You are on page 1of 239

Pambano Kuu

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 1 16-03-2009 14:28:34


The Great Controversy Illustrated

First published in America 1884/1888

Published and printed by Øko-Tryk, Skjern, Denmark 2008


In Collaboration with Tanzania Adventist Press, Morogoro, Tanzania
All copyright are reserved © 2009

ISBN 978-87-985578-3-8

Sanctuary images are from Adrian Ebens, Maranthamedia.com


© Picture page 6, 228, 236 goodsalt.com, Lars Justinen

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 2 16-03-2009 14:28:35


Pambano
Kuu
Tafsiri ya Ufupisho wa

The Great Controversy


Between Christ and Satan

Ellen G. White

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 3 16-03-2009 14:28:35


17073 DSS 36 swahili rettet.indd 3 16-03-2009 14:28:35
Yaliyomo
17. Ahadi Za Kurudi Kwa Kristo ............................7
18. Nuru Mpya Katika Nchi Mpya ........................ 19
19. Kwa Nini Uchungu Mkuu? .............................. 33
20. Upendo Na Kurudi Kwake Kristo .................... 41
21. Kuvuna Upepo Na Kimbunga .......................... 53
22. Unabii Uliotimia ............................................. 63
23. Kufungua Siri Ya Patakatifu ........................... 73
24. Kristo Anafanya Nini Sasa?............................. 81
25. Sheria Ya Mungu Haibadiliki .......................... 87
26. Mashujaa Wa Kutetea Kweli ........................... 97
27. Uamsho Wa Kisasa Unafauluje? ................... 103
28. Kukabili Kumbukumbu Ya Maisha Yetu ....... 113
29. Kwa Nini Dhambi Iliruhusiwa? ..................... 121
30. Shetani Apigana Na Binadamu ..................... 129
31. Roho Chafu .................................................. 133
32. Jinsi Ya Kumshinda Shetani......................... 139
33. Baada Ya Kufa Kuna Nini? ........................... 147
34. Mizimu Ni Nani Katika Imani Ya Roho?......... 159
35. Uhuru Wa Dhamiri Unatishwa ..................... 167
36. Mapambano Yaliyo Karibu Sana ................... 179
37. Usalama Wetu Wa Pekee .............................. 187
38. Ujumbe Wa Mungu Wa Mwisho .................... 193
39. Wakati Wa Taabu ......................................... 199
40. Watu Wa Mungu Wakombolewa.................... 213
41. Dunia Katika Maangamizi............................. 223
42. Amani Ya Milele: Mwisho Wa Mapambano .... 229

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 5 16-03-2009 14:28:35


A
m
T
f
K
i
z
E
k
B
e
y
w
y
i
a
h
g
1
w
M
h
N
w
n
m
m
g
j
i

a

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 6 16-03-2009 14:28:35


17

Ahadi Za Kurudi
Kwa Kristo
A
hadi za kurudi kwake Kristo kumu ulimwengu kwa haki, na ma-
mara ya pilli ili kukamilisha taifa kwa uaminifu wake” Zaburi
kazi kuu ya ukombozi ndio 96:11-13.
msingi wa Maandiko matakatifu. Isaya naye asema, “Katika siku
Tangu huku Edeni watu waamini- hiyo watasema, Tazama, huyu ndi-
fu wa Mungu amekuwa wakingoja ye Mungu wetu, Ndiye tuliyemngoja
Kristo aje na kurejesha Paradiso atusaidie. Huyu ndiye Bwana tu-
iliyopotea. Enoko, ambaye ni ki- liyemngoja, Na tushangilie na kuu-
zazi cha saba, cha wale walioishi furahia wokovu wake” Isaya 25:9.
Edeni, yeye alitembea na Mungu Mwokozi aliwafariji wanafun-
kwa karne tatu, asema, “Angalia zi wake kwa uhakikisho wa kuja
Bwana alikuja na watakatifu wake, kwake, “Nyumbani mwa Baba
elfu, maelfu ili afanye hukumu juu yangu mna makao mengi …. Na-
ya watu wote, na kuwaadhibisha kwenda kuwaandalia makao ….
wote wasiomcha Mungu. Kwa ajili Nikienda …. Nitakuja tena, niwa-
ya kazi zao zote za upotevu walizoz- karibishe kwangu” Mwana wa Ad-
itenda bila kumcha Mungu, na kwa amu atakuja katika utukufu wake
ajili ya maneno magumu ambayo na malaika watakatifu wote pamoja
hao wenye dhambi wasiomcha Mun- naye. Ndipo atakapoketi katika kiti
gu wameyanena juu yake” Yuda cha utukufu wake, na mataifa yote
14:15. Ayubu naye katika usiku watakusanyika mbele zake” Yoha-
wa mateso alisema, “Najua ya kuwa na 14:2-3; Mathayo 25:31-32.
Mtetezi wangu yu hai. Na ya kuwa Malaika walirudia kusema ahadi
hatimaye atasimama juu ya nchi …. ya kurudi kwa Kristo wakisema,
Nami nitamwona Mungu pasipoku- “Huyu atakuja jinsi iyo hiyo mlivyo-
wa na mwili wangu nitamwona, mwona akienda zake mbinguni” Ma-
naam nafsi yangu mwenyewe. Na tendo 1:11 Paulo naye alishuhudia
macho yangu yatamtazama, wala si kwa kusema “kwa sababu Bwana
mwingine” Ayubu 19:25-27. Mtun- mwenyewe atashuka kutoka mbin-
ga zaburi na manabii wamenena guni pamoja na mwaliko na sauti
juu ya kurudi kwa Kristo hivi: “Mb- ya malaika mkuu, na parapanda ya
ingu na zifurahi, nchi na ishangilie Mungu” 1Tes. 4:16. Nabii wa Pat-
…. Mbele za Bwana, kwa maana mo naye asema, “Tazama yuaja na
anakuja, aihukumu nchi. Atauhu- mawingu na kila jicho litamwona”

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 7 16-03-2009 14:28:39


l
y
U
e
w
l
m
n
z
k
m
h
d
i
v
w
n
l
z
n
(

s
k
Mungu anataka kuwaanda watu kwa ajili ya matukio makuu k
kwa njia ya kuielewa Biblia kwa undani.
f
ufunuo 1:7. Kurudi kwake Bwana kumekuwa
Halafu, ndipo uovu uliowatawala tumaini la wateule wake nyakati n
muda mrefu duniani utaangamiz- zote. Katika mateso na shida, ku- “
wa, “Falme za ulimwengu zime- onekana kwa mwokozi wetu na t
kwisha kuwa ufalme wa Bwana Mungu mkuu, kumekuwa tumaini m
wetu na Kristo wake, naye atamiliki lenye baraka. Tito 21:13. Paulo m
milele na milele. “Ufunuo 11:15. akitaja ufufuo utakaotokea wakati w
“Bwana Mungu ataotesha haki na wa kuja kwa Bwana, wakati waliok- a
sifa mbele ya mataifa yote” Isaya ufa katika Kristo watakapofufuliwa u
61:11. na walio hai kunyakuliwa pamoja m
Ufalme wa Masihi ambao ni wa ili kumlaki Bwana hewani, asema, k
amani utasimamishwa. “Maana “Hivyo tutakuwa pamoja na Bwana k
Bwana ataufariji Sayuni, atapafari- milele” kwa hiyo farijianeni kwa k
ji mahali pake palipokuwa ukiwa, maneno hayo”. 1 Thes. 4:17. g
atafanya jangwa lake kuwa kama Katika kisiwa cha Patmo mwana- k
bustani ya Edeni, nyika yake kama funzi mpendwa alisikia ahadi iki-
bustani ya Bwana”. Isaya 51:3. sema, “Tazama naja upesi” jawabu

17073 DSS 39 tysk rettet.indd 8 25-03-2009 15:58:49


lake ambalo ni maombi ya kanisa
yasema, “amina, na uje Bwana”.
Ufunuo 22:20. Tangu kule mag-
erezani ambako watu wa Mungu
walifungwa, na kwenye majiko wa-
likochomea, na kule walikofia waa-
minifu wa Mungu, sauti zao za imani
na tumaini hutujia katika karne
zetu. Baada ya kuona hakika ya
kuja kwake na ya ufufuo wa wafu,
mkristo mmoja alisema, Walikid-
harau kifo, wakakutwa wameshin-
da mauti” Waldenses walishikilia
imani hiyo. Wycliffe, Luther, Cal-
vin, Knox, Ridley na Baxter, wote
walikutazamia kurudi kwake Bwa-
na katika imani thabiti. Hilo ndilo
lilikuwa tumaini la kanisa la siku
za mitume, na kanisa la Waldenses
na tumaini la Watengenezaji kanisa
(Reformers)
Unabii hauonyeshi jinsi na ku- Luther… “Siku ya hukumu haitakuwepo
kwa miaka 300”
sudi kwa kurudi kwa Kristo tu, la-
kini unaonyesha pia dalili za kuja Tetemeko Lililotikisa Ulimwengu
kwake ambazo kwazo watu wata- Katika kutimiza unabii huo kuli-
fahamu wakati wa kuja. tokea tetemeko kuu la nchi katika
a “Kutakuwa na ishara katika jua mwaka 1755. Hilo lilizidi mateteme-
i na mwezi na nyota”. Luka 21:25 ko yote yaliyotangulia. Linajulika-
- “Jua litatiwa giza, na mwezi hau- na kama tetemeko la Lisbon. Lil-
a tatoa mwanga wake, na nyota za ienea ulaya, Afrika na Marekani.
i mbinguni zitaanguka na nguvu za Tetemeko hilo lilisikika katika nchi
o mbingu zitatikisika. Ndipo hapo za Greenland, West Idies, Madeira,
i watakapomwona Mwana wa Ad- Norway, Sweden, Uingereza na Ire-
- amu akija mawinguni na nguvu na land. Lilienea katika umbali wa
a utukufu mwingi. Marko 13:24-26. maili za mraba miliioni nne. Katika
a mwandishi wa ufunuo anaeleza hivi Afrika mtikiso wa ardhi ulikuwa
, kuhusu dalili ya kwanza ya kurudi wa nguvu sawa na ule wa Ulaya.
a kwake Kristo. “Kulikuwa na teteme- Sehemu kubwa ya mji wa Algiers
a ko kuu, na jua likawa jeusi kama uliharibiwa. Wimbi kuu la maji lili-
guni la singa, mwezi wote ukawa furikisha mji wa Algiers uliharibiwa.
- kama damu” Ufunuo 6:12 Wimbi kuu la maji lilifurikisha miji
- ya Hispania na ya Afrika. Milima ya
u Ureno, ambayo ni mikubwa ilitiki-
9

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 9 16-03-2009 14:28:41


v
m
w
n
k
i
w
k
“Dunia hii kongwe haipo mbali na mwisho wake” alisema Melanchton. W
Hata Calvin, Knox, Ridley na Latimer walikuwa na mtazamo huo. K
shwa kwa nguvu sana hata ikawa futa wongofu, lakini ilikuwa kazi k
kana kwamba inang’olewa, min- bure. Walikimbia madhabahuni, k
gine ilipasuka kileleni kwa ajabu. wakikumbatia sanamu zao, lakini k
Udongo kutoka milimani ulitiririka wote, mapadri na watu wengine g
na kujaza mabonde. Miali ya moto walifunikwa na uangamivu katika v
ilionekana katika milima hiyo. tetemeko hilo
Katika mji wa Lisbon, ngurumo ya b
radi ilisikika ndani ya ardhi, baada Jua Mwezi Kutiwa Giza m
ya muda kidogo mtetemo wa nguvu Baada ya kupita miaka ishirini na k
sana uliangamiza sehemu kubwa mitano, ilionekana dalili nyingine s
ya mji. Katika tetemeko hilo ambalo tena iliyotajwa katika unabii, yaani n
lilidumu muda wa dakika sita hivi, jua kutiwa giza na mwezi pia. Muda n
watu sitini elfu waliangamia. Ba- wa kutukia dalili hizo ulitaja na f
hari kwanza ilikuwa kana kwamba mwokozi katika mazungumzo yake u
inakupwa, na kuacha nchi kavu, na wanafunzi wake. Alisema, “La-
halafu ilirudi kwa nguvu ikighariki- kini siku zile baada ya dhiki hiyo, a
sha vitu. Iliinuka juu zaidi ya futi jua litatiwa giza, na mwezi hauta- s
hamsini kuliko kawaida yake. ya- toa mwanga wake” Marko 13:24. m
likuwa yamejaa watu wakiabu- Miaka au siku 1260 ambazo ni za h
du. Katika hao na wachache sana dhiki ile kuu zilimalizika mwaka b
waliopona. Hofu na vilio vya watu 1798. Robo karne kabla ya muda
vilizidi kiasi, hata haielezeki. Maom- huo haujamalizika, mateso yaliku-
bolezo yalizidi hata inashindikana wa karibu kukoma, ila kidogo tu.
kuyaeleza. Walikimbia huku na Kitakachofuata mateso hayo ni jua
huko katika fadhaa yao na mahan- kutiwa giza. Tarehe 19 mei, 1780,
gaiko ya kushangaza. Katika shida dalili hii ilitimia.
iyo walikuwa wakilia na kusema Mtu aliyeshuhudia tukio hilo huko
kuwa “Mwisho wa ulimwengu ume- Masachusetts alieleza hivi: “Wingu
kuja” Akina mama walikimbilia zito sana lilitanda mbinguni, likifu-
wakilia huku wamewasahau watoto nika mbingu nzima, ila nafasi ndo-
wao, wakizikumbatia sanamu zao go pembeni, na ilikuwa giza kama
za kusulubishwa kwa Yesu. Wengi inavyokuwa wakati wa kiangazi saa
walikimbilia makanisani wakita- tatu za usiku….. Woga na wasiwasi

10

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 10 16-03-2009 14:28:41


viliwajaa watu. Wanawake walisi- kubwa kiasi ambacho walishindwa
mama milangoni mwa nyumba zao kuona chochote bila mwanga wa
wakiangalia nchi katika giza. Wa- mishumaa.
naume waliokuwa wakifanya kazi
katika mabanda ya ufundi walirud- Mwezi Kama Damu
isha vyombo vyao. Shule zilifung- Wala giza la usiku lilikuwa silo
wa na watoto wakarudi nyumbani la kawaida, na la kutisha kama la
katika hali ya hofu na kutetemeka. mchana. Walakini lilikuwa mbalam-
Wasafiri wakatua na kupiga kambi. wezi pevu bila kitu cha kuiziba. La-
Kitu gani kitatukia? Hilo ndilo lili- kini weusi uliukuwa mzito, ambao
i kuwa swali la kila mtu. Ilionekana kama mwanga wa mshumaa au taa,
, kwamba tufani kuu ilikuwa karibu ukionekana katika nyumba za jira-
i kuvamia nchi, au jambo la uan- ni au mahali pengine mbali kidogo,
e gamivu lingetokea na kuangamiza ilionekana kama giza la Misri lisi-
a vitu vyote. lopenyeka kwa nuru. Kama kila
Mishumaa iliwashwa kana kwam- mtu angekuwa amefunikwa na kitu
ba ni usiku wa giza pasipokuwa na kisichopeneyeka kwa nuru, hata
mbalamwezi. Kuku waliingia kulala hivyo giza lisingekamilika kwa jinsi
a kama kawaida. Ng’ombe wakaku- lilivyokuwa kubwa. Baada ya usi-
e sanywa na kulia, vyura wakalia, ku wa manane giza lilitoweka, na
i ndege wakaimba nyimbo za jioni, mwezi mara ya kwanza ukaoneka-
a na popo wakaruka ruka kama wa- na kama damu.
a fanyavyo. Lakini watu walijua kuwa Mei 19, 1780 unajulikana kihis-
e usiku bado haujaja. toria kama, “Siku ya Giza” Tangu
- Watu walikusanyika mahali mah- wakati wa Musa hakuna giza lili-
, ali. Mahubiri ya haraka haraka ya- lolinganishwa na hilo lililotokea.
- siyoandaliwa yakasomwa na kutaja Maelezo ya shahidi aliyeshuhudia
. mafungu yanayokubaliana na tukio giza hilo ni mwangwi wa yale yali-
a hilo katika unabii. Giza lilizidi zaidi yomo katika Yoeli yaliyoandikwa
a baada ya saa tano asubuhi. zamani za miaka 250 kabla nayo
a Mahali pengi nchini giza lilikuwa husema “Jua litageuzwa kuwa giza,
- na mwezi kuwa damu, kabla hai-
. jaja hiyo siku ya Bwana iliyo kuu
a na itishayo” Yoel 2:31.
, Kristo alisema, “Basi haya yaan-
zapo kutokea, changamkeni, mka-
o viinue vichwa vyenu, kwa kuwa
u ukombozi wenu umekaribia” Wakati
- iishapo kuchipuka, mwaona na ku-
- tambua wenyewe ya kwamba ma-
a jira ya mavuno yamekwisha kuwa
Watu walistuka kuona tetemeko la Lisbon
a lilitokea siku ya sikuu wakati watu wengi
karibu”. Nanyi kadhalika, mwona-
i walikuwa wanakwenda kanisani. po mambo hayo yaanzapo kutokea,

11

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 11 16-03-2009 14:28:41


k
m
w
o
m
u
I

M
t
h
i

s
l
w
m
n
m
….jua lilikuwaa jeusi kama kitambaa cheusi, na mwezi ukawa mwekundu kama damu.
e
tambueni ya kwamba ufalme wa ulafi, na ulevi, na masumbufu ya k
Mungu u karibu”. Luka 21:28, 30- maisha haya; siku ile ikawajia ghaf- k
31. la, kama mtego unasavyo”. “Basi, w
Lakini upendo wa Kristo na imani kesheni ninyi kila wakati, mkiom- B
ya kuja kwake vimepoa kanisani. ba, ili mpate kuokoka katika haya y
Watu wa Mungu walikuwa vipofu, yote yatakayotokea, na kusimama h
wasizitambue dalili za kuja kwake, mbele za Mwana wa Adamu” Luka m
wala mafundisho ya Mwokozi 21: 34,36. Ilikuwako haja ya lazi- s
kuhusu dalili hizo. Fundisho la ku- ma ya kuwaamsha watu wajiandae w
rudi kake Yesu halikujaliwa, mpaka kukabili mambo yanayoambatana Y
baadaye likasahauliwa, hasa huko na kufungwa kwa muda wa rehe-
Marekani. Shughuli za uchumi na ma k
kutafuta mafanikio heshima zime- “Kwa kuwa siku ya Bwana ni kuu, n
wasahaulisha watu wasielewe kuwa yenye kitisho sana naye ni nani r
mambo ya sasa yatapita. awezaye kusimama?” Nani atasi- k
Mwokozi alitaja hali ya uasi ita- mama mbele yake Mwenye “Macho M
kayoonekana duniani kabla ya safi” yasiyotazama ukaidi na uovu? w
kuja kwake mara ya pili. Kwa watu “Nami nitaadhibu ulimwengu kwa w
wale wanaoishi wakati huu, Kristo sababu ya ubaya wake, na wenye Y
anawaonya akisema “Basi jiangali- dhambi kwa sababu ya hatia yao;
eni mioyo yenu isije ikalemewa na nami nitaikomesha fahari yao wenye 1

12

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 12 16-03-2009 14:28:42


kiburi, nami nitayaangusha chini tatu, unaowakilishwa kana kwam-
majivuno yao makali” Falme yao ba ni tangazo linalotolewa na vi-
wala adhabu zao havitaweza kuwa- umbe wa mbinguni warukao, am-
okoa” Na huo utajiri wao utakuwa balo hufuatiwa mara moja na kuja
mateka na nyumba zao zitakuwa kwa Mwana wa Adamu ili avune
ukiwa” Yoel 2:11; habakuki 1:13; mavuno ya nchi. Nabii aliona ma-
Isaya 13:11; Sefania 1:18;13. laika akiruka katikati ya mbingu
akiwa na Injili ya milele itakayohu-
Mwito Wa Kuamka biriwa kwa watu wote wakaao duni-
Kuhusu siku hiyo kuu, neno la ani, watu wa kila taifa na kabila na
Mungu huwaita watu wake ili wau- lugha na jamaa, ikisema kwa sauti
tafute uso wake kwa njia ya toba kuu, Mcheni Mungu na kumtu-
hivi: “Kwa maana siku ya Bwana kuza, kwa maana saa ya hukumu
inakuja kwa sababu inakaribia”. yake inakuja. Msujudieni yeye ali-
“Takaseni sanamu, kusanyeni ku- yeziumba mbingu na nchi na baha-
sanyiko kuu”. Kusanyeni watu, ri na chemichemi za maji. “Ufunuo
likataseni kusanyiko, kusanyeni 14:6-7.
wazee, kusanyeni watoto... Hao Ujumbe huu ni sehemu ya “Injili
makuhani wahudumu wa Bwa- ya Milele”. Kazi ya kuhubiri ujumbe
na, na walie kati ya patakatifu na
madhabahu na waseme, Nirudi-
eni mimi kwa mioyo yenu yote, na
a kwa kufunga na kwa kulia, na kwa
- kuomboleza. Rarueni mioyo yenu,
, wala si mavazi yenu, makamrudie
- Bwana, Mungu wenu, kwa maana
a yeye ndiye mwenye neema, amejaa
a huruma; si mwepesi wa hasira, ni
a mwingi wa neema, amejaa huruma;
- si mwepesi wa hasira, ni mwingi
e wa rehema naye hughairi mabaya”
a Yoel 2:1, 15-17, 12-13.
- Kazi kuu ya matengenezo yaani
kuwatayarisha watu ili kukutana
, na Mungu, budi ikamilishwe. Kwa
i rehema zake Mungu alikuwa tayari
- kuwatumia watu wake ujumbe wa
o Mungu alikuwa tayari kuwatumia
? watu wake ujumbe kuwaamsha ili
a wajitayarishe kwa kurudi kwake
e Yesu. Wale wanaoishi wakati huu, Agizo la Kristo:
“Jihadhari na mioyo yenu, mioyo yenu
; Ujumbe huu umo katika Ufunuo isilemewe na taabu nyingi, na giza nene na
e 14; Hapa ndipo ujumbe wa sehemu masumbuko ya maisha haya, hata siku ile
ikawajia bila kutambua.

13

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 13 16-03-2009 14:28:42


huu imekabidhiwa kwa wanadamu.
Malaika watakatifu huongoza, wal- h
akini utangazaji hasa wa ujumbe ni p
wa watumishi wa Mungu waliomo K
duniani, watu waaaminifu, wanao- h
fuata maongozi ya roho wa Mungu y
na kufuata mafundisho ya neno a
lake, ndiyo wanaohusika na utan- w
gazaji wa ujumbe huu. Wameku- s
wa wakitafuta maarifa ya Mungu, M
wakiyahesabu kuwa ya thamani w
kuliko fedha na dhahabu. Siri ya a
Bwana iko kwao wamchao, naye
atawaonyesha agano lake” Mithali s
3:14; Zaburi 25:14. J

Ujumbe Ulitolewa na k
Wanyenyekevu t
Kama Wasomi na wataalamu, wa- h
chunguzi wa maandiko, wangeli- s
kuwa waaminifu na wacha Mungu, Ni Yusufu na Mariam wanyenyekevu j
ndio waliochaguliwa kumpokea
ambao wanasoma Biblia kwa roho Mwokozi wa ulimwengu.
n
ya maombi na unyenyekevu wa d
kweli, wangelifahamu wakati. Un- atakapozaliwa, Daniel naye akataja m
abii ungeeleweka kwao, na mambo wakati atakapozaliwa. Mika 5:2; m
yaliyotabiriwa kuwa yatatokea yas- Daniel 9:25. Waongozi wa Kiyahu- t
ingaliwakuta gizani. Lakini basi di hawakuwa na udhuru wo wote, k
ujumbe haukutolewa na wasomi kwa kutojua kwao. j
hao, bali ulitolewa na watu duni, Wazee wa Israeli, kama wangali- s
wanyenyekevu tu. Wale walipuu- tia nia kusoma unabii wangekuwa k
za kushikilia nuru iliyokuwa kari- mahali, na wakati wa kuzaliwa kwa p
bu nao, waliachwa gizani. Lakini Kristo, ambako lilikuwa tukio kuu w
Mwokozi alisema “Anifuataye mimi ulimwenguni; kuja kwa Mwana wa w
hatakwenda gizani, bali atakuwa Mungu ulimwenguni. Lakini katika z
na nuru ya uzima” Yohana 8:12. mji wa Bethlehemu wasafiri wawili
Mtu wa aina hiyo nuru ya mbinguni waliochoka sana kutoka Nazareth k
itamwongoza kwenye kweli yote. walikuwa wakipitia kinjia mahali g
Wakati Kristo alipokuja mara pa kulala usiku. Hakuna nyumba d
ya kwanza kuzaliwa makuhani iliyokuwa tayari kuwakaribisha. z
waandishi waliokuwa katika mji Mwisho wakaingia katika kibanda h
mtakatifu ingelipasa wafahamu is- kibovu cha ng’ombe, na mle ndimo a
hara na kutangaza kuzaliwa kwake. Mwokozi wa ulimwengu alimoza- k
Mika alitaja mahali atakapozaliwa liwa. w

14

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 14 16-03-2009 14:28:45


Malaika waliagizwa kuwapasha kundi la watu walio tayari kupokea
habari watu waliokuwa tayari kuzi- habari za mbinguni. Ghafla, utuku-
pokea, na kuzipitisha kwa wengine. fu wa mbinguni ukaangaza uwanda
Kristo amejishusha kabisa ili atwae mzima. Malaika wengi sana wasio-
haki ya asili ya binadamu, na maafa hesabika wakatokea, kana kwamba
yao mpaka atoe nafsi yake iwe kaf- malaika mmoja asingetosha kuleta
ara ya dhambi. Hata hivyo malaika habari hiyo, kwa kuwa nyingi mno;
walitamani kuwa, ingawa ameji- Sauti za waliokombolewa wa matai-
shusha kiasi hicho, Mwana wake fa yote, zikisema “Atukuzwe Mugu
Mungu aliye juu, heri aonekane kwa juu mbinguni, na dunia yote iwe
watu wengine heshima na fahari in- amani, kwa watu waliowaridhia”
ayofanana na hadhi yake. Luka 2:14.
Je, wakuu wa Israeli, wataku- Lo, hili ni fundisho gani la hadithi
sanyika Yerusalemu ili kumsalimu? ya ajabu ya Bethlehemu! Hadithi
Je, malaika watamjulishwa kwao? hii inatuaibishaje? Inatufanyaje
Malaika alikuja duniani ili kuona tuwe tayari, tusije tukashindwa ku-
kuwa ni watu wangapi waliokuwa tambua dalili za wakati wa majilio.
tayari kumkaribisha Yesu. Lakini Malaika hawakukuta watu alio
hakusikia sauti yoyote ya kum- tayari kwa wachungaji peke yao,
shangilia Masihi. Malaika aliruka la. Katika nchi ya watu wa mataifa
juu ya mji mteule wa Yerusalemu pia kulikuwa na wakeshaji. Mama-
na hekalu tukufu ambapo upen- jusi wa Mashariki, watu waheshi-
deleo wa mbinguni umekuwa kwa miwa na matajiri. Wenye elimu wa
a miaka mingi, lakini hata hapo Mashariki walikuwako. Walijifunza
; mambo yalikuwa yale yale ya ku- kutoka katika maandiko ya Wae-
- toamini. Makuhani waliendelea
, kutoa dhabihu ambazo ni najisi
juu ya madhabahu najisi. Mafari-
- sayo waliendelea kupaza sauti zao
a kwa majivuno wakisali popote wali-
a popenda, mabarabarani. Wafalme
u wenye elimu, waalimu wote hao ha-
a wakushughulika na habari ya ku-
a zaliwa kwa Mwokozi.
i Mjumbe wa mbinguni alikuwa
h karibu kurudi mbingu kwa mshan-
i gao mkuu, ndipo alipogundua kun-
a di la wachungaji wakilinda kondoo
. zao. Walipokuwa wakiangalia nyota
a huko mbinguni, walikumbuka un- Sio wasomi au wenye hekima waliokuwa na
o abii unaohusu kuzaliwa kwa Mwo- shauku ya ahadi ya kuja kwake. Malaika
walikuwa karibu kurudi mbinguni, ndipo
- kozi, nao wakatamani sana utimizo wakaona kundi la wachungaji walikuwa
wa unabii huo. Kumbe, hapa liko wakichunga wanyama wao usiku, walikuwa
wakitafakari unabii wa Masihi.

15

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 15 16-03-2009 14:28:46


brania juu ya Nyota itakayotoka Wafuasi wengi wa Kristo wanai-
kwa Yakobo. Basi walingoja kwa kana nuru ya mbinguni. Sawa na
hamu sana, yule atakayekuja sio Wayahudi wa kale hawatambui dali-
wa Israeli pekee, bali ni wa watu li za majilio yao. Bwana aliwaacha,
wote wa ulimwengu mzima. “Nuru akawafunulia waliokuwa wakike-
ya kuwaangazia mataifa, na wok- sha kama Wachungaji wa Bethle-
ovu mpaka mwisho wa nchi” Luka hemu, na Mamajusi wa Mashariki.
2:25, 32; Matendo 13:47. Nyota ya
mbinguni iliwaongoza Mamajusi, Marejeo:
ambao ni wageni mpaka mahali ali- Tazama Daniel T. Taylor, Te Reign
pozaliwa mfalme. of Christ on Earth or the Voice of
Kristo atatokea kwa wale wa- the Church in all Ages p. 33
naomtazamia kwa wokovu. Wae- Sir, Charles Lyell – Principles of
brania 9:28. Kama habari za kuza- Geology p. 495
liwa Kristo, zilivyokuwa, zikiwafikia Encyclopedia American Art “Lis-
watu wa hali ya kawaida, ujumbe bon” (ed. 1831)
wa kurudi kwake umekabidhiwa The Assex Antiquarian, April 1899
kwa watu wa hali ya kawaida, sio Vol. 3 No. 4 p. 53-54.
kwa wataalamu, wala waalimu wa William Gordon, History of the
makanisa ya Kikristo ya dunia. Wao Rise – Progress Vol. 3 p. 57.
wameikataa nuru ya mbinguni, kwa Isaiah Thomas, Massachusets.
hiyo hawamo katika hesabu inayo- Spy or American Oracle of Liberty
semwa na Paulo: Bali ninyi, ndugu Vol. 10, No. 472 (May 1780)
hamno gizani mmekuwa wana wa Letter by Dr. Samuel Tenney of
nuru, na wana wa mchana; sisi si Exeter New Hampshire, Collection
wa usiku, wala wa giza”. 1Tes. 5:4- 1792 (1st Series Vol. 1 p. 97).
5.
Walinzi juu ya kuta za Sayuni
wangekuwa wa kwanza kupata
habari za kurudi kwa Mwokozi,
na kuzitangaza. Lakini wanajika-
lia tu, wakati watu wanafia dham-
bini. Yesu aliona kanisa lake liki-
wa kama mti usiozaa, lakini wenye
majani tele. Roho ya unyenyekevu
na uchaji wa imani ya kweli ime-
pungua sana. Kilichoko ni kiburi,
ubinafsi, mfano wa utawa na un-
afiki. Kanisa asi limefumba macho
halizioni dalili. Wamejitenga na
Mungu na upendo wake. Kwa jinsi
wasivyohusiana na ahadi zake ha-
zitimii kwao.

16

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 16 16-03-2009 14:28:46


-
a
-
,
-
-

n
f

.
y

f
n

Nimuhimu kujifunza ili kukuza uelewa wetu na maandiko ili kuona


mipango na mapenzi ya Mungu.

17

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 17 16-03-2009 14:28:47


w
d
k
M
n
w
j

n
A
y
k
d
t
n
n
s
k
K
w

n
p
w
M
h
i
k
w
w
h

18

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 18 16-03-2009 14:28:49


18

Nuru Mpya
Katika Nchi Mpya

M
kulima mmoja mtawa, hali yao. Tabia yao iliwapatia sifa
mwaminifu na mtafutaji iliyotokana na Biblia, hata hivyo
wa ukweli, ndiye aliyeteuli- vipawa hivyo vyema viliharibiwa na
wa na Mungu ili kukiongoza kikun- kutoa mvuto wao katika Neno la
di cha watu waliokutangaza kurudi Mungu.
kwake Yesu mara ya pili. William Sasa walivyoitafsiri Biblia kulileta
Miller aliishi maisha ya kimaskini, tatizo kwake ambalo lilikuwa gumu
na ya kujikana kama watengenezaji sana. Lakini imani yake, isiyofuata
wengine walivyoishi maisha ya ku- kama Biblia inavyosema, haikum-
jinyima. faidia lolote, kama hakuridhika.
Miller alijionyesha kuwa hodari Alipokuwa na umri wa miaka the-
na mwelekevu tangu utoto wake. lathini na minne roho Mtakatifu
Alivyoendelea kukua mawazo yake akimwangazia moyoni, akajiona
yalipanuka na kuendelea, naye ali- kuwa yu mwenye dhambi. Hakuwa
kuwa na kiu ya kupata elimu Upen- na uhakika wa maisha ya baadaye
do wake wa kujifunza, na nia yake baada ya kufa. Kwa hiyo aliona giza
thabiti, vilimsaidia kuwa mtu mwe- tu kwa maisha ya mbele. Akajise-
nye kufaa sana. Alikuwa na tabia mea moyoni hivi: “Mbingu ilikuwa
njema na nyofu naye aliheshimiwa ngumu juu ya kichwa changu, na
sana. Alijipatia cheo kikuu katika nchi ilikwa kama chuma chini ya
kazi zake za kiraia na za kijeshi pia. miguu yangu …. Kadiri nilivyofikiri,
Kwa hiyo utajiri na heshima viliku- ndivyo mawazo yalivyotawanyika.
wa wazi kwake. Nilijaribu kujizuia nisiwaze, la-
Alipokuwa mtoto alivutiwa sana kini sikuweza. Kwa kweli nilikata
na mambo ya dini. Walakini ali- tamaa, kwa vile nilivyosindwa. La-
pokuwa mtu mzima alijikuta aki- kini sikuelewa sababu ya hali hiyo.
wa katika watu wanaoamini kuwa Nililalamika na kugugumia, lakini
Mungu yuko aliyeumba vitu, lakini kasoro gani, nami sikujua namna
hana uwezo wa kuvitawala vitu hivo, ya akuiondoa”.
ila kila kitu hujiendesha chenyewe
kama kitakiwavyo. Watu hawa Miller Apata Rafiki
walimvutia sana, maana walikuwa Miller asema, “Kwa ghafla tabia
watu wema, waungwana, wenye ya mwokozi ikajidhihirisha katika
hali ya utawa. Miller alivutiwa na moyo wangu na katika nia yangu.

19

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 19 16-03-2009 14:28:50


mpenzi wangu, miongoni mwa elfu r
kumi. Biblia ambayo kabla ya hapo b
ilikuwa giza sasa ikaniwia taa ya k
miguu yangu. Nikaona kuwa Mun- t
gu ndiye mwamba katika mawimbi g
ya maisha. Biblia ikiwa ndilo somo i
langu. Nikashangaa kwa kutoona a
thamani yake hapo mwanzoni. Si- J
kupenda kusoma kitabu kingine, A
na kupata hekima ya Mungu katika M
Biblia. k
Miller akaiungama imani yake
dhahiri. Lakini wakafiri ambao j
walikuwa wenzake walimbishia m
yote aliyokuwa anawaeleza sana. n
Akaazimu kujifunza na kuhakiki- h
sha kuwa sehemu zile alizodhani n
kuwa hazikubaliani, sivyo ilivyo. k
Akitumia Commentary, alichun- m
guza fungu kwa fungu na kulingan- w
Miller alikuwa na kanuni madhhubuti. isha fungu na fungu, na kutumia m
vitabu vingine, kama Concordance w
Ilionekana kwamba, kulikuwa na akaanzia tangu Mwanzo, akisoma o
wema wa huruma kwake, kiasi cha fungu kwa fungu na kulinganisha, o
kumsukuma ajitoe kwa ajili yetu alipoona kuwa hakuna mafara-
ili tuokoke na adhabu ya dhambi. kano, basi alikaza mafundisho yake K
Sasa swali ni kuwa, Inathibitikaje kwa ukamilifu, akilinganisha fungu
kuwa mtu wa namna hiyo yuko? na fungu. Ndipo akaona yale Daudi w
Bila kupata habari hizo katika Bib- aliyoona katika Zaburi 119:130: u
lia, hakuna pengine pa kuthibit- “Kufafanusha maneno yako kwatia a
ishia. Mwokozi wa aina hiyo aeleze- nuru na kumfahamisha mjinga”. H
ki kwingineko, ila katika Biblia. Kwa juhudi nyingi, huku akifu- k
Nikaona kuwa Biblia ndiyo inatoa f
maelezo dhahiri kuhusu kitabu am- k
bacho hakikuandikwa kwa uongozi m
wa Mungu kinawezaje kuonyesha z
njia sahihi kwa ajili ya walimwengu h
walioanguka dhambini. Ni lazima r
Biblia kiwe ndicho kitabu cha Mun- K
gu. Basi Biblia kikawa ndicho kitu k
nilichokipenda na katika Yesu ni- f
kapata starehe kamili. Ndiye rafiki m
wa kweli. Basi Yesu akawa ndiye Miller alisema: “Niliona katika Biblia ikiniletea g
Mwokozi ambaye nilikuwa namhitaji.”

20

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 20 16-03-2009 14:28:51


u rahiwa sana, Miller alijifunza una- ya malaika mkuu, na parapanda ya
o bii wa Daniel na Ufunuo na kuona Mungu…” Nao watamwona Mwana
a kuwa mifano, iliyotumiwa katika vi- wa Adamu akija juu ya mawingu
- tabu hivyo inaweza kufahamika, in- ya mbinguni, pamoja na nguvu na
i gawa ni ya unabii. Akaona kwamba utukufu mwingi ….. “Kwa maana
o inaweza kujieleza na kufahamika, kama hivyo ndivyo kutakavyoku-
a au kuelezwa na mafungu mengine. wa kuja kwake Mwana wa Adamu
- Juhudi yake ikampatia ujuzi halisi. ….. “Atakapokuja mwana wa Ad-
, Akafuatia unabii hatua kwa hatua, amu katika utukufu wake, na ma-
a Malaika wa mbinguni walikuwa wa-
kimwongoza.
e Alitosheka kuwa, mawazo ya watu
o juu ya miaka elfu ya muda kabla
a mwisho wa dunia, hayaungwi mko-
. no na Neno la Mungu. Mawazo
- haya yanayosema kuwa kutakuwa
i na muda wa starehe ya miaka elfu
kabla Kristo hajaja, ni kinyume cha
- mafundisho ya Kristo na mitume Akiwa na shauku kubwa alijifunza kitabu cha
Danieli na Ufunuo na wanyama wawakilishi.
- wake, ambayo husema, ngano na
a magugu yatakuwa pamoja mpaka
e wakati wa mwisho, na kwamba wa- laika zake pamoja na sauti kuu ya
a ovu watazidi kuwa waovu tu. 2Tim- parapanda, nao watawakusanya
, otheo 3:13. wateule wake” 1Thes. 4:16-17; Ma-
- thayo 25:31; 24:31.
e Kuja Kwa Kristo Waziwazi Wakati wa kuja kwake watakati-
u Mafundisho yasemayo kuwa ulim- fu waliokufa watafufuliwa, na we-
i wengu mzima utaongoka, na kuwa nye haki walio hai watabadilishwa.
: ufalme wa kristo ni wa kiroho, hay- “Hatutalala sote, lakini wote tutab-
a akufundishwa na kanisa la mitume. adilishwa kufumba na kufumbua,
Hayakukubaliwa na kanisa mpaka wakati wa parapanda ya mwisho,
- katika karne ya kumi na nane. Ma- maana parapanda Italia na watu
fundisho hayo yaliwaelekeza watu watafufuliwa, wasiwe na uharibifu,
kukutazamia kurudi kwa Kristo na sisi tutabadilika. Maana huu
mbele sana, na ya kuwa dalili hizi wa kuharibika sharti uvae kutoku-
zilizotajwa hazina maana. Kwa haribika, na huu wa kufa sharti
hiyo watu hawakujiandaa kwa ku- uvae kutokufa. Wafu katika Kristo
rudi kwake. Miller aligundua kuwa watafufuliwa kwanza, kisha sisi tu-
Kristo atakuja waziwazi, wala sio liosalia tutanyakuliwa pamoja nao
kiroho. Ndivyo Maandiko Matakati- mawinguni ili kumlaki Bwana he-
fu yasemavyo, “Kwa sababu Bwana wani, na hivyo tutakuwa pamoja
mwenyewe atashuka kutoka mbin- na Bwana milele. 1Kor. 15:51-53;
a guni, pamoja na mwaliko, na sauti 1Thes. 4:16-17.

21

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 21 16-03-2009 14:28:53


Mtu katika hali aliyo nayo sasa, wetu milele. Hakuna kitu kingine w
ni ya kufa na kuharibika. Kwa hiyo ila Mungu amewafunulia watumi- s
mtu katika hali aliyo nayo sasa shi wake siri yake” Kumbukumbu k
hawezi kuingia katika ufalme wa 29:29; Amosi 3:7. Wanafunzi wa n
Mungu. Yesu ajapo ataondoa hali neno la Mungu watatazamia kuona l
ya uharibifu kwa watu wake, ki- matukio mengi sana kuhusu histo- W
sha atawaita kuingia katika urithi ria ya wanadamu yamepangwa ka- k
wa ufalme wake, ambao wanakuwa tika Maandiko Matakatifu.
warithi. Miller alisema, Niliamini na kut- w
hibitisha kuwa, “Kila andiko lenye n
Maandiko na utaratibu wa pumzi ya Mungu linafaa... kwamba f
Kuhesabu watu watakatifu waliandika waki- t
Maandiko hayo yanayohusu hes- ongozwa na roho wa Mungu nayo k
abu za mambo mbalimbali yalimt- yaliandikwa ili kutufundisha sisi, H
hibitishia Miller kuwa utawala wa ili kwa saburi na faraja ya maan- d
ulimwengu wa amani na kusimam- diko, tuwe na tumaini... kwa hiyo z
ishwa kwa ufalme wa Mungu du- najisikia kuwa katika juhudi ya ku- s
niani vyote vilikuwa vya baadaye, fahamu kile Mungu alichotaka kut- l
wakati wa kurudi kwa Yesu. Zaidi ufahamisha kwa rehema zake, sina
ya hayo, hali ya ulimwengu, kama budi kukizingatia kwa kufuata jinsi K
unabii unavyoeleza kuhusu siku za unabii uanvyoelekeza.
mwisho, alikubali kuwa katika hali Unabii ulioelekea kufunua zaidi a
hii kwa wakati huu ilionyesha kuwa wakati wa kurudi kwake Kristo j
mwisho wake unakaribia. ulikuwa ule wa Danieli 8:14, un- M
Alisema hivi: “Ushahidi mwingine aosema, “Hata nyakati za jioni na z
mkubwa ulioniingia mawazoni ni asubuhi elfu mbili na mia tatu; m
ule wa namna ya kuhesbu mambo ndipo patakatifu patakapotakasi- l
mbalimbali …. Niliona kuwa mambo ka” Miller aliacha Biblia ijitafsirri t
yaliyotabiriwa yaliyotimilika wakati yenyewe, kwa hiyo alijifunza mfano p
uliopita, yalikuwa yakitajwa wakati n
wake, na kutimia jinsi hiyo bila ku- m
kosa. k
Alipokuta mambo mbalimbali D
yanaendelea kutajwa mpaka kuru- h
di kwake Kristo, hakuweza kuona n
namna nyngine, ila tu mambo am- h
bayo yamepangwa kabla ya wakati W
wake, ambayo Mungu aliwafunulia w
watumishi wake. Mambo ambayo n
yanatuhusu sisi na watoto wetu j
milele. Hakuna kitu ila Mungu ame- k
Mnyama mwakilishi wa Waamedi na Waajemi f
wafunulia watumishi wake, mambo na Wayunani katika Danieli 8, waliunga-nish-
ambayo yanatuhusu sisi na watoto wa na miaka 2300 ya kutakaswa m
kwa hekalu.

