Professional Documents
Culture Documents
المستند2023
المستند2023
(Zawadi Kwetu)
Vitabu
عقد الزواج
a) Idhini ya Walii.
Imepokewa kutoka kwa Ka’ab bin Zaid kuwa Mtume (Swalla Allaahu
'alayhi wa sallam) alioa mwanamke wa kabila la Banii Ghafaar,
alipokwenda kwake na baada ya kuweka nguo zake na kukaa katika
kitanda na kuona baina ya kitovu na mbavu weupe ambao ulimuondoa
na kukaa mbali nae na kuondoka kitandani, kisha akamwambia:
“Chukua nguo zako.” na hakuchukua alichompa (katika mahari.)” (Ahmad)
03- Mahari
املهر
Ndoa katika Uislam haiwi ila kwa Mahari, kwa dalili ya neno Lake
Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) :
(Al-Bukhaariy na Muslim)
املعّج ل واملؤّج ل
05-Chombo
اجلهاز
06-Kumuusia Mke
'Abdullaah bin Ja'far bin Abi Twaalib amemuusia binti yake kwa
kumuambia, ‘Ole wako na wivu, nao ni ufunguo wa Talaka. Na ole wako na
malalamiko mengi, nayo hupelekea katika bughudha. Na jitie wanja kwani
huko ndiko kujipamba kuzuri zaidi. Na kizuri katika vizuri zaidi ni Maji.’
08-Zawadi Kwa Wanandoa:
Wasia wa Baba kwa Mkwe Wake
'Aliy bin Abi Tawalib (Radhiya Allaahu 'anhu) alipo posa kwa Mtume
(Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) kumposa mtoto wake Fatma, alisema
Mtume juu yake sala na salamu:
Na 'Uthmaan bin Anbasa bin Abi Sufyaan akaposa kwa 'Ami yake 'Utbah
kutaka kumuoa binti yake, akamkalisha ubavuni mwake na akaanza
kupangusa kichwa chake, kisha akamwambia, ‘Mtu wa karibu zaidi
(ndugu) amemposa ninayempenda zaidi, siwezi kumrudisha, na sina sababu
ya hilo. Nimekuozesha nawe ni azizi kwangu zaidi kuliko binti yangu, naye
moyo wake umegandana nami zaidi kuliko wako, hivyo mkirimu na ulimi
wangu utaona tamu kukutaja, wala usimshushie hadhi yake ikapungua hadhi
yako kwangu, na nimekuweka karibu pamoja na ukaribu wa udugu tulionao,
hivyo basi usiupeleke moyo wangu mbali na moyo wako.’
09-Zawadi Kwa Wanandoa:
Wasia wa Mume kwa Mkewe
Amru bin Hujri aliposa kwa Malik kan-da, kumposa Ummu Iyaas binti Auf
bin Muhalim Asshaybaniy, na ilipofika siku ya sherehe ya ndoa yake Mama
yake Umama bint al-Harith alichepuka nae pembeni na kumuusia,
"Ee, Binti yangu: hakika usia ukiachwa kwa fadhila ya adabu (yaani
isingekuwa na haja ya kuwausia wenye adabu nzuri) ningeliacha kwako,
lakini usia mwanangu ni ukumbusho kwa msahaulifu, na msaada kwa
mwenye akili. Na lau kwamba mwanamke asingemuhitajia mume basi
wazazi kadhalika wasingehitajika. Ni muhimu sana haja zao kuwa pamoja,
basi mimi ningekuwa ni mtu nisiyemhitajia baba yako, lakini mwanangu
wanawake kwa wanaume wameumbiwa, na wao wameumbwa kwa ajili ya
wanaume.
