Professional Documents
Culture Documents
Pambano Kuu 2
Pambano Kuu 2
ISBN 978-87-985578-3-8
Ellen G. White
Ahadi Za Kurudi
Kwa Kristo
A
hadi za kurudi kwake Kristo kumu ulimwengu kwa haki, na ma-
mara ya pilli ili kukamilisha taifa kwa uaminifu wake” Zaburi
kazi kuu ya ukombozi ndio 96:11-13.
msingi wa Maandiko matakatifu. Isaya naye asema, “Katika siku
Tangu huku Edeni watu waamini- hiyo watasema, Tazama, huyu ndi-
fu wa Mungu amekuwa wakingoja ye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja
Kristo aje na kurejesha Paradiso atusaidie. Huyu ndiye Bwana tu-
iliyopotea. Enoko, ambaye ni ki- liyemngoja, Na tushangilie na kuu-
zazi cha saba, cha wale walioishi furahia wokovu wake” Isaya 25:9.
Edeni, yeye alitembea na Mungu Mwokozi aliwafariji wanafun-
kwa karne tatu, asema, “Angalia zi wake kwa uhakikisho wa kuja
Bwana alikuja na watakatifu wake, kwake, “Nyumbani mwa Baba
elfu, maelfu ili afanye hukumu juu yangu mna makao mengi …. Na-
ya watu wote, na kuwaadhibisha kwenda kuwaandalia makao ….
wote wasiomcha Mungu. Kwa ajili Nikienda …. Nitakuja tena, niwa-
ya kazi zao zote za upotevu walizoz- karibishe kwangu” Mwana wa Ad-
itenda bila kumcha Mungu, na kwa amu atakuja katika utukufu wake
ajili ya maneno magumu ambayo na malaika watakatifu wote pamoja
hao wenye dhambi wasiomcha Mun- naye. Ndipo atakapoketi katika kiti
gu wameyanena juu yake” Yuda cha utukufu wake, na mataifa yote
14:15. Ayubu naye katika usiku watakusanyika mbele zake” Yoha-
wa mateso alisema, “Najua ya kuwa na 14:2-3; Mathayo 25:31-32.
Mtetezi wangu yu hai. Na ya kuwa Malaika walirudia kusema ahadi
hatimaye atasimama juu ya nchi …. ya kurudi kwa Kristo wakisema,
Nami nitamwona Mungu pasipoku- “Huyu atakuja jinsi iyo hiyo mlivyo-
wa na mwili wangu nitamwona, mwona akienda zake mbinguni” Ma-
naam nafsi yangu mwenyewe. Na tendo 1:11 Paulo naye alishuhudia
macho yangu yatamtazama, wala si kwa kusema “kwa sababu Bwana
mwingine” Ayubu 19:25-27. Mtun- mwenyewe atashuka kutoka mbin-
ga zaburi na manabii wamenena guni pamoja na mwaliko na sauti
juu ya kurudi kwa Kristo hivi: “Mb- ya malaika mkuu, na parapanda ya
ingu na zifurahi, nchi na ishangilie Mungu” 1Tes. 4:16. Nabii wa Pat-
…. Mbele za Bwana, kwa maana mo naye asema, “Tazama yuaja na
anakuja, aihukumu nchi. Atauhu- mawingu na kila jicho litamwona”
s
k
Mungu anataka kuwaanda watu kwa ajili ya matukio makuu k
kwa njia ya kuielewa Biblia kwa undani.
f
ufunuo 1:7. Kurudi kwake Bwana kumekuwa
Halafu, ndipo uovu uliowatawala tumaini la wateule wake nyakati n
muda mrefu duniani utaangamiz- zote. Katika mateso na shida, ku- “
wa, “Falme za ulimwengu zime- onekana kwa mwokozi wetu na t
kwisha kuwa ufalme wa Bwana Mungu mkuu, kumekuwa tumaini m
wetu na Kristo wake, naye atamiliki lenye baraka. Tito 21:13. Paulo m
milele na milele. “Ufunuo 11:15. akitaja ufufuo utakaotokea wakati w
“Bwana Mungu ataotesha haki na wa kuja kwa Bwana, wakati waliok- a
sifa mbele ya mataifa yote” Isaya ufa katika Kristo watakapofufuliwa u
61:11. na walio hai kunyakuliwa pamoja m
Ufalme wa Masihi ambao ni wa ili kumlaki Bwana hewani, asema, k
amani utasimamishwa. “Maana “Hivyo tutakuwa pamoja na Bwana k
Bwana ataufariji Sayuni, atapafari- milele” kwa hiyo farijianeni kwa k
ji mahali pake palipokuwa ukiwa, maneno hayo”. 1 Thes. 4:17. g
atafanya jangwa lake kuwa kama Katika kisiwa cha Patmo mwana- k
bustani ya Edeni, nyika yake kama funzi mpendwa alisikia ahadi iki-
bustani ya Bwana”. Isaya 51:3. sema, “Tazama naja upesi” jawabu
10
11
M
t
h
i
“
s
l
w
m
n
m
….jua lilikuwaa jeusi kama kitambaa cheusi, na mwezi ukawa mwekundu kama damu.
e
tambueni ya kwamba ufalme wa ulafi, na ulevi, na masumbufu ya k
Mungu u karibu”. Luka 21:28, 30- maisha haya; siku ile ikawajia ghaf- k
31. la, kama mtego unasavyo”. “Basi, w
Lakini upendo wa Kristo na imani kesheni ninyi kila wakati, mkiom- B
ya kuja kwake vimepoa kanisani. ba, ili mpate kuokoka katika haya y
Watu wa Mungu walikuwa vipofu, yote yatakayotokea, na kusimama h
wasizitambue dalili za kuja kwake, mbele za Mwana wa Adamu” Luka m
wala mafundisho ya Mwokozi 21: 34,36. Ilikuwako haja ya lazi- s
kuhusu dalili hizo. Fundisho la ku- ma ya kuwaamsha watu wajiandae w
rudi kake Yesu halikujaliwa, mpaka kukabili mambo yanayoambatana Y
baadaye likasahauliwa, hasa huko na kufungwa kwa muda wa rehe-
Marekani. Shughuli za uchumi na ma k
kutafuta mafanikio heshima zime- “Kwa kuwa siku ya Bwana ni kuu, n
wasahaulisha watu wasielewe kuwa yenye kitisho sana naye ni nani r
mambo ya sasa yatapita. awezaye kusimama?” Nani atasi- k
Mwokozi alitaja hali ya uasi ita- mama mbele yake Mwenye “Macho M
kayoonekana duniani kabla ya safi” yasiyotazama ukaidi na uovu? w
kuja kwake mara ya pili. Kwa watu “Nami nitaadhibu ulimwengu kwa w
wale wanaoishi wakati huu, Kristo sababu ya ubaya wake, na wenye Y
anawaonya akisema “Basi jiangali- dhambi kwa sababu ya hatia yao;
eni mioyo yenu isije ikalemewa na nami nitaikomesha fahari yao wenye 1
12
13
Ujumbe Ulitolewa na k
Wanyenyekevu t
Kama Wasomi na wataalamu, wa- h
chunguzi wa maandiko, wangeli- s
kuwa waaminifu na wacha Mungu, Ni Yusufu na Mariam wanyenyekevu j
ndio waliochaguliwa kumpokea
ambao wanasoma Biblia kwa roho Mwokozi wa ulimwengu.
n
ya maombi na unyenyekevu wa d
kweli, wangelifahamu wakati. Un- atakapozaliwa, Daniel naye akataja m
abii ungeeleweka kwao, na mambo wakati atakapozaliwa. Mika 5:2; m
yaliyotabiriwa kuwa yatatokea yas- Daniel 9:25. Waongozi wa Kiyahu- t
ingaliwakuta gizani. Lakini basi di hawakuwa na udhuru wo wote, k
ujumbe haukutolewa na wasomi kwa kutojua kwao. j
hao, bali ulitolewa na watu duni, Wazee wa Israeli, kama wangali- s
wanyenyekevu tu. Wale walipuu- tia nia kusoma unabii wangekuwa k
za kushikilia nuru iliyokuwa kari- mahali, na wakati wa kuzaliwa kwa p
bu nao, waliachwa gizani. Lakini Kristo, ambako lilikuwa tukio kuu w
Mwokozi alisema “Anifuataye mimi ulimwenguni; kuja kwa Mwana wa w
hatakwenda gizani, bali atakuwa Mungu ulimwenguni. Lakini katika z
na nuru ya uzima” Yohana 8:12. mji wa Bethlehemu wasafiri wawili
Mtu wa aina hiyo nuru ya mbinguni waliochoka sana kutoka Nazareth k
itamwongoza kwenye kweli yote. walikuwa wakipitia kinjia mahali g
Wakati Kristo alipokuja mara pa kulala usiku. Hakuna nyumba d
ya kwanza kuzaliwa makuhani iliyokuwa tayari kuwakaribisha. z
waandishi waliokuwa katika mji Mwisho wakaingia katika kibanda h
mtakatifu ingelipasa wafahamu is- kibovu cha ng’ombe, na mle ndimo a
hara na kutangaza kuzaliwa kwake. Mwokozi wa ulimwengu alimoza- k
Mika alitaja mahali atakapozaliwa liwa. w
14
15
16
n
f
.
y
f
n
17
n
A
y
k
d
t
n
n
s
k
K
w
n
p
w
M
h
i
k
w
w
h
18
Nuru Mpya
Katika Nchi Mpya
M
kulima mmoja mtawa, hali yao. Tabia yao iliwapatia sifa
mwaminifu na mtafutaji iliyotokana na Biblia, hata hivyo
wa ukweli, ndiye aliyeteuli- vipawa hivyo vyema viliharibiwa na
wa na Mungu ili kukiongoza kikun- kutoa mvuto wao katika Neno la
di cha watu waliokutangaza kurudi Mungu.
kwake Yesu mara ya pili. William Sasa walivyoitafsiri Biblia kulileta
Miller aliishi maisha ya kimaskini, tatizo kwake ambalo lilikuwa gumu
na ya kujikana kama watengenezaji sana. Lakini imani yake, isiyofuata
wengine walivyoishi maisha ya ku- kama Biblia inavyosema, haikum-
jinyima. faidia lolote, kama hakuridhika.
Miller alijionyesha kuwa hodari Alipokuwa na umri wa miaka the-
na mwelekevu tangu utoto wake. lathini na minne roho Mtakatifu
Alivyoendelea kukua mawazo yake akimwangazia moyoni, akajiona
yalipanuka na kuendelea, naye ali- kuwa yu mwenye dhambi. Hakuwa
kuwa na kiu ya kupata elimu Upen- na uhakika wa maisha ya baadaye
do wake wa kujifunza, na nia yake baada ya kufa. Kwa hiyo aliona giza
thabiti, vilimsaidia kuwa mtu mwe- tu kwa maisha ya mbele. Akajise-
nye kufaa sana. Alikuwa na tabia mea moyoni hivi: “Mbingu ilikuwa
njema na nyofu naye aliheshimiwa ngumu juu ya kichwa changu, na
sana. Alijipatia cheo kikuu katika nchi ilikwa kama chuma chini ya
kazi zake za kiraia na za kijeshi pia. miguu yangu …. Kadiri nilivyofikiri,
Kwa hiyo utajiri na heshima viliku- ndivyo mawazo yalivyotawanyika.
wa wazi kwake. Nilijaribu kujizuia nisiwaze, la-
Alipokuwa mtoto alivutiwa sana kini sikuweza. Kwa kweli nilikata
na mambo ya dini. Walakini ali- tamaa, kwa vile nilivyosindwa. La-
pokuwa mtu mzima alijikuta aki- kini sikuelewa sababu ya hali hiyo.
wa katika watu wanaoamini kuwa Nililalamika na kugugumia, lakini
Mungu yuko aliyeumba vitu, lakini kasoro gani, nami sikujua namna
hana uwezo wa kuvitawala vitu hivo, ya akuiondoa”.
ila kila kitu hujiendesha chenyewe
kama kitakiwavyo. Watu hawa Miller Apata Rafiki
walimvutia sana, maana walikuwa Miller asema, “Kwa ghafla tabia
watu wema, waungwana, wenye ya mwokozi ikajidhihirisha katika
hali ya utawa. Miller alivutiwa na moyo wangu na katika nia yangu.
19
20
21
22
23
w
m
w
f
t
n
k
l
m
m
w
M
k
Kipindi cha unabii wa miaka 2300 ulianza mwaka 490 wa Danieli 9 ambao ulikuwa
“Umekatwa” kwaajili ya Wayahudi, na kufikia wakati wa kutakasa hekalu. t
b
uriwa juu ya watu wako na juu ya walioanza kuamuru na kukamili- w
mji wako mtakatifu”. Majuma sa- sha amri hiyo, hutimiliza, kama un- i
bini, ambayo ni siku au miaka 490 abii usemavyo, mwanzo wa siku au z
iliyoamriwa kwa Wayahudi lazima miaka 2300. Tukichukua mwaka z
iondolewe katika jumla ya miaka 457 wakati amri hiyo, ilipotekelez-
2300. wa kama ndiyo amri ya kuujenga W
mji, kila kitu kilichosemwa katika W
Nyakati Mbili Kuanza Pamoja majuma sabini kilitimia bila ma- l
Lakini ni nini kilikatwa? Kwa kuwa kosa. S
siku 2300 ndicho kitu kimetajwa Tangu kuwekwa amri ya kuuten- k
kama muda wa unabii katika sura geneza na kuujenga upya Yerusal- n
ya 8 ya Danieli, hivyo basi majuma emu hata zamani zake Masihi aliye t
sabini ni sehemu ya 2300. Vipande mkuu, kulikuwa na majuma saba, H
viwili basi huanzia wakati mmoja na katika majuma sitini na mawili” k
majuma sabini kuanzia pale amri … Majuma sitini na tisa au miaka u
ya kujenga Yerusalemu tena ilipo- 483. Amri ya Artashasta ilitolea o
tolewa. Ikiwa mwanzo wa kutole- mwaka B.C 457 na kutimizwa. Y
wa amri hiyo ukipatikana, ndipo Toka mwaka huo aliendelea mpa- h
mwanzo wa 2300 utathibitika. ka A.D 27, ndipo Kristo alipobatiz- n
Katika Ezra saba amri hiyo inapa- wa na Yohana Mbatizaji na kutiwa
tikana, iliyotolewa na mfalme Ar- mafuta kwa njia ya roho. Baada u
tastasta mwaka B.C. 457. yeye ni ya ubatizo wake akaenda Galila- M
mfalme wa Persia. Wafalme watatu ya, akihubiri ufalme wa Mungu na 4
24
25
26
27
28
29
30
a
i
o
o
e
-
-
a
a
-
i
,
a
a
31
w
k
W
m
n
a
h
f
k
w
k
H
u
y
h
k
y
t
g
32
Kwa Nini
Uchungu Mkuu?
