You are on page 1of 5

ENTRANCE SONGS

NALIFURAHI SANA

[(Nalifurahi sana waliponiambia na twende x2) (Nyumbani mwa Bwana twende, nyumbani mwa Bwana twende)x2]

1. Nitamshukuru kwa moyo wangu wote (nitakushukuru) Mbele ya miungu kukuimbia saburi (nitakushukuru).

2. Na fadhili zakO mimi nitatangaza (nitakushukuru) Kwa vigelegele pia nyimbo za shangwe (nitakushukuru).

3. Mataifa yote yatakusifu wewe (nitakushukuru) Kwa matendo yako yasiyo na kifani (nitakushukuru)

AKRISTU UKAI INYUOTHE

1. Akristu ukai inyuûothe tuingire nyumba ini ya Ngai -


(aai tuingire nyumba ini ya Ngai )
Turute igongona ,igongona riri itheru -
Ria kuhoya uheri ,uheri kwi Ngai witu -

Haiya (ii) na gikeno (ii) na ngemi na mbugiririo


Tuingire nyumba ini ya Ngai tukiruhagia
Haiya (ii) na gikeno (ii) na ngemi na mbugiririo
Tuingire nyumba ini ya Ngai tukigocaga

2. Tuthii tuthikiririe ,kiugo giake kiugo githeru-


Twigatire irathimo,irathimo kutuma kwi Ngai -
Ningi twikiro hinya ,hinya wa gutoria rugendo -

3. Nyumba ini ino ya Ngai kuiyurite uhonokio wake -


Nyumba ini ino ya Ngai kuiyurite othayu wake -
Nyumba ini ino ya Ngai kuiyurite mawega make-

4. Ukai tumugoce na nyimbo hamwe na thaburi-


Ukai tumukumie na twambararie ritwa riake-
Ngai niakenaga Hindi iria ithui turamugooca-

AMECEA MASS

INASONGA MBELE INJILI


Inasonga mbele injili, inasonga, inasonga mbele
injili, inasonga mbele x2
1. Injili yenye amani , Injili yenye upendo
2. Kwa wamama inasonga, Kwa wazee
inasonga
3. Kwa vijana inasonga, Kwetu sote inasonga
4. Injili inabariki, Injili inadumisha
5. Injili yenye wokovu, Injili yenye ushindi

NI HINDI NJEGA

1. Ni Hindi njega ya guthikiriria


Mugambo wa Ngai tuuige Ngoro ini
Ni ciugo njega cia kuguna mioyo
Nituthikiririe mwathani atwaririe

Ni Hindi njega ya guthikiriria


Tuigue mwathani agitwariria
Mugambo uyu niutuhotithagia
Tuikare uria Ngai endete
2. Mugambo uyu wariîrie saulu
Agitiga kunyarira akristuano
Agituika mukristu mwikindiru
Agiteithereria kuhunjia uhoro uyu

3. Mugambo uyu wariîrie zakayo


Nuthi ya Indo ciake akigaira athîîni
Agicokia Indo ciothe iria aiyite
Mugambo uyu niguo Ciugo cia uhonokia

4. Niguo wariirie Maria Magdalena


Agicenjia mithiire iria yari miûru
Akioherwo mehia maria mothe ehîîtie
Agittûika mûrumiriri wa mwathani

WITIKIA

Offertory songs
HERI ZAIDI KUTOA

Ni heri zaidi kutoa,(ni heri zaidi kutoa kuliko


kupokea) x2 (Ni heri ni heri zaidi kutoa)x4…
kuliko kupokea.

1)Tunapaswa wote kuwasaidia walio


dhaifu,tukikumbuka maneno ya bwana yesu
mwenyewe,..
(All)heri zaidi kutoa kuliko kupokea

2)Vitu vyote kweli tumepewa bure,tuvitoe bure


hatuna budi kuvirudisha vitu vyote kwake....
(All) heri zaidi kutoa kuliko kupoKea

3) Hata Kama ndungu unacho kidogo usisite


nenda,vitu vyote ulivyo navyo mungu ndiye
kakupa....
(All) heri zaidi kutoa kuliko kupokea.

Nitwarahukei

1. Mugate na njohi nituragutegera -Ngai mamukire na umarathime


Thithino ya moko maitu turagutegera - Ngai...

Nitwarahukei tutware matega maitu


Tutegere Ngai turî na winyihia (turutire Ngai twina ngoro theru Ngai mamukire na umarathime)×2

2 . Irio iria turimaga twarehe kuri wee -


Twinyihetie hari we muthamaki mwega -

3. Ni thithino ya mawira ma moko maitu -


Nitwagiuka hari we muthamaki wa ma -

OFFERTORY PROCESSION

BABA TUNALETA VIPAJI


1. Baba tunaleta vipaji twakuomba sana
pokea – baba tunaleta twakuomba sana
pokea. Twaja kushukuru kwa yote
unatujalia wanao – baba tunaleta
twakuomba sana pokea
Sop: Baba tunasema – asante asante
Alto: Kutupa uzima – asante asante
Tnr: Kwa kutukomboa – asante asante
Bass: Kutuweka huru – asante asante
2. Mkate na divai twaleta twakuomba
sana pokea……Ndio kazi yetu wanao
twakuomba sana pokea……
3. Mazao ya shamba twaleta twakuomba
sana pokea…….Hata ni kidogo twaleta
twakuomba sana pokea

