Professional Documents
Culture Documents
Dondoo Za Kikao Cha 39 Wiki Ya 49
Dondoo Za Kikao Cha 39 Wiki Ya 49
A. MAHUDHURIO
B. AGENDA
1. Kufunguliwa kikao.
2. Kupitia muhtasari wa kikao kilichopita
3. Mpango kazi wa idara ya utafiti kwa wiki ya 49.
4. Mengineyo.
5. Kufunga kikao.
1
DONDOO ZA KIKAO CHA WIKI - IDARA YA UTAFITI
KIKAO CHA 39 WIKI YA 49 CHUMBA NAMBA A 819
TAREHE: 01/12/2015
2
DONDOO ZA KIKAO CHA WIKI - IDARA YA UTAFITI
KIKAO CHA 39 WIKI YA 49 CHUMBA NAMBA A 819
TAREHE: 01/12/2015
3
DONDOO ZA KIKAO CHA WIKI - IDARA YA UTAFITI
KIKAO CHA 39 WIKI YA 49 CHUMBA NAMBA A 819
TAREHE: 01/12/2015
GM:
Kukusanya maoni na kuandaa bajeti ya idara.
Kuandaa riport ya ERB
JM:
Atawasilisha mapendekezo kwa ajili ya bajeti ya 2015/2016
Atamalizia uandaaji na uwasilishaji wa ripoti ya mzunguko wa manjinia mikoani.
SM:
Ataendelea na uandaji wa ripoti ya ERB sehemu ya kwanza.
Ataendelea kusoma na kupembua zaidi ripoti za utafiti.
SSM:
Atafuatilia na kutembelea meter ambazo hazitoa ripoti.
Atafutalia kupata jumla ya wateja wote(Total list) wenye mashine za kusaga
Atafuatilia kibali cha kufanya kazi kwenye live line
Atafuatilia mchakato wa kupata maeneo kwa ajili ya kujenga plant ya umeme
4. Mengineyo:
Mwenyekiti alielezea kuwa bado wanafuatilia suala la container
Mwenyekiti alikumbushia kuhusu kukamilisha ripoti ya CFL.
Mjumbe GM aliomba kufahamishwa vizuri kuhusu swala la kuzisoma na kusaini
maelezo ya kazi yake (Job description). Mwenyekiti SPD alimfahamishwa kwamba
kila mmoja wetu anatakiwa kusoma vizuri maelekezo ya kazi yake aliyoajiriwa ili
apate kuelewa mpango kazi wake na kama kuna sehemu ya kurekebisha amueleze ili
wairekebishe.
Mjumbe GM aliongezea kwamba atamtumia mjumbe AB dokezo la mifumo
mchanganyiko ya umeme katika kisiwa cha Mafia kutoka kwa tafiti zilizofanywa
awali na Christopher Ruud
4
DONDOO ZA KIKAO CHA WIKI - IDARA YA UTAFITI
KIKAO CHA 39 WIKI YA 49 CHUMBA NAMBA A 819
TAREHE: 01/12/2015
7. Kufunga kikao
Kikao kilifungwa rasmi na Mwenyekiti SPD majira ya saa 10.15 asubuhi. Na aliwatakia
wajumbe kazi njema na kuwasilisha mipango kazi yao kwa Katibu ili kwa ajili ya
kumbukumbu.
…………………………….. …………………………………
Mha. Sabina Daati Ahmed Mwenda
Kaimu Mwenyekiti Katibu
TAREHE:…………………………….