K
azi ya Mungu hufanana za neema itakayowafikia ninyi.
sana kizazi hata kizazi na Wakatafuta ni wakati upi, na
karne hadi karne, wakati wakati wa namna gani ulionywa
matengenezo makuu ya uamsho na Roho wa Kristo aliyekuwa
yanapofanyika. Kanuni za Mun- ndani yao, ambaye alitangulia
gu za kuongezea watu ni zile zile. kuyashuhudia mateso yatakay-
Msimamo wa kanisa kwa wakati ompata Kristo, na utukufu
huu ni sawa na wa wakati ulio- utakao kuwako baada ya hayo.
pita, na msimamo wa kanisa wa Wakafunuliwa ya kuwa si kwa
wakati uliopita unalo fundisho ajili yao wenyewe, bali kwa ajili
kwa wakati huu. yenu walihudumu.’’ 1 Petro 1:10
Mungu huwaongoza watumishi - 12. Katika kizazi cha ukristo,
wake kwa njia ya Roho wake ili hilo ni fundisho muhimu kiasi
kuendesha kazi yake duniani. gani! Wale watu watakatifu wa
Watu huwa vyombo tu katika Mungu walitafutatafuta kwa bi-
mkono wake. Kila mtu amepewa dii, mambo yaliyofunuliwa wakati
nuru ya kutosha kufanyia kazi wa vizazi ambavyo havijazaliwa
aliyokabidhiwa. Lakini hakuna bado. Jambo hili linakanusha
hata mtu ye yote aliyepata ku- usemi wa wakristo wanaostarehe
fahamu mambo yote ya Mungu tu na kusema kuwa unabii hau-
kwa wakati wake. Watu ha- fahamiki.
waelewi mambo yote yapasayo Sio kwa nadra akili hata za wa-
kazi ya Mungu wanayofanya. tumishi wa Mungu huwa vipofu
Hata manabii hawakufahamu wakabaki kufuata mapokeo tu na
ujumbe wote na mafunuo wali- hadithi za mafundisho ya uongo,
yofunuliwa. Maana ya maono kwamba hushika mambo yaliyo-
hayo ilikuwa ikifunuliwa taratibu funuliwa katika Neno la Mungu
karne kwa karne. sehemu sehemu basi. Wanafunzi
Petrol asema, ‘’Katika habari wa Kristo, hata wakati ule Mwo-
ya wokovu huo manabii walitafu- kozi alipokuwa pamoja nao wali-
ta tafutta na kuchunguza chun- kuwa na mawazo hafifu kuhusu
guza, ambao walitabiri habari Masihi, kwamba ni mtawala wa
33
36
37
38
o
i
a
-
-
a
-
,
-
-
,
-
-
i
a
o
-
39
v
t
k
m
z
l
w
h
p
g
i
t
k
u
D
w
U
40
Upendo Na Kurudi
Kwake Kristo
M
wamko mkuu wa kidini ul- utahubiriwa wakati wa mwisho,
itangazwa katika ujumbe haukutimilika wakati mwingine
wa malaika wa kwanza wa mpaka wakati huo, kama unabii
Ufunuo 14. Malaika alionekana ulivyotabiri.
akiruka katikati ya mbingu, mwe- Paulo alilionya kanisa la wakati
nye injili ya milele ili awahubiri wake kuwa, lisikutazamie kuru-
watu wakaao duniani, watu wa kila di kwa Kristo wakati huo mpaka
taifa, na kabila na lugha na jamaa”. uasi mkuu utakapotokea, na “mtu
Akisema kwa sauti kuu, “Mcheni wa dhambi” kushika uongozi wa
Mungu na kumtukuza, kwa maa- kanisa kwa muda mrefu, ndipo
na saa ya hukumu yake imekuja. tutakutazamia kurudi kwa Bwa-
Msujudieni yeye aliyefanya mb- na. 2Wathesalonike 2:3. “Mtu
ingu na nchi na bahari na chemi- wa dhambi” – “pia siri ya kuasi”
chemi za maji. Ufunuo 14:6-7. “Mwana wa uharibifu” – ni upapa,
Malaika anafananishwa na ngu- ambao ulijitwalia mamlaka ya ku-
vu na uwezo wa ujumbe utakao- ongoza dini kwa muda wa miaka
tangazwa na kukamilishwa. Kule 1260. Muda huo ulimalizika mwa-
kuruka kwa malaika katikati ya ka 1798. Kurudi kwa Kristo kus-
mbingu, na sauti kuu, na kutanga- ingeweza kutokea kabla ya muda
zia watu wa kila taifa, na kabila na huo. Paulo alijumlisha kipindi
lugha na jamaa huonyesha wepesi chote cha ukristo mpaka mwaka
wa kuendesha kazi na watu wa- 1798. Tangu wakati huo kurudi
husikao. Wakati watu hao wataka- kwake Yesu kunaweza kutangaz-
potoka na kuanza kazi, watatan- wa.
gaza hukumu itakayoanza. Kabla ya wakati huo ujumbe wa
Ujumbe huu ni sehemu ya Injili aina hiyo haukutangazwa. Kama
itakayohubiriwa wakati wa mwisho tuonavyo, Paulo hakukutangaza
tu, ambapo saa ya hukumu ime- kurudi kwa Yesu, ila alionyesha
kuja kwa hakika. Sehemu hiyo ya kuwa kurudi kwa Bwana kungali
ujumbe uhusuo wakati wa mwisho, mbali. Watengenezaji wa kanisa
Danieli aliambiwa aufunge, mpaka hawakuhubiri kurudi kwa Bwana.
wakati wa mwisho”. Daniel 12:4. Martin Luther alisema kuwa ku-
Ujumbe huu wa hukumu ambao rudi kwa Yesu kunaweza kutokea
41
42
43
44
45
z
k
w
w
n
a
s
y
B
c
d
Gaussen wa Ufaransa na Uswizi, Benel na Deutschland, watoto walihubiri huko Scandinavia, a
ujumbe wa kurudi kwa Yesu ambao ulisikika sehemu nyingi. M
mwake. Tangu wakati huo alijitia bii. Baada ya kusoma kitabu cha y
katika kujifunza habari za unabii, Rollins, juu ya “Historia ya Kale”, d
na halafu ukafikia uamuzi kuwa ilielekezwa mawazoni juu ya Dan- N
Kristo atakuja upesi. Muda aliod- iel sura mbili. Alishangazwa na m
hani kuwa Yesu atarudi ulikuwa jinsi unabii ulivyotimia bila kuko- j
karibu na ule wa Miller. sa, hata kidogo. Huu ulikuwa ut- k
Maandiko ya Bengel yaliene- hibitisho wa uvuvio wa Maandiko
zwa kwanza katika mkoa wa Matakatifu. Basi hakutosheka na W
kwao wa Wirtemberg, na baadaye imani ya juu juu. Alipoendelea S
yakaendea katika nchi nzima ya kuchunguza Biblia zaidi, alibadili
Ujerumani, na wakati huo kuvutia imani yake ya kwanza. w
na nchi nyingine pia. Alifikia uamuzi ya kwamba ku- w
Huko Geneva Gaussen alihubiri rudi kwa Yesu kuko karibu. Ali- n
kuhusu kurudi kwake Kristo. Ali- pokuwa na imani hiyo, alitamani n
poingia katika kazi ya kuhubiri kuwafunulia na watu wengine pia. w
alielekea kuwa mtu wa mashaka. Lakini watu waliokuwa hawaua- w
Wakati wa ujana wake alikuwa mini unabii wa Daniel walimpinga h
anapenda sana mambo ya una- vibaya. Mwisho akaazimu ku- w
46
47
48
49
50
51
w
u
w
k
k
w
n
k
52
Kuvuna Upepo
Na Kimbunga
W
illiam Miller na wenzake Katika mwaka 1844 watu kiasi
walitaka kuamsha wata- cha hamsini elfu walijitenga na
alamu wa dini ili wasi- makanisa hayo.
mame katika tumaini la imani Katika makanisa mengi kume-
ya kweli na ukristo halisi wa kuwako ongezeko la kawaida za
kanisa. Walishuhgulika pia na kidunia zikiingia taratibu, na
kuwaongoa wale wasiokuwa na hizo hudhoofisha mambo ya kiro-
imani wapate kutubu na kuun- ho. Lakini katika mwaka huo
gama. Wao hawakujishughuli- kulionekana hali ya badiliko ka-
sha na habari ya madhehebu, tika makanisa yote nchini. Hayo
walichotaka ni kuona watu wa- yalithibitishwa kwa kusemwa
nasimama katika ukweli halisi. kanisani na kuandika magazeti-
Miller alisema “Nataka kufaidia ni.
kila mtu bila kujali ni wa dhehebu Mchungaji Barnes, Mwandishi
gani”. Kama wakristo watakufu- wa Komentari na kiongozi wa
rahia kurudi kwa Kristo litakuwa makanisa ya Philadephia alise-
jambo muhimu. Hata wale wa- ma kwamba “….. sasa haku-
siouona umaana wake sina la na mwamko, hakuna uongofu,
ziada kwao. Wala sina nia ya hakuna kukua kwa neema ka-
kutenganisha mikutano. Wengi tika uongozi, wala hakuna wasi-
wa walioongolewa nami waende wasi kuhusu kuongoa watu na
kujiunga na makanisa tofauti, tu kuwaleta katika wokovu. Kuna
bora wawe waongofu halisi. maongezeko ya anasa za kidunia
Lakini waongozi wa makanisa kanisani. Na hayo yanakumba
walitenga wale walioamini madhehebu yote.
ujumbe wa marejeo. Waumini Katika mwezi wa Februari mwa-
waliyapenda makanisa yao. La- ka ule ule, Mwalimu Finney wa
kini walipoona kuwa inawapasa Oberlin College, alisema, “Kwa
kuchunguza unabii, walikatali- jumla makanisa ya Kiprotestanti
wa. Lakini kwa ajili ya uami- katika nchi yetu, yamefifia sana
nifu wao kwa Bwana walikubali na kuwa na hali ya uadui katika
kutengana na makanisa hayo. msimamo wake. Hali ya kiroho
53
-
a
,
u
Simba alikuwa katika kuta za asili za Babiloni, Neno babiloni lilitoka katika neno
- Babeli na humaanisha machafuko.
-
i hutokea. Makanisa hushughu- ambapo waumini walikuwa na
a likia mambo yao ya ulimwengu moyo mmoja, na Bwana akali-
- tu, na wenye dhambi hushupaa zidisha kanisa kila siku kwa wale
a wasione haja ya kutubu. waliookolewa”. Matendo 4:32;
- 2:47.
- Ujumbe wa Malaika wa Kwanza Kama watu wa Mungu wange-
a Ujumbe wa malaika wa kwan- pokea nuru ya Neno lake, wan-
o za wa ufunuo 14 ulikusudiwa gelifikia umoja wa imani, ambapo
a kuwatenga watu wa Mungu na mtume anaueleza kwa “Umoja wa
- udhalimu. Katika ujumbe huu Roho katika kifungo cha amani”.
e Mungu alitoa onyo kwa kanisa, Asema, “Mwili mmoja na roho
- ambalo kama lingepokelewa mmoja, kama mlivyoitwa katika
u vema, lingaliwarekebisha na ku- tumaini moja la wito wenu. Bwa-
wasahihisha kutokana na maovu na mmoja, imani moja, ubatizo
o yaliyokuwa yakiwatenga na Mun- mmoja” Waefeso 4:3-5.
, gu. Kama wangelipokea onyo Wale waliouamini ujumbe wa
o hilo na kujinyenyekeza mbele za marejeo walitoka katika madhe-
i Mungu, na kujiandaa kusima- hebu mbalimbali, na mpangilio
a ma mbele yake, Roho wa Mungu wa madhehebu yao ulitupiliwa
- angaliwajaza na kuwaongoza. mbali. Mashindano yote na far-
o Kanisa lingeufikia umoja, imani aka vilipondwa pondwa kabisa.
o na upendo wa siku za mitume, Makosa yalisahihishwa, kasoro
55
56
57
58
59
Marejeo:
Bliss p. 328
Congregation Journal, Mei 23,
1844.
Richard Challoner, The Catholic
Christian Instructed, Preface, pp.
Mvinyo mkali katika Biblia humaanisha
misingi ya machafuko ya makanisa yaliyoasi.
21-22
Samuel Hopkins, “A Treatise on
yanayokubalika na Babeli kama the Millenium” Works, Vol
mvuto wake wa kupotosha juu 2, p. 328.
60
a
a
-
o
i
-
a
. Kando ya giza nene, wafuasi wa kweli
a wa Kristo, wengi wao bado wako katika
makanisa ya Babiloni. Mwishowe wataitwa
a watoke nje.
c
.
n
l
61
b
a
k
g
f
m
k
y
w
i
h
k
62
Unabii
Uliotimia
W
akati walipomngojea Bwa- ji waumini. “Bwana Mungu ase-
na katika mwaka 1844, ma hivi… Siku hizo ni karibu, na
na Bwana hakuja wale utimizo wa maono yote… Mimi ni-
waliomtazamia walikuwa katika tanena na neno lile nitakalolinena
wasiwasi na mashaka sana. Wen- litatimizwa wala halitakawilishwa
gi waliendelea kuchunguza Maan- tena… nitanena neno hilo na ku-
diko, ili kuhakikisha msimamo wa litimiza, asema Bwana Mungu”.
imani yao. Unabii ulikuwa wazi Ezekiel 12:23-25, 28.
ukionyesha kuwa kurudi kwake Wenye kungojea walifurahi.
Bwana ku karibu. Mibaraka watu Mungu ajuaye tangu mwanzo
waliyopokea na uongofu wao vili- mpaka mwisho ameatumainisha.
onyesha kuwa ujumbe ulikuwa Kama mafungu ya sehemu kama
wa mbingu. Utatanisho wa una- hizo yasingelikuwako, imani yao
bii ambao walidhani kuwa unawa- ingetoweka kabisa.
onyesha kurudi kwa Kristo katika Mfano wa wanawali kumi uliomo
mwaka 1844, lilikuwa fundisho katika Mathayo 25 unatoa kiele-
la kuwafunza kuwa wavumilivu lezo cha watu wa marejeo pia.
ili kungojea ufunuo zaidi katika Hapa kanisa la mwisho linaelekez-
mambo ambayo hawayajui. wa jinsi mambo yalivyo. Hali yake
Kati ya unabii huu uko wa Ha- inafananishwa na arusi za huko
bakuki 2:1-4. Hakuna hata mtu mashariki.
aliyeona kuwa kule kukawia kumo “Ndipo ufalme wa mbinguni un-
katika unabii. Baada ya uchun- afanana na wanawali kumi, wali-
gu wao na kukata tamaa kwao otwaa taa zao, wakatoka kwenda
fungu hili la Habakuki lilikuwa la kumlaki Bwana arusi. Watano
muhimu. “Maana njozi hii bado ni wao walikuwa wapumbavu, na
kwa wakati ulioamuriwa. Inafan- watano wenye busara. Wale wa-
ya haraka kufikilia mwisho wake, likuwa wapumbavu walizitwaa taa
wala haitasema uongo ijapokawia zao, wasitwae na mafuta pamoja
ingojee, kwa kuwa haina budi kuja nao; bali wale wenye busara walit-
haitakawia. Mwenye haki ataishi waa mafuta katika vyombo vyao
kwa imani”. pamoja na taa zao. Hata bwana
Unabii wa Ezekiel pia uliwafari- arusi alipokawia, wote wakasinzia
63
U
t
M
Wanawali bikra kumi huleta picha ya kanisa katika siku za mwisho.
