ya Nje wa Uturuki amesema kuwa nchi hiyo haiwezi kupokea wakimbizi zaidi kutoka Syria, hivyo ameutaka Umoja wa Mataifa kutenga eneo

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012

AN-NUUR

maalumu ndani ya Syria la kuweza kuwahudumia wakimbizi hao. Hatua hiyo inahesabiwa na wachambuzi wa mambo kuwa ni njama za Uturuki za kufanikisha lengo lake la kuingiza majeshi ya kigeni ndani ya ardhi ya Syria kwa madai ya kulinda raia. Naye Walid al Muallim, Waziri wa Mambo ya Syria amesema kuwa ni wananchi wenyewe wa Syria ndio pekee wenye haki ya kuamua waongozwe na serikali gani na amezilaumu baadhi ya nchi za Kiarabu na zisizo za Kiarabu kwa kuchochea machafuko na kuongoza uasi ndani ya Syria. (IRIB)

MOMBASA Wa z i r i M k u u w a Kenya Raila Odinga, amesema kwamba wale wanaodai kuwa alivunja makubaliano aliyotiliana saini na Waislamu kabla ya uchaguzi mkuu uliopita nchini humo, wanamchafulia jina kwani alikuwa katika safu ya mbele kutetea Mahakama za Kadhi wakati wa kampeni za kura ya maoni kuhusu katiba mpya mwaka

Odinga asema hajakiuka makubaliano na Waislamu


2010. Odinga amekumbusha kuwa viongozi wa Makanisa na baadhi ya wanasiasa walizunguka nchi nzima wakiwataka wafuasi wao kuikataa katiba mpya kwa madai kwamba inawapendelea Waislamu kwa kuwapa Mahakama za Kadhi. Kiongozi huyo ameongeza kuwa aliwashirikisha viongozi kadhaa wa Kiislamu katika serikali akiwemo mbunge maalum, Sheikh

mkono Hassam Haddad, mkazi wa Bahrain ambaye aliuawa kwa kupigwa na kujeruhiwa na vikosi vya utawala wa Aal Khalifa vinavyosaidiwa na vikosi vya Saudia. Wa a n d a m a n a j i h a o walitangaza kuungana na shahidi huyo mkazi wa Bahrain na kusisitiza kuendelea na maandamano yao ya amani hadi matakwa

yao yatakapotekelezwa. Tangu mwezi Februari mwaka jana, wapinzani wa utawala wa kifalme wa Al Saudi wamekuwa wakifanya mihahara na maandamano katika maeneo ya Mashariki mwa nchi hiyo, wakitaka kufanyiwa marekebisho muundo wa utawala. Aidha wamekuwa wakitaka kuachiwa huru wafungwa wa kisiasa na kuwepo usawa.

Makundi ya kijamii nchini Botswana yameitaka Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) kuiwekea vikwazo s e r i k a l i y a G a b o ro n e iwapo itaruhusu Marekani kuanzisha kituo cha kijeshi nchini humo. Makundi hayo yamesema kuwa mazoezi ya pamoja ya kijeshi kati ya Botswana na Marekani yaliyokamilika siku chache zilizopita, huenda yakatoa mwanya kwa Washington kuweka kambi ya kijeshi kwa ajili ya Bara la Afrika (AFRICOM)

nchini humo. Jumuiya mbalimbali za Afrika ikiwemo SADC kwa muda mrefu sasa zimekuwa zikipinga kambi hiyo kuwekwa barani Afrika hivyo kuilazimisha Marekani kuendelea kuendesha kambi hiyo kutokea Ujerumani. Wazo la kutaka AFRICOM iwe na makao makuu yake barani Afrika lilitolewa kwa mara ya kwanza mwaka 2006 na George W. Bush, Rais wa zamani wa Marekani lakini viongozi wa Afrika wakalikataa. (IRIB)

Mohammad Dor. Raila Odinga aliyasema hayo baada ya kukutana n a Wa i s l a m u m j i n i Mombasa katika Pwani ya Kenya Jumatatu ya wiki hii ambapo amewataka kumuunga mkono kwenye uchaguzi mkuu ujao. Viongozi wa Kiislamu huko nyuma walisema hawatomuunga mkono Bw. Odinga kwa kuwa alikiuka makubaliano aliyotiliana saini na Waislamu mwaka 2007.

WAZIRI Mkuu wa Kenya, Raila Odinga

Makala/Matangazo

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012

AN-NUUR

Hillary Clinton anapokuwa Joseph Goebbels wa leo


makali kati ya askari wa Jeshi Huru la Syria wenye silaha nzito wanaoungwa mkono na NATO, na majeshi ya Syria. Chini ya vichwa vya habari danganyifu na ukishapita aya kadhaa za kwanza ambazo kwa dhamira zimejazwa propaganda za ki-Goebbels, kile ambacho mashirika ya habari hodhi ya nchi za Magharibi yanaripoti ni majeshi ya kigaidi yakishindwa na majeshi ya Syria na mapigano kuendelea kwa sababu tu nchi za Magharibi zinaendelea kutoa fedha, silaha zenye ubora mkubwa, na hata wapiganaji wa nje nchini humo. BBC ilikia hata kukiri, na kuninginiza maelezo mengine ya staili ya Houla (dai la mauaji ya watu wengi), kuwa ......baadaye, wanaharakati waliliambia shirika la habari la AFP (la Ufaransa) kuwa wapiganaji waasi walikuwa wameshambulia msafara wa magari ya jeshi, lakini walirudishwa nyuma na kuuawa wakati jeshi liliporudisha mashambulio. Katika hali hiyo, licha ya kuwa hatuna uhakika bado wa idadi kamili, raia waliokufa kwa mabomu yaliyorushwa hawakuwa zaidi ya saba, alisema Jaafar, mwanaharakati wa mtandao wa habari wa Sham unaoipinga serikali. Waliobaki walikuwa ni wapiganaji wa Jeshi Huru la Syria, alikiri. Hivyo, licha ya wanaharakati wenyewe kukiri kuwa walishambulia majeshi ya Syria kwanza na halafu wakapoteza mapambano yaliyofuatia, ambayo inaelekea yaliwasukuma hadi kwenye kambi yao ya mapambano huko Tremseh, vyombo vya habari vya Magharibi viliamua kuipa haiba ya mauaji ya kunuia dhidi ya raia, kama gazeti la Guardian lilivyosema, yaliyopangwa kwa wakati unaofaa ili kuwapa pumzi washirika wa kijeshi wa Assad na kuvunja juhudi za kutafuta suluhisho la kisiasa, likimnukuu mjumbe wa Baraza la Kitaifa la Syria linaloungwa mkono kwa uwazi na nchi za Magharibi. Labda aliyetia fora katika ujuha huu alikuwa si mwingine ila Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton ambaye alidai kuwa maelezo kuhusu mashambulizi katika kijiji cha Tremseh, ikiwa ni pamoja na matumizi ya mizinga, vifaru na helikopta, yanadhihirisha bila utata serikali hiyo imefanya mauaji ya raia kwa kudhamiria. Clinton, bila kuzuiwa na kipengere kuwa anazungumzia maelezo na siyo ushahidi uliohakikishwa, anadai kuwa tukio hilo, lililoelezwa hata na waasi kuwa ni mapigano makali kati ya majeshi ya Syria na wapiganaji wa FSA, ilikuwa ni mauaji ya kudhamiria ya raia. Clinton anajaribu kutafuta kuungwa mkono katika nchi mbalimbali kuhusu kushindwa kwa washirika wake wa kigaidi wanaopewa fedha, silaha na kuwekwa mbele kama FSA. FSA inaundwa na wapiganaji wa kukodiwa kutoka Libya, wengine ndiyo wametoka kuua askari wa Marekani na Uingereza huko Irak na sasa wanatumia mbinu zao za kupiga mabomu dhidi ya watu wa Syria, na wanachama wa kundi la Muslim Brotherhood la Syria ambao walianza kutafutwa mwaka 2007 na Marekani chini ya utawala wa George W. Bush, kuanza kuunda mkondo wa mapigano kuweza kuipindua serikali ya Syria. Hawa ni wapiganaji ambao walikutana na kamanda wa kundi la Libyan Islamic Fighting Group (LIFG) Abdul Hakim Behaj, na kupata kutoka kwake silaha, fedha na wapiganaji licha ya kuwa hata hivi leo LIFG imeorodheshwa na wizara ya Hillary Clinton ya Mambo ya Nje kama shirika la nje la kigaidi, hivyo kufanya upelekaji fedha na kuungwa mkono kwa FSA kuwe ni kuvunja sheria za Marekani yenyewe dhidi ya ugaidi. Lengo ambalo Clinton anatumai kulikia ni kupitisha kwa sokomoko azimio la

Mauaji makubwa ya hivi karibuni ya Syria kama propaganda ya ki-Goebbels Dai Umoja wa Mataifa walaumu majeshi ya serikali kwa mauaji mapya nchini Syria, wakati si madai ya wanaharakati au video yaliweza kuthibitishwa na watu wengine.
Na Tony Cartalucci July 14, 2012 - Mtandao wa Kupashana Habari KWA uhakika kama hakuna ambacho wanaharakati wamesema hadi sasa kuhusu kinachoitwa mauaji makubwa ya Tremseh, Syria kinaweza kuhakikishwa, haiwezekani kumlaumu yeyote kwa vifo vinavyodaiwa kuwa vimetokea. Hata hivyo, mashirika ya habari hodhi kama Associated Press, Reuters, AFP na mengineyo yalikuwa na vichwa vya habari kama Umoja wa Mataifa walaumu majeshi ya serikali kwa mauaji Syria (AP), Serikali ya Syria yalaaniwa kwa mauaji ya Tremseh (Reuters), Machafuko Syria: Mauaji ya Tremseh (Guardian), na Machafuko Syria: Kofi Annan ashtushwa na vitendo vya kutisha Tremseh (BBC). Picha: Raia wasio na silaha? Kutoka Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani na nje kupitia mtandao wake katika mashirika hodhi ya habari, wanaoitwa Free Syrian Army mara nyingi wanaitwa kwa kubadilisha, iwe ni raia au wanaharakati. Katika hali halisi wana silaha nzito, wanapata misaada mikubwa ya nje na wanao miongoni mwao makundi makubwa ya wapiganaji kutoka nje - wakisaliti jina hilo, la Jeshi Huru la Syria. Hata kwa maelezo ya wanaharakati, mauaji ya hivi karibuni yanaelekea kuwa ni mapigano ambayo wapiganaji hao walipoteza, na wengi kati ya waliokufa ni wapiganaji wenye silaha, na siyo raia. Na hata chini ya vichwa vya habari danganyifu, vikionyesha jinsi serikali ya Syria ilivyohusika na kile walichoelezea kama ni kitendo cha kinyama cha mauaji ya watu wengi wasio na silaha, kila taarifa inakiri, kwa maelezo yaliyochimbiwa karibu na mwisho, kuwa Tremseh ilikuwa eneo la mapambano

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Hillary Clinton hivi karibuni la Umoja wa Mataifa linaloungwa mkono na Marekani na Uingereza kupitia Baraza la Usalama, kwa kuziaibisha Russia na China kwa kuitetea Syria kuhusu uhalifu ambao haikuwahi kuutenda. Ujanja ni kuisukuma propaganda kabla ukweli wa kilichotokea Tremseh haujaibuka. Hatari kwa amani duniani Ni kweli kuna hatari kubwa kwa amani duniani. Siyo majeshi ya ulinzi ya Syria yanayojaribu kurudisha amani kwa walio wengi kati ya watu wa nchi hiyo ambao hawashiriki katika mapigano na hujuma inayofadhiliwa kutoka nje. Ni nchi za Magharibi. hasa serikali na mashirika makubwa ya biashara na fedha ya Marekani, Uingereza, Ufaransa, Saudia, Qatar na washirika wao siyo tu kuendesha kampeni ya udanganyifu wa kudhamiria kuvuruga watu wanachohisi, lakini kwa uwazi wanatoa silaha, fedha na uungwaji mkono kisiasa kwa magaidi ambao kwa muongo wote uliopita wamekuwa wakiwataka wananchi wao kujitolea mhanga na kuthamini kupigana katika kile kilichoitwa Vita dhidi ya Ugaidi. Kama ambavyo wengine wamesema na kurudia, siyo kwamba watu wa Syria, au watu wengine kokote duniani hawahitaji jema zaidi katika maisha, ni uhalisi kuwa mapigano yanayoendelea Syria kwa uhakika hayatakia jema zaidi. Ni udanganyifu unaoendeshwa na mataifa ya kigeni yanayotafuta uhodhi katika eneo hilo kwa kujicha nyuma ya ukasuku wa haki za binadamu, uhuru na demokrasia. Ni udanganyifu uliopangwa ambao unagharimu maelfu ya maisha katika kila upande, na kama ilivyoonekana Libya, utaiacha nchi imevunjika, imegawanyika, hohehahe na ikiwa tegemezi kwa hisani za makampuni ya biashara na fedha ya nchi za Magharibi. Picha: Kielelezo makini katika Makumusho ya Shoa mjini Washington DC. Rais Obama ametumia makumbusho hayo kuweka jukwaa la kuendeleza uhalifu dhidi ya binadamu wa Wall Street na London (maskani ya mabenki makubwa duniani). Wanafunzi wa historia hata hivyo wataelewa kuwa wafuasi wa Hitler, Nazi hawakuanza mauaji ya halaiki na udhibiti wa dunia nzima, lakini walikuwa waigizaji washamba waliohamasika na kile ambacho Uingereza

