Professional Documents
Culture Documents
Tarehe 18 -10-2019
2
Ni wakati gani Mtu anatakiwa kumsifu na kumwabudu
Mungu?
• Mara nyingi ni rahisi sana kufikiri kuwa kumsifu na
kumwabudu Mungu kunsfsnyika wakati mtu akiwa
na FURAHA na AMANI
11/20/2019
Why Praise and Worship?
3
Kwanini tunamsifu na kumwabudu Mungu?
Ps 63:3-4
3 Maana fadhili zako ni njema kuliko uhai; Midomo yangu
itakusifu. 4 Ndivyo nitakavyokubariki maadamu ni hai; Kwa
jina lako nitaiinua mikono yangu.
Isaya 25:1
1 Ee Bwana, wewe u Mungu wangu; Nitakutukuza na
kulihimidi jina lako; Kwa kuwa umetenda mambo ya ajabu,
Mashauri ya kale, kwa uaminifu na kweli.
Zaburi 92:4
4 Kwa kuwa umenifurahisha, Bwana, Kwa kazi yako;
nitashangilia Kwa ajili ya matendo ya mikono yako.11/20/2019