64
65
66
67
68
-
e
i
,
i
i
-
a
-
-
-
,
a
-
-
a
.
a
-
u Wakati wa matarajio ulipita, na mwokozi wao hakutokea.
69
70
a
-
.
a
u
a
,
a
-
,
o
-
a
i
,
a
-
a
o
u
a
71
t
w
k
k
w
c
n
b
k
M
w
w
b
d
w
o
h
l
p
B
p
72
Kufungua Siri Ya
Patakatifu
M
aandiko ambayo yamekuwa pamoja na huduma zake, kama isema-
msingi na kiini cha imani ya vyo: “Basi hata agano la kwanza lili-
watu wa marejeo (Waadventis- kuwa na kawaida zake za ibada, na pa-
ta) kuliko yote ni yale yasemayo, “Hata takatifu pake pa kidunia. Maana hema
nyakati za jioni na asubuhi elfu mbili ilitengenezwa, ile ya kwanza, mlimoku-
na mia tatu; ndipo patakatifu pataka- wa na kinara cha taa, na meza, na mi-
potakasika” Daniel 8:14. usemi huu kate ya wonyesho ndipo palipoitwa pa-
umekuwa ukijulikana sana miongoni takatifu. Na nyuma ya pazia la pili, ile
mwa wale waliokuwa wakikutazamia hema iitwayo patakatifu pa patakatifu
kurudi kwake Bwana kuliko karibu. yenye chetezo cha dhahabu sanduku la
Lakini Bwana hakutokea. Waumini agano lililofunikwa kwa dhahabu pande
walifahamu kuwa Neno la Mungu ha- zote, mlimokuwa na kopo la dhahabu
lina kasoro, ni lazima walivyoutafsiri lenye ile mana, na ile fimbo ya Haruni
unabii, andiko kuna makosa. Lakini iliyochipuka, na vile vibao vya agano; na
basi kosa lilikuwa wapi? juu yake Makerubi ya utukufu yakikitia
Mungu amewaongoza watu wake ka- kivuli kiti cha rehema; basi hatuna na-
tika mkusanyiko mkuu wa marejeo. Na fasi sasa ya kueleza habari ya vitu hivi
wala asingewaacha wamalizikie gizani, kimoja kimoja” Waebrania 9:1-5. Pa-
katika huzuni kuu na kushutumiwa takatifu palikuwa ni hema iliyojengwa
kwa aibu; kana kwamba ni wahuni tu na Musa, kwa agizo la Mungu kuwa
wanaotangatanga. Ingawa wengi walia- mahali patakatifu pa kukaa Mungu.
cha msimamo wao wa kuutafsiri unabii, “Na wanifanyie patakatifu, ili nipate
na kukanusha imani ya wale walioam- kukaa kati yao” Kutoka 25:8. Hivyo
batana nao, lakini wengine hawakui- ndivyo Musa alivyoagizwa. Patakatifu
kana imani ambayo inathibitishwa na na patakatifu pa patakatifu, vyumba
Maandiko na Roho wa Mungu. Ilikuwa hivyo vilitengwa na pazia. Na pazia
wajibu wao kushikamana na ukweli kama hilo lilifunga mlango wa chumba
walioupata. Walijifunza maandiko kwa cha kwanza.
bidii na kwa maombi ili wapate kugun-
dua kosa lao. Kwa kuwa kwa upande Patakatifu Pa Patakatifu Mno.
wa kuhesabu miaka ya unabii hawaku- Katika patakatifu palikuwamo kinara
ona kosa lolote. Waligeukia fundisho li- cha taa upande wa kusini pamoja na taa
husulo patakatifu. zake saba zikiwaka mchana na usiku.
Wakagundua kwamba hakuna andiko Upande wa kaskazini ilikuwako meza
lolote linalosema kuwa dunia hii ndiyo ya mikate ya wonyesho. Mbele ya pa-
patakatifu, kama wengi wanavyoamini. zia linalotenganisha patakatifu na pa-
Bali waligundua maelezo tele kuhusu takatifu mno, palikuwako madhabahu
patakatifu, asili yake na mahali pake ya uvumba ulifukizwa kila siku moshi
73
e
-
u
-
-
-
a
i
.
-
-
u
-
-
a
a
o
e
,
-
a Kafara ya kondoo iliwakilisha kifo cha Kristo pale msalabani.
a
kwa mwenye hatia na kuiweka katika yake miwili juu ya kichwa cha yule
a
patakatifu. Kazi hiyo iliendelea daima mbuzi aliye hai, na kuungama juu yake
.
mwaka mzima. Dhambi za Waisraeli uovu wote wa wana wa Israeli, na ma-
o
zilihamishwa namna hiyo na kuwekwa kosa yao, naam, dhambi zao zote; naye
-
katika patakatifu, na hiyo ilikuwa kazi ataziweka juu ya kichwa chake yule
.
ya lazima ya kuhamisha dhambi zao. mbuzi, kisha atampeleka aende jang-
e
wani kwa mkono wa mtu aliye tayari.
-
Siku Kuu ya Upatanisho Na yule mbuzi atachukua juu yake
i
Kuhani mkuu aliingia katika pa- uovu wao wote, mpaka nchi isiyo watu;
a
takatifu mno mara moja kwa mwaka naye atamwacha mbuzi jangwani.”
-
ili kutakasa patakatifu. Mbuzi wawili Law. 16:21-22.
u
waliletwa na kupigiwa kura. Kura moja Huduma hiyo ilikusudiwa kuwaonye-
i
kwa Bwana na kura moja kwa Azazeli. sha Waisraeli utakatifu wa Mungu, na
-
Mbuzi wa Bwana alichinjwa kama sa- jinsi anavyoichukia dhambi. Kila mtu
-
daka ya dhambi kwa ajili ya watu. Na alitakiwa kujitakasa kwa njia ya kujic-
-
kuhani alichukua damu akaingia pa- hunguza wakati huduma hii inapokuwa
o
takatifu mno, akainyunyiza kwenye kiti ikiendeshwa. Kazi zote na shughuli zil-
a
cha rehema na juu ya madhabahu ya iachwa kabisa, na Waisraeli walitumia
a
uvumba. “Na haruni ataweka mikono siku hiyo katika ibada na maombi, hali
a
77
78
79
m
k
s
n
k
n
t
n
m
s
7
k
a
80
Kristo Anafanya
Nini Sasa?
F
undisho la patakatifu lilifungua yule mjumbe wa agano mnayemfura-
siri ya uchungu ule uliowapata. hia, angalieni, anakuja, asema Bwana
Fundisho hilo liliwafungulia wa majeshi”, Malaki 3:1. Kuja kwa
ukweli wote jinsi ulivyo. Huonyesha Bwana katika hekalu lake kulikuwa
jnsi mkono wa Mungu ulivyowaongo- kwa ghafla, bila kutazamiwa, kwa
za watu wa marejeo. Wale waliokuwa watu wake. Hawakumtazamia.
wakitazamia kuja kwake Yesu mara Watu hawakuwa tayari kumlaki
ya pili kwa utukufu mwingi, walitiwa Bwana wao. Kulikuwa bado kazi na
uchungu kwa kutokurudia kwake, maandalio yaliyokuwa yakitakiwa.
walipoteza matumaini yao kwa Yesu. Kwa jinsi walivyomfuata kuhani
Sasa katika patakatifu mno walim- wao mkuu kwa imani, katika hudu-
wona kwa upya Kuhani wao mkuu, ma yake wajibu mpya ungefunuliwa
ambaye atakuja kama mfalme na kwao. Ujumbe mwingine ulipasa
Mwokozi wao. Nuru ya fundisho la utolewe kanisani.
patakatifu iliangaza giza la wakati
uliopita. Wakaona patakatifu ilian- Nani Atasimama?
gaza giza la wakati uliopita. Wakaona Nabii asema, “Lakini ni nani
wazi wakati uliopita, wakati uliopo, atakayestahimili siku ya kuja kwake?
na wakati ujao. Ingawa hawakuelewa Au nani atakayesimama ataka-
ujumbe waliohubiri, walakini waliku- poonekana yeye? ….. Naye ataketi
wa sawa. kama asafishaye fedha na kuita-
Makosa hayakutokana na kuhesabu kasa, naye atawatakasa wana wa
miaka ya unabii, lakini yalikuwa kati- Lawi atawasafisha kama dhahabu
ka mambo yatakayotokea mwisho wa na fedha; nao watamtolea Bwana
siku 2300. Lakini yote yaliyotabiriwa dhabihu katika haki” Malaki 3:2-
na unabii yalikuwa yametendeka. 3. Watu watakaoishi ulimwenguni
Kristo hakuja duniani, ila aliingia wakati maombezi ya Kristo yataka-
katika patakatifu mno huko mbingu- pokoma, lazima wasimame wenyewe
ni. “Nikaona katika njozi za usiku na bila mwombezi mbele za Mungu. Ma-
tazama, mmoja aliye mfano wa mwa- vazi yao lazima yawe meupe bila waa,
nadamu akaja pamoja na mawingu ya tabia zao zikiwa zimetakaswa kwa
mbingu akamkaribia huyo mzee wa damu ya Kristo. Kwa njia ya neema
siku, wakamleta karibu naye” Daniel ya Mungu na jitihada zao inawalazimu
7:13. kuwa washindi katika vita na dham-
Kuja huko kulitabiriwa na Mala- bi. Wakati hukumu ya upelelezi in-
ki pia. “Naye Bwana mnayemtafuta apoendelea mbinguni, wakati dhambi
atalijilia hekalu lake ghafla; naam, za watu wanaotubu zinapoondolewa
81
82
83
i
.
-
-
-
a
,
a
.
-
i
u
.
i
e
u
-
a Kristo bado anatuombea kwa niaba yetu, na
- nuru itatolewa kwa wale wanaoitafuta.
85
t
m
a
H
m
l
k
n
86
Sheria Ya
Mungu Haibadiliki
H
ekalu la Mungu lilifunguliwa kidole cha chanda chake juu ya mbao
huko mbinguni, ndipo sanduku mbili za mawe.
la agano lake likaonekana ka- Wale walioelewa fundisho hili wali-
tika hekalu lake”. Ufunuo 11:19. San- fahamu vyema maneno ya Mwokozi
duku la agano la Mungu jipya liko mb- yasemayo: “Mpaka mbingu na nchi
inguni katika patakatifu mno, chumba zitakapoondoka; yodi moja wala nuk-
cha pili cha patakatifu. Katika hudu- ta moja ya torati haitaondoka” Ma-
ma ya hema takatifu duniani, ambayo thayo 5:18. Sheria ya Mungu ambayo
ilikuwa mfano wa kivuli cha ile ya mb- ndiyo mafunuo ya mapenzi yake, na
inguni, chumba hiki kilifunguliwa tu maelezo ya tabia yake, itadumu milele
wakati wa siku kuu ile ya upatanisho na milele.
kwa ajili ya kutakasa patakatifu. Kwa Katikati ya mpangilio wa sheria ya
hiyo upatanisho kwa ajili ya kutakasa Mungu, husimama amri ya Sabato,
patakatifu. Kwa hiyo tamko lile lise- ambayo ni amri ya nne. Roho wa Mun-
malo kuwa hekalu la Mungu lilifungu- gu aliwaagizia wanafunzi hao Neno la
liwa, na kwamba sanduku la ushuhu- Mungu, wakaona kuwa wameipuuzia
da likaonekana, lilikuwa utangulizi siku takatifu ya Mungu kwa ujinga
wa kuonyesha kuwa patakatifu mno wao. Wakaanza kuchunguza sababu
mbinguni palikuwa tayari kufungu- za kushika Jumapili, ambayo ni siku
liwa katika chumba cha pili ili Kristo, ya kwanza ya juma. Hawakuona ma-
Kuhani wetu Mkuu yuko tayari kuin- hali popote panapoeleza kwamba Sa-
gia na kuanza kazi hiyo mwaka 1844. bato ya siku ya saba imefutwa, wala
Watu ambao wangefuatana naye ka- kubadilishwa. Walikuwa wakitafuta
tika huduma hiyo, waliona sanduku kwa bidii kufanya mapenzi ya Mungu;
la agano lake. Kadiri walivyojifunza na sasa wamegundua kuwa kushika
juu ya hekalu waligundua kuwa Kristo sabato ni mojawapo ya mapenzi yake,
anabadili huduma na sasa anahudu- kwa hiyo wakaishika kwa furaha.
mu mbele ya agano la Mungu. Juhudi nyingi zilifanyika ili kutafuta
Sanduku lililokuwa katika hema imani ya watu wa Marejeo. Hakuna
takatifu hapa duniani lilikuwa na mbao mtu aliyekosa kuona kuwa fundisho la
mbili za mawe ambazo zilikuwa zime- patakatifu huko mbinguni linahusiana
andikwa juu yake sheria ya Mungu. na madai ya Mungu ya kushika she-
Hekalu la Mungu lilipofunguliwa huko ria yake pamoja na Sabato. Hii ndiyo
mbinguni, sanduku la agano lake lili- ilikuwa siri ya upinzani wa maandiko
lonekana humo. Sheria hii ilionekana yaliyokuwa yakionyesha huduma ya
katika patakatifu pa patakatifu iliyo- Kristo mbinguni, katika patakatifu
nenwa na Mungu na kuandikwa na pa huko. Watu walijitahidi kufunga
87
88
89
m
k
w
y
Myama kama chui mwenye vichwa saba na pembe kumi alikuwa anaashiria uharibifui mkuu. w
90
91
92
93
94
95
t
f
m
y
t
p
h
“
m
w
96
Mashujaa Wa
Kutetea Kweli
M
atengenezo ya Sabato sheria ya Mungu unapatikana
katika siku za mwisho katika amri ya nne. Ni amri hii
yalitabiriwa katika Isaya pekee yake kati ya hizo kumi in-
“Bwana asema hivi, shikeni hu- ayotaja jina na cheo cha mtoa
kumu, mkatende haki; kwa maa- sheria. Sabato ilipobadilishwa
na wokovu wangu u karibu kuja, na mapapa, muhuri iliondolewa
na haki yangu kufunuliwa. Heri kutoka kwenye sheria. Wanafun-
afanyaye haya, na mwanadamu zi wa Yesu wanatakiwa waurud-
ayashikaye sana; azishikaye sa- ishe muhuri huo kwa njia ya kui-
bato asizivunje, auzuia mkono tunza sabato kama ukumbusho
wake usifanye uovu wowote. Na wa Mwumbaji na alama ya uwezo
wageni, walioandamana na Bwa- wake.