Imepokewa kutoka kwa Anas bin Maalik amesema: “Alipita Mtume (Swalla
Allaahu 'alayhi wa sallam) mwanzoni mwa kuhamia kwake Madiynah
akiwa na harusi pamoja na wanawake, na mmoja wao alikuwa akisema:
منكرات األفراح
الوليمة
Siku hii ndio siku ya mwanzo ya ndoa, ni siku ambayo yenye athari kubwa
katika maisha ya Mwanamme Bwana harusi na Mwanamke Bibi harusi kwa
matokeo yoyote ya matendo ya siku hii.
Ni vizuri na muhimu sana kwa siku hii ya leo kwa mume kumfanyia upole
mkewe na kuzungumza nae na kumzoea na kumuondoa khofu, na vizuri
washauriwe wanandoa hawa wapya kuwa na utulivu na wasiwe na pupa
yoyote ya jambo, maisha ni marefu na yana wasaa na siku zinakuja hakuna
haja ya haraka.
Katika siku hii muhimu sana kwa wanandoa hawa ni vizuri kuchunga miiko
ifuatayo:
15-Zawadi Kwa Wanandoa:
Kumfanyia Upole na Kumlainisha
Mkeo
Mume anapoingia kwa mke wake katika siku hii muhimu katika m'Aaishah
ya ndoa mara nyingi hisia za khofu na wasiwasi za mwanamke zinakuwa
juu, hivyo basi ni juu ya mwanamme kukaa nae kwa upole na
kumbembeleza hadi nae ajihisi anaanza kuzoea hali hiyo na kup unguza
khofu na wasiwasi aliokuwa nao juu yako. He's like, ugomvi, matusi au
kupiga si mahali pake kabisa, na sio lazima kumuingilia kumuingilia usiku
ule ule, unaweza kusubiri hadi asubuhi au hata siku ya pili, mara nyingi
mwenye pupa huwa anakosea na matokeo yake yanakuwa ni mabaya (na
yenye kudu mu katika m' Aaishah mazima ya ndoa yenu).
Na si neno kwa mke kumkatalia kidogo mumewe kwani katika hilo mtu
husisimkwa, na hujitayarisha, na kunapelekea kumjali zaidi na kumtaka. Na
kunanasihiwa kwa wanandoa kuwa ni vizuri wakavua nguo zao zote kama
vile mshairi anavyosema:
فإّن اهلل جا, وليأمرها أن تصلّي خلفه, إذا تزّو ج أحدكم فكانت ليلة البناء فليصّل ركعتني
عل يف البيت خريا
اللهم: إذا دخلت املرأة على زوجها يقوم الّر جل فتقوم من خلفه فيصّليان ركعتني ويقول
اللهم امجع بيننا ما, وارزقين منهم, اللهم ارزقهم مين, بارك يل يف أهلي وبارك ألهلي ّيف
وفّر ق بيننا إذا فّر قت إىل خري, مجعت يف خري
18-Malipo ya Kuingiliana
ثواب اجلماع
19-Adabu Za Kuingiliana
أدب اجلماع
Imepokewa vile vile kutoka kwa Anas bin Maalik (Radhiya Allaahu
'anhu) kuwa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) amesema:
فإذا قضى حاجته قبل أن تقضي حاجتها فال يعجلها, إذا جامع أحدكم أهله فليصدقها
حىت تقضي حاجته
“Atakapomuingilia mmoja wenu mkewe na amsadikishe (yaani wote wafikie
kilele cha ladha ya kitendo cha ndoa), atakapomaliza haja yake kabla ya mke
wake kumaliza ya kwake basi asifanye haraka hadi mke wake nae amalize haja
yake.” (Abu Ya'ala)
إن شاء جمّبية و إن شاء غري جمّبية غري أّن ذلك يف صمام واحد
“…na ukipenda ufanye staili ya kama anasujudu na ukipenda sivyo
hivyo yote ni sawa sawa...” (Muslim: Hadithi 1435)
“(Waingilieni wake zenu kwa mtindo wa) Kwa mbele au (kwa mtindo
wa) kwa nyuma lakini epukeni dubur (utupu wa nyuma) na
(kuwaingilia wakati wako) kwenye hedhi.”(At-Tirmidhiy)
23-Zawadi Kwa Wanandoa:
Kuoga Katika Chombo Kimoja
24-Kuondosha Bikira
25-Kumchezea Mke
مالعبة الّر جل امرأته و تأديب: هلو ولعب إّال أن يكون أربعة, كّل شيئ ليس من ذكر اهلل
الّر جل فرسه ومشي الّر جل بني الغرضني وتعليم الّر جل الّس باح
“Kila kitu katika lahau na mchezo si katika dhikri ya Allah ila iwe ni
kimoja katika hivi vinne: 1) Mwanamme kumchezea mke wake. 2) Mtu
kumfundisha farasi wake. 3) Na mtu kutembea katika kamba mbili za
juu au milingoti miwili. 4) Na mtu kujifunza kuogelea.” (At-Tirmidhiy)
الّنكاح عبادة
دغدغة البظر
“Hifadhi uchi wako ila kwa mke wako au kwa wale unaowamiliki
mkono wako wa kuume.”