7
Na Suleiman Kindy KIMAUMBILE hakuna binadamu anaezaliwa na wazo, bali wazo ni zao la matukio, hivyo ni uhakika kwamba udhaifu wa mfumo wa muungano tulionao ambao umekosolewa na wataalam mbali mbali wa kisheria na kisiasa, ndio tukio ambalo ni msingi mkuu wa kuzaliwa kwa KERO, na kwa hilo ndio likawa ni sababu ya kupatikana kwa chanzo na kichocheo cha chimbuko la kuzaliwa kwa WAZO LA KIZAZI KIPYA. Kwa kukosa sifa za kujitosheleza kwa uadilifu na kujaa mapungufu makubwa ya kisheria pamoja na kukosa misingi ya uwezo imara wa kuweka sawa haki za Zanzibar ndani ya muungano huo, huku ikionekana Tanganyika ikimiliki na kutawala nguvu kubwa za mamlaka ya kiutawala na kuiweka Zanzinzibar katika kona ya malalamiko ya WIMBO maarufu wa KERO za Muungano. Hivyo kadiri ya wingi wa matukio yanavyoibuka na kutokea katika jamii ya Wazanzibari ndivyo kwa upande wa pili kunavyoibua wazo kuwa Muungano wenyewe ndio KERO hivyo msingi wa kutaka mabadiliko ukajikita kutokana na hayo, itambulike kuwa kwa namna yoyote ya kulidhibiti au kulizuia wazo hilo lisitekelezeke ndivyo unavyolijengea uimara kwa kushamiri kwa wazo hilo, ambapo kadiri unapolijengea uimara wazo hilo ndivyo unavyolikuza kwa kulijengea uwezo wa hoja na ujazo wa nguvu kubwa za mripuko. Ukweli utabaki na kudumu kwamba kila kitu ni lazima kinahitaji haki yake, jambo hilo huenda na kujitokeza kwa wakati tofauti kwa mujibu wa mahitaji ya wakati unavyojieleza au unaokusudiwa, itakua ni kutenda kosa na dhambi kubwa ambayo mawili hayo yanaweza kutuadhibu katika kila maeneo muhimu ya nchi hizi mbili, endapo tutafanya juhudi za makusudi na mbinu tofauti za kuepuka kutoa haki kwa jamii inayolazimika kuipata haki hiyo, kwa mujibu wa mahitaji ya wakati tulionao na matakwa ya kizazi cha sasa. Umefika wakati wa kulazimika kutekeleza wazo jipya la mfumo wa muungano kwa sababu wakati wenyewe unalazimisha kufanya hivyo, kwakua hivyo ndivyo ilivyo haki ya wakati, ni jambo la

Makala

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012


Kuvunjika Muungano ni Jambo la hatari, lakini Zanzibar kumezwa na kupoteza uwezo wa kujiamulia mambo yake kitaifa na kimataifa na kupotea katika ramani ya dunia ni Jambo la HATARI ZAIDI ieleweke hivyo, ni nani anaeridhia kuona mamlaka ya familia yake yanamilikiwa na ndugu yake alie jirani? Hiyo ni sawa na kashfa! HAIKUBALIKI. Hivyo dhana hiyo inakosa ladha ya matumaini kwa kizazi cha leo, kwa sababu kwa kufuata dhana hiyo ni sawa na kumtaka mtu atembee kizani wakati kuna njia yenye mwanga wa kutosha, je itawezekanaje kuamini kuwa AKILI iliyobuni mfumo TATIZO halafu iwe na uwezo wa kutatua TATIZO kwa kutumia mbinu ileile iliyozaa TATIZO? Hapo ndipo utapopata mwanga wa kutambua kuwa TATIZO linaweza kuzaa ziada ya TATIZO ikiwa tutaendelea kuiamini AKILI iliyozaa TATIZO itutatulie TATIZO! Nadhani dunia ataandika maajabu ya kichekesho hicho cha kuvunja mbavu kwa werevu na wengine wakibaki na mshangao, kinchohitajika ni maamuzi ya wananchi kwa kutumia akili zao juu ya matakwa yao, juu ya nchi yao sio sera au msimamo wa chama fulani, ya kale yatakuwa ni historia, ya sasa yanatakiwa yafanyiwe kazi. Kwa uchambuzi huo tunapata uhakika wa ufahamu kwamba mabadiliko katika jamii ni jambo la lazima, ni wazi kuwa nguvu inayokwenda mbele ni kubwa kuliko nguvu inayotaka kurudi nyuma au kubaki kama ilivyo, kupingana na nguvu hiyo itakuwa ni sawa na kuzusha jambo kubwa lisilikubalika na wakati ndani ya jamii ya wazanzibari inayokusudia kujinasua kutoka ndani ya tundu la mtego wa KERO za Muungano. MSINGI WA DHANA YA UBAGUZI Itakuwa ni jambo la mshangao iwapo jamii itakosa ufahamu wa kutambuwa kuwa kichocheo cha UBAGUZI ni UBAGUZI, haitowezekana kwamba uvumilivu wa j a m i i K U B A G A L I WA imaanishe kwamba hakuna UBAGUZI kwa sababu y a A L I Y E B A G U L I WA alidumu katika uvumilivu wa KUBAGULIWA, hivyo ni sahihi kufikiri kwamba Inaendelea Uk. 13

AN-NUUR

Wazo la Kizazi kipya:

Kuruhusu kupotea Zanzibar ni dhambi kubwa

RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheikh (wa pili kutoka kulia) akiwa na Makamu wa Rais Seif Sharif Hamad katika sherehe za Eid Mubaraka Zanzibar hivi karibuni. lazima upatikanaji wake, kwa busara pekee iliyo sahihi. lilitoa mchango mkubwa kwa kuepuka kutokutekeleza na kuidumaza Zanzibar katika kulazimika huko hakutokua DHANA ILIYOGANDISHWA zama ziliopita kwa kuikisha na sababu ya kuepuka kwa H a l i t o k u a j a m b o l a katika jikwaa la wimbo wa kupata wazo la ziada ambalo ajabu ikiwa kutatokea KERO za muungano. litakwenda mbali zaidi ya baadhi ya Wazanzibari au Muungano imara kifo cha hapo, kwa sababu huo ndio Watanganyika wachache Zanzibar mwenendo wa tabia za ambao hawatopendelea Ni ukweli utakaokuwa kimaumile ya mwanadam, kuiona Zanzibar ikiwa na n a h u o u t a k u w a n d i y o mamlaka kamili ya serikali ni ajabu katika maajabu ya mwanzo wa muendelezo kuwa na uwezo wa kujiamulia dunia kwamba, eti kutokana wa historia isiyo na tija kwa mambo yake yote ya kitaifa na na umuhimu wa muungano kizazi cha Wazanzibari wa basi ni bora Zanzibar ikose sasa, kwasababu hakuna kimataifa bila ya kuingiliwa MAMLAKA ya kujiamulia binadamu atakaelazimishwa na mamlaka nyengine, yaani mambo yake yote kitaifa au kulazimika kwa kudumu (sovereignty) na kimataifa kwa kisingizio THE POWER OF A cha kudumisha na kutetea kufuata mwenendo uliobuniwa na binadamu COUNTRY TO CONTROL kuendelezwa kwa mfumo tena uliojaa mapungufu na ITS OWN GOVERNMENT, kasoro kubwa, kwa kisingizio lakini itakuwa ni jambo la huo wa muungano ambao c h a k u f u a t a i t i k a d i a u kushangaza na kushtusha sana kila kukicha uimara wake sera za CHAMA fulani, ikiwa hawatoweza kujiweka unakuwa bora zaidi iwapo tu au venginevyo kuwepo hadharani kwa kujieleza Zanzibar itakuwa inavizwa kwa dhamira nyengine nguvu zake taratibu na huku iliyochikana au kuwepo kwa na kujenga hoja kwa kile Tanganyika ikijitwalia nguvu mapungufu katika chanzo wanachoamini katika wazo za kisheria kwa kumiliki na uwezo wa kukiri katika lao, ili jamii ikaelewa ubora wa wazo hilo, pia hutoweza wazo hilo, kwakutokutenda mambo muhimu yaliyomo kuepuka kulazimika kuwaza hilo hakutokua na sababu ndani ya Zanzibar kwa hivyo kwasababu ya chanzo i t a y o o n d o a s h a k a y a kuyavuta ndani ya Muungano cha kutakiwa muendelezo k u t o k u a m a n i k w a m b a kwa kuyatolea maamuzi bila wa wazo hilo lililokosa kutoa wana lengo na dhamira ya kujali kuwa Wazanzibari muelekeo wa ufumbuzi wa ya kuendelea na tabia ya wanafaidika au wanaathirika kudumu kwa kupatiwa majibu kwa kiasi gani, ilimradi tu na utatuzi sahihi wa KERO kutamani kuwa, muasisi wa sheria ikishatamka kuwa chama fulani ni lazima apewe jambo hilo ni la Muungano, iliyotuganda kwa miaka 48. Tunapenda ifahamike na upendeleo, kisha kulazimika basi kwa Mzanzibari itakuwa kueleweka kwamba maslahi kufuata misingi ya kale ya ni haramu kwake kujadili, ya Zanzibar kwanza, Vyama Chama kushika hatamu, kuhoji au kutokukubaliana na vya siasa baadae, hiyo ndiyo ambapo jambo hilo ndio sheria hiyo!

8
Na Omar Msangi

Makala

Kwa uzito wa kipekee kabisa, Mwenyezi Mungu anasema kuwa kwa hakika hatasamehi dhambi ya shirki. Quran inasema: Hakika Mwenyezi Mungu hasamehi (dhambi ya) kushirikishwa n a k i t u , l a k i n i Ye y e husamehe yasiyokuwa hayo kwa amtakaye. Na anayemshirikisha Mwenyezi Mungu, basi bila shaka yeye amekwishapotea upotofu ulio mbali (na haki.) (4:116) Nchi ya Uingereza haina mfumo wa kuwa na Rais Mtendaji kama ilivyo hapa kwetu au japo wa heshma kama ilivyo Ujerumani. Sasa kama asubuhi moja wataamka Waingereza na kusikia Malikia akitangaza kuwa kamteuwa Rais wa Uingereza, watashangaa MWL. Julius K. Nyerere sana. Si ajabu wakawa na zikaainishwa, sifa zake, wasiwasi kwamba huenda atapatikana vipi na mambo Malikia wao kapata tatizo mengine kama hayo. Ufupi kidogo la kiakili. Lakini wa maneno ule mfumo haitakuwa wepesi hivyo. wa Kimangi ungeundwa Kwa sababu wanajua kuwa kwanza ndio akatafutwa Kiti cha Malikia pamoja na Mangi Mkuu na mangi wa serikali kuna watu wengi, mikoa au wa makabila. watashangaa zaidi na Ni vivyo hivyo kupigwa na bumbuwazi, tunapokuja katika hili nini kimejiri maana hata suala la Mahakama ya kama Malikia zimemruka Kadhi. Awali Mahakama kidogo, basi ndio serikali hii ilikuwepo ikijulikana nzima imezubaa isiweze uwepo wake kisheria, kazi kuchukua hatua mpaka zake, sifa za makadhi, i n a m w a c h a M a l i k i a namna ya kuwapata na anageuka kituko mbele uhusiano wa Mahakama ya watu wake na dunia hii na mahakama nyingine nzima! nchini. Mahakama ya Kadhi Hebu jaaliya siku moja haipo tena ilishafutwa. katika taarifa ya habari ya Sasa leo anaposimama saa mbili usiku unasikia mtu anatangaza kumteuwa i n a t a n g a z w a k u w a Kadhi Mkuu, anamteuwa Mheshimiwa Rais Jakaya akafanyie kazi wapi? Mrisho Kikwete kamteuwa A n a y e t e u l i w a n a y e A l e x M a s s a w e k u w a anajisikia amepata Ukadhi Mangi Mkuu (Chifu) Mkuu! Hiyo mahakama wa Tanzania. Yakatajwa anayokwenda kufanyia na majina mengine kuwa kazi ipo wapi! Imeundwa watakuwa Machifu wa lini? mikoa. Tu n a j u a n d a n i y a N c h i h i i i l i s h a f u t a Bakwata kuna maafisa Uchifu. Hakuna mahali wengi ukiacha Makatibu popote katiba Katiba ya wa Mikoa na Masheikh Jamhuri ya Muungano ya wao na linaloitwa Jopo Tanzania ambapo inatajwa la Maulamaa la Kitaifa kuwa kutakuwa na Mangi la Bakwata. Basi nao Mkuu na ma-Mangi wa hili hawakuliona mpaka mikoa. Kwa hiyo kwa akili wanamuacha Mufti wao tu ya kawaida, wala haihitaji anakuwa kichekesho? idadi ya vidato au kuhitajia Mpaka ninapoandika mtu kuwa razini sana, makala hii, katiba na sheria ambacho kingefanyika za Jamhuri ya Muungano kwanza ni kubadili katiba. ya Tanzania hazitambui Utaratibu wa Umangi kuwepo kwa Mahakama ukaingizwa. Kazi za mangi ya Kadhi. Sasa huyu Kadhi

Dhambi hii aliyotenda Nyerere haisameheki

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012 suala la kuamini katika Uislamu ni la kutumia akili. Na ndio maana mahali pengine Quran imewataja Waumini kwa jina la wenye akili. Inasema: Hakika kuumbwa kwa mbingu na ardhi na mfuatano wa usiku na mchana, ziko hoja (za kuonyesha kuwapo kwa Mwenyezi Mungu mmoja) kwa wenye akili. Ambao humkumbuka Mwenyezi Mungu wakiwa wima na wakikaa na wakilala. Na hukiri umbo la mbingu na ardhi (wakasema:) Mola wetu! Hukuviumba hivi bure. Utukufu ni wako. Basi tuepushe na adhabu ya moto. (3:190-191) Katika jumla ya mambo mabaya aliyofanya Nyerere katika kuuwa Jumuiya na taasisi zao huru na kuwaundia Bakwata, ni hii hali ya kuwafanya wanaoingia ndani ya Bakwata kuweka akili zao kando na kufuata kila linaloridhiwa na linalotakiwa na serikali hata kama linawatoa katika ile sifa ya kuwa Ulilalbaab. Madhara makubwa yaliyowasibu Waislamu katika nchi hii ni kuwa na watu ndani ya Bakwata ambao ndio wanaosikilizwa na serikali, na si kwa sababu nyingine, ila kwa sababu wanachotizama ni serikali inataka nini, sio kuangalia na kujali masilahi ya Waislamu. Juzi hapa Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Msigwa alihoji ni kwa nini Zanzibar watu wanazuiwa kula hadharani mchana wa Ramadhani wakati serikali haina dini. Majibu ya Waziri Mkuu yalikuwa sahihi kabisa. Kwamba amri ile haikuwa ya Jamhuri ya Muungano, bali ya Zanzibar na kwa Zanzibar wao ni zaidi ya asilimia 99 Waislamu. Kwa hiyo kwa mazingira yao amri hiyo ni sawa na wamekuwa wakifanya hivyo miaka yote na hakujakuwa na tatizo. Mheshimiwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda ni Makatoliki. Lakini pamoja na majibu yake hayo mazuri, Maaskofu wake wa Kikatoliki wametoa tamko la kumpinga. Maadhali wao agenda yao ni kuimarisha Ukristo Zanzibar na wakati
Inaendelea Uk. 11