na ili wamhudumu na kulipenda Agizo linatolewa likisema, “Piga
jina la Bwana, kuwa watumishi kelele usiache, paza sauti kama
wake; kila aishikaye sabato asi- tarumbeta, uwahubiri watu wan-
vunje, na kulishika sana agano gu kosa lao. Watu ambao Bwana
langu; Nitawaleta hao nao hata huwaita, “Watu wangu”, lazima
mlima wangu mtakatifu, na ku- waonyeshwe uasi wao, ambao
wafurahisha katika nyumba yan- hujiona kuwa wenye haki kati-
gu ya sala” Isaya 56:1-2,6-7. ka kumtumikia Mungu. Lakini
Maneno haya yanahusu ukris- makemeo ya kutisha na maonye-
to. Kama inavyoonyesha kwenye sho yanapotolewa na mchunguza
fungu la nane. Hapa ni kivuli cha mioyo hujikuta kuwa wanavunja
mkusanyo wa mataifa kwa njia sheria ya Mungu”. Usata 58:1-2,
ya Injili kinavyoonyeshwa, waka- Nabii huonyesha sheria ambayo
ti watumishi wa Mungu wataka- imeachwa bila kujaliwa. “Utainua
potawanyika duniani kuhubiri misingi ya vizazi vingi; nawe uta-
habari njema. itwa mwenye kutengeneza ma-
Bwana anaamuru akisema, hali palipobomoka, na mwenye
“Ufunge huo ushuhuda, ukatie kurejeza njia za kukalia. Kama
muhuri sheria kati ya wanafunzi ukigeuza mguu wako usiihalifu
wangu” Isaya 8:16. Mhuri wa Sabato, usifanye anasa yako siku
97
98
,
u
-
a
a
- Mungu aliongoza watu wake katika mchakato
wa marejeo, kama vile alivyoongoza wana
o wa Israeli kutoka Misiri. Katika siku kuu ya
” kukata tama, imani yao ilijaribiwa kama vile
, ya Waebrania katika bahari ya shamu.
t
u
n
n
y
t
M
m
c
a
n
k
u
m
W
m
k
d
y
102
Uamsho Wa
Kisasa Unafauluje?
P
opote pale ambapo Neno la Wenye thamani kuu, ndiyo roho ny-
Mungu lilipohubiriwa kwa ua- enyekevu, tulivu, ipendezayo mbele
minifu matokeo yake yamet- za Mungu”. 1Pet. 3:3-4.
hibitisha kuwa neno hilo ni la Mungu Uamsho uliwahusu wenye dham-
hakika. Wenye dhambi walijutishwa. bi, kwa njia ya kuwaita ili watubu.
Na toba ya kweli ilionekana kwao. Matunda yalionekana, sio kwa ku-
Wakaufahamu utakatifu na haki ya furahi katika anasa, ila kwa kuwa
Mungu jinsi ilivyo, kwa hiyo wakalia: watu wanastahili kuteswa kwa ajili
“Ni nani ataniokoa na mwili huu wa ya Kristo. Watu waliona mabadi-
mauti?” Warumi 7:24 Msalaba uli- liko katika maisha yao hao walioli-
poelezwa wazi wao walijiona kuwa si ungama jina la Kristo. Hali kama
kitu ila huruma za Kristo na neema hiyo ndiyo ilikuwa ikionekana kwa
yake ndiyo itawaokoa tu. Kwa damu watu waliopata uamsho miaka ya
ya Yesu tu watapata “msamaha wa zamani.
dhambi zilizopita”. Warumi 3:25 Lakini uamsho wa kisasa unato-
Watu hawa waliamini na kuba- fauti. Ni kweli kwamba watu hujidai
tizwa, wakawa wakitembea katika kuwa wameongoka na wako washiri-
upya wa uzima. Kwa imani ya Mwa- ki wa kanisa wengi makanisani.
na wa Mungu wakawa wakifuata Walakini matokeo yake hayaonekani
nyayo zake, na kudhihirisha tabia kufanana na uongofu halisi un-
yake ulimwenguni. Wakawa wakiji- aoonyesha hali ya maisha ya kiroho
takasa kama yeye alivyo mtakatifu. ya kweli. Huwa hali ya msisimko tu
Mambo ambayo waliyapenda za- ambao haudumu ila baada ya muda
mani, sasa wanayachukia na kuyaa- kitambo hufifia na kurudi hali ya
cha; na mambo ambayo hawakuy- kawaida.
apenda zamani, sasa wanayapenda Uamsho wa kijumla jumla huwa
na kuyatenda. Kiburi kimegeuka ni msisimko tu kwa ajili ya jambo
kuwa unyenyekevu, kutakabiari lililoletwa. Uamsho wa namna hiyo
upuuzi vinageuka kuwa utu mwe- huwa hauna haja na mafundisho ya
ma. Walevi wanakuwa watu sawa. Biblia ambayo ndiyo kweli. Ibada yo
Wakristo wanatafuta urembo wa yote isipokuwa na mambo ya kubu-
moyoni, sio mapambo ya nje, yaani rudisha na kuchangamsha, haiwap-
kusuka nywele, na kujipamba kwa endezi kabisa; wala haiwavutii.
dhahabu na lulu, na kuvalia mavazi Mwongofu ye yote, uhusiano wake
ya thamani, bali utu wa ndani …. na Mungu, na mambo ya ufalme wa
103
104
i
o
-
-
o
a
.
-
i
o
-
e
a
. Uzoefu wa uamsho mara kwa mara ulibeba matarajio, ya kusisimua, kwa kuchonga upendo
kwa mwanzo mpya. Wumini waliongeza kidokido usikivu katika ukweli wa Biblia.
e
o
a maovu ya kila namna ulimwengu- takatifu ya Mungu. Daudi alise-
- ni. Sheria ya Mungu haikujaliwa ma, “Nami nitakwenda panapo na-
kabisa. Makosa katika kueleza toba fasi kwa kuwa nimejifunza mausia
- na utakaso yameingia yaliyoleta yako”. Zab. 119:45. Mtume Yako-
a udanganyifu mwingi, ukawafanya bo asema kuhusu amri za Mungu,
u watu washushe kipimo cha Ukristo. “Sheria kamilifu ya uhuru” Yakobo
o Hapa ndipo siri ilipo ya upungufu 1:25. mwandishi wa ufunuo hutaja
o wa Roho wa Mungu katika uamsho mibaraka kwa mtu yule ashikaye
a wa siku hizi. amri, awe na ruhusa ya kuuendea
i mti wa uzima, na kuingia mjini kwa
- Sheria ya Uhuru. milango yake”. ufunuo 22:14.
o Walimu wengi wa dini hudai kuwa Kama ingewezekana kuwa sheria
o Kristo alipokufa msalabani aliion- ifutwe au ibadilishwe, Kristo asin-
doa sheria. Wengine huiita kongwa gelikufa ili kumwokoa mwanadamu
o ya utumwa, kwa hiyo hudai uhuru atoke katika adhabu ya dhambi ya
a wa dini, katika furaha ya Injili. kuvunja sheria. Mwana wa Mun-
- Lakini manabii na mitume ha- gu alikuja ili kuitukuza sheria na
a wakudai jinsi hiyo kuhusu sheria kuifanya iheshimiwe, Isaya 42:21,
105
106
107
108
109
110
a
-
-
,
,
e
i
o
e
Kwa sababu ya kanuni ya haki iliyoweka she-
a ria za Mungu ni tofauti kutokana na mtazamo
? wa ulimwengu wa Kikristo ndio maana ni kwa
nandra sana matunda ya kweli yanaonekana.
111
y
m
k
n
g
y
z
t
w
t
n
g
w
w
i
n
y
h
112
Kukabili
Kumbukumbu
Ya Maisha Yetu
N
ikatazama hata viti vya enzi ufalme usioweza kuangamizwa” Dan-
vikawekwa, na mmoja aliye iel 7:13-14.
Mzee wa siku ameketi; mavazi Kuja kwa Kristo kunakoelezwa hapa
yake yalikuwa meupe kama theluji siko kurudi kwake mara ya pili duni-
na nywele za kichwa chake kama sufi ani. Anakuja kwa Mzee wa siku huko
safi; kiti chake cha enzi kilikuwa mi- mbinguni ili kupokea ufalme ataka-
ali ya moto; na gurudumu zake moto opewa mwisho wa kazi yake ya uom-
uwakao. Mto kama wa moto ukatoka bezi. Kuja huko ndiko kulitokea mwa-
ukapita mbele zake; maelfu elfu waka- ka 1844, wala si kurudi duniani mara
mtumikia, na elfu kumi mara elfu ya pili. Hivyo ndiyo ilikuwa mwisho
kumi wakasimama mbele zake; huku- wa unabii wa siku 2300. Kuhani wetu
mu ikawekwa, na vitabu vikafunuliwa” Mkuu anaingia katika patakatifu pa
Daniel 7:9-10. patakatifu ili kufanya kazi yake ya
Haya ndiyo maono aliyopewa Daniel mwisho ya kuwaombea wanadamu.
ya siku ile kuu ya hukumu ambayo Katika huduma ya hema takatifu
maisha ya kila mtu yatakapopitishwa hapa duniani, watu ambao dhambi
katika uchunguzi wa Hakimu wa du- zao zilihamishiwa kutoka patakatifu,
nia yote. Mzee wa siku ni Baba Mun- ndivyo waliofaidi siku ya upatanisho.
gu. Yeye ambaye ndiye asili ya maisha Hali kadhalika katika siku kuu ya uc-
yote ya kila kitu, chemichemi ya sheria hunguzi wa mwisho, watu ambao yao
zote, ndiyo atakuwa mwenye kiti ka- yataangaliwa ni wale watu wa Mungu
tika hukumu. Na malaika watakuwa tu. Hukumu ya waovu itakuwa wakati
wahudumu na mashahidi. mwingine. “Hukumu lazima ianzie ka-
“Nikaona katika njozi za usiku, na tika nyumba ya Mungu” 1Petro 4:17.
tazama, mmoja aliye mfano wa mwa- Vitabu vya kumbukumbu vya mb-
nadamu akaja na mawingu ya mbin- inguni vitahusika na uamuzi wa kesi
guni akamkaribia huyo mzee wa siku, ya kila mtu. Kitabu cha uzima kime-
wakamleta karibu naye. Naye akape- andikwa majina ya watu wote walioin-
wa mamlaka, na utukufu na ufalme, gia katika huduma ya Mungu. Yesu
ili watu wa kabila zote, na taifa zote, aliwaagiza wanafunzi wake, “Furahini
na lugha zote, wamtumikie; mamlaka kwa kuwa majina yenu yameandikwa
yake ni mamlaka ya milele, ambayo mbinguni”. Paulo anasema kuhusu
haitapita kamwe, na ufalme wake ni wakazi wenzake, ambao majina yao
113
114
115
d
u
A
b
m
z
y
c
w
a
e
k
k
w
Katika hamu kubwa iliyowekwa kwa watu katika kufanya maamuzi ya duniani lakini kwa
u
uhafifu huwakilisha mapenzi ya hekalu la mbinguni pale majina yanapoingizwa katika kitabu b
za uzima na kurudiwa katika Hukumu ya dunia nzima. k
zao mbaya, walivyokuwa wabovu wasi- wakiwa “Kanisa tukufu, lisilo na hila
fanane na Kristo, anaonyesha dhambi wala kunyanzi, wala lolote kama hayo”. K
zao zote, ambazo aliwashawishi waka- Waefeso 5:27
fanya. Kwa hiyo anadai kuwa ni watu Kwa hiyo ahadi ya agano jipya ita- m
wake wenye dhambi kama yeye. kamilika, isemayo “Nitausamehe uovu 1
Yesu hatetei dhambi zao, bali huon- wao, wala dhambi yao sitaikumbuka w
yesha toba zao na imani yao. Anadai tena” “Katika siku hizo na wakati huo, i
kuwa wasamehewe kwa ajili ya toba asema Bwana uovu wa Israeli utata- g
walivyotubu. Anainua mikono yake ili- futwa, wala uovu hapana; na dhambi t
yopigwa na misumari, mbele za Baba, za Yuda zitatafutwa wala hazitaoneka- M
akisema “nimewachora katika viganja na”. “Tena itakuwa ya kwamba yeye d
vyangu. Dhabihu za Bwana ni roho aliyebaki katika Sayuni, na yeye ali- fi
iliyovunjika. Moyo uliovunjika na ku- yeachwa ndani ya Yerusalemu, ataitwa w
pondeka, Ee, Mungu, hutaudharau”. Mtakatifu; yaani, kila mmoja aliyean- z
Zab. 51:17. dikwa miongoni mwa hao walio hai d
ndani ya Yerusalemu”. Yeremia 31:34; k
Bwana Amkemee Shetani 50:20 Isaya 4:3. h
Kuhusu mshitaki huyo, yaani shet- y
ani, Yesu alitamka “Bwana na akuke- Kufutwa Kabisa kwa Dhambi l
mee, Ewe shetani; naam, Bwana ali- Kazi ya hukumu ya upelelezi na ya n
yechagua Yerusalemu, na akukemee, kufutwa dhambi itakamilika kabla ya j
Je, hiki si kinga kilichotolewa motoni?” kurudi kwake Yesu duniani. Katika h
Zekania 3:2. Kristo atawavika watu mfano wa hema takatifu, kuhani ali- m
wake waaminifu na haki yake mwe- toka na kuwabariki watu wa mkutano y
nyewe, ili awafikishe kwa Baba yake siku ya upatanisho. Vivyo hivyo na m
116
117
118
119
d
w
k
m
w
u
g
K
a
y
t
k
D
k
l
120
W
atu wengi huona kazi za Kama isingelitetewa, isingaliku-
mwovu, zenye matokeo wapo kabisa. Dhambi ni uhasa-
ya maafa na taabu za kila ma kati yake na sheria ya upendo,
aina. Swali linachipuka vichwani ambayo ndiyo msingi wa serikali
kwamba inawezekanaje mambo ya Mungu.
kuwa hivyo chini ya Mungu mwe- Kabla dhambi haijaingia duniani,
nye hekima yote, uwezo wote, na kulikuwa na amani na furaha kote
upendo wote. Watu wanaopata katika malimwengu. Kumpen-
kuwa na mawazo ya jinsi hii huji- da Mungu kulikuwa jambo kuu
patia udhuru wa kuukana ukweli kabisa, na upendo kati ya viumbe
wa maandiko matakatifu. Ma- ulikuwa hausemeki, Kristo, am-
pokeo na kulitafsiri vibaya neno baye ni Mwana wa pekee alikuwa
la Mungu kuhusu tabia ya Mungu pamoja na Baba wa milele, katika
ilivyo, na asili au msingi wa serika- asili, tabia na makusudi. Ni yeye
li yake, na kanuni zake za kushu- tuliyeingia katika mashauri yote ya
ghulikia dhambi huwatia watu gi- Mungu, na makusudi ya Mungu.
zani na mashakani. “Kwa kuwa katika yeye vitu vyote
Haiwezekani kueleza asili ya viliumbwa vilivyo mbinguni …. Iki-
dhambi ili kufahamu mwanzo wa ni vitu vya enzi, na usultani, au
wake na jinsi ilivyo. Walakini enzi, au mamlaka. Kol. 1:16.
kuna maelezo ya kutosha kufaha- Sheria ya upendo ndiyo iliyoku-
mu mambo ya dhambi na mwisho wa msingi wa serikali ya Mungu.
wa dhambi pia, ili kudhihirisha Furaha na raha ya viumbe vyote
ukarimu na haki ya Mungu. Mun- vilivyoumbwa ilitegemea jinsi
gu hakuwa ndiye asili ya dhambi. walivyoafikiana na kanuni za haki.