22

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 22 16-03-2009 14:28:54


e wa unabii unaotaja mwaka kama
- siku na siku kama mwaka. Aliona
u kuwa siku za unabii 2300, ambazo
a ni sawa na miaka 2300 zitaende-
a lea mpaka kuzidi muda waliopewa
- Wayahudi, kwa hiyo zisingeweza
- kuhusu patakatifu.
Miller alikubaliana na imani ya
- wakristo ya kuamini kuwa nchi
e ndiyo “hema takatifu” kwa hiyo ali-
a fahamu kuwa kutakaswa kwa pa-
- takatifu kunahusu nchi hii, amba- Miller alikuwa anachukua mwenge kutoka
o ko kunatajwa katika Danieli 8:14. katika unabii wa zamani ulioelezewa
na kuupeleka mbele.
, Hivi moto wa mwisho ungetakasa
- dunia. Akaona kuwa kama mwan- limeachwa, halikufafanuliwa, yaani
o zo wa siku 2300 ukiwa sawa, basi siku 2300. Kwa hiyo malaika alian-
- siku ya kurudi kwake Yesu ingeju- zia maelezo yake akielekeza katika
- likana. wakati. Alisema, “Majuma sabini
a yameamuriwa juu ya watu wako,
i Kugundua Musa wa Unabii. na juu ya mji wako mtakatifu ….
Miller aliendelea kuuchunguza un- Basi ujue na kufahamu ya kuwa,
i abii usiku na mchana, akichunguza tangu kuwekwa amri ya kuten-
o jambo hili kubwa. Katika Daniel 8 geneza na kuujenga upya Yerusal-
- Miller hakuweza kugundua mwan- emu hata zamani zake Masihi aliye
a zo wa siku au miaka 2300, ingawa mkuu, kutakuwa na majuma saba,
; malaika Gabriel aliamuriwa amwe- na katika majuma sitini na mawili
- limishe Danieli, alimweleza sehemu utajengwa tena pamoja na njia
i tu. Wakati mateso ya kutisha yali- kuu zake na handaki, naam katika
o pofunuliwa kwa nabii kwa njia ya nyakati za taabu. Na baada ya yale
njozi, hakuweza kustahimili tena, majuma sitini na mawili, Masihi
maana mateso hayo yatakayolipata atakatiliwa mbali, naye atakuwa
kanisa yalikuwa ya kutisha kabisa. hana kitu …. Naye atafanya agano
Danieli alizimia, akaugua siku kad- thabiti na watu wengi kwa muda wa
haa wa kadhaa. Anasema, “Nami juma moja, na kwa nusu ya juma
naliyastaajabia yale maono, ila hilo ataikomesha sadaka ya dhabi-
hakuna aliyefahamu” Daniel 8:27. hu. Daniel 8:16; 9:22-23; 24-27.
Walakini Mungu alikuwa amem- Malaika alikuwa ametumwa kwa
wagiza mtumishi wake, “Mjulishe Danieli ili kumweleza jambo hilo,
njozi” Basi malaika alirudi ili kum- ambalo hakulieleweshwa, nalo ni
julisha. Alisema “Basi sasa nime- “Hata elfu mbili na mia tatu; ndi-
kuja kukufahamisha …. Kwa hiyo po patakatifu patakapotakasika”
i fahamu na kuitafakari njozi” Jambo Maneno ya kwanza ya malaika ni
-
moja la maana katika Danieli nane haya: “Majuma sabini yameam-

23

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 23 16-03-2009 14:28:54


k
1

w
m
w
f
t
n
k
l
m
m
w
M

k
Kipindi cha unabii wa miaka 2300 ulianza mwaka 490 wa Danieli 9 ambao ulikuwa
“Umekatwa” kwaajili ya Wayahudi, na kufikia wakati wa kutakasa hekalu. t
b
uriwa juu ya watu wako na juu ya walioanza kuamuru na kukamili- w
mji wako mtakatifu”. Majuma sa- sha amri hiyo, hutimiliza, kama un- i
bini, ambayo ni siku au miaka 490 abii usemavyo, mwanzo wa siku au z
iliyoamriwa kwa Wayahudi lazima miaka 2300. Tukichukua mwaka z
iondolewe katika jumla ya miaka 457 wakati amri hiyo, ilipotekelez-
2300. wa kama ndiyo amri ya kuujenga W
mji, kila kitu kilichosemwa katika W
Nyakati Mbili Kuanza Pamoja majuma sabini kilitimia bila ma- l
Lakini ni nini kilikatwa? Kwa kuwa kosa. S
siku 2300 ndicho kitu kimetajwa Tangu kuwekwa amri ya kuuten- k
kama muda wa unabii katika sura geneza na kuujenga upya Yerusal- n
ya 8 ya Danieli, hivyo basi majuma emu hata zamani zake Masihi aliye t
sabini ni sehemu ya 2300. Vipande mkuu, kulikuwa na majuma saba, H
viwili basi huanzia wakati mmoja na katika majuma sitini na mawili” k
majuma sabini kuanzia pale amri … Majuma sitini na tisa au miaka u
ya kujenga Yerusalemu tena ilipo- 483. Amri ya Artashasta ilitolea o
tolewa. Ikiwa mwanzo wa kutole- mwaka B.C 457 na kutimizwa. Y
wa amri hiyo ukipatikana, ndipo Toka mwaka huo aliendelea mpa- h
mwanzo wa 2300 utathibitika. ka A.D 27, ndipo Kristo alipobatiz- n
Katika Ezra saba amri hiyo inapa- wa na Yohana Mbatizaji na kutiwa
tikana, iliyotolewa na mfalme Ar- mafuta kwa njia ya roho. Baada u
tastasta mwaka B.C. 457. yeye ni ya ubatizo wake akaenda Galila- M
mfalme wa Persia. Wafalme watatu ya, akihubiri ufalme wa Mungu na 4
24

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 24 16-03-2009 14:28:56


kusema, “Wakati umetimia “Marko ni B.C 457, na mwisho wake ni
1:14-15. A.D. 34. kwa kuwa majuma sabini
yamekatwa katika 2300 kilichobaki
Injili kwa Ulimwengu ni miaka 1810. Baada ya kumal-
“Naye atafanya agano thabiti na izika miaka 490 ile 1810 iliyobaki
watu wengi kwa muda wa juma lazima nayo itimilike. Kutoka A.D.
moja” – Miaka saba ya mwisho wa 34 miaka 1810 lazima iendelee
wakati huo ilitolewa kwa ajili ya tai- mpaka 1844. kwa hiyo siku au mi-
fa la Wayahudi. Wakati huo wote, aka 2300 ya unabii wa Danieli 8:4
tangu 27 AD mpaka 34 AD Kristo zitakwisha katika 1844. mwisho
na wanafunzi wake walieneza Injili wa unabii huu mrefu, “ndipo pa-
kwa Wayahudi tu. Agizo la Kristo takatifu patakapotakasika”.
lilikuwa “Msiende kwenye njia ya Kwa hiyo wakati wa kutakaswa
mataifa, wala katika miji ya Sa- patakatifu unaaminia pote kuwa
maria. Lakini nendeni kwa kondoo kutatokea wakati wa kurudi kwake
waliopotea wa nyumba ya Israeli”. Yesu.
Mathayo 10:5-6.
“Na kwa nusu ya juma hiyo atai- Mwisho wa Kushangaza
komesha sadaka ya dhabihu” Ka- Mwanzoni mwa mafunzo ya Mill-
tika AD 31, miaka mitatu na nusu er juu ya unabii huu hakutazamia
baada ya kubatizwa kwake, Bwana hata kidogo kufikia hatua aliyofikia
- wetu alisulubishwa. Dhabihu kuu sasa. Hata yeye mwenyewe hakuelewa
- iliyotolewa huko Kalwari dhabihu ugunduzi huo jinsi ulivyotokea. Laki-
u za wanyama zilikoma. Huduma zote ni ushahidi wa Biblia ulikuwa dhahiri,
a zilizokuwa kivuli zilikwisha. kama ukweli usingelipuuzwa.
- Miaka 490 iliyotolewa kwa ajilli ya Katika mwaka 1818 alifikia uamuzi
a Wayahudi ilimalizika katika A.D 34. katika uchaguzi wake kuwa Kristo
a Wakati huo kitendo cha bunge kuu
- la Kiyahudi cha kuamua kumwua
Stefano kilifunga na kutiwa muhuri
- kanusho lao, kwamba hawana haja
- na Injili tena, nao wakaanza kuwa-
e tesa wafuasi wa Kristo na kuwaua.
, Hapo sasa Injili ya wokovu ikapele-
” kwa kwa watu wa mataifa, katika
a ulimwengu wote. Wanafunzi wali-
a olazimika kukimbia mateso kutoka
. Yerusalemu, “wakaendea huko na
- huko kila mahali wakilihubiri lile
- neno” matendo 8:4.
a Hivyo basi unabii ulitimizwa hat-
a ua kwa hatua kama ilivyopangwa. Kama Elisha, Miller aliitwa aachane na
- Mwanzo wa majuma sabini miaka jemmbe na kwenda kuifungua
a 490) ni wa hakika hakuna shaka Biblia kwa watu.

25

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 25 16-03-2009 14:28:57


atarudi kuwachukua watu wake, wao watatubu; na kama hawaku-
katika muda wa miaka ishirini na onywa damu yao itadaiwa mkononi
mitano ijayo. Miller alisema, “Sina mwangu” maneno haya yaliendelea
haja kutaja furaha iliyojaa moyoni kugoga katika dhamiri yake daima,
mwangu kwa ajili ya tazamio hilo la yakisema, “Nenda, ukayatangaze
fahari, wala kutaja hamu ya tunu ulimwenguni” na damu yako ni-
niliyonayo kuhusu kushiriki furaha taitaka mkononi mwako” Miller
ya ukombozi …. Lo, huonekana ku- alingoja muda wa miaka tisa, huku
furahisha kiasi gani! mzigo wa nia hiyo ukizidi kumkan-
Swali lilinijia kuhusu wajibu wan- damiza, mpaka katika mwaka1831
gu kwa ulimwengu, juu ya haya ndipo kwa mara ya kwanza aka- w
niliyogundua katika uchunguzi jitokeza kueleza maana ya imani
wangu. Hakuona vingine, ila tu yake.
wajibu wake kuwafunulia wengine Wakati huo alikuwa na umri wa
yale aliyogundua. Alitazamia up- miaka hamsini, ingawa hakuzo-
w
inzani kutoka kwa watu wasioami- ea kuhubiri mbele ya watu, lakini
m
ni, lakini ajitulize kwamba wakris- alifaulu. Hotuba yake ya kwanza
m
to wote watafurahi katika tumaini iliwaamsha watu kidini. Familia
y
la kukutana na mwokozi. Alisita kumi na tatu kasoro watu wawili,
w
kutoa habari hizo za furaha, isiwe ziliongoka. Watu walichangam-
y
amekosea kuchunguza, na kuwa- ka sana kiroho, wakapata uvuvio
w
kosesha wengine. Kwa hiyo alic- mpya. Wakafiri na wenye mizaha
H
hunguza kwa uangalifu sana kila wakauamini ukweli wa Biblia. Ali-
o
neno lenye shaka. Miaka mitano hubiri huku na huko na kila mah-
w
ilitumika katika upelelezi huu na ali wenye dhambi walitubu. Mahu-
w
kujisahihisha. biri yake yaliwaamsha watu kiroho,
na kukemea hali ya ulimwengu na
p
“Nenda Uyatangaze ufedhuli vilivyokuwa vikihangaisha
t
Ulimwenguni” kizazi.
w
Asema, “Nilipokuwa nikifanya Mahali pengi makanisa ya kiprot-
m
kazi, masikioni mwangu neno lil- estanti ya madhehebu yote yalim-
b
iendelea kusikika likisema, “Ne- sikiliza na kuamini, na miito ilikuja
n
nda ukautangazie ulimwengu ha- hasa kutoka kwa Wachungaji. Hai-
y
tari inayoujilia” Fungu hili lilinijia kuwa kawaida yake kuhubiri mah-
n
kila mara kusema: “Nimwambiapo ali asipoitwa, hata hivyo miito iliku-
mtu mwovu, Ee, mwovu, hakika wa mingi kiasi ambacho hakuweza
N
utakufa katika uovu wako; kama kuitimiza yote. Watu wengi walit-
wewe husemi na kumwonya mw- hibitika na kuamini kuwa Kristo
m
ovu huyo aache njia zake mbaya, yu karibu kurudi, na haja yao kuji-
k
hakika atakufa katika uovu wake; weka tayari. Katika miji mingi we-
i
lakini damu yake nitaitaka katika nye maduka ya kuuza vileo waliya-
t
mkono wako” Niliona kuwa kama geuza maduka yao kuwa sebule za
u
waovu wakionywa hakika, wengi mikutano ya dini. Wacheza kamari
g

26

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 26 16-03-2009 14:28:57


- upukutishavyo mapooza yake,
i utikiswapo na upepo mwingi”. Ma-
a thayo 24:29; ufunuo 6:13.
, Unabii huu ulitimizwa kabisa ka-
e tika maanguko ya nyota ya Novem-
- ber 13, 1833, ambayo ni ya ajabu
r kabisa yasiyopata kutokea kabla
u ya hapo. Mvua haijanyesha kam-
- we kwa wingi nchni kama zilivyo-
1 anguka nyota hizo. Pande zote,
"Nyota zilidondoka kutoka mbinguni kama mti
- wa mkuyu unvyo dodosha matunda yake pale mashariki, magharibi, kaskazini
i unapotingishwa kwa nguvu kubwa." Ujumbe na kusini hali ilikuwa ile ile. Kwa
wa Ufunuo 6:13 Ulipata kutimia kwa uhakika kifupi ni kwamba mbingu ilioneka-
bili kupungua pale kulipotokea maonyesho ya
a ajabu angani mwaka wa Novemba 13, 1833. na kana kwamba inatikisika …..
- Tangu saa mbili asubuhi mpaka
waliacha; makafiri na wafedhuli
i mchana mmemetuko na yota zili-
mno waligeuka, kila mtu akafanya
a vyokuwa zikianguka.
matengenezo ya dini. Mikutano
a Ilionekana kana kwamba nyota
ya ibada ilifanyika, na kuendesh-
, zimekusanyika mahali pamoja, na
wa karibu kila saa na madhehebu
- sasa zinaanguka kwa kumetam-
yote, hata wenye biashara walikuwa
o eta kwa mng’aro mkubwa, kutoka
wakikutana kwa ibada na maombi.
a pande zote. Zilionekana kufuatana
Hapakuwapo na msisimko wa ovyo
- kwa maelfu kwa mfano wa mitini
ovyo. Kazi yake ilifanana na ile ya
- upukutishavyo mapoozo yake.
watengenezaji, yaani kuwafikisha
- Katika gazeti la New York ilion-
watu wala sio kuwasisimua tu.
, ekana habari ndefu iliyoandikwa
Katika mwaka 1833 Miller ali-
a kuhusu tikio hilo, ikisema, “Hakuna
pata hati ya kuhubiri kutoka ka-
a mtaalamu yoyote aliyeweza kuan-
tika kanisa la Baptist. Wachungaji
dika usahihi wa tukio hilo. Nabii
wengi wa kanisa walikubaliana na
- aliyetabiri tukio hilo miaka 1800
mafundisho yake. alisafiri akihu-
- iliyopita ndiye alisema kwa usahihi
biri bila kukoma na wala hakuwa
a anguko la nyota. Hivyo ndivyo dali-
na fedha za kutosha kujibu miito
- li ya mwisho ya kuja kwa Kristo ili-
yote. Kazi hiyo ilimgharimia fedha
- vyotokea, ambaye Yesu aliwaambia
nyingi zake binafsi.
- wanafunzi wake akisema “Ninyi my-
a aonapo hayo yote, fahamuni kuwa
Nyota Zaanguka
- yu karibu tena milangoni” Ma-
Katika mwaka 1833 dalili ya
o thayo 24:33. Wengi walioshuhudia
mwisho iliyosemwa na Mwokozi
- kuanguka kwa nyota walikuhesabu
kuwa ni ishara ya kuja kwake, il-
- kuwa tangazo la kuja kwa hukumu
ionekana. “Nyota zitaanguka ku-
- ya Mungu.
toka mbinguni”. Na Yohana katika
a Katika mwaka 1840 jambo jingine
ufunuo husema, “Na nyota zikaan-
i la unabii lilitukia likishangaza
guka juu ya nchi kama vile mtini

27

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 27 16-03-2009 14:28:58


watu. Miaka miwili kabla, Josia na. Wapinzani walifanya mizaha k
Litch alitangaza, na kueleza habari na kuwadhihaki wale waliofurahia k
ya ufunuo 9 ikitabiri anguko la dola habari ya kurudi kwake Yesu, na n
ya Ottoman katika mwaka 1840, kuishi maisha ya utawa na kuwa-
katika mwezi wa Agosti. Aliandika tayarisha wengine pia. Ilionekana K
siku chache mbele akisema, “Itaan- kana kwamba ni dhambi kujifunza
guka katika Agost 11, 1840, wakati unabiii uhusuo kurudi kwake Yesu, z
uwezo wa Ottoman utakapoangam- na maisha ya dunia. Kwa hiyo wa- o
ia katika Constantinople” hubiri wa kawaida waliliacha neno m
la Mungu, linaloongoza njia ya u
Utabiri Ulitimia imani kwa Mungu. Mafundisho h
Wakati ule uliotabiriwa, Utu- yao yaliwafanya watu kuwa makaf- k
ruki ilikubali kuwa katika ulinzi iri, na kuishi maisha ya ufedhuli. m
wa utawala wa Ulaya ambao ni wa Kisha mwovu akatupa lawama ya m
mataifa ya Kikristo, kwa njia hii hali hiyo kuwa ni matokeo ya watu a
Uturuki ikajiweka chini ya mataifa wa marejeo.
ya Kikristo. Jambo hili likatimiza Wakati watu wengi wenye maarifa m
utabiri uliotabiriwa bila kukosea. walipokuwa wakija kwa wingi, jina y
Watu walikubali kanuni ya tafsiri ya la Miller lilitajwa mara chache sana h
Miller kuhusu unabii. Wenye elimu na magazeti ya kidini isipokuwa M
na cheo walijiunga na Miller kati- wakati wa malaumu na mizaha. k
ka kazi ya kuhubiri na kuchapisha Wakorofi wakitiwa moyo na walimu T
vitabu, vinavyoeleza maoni yake. wa kidini walimdhihaki Miller na t
Tangu mwaka 1840 mpaka 1844 kumlaani na kubeza kazi yake. k
kazi iliendelea kwa upesi sana. Mzee huyu mwenye mvi, aliyeacha h
William Miller alikuwa mwenye maisha ya starehe na kusafiri safa- n
uwezo mwingi wa akili na kuon- ri kwa gharama zake mwenyewe, ili M
gezea hekima ya mbinguni kwa njia
ya kujiunga na mtoa hekima wa z
mbinguni. Aliheshimiwa na wote, a
na tabia yake ya Kikristo ilipendwa a
na wote. Alijaribu maneno yote ya a
dini kwa kuyalinganishwa na neno k
la Mungu. m
Hata hivyo ujumbe aliotoa hauku- w
pokelewa na walimu wa dini, kama h
ujumbe wa watengnezaji wengine m
usivyopokelewa. Kwa kuwa hawa m
waliotosheka tu na maoni ya wan- h
Katika mwaka 1840 tukio jingine la kusha-
adamu, na mapokeo ya baba zao. ngaza lilitimiza unabii ulio gusa hisia za
Lakini neno la Mungu ndilo tu am- watu wengi. Joshiah Litch alitabiri anguko la t
Ufalme wa Ottoman. Katika mda uliotarajiwa,
balo wahubiri wangetegemea kush- Uturuki, kupitia kwa balozi wake, alikubali
m
uhudia kuhusu kurudi kwake Bwa- ulinzi wa ushirika wa Ulaya. t

28

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 28 16-03-2009 14:28:58


a kutoa maonyo kuhusu hukumu ita-
a kayoujia ulimwengu, alidhihakiwa
a na kuhesabiwa kuwa mzushi tu.
-
a Kupendezwa na Kutokuamini
a Watu wenye kupendezwa wali-
, zidi kuongezeka. Waumini wame-
- ongezeka kutoka mmoja mpaka
o maelfu. Lakini baada ya muda,
a upinzani ulitokea kuhusu waumini
o hawa. Makanisa yalichukua hatua
- kuhusu watu waliokubaliana na
. mafundisho ya Miller. Kutengwa
a makanisani. Mambo haya yakaf-
u anya Miller aandike hivi:
“Ikiwa sisi tumekosa, tuombeeni,
a mtuonyeshe makosa yetu. Tuon-
a yesheni katika Neno la Mungu ma-
a hali tulipokosea; maana ni neno la
a Mungu pekee yake ndilo litaweza
. kutubadili katika msimamo wetu.
Kando ya upinzani wote, kufurahia
u Tumefanyiwa mizaha kiasi cha ku- msukumo wa marejeo ulizidi kuongezeka.
a tosha; na hivyo haiwezi kutuondoa Mchoro mkubwa ulirahisisha kwa wale wali-
. katika msimamo wetu. Msimamo osikia “kukimbia na ujumbe.”
a huu tumeupata kwa uangalifu,
- na kwa maombi huku maandiko wa haki kuwa mwenda wazimu.
i Matakatifu yakituunga mkono”. Basi waliendelea na njia zao mb-
Wakati maovu ya watu wa siku ovu kama zamani. Lakini wakati
za Nuhu yalipomlazimisha Mungu uliopangwa na Mungu hukumu ili-
alete gharika juu ya nchi, kwanza waangukia wakaidi hao waliokataa
aliwaonya kwa muda wa miaka 120 rehema zake.
aliwapa maonyo ili watubu. La-
kini hawakutubu. Walimdhihaki Wakaidi na Wasioamini
mjumbe wa Mungu. Kama ujumbe Kristo alisema kuwa jinsi watu
wa Nuhu ulikuwa wa kweli, mbona wa siku za Nuhu “wasitambue,
hawakutubu wote? Ushuhuda wa hata gharika ikaja, ikawachukua
mtu mmoja ukipingana na watu wote, ndivyo kutakavyokuwa kuja
maelfu! Hawakuujali ujumbe, wala kwake Mwana wa Adamu”. Matha-
hawakuingia safinani. yo 24:39. Wakati watu wa Mungu
Wenye dhihaka walibisha waki- watakapounganika na ulimwengu,
taja majira mbalimbali kwamba wakati anasa za dunia zitakapoin-
mbingu haijanyesha mvua. Ka- gia kanisani, wakati wote wataka-
tika mizaha yao walimtaja mjumbe potazamia siku 7 za mafanikio duni-

29

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 29 16-03-2009 14:28:58


ani, ndipo kwa ghafla, kama umeme fuata njia ya Rumi. Waprotestanti
umulikavyo, ndivyo utakavyokuwa walidai kwamba jambo la muhimu
mwisho wa matumaini yao. Jinsi linalohusu wakati wetu haliwezi
Mungu alivyomtuma mtumishi kufahamika, maana limefungwa.
wake kuwaonya walimwengu wa Wahubiri wakasema kuwa vitabu
siku za Nuhu juu ya gharika, ndi- vya Danieli na ufunuo ni vya siri zi-
vyo atakavyowatuma watumishi sizojulikana.
wake waaminifu kutangaza ukari- Lakini Kristo aliwaelekeza wana-
bu wa kuja hukumu yake, na jinsi funzi wake katika maneno ya Dan-
watu wa Nuhu walivyomcheka na ieli kuwa, “Asomaye na afahamu”
habari aliyotangaza, kadhalika siku Mathayo 24:15 na Ufunuo pia uta-
za Miller watu walidhihaki maonyo fahamika. “Ufunuo wa Yesu Kristo
yake. aliopewa na Mungu awaonyeshe h
Hakuna ushahidi zaidi kuliko huu watumwa wake mambo ambayo t
ya kwamba makanisa yaliyojitenga hayana budi kuwa upesi. Heri aso- h
na Mungu yanaudhihaki ujumbe maye, na wao wayasikiao maneno m
uliotumwa na Mungu. ya unabii huu, na kuyashika yaliyo- b
Wale walioupokea ujumbe wa andikwa humo; kwa maana wakati
marejeo waliona kuwa huu ndio u karibu” ufunuo 1:1-3. g
wakati wao wa kuwa na msimamo “Heri asomaye” - kutakuwa na l
halisi. Mambo ya milele yamein- watu wasiosoma. “Na wale wao m
gia katika nia zao hakika. Mbin- wayasikiao” – Kuna watu wanao- d
gu ilikaribiana nao, nao wakajio- kataa kusikiliza kitu chochote cha w
na kuwa ni wenye hatia mbele za unabii. “Na kuyashika yalioandik- y
Mungu” Wakristo walijisikia kuwa wa humo “ - Wengi hukataa kushi- w
wakati walio nao ni mfupi sana, ka mafundisho ya ufunuo. Hawa
na kwamba yawapasayo kuwa- hawana udhuru, wala hawatapata
fanyia wenzao, budi yafanye upesi. mibaraka iliyoahidiwa.
Umilele ulionekana kufika kari- Watu wanathubutuje kusema
bu. Roho wa Mungu aliwaweze- kuwa ufunuo hautafahamika? Ni
sha kujitayarisha kwa ajili ya siku siri iliyofunuliwa, kitabu kilicho
ya Mungu. Maisha yao ya unyofu wazi. Ufunuo huongoza mawazo
yaliwahukumu wasiomcha Mungu, kuelekea Danieli. Vitabu vyote
ambao ni wakanisa, maana hawa- hutoa mafundisho yahusuyo ma-
kutaka kuingiliwa katika shughuli tukio ya siku za mwisho.
zao za anasa na uchumi, na upendo Yohana aliona hatari, mapamba-
wa ulimwengu. Hayo yote yalileta no, na mwisho aliona ukombozi wa
upinzani kwa watu wa marejeo. watu wa Mungu. Aliandika juu ya
Wapinzani hawa walijitahidi ku- ujumbe wa mwisho utakaoyakom-
wakatisha tamaa, kwamba unabii aza mavuno ya nchi, yaani wafuasi
wa hukumu ya Mungu umefungwa, wa Mungu. Mavuno ya aina mbili,
hauna haya kushughulikiwa. Na yale yatakayopelekwa mbinguni na
kwa jinsi hii Waporotestanti wali- yale yatakayochomwa motoni. Kwa

30

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 30 16-03-2009 14:28:59


i wa siri, aliona jinsi vitabu hivyo vi-
u takavyopigwa vita, ndipo akasema,
i “Heri asomaye” naye “Asikiaye”.
. Na “Kuyashika”, mambo ya unabii
u huu.
-
Marejeo:
- S. Bliss Memories of William Mill-
- er, pp. 65-67
” Ibidi., pp. 74-75
Wale wanaokubali msingi wa marejeo
- walisukumwa kutubu na kunyenyekea Ibid., 76-77, 81
o mbele za Mungu. Ezekiel 33:8-9 Bliss, p. 92
e hiyo wale wanaogeuka kutoka ka- R.M Devens. American Progress
o tika ukafiri na kuingia katika nuru, of The Great Events of Greatest
- hupata mafundisho ya siku za Century, ch. 28 para. 1-5
o mwisho kuhusu hatari na mapam- F. Reed – Christian Advocate and
- bano yanayowakabili. Jounal, Dec. 13, 1833
i Kwa nini basi watu huishi ujin- The Old Countryman – Portland
gani kuhusu mafundisho ya Danie- (Maine)
a li na Ufunuo, ambayo ni sehemu ya Evening Advertiser, Nov. 26, 1833
o maandiko Matakatifu? Ni makusu- Josiah Litch – Signs of the Times,
- di ya yule mwovu kuwafunga watu August 1, 1840
a wadumu gizani wasiyajue mambo Bliss, pp. 250, 252
- yajayo yanayofunua udanganyifu Ibid., p. 146
- wake. Kwa ajili hii Kristo mfunuaji
a
a

a
i
o
o
e
-

-
a
a
-
i
,
a
a

31

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 31 16-03-2009 14:28:59


m
y
g
M
h
p
w
k

w
k
W
m
n
a
h
f
k
w
k
H
u
y
h
k

y
t
g

32

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 32 16-03-2009 14:28:59


19

Kwa Nini
Uchungu Mkuu?

K
azi ya Mungu hufanana za neema itakayowafikia ninyi.
sana kizazi hata kizazi na Wakatafuta ni wakati upi, na
karne hadi karne, wakati wakati wa namna gani ulionywa
matengenezo makuu ya uamsho na Roho wa Kristo aliyekuwa
yanapofanyika. Kanuni za Mun- ndani yao, ambaye alitangulia
gu za kuongezea watu ni zile zile. kuyashuhudia mateso yatakay-
Msimamo wa kanisa kwa wakati ompata Kristo, na utukufu
huu ni sawa na wa wakati ulio- utakao kuwako baada ya hayo.
pita, na msimamo wa kanisa wa Wakafunuliwa ya kuwa si kwa
wakati uliopita unalo fundisho ajili yao wenyewe, bali kwa ajili
kwa wakati huu. yenu walihudumu.’’ 1 Petro 1:10
Mungu huwaongoza watumishi - 12. Katika kizazi cha ukristo,
wake kwa njia ya Roho wake ili hilo ni fundisho muhimu kiasi
kuendesha kazi yake duniani. gani! Wale watu watakatifu wa
Watu huwa vyombo tu katika Mungu walitafutatafuta kwa bi-
mkono wake. Kila mtu amepewa dii, mambo yaliyofunuliwa wakati
nuru ya kutosha kufanyia kazi wa vizazi ambavyo havijazaliwa
aliyokabidhiwa. Lakini hakuna bado. Jambo hili linakanusha
hata mtu ye yote aliyepata ku- usemi wa wakristo wanaostarehe
fahamu mambo yote ya Mungu tu na kusema kuwa unabii hau-
kwa wakati wake. Watu ha- fahamiki.
waelewi mambo yote yapasayo Sio kwa nadra akili hata za wa-
kazi ya Mungu wanayofanya. tumishi wa Mungu huwa vipofu
Hata manabii hawakufahamu wakabaki kufuata mapokeo tu na
ujumbe wote na mafunuo wali- hadithi za mafundisho ya uongo,
yofunuliwa. Maana ya maono kwamba hushika mambo yaliyo-
hayo ilikuwa ikifunuliwa taratibu funuliwa katika Neno la Mungu
karne kwa karne. sehemu sehemu basi. Wanafunzi
Petrol asema, ‘’Katika habari wa Kristo, hata wakati ule Mwo-
ya wokovu huo manabii walitafu- kozi alipokuwa pamoja nao wali-
ta tafutta na kuchunguza chun- kuwa na mawazo hafifu kuhusu
guza, ambao walitabiri habari Masihi, kwamba ni mtawala wa

33

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 33 16-03-2009 14:29:02


muda tu atakayekuja kuwa- a
saidia. Wala hawakuyafahamu n
maneno yake kuhusu mateso z
yake na kifo chake. f
n
Wakati Umetimia p
Kristo aliwatuma wakiwa na w
ujumbe wake kwamba: ‘’Wakati Z
umetimia’’, na ufalme wa Mungu
umekaribia: tubuni mkaiamini n
Injili.’’ Marko:15. Unabii huo k
ulikuwa umejengwa katika Dan- u
ieli 9. Majuma sitini na tisa M
yataendelea mpaka kwa Masihi m
Mkuu. Wanafunzi walitazamia 9
kwamba masihi atausimamisha M
ufalme katika Yerusalemu, ili n
kuitawala nchi yote. R
Walihubiri ujumbe waliokabid- Y
hiwa, ingawa walikosa kuielewa d
maana yake halisi. Ijapokuwa t
mahubiri yao yalisimama katika z
Danieli 9:25 hawakuliona fungu
lililofuata lisemalo kwamba Ma- h
sihi atakatiliwa mbali. Mawazo n
yao yalikuwa tu juu ya utukufu h
Wanafunzi wa Yesu walihubiri ujumbe wa
wa ufalme utakaosimamishwa wakati aliowapatia Yesu, lakini c
duniani. Hili liliwapofusha kabi- walishindwa kuuelewa. r
sa. Wakati ule walipotazamia W
Bwana wao kuwa mfalme katika Mungu. Walakini mawazo ya wa- k
kiti cha Daudi, walimwona aki- nafunzi yalikuwa yamejazwa na n
kamatwa, na kuteswa, na kudhi- mashaka tu. Je, kama Yesu m
hakiwa na mwisho kufa msala- angekuwa Masihi kweli wange- m
bani. Kwa hiyo walivunjika na jazwa na masikitiko, na uchu- c
kukata tamaa kiasi gani! ngu? Hilo ndilo swali lililokuwa w
Kristo amekuja katika wakati likiwahangaisha siku hiyo ya Sa- 3
ule ule ilivyotabiriwa. Maan- bato baina ya kifo chake na kufu- u
diko yametimizwa kwa ukamilifu fuka kwake. k
kabisa. Neno la Mungu na Roho Hata hivyo hawakukataliwa
wa Mungu wameshuhudia agizo na kuachwa, ‘’Nikaapo gizani s
la mbinguni kuhusu Mwana wa Bwana atakuwa nuru kwangu... a
34

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 34 16-03-2009 14:29:03


atanileta nje kwenye nuru, nami
nitaiona haki yake.’’ ‘’Nuru huwa-
zukia wenye adili gizani.’’ ‘’Nita-
fanya giza kuwa nuru mbele yao,
na mahali palipopotoka kuwa
pamenyoka. Haya nitayatenda,
wala sitawaacha.’’ Mika 7:8,9;
Zaburi 112:4; Isaya 42:16.
Matengenezo yaliyotangazwa
na wanafunzi yalikuwa sawa, Ulikuwa si Ufalme wa duniani, lakini ni
ukatili wa msalaba ndio ulikuwa hitimisho la
kwamba, ‘’Wakati umetimia, Mwokozi. Hili ndilo wanafunzi hawakuona.
ufalme wa Mungu umekaribia.’’
Mwisho wa wakati ule, - yaani
majuma sitini na tisa ya Danieli Hawa huko Edeni ilithibitishwa.
9, ambayo yangeeendelea mpaka Ufalme wa neema ambao kwanza
Masihi, mwenye kutiwa mafuta, ulikuwako kwa njia ya ahadi tu,
ndiye Kristo aliyetiwa mafuta ya ukasimikwa.
Roho Mtakatifu alipobatizwa na Hivyo basi kifo cha Kristo, tukio
Yohana Mbatizaji. Ufalme wa ambalo wanafunzi walidhani
dunia haukuwa ufalme wa waka- kuwa limeharibu tumaini lao,
ti huo wa milele ambao falme zote ndicho kilithibitisha uhakika
zitamtumikia. Danieli 9:27. wa tumaini lao milele. Ingawa
Neno, ‘’ufalme wa Mungu,’’ kilikuwa na ukatili wa hali ya
humaanisha ufalme wa neema juu kabisa, ndicho kilihakikisha
na ufalme wa utukufu. Mtume kuwa imani yao ni ya hakika.
husema, ‘’Basi na tukaribie kiti Tukio lililowatia uchungu na ku-
cha neema kwa ujasiri, ili tupewe kata tamaa, lilifungua mlango
rehema wakati wa mahitaji.’’ wa tumaini kwa watu wa Mungu
Waebrania 4:16. Kuwapo kiti ni- wa nyakati zote. Kwa kuchan-
- kuwapo ufalme. Kristo hutumia gamanisha upendo halisi kwa
a neno, ufalme wa mbinguni, ku- Yesu na anasa ndiko kuliwafanya
u maanisha kazi ya neema mioyoni wanafunzi wakakuza ubinafsi wa
- mwa wanadamu. Kwa hiyo kiti tamaa ya kutaka vyeo. Njozi zao
- cha utukufu humaanisha ufalme zilijazwa na enzi na taji za kifalme
a wa utukufu. Mathayo 25:31, na utukufu wake, kiburi chao,
- 32. Ufalme huu ni wa baadaye, kiu yao ya heshima viliwaongoza,
- utasimamishwa katika kurudi nao hawakuyajali mafundisho
kwake Yesu. ya Kristo yahusuyo ufalme wa
a Wakati Mwokozi alipotoa mai- neema, na yale yahusuyo mauti
i sha yake na kulia, ‘’Imekwisha, yake. Makosa haya yalileta ma-
. ahadi iliyotolewa kwa Adamu na tokeo ya majaribu yaliyowapata
35

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 35 16-03-2009 14:29:03


ili kuwarekebisha. Kwao Injili ya U
utukufu itakayotangazwa ulim- n
wenguni, ilikabidhiwa. Injili hiyo
ni ya kufufuka kwake Mwokozi. w
Ili kuwaandaa kwa kazi hiyo, ma- y
jaribu makali yaliwapitia. k
Baada ya kufufuka kwake r
Yesu, aliwatokea wanafunzi wake w
waliokuwa wakienda Emau, na b
kuwafunuliwa mambo yote yali- w
yomhusu yeye, kama Maandiko v
yasemavyo. Lilikuwa kusudi lake w
kukaza imani yao juu ya unabii u
(Luka 24:27; 2 Petro 1:19) si l
kwa kumwona yeye binafsi, ila n
kufuata unabii wa agano la Kale. n
Kama hatua ya kwanza ya kuwa- M
fundisha, Yesu alielekeza mawa- w
zo yao juu ya Musa na manabii 9
wote wa agano la Kale. e
k
Kifo cha Kristo kiliharibu tumaini lao, wakati
Kufa Moyo Hadi Ushindi ndicho kilileta uhakika wa milele.
k
Sasa wanafunzi walimpata kwa b
hakika yule ambaye Musa na asubuhi huwa furaha.’’ Yoeli a
manabii waliandika habari zake. 2:26; Zaburi 30:5. Siku ya ku- s
Sasa mashaka na kukata tamaa fufuka kwake Bwana wanafun- h
vimetoweka, na badala yake zi hawa walimlaki, na roho zao k
wamekuwa na imani na ushindi ziliburudika wakati walipoku- u
kamili. Wamepita katika kipin- wa wakisikiliza maneno yake.
di kigumu, na mwisho wameona Kabla ya kupaa kwake kwenda w
jinsi neno la Mungu lilivyoshinda mbinguni, Yesu aliwaagiza wa- W
na kutimia. Sasa ni nini tena nafunzi, akisema, ‘’Enendeni w
kitawatatanisha? Katika masiki- ulimwenguni mwote, mkaihu- k
tiko makuu wamepata ushindi biri Injili.’’ Akaongeza kusema, a
na tumaini la hakika, ambalo ni ‘’tazama mimi nipo pamoja nanyi w
sawa sawa na nanga iliyo imara. siku zote.’’ Marko 16:15; Ma- b
Waebrania 6:18, 19. thayo 28:20. Siku ya Pentekoste w
Bwana asema, ‘’Watu wangu Mfariji aliyeahidiwa alishuka, na l
hawataaibika milele’’, ‘’Huenda roho za wanafunzi zikaburudish- z
kilio huja kukaa usiku, lakini wa kwa kuwako kwake Bwana. u

36

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 36 16-03-2009 14:29:04


Ujumbe wa wanafunzi Ulifa- Miller alishikilia maoni ya wengi
nana na wa 1844 kwamba nchi hii ndiyo ‘’patakati-
Hali ya mambo ilivyokuwa fu’’, na akaamini kuwa kutakaswa
wakati wa mwanzo wa marejeo kwa patakatifu ni kule kuchomwa
ya Kristo, ndivyo pia ilivyokuwa moto wa utakaso wa dunia. Moto
kwa wale waliokutangaza ku- huo ni ule wa wakati wa kuja kwa
rudi kwake mara ya pili. Jinsi Bwana, yaani mwisho wa dunia.
wanafunzi walivyohubiri kwam- Kwa hiyo akaamua kuwa mwisho
ba, ‘’Wakati umetimia, ufalme wa siku 2300 ni wakati wakuja
wa mbinguni umekaribia’’, ndi- kwa Bwana mara ya pili.
vyo hivyo Miller pia na wenzake Utakaso wa patakatifu kilikuwa
walivyohubiri kwa kipindi cha kitendo cha huduma ya mwisho
unabii cha mwisho katika Bib- ya kuhani mkuu, kwa kila mwa-
lia kilikuwa karibu kumalizika, ka. Ilikuwa huduma ya upatan-
na kwamba hukumu iko karibu, isho inayofunga huduma zote
na ufalme wa milele uko karibu. katika mwaka mzima, yaani ku-
Mahubiri ya wanafunzi kuhusu ondoa dhambi zote katika Israeli.
wakati yalijengwa juu ya Danieli Ilikuwa ni kivuli cha huduma ya
9. Ujumbe uliotangazwa na Mill- Kuhani wetu Mkuu huko mbin-
er na wenzake ulikuwa ukisema guni, yaani huduma ya kuondoa
kuwa unabii wa siku 2300 uli- dhambi za watu wake zilizoandik-
kuwa karibu kumalizika, Una- wa vitubuni mbinguni. Kazi hii
bii huo umo katika Danieli 8:14, inahusu upelelezi au uchunguzi
i ambao sehemu yake ni majuma na hukumu, ambayo inatangu-
- sabini. Mahubiri yote hayo yali- lia kuja kwa Bwana mbinguni.
- husu utimizo wa nyakati tofauti Wakati Bwana akija kila jambo
o katika unabii ule ule wa muda litakuwa limeamuriwa. Yesu
- ule ule.
. Sawa na wale wanafunzi
a walivyokuwwa, hali kadhalika
- William Miller na wenzake ha-
i wakuelewa kamili ujumbe walio-
- kuwa wakiuhubiri. Makosa
, ambayo yalikuwa kanisani yali-
i wazuia wasiutafsiri vizuri una-
- bii. Kwa hiyo ingawa walikuwa
e wakihubiri ujumbe wa Mungu,
a lakini kwa kukosa kuutafsiri vi-
- zuri, waliangukia katika hali ya
uchungu na kukata tamaa. Mfumo wa kafara ulikwa ni kivuli na alama
iliyosonda msalaba na hukumu ya mwisho.

37

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 37 16-03-2009 14:29:05


asema, ‘’Na ujira wangu u pamo- walikuwa tayari kuukana ulim-
ja nami kumlipa kila mtu kwa wengu na kumlaki Bwana? Ule
kadiri ya kazi, au matendo yake.’’ msiba wa uchungu ungewapima
Ufunuo 22:12. Kazi hii ndiyo ili- watu wanaojidai kuwa wafuasi
yotangazwa katika ujumbe wa wa Mungu, kama watayapokea
malaika wa kwanza wa Ufunuo maonyo. Je wangekuwa ta-
14:7, kwamba, ‘’Mcheni Mungu yari kumtegemea Mungu kamili
na kumtukuza, maana saa ya wakati walimwengu wanapowa-
hukumu yake imekuja.’’ zomea? Wangevumilia uchu-
ngu wa kutokurudi Bwana wao?
Watu wanaoutangaza ujumbe Kwa kuwa hawakufahamu jinsi
huu, hutangaza ujumbe wa kweli, Mungu anavyofanya, Je, wange-
na wakati ufaao. Jinsi wanafun- utupilia mbali ule ukweli unao-
zi walivyokosea kuhusu ufalme thibitika katika neno lake?
utakaosimamishwa mwisho wa Jaribu hili litatoa fundisho
‘’majuma sabini’’, hali kadhalika kuhusu kukubaliana na tafsiri
watu wa Marejeo walikosa kuhu- za binadamu, badala ya Neno la
su tukio litakalotukia mwisho wa Mungu hasa. Wana imani wataji-
siku 2300. Katika mambo yote tahidi kuchunguza Biblia, ili ku-
mawili maoni ya watu yaliwapo- pima msimamo wao na kukataa
teza. Wote walitimiza mapenzi ya kitu chochote ingawa kinaku-
Mungu kwa kutangaza ujumbe, baliwa na wakristo ulimwenguni,
ambao ulipaswa utolewe na wote kitu ambacho hakipatikani kati-
wakaangukia katika masikitiko ka Maandiko Matakatifu.
na uchungu mkali, kwa ajili ya Mambo ambayo wakati wa ma-
kutafsiri vibaya unabii. jaribu huonekana kuwa giza,
Walakini Mungu alitimiza kusu- baadaye yatakuwa dhahiri. Inga-
di lake la kutangaza kwa ujumbe wa majaribu yatokane na ma-
wa hukumu kama ilivyoku- kosa yao, lakini kwa maongozi
sudiwa. Kwa maandalio yake, ya Bwana, ambaye ‘’Njia zote za
ujumbe ulileta jaribu na utakaso Bwana ni fadhili na kweli, Kwao
wa kanisa. Je, nia zao zilikazwa walishikao agano lake na shuhu-
ulimwenguni au mbinguni? Je, da zake.’’ Zaburi 25:10.

