Professional Documents
Culture Documents
Solving
Solving
- Mjuzi wa Qur’an na Sunnah ni yule anayeendesha kila kipengele cha maisha yake ya binafsi na kijamii
kwa mujibu wa Qur’an na Sunnah.
- Watakapo fanana kimwenendo na kitabia wale wenye elimu na wasiokuwa na elimu, basi wenye elimu
watakuwa hawajaelimika ila wamesoma tu.
“……………Sema, Je! Wanaweza kuwa sawa wale wanaojua na wale wasiojua? Wanaotanabahi ni wale
wenye akili tu………”(39:9).
“Kwa hakika wanaomuogopa (wanaomuabudu) Mwenyezi Mungu ipasavyo miongoni mwa waja wake ni
wale wataalamu” (35:28).
2. Elimu iliyosomwa kwa murengo wa Qur’an na Sunnah ndio inayomuwezesha muumini kuwa Khalifa
(kiongozi) wa Allah (s.w) hapa ulimwenguni.
“Na kumbukeni aliposema Allah kuwaambia Malaika kwamba ataweka ardhini khalifa (kiongozi)” (2:30)
pia rejea (2:38).
3. Kutafuta elimu ni ibada maalum yenye hadhi kubwa kuliko ibada zote mbele ya Mwenyezi Mungu (s.w)
inayopelekea mja kufanya ibada vilivyo.
4. Mwenye elimu ndio ana nafasi bora ya kumtambua na kumuabudu Mola wake ipasavyo kwa kila
kipengele cha maisha yake.
Rejea Qur’an (35:28), (39:9) na (58:11).
- Nabii Musa (a.s) ni miongoni mwa Mitume waliosemeshwa na Allah (s.w) nyuma ya pazia.
Rejea Qur’an (28:30), (7:143) na (19:23-26).
- Mfano ndoto ya Nabii Ibrahim (a.s) juu ya kumchinja mwanae Nabii Ismail (a.s).
Rejea Qur’an (37:102), (12:4-5), (12:100) na (48:27).
- Ni kuweza kuyajua na kuyafuata maamrisho yote ya Allah (s.w) na kuepukana na makatazo yake pia.
ii. Amri ya kusoma aliyopewa Mtume (s.a.w) na umma wake haibagui elimu ya dini na dunia.
iii. Muasisi
wa (chanzo cha) elimu na fani zote ni Mwenyezi Mungu (s.w). Hakuna mwanaadamu aliyeasisi
elimu au fani yeyote ila ni mwendelezaji tu.
Rejea Qur’an (96:3-5).
iv. Pia
Qur’an inatufahamisha kuwa wanaomcha Allah (s.w) ipasavyo ni waumini wataalamu waliozama
katika fani mbali mbali za kumjua Allah (s.w), sio tu fani za kidini za Fiqh, Tawhiid, n.k.
Rejea Qur’an (35:27-28).
v. Katika
Qur’an Allah (s.w) anatufahamisha kuwa waumini wenye elimu ya fani mbali mbali ndio wenye
daraja kubwa zaidi mbele yake.
Rejea Qur’an (58:11), (49:13).
vi. Hakuna mgawanyo wa elimu unaooneshwa katika Hadith za Mtume (s.a.w) zinazoelezea fani za elimu.
2. Ni ile inayomuwezesha mja (muumini) kuwa Khalifa (kiongozi) wa Allah (s.w) hapa
Ulimwenguni.
- Elimu ya mazingira pekee inapelekea kutofanyika haki na uadilifu katika jamii na kukosekana mwongozo
sahihi wa maisha ya jamii.
- Elimu ya mwongozo pekee pia hupelekea udhaifu katika kuyamudu mazingira kutokana na kukosekana
fani mbali mbali za kimaendeleo.
Zoezi la 1.
1. (a) Elimu ni nini?
(b) Mtu aliyeelimika ni mtu wa aina gani?
(c) Unatoa maoni gani iwapo wanaojua watakuwa sawa na wasiojua kiutendaji?
2. (a) “….Sema, Je! Wanaweza kuwa sawa wale wanaojua na wale wasiojua?.....(39:9). Kwa nini wanaojua
hawawi sawa na wasiojua?
(b) Kwa kutumia ushahidi wa aya, onesha kuwa elimu ndio takrima ya kwanza aliyokirimiwa mwanaadamu na
Mola wake.
3. Kwa ushahidi wa aya za Qur’an, eleza kwa nini Uislamu umeipa elimu nafasi ya kwanza kabla ya jambo
lolote?
5. (a) Bainisha ni upi mgawanyo sahihi na usio sahihi juu ya elimu katika Uislamu.
(b) Tofautisha kati ya elimu ya mwongozo(faradh ‘Ain) na elimu ya mazingira (faradh kifaya).
6. ‘Mgawanyo wa Elimu Dunia na Akhera (dini) haukubaliki (haupo) katika Uislamu’. Eleza ni kwa nini kwa
kutoa sababu zisizopungua tano.
2. (Naye ni) Mtume aliyetoka kwa Allah anayewasomea kurasa zenye kutakaswa.
4. Wala hawakufarikiana wale waliopewa Kitabu ila baada ya kuwajia hoja hiyo
(waliokuwa wakiitaka).
5. Wala hawakuamrishwa ila kumuabudu Allah kwa kumtakasia dini na waache dini
za upotofu (upotevu), na wasimamishe Swala na watoe Zakat. Hiyo ndiyo dini iliyo
sawa (nao wameikataa).
6. Bila shaka wale waliokufuru miongoni mwa watu waliopewa Kitabu na washirikina
wataingia katika moto wa Jahannam; wakae humo milele; hao ni waovu wa viumbe.
8. Malipo yao kwa Mola wao ni pepo ya daima ambayo mbele yake inapita mito,
watakaa humo milele; Allah amewaridhia, nao wameridhika (na malipo). Hayo ni kwa
yule anayemuogopa Mola wake.
3. Na kwa mji huu wenye amani (wa Makka alipopelekewa Utume Nabii
Muhammad).
7. Basi lipi likupalo kukadhibisha (kukanusha) malipo baada (ya kuona hayo)?
4. Ni lazima iwepo siku ya hukumu ili waumini waliotenda wema walipwe wema wao
na waliotenda uovu walipwe uovu wao mbele ya Hakimu muadilifu (Allah (s.w)).
Suratun – Nash-rah (94): Imetereshwa Makka; Ina aya 8
Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye Kurehemu.
2. Mwenyezi Mungu (s.w) humuongoza mtu aelekeaye kwake kwa kutaka kuongoka.
4. Na bila shaka (kila) wakati ujao (utakuwa) ni bora kwako kuliko uliotangulia
11. Na neema ya Mola wako isimulie (kwa kushukuru na kwa kufanya amali njema)
17. Hali ya kuwa Akhera ni bora (zaidi kabisa) na yenye kubaki (kudumu)
18. Hakika haya (mnayoambiwa humo katika Qur’an) yamo katika vitabu
vilivyotangulia.
2. Kila kilichoumbwa kitakufa (kina mwisho wake isipokuwa vile apendavyo Allah)
3. Qur’an imehifadhiwa na Mwenyezi Mungu (s.w), hata hivyo juhudi kubwa
inatakiwa ifanywe katika kuijua na kuifundisha vilivyo kwa lengo lake.
6. Hatuna budi kuyapenda na kuyapupia zaidi maisha ya Akhera kwani ni bora kuliko
ya dunia na ni yenye kudumu.