Professional Documents
Culture Documents
Kati ya
Ndugu________________________________, wa kata ya________________ wilaya ya
________________, mkoa wa _____________________S.L.P_________ (Ambaye katika
Makubaliano haya anajulikana na kutambulika kama MKOPESHWAJI) kwa upande
mmoja.
Na
Ndugu_________________________________, wa kata ya________________wilaya ya
__________________, mkoa wa _________________S.L.P____________(Ambaye katika
makubaliano haya anajulikana na kutambulika kama “MKOPESHAJI”) Kwa upande
mwingine.
AMBAPO
KWA KUWA:
MKOPESHWAJI alipokea kiasi cha fedha taslimu shilingi laki mbili na hamsini
(___________) za kitanzania kutoka kwa mkopeshaji.
MDHAMINI WA MKOPESWAJI
JINA: ……………………………………….
NAMBA YA SIMU: ………………………..
SAHIHI:………………….
TAREHE: ………………..
SAHIHI: ……………….
CHEO: ………………