التجّر د من املالب
Hivyo basi ni juu ya waume kujifunza kutoka kwa kiongozi wetu pindi
wanapocheza na wake zao, kwani katika haya ni raha tupu kwa yule
atakaemudu kuifanya vizuri fani hii aliyotufundisha Mtume (Swalla
Allaahu 'alayhi wa sallam). Na katika dekezo la namna hii ni kuonesha
mapenzi ya kweli na inapelekea katika ladha na kusisimsha shauku na
kuwafurahisha wote pamoja.
35-Zawadi Kwa Wanandoa:
Adabu Za Maisha Ya Ndoa
ومن آياته أن خلق لكم من أنفسكم أزواجا لتسكنوا إليها وجعل بينكم مودة ورمحة إن يف
ذلك آليات لقوم يتفكرون
“Na katika ishara Zake (za Kuonyesha ihsan juu yenu) ni kuwa
Amekuumbieni wake zenu katika jinsi yenu ili mupate utulivu kwao,
Naye Amejaalia mapenzi na huruma baina yenu. Bila shaka katika haya
zimo ishara kwa watu wanaofikiri.” (Ar-Ruwm: 21)
36-Tabia Njema
حسن اخللق
وعاشروهن باملعروف
“Mbora wenu ni yule aliye mbora kwa mke wake, na mimi ni mbora
kwa watu wangu wa nyumbani (ahli).”
وإن, فإن ذهبت تقيمه كسرته, إّن املرأة خلقت من ضلع وإّن أعوج شيئ يف الّض لع أعاله
فاستوصوا بالنساء, تركته مل يزل أعوج
واستحللتم فروجهّن بكلمة, أخذمتوهّن بأمانة اهلل, اهلل اهلل يف النساء فإهّن ن عوان يف أيديكم
اهلل
وعاشروهن باملعروف فإن كرهتموهن فعسى أن تكرهوا شيئا وجيعل اهلل فيه خريا كثريا
“ …na kaeni nao kwa wema; na kama mkiwachukia basi (msiwaache)
kwani huenda mkakichukia kitu, na Mwenyezi Mungu Ametia kheri
nyingi kwake.” (An-Nisaa: 19)
ال يفرك مؤمن مؤمنة إن كره منها خلقا رضي منها آخر
“Habughudhiki muumini mwanamme kwa tabia ya mke wake
akichukizwa na moja ( ya tabia) atapenda nyingine.” (Muslim na
Ahmad)
وال هتجر, وال تضرب الوجه وال تقّبح, وتكسوها إذا اكتسيت, أن تطعمها إذا طعمت
إّال يف البيت
“Kumlisha unapokula, na kumvisha unapovaa, wala usimpige usoni na
kumharibu na usimtusi (kwa matendo yake na maneno yake) wala
usimhame kwenda nyumba nyingine (umhame kitanda tu).”