AN-NUUR

RAIS Jakaya Kikwete Mkuu, ni kadhi wa wapi? Kinachosikitisha na kuhuzunisha ni kuwa viongozi wa serikali hii, wamekuwa na chuki (prejudice) iliyopindukia mipaka kiasi kwamba wanafikiri kila ugoro watakaokuja nao utakuwa bangi mujarabu la kuwapumbaza na kuwalaza Waislamu wasipiganie haki zao. Na ndio maana kuna ambao hivi sasa wakiwemo na baadhi ya viongozi wa Makanisa ambao hupita mitaani wakisema kuwa suala la Mahakama ya Kadhi lishapatiwa ufumbuzi, kwa hiyo lisizungumzwe tena na kuletwa katika mjadala huu wa kuchukua maoni juu ya katiba mpya. Mahakama ya Kadhi haijaundwa na hivyo hapawezi kuwa na Kadhi Mkuu kabla ya Mahakama yenyewe kuwepo na kwa hiyo agenda hii haijafungwa na Waislamu wataendelea kuzungumza na kudai katika mchakato huu wa kutengeneza katiba mpya. Vinginevyo serikali iseme kuwa haitaki Waislamu washiriki au pengine inataka kufungua mjadala mpya kama ulivyokuwa huu wa sensa na dini. Ukiacha utaratibu huu wa kiserikali, wapo wanaosema kuwa kilichofanyika ni kulirejesha suala hili Bakwata. Lakini hata kama ukisema hivyo, swali la kujiuliza ni je, Katiba ya

WAZIRI Mkuu Pinda Bakwata ina kipengele cha kuwepo Mahakama ya Kadhi? Jibu ni kuwa hakuna. Mfumo uliopo ni wa kuwa na Masheikh wa Mikoa na Wilaya. Sasa huyu Kadhi Mkuu wa Sheikh Shaabani Simba, anafanya kazi katika utaratibu gani? Mamlaka gani katika katiba ya Bakwata imempa uwezo wa kuteuwa Kadhi Mkuu wa Bakwata? Pigia mstari na zingatia angalizo hili: Kadhi Mkuu wa Bakwata kama ilivyo kwa Mufti na Sheikh Mkuu wa Bakwata, Sheikh Shaaban Issa Simba. Walichotaka Waislamu ni Mahakama ya Kadhi Tanzania, sio Mahakama ya Kadhi ndani ya Bakwata. Uislamu ni Dini ya watu wenye akili. Ndio maana hata imani ya Kiislamu sio ya kuamini kibubusa. Fal yandhur l-insaana minmaa khuliqa. Je, hawatazami chakula chao, hawatazami ngamia jinsi walivyoumbwa? Na milima jinsi ilivyothubutishwa? Na ardhi jinsi ilivyotandazwa? Hakika katika kuumbwa kwa mbingu na ardhi, na meli zinavyoelea na kutembea baharini, na rangi zao na lugha zao, na katika ishara za kuonyesha kuwepo kwake na uwezo wakeafalaa yatafakaruun, afalaa yaqiluun. Zote hizi ni baadhi ya aya zinazoonyesha kuwa

Makala
Na Omary Msangi

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012


ila nafsi zao; nao hawatambui. (2:9) Mnayasema haya na mnapanga kuwadanganya Waislamu ili kucha ile dhulma mnayowafanyia Waislamu. Mnawapongeza Wakristo ili mpate kuwaongeza. Mwisho m n a w a k e j e l i Wa i s l a m u kwamba hamuwapi kwa sababu walizubaa, hawakuomba wakati wenzao wakiomba! Hivi ninapoandika maoni yangu haya, Waislamu wana kesi na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi. Pamoja na matatizo ya sasa ya Baraza la Mitihani, Waislamu wameonyesha jinsi majina ya watoto wa Kiislamu waliofaulu kwenda sekondari yalivyokuwa yakikatwa na nafasi zao kupewa watoto wa Kikristo. Kama risala ya Waislamu serikalini juu ya suala hili haijafika mezani kwako, Mheshimiwa Waziri Mkuu, nainukuu tena hapa. Labda Mheshimiwa Waziri Mkuu niulize, kwa nini ilianzishwa AMNUT? All Muslim National Union of Tanganyika ilianzishwa ili kupigania haki za Waislamu moja wapo ikiwa ni kupinga dhulma iliyokuwa ikifanywa na mkoloni akichukua kodi kutoka kwa Waislamu, lakini ruzuku kwa ajili ya elimu akiwapa Wakristo pekee. Ukirejea katika kumbukumbu za Ikulu hutakosa kuona barua ya Mzee Salimu Kiangi aliyomwandikia Mwalimu Nyerere, barua kumbukumbu namna IB/SK/61/1 ya tarehe 13. 8. 1961 akisema, sasa uhuru unakuja isije tena ikawa serikali huru ya Tanganyika ikawadhulumu Waislamu kama alivyokuwa akifanya mkoloni. Mheshimiwa mtajika wa sifa Dr. J. K. Nyerere, mimi nikiwa mmoja wapo wa viongozi wa Kiislamu Tanganyika, nimesukumwa na mapenzi kuleta haya yafuatayo mbele yako, ulipofungua Chama cha TANU 1954 ukataja Tanganyika ipate uhuruukaahidi Tanganyika itakapokuwa huru, kazi ya kwanza ni kuwapatia Waislamu elimu sawa na madhehebu mengine. Sisi Waislamu kwa uchungu tuliokuwa nao juu ya kuzuiwa kupata elimu tulisimama imara pamoja nawe mheshimiwa mtajika mpaka tumekia hatua ya mwisho ya kupata uhuru 9. 12. 1961. Mzee huyo ambaye alikuwa mmoja wa viongozi wa ngazi za juu wa East Africa Muslim Welfare Society akaendelea kumkumbusha Mwalimu akisema, Serikali inayoondoka ujue shule za sekondari na T.T.C zinazoendeshwa na madhehebu (za Kikristo) ni marufuku kusoma Muislamu hali zapata msaada wa serikali. Katika wanafunzi wanaopata msaada (scholarship) kusoma Amerika, Uingereza n.k. karibu wote ni Wakristo, kwa nini mambo hufanywa hivi? Katika barua hiyo Mzee Salim Kiangi anamwambia Mwalimu Nyerere kuwa, wakati Waislamu walipotaka kuanzisha shule sawa na Wakristo serikali Inaendelea Uk. 10

AN-NUUR

KATIKA kitabu chake Kanisa Katoliki na Siasa Tanzania Padiri John Sivalon anasema kuwa, Viongozi wa Kanisa Katoliki walipewa vibali vya Rais kuingiza vitu kutoka Kenya bila ushuru ingawa mpaka kati ya nchi hizi mbili ulikuwa umefungwa. Maagizo haya ya Mwalimu Nyerereama kwa hakika ushirikiano huu uliruhusu viongozi wa Kanisa Katoliki kuwa na nguvu za kiuchumi wakati Taifa likiwa katika hali mbaya. Pengine mtu atajiuliza, wakati Mwalimu Nyerere akiwapa upendeleo huu Wakatoliki na akiwaacha wengine wakitaabika kwa njaa katika miaka ya 1970s/80s, alichokuwa akitizama ni Utanzania au Ukatoliki? Viongozi wetu mnatuambia na tumewasikia mkisema kuwa mnapopanga mipango ya maendeleo hamuangalii dini ya mtu na Mwalimu Nyerere amekuwa kama Mzimu wenu mkimsifia kwa uzalendo na kutokuwa mdini. Je, alipokuwa akiwashibisha na kuwanenepesha Maaskofu bila kujali kabisa kwamba anavunja sheria za nchi alizoziweka yeye mwenyewe na serikali yake, alichokuwa akitizama nini? Tusaidie Mheshimiwa Waziri Mkuu Pinda! Waswahili wana msemo wao, apewaye ndiye aongezwaye. Kabla ya kukia mwaka 1965, serikali ilikuwa ikigharamia bajeti ya kuendesha shule na taasisi nyingine za Wakristo kwa asilimia 60. Haya hayasemwi na Sheikh Bassaleh wala Kundecha au hao mnaowaita Waislamu wachache waliotangaza kususia sensa ya idadi ya watu na makazi. Anayesema haya ni aliyekuwa Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Father Robinson. Kama alivyonukuliwa katika vitabu mbalimbali Father Robinson anasema kuwa kukia mwaka 1965, shule za seminari za Kikristo zilikuwa total dependent on State aid for administration. Na akaongeza akisema, if this aid were withdrawn, the church would be forced to close its schools. Kwamba, lau serikali ingesitisha utaratibu wake huu wa kuchota fedha kutoka Hazina ya Taifa na kuwapa Wakatoliki pekee, basi Kanisa lingelazimika kufunga shule zake. Wa z i r i M k u u w e t u , Mheshimwa Mizengo Kayanza Peter Pinda, umekariri sana na kurudia kwa juhudi kabisa na maarifa kauli yako kuwa serikali haipangi mambo yake kwa kutizama dini za watu. Swali hapa ni je, katika kuweka mpango huu wa maendeleo katika elimu ambao serikali kwa busara zake inaona ikusanye kodi kutoka kwa Waislamu, Wakristo, Wahindu, Baniani na watambika mizimu na makomunisti, lakini bila kutangaza hadharani ichukue pesa hizo na kuwapa Wakristo pekee ili kuwaimarisha, ilizingatia jambo gani? Kwamba Wakatoliki ndio wenye nyumba yao Tanzania na Waislamu ni walipa kodi tu ya pango, bali

watafunaji wa kodi ni Wakristo wenye meno? Kila Waislamu wanapodai kwamba kuna dhulma, halikuwa jibu la serikali ila kuwakejeli Waislamu kwamba hawataki kusoma, mara waache kulalamika, mara wasome na dunia sio Akhera tu, bali wakija kwa Wakristo huwapongeza kwa kuisaidia serikali kutoa elimu na

Mh. Waziri Mkuu hii nyumba ni yetu sote


kuahidi kuwaongezea. Labda niulize Mheshimiwa Waziri Mkuu wetu Pinda, hivi serikali hii inawadhania Waislamu wa Tanzania wana ujinga kilo ngapi? Toka serikali ilivyokuwa inachukua kodi za Waislamu kinyemela kuwaimarisha Wakatoliki kama anavyosema Father Robinson mpaka

ikafikia kurasimisha dhulma na upendeleo huo kwa ile MoU ya mwaka 1992, leo mnataka Waislamu waamini kwamba TEC na CCT ndio wanaoisaidia serikali katika kutoa huduma za elimu na afya. Quran ina msemo wake, inasema: Wanatafuta kumdanganya Mwenyezi Mungu na wale walioamini, lakini hawadanganyi

Risala ya Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu kwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuhusu Kuunda Tume Huru kuchunguza Baraza la Mitihani Tanzania
Ndugu Waziri, K w a m u d a m re f u s a s a , kumekuwa na maswali mengi wakijiuliza Waislamu, moja likiwa inakuwaje katika maeneo yenye Waislamu wengi ambapo idadi ya wanafunzi Waislamu inakuwa zaidi ya asilimia 70, lakini wanapochaguliwa kwenda sekondari, idadi ya watoto wa Kiislamu huporomoka na kuwa chini ya asilimia 20. Swali na kitendawili hiki kimekuwepo kwa muda mrefu bila kupatiwa majibu. Hata lilipofikishwa Bungeni mwaka 1999 na aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni, Mzee Kitwana Selemani Kondo, bado halikupatiwa jibu. Akihoji juu hali hiyo, Mzee Kitwana Kondo alitoa mfano jinsi hali ilivyokuwa katika shule ya Pembamnazi iliyokuwa na Waislamu watupu na kwa miaka mingi mfululizo kulikuwa hakuna hata mtoto mmoja aliyekuwa akichaguliwa kwenda sekondari kutoka katika shule hiyo. Aidha alisema kuwa, katika mkoa wa Dar es Salaam na Pwani, takwimu zinaonyesha kuwa idadi ya watoto wa Kiislamu katika shule za msingi ilikuwa zaidi ya asilimia 70 lakini inapokuja kuchaguliwa kwenda sekondari, idadi ya Waislamu iliporomoka na kuwa chini ya asilimia 20. Akizungumza Bungeni tarehe 2 Februari, 1999 alisema kuwa katika watoto waliofanya mtihani wa darasa la saba mwaka 1998, idadi ya Waislamu ilikuwa asilimia 71 na Wakristo 29%. Hata hivyo akasema, ilipotoka orodha ya waliochaguliwa kwenda sekondari, idadi ya Wakristo ikawa asilimia 79 (79%) na Waislamu 21%. Je, hiyo ilikuwa na maana kuwa watoto wa Kiislamu kwa asili yao hawana akili? Alitaka kujua Mzee Kitwana Kondo. Lakini hakuweza kupata jibu. Mheshimiwa Waziri, Ni wazi kuwa Waziri wa Elimu au Waziri Mkuu ambaye ndiye msimamizi wa mambo ya serikali Bungeni asingeweza kutoa majibu ya uhakika kwa sababu swali lilihitaji kufanyika uchunguzi huru wa kina na makini kwanza. Mheshimiwa Waziri, Mwaka 1987 aliyekuwa Waziri wa Elimu, Profesa Kighoma Ali Malima, aliweka utaratibu mpya wa ufanyaji wa mtihani wa darasa la saba ambapo namba zilitumika toka kufanya mtihani, kusahihisha na kuchagua wanafunzi wa kwenda kidato cha kwanza. Namba zilivishwa majina baada ya taratibu zote hizo kukamilika. Mwaka huo idadi ya watoto wa Kiislamu waliokwenda kidato cha kwanza iliongezeka kwa asilimia 40 ikilinganishwa na miaka ya nyuma. Hata hivyo, mara aliondolewa Waziri Malima katika wizara hiyo na utaratibu wa zamani ukarejeshwa ambapo yalikuwa yakichaguliwa majina na idadi ya Waislamu ikaporomoka na kurudi chini ya asilimia 20. Mheshimiwa Waziri, Hali kama hii hapana shaka inazua maswali mengi ambayo yanahitaji majibu na majibu hayo hayawezi kupatikana bila ya kufanyika uchunguzi. Labda tuongeze mifano ili kuliweka wazi zaidi jambo hili. Mwaka 1983 mwanafunzi aliyekuwa akiitwa Kopa Abdallah akisoma katika shule ya msingi Kichangani, Kilosa, alikosa kuchaguliwa kwenda sekondari. Yeye binafsi, wazazi wake na hata walimu wake hawakuamini matokeo yale kutokana na alivyokuwa akifanya vizuri kuliko wanafunzi wote. Baadae ilikuja kugundulika kuwa nafasi yake alipewa mwanafunzi aliyekuwa akiitwa Antoni Inaendelea Uk. 11

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda (kushoto), Joseph Simbakalia (kulia)