38

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 38 16-03-2009 14:29:07


-
e
a
i
a
-
i
-
-
?
i
-
-

o
i
a
-
-
a
-
,
-

-
,
-
-
i
a
o
-

39

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 39 16-03-2009 14:29:08


U
a
n
w
t
A
M
n
M
i
c

v
t
k
m
z
l
w
h
p
g

i
t
k
u
D
w
U

40

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 40 16-03-2009 14:29:09


20

Upendo Na Kurudi
Kwake Kristo

M
wamko mkuu wa kidini ul- utahubiriwa wakati wa mwisho,
itangazwa katika ujumbe haukutimilika wakati mwingine
wa malaika wa kwanza wa mpaka wakati huo, kama unabii
Ufunuo 14. Malaika alionekana ulivyotabiri.
akiruka katikati ya mbingu, mwe- Paulo alilionya kanisa la wakati
nye injili ya milele ili awahubiri wake kuwa, lisikutazamie kuru-
watu wakaao duniani, watu wa kila di kwa Kristo wakati huo mpaka
taifa, na kabila na lugha na jamaa”. uasi mkuu utakapotokea, na “mtu
Akisema kwa sauti kuu, “Mcheni wa dhambi” kushika uongozi wa
Mungu na kumtukuza, kwa maa- kanisa kwa muda mrefu, ndipo
na saa ya hukumu yake imekuja. tutakutazamia kurudi kwa Bwa-
Msujudieni yeye aliyefanya mb- na. 2Wathesalonike 2:3. “Mtu
ingu na nchi na bahari na chemi- wa dhambi” – “pia siri ya kuasi”
chemi za maji. Ufunuo 14:6-7. “Mwana wa uharibifu” – ni upapa,
Malaika anafananishwa na ngu- ambao ulijitwalia mamlaka ya ku-
vu na uwezo wa ujumbe utakao- ongoza dini kwa muda wa miaka
tangazwa na kukamilishwa. Kule 1260. Muda huo ulimalizika mwa-
kuruka kwa malaika katikati ya ka 1798. Kurudi kwa Kristo kus-
mbingu, na sauti kuu, na kutanga- ingeweza kutokea kabla ya muda
zia watu wa kila taifa, na kabila na huo. Paulo alijumlisha kipindi
lugha na jamaa huonyesha wepesi chote cha ukristo mpaka mwaka
wa kuendesha kazi na watu wa- 1798. Tangu wakati huo kurudi
husikao. Wakati watu hao wataka- kwake Yesu kunaweza kutangaz-
potoka na kuanza kazi, watatan- wa.
gaza hukumu itakayoanza. Kabla ya wakati huo ujumbe wa
Ujumbe huu ni sehemu ya Injili aina hiyo haukutangazwa. Kama
itakayohubiriwa wakati wa mwisho tuonavyo, Paulo hakukutangaza
tu, ambapo saa ya hukumu ime- kurudi kwa Yesu, ila alionyesha
kuja kwa hakika. Sehemu hiyo ya kuwa kurudi kwa Bwana kungali
ujumbe uhusuo wakati wa mwisho, mbali. Watengenezaji wa kanisa
Danieli aliambiwa aufunge, mpaka hawakuhubiri kurudi kwa Bwana.
wakati wa mwisho”. Daniel 12:4. Martin Luther alisema kuwa ku-
Ujumbe huu wa hukumu ambao rudi kwa Yesu kunaweza kutokea

41

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 41 16-03-2009 14:29:10


Biblia waliamini kuwa kurudi kwa u
Kristo kumekaribia. t
Miaka mitatu baada ya Miller n
kuufasiri unabii huu, Dr. Joseph
Wolf, ambaye ni mhubiri alianza s
kuhubiri juu ya kurudi kwake Yesu. m
Alizaliwa huko Ujerumani, akiwa a
wa ukoo wa Kiebrania, aliongoka, m
akawa mkristo wakati wa angali A
mtoto. Alikuwa akipenda kusikili- u
za masimulizi ya kuja kwa Masihi h
na kuanzishwa kwa ufalme wa Is- u
raeli. Siku moja alisikia habari za a
Yesu wa Nazareti zikitajwa, aliuliza n
kuwa huyo Yesu ni nani? Alijibiwa
kwamba ni Myahudi mwenye ujuzi
mwingi na uwezo. Lakini Myahu-
di huyu alipojifanya kuwa Masihi,
baraza la kiyahudi lilimhukumia
kifo. Akaendelea kuuliza, “Kwa
nini Yerusalemu iliharibiwa, na sisi
tuko utumwani? “Baba yake aka-
jibu, “Ole, Ole” Kwa sababu Waya-
Yusufu Wolff alisafiri katika nchi nyingi aki- hudi waliwaua manabii” Jambo
tangaza kurudi kwa Yesu Kristo mara ya pili. hili lilimwingia kijana moyoni.
baada ya miaka 300 tangu wakati Akafikiri, “Labda Yesu pia aliku-
wake. Lakini tangu mwaka 1798 wa nabii, na Wayahudi walimwua
kitabu cha Danieli kilifunguliwa, mtu mwenye haki”. Ingawa ki-
kwa hiyo watu wengi walianza jana huyu alizuiwa asiingie katika
kuhubiri saa ya hukumu. Kanisa la Kikristo, lakini alipende-
lea kunyemelea huko na kusikili-
Mwamko kwa Nchi Mbalimbali za mahubiri wakati akiwako nje.
Wakati Ule Ule Alipokuwa na umri wa miaka
Watu wa marejeo walionekana saba, siku moja alikuwa akijisifu
mahali mbalimbali kwa wakati kwamba siku zijazo wakati Masihi
mmoja sawa na watengenezaji wa atakapokuja ataleta fahari ya Is-
karne ya kumi na sita. Wakati we- raeli. Mzee yule aliyekuwa akion-
nye imani waliyachunguza Maan- gea naye, alisema, “Kijana wangu,
diko na unabii, wakaona usha- nitakuambia masihi alikuwa nani;
hidi wa kuonyesha kuwa mwisho alikuwa ni Yesu wa Nazareti, am-
unakaribia. Wakristo wa vikundi baye mababu zako walimsulubi-
huku na huko walipochunguza sha …. Hebu nenda nyumbani

42

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 42 16-03-2009 14:29:11


a usome Isaya sura ya hamsini na dayo. Akaenda bila fedha kutafuta
tatu; ufahamu kuwa Yesu Kristo kazi. Alijifunza kwa biddii, na ku-
r ndiye Mwana wa Mungu”. jua lugha ya Kiebrania barabara.
h Alikwenda nyumbani akasoma Aliingia katika dini ya Kirumi, na
a sura ile. Lo, ilitimizwa kwa uka- akaenda Rumi katika chuo cha
. milifu gani juu ya Yesu. Kijana utafiti. Hapa aliona machafuko ya
a akamaka na kusema, “Kumbe kanisa, akayashambulia wazi na
, maneno ya Wakristo ni ya kweli?” akataka Matengenezo yafanyike
i Alipomwuliza babaye amweleze kanisani. Baada ya muda alion-
- unabii huo, hakupata jibu. Basi dolewa pale, kwa kuwa hakuku-
i hakumwuliza tena. Alipopata baliana na hali hiyo ya Kirumi.
- umri wa miaka kumi na saba, Alihesabika kuwa mkaidi, asiye-
a akaenda zake kujitafutia elimu jirudi, kwa hiyo akaenda zake.
a na kazi, na kuchagua dini apen- Akasafiri mpaka Uingereza, huko
a akajiunga na kanisa la Anglikana,
i yaani kanisa la Kiingereza. Baada
- ya miaka miwili akaondoa mwaka
, 1821 kwenda kazini.
a Wolff aliamini juu ya kurudi
a kwake Yesu kuwa ku karibu.
i Tafsiri ya unabii ilionyesha kuwa
- yu karibu kabisa kurudi. Anaona
- kuwa jinsi Miller alivyotangaza
o ndivyo. Je Bwana hakutuonyesha
. dalili za kuja kwake ili tujue waka-
- ti huo? Hakutaja mfano wa mtini?
a Hakika tutajua kwa ishara ili tu-
- jiandae sawa kama Nuhu alivyoji-
a Joseph Wolff alihubiri kurudi haraka kwa andaa kuingia safinani.
- Yesu mara ya pili kila mahali alipoenda.
Ramani huonyesha sehemu mtu mmoja
- alizotembela: Mwaka 1821 alitembelea Kinyume cha Tafrisi Nyingine
. Misiri A, mwambao wa Sina B, Jerusalem , Kuhusu namna watu wanavyo-
Aleppo C, Mesopotamia D, Persia E, Tiblisi F
a na Crimea G, alirudi England mawaka1826.
tafsiri maandiko, Wolff aliandika
u Mwaka 1828 Wolff alitoka kutafuta makabila akasema, “Fungu kubwa la wakris-
i kumi,alisafiri kupitia Anatolia 1, Armenia to, au makanisa ya wakristo wame-
2, Turkestan 3 na Afghanistan na Simla na
- Calcutta 4, alipata tabu nyingi lakini alihubiri potoka na kuacha njia ya Maan-
- kwa ujasiri. Alitembelea Madras 5, Pondi- diko Matakatifu, wakidhani kuwa
, cherry 6, Tinnevelly 7, Goa 8 na Bombay 9, wanaposoma, “Myahudi, huelewa,
alisafirikurudi nyumbani kwa kupitia Misiri
; na Malta. 1836 alimpata Samuel Gobat huko “Mmataifa” na wasomapo “Yeru-
- Ethiopia a, alichukuliwa kwenda Jeddah b, salemu” huelewa “Kanisa” na in-
naye alifika Yemen c na Bombay d,
- alipotembelea Umoja wa Marekani. Joseph
aposemwa “nchi” huelea “mbingu”
i Wolf alikuwa miongoni mwa wahubiri walihu- na inaposemwa “Kurudi kwake
biri marejeo!

43

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 43 16-03-2009 14:29:11


kumiwa kufa, akishambuliwa na W
wanyang’anyi, na mara nyingine K
akiwa karibu kufa kwa kiu. Mara n
moja alitekwa na kutembezwa m
maili mamia kwa miguu, akipitish- a
wa milimani kwenye barafu akiwa y
karibu uchi. s
Alipoonywa kuwa asitembee kati- l
kati nchi za makatili bila kuwa na H
ulinzi kamili, alisema kuwa yeye i
anazo silaha kamili, ndiyo maombi t
na matumaini yake kwa Kristo. k
Silaha nyingine niliyo nayo ni up-
endo wa Mungu nilio nao moyoni U
mwangu anaoniwezesha kuwap- U
enda watu wengine. Na Biblia nili-
yo nayo mkononi mwangu ndiyo U
silaha mahsusi. Kitabu hiki cha
Biblia ndiyo nguvu yangu. Ndicho b
msaada wangu. k
Aliendelea hivyo mpaka sehemu k
kubwa ya nchi ikasikia ujumbe. m
Karibu wachungaji miasaba katika Kanisa
la Uingereza walihubiri kurudi kwa Bwana Alieneza Injili na kutoa sehemu c
kulivyo karibu kabla ya mwaka 1844. za Injili kwa baadhi ya Wayahudi, A
Waturuki, Waparisi, Wahindu na w
Bwana” huelewa “Kuendeshwa mataifa mengineyo. Kila mahali “
kwa kazi”, na “Kwenda mlimani” alikutangaza kurudi kwa Masihi k
maana yake ni “madaraka ya mku- kuliko karibu sana. i
tano wa Methodist”. Katikati ya Bokhara alikuta ki- e
Tangu mwaka 1821 mpaka 1845 kundi cha watu wakikutangaza y
Wolff alisafiri katika nchi za Misri, kurudi kwake Bwana. Alisema, y
Abyssinia, Palestine, Syria, Persia, Waarabu wa Yemen wanacho kita- h
Bokhara, India na Marekani. bu cha Seera, ambacho hueleza
habari za kurudi kwake Bwana, na a
Uwezo Kitabuni kumiliki kwake kwa fahari watu h
Dr. Wolff alisafiri katika nchi hao anakutazamia kurudi kwa n
nyingi za watu wakorofi bila kuwa Bwana kutatokea katika mwaka W
na ulinzi wo wote, huku akivu- 1840 Niliwakuta wana wa Israeli n
milia shida nyingi sana, na ku- wa kabila la Dani pamoja na wana z
pita katika hatari za kila namna. wa Rekabu wakikutazamia kurudi g
Alikuwa akishinda njaa; akiuzwa kwa Bwana kwa hamu sana.
kama mtumwa, mara tatu alihu- Imani hiyo hiyo ilionekana katika c

44

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 44 16-03-2009 14:29:12


a Wamishenari wengine wa Tatari.
e Kuhani wa Tatari aliuliza kuwa,
a ni lini Kristo atarudi pamoja na
a mawingu? Huyo mtu wa misheni
- alipoonekana kuwa hana habari,
a yule Kuhani wa Tatari alishangaa
sana kuwa mwalimu huyu wa Bib-
- lia hana habari juu ya jambo hili.
a Huyu mtu wa Tatari alionyesha
e imani yake kwa yale yaliyomo ka-
i tika unabii kwamba Kristo atarudi
. katika mwaka wa 1844. Bengel na Gaussen walitawanya neno la
ujumbe wa kurudi karibu kwa Bwana huko
- Ujerumani na Uswizi.
i Ujumbe wa Marejeo Huko
- Uingereza hebu la Jesuit, aliupokea ujumbe
- Ujumbe wa marejeo ulihubiriwa wa marejeo akauamini. Ili kusudi
o Uingereza mapema kama mwaka kuepuka maalumu ya Rumi, ali-
a 1826. Ujumbe kamili haukuhu- andika habari zake, akijiita kuwa
o biriwa, lakini habari ya kurudi Mwalimu Ben-Ezra, akijipendeke-
kwake Kristo katika mawingu ili- za kuwa ni mwongofu wa Kiyahudi.
u kuwa imetangazwa. Mwandishi Panapo mwaka 1825 kitabu chake
. mmoja aliandika kwamba, kiasi kilitafsiriwa katika lugha ya kiin-
u cha Wachungaji 700 wa kanisa la gereza. Kitabu hicho kiliongezea
, Anglikana (uingereza) walikuwa mkazo wa imani juu ya ujumbe
a wakihubiri kuhusu “Injili hii ya ambao umeshahubiriwa tayari,
i “Ufalme” Injili iliyokuwa ikitaja huko Uingereza.
i kuwa Kristo atarudi mwaka 1844
ilikuwa ikihubiriwa huko Uinger- Aliyofunuliwa Bengel
- eza. Magazeti yaliyohusu marejeo Katika Ujerumani mafundisho
a ya Kristo yalichapishwa Marekani ya Biblia yalikuwa yamefundishwa
, yalikuwa yakitolewa kwa wingi na Bengel, mchugnaji wa Kiluther.
- huko Uingereza. Katika mwaka Alipokuwa anatayarisha mahubiri
a 1842 Robert Winter, mwingereza kutoka katika ufunuo 21 nuru il-
a aliyeukubali ujumbe wa marejeo imulika katika mawazo yake kuhu-
u huko Marekani, alirudi nyumba- su kurudi kwa Yesu. Ufunuo wa
a ni kwao kutangaza ujumbe huo. unabii uling’aa mawazoni mwake
a Watu wengi walijiunga pamoja na akashangaa kwa fahari ya ku-
i naye katika kazi hiyo ya kutanga- rudi kwake Kristo, kama ilivyoelez-
a za, katika sehemu kadhaa za Uin- wa na nabii. Alitafakari kwa muda
i gereza. habari hiyo. Hata alipokuwa mim-
Huko Amerika ya Kusini La- barani, fahari ya kurudi kwake
a cunza, mtu wa Hispania wa dhe- Yesu iling’aa tena mawazoni

45

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 45 16-03-2009 14:29:15


f
a
k
v
s
t
k
k
J
m

z
k
w
w
n
a
s
y
B
c
d
Gaussen wa Ufaransa na Uswizi, Benel na Deutschland, watoto walihubiri huko Scandinavia, a
ujumbe wa kurudi kwa Yesu ambao ulisikika sehemu nyingi. M
mwake. Tangu wakati huo alijitia bii. Baada ya kusoma kitabu cha y
katika kujifunza habari za unabii, Rollins, juu ya “Historia ya Kale”, d
na halafu ukafikia uamuzi kuwa ilielekezwa mawazoni juu ya Dan- N
Kristo atakuja upesi. Muda aliod- iel sura mbili. Alishangazwa na m
hani kuwa Yesu atarudi ulikuwa jinsi unabii ulivyotimia bila kuko- j
karibu na ule wa Miller. sa, hata kidogo. Huu ulikuwa ut- k
Maandiko ya Bengel yaliene- hibitisho wa uvuvio wa Maandiko
zwa kwanza katika mkoa wa Matakatifu. Basi hakutosheka na W
kwao wa Wirtemberg, na baadaye imani ya juu juu. Alipoendelea S
yakaendea katika nchi nzima ya kuchunguza Biblia zaidi, alibadili
Ujerumani, na wakati huo kuvutia imani yake ya kwanza. w
na nchi nyingine pia. Alifikia uamuzi ya kwamba ku- w
Huko Geneva Gaussen alihubiri rudi kwa Yesu kuko karibu. Ali- n
kuhusu kurudi kwake Kristo. Ali- pokuwa na imani hiyo, alitamani n
poingia katika kazi ya kuhubiri kuwafunulia na watu wengine pia. w
alielekea kuwa mtu wa mashaka. Lakini watu waliokuwa hawaua- w
Wakati wa ujana wake alikuwa mini unabii wa Daniel walimpinga h
anapenda sana mambo ya una- vibaya. Mwisho akaazimu ku- w

46

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 46 16-03-2009 14:29:15


fundisha watoto, sawa kama Farel
alivyofanya Geneva. Alitumaini
kuwa watoto wakiamini watawa-
vuta wazazi wao. Alisema, “Niliku-
sanya kundi la watoto, kama wato-
to hawa watasikiliza, nina hakika
kuwa nitapata kundi la pili; na
kwa hiyo hata wazazi wataingia”.
Jambo hili likifanyika, kazi imeti- William Miller alisema katika kumbukumbu
zake, alikuwa na anwani na majina ya watu
milika. waisiopungua 4000 na mashirika, ambao
Alipofundisha watoto, watu wa- walihubiri kurudi karibu kwa Yesu.
zima pia walikuja kusikiliza. Basi
kanisa lake lilijaa na wasikilizaji, mahali pengine ambapo wahubiri
watu maarufu, wenye elimu na wa marejeo ya Kristo walinyama-
wageni wanaokuja Geneva. Hivyo zishwa hivyo, Mungu aliwatumia
ndivyo Injili ilivyoenezwa. Gaussen watoto wadogo kuhubiri. Kwa
akitiwa moyo na hayo aliyochapi- kuwa walikuwa wadogo serikali
sha masomo yake, akiwa na nia haikuweza kuwachukulia hatua
ya kuanzisha mafunzo ya unabii. yoyote.
Baadaye alikuwa mwalimu katika Katika nyumba za watu ndi-
chuo kimoja na kila jumapili alien- mo watu walikuwa wakikutana
delea na mafunzo ya katekismu, ili kusikia ujumbe wa marejeo.
akiwafundisha watoto maandiko Baadhi ya watoto hao waliokuwa
Matakatifu. Mafundisho yake wakihubiri umri wao ulikuwa mi-
a yaliyotolewa kwa kinywa na kuan- aka sita au minane. Walipokuwa
, dika mambo kwa njia ya kuchapa. wakishuhudia juu ya upendo wa
- Na kama mwalimu wa watoto wa Mwokozi, maisha yao yalikuwa ya
a muda mrefu aliwafundisha watu kawaida kwa watoto wa umri huo.
- juu ya kurudi kwa Yesu kulikoa Waliposimama kuhubiri hali yao
- karibu. ilikuwa tofauti na hali ya kawaida.
o Nguvu ya pekee ilikuwa ndani
a Wahubiri Watoto wa yao. Walitoa maonyo kwa uthabiti
a Scandinavia wa pekee. Walisema kwa ujasiri,
i Huko Scandinavia pia ujumbe “Mcheni Mungu na kumtukuza,
wa marejeo ulihubiriwa. Wengi maana saa ya hukumu yake ime-
- waliongoka na kuzitupilia mbali kuja”.
- njia zao mbaya, wakataka rehema Watu walisikia maonyo haya kwa
i na msamaha wa Kristo. Lakini hofu na kutetemeka. Roho wa
. wenye dini ya kawaida ya jumla Mungu aliwazungumzia. Wengi
- waliwapinga waongofu wenye dini walilazimika kuyachunguza maan-
a hawa, na baadhi ya wahubiri hao diko kwa makini, wakasahihisha
- walitupwa kifungoni. Wakafika njia zao. Kazi ilifanyika mpaka

47

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 47 16-03-2009 14:29:16


wakuu wa serikali wakakiri kuwa chungaji wachache waliupokea. f
mkono wa Mungu ulikuwa ukiwa- Kwa hiyo watu wa kawaida tu ndio k
ongoza. walikuwa wakiutangaza. Waku- b
Yalikuwa mapenzi ya Mungu lima waliacha mashamba yao, ma- k
kwamba habari za kurudi kwa fundi wakaacha kazi zao, wenye i
Kristo zihubiriwe katika Scandina- biashara wakaacha biashara zao,
via, kwa hiyo aliwawezesha watoto wataalamu wakaacha kazi zao za c
ili wafanye kazi hiyo. Wakati Yesu kitaalamu. Wote wakajiunga kwa i
alipokaribia Yerusalemu, watu furaha kuwaambia watu habari w
walitishwa na makuhani na wa- njema ya kurudi kwake Yesu. w
tawala ili wanyamaze ama wasis- Ujumbe wa marejeo ulipokelewa h
hangilie, Yesu anapoingia mjini. na watu maelfu. k
Lakini watoto katika hekalu wali- k
paza sauti zao na kuimba “Hosa- Andiko Rahisi Huleta Uthibit- w
na Mwana wa Daudi”. Mathayo isho z
21:8-16. Jinsi Mungu alivyowatu- Wahubiri waliweka shoka kwenye y
mia watoto katika kuja kwa Kristo mashina ya miti sawa na Yohana 4
mara ya kwanza, hali kadhalika Mbatizaji alivyofanya, na kuwahi- n
atawatumia kutangaza kurudi miza watu kuuza matunda yapa- M
kwake mara ya pili. sayo toba. Maneno ya ushuhuda h
kwamba hali ya toba imepatika- w
Ujumbe Ulienea na, yalisikika yakisemwa dhahiri g
Marekani ilikuwa ndiyo kiini cha na wahubiri mimbarani waziwazi. i
ujumbe na kusanyiko la Marejeo. Wengi walimtafuta Bwana kwa m
Maandiko ya Miller na wenzake moyo wa toba halisi. Anasa za du- z
yaliendelezwa katika nchi nyingine nia zilizowajalia kwa muda mrefu
za karibu na mbali, walikokwenda sasa waliziachilia mbali, na kuta- w
wahubiri. Huku na huko ujumbe e
wa marejeo wa Injili ya milele k
ulisikika ukisema, “Mcheni Mungu w
na kumtukuza, kwa maana saa ya M
hukumu yake imekuja”. u
Unabii ulioonekana kuonyesha k
kuwa kurudi kwa Kristo kungeku- w
wa katika mwaka 1844 ulieleweka k
vizuri na watu wa marejeo. Wengi t
waliamini kuwa hesabu miaka na t
taratibu zake vilikuwa sawa. Kwa u
hiyo waliacha kazi zao, na misha- i
hara yao wakajiunga na wale walio- d
Ujumbe wa Mungu ulirudi ukiwa umechapwa
kuwa wakitangaza kurudi kwake na kutawanywa na wauzaji ambao waliupele-
n
Kristo. Walakini hata hivyo, wa- ka katika kila kituo cha kimishenari katika u
ulimwengu wote.

48

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 48 16-03-2009 14:29:18


. futa yale ya mbinguni. Walijiunga
o kutangaza kwa moyo wote, kwam-
- ba, “Mcheni Mungu na kumtukuza
- kwa maana saa ya hukumu yake
e imekuja”
, Wenye dhambi walijuta kwa ma-
a chozi, na kuuliza, “Je, tufanye nini
a ili tupate kuokoka?” Watu ambao
i waliishi katika hali ya ufedhuli,
. wakatafuta jinsi ya kurekebisha
a hali zao. Wale waliopata amani
katika Kristo walikuwa na hamu
kuu ya kuwaelezea wengine ili nao
- wapate amani hiyo. Mioyo ya wa-
zazi iligeukia kwa watoto wao, na
e ya watoto kwa wazazi wao. Malaki
a 4:5-6. Vizuizi viletwavyo na kiburi
- na kutakabari viliondolewa mbali.
- Mioyo ya maungamo ilikuwa dha-
Wanyenyekevu na waongofu kanisani
a hiri kwa wote. Kila mahali watu walikuwa ndio wa kwanza kupokea ujumbe.
- walikuwa wakimlilia Mungu. Wen-
i gi alikuwa wakiomba usiku kucha mikutano hiyo hakuweza kuisa-
. ili kuhakikisha kuwa wamepata hau.
a msamaha kwa ajili ya dhambi
- zao. Ujumbe Ulipangwa
u Watu wa hali zote, wakubwa kwa Kutangaza kwa wakati hasa wa
- wadogo, wenye elimu na wasio na kuja kwa Kristo kulipingwa na
elimu, matajiri kwa maskini wali- watu wote, tangu wachungaji mpa-
kuwa na hamu ya kusikia ujumbe ka wenye dhambi. Wengi walise-
wa kurudi kwake Yesu. Roho wa ma kuwa hawapingi fundisho la
Mungu aliwezesha ujumbe huu kurudi kwake Yesu, ila wanapinga
utangazwe kwa nguvu. Katika mi- ule muda hasa wa kurudi kwake.
kutano yote malaika watakatifu Lakini macho ya Mungu yalisoma
walikuwamo na waumini wakazidi mioyo yao. Hawakutaka kusikia
kuja kwa Bwana kila siku. Maku- kuwa Mungu atakuja kuuhukumu
tano makubwa yalikuwa yakiku- ulimwengu kwa haki. Kazi zao zili-
tana na kukaa kimya ili kusikiliza kuwa mbovu, na zisingeweza kusi-
ukweli huu. Mbingu na nchi zil- mama katika hukumu ya Mungu.
ionekana kukutana. Watu waliru- Hawakuwa tayari kukutana naye,
di nyumbani kwao wakijaa furaha sawa kama Wayahudi hawakuwa
na kuyatafakari yote yaliyosemwa tayari kumkaribisha Yesu alipoku-
-
usiku kucha. Mtu aliyehudhuria ja mara ya kwanza. Hawakutaka

49

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 49 16-03-2009 14:29:22


kusikia ujumbe wa Biblia tu, bali
waliwadhihaki wale waliokutaza- m
mia kurudi kwake. Shetani al- j
imdhihaki Kristo, kwamba watu m
wake hawataki arudi. Wale walio- k
kuwa wanapinga ujumbe walise- h
ma kuwa, “Hakuna ajuaye saa ya t
kuja kwake”. Andiko linasema, j
“Walakini habari ya siku ile na saa w
ile hakuna ajuaye, hata malaika m
walio mbinguni, wala Mwana, ila h
Baba peke yake”. Mathayo 24:36. i
Elezo hilo dhahiri lilielezwa na wale h
waliokuwa wakiungojea kurejea s
kwa Bwana, lakini wale wapingaji m
walipotosha maana yake. H
Mmoja alisema kuhusu Mwo- m
kozi kwamba lazima asingemhari- l
bu mtu. Ingawa hakuna ajuaye m
wakati wa kuja kwake, tunapaswa w
kujua anapokaribia. Tusipojishu- m
ghulisha kujua itakuwa bahati d
mbaya kwetu kama ilivyokuwa Wakati wa kusubiri ulipita, na Kristo w
kwa wote wa ulimwenguni, wakati hakuonekana. Ulikuwa ni mda wa m
wa siku za Nuhu. Kristo alisema, kukata tamaa. n
“Usipokesha nitakuja kwako kama tafsiri potofu ili kuwapotosha.
vile mwizi ajavyo, nawe hutaijua Watu wanyofu katika kanisa w
saa nitakayokuja kwako. Ufunuo walikuwa wa kwanza kupokea k
3:3. Paulo anasema kwa wale we- ujumbe. Pale watu walipotawali- u
nye kujali maonyo, “Bali ninyi, wa na waongozi wao, na pale watu K
ndugu, hammo gizani, hata siku wanapochunguza Maandiko ku- u
ile iwapate kama mwizi. Ninyi pambanisha andiko na andiko. w
nyote mmekuwa wana wa nuru, Wengi walipotezwa na waume,
na wana wa mchana” 1Tes. 5:2-5. wake, wazazi, watoto hata ika-
Lakini wale wanaotafuta udhuru onekana kana kwamba ni dham-
wakiziba masikio wasiyajali maon- bi hata kwenda kusikiliza tu.
yo yale maneno, “Hakuna ajuaye Ujumbe wa marejeo ukahesabika
siku wala saa, huendelea kugonga kana kwamba ni uzushi. Malaika
kwao kama mwangwi, hata kwa waliagizwa kuwalinda waaminifu
wafuasi ya Kristo pia. Kadiri watu hawa, ili waendelee mpaka nuru
walivyokuwa wakiutafuta ukwe- zaidi ifunuliwe kwao, kutoka ka-
li, wapotofu hawa waliingilia na tika kiti cha Mungu.

50

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 50 16-03-2009 14:29:24


Watu waliupokea ujumbe wa huo walipata uchungu na masiki-
marejeo walikesha na kukungo- tiko yasiyoelezeka. Wakati Mungu
jea kurudi kwake Bwana, maana alikuwa akiwajaribu wale waliku-
muda uliokuwa ukitazamiwa uli- wa wakingojea, ambao ni wafuasi
kuwa umekaribia. Waliingoja saa wake. Wengi walikuwa wamevut-
hii kwa utulivu na kicho hasa. Ka- wa kujiunga kwa njia ya hofu tu.
tika kundi hilo lililokuwa likingo- Hawa walisema kuwa hawakuami-
jea, hakuna awezaye kusahau hali ni kuwa Yesu angerudi kwa waka-
waliyokuwa nayo. Kwa muda wa ti huo. Walakini walikuwa kati ya
majuma kadhaa kabla ya muda kwanza kuwadhihaki waaminifu
huo shughuli zote za kidunia zil- wa kweli. Lakini ni Yesu na mbin-
iachwa kabisa. Waumini walijic- gu yote ndiyo waliwahurumia watu
hunguza mioyo yao kwa uangalifu wake. Kama pazia lingefunuliwa
sana, kwa vile baada ya wakati wangeweza kuona jinsi malaika
mfupi tu wangeicha dunia hii. wanavyowashughulikia kwa upen-
Hapakuwa na utengenezaji wa do usiosemeka, ili wasikumbwe na
mavazi ya kuvaa wakati wa kupaa, gharika ya shetani.
lakini wote walikuwa na tunu ya
milele ya kumwona Bwana. Usafi Marejeo:
wao haukuwa wa mavazi, bali wa Travels and Adventures of Rev.
mioyo, tabia iliyotakaswa kwa Joseph Wolff, Vol. 1 pp. 6-7.
damu ya Kristo. Je, wangaliko Joseph Wolff, Researches and
watu wa Mungu namna hiyo, waa- Missionary Labour, pp. 404 -405.
minifu wanaotafuta utakaso wa Journal of the Rev. Joseph Wolff,
namna hiyo? p. 96
Mungu alitaka kuwajaribu watu W.H.D Adams, In Perills Oft. Pp.
a wake. Mkono wake ulifunika kosa 192, 201
a katika kuhesabu tarehe katika Journal of the Rev. Joseph Wolff,
- unabii. Wakati wa kurejea kwa pp. 377, 389
u Kristo, (yaani katika mwaka 1844) L. Gaussen Daniel the Prophet
- ukapita bila Kristo kurudi. Hivyo, – Vol. 2
wale waliotazamia Mwokozi wakati
,
-
-
.
a
a
u
u
-

51

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 51 16-03-2009 14:29:25


W
m
y
k
k
i
g
s
w
n
M
k
g
r
j
s
z
k
w
k
b

w
u
w
k
k
w
n
k
52

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 52 16-03-2009 14:29:25


21

Kuvuna Upepo
Na Kimbunga

W
illiam Miller na wenzake Katika mwaka 1844 watu kiasi
walitaka kuamsha wata- cha hamsini elfu walijitenga na
alamu wa dini ili wasi- makanisa hayo.
mame katika tumaini la imani Katika makanisa mengi kume-
ya kweli na ukristo halisi wa kuwako ongezeko la kawaida za
kanisa. Walishuhgulika pia na kidunia zikiingia taratibu, na
kuwaongoa wale wasiokuwa na hizo hudhoofisha mambo ya kiro-
imani wapate kutubu na kuun- ho. Lakini katika mwaka huo
gama. Wao hawakujishughuli- kulionekana hali ya badiliko ka-
sha na habari ya madhehebu, tika makanisa yote nchini. Hayo
walichotaka ni kuona watu wa- yalithibitishwa kwa kusemwa
nasimama katika ukweli halisi. kanisani na kuandika magazeti-
Miller alisema “Nataka kufaidia ni.
kila mtu bila kujali ni wa dhehebu Mchungaji Barnes, Mwandishi
gani”. Kama wakristo watakufu- wa Komentari na kiongozi wa
rahia kurudi kwa Kristo litakuwa makanisa ya Philadephia alise-
jambo muhimu. Hata wale wa- ma kwamba “….. sasa haku-
siouona umaana wake sina la na mwamko, hakuna uongofu,
ziada kwao. Wala sina nia ya hakuna kukua kwa neema ka-
kutenganisha mikutano. Wengi tika uongozi, wala hakuna wasi-
wa walioongolewa nami waende wasi kuhusu kuongoa watu na
kujiunga na makanisa tofauti, tu kuwaleta katika wokovu. Kuna
bora wawe waongofu halisi. maongezeko ya anasa za kidunia
Lakini waongozi wa makanisa kanisani. Na hayo yanakumba
walitenga wale walioamini madhehebu yote.
ujumbe wa marejeo. Waumini Katika mwezi wa Februari mwa-
waliyapenda makanisa yao. La- ka ule ule, Mwalimu Finney wa
kini walipoona kuwa inawapasa Oberlin College, alisema, “Kwa
kuchunguza unabii, walikatali- jumla makanisa ya Kiprotestanti
wa. Lakini kwa ajili ya uami- katika nchi yetu, yamefifia sana
nifu wao kwa Bwana walikubali na kuwa na hali ya uadui katika
kutengana na makanisa hayo. msimamo wake. Hali ya kiroho
53

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 53 16-03-2009 14:29:26


wamekataa nuru ya Mungu.
Wayahudi walipojitia katika
mambo ya ulimwengu na kum-
sahau Mungu, waliachwa gizani
wala wasitambue kuzaliwa kwa
Masihi. Na kwa kutokuamini
kwao walimkataa Mwokozi. Mun-
gu hakuwa na kusudi la kuwaka-
tilia mbali na wokovu, bali wao
wenyewe ndio walijikatilia mbali.
Wale wanaoikataa kweli hugeuza
giza kuwa nuru, na nuru kuwa
giza”. Isaya 5:20.
Baada ya kuikataa Injili, Waya-
hudi waliendelea kuadhimisha
mambo yao ya mfano wa dini,
ambavyo sivyo yalivyo, huku
wakikubali wazi kuwa Mungu ha-
yumo kati yao. Unabii wa Dan-
ieli ulionyesha dhahiri wakati h
wa kuja kwa Masihi na wa kufa l
kwake pia. Hawakushughu- t
lika kujifunza unabii huo, na w
Ufunjuo 14 wa malaika 3 ambao huwakili-
sha jumbe wa anina tatu amabo unafwatana mwishowe viongozi wao waka-
mpaka mwisho wa wakati.
laani mtu yeyote anayejaribu ku- U
imefifia mno kiasi cha kutisha. weka muda wa tokeo hilo. Katika
upofu wao na kutokuamini kwao z
Washiriki wake wameingia kati- k
ka hali mbaya sana, kumebakia Waisraeli waliendelea kuuupuza
wokovu wao kwa mfuatano wa vi- u
kufuata mitindo tu. Wameunga- M
na na walimwengu kwa hali zote zazi. Hawakuona hatari yo yote
ya kuikataa nuru ya Injili iliyoku- a
za kianasa na siku za ulafi na v
starehe. Makanisa yanaendelea wa bahati yao, ambayo ni nuru
ya mbinguni. w
kuzama uovuni kwa namna ya y
kutisha. Yamejitenga mbali sana Mtu anayeshupaza shingo
yake asifanye wajibu umpasao, g
na Bwana, naye Bwana ameon- h
doka kati yao” mwishowe atapotewa na uwezo
wa kupambanua baina ya kweli M
na makosa, ndipo atatengana na m
Kukataa Nuru kwa a
Mwanadamu neema ya mbinguni hubaki kati-
ka giza, imani hupoa na upendo K
Giza la kiroho lilikuwa ndani n
yao, si kwa sababu wanadamu wao hupoa pia, na mafarakano
54

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 54 16-03-2009 14:29:27


.
a
-
i
a
i
-
-
o
.
a
a

-
a
,
u
Simba alikuwa katika kuta za asili za Babiloni, Neno babiloni lilitoka katika neno
- Babeli na humaanisha machafuko.
-
i hutokea. Makanisa hushughu- ambapo waumini walikuwa na
a likia mambo yao ya ulimwengu moyo mmoja, na Bwana akali-
- tu, na wenye dhambi hushupaa zidisha kanisa kila siku kwa wale
a wasione haja ya kutubu. waliookolewa”. Matendo 4:32;
- 2:47.
- Ujumbe wa Malaika wa Kwanza Kama watu wa Mungu wange-
a Ujumbe wa malaika wa kwan- pokea nuru ya Neno lake, wan-
o za wa ufunuo 14 ulikusudiwa gelifikia umoja wa imani, ambapo
a kuwatenga watu wa Mungu na mtume anaueleza kwa “Umoja wa
- udhalimu. Katika ujumbe huu Roho katika kifungo cha amani”.
e Mungu alitoa onyo kwa kanisa, Asema, “Mwili mmoja na roho
- ambalo kama lingepokelewa mmoja, kama mlivyoitwa katika
u vema, lingaliwarekebisha na ku- tumaini moja la wito wenu. Bwa-
wasahihisha kutokana na maovu na mmoja, imani moja, ubatizo
o yaliyokuwa yakiwatenga na Mun- mmoja” Waefeso 4:3-5.
, gu. Kama wangelipokea onyo Wale waliouamini ujumbe wa
o hilo na kujinyenyekeza mbele za marejeo walitoka katika madhe-
i Mungu, na kujiandaa kusima- hebu mbalimbali, na mpangilio
a ma mbele yake, Roho wa Mungu wa madhehebu yao ulitupiliwa
- angaliwajaza na kuwaongoza. mbali. Mashindano yote na far-
o Kanisa lingeufikia umoja, imani aka vilipondwa pondwa kabisa.
o na upendo wa siku za mitume, Makosa yalisahihishwa, kasoro

55

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 55 16-03-2009 14:29:27


weli toka katika unabii au kutoka
katika dalili za nyakati. Upendo
kwa Mungu na kwa Neno lake
umepoa, na ujumbe wa mare-
jeo umeamsha hali zao za ku-
tokuamini zipate kuchangamka.
Lakini kutojishughulisha kwao
kumefanana na jinsi watu wa
kale walivyouhesabu ujumbe wa a
Yesu, wakisema “Ni nani katika y
wakuu au Mafarisayo Amwamini- U
ye? Yohana 7:48. h
Wengi walikata tamaa kujifun- l
za unabii. Walikata tamaa ku- f
jifunza unabii wakisema kuwa m
vitabu vya unabii vimefungwa, k
wala havieleweki. Makundi ya m
watu walikataa kusikiliza ujumbe j
wa marejeo, ingawa walikubali y
kuwa ni hakika. Waliwatumai- d
nia wachungaji wao, na kuogopa r
kutengwa katika makanisa. Yo- t
hana 9:22. Ule ujumbe Mungu h
aliowatumia watu ulidhihirisha f
jinsi watu wengi walivyokuwa s
wakiupenda ulimwengu kuliko h
mambo ya mbinguni. h
Kule kukataa ujumbe wa ma- w
laika wa kwanza, ndiko kulikuwa p
zo zote zilinyooshwa, mioyo ili- sababu ile ya kuogofya ya hali m
ungana katika ushirika mtamu ya ulimwengu na uasi mwingi, “
ukafikiwa kwa furaha. Upendo kifo cha kiroho katika makanisa m
ulitawala mambo yote. Fundisho mwaka 1844. s
hili lingeleta matokeo yale yale, 2
kama wote wangelipokea. Ujumbe Wa Malaika Wa Pili
Wachugaji ambao ni walinzi Katika Ufunuo 14 malaika wa U
wangekuwa wa kwanza kuzit- kwanza alifuatwa na malaika wa
ambua dalili za kurudi kwa Mwo- pili akitangaza “anguko la Babeli” K
kozi, walishindwa kujifunza uk- ule mji mkuu, kwa sababu umey- b