Kwa Mungu hakuna hali ya mach- Mungu hana furaha na kulazimi-
afuko, wala unyimivu wa neema sha viumbe wamtii. Kwa viumbe
yake, wala upungufu wowote ka- vyote alitoa uhuru kamili, uhuru
tika serikali yake, ambao unaweza wa dhamiri ili wamtumikie kwa
kusababisha uasi na machafuko. uhuru kila mmoja kwa hiari yake,
Dhambi ni mwingilio wa uasi bila siyo kwa shuruti.
kutakiwa, na hakuna awezaye kue- Lakini alikuwako mmoja ali-
lezea. Kuitetea ni kule kuikubali. yechafua mpango huu wa uhuru.
121
122
123
125
126
127
w
n
m
k
w
m
B
m
d
k
k
i
a
w
128
Shetani Apigana
Na Binadamu
N
ami nitaweka uadui kati shetani. Kuichukia dhambi bada-
yako na huyo mwanamke, la ya kuipenda huonyesha kanuni
na kati ya uzao wako na ya mbinguni.
uzao wake; huo utakuponda kich- Uhasama baina ya Kristo na
wa, na wewe utamponda kisigino”. shetani ulionekana dhahiri wakati
Mwanzo 3:15. Uadui huu sio wa wa kuja kwa Kristo mara ya kwan-
kawaida. Mtu alipoasi amri ya za, jinsi ulimwengu ulivyompokea.
Mungu hali yake ya asili iligeuka Usafi na utakatifu wa Kristo
kuwa uovu, ikipatana na hali ya uliamsha chuki kubwa kati yake
shetani. Malaika waovu pamoja na watu wasiomcha Mungu. Hali
na wanadamu wakapatana. Kama yake ya kujikana nafsi ilikuwa
Mungu asingeingilia kati, shetani shutuma kwa mwenye majivuno,
na wanadamu wangalishirikiana mwenye tamaa. Shetani pamoja
kushindana na mbingu, na kwa na malaika waovu waliungana na
njia hiyo watu wote wangejiunga watu wafedhuli kumpinga mwe-
pamoja kuwa wapinzani wa Mun- nye ukweli halisi. Hali ile ile ya
gu. uhasama ilionekana kwa wafuasi
Shetani aliposikia kuwa kutaku- wa Kristo pia, wakipingana na ma-
wako uadui kati yake na mwa- ovu. Mtu yeyote anayepinga ma-
namke, na kati ya mzao wake na jaribu ya shetani huamsha chuki
mzao wa mwanamke, alifahamu yake na kumletea mashambulio.
kuwa kwa vyo vyote mtu atawezesh- Kristo na Shetani hawawezi kupa-
wa kuwa mpinzani wake. tana. “Wote wapendao kuishi mai-
Kristo aliuweka uadui katika sha ya utauwa katika Kristo Yesu
mwanadamu kumpinga Shetani. wataudhiwa” 2Tim. 3:12.
Bila kuwa na uwezo huu wa nee- Wajumbe wa Setani hutafuta ku-
ma uliowekwa kwa mwanadamu, wadanganya wafuasi wa Kristo, ili
daima angalikuwa mtumishi wa kuwaondoa katika njia nyofu ya
kutenda mapenzi ya shetani. La- kuafikiana na Kristo, ili kuwaon-
kini kanuni mpya rohoni mwa mtu doa katika njia nyofu ya kuafikiana
ilianzisha mashindano. Uwezo na Kristo. Huyapotosha maandiko
ambao Kristo alimpa mtu hum- ili kutimiza makusudi yao maovu.
wezesha kupingana na utawala wa Roho ile iliyomwua Kristo, ndiyo
129
130
131
l
w
b
M
A
k
w
k
z
a
l
m
e
m
“
s
5
W
t
u
l
M
“
132
Roho
Chafu
M
alaika wa Mungu na ma- kama wafu. Wakati mfalme Senaker-
laika wa Shetani yaani roho ibu aliomkufuru Mungu na kutisha
wachafu, huelezwa dhahiri Wana wa Israeli, malaika wa Bwana
katika Maandiko Matakatifu nao akatoka na kuwapiga Waashuri kati-
wamejihusisha katika Historia ya wa- ka matuo yao watu mia na themanini
nadamu. Malaika watakatifu ambao na tano elfu. Ezekieli 1:14; Mathayo
huwahudumia wale watakaorithi wo- 28:3-4; 2Fal. 19:35.
kovu, (Waebrania 1:14) hudhaniwa Malaika wa Mungu hutumwa kwa
na wanadamu kuwa ni roho za wafu. kazi nzuri kuhusu watu wa Mungu.
Lakini maandiko hueleza wazi kuwa Kwa Ibrahimu walileta ahadi za mi-
hawa sio zo roho za wafu. baraka; huko Sodoma kumwokoa
Kabla mtu hajaumbwa, malaika wa-
likuwako, kwa maana wakati msingi
wa dunia ulipowekwa, “nyota za asu-
buhi ziliimba pamoja, na wana wa
Mungu walipinga kelele za shangwe”.
Ayubu 38:7. Badala ya kuanguka
kwa mwanadamu dhambini, malaika
walitumwa ili kuulinda mti wa uzima
kabla mtu hajafa. Malaika wanawa-
zidi wanadamu maana mwanadamu
alifanywa “mdogo punde kuliko ma-
laika” Zab. 8:5
Nabii husema, “Nilisikia sauti za
malaika wengi pande zote za kiti cha
enzi” mbele ya mfalme wa wafalme
malaika hawa walikuwa tayari ili,
“Mtendao neno lake”. Na “Kusikiliza
sauti yake” “wasiohesabika” Ufunuo
5:11; Zaburi 103:20-21; Ebr. 12:22.
Wao huenda huko na huko kama wa-
tumishi wa Mungu. Huruka kama
umeme mbio yao ni ya ajabu. Ma-
laika aliyeonekana kwenye kaburi la Malaika huteuliwa kwa ajili ya wafuasi wa
Mwokozi, uso wake ulikuwa kama Kristo. Hawa walinzi wa mbinguni huweka
“umeme” aliwafanya walizi wazimie ngao ya haki kuwalinda na nguvu za mwovu.
133
134
135
136
-
a
i
o
- kuwalinda. Mwovu na waovu wen-
o zake hawawezi kupenya ngome Mun-
o gu aliyowazungushia watu wake.
a
-
-
a
o
a
e
a
-
-
a
-
o
-
a
137
p
k
r
u
A
n
h
z
w
m
k
k
k
g
k
l
138
Jinsi Ya
Kumshinda Shetani
M
ashindano makuu baina yatamzuia asiusikie ujumbe huo.
ya Kristo na Shetani kari- Shetani huwaona watumishi wa
bu yatakwisha; kwa hiyo Mungu wakiwa na mzigo kwa ajili
mwovu Shetani anajitahidi sana ya giza linalowafunga washiriki.
mara mbili ili kuishinda kazi ya Huwasikia wakiomba Mungu awa-
Kristo anayowafanyia wanadamu., saidie katika hali yao ya ulegevu.
Anakusudia kuwashikilia watu ka- Kisha kwa nguvu mpya huwavuta
tika giza la kutoamini mpaka Kristo wafuate mambo mengine labda ya
amalize kazi yake ya kuwapatani- ulafi, au ubinafsi, ili kuwapumba-
sha wanadamu. Hali ya ubaridi in- za wasiweze kupambanua mambo
apotokea kanisani shetani hutulia, ya lazima wanayohitaji.
maana hayo ndiyo matakwa yake. Shetani anajua kuwa wote ambao
Lakini watu wanapoamka na kuu- hawajali maombi na kusoma Biblia
liza swali: “Tufanye nini ili tupate hawawezi kuyashinda mashambu-
kuokoka?” Basi huamka na kuin- lio yake. Kwa hiyo huvumbua kila
giza hali ya kupotosha, ili kupinga aina ya vitu vyenye kuwashughuli-
kazi ya Kristo na Roho Mtakatifu. sha hata wakose nafasi ya kuomba
Wakati fulani malaika wali- na kusoma. Wasaidizi wake wako
pohudhuria mbele za Bwana ili
kuabudu, shetani pia alihudhu-
ria, sio kuabudu bali kuendeleza
udhalimu wake wa kupinga haki.
Ayubu 1:6. Wakati wakristo wa-
napokusanyika kwa ibada, naye
huhudhuria ili kuyapotosha mawa-
zo ya wenye kuabudu. Anapoona
watumishi wa Mungu wanaandaa
mahubiri, yeye naye huyanakili, ili
kuyapotosha kwa ujanja, kabisa
kusudi yasiwafikie watu kama ita-
kwiavyo, hasa kwa wale aliowadan- Hakuna nafsi amabayo haina madhara pale
ganya. Mtu ambaye angepaswa watu wanapoamini hii nimoja ya uongo un-
aofaulu sana wa Shetani. Anafahamu kuwa
kuusikia ujumbe huo, hushughu- wale wanaopokea ukweli kwa upendo wake,
lika na mambo mengine ambayo moyo wa mpokeaji hutakaswa.
139
140
141
142
143
144
e
a
a
i
-
u
i
-
e
-
-
i
a
a
a
145
e
a
c
k
c
k
z
a
y
h
a
a
n
i
y
M
m
a
h
146
Baada ya
Kufa Kuna Nini?
S
hetani ambaye alianzisha anajua ya kwamba siku mtakay-
uasi huko mbinguni, ana- okula matunda ya mti huo mta-
tamani kuwaunga weneyji fumbuliwa macho, nanyi mtakuwa
wa dunia hii katika vuta yake na kama Mungu mkijua mema na
Mungu. Adamu na hawa kwa fu- mabaya”. Mwanzo 3:1-5.
raha walikuwa watiifu wa sheria ya Hawa akakubali kushindwa,
Mungu, utii wao ulikuwa hakiki- na kwa mvuto wake Adamu naye
sho la daima kwa madai ya Shet- akaingia dhambini. Wote wakay-
ani kwu sheria ya Mungu ni ya akubali maneno ya nyoka, waka-
kukandamiza. Shetani aliazimia onea mashaka maneno ya Mwum-
kuwaangusha, ili apate kutawala baji wakaona nafsini mwao kuwa
duni hii, na kuusimamisha utawa- aliingilia uhuru wao.
la wenye kupingana na Mungu. Lakini Adamu aligundua nini
Adamu na hawa walikuwa wam- maana ya maneno ya Mungu, “Siku
etahadharishwa kuhusu hatari ya mtakayokula matunda ya mti huo,
adui huyu. Lakini Shetani alijifi- mtakufa hakika? Je, yalikuwa na
cha kabisa akitenda mambo yake maana ya kumzuia asiingie katika
kisirisiri. Akimtumia nyoka kama hali bora zaidi? Adamu hakuona
chombo chake, nyoka ambaye ali- kuwa maana ya maneno ya Mungu
kuwa kiumbe kizuri alimzungum- ilikuwa hivyo alivyosema nyoka.
zia Hawa, akisema, “Eti hivi ndivyo Mungu akasema kuwa adhabu
alivyosema Mungu, msile matunda
ya miti yote ya bustanini?” hawa
hakuthubutu kushauriana na
adui akaanguka kwa ulaghai wake
adui; “Mwanamke akamwambia
nyoka; Matunda ya miti ya bustan-
ini twaweza kula; lakini matunda
ya mti ulio katikati ya busatani
Mungu amesema Msiyale wala
msiyaguse msije mkafa. Nyoka
akamwambia mwanamke, hakika
Kutokufa, kuliahidiwa mwanadamu kwa
hamtakufa; kwa maana Mungu sharti la kutii, ukabadilishwa na uasi.
147
148
149
150
151
i
i
,
, Kwa ajili ya kunusuru ulimwengu Mungu aliwafutilia mbali waovu nyakati za Nuhu. Kwa
- huruma aliwaangamiza waovu walioishi Sodoma. Sanamu ya Willia Miller.
-
a
a Muda wa miaka mingi ya kum- ovu ambayo watu walijichagulia
a wasi Mungu imewathibitisha kuwa kupata. Nia zao zimejizoeza kuasi.
- hawafai lo lote, wala hawawezi ku- Na wanapokufa, hufa na hali ile ile
a faa kuingia mbinguni. Utakatifu ambayo haibadiliki kuwa na utii.
; wa mbinguni na amani yake vin- Huwa wenye chuki wala sio up-
- galiwawia mateso makuu. Utu- endo.
u kufu wa Mungu, wao ungekuwa
a moto uteketezao. Wangalitamani Mshahara wa Dhambi
kukimbia kutoka mahali hapo pa- “Mshahara wa dhambi ni mauti,
o takatifu, hata kutamani kufa ku- lakini karama ya Mungu ni uzima
, liko kukaa mbele za yule aliyewafia wa milele katika Yesu Kristo Bwa-
- ili kuwaokoa. Maangamizi ya wa- na wetu” “Mauti ya pili” inachu-
a ovu wanasababishwa na uchaguzi kua mahali pa uzima wa milele”
wao wenyewe. Kufungiwa wasi- Warumi 6:23; ufunuo 20:14.
i kanyage mbinguni kunatokana na Katika dhambi ya Adamu mauti
- hiari yao wenyewe. Mungu ni wa iliwafikia watu wote. Wote hufa
a haki na mwenye fadhili. Moto wa sawasawa, bila tofauti. Kwa njia
a siku ya mwisho, sawa na maji ya ya mpango wa wokovu, wote wata-
gharika ya siku za Nuhu, ni hu- toka makaburini. “Kutakuwako
kumu ya Mungu kwa ajili ya ma- ufufuo wa wenye haki na waovu”.