10

Makala

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012

AN-NUUR

Na Ibrahim Mohammed Hussein


HIVI karibuni nimebahatika kusoma gazeti la NIPE HABARI la tarehe 27-7-2012 na la tarehe 3-9 August, 2012, magazeti yote mawili mlikuwa mna mahojiano na Mzee Ali Ameir aliyewahi kuwa Mbunge wa Donge siku za nyuma. Kuna mambo mengi sana Mzee huyo aliyaeleza. Mimi nilivutiwa na baadhi ya maneno yake, moja katika haya yaliyonivutia ni ile kauli alioitoa ndani ya gazeti hilo la tarehe 3-9, August, 2012. Mzee Ali Ameir anasema: Labda niseme kitu kimoja, siri hasa ya Muungano hivi sasa hakuna anayeijua Mzee Ali Ameir anayasema maneno haya mwezi wa August, 2012. Inatoka Uk. 9

Hakuna anayejua. Kwanza nilicheka sana, nikawaza, nikasema, amma kweli mjini ni shule. Hivi haya Mzee vipi anaweza kubeba dhima ya kusema hakuna anayejua. Nilipoendelea kusoma nikaona maneno mengi aliyoyasema nayo ni Ukweli wa ndani na dhamira ya ndani wanaijuwa hawa watu wawili. Halafu Bwana huyu amejisia kwamba yeye ni muandishi. Kama Ali Ameir angalikuwa mfuatiliaji kama vile alivyolifuatilia Baraza la Wawakilishi na ile semina yao ikamuwezesha kubaini kwamba kuna watu hawaelewi na wanapotosha, na akasema inawezekana wao wenyewe wamepotoshwa. Mzee, kama aliona hivyo kwa upande wake, basi ndio hivyo hivyo kwa wenzake wameona ukweli wa Muungano watu wengi wamepotoshwa ukweli wa matokeo mawili makubwa nchini mwetu: Mapinduzi na Muungano. Hivyo bwana Muandishi hebu durusu maneno haya aliyoyasema Nyerere, halafu utupe tafsiri ya muono wako. Ningalikuwa na uwezo basi ningaliviburuta Visiwa vya Zanzibar na kuvitupa katika Bahari ya Hindi, ningalifanya hivyo. Maneno hayo ameyasema

Ali Ameir: Mkaazi asiye mzalendo


kabla ya Uhuru. Bw. Ali Ameir kweli hakuwahi kuyasikia maneno haya ya Nyerere? Je! hiyo bado haikupi mwanga wakuelewa dhamira ya Nyerere juu ya Visiwa hivi? Hivyo Ali Ameri hana kumbu kumbu ya barua ya Waafrika /African Association ya 1949 waliomuandikia Balozi wa Kiingereza Zanzibar na kwa Waziri wa Makoloni wa Uingereza isemayo Tunasikitika sana kuona kwamba Serikali imemteuwa MSHIRAZI, Mwasia kwa ajili ya kumtumiliya, baada ya Waafrika wa Zanzibar. Inaeleweka wazi kwamba Mshirazi ni Mwasia katika rekodi ya Serikali ya Zanzibar. Tumeelewa kwamba tunanyimwa haki zetu za Uraia na hili imewabakiza Waafrika katika hali ya kukata tamaa. Kwa jina la Demokrasi, Ukristo, na usawa wa Binadamu, tunapinga vikali hatua ya Serikali na tunaomba ufikirie na kutizama upya mwenendo huu wa Ubaguzi, ukandamizaji, kunyimwa haki na kunyanyaswa katika nchi yetu. Huo ni Ubaguzi uliodhahiri kwa Washirazi. Na kilele chake ni pale walipotaka viongozi waliotokea upande wa African Association na wakalazimisha wazee wetu wote wafute kabila la Shirazi hapa Zanzibar. Mbona walitaka umoja na wakaunda chama cha Afro-shirazi Party, tena leo iweje muambiwe mfute kabila hilo? Basi Bw. Ali Ameri bado hukujua dhamira ya ndani ya watu hawa ambao tunadai ni ndugu zetu. Nia ya Mwalimu Nyerere ya kupindua Zanzibar ilidhihirika pale alipokua akizungumza na Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola tarehe 27/2/1963 mwaka mmoja kabla ya Mapinduzi ya Zanzibar. Alimwambia wazi wazi Sir N. Pritchard, kwamba: Baada ya Uingereza k u o n d o l e w a Ta n g a n y i k a , Waafrika wa Zanzibar huenda wakauondowa utawala wa Kisultani. Hio ndio dhamira ya Nyerere hiyo ndio mikakati ya Waafrika/ African Association au na Washirazi nao walikuwa nayo dhamira hiyo. Basi ikiwa na Shirazi nao waliku nayo dhamira hiyo ndio pale uliposema katika makala ya Nipe Habari kwamba: Kila mtu anaweza kua na lengo lake Nyerere alikua na lengo lake katika Mapinduzi Karume nae alikua na lengo lake. Babu na yeye alikua na lengo lake. Sijuwi kama na Washirazi nao walikuwa na lengo lao. Kifupi dhamira ni moja ya Mapinduzi, malengo ni tofauti.

Basi Ali Ameir bado hata hivi leo hukuweza kubaini lengo la Mapinguzi na maana ya Muungano huu, ambao Waafrika wanataka uwe hivi hivi ulivyo. Mimi nasema sio kweli ule usemi wake kwamba hakuna anayejua. Mzee Ali Ameir ni miongoni mwa Front liners kundi kubwa lililokua pamoja kupambana na wahafidhina. Kumbe yeye huku nyuma alikua akipekecha wenzake na akipeleka taarifa zao kwingine. Hivi sasa anakiri kwamba Muungano umekuwa na kasoro za hapa na pale. Ameshindwa hata kusaidia kuona kasoro za hapa na pale ni kitu gani. Angalikuwa shupavu Angalisema bila ya woga kama alivyosema Mzee Moyo na Enzi. Enzi alisema maneno mafupi sana lakini yalikuwa na mashiko, alisema hakuna kero za Muungano. Hapa tunataka Sovereignty yetu (mamlaka yetu ya kitaifa). Siku zote mimi husema, jamani weee kuna uraiya na uzalendo. Hivi ni vitu tofauti kabisa. Wengi wa viongozi wetu ni raiya ambao wamekosa uzalendo, wao Serikali na Chama ndio msingi wa maisha yao. Hapa ndipo alipo Ali Ameiri.

iliwakatalia. Wakapigania haki hiyo mpaka wakapata ruhusa, lakini kwa sharti wawe na shule mwisho darasa la 4 tu. Juu ya hapo wakaambiwa ni Wakristo pekee wanaruhusiwa. Heri nusu shari kuliko shari kamili. Waislamu wakaanzisha shule zao za darasa la kwanza hadi la nne na wakiziendesha kwa nguvu zao wenyewe huku Wakristo wakikomba fedha (za kodi za Waislamu kutoka) serikalini. Ilipokuja hoja hii kwamba Waislamu hawapewi scholarship kwa sababu hawana elimu, hawana shule, Mzee Kiangi akahoji na kumtaka Mwalimu Nyerere awategulie Waislamu kitendawili hiki. Anasema: Tukitaka turuhusiwe kuendesha shule tunaambiwa serikali haina fedha za kuendesha shule za Waislamu ilihali Wakristo wao wanapewa na mpaka sasa shule za Waislamu huendeshwa kwa nguvu zao, na pamoja na hayo wanazuiwa kufanya hivyo. Mheshimiwa nitashukuru kunitambulia kitendawili hiki kilichotumiwa na serikali itakayoondoka, na kuwa haki za Waislamu zimekuwa zikichukuliwa na nani? Sasa Mheshimiwa Waziri Mkuu, hizi kauli kwamba

Waislamu hawapewi kwa sababu hawakuomba zinatoka wapi? Mbona wameomba Mahakama ya Kadhi hamtaki kuwapa! Mbona wameomba OIC mpaka sasa mmegoma. Au walitakiwa waombe kwa Jina la Baba, Mwana na Roho Mtakatifu? Au kabla ya kuomba wasali kwanza Rozari na Sala ya Maria Mama wa Mungu? Na katika hili wenyewe mlisema kuwa baada ya kufanya utati mmeridhika kuwa OIC ina masilahi na Taifa wala hakuna tatizo na mpo tayari kujiunga. Lakini mara mlipoitwa na Muadhama Polycarp Kadinali Pengo mkageuka. Msimamo wenu sasa ni ule wa Kanisa. Tuambieni, katika suala hili mlichotizama ni masilahi ya nchi au msimamo wa Pengo na Maaskofu wenziwe? Waziri Mkuu, Mheshimiwa Mizengo Pinda, kwa nafasi yako una njia nyingi za kuhakikisha kila ninalosema hapa kuwa ni kweli au la. Lile jopo la kuteuwa wanafunzi wa kwenda kidato cha tano likiongozwa na Padiri kama Mwenyekiti ambalo lilicha

Mh. Waziri Mkuu hii nyumba ni yetu sote


majina ya watoto wa Kiislamu waliofaulu wasichaguliwe au lile lililomuuliza Mzee Lila, wewe mgeni hapa kwa vile hakukata majina ya watoto wa Kiislamu waliofaulu kama wenzake walivyokuwa wakifanya naye akawajibu mimi Muislamu, lilikuwa likiangalia masilahi ya nchi au ya Kanisa? Aliyeteua jopo lile akaweka Wakristo watupu tena na asiamini kuwa kazi ya kuwabamiza watoto wa Kiislamu itafanyika vizuri, akawawekea Mwenyekiti Padiri, alikuwa anaangalia Utanzania au Ukristo? Haya ameyasema Mzee Bori Lila akiwa hai mpaka akafa, serikali ikapiga kimyaa kama mkakati wa kuzima dhulma hiyo isiwe jambo la kuzungumzwa mitaani na ili ipate kuendelea na sera hiyo ya kuwabamiza Waislamu. Wa i s l a m u w a n a s e m a nchini hapa kuna udini. Kuna dhulma kwa misingi ya dini. Serikali inapendelea. Serikali kwa upande wake inasema hakuna udini. Serikali haifanyi mipango ya maendeleo ya nchi kwa kutizama dini. Na ni kwa hoja hii inasema kuwa

haishughulishwi na idadi ya Waislamu au Wakristo. Na hii imekuwa ndio hoja inasimamia katika kukataa kuweka kipengele cha dini katika sensa. Katika mpango uleule aliozungumzia Father Robinson, kila mwaka serikali imekuwa ikitoa mabilioni ya fedha kuimarisha na kuboresha hospitali na zahanati za kanisa huku ikiziacha Mawenzi, Bombo na hospitali nyingine za mikoa na wilaya zikiwa hoi. Ikitokea mgomo wa madaktari au kukosa huduma nzuri katika hospitali hizi zisizo na mwenyewe, wananchi hukimbilia hospitali za misheni wakatibiwe kwa Jina la Yesu. Kanisa linasiwa serikali inapondwa na kudharauliwa na la kushangaza hata Maaskofu wanaochotewa fedha kutoka Hazina ya Taifa kuboresha hospitali na shule zao nao wanakuwa mstari wa mbele na wanaharakati kuibamiza serikali! Mzee mmoja, Asa Mstaafu wa serikali lakini akiwa na kazi nyingine ambayo watu mitaani wanasema kuwa hakuna kustaafu aliwahi kunukuliwa akionyesha

wasiwasi wake juu ya hatma ya nchi hii. Alichohofia ni vurugu huko mbele ya safari ambayo huenda watu wakaona mwanzo wake tu lakini namna ya kumaliza ikawa tabu. Afisa huyo mstaafu anasema kuwa zamani angalau vijana wa Kiislamu na wazee wao walikuwa wakionekana katika kada ya udereva, utarishi, ufagiaji na kazi mbalimbali za kada ya chini katika osi za serikali na taasisi za umma. Lakini anasema kuwa hata huko sasa hawaonekani. Nini itakuwa hatma ya nchi hii ukiwa na kundi kubwa la vijana wa Kiislamu wasio na ajira rasmi na wasio na uwakilishi serikalini huku wakiona wenzao wakihodhi kila kitu? Alihoji. Sioni ila giza nene mbele, kama hazikuchukuliwa hatua za makusudi kubadili hali hii. Alisema kwa kifupi. Na mimi nasema, Mwenyezi Mungu aepushie mbali, kama serikali itakwenda na mtindo wake huu wa kelele za mpangaji: Kwanza ijue kuwa Waislamu sio wapangaji. Hapa ni kwao. Pili, litakapotokewa la kutokea kwa ajili ya dhulma inayofanyika nchini, isije kusikika tena serikali ikihangaika kutafuta mchawi. Mchawi ni serikali.

11
Inatoka Uk. 8

Makala

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012 za Kiislamu wakati wa Nyerere, kuchanwa Quran Buzuruga, Masheikh wa Bakwata walivyotumiwa na Mrema akiwa Waziri wa Mambo ya Ndani, walivyosimama upande wa wale waliowapiga risasi na kuuwa Waislamu Mwembechai n.k na sasa wanavyohujumu juhudi za Waislamu kurejesha Mahakama ya Kadhi. Sasa kwa mujibu wa aya hizi, ile kwamba wanatumiwa na serikali au wanapewa maelekezo na serikali, haitakuwa hoja mbele ya Allah. Hao wanaowapa maelekezo serikalini watawaruka siku hiyo. Wataishia kusema, Laiti tungeweza kurudi (duniani) tukamkataa Kikwete, Pinda, Wassira na kila aliyehusika kuwapa maelekezo kutoka serikalini.