56

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 56 16-03-2009 14:29:28


a
o
e
-
-
.
o
a
a anywesha mataifa yote mvinyo ingilie, ambavyo hufananishwa
a ya ghadhabu ya uasherati wake” na uasherati unaovuruga ndoa
- Ufunuo 14:8. Jina hili, Babeli safi. Dhambi ya Israeli ya ku-
hutokana na jina lile la zamani jitenga na Bwana, hufananishwa
- la Babeli, maana yake macha- na jambo hili”. “Hakika kama
- fuko. Katika Biblia jina hili hu- vile mke amwachavyo mumewe
a maanisha machafuko ya kidini, kwa hiana, ndivyo mlivyonitenda
, kutokana na aina mbalimbali za mimi kwa hiana, Ee nyumba ya
a mafundisho. Katika Ufunuo 17 Israeli, asema Bwana, “Mke wa
e jina hili Babeli husimama badala mtu aziniye! Akaribishaye wa-
i ya mwanamke, ambaye kimaan- geni badala ya mumewe” Eze.
- diko Matakatifu ni kanisa. Biki- 16:32. Yer. 3:20.
a ra safi hufananishwa na kanisa Mtume Yakobo asema, “Enyi
- takatifu. Mwanamke mchafu wazinzi, hamjui ya kwamba kuwa
u hufananishwa na kanisa poto- rafiki wa dunia ni kuwa adui wa
a fu lililoasi, katika Biblia uhu- Mungu” Basi kila anayetaka kuwa
a siano baina ya Kristo na kanisa rafiki wa dunia hujifanya kuwa
o hufananishwa na ndoa. Bwana adui wa Mungu”. Yakobo 4:4.
husema, “Nami nitakuposa uwe Mwanamke (Babeli) alikuwa
- wangu kwa milele; naam, nitaku- amevikwa nguo ya rangi ya zam-
a posa kwa haki”. “Maana mimi ni barau, na nyekundu, amepamb-
i mume wenu” Na Paulo husema, wa kwa dhahabu na kito cha tha-
, “Kwa kuwa naliwaposea mume mani, na lulu, naye alikuwa na
a mmoja, ili nimletee Kristo bikira kikombe cha dhahabu kilicho-
safi”. Hosea 2:19; Yeremia 3:14; jawa na machukizo, na machafu
2Kor. 11:2. ya uasherati wake… Na katika
kipaji cha uso wake alikuwa na
a Uasherati wa Kiroho jina limeandikwa, la siri, BABELI
a Kutokuwa mwaminifu kwa MKUU, MAMA WA MAKAHABA
” Kristo, kanisa hukaribisha mam- NA MACHUKIZO YA NCHI” Na-
- bo machafu ya ulimwengu yali- bii alisema, “Nikamwona mwa-

57

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 57 16-03-2009 14:29:30


namke yule amelewa kwa damu y
ya watakatifu, na kwa damu ya m
mashahidi wa Yesu”. Babeli ni h
Mji ule mkubwa” wenye ufalme
juu ya wafalme wa nchi” Ufunuo l
17:4-6, 18. G
Uwezo uliokuwa ukitawala t
Wafalme na Wakuu wa jamii g
za wakristo kwa karne nyingi k
ni Rumi. Mapambo ya rangi n
mbalimbali na dhahabu na lulu m
yote yalikuwa ya Rumi. Haku- h
na uwezo mwingine wowote am- s
bao unaweza kulingana na elezo
lisemalo, “umelewa kwa damu K
za watakatifu” kama kanisa lili- l
lowatesa watu wa Mungu yaani I
Rumi. Babeli pia imelaumiwa k
kama kuungana na wafalme wa s
nchi. Kanisa la Kiyahudi kwa h
kule kujiunga na mataifa makaf- Katika makanisa mengi utaalamu wa kidini K
ulizidi, Biblia huonya kuhusu uasi huo.
iri na kujitenga na Mungu likawa p
kahaba. Rumi nayo kule kutafu- n
ta msaada kwa serikali ili kuen- hehebu vingi mno ambavyo vi- f
desha mambo ya kanisa, lilipata napingana kwa mafundisho. n
lawama ile ile”. Kazi ya kanisa la Kirumi, lase- w
ma kwamba “Kama kanisa la w
Umoja wa Ulimwengu Rumi lilipata kuwa na hatia ya r
Makanisa mengi ya Kiprotes- kuabudu sanamu kwa kuhusu k
tanti yamefuata mfano wa Rumi watakatifu, binti yake kansia la w
kwa kuungana na “wafalme wa Anglikani linasimama kwa ha- w
dunia” – makanisa na serikali kwa tia ile ile, ambalo lina makanisa u
uhusiano wao na serikali za kidu- kumi yaliyojitoa kumwabudu w
nia na madhehebu mengine kwa Maria kwa moja lilijitoa kwa Kris- i
kutafuta kupendelewa na dunia. to. Na pia Dr. Hopkins atangaza, k
Neno “Babeli – machafuko – lin- “Hakuna sababu ya kufikiri roho
aweza kuhusisha makanisa haya ya kumpinga Kristo na kujizoeza r
yanayodai kupata mafundisho kushikamana kwa kile ambacho w
yao kutoka katika Biblia, na hali sasa kinaitwa kanisa la Roma K
bado yanagawanyika katika vid- tu. Makanisa ya Kiprotestanti w

58

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 58 16-03-2009 14:29:31


yanampinga ndani yao na yako walivyogeuza njia. Wakawa vipo-
mbali sana na matengenezo sahi- fu kabisa wasipokee ukweli ulio-
hi kutoka katika uasi na ufisadi. pokelewa na baba zao. Wakawa
Kuhusu kujitenga kwa kanisa kana kwamba sio wana wa waten-
la Presbyterian kutoka Rumi, Dr. genezaji, wakijitenga na kujikana
Guthrie aliandika, “Miaka mia nafsi na kuacha ulimwengu.
tatu iliyopita, kanisa letu lilijiten- Lo, makansia yamejitenga na
ga na Rumi, likishikilia Biblia ukweli wa Biblia kiasi gani! John
katika mikono yake na likiwa na Wesley alisema, kuhusu fedha,
neno kuu lisemalo, “Chunguza “Usipoteze sehemu yoyote ya ta-
maandiko” Halafu aliuliza swali lanta ya thamani ….. kwa ma-
hili, “Je, walitoka Babeli wakiwa pambo na kujirembesha. Wala
safi?” usipoteze muda kupamba nyum-
Upotovu wa Kwanza Kutoka ba yako, na vitu vya thamani,
Katika Ukweli wa Injili Je, kanisa na mapicha na maridadi za kila
lilifarakana jinsi gani na usafi wa namna. Lakini uridhike na hes-
Injli? Lilifarakana kwa njia ya hima itokayo kwa Mungu.
kujiunga na ukarifi, na kushu- Mtawala, wana siasa, madaktari,
sha kanuni za ukristo ili iwe ra- wanasheria, wafanya biashara,
hisi wakafiri kujiunga na kanisa. wote walijiunga na kanisa kama
Kuelekea mwisho wa karne ya washriki, ili iwe njia ya kuen-
pili makanisa mengi yalikuwa deleza mambo yao ya ulimwengu.
na umbo jingine kabisa. Wana- Halimashauri za kanisa ziliku-
- funzi wa kwanza walipomalizika wa zikiongozwa na makafiri hao
na kulala makaburini, watoto ambao walijifanya kana kwam-
- wao pamoja na waongofu wapya ba ni waongofu wa kweli, huku
a wakafuata njia nyingine” Destu- wakitafuta anasa za ulimwengu.
a ri za kikafiri zikafurikia ndani ya Makanisa makubwa, maridadi
u kanisa, na sanamu zikahalalish- sana yalijengwa. Wachungaji ho-
a wa” Ukristo ukategemea msaada dari, ambao kazi yao hasa ilikuwa
- wa serikali. Ukristo wa jina tu kuwaburudisha watu, walikuwa
a ukakubaliwa na wengi. Lakini wakilipwa mishahara mikubwa
u wengi waliendelea kuwa wakaf- sana, mahubiri yao yalikuwa ya
- iri tu, wakizidi kuabudu sanamu kuwaburudisha tu wasikilizaji.
, kwa sirisiri” Hivyo dhambi zilifichika chini ya
o Je, mambo yayo hayo hayaku- uongofu wa mfano tu.
a rudiwa rudiwa karibu yote ya Dhambi kuu iliyoshitaka dhidi
o watu wanaojiita Waprotestanti? ya Babeli ni kwamba “uliwafanya
a Kadiri watangulizi wa kweli mataifa kunywa mvinyo wa gha-
i walivyokufa, ndivyo walivyofuata dabu ya mafundisho ya uongo

59

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 59 16-03-2009 14:29:32


ya dunia kwa kufundisha ma-
fundisho yapingayo matamshi ya
kweli ya Biblia.
Ingekuwa siyo dunia kulewa
na mvinyo wa Babeli, maelfu ya
watu wangesadikishwa na kuon-
golewa na ukweli halisi wa Neno
la Mungu. Lakini imani ya dini
huonekana kuvurugwa na ku-
tolingana kiasi cha kuwafanya
watu kutofahamu cha kuamini.
Dhambi ya ugumu wa moyo wa
dunia imesimama mlangoni mwa
kanisa.

Marejeo:
Bliss p. 328
Congregation Journal, Mei 23,
1844.
Richard Challoner, The Catholic
Christian Instructed, Preface, pp.
Mvinyo mkali katika Biblia humaanisha
misingi ya machafuko ya makanisa yaliyoasi.
21-22
Samuel Hopkins, “A Treatise on
yanayokubalika na Babeli kama the Millenium” Works, Vol
mvuto wake wa kupotosha juu 2, p. 328.

60

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 60 16-03-2009 14:29:32


-
a

a
a
-
o
i
-
a
. Kando ya giza nene, wafuasi wa kweli
a wa Kristo, wengi wao bado wako katika
makanisa ya Babiloni. Mwishowe wataitwa
a watoke nje.

c
.

n
l

61

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 61 16-03-2009 14:29:33


W
w
w
g
d
i
u
B
w
o
w
b
o
m
l
i
m

b
a
k
g
f
m
k
y
w
i
h
k

62

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 62 16-03-2009 14:29:36


22

Unabii
Uliotimia

W
akati walipomngojea Bwa- ji waumini. “Bwana Mungu ase-
na katika mwaka 1844, ma hivi… Siku hizo ni karibu, na
na Bwana hakuja wale utimizo wa maono yote… Mimi ni-
waliomtazamia walikuwa katika tanena na neno lile nitakalolinena
wasiwasi na mashaka sana. Wen- litatimizwa wala halitakawilishwa
gi waliendelea kuchunguza Maan- tena… nitanena neno hilo na ku-
diko, ili kuhakikisha msimamo wa litimiza, asema Bwana Mungu”.
imani yao. Unabii ulikuwa wazi Ezekiel 12:23-25, 28.
ukionyesha kuwa kurudi kwake Wenye kungojea walifurahi.
Bwana ku karibu. Mibaraka watu Mungu ajuaye tangu mwanzo
waliyopokea na uongofu wao vili- mpaka mwisho ameatumainisha.
onyesha kuwa ujumbe ulikuwa Kama mafungu ya sehemu kama
wa mbingu. Utatanisho wa una- hizo yasingelikuwako, imani yao
bii ambao walidhani kuwa unawa- ingetoweka kabisa.
onyesha kurudi kwa Kristo katika Mfano wa wanawali kumi uliomo
mwaka 1844, lilikuwa fundisho katika Mathayo 25 unatoa kiele-
la kuwafunza kuwa wavumilivu lezo cha watu wa marejeo pia.
ili kungojea ufunuo zaidi katika Hapa kanisa la mwisho linaelekez-
mambo ambayo hawayajui. wa jinsi mambo yalivyo. Hali yake
Kati ya unabii huu uko wa Ha- inafananishwa na arusi za huko
bakuki 2:1-4. Hakuna hata mtu mashariki.
aliyeona kuwa kule kukawia kumo “Ndipo ufalme wa mbinguni un-
katika unabii. Baada ya uchun- afanana na wanawali kumi, wali-
gu wao na kukata tamaa kwao otwaa taa zao, wakatoka kwenda
fungu hili la Habakuki lilikuwa la kumlaki Bwana arusi. Watano
muhimu. “Maana njozi hii bado ni wao walikuwa wapumbavu, na
kwa wakati ulioamuriwa. Inafan- watano wenye busara. Wale wa-
ya haraka kufikilia mwisho wake, likuwa wapumbavu walizitwaa taa
wala haitasema uongo ijapokawia zao, wasitwae na mafuta pamoja
ingojee, kwa kuwa haina budi kuja nao; bali wale wenye busara walit-
haitakawia. Mwenye haki ataishi waa mafuta katika vyombo vyao
kwa imani”. pamoja na taa zao. Hata bwana
Unabii wa Ezekiel pia uliwafari- arusi alipokawia, wote wakasinzia

63

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 63 16-03-2009 14:29:38


wakalala usingizi. Lakini usiku taa zao, ambazo ni mfano wa Bib-
wa manane pakawa na kelele, lia. Basi wakatoka kwenda kum-
haya, Bwana arusi, tokeni mwende laki bwana arusi. Lakini wakati
kumlaki” Mathayo 25:1-6. Wote wale wapumbavu hawakuchukua
walichukua taa zao ambazo ni mafuta, wenye busara walichukua
mfano wa Biblia. Basi wakatoka mafuta pamoja na taa zao. Wenye
kwenda kumlaki bwana arusi. La- busara hawa walijifunza maan-
kini wakati wale wapumbavu ha- diko matakatifu ili kujua ukweli
wakuchukua mafuta, wenye bu- ulivyo, kwa hiyo wakawa na imani
sara walichukua mafuta pamoja ambavyo haikuweza kuyumbish-
na taa zao. Wenye busara hawa wa na hali yoyote, Wengine wali- m
walijifunza Maandiko Matakatifu kuwa wakichangamka tu kwa ajili I
ili kujua ukweli ulivyo, kwa hiyo ya ujumbe bila kuwa na imani ya l
wakawa na imani ambayo haiku- kweli, ila msisimko tu, wanapoku- n
weza kuyumbishwa na hali yo yote. tana na wengine katika mikutano. m
Wengine walikuwa wakichan- Hawa walikuwa wakikutazamia
gamka tu kwa ajili ya ujumbe bila kuja kwa bwana arusi ili wapo- U
kuwa na imani ya kweli, ila msi- kee zawadi. Hawakuwa na imani
simko tu, wanapokutana na wen- ambayo inasimama imara katika u
gine katika mikutano. Hawa wa- matatizo na kukawia kwa wakati. n
likuwa wakikutazamia kuja kwa Walimtazamia Bwana aje mara m
bwana arusi ili wapokee zawadi. moja. Imani yao haikufaulu. n
Hawakuwa na imani ambayo ina- “Hata bwana arusi alipokawia, k
simama imara katika matatizo na wote walisinzia na kulala usingizi. m
kukawia kwa wakati. Walimtaza- “Kule kukawia kwa bwana arusi t
mia Bwana aje mara moja. Imani kunafananishwa na kukawia kwa
yao haikufaulu. wakati, uchungu wa kutojua, yaani z
Kuja kwa Kristo kama kulivyo- kukawia. Wale waliokuwa na m
tangazwa na ujumbe wa malaika imani ya kweli walikuwa wamesi- k
wa kwanza, kulifananishwa na mamishwa mwambani, ambako w
kuja kwa bwana arusi. Tangazo la hakuna kung’olewa na fujo yoyote. t
kuja kwake lilienea pote lilijibika “Wote walisinzia na kulala” Kundi n
kwa mfano wa wanawali kumi. Ka- moja lenye kuacha imani yao, kun- y
tika mfano huu “wote walichukua di jingine lenye kungoja kwa uvu- m
s
k
g
w

U
t
M
Wanawali bikra kumi huleta picha ya kanisa katika siku za mwisho.

64

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 64 16-03-2009 14:29:38


- wama kubwa. Wakati huo wema
- wote wa uteule wa watu wa Mungu
i hausemwi.
a Katika historia yote ya kanisa
a hakuna matengenezo yo yote yali-
e yofanywa bila kuingizwa ili ku-
- vuruga. Pale Paulo alipoanzisha
i kanisa, baadhi ya wale waliojidai
i Wakati bwana harusi alipochelewa wote kuwa waumini walionekana ku-
walilemewa na usingizi na kulaa.
- ingiza maneno ya uzushi. Luther
- milivu nuru ilipowamulikia wazi. pia alisumbuliwa na watu wa jinsi
i Imani ya juu juu haiwezi kufaidia hiyo, ambao walikuwa wakijidai
a lolote, wala kutegemea msaada wa kuwa Mungu amewaagiza kufanya
- ndugu. Kila mtu hana budi kusi- vile na vile, watu ambao walitege-
. mama mwenyewe binafsi. mea maoni yao badala ya maan-
a diko matakatifu. Wengi walidan-
- Ukakamavu Kidini Waonekana ganywa na waalimu wa namna hii
i Wakati ule ushupavu kidini na kujiunga na Shetani kuharibu
a ulionekana. Baadhi yao walioneka- kazi ya Luther aliyoambiwa na
. na kuwa na msimamo mwingine Mungu. Wesley alipambana na
a mwingine. Mawazo yao ya aina hila za Shetani kwa kuwasukuma
nyingine ya kishupavu hayaku- watu ambao hawakuwa na utarat-
, kubaliwa na wengine wa imani ya ibu, wala si waongofu ila walikuwa
. marejeo. Mambo yao yalileta shu- washupavu tu wakitaka mawazo
i tuma kwa ukweli wa marejeo. yao yafuatwe na kila mtu.
a Shetani alikuwa akipoteza raia William Miller hakuwahurumia
i zake walioongolewa katika imani ya watu wa aina hiyo ya ushupa-
a marejeo, kwa hiyo alileta machafu- vu katika dini. Alisema, “Mwovu
- ko katika waumini, kiasi kwamba anao uwezo mkuu juu ya baadhi
o wengine walipita kiasi. Alikuwa ya watu wa siku hizi”. Mara ny-
. tayari kutafuta vikasoro vyo vyote ingi nimeshuhudia ukristo wa mtu
i na kuvifanya viwe ndiyo sababu wa kweli, rohoni mwake, na usemi
- ya kulaumu msimamo wa watu wa wake kuliko kelele zote zinazopig-
- marejeo. Kadiri alivyowashawi- wa na wakristo.
shi watu wengi waonekane kana Wakati wa Matengenezo, maadui
kwamba wameongoka na kujiun- walitupa lawama juu ya watu
ga na ujumbe wa marejeo ndivyo waliokuwa na juhudi mno kuyap-
walivyofanikiwa. inga kwamba ni washupavu. Hali
Shetani ni “mshitaki wa ndugu”. ile ile ilionekana katika kuwapinga
Ufunuo 12:10. Malaika zake wako watu wa marejeo. Wala hawaku-
tayari kuona kasoro za watu wa ridhika na kuyasema makosa yao
Mungu ili kuzishika na kutoa la- tu, lakini walieneza uvumi ambao

65

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 65 16-03-2009 14:29:39


sio kweli. Walichafuliwa na kule robo ya tatu ya mwaka kama ndiyo
kumtangaza Kristo kuwa yu kari- siku ya upatanisho katika habari
bu. Waliogopa, isije ikawa ni kwe- za ukuhani, na siku ya kutakasa
li, lakini alitumaini kuwa si kweli. patakatifu.
Hii ndiyo iliyokuwa siri ya vita yao Kule kuchinja kondoo wa pas-
na watu wa marejeo. aka kulikuwa kivuli cha kifo cha
Kuhubiriwa kwa ujumbe wa ma- Kristo, kitakachotimia kwa wakati
laika wa kwanza kulielekea ku- wake, katika tarehe ya kumi na
komesha ushupavu. Wale walio- nne ya mwezi wa kwanza wa Ki-
kubaliana na kundi hili walipatana, yahudi, ambayo kwa karne nyingi
wala haikuweko tofauti yoyote. palikuwa pakichinjwa kondoo wa
Walipendana, na walimpenda pasaka, Kristo aliianzisha siku
Yesu, ambaye walitazamia kum- kuu ya kukumbuka kifo chake,
wona karibuni. Imani yao moja ya kama “mwanakondoo wa Mungu”
tumaini moja viliyakinga masham- Usiku ule ule alikamatwa ili aka-
bulio ya Shetani. sulubiwe na kuchinjwa. K
Hali kadhalika kivuli cha kuhusi-
Makosa Yalisahihishwa ka na kurudi kwa Kristo budi kiti- c
“Na Bwana arusi alipokawia wote milike. Kwa wakati ulioamriwa h
walisinzia, wakalala”. Lakini usi- kwa njia ya mfano. Kutakaswa l
ku wa manane palikuwa na kele- kwa patakatifu, au siku kuu ya w
le, “Haya bwana arusi anakuja, upatanisho iliyokuwa ikitokea ka- u
ondokeni kwenda kumlaki” kati- tika siku ya kumi ya kila mwezi wa w
ka mwaka wa 1844 ujumbe ulita- saba ya Kiyahudi, ambayo Kuhani n
ngazwa kwa maneno yale yale ya mkuu alifanya upatanisho kwa z
Biblia. Waisraeli wote, na kuondoa dhambi s
Kilichoonyesha kuwa huu ndio zao zote kutoka mahali patakatifu, m
wakati wa tangazo hilo kutolewa watu walitakasika. Ndivyo hivyo j
na kundi hilo kuunganika pamoja ilivyoaminiwa kuwa Kristo pia ata- t
na kule kugunduliwa kwa amri ya tokea ili kuitakasa dunia kwa njia y
Artashasta ya kuujenga na kuuru- ya kuiangamiza dhambi pamoja n
disha mji wa Yerusalemu, ambayo na wenye dhambi, na kuwachu- g
ndiyo mwanzo wa muda wa miaka kua watu wake. Siku ya kumi ya m
2300 ya unabii, iliyotukia katika mwezi wa saba, ambayo ni siku ya d
B.C 457. Haikutokea mwanzo wa upatanisho, wakati wa utakaso wa w
mwaka kama ilivyoaminiwa, bali ni patakatifu, ambapo katika mwaka
katika miezi ya Septemba, Oktoba 1844 ilikuwa Oktoba 22, ilihes- s
na Novemba, yaani robo ya tatu ya abiwa kuwa ndiyo siku ya kurudi b
mwaka. Kwa hiyo kuhesabu ku- kwake Kristo, miaka 2300 inge- d
toka 457 B.C miaka 2300 itamal- malizika mwaka 1844. Kwa hiyo K
izika mwaka 1844 robo ya tatu ya ikakubaliwa kuwa wakati huo ndio a
mwaka. Anguko la Kale pia hutaja wa kurudi kwa Kristo. k

66

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 66 16-03-2009 14:29:41


o zao. Ndivyo watu walivyoamka
i kuchunguza maandiko kwa bidii
a sana. Watu wa kawaida tu ndio
walioitikia mwito mara ya kwanza,
- wala sio watu wataalamu. Wakuli-
a ma waliacha mavuno yao masham-
i bani, mafundi wakaacha vyombo
a vyao, wote wakaondoka kwenda
- kulitangaza neno la Mungu. Kwa
i kawaida makanisa hayakujali
a ujumbe huu, na wale walioupokea
u walifutwa katika makanisa hayo.
Hekalu la agano la kale liliwakilisha na
, kusonda kidole katika nyakati za kipupwe Wale wasioamini walikuja kujiunga
” katika kutakasa hekalu. na watu wa marejeo waliona kuwa
- kuna uwezo mkuu katika ujumbe
Kilio Cha Usiku Wa Manane huu. “Haya! Bwana arusi yuaja”
- Hoja hizo zilikuwa kubwa kiasi Imani ilileta jawabu kwa maombi.
- cha kuwasadikisha watu, na ma- Kama manyunyu ya mvua yana-
a hubiri yakatolewa, yale yaju- vyokuwa chini, hali kadhalika na
a likanayo kuwa ni “kilio cha usiku neema ya Mungu ilivyokuwa kwa
a wa manane” Watu maelfu wakaji- wale waliokuwa wakiutafuta uk-
- unga kuyatoa, hali ya ushupavu weli. Wale waliotumaini kusima-
a wa dini iliendelea kutoweka sawa ma mbele ya Mwokozi karibuni ali-
i na ukungu wakati wa mapamba- kuwa na furaha isiyo kifani. Roho
a zuko. Mambo yakaenea kwa upe- Mtakatifu aliyeyusha mioyo yao.
i si, sawasawa na mawimbi, toka Wale walioupokea ujumbe wali-
, mji hata mji, na toka kijiji hata ki- tazamia wakati wa kukutana na
o jiji. Kazi ikafanana na ile ya waka- Bwana wao. Waliombeana sana.
- ti wa uamsho katika Israeli, baada Kila mara walikutana faraghani
a ya kudidimia dhambini. Kulikuwa kuzungumza na Bwana, na sauti
a na mwamko mkubwa sana, maun- za waombaji hawa zilipaa juu ku-
- gamo ya dhambi na kujichunguza toka kila mahali. Walihitaji Mwo-
a mioyo. Waliachilia mbali anasa za kozi zaidi ya chakula chao. Waka-
a dunia wakaambatana na uongofu ti wo wote walipokuwa na shaka
a wa kweli. lolote, hawakutulia mpaka waone
a Katika madhehebu yote tokea uthibitisho juu ya jambo hili, hasa
- siku za mitume hakuna dhehe- msamaha wa dhambi zao.
i bu lililokuwa huru kutoka katika
- dhambi na katika mwaka 1844. Uchungu Tena
o Kama vile katika mwito “Bwana Lakini tena wakati waliomtaza-
o arusi anakuja, walingojea, waliam- mia Mwokozi ulipita, na Mwokozi
ka wakaanza kuzitengeneza taa hakutokea. Sasa wakawa kama

67

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 67 16-03-2009 14:29:41


uje Bwana”, na sasa Bwana haku-
ja. Basi kuanza maisha upya, na
kukabili mizaha ya walimwengu
juu yao, lilikuwa jaribu lisiloweze-
kana kuchukulika.
Wakati Yesu alipoingia Yerusal-
emu kwa shangwe, wafuasi wake
waliamini kuwa alikuwa tayari
kukikalia kiti cha enzi cha Daudi,
na kuwaokoa watu wake mikononi
Jifunza neno la Mungu kwa juhudi na shauku mwa watesi wao. Kwa matumaini
ya kufahamu na kuelewa. na shangwe kuu, wengi walitan-
Mariamu alivyokuwa alipokwen- dika nguo zao njiani ili apite na
da kaburini walikomzika Yesu. kukanyaga juu yake, na wengi wa-
Alipofika huko asiuone mwili wa libeba matawi ya mitende kufura-
Yesu, alianza kulia huku akisema, hia tukio hilo. Wanafunzi waliku-
“Wamemwondoa Bwana wangu, wa wakilitimiza shauri la Mungu,
wala mimi sijui walikomweka” lakini walishangazwa na kuingia
Yohana 20:13. uchungu kwa yaliyotokea. Wala-
Waliogopa kwamba wasioami- kini baada ya muda mfupi wali-
ni watazidi kuhakikisha kuwa yashuhudia mateso ya Kristo na
ujumbe wao sio wa kweli. La- kifo chake, wakamzika kaburini.
kini hakuna dalili kuwa ujumbe Matumaini yao yalikufa pamoja na
wao sio wa kweli. Lakini haku- Yesu. Hawakuelewa mpaka Bwa-
na dalili ya ghadhabu ya Mungu na alipofufuka ndipo wakafahamu
iliyotokea, basi waliendela tu ku- kuwa yote yalitabiriwa na mana- k
vumilia mizaha na mashutumu. bii. k
Watu wengi walioamini walitu- i
pilia mbali imani yao, na kurudi Ujumbe Ulitolewa Kwa Wakati w
nyuma. Wenye mizaha walifaulu Hasa. m
kuvuta wenye mashaka na waoga Hali kadhalika Miller na wenzake k
kuacha msimamo waliokuwa nao. walitimiza unabii, wakatoa ujumbe s
Wote hawa walijiunga na kusema ambao ulitabiriwa kuwa utatolewa H
kuwa ulimwengu utaendelea kuwa ulimwenguni. Kama wangalit- R
kama ulivyo kwa miaka maelfu. ambua kuwa wakiutoa utawaletea w
Waumini wa kweli walikuwa uchungu wasingeutoa. Ujumbe w
wametoa mali zao zote kwa ajili wa malaika wa kwanza na wa pili y
ya Kristo, na kama walivyoamini, ulitolewa kwa wakati wake hasa, z
walikuwa wametoa maonyo ya na ukatimiza kusudi la Mungu. w
mwisho kwa walimwengu huku Ulimwengu ulikuwa ukitazamia a
wakiomba na kutumaini kurudi kuwa kama Kristo hataonekana, w
kwa Bwana, wakisema, “Naam, na hali ya marejeo ingeachwa, yaani i

68

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 68 16-03-2009 14:29:42


-
a
u
-

-
e
i
,
i
i
-
a
-
-
-
,
a
-
-
a
.
a
-
u Wakati wa matarajio ulipita, na mwokozi wao hakutokea.

- kanisa la marejeo lingetupwa. La- na kuchunguza Maandiko kwa


kini kwa kuwa wengi walitupa bidii ili kuweza kuwapinga wap-
imani yao kulikuwako na wengine inzani wote walio hodari.
waliosimama imara. Matunda ya Watu wa marejeo, yaani Waad-
marejeo, roho ya kujichunguza, na ventista waliamini kuwa Mungu
e kuukana ulimwenguni, huthibiti- alikuwa amewaongoza ili kutoa
e sha kuwa ilikuwa kazi ya Mungu. maonyo ulimwenguni, kuhusu saa
a Hawakuthubutu kukana kuwa ya hukumu. Wasema, “Ujumbe
- Roho Mtakatifu hakuwaongoza huu umewajaribu wote waliousikia
a waliohubiri ujumbe wa malaika kwamba wale wote watakaojic-
e wa pili. Wala hawakupata kasoro hunguza mioyo yao watafahamu
i yo yote kama unabii na nyakati upande wanaosimama ….. wataka-
, zilizosemwa. Wapinzani wao ha- pokuwa wamekutwa, kama Bwana
wakuweza kukanusa tafsiri ya un- angekuja …. Sijui kama wangewe-
a abii, jinsi walivyoueleza. Hawaku- za kusimama na kusema, “Huyu
, weza kukanusha hali ya kiroho ndiye Bwana wetu, tumemngojea,
i iliyokuwako kwa maombi ya bidii atuokoe au wangelikimbia uso

69

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 69 16-03-2009 14:29:44


wake wakiita miamba iwaangukie M
ili kuwafunika wasiouone uso wake
aketiye juu ya kiti cha enzi”.
Hali ya watu ambao bado wa- t
naamini kuwa Mungu bado ana-
ongoza wanaelezwa kwa usemi wa
Miller: Tumaini langu la kurudi
kwake Bwana linasimama imara
kama hapo mwanzo. Nimetenda
yote kama nilivyoona kuwa ni wa-
jibu kutenda, baada ya miaka ya
kutafakari” “Maelfu mengi ya watu
wamejifunza na kuhubiri kuhu-
su wakati, na kwa damu ya Yesu
Moto uanowala waovu uanatakasa dunia.
wamepatanishwa na Mungu”. Hakuna moto wa milele utakaoendelea
kuogopesha kwa matokeo ya dhambi.
Imani Ilidumishwa Mkumbushaji moja tuu ndiye anabaki; Mwo-
kozi wetu ataendelea kubaki na alama za
Roho wa Mungu bado anakaa kusulubishwa.
kwa watu ambao hawakuharaki- ya Roho wake na Neno lake hata
sha kuikanusha nuru waliyopokea, hivyo huwa hawaelewi makusu-
na kukanusha watu wa marejeo. di ya Mungu katika maisha yao.
“Basi msiutupe ujasiri wenu, kwa Walijaribiwa kuwa na mashaka
maana una thawabu kuu, Maana na kufikiri kuwa, “Kweli Mungu
mnahitaji saburi, ili kwamba mkii- yu pamoja nao” Wakati kama
sha kuyafanya mapenzi ya Mungu huo maneno yalikuwa dhahiri,
mpate ile ahadi”. “Mwenye haki wangu ataishi kwa
Bado kitambo kidogo sana, yeye imani”. Watu hao wangeweza kusi-
ajaye atakuja wala hatakawia. La- mama tu kwa imani juu ya Mungu,
kini mwenye haki wangu ataishi baada ya kukandamizwa na uzito
kwa imani. Naye akisitasita, roho wa mambo yaliyowakabili. Kuka-
yangu haina furaha naye. Lakini na imani na kukanusa uongozi wa
sisi hatumo miongoni mwao wa- Roho Mtakatifu aliyeongoza kazi
sitao na kupotea, bali tumo mion- hiyo mpaka kufikia hatua hiyo,
goni mwa walio na imani ya kutuo- ingekuwa kurudi na kuangukia
koa roho zetu” Ebr. 10:35-39. mbali usalama wao ungekuwa ku-
Onyo hili linatolewa kwa kanisa fuatia nuru hiyo waliyopokea, na
la siku za mwisho. Linaeleza kuwa kudumu kuchunguza Maandiko
Bwana ataonekana kana kwamba zaidi na zaidi, na kwa uvumilivu
anakawia. Watu wanaoonywa kungojea maongozi zaidi toka kwa
hapa ni wale waliofanya mapenzi Mungu.
ya Mungu, wakitafuta maongozi R

70

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 70 16-03-2009 14:29:44


Marejeo:
Bliss pp. 236 – 282
The Adventist Herald na Signs of
the Times Reporter Vol. 8
No. 14 (Nov. 13, 1884).
Bliss pp. 277-281.

a
-
.
a
u
a
,
a
-
,
o
-
a
i
,
a
-
a
o
u
a

Roho wa Mungu bado alikuwa na wale ambao


hawakuharakisha kukana nuru ambayo
waliipokea, na msukumo wa marejeo.

71

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 71 16-03-2009 14:29:45


t
n
n
p
u
m
k
L
w
l
u
b

t
w
k
k
w
c
n
b
k
M
w
w
b
d
w
o
h

l
p
B
p

72

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 72 16-03-2009 14:29:45


23

Kufungua Siri Ya
Patakatifu
M
aandiko ambayo yamekuwa pamoja na huduma zake, kama isema-
msingi na kiini cha imani ya vyo: “Basi hata agano la kwanza lili-
watu wa marejeo (Waadventis- kuwa na kawaida zake za ibada, na pa-
ta) kuliko yote ni yale yasemayo, “Hata takatifu pake pa kidunia. Maana hema
nyakati za jioni na asubuhi elfu mbili ilitengenezwa, ile ya kwanza, mlimoku-
na mia tatu; ndipo patakatifu pataka- wa na kinara cha taa, na meza, na mi-
potakasika” Daniel 8:14. usemi huu kate ya wonyesho ndipo palipoitwa pa-
umekuwa ukijulikana sana miongoni takatifu. Na nyuma ya pazia la pili, ile
mwa wale waliokuwa wakikutazamia hema iitwayo patakatifu pa patakatifu
kurudi kwake Bwana kuliko karibu. yenye chetezo cha dhahabu sanduku la
Lakini Bwana hakutokea. Waumini agano lililofunikwa kwa dhahabu pande
walifahamu kuwa Neno la Mungu ha- zote, mlimokuwa na kopo la dhahabu
lina kasoro, ni lazima walivyoutafsiri lenye ile mana, na ile fimbo ya Haruni
unabii, andiko kuna makosa. Lakini iliyochipuka, na vile vibao vya agano; na
basi kosa lilikuwa wapi? juu yake Makerubi ya utukufu yakikitia
Mungu amewaongoza watu wake ka- kivuli kiti cha rehema; basi hatuna na-
tika mkusanyiko mkuu wa marejeo. Na fasi sasa ya kueleza habari ya vitu hivi
wala asingewaacha wamalizikie gizani, kimoja kimoja” Waebrania 9:1-5. Pa-
katika huzuni kuu na kushutumiwa takatifu palikuwa ni hema iliyojengwa
kwa aibu; kana kwamba ni wahuni tu na Musa, kwa agizo la Mungu kuwa
wanaotangatanga. Ingawa wengi walia- mahali patakatifu pa kukaa Mungu.
cha msimamo wao wa kuutafsiri unabii, “Na wanifanyie patakatifu, ili nipate
na kukanusha imani ya wale walioam- kukaa kati yao” Kutoka 25:8. Hivyo
batana nao, lakini wengine hawakui- ndivyo Musa alivyoagizwa. Patakatifu
kana imani ambayo inathibitishwa na na patakatifu pa patakatifu, vyumba
Maandiko na Roho wa Mungu. Ilikuwa hivyo vilitengwa na pazia. Na pazia
wajibu wao kushikamana na ukweli kama hilo lilifunga mlango wa chumba
walioupata. Walijifunza maandiko kwa cha kwanza.
bidii na kwa maombi ili wapate kugun-
dua kosa lao. Kwa kuwa kwa upande Patakatifu Pa Patakatifu Mno.
wa kuhesabu miaka ya unabii hawaku- Katika patakatifu palikuwamo kinara
ona kosa lolote. Waligeukia fundisho li- cha taa upande wa kusini pamoja na taa
husulo patakatifu. zake saba zikiwaka mchana na usiku.
Wakagundua kwamba hakuna andiko Upande wa kaskazini ilikuwako meza
lolote linalosema kuwa dunia hii ndiyo ya mikate ya wonyesho. Mbele ya pa-
patakatifu, kama wengi wanavyoamini. zia linalotenganisha patakatifu na pa-
Bali waligundua maelezo tele kuhusu takatifu mno, palikuwako madhabahu
patakatifu, asili yake na mahali pake ya uvumba ulifukizwa kila siku moshi

73

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 73 16-03-2009 14:29:48


na wa ile hema ya kweli ambayo Bwana A
aliiweka wala si mwanadamu” Waebra- c
nia 8:1-2. “
Hapa ndipo inafunuliwa hema takati- b
fu ya agano jipya. Hema takatifu ya y
agano la kwanza ilifanywa na Musa, y
hii ya sasa imefanywa na Bwana. Ka- u
tika hema ya kwanza waliohudumu ni c
makuhani wa kidunia, katika hii ya pili, p
Kristo kuhani wetu Mkuu huhudumu m
akiwa upande wa mkono wa kuume wa k
Majuma sabini, au miaka 490 ilikatwa na Mungu. Hema moja ilikuwa duniani, y
kupewa Wayahudi. Na miaka 1810 iliyobaki
ilifikia mwaka 1844. na nyingine iko mbinguni. u
Hema iliyojengwa na Musa ilijengwa
ukipaa pamoja na sala za Waisraeli, kwa kielelezo kile kile cha ile ya mbingu- m
mbele za Mungu. ni. Bwana aliagiza akisema, “Sawasawa a
Katika patakatifu mno lilikuwamo na hayo yote nikuonyeshayo, mfano wa l
sanduku lililonakishiwa kwa dhahabu maskani na mfano wa vyombo vyako K
ambalo lilikuwa likitunza amri kumi za vyote, ndivyo nitakavyofanya” “Nawe n
Mungu. Juu ya sanduku kulikuwa na angalia ya kwamba uvifanye kama s
kiti cha rehema kikikabiliwa na mak- mfano ulioonyeshwa mlimani” Hema 1
erubi wawili walioumbwa kwa dhahabu. ya kwanza ilikuwa mfano wa wakati ule
Katika chumba hiki kuwako kwa Mun- ambamo ndani yake sadaka na kafara h
gu kulionekana daima kati ya makeru- zilitolewa” patakatifu pake, “mfano wa k
bi. Baada ya Waebrania kukaa Kanani, mambo ya mbinguni”. Makuhani wa- Y
hema takatifu ilibadilishwa na hekalu lihudumu. “Kwa mfano na kivuli cha i
lilijengwa na Sulemani, ambayo ingawa mambo ya mbingu”. Kristo hakuingia
ilikuwa jengo la kudumu na kubwa lili- patakatifu palipotengenezwa kwa miko- t
fanya kazi ile ile ilikuwa na mfano ule no ndio mfano wa patakatifu halisi, la- M
ule; mpaka ilipobomolewa siku za akina kini aliingia mbinguni hasa, aonekane M
Daniel ….. mpaka maangamizo yake na sasa usoni pa Mungu kwa ajili yetu” a
Warumi katika mwaka 70 Ad. Hii ndiyo Kutoka 25:9-10. Waebrania 9:23; 8:5; d
hema takatifu duniani ambayo tuna- 9:24.
soma habari zake katika Biblia. Hema Hekalu la mbinguni ndilo asili ya
takatifu ya agano la kale. Lakini je, hema lililojengwa na Musa ikiwa mfano.
agano jipya haina hema takatifu? Uzuri wa hema la duniani ulionyesha
Msomaji na mtafutaji ukweli akifun- mfano wa utukufu wa hekalu la mbin-
gua kitabu cha Waebrania huona kuwa guni mahali ambapo Kristo anahudumu
agano jipya, au agano la pili huzung- kwa ajili yetu mbele ya kiti cha enzi cha
umzwa katika maneno hayo yaliyosem- Mungu. Ukweli wa hekalu la mbinguni
wa hapo kwanza “hata agano la kwanza na wokovu wa mwanadamu ulifundish-
lilikuwa na kawaida zake na ibada, na wa hasa kwa huduma zilizofanyika ka-
patakatifu pake pa kidunia”. Tukigeu- tika hema takatifu la hapa duniani.
kia kusoma sura iliyopita twasoma,
“Basi katika hayo tunayosema, neno Vyumba Viwili.
K
lililo kuu ndilo hili, “Tunaye kuhani Mahali patakatifu pa mbinguni pali-
mkuu wa namna hii, aliyeketi mkono onyeshwa kwa njia ya vyumba viwili
wa kuume wa kiti cha enzi cha ukuu vya patakatifu pa duniani. Yohana ali-
mbinguni, mhudumu wa patakatifu, onyeshwa hekalu la Mungu mbinguni.
74

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 74 16-03-2009 14:29:49


a Aliona “taa saba zikiwaka mbele ya kiti nye dhambi wa dunia yetu. Hizi haki
- cha enzi” alimwona malaika akiwa na na rehema hukutana katika mpango
“chetezo cha dhahabu, akapewa uvum- wa wokovu. Muungano huu huistaa-
- ba mwingi, ili autie pamoja na maombi jabisha mbingu kabisa, yaani Haki na
a ya watakatifu wote juu ya madhabahu Rehema hukutana. Hii ndiyo siri ya
, ya dhahabu iliyo mbele ya kiti cha enzi” rehema ambayo malaika hupenda ku-
- ufunuo 4:5; 8:3. Hapa nabii aliona chungulia; kwamba Mungu anaweza
i chumba cha kwanza, yaani patakatifu kuwa mwenye haki wakati akimhesa-
, pa mbinguni. Huko aliona taa saba, na bia mwenye dhambi atubuye haki; na
u madhabahu ya dhahabu, ambayo ni kwamba Kristo aliwaza kushuka chini
a kama vile vya hema takatifu ya duniani, kabisa na kuwainua watu kutoka ka-
, yaani kinara cha taa na madhabahu ya tika uharibifu na kuwavika vazi la haki
uvumba. yake mwenyewe.
a Tena, “Kisha hekalu la Mungu lililoko Kazi ya Kristo kama mtetezi au mwom-
- mbinguni likafunguliwa na sanduku la bezi wa wanadamu, inaonyeshwa hivi
a agano lake likaonekana ndani ya hekalu katika Zekaria. “Naye atalijenga hekalu
a lake. Sanduku hili lilionekana ndani. la Bwana, naye atauchukua huo utu-
o Katika hema takatifu ya dunia, ni nda- kufu, ataketi akimiliki katika kiti cha
e ni ya patakatifu mno, mlimo kuwa na enzi, na shauri la amani litakuwa kati
a sanduku lenye amri za Mungu. Ufunuo ya hao wawili” Zekaria 6:12,23.
a 11:19. “Atalijenga hekalu la Bwana” Kristo
e Kwa hiyo wale wanaojifunza habari ndiye msingi na mjenzi wa kanisa la
a hizi wanapata ushahidi wa Biblia kuwa Mungu, anakuwa hivyo kwa njia ya
a kuna hema takatifu huko mbinguni. kafara yake na maombezi yake. “Naye
- Yohana asema kuwa aliliona huko mb- Kristo Yesu mwenyewe ndiye jiwe la
a inguni. pembeni. Katika yeye jengo lote linaun-
a Katika hekalu la mbinguni, huko ka- gamanishwa vema na kukua hata liwe
- tika patakatifu mno, kuna sheria ya hekalu takatifu katika Bwana Waefeso
- Mungu. Sanduku linalotunza sheria ya 2:20-21. “Kwake yeye aliyetupenda
e Mungu limefunikwa na kiti cha rehema, na kutuosha dhambi zetu katika damu
” ambapo Kristo anaombea kwa ajili ya yake …. Utukufu na ukuu una yeye
; damu yake, akitushughulikia sisi, we- hata milele na milele amina” Ufunuo
1:5-6.
a “Naye atakaa na kutawala na kuwa
. kuhani katika kiti chake cha enzi”.
a Ufalme wa utukufu bado haujaanzish-
- wa. Bado, mpaka kazi yake ya uombezi
u itakapomalizika, ndipo Mungu atampa
a ufalme usiokuwa na mwisho” Luka
i 1:33. Kristo sasa anakaa pamoja na
- Baba katika kiti cha enzi, akiwa Ku-
- hani. Akiwa katika kiti cha enzi ndiye
huyo aliyeyachukua masikitiko yetu
yote, na kuchukua huzuni zetu. “ali-
jaribiwa katika mambo yote kama sisi,
Katika chumba cha patakatifu kuna kinara cha
- taa, na meza yenye mikate ya maonyesho na
bila kufanya dhambi, ili aweze kuwa-
i madhabahu ya kufukizia uvumba. Amri kumi saidia wao wanaojaribiwa” Isaya 53:4;
- zilikuwa katika chumba cha patakatifu pa Waebrania 4:15;2:18. Mikono iliyoje-
. patakatifu mno ndani ya sanduku la agano. ruhiwa, mwili uliochomwa mkuki, na
75

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 75 16-03-2009 14:29:50


miguu iliyochubuliwa huwaombea wa- ya mbinguni yenyewe yasafishwe kwa
nadamu walioanguka, ambao ukombozi dhabihu zilizo bora kuliko hizo. Wae-
wao umegharimu gharama ya jinsi hiyo. brania 9:22-23, yaani damu ya thamani
“Na shauri la amani litakuwa kati yao ya Kristo.
wawili” Upendo wa Baba ndio msingi
wa ukombozi kwa wanadamu waliopo- Kutakaswa kwa Patakatifu
tea. Yesu alisema kwa wanafunzi wake, Utakaso kwa kweli lazima utimizwe
“Baba mwenyewe awapenda ninyi” kwa damu ya Kristo. “Pasipo kumwa-
“Kwa maana jinsi hii Mungu aliupenda ga damu hakuna ondoleo” Ondoleo au
ulimwengu, hata akamtoa mwanawe kuweka dhambi mbali ndiyo kazi inayo-
pekee …” Yohana 16:27; 2Kor. 5:19; takiwa kukamilishwa.
Yoh. 3:16. Lakini dhambi na mbingu huhusian-
aje? Jambo hili litaeleweka kwa kuc-
Siri ya Hema Takatifu Yadhihirika hunguza huduma iliyokuwa ikifanyika
“Hema takatifu” ya kweli iliyoko mb- katika patakatifu pa duniani, jinsi
inguni, ndiyo hema takatifu ya agano makuhani walivyokuwa wakihudumu.
jipya. Kristo alipokufa huduma amba- Waebrania 8:5.
zo zilikuwa kivuli tu, zilikoma. Wakati Huduma ya patakatifu pa duniani ili-
Daniel 8:14 ilipotimizwa kama ilivyoam- kuwa na sehemu mbili. Makuhani wa-
uriwa, patakatifu panapotajwa lazima lihudumu kila siku katika patakatifu
pawe pale pahusupo agano jipya. Hivyo wakati ambapo kuhani mkuu alihudu-
basi unabi unaposema “hata nyakati za mu mara moja kwa mwaka katika pa-
jioni na asubuhi elfu mbili na mia tatu; takatifu mno. Huduma hiyo ya mara
ndipo patakatifu patakapotakaswa” moja kwa mwaka iliitwa huduma ya
huzungumzia patakatifu pa mbinguni. upatanisho, ambayo ilihusu utakaso
Lakini kutakaswa kwa patakatifu hu- wa patakatifu. Siku kwa siku mwenye
maanisha nini? Je, inawezekana kuwa dhambi aliyetubu alileta sadaka yake,
ni kitu mbinguni kinachohitajika kuta- akaweka mikono yake juu yake, akaun-
kaswa? Katika Waebrania 9 utakaso gama makosa yake, ambayo ni sawa
wa patakatifu na duniani na pa mbin- anahamisha dhambi zake na kuziweka
k
guni kumeelezwa dhahiri. “Na katika kwa sadaka hiyo isiyo na hatia. Kisha
p
Torati karibu vitu vyote husafirishwa mnyama huyo wa sadaka alichinjwa.
m
kwa damu, na pasipo damu hakuna “Kwa kuwa uhai wa mwili u katika hiyo
z
ondoleo. Basi ilikuwa sharti nakala za damu” Lawi. 17:11. Sheria ya Mun-
k
mambo yaliyo mbinguni zisafishwe kwa gu iliyovunjwa ilidai uhai wa mvunjaji.
y
hizo(damu za wanyama); lakini mambo Damu huwa badala ya uhai wa mwenye
dhambi ambaye hatia yake imechuku-
S
liwa na yule mnyama wa sadaka. Basi
kuhani alichukua damu hiyo mpaka
t
patakatifu akainyunyiza mbele ya pa-
i
zia, ambalo hukinga sheria ya Mungu
w
iliyovunjwa. Kwa huduma hiyo dhambi
k
ilihamishwa na kuwekwa katika pa-
M
takatifu. Wakati mwingine damu hai-
d
kupelekwa katika patakatifu, ila ku-
k
hani aliila nyama ya sadaka. Mambo
t
yote mawili, yaani kunyunyiza damu na
c
kula nyama, yalifananisha jambo moja
u
tu, ndiyo kuihamisha hatia kutoka
76

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 76 16-03-2009 14:29:50


a
-
i

e
-
u
-

-
-
a
i
.