ارفق بالقوارير
“Wafanyieni wema vyombo vyenu (qawariira).” (Al-Bukhaariy)
االعتدال يف الغري
إّن من الغرية غرية يبغضها اهلل عّز وجّل وهي من غرية الّر جل على أهله من غري ريبة
وغيرة هللا تعالى أن يأتي الّرجل ما حّرم عليه, والمؤمن يغار, إّن هللا يغار
“Hakika Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Huona wivu na muumini huona wivu
na Wivu wa Allaah (Subhaanahu wa Ta'ala) Unakuwa pindi mtu anapofanya
alichoharamishiwa.” (Al-Bukhaariy na Muslim)
Leo hii watu ambao hudhani kuwa wamestaarabika huchukuwa wake zao
wakiwa wamekamilika kwa mapambo yao huenda na kukesha na marafiki zake
katika sehemu za starehe na wakati mwingine humtoa kwa aliyemuomba acheze
na mke wake na hana wasiwasi kabisa, Je, huku si kufa kwa nafsi za wivu kwa
watu hawa?!
Ibn al-Qayyim amesema: Asili ya Dini ni wivu, na asiyekuwa na wivu hana dini,
na wivu unalinda moyo na huo moyo unalinda kiwiliwili, hivyo basi huuzuia
moyo kufanya uovu na uchafu. Na kukosekana kwa wivu hufisha moyo hivyo
basi na kiwiliwili kizima hufa, hivyo anakosa kinga ya kujizuia na maovu na
machafu.
Mfano wa wivu ni kama ile nguvu inayozuia maradhi na kuukinga mwili, hivyo
kinga hiyo ikiondoka ugonjwa huingia sehemu ile ya mwili na hukosa cha
kuizuia na kuilinda, hivyo ugonjwa hukaa, na hapo ndipo penye maangamizi
yenyewe.
39-Zawadi Kwa Wanandoa:
Uwastani Wa Kutoa Katika
Matumizi
االعتدال يف النفق
ودينار, ودينار تصّد قت به على مسكني, ودينار أنفقته يف رقبة, دينار أنفقته يف سبيل اهلل
أعظمها أجرا الذي أنفقته على أهلك, أنفقته على أهلك
التّزّين للمرأة
كان صلى اهلل عليه وسلم يكون يف مهنة أهله فإذا حضرت: قالت عائشة رضي اهلل عنها
الّص الة خرج إىل الّص الة.
“Alikuwa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) akiwasaidia
katika kazi za nyumbani na inapowadia muda wa Swalah alikuwa
akitoka kwenda kuswali.”
I don't know what's going on, what's up with what I'm doing, what's
up, what's up, what's up, what's up, what's wrong with me, how much
hafahamu hukumu's za twahara na Swalah na hedhi…
Yes, the women of the Ansar did not prevent their modesty
from learning about religion
The Prophet, may God bless him and grant him peace, did
not go to his family at night. He would enter in the
morning or evening
“Kuwa Mtume (Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) Alikuwa hagongi
kwa mkewe usiku, Alikuwa akiingia asubuhi sana au ishaa.” (Al-
Bukhaariy na Ahmad)
Here is the story of the story of 'Abdullaah bin Rawaaha' of the story of
the day, the story of the story, the story of the safari akachelewa, none
of the nyumbani kwake pana waka taa, none of the people wake up to
the kitu pamoja nae, akaamua kuchukua upanga, akasema mkewe:
koma usinisogelee, ni mwanamke Fulani anani suka, akajiwa Mtume
(Swalla Allaahu 'alayhi wa sallam) katika hilo na akakataza wanaume
kuwagongea milango wake zao usiku. (Ahmad)
45-Zawadi Kwa Wanandoa: Baina
Ya Wakwe Na Mke Wa Mtoto
Wao
“ …na Mola wako Amehukumu kuwa msimuabudu yoyote ila Yeye tu.
Na (Ameagiza) kuwafanyia wema (mkubwa) wazazi”. (Al-Israa: 23)