AN-NUUR

huo huo kudhoofisha Uislamu, waliona kuwa msimamo wa Waziri Mkuu Pinda ni wa kuimarisha Uislamu. Wamepinga kwa tamko kali. Sasa njoo kwa Masheikh wetu wa Bakwata. Hoja ya Waislamu ni kuwa na Mahakama ya Kadhi ambayo itakuwa na mmlaka kisheria na nguvu za kusimamia utekelezaji wa maamuzi yake. Mahakama ambayo itawanasua Waislamu kutokana na zile sheria za kikari za ndoa kama ile ya mwaka 1972. Lakini Serikali haitaki na haitaki kwa sababu maaskofu hawataki. Na maaskofu hawataki kwa sababu wanaona kwamba kuwa na Mahakama ya Kadhi ni kuimarisha Uislamu na kumpa haki Muislamu. Wamepinga na serikali imesimama katika msimamo wa maaskofu. Kinyume na wale maaskofu wa Kikatoliki waliompinga Waziri Mkuu, Pinda, muumini mtiifu wa Kanisa lao, Masheikh wa Bakwata wanakuja na kiroja cha kutangaza Kadhi Mkuu asiye na Mahakama ilimuradi tu wauwe agenda ya Mahakama ya Kadhi wanayotaka Waislamu. Wanafanya hivyo kwa lengo gani? Kukidhi matakwa ya serikali na maslaha ya Maaskofu hata kama kufanya hivyo ni kuudhalilisha Uislamu na kujitukanisha wao wenyewe kwa kukubali jambo lisilo na kichwa wala miguu. Hii ni dhambi ambayo sioni kama kuna namna a m b a y o Wa i s l a m u wanaweza kumsamehe Nyerere kwa kuwaundia dudu hili Bakwata. Ila niseme jambo moja: Nyerere ana yake na yalianza kuonekana kutokana na kishindo kilichotokea siku aliyozikwa. Masheikh wa Bakwata nao wana yao. Katika Vita ya Uhud, baada ya makari kuwapiga sana Waislamu mpaka wakamjeruhi Mtume (s.a.w), wapo Waislamu waliojisemea, nini itakuwa hali ya makafiri hawa! Walihisi kuwa hao ni kana kwamba washajihukumu wao wenyewe kukabili adhabu kali ya Allah. Aya ikaja ikisema kuwa

hao ni waja wa Mwenyezi Mungu. Mwenyewe Mwamba ana hiyari yake, ama awaadhibu au awasamehe. Sasa hakuna mwenye mamlaka ya kumhukumu mwenzake. Hayo ni mamlaka ya Allah mwenyewe. Kama Bakwata wanadhani wanayofanya dhidi ya maslaha ya Waislamu na Uislamu ili wapendeze serikalini na kuwafurahisha maaskofu, ni sawa; hukumu yao ipo kwa Allah. Ila la kuzingatia ni kuwa haitakuwa sababu

Dhambi hii aliyotenda Nyerere haisameheki


mbele ya Allah kwamba walidanganywa au kupewa maelekezo na warithi wa Nyerere mwenye Bakwata yake. Quran inasema: (Wakumbushe w a k a t i ) Wa l i o f u a t w a watakapowakataa wale waliowafuata, na hali ya kuwa wamekwisha kuiona adhabu, na yatakatika mafungamano yao. (2:166) Wa t a s e m a w a l e waliofuata, Laiti tungeweza kurudi (duniani) tukawakataa kama wanavyotukataa. Hivi

Risala ya Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu kwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuhusu Kuunda Tume Huru kuchunguza Baraza la Mitihani Tanzania
Inatoka Uk. 9
Kikuu. Kwamba hata kutoka kidato cha nne kwenda kidato cha tano, wapo watu waliopata kushuhudia majina ya wanafunzi wa Kiislamu yakiwekwa pembeni japo walikuwa na sifa za kuchaguliwa. Mheshimiwa Waziri, Ukiacha hujuma katika kuwaacha wanafunzi Wa i s l a m u w e n y e s i f a kuendelea na masomo, matatizo huanzia kwenye kuamua nani amefaulu na nani kafeli. Tuhuma zilizopo ni kuwa wapo wanafunzi wanapewa madaraja ya juu wakati alama zao ni za chini na wapo wanaopewa madaraja ya chini wakati alama zao ni za juu. Na hii ni kwa masomo yote. Mheshimiwa Waziri, Kumekuwa na utamaduni katika nchi hii wa kukataa ukweli. Kufuatia uchunguzi uliofanywa na Kamati za Bunge, tumeshuhudia wizi na ufisadi wa kutisha ukifichuliwa Bungeni hivi karibuni hali iliyopelekea mpaka Mheshimiwa Rais kubadili Baraza lake la Mawaziri. Sasa baada ya kuyasema yote hayo, tunasema kuwa Baraza la Mitihani la Tanzania, limekuwa likilalamikiwa kwa zaidi ya miaka 30, lakini malalamiko hayo yamekuwa yakipokewa kwa sikio la uziwi. Imefikia mahali tunasema kuwa hatuna tena imani na Baraza hilo. Mheshimiwa Waziri, Ilikupata ukweli wa malalamiko na shutuma hizi, na ili kujibu lile swali juu ya watoto wa Kiislamu ambalo halikupata jibu Bungeni, tunaitaka serikali kufanya yafuatayo. Tume huru iundwe kuchunguza Baraza la Mitihani la Tanzania na utendaji wake kazi kwa kipindi cha miaka kumi iliyopita. Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani ( NECTA) ajiuzulu mara moja ili kulinda heshima ya serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzaani na Baraza la Mitihani. Wa t e n d a j i w a k u u w a kitengo cha mitihani na wanaohusika na mfumo wa Kumputa ya Baraza la Mitihani nao wawajibishwe mara moja. Hatua za kisheria na kibinadamu zichukuliwe dhindi ya watumishi wa Baraza la Mitihani watakaothibitika kuhusika na kashfa hii. Muundo wa Baraza la Mitihani uzingatie uwiano wa kidini, kitendo cha chombo nyeti kama hiki kujazana watu wa dini moja kunaliondolea Baraza la Mitihani sura ya kitaifa, kwani takwimu zinaonyesha Makatibu Wakuu Watendaji na Manaibu Katibu Wakuu wamekuwa Wakristo na Wenyeviti wa Baraza hilo ni Wakristo tangu lilipoanzishwa mwaka 1973, mpaka hii leo na takwimu tunazo. Mheshimiwa Waziri,

ndivyo Mwenyezi Mungu atakavyowaonyesha vitendo vyao kuwa majuto yao; wala hawatakuwa wenye kutoka Motoni. (2: 167) Niseme kwa msisitizo hapa kwamba suala hapa sio kumhukumu mtu. Hoja ya msingi ni kuwa Bakwata mara nyingi wamekuwa wakifanya mambo yaliyo kinyu m e n a m a s i l a h i ya Uislamu. Ukianza na kukubali kutumiwa kuvunja EAMWS, kukubali kuvunjwa kwa seminari za Kiislamu, kuzuia usajili taasisi

Samirani ambaye alikuwa na uwezo mdogo sana ikilinganiswa na Abdallah. Kilichofanyika ni kuwa jina la Abdallah lilichwa na baadae Antoni akapewa jina hilo kimya kimya na kwenda kusoma sekondari akitumia jina Abdallah wakati yeye ni Antoni.

Taarifa zinasema kuwa Kopa Abdallah alipogundua hakuweza kufanya kitu akaishia kuwa dereva. Hali kama hiyo ilimkuta pia Adam Ramadhani aliyekuwa akisoma shule ya msingi Rutihinda jijini Dar es Salaam na kumaliza darasa la saba mwaka 1999. Yalipotoka matokeo ya mtihani wa darasa la saba na kuonekana kuwa Adam hakuchaguliwa, baba yake hakuamini kuwa mtoto wake anaweza kufeli kutokana na uwezo aliokuwa nao na zaidi akitizama walivyochaguliwa watoto ambao Adam alikuwa mwalimu wao shuleni na mitaani. Katika kufuatilia suala hilo wizarani, ilikuwa aibu kwa wizara baada ya kuonekana kuwa walichaguliwa watoto wa Kikristo wenye alama za chini kabisa huku akiachwa Adam Ramadhani aliyekuwa na alama za juu kuliko wote. Mheshimiwa Waziri, Mifano kama hii ni mingi mno na ipo katika ngazi zote kwa maana kutoka elimu ya msingi kwenda sekondari, kutoka kidato cha nne kwenda kidato cha tano na kutoka kidato cha sita kwenda Chuo

Tunaomba ieleweke kuwa tunachotaka ni kupatikana haki na kufanyika uadilifu kwa watu wote. Hatudai wala hatutaki upendeleo kwa Waislamu na wala hatutaki kuona mtu yeyote anaonewa au kuporwa haki yake, awe Mwislamu au mtu wa dini nyingine. Tunachoamini ni kuwa kama Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi haina cha kuficha, basi itaunda Tume hiyo kwa haraka na kuhakikisha kuwa ni Tume ya kuaminika itakayofanya kazi yake kwa umakini, kwa kina na kwa uadilifu wa hali ya juu kabisa. L a k i n i k a m a Wi z a r a yako itaona kuwa haiwezi kuunda Tume ya uchunguzi, tunacho kuhakikishia ni kuwa sisi tutafanya kila liwezekanalo na kwa namna yoyote kuhakikisha kuwa Tume hiyo inaundwa. Na ikigundulika kuwa kuna hujuma zinafanyika katika utendaji wa Baraza, basi itabidi uwajibikaji uanze kwenye Wizara kabla ya kuwawajibisha watendaji wa Baraza la Mitihani. Ni imani yetu kuwa utayapokea madai ya Waislamu na kuyafanyia kazi kwa umakini na kwa haraka ili kujenga mustakbali mwema wa nchi hii na watu wake. Tunaomba kuwasilisha, Mwenyekiti Baraza Kuu la Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Juni 8, 2012

U k m U 1

K n

12
MIGOMO HAINA TIJA
1. Kwa jina lake Rabuka, shairi naliandika, Salam zipate ka, kwenu wote wasika Mlio bara hakika, na visiwani kuka MIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA 2. Migomo haina tija, ndugu zangu nawambia Pokeeni yangu hoja, wazi nawasimulia Muone tunavyofuja, neema katika dunia MIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA 3. Mola katupa uzima, siha na nyingi hekima Ili tuweze pima, yaliyo bora kwa umma Tuyatende hima hima, pasi na kurudi nyuma MIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA 4. Asili yake migomo, Mapambano ya wanyonge Kudai chao kipimo, cha haki sio mazonge Watwana pia kuwemo, kundini kukosa donge MIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA 5. Agomewae katili, hatoi haki kwa umma Huzidumaza akili, kuwazuia kusema Vibarua na makuli, wasimtie lawma MIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA 6. Elfu ya tisa mia, kumin na tisa elewa Katika historia, nilipata kusomewa Mgomo uliingia, Amerika ukatuwa MIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA 7. Kina mama waligoma, kiwandani Amerika Jijini walinguruma, Newyoki kusikika Kushona kukasimama, mashati yakusika MIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA 8. Hawa wote walikua, wahamiaji nchini Ukweli tuliujua, walikua wazayuni Jasho lao lilikua lanufaisha kampuni MIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA 9. Mabepari siri yao, kukuza mtaji kwao Ili kupata mafao, yenye faida kibao Watumishi wanyonywao, daima wana chao MIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA 10. Sura ya kwetu nchini, kwa watumishi wa umma Wallahi haifanani, na zile tulizosoma Kwengine ulimwenguni, migomo ikirindima. MIGOOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA 11. Maslahi ni ya umma, hapa nchini tambua Tukigoma kina Juma, wenyewe twajiumbua Uchumi warudi nyuma, pasi na kujitambua MIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA 12. Watunishi wa taifa, nyote wajuzi wa sifa Tumieni marifa, hekima na utaifa Na njia zinazofaa, kudai ya manufaa MIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA 13. Kugomea serikali, ya kizalendo nchini Kwetu tawaona muhali, wananchi mwatuhini Huduma za stahili, mijini na vijijini MIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA 14. Yaa illahi yaa Rabana, twakuomba mola wetu Jalia wetu vijana, pamwe na wazee wetu Daima kusikizana, isije vurugu kwetu. MIGOMO HAINA TIJA KWA TAFA NATAMKA 15. Zatosha kumi na tano, nimeka kaditama Naomba mshikamano, kuandika nasimama Tudumu kua mfano, amani na uslama MIGOMO HAINA TIJA KWA TAIFA NATAMKA USTADH ABDUL MAJID NCHAHAGA UMMUSALAMA SHULE YA SEKONDARI S.L.P 1648, IRINGA

Mashairi/Barua

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012

AN-NUUR

Ndugu Mhariri wa Gazeti la AN-NUUR. Naomba usiwache kuichapisha barua hii ambayo nimekusudia kujibu barua iliyotoka katika Sauti ya WaislamAN-NUUR la Julai 13 - 19, 2012. Ndugu anayejitambulisha kwa jina Yusuph Abdallah Kokole wa Chamazi Islamic Seminary, ametoa maswali sita yanayomkera kuhusu Rais ambayo nanukuu: Mimi najiuliza, kwa madaraka aliyo

Kikwete analipa fadhila kwa maaskofu


kupitia MoU mabilioni ya pesa kila mwaka ambazo ni za walipa kodi na zimeshapangiwa matumizi, na pia mabilioni mengine ya misamaha ya kodi wakati huo huo Wa i s l a m u h a w a p a t i chochote. Zaidi ya asilimia 50 ya bajeti ya nchi wanafadhiliwa Wakristo wajiendeleze, na kwa kila shilingi moja wanayosamehewa kodi
kuwaweka katika sehemu zote nyeti, na kuwapa

Waislamu, basi Wakristo wanasamehewa kwa kumi. Na washauri wake ni Maaskofu na Mapadri wa nchi hii. Hivi kweli utatarajia Rais ajali maslahi ya Waislamu zaidi ya kuwapuuzilia mbali? Kwa kumalizia, kwa mujibu wa Kitabu Kitukufu cha Quran, aya ya 15 Sura AI-Hujurat: Wenye kuamini kweli kweli ni wale waliomuamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake; kisha wakaw a si wenye shaka,
na wakaipigania dini ya Mwenyezi Mungu kwa mali zao na nafsi zao. Hao ndio wenye kuamini kweli. Ahsante. Amour Kibuda Jecha Chake Chake,Pemba.