-
-
u
-
-
a
a
o
e
,
-
a Kafara ya kondoo iliwakilisha kifo cha Kristo pale msalabani.
a
kwa mwenye hatia na kuiweka katika yake miwili juu ya kichwa cha yule
a
patakatifu. Kazi hiyo iliendelea daima mbuzi aliye hai, na kuungama juu yake
.
mwaka mzima. Dhambi za Waisraeli uovu wote wa wana wa Israeli, na ma-
o
zilihamishwa namna hiyo na kuwekwa kosa yao, naam, dhambi zao zote; naye
-
katika patakatifu, na hiyo ilikuwa kazi ataziweka juu ya kichwa chake yule
.
ya lazima ya kuhamisha dhambi zao. mbuzi, kisha atampeleka aende jang-
e
wani kwa mkono wa mtu aliye tayari.
-
Siku Kuu ya Upatanisho Na yule mbuzi atachukua juu yake
i
Kuhani mkuu aliingia katika pa- uovu wao wote, mpaka nchi isiyo watu;
a
takatifu mno mara moja kwa mwaka naye atamwacha mbuzi jangwani.”
-
ili kutakasa patakatifu. Mbuzi wawili Law. 16:21-22.
u
waliletwa na kupigiwa kura. Kura moja Huduma hiyo ilikusudiwa kuwaonye-
i
kwa Bwana na kura moja kwa Azazeli. sha Waisraeli utakatifu wa Mungu, na
-
Mbuzi wa Bwana alichinjwa kama sa- jinsi anavyoichukia dhambi. Kila mtu
-
daka ya dhambi kwa ajili ya watu. Na alitakiwa kujitakasa kwa njia ya kujic-
-
kuhani alichukua damu akaingia pa- hunguza wakati huduma hii inapokuwa
o
takatifu mno, akainyunyiza kwenye kiti ikiendeshwa. Kazi zote na shughuli zil-
a
cha rehema na juu ya madhabahu ya iachwa kabisa, na Waisraeli walitumia
a
uvumba. “Na haruni ataweka mikono siku hiyo katika ibada na maombi, hali
a
77

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 77 16-03-2009 14:29:51


k
n
t
m
k
d
Mwaka wa sherehe za Hekalu ulikuwa wa Pasaka na pentekosti kama huduma ,
ikiwakilisha msalaba na umwagaji wa Roho mtakatifu. Sherehe za tarumbeta zilianza katika K
kipupwe. Baada ya siku 7 baadaye siku ya hukumu ambayo ndicho kiini cha huduma ya y
upatanisho ya Kuhani katika patakatifu mno. Mwaka humalizia na sherehe za furaha katika k
madhabahu, ikiwalikilisha furaha ya mbinguni siku za usoni. h
k
wakifunga na kujipeleleza mioyo yao na kuanza kazi yake kama kuhani Mkuu. y
kuungama. “Kwa sababu Kristo hakuingia katika H
Damu ya kafara ilikubaliwa badala ya patakatifu palipofanyika kwa mikono, i
mwenye dhambi kufa, lakini hatia ya ndio mfano wa patakatifu halisi; bali a
dhambi haikufutwa kwa njia ya damu aliingia mbinguni hasa, aonekane sasa k
ya mnyama, ila ilihamishwa mpaka ka- usoni pa Mungu kwa ajili yetu”. Ebr.
tika patakatifu. Kule kutoa damu mwe- 9:24. K
nye dhambi alikiri madaraka ya sheria, Huduma ya kuhani iliyokuwa iki-
akaungama kuwa amevunja sheria, na fanyika katika chumba cha kwanza n
akaamini na kuonyesha imani juu ya cha patakatifu, ni mfano wa huduma k
mkombozi atakayekuja, ambaye anafa- ya Kristo iliyoanza mbinguni baada ya p
nanishwa kwa mfano wa huduma hiyo. kupaa kwake. Kuhani katika huduma t
Walakini alikuwa hajafunguliwa kabisa yake ya kila siku, alileta damu ya sa- k
atokane na hukumu ya kuvunja she- daka mbele za Mungu, ambayo ni sa- i
ria. Siku ya upatanisho kuhani mkuu daka ya dhambi, pamoja na uvumba k
akiisha kupotea sadaka ya watu, aliin- uliopaa juu pamoja na sala za watakati- t
gia patakatifu mno. Alinyunyiza damu fu (Waisraeli). Vivyo hivyo Kristo aliom- h
ya sadaka hiyo juu ya kiti cha rehema bea damu yake mbele za Baba, kwa ajili h
moja kwa moja kwenye sheria, ili kuiri- ya wenye dhambi, na kuweka harufu m
dhisha kwa kule kuvunjwa kwake. njema ya haki yake mwenyewe mbele k
Halafu kama mwombezi alizichukua za Baba, sala za wenye kutubu makosa k
dhambi zote juu yake kutoka patakati- yao. Hiyo ilikuwa huduma iliyokuwa K
fu. Wakati anapoweka mikono yake juu ikifanyika katika patakatifu, katika n
ya yule mbuzi wa Azazeli huzihamisha mbingu. k
dhambi hizo na kuziweka juu ya mbuzi. Hapo imani ya wanafunzi ilimfua- u
Basi mbuzi huzichukua zote. Ndipo ta alipopaa juu, hapo matumaini yao f
kuhesabiwa kana kwamba zimetoweka yaliimarika, “tumaini tulilo nalo kama n
milele, kutoka kwa watu. nanga ya rohoni, ambalo ni la hakika k
lililo imara” yaingiayo hata mle mlimo U
Ukweli wa Mbinguni ndani ya pazia, alimoingia Yesu kwa ajili
Yale yaliyofanyika katika huduma ya yetu, mtangulizi wetu amekuwa Kuhani v
patakatifu pa duniani, ambapo pali- Mkuu hata milele. “Wala si kwa damu K
kuwa kivuli cha yale ya mbinguni, ya mbuzi na ndama, bali kwa damu yake 2
ndivyo yalifanyika mbinguni ambako mwenyewe aliingia mara moja tu katika t
ndiko jambo halisi, katika patakatifu patakatifu, akiisha kupata ukombozi i
pa huko. Mwokozi wetu baada ya ku- wa milele”. Ebr. 6:19-20; 9:12. m
fufuka kwake na kupaa mbinguni na Kwa muda wa karne kumi na nane k

78

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 78 16-03-2009 14:29:54


kazi hiyo imekuwa ikifanyika mbingu-
ni katika chumba cha kwanza cha pa-
takatifu. Damu ya Kristo imeleta msa-
maha wa dhambi na kibali cha Baba cha
kuwakubali wenye kutubu. Walakini
dhambi zao bado zingali katika vitabu.
Kama katika mfano ulivyo, kuna siku
ya upatanisho kwa mwaka, vivyo hivyo
kazi ya Kristo kwa ajili ya wanadamu
haikamiliki mpaka kazi ya kulipa, au
kafara ya malipo ifanyike. Kazi hiyo ni
. ya kuziondoa dhambi katika patakatifu.
a Hii ilianza wakati siku 2300 zilipomal-
, izika. Wakati huo Kuhani wetu Mkuu Dhambi zime samehewa juu ya kondoo na
i aliingia katika patakatifu mno ili kuta- kuwekwa juu yake na katika damu ambayo
huhamishwa na kupelekwa hekaluni. Sasa
a kasa patakatifu.
Kristo huzipokea dhambi na kuzihamisha
. katika hekalu la mbinguni.
Kazi ya Hukumu
- Katika agano jipya dhambi za watu we- Kristo akimaliza kuondoa dhambi za
a nye kutubu huwekwa juu ya Kristo, na watu wake kutoka patakatifu pa mb-
a kuhamishiwa mpaka katika patakatifu inguni mwishoni mwa kazi yake atazi-
a pa mbinguni. Na jinsi ilivyokuwa ka- weka zote juu ya Shetani, atakayepata
a tika patakatifu pa duniani, dhambi zili- adhabu ya mwisho.
- kuwa zikiihamishwa kutoka patakatifu Mbuzi wa Azazeli alipelekwa porini na
- ili kukamilisha kazi, hali kadhalika na kuachwa huko. Hali kadhalika Shet-
a kutakasa patakatifu pa mbinguni pa- ani naye atatengwa mbali na Mungu
- takamilika kwa njia hiyo hiyo ya ku- milele, wala asionekane tena, kwa watu
- hamisha dhambi kutoka vitabuni. Kazi wa Mungu. Naye ataangamizwa kabi-
i hii itakuwa kuangalia vitabu na kupi- sa, wala hatasalia na aina yoyote ya
u ma kuona ni nani ametubu kikweli na kumbukumbu. Wakati huo dhambi pia
e kuwa na imani kwa Kristo, ili afaidike na wenye dhambi pia wataangamizwa
a kulipiwa adhabu yake kwa dhabihu ya milele.
a Kristo. Kutakaswa kwa patakatifu basi
a ni kazi ya uchaguzi, kazi ya hukumu,
kuona kuwa ni nani anastahili kupata
- uzima, na ni nani hastahili. Kazi hii ita-
o fanyika kabla ya kuja kwa Kristo. Maa-
a na ajapo atakuja na ujira wake kumlipa
a kila mtu kama kazi yake itakavyokuwa.
o Ufunuo 22:12.
i Hivyo wale waliofuata unabii una-
i vyoelekeza, waliona kuwa badala ya
u Kristo kuja dunia mwisho wa siku
e 2300, yaani mwaka 1844, aliingia ka-
a tika patakatifu pa patakatifu mbinguni
i ili kumaliza kazi yake ya uombezi na
malipo ya adhabu kwa ajili ya dhambi,
e kabla ya kuja kwake duniani.

79

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 79 16-03-2009 14:29:54


u
j
z
w
y
u
w
S
w
a
M
p
u
g
w
n
u
w

m
k
s
n

k
n
t
n
m
s
7

k
a
80

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 80 16-03-2009 14:29:54


24

Kristo Anafanya
Nini Sasa?

F
undisho la patakatifu lilifungua yule mjumbe wa agano mnayemfura-
siri ya uchungu ule uliowapata. hia, angalieni, anakuja, asema Bwana
Fundisho hilo liliwafungulia wa majeshi”, Malaki 3:1. Kuja kwa
ukweli wote jinsi ulivyo. Huonyesha Bwana katika hekalu lake kulikuwa
jnsi mkono wa Mungu ulivyowaongo- kwa ghafla, bila kutazamiwa, kwa
za watu wa marejeo. Wale waliokuwa watu wake. Hawakumtazamia.
wakitazamia kuja kwake Yesu mara Watu hawakuwa tayari kumlaki
ya pili kwa utukufu mwingi, walitiwa Bwana wao. Kulikuwa bado kazi na
uchungu kwa kutokurudia kwake, maandalio yaliyokuwa yakitakiwa.
walipoteza matumaini yao kwa Yesu. Kwa jinsi walivyomfuata kuhani
Sasa katika patakatifu mno walim- wao mkuu kwa imani, katika hudu-
wona kwa upya Kuhani wao mkuu, ma yake wajibu mpya ungefunuliwa
ambaye atakuja kama mfalme na kwao. Ujumbe mwingine ulipasa
Mwokozi wao. Nuru ya fundisho la utolewe kanisani.
patakatifu iliangaza giza la wakati
uliopita. Wakaona patakatifu ilian- Nani Atasimama?
gaza giza la wakati uliopita. Wakaona Nabii asema, “Lakini ni nani
wazi wakati uliopita, wakati uliopo, atakayestahimili siku ya kuja kwake?
na wakati ujao. Ingawa hawakuelewa Au nani atakayesimama ataka-
ujumbe waliohubiri, walakini waliku- poonekana yeye? ….. Naye ataketi
wa sawa. kama asafishaye fedha na kuita-
Makosa hayakutokana na kuhesabu kasa, naye atawatakasa wana wa
miaka ya unabii, lakini yalikuwa kati- Lawi atawasafisha kama dhahabu
ka mambo yatakayotokea mwisho wa na fedha; nao watamtolea Bwana
siku 2300. Lakini yote yaliyotabiriwa dhabihu katika haki” Malaki 3:2-
na unabii yalikuwa yametendeka. 3. Watu watakaoishi ulimwenguni
Kristo hakuja duniani, ila aliingia wakati maombezi ya Kristo yataka-
katika patakatifu mno huko mbingu- pokoma, lazima wasimame wenyewe
ni. “Nikaona katika njozi za usiku na bila mwombezi mbele za Mungu. Ma-
tazama, mmoja aliye mfano wa mwa- vazi yao lazima yawe meupe bila waa,
nadamu akaja pamoja na mawingu ya tabia zao zikiwa zimetakaswa kwa
mbingu akamkaribia huyo mzee wa damu ya Kristo. Kwa njia ya neema
siku, wakamleta karibu naye” Daniel ya Mungu na jitihada zao inawalazimu
7:13. kuwa washindi katika vita na dham-
Kuja huko kulitabiriwa na Mala- bi. Wakati hukumu ya upelelezi in-
ki pia. “Naye Bwana mnayemtafuta apoendelea mbinguni, wakati dhambi
atalijilia hekalu lake ghafla; naam, za watu wanaotubu zinapoondolewa
81

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 81 16-03-2009 14:29:56


kutoka katika patakatifu, lazima kazi kufu na ufalme. Yerusalemu mpya, b
ya kutengana na dhambi ifanyike kwa ambao ni makao makuu ya ufalme t
watu wa Mungu hapa duniani. Kazi wake, umepambwa kama bibi arusi H
hii inaelezwa katika Ufunuo 14. kazi anayepambwa kwa mumewe”. Baada m
hii itakapomalizika, wafuasi wa Kristo ya kuupokea ufalme, atakuja kama w
watakuwa wamekuwa tayari kumlaki w
Bwana. Ndipo kanisa, ambalo Bwa- t
na wetu atalipokea litakuwa “tukufu, i
lisilo na ila, wala kunyanzi, wala lo- t
lote kama hayo”. Waefeso 5:27. h

“Haya Bwana Arusi Yuaja” m


Kule kuja kwa Kristo katika pa- n
takatifu mno, kama Kuhani Mkuu ili k
kutakasa patakatifu, (Daniel 8:14) z
na kule kuja kwa Kristo, yaani Mwana w
wa Adamu kwa mzee wa siku, (Daniel m
7:13) na kule kuja kwa Bwana katika c
hekalu lake, (Malaki 3:11), yote ni k
tukio moja tu. Hili pia hufananishwa p
na kuja kwa Bwana arusi kama ina- u
vyoelezwa katika mfano wa wanawali t
wa Mathayo 25.
Katika mfano huo, bwana arusi ali-
pokuja, wale waliokuwa tayari waliin-
gia arusini pamoja naye. Kuja huku
kwa bwana arusi hutokea kabla ya
arusi. Arusi ni mfano wa kukaribish-
wa na Kristo katika ufalme wake. Mji
mtakatifu, Yerusalemu mpya, ambao Kanzu nyeupe ya Kristo kama bwana harusi
ndio makao makuu ya ufalme wake huwakilisha tabia safi ya wanafunzi wake.
huitwa bibi arusi, mke wa mwana
Kondoo. Malaika aliwaambia Yoha- mfalme wa wafalme, na Bwana wa
na, “Njoo huku, nitakuonyesha ule mabwana ili kuwaokoa watu wake,
mji mkuu, Yerusalemu ukishuka ku- ambao watashiriki karamu hiyo ya
W
toka mbinguni kwa Mungu”. Ufunuo arusi ya Mwana Kondoo. Daniel 7:14;
21:9-10. Ufunuo 21:2.
Bibi arusi anafananishwa na Mji
Mtakatifu, na wanawali waliokwen- Kumngojea Bwana Wao. a
da kumlaki Bwana arusi ni mfano Lile tangazo kwamba, “Haya bwana h
wa kanisa. Katika Ufunuo watu wa arusi yuaja, liliongoza watu maelfu
Mungu wasemwa kuwa ndio wageni kukutazamia kuja kwa Bwana mara K
katika karamu ya arusi. Kama ni wa- moja. Wakati ulipofika Bwana arusi
geni, hawawezi kuwa bibi arusi. Kris- alikuja, lakini sio duniani, bali alifika k
to atapokea kutoka kwa Mzee wa siku kwa Mzee wa siku huko mbinguni, k
huko mbinguni, mamlaka na utu- katika karamu ya arusi, katika kari- a

82

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 82 16-03-2009 14:29:56


, bisho la ufalme wake. Wale waliokuwa wote wako sawa; wakiwa na mavazi
e tayari waliingia pamoja naye arusini. ya arusi, yaani tabia safi ya kweli ili-
i Hawakuweza kufika katika mwili, yooshwa kwa damu ya Mwana Kondo.
a maana wao wako duniani. Wafuasi Ufunuo 7:14. Wote watakao onekana
a wa Kristo lazima wamngojee Bwana kuwa wanayo mavazi ya arusi, wa-
wao, mpaka atakaporudi kutoka ka- nakubaliwa ili ashiriki katika ufalme
tika arusi. Luka 12:36. Lakini ni laz- wa Mungu na kuketi katika kiti chake
ima wafahamu kazi yake, na kumfua- cha enzi. Kazi hii ya kuchunguza ta-
ta kwa kiroho katika imani. Kwa njia bia za watu ndiyo hukumu ya upele-
hii husema kuwa wanaingia arusini. lezi, ambayo ndiyo kazi ya mwisho ka-
Katika mfano, wale waliokuwa na tika patakatifu pa mbinguni.
mafuta katika taa zao waliingia arusi- Mambo yote ya watu waliojiita kuwa
ni. Wale waliovumilia katika giza wakristo tangu vizazi vyote, yataka-
kuu na uchungu, wakingojea nuru pokuwa yamekwisha kuchunguzwa
zaidi huku wakichunguza Maandiko, na kuamuliwa, ndipo wakati wa re-
walielewa fundisho la patakatifu pa hema na mlango wa rehema utafung-
mbinguni, na huduma Kristo aliyo- wa. Ndipo kwa kifupi ni kwamba, “Na
chukua. Walimfuata kwa imani kati- wale waliokuwa tayari kuingia pamo-
ka kazi anayofanya katika patakatifu ja naye arusini, mlango ukafungwa.
pa mbinguni. Na wote watakaopokea Hapo tunapelekwa moja kwa moja
ukweli wa namna hiyo wakimfua- mpaka mwisho wa kazi ya kushughu-
ta Kristo kiroho katika imani jinsi likia wokovu wa mwanadamu. Huo
ndio mpango mkuu wa wokovu.
Katika patakatifu pa duniani, siku
ya upatanisho, wakati kuhani mkuu
alipoingia katika patakatifu mno,
huduma katika chumba cha kwanza
cha patakatifu zilikoma. Hali kad-
halika Kristo naye alipoingia katika
patakatifu mno huko mbinguni ili ku-
kamilisha kazi ya ukombozi, huduma
katika chumba cha kwanza ilikoma.
a Halafu kazi katika chumba cha pili,
, yaani patakatifu mno; ilianza. Kristo
a alikuwa amemaliza sehemu moja ya
Wale waliokuwa tayari walienda pamoja naye
; katika harusi: na mlango ulifungwa.
kazi yake ya ukombozi, ndipo alian-
za sehemu ya pili ya kazi. Bado an-
gali akiombea kwa Baba damu yake
anavyofanya kazi yake ya uombezi, iwatakase wenye dhambi.
a huingia arusini. Jinsi ukweli ulivyo kwamba mlango
u wa tumaini rehema ambao kwa miaka
a Kufunga kazi Katika Patakatifu 1800 ulikuwa wazi, ulivyokuwa uki-
i Katika mfano wa Mathayo 22 hu- fungwa, mlango mwingine ulikuwa
a kumu hutangulia arusi. Kabla ya ukifunguliwa. Msamaha wa dhambi
, karamu ya arusi kuendeshwa, mfalme ulikuwa ukitolewa kwa maombezi ya
- aliingia kuona kama wageni wake Kristo katika patakatifu mno. Bado

83

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 83 16-03-2009 14:29:58


delea kutoa dhabihu za wanyama na f
sadaka ambazo ni za kazi bure. Mlan- R
go ambao watu waliingia kwa Mungu u
kwa njia ya dhabihu za wanyama K
ulikuwa umefungwa. Wayahudi wa- n
likataa kumtafuta yeye ambaye ndiye i
mlango, naye angepatikana katika
patakatifu pa mbinguni. l
Wayahudi hao wasioamini waliweka j
kielelezo cha kutojali na kutoamini i
kati ya wakristo wengi ambao huji- t
pumbaza wenyewe wasishughulike u
kujua kazi ya Kuhani wetu mkuu. p
Katika mfano wa huduma ya kuhani b
hapa duniani, Kuhani mkuu alipo- a
ingia katika patakatifu mno, Wais- k
raeli wote walitakiwa kukusanyika na k
kuzunguka patakatifu, huku waki- g
Machafuko yalibadilishwa na nuru safi iliyo jinyenyekeza mbele za Mungu kwa y
toka katika upelelezi wa hekalu kama swali. mioyo yao yote, ili wapate msamaha u
wa dhambi zao, wasije wakakatiliwa w
kulikuwa na mlango wazi katika pa- mbali na kusanyiko la watakatifu. n
takatifu pa mbinguni, ambako Kristo Je, ni muhimu kiasi gani kwa hudu- l
anawahudumia wenye dhambi. ma ya Kuhani wetu Mkuu sasa am- U
Sasa itadhihirika maana ya maneno bayo ni kama siku ya upatanisho,
ya Kristo katika Ufunuo yaliyosemwa jinsi inavyotupasa kuelewa wajibu
hasa kwa wakati huu: “Haya ndiyo unaotupasa?
anenayo yeye aliye Mtakatifu, aliye Ujumbe ulitumwa kutoka mbinguni
wa kweli, aliye na ufunguo wa Daudi kuja ulimwenguni wakati wa Nuhu.
yeye mwenye kufungua wala hapana Wokovu wao ulitegemea jinsi walivyo-
afungaye, naye afunguaye wala hapa- jali ujumbe huo. Mwanzo 6:6-9; Wae-
na afungaye. “… Tazama, nimekupa brania 11:7. Wakati wa siku za Sod-
mlango uliofunguliwa mbele yako, oma ilikuwa ni Luthu na mkewe na
ambao hakuna awezaye kuufunga”. binti zake wawili tu, ndio wangepona,
Ufunuo 3:7-8. na wengine wote waliangamizwa na
Wale wanaofuatana na Kristo katika moto ulitoka mbinguni. Mwa. 19.
kazi yake ya uombezi watafaidika na Hali kadhalika siku za Kristo. Mwa-
kupata ukombozi, ambapo wale wa- na wa Mungu aliwahubiria Wayahudi
siojali nuru wanayofunuliwa hawat- wasiojali, akasema, “Nyumba yenu
apata lolote. Wayahudi waliokataa mmeachiwa ukiwa”. Mathayo 23:38.
kumwamini Kristo kuwa Mwokozi Akaingia siku za mwisho, mwokozi
wao hawakuweza kupata msamaha alisema, “Wala hawakuipenda ile
kwake. Wakati Yesu alipopaa mbin- kweli ili waokoke”. Kwa hiyo Mungu
guni na kuwamwagia wafuasi wake atawaletea nguvu ya upotevu ili wau-
karama yake, Wayahudi waliachwa amini uongo”. 2Thes. 2:10-11. Kwa
wakitangatanga gizani huku wakien- vile wasivyojali neno Lake wala ma-
84

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 84 16-03-2009 14:30:00


a fundisho yake, Mungu atawaondolea
- Roho Yake, na kuwaacha waamini
u uongo ambao wanaupenda. Lakini
a Kristo bado anawaombea wanadamu,
- na nuru itatolewa kwa wale wanao-
e itafuta.
a Kupita kwa wakati katika 1844 ku-
lifuatiwa na kipindi kigumu cha ma-
a jaribu mazito kwa wale walioshikilia
i imani ya marejeo. Nafuu yao ilikuja
- tu kwa nuru iliyowaongoza waone
e umuhimu wa huduma ya patakatifu
. pa mbinguni. Walipongojea na kuom-
i ba waliona kuwa Kuhani wetu Mkuu
- ameingia katika patakatifu mno ili
- kuanza kazi ya sehemu ya pili. Wa-
a kimfuata kiroho kwa imani, walion-
- gozwa pia kuona kufungwa kwa kazi
a ya kanisa. Walifahamu kwa dhahiri
a ujumbe wa malaika wa kwanza na
a wa pili, nao walijitayarisha kupokea
. na kutangaza ulimwenguni onyo kuu
- la ujumbe wa malaika wa tatu wa
- Ufunuo 14.
,
u

i
.
-
-
-
a
,
a
.
-
i
u
.
i
e
u
-
a Kristo bado anatuombea kwa niaba yetu, na
- nuru itatolewa kwa wale wanaoitafuta.

85

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 85 16-03-2009 14:30:00


t
d
i
c
m
i
i
w
k
h
p
m
l
d
w
m
l
K
g
W
t
l
j
a
m

t
m
a
H
m
l
k
n

86

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 86 16-03-2009 14:30:00


25

Sheria Ya
Mungu Haibadiliki
H
ekalu la Mungu lilifunguliwa kidole cha chanda chake juu ya mbao
huko mbinguni, ndipo sanduku mbili za mawe.
la agano lake likaonekana ka- Wale walioelewa fundisho hili wali-
tika hekalu lake”. Ufunuo 11:19. San- fahamu vyema maneno ya Mwokozi
duku la agano la Mungu jipya liko mb- yasemayo: “Mpaka mbingu na nchi
inguni katika patakatifu mno, chumba zitakapoondoka; yodi moja wala nuk-
cha pili cha patakatifu. Katika hudu- ta moja ya torati haitaondoka” Ma-
ma ya hema takatifu duniani, ambayo thayo 5:18. Sheria ya Mungu ambayo
ilikuwa mfano wa kivuli cha ile ya mb- ndiyo mafunuo ya mapenzi yake, na
inguni, chumba hiki kilifunguliwa tu maelezo ya tabia yake, itadumu milele
wakati wa siku kuu ile ya upatanisho na milele.
kwa ajili ya kutakasa patakatifu. Kwa Katikati ya mpangilio wa sheria ya
hiyo upatanisho kwa ajili ya kutakasa Mungu, husimama amri ya Sabato,
patakatifu. Kwa hiyo tamko lile lise- ambayo ni amri ya nne. Roho wa Mun-
malo kuwa hekalu la Mungu lilifungu- gu aliwaagizia wanafunzi hao Neno la
liwa, na kwamba sanduku la ushuhu- Mungu, wakaona kuwa wameipuuzia
da likaonekana, lilikuwa utangulizi siku takatifu ya Mungu kwa ujinga
wa kuonyesha kuwa patakatifu mno wao. Wakaanza kuchunguza sababu
mbinguni palikuwa tayari kufungu- za kushika Jumapili, ambayo ni siku
liwa katika chumba cha pili ili Kristo, ya kwanza ya juma. Hawakuona ma-
Kuhani wetu Mkuu yuko tayari kuin- hali popote panapoeleza kwamba Sa-
gia na kuanza kazi hiyo mwaka 1844. bato ya siku ya saba imefutwa, wala
Watu ambao wangefuatana naye ka- kubadilishwa. Walikuwa wakitafuta
tika huduma hiyo, waliona sanduku kwa bidii kufanya mapenzi ya Mungu;
la agano lake. Kadiri walivyojifunza na sasa wamegundua kuwa kushika
juu ya hekalu waligundua kuwa Kristo sabato ni mojawapo ya mapenzi yake,
anabadili huduma na sasa anahudu- kwa hiyo wakaishika kwa furaha.
mu mbele ya agano la Mungu. Juhudi nyingi zilifanyika ili kutafuta
Sanduku lililokuwa katika hema imani ya watu wa Marejeo. Hakuna
takatifu hapa duniani lilikuwa na mbao mtu aliyekosa kuona kuwa fundisho la
mbili za mawe ambazo zilikuwa zime- patakatifu huko mbinguni linahusiana
andikwa juu yake sheria ya Mungu. na madai ya Mungu ya kushika she-
Hekalu la Mungu lilipofunguliwa huko ria yake pamoja na Sabato. Hii ndiyo
mbinguni, sanduku la agano lake lili- ilikuwa siri ya upinzani wa maandiko
lonekana humo. Sheria hii ilionekana yaliyokuwa yakionyesha huduma ya
katika patakatifu pa patakatifu iliyo- Kristo mbinguni, katika patakatifu
nenwa na Mungu na kuandikwa na pa huko. Watu walijitahidi kufunga

87

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 87 16-03-2009 14:30:02


mlango uliofunguliwa na Mungu, na k
kufungua mlango uliofungwa na Mun- n
gu. Lakini Kristo amefungua mlango w
wa huduma yake katika patakatifu pa P
patakatifu. Amri ya nne yaani ya Saba- s
to ilikuwako kati ya sheria za Mungu s
ikitunzwa huko. Wale waliouamini uk- n
weli huo unaohusu uombezi wa Kristo n
wa sheria ya Mungu, waligundua kuwa m
huo ndio ukweli wa ufunuo 14, ambao w
ni ukweli wa maonyo ya namna tatu h
utakaowatayarisha wenyeji wa dunia y
juu ya kurudi kwake Yesu. Lile tamko
kwamba, “Sasa hukumu yake imekuja Ukubali wa ukweli wa hekalu la mbinguni g
ni tangazo la ujumbe wa kweli ambao hujumuisha kutambua kudai sheria za Mungu w
na wajibu wake katika amri ya nne.
hauna budi kuhubiriwa mpaka Kris- j
to atakapokoma kuombea watu, naye j
atakuja kuchukua watu wake kwake. n
Hukumu iliyoanza katika mwaka 1844 Ujumbe wa malaika wa kwanza uli- u
lazima iendelee mpaka mambo ya watu waita watu wamche Mungu na kum- n
wote yaamuliwe, wale waliokufa na tukuza, na kumsujudia yeye aliye g
walio hai pia. Itaendelea mpaka mlan- Mwumbaji; wa mbingu na nchi. Ku- 1
go wa rehema utakapofungwa kwa bi- fanya hivyo ni lazima waitii sheria yake. m
nadamu wote. Bila utii hakuna ibada inayompendeza
Makusudi watu wawe tayari kusima- Mungu. “Huku andiko kumpendeza U
ma hukumuni, ujumbe unawaamuru Mungu, kwamba tuzishike amri zake”
kwamba, “Mcheni Mungu na kumtu- 1 Yoh. 5:3 Mithali 28:9. u
kuza” na “Msujudieni yeye aliyefanya J
mbingu na nchi na bahari, na chemi- Mwito Kumwabudu Mwumbaji w
chemi za maji” Matokeo ya kuukubali Wajibu wa kumwabudu Mungu una- n
ujumbe huu yamesemwa: “Hapa ndipo husika kwa kuwa yeye ni Mwumbaji. H
penye subira ya watu washikao amri “Njooni tuabudu tusujudu, tupige ma- m
za Mungu na imani ya Yesu” Ufunuo goti mbele za Bwana aliyetuumba” Za- n
14:7-12. buri 95:6; 96:5; 100:3; Isaya 40:25,
Ili kujitayarisha kwa hukumu, watu 26; 45:18.
ni lazima wazishike amri za Mungu, Katika ufunuo 14 watu wanaitwa ili
ambazo ndiyo kipimo cha tabia katika kumwabudu na kumsujudu Mwumba-
hukumu. Paulo asema, “Wote walio- ji na kushika amri zake. Mojawapo ya
kosa wenye sheria, watahukumiwa amri hizi humwonyesha Mungu kuwa
kwa sheria … katika siku ile Mungu ni Mwumbaji. “Siku ya saba ni sabato
atakapozihukumu siri za wanadamu, ya Bwana Mungu wako …. Maana kwa
kwa Kristo Yesu”. Watendao sheria siku sita Bwana alizifanya mbingu na
watahesabiwa haki” Imani ni muhimu nchi na bahari na vitu vyote vilivyomo,
kwa kushika sheria ya Mungu. Maana akapumzika siku ya saba akaitakasa”.
pasipo imani haiwezekani kumpendeza “Kutoka 20:10-11. Bwana asema, “Sa-
Mungu”. Warumi 2:12-16; Waebrania bato ni ishara …. Mpate kujua kuwa
11:6; War8umi 14:23. mimi ni Bwana Mungu wenu”. Eze-

88

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 88 16-03-2009 14:30:02


kieli 20:20. Kama sabato ingeshikwa ya kwanza, ilikuwa ni serikali ya Rumi,
na watu wote wa ulimwengu, watu ambamo ukafiri ulistawi ndani yake
wangeelekeza ibada zao kwa Mungu. kama dini. Kwa hiyo joka kwa upande
Pasingalikuwako mtu yeyote aabuduye wa pili ni Rumi ya kikafiri.
sanamu, kafiri wala asiyeamini. Ku- Katika Ufunuo 13 kunatajwa mnya-
shika Sabato ni ishara ya uaminifu ma mwingine, “afananaye na chui”
na utii kwa yule aliyeumba mbingu ambaye joka alimpa “nguvu zake” na
na nchi, na bahari, na chemichemi za kiti chake cha enzi, na uwezo mwingi”.
maji. “Ujumbe unaowaita watu kum- Mfano huu kama unavyokubaliwa na
wabudu Mungu na kushika amri zake, Waprotestanti wengi, ni mfano wa upa-
hasa huwaita washike amri ya nne, pa; ambao ulishika utawala uliokuwa
yaani Sabato. ukiendeshwa na serikali ya Rumi. Ule
Mbali na wale washikao amri za Mun- mfano wa Chui unaonekana kuwa;
gu na kuwa na imani ya Yesu, ujumbe “apewa kinywa chenye kunena maneno
u wa malaika wa tatu huonyesha kundi makuu ya kufuru… akafunua kinywa
jingine la watu; “Mtu yeyote akimsu- chake amtukane Mungu, na kulitu-
judu huyo mnyama na sanamu yake, kana jina lake, na masikani yake, nao
na kuipokea chapa katika kipaji cha wakaao mbinguni. Tena akapewa ku-
- uso wake, au katika mkono wake, yeye fanya vita na watakatifu na kuwashin-
- naye atakunywa katika mvinyo wa da, akapewa uwezo juu ya kila kabila
e ghadhabu ya Mungu”. Ufunuo 14:9- jamaa na lugha. Ufunuo 13:2, 5-7.
- 10. Ni nini kinachomaanishwa na Unabii huu ambao karibu ufanane na
. mnyama, sanamu au chapa? ule wa Danieli 7 wa pembe ndogo, bila
a shaka unaeleza habari za Upapa wa
a Uthibitisho wa Joka Rumi.
” Unabii ambao mifano hii inatajwa Walimpa uwezo wa kufanya kazi
unapatikana tangu katika Ufunuo 12. yake “miezi arobaini na miwili”- Miaka
Joka lililotaka kumharibu Kristo wakati mitatu na nusu au siku 1260 za Dan-
wa kuzaliwa kwake, yasemekana kuwa iel 7, wakati ambao uwezo wa papa
- ni Shetani (Ufunuo 12:9) alimchochea utawatesa watu wa Mungu. Muda
. Herode amwangamize Mwokozi. Lakini huu kama unavyoelezwa katika sura
- mjumbe wa Shetani katika kupingana zilizopita ulianzia na uwezo wa upapa
- na Kristo na watu wake katika karne katika A.D 538 mpaka ukamalizika
, mwaka 1798. Wakati huo ndipo uwezo
wa upapa ulipopata pigo la mauti, na
i utabiri ukatimia kwamba; “Mtu aki-
- chukua mateka atachukuliwa mateka.
a
a Kuinuka kwa Uwezo Mpya
o Wakati huu mfano mwingine ulilet-
a wa. “Kisha nikaona mnyama mwing-
a ine, akipanda juu kutoka katika nchi
, naye alikuwa na pembe mbili mfano wa
. Mwanakondoo” Ufunuo 13:11. Taifa
- hili halifanani na mataifa yaliyoelekez-
a Ujumbe wa kwanza katika malaika wa 3 wa katika sura zilizotangulia, yaani
- wa ufunuo 14 husonda moja kwa moja kwa mifano iliyoendelezwa hapo mwanzoni.
Mungu kama muumbaji.