153
h
p
u
y
k
w
n
Umuzimu na ukristo wa uongo husema kuwa wafu wanafaham zao,
Biblia husema “…siku hiyo mawazo yake hupotea”Zaburi 146:4
h
“Kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, n
huko kuzimu uendako wewe.” Mhubiri 9:10.
154
155
156
Marejeo:
E. Peteavel. The Problem of Im-
morality p. 225.
-
157
k
s
m
w
m
w
t
I
j
h
w
a
M
H
158
Mizimu ni Nani
Katika Imani
ya Roho?
M
afundisho yahusuyo ku- yake. Malaika waovu huonekana
tokufa kwa roho kwanza kama wajumbe katika ulimwengu
yalitokana na imani ya wa roho.
wapagani, na wakati wa giza la Mkuu wa uovu yaani shetani
kiroho mafundisho haya yaliin- anao uwezo wa kuleta sura za watu
gizwa katika imani ya kikristo na waliokufa ambao ni jamaa. Maigizo
kuhesabika kuwa ni mojapo ya ya watu hao ni kamili kabisa. Hu-
ukweli, na yakashika mahali pa onekana kama wao halisi. Watu
Maandiko yasemayo kuwa, “wafu wengi hufarijika kuwa ndugu na
hawajui neno lo lote” Mhubiri 9:5. rafiki zao wako wanaishi huko mb-
Watu wengi huamini kuwa roho za inguni. Bila kujihadhari na hatari
wafu ndizo zile, zisemwazo kuwa- yo yote, hutega masikio kwa “roho
hudumu wale watakaourithi wok- zidanganyazo, na mafundisho ya
ovu” Waebrania 1:14. mashetani” 1 Tim. 4:1.
Imani ya kuwako roho za wafu Waliokufa bila kujitayarisha,
kuja kuwahudumia watu wanaoi- yaani bila kujitoa kwa Kristo, hu-
shi, imeandaa njia ya kuingizia dai kuwa wako katika furaha kuu
mambo ya kisasa ya kuongea na huko mbinguni. Watu hawa ban-
wafu. Kama watu wanaoufaha- dia wanaojidai kuwa wanakaa
mu unaozidi ule waliokuwa nao rahani mbingu, mara nyingine
wakati walipoishi, mbona hawaji husema maneno ambayo huwa
tu kiwazi na kuwaelimisha watu? ya kweli. Wakishakuaminiwa,
Ikiwa roho za wafu huwazungukia hutoa mafundisho yaliyo kinyume
jamaa zao walioko duniani, mbona cha Biblia. Kwa kuwa mara ny-
hawakai na kuongea nao? Mbona ingine husema maneno ya kweli
wanaoamini kuwa mtu akifa huwa na kutabiri mambo fulani ambayo
anajua mambo, hukataa nuru ya hutokea kuwa kweli, hivyo ma-
Mungu inayoeleza mambo ya roho? fundisho yao ya uongo hukubaliwa
Hapa ndipo Shetani hufanyia kazi kama mafundisho ya kweli ya Bib-
159
160
161
o
i
a
,
-
-
a
o
a
a
a
e
-
u
a
Wengi wataridhika na roho za Shetani zilizojiigiza wapendwa wao waliokufa na rafiki
i wakitangaza baadhi ya uongo mkuu na kufanya miujiza ili kuthibitisha uwepo wao hai tena.
i
a
- na umevaa sura ya Kikristo, na kuhusu utakatifu hufichwa bila
a mafundisho yake hukubaliwa wa- kutajwa. Hadithi huwafanya watu
u ziwazi. Katika hali yake ya sasa ni wasione kuwa Biblia ndiyo msingi
a ya hatari sana, ya kijanja sana, na wa imani yao. Kumkiri Kristo kwa
a ya hila sana. Wenye kuamini hali kinywa tu, lakini kwa kweli hum-
- hiyo hukubali mambo ya Kristo na kataa kimatendo.
- Biblia, lakini kwa ujanja na hila Ni watu wachache sana ambao
o kubwa. Biblia hutafsiriwa kwa wamegundua hila hiyo ya kuongea
- namna ya kupotosha ili iwafura- na mizimu, au wafu. Wengi hu-
- hishe wale wasioongoka. Upendo jaribu ili kufanya utafiti. Huwa
a husisitizwa kuwa ndiyo tabia kuu na hali ya hofu juu ya kuongea na
ya Mungu, lakini hupotoshwa na roho hizo, lakini huthubutu kwen-
- kumwelekeza katika njia za uash- da mahali palipokatazwa. Hivyo
, erati. Chuki ya Mungu kuhusu mwovu huwakamata kwa hila na
dhambi, na kanuni ya Mungu kuwashikilia katika hali ya mate-
163
164
-
i
-
i
-
o
a
a
o
-
-
-
165
k
k
w
g
w
w
m
R
h
m
n
m
j
166
Uhuru wa
Dhamiri Unatishwa
S
asa makanisa ya Kiprotes- sana, baadaye Rumi ikapata uwezo
tanti yanaliona kanisa la Ki- wake wa kwanza itafufua hali yake
rumi kuwa rafiki yao zaidi ya ya mateso.
walivyoliona katika miaka iliyopita. Ni kweli kwamba wako wakristo
Katia nchi hizo, ambako ukatoliki halisi katika kanisa la Rumi. Watu
umeenea sana, mawazo ya wengi maelfu wanamtumikia Mungu kwa
huona kuwa tofauti kati yetu na kadiri ya ujuzi walio nao katika
wao sio kubwa, bali katika mam- kanisa hilo. Mungu huwaangalia
bo makuu ya imani tunakubalina kwa huruma watu hao. Wao wame-
nao, ila kuwa vipengele vidogo tu potoshwa na kufundishwa kinyume
vikirekebishwa, tutakubalina nao cha ukweli. Mungu atawaletea
katika mambo yote. Kulikuwako nuru, na wengi watajiunga pamo-
nyakati hapo zamani, Waprotes- ja na watu wake, katika kanisa la
tanti walipowafundisha watoto wao kweli.
kuwa kukubaliana na wakatoliki Lakini kama kanuni za Ukatoliki
kidini kumwasi Mungu. Sasa hali zilivyo, wanaachana na Biblia kabi-
ya maoni yao inatofauti kiasi gani!. sa, sawa kama walivyokuwa hapo
Watetezi wa Ukatoliki husema kwanza.
kuwa kanisa lilifanya vibaya sana Kanisa la Rumi hutumia kila njia
kufikiri kuwa waprotestanti waliku- ili lipate kukubalika katika ulim-
wa wapotofu. Hizi zilikuwa zama za wengu, ili liweze kurudisha hali
giza, za ujinga. Wanalaumu ukatili yake ya zamani ya kutesa, na kuvu-
waliowatendea watu kuwa ulikuwa ruga mambo yote ya Kiprotestant.
wa kinyama wakati huo. Wakatoliki wanaendelea kufau-
Je, watu hawa sasa wamesahau lu katika makusudi yao. Angalia
madai yao kuwa wao (Kansia la jinsi makanisa yao yanavyozidi ku-
Rumi) hawakosi? Kanisa la Kirumi ongezeka na tazama Koleji zao na
hudai kwamba, “kanisa halikosi ka- vyuo vyao vinavyozidi na kujazwa
mwe, wala halitakosa kamwe. Hivyo na wanafunzi wa Kiprotestanti.
ndivyo Maanandiko yanavyosema. Angalia jinsi kawaida zao za ibada
Kanisa la mapapa halitapunguza zinavyoongezeka huko Uingereza,
madai yake kuwa halikosi. Ngo- na maasi yanavyozidi kwa upande
ja serikali izuie mambo ya ukatili wa wakuu wa Katoliki.
167
o
-
-
.
o
-
i
-
a
-
-
a
a
-
i
u
a
a
a Maonyesho ya nje tu kwa ibada na taratibu za watawa na kutamani kwao kuwa na roho
inayougua kwa dhambi, hudhihirisha uovu uliopo ndani yao.
e
e
- na kujiondolea uthamani wake na kujitenga nayo. Mtu anaona
o na kujitia unajisi. Mawazo yake urahisi wa kujitesa yeye mwenyewe
- kuhusu Mungu hushuka chini na kwa njia mbalimbali kuliko kuusu-
a kumfananisha na mwanadamu lubisha mwili na tamaa zake.
i mwenye dhambi, maana kwa mtu
huyo padri huwa badala ya Mun- Mfanano wa Kushangaza
i gu. Maungamo haya yanayofany- Wayahudi wakati wa Kristo, wa-
i wa kwa binadamu mwenye dhambi likuwa wamezikanyaga amri za
e sawa na yule anayeungama, ndiyo Mungu, lakini kwa juu juu wali-
i yamekuwa asili ya uovu uliojaa ka- kuwa wakionekana kuwa wacha
- tika ulimwengu mzima. Hata hivyo Mungu wa kweli, wakikaza sana
- kwa mwenye kupenda anasa za amri za Mungu na kuzifanya kuwa
e ulimwengu, huonekana kuwa faha- mzigo kwa watu. Jinsi Wayahudi
- ri kuliko kujidhili mbele za Mungu walivyokuwa wakidai kwamba wa-
a na kumfunulia siri za moyo wake. nashika sheri ya Mungu, hali kad-
a Humfurahisha mtu kulipa malipo halika Warumi hujifanya kuwa wa-
e ya kitubio kuliko kuacha dhambi nautukuza msalaba.
169
170
171
172
173
175
176
177
y
f
u
b
s
f
d
w
t
k
k
n
u
d
y
w
h
m
178
Mapambano
Yaliyo Karibu Sana
T
angu mwanzo wa mapamba- Ni vyepesi kufanya sanamu ya
no huko mbinguni, limeku- mafundisho ya uongo, sawasawa
wa azimio la shetani kuhari- na kufanya sanamu za kuchonga.
bu sheria ya Mungu na kuondoa. Kule kumweleza Mungu kwa njia
Haidhuru ama ni kuindoa sheria potofu, yaani kuitafsiri tabia yake
yote nzima, au kukataa kutam- vibaya, shetani huwaongoza watu
bua sehemu moja tu ya sheria, kwa njia potofu. Sanamu ya wenye
matokeo ni yale yale. Mtu avun- elimu inatwalishwa na kuabudi-
jaye sehemu moja ya seria hudhi- wa, badala ya kumwabudu Mun-
hirisha nia yake ya kuvunja she- gu. Kama anavyofunuliwa katika
ria nzima, maana mvuto wake na Neno Lake, na katika Kristo, na
kielelezo chake huelekea upande katika kazi zake za kuumba Mun-
wa kuasi. Basi “amekosa juu ya gu na wenye elimu, watungaji wa
yote” Yakobo 2:10. mashairi, wana siasa, waandishi
Shetani amepotosha mafundsiho wa magazeti, wa vyuo vikuu vingi,
ya Biblia, kwa hiyo makosa yame- hata vyuo vya kufunza mambo ya
fanywa na watu maelfu katika dini, anazidi Baali kidogo tu, mun-
ukristo wao. Pamoja na mwisho gu jua ambaye ni mungu wa Wa-
baina ya ukweli na uovu ni kuhu- foeniki kama ilivyo siku za Eliya
su sheria ya Mungu, baina ya ma- nabii.
fundisho ya Biblia na sehemu ya Hakuna kosa la ujasiri kabisa
dini. Biblia inaweza kufikiwa na kuhusu mamlaka ya Mungu le-
watu wote lakini ni watu wachache nye matokeo ya hatari zaidi kuliko
tu wanaoikubali Biblia kuwa ndiyo kosa la kufundisha kuwa sheria ya
kiongozi wa maisha yao. Katika Mungu imefutika. Tuseme kuwa,
kanisa wengi hukataa misingi au wachungaji mashuhuri wahubiri
nguzo za imani ya Kikristo, yaani waziwazi kuwa, sheria ya mtawala
uumbaji, anguko la mwanadamu wa nchi yao haina ulazima kui-
dhambini, upatanisho na sheria shika, kwamba inazuia uhuru wa
ya Mungu. Nguzo hizi zimekatali- watu, kwa hiyo haina lazima ya
wa, yote au sehemu yake. Wengi kutiiwa. Je, mtu kama huyu an-
huona kuwa ni udhaifu tu kuitege- gevumiliwa muda gani aendelee
mea Biblia peke yake. kufundisha hivyo?
179
180
181
n
Umizimu leo unaigiza karibu sana na ukristo wa leo, tena una nguvu sana ya kudanganya na h
kupotosha. Shetani mwenyewe ameongoka, katika maendeleo ya leo. w
kunyosha mikono yao kuvusha wote wataona katika mwungano m
ghuba na kuunganisha na uon- huo kuwa ulimwengu unaongole-
geaji wa wafu; wataunganika na wa na Kristo.
Rumi; na chini ya nguvu hizi tatu, Kwa njia ya pepo hawa Shetani
nchi hii itafuata nyayo za Rumi za ataonekana kana kwamba ndi-
kutawala uhuru wa dhamiri. Kwa ye mfadhili wa wanadamu, aki-
vile imani ya kuongea na wafu, ita- waponya wagonjwa na kuwaletea
jifananisha na dini ya kikristo ya dini ya namna mpya, lakini wakati
kisasa, itakuwa na uwezo wa ku- ule ule akiwapeleka watu katika
danganya. Shetani mwenyewe at- uharibifu. Ulevi huaribu uwezo wa
ajigeuza kuwa mfano wa malaika kufikiri. Kupenda anasa na uash-
wa nuru. Kwa njia ya pepo hao wa erati, ugomvi na kumwaga damu
kuongea, miujiza itafanyika, wag- ndiyo matokeo yake.
onjwa watapona, na ishara nyingi Vita husisimua tamaa mbaya ya
zisizoweza kukanushwa zitatende- rohoni na kuingiza hali hiyo mpa-
ka. ka ndani, kwenye damu. Ni kusu-
Mapapa ambao hujidai kuwa di la shetani kuwachochea mataifa
dini ya kweli hujulikana kwa is- wapigane, ili kuwazuia wasijiandae
hara hizo watadanganyika kabisa kusimama mbele za Mungu.
kwa ishara hizo, na Waprotestanti Shetani amejifunza siri za vitu
wakiwa wametupa ngao ya ukweli, vya asili, naye anaweza kutumia
wao pia watadanganywa. Wakato- vitu vya asili ili kuleta madhara
liki, Waprotestanti na walimwengu kwa kadiri ile Mungu aruhusu-
182
i
-
-
a
i
a
a
-
u
a
-
-
a
e
u
a
a Mungu kamwe hatalazimisha nguvu za dhamira ya mtu; lakini mara zote Shetani hujitahidi
- kuzitawala kwa kuwarubuni hata kutenkeleza kwa kutumia ukatili.