Je! Una maoni, barua au Mashairi? Tuandikie: Mhariri AN-NUUR, S.L.P. 55105, Dar es Salaam au tutumie kwa Barua pepe E-mail: annuurpapers@yahoo.co.uk
nayo Rais wetu (kwa mujibu wa katiba), na yanafuatia maoni yake:1. Anashindwa kutoa maamuzi juu ya suala la O.l.C. 2. Mahakama ya Kadhi. 3. Wakuu wa vitengo mbalimbali katika Taasisi na mashirika mbalimbali ya kiserikali. 4. Huyo Dkt. Ndalichako -hivi kweli mtu unaitwa Dkt. halafu unachakachua matokeo ya watu (kisa dini), huoni aibu kweli jamani. 5. UAMSHO na KATIBA - anasema haoni aibu Rais kushindwa na kuogopa kuwaruhusu Wazanzibari kutoa maoni yao juu ya Muungano. 6. Kadhia ya sensa - kuwa linagusa maslahi ya umma wa Kiislamu. Anajiuliza: Hivi kweli mfumo Kristo achakachue mpaka idadi ya viumbe walioumbwa na Mwenyezi Mungu (S.W). Masuala yote haya Ndugu Yusuph anaelekea ni Muumini hasa na yanamkera, majibu ya masuala haya ni kuwa Mara baada ya kupewa Urais tuliwasikia Maaskofu na Mapadri wakisifu uteuzi wake kuwa Kikwete ni Chaguo la Kanisa. Mwenyewe ameshasema mara kadhaa kuwa kama si Kanisa basi angalikuwa akiuza karanga pale Chalinze. Kwa maana mafanikio aliyoyapata hadi akawa Rais leo ni kwa sababu kasoma katika skuli za misheni zilizomilikiwa na kuendeshwa na Kanisa. Ndiyo anawalipa fadhili kwa

Sheikh Bakwata azomewa mbele ya DC Singida


Inatoka Uk. 16
kimeeleza kuwa Ust. Madina alimkabili DC huyo akimtaka aeleze ni wapi amepata takwimu zinaeleza idadi ya Wapagani kuwa ni wengi kuliko dini zote nchini. DC, tueleze umejuaje idadi ya Wapagani mpaka useme kuwa wao ni wengi kuliko dini zote katika nchi kuliko dini zote. Alinukuliwa Ust. Madina na chanzo chetu, akimhoji DC huyo. Katika hali iliyowashangaza viongozi wa Jumuiya zingine za Kiislamu, tofauti na walivyotarajia, ni pale Sheikh Wa Wilaya Bakwata, Issa Simba, alipopewa nafasi na kutoa masharti ili Waislamu waweze kushiriki katika Sensa. Sheikh huyo alimweleza DC, kwamba ili Waislamu washiriki kwanza Serikali ikane takwimu zote ambazo zimezagaa mitaani, kisha wakamatwe kwa mujibu wa sheria kwa kutoa takwimu feki. Alisema, ikiwa Muislamu amekamatwa kwa kosa la kusambaza kipeperushi k i n a c h o s e m a Wa i s l a m u hawashiriki Sensa na hao waliotoa takwimu hizo wakishwe Mahakanani ikiwa Serikali itathibitisha kuwa takwimu si za kweli. Lakini zaidi hatuwezi kushiriki na wala kuhamasisha kupitia Misikitini kwa sababu hatujapewa majibu ya kujitosheleza juu ya madai ya Waislamu. Kilisema chanzo chetu kikimnukuu Sheikh huyo wa Bakwata, Wilaya. Naye Sheikh Abdulrahman Mtyuku, alimueleza DC, kuwa msimamo wa Waislamu utaendelea kubakia hivyo hivyo, kama ambavyo yeye (DC)

anavyopokea maagizo kutoka ngazi za juu na kuyafikisha na kama ambavyo hawezi kuyatolea maamuzi maswala hayo mpaka akishe kwa Mkuu wa Mkoa, na ndivyo hivyo hivyo na wao (Masheikh) hawezi kubali msimamo mpaka viongozi wa Juu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu zitoe maelekezo mapya. Awlai katika ufunguzi huo wa kikao hicho kilichofanyika katika ofisi zake, aliwaomba viongozi wa dini ya Kiislamu kutumia fursa ya ibada ya swala ya Ijumaa, na swala zingine kuhamasisha Waislamu kushiriki katika sensa ya watu na makazi. DC, huyo alionyesha kupinga takwimu ambazo zimetolewa na TBC (Televisheni), Bodi ya Utalii pamoja na Tovuti ya Wakatoliki, akidai kuwa takwimu hizo hazijasema kweli, akidai kwamba idadi ya Wapagani ni kubwa kuliko Wakristo na Waislamu. Chanzo chetu kilisema, DC, alidai kwamba kuna viongozi wa dini aliwaita wanaharakati, wanahamasisha watu wasishiriki Sensa huku akidai wanafanya hivyo bila kujali Serikali ishatoa fedha nyingi juu ya swala la Sensa. Tukio hili halipo hapa tu, kwa sababu kuna vipeperushi vimesambazwa nchi nzima, vinavyosema Ujumbe wa Ramadhani, Waislamu hatushiriki Sensaalisema Mpashaji habari wetu kwa njia ya simu akimnukuu DC, huyo. Kikao hicho kilitishwa na Mkuu wa Wilaya ya Singida Vijijini, kwa barua yenye kumbukumbu namba DC/ SGD/M.30/17/A, ya tarehe 10, Agosti, 2012.

13
A L I Y E B A G U L I WA anapodai haki yake ya KUTOBAGULIWA ndiyo anasababisha UBAGUZI? Au yule aliekuwa chanzo cha sababu ya UBAGUZI huyo ndiye MBAGUZI? Mazoeya hayo yakamkisha MBAGUZI kuamini kuwa tabiya hiyo ndiyo haki yake, hivyo harakati zozote utapoanzisha dhidi ya dhulma hiyo, MBAGUZI hujenga dhana kwamba unadhamiria kumpora haki hiyo aliyodumu nayo kwa nusu KARNE sasa! Dunia ya leo kila taifa hujitahidi kwa kiwango cha juu kwa kujiweka katika hali nzuri ya kujiamulia mambo yake yenyewe bila ya kuwepo kwa mamlaka nyengine ambayo itaweza kuingilia maamuzi yake, kwa kuzingatia mahitaji yake na kwa zama zake na kwa mujibu wa uchumi wake, siasa yake watu wake na utamaduni wao, mambo hayo hayapaswi kuwa katika mamlaka ya nguvu nyengine isiyokuwa ya Wazanzibari wenyewe, kwa sababu Wazanzibari ndiyo wana uwezo wa pekee wa kutambua mahitaji yao kwa mujibu wa matakwa ya jamiii yao kwa misingi ya utamaduni wao. NDOTO ZA MCHUNGAJI
Inatoka Uk. 7

Kuruhusu kupotea Zanzibar ni dhambi


SIKU ya Tarehe 26 july 2012 katika BUNGE la Jamhuri ya muungano kuliibuka hoja dhaifu ya kuudhi na ni kashfa kubwa kwa jamii yetu Wazanzibari kwamba eti kuna MCHUNGAJI kutoka IRINGA anahoji maamuzi yetu Wazanzibari kupitia Waziri wetu wa KATIBA na SHERIA, na WAZIRI wa Utamaduni Utalii na Michezo kwa kupiga marufuku kutembea nusu uchi, kula chakula hadharani, kuvuta sigara na kupigana mabusu ovyo barabarani, unywaji wa pombe kiholela kwa kipindi cha Mwezi mtukufu wa RAMADHANI, kwa NDOTO hiyo ya MCHUNGAJI ndio maana tunazidi kuthibitisha kuwa muungano huu ni KERO na mabadiliko ni jambo la lazima ili wazo kama hilo la MCHUNGAJI liishie kijijini kwao IRINGA, kwa sababu MCHUNGAJI ameshindwa kuthamani na kuheshimu utamaduni wa Mzanzibari kwa kujenga hoja inayoashiria kupinga au kutaka kufutwa kwa maamuzi yetu hayo tunayojipangia Katika nchi yetu! Moja ya kazi ya Wabunge bungeni ni kuhoji au kujenga hoja dhidi ya Serikali kwa dhamira ya kuikosoa kwa kuijengea uimara Serikali kutokana na kasoro zinavyojitokeza kwa lengo la kuimarika Serikali hiyo, kutokana na mapungufu yanayojitokeza, sasa Je MCHUNGAJI aliona kwa kujenga hoja hiyo anatusaidia kutujenga au anadhamiria kutubomoa? Kwakuwa anajua uhalisi wa utamaduni wetu na isitoshe alisaidiwa kwa kuelimishwa na Waziri Mkuu kwa kumpatia majibu yanayoendana na uhalisi huo, na akasisitiza kutoridhishwa na majibu ya Waziri Mkuu, kwa hivyo ni kwa nini tusiamani kuwa MOJA YA KAZI ZA WACHUNGAJI wageni wanaokuja ZANZIBAR wana dhamira inayofanana na MCHUNGAJI HUYO? Nadhani Mchungaji alitamani kujenga hoja ile ndani ya BARAZA L A WAWA K I L I S H I i l i akamilishe malengo ya kufanikisha kusudio lake! Je, kwa nini tusiamini kuwa kuna dhamira ya

Makala/Tangazo

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012


yako kutasababisha kupotea haki ya nchi nyengine, eti kudai haki ya nchi yako kunatetewa na nchi ambayo imeikamata na kuizuiya haki hiyo!, eti kudai HAKI ya nchi yako kunahatarisha amani kwa upatikanaji wa HAKI hiyo!,ni ajabu kubwa kuwa Wazanzibari wanapoidai HAKI ya nchi yao kutasababisha kuzuka kubaguana kwa sababu walionyimwa HAKI wanadai haki yao!, hivyo ubaguzi utakuja kwa sababu Wazanzibari wanadai HAKI yao? Au ni kwa sababu ubaguzi ulijengwa baada ya kuwabana na kuwanyima Wazanzibari HAKI yao? jitahidi kutulia na kutafakari uchambuzi huo. Tiba pekee ya kutibu gonjwa la kubaguana ni watu kupatiwa haki yao, itawezekanaje kutibu gonjwa hilo sugu kwa kuepuka kutumia tiba hiyo? WA Z A N Z I B A R I T U N A PA S WA N A KULAZIMIKA KUTOA D O Z I S A H I H I YA KUIREJESHEA SERIKALI YA MAPINDUZI ZANZIBAR MAMLAKA YOTE YA KISHERIA NA KUWA NA MAAMUZI Y O T E YA K I T A I F A NA KIMATAIFA BILA

AN-NUUR

WACHUNGAJI ya kutaka kuingia katika BARAZA LA WAWAKILISHI na kujenga hoja za mfano huo kwa dhamira ya kutubomoa katika Mila na Utamaduni wetu? Je, inaingia akilini kuwa Wazanzibari wana hitajio la kukosolewa juu ya Utamaduni wetu na Mtaalam anaepinga Utamaduni huo tena ni mchungaji? Tunaposema Muungano ni KERO mfano wake ni huo. WA Z A N Z I B A R I tunalazimika kutoa somo kupitia MCHAKATO wa KATIBA kwa kujenga misingi itakayoondoa na kufuta kabisa udhaifu wa Muungano ili kuondoa mwanya kwa wale wanaodhamiria kutuharibia Mila, Utamaduni na sheria za ndani ya Zanzibar, hilo ndiyo litakuwa jibu sahihi kwa wale wanaoota NDOTO za kijijini kwao na kutaka kuzihamishia ndani ya ZANZIBAR kwa kuficha dhamira zao kwa kutmia fursa ya kisingizio cha ndani ya Bunge la Jamhuriya Muungano. DHANA YA KUTISHANA Kuna watu hudanganya watu, eti kudai haki ya nchi

Akina mama tafuteni elimu


Na Azza Ally Ahmed
WANAWAKE wa Kiislamu wametakiwa kutafuta Elimu kwa nguvu zao zote kwani kufanya hivyo nikutafuta radhi za Allah s.w. Hayo yamesemwa na ukhut Saada Ali, kutoka Buguruni wiki iliyopita katika kongamano lililofanyika katika madrasa ya kinamama ya Masjid Taqwa iliyopo Kawe Mji Mpya, jijini Dar es Salaam. Ukhti Saada amesema kuwa lengo la kutafuta elimu ni ili wamjue Mola wao na kwa ajili ya maisha yao hapa duniani. Aliongeza kuwa kutafuta elimu hakuna ukomo mpaka kuingia kaburini. Kwa upande mwingine akawahimiza kupata elimu ya ndoa kwani ni muhimu kwao kwa kuwa inawawezesha kujua mambo ya msingi katika ndoa zao na jinsi ya kuilinda na kuiheshimu ili kudumu katika umoja wa familia. Ukhut Saada pia alisisitiza juu ya umuhimu wa elimu ya malezi kwa watoto wa Kiislamu, ambapo alisema elimu hiyo itaweza kusaidia kupunguza momonyoko wa maadili kwa watoto. Tuwafuate Maswahaba, pamoja na utukufu waliokuwa nao waliacha utukufu wao na wakatafuta elimu, hivyo basi hakuna utukufu mbele ya elimu. Aidha hakuna ibada bila ya elimu . Alifafanua Ukhut Saada. Aliwatahadharisha kina mama hao kuacha kufunga na kuswali kwa ajili ya mwezi wa Ramadhani pekee, bali waendelee kutekeleza ibada walizokuwa wakifanya kwani Mwenyezi Mungu ambaye ndiye anayeabudiwa yupo siku zote za maisha. Naye Ukhut Tatu kutoka Buguruni aliwataka kina mama kufanya jitihada kubwa katika suala la malezi kwa watoto kwani wao ndio walimu wakubwa na wa kwanza wa watoto wao. Alisema tatizo la kuporomoka maadili chanzo chake ni kina mama kukosa elimu sahihi ya Uislamu. Kwamba kina mama ndio walezi wakubwa na ndio wanaolengwa na makafiri ili kuwapoteza katika nafasi yao ya msingi katika ulezi.

Inawatangazia Waislamu wote kuwa imeandaa safari ya Hijja na Umra mwaka 2012 kwa dola (US) $ 3375 tu. Mambo yatakayogharamiwa. Semina za Hijja, Huduma za Afya, Airport charge na Tiketi za ndege, Nyumba za kulala Makka na Madina, Ihram na Kuchinja kwa ajili ya Tamaa-tuu, Chakula wakati wote, Usari na ziara Makka na Madina, Mahema Mina na Arafa. KUHIJIWA ni DOLA US $ 1450. Fomu zinapatikana. 1 Osi ya Ahlul Daawa Dar es salaam- Magomeni Mtaa wa Dosi na Mkadini Nyumba namba 26 Mkabala na Show Room ya Magari Tel: 0713 730 444 au 0773 804101 au 0785 930 444 au 0773 930 444. 2. Osi ya Ahlul Daawa Zanzibar RahaLeo Tel: 0777 484982, 0777 413987. 3. Abubakar Maulana wa Markaz Kiwalani Dar Es salaam Tel: 0784 453838. 4. Abdallah Salehe Mazrui ( Hoko) Dar es salaam Tell. 0715 72 4444. 5. Salim Is-haq Dar es Salaam Tell: 0754 286010, 0774 786101. 6. Dukani kwa Mohamed Hadh Mazrui Wete Pemba Tel: 0777 482665. 7. Sheikh Daudi Khamis Sheha Tel: 07776 79692. 8. Maalim Seif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar Tel: 0777 417736. Wahi mapema kulipia ili ushughulikiwe mapema, kama utalipia kwa Account No 048101000030 NBC piga simu kwanza 0774 412975. Kumbuka kikundi cha Ahlul Daawa ni cha Bei nafuu zaidi na huduma zake ni bora zaidi ya vikundi vingine.