89

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 89 16-03-2009 14:30:03


Mataifa makuu yaliyoutawala ulim- ili yeye apate kutawala, taifa linaloelez- m
wengu yalielezwa katika unabii wa wa kwa mfano huu liliinuka katika “
Danieli kuwa kama wanyama wakub- nchi ambayo haikuwa na watu. Taifa u
wa wa mawindo, waliotokea katika ba- hilo lilistawi katika amani na utulivu. k
hari kuu, wakati “pepo za mbinguni Taifa hili lazima litafutwe katika bara d
zilipovuma juu yake” Daniel 7:2. Ka- la magharibi. 1
tika Ufunuo 17:15 malaika alielekeza Katika mwaka 1798 ni taifa gani lili- k
kwamba yale maji uliyoyaona ni jamaa loinuka na kustawi likawa na nguvu, k
na makutano na mataifa na lugha. ambalo lilivuta macho ya ulimwengu
Upepo au dhoruba ni mapambano au mzima kuelekea? Ni taifa moja tu, d
alama ya vita. Pepo nne zishindanazo moja peke yake, ndilo linalopatana na h
juu ya bahari ni mapambano ya kuti- unabii huu – yaani Marekani (United h
sha ya ushindi na mapinduzi ambayo States of America). Maneno ya Maan- w
falme zimejipatia utawala. diko Matakatifu ndiyo yamelieleza tai- y
Lakini mnyama aliye na pembe zifa- fa hili karibu na kila kitu bila kasoro; U
nanazo na za mwanakondoo alioneka- jinsi kuinuka kwake kutakavyokuwa. a
na akiinuka “kutoka katika nchi” Mwandishi fulani mashuhuri akiandi- u
Badala ya kushinda utawala mwingine ka siri ya kuinuka kwa taifa hilo kutoka t
w
u
b
m
k
l
y
w
m
t
i
w
u
a
n
w
y
M
n
m
u

m
k
w
y
Myama kama chui mwenye vichwa saba na pembe kumi alikuwa anaashiria uharibifui mkuu. w

90

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 90 16-03-2009 14:30:03


- mahali pasipokuwa na watu, asema,
a “Tumekuwa taifa kuu, katika hali ya
a ukimya sawa kama mbegu inavyokuwa
. kimya kimya. Gazeti la Ulaya, likian-
a dika habari za Marekani katika mwaka
1850, lilisema, “Marekani imezuka”
- kimya kimya” “kila siku huongezeka
, kuwa maarufu” kwa uwezo na kiburi.
u “Ana pembe mbili kama mwanakon-
, doo”., Pembe kama mwanakondoo,
a huonyesha hali ya ujana, bila mad-
d hara, na hali ya uungwana. Baina ya
- wakristo waliokimbilia Marekani mara
- ya kwanza, kutoka katika mateso ya
; Ulaya na shuruti za dini, wengi wali-
. azimu kuwa na uhuru wa dini, na uh-
- uru wa utu binafsi. Tangazo la kuji-
a tawala lilifafanua kuwa, “watu wote
waliumbwa sawa, wakapewa haki ya
Myama mfano wa mwana kondoo huwakili-
uhuru wa kila mtu, kujiamulia mam- sha Marekani na ukristo wa unyenyekevu
bo yanayomhusu yeye binafsi, kama ambao walirithi na kukua kuwa taifa lenye
maisha anayotaka kuishi, uhuru bila nguvu duniani.
kutegemea mtu mwingine amwamu- ma wa kwanza ambaye jeraha la mauti
lie mambo yake, na kufuata furaha lilipona. Akiwaambia wakaao juu ya
yake. katiba ya kujitawala iliweka nchi kumfanyia sanamu yule mnyama
wazi mambo hayo ya kila mtu kufuata aliyekuwa na jeraha la upanga naye
matakwa yake. Kwamba utawala hau- akaishi” Ufunuo 13:11-14.
takuwa katika mikono ya mtu mmoja, Pembe za mfano wa mwanakondoo
ila utakuwa katika mikono ya wajumbe na joka hunena tofauti. Utabiri kwam-
wanaowakilisha watu. Uhuru wa dini ba, “akanena kama joka?” na atumia
uliotolewa, kuwa kila mtu afuate dini uwezo wote wa mnyama wa kwanza,
anayopenda, sio kulazimisha. Serikali huonyesha roho ya kutokubaliana
na Uprotestanti vikawa ndiyo msingi na ya mateso iliyoonyeshwa na joka
wa taifa hilo. Hivyo ndio ilikuwa siri na mnyama chui. Na elezo kwamba,
ya kustawi na kufanikiwa kwa taifa. mnyama kama mwanakondoo “awa-
Mamilioni ya watu wamehamia huko, fanya wakaao katika nchi kumsujudu
na Marekani imekuwa mojawapo ya mnyama wa kwanza” huonyesha kuwa
mataifa makuu yenye nguvu kabisa na uwezo wa taifa hili utatumika kuwala-
ustawi wa ajabu duniani. zimisha watu kuuheshimu upapa.
Tendo hilo litakuwa kinyume cha
Tofauti ya Ajabu katiba yao na kiapo chao walivyoapa
Lakini mnyama mwenye pembe wakati walipotunga katiba ya serikali.
mfano wa mwanakondoo alinena Katiba ilisema kuwa, bunge halitatunga
kama joka. Naye atumia uwezo wote sheria yoyote kuambatana na dini, au
wa mnyama yule wa kwanza mbele kuzuia jambo lolote kuhusu dini. Wala
yake. Naye aifanya dunia yote na wote kujaribu kutawala dhamiri za watu au
wakaao ndani yake wamsujudu mnya- kuingilia uhuru wao. Dini haitakuwa

91

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 91 16-03-2009 14:30:04


wa dini utawale serikali ili kanisa li- m
weze kutumia serikali kutekeleza t
mambo yake.
Makanisa ya Kiprotestanti ambayo k
hufuata nyayo za kanisa la Rumi, K
yameonyesha hamu yao ya kulazimisha m
watu katika mambo yao, yaani wame- k
onyesha hamu ya kuondoa uhuru wa m
dhamiri za watu. Mfano mmoja ni yale w
mateso wanayopata watu wasiokubali- u
ana na Kanuni za imani ya Kanisa la a
Anglikana (Church of England). k
Mateso hayo yamekuwa ya kudumu. i
Wakati makanisa ya Amerika yatakapo Wakati wa karne ya kumi na sita na n
ongoza, yatashawishi serikali ziweke kumi na saba hakuna mpinzani yoyote
sheria ambazo zitadumisha taasisi zao,
ndipo Amerika ya kirotestanti itatengeneza wa kanuni za imani ya kanisa la Uin- M
sanamu ya Kirumi. gereza aliyepewa adhabu ya kutozwa t
faini au kifungo au mateso yoyote au w
kipimo cha kumweka mtu yeyote katika kifo. Uasi uliongoza kanisa la kwanza n
madaraka ya utawala, katika nchi ya kuomba msaada wa serikali, na hii H
Marekani. Kukiuka miiko hiyo, kama ilitayarishia upapa njia. “Mnyama” M
ilivyokubaliwa hapo mwanzo, kuna- Paulo alisema “Utakuja ukengeu- m
onyeshwa katika mfano huu. Mnyama fu. Akafunuliwa yule mtu wa kuasi” R
huyu mfano wa mwanakondoo mwenye 2Thes. 2:3. s
pembe mbili; aliyeonekana kuwa safi, Biblia husema, “Siku za mwisho k
mwungwana, asiye na madhara, huon- kutakuwako nyakati za hatari. Maana
ena kama joka. watu watakuwa wenye kujipenda we- M
“Akiwaambia wote wakaao juu ya nyewe, wenye kupenda fedha, wenye
nchi wamfanyie sanamu mnyama” kujisifu, wenye kiburi, wenye kutu- n
Hapa inaonyeshwa aina ya serikali am- kana, wasiowatii wazazi wao, wasio na k
bayo itatunga sheria katika bunge lake shukrani, wasio safi, wasiowapenda w
la serikali ya watu, ambavyo kutakuwa wa kwao, wasiotaka kufanya suluhu, a
tofauti ya kushangaza katika nchi ya wasingiziaji, wasiojizuia, wakali wa- w
Marekani. Hiyo inaonekana kuwa hiyo siopenda mema, wasaliti, wakaidi, we- j
katika Marekani. nye kujivuna, wapendao anasa kuliko w
kumpenda Mungu, wenye mfano wa y
Lakini Sanamu kwa Mnyama Ni Nini? utauwa, lakini wakikana nguvu zake” s
Ilitendekaje? 2Tim. 3:1-5. “Basi Roho anena wazi wazi k
Wakati kanisa la kwanza lilipopoto- ya kwamba nyakati za mwisho, wen- n
ka, lilitafuta msaada katika serika- gine watajitenga na imani, wakisikiliza m
li ili liweze kutekeleza mambo yake Roho zidanganyazo, na mafundisho
ya kanisa. Matokeo yakawa upapa ya mashetani”. 1Tim. 4:1. “Na katika a
kutawala serikali na kutumia serikali madanganyo yote ya udhalimu, kwa w
katika kuwaadhibu wale wasiokubali- sababu hawakukubali kuipenda kweli y
ana na taratibu na imani yao. Vivyo wapate kuokolewa. Watapokea nguvu u
hivyo, ili Marekani ipate kutengeneza ya upotevu wauamini uongo”. 2Thes. K
sanamu kwa mnyama, lazima uwezo 2:10-11. Wakati hali hii ikifikiwa, na d

92

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 92 16-03-2009 14:30:07


- matokeo yake yale yatatokea kama ka- ya kanisa, watafikia kipeo. Alama ya
a tika karne za kwanza ilivyokuwa. mnyama bado haijatekelezwa.
Watu wengi huamini kuwa kwa kuwa Wale washikao amri za Mungu wata-
o kuna tofauti nyingi katika makanisa ya tofautiana na wale waabuduo mnyama
, Kiprotestanti, hakuna ungano lolote la na sanamu yake, na kupokea cha-
a makanisa litakalotokea. Lakini kume- pa yake. Kushika sheria ya Mungu,
- kuwa na msukumo mkubwa katika kwa upande mmoja; na kuivunja kwa
a makanisa hayo na kutaka muungano upande mwingine, kutapambanua
e wa makanisa uwepo. Mwungano huo baina ya wamwabuduo Mungu, na wa-
- ukipatikana, mazungumzo ya mambo mwabuduo mnyama.
a ambayo hawakubaliani, watayaacha Tabia maalum ya mnyama na sanamu
katika juhudi za kutaka mwungano, yake ni kuvunja amri za Mungu. Dan-
. itakuwa ni hatua ya kuelekea kutumia iel asema Kuhusu pembe ndogo, yaani
a nguvu. upapa, “Naye ataazimu kubadili ma-
e Wakati makanisa makubwa ya jira na sheria” Daniel 7:25. Paulo naye
- Marekani, yakikubaliana kamili ka- anena kuhusu uwezo huo huo. “mtu
a tika jambo hilo, kadiri wanavyoamini wa kuasi” (2Thes. 2:3) ajiinuaye juu
u watashawishi serikali iwaunge mko- ya Mungu. Kule kubadili amri za Mun-
a no kwa kutoa amri ya kulazimisha. gu ndilo jambo la kujiinua juu ya Mun-
i Hapo basi itakuwa Waprotestanti wa gu ambalo papa ametenda. Mtu yeyote
” Marekani wamefanya sanamu kwa yule anayeendelea kushika amri hizo jinsi
- mnyama; ambaye mkuu wa kanisa la zilivyobadilishwa, huwa anatoa heshi-
” Rumi na hapo adhabu kwa wale wa- ma yake kwa papa, na sheria ya papa.
siokubaliana na mambo hayo itatolewa Hivyo ndivyo alama ya utii kwa papa,
o kisheria. na wala sio kwa Mungu.
a Mapapa wamejaribu kubadili sheria
- Mnyama na Sanamu Yake ya Mungu. Amri ya nne, yaani Sa-
e Mnyama wa pembe mbili kama mwa- bato, imebadilishwa na kuweka siku
- nakondoo aliwaamuru wote, wadogo ya kwanza badala yake, na watu wa-
a kwa wakubwa matajiri kwa maskini, naishika badala ya Sabato ya siku ya
a walio huru kwa watumwa, wapokee saba. Badiliko hilo limefanywa kwa
, alama ya mnyama katika mkono wake makusudi kabisa. “ataazimu kubadili
- wa kuume au vipaji vya nyuso zao ya majira na sheria” Kubadili amri ya nne
- jina lake” ufunuo 13:16-17. Malaika ya amri za Mungu, hutimiza kabisa
o wa tatu hutoa onyo kuwa “Mtu awaye unabii. Hapo ndipo uwezo wa papa
a yote akimsujudia huyo mnyama na hujiinua dhahiri juu ya Mungu.
” sanamu yake, na kupokea chapa kati- Wanaomwabudu Mungu watajulika-
i ka kipaji cha uso wake, au katika mko- na wazi kwa vile vile watakavyoishika
- no wake, yeye naye atakunywa katika amri ya nne, yaani Sabato, ambayo
a mvinyo wa ghadabu ya Mungu”. ni ishara ya uwezo wake wa kuu-
o “Mnyama” ambaye ibada yake in- mba. Wanaoabudu mnyama wataju-
a alazimishwa ni yule mnyama chui, likana kwa juhudi yao ya kuharibu
a wa ufunuo 13, yaani papa. Sanamu ukumbusho wa uwezo wa Mungu wa
i ya mnyama inamaanisha Uprotestanti kuumba; nao wataiheshimu siku ili-
u uliopotoka ambao wakati makanisa ya yowekwa na kanisa la Rumi. Ilikuwa
. Kiprotestanti yatakapotafuta msaa- kule kushika Jumapili kama siku ya
a da wa serikali ili kutekeleza mambo Bwana, ndipo papa aliitetea na kudai

93

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 93 16-03-2009 14:30:09


yao. Wao husema: “Sheria ya zamani,
yaani sabato, ndiyo iliyotakaswa; lakini
kanisa letu likiagizwa na Yesu na Roho
wa Mungu, limebadili sabato ya Juma-
mosi na kuweka Jumapili badala yake.
Sasa tunatakasa siku ya kwanza, wala
sio siku ya saba. Hivyo sasa Jumapili
ndiyo siku ya Bwana”
Ili kuonyesha uwezo au mamlaka yao,
wafuasi wa Rumi huandika kwamba
kule kubadili sabato na kwenda juma-
pili badala yake, ambavyo hata Wa-
protestanti wanakubali kushika, hu-
onyesha uwezo wa kanisa kuamuru M
sikukuu na kuamuru ushikaji wake
Kama sheria ya upendo ingebadilishwa, a
Mwokozi wetu hakuhitaji kufa chini ya dhambi.
kutimiza sheria. Basi kubadili sabato kuna maana
gani basi, isipokuwa kuonyesha uwezo
kwa kiburi kuwa siku hiyo iheshimiwe au alama ya mamlaka ya kanisa la
na watu wote. Lakini Biblia inasema Rumi? Hivyo ndivyo “alama ya mnya-
kuwa siku ya saba ndiyo Sabato ya ma” k
Bwana. Kristo alisema, “Mwana wa Ad- Kanisa la Rumi halijaacha madai yake i
amu ndiye Bwana wa Sabato” Marko ya ukuu. Ulimwengu na makanisa ya h
2:28. Soma pia Isaya 58:13; Mathayo Kiprotestanti wanapokubaliana na sa- L
5:17-19. Madai yanayodaiwa na watu bato bandia iliyowekwa na Rumi, na k
kuwa Kristo alibadili Sabato ni uongo, kukataa sabato ya Biblia, hukiri kuwa a
yanakanushwa na yeye mwenyewe. kanisa la Rumi lina uwezo kamili. Kwa n
kufanya hivyo wanapuuza kanuni zile M
Kimya Kabisa Katika Agano Jipya zilizowatenganisha na Warumi, amba- p
Waprotestanti wanakiri kabisa kuwa zo husema, “Biblia na Biblia tu, ndiyo w
katika Agano Jipya hakuna neno lo dini ya Waprotestanti” Kwa kadri msu- W
lote linalotaja kuwa amri ya nne, yaani kumo wa Jumapili unavyozidi kusonga n
sabato imeondolewa, wala neno la ku- mbele, na kuungwa mkono na wengi, n
shika Jumapilli kama siku takatifu ya baadaye makanisa yote ya Kiprotes- a
kuabudu. tanti yatajikuta yako chini ya bendera y
Mpaka wakati Kristo alipokufa msal- ya Rumi. w
abani, hapakuwako badiliko lolote Warumi husema kuwa kule kushika m
kuhusu siku, kama maandiko yasema- jumapili kwa Waprotestanti huonyesha k
vyo. Mitume hawakubadili chochote kuwa wanaheshimu Rumi na kukubali- m
kuhusu kuondoka sabato ya siku ya ana nayo. Kutaka msaada wa serikali
saba, na kuweka siku ya kwanza bada- ili kulazimisha watu washike Jumapili O
la yake. kutafanya sanamu kwa mnyama. Hivyo
Kanisa la Rumi linakiri kuwa wao basi amri ya jumapili katika Marekani j
ndio walibadili sabato, na kusema itakuwa amri ya kuabudu mnyama na n
kuwa Waporotestanti wanapokubali sanamu yake. W
kushika siku ya Jumapili kama siku Wakristo wa zamani walishika juma- m
ya ibada, wanayatambua mamlaka pili wakidhani kuwa walikuwa wakishi- w

94

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 94 16-03-2009 14:30:09


, kumu zake, ili kuwapa nafasi ya kue-
i pukana na hukumu hivo. Malaika wa
o kwanza anawatangazia watu kila taifa
- na kabila na jamaa, na lugha. Onyo la
. malaika wa tatu litahusu watu wote
a pia kama tangazo la malaika wa kwan-
i za. Litatangazwa kwa sauti kuu ili
wote wapate kutaharuki, katika ulim-
, wengu mzima.
a Watu wote watagawanyika katika
- makundi mawili, yaani wale washi-
- kao amri za Mungu na imani ya Yesu;
- na wale wamwabuduye mnyama na
u Mungu hukubali kusudi la dhati kwa wakristo sanamu yake, ambao wamepokea ala-
e wa kweli KATIKA kila kanisa ambao hapo ma yake. Kanisa na serikali wataun-
awali walitunza Jumapili kama Sabato. Lakini
Jumapili itakapolazimishwa kama sheria, na gana pamoja ili kulazimisha watu wote
a dunia itaangazwa na nuru ya sabato kupokea alama ya mnyama. Walakini
o ya kweli nayeyote atakayeihalifu watu wa Mungu hawataipokea. Nabii
a sheria hii atawajibika. aliwaona wenye kushinda na kujiepu-
- sha na yule mnyama na sanamu yake
ka sabato ya Biblia, na bado jumapili na alama ya jina lake, wanasimama
e iliwekwa na Mungu. Watu hao Mungu katika bahari ya kioo wakiwa na vinubi
a hupokea ibada zao na uaminifu wao. vya Mungu” Ufunuo 15:2.
- Lakini wakati amri ya jumapili ita-
a kapowekwa kisheria, ulimwengu uta- Marejeo:
a angazwa na kuiona sabato ya kweli, G. A Townsend, The New World
a ndipo hapo wale watakaoasi amri ya compared with the Old p. 462.
e Mungu na kuendelea kushika juma- Dublin Nation.
- pili iliyowekwa na Rumi, watakuwa George Elliott, The Abiding
o wanaheshimu Rumi badala ya Mungu. Sabbath p. 184.
- Watakuwa wanamwabudu mnyama A.E. Waffle – The Lord’s Day pp. 186-
a na sanamu yake. Basi watakuwa wa- 188. Catholic Catechsm of Christiana
, naipokea ishara ya Rumi – yaani al- Religion
- ama ya mnyama. Bado mpaka amri Henry Tuberville, an abridgement of
a ya jumapili itakapowekwa, ndipo watu the Christian Datrine p. 58.
watachagua kati ya kumtii Mungu au Mgr Segur, Plain Talk the Protestant-
a mwanadamu, na wale watakaoendelea ism of Today p. 213.
a kumwasi Mungu watapokea “alama ya
- mnyama”.
i
i Onyo la Malaika wa Tatu
o Onyo la kutisha mno, ambalo hali-
i jasikika katika sikio la mwanadamu
a ni lile linalotolewa na malaika wa tatu.
Watu hawataachwa gizani wasijue
- mambo haya muhimu. Walimwengu
- wataonywa kabla Mungu hajaleta hu-

95

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 95 16-03-2009 14:30:10



k
n
n
a
a
b
w
w
n
j
w
v
l
m
w
g

t
f
m
y
t
p
h


m
w

96

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 96 16-03-2009 14:30:11


26

Mashujaa Wa
Kutetea Kweli

M
atengenezo ya Sabato sheria ya Mungu unapatikana
katika siku za mwisho katika amri ya nne. Ni amri hii
yalitabiriwa katika Isaya pekee yake kati ya hizo kumi in-
“Bwana asema hivi, shikeni hu- ayotaja jina na cheo cha mtoa
kumu, mkatende haki; kwa maa- sheria. Sabato ilipobadilishwa
na wokovu wangu u karibu kuja, na mapapa, muhuri iliondolewa
na haki yangu kufunuliwa. Heri kutoka kwenye sheria. Wanafun-
afanyaye haya, na mwanadamu zi wa Yesu wanatakiwa waurud-
ayashikaye sana; azishikaye sa- ishe muhuri huo kwa njia ya kui-
bato asizivunje, auzuia mkono tunza sabato kama ukumbusho
wake usifanye uovu wowote. Na wa Mwumbaji na alama ya uwezo
wageni, walioandamana na Bwa- wake.
na ili wamhudumu na kulipenda Agizo linatolewa likisema, “Piga
jina la Bwana, kuwa watumishi kelele usiache, paza sauti kama
wake; kila aishikaye sabato asi- tarumbeta, uwahubiri watu wan-
vunje, na kulishika sana agano gu kosa lao. Watu ambao Bwana
langu; Nitawaleta hao nao hata huwaita, “Watu wangu”, lazima
mlima wangu mtakatifu, na ku- waonyeshwe uasi wao, ambao
wafurahisha katika nyumba yan- hujiona kuwa wenye haki kati-
gu ya sala” Isaya 56:1-2,6-7. ka kumtumikia Mungu. Lakini
Maneno haya yanahusu ukris- makemeo ya kutisha na maonye-
to. Kama inavyoonyesha kwenye sho yanapotolewa na mchunguza
fungu la nane. Hapa ni kivuli cha mioyo hujikuta kuwa wanavunja
mkusanyo wa mataifa kwa njia sheria ya Mungu”. Usata 58:1-2,
ya Injili kinavyoonyeshwa, waka- Nabii huonyesha sheria ambayo
ti watumishi wa Mungu wataka- imeachwa bila kujaliwa. “Utainua
potawanyika duniani kuhubiri misingi ya vizazi vingi; nawe uta-
habari njema. itwa mwenye kutengeneza ma-
Bwana anaamuru akisema, hali palipobomoka, na mwenye
“Ufunge huo ushuhuda, ukatie kurejeza njia za kukalia. Kama
muhuri sheria kati ya wanafunzi ukigeuza mguu wako usiihalifu
wangu” Isaya 8:16. Mhuri wa Sabato, usifanye anasa yako siku

97

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 97 16-03-2009 14:30:15


wazee wote, tangu Habili mpaka z
Nuhu, Ibrahimu, mpaka Yakobo. w
Bwana alipowaokoa watu kutoka w
Misri, aliitangaza Sabato mbele t
ya makutano, pamoja na sheria t
nzima. g
K
Sabato ya Kweli Ilishikwa t
Daima f
Tangu siku hiyo mpaka leo Sa- w
bato imekuwa ikishikwa. Ingawa t
“Na watu wako watapajenga mahali palipoku- mtu wa dhambi amefaulu kui- h
wa ukiwa; utainua misingi ya vizazi vingi, kanyaga sabato ya Bwana chini s
nawe utaitwa, Mwenye kutengeneza mahali
palipobomoka na, Mwenye kurejesha njia za
ya miguu yake, walakini watu w
kukaa. Kama ukiugeuza mguu wako usivunje waaminifu wa Mungu wamekuwa H
sabato, usifanye anasa siku ya utakatifu wakiitunza kwa siri hapa na pale.
wangu; ukiita sabato siku ya furaha, na siku t
takatifu ya BWANAyenye heshima; ukiituku- Tangu wakati wa matengenezo, s
za, kwa kutofanya njia zako mwenyewe, wala watu wa kila kizazi wamekuwa w
kuyafuata yakupendezayo, wala kusema
maneno yako mwenyewe” Isaya 58:12,13 wakiitunza wakati wote. R
Ukweli huu wa sabato pamoja k
ya utakatifu wangu; ukiita sabato na Injili ya milele vitawapam- k
siku ya furaha, na siku takatifu banua watu wa kweli wa Mungu, m
yenye heshima; ukitukuza kwa na kanisa la kweli na wapotovu k
kutozifanya njia zako mwenyewe, mpaka Kristo arudi. Hapa ndipo
na wala kuyatafuta yakupen- penye uvumilivu wa watakatifu, s
dezayo, wala kusema maneno hao wazishikao amri za Mungu na d
yako mwenyewe; ndipo utakapo- imani ya Yesu” Ufunuo 14:12 y
jifurahisha katika Bwana” Isaya Wale waliopata nuru ya hema i
58:12-14. takatifu na huduma zake na ku-
Mabomoko yaliyofanywa katika ona sheria ya Mungu walijazwa
sheria ya Mungu wakati Saba- na furaha na kuona jinsi ukweli
to ilipobadilishwa, na uwezo wa unavyoungana bila kasoro. Wali-
mapapa. Lakini wakati umefika tamani kuwafikishia wakristo
ambapo lazima kuziba mabomo- wote nuru hii. Lakini ukweli huu
ko hayo. wa aina mbali mbali haukukub-
Sabato ilishikwa na Adamu ka- aliwa na walimwengu; hasa wale
tika bustani ya Edeni alipokuwa wanaojiita kuwa ni wafuasi wa
hajaanguka, tena aliendelea kui- Kristo.
shika hata alipokuwa ameangu- Wakati madai ya Sabato yalipo-
ka na kutubu, akiwa amefuku- sisitizwa wengi walisema “Tume-
zwa katika bustani. Ilishikwa na kuwa tukishika Jumapili tangu

98

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 98 16-03-2009 14:30:16


a zamani, na kwamba baba zao pili ulielezwa kuwa sabato ni ya
. walitunza pia, na watu wengi zamani kabisa, nayo imeshikwa
a watauwa walikufa wakifurahi ka- hivyo tangu zama za kale. Ni ya
e tika utunzaji wake. Kuanza ku- zamani, umri wake ni kama wa
a tunza sabato hii mpya kutatuten- ulimwengu. Ilianzishwa na Mzee
ga na waengine ulimwenguni. wa siku, yaani Mungu.
Kikundi kidogo cha watu wanao- Mbali na maelezo ya Biblia,
tunza Sabato ya Jumamosi wata- wengi hubisha na kusema “kwa
fanya nini kulinganisha watu nini watu wengi wakuu, maaru-
- wote wanaoshika Jumapili ka- fu hawaitambui sabato hiyo? Ni
a tika ulimwengu?” mambo kama wachache tu wanaoishika. Hai-
- hayo yalifanywa na Wayaudi pia wezekani kwamba ninyi mkawa
i siku za Kristo, ndiyo sababu sawa na wengine wote wakako-
u walimkataa na mafundisho yake. sea; na hali ni watu wataalamu,
a Hali kadhalika na wakati wa Lu- wenye ujuzi mkubwa!
. ther, wafuasi wa Rumi walibi- Ili kukomesha mabishano hayo
, sha wakisema kuwa watu wengi ilikuwa lazima kuchunguza maan-
a watauwa wamefia katika imani ya diko Matakatifu kuhusu mpango
Rumi, kwa hiyo dini hiyo ilitosha wa Mungu na jinsi anavyotendea
a kabisa, haina hitilafu. Mambo watu katika vizazi vyote. Sabato
- kama hayo ndiyo yatakayopinga inayofanya Mungu asiwachague
, maendeleo yote ya matengenezo watu wakuu na wenye elimu,
u katika imani. ili kuongoza watu wake, ni kwa
o Wengi walidai kuwa kushika kuwa wao hawamtegemei, ila tu
, siku ya Jumapili kumeenea sana hutegemea ukuu na elimu yako,
a duniani, na kumekuwa kawaida na kujiona kuwa hawana haja ya
ya makanisa kwa karne ny- kuongozwa naye. Watu ambao
a ingi. Lakini upinzani wa juma- wanao ujuzi mdogo, huitwa mara
- kwa mara ili waeneze neno lake, si
a kwamba kutoelimika kwao ndiko
i kunampendeza Mungu, bali ka-
- tika hali yao huwa hawana la ku-
o jisifia wasifundishwe na Mungu.
u Unyenyekevu wao na utii huwa-
- fanya kuwa wakuu.
e Historia ya Waisraeli wa kale
a inatuwekea kielelezo cha kushan-
Katika wakati wa Luther, upapa ulifundisha
kuwa wakristo wa kweli waliokufa katika
gaza sisi wa Marejeo. Mungu ali-
- imani ya Ukatoliki, na dini hii ilitosha katika waongoza watu wake wa Marejeo
- wokovu wao. Kwa kusudi kama hili lilipinga sawasawa alivyowaongoza Wais-
u na kukwamisha msukumo wa dini
na mazoezi ya imani. raeli kutoka Misri. Kama wale
99

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 99 16-03-2009 14:30:18


mia ulimwengu, Yesu amekawiza
kurudi kwake, ili wenye dhambi
wasikie maonyo na kutafuta ma-
hali pa kukimbilia, wakati ghad-
habu ya Mungu itakapomwagwa
duniani.
Sasa, kama wakati wa zamani,
utangazaji wa ujumbe wa Mungu
utakabiliwa na mapingamizi. Wen-
gi wanaoutetea ukweli na kupinga
imani ya wengi. Eliya aliitwa kuwa
Wale ambao hawakuchunguza maandiko “msumbua Israeli; Yeremia akai- M
wenyewe walitosheka na machafuko ambayo
yalikubaliana na tama zao wenyewe.
twa kwamba ni “msaliti” Paulo
akaitwa kuwa “mchafua hekalu”
waliofanya kazi mwaka 1844 Tangu wakati huo mpaka sasa,
wale wanaoitetea kweli wame- m
wangaliupokea ujumbe wa ma-
onewa kuwa mahaini, wazushi, “
laika wa tatu, na kuutangaza
wenye faraka. y
kwa uwezo wa Roho Mtakatifu,
Ungamo la imani ya wakatatifu u
ulimwengu ungekuwa umeony-
wa kale, na wafia dini, ambayo m
wa zamani, na Kristo angekuwa
ni vielelezo vya ushujaa wa uk- b
amekuja kuokoa watu wake.
weli huwatia moyo wale walioit- K
wa kuwa mashahidi wa Mungu. z
Siyo Mapenzi ya Mungu
Agizo kwa mtumishi wa Mungu b
Hayakuwa mapenzi ya Mun-
gu kwamba Waisraeli watange- kwa wakati huu: “Paza sauti
yako kama tarumbera, uwaonye- k
tange jangwani miaka arobaini.
she watu wangu makosa yao, M
Alikuwa na nia ya kuwaongoza
na nyumba ya Yakobo dhambi k
moja kwa moja mpaka Kanaani
zao”. “Nimekuweka uwe mlinzi j
na kuwamilikisha huko, wakiwa
wa nyumba ya Israeli; kwa hiyo g
watakatifu wenye furaha. Lakini,
sikia neno langu, ukawape watu a
“hawakuweza kuingia huko kwa
maonyo yangu”. Isaya 58:1; Eze. w
ajili ya kutokuamini kwao” Wae-
33:7. g
brania 3:19. Vivyo hivyo hayaku-
Pingamizi kubwa la kuzuia watu a
wa mapenzi ya Mungu kwamba
Kristo angekawia kurudi namna wasiukubali ukweli ni kwa saba-
hiyo, na watu wake wazidi kukaa bu huwaingilia katika furaha zao
katika dunia hii yenye dhambi na kuwakemea. Huu ndio ubishi
na huzuni kwa miaka mingi. Ku- tu wa kutoipokea kweli. Lakini
tokuamini kwao kuliwatenga na wafuasi wa kweli wa Mungu, ha-
Mungu. Kwa ajili ya kuuhuru- wangojei ukweli upendwe na kua-
mini na watu wote. Wanaukubali
100

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 100 16-03-2009 14:30:18


a
i
-
-
a

,
u
-
a
a
- Mungu aliongoza watu wake katika mchakato
wa marejeo, kama vile alivyoongoza wana
o wa Israeli kutoka Misiri. Katika siku kuu ya
” kukata tama, imani yao ilijaribiwa kama vile
, ya Waebrania katika bahari ya shamu.

- msalaba, kama Paulo asemavyo:


, “Maana dhiki yetu nyepesi iliyo
ya muda kitambo tu yatufanyia
u utukufu wa milele uzidio kuwa
o mwingi sana” Na tena, “akahesa-
- bu ya kuwa kushutumiwa kwake
- Kristo ni utajiri mkuu kuliko ha-
. zina za Misri” 2Kor. 4:26; Wae-
u brania 11:26.
i Yatupasa kuchagua haki kwa
- kuwa ni haki; na kumwachia
, Mungu mengine yote. Mtu ashi-
i kaye kanuni, mwenye imani, aliye
i jasiri, ndiye ahitajikaye ulimwen-
o guni ili alete matengenezo. Mtu,
u au watu wa namna hiyo ndiyo
. wanaotakiwa wafanye maten-
genezo kwa wakati huu na kuy-
u aendeleza.
-
o
i
i
-
-
i
101

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 101 16-03-2009 14:30:23


h
h
N
W
M

m
p
k
y
y
d

t
u
n
n
y
t
M
m
c
a
n
k
u
m
W
m
k
d
y
102

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 102 16-03-2009 14:30:30


27

Uamsho Wa
Kisasa Unafauluje?

P
opote pale ambapo Neno la Wenye thamani kuu, ndiyo roho ny-
Mungu lilipohubiriwa kwa ua- enyekevu, tulivu, ipendezayo mbele
minifu matokeo yake yamet- za Mungu”. 1Pet. 3:3-4.
hibitisha kuwa neno hilo ni la Mungu Uamsho uliwahusu wenye dham-
hakika. Wenye dhambi walijutishwa. bi, kwa njia ya kuwaita ili watubu.
Na toba ya kweli ilionekana kwao. Matunda yalionekana, sio kwa ku-
Wakaufahamu utakatifu na haki ya furahi katika anasa, ila kwa kuwa
Mungu jinsi ilivyo, kwa hiyo wakalia: watu wanastahili kuteswa kwa ajili
“Ni nani ataniokoa na mwili huu wa ya Kristo. Watu waliona mabadi-
mauti?” Warumi 7:24 Msalaba uli- liko katika maisha yao hao walioli-
poelezwa wazi wao walijiona kuwa si ungama jina la Kristo. Hali kama
kitu ila huruma za Kristo na neema hiyo ndiyo ilikuwa ikionekana kwa
yake ndiyo itawaokoa tu. Kwa damu watu waliopata uamsho miaka ya
ya Yesu tu watapata “msamaha wa zamani.
dhambi zilizopita”. Warumi 3:25 Lakini uamsho wa kisasa unato-
Watu hawa waliamini na kuba- fauti. Ni kweli kwamba watu hujidai
tizwa, wakawa wakitembea katika kuwa wameongoka na wako washiri-
upya wa uzima. Kwa imani ya Mwa- ki wa kanisa wengi makanisani.
na wa Mungu wakawa wakifuata Walakini matokeo yake hayaonekani
nyayo zake, na kudhihirisha tabia kufanana na uongofu halisi un-
yake ulimwenguni. Wakawa wakiji- aoonyesha hali ya maisha ya kiroho
takasa kama yeye alivyo mtakatifu. ya kweli. Huwa hali ya msisimko tu
Mambo ambayo waliyapenda za- ambao haudumu ila baada ya muda
mani, sasa wanayachukia na kuyaa- kitambo hufifia na kurudi hali ya
cha; na mambo ambayo hawakuy- kawaida.
apenda zamani, sasa wanayapenda Uamsho wa kijumla jumla huwa
na kuyatenda. Kiburi kimegeuka ni msisimko tu kwa ajili ya jambo
kuwa unyenyekevu, kutakabiari lililoletwa. Uamsho wa namna hiyo
upuuzi vinageuka kuwa utu mwe- huwa hauna haja na mafundisho ya
ma. Walevi wanakuwa watu sawa. Biblia ambayo ndiyo kweli. Ibada yo
Wakristo wanatafuta urembo wa yote isipokuwa na mambo ya kubu-
moyoni, sio mapambo ya nje, yaani rudisha na kuchangamsha, haiwap-
kusuka nywele, na kujipamba kwa endezi kabisa; wala haiwavutii.
dhahabu na lulu, na kuvalia mavazi Mwongofu ye yote, uhusiano wake
ya thamani, bali utu wa ndani …. na Mungu, na mambo ya ufalme wa
103

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 103 16-03-2009 14:30:31


jaonekana tangu siku za mitume.
Roho wa Mungu atamwagwa. Watu
wengi wataondoka katika makanisa
hayo ambayo yanaongozwa na
roho ya ulimwengu, na badala ya
kumpenda Mungu na Neno lake.
Wachungaji wengi wa watu wengi
wataupokea ujumbe wa kweli kwa
furaha, nao watajiandaa ili kumlaki
Bwana arudipo.
Adui wa wanadamu anatamani
kuizuia kazi hii, atafanya hivyo
kwa njia ya kuinua kundi la kuigi-
za. Ataigiza uongofu, kana kwam-
ba Mungu amewamwagia Roho
Mtakatifu. Atafanya hivyo katika
makanisa yatakayompa nafasi hiyo.
Watu wengi watajipa kwamba Mun-
gu anatenda maajabu, kumbe kazi
hiyo hutendwa na watu wenye roho
tofauti na Roho wa Mungu. Shet-
ani atataka kuendeza mvuto wake
kwa wakristo, kwa njia ya kujifanya
Pale ambapo neno la Mungu lilihubiriwa kwa kuigiza kazi ya kanisa la Mungu.
uaminifu, uamsho ulileta moyo wa kuelewa
Ataigiza kazi ya Mungu ili apotoshe
kwa kina na unyenyekevu.
watu. Basi patakuwa na msisimko
mbinguni, ndicho kitu kikuu kati- mkubwa wenye mchangayiko wa m
ka maisha yake. katika makanisa ukweli na uongo, ili apate kuwako- n
ya washiriki wengi iko wapi roho sesha watu. k
ya uwakfu wa kweli? Waumini ha- Lakini kwa nuru ya neno la Mun- n
wakichukii kiburi na upendo wa gu, watu hawa watatambulikana u
anasa za ulimwengu.. Hawako ta- kuwa ni wa aina gani. Popote watu w
yari kujinyima na kujitoa wakfu. wanapopuuza uthibitisho wa Neno H
Wala hawako tayari kujikana nafsi, la Mungu, na kugeukia mambo w
na kufuata unyenyekevu wa Kristo. mengine tutakuwa na hakika kuwa w
Utauwa umetoka katika makanisa Mungu hayumo kati yao. Jambo ni
mengi. kwamba: “Mtawatambua kwa ma- S
Ijapokuwa hali ya kuanguka ki- tunda yao” Mathayo 7:16. Hicho
imani imeenea makanisani, wala- ndicho kipimo kwamba hawa sio K
kini kuna wafuasi wa kweli wengi wanaoongozwa na roho wa Mungu. d
katika makanisa haya. Kabla ya Ukweli wa neno la Mungu ni ngao y
kuleta hukumu ya mwisho ya Mun- ya kuyapinga madanganyifu ya w
gu, kutakuwa na mwamko mkubwa Shetani. Kutojali ukweli huu kum-
katika watu wa Mungu ambao hau- fungulia Shetani apate kuingiza w

104

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 104 16-03-2009 14:30:32


.
u
a
a
a
.
i
a
i

i
o
-
-
o
a
.
-
i
o
-
e
a
. Uzoefu wa uamsho mara kwa mara ulibeba matarajio, ya kusisimua, kwa kuchonga upendo
kwa mwanzo mpya. Wumini waliongeza kidokido usikivu katika ukweli wa Biblia.
e
o
a maovu ya kila namna ulimwengu- takatifu ya Mungu. Daudi alise-
- ni. Sheria ya Mungu haikujaliwa ma, “Nami nitakwenda panapo na-
kabisa. Makosa katika kueleza toba fasi kwa kuwa nimejifunza mausia
- na utakaso yameingia yaliyoleta yako”. Zab. 119:45. Mtume Yako-
a udanganyifu mwingi, ukawafanya bo asema kuhusu amri za Mungu,
u watu washushe kipimo cha Ukristo. “Sheria kamilifu ya uhuru” Yakobo
o Hapa ndipo siri ilipo ya upungufu 1:25. mwandishi wa ufunuo hutaja
o wa Roho wa Mungu katika uamsho mibaraka kwa mtu yule ashikaye
a wa siku hizi. amri, awe na ruhusa ya kuuendea
i mti wa uzima, na kuingia mjini kwa
- Sheria ya Uhuru. milango yake”. ufunuo 22:14.
o Walimu wengi wa dini hudai kuwa Kama ingewezekana kuwa sheria
o Kristo alipokufa msalabani aliion- ifutwe au ibadilishwe, Kristo asin-
doa sheria. Wengine huiita kongwa gelikufa ili kumwokoa mwanadamu
o ya utumwa, kwa hiyo hudai uhuru atoke katika adhabu ya dhambi ya
a wa dini, katika furaha ya Injili. kuvunja sheria. Mwana wa Mun-
- Lakini manabii na mitume ha- gu alikuja ili kuitukuza sheria na
a wakudai jinsi hiyo kuhusu sheria kuifanya iheshimiwe, Isaya 42:21,

105

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 105 16-03-2009 14:30:33


Zaburi 119; 142, 172; Warumi 7:12. g
Sheria kama hiyo inadumu sawasa- w
wa na mwenye kuitoa anavyodumu. m
Ni kazi ya kuongoka kwa kweli na s
kutakaswa ndiyo inayoleta upatan- i
isho na Mungu; na kuwaleta wan- k
adamu wapatane na sheria yake. h
Hapo mwanzo mtu alikuwa katika p
umoja kamili na Mungu wake, na k
sheria yake. Lakini dhambi ilim-
farakanisha na Mwumbaji wake. y
Moyo wake daima ukawa haupatani t
na sheria ya Mungu. Na ya mwili H
ni uadui juu ya Mungu, kwa maana h
haitii sheria ya Mungu, wala haiwezi a
kuitii” Warumi 7:8. Lakini “Mungu a
aliupenda ulimwengu hata akamtoa y
Mwanawe wa pekee” ili mtu apa- a
tanishwe na Mungu na kurudishiwa k
uhusiano na Muumba wake. Badi- n
liko hili ndilo kuzaliwa kupya, na h
Katika ukweli wa neno lake, Mungu
aliwapatia ufunuo wake mwenyewe; na kwa ambako lisipopatikana mtu hawezi h
wote walioupokea aliwajengea ugo dhidi ya kuuona ufalme wa Mungu” Yohana u
udanganyifu wa shetani. 3:16. h
k
alisema, “Msidhani ya kuwa nali- Thibitisho la Dhambi m
kuja kuitangua torati” …. Mpaka Hatua ya kwanza ya kupatanishwa M
mbingu na nchi zitakapoondoka, na Mungu ni uthibitisho wa dham- e
yodi moja wala nukta moja ya torati bi, yaani mtu ajione kuwa mwe- “
haitaondoka Kumhusu yeye mwe- nye dhambi, na anahitaji msaada. n
nyewe, alisema, “Kuyafanya mapen- “Dhambi ni uasi wa sheria” “Kujua m
zi yako, Ee, Mungu wangu, ndiyo fu- dhambi huja kwa njia ya sheria” r
raha yangu; Naam, sheria yako imo 1Yohana 3:4. Warumi 3:20. Ili ku- “
moyoni mwangu” Mathayo 5:17-18; sudi mwenye dhambi ajue hali yake k
Zaburi 40:8. ya dhambi, hana budi kujipima ka- W
Sheria ya Mungu haibadiliki ni tika kioo cha Mungu cha tabia ya W
ufunuo wa tabia ya Mtoaji wake. ukamilifu na haki ndipo ataweza
Mungu ni pendo na sheria yake ni kupambanua hali takatifu na hali m
pendo. “Pendo ni utimilifu wa she- ya uovu. n
ria” Mtunga Zaburi asema, “Sheria Sheria humwonyesha mtu dhambi t
yako ni kweli” Maagizo yako yote ni zake, lakini haipimi dawa. Hum- p
ya kweli” Paulo asema, “Torati ni wambia kuwa kufa ni adhabu ya M
takatifu na ile amri ni takatifu, na mwenye dhambi. Injili ya Kristo b
ya haki na njema, “Warumi 13:10; pekee yake ndiyo inaweza kumfun- s

