Professional Documents
Culture Documents
Daktari Wangu Edit..
Daktari Wangu Edit..
Phase 1
2. Kurasa ya Daktari :
Daktari atakapopata Notification ya kumuona mgojwa, Baada ya kuingia
katika kurasa yake atakuwa na uwezo wa Ku-accept au Ku-reject
Notication ya Kumuona mgonjwa kulingana na Muda alionao
In case acceptance: Daktari ata-confirm malipo kufanywa na mgonjwa kwa
ajili ya huduma yake. Malipo atakayolipa mgonjwa yatakuwa withheld na
Admin mpaka Daktari atakapofika katika mazingira ya mgonjwa na mgonjw
ku-confirm uwepo wa daktari wake.
Katika kurasa ya Daktari, Daktari atakuwa na uwezo wa Kutunza
Summary/Hx ndogo ya mgonjwa, Ku-access Nursing service kulingana na
eneo na Price tag ( Nurse Price Tag). Kama kuna Tafiti ataweza kumshauri
mgonjwa wake kuhuduria maabara au vitengo vya radiologia (diagnostic
centres kwaajili ya izo tafiti za ugonjwa) na baada ya tafiti hixo pia
kumshauri manunuzi ya dawa kwenye pharmacies zilizo karibu na
mazingira yake.
Uwezo wa Kurasa ya Daktari:
Edit Profile yake, Edit Price tag yake, Edit Location anayoweza kuhudumia,
Edit availability kulingana na shughuli zake.
Daktari wangu
“Niite nikuhudumie”
Phase 2
PHARMACIA
Kwa upande wa kurasa hii itahusisha Maduka ya dawa yenye mobile services
ambayo yatakuwa na uwezo wa kuleta dawa kwa mgonjwa husika katika
location aliopo mgonjwa.
Pharmacy hizi zitakuwa na uwezo wa kupokea notifications kutoka kwa
daktari juu ya uwepo wa uhitaji wa dawa kwa mgonjwa zikiambatanishwa
dawa zinazohitajika, approval ya uwepo wa daw hizo katika duka hilo
zitafnyw pamoja na price tag ya dawa kutumwa na Kwasababu Duka hizo
zitaonekana katika orodha kwenye Kurasa ya Mgonjwa pia, mgonjwa
ataweza kulipia dawa Hizo kwenye mfumo. Mfumo utatoa malipo kwenye
pharmacy husika pale ambapo mgonjwa atathibitisha kupokea dawa hizo
MAABARA
Ukarasa huu utahusisha maabara zenye mobile service ambazo zitakuwa
na uwezo wa Kuchukua sampuli na Kuzifanyia chunguzi vile ambavyo
daktari wa mgonjwa atakavyoagiza na kisha Daktari kurejesha majibu
kwa mgonjwa.
Maabara hizi zitapokea taarifa katika interface zao baada ya registration
juu ya uwepo wa mgonjwa anaetakiwa kuchukuliwa sampuli na vipimo
vinavyotakiwa kufanyika kutoka kwa daktari. Maabara hizo zitatuma
invoice ya gharama za vipimo na kuviwasilisha ili vilipiwe mgonjwa
atalipia kupitia mfumo huu na maabara zitamfata na kuchukua sampuli
kwaajili ya vipimo, mfumo utalipa gharama za vipimo baada ya huduma
Majibu yatatumwa kwenye mfumo wa daktari wa mgonjwa na majibu
yatatolewa kwa mgonjwa kupitia daktari wake kwa utaratibu ambao
daktari anaona utafaa.
RADIOLOGIA
Ukarasa huu utahusisha usajili wa Radiologia kwenye mfumo ambao daktari wa
mgonjwa atakuwa na uwezo wa kuchagua Diagnostic centre katika
choices zake na Kumshauri mgonjwa Kufika sehem hio kwa vipimo
vikubwa ama kwa vipimo vinavyoweza kufanyika nnje ya eneo hilo
mgonjwa atafuatwa na kufnyiwa vipimo hivyo kwa kipaumbele.
Daktari wangu
“Niite Nikuhudumie”