Ahlul Daawa Hajj and Travel Agency

Kukwama kwa propaganda za vyombo vya habari vya Magharibi kuhusu Syria
Kinachoandikwa katika magazeti ni uwongo Kilichojicha wazi hadharani ndiyo ukweli
za Magharibi na undani wa upinzani usioungwa mkono nchini Syria. Ujanja ukaisha. Mwezi Juni, gazeti la Ujerumani la Frankfurter Allgemeine Zeitung (FAZ) liliripoti kuwa mauaji ya kutisha ya Houla hayakufanywa na majeshi ya Assad, kama ilivyosemwa na vyombo vya habari vya Magharibi mwanzoni, ila na upinzani wa kigaidi unaofadhiliwa na NATO. Maelezo rasmi kuhusu mzozo wa Syria yalianguka baada ya hapo. Hoja ya kimaadili ya kumwondoa Assad ilipotea kwa sababu ilitokana na uwongo mtupu. Uchokozi wa wazi unaofanywa na washirika maharamia wa NATO dhidi ya raia wa Syria ulikuwa wazi kwa yeyote aliyekuwa akiangalia. Kuzuka kwa upashanaji habari tofauti wa kimataifa: Mwisho wa propaganda za vyombo mashuhuri vya habari Vyombo vya habari vikubwa vya nchi tofauti haviwezi tena kuhodhi nini kinatokea, Uwongo ulio rasmi unakosolewa, kweli zilizofukiwa zinafukuliwa, na uhalisia unahifadhiwa. Mbinu za mfanya mazingaombwe zimefichuliwa na waharibifu katika kadamnasi. Vyombo vya habari tofauti duniani vinainuka na vimekuwa injini ya amani, ukombozi, maelewano na umakini. Hata baadhi ya watendaji katika vyombo vya habari vikubwa wanalazimika kukiri kuwa wamekuwa wakiidanganya dunia kuhusu karibu kila kitu, na kuwa mawazo yao ya kuchochea vita hayakubaliki kote. Wanapoteza uwezo wao wa kukamata mawazo ya walio wengi, na kama Russel wa maonyesho ya Kony 2012, nao pia wameanza kupoteza uwezo wa kutawala akili zao. Kwa uhakika, waandishi wa habari wa vyombo vikubwa tayari wamekuwa vichaa na kushindwa kuishika hali halisi. Dunia yao inaanguka kote walipo na mamlaka yao ya muda mfupi yanapotea kila kukicha. Ukweli ni nguvu kubwa mno. Vyombo vikubwa vya habari vinakwenda kinyume cha nguvu za uvutano za hali halisi na vinapoteza mapambano hayo. Lakini siyo kila mtu katika vyombo vya habari vya Magharibi amepoteza kichwa chake na moyo wake. Bado wako waandishi wa habari wenye heshima ambao wanaweka ukweli kuhusu historia juu

14

Makala

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012

AN-NUUR

Na Saman Mohammadi (July 31, -Mtandao wa Kusambaza Habari) UNAMKUMBUKA huyu jamaa, Jason Russel? Ndiye aliyekuwa mbele katika sinema iliyodumu muda mfupi na kupigiwa debe sana ya Kony 2012, kampeni ya propaganda iliyoteka hisia za vijana kupendezesha uvamizi wa Marekani nchini Uganda. Baada ya uwongo wake kuonyeshwa wazi katika Internet alipata fadhaa akapatwa na kiwewe. Alikimbia uchi karibu na taa za kuongoza magari, akapiga ngumi kwenye kiambaza, na kupiga mayowe yasioeleweka. Pepo la Uwazimu liliishinda nafsi yake dhaifu. Siku moja kabla ya kupatwa na kiwewe Russel alikuwa shujaa katika vyombo vya habari kama mtakatifu aliyejitolea kuwaokoa watoto wa Afrika. Mkanda wake wa propaganda ya vita kuhusu mshirika aliyekufa wa CIA Joseph Kony ulikuwa ukipendwa sana katika Facebook na maeneo mengine ya mtandao. Lakini uficho wake ulipoanguka na uwazimu wake ukanasa kwenye kamera, kunguru wa vyombo vya habari wakasahau vita yake takatifu na haraka wakakimbilia habari mpya inayosisimua. Habari mpya ambayo ilikamata hisia za walafi katika vyombo vya habari vya Magharibi ni Syria. Vita ilikuwa inapamba moto, na jumuia ya kimataifa ilikuwa inasukumwa kuchukua hatua dhidi ya nchi hiyo. Assad anaua watu wake mwenyewe, walisema, bila kuonyesha ushahidi wowote. Hii ndiyo domino inayofuata itakayoanguka katika Uamsho wa Nchi za Kiarabu; waasi lazima wasaidiwe na Assad hana budi kuachia madaraka, propaganda ilisema. Na mengine, mengine mengi tu. Uwongo wa kijinga wa vyombo vya habari ulirudiwa kwa miezi kadhaa. Vituo vikubwa vya televisheni vilikuwa katika vita ya propaganda ya saa 24 kwa siku kuteketeza nchi huru ya Syria na kuiweka Syria katika utumwa. Lakini jambo lisilo la kawaida na lisilotazamiwa lilitokea. Baadhi ya waandishi wa habari wa nchi za Magharibi walianza kueleza ukweli kuhusu vyanzo vya mgogoro huo, kinachosukuma propaganda dhidi ya Syria katika nchi

ya uwongo wa serikali zao. Mwandishi B wa MoA (nchini Ujerumani) anaandika: Inaelekea kuna mabadiliko kidogo katika vyombo vya habari vya Magharibi kuhusu habari za Syria. Hapa Ujerumani magazeti (na vyombo vingine) vimeanza kuonyesha waasi hao jinsi walivyo: wapiganaji Jihad wanaosari nchi tofauti, kundi la wapiganaji linalipwa na nchi za nje. Wazungumzaji katika habari sasa wamekuwa wakionyesha ukinzani kuhusu habari za kawaida za propaganda na sera ya serikali ya Ujerumani kuunga mkono SNC (Baraza la Kitaifa la Syria). Pia kuna mabadiliko kidogo katika vyombo vya habari vya kimataifa. Wakati hadi hivi karibuni vyombo vikubwa vya habari vya nchi za Magharibi vilikuwa na nguvu sana na maelezo yake rasmi kwa pamoja yalikubalika kwa watu, hivi sasa uhalali wake unaporomoka na vinashindwa kuwafanya watu waamini uwongo wa serikali. Vijana wanaohitaji habari wanafuatilia vyombo vya habari huru mbadala kupata ukweli wa masuala magumu na mizozo. Katika mwenendo huo, mtazamo wao kuhusu dunia unabadilika na imani zao zilizosukwa na serikali zinakufa. Ukweli kuhusu Syria, kama ukweli kuhusu Septemba 11 (2001), unaweza kukandamizwa kwa kitambo tu lakini hauwezi kufutwa katika mtiririko wa historia. Tony Cartalucci anasema kuwa propaganda ya Magharibi dhidi ya Syria imevuka mpaka na matokeo yake inaparaganyika. Uwongo uliosukwa unachuliwa kabla manufaa yake hayajafikiwa. Ifuatayo ni sehemu ya makala ya Cartalucci: Wizara ya Fedha ya Marekani: Al Qaeda inaendesha uasi nchini Syria. Sasa, inaelekea kuwa jeshi la kukodiwa la nchi za Magharibi, Al Qaeda, liko mbioni kupata pigo kubwa - siyo katika mikono ya wapiganaji dhidi ya ugaidi wa nchi za Magharibi ila kutoka askari wa Syria katika jiji la Aleppo. Katika juhudi kubwa ya kuzuia hilo, nchi za Magharibi zinatumia njia tofauti za kufa na kupona kuanzia kuwaonyesha wapiganaji wa nje walioingia mtegoni na kufanya mauaji ndani ya Aleppo kuwa ni hatari ya mauaji ya watu wengi yanayokaribia, hadi kutumia uwepo wa wapiganaji hawa wa nje kama ushahidi kuwa Al

RAIS wa Syria, Dk. Saad Al Bashar Qaeda inaendesha shughuli nchini Syria na lazima izuiliwe kwa nchi za Magharibi kuingilia kati. Ni muhimu kuelewa kwamba, kama jinsi himaya zinavyofanya siku zote, maslahi makubwa ya makampuni hodhi ya nchi za Magharibi yanataka uhodhi katika eneo la Mashariki ya Kati kama hatua mojawapo kuelekea uhodhi wa biashara duniani kote, na watasema au kufanya chochote kinachohitajiwa kufikia hapo. Upinzani unavyoongezeka, uwongo wa Magharibi unakuwa mgumu kuuza, uthabiti wa propaganda zao unaporomoka waziwazi. Nchi za Magharibi, kwa pumzi moja, sasa wanasema wapiganaji wa FSA (Free Syrian Army) kwa wakati mmoja ni Al Qaeda wanaohitaji kuondolewa, na hapo hapo mauaji ya watu wengi na majeshi ya Syria yanakaribia kama hakuna kitakachofanyika kuwaokoa. Wakati Rais Obama wa Marekani alipozungumzia unyama uliokithiri kuhusu kinachofanywa na majeshi ya Syria huko Aleppo, yeye na waandishi wa hotuba zake wanafanya hivyo wakiamini kuwa Wamarekani, na dunia, ni wajinga na hawaujali sana ukweli, na wataruhusu kwa furaha sera za nchi za nje za Magharibi kuvizia na kudandia hisia zao na nia zao njema ili kuuza uingiliaji kati kijeshi wa kujinufaisha pamoja na uteketezaji mkubwa. Ni jambo la kushangaza kusikia kuwa Marekani iko vitani na Al Qaeda nchini Yemen; halafu, wakati huo huo, ni mshirika wa Al Qaeda nchini Syria, Ni mojawapo tu kati ya hayo mawili inaweza kuwa kweli. Ni kwamba Marekani inaweza kuwa vitani na Al Qaeda, au hapana. Hisia ya mantiki ya Marekani inachekesha na imepinda, lakini si ya kipekee. Hivyo ndivyo dunia ilivyo. Katika historia, himaya kwanza zinaushinda ukweli, hali halisi, na ufahamu wa binadamu, halafu wanaenda katika nchi zenye raslimali nyingi. Uwezo wa himaya unategemea imani za vikundi maalum na viongozi wao ambazo zinaundwa kuhalalisha utawala dhalimu nyumbani na nje. Ni ishara ya matumaini kwa dunia na kwa maisha ya jumla ya wanadamu pale uhalisi wa ukweli unaposhinda himaya ya kifo, katika wakati wowote ule wa historia. (Makala hii imeandikwa na Saman Mohammadi Email: truthexcavator@gmail. com-ikiwa na kichwa cha habari Flipping The Script: The Western Medias Syria Propaganda Is Falling Apart na kufasiriwa kwa Kiswahili na Anil Kija)

15
Na John Pilger

Makala

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012


Jon Williams, mhariri wa habari za kimataifa wa BBC, anaongeza ufuatiliaji wake binafsi wa suala hilo, akiwanukuu maosa wa nchi za Magharibi wakisema kuwa operesheni ya kiakili dhidi ya Syria ilikuwa imefana sana. Ilifana kama kuvunjiliwa mbali kwa Libya, na Irak na Afghanistan. Na pia ni ya kufana kama ubunifu wa gazeti la Guardian likimkuza Alastair Campbell, mshirika mkuu wa Tony Blair katika uvamizi hadisi wa Irak. Katika kumbukumbu zake za tarehe hizo, Campbell anajaribu kupaka damu ya Irak kwa pepo liitwalo Murdoch (mmiliki wa magazeti yaliyofikiwa na kashfa ya kusikiliza simu za watu binafsi). Ipo ya kutosha kuwalowesha wote. Lakini kukubali kuwa vyombo vya habari vyenye hadhi, vya kiliberali na vinavyompenda Blair vilikuwa na nafasi ya ziada muhimu katika uhalifu huo mkuu kumechwa na kumebakia ni jaribio muhimu la kitaaluma na kimaadili nchini Uingereza. Ni kwa kitambo gani tutaendelea kuwa chini ya serikali kivuli ya aina hiyo? Kielelezo hicho cha propaganda ya kupotosha kilitumiwa kwanza na Edward Bernays, mpwa wa Sigmund Freud (mwanzilishi wa psychoanalysis) aliyetunga fani ya mahusiano (public relations), haijawahi kuonekana bayana kiasi hicho. Kutunga u halisi ambao haupo kunahitaji kusahau historia, kusema uwongo kwa kukwepa, na kuhamisha kilicho muhimu katika visivyo muhimu, Kwa njia hii, mifumo ya siasa inayodhamiria usalama na haki kijamii imedilishwa na uharamia, kufunga mkanda na vita visivyoisha - ukereketwa wenye nia ya kuangamiza demokrasia. Ingekuwa ni mtu binafsi angeweza kuitwa mwendawazimu, Kwanini tunaikubali? (Imefasiriwa na Anil Kija kutoka makala ya John Pilger yenye kichwa cha habari: U.S. Crimes Against Humanity? History is the Enemy as Brilliant Psy-ops Become the News. www. johnpilger.com)

AN-NUUR

NIKIWA naingia katika kijiji cha Vietnam Kusini, niliwaona watoto wawili wadogo waliokuwa mashuhuda wa vita virefu zaidi katika karne ya 20. Ulemavu wao wa kutisha ulikuwa unaonekana sehemu nyingi. Eneo lote la Mto Mekong, ambako misitu ilikuwa imeteketezwa na kubaki kimya, watu waliobadilika vinasaba waliishi vyema kiasi walichoweza. Leo, katika hospitali ya watoto ya Tu Du mjini Saigon, chumba cha upasuaji cha zamani kinaitwa chumba cha makusanyo, lakini lugha rasmi ni chumba cha kihoro. Ina milolongo ya chupa kubwa zenye vitoto vya kutisha vilivyoharibikia tumboni. Wakati wa uvamizi wake wa Vietnam, Marekani ilitumia kemikali ya kupukutisha majani katika mapori na vijiji kumchua adui, Hii ilikuwa Agent Orange, iliyokuwa na dioxin. sumu kali ambazo zinaeweza kusababisha kifo cha kitoto tumboni, kutoka kwa mimba, kudhurika vinasaba na saratani. Mwaka 1970, Ripoti ya Senate ya Marekani ilichua kuwa Marekani imemwaga (juu ya Vietnam Kusini) kemikali za sumu kiasi cha ratili sita (karibu kilo tatu) kwa kila mkazi, wakiwemo wanawake na watoto. Jina la siri la kumwaga silaha hiyo ya maangamizi iliitwa Operation Hades (yenye maana ya kuzimu au Jehanamu). Baadae ilibadilishwa ikaitwa Operesheni Ranch Hand, (kama vile ni shamba la mifugo). Leo hii inakisiwa kuwa waathirika milioni 4.8 wa Agent Orange ni watoto. LenAldis, katibu wa chama cha urafiki wa Uingereza na Vietnam, hivi karibuni alirudi kutoka Vietnam akiwa na barua kwenda kwa Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki kutoka Umoja wa Wanawake wa Vietnam. Rais wa umoja huo Thi Thanh Hoa, alielezea athari kubwa za kimaumbile (zilizosababishwa na Agent Organge) kutoka kizazi kimoja hadi kingine. Aliitaka OIC kufikiria upya kukubali ufadhili wa Michezo ya Olimpiki ya London uliokuwa ufanywe na Kampuni ya Dow Chemical Corporation,