106

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 106 16-03-2009 14:30:33


. gua kutoka katika hukumu au la-
- wama ya dhambi. Yampasa atubu
. makosa yake kwa Mungu, ambaye
a sheria yake imevunjwa na awe na
- imani kwake Yesu aliyetoa kafara ya
- kumwokoa. Hivyo atapata msama-
. ha wa dhambi zake za wakati ulio-
a pita, (Warumi 3:25) na atahesabiwa
a kuwa mwana wa Mungu.
- Je, sasa yu huru, kuvunja sheria
. ya Mungu? Paulo asema, “Basi je,
i twaibatilisha sheria kwa imani hiyo?
i Hasha! Kinyume cha hayo twait-
a hibitisha. Sisi tuliofia dhambi tut-
i awezaje kuishi ndani yake? Yohana Hatua ya kwanza ya upatanishi na Mungu
ni kuungama dhambi. “Kwa kuwa dhambi ni
u asema, “Hili ndilo pendo la Mungu, uasi” 1 Yohana 3,4.
a ya kwamba tuzishike amri zake, na
- amri zake si nzito. Katika kuzaliwa basi uongofu wa juu juu hudumu,
a kupya moyo huletwa ukapatana na watu makundi makundi hujiun-
- na Mungu na sheria yake. Badiliko ga na kanisa, ambao hawana uhu-
a hili linapomfikia mwenye dhambi siano wowote na Kristo.
i huwa amepita toka mautini hata
a uzima, naye huwa ametoka katika Utakaso ni Nini?
hali ya uasi hata utii. Maisha ya Mafundisho mapotofu kuhusu
kale yamepita na kutokomea huko, utakaso hutokana na kutojali na
maisha mapya yaliyopatanishwa na kukataa kutii sheria ya Mungu.
a Mungu, ambayo ni ya imani na up- Upotofu huu wa mafundisho ya
- endo yameanzishwa. Ndipo hapo uongo na ya hatari kubwa hupen-
- “Maagizo ya torati yatimizwe nda- delewa na watu wengi.
. ni yetu, tusioenenda kwa kufuata Paulo asema “maana haya ndi-
a mambo ya mwili, bali mambo ya yo mapenzi ya Mungu kutakaswa
” roho”. Hapo lugha ya roho itakuwa, kwenu” Biblia hufundisha dhahiri
- “Sheria naipenda mno ajabu, ndiyo kuwa utakaso ni nini na jinsi iya
e kutafakari kwangu mchana kutwa” kuupata. Mwokozi aliomba akisema
- Warumi 3:31, 6:2; 1Yohana 5:3; “Uwatakase kwa ile kweli, neno lako
a Warumi 8:4; Zaburi 119:97. ndiyo kweli. Na Paulo afundishe
a Bila kuwa na sheria uongofu wa akisema kuwa wanafunzi lazima
i mtu ni wa kutojua dhambi ni nini, watakaswe kwa Roho Mtakatifu”
na kwa hiyo huwa hawana haja ya 1Thes. 4:3; Yohana 17:17; Warumi
i toba. Hawatambui haja zao za ku- 15:16.
- patanishwa kwa damu ya Kristo. Kazi ya Roho Mtakatifu ni nini?
a Matumaini ya wokovu huwa hayana Yesu aliwafundisha wanafunzi wake
o badiliko la moyo la kweli, na mai- akisema “Atakuja huyo Roho wa
- sha huwa yale tu ya kawaida. Hivyo kweli, atawaongoza awatie kwenye

107

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 107 16-03-2009 14:30:34


Mwenye dhambi anapotubu na ku- t
pata kibali cha Mungu, hapo ndipo u
maisha ya ukristo huanza. Sasa w
yapasa aendelee mpaka ukamilifu, s
kukua hata kimo cha utimilifu wa w
Kristo. “Nakaza mwendo niifikie s
mede ya thawabu ya mwito mkuu k
wa Mungu katika Kristo Yesu. Wae- a
brania 11:6; Waefeso 4:13; Wafilipi h
3:14. Watu ambao wanapata uta-
kaso wa Biblia, wataonyesha hali k
Nabii Danieli alikuwa kielelezo cha utakaso.
Badala ya kudai kuwa mtakatifu na mwenye ya unyenyekevu. Huona upungufu j
haki, alijiambatanisha yeye mwenyewe na wao, wanapojilinganisha na uka- S
ukweli wa dhambi ya Israeli. milifu wa Mungu. Nabii Daniel ali- fi
kweli yote “Yohana 16:13,. Na mtun- kuwa kielelezo kizuri kuhusu uta- k
ga Zaburi asema “Sheria yako ndiyo kaso. Badala ya kujidai kuwa mtu r
kweli “kwa kuwa sheria ya Mungu safi na mtakatifu, nabii mkuu huyu h
ni takatifu, na ya haki na njema, alijiweka pamoja na wenye dhambi
tabia inayofanywa kwa kuitii sheria wengine wa Israeli wakati alipoku- n
ya Mungu lazima itakuwa takati- wa akiomba kwa ajili ya watu wake. w
fu. Kristo ndiye kielelezo cha tabia Daniel 10:11; 9:15,18,20: 10:8,11. k
takatifu. Naye alisema “Nimeshika Kwa wale wanaotembea chini l
amri za Baba yangu” Kila mara na- ya kivuli cha msalaba wa Kalvari, w
fanya mapenzi yake” Yohana 15:10; hapata kuwako kujitukuza, wala m
8:29. Wafuasi wake lazima wafa- kujivuna kuwa hawana dhambi. m
nane naye - kwa neema ya Mungu Hujisikia daima kuwa dhambi zao a
waumbe tabia inayoambatana na ndizo zilizosababisha mateso ya h
kanuni za utakatifu wa sheria yake. Mwana wa Mungu, kwa kuwa na b
Huu ndio utakaso wa Biblia. mawazo hayo watakuwa na fedhaha k
tu. Wale wanaoishi karibu na Kris- z
Ni kweli Imani Peke Yake to wanapambanua hali ya unyonge
Kazi hii inaweza kukamilika kwa na uovu wa wanadamu, na huona h
imani peke yake, katika uwezo wa kuwa tumaini lao ni kwa mwokozi w
Roho Mtakatifu akaaye ndani ya aliyesulubiwa na kufufuka ufuni. n
mtu. Mkristo atasikia hali ya dham- Utakaso unaoonekana katika h
bi ikimkabili, lakini atapata uwezo ulimwengu wa kidini sana, ambao l
wa kushidana nayo. Hapo ndipo ni wa majivuno bila kujali sheria ya n
msaada wa Kristo unapohitajika. Mungu ni mgeni kwa Biblia. Hu- g
Udhaifu wa kibinadamu unapoun- fundisha kuwa utakaso huo ni wa M
ganika na uwezo wa kimbingu, ndipo kitambo tu, bora uwe na imani, basi a
imani husema, “Mungu na ashuku- unapata mara moja bila kungoja. h
riwe atupaye kushinda kwa Bwana Bora uamini, tu utaupata utakatifu k
wetu Yesu Kristo. 1Kor. 15:57 kamili. Hakuna juhudi yoyote in-
Kazi ya utakaso ni ya maendeleo. ayohitajika ili kuupata, ni kuamini d

108

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 108 16-03-2009 14:30:35


- tu. Watu hujidai kuwa wamepata na utakatifu. Mtu wa jinsi hiyo hana
o utakatifu, na kwa wakati ule ule ule uongofu wa kweli, wala hajui
a wanakana uwezo wa mamlaka ya utakatifu wa Mungu ulivyo na hana
, sheria ya Mungu, wakisema kuwa habari na jinsi dhambi ilivyo mbaya
a wamewekwa huru kutokana na ku- mno. Kiasi anavyokuwa mbali sana
e shika sheria. Lakini je, inawezekana na Kristo, ndivyo anavyojiona kuwa
u kufikia hali ya utakatifu bila kufiki- mtakatifu yeye mwenyewe.
- ana na kanuni za utakatifu, ambazo
i huoyesha mapenzi ya Mungu? Utakaso wa Biblia
- Ushuhuda wa neno la Mungu hu- Utakaso kuhusu mtu mzima,
i kanusha mafundisho mapotofu ya yaani roho, dhamiri na mwili. Soma
u jinsi hiyo ya imani bila matendo. 1Thes. 5:23. Wakristo wanaagizwa
- Siyo imani ya peke yake yenye ku- kutoa miili yao kuwa dhabihu iliyo
- fikia matakwa ya mbinguni, bila hai, takatifu, inayokubalika mbele
- kuwa na masharti ambayo kwayo za Mungu Rum. 12:1. Kila kitendo
u rehema hupatikana. Huo ni ufed- kinachoudhoofisha mwili au aki-
u huli mtupu. Yakobo 2:14-24. li, humfanya mtu asifae kufanya
i Watu wasijidanganye kuwa wa- huduma ya Mwumbaji wake. Wote
- naweza kufikia utakatifu wakati wanaompenda Mungu kwa mioyo
. wanapozivunja sheria za Mungu yao yote daima watatafuta kuhu-
kwa makusudi. Dhambi inayoju- sianisha viungo vyao na nguvu zao
i likana hunyamazisha sauti ya Roho wapate kuzitii amri za Mungu, na
, wa Mungu anayeshuhudia katika kufanya mapenzi yake. hawataji-
a mioyo ya watu, nayo humtenganisha chafua au kujinajisisha kwa hali yo
. mtu na Mungu. Ijapokuwa Yohana yote mpaka wakuwa hawafai kutoa
o anaeleza kabisa habari za upendo, dhabihu ya miili yao kuwa takatifu,
a hakusita kutaja tabia ya watu am- kwa Baba yao wa mbinguni.
a bao hujidai kuwa wametakaswa na Kila kitendo cha dhambi au cha
a kwa wakati ule ule wanaziasi amri tamaa ya mwili au chakula huelekea
- za Mungu. kudhoofisha uwezo wa akili ya ut-
e “Yeye asemaye, Nimemjua, wala ambuzi. Neno la Mungu, au Roho
a hazishiki amri zake ni mwongo, wa Mungu huwa na mvuto kidogo
i wala kweli haimo ndani yake. Laki- tu kwa mtu wa namna hiyo. Na tu-
ni yeye alishikaye neno lake, hakika jitakase nafsi zetu na uchafu wote
a huyo upendo wa Mungu umekami- wa mwili na roho, huku tukitimiza
o lika kweli kweli” 1 Yoh. 2:4-5. Hiki utakatifu katika kumcha Mungu
a ndicho kipimo cha uchaji wa Mun- 2kor. 7:1.
- gu. Kama wakizihafifisha amri za Ni wakristo wangapi ambao huji-
a Mungu au wakivunja mojawapo ya najisisha wenyewe kwa njia ya ulafi,
i amri zake na kuwafundisha watu ulevi na anasa haramu. Kanisa
. hivyo (Mathayo 5:18-19) tutajua ya mara nyingi huunga mkono ma-
u kuwa madai yao hayana msingi. ovu kwa njia ya kujaza urembo na
- Wale wanaojidai kuwa hawana madoido ya kila namna, ambayo
i dhambi ni dhahiri kuwa wako mbali hunyang’anya, upendo wa Kristo

109

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 109 16-03-2009 14:30:35


katika mioyo yao. je, kama yesu an- M
galiingia katika makanisa ya leo na n
kuona mambo ya kianasa yaliyomo, t
ambayo yanatajwa kwa jina la dini 8
asingaliwafukuza, kama alivyowafu- 1
kuza wale wabadili fedha hekaluni
zamani? s
Au hamjui ya kuwa mwili wenu i
ni hekalu la Roho Mtakatifu aliye y
ndani yenu, mliyepewa na Mungu? t
Wala ninyi si mali yenu wenyewe; g
Wakati tabia ya mkristo itakapowakilishwa
maana mlinunuliwa kwa thamani. na unyenyekevu, isionyeshwe kwa huzuni na u
Sasa basi mtukuzeni Mungu katika masikitiko binafsi. e
miili yenu” 1Kor. 6:19-20. Mtu am- a
baye mwili wake ni hekalu la Roho ti haya, ahadi ya Mungu kwao ni hii, m
Mtakatifu, hawezi kujitia utum- “Nami nitawakaribisha, nitakuwa k
wani kwa njia ya kufanya mazoezi Baba kwenu, nanyi mtakuwa kwan- k
ya ufedhuli. Uwezo wake ni mali gu wanangu wa kiume na wa kike” w
ya Kristo. Mali yake yote ni mali ya 2Kor. 6:17-18.
Bwana. Basi anawezaje kuharibu Kila hatua ya imani na utii, humle- w
mali hiyo? ta mtu katika kuunganika na Nuru k
Wakristo hugharimia fedha ny- ya ulimwengu. Nuru kamili za jua n
ingi kwa mwaka kwa ajili ya mambo la haki huwamulikia watumishi wa s
ya anasa. Mungu hunyang’anywa Mungu, nao huwangazia wengine. y
zaka na sadaka, wakati matumizi Nyota hutuambia kuwa kuna nuru k
ya anasa huchukua sehemu kubwa huko mbinguni ambayo utukufu B
ya mali yao, zaidi kuliko wanayotoa wake huzingarisha. Hali kadhalila s
kwa ajili ya kusaidia masikini na wakristo huudhihirishia ulimwen- S
kwa kueneza Injili. Kama wote wa- gu kuwa yuko Mungu atawalaye,
naojiita kuwa ni Wakristo wangeku- ambaye anastahili kutukuzwa na
wa waaminifu katika kutumia mali kuheshimiwa. Utakatifu wa tabia
zao, badala ya kuzitumia ovyo, waka- yake utadhihirika kwa watumishi
ziweka katika hazina ya mbinguni, wake ambao ni mashahidi wake.
wangekuwa mfano mzuri wa kiasi Kwa fadhili zake Kristo tunapta
na kujinyima. Ndipo wangekuwa njia ya kufikia kiti cha enzi cha Mun-
nuru ya ulimwengu. gu, mwenye uwezo. “Yeye asiyem-
Tamaa ya mwili, tamaa ya macho, wachilia mwana wake mwenyewe,
na kiburi cha uzima (1Yoh. 2:16) bali alimtoa kwa ajili yetu sisi sote,
huwatawala watu maelfu na mael- atakosaje kutukarimia mambo yote
fu. Lakini wafuasi wa Kristo wanao bure? Yesu asema, “Basi ikiwa ninyi
mwito mtakatifu. “Tokeni kati yao mlio waovu mnajua kuwapa watoto
mkatengwe nao asema Bwana, msi- wenu vipawa vyema, je, Baba aliye
K
guse kitu cho chote kilicho kichafu” mbinguni hatazidi sana kuwapa
kwa wale wanaoafikiana na mashar- roho Mtakatifu hao wamwombao? w
n

110

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 110 16-03-2009 14:30:35


Mkiomba lo lote kwa jina langu hilo na haya ndiyo mapenzi ya Mungu
nitalifanya” “Ombeni nanyi mtapa- kwenu” Ebr. 2:11; Neh. 8:10; 1Tes.
ta ili furaha yenu iwe timilifu” Rum. 5:16-18.
8:32; Luka 11:13; Yoh. 14:14; Hayo ndiyo matunda ya uongofu
16:24. wa Kibiblia na utakaso. Kwa kuwa
Ni jukumu la kila mtu kuishi mai- kanuni kuu za sheria kama zili-
sha yanayotambulika kwa Mungu vyowekwa na Biblia, hazifuatwi ndi-
ili apate baraka zake. Siyo mapenzi yo sababu ya hali hafifu makanisani.
ya Baba wa mbinguni kwamba sisi Hii ndiyo sababu mwamko wa kiroho
tuishi gizani katika hali ya kutan- ni mdogo sana, wala haufuatani na
gatanga na kuhukumiwa. Hakuna ule wa watu wa zamani wa maten-
a ushahidi wo wote kwamba uny- genezo. Ni kwa kutazama tu ndipo
enyekevu humfanya mtu atembee tunabadilika. Kanuni zile takatifu
akiinama chini na kuliwazwa na zionyeshazo tabia ya Mungu zisipo-
, mawazo ya ubinafsi. Twapaswa jaliwa, na watu wakitia nia zao kwa
a kumwendea Yesu na kutakaswa na hadithi za kibinadamu matokeo
- kusimama mbele ya sheria bila hofu yake ni hali ya mauti ionekanayo
” wala waa. katika kanisa, yaani kanisa mtu. Ni
Wana wa Adamu walioanguka wakati sheria ya Mungu inapoheshi-
- wanaweza kuwa wana wa Mungu miwa ipasavyo ndipo mwamko wa
u kwa njia ya Yesu Kristo. Yeye hao- kiroho unapoambatana na imani ya
a ni haya kuwaita ndugu zake. Mai- kweli ya uongofu halisi vitaonekana
a sha ya ukristo yapasa yawe maisha katika maisha ya wakristo.
. ya imani, ya ushindi na ya furaha
u katika Bwana Mungu. “Furaha ya
u Bwana ndiyo nguvu yenu” Furahini
a siku zote” “Ombeni bila kukoma”
- Shukuruni kwa mambo yote, maa-
,
a
a
i

a
-
-
,
,
e
i
o
e
Kwa sababu ya kanuni ya haki iliyoweka she-
a ria za Mungu ni tofauti kutokana na mtazamo
? wa ulimwengu wa Kikristo ndio maana ni kwa
nandra sana matunda ya kweli yanaonekana.

111

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 111 16-03-2009 14:30:37


y
n
s
a
u
u
m
k
m
D

y
m
k
n
g
y
z
t
w

t
n
g
w
w
i
n
y
h

112

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 112 16-03-2009 14:30:39


28

Kukabili
Kumbukumbu
Ya Maisha Yetu

N
ikatazama hata viti vya enzi ufalme usioweza kuangamizwa” Dan-
vikawekwa, na mmoja aliye iel 7:13-14.
Mzee wa siku ameketi; mavazi Kuja kwa Kristo kunakoelezwa hapa
yake yalikuwa meupe kama theluji siko kurudi kwake mara ya pili duni-
na nywele za kichwa chake kama sufi ani. Anakuja kwa Mzee wa siku huko
safi; kiti chake cha enzi kilikuwa mi- mbinguni ili kupokea ufalme ataka-
ali ya moto; na gurudumu zake moto opewa mwisho wa kazi yake ya uom-
uwakao. Mto kama wa moto ukatoka bezi. Kuja huko ndiko kulitokea mwa-
ukapita mbele zake; maelfu elfu waka- ka 1844, wala si kurudi duniani mara
mtumikia, na elfu kumi mara elfu ya pili. Hivyo ndiyo ilikuwa mwisho
kumi wakasimama mbele zake; huku- wa unabii wa siku 2300. Kuhani wetu
mu ikawekwa, na vitabu vikafunuliwa” Mkuu anaingia katika patakatifu pa
Daniel 7:9-10. patakatifu ili kufanya kazi yake ya
Haya ndiyo maono aliyopewa Daniel mwisho ya kuwaombea wanadamu.
ya siku ile kuu ya hukumu ambayo Katika huduma ya hema takatifu
maisha ya kila mtu yatakapopitishwa hapa duniani, watu ambao dhambi
katika uchunguzi wa Hakimu wa du- zao zilihamishiwa kutoka patakatifu,
nia yote. Mzee wa siku ni Baba Mun- ndivyo waliofaidi siku ya upatanisho.
gu. Yeye ambaye ndiye asili ya maisha Hali kadhalika katika siku kuu ya uc-
yote ya kila kitu, chemichemi ya sheria hunguzi wa mwisho, watu ambao yao
zote, ndiyo atakuwa mwenye kiti ka- yataangaliwa ni wale watu wa Mungu
tika hukumu. Na malaika watakuwa tu. Hukumu ya waovu itakuwa wakati
wahudumu na mashahidi. mwingine. “Hukumu lazima ianzie ka-
“Nikaona katika njozi za usiku, na tika nyumba ya Mungu” 1Petro 4:17.
tazama, mmoja aliye mfano wa mwa- Vitabu vya kumbukumbu vya mb-
nadamu akaja na mawingu ya mbin- inguni vitahusika na uamuzi wa kesi
guni akamkaribia huyo mzee wa siku, ya kila mtu. Kitabu cha uzima kime-
wakamleta karibu naye. Naye akape- andikwa majina ya watu wote walioin-
wa mamlaka, na utukufu na ufalme, gia katika huduma ya Mungu. Yesu
ili watu wa kabila zote, na taifa zote, aliwaagiza wanafunzi wake, “Furahini
na lugha zote, wamtumikie; mamlaka kwa kuwa majina yenu yameandikwa
yake ni mamlaka ya milele, ambayo mbinguni”. Paulo anasema kuhusu
haitapita kamwe, na ufalme wake ni wakazi wenzake, ambao majina yao

113

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 113 16-03-2009 14:30:42


yameandikwa katika kitabu cha uz- t
ima” Danieli asema kuwa watu wa B
Mungu wataokolewa, “Kila mmoja s
atakayeonekana ameandiwa kitabuni” t
Na mwandishi wa ufunuo asema kuwa n
wale watakaoingia katika mji wa Mun- a
gu, ni wale ambao majina yao yame- u
andikwa katika kitabu cha uzima cha k
mwana Kondoo” Luka 10:20 Wafilipi k
4:3; Danieli 12:1; Ufunuo 21:27. m
Katika kitabu cha ukumbusho yamo 1
majina ya matendo mema ya wale
wamchao Bwana, na kulitafakari jina k
lake; Kila jaribu linapingwa, kila uovu Katika huduma ya uhakika ni wale tu walio- w
kuja mbele za Mungu na moyo watoba na z
unashindwa, kila neno la fadhili lin- kuungama, walikuwa na nafasi katika siku
alosemwa, kila tendo la kujinyima, na ya Upatanisho. Hivyo basi katika siku ya k
kila tendo la kusikitisha lililovumiliwa, mwisho ya upatanisho ni wale tu waliothibi- M
kwa ajili ya Kristo, huandikwa. “Ume- tika kuwa wa Mungu ndio watakaojaliwa. k
hesabu kutangatanga kwangu, uyatie l
zuri. Yote hayo huandikwa kwa usa- k
machozi yangu katika chupa yako. Je, hihi kabisa na malaika.
hayamo katika kitabu chako? Malaki n
3:16; Zaburi 56:8. a
Kanuni ya Hukumu z
Sheria ya Mungu ndiyo kanuni au z
Makusudi ya Siri kipimo katika hukumu “Mche Mungu,
Kuna kumbukumbu ya dhambi f
na uzishike amri zake, maana kwa jum- a
za watu pia. “Kwa maana Mungu la ndiyo impasayo mtu” “Kwa maana
ataleta hukumuni kila kazi, pamoja d
Mungu ataleta hukumuni kila kazi” c
na kila neno la siri, likiwa jema, au “Semeni ninyi, na kutenda kama watu
likiwa baya” “Kila neno lisilo maana watakaohukumiwa kwa sheria ya uh-
watakalolinena wanadamu, watatoa k
uru”. Mhubiri 12:13-14; Yakobo 2:2. K
hesabu ya neno hilo siku ya huku- Wale watakaohesabiwa kuwa wanas-
mu” “Kwa maneno yako utahesabiwa m
tahili, watakuwa na sehemu katika w
haki, na kwa maneno yako utahuku- ufufuo wa wenye haki. Yesu alisema
miwa” Makusudi ya siri huandikwa w
“Wale wahesabiwao kuwa wanastahili z
katika kitabu cha kumbukumbu. Kwa kuupata ulimwengu ule na kufufuka
maana Mungu, atakayemulikisha t
katika wafu …. Nao ni wana wa Mun- d
yaliyositirika, ya giza na kuyadhihiri- gu, kwa vile walivyo wana wa ufufuo”
sha mashauri mioyo” Mhubiri 12:14; a
“Wale waliofanya mema kwa ufufuo wa w
Mathayo 12:36-37; 1Kor. 4:5. Mbele uzima”. Luka 20:35-36; Yohana 5:29.
ya kila jina la mtu, pataandikwa, kila m
Wafu, ambao ni wenye haki hawafufuki k
neno ovu mtu alilonena, kila tendo la mpaka hukumu ambayo imewahesabu
ubinafsi alilotenda, kila jambo alilo- k
kuwa wanastahili “ufufuo na uzima” d
paswa kufanya lakini hakulifanya, na imalizike Hivyo hawatakuwako katika
kila dhambi ya siri, kila onyo la mb- n
hukumu hiyo, wakati mambo yao ya- g
inguni au ujumbe ambao haukujaliwa, napoamuliwa.
kila nafasi iliyopotezwa bure, na mvuto k
Yesu ndiye atakuwa mtetezi wao n
ulioingwa, kuelekeza kubaya au ku- mbele za Mungu “Na kama mtu aki-

114

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 114 16-03-2009 14:30:43


tenda dhambi tunaye Mwombezi kwa gu aliye mbinguni. Bali mtu ye yote
Baba, Yesu Kristo mwenye haki”. Kwa atakayenikana mbele ya watu nami
sababu Kristo hakuingia katika pa- nitamkana mbele za Baba yangu aliye
takatifu palipofanyika kwa mikono, mbinguni. Isaya 43:25; Ufunuo 3:5;
ndiyo mfano wa patakatifu halisi; bali Mathayo 10:32-33.
aliingia mbinguni hasa, aonekane sasa Yesu mtetezi atetea wote walioamini
usoni pa Mungu kwa ajili yetu” “Naye damu yake ili awapeleke katika makao
kwa sababu hii, aweza kuwaokoa ya Edeni, akiwafanya washiriki katika
kabisa wao wamjiao Mungu kwa yeye; urithi na utawala wake na katika mam-
maana yu hai siku zote ili awaombee” laka ya kwanza” Mika 4:8. Sasa Kristo
1Yoh. 2:1 Waebrania 7:25; 9:24. ataka hali ya mpango wa kwanza wa
Vitabu vinapofunguliwa katika hu- uumbaji, irudishe, na kuwafanya watu
kumu, maisha ya watu wote waliom- hawa kana kwamba hakufanya dham-
wamini Yesu yanachunguzwa mbele bi. Anaomba kwamba watu wake wasi-
za Mungu. Wakianzia na watu wa samehewe na kupewa haki peke yake
kwanza kabisa kuishi ulimwenguni. bali wawe washiriki katika utukufu
Mtetezi wetu analeta habari za wote wa wake, na waketi katika kiti chake cha
kila kizazi. Majina mengine yanakuba- enzi.
lika, na mengine yanakataliwa, maana Wakati Yesu anaomba kwa ajili ya
- kila jina linatajwa na habari zake zi- raia zake wa neema, shetani anawashi-
nachunguzwa barabara. Mtu ye yote taki mbele za Mungu. Anataja habari
akionekana kuwa dhambi zake bado za maisha yao ya nyuma, anataja tabia
ziko kitabuni, wala hajaziungama ili
u zifutwe, naye asamehewe, jina lake hu-
, futwa katika kitabu cha uzima. Bwana
- alimwambia Musa, “Yeyote aliyetenda
a dhambi ndiye nitamfuta katika kitabu
” changu” Kutoka 32:33.
u Watu wote ambao wametubu kwa
- kweli na kwa imani wamedai damu ya
Kristo kuwa ukombozi wao, wamesa-
- mehewa, na majina yao yameandik-
a wa mbinguni. Kwa jinsi walivyokuwa
a washiriki wa haki ya Kristo, na tabia
i zao zimeonekana kuwa zinaafikiana na
a tabia ya Kristo na sheria ya Mungu,
- dhambi zao hufutwa, na wao watahes-
” abiwa kuwa wanastahili kupata uzima
a wa milele. Bwana asema “Mimi naam
. mimi, ndimi niyafutaye makosa yako
i kwa ajili yangu mwenyewe; wala sitazi-
u kumbuka dhambi zako” “Yeye ashin-
” daye atavikwa mavazi meupe…. Nami
a nitalikiri jina lake mbele za Baba yan-
- gu, na mbele za malaika zake” Basi, “Kitabu cha ukumbusho kikaandikwa” mbele
za Mungu, ambapo kumeandikwa kumbukum-
kila mtu atakayenikiri mbele za watu, bu nzuri “za waliomcha BWANA, na kulitafak-
o nami nitamkiri mbele za Baba yan- ari jina lake. Malaki 3:16
-

115

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 115 16-03-2009 14:30:44


K
b
w
9

d
u
A
b
m
z
y
c
w
a
e
k
k
w
Katika hamu kubwa iliyowekwa kwa watu katika kufanya maamuzi ya duniani lakini kwa
u
uhafifu huwakilisha mapenzi ya hekalu la mbinguni pale majina yanapoingizwa katika kitabu b
za uzima na kurudiwa katika Hukumu ya dunia nzima. k
zao mbaya, walivyokuwa wabovu wasi- wakiwa “Kanisa tukufu, lisilo na hila
fanane na Kristo, anaonyesha dhambi wala kunyanzi, wala lolote kama hayo”. K
zao zote, ambazo aliwashawishi waka- Waefeso 5:27
fanya. Kwa hiyo anadai kuwa ni watu Kwa hiyo ahadi ya agano jipya ita- m
wake wenye dhambi kama yeye. kamilika, isemayo “Nitausamehe uovu 1
Yesu hatetei dhambi zao, bali huon- wao, wala dhambi yao sitaikumbuka w
yesha toba zao na imani yao. Anadai tena” “Katika siku hizo na wakati huo, i
kuwa wasamehewe kwa ajili ya toba asema Bwana uovu wa Israeli utata- g
walivyotubu. Anainua mikono yake ili- futwa, wala uovu hapana; na dhambi t
yopigwa na misumari, mbele za Baba, za Yuda zitatafutwa wala hazitaoneka- M
akisema “nimewachora katika viganja na”. “Tena itakuwa ya kwamba yeye d
vyangu. Dhabihu za Bwana ni roho aliyebaki katika Sayuni, na yeye ali- fi
iliyovunjika. Moyo uliovunjika na ku- yeachwa ndani ya Yerusalemu, ataitwa w
pondeka, Ee, Mungu, hutaudharau”. Mtakatifu; yaani, kila mmoja aliyean- z
Zab. 51:17. dikwa miongoni mwa hao walio hai d
ndani ya Yerusalemu”. Yeremia 31:34; k
Bwana Amkemee Shetani 50:20 Isaya 4:3. h
Kuhusu mshitaki huyo, yaani shet- y
ani, Yesu alitamka “Bwana na akuke- Kufutwa Kabisa kwa Dhambi l
mee, Ewe shetani; naam, Bwana ali- Kazi ya hukumu ya upelelezi na ya n
yechagua Yerusalemu, na akukemee, kufutwa dhambi itakamilika kabla ya j
Je, hiki si kinga kilichotolewa motoni?” kurudi kwake Yesu duniani. Katika h
Zekania 3:2. Kristo atawavika watu mfano wa hema takatifu, kuhani ali- m
wake waaminifu na haki yake mwe- toka na kuwabariki watu wa mkutano y
nyewe, ili awafikishe kwa Baba yake siku ya upatanisho. Vivyo hivyo na m

116

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 116 16-03-2009 14:30:47


Kristo pia, baada ya kazi yake ya uom-
bezi, atatokea bila “dhambi kwa hawa
wamtazamao kwa wokovu” Waebrania
9:28.
Kuhani alipokuwa akizihamisha
dhambi kutoka katika patakatifu alizi-
ungama na kuziweka juu ya mbuzi wa
Azazeli. Kristo naye ataweka dham-
bi zote juu ya Shetani ambaye ndiye
mwanzilishi wa dhambi. Mbuzi wa Aza-
zeli alikuwa akipelekwa porini Mambo
ya Walawi 16:22. Shetani naye aki-
chukua dhambi alizosababisha na ku-
washawishi watu wa Mungu kufanya, Mungu hatoi udhuru wa dhambi zao, lakini
atafungwa maabusu muda wa miaka huonyesha uvumilivu na imani, wa kudai
kwao kusamehewa.
elfu moja, katika nchi iliyoharibika na
kubomoka, baadaye ataadhibiwa kati- sisi tumeyasahau, yatatushuhudia
ka ziwa la moto ambao utawatetekeza kwa wema au kwa ubaya.
waovu. Hivyo basi mpango wa wokovu Katika hukumu matumizi ya kila
utafikia ukamilifu wake, wakati dham- kipawa, au talanta yatachunguzwa
bi itakapokuwa imeharibiwa kabisa kwa makini. Jinsi tulivyotumia wakati
kabisa. wetu, karamu zetu, sauti zetu fedha
a zetu, mivuto yetu. Tumefanya nini kwa
. Kwa Wakati ulioamriwa. ajili ya Kristo. Kuhusu maskini wenye
Katika wakati ulioamriwa, ndio dhiki, yatima, wajane? Tumefanya nini
- mwisho wa siku 2300 yaani mwaka na nuru ya ukweli tuliyopewa? Maten-
u 1844, kazi ya uchunguzi wa majina ya do ya upendo tu ndiyo yatahesabika
a watu na kufutwa kwa dhambi za watu kuwa kitu cha thamani machoni pa
, ilianza, dhambi ambazo hazikuun- mbingu.
- gamwa na kuachwa hazitafutika, ka-
i tika vitabu vya mbinguni. Malaika wa Ubinafsi wa Siri Wadhihirika
- Mungu huona kila dhambi na kuian- Ubinafsi wa kisirisiri huwa wazi kabi-
e dika. Dhambi inaweza kukanwa, ku- sa katika vitabu vya mbinguni. Mara
- fichwa kabisa kwa baba, mama, mke, ngapi watu humpa shetani nyakati
a watoto au kwa watu wote, lakini mbele zao, mawazo yao na nguvu zao ambazo
- za Mungu huwa iko wazi. Mungu ha- ni mali ya Mungu. Wanaojidai kuwa
i danganywi na hali ya mtu ionekanayo wafuasi wa Kristo, wanajitumbukiza
; kijuu juu tu. Yeye hadanganyiki wala katika kutafuta mali ya dunia, au ka-
hakosei. Watu wanaweza kudangan- tika anasa za dunia. Fedha, wakati na
yika na hali ya kujifanya kijuu juu, nguvu hutumiwa katika mambo ya
lakini sivyo Mungu, yeye husoma kujinufaisha na kutukuza ubinafsi.
a na kujua mambo ya moyoni. Lo! Ni Muda wa kutumiwa katika maombi ni
a jambo la kutisha kiasi gani, ambavyo kidogo sana, na muda wa kuchunguza
a hakuna shujaa awezaye kurudisha Maandiko na kuungama dhambi ni
- mambo yake ya siku moja. Matendo kidogo sana.
o yetu maneno yetu hata makusudi ya Shetani amevumbua mambo mengi
a mioyo yetu ambayo ni ya siri ingawa mno ya kutushughulisha. Mdangan-

117

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 117 16-03-2009 14:30:48


Uombezi wa Kristo k
Uombezi wa Kristo kwa ajili ya wa- M
nadamu, ambao anaoufanya katika k
patakatifu pa mbinguni, ni muhimu
sana na kifo chake juu ya msalaba. u
Alipokufa msalabani ndipo alianza a
kazi yake, ambayo alikwenda kuimal- w
izia mbinguni. Kwa imani, inatupasa z
sisi tupaingie patakatifu, “alimoingia m
Yesu mtangulizi wetu” Waebrania 6:20. m
Hapo ndipo nuru kutoka msalabani in- c
amulika. Hapo ndipo tunaelewa siri ya k
ukombozi. L
Hekalu la mbinguni, ambalo lilikuwa Afichae dhambi zake hatafanikiwa, u
linawakilishwa na Hekalu la duniani, ni kiini bali yeye aziungamaye na kuziacha, l
cha kazi ya Kristo kwa niaba ya wanadamu.
atapata rehema” Mithali 28:13. Kama n
wale wanaofanya udhuru na kuficha f
yifu mkuu huyu, anachukia ukweli makosa yao wangaliona jinsi shetani m
ambao hutuelekeza kwa Mkombozi anavyomdhihaki Kristo kwa ajili ya n
wetu anayetuombea. Mambo yake mambo yao, wangeziungama dhambi b
yote hutoa mawazo ya watu yasimfikiri zao na kuziacha. Shetani hujitahidi l
Kristo na uombezi wake. kutawala mawazo yote ya watu, naye
Watu ambao wanataka kufaidi uom- anajua kuwa, kama hali ya kimakosa w
bezi wa Kristo, inawapasa wasiruhusu ikipendelewa atafaulu katika kazi yake K
kitu cho chote kiwazuie kutimiza wa- ya kuwapotosha na kuwapoteza. Kwa h
jibu wao unaopasa wokovu wao mbele sababu hii huwadanganya wafuasi wa 1
za Mungu. Nyakati zao za thamani, Kristo daima kwa hila zake, ili aweze
lazima zitumike katika kuomba na ku- kuwashinda. Lakini Yesu huwaambia M
jifunza neno la Mungu, badala ya ku- wote wamfuatao, “Neema yangu yaku-
jifurahisha na kufukuzana na uchumi tosha” “Nira yangu ni laini, na mzigo l
wa nchini. Patakatifu pa mbinguni na wangu ni mwepesi”. 2Kor. 12:9; Ma- d
kazi ya uchunguzi wa hukumu huko thayo 11:30. Mtu asidhani kuwa ma- K
mbinguni vingekuwa dhahiri katika g
mawazo yao daima. Wote wanahitaji a
kuielewa barabara kazi ya kuhani wao n
Mkuu, uombezi wake kwa ajili yao. au h
la, sivyo watashidwa kuelewana naye f
katika shughuli anayowashughulikia. u
Patakatifu pa mbinguni ndipo kiini k
cha kazi Kristo anayowashughulikia v
wanadamu. Kazi hiyo inamhusu kila
mtu aliyeko duniani. Inadhihirisha g
mpango wa wokovu, inatuleta mpaka n
kwenye mashindano makuu baina ya l
haki na uovu. h
Kila kitu hapa dunia kiko wazi
machoni pa BWANA.
y

118

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 118 16-03-2009 14:30:49


kosa na kasoro haviwezi kuponyeka.
- Mungu atatupa imani na neema ya
a kushinda.
u Sasa sisi tunaishi katika siku kuu ya
. upatanisho. Wakati kuhani alipokuwa
a akifanya upatanisho kwa ajili ya wana
- wa Israeli, iliwapasa wote kutesa roho
a zao kwa njia ya maungamo ya toba ka-
a mili. Hali kadhalika, wale wanaotaka
. majina yao yaandikwe katika kitabu
- cha uzima yawapasa sasa kujitesa
a kwa njia ya kuungama dhambi zao. Sasa tunaishi katika siku
Lazima kuwepo toba ya kweli. Hali ya za upatanisho.
, uzembe, ambayo watu wengi wanayo,
, lazima iachwe kabisa. Mashindano fungia mlango akiwa ndani, na walien-
a ni makali kabisa kwa wale wanaota- delea na anasa zao, hali wakidhihaki
a futa kuwa wana wa Mungu wa kweli, maneno ya Nuhu. Mwokozi alisema,
i maana shindano kati ya haki na uovu “Ndivyo kutakavyokuwa kuja kwake
a ni kali. Kila mtu hana budi kukutwa mwana wa Adamu. Kimya, kimya bila
i bila kuwa na “hila wala kunyanzi, wala kujua, kama mwizi ajavyo usiku, ndi-
i lolote kama hayo”. Waefeso 5:17 vyo itakavyokuwa saa ya kuamuliwa
e Wakati kama huu, zaidi ya wakati wo mambo ya mwanadamu. “Kesheni basi,
a wote, inapasa kila mtu ajali wosia wa asije akawajia na kuwakuta mnalala”
e Kristo, “Kesheni, mkaombe kwa kuwa Mathayo 24:39; Marko 13:35-36.
a hamjui wakati huo ni lini” Marko Hatari itawakumba wale waliochoka
a 13:33. kukesha, na kugeukia mambo ya ulim-
e wengu. Wakati wenye biashara wakiwa
a Mambo ya Wote Yamekatwa katika kufukuzana na uchumi, wakati
- Rehema inafungwa muda mfupi kab- wapenda anasa wanajishughulisha na
o la ya kuonekana kwa Kristo, akirudi anasa, wakati warembo wanaende-
- duniani, katika mawingu ya mbinguni. lea kujipamba, inawezekana katika
- Kristo akitazamia wakati huo, anatan- saa hiyo ndipo tangazo la Mwamuzi
gaza akisema “Mwenye kudhulumu na wa dunia yote, litasema” “Umepimwa
azidi kudhulumu; na mwenye uchafu kwa mizani ukaonekana umepungua”
na azidi kuwa mchafu; na mwenye Daniel 5:27.
haki azidi kufanya haki; na mtakati-
fu na azidi kutakaswa. Tazama naja
upesi, na ujira wangu u pamoja nami,
kumlipa kila mtu kama kazi yake ili-
vyo” Ufunuo 22:11-12.
Watu watakuwa wakipanda na kujen-
ga, wakila na kunywa, wote bila kuwa
na habari kwamba tangazo la mwisho
limekwisha kutolewa katika patakatifu
huko mbinguni.
Wakati ule kabla ya gharika, baada
ya Nuhu kuingia safinani, Mungu alim-

119

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 119 16-03-2009 14:30:50


W
a
k
k
n
u
k
p
w
p
l
i
l
g
z

d
w
k
m
w
u
g
K
a
y
t
k
D
k
l

120

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 120 16-03-2009 14:30:53


29

Kwa Nini Dhambi


Iliruhusiwa?

W
atu wengi huona kazi za Kama isingelitetewa, isingaliku-
mwovu, zenye matokeo wapo kabisa. Dhambi ni uhasa-
ya maafa na taabu za kila ma kati yake na sheria ya upendo,
aina. Swali linachipuka vichwani ambayo ndiyo msingi wa serikali
kwamba inawezekanaje mambo ya Mungu.
kuwa hivyo chini ya Mungu mwe- Kabla dhambi haijaingia duniani,
nye hekima yote, uwezo wote, na kulikuwa na amani na furaha kote
upendo wote. Watu wanaopata katika malimwengu. Kumpen-
kuwa na mawazo ya jinsi hii huji- da Mungu kulikuwa jambo kuu
patia udhuru wa kuukana ukweli kabisa, na upendo kati ya viumbe
wa maandiko matakatifu. Ma- ulikuwa hausemeki, Kristo, am-
pokeo na kulitafsiri vibaya neno baye ni Mwana wa pekee alikuwa
la Mungu kuhusu tabia ya Mungu pamoja na Baba wa milele, katika
ilivyo, na asili au msingi wa serika- asili, tabia na makusudi. Ni yeye
li yake, na kanuni zake za kushu- tuliyeingia katika mashauri yote ya
ghulikia dhambi huwatia watu gi- Mungu, na makusudi ya Mungu.
zani na mashakani. “Kwa kuwa katika yeye vitu vyote
Haiwezekani kueleza asili ya viliumbwa vilivyo mbinguni …. Iki-
dhambi ili kufahamu mwanzo wa ni vitu vya enzi, na usultani, au
wake na jinsi ilivyo. Walakini enzi, au mamlaka. Kol. 1:16.
kuna maelezo ya kutosha kufaha- Sheria ya upendo ndiyo iliyoku-
mu mambo ya dhambi na mwisho wa msingi wa serikali ya Mungu.
wa dhambi pia, ili kudhihirisha Furaha na raha ya viumbe vyote
ukarimu na haki ya Mungu. Mun- vilivyoumbwa ilitegemea jinsi
gu hakuwa ndiye asili ya dhambi. walivyoafikiana na kanuni za haki.
Kwa Mungu hakuna hali ya mach- Mungu hana furaha na kulazimi-
afuko, wala unyimivu wa neema sha viumbe wamtii. Kwa viumbe
yake, wala upungufu wowote ka- vyote alitoa uhuru kamili, uhuru
tika serikali yake, ambao unaweza wa dhamiri ili wamtumikie kwa
kusababisha uasi na machafuko. uhuru kila mmoja kwa hiari yake,
Dhambi ni mwingilio wa uasi bila siyo kwa shuruti.
kutakiwa, na hakuna awezaye kue- Lakini alikuwako mmoja ali-
lezea. Kuitetea ni kule kuikubali. yechafua mpango huu wa uhuru.

