Professional Documents
Culture Documents
03
03
14. Naye atasongeza katika sadaka hiyo matoleo yake, dhabihu kwa Bwana kwa njia
ya moto; yaani, mafuta yafunikayo matumbo, na mafuta yote yaliyo katika matumbo,
15. na figo zake mbili, na mafuta yaliyoshikamana nazo, yaliyo karibu na kiuno c
hake, na kitambi kilicho katika ini pamoja na hizo figo mbili; hayo yote atayaon
doa.
16. Naye kuhani atayateketeza kwa moto juu ya madhabahu; ni chakula cha dhabihu
ya kusongezwa kwa njia ya moto, iwe harufu ya kupendeza; mafuta yote ni ya Bwana
.
17. Neno hili litakuwa amri ya daima, katika vizazi vyenu vyote, ndani ya nyumba
zenu zote, ya kwamba hamtakula mafuta wala damu kabisa.