Uhalifu wa Marekani dhidi ya Binadamu


Historia ndiyo adui wataalamu wa ubadilishaji kra wanaposhika hatamu

RAIS George Bush. moja ya makampuni ambayo yalitengeneza sumu hiyo na imekataa kuwafidia waathirika wake. Aldis aliwasilisha barua hiyo katika osi ya Lord Coe (Sebastian Coe, mwanariadha mashuhuri wa Uingereza zamani), ambaye ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya Michezo ya Olimpiki, London. Hajapata jibu lolote. Wa k a t i A m n e s t y International ilipokumbusha kuwa mwaka 2001 Dow Chemical ilinunua kampuni iliyohusika na uvujaji wa gesi huko Bhopal nchini India (mwaka 1984) ambayo iliua watu kati ya elfu saba na elfu kumi papo kwa papo na wengine 15,000 katika miaka 20 iliyofuata, David Cameron (Waziri Mkuu wa Uingereza) aliita Dow kuwa ni kampuni yenye sifa. Hivyo ni furaha na vifijo wakati camera za televisheni zinapoonyesha pambo lenye thamani ya pauni (za Kiingereza) milioni saba linalofunika uwanja wa Olimpiki (London), linalotokana na mkataba wa miaka kumi kati ya OIC na mharibifu huyo aliyekubuhu. Historia imezikwa na waliokufa na kuharibiwa wa Vietnam na Bhopal. Na historia ndiyo adui mpya. Mnamo Mei 28, Rais Obama alizindua kampeni ya kubatilisha historia ya vita vya Vietnam. Kwa Obama, hapakuwa na Agent Orange, wala maeneo ya kushindilia risasi bila kizuizi, hapakuwa na kucha mauaji ya watu

RAIS George W. Bush. wengi, wala ubaguzi uliokithiri, au kujiua (kwani Wamarekani waliojiua wenyewe wanalingana na wale waliokufa vitani), wala kushindwa na jeshi la kujihami la jamii masikini. Ilikuwa, kwa mujibu wa Bw. Hopey Changey (tumaini la mabadiliko, Change we can believe in) moja ya matukio ya kushangaza ya ujasiri na uadilifu katika historia ya kijeshi (ya Marekani). Siku iliyofuata, gazeti l a N e w Yo r k T i m e s lilichapisha makala ndefu iliyoonyesha jinsi Obama mwenyewe anavyochagua nani watakaouawa kwa mabomu ya drone, ndege za kivita zisizo na rubani, maeneo tofauti duniani. Anafanya hivyo katika Jumanne za kigaidi, ambako anaangalia picha ndogo ziliowekwa katika orodha ya wanaotakiwa kuuawa, baadhi yao wakiwa na umri chini ya miaka 20, mmojawapo akiwa msichana ambaye alionekana mdogo kuliko hata miaka yake 17. Wengi wao hawajulikani au wamefikia tu umri wa kuingia jeshini. Zikiwa zinaongozwa na marubani walioketi mbele ya vioo vya kompyuta mjini Las Vegas (Marekani), drone hizo zinalenga makombora ya Hellfire (Moto wa Jahannamu) ambayo yananyonya hewa kutoka kwenye mapafu na kulipua watu wabaki vipande vipande. Mwezi Septemba (mwaka jana) Obama alimwua raia wa Marekani, Anwar al-Awlaki

RAIS Barack Obama kwa habari za kuvumishwa tu kuwa alikuwa akichochea ugaidi. Huyu ni rahisi, ananukuliwa na wasaidizi wake akisema wakati akitia saini kifo cha mtu huyo. Hapo Juni 6, drone iliua watu 18 katika kijiji Afghanistan, wakiwemo watoto, wanawake na wazee waliokuwa wakifurahia harusi. Makala hiyo ya New York Times haikuwa imetokana na kuvuja kwa habari au kufichuliwa. Ilikuwa ni taarifa ya majigambo iliyoasisiwa na utawala wa Obama kuonyesha jinsi amiri jeshi mkuu alivyo thabiti katika mwaka wa uchaguzi mkuu. Ikiwa atachaguliwa tena, Brand Obama (bidhaa) itaendelea kutumikia wenye fedha, kufuatilia wanaosema ukweli, kutishia nchi, kueneza virusi vya komputa na kuua watu kila Jumanne. Vitisho dhidi ya Syria, vinavyoratibiwa Washington na London, vinakia ngazi mpya ya unafiki. Tofauti na propaganda za wazi zinazotolewa kama habari, uandishi wa kichunguzi wa gazeti la Ujerumani, Frankfurter Allgemeine Zeitung zinawataja wahusika wa mauaji ya watu wengi mjini Houla kuwa ni waasi wanaosaidiwa na Obama na Cameron. Waliolihafamisha gazeti hilo ni pamoja na waasi wenyewe. Uthibitisho huo haujapuuzwa moja kwa moja nchini Uingereza. Akiandika katika blogu yake binafsi, kimya kabisa,

16

AN-NUUR
16

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012

Uandikishaji unaendelea. Gharama za Hijja ni kama Hijja iliyopita mwaka jana, USD 3850. Tarehe za safari ni 19 Oktoba, 2012 na kurudi tarehe 11 Novemba, 2012. Wahi kujiandikisha sasa. Kwa mawasiliano: +255 22 2181577, +25 22 2182370, 0717 000065, 0786383820, 0754 261910 E-mail: tmht@live.com, info@hajjtrusttz.org Website: wwwhajjtrusttz.org

Safari ya Hijja Hijiria 1433

SHAWWAL 1433, IJUMAA AGOSTI 24-30, 2012

AN-NUUR

Jambo la kwanza kwa Warioba ni Mahakama ya Kadhi-Bassaleh


Kadhi Mkuu wa Mufti ni wa Bakwata pekee
Na Bakari Mwakangwale
WAISLAMU wametakiwa kuhakikisha kuwa jambo la kwanza kulisema na kulitaka liwe katika Katiba ni kuwepo kwa Mahakama ya Kadhi yenye mamlaka, iliyopo kisheria na inayogharamiwa na serikali. Akitoa wito huo, Maalim Ally Bassaleh amesema kuwa kile kilichotangazwa na Mufti wa Bakwata sio walichotaka Waislamu hivyo waiache Bakwata na Kadhi wao wa kuwaridhisha maaskofu. Akasisitiza kuwa Kadhi Mkuu aliyetangazwa na Mufti wa Bakwata, ni Kadhi wa Bakwata pekee. Maalim Ally Bassaleh ameyasema hayo katika Baraza la Idd lililofanyika Mwembeyanga mwishoni mwa wiki siku ya Eid El Fitri.. Bassaleh amesema kuwa Mufti amedai kuwa hakumteuwa Kadhi Mkuu kwa utashi wake mwenyewe, bali alishinikizwa na tume ya dini ya Bakwata ambayo ina uwakilishi wa Masheikh wa Wilaya na Mikoa. Bassaleh akasema, kwa kuwa Mufti Simba wa Bakwata amefuata shinikizo la Mashekh wake wa Wilaya na Mikoa,

Sheikh Bakwata azomewa mbele ya DC Singida


Na Bakari Mwakangwale MWENYEKITI wa Bakwata, Mkoa wa Singida, Alhaji Swaleh Msuri, amejikuta katika fedheha kubwa baada ya kuzomewa alipojaribu kumhakikishia Mkuu wa Wilaya ya Singida Vijijini kuwa watahamasisha Sensa. Hali hiyo ilitokea Jumanne wiki hii, mjini Singida katika kikao kilichoitishwa na Mkuu wa Wilaya hiyo kilichohusu uhamasishaji wa ushiriki katika sensa ya watu na makazi kilichowahusisha viongozi wa dini. Kwa mujibu wa chanzo chetu cha habari kutoka ndani ya kikao hicho, kilisema katika majumuisho yake mara baada ya kupewa nafasi ya kuzungumza, Sheikh huyo wa Bakwata, Alhaji Msuri, anaungana na wanasemina pamoja na DC, kuwa wao (Masheikh) watahamasisha zoezi la Sensa kwa waumini wao. Chanzo hicho kinasema, mara baada kauli hiyo, hali ya ukumbi ilibadirika kutoka kwa viongozi wa Kiislamu kwa ujumla kwa kuanza kumzomea kisha kumuambia hiyo ni kauli yake binafsi na si yao. Baada ya hapo alipingwa kwa nguvu, mwisho aliambiwa kuwa hiyo ni kauli yako na kama upo tayari kuhamasisha Sensa, nje ya madai ya Waislamu hiyo ni kauli yako kama uko tayari kafanye wewe. Kilisema chanzo hicho. Imeelezwa kuwa kufatia hali hiyo Mkuu wa Wilaya, ilimlazimu kusimama na kutuliza hadhira ndani ya kikao hicho, ambacho kilikuwa kinafika ukingoni, baada ya hoja na maswali mbalimbali kutolewa na washiriki wa kikao hicho. Kwa mujibu wa chanzo hicho kilisema kuwa Mkuu wa Wilaya alidai kuwa amebaini kwamba ndani ya kikao hicho wamegawanyika ambapo alidai awali alidai kuwa wapo pamoja. Lakini pia DC, huyo alionyesha masikitiko yake juu ya tukio hilo akidai kwamba hakufurahishwa na kitendo cha kuzomewa kwa kiongozi huyo wa dini, pamoja na kudai kuwa amepokea hoja kwa ujumla katika kikao hicho na kuahidi kuzikisha kwa Mkuu wa Mkoa, kwa kuwa yeye si msemaji wa mwisho. Mpashaji wetu habari alisema, mara baada ya DC, kuhitimisha utangulizi wake aliruhusu mjadala na maswali ambapo Sheikh Muro, kutoka Jumiya ya Answar, aliuliza sababu za kipengele cha Dini hakipo katika Sensa ilihali katika senza za nyuma kilikuwepo. Ikifahamika Waislamu wangapi na Wakristo wangapi na wasio na dini wangapi itazuia nini Serikali kufanya kazi zake. Jawabu la DC lilikuwa hakuna nafasi ya kuliingiza susla hilo kwa kuwa muda umeshakwisha. Kilisema chanzo hicho. Naye Ust. Suleiman Madina, alimweleza DC, huyo kwamba

AMIRAT wa Baraza Kuu la Wanawake mkoa wa Dar es Salaam Bi Fatma Mdidi (kulia) akiwa pamoja na viongozi wenzake Bi Halima Sumaye (katikati) muda mfupi baada ya kuwasilisha maoni yao katika tume ya Kuratibu Katiba mpya hivi karibuni.

Serikali isiwafanye Waislamu kama zimamoto, kwa kuwahitaji pindi wanapoona mambo yao yanakwama. Alisema, kama Serikali inaona kuna umuhimu wa kupata sapoti kutoka kwa Waislamu ni vyema wakawa wanawashirikisha katika masuala yao ya kijamii mapema na si kwa mpango huu. Ust. Madina, akizungumzia kuhusu madai ya Waislamu kupinga ama kuzuia sensa, ambapo katika kikao hicho, DC alikuwa na kopi yake na kuisoma kwa viongozi hao, alisema kipeperushi hicho hakizuii zoezi la Sensa. Akikifanua kipeperushi hicho, Ust. Madina, alisema kipeperushi hicho kimetoa msimamo wa Waislamu kwa serikali ili washiriki Sensa, kwanza tume huru ya Sensa, pili wawakilishi wa dini mbili kubwa na tatu kipengele cha Dini kirejeshwe. Lakini pia chanzo hicho Inaendelea Uk. 12

Waislamu wamejipanga kuyatolea maoni yetu ni pamoja na hili la Mahakama ya Kadhi kuwamo katika Katiba mpya. Mahakama ya Kadhi inayotambulika kisheria katika nchi, sio ambayo inaelea hewani isiyo na mashiko, tunataka Mahakama hiyo igharamikiwe na Serikali,
lakini sasa Bakwata imekubali Mahakama ambayo wanaitaka Maaskofu. Alisema Maalim Bassaleh. Alisema, hatua ya Mufti wa Bakwata kuteuwa Makadhi inatoa mwanya kwa Maaskofu na kuwachanganya Waislamu, wasiendelee kudai Mahakama ya Kadhi katika Katiba mpya.

huyo Kadhi anakuwa ni wa Bakwata na si wa Waislamu wa Tanzania. Sheikh Simba, uelewe huyo Kadhi uliye mteuwa ni Kadhi Mkuu wa Bakwata, sio wa Waislamu huo ndio ukweli na utaendelea kubaki hivyo hivyo. Alisema Maalim Bassaleh. Awali Maalim Bassaleh, aliweka wazi mchakato mzima ulivyoanza wa kumpata Kadhi atakaye kubalika na Waislamu wote kupitia Jumuiya na Taasisi zote hapa nchini, lakini akasema kuwa Bakwata imekengeuka na kuleta mgawanyiko miongoni mwa Waislamu. Akinukuu gazeti la Majira la Agosti 12, 2012, alisema Jumuiya ya Makanisa, imetoa tamko kuhusiana na suala la Mahakama ya Kadhi mara tu baada ya Bakwata kutangaza Makadhi wake. Alisema umoja huo wa Jumuiya za Kikristo, zimenukuliwa na gazeti hilo zikisema kwamba, kutokana na kuwa Serikali imeridhia Mahakama ya Kadhi iwe nje ya Katiba na tayari Kadhi Mkuu na baadhi ya Makadhi wa mikoa wamekwisha chagualiwa, hawaoni sababu kwa Tume ya Marekebisho ya Katiba kuendelea kuchukua maoni kwa suala ambalo limekwisha tolewa uamuzi, na dini inayohusika. Tume hivi sasa inakusanya maoni, miongoni mwa maoni hayo ni maoni ya Waislamu mimi na wewe na katika yale ambayo

Maalima Bassaleh, aliwataka Waislamu kutoacha kutoa maoni na kuzungumzia Mahakama ya Kadhi pindi watakapotembelewa na Tume, aliwataka kuhakikisha katika maoni yao jambo la kwanza liwe ni kuhusu Mahakama hiyo kutambulika kikatiba.

Gazeti hili hutolewa na Islamic Propagation Centre S.L.P. 55105 na kupigwa chapa na Business Printers Limited, S.L.P. 78495 Dar es Salaam.

You might also like