You are on page 1of 18

JAMII [SOCIETY]

NA
MWALIMU FAGIL
+256780947386
Jamii ni uwepo wa pamoja wa binadamu

Mahali muhimu katika jamii


• Msikiti na Kanisa ( a mosque and a church)
• Huelimisha jamii kuwa umoja
• Huondoa mazambi jamiini
• Mahakama( a court)
• Hospitali (hospital)
• Shule ( school)
• Kituo cha polisi (police station)
UMUHIMU WA SEHEMU MUHIMU KATIKA JAMII

Umuhimu
Sehemu
1. Kituo cha polisi 1. Husaidia kulinda usalama
2. Shule 2. Husaidia kudumisha elimu
3. Mahakama/ korti 3. Husaidia kusuluhisha kesi
4. Soko 4. Husaidia katika kuuza bidhaa
5. Maabadani [msikiti na kanisa] 5. Husaidia katika kuomba Mungu
6. Duka la nguo 6. Husaidia katika kuuza bidhaa
7. Huduma ya pesa/ Benki 7. Husaidia kuhifadhi na kukopesha pesa
8. Hospitali 8. Husaidia kutibu wagonjwa
9. Kituo cha magari 9. Husaidia kuegesha magari
10. Choo 10. Husaidia kudumisha usafi
SHUGHULI ZINAZOFANYIKA KATIKA MAHALI MUHIMU

Sehemu Shughul i
1. Hospitali 1. Kutibu
2. Soko na duka 2. Kuuza na kununua
3. Maabadini [msikiti na kanisa] 3. Kuomba
4. Mahakama / korti 4. Kutatua kesi
5. Choo 5. Kujisaidia [kunya na kukojoa]
6. Benki 6. Kukopa pesa
7. Shule 7. Kusoma
8. Kituo cha polisi 8. Kufunga waharifu
Picha za sehemu muhimu katika jamii

Msikiti Kanisa
Shule Chuo kikuu
DIRA NA SEHEMU ZAKE

Dira ni chombo cha kuwaelekeza wsafiri katika pande za dunia


1. Kaskazini
2. Kaskazini kaskazini Mashariki
3. Kaskazini mashariki
4. Mashariki kaskazini mashariki
5. Mashariki
6. Mashariki kusini mashariki
7. Kusini mashariki
8. Kusini kusini mashariki
9. Kusini
10. Kusini kusini magharibi
11. Kusini magharibi
12. Magharibi kusini magharibi
13. Magharibi
14. Magharibi kaskazini magharibi
15. Kaskazini magharibi
16. Kaskazini kaskazini magharibi
PICHA ZA DIRA
Matumizi ya vitenzi mbalimbali katika sentensi

• Ku nywa [to drink] -Lima--------kulima


• Ku la [ to eat] -la---------kula
• Soma [read] -nywa-----kunywa
• Andika [write] -ja----------kuja
• Ongea [speak] -fa---------- kufa
• Fundisha [taech]
• Bariki [bless] [Ku = to when fixed to a verb not in
in the sentence]
• Nunua [buy]
• Jenga [build]
When “ku” is fixed to a verb in the
• Tembea [walk]
sentence it means You
• Lala [sleep]
e.g “Ninakupenda”
• Kaa [seat]
• Kimbia [run]
Angalia picha zifuatazo na sentensi

Mtoto anakula chakula Mwalimu anfundisha kiswahili


NGELI YA U-I/ M-MI [SINGULAR AND PLURAL]

Maneno [nomino] katika Ngeli hii huanza kwa M- au Mw- katika umoja na
Mi katika wingi
Mifano:
Umoja Wingi
Mti [tree] Miti
Mkeka [mat] Mikeka
Msikiti [mosque] Misikiti
Mpira [ball] Mipira
Mwavuli [umbrella] Miavuli
Mlima [moutain] Milima
Mshipi [belt] Mishipi

Mji [town] Miji


Angalia picha zifuatazo [look at the following pictures]
Matumizi ya nomino ya ngeli ya U-I katika sentensi

Umoja
 Mji wangu unasafishwa  Miji yeti inasafishwa
 Msikiti huu ni mkubwa  Misikiti hii ni mikubwa
 Mkoba wake ni mpya  Mikoba yao ni mipya
 Mkeka wa mama ni mzuri  Mikeka ya mama ni mizuri
 Mkia wa ngo’mbe ni mtamu  Mikia ya ngo’mbe ni mitamu
 Mpira wangu ni mgumu  Mipira yetu ni migumu
 Mkuki huu ni mkali  Mikuki hii ni mikali
Matumizi ya nomino, vimilikishi, na viwakilishi katika ktunga sentensi

Umoja Wingi

Nomino Vimilikishi Viwakilishi Nomino Vimilikishi Viwakilishi

Mkono Wangu [my] unauma Mikono yetu [our] inauma

Mwembe utavunjika Miembe itavunjika

Mpira wako [your] ulipasuka Mipira yenu [yours] ilipasuka

Mkia unatingika Mikia inatingika

Mkebe wake [his/her] umepotea Mikebe yao [ theirs] imepotea

Mmea ulikauka Mimea ilikauka


Sentensi katika upatanisho wa kisarufi wa ngeli ya U-I

Nomino vionyeshi kuwa vivumishi Nomino vionyeshi kuwa vivumishi


Mshipi huu [this] mrefu Mishipi hii [these] mrefu
[very close] ni ni
Mkeka mzuri Mikeka mzuri
Mlima huo [that] mdogo Milima hiyo mdogo
Mwezi [far] mfupi Miezi [those] mfupi
si si
Mchoro ule [that] mkubwa Michoro mkubwa
Mlango [very far] mdogo Milango ile [those] Mdogo
UANDISHI WA INSHA

• Insha ni maandishi yanayoeleza habari juu ya kitu, mtu au


jambo fulani.
Utaratibu wa kuandika insha
• Kichwa
• Utangulizi
• Mwili
• Mwisho

You might also like