183
184
-
,
a
o
e
-
-
a
-
a
a
o
.
a
a
a
185
z
h
m
f
y
t
u
y
y
H
w
u
k
186
Usalama Wetu
wa Pekee
W
atu wa Mungu wa- ba, atauawa na kufufuka tena.
meelekezwa kwa Neno la Malaika waliokuwako ili kuyaka-
Mungu kuwa ndilo litaku- zia maneno yake katika mioyo ya
wa usalama wao katika udangan- watu. Lakini maneno yake yali-
yifu wa giza. Shetani hutumia kila toweka katika mioyo ya wanafunzi
njia anayobuni ili kuwafanya watu wake, na wakati jaribu lilipokuja,
wasipate ukweli wa Biblia. Kila na Yesu alipokufa, matumaini
mara kazi ya Mungu inapoanzish- yao yalitoweka, wakafanana kama
wa, yeye naye huamka kwa juhudi kwamba hawakuonywa juu ya
ili kuinga. Mapambano ya mwisho mambo hayo. Vivyo hivyo unabii
baina ya Kristo na wafuasi wake umetufunulia mambo yajayo wa-
karibu yatatokea waziwazi, mbele ziwazi, kama wanafunzi walivyofu-
yetu. Shetani ataigiza mambo nuliwa na Kristo. Mungu anapo-
yafanane na yale ya kweli, mpa- tuma maonyo, hutazamia kuwa
ka itakuwa vigumu kupagundua, kila mtu atatega sikio na kuyajali,
isipokuwa kwa njia ya Maandiko lakini makundi mengi hawaelewi
matakatifu peke yake. ukweli huu muhimu na wakati wa
Wale wanaojitahidi kushika amri taabu utawapata bila kuwa tayari.
za Mungu, watapingwa na kudhi- Adhabu ya kutisha itakayowaan-
hakiwa. Ili kusudi waweze kusi- gukia watakaomwabudu mnyama
mama na kushinda, ni lazima wa- na sanamu yake (Ufunuo 14:9-
fahamu mapenzi ya Mungu jinsi 11) ingewafanya watu waamke na
yalivyofunuliwa katika Biblia. Wa- kuchunguza maana ya alama ya
taweza kumheshimu tu wakiwa na mnyama, na jinsi ya kujiepusha
ufahamu wa kweli kuhusu tabia nayo. Lakini watu hawashughuliki
yake serikali yake, na makusudi na ukweli wa Biblia na mafundisho
yake; halafu watende kama yalivyo. yake, kwa sababu huwapa kile wa-
Hakuna wengine, isipokuwa wale nachotaka, yaani udanganyifu.
waliojiimarisha kiroho kwa njia ya Lakini Mungu atakuwa na watu
ukweli wa Biblia, ndio watafaulu wenye kushika Biblia na ma-
katika mapambano ya mwisho. fundisho yake peke yake, kuwa
Kabla mwokozi hajasulubishwa ndiyo kanuni ya maisha ya msingi
aliwaeleza wanafunzi wake kwam- wa matengenezo yote. Mawazo ya
187
189
190
-
.
a
e
-
a
e
a
191
p
h
b
g
s
w
n
l
M
k
h
n
k
j
k
n
y
192
Ujumbe wa
Mungu wa Mwisho
N
aliona malaika mwingine, malaika waovu iwe kanisani. Babeli
akishuka kutoka mbingu- imejaza kikombe cha ghadhabu ya
ni, mwenye mamlaka kuu; uovu wake, na uangamivu wake uko
na nchi ikaangazwa kwa utukufu karibu kutokea.
wake. Akalia kwa sauti kuu akise- Lakini Mungu bado anao watu
ma, umeanguka, umeanguka Babeli wake katika Babeli, na watu waami-
ule mkuu, umekuwa masikani ya nifu hawa lazima watolewe humo,
mashetani, na ngome ya kila roho ili wasishiriki dhambi zake na wasi-
mchafu, na ngome ya kila ndege pate mapigo yake” malaika anashu-
mchafu mwenye kuchukiza …. Ni- ka kutoka mbinguni aking’arisha
kasikia sauti nyingine kutoka mb- nchi kwa utukufu wake, na kutaja
inguni, ikisema, tokeni kwake enyi maovu ya Babeli. Wito unasikika,
watu wangu, msishiriki dhambi “Tokeni kwake enyi watu wangu”.
zake, wala msipokee mapigo yake” Wito huu ndio maonyo ya Mungu ya
Ufunuo 18:1-2,4. mwisho kwa ulimwengu.
Tangazo lililotolewa na malaika wa Uwezo wote wa ulimwengu ukiji-
pili wa ufunuo 14:8 linarudiwa tena una pamoja ili kupingana na sheria
hapa pamoja na nyongeza ya adha- ya Mungu, utatangaza wazi kuwa
bu inayomhusu Babeli, tangu tan- “watu wote, wadogo kwa wakubwa,
gazo la kwanza lilipotolewa. matajiri kwa maskini, walio huru na
Hapa inaelezwa hali ya kutisha watumwa” (Ufunuo 13:16) lazima
sana. Kwa kukataa ukweli, mioyo ya wafuate mpango wa kanisa, na ku-
watu itazidi kuwa giza zaidi na zaidi pumzika katika sabato ya uongo
nao watazidi kushupaa. Wataende- (Jumapili). Watakaokataa kufuata
lea kukanyaga mojawapo ya amri za amri hiyo mwishoni watatajwa kuwa
Mungu, mpaka watafikia hatua ya wanastahili kuuwa. Kwa upande
kuwatesa, wale wanaoitunza amri mwingine sheria ya Mungu inayo-
hiyo. Kristo atadharauliwa pamoja husiana na pumziko la Mwumbaji,
na Neno Lake na watu wake. yaani siku ya sabato, inatishia ad-
Jina la dini litakuwa kama vazi la habu kubwa kwa wale watakao-
kufunika maovu, yaani watu wata- ivunja.
jidai kuwa dini, lakini sivyo. Kule Tukiwa na jambo linalotangazwa
kuamini pepo kwamba ni maongezi wazi namna hii, mtu yeyote atakayei-
na wafu, kunafungulia mafundisho kanyaga siku ya Mungu, yaani sa-
ya shetani, na kuingiza mivuto ya bato ya siku ya saba, na kutii siku
193
194
195
196
i
-
-
-
197
t
w
y
y
k
i
w
k
w
k
M
w
a
k
a
n
f
198
Wakati wa Taabu
W
akati huo Mikaeli atasi- amefuta dhambi zao. “Na ufalme
mama, jemadari mkuu, na mamlaka, na ukuu wa ufalme,
asimamaye upande wa chini ya mbingu (Daniel 7:27)
wana wa watu wako: na kutakuwa karibu kutolewa kwa warithi wa
na wakati wa taabu, mfano wake wokovu, na Yesu atatawala kama
haukuwapo tangu lilipoanzaa ku- mfalme wa wafalme, na Bwana wa
wapo taifa hata wakati huo huo, na mabwana.
wakati huo watu wako wataokole- Atakapotoka patakatifu, giza kuu
wa: kila mmoja atakayeonekana litawafunika watu dunaini. Wenye
ameandikwa katika kitabu kile”. haki hawana budi waishi machoni
Daniel 12:1. pa Mungu mtakatifu bila kuwa na
Wakati ujumbe wa malaika wa mwombezi. Kile kinachowalinda
tatu ufungwapo, watu wa Mungu waovu kimeondolewa, na shetani
watakuwa wamekamilisha kazi anachukua utawala kamili bila ki-
yao, Watakuwa wamepokea mvua zuizi kwa watu ambao hawakutu-
ya masika, nao sasa wako tayari bu. Roho wa Mungu ameondolewa
kukabiliana na saa ya kujaribiwa dunaini. Shetani atawatumbuki-
inayowajia, Ujumbe wa mwisho za wenyeji wa ulimwengu katika
wa kukata shauri umekwisha taabu kuu ya mwisho. Malaika
kutolewa ulimwenguni, na wote wa Mungu waliokuwa wakizuia
waliojithubutisha kuwa waaminifu pepo kuu, sasa wanaziachia pepo
kwa Mungu wametiwa “mhuri wa hizo ni fujo ya ajabu na mauaji
Mungu”. Ndipo Yesu anapokome- yasiyosemwa. Ulimwengu mzima
sha kazi yake kama mwombezi wa utahusikia katika kuangamizana
wanadamu huko mbinguni. Hapo bila huruma, zaidi ya maangamizo
atasema kwa sauti kuu, “imekwi- yaliyouangukia Yerusalemu wa za-
sha” “mwenye kudhulumu na azidi mani. Mpaka sasa majeshi yako
kudhulumu; mwenye uchafu na tayari, yanangoja tu ruhusa ya
azidi kuwa mchafu; mwenye haki Mungu ili yaanze kazi ya kuanga-
na azidi kufanya haki; na mtakati- mizi kila kona.
fu na azidi kutakaswa”. Ufunuo Wenye kushika sheria ya Mungu
22:11. Kristo amekwisha kufan- watahesabika kama ndio wenye
ya ukombozi kwa watu wake, na kusababisha maafa hayo, yali-
199
200
201
202
203
204
Tendo la Kutawazwa
Katika mfululizo wa mambo ya Kama kilele cha onyesho la uongo, Shetani
mwenyewe ataingiza umbo la Kristo. Mwongo
kutawazwa ya udanganyifu, Shet- mkubwa tafanya ionekane kuwa
ani mwenyewe atajifananisha Kristo amekuja mara ya pili.
kama Kristo. Kanisa limemtazamia
Mwokozi kwa muda mrefu kutimil- naamini uchawi huo na kusema
iza matumaini yake. Sasa mdang- “uwezo huu mkuu ni wa Mungu”
anyaji mkuu atajifanya kwamba Matendo 8:10.
u ndiye Kristo anakuja. Shetani at-
i ajionyesha mwenyewe katika hali Watu wa Mungu hawapotoshwi
u ya mng’ao, kama kiumbe maarufu Lakini watu wa Mungu hawata-
o kabisa chenye kung’aa kikimwigi- potoshwa. Mafundisho ya huyu
a za Mwana wa Mungu kama ana- kristo bandia hayalingani na
- vyoelezwa katika Ufunuo 1:13-15. Maandiko. Mibaraka yake ameitoa
o Utukufu unaomzunguka ni kwa waabudu mnyama na sanamu
a mwingi sana unashinda kitu cho- yake, watu ambao watamwagiwa
chote macho ya wanadamu wa- ghadhabu ya Mungu isiyo na hur-
o lichopata kuona. Kishindo cha uma, kama Biblia isemavyo.
i kelele ya ushindi kinasikika, Zaidi ya hayo, shetani hata-
u “Kristo amekuja! Watu wanam- ruhusiwa kuigiza kabisa jinsi Kris-
i wangukia. Anainua mikono yake to atakavyokuja. Mwokozi amewa-
, na kuwabariki. Sauti yake ni onya watu wake kuhusu sehemu
u laini, imejaa muziki. Kwa sauti ya hii, ya udanganyifu. Amesema
i huruma anaeleza mambo ya mb- “kwa maana watatokea makristo
- inguni ambayo ni ya kisasa yali- wa uongo, na manabii wa uon-
a yosemwa na Mwokozi. Anaponya go, nao watatoa ishara kubwa,
wagonjwa halafu akiwa kama Kris- na maajabu wapate kuwapoteza,
a to, asema kuwa amebadili Sabato kama yumkini, hata wateule …
, kuwa Jumapili. Anasema kuwa Basi wakiwaambia, Yuko jangwani,
- wale watunzao sabato ya Juma- msitoke; yuko nyumbani msisadi-
i mosi wanalikufuru jina lake. Hili ki. Kwa maana kama vile umeme
” ni danganyo kuu katika madan- utokavyo mashariki ukaonekana
a ganyo yake. maelfu ya watu wa- hata magharibi, hivyo ndivyo kuta-
205
g
k
g
I
3
u
w
k
n
“
h
N
v
k
k
Mataifa mengi yatakuwa yametupwa katika kifungo kikatili, Je Bwana atawasahahu watu y
wake katika saa ya kujaribiwa? Je alimsahahu Nuhu? Vipi Lutu? Je alimsahahu Jermia? Je
alimsahahu Daniel katika tundu la samba?
206
207
208
a
-
i
-
o
-
,
-
,
?
-
.
-
-
- Hebu watu na waone njozi ya mbinguni, watawaona malaika wakiwa katika makundi
a wakiimarisha ulinzi kwa wale walioshika neno la Kristo kwa subira.
209
210
i
u
a
-
e
-
a
,
-
a
-
i
-
-
.