121

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 121 16-03-2009 14:30:53


wako; Umeweka moyo wako kama H
moyo wa Mungu” “Nawe ulisema a
nitakiinua kiti changu juu kuliko
nyota za Mungu….. nami nitaketi K
katika mlima wa mkutano …. Ni- M
tapaa kupita vimo vya mawingu,
nitafanana na yeye aliye juu Eze. a
28:12-17; 28:6; Isaya 14:13-14. z
Heshima ya kufunika ambayo m
Baba aliitoa kwa mwanawe ilita- h
maniwa na malaika huyu, ingawa s
alikuwa na heshima. Heshima ya k
Kristo, ilimhusu yeye tu, wala si l
mwingine. Basi sasa alama ya ku- A
toridhika ilionekana katika umoja a
wa ajabu uliokuwa mbinguni. Ku- k
jitukuza kwa ubinafsi hakuku- k
Kabla ya kuingia kwa uovu kulikuwa na
amani na furaha katika ulimwengu wote. Yote ruhusiwa huko. Lilikuwa chukizo u
yalikuwa sawa na mapenzi ya Muumbaji. baya mno kufikiri. Utukufu wa k
Dhambi ilianzia kwake ambaye Mungu ulikuwa unatosha kabisa.
ndiye aliyekuwa wa pili kwa Kris- Baraza la mbinguni lilimsihi juu ya
to, mwenye heshima kuu mbele za nia yake, kuwa aiache. Mwana wa
Mungu. Kabla hajaanguka, Lusifa Mungu alimweleza uzuri na haki
alikuwa “Kerubi wa kwanza afu- ya mwumbaji, pamoja na utakati-
nikwaye” mtakatifu, asiye na waa. fu wa sheria yake. Kama akijiten-
Bwana Mungu asema hivi: “Wewe ga na sheria hiyo, Lusifa atakuwa
wakitia muhuri kipimo umejaa he- amemdharau Mwumbaji wake, na
kima na ukamilifu wa uzuri. Uli- kujiletea uharibifu mwenyewe. La-
kuwa ndani ya Edeni, bustani ya kini onyo hilo lilipingwa. Lusifa
Mungu; kila jiwe la thamani liliku- aliendelea kumwonea Kristo wivu.
wa kifuniko chako…. Wewe uliku- Kiburi kiliongeza tamaa ya ukuu
wa kerubi mwenye kutiwa mafuta wa Lusifa, akawa mtaka makuu.
afunikaye, nami nalikuweka hata Heshima kuu aliyopewa hai-
ukawa juu ya mlima mtakatifu wa kumfanya awe na shukrani, kwa h
Mungu, umetembea huko na huo Muumba wake. Alikaza nia yake n
kati ya mawe ya moto ulikuwa ya kufanana na Mungu. Walakini A
mkamilifu katika njia zako tangu mwana wa Mungu peke yake ndiye l
siku ile ulipoumbwa, hata uovu alikuwa na cheo hicho, yaani yeye u
ulipoonekana ndani yako…. Moyo alikuwa katika umoja na Baba w
wako uliinuka kwa sababu ya kwa kila hali katika mashauri yote m
uzuri wako; umeiharibu hekima ya Mungu Kristo alishiriki. Laki- w
yako kwa sababu ya mwangaza ni Lusifa hakuwa na hadhi hiyo. a

122

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 122 16-03-2009 14:30:54


a Hivyo aliuliza kwa nini Kristo tu utaratibu, na kuwaeleza malaika
a awe na hadhi hiyo na mimi sivyo? mambo yasiyo ya kweli. Alipewa
o muda wa kutubu na kujirekebi-
i Kutoridhika Miongoni Mwa sha mara nyingi. Juhudi za Mun-
- Malaika gu za upendo za kumtaka Lusifa
, Lusifa alipotoka mbele za Mungu ajirekebishe ilikuwa kana kwam-
. alikwenda kwa malaika ili kuene- ba ni kumthibitishia kosa lake.
za kutoridhika kwake na roho ya Manung’uniko na kutoridhika
o manung’uniko kati yao. Alitenda havikujulikana mbinguni kabla ya
- hivyo kwa siri sana, akificha ku- wakati huo. Hata Lusifa hakuelea
a sudi lake hasa, na kueleza tu ya matokeo hasa ya hali hiyo anayo-
a kuwa Mungu anataka heshima ya anzisha. Kwa kuwa hoja zake hazi-
i lazima, wala si ya uhuru na hiari. kuwa na sababu yo yote. Lusifa
- Akaishambulia sheria ya Mungu aliamini kuwa madai yake kwam-
a ambayo inatawala katika enzi yote ba sheria ya Mungu ina kasoro ni
- kuwa ni ya ubeberu. Akasema ya uongo, na kwamba hana budi
- kuwa malaika wangeachiwa uh- kukiri wazi mbele ya wakaao mb-
o uru kamili ili wafanye wapendavyo inguni kuwa amekosa. Kama an-
a kwa hiari yao. kwamba Mungu galifanya hivyo angalijiokoa yeye
. pamoja na malaika wengi. Kama
a angelihiari kumrudia Mungu aki-
a ridhika na cheo chake angalirud-
i ishwa katika hadhi yake kama
- kwanza. Lakini kiburi kilimzuia
- kujitoa. Akajiona kuwa hana haja
a ya kukiri, wala kutubu, na kwa
a njia hiyo akajitia katika mapam-
- bano na mwumbaji wake.
a Uwezo wake wote akautumia ka-
Uasi wa Shetani ni fundisho kwa ulimwengu tika udanganyifu tu, hivyo aka-
wote kwa karne zote, kuwa ushuhuda kwa
u viumbe vyote na matokeo ya dhambi. jipendeza kwa malaika ili wam-
. wunge mkono. Shetani alisema
- kuwa hakutendewa haki, wala
a hakufanya haki yo yote, kumwi- hakueleweka vema. Kwa njia ya
e nua Kristo juu kuliko yeye (Lusifa) kuyapindua maneno ya Kristo,
i Alisema kuwa hakuwa na kusudi akamshitaki kwa malaika kuwa
e la kujitakia heshima ila alitaka anakusudia kumwondolea cheo
e uhuru kwa wote wa mbinguni, ili chake, na kumshusha mbele ya
a wawe na heshima. Mungu alimvu- wote wa mbinguni.
e milia Lusifa muda mrefu. Hakum- Wote wale ambao hakuweza ku-
- wachisha cheo chake hata wakati washawishi, aliwashitaki kuwa ni
. aliponekana akienda kinyume cha wachafuzi wa mbingu na wenye-

123

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 123 16-03-2009 14:30:58


Mungu alipoishughulikia dhambi
alitumia njia ya haki na kweli peke
yake. Shetani aliweza kutumia
mambo au njia zile ambazo Mun-
gu hawezi kutumia, yaani njia ya
ubembelezi na udanganyifu. Ta-
bia ya mnyang’anyi shetani lazima
idhihirike wazi kwa wote. Lazima
apate muda wa kutosha wa ku-
jidhihirisha jinsi alivyo, na jinsi
matendo yake yalivyo, ambayo ni
ya udhalimu. Mafarakano, am-
bayo ameyaleta huko mbinguni,
alimlaumu Mungu kuwa ndiye
Kiburi chake mwenyewe kilichipuka na kuta-
ameyasababisha. Maovu yote ali-
mani utawala wa Mungu na ukuu wake na yosababisha aliyatupa kwa Mun-
neema yake ilimvumilia Lusifa. gu, kwamba yamesababishwa na
ji wake. Alitafuta kumtia dosari utawala mbaya wa Mungu. Kwa
Mwumbaji. Lilikuwa kusudi lake ku- hiyo alipewa muda wa kuonyesha
watatanisha malaika kwa mashauri uzuri wa kubadili kanuni za utawa-
yake ya uongo kuhusu makusudi la wa Mungu, na kushika kanuni
ya Mungu. Kila kitu alijaribu kuki- mpya. Kazi zake mwenyewe zi-
tia dosari halafu kusukuma mal- tamhukumu. Malimwengu yote
aumu yote kwa Mungu kuwa ndiyo yataona udanganyifu wa shetani
nia yake. Cheo alichokuwa nacho uliofunikwa, na sasa uko wazi.
Hata wakati ilipoamuriwa kuwa m
kilimwezesha kufaulu kushawisi na
hawezi kuishi mbinguni tena, m
kuchafua mambo. Wengi walidan-
Mungu kwa hekima yake hakum- k
ganyika, wakijiunga pamoja naye,
haribu na kumwangamiza. Uti p
katika uasi huo.
Shetani alikuwa mwenye heshi- wa viumbe vya Mungu lazima usi-
mame juu ya haki yake tu. Kama y
ma kuu, na matendo yake yote
Mungu angemwangamiza shetani w
yalifunikwa na hali ya siri ajabu,
kabla ya viumbe wa Mungu hawa- w
hata haikuwezekana kwa ma-
jaona uovu wa udanganyifu wake, c
laika kuelewa mambo yake hasa.
wasingeelewa ukweli wa haki ya u
Dhambi haikueleweka mpaka ili-
Mungu. Kama angeangamizwa u
podhihirika wazi kabisa. Viumbe
mara moja viumbe vya Mungu v
watakatifu hawakuweza kufaha-
wangestuka sana na kujaa hofu, w
mu matokeo ya kuiacha sheria ya
hivyo wangemtumikia Mungu kwa n
Mungu. Mara ya kwanza shetani
hofu tu, wala si kwa hiari na upen- a
alidai kuwa analeta heshima ya
do. Kwa ajili ya mema ya viumbe y
Mungu na ufanisi wa wote wakaao
mbinguni. wote wa Mungu shetani aliachiwa
n
124

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 124 16-03-2009 14:30:58


i
kutoka katika makao ya raha ya
e
milele, mbinguni, alikubali bila
a
aibu na kukiri kuwa sheria ya
-
Mungu ina kasoro. Akitaja
a
sheria ya Mungu kuwa ni ya ki-
-
beberu inayowanyima viumbe uh-
a
uru. Akatangaza nia yake ya kui-
a
ondoa sheria hio na kuleta sheria
-
yake ambayo ni bora zaidi kuliko
i
hiyo ya Mungu, yake ni ya uhuru,
i
wala haina vikwazo.
-
,
Kufukuzwa Mbinguni
e
Shetani na jeshi lake walitupa
-
lawama ya uasi wao juu ya Kris-
-
to, kwamba, kama wasingalishur-
a
utishwa wasingaliasi. Hata hivyo
a
kwa shingo ngumu walizidi kudai
a
kuwa wamekatili watu kwa ngu-
-
vu bila haki. Walakini hata hivyo
i Hakuna kitu mahususi ambacho kingeng’oa
mizizi ya Sheteni kutoka kwa malaika wa
mwasi mkuu na wafuasi wake
-
mbinguni na ukamilifu wa heshima wa walifukuzwa kutoka mbinguni.
e ulimengu kama vita vikatili Ufunuo 12:7-9.
i juu ya Mwokozi wa ulimwengu.
Roho ya uasi ya Shetani bado ina-
muda aonyeshe kazi zake za uovu chochea hali ya uasi duniani kwa
a
mpaka kila kiumbe kione wazi na watu wenye hali ya kuasi. Kama
,
kufahamu ili katika kumharibu, yeye afanyavyo, huwaahidia watu
-
pasiwepo na ye yote atakayestuka. uhuru hali wamo katika kuiasi
i
Shetani na uasi wake wa sheria sheria ya Mungu. Uthibitisho wa
-
ya Mungu, vitakuwa ushuhuda dhambi hata leo huamsha chuki
a
wa madhara ya dhambi. Utawala kwa watu. Shetani huwaaminisha
i
wake utakuwa kielelezo cha kua- watu kwamba wao ni wenye haki,
-
cha sheria ya Mungu. Historia ya na kuwatafuta wengine waunge
,
utawala wa shetani, na uasi wake, mkono, katika hali yao ya kufanya
a
utakuwa fundisho la kudumu kwa dhambi. Hudai kwamba wale wa-
a
viumbe wote, kwamba Mungu ni naowathibitishia dhambi zao ndi-
u
wa haki na sheria yake ni ya haki yo wenye makosa, hufanya hivyo
,
na kweli. Viumbe wa Mungu wat- badala ya kujutia dhambi zao.
a
ajiepusha na dhambi, na adhabu Jinsi alivyosema mbinguni kuwa
-
yake. Mungu ni mkatili ndivyo ana-
e
Ilipotangazwa kwamba shetani vyowaingiza watu katika dhambi.
a
na wafuasi wake wanafukuzwa Hudai kuwa ukatili wa Mungu

125

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 125 16-03-2009 14:30:59


pale katika msalaba wa kalwari. g
Sasa hatia ya shetani haifichiki a
tena, nayo haina udhuru. Ame- a
onyesha tabia yake ya kweli jinsi k
ilivyo. Uwongo wa shetani juu s
ya kulaumu mpango wa Mungu n
umedhihirika kwa wote. Amem- a
shitaki Mungu kuwa ni mtaka K
makuu, ni mkatili, ni kibeberu, ni i
mpenda ubinafsi. Sasa ilionekana t
umewaingiza watu dhambini, sawa kuwa mtawala wa malimwengu, t
kama ulivyomwingiza yeye katika amefanya toleo la ajabu kwa up- s
uasi. endo. “Kwa kuwa Mungu aliku- s
Kitendo cha kumfukuza shetani wa ndani ya Kristo kuupatanisha c
kutoka mbinguni kilionyesha haki ulimwengu kwake mwenyewe”. n
ya Mungu na heshima yake. Laki- 2Kor. 5:19. Kristo alijinyeyekeza k
ni wakati mwanadamu alipokosa, na kuwa mtii mpaka mauti, ili ap- m
Mungu alithibitisha upendo wake ate kuiharibu dhambi. s
kwa kumtuma mwanawe ili awafie d
wakosaji. Katika upatanisho, tabia Hoja kwa Ajili ya Mwanadamu m
ya Mungu hudhihirishwa. Msala- Mbingu yote iliona haki ya Mun- a
ba wa Kristo ulidhihirisha kuwa
dhambi haikutokana na serikali
ya Mungu. Wakati wa huduma
ya Kristo duniani mdanganyifu
mkuu, shetani aliwekwa peupe.
Maneno yake ya kufuru kwamba
Kristo amsujudie, chuki ya ajabu
aliyokuwa nayo kwa Yesu akim-
winda mchana na usiku, alivyowa-
chochea makuhani wa watu, ili
wakatae upendo wake, na kupaza
sauti zao na kusema “Msulubishe,
msulubishe!” Hayo yote yalishan-
gaza malimwengu yote. Mwovu
huyu alitumia uwezo wake wote
ili amwangamize Kristo. Shetani
aliwatuma watu kama wajumbe
wake wa kuleta matatizo na huzu-
Msalaba wa Kalwari, ukidai kuwa sheria
ni katika maisha ya Yesu, alipoku- haibadiliki unatanganzia ulimwengu wote
wa hapa duniani. Hasira na ghad- kuwa mshara wa dhambi ni mauti. Katika
habu na kila aina ya mateso vyote uzoefu wa kilio cha mwokozi,
“Imekwisha”, kupigiliwa msumari
vilitumika kwa Mwana wa Mungu wakifo kwa shetani ulisikika.

126

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 126 16-03-2009 14:30:59


gu imedhihirika. Shetani alikuwa si huyu hatakuwa na la kujibu.
i amesema kuwa dhambi ya mwan- Kwa kilio cha Mwokozi msalaba-
- adamu haina cha kuiponya. La- ni, “Imekwisha” matanga ya Shet-
i kini kumbe, adhabu ya kuvunja ani yalitangazwa. Mashindano
u sheria ilimwangukia aliye sawa makuu yaliamuliwa, adhabu ya
u na Mungu, kwa hiyo, wamadamu mwisho ya uovu ilipangwa. Siku
- aliyekuwa huru, kuipokea haki ya itakapowadia iwakayo kama tanuri
a Kristo, na kwa njia ya toba, atash- …. Na wenye kiburi wote, na wa-
i inda nguvu za mwovu. Lakini Kris- tendao maovu, watakuwa makapi,
a to hakuja kumwokoa mtu vivi hivi na siku hiyo itayatekeleza, asema
, tu kwa kumfia. Alikuja ili aonye- Bwana wa Majeshi, isiliachie shi-
- she kwa malimwengu yote kuwa na, wala tawi” Malaki 4:1.
- sheria ya Mungu haibadiliki. Kifo Uovu hautainuka tena kamwe.
a cha Kristo kilithibitisha kuwa haki Sheria ya Mungu itaheshimiwa
. na rehema ndiyo msingi wa seri- kama sheria ya uhuru. Viumbe
a kali ya Mungu. Katika hukumu ya vyote vya Mungu vilivyokombole-
- mwisho itaonekana kuwa hakuna wa na vile vilivyoshuhudia shinda-
sababu ya kuibakiza dhambi ien- no hili havitainuka kamwe kwen-
delee. Wakati Mhukumu wa uli- da kinyume cha sheria ya Mungu,
mwengu atakapomwuliza shetani ambayo ni ya haki na uhuru na
- akisema “Kwa nini uliniasi? Mwa- upendo usiopimika.

127

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 127 16-03-2009 14:31:01


u
w
M
k
M
k
s
n
M
n
k
n
p
g

w
n
m
k
w

m
B
m
d
k
k
i
a
w

128

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 128 16-03-2009 14:31:02


30

Shetani Apigana
Na Binadamu

N
ami nitaweka uadui kati shetani. Kuichukia dhambi bada-
yako na huyo mwanamke, la ya kuipenda huonyesha kanuni
na kati ya uzao wako na ya mbinguni.
uzao wake; huo utakuponda kich- Uhasama baina ya Kristo na
wa, na wewe utamponda kisigino”. shetani ulionekana dhahiri wakati
Mwanzo 3:15. Uadui huu sio wa wa kuja kwa Kristo mara ya kwan-
kawaida. Mtu alipoasi amri ya za, jinsi ulimwengu ulivyompokea.
Mungu hali yake ya asili iligeuka Usafi na utakatifu wa Kristo
kuwa uovu, ikipatana na hali ya uliamsha chuki kubwa kati yake
shetani. Malaika waovu pamoja na watu wasiomcha Mungu. Hali
na wanadamu wakapatana. Kama yake ya kujikana nafsi ilikuwa
Mungu asingeingilia kati, shetani shutuma kwa mwenye majivuno,
na wanadamu wangalishirikiana mwenye tamaa. Shetani pamoja
kushindana na mbingu, na kwa na malaika waovu waliungana na
njia hiyo watu wote wangejiunga watu wafedhuli kumpinga mwe-
pamoja kuwa wapinzani wa Mun- nye ukweli halisi. Hali ile ile ya
gu. uhasama ilionekana kwa wafuasi
Shetani aliposikia kuwa kutaku- wa Kristo pia, wakipingana na ma-
wako uadui kati yake na mwa- ovu. Mtu yeyote anayepinga ma-
namke, na kati ya mzao wake na jaribu ya shetani huamsha chuki
mzao wa mwanamke, alifahamu yake na kumletea mashambulio.
kuwa kwa vyo vyote mtu atawezesh- Kristo na Shetani hawawezi kupa-
wa kuwa mpinzani wake. tana. “Wote wapendao kuishi mai-
Kristo aliuweka uadui katika sha ya utauwa katika Kristo Yesu
mwanadamu kumpinga Shetani. wataudhiwa” 2Tim. 3:12.
Bila kuwa na uwezo huu wa nee- Wajumbe wa Setani hutafuta ku-
ma uliowekwa kwa mwanadamu, wadanganya wafuasi wa Kristo, ili
daima angalikuwa mtumishi wa kuwaondoa katika njia nyofu ya
kutenda mapenzi ya shetani. La- kuafikiana na Kristo, ili kuwaon-
kini kanuni mpya rohoni mwa mtu doa katika njia nyofu ya kuafikiana
ilianzisha mashindano. Uwezo na Kristo. Huyapotosha maandiko
ambao Kristo alimpa mtu hum- ili kutimiza makusudi yao maovu.
wezesha kupingana na utawala wa Roho ile iliyomwua Kristo, ndiyo

129

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 129 16-03-2009 14:31:04


hiyo inayowaamsha waovu ku- wasiomcha Mungu, hujitia majari- M
waangamiza wafuasi wa Kristo. buni wenyewe. Shetani hujificha h
Haya yote ni kivuli cha lile tangazo asionekane, na halafu hushawishi 6
la kwanza la unabii kwamba, “Ni- watu bila kuonekana. d
tauweka uadui kati yako na mwa- Kuungana na desturi za dunia m
namke, na kati ya mzao wako na ili kuvuta watu kuwaleta waumini t
mzao wake” ulimwenguni. Kuzoeana na dham- l
Kwa nini shetani hakutani na up- bi huifanya isiwe mbaya sana. n
inzani mzito? Ni kwa kuwa askari Kama tukiletwa katika majaribu k
wa Kristo wanashikamana na Kris- tutakuwa na hakika kuwa Mungu y
to kidogo tu. Dhambi haiwachukizi atatulinda. Lakini tukijipeleka
kiasi kikubwa kama ilivyo mchuki- wenyewe majaribuni tutaanguka r
za Bwana wao. Hawakutani nayo tu bila shaka. k
wakiwa na nia kamili ya kuipinga. Kila mara majaribu hufaulu ku- w
Wamepofushwa na mkuu wa giza. wateka wale wanaoonekana kwam- K
Watu wengi hawajui kuwa adui yao ba wako mbali na mitego yake. t
ni jemadari hodari wa vita, akipin- uwezo na ujuzi wa vipawa vya w
gana na Kristo. Hata wachungaji, Mungu. Lakini vitu hivi vikiwaon- m
wahubiri wa Injili hupita tu bila goza watu kutoka kwake, hugeuka w
kujali kuwa adui yao halali daima. kuwa mitego. Watu wengi wenye d
Hujifanya kana kwamba hawajali uwezo wa akili na ujuzi mkubwa, f
kuwako kwake shetani. na hali safi, huwa vyombo miko- d
noni mwa shetani. a
Adui Mwangalifu Msisahau kamwe onyo lililotolewa a
Adui huyu mwangalifu hujiingi- zamani ambalo linatuhusu sisi wa w
za kila mahali bila kukaribishwa. siku hizi: “Mwe na kiasi na kuke- k
Huingia kwa kila nyumba, baraba- sha kwa kuwa mshitaki wenu ibil- d
ra, kanisa, mabarazani, mahaka- isi, kama simba angurumaye, hu-
mani. Kazi yake ni kutia wasi- zungukazunguka, akitafuta mtu
wasi, kudanganya, kushawishi, ammeze” “Vaeni silaha zote za
kuhadaa watu, kuangamiza roho
na miili ya wake kwa waume, watu
wazima na watoto na kuleta fujo
za kila aina. Huvunja nyumba za
watu na kutangua ndoa. Hupan-
da mbegu za chuki mashindano na
mauaji ya kila namna. Ulimwen-
gu huyaona mambo haya kama
kwamba yanaletwa na Mungu.
Wote ambao hawamfuati Kristo
ni wafuasi wa Shetani. Wakristo
wanapochagua kujiunga na watu Shetani anaamrisha jeshi lake lote na kuweka
nguvu zake zote kwa ajili ya mashambulio.

130

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 130 16-03-2009 14:31:05


- Mungu, mpate kuweza kuzipinga
a hila za shetani” 1 Pet. 5:8; Waefeso
i 6:11. Adui wetu mkuu anajian-
daa kabisa kwa shindano kuu la
a mwisho. Wote wanaomfuata Kris-
i to watahusika katika shindano hili
- la adui mkuu, Kadiri wakristo wa-
. navyomwigiza Yesu, ndivyo wata-
u kavyopambana na mashambulio
u ya mwovu.
a Shetani alimjia Kristo na maja-
a ribu makali: lakini alishinda kwa
kila jaribu. Ushindi huo unatu- Kuwa na talanta na elimu vinatamaniwa na
- wezesha hata sisi kushinda pia. kuheshimika, wengi wa watu walio na niia za
kuelimika na nidhamu nzuri, ambao
- Kristo atawapa uwezo wote wanao- hawatasimamisha uovu katika tabia zao,
. taka. Hakuna mtu atakayeshind- huwa ni vyombo vilivyonolewa katika mikono
a wa na Shetani bila ukubali wake ya Sheteni na kuongozwa katika matendo
maovu, hivyo huwa ni chombo
- mwenyewe. Mjaribu hana uwezo kilicho nolewa katika ya Shetani.
a wa kumlazimisha mtu atende
e dhambi. Anaweza kufanya itokee
, fujo au matatizo, lakini siyo kiten-
- do cha dhambi. Kwa kuwa Kristo
alishinda majaribu yote ya shet-
a ani, mambo hayo yatawapa shime
a wafuasi wake waendelee kupigana
- kishujaa na shetani katika vita vya
- dhambi.
-
u
a

131

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 131 16-03-2009 14:31:05


k
w
n
h
k
n
L
h

l
w
b
M
A
k
w
k
z
a
l

m
e
m

s
5
W
t
u
l
M

132

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 132 16-03-2009 14:31:05


31

Roho
Chafu

M
alaika wa Mungu na ma- kama wafu. Wakati mfalme Senaker-
laika wa Shetani yaani roho ibu aliomkufuru Mungu na kutisha
wachafu, huelezwa dhahiri Wana wa Israeli, malaika wa Bwana
katika Maandiko Matakatifu nao akatoka na kuwapiga Waashuri kati-
wamejihusisha katika Historia ya wa- ka matuo yao watu mia na themanini
nadamu. Malaika watakatifu ambao na tano elfu. Ezekieli 1:14; Mathayo
huwahudumia wale watakaorithi wo- 28:3-4; 2Fal. 19:35.
kovu, (Waebrania 1:14) hudhaniwa Malaika wa Mungu hutumwa kwa
na wanadamu kuwa ni roho za wafu. kazi nzuri kuhusu watu wa Mungu.
Lakini maandiko hueleza wazi kuwa Kwa Ibrahimu walileta ahadi za mi-
hawa sio zo roho za wafu. baraka; huko Sodoma kumwokoa
Kabla mtu hajaumbwa, malaika wa-
likuwako, kwa maana wakati msingi
wa dunia ulipowekwa, “nyota za asu-
buhi ziliimba pamoja, na wana wa
Mungu walipinga kelele za shangwe”.
Ayubu 38:7. Badala ya kuanguka
kwa mwanadamu dhambini, malaika
walitumwa ili kuulinda mti wa uzima
kabla mtu hajafa. Malaika wanawa-
zidi wanadamu maana mwanadamu
alifanywa “mdogo punde kuliko ma-
laika” Zab. 8:5
Nabii husema, “Nilisikia sauti za
malaika wengi pande zote za kiti cha
enzi” mbele ya mfalme wa wafalme
malaika hawa walikuwa tayari ili,
“Mtendao neno lake”. Na “Kusikiliza
sauti yake” “wasiohesabika” Ufunuo
5:11; Zaburi 103:20-21; Ebr. 12:22.
Wao huenda huko na huko kama wa-
tumishi wa Mungu. Huruka kama
umeme mbio yao ni ya ajabu. Ma-
laika aliyeonekana kwenye kaburi la Malaika huteuliwa kwa ajili ya wafuasi wa
Mwokozi, uso wake ulikuwa kama Kristo. Hawa walinzi wa mbinguni huweka
“umeme” aliwafanya walizi wazimie ngao ya haki kuwalinda na nguvu za mwovu.

133

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 133 16-03-2009 14:31:06


Lutu katika ajali; kwa Eliya, alipoku- yangu” Zab. 34:7 Mat. 18:10. Wato- a
wa karibu kuangamia jangwani: kwa to wa Mungu huzungukwa na hatari k
Elisha, katika gari la moto na farasi za mkuu wa giza, ambaye halali, la- k
wa moto; alipozungukwa na adui; kini wanahakikishiwa ulinzi kamili s
kwa Danieli, alipotupwa tunduni wa malaika, ambao haukomi. Wame- w
mwa simba; kwa Petro, alipofungwa hakikishiwa ulinzi hivyo kwa sababu s
na Herode ili auawawe, kwa wafunga adui mkuu anao wajumbe wengi ho- e
wa Filipi kwa Paulo, katika dhoruba dari wasiosinzia wanawakabili wana y
kali baharini; kwa Kornelio ili kufun- wa Mungu. w
gua mawazo yake apokee Injili: kwa Roho wachafu, hapo mwanzo wali- K
Petro, kupewa ujumbe wa wokovu umba wakiwa malaika wema wasio y
kwa mataifa. Hivyo ndivyo malaika na dhambi. Walikuwa wanalingana w
wa Mungu wanavyowahudumia watu sawa na malaika wema ambao ni M
wa Mungu. watumishi wa Mungu. Lakini wale k
walioanguka na kuasi, sasa wana- u
Malaika Walinzi fanya kazi ya kupingana na Mungu
Kila mfuasi wa Kristo huwekewa na sheria yake, pamoja kuwaharibu p
malaika wa kumlinda. “Malaika wa wanadamu. Waliungana na Shetani A
Bwana hufanya kituo, akiwazungu- katika uasi wake, na sasa wanafanya a
ka wamchao Bwana na kuwaokoa. kazi pamoja naye kupigana na mam- j
“Mwokozi alisema, kuhusu watu wa- laka ya Mungu. Historia ya Agano k
naomwamini, “malaika zao mbinguni la Kale hutaja kuwapo kwao. Lakini w
siku zote huutazama uso wa Baba wakati Kristo alipokuwa duniani roho w
j
t
z
m
H
m
m
h
t
l
b
K
w
m
w
b
r
m
h
M
z
w
Ukweli kuwa watu wamepagawa na mapepo, imeelezwa vizuri katika aganoa jipya. w

134

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 134 16-03-2009 14:31:09


- au malaika hawa walijidhihirisha ya nguruwe wao. Kwa hiyo wakam-
i kwa hali ya juu kabisa. Kristo alikuja wambia aondoke kwao aende zake.
- kwa ajili ya kuwaokoa wanadamu na Kristo aliwaruhusu pepo wawahari-
i shetani alidhamiria kuutawala ulim- bu nguruwe, kuwa kama kemeo kwa
- wengu. Alikuwa amefaulu kusimami- Wayahudi waliokubali kufuga wanya-
u sha ibada ya sanamu pote palipow- ma hao wachafu kwa ajili ya uchumi.
- ezekana, isipokuwa Palestina peke Kama Kristo asingewazuia wale pepo
a yake. pale tu ambapo shetani haku- wasingewaangamiza nguruwe peke
weza kusimamisha ibada ya sanamu, yao, bali hata wafugaji wao pia wan-
- Kristo alikuja akiinyosha mikono yake getoswa baharini.
o ya upendo akiwaita wote wamjie ili Zaidi ya hayo yote kitendo hivyo
a wapate amani, na msamaha kwake. kiliruhusiwa ili wanafunzi wapate
i Majeshi ya mwovu pia yalifahamu kuona uwezo wa shetani juu ya wan-
e kwamba iwapo kazi ya Kristo itafaulu, adamu na wanyama pia, ili wasikuba-
- utawala wao utakwisha. li madanganyo yake. pia lilikuwa ku-
u Watu waliokuwa wamepagawa na sudi lake kuwaonyesha uwezo wake
u pepo wachafu walielezwa wazi katika wa kuwafungua watu kutoka katika
i Agano Jipya. Wale walikuwa wamep- vifungo vya uovu. Ingawa Yesu alion-
a agawa na pepo hawakuwa na ugon- doka, mtu yule aliyeponywa kwa aja-
- jwa wa kawaida. Na Kristo alitambua bu alibaki huko akitangaza rehema za
o kuwa hawa ni wajumbe wa Shetani tu mponya wake.
i wanaowasumbua watu. Yule mwenda Matukio mengine yaliandikwa pia.
o wazimu wa Gadara, alivyokuwa aki- Binti wa mwanamke wa msirofoini-
jiharibu na kuharibu watu walioku- ki aliyekuwa amepagawa na pepo
tana naye, au nao, maana walikuwa ambaye Yesu alimponya kwa neno.
zaidi ya moja, walitenda hivyo kwa (marko 7:26-30); kijana ambaye ali-
msukumo wa hawa pepo wachafu. kuwa akipagawa na pepo na kutupwa
Hali yao ya majeraha na upotevu wa motoni na majini mara nyingi ili am-
mawazo huonyesha dhahiri kazi ya haribu, (Marko 9:17-27); mwenda
mwovu Shetani. Mmoja wa mapepo wazimu aliyekuwa na pepo, ambaye
hao alisema “Jina lake Legion, maana alifanya ghasia siku ya sabato huko
tu wengi” Marko 5:9. Katika jeshi Kapernaumu, ambaye Yesu alimwam-
la Kirumi, legioni ni kikosi cha watu uru asimsumbue tena (Luka 4:33-36).
baina ya elfu tatu mpaka elfu tano. Wote hao waliponywa na Mwokozi.
Kwa amri ya Kristo mapepo wachafu Karibu kila tukio Kristo aliwaamuru
walimtoka mtu huyo, hali akiwa sawa mapepo kana kwamba ni wenye akili
mwenye akili kamili. Lakini pepo wale na kuwaagiza wasiwasumbue tena.
waliwaingia nguruwe wakawatum- Waliokuwa wakiabudu Kapernaumu,
bukiza haharini. Wenyeji wa Gada- walishangaa, wakaambiana wao kwa
ra badala ya kuwa na shukrani kwa wao, “Ni jambo gani hili! Kwa nini
mponyaji huyu aliyemponya maskini uwezo na kwa nguvu, huwaamuru
huyu, wakamwambia aondoke kwao. pepo, nao huwatoka. Luka 4:36.
Mathayo 8:L22-34. Shetani akawa- Watu wengine walikubali kushiriki
zuia watu hao wasiupokee ujumbe mambo ya kishetani ili kusudi wapate
wa Kristo, kwa kuwachochea wenyeji uwezo ambao si wa kawaida. Watu
waone kuwa Yesu amewatia hasara kama hao hawakuwa na tatizo la pepo

135

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 135 16-03-2009 14:31:09


Hakutakuwa na udaganyifu mkuu na wakuogopesha ambao utaambatana na mbinu zake kiasi
cha sisi kuzoea mbinu zake. Katika wakati mmoja ataonekana kama
Kristo ili audanganye ulimwengu wote.
wachafu. Katika watu wa aina hiyo njia zake. Hupendezwa sana anapod-
walikuwemo wenye nguvu ya uagu- haniwa kuwa kitu ovyo, mwenye sura
zo. Simon Magnus, Elimas mchawi, chafu, jitu lisilo la maana. Hufurahi
na yule kijakazi aliyewafuata Paulo asikiapo jina lake likitajwa ovyo ovyo
na Sila huko Filipi, Matendo 8:9, kimzaha. Maana mwenyewe anajif- k
18: 13:8; 16:16-18. Hakuna watu anya kuwa kitu cha ovyo. Kwa hiyo z
walio katika hatari kuu, ila ni watu hujiuliza Je, kitu cha aina hiyo g
wale wanaobisha kwamba hakuna kweli kipo?” kwa ajili ya ujanja wa
mashetani na pepo wachafu ambao shetani ndivyo sababu neno la Mun-
ni malaika wa Shetani. Wengi hu- gu hutufunulia siri zake, ili tujihad-
fuata mashauri yao, huku wakid- hari naye.
hani kuwa wanafuata mashauri ya Tunaweza tu kupata usalama kwa
nia zao wenyewe. Kadiri tusoge- Mwokozi wetu mwenye uwezo kuliko
leavyo mwisho wa wakati, ambavyo wake. Kila mara hulinda nyumba na
shetani anafanya juhudi kubwa ku- watu waovu, lakini ni mara chache
wahadaa watu, hueneza habari po sana tujihadhari na mashambulio ya
pote kuwa yeye hayuko. Kawaida Ibilisi, ambayo kwa nguvu zetu we-
yake ni kujificha asitambulikane nyewe hatuyawezi. Kama akiruhusi-
wakati anapofanya kazi yake ya wa, atapotosha nia zetu, atavuruga
udanganyifu. miili yetu, ataharibu mali zetu, na ku-
Mdanganyaji mkubwa huyu huogopa tuangamiza. Lakini wafuasi wa Kristo
kwamba akijidhihirisha tutang’amua wako salama katika ulinzi wake. Ma-
hila zake. Kwa hiyo hajifunui wala laika wenye uwezo mkuu hutumwa

136

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 136 16-03-2009 14:31:10


i

-
a
i
o
- kuwalinda. Mwovu na waovu wen-
o zake hawawezi kupenya ngome Mun-
o gu aliyowazungushia watu wake.
a
-
-

a
o
a
e
a
-
-
a
-
o
-
a

137

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 137 16-03-2009 14:31:12


m
m
K
A
t
a
s
a
m
L
l
k
g
k

p
k
r
u
A
n
h
z
w
m
k
k
k
g
k
l
138

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 138 16-03-2009 14:31:14


32

Jinsi Ya
Kumshinda Shetani

M
ashindano makuu baina yatamzuia asiusikie ujumbe huo.
ya Kristo na Shetani kari- Shetani huwaona watumishi wa
bu yatakwisha; kwa hiyo Mungu wakiwa na mzigo kwa ajili
mwovu Shetani anajitahidi sana ya giza linalowafunga washiriki.
mara mbili ili kuishinda kazi ya Huwasikia wakiomba Mungu awa-
Kristo anayowafanyia wanadamu., saidie katika hali yao ya ulegevu.
Anakusudia kuwashikilia watu ka- Kisha kwa nguvu mpya huwavuta
tika giza la kutoamini mpaka Kristo wafuate mambo mengine labda ya
amalize kazi yake ya kuwapatani- ulafi, au ubinafsi, ili kuwapumba-
sha wanadamu. Hali ya ubaridi in- za wasiweze kupambanua mambo
apotokea kanisani shetani hutulia, ya lazima wanayohitaji.
maana hayo ndiyo matakwa yake. Shetani anajua kuwa wote ambao
Lakini watu wanapoamka na kuu- hawajali maombi na kusoma Biblia
liza swali: “Tufanye nini ili tupate hawawezi kuyashinda mashambu-
kuokoka?” Basi huamka na kuin- lio yake. Kwa hiyo huvumbua kila
giza hali ya kupotosha, ili kupinga aina ya vitu vyenye kuwashughuli-
kazi ya Kristo na Roho Mtakatifu. sha hata wakose nafasi ya kuomba
Wakati fulani malaika wali- na kusoma. Wasaidizi wake wako
pohudhuria mbele za Bwana ili
kuabudu, shetani pia alihudhu-
ria, sio kuabudu bali kuendeleza
udhalimu wake wa kupinga haki.
Ayubu 1:6. Wakati wakristo wa-
napokusanyika kwa ibada, naye
huhudhuria ili kuyapotosha mawa-
zo ya wenye kuabudu. Anapoona
watumishi wa Mungu wanaandaa
mahubiri, yeye naye huyanakili, ili
kuyapotosha kwa ujanja, kabisa
kusudi yasiwafikie watu kama ita-
kwiavyo, hasa kwa wale aliowadan- Hakuna nafsi amabayo haina madhara pale
ganya. Mtu ambaye angepaswa watu wanapoamini hii nimoja ya uongo un-
aofaulu sana wa Shetani. Anafahamu kuwa
kuusikia ujumbe huo, hushughu- wale wanaopokea ukweli kwa upendo wake,
lika na mambo mengine ambayo moyo wa mpokeaji hutakaswa.

139

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 139 16-03-2009 14:31:16


tayari kabisa kuleta upinzani kati- upande, wakaacha neno la Mungu n
ka mambo ambayo Mungu anawa- na kufundisha mambo mengine. h
tendea waadamu. Watawaonyesha Hivyo wenye imani potofu ambao d
watumishi hodari wa Mungu kama wanauhafifisha ukweli wa Biblia k
watu waliodanganyika na wadan- na imani ya kweli, hawakukubali- u
ganyaji. Ni kusudi lao kupotosha wa na watumishi hawa wa Mungu
kila kusudi jema, na kazi bora, ili ambao walikuwa watetea kweli. B
kutia mashaka kwa watu ambao Maelezo hafifu na mapotofu ya
hawana uzoefu na ujuzi mwingi. Maandiko Matakatifu na imani po- m
Hutia kasoro na masuto kwa kila tofu katika makanisa ya ulimwen- u
kazi njema. Lakini watu hao wata- gu ambayo huleta mapingano na k
fahamu baadaye wale wanaomfua- mafarakano, ni kazi ya mdangany- k
ta na kumtumaini. “Mtawatambua aji mkuu ili kupotosha mawazo ya n
kwa matunda yao”. Mathayo 7:16; watu. Mafarakano na tofauti ka- b
ufunuo 12:10. tika makanisa ni matokeo ya kua-
cha ukweli wa maandiko Matakati- i
Ukweli Hutakasa fu, ili kuunga mkono nia zao. n
Mdanganyifu mkuu anazo hila Uli kusudi wapate uthibitisho wa n
nyingi sana alizoandaa ili kuwap- nia zao, wengine husoma sehemu u
otosha watu wa aina mbalimbali ya maandiko wakidhani kuwa in- m
ambao atawapata. Ni nia yake awaunga mkono ambavyo fungu h
kuingiza watu kanisani ambao sio zima la maandiko huwapinga. t
waongofu ili alete mashaka na hali Kwa ujanja wa yule joka huyaten- t
ya kutoamini kwa wakristo kwa geneza yapate kufaa kwa njia po- m
ajili ya hao. Watu ambao hawana tofu yadhaniwe kuwa yamo katika M
imani kwa Mungu huingia na ku- ukweli. Wengine hutafsiri mifano t
shika kanuni kanisani na kuhes- w
abiwa kuwa ni wakristo, kwa k
hiyo huingiza mambo ya kikafiri z
kanisani, na kuhesabiwa kuwa
ni sehemu ya ukristo. Shetani f
anajua kuwa ukweli ukipokelewa a
kamili mioyoni hutakasa mai- t
sha. Kwa hiyo hutafuta kuingiza k
mafundisho ya uongo yahesabike w
kuwa ni sehemu ya Injili. Tangu p
mwanzo watumishi wa Mungu wa- k
likuwa wakishindana na waalimu y
wa uongo sio kuwa ni watu waba-
ya tu, bali ni waangamizaji halisi. Wakati kujifunza Maandiko kunapofanyika n
bila maombi, na unyenyekevu, na roho ya
Eliya, Yeremia, Paulo waliwap- kufundishika, aya rahisi na iliyowazi na ile
W
inga vikali watu ambao waligeuka ngumu italeta upinzani na ugumu na ukweli r
wake utahamishwa.

140

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 140 16-03-2009 14:31:19


u na vielelezo kwa upande wao, wala na Biblia hupotea katika majaribio
. hawajali ukweli wote wa maan- yao ya uhusianisho baina ya say-
o diko. Kisha huleta makosa yao ya ansi na Biblia kama inavyofunua
a kuieleza Biblia vibaya kuwa ndiyo elimu halisi.
- ukweli wa Biblia. Elimu ya kibinadamu ina sehemu
u tu na sehemu nyngine siyo kamili.
Biblia Nzima ni Kiongozi
a Wakati Biblia inaposomwa bila
- maombi, bila kuwa na nia ya kujif-
- unza, ukweli wake utapotoshwa na
a kudhanikuwa Biblia inasema hivi,
- kumbe siyo maana yake. Biblia
a nzima lazima isomeke kikamilifu
- bila kuhafifisha sehemu yo yote.
- Mungu alitoa neno la unabii lililo
- imara, malaika na hata Kristo mwe-
nyewe alikuja kumjulisha Danieli
Wale waliotayari kupokea kilicho chepesi, na
a na Yohana mambo yatakayokuwa ukweli unaokata wa Biblia wataendela
u upesi sana “Ufunuo 1:1 mambo kutafuta yale yatakayo tosheleza
kiu ya dhamira yao.
- muhimu yahusuyo wokovu wetu
u hayakufunuliwa kwa njia ya ku-
. tatanisha watu, kiasi cha kupo- Kwa hiyo wengi hawawezi kuhu-
- teza wengine, bali yako wazi kwa sianisha sayansi na Neno la Mun-
- mtu anayeutafuta ukweli. Neno la gu. Hujiendea tu na kujidhania
a Mungu liko wazi kwa mtu anayeu- kuwa wenye elimu, wasilitambue
o tafuta ukweli. Neno la Mungu liko Neno la Mungu lielezavyo sayansi
wazi kwa mtu yeyote anayelisoma halisi. 1Tim. 6:20. Kwa kuwa wa-
kwa roho ya maombi na kujifun- nashindwa kueleza Mwumbaji na
za. kazi zake katika vita vya asili, na
Kule kuwa wafadhili kumewapo- sheria za asili, habari zinