You are on page 1of 2

MAKUBALIANO YA KUUZWA KWA MALI

Makubaliano haya yamefanyika tarehe ……….. ya mwezi………. Mwaka 20…...

Kati ya
Ndugu________________________________, wa kata ya________________ wilaya ya
________________, mkoa wa _____________________S.L.P_________ (Ambaye katika
Makubaliano haya anajulikana na kutambulika kama MKOPESHWAJI) kwa upande
mmoja.
Na
Ndugu_________________________________, wa kata ya________________wilaya ya
__________________, mkoa wa _________________S.L.P____________(Ambaye katika
makubaliano haya anajulikana na kutambulika kama “MKOPESHAJI”) Kwa upande
mwingine.

AMBAPO

Pande zote mbili zime ridhiana kwa masharti ya makubaliano haya;

KWA KUWA:

MKOPESHAJI alimpatia huduma ya mkopo MKOPESHWAJI kiasi cha mkopo wa jumla ya


fedha taslimu shilling laki mbili na hamsini (______________) za kitanzania.

MKOPESHWAJI alipokea kiasi cha fedha taslimu shilingi laki mbili na hamsini
(___________) za kitanzania kutoka kwa mkopeshaji.

umefanyika leo hii tarehe …………… mwezi…………mwaka……….. kati ya


MKOPESHAJI na MKOPESHWAJI. Na kutiwa shahihi na pande zote mbili kwa
maridhio ya makubaliano ya kutaifishwa kwa mali hiyo.

JINA: (MKOPESHAJI)…………………… JINA (MKOPESHWAJI)……………………..

NAMBA YA SIMU: ……………………….. NAMBA YA SIMU:…………………………

SAHIHI:………………… SAHIHI: ………………………

TAREHE: ……………… TAREHE: ……………………..

MAKUBALIANO HAYO PIA YAMESHUHUDIWA NA :

MDHAMINI WA MKOPESWAJI
JINA: ……………………………………….
NAMBA YA SIMU: ………………………..

SAHIHI:………………….

TAREHE: ………………..

Umetiwa sahihi na Wakili


JINA: ……………………………………..

NAMBA YA SIMU: ………………………

SAHIHI: ……………….

CHEO: ………………

You might also like