YAMBA
Yamba yamba yamba mampa na beto Yahweh
yamba yamba yahweh x2
1. Yamba yamba yamba vinu nabeto, Yahweh
yamba yamba Yahwehx2
2. Yamba yamba yamba kiese nabeto, Yahweh
yamba yamba Yahwehx2
3. Yamba yamba yamba mpasi nabeto, Yahweh
yamba yamba Yahwehx2
4. Yamba yamba yamba bongo nabeto, Yahweh
yamba yamba Yahwehx2
5. Yamba yamba yamba bana nabeta, Yahweh

MTAKATIFU (SUBUKIA)
Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Mungu wa
majeshi
Mbingu na dunia zimejaa, zimejaa utukufu wako.
Hosanna hosanna hosanna hosanna juu mbinguni
Mbarikiwa anayekuja anayekuja kwa Jina la
Bwana

Fumbo la Imani

Ino ni hitho ya witikia witu


KRISTU ni AKUIRE na niariukire
(KRISTU) niagooka niagooka rîngi
(KRISTU niagooka ringi)×2

AMANI
Amani yake bwa mungu
Isambae kwetu sote
isambae moyoni isambae ii

Upendo wake bwana mungu


usambae kwetu sote

Furaha yake bwana mungu


usambae kwetu sote
Isambae...

Faraja zake mungu


zisambae kwetu sote
Zisambae ....

MWANAKONDOO
O LAMB OF GOD
 O lamb of God
You take away the sins of the world
Have mercy have mercy x2
Have mercy, on us x2
 O Lamb of God
you take away the sins of the world
Oh grant us - oh grant us x2
Oh grant us, grant us peace.

KUMUNYO
WITUME RIGU

NAKUKARIBISHA YESU WANGU


(Nakukaribisha Yesu wangu,ukae moyoni mwangu
(Bwana)Nakukaribisha yesu wangu chakula
chenye uxima)×2.(Nishibishe
(Unishibishe) kwa chakula cha
uzima .Uninyweshe (ninyweshe) kinywaji safi cha
roho)×2
1. Mwili wako ni chakula kinachoiburudisha roho
yangu,yesu karibu moyoni mwangu ukae nami
daima.
2. Damu yako ni kinywaji kinachoiburudisha roho
yangu,yesu karibu
3. Kwa mwili na damu yako ee yesu tunapata uzima telee...

THANKSGIVING
.TARORA IRATHIMO
Tarora irathimo wone ee ...(wone wone)
Uria Ngai ekite .....(wone)....(wone)
Ngai Ari hamwe na andu ake

1. Kûma twaigua mugambo wa mwathani...(Ngai Ari hamwe na andu ake


Waingira ngoro înî riu no gwathika -
Irathimo nacio ikiura ta mbura -

2. Miciî itû Ngai niarathimite-


Wendo na gikeno itûraga na ithui -
Ciana cîîtu nacio niciathikaga-

3.Mawira ma moko niarathimite- -


Makumbi maitu nokuiyuririra -
Tuhunite ngoro na miri itu -

KURIA UNDUTITE
1. Haria thu iikagio ma tiho iguaga. -ni thengiu mwathani ni thengiu
Mwathani ni undutite rukungu înî -Ni thengiu
Ugekira kanua gakwa rwimbo rweru -

(Ngoro yakwa iyuire gikeno


Ni kuona uria we Ngai unyendete
Niukunyaniirie irathimo ciakwa
Nikio nguina rwimbo ruru rwa ngaatho)×2

2. Riria ndoritwo ni hinya niwokire -


Ukinyumiriria ukinjoya na iguru -
Maithori makwa ukimatûa gikeno -

3. Kuria undutite ni kuraya muno -


Maria unjikiire ni manene Ngai -
Ndiri undu igiuga nogucokeirie ngaatho -

EXIT
HUYU NI NANI
1.Huyu ni nani anayeita mitume?
Huyu ni nani anayetuma wajumbe?
Anawapa uwezo wa kuhubiri
Awatuma kuhubiri injili

(Huyu nani?)
Huyu ni yesu mnasareti mwana (wa maria)
Huyu ni yesu mwenye uwezo bwana (wa
galilaya) x2

2. Huyu ni nani anayeponya wagonjwa


Huyu ni nani anayeponya viwete
Anafanya vipofu waone tena
Anatoa mapepo kwa nguvu zako.

3. Huyu ni nani anayewafunza watu?


Huyu ni nani anayetoa mafunzo?
Anafunza akitumia mafumbo,
Awafanya kuwa wafuasi wake

4.Huyu ni nani anayewalisha watu?


Huyu ni nani anayewanywesha watu?
Anawapa chakula toka mbinguni,
Anawapa kinywaji chenye uzima

5.Huyu ni nani anayetenda maajabu?


Huyu ni nani anayefanya vituko?
Anafanya maji kuwa migumu,
Anafanya bahari kuu-tulia

6.Huyu ni nani anayedungwa mikuki?


Huyu ni nani anayechomwa na miiba?
Hana dhambi na wanamtema mate,
Analia kwa uchungu jamani

Ni UHORO MWEGA ATIA


Ni uhoro mwega atia ....(ona)
Ona wi gikeno ii
Andu a nyumba imwe
Guikara maigua înî

1. Wiîguano ta ucio uhana


Ta maguta ma goro
Maria ma kwamurana
Maiitiririo mutwe wa harûnî makanyûrûka
Nderu înî nginya nguo înî

2. Nota irîma ria herimoni


Riria riguagira irîma cia zayuni
Kou nikuo Jehova eraniire
Kirathimo na nikio
Muoyo wa tene na tene

3 . Ithuothe tukurio tuiguane


Na tuikare wega ta Ciana cia ithe umwe
Tuhurane na maundu mothe
Maria magirehe rumena na njatukano.

You might also like