211
m
m
g
w
w
l
m
w
u
t
w
w
n
u
y
j
m
b
w
l
u
n
a
K
l
212
Watu wa Mungu
Wakombolewa
W
akati ulinzi wa kibinadamu macho juu ya ishara ya agano la Mun-
wa kisheria utakapoon- gu, na wanataka wafunikwe wasione
dolewa kwa watu wenye mng’aro huo.
kuiheshimu sheria ya Mungu ndipo Kwa watu wa Mungu sauti ilisiki-
kutakuwa miondoko kadhaa katika ka ikisema, “Tazamameni juu”
nchi mbalimbali ya kuwaangamiza. Wakatazama juu wakauona utukufu
Wakati unapokaribia wa kuwaan- wa Mungu na Mwana Kondoo katika
gamiza, kama ilivyoamuriwa, watu kiti cha enzi, kama Stefano alivyoona.
wataazimu kuwavamia usiku mmoja Matendo 7:55-56. Walizitambua al-
ili kuwanyamazisha kabisa. ama za misumari, ambazo ni alama
Watu wa Mungu, wengine wamo za kujidhili kwake. Kisha wakasikia
magerezani, wengine wamo misituni neno “nataka hao ulionipa wawe
milimani, wanaendelea kumsihi Mun- pamoja nami” Yohana 17:24. Sauti
gu awahifadhi. Watu wenye silaha, ilisikika ikisema, “Wanakuja, wam-
wakihimizwa na malaika wa shetani, etakaswa, hawana waa lolote, wala
wanajitayarisha kuwaangamizia mba- uchafu! Wameshika neno la uvumil-
li. Sasa katika muda wa wasiwasi ivu wangu”.
mno, Mungu ataingilia kati. “Mtaku- Kwenye usiku wa manane Mun-
wa na wimbo kama vile wakati wa gu aonyesha uwezo wake wa ajili ya
usiku kama vile mtu aendapo … ka- kuwaokoa watu wake. Jua latokea
tika mlima wa Bwana, aliye mwamba liking’aa kwa nguvu. Maajabu na is-
wa Israeli. Naye Bwana atawafanya hara vyafuata. Waovu wakaangalia
watu kusikia sauti yake ya utukufu, kwa hofu kuu juu ya mambo hayo,
naye atawaonyesha jinsi mkono wake wakati wateule wanaona kuwa hizo
ushukavyo, na ghadhabu ya hasira ndizo ishara za ukombozi wao. Ka-
yake na mwako wa moto ulao, pamo- tikati ya mbingu zilizokasirika, ku-
ja na dhoruba, na tufani, na mvua ya natokea nafasi wazi yenye utukufu
mawe ya barafu” Isaya 30:29-30. usioelezeka, ambako sauti ya Mungu
Makundi ya watu waovu yako kari- inatokea ikinguruma kama maporo-
bu kuwavamia wana wa Mungu, moko ya maji, ikisema, “Imekwisha
wakati giza kuu, na kuu kabisa ku- kuwa! Ufunuo 16:17.
liko usiku lilifunika dunia. Kisha Sauti hiyo hutetemesha mbingu
upinde wa mvua ukatanda mbinguni na nchi. Litatokea tetemeko la nchi.
na ukaonekana kama upinde huo un- “Kubwa, ambalo tangu wanadamu
awazungushia hawa wana wa Mungu. kuwako juu ya nchi, hapakuwa nam-
Kundi la waovu linazubaa. Kusudi na ile”. Ufunuo 16:18. Miamba mi-
lao limesahaulika, sasa wanakodolea kubwa ikatupwa huku na huko juu
213
w
n
w
k
h
s
g
u
y
s
h
t
M
Ni katika usiku wa manane ndipo nguvu za Mungu zitawaokoa watu wake. i
Sauti ya Mungu itatikisa mbingu na dunia.
c
ya nchi. Bahari ikasukasuka kwa “Na wale waliomchoma Kristo, walio-
fujo na ghasia. Kukasikika sauti ya kuwa wakimdhihaki na kuchekelea m
kilio na mvumo wa tufani kama sauti kifo chake cha uchungu mkuu” na u
ya mashetani. Uso wa nchi ukavunji- wale waliokuwa wapingaji wakuu wa n
kavunjika. Msingi wake ukaonekana ukweli, watafufuliwa wapate kuona H
kana kwamba umeng’oka. Bandari heshima watakayopewa waaminifu u
kuu zilizofananishwa na Sodoma na watiifu wa sheria ya Mungu” Dan. n
kwa uchafu na ufisadi wake, zikaza- 12:2 Ufu 1:7. g
mishwa na bahari yenye msukosuko. Umeme mkali unametameta uki- k
Babeli mkuu, amekumbukwa mbele zunguka nchi, ukiwa kama mwali M
za Mungu, ampe kikombe cha ghad- wa moto. Juu ya ngurumo za ajabu, l
habu ya uchafu wake. Ufunuo 16:19. sauti, za sirisiri na masikitiko zikitan- a
Mvua ya mawe makubwa inafanya gaza ajali ya waovu. Wale waliokuwa i
kazi yake ya kuponda watu. Miji mi- wenye majivuno na wapinzani wakuu,
kuu yenye kiburi inaangushwa chini. wakatili kwa watumishi wa Mungu, n
Majumba makubwa, ambamo wakuu sasa wanagwaya kwa hofu. Mashet- k
na matajiri walifanyia anasa zao yak- ani wanatetemeka, wakati watu wa- s
abomolewa machoni mwao. Mager- naomba msamaha. u
eza yakapasuliwa na watu wa Mungu p
waliofungiwa huko wakatoka. Siku ya Bwana n
“Makaburi yakafunguliwa, na wengi Nabii Isaya asema, “Siku hiyo kila n
wao waliolala mavumbini... wakaam- mtu atazitupilia mbali sanamu zake W
ka, wengine wapate uzima wa milele, za fedha, na sanamu zake za dhaha- g
na wengine wapate aibu na kudharau- bu, walizojifanyia ili kuziabudu, kwa u
liwa milele” fuko na popo; ili aingie ndani ya pam- k
214
216
217
218
219
e
m
m
k
f
u
s
n
n
222
Dunia Katika
Maangamizi
W
akati sauti ya Mungu itakapo- na kuwatwawanya … Angalieni ni-
fungulia watu wake, kutaku- tawapatiliza uovu wa matendo yenu.”
wa na mwamko wa kutisha “Mnemhuzunisha moyo wenye haki
kwa wale walioshindwa, katika ma- ya uongo, ambaye mimi sikumhu-
pambano haya ya maisha. Wakipo- zunisha, na kuitia nguvu mikono ya
fushwa na madanganyo ya shetani, mtu mbaya hata asigeuke na kuiacha
matajiri wakijivuna juu ya wale walio- njia yake mbaya” Yeremia 23:1-2;
kuwa na mali kama zao. Lakini ha- Eze.13:22.
wakuwajali maskini, wenye njaa, walio Wachungaji wa watu wao wanaona
uchi, wala hawakutenda matendo ya kuwa, kumbe walikuwa wamemwasi
haki, huruma na upendo. Sasa vitu Mwenye sheria zote za haki, yaani
vyao vyote wamenyag’anywa wame- Mungu. Walipoiacha sheria, waka-
achwa fukara. Wakaangalia kwa hofu fungua njia ya maasi yote, mapaka
kuu uangamivu wa sanamu zao am- nchi ikawa ziwa la uharibifu. Lugha
bavyo walivifanyia miungu yao. Wa- haitoshi kuelezea hali ya kutamani
liuza roho zao katika furaha na anasa waovu waliyo nayo ya kupata uzima.
za dunia. Maisha yao yamekuwa kati- Lakini saa wamepoteza milele, uzima
ka hali ya ufukara. Mali walizochuma wa milele.
katika maisha yote zimeyeyuka kwa Watu wanashitakiana wao kwa
kitambo. Matajiri wanaombeleza, kwa wao kwamba wamekoseshwa mpaka
ajili ya maangamizi ya majumba yao wamepotea, lakini wote wakaelekeza
makubwa. Mtawanyiko wa dhahabu matusi yao ya kuwalaani wachungaji
na fedha zao. Wana hofu kuangamia ambao wamewakosesha.
na sanamu zao. Waovu wanaombo- Wachungaji ambao walisema mane-
leza kwa sababu matokeo yamekuwa no laini (Isaya 30:10) ambayo yaliwa-
hivyo, wala hawakutubu. fanya watu wajiepushe na sheria ya
Mchungaji aliyeacha ukweli ili ap- Mungu. Watainuka na kusema “Tu-
endwe na watu anafahamu sasa kuwa mepotea, na ninyi ndio mliotukose-
mafundisho yake yalikuwa na mvuto sha” Mikono ile iiyokuwa ikiwasifu na
mbaya. Kila mstari ulioandikwa na kuwatukuza, sasa inawainukia ipate
kila neno lililonenwa ambalo liliwa- kuwaangamiza. Kila mahali palijaa
fanya watu watulie katika ngome ya mapigano na kumwaga damu!
uongo, lilikuwa mbegu iliyopandwa, Mwana wa Mungu pamoja na wenyeji
sasa wanaona mavuno yalivyo. Bwa- wa mbinguni wamekuwa wakipamba-
na asema “Ole wao wachungaji wa- na na uovu, huku wakiwamulikia, na
naoharibu kondoo za malisho yangu, kuwavuta watu ili watoke katika njia
223
w
l
m
M
m
y
Mchungaji aliyetoa kafara kwa ukweli ili kupata umaarufu wa watu sasa wameacha tabia
njema yatokanayo na mafundisho yake.
K
za uovu na kuelekea nuru ya uzima. “Kwa maana, tazama, Bwana anakuja
Na sasa kila mtu ameamua upande wa kutoka mahali pake, ili kuwaadhibu y
kusimama. Waovu waliamua kuun- wakaao duniani, kwa sababu ya uovu h
gana na shetani ili kushindana na wao, ardhi nayo itafunua damu yake, t
Mungu. Kwa hiyo mapambano si ya wala haitawafunuka tena watu wake z
shetani peke yake, bali ni wanadamu waliouawa”. “Mashaka makubwa ya- k
pia. “Bwana anayo mateto pamoja na tokanayo kwa Bwana yatakuwa kati m
mataifa”. Yeremia 25:31. yao, na kila mmoja wao atakamata y
mkono wa jirani yake, na mkono wake d
Malaika wa Mauti utainuliwa ili kushindana na mkono k
Sasa malaika wa mauti anatoka, wa jirani yake” Isaya 26:21; Zekaria w
katika njozi ya Ezekieli akifananish- 14:12-13. H
wa na watu wenye silaha za kufisha. Mashindano yao ya kinyama, pamo- K
“Waueni kabisa, mzee, na kijana na ja na mapigo ya Mungu yasiyochang- i
msichana na watoto wachanga na anywa na huruma, wataanguka wa- p
wanawake; lakini msimkaribie mtu ovu, makuhani, wakuu, na watu kwa b
ye yote mwenye hiyo alama, tena an- ujumla. “Na waliouawa na Bwana z
zeni katika patakatifu pangu”. Basi siku ile watakuwako, toka upande m
wakaanza kwa wazee waliokuwa mmoja wa dunia na hata upande wa k
mbele ya nyumba “waliodai kuwa wa- pili”. Yeremia 25:33. a
ongozi wa watu” Eze. 9:6. Walinzi Katika kurudi kwake Kristo, waovu v
wa uongo ndio wa kwanza kuanguka. watauawa kwa mng’aro wa utukufu p
224
225
226
i
a
a
-
-
.
a
a
e
,
a
o
-
”
i
u
a Kwa miaka elfu moja, Shetani atazunguka
- mpaka miisho ya dunia akitazama uasi wake
, dhidi ya sheria za Mungu.
-
anasema, “Hamjui ya kuwa tutawa-
o hukumu malaika?” Yuda asema, “Na
u malaika wasiolinda enzi yao wenyewe,
a lakini wakayaacha makao yaliyowa-
- husu, amewaweka katika vifungo vya
, milele chini ya giza kwa hukumu ya
- siku ile kuu” Yuda 6.
- Mwisho wa miaka 1000 ufufuo wa
i pili utatokea. Waovu watafufuka
- waje mbele za Mungu wapate kupe-
i wa hukumu yao kama ilivyoandikwa.
- Zaburi 149:9. Hivyo basi mwandishi
. wa ufunuo asema, “Hao wafu walio-
e salia hawakuwa hai hata itimie ile
. miaka elfu”. Ufunuo 20:5 Isaya naye
- asema, “Nao watakusanywa pamoja
- kama vile wakusanywavyo wafungwa
a katika shimo, nao watafungwa katika
- gereza; na baada ya siku nyingi wata-
jiliwa”. Isaya 24:22.
-
o
227
M
w
“
n
k
u
k
w
f
n
y
z
u
1
k
j
K
l
228
Amani ya Milele:
Mwisho wa
Mapambano
M
wisho wa miaka 1000 Kristo mtu wa kudanganya alikuwa katika
anarudi duniani akifuatana hali mbaya sana, lakini sasa aonapo
na waliokombolewa na jeshi waovu wamefufuka jeshi kubwa, ma-
la malaika. Anawaita waovu walioku- tumaini yake yanamrudia. Anakusu-
fa waamke ili wapate malipo yao ya dia kuendelea na mapambano tu, wala
ajali. Wanatokea wengi sana wasio- asisalimu amri. Atalipanga jeshi lake
hesabika, kama mchanga wa pwani vema, maana wote hao ni waasi kama
wakiwa na hali zao za maradhi na yeye, wako tayari kufanya kama apen-
kifo. Tofauti kubwa na wale waliofu- davyo. Hajitaji kuwa yeye ni shetani,
fuliwa mara ya kwanza. bali ajitaja kuwa mtawala wa ulim-
Kila jicho linamwangalia Mwana wa wengu kihalali. Anatumia hila zake ili
Mungu jinsi alivyo mtukufu. Waovu kuwahadaa. Kwamba ni yeye mrithi
wanapaza sauti kwa umoja wakisema, wa ufalme ila ananyang’anywa haki
“Amebarikiwa ajaye kwa jina la Bwa- yake kwa dhuluma. Anajidai kuwa
na”. Mathayo 23:39. Hasemi hivyo yeye ni mkombozi, anao uwezo wa
kwa upendo, ila tu ukweli wa mambo kushinda vita, kwamba uwezo wake
unawalazimisha kusema hivyo bila ndio umewatoa makaburini. Shetani
kutaka. Jinsi waovu walivyokufa anawatia nguvu wote walio dhaifu, na
wakiwa na hali ya ukafiri, ndivyo wata- kuwachochea kwa bidii ili wakauteke
fufuka wakiwa na hali hiyo. Hakuna mji wa Mungu. Anaona jeshi kubwa
nafasi ya kurekebisha tabia zao. la watu waliofufuka na kusema kuwa
Nabii asema, “Na siku hiyo miguu yeye kama kiongozi wao atashinda na
yake itasimama juu ya mlima wa Mi- kutwaa enzi yake.
zietuni …. Nao mlima wa mizeituni Katika jeshi hilo yamo majitu ya za-
utapasuka katikati yake” Zekaria mani yaliyoishi kabla ya gharika, ma-
14:4. mji wa Yerusalemu unaposhu- jitu makubwa yenye akili na uwezo
ka chini, kutoka mbinguni, utatua mwingi kimawazo, ambao walikuwa
juu ya mahali palipotayarishwa na waasi waliosababisha gharika. Pia
Kristo pamoja na watu wake na jeshi kulikuwamo na wafalme na maje-
la malaika, wanaingia mjini. madari wakuu ambao siku zao ha-
Wakati shetani alipofungwa asipate wakushindwa vita kamwe. Watu
229
231
232
233
234
235
w
l
y
k
h
w
k
u
P
o
m
y
d
k
t
v
m
m
d
M
m
m
n
k
m
n
z
w
h
m
a
Katika Biblia urithi wa waliookolewa huitwa “nchi” c
Waebrania 11:14-16. Pale Mchungaji wa mbinguni an- …
aongoza kundi lake kwenye kundi la maji ya uzima.
236
237
238
a
-
a
a
u
-
a
o
i
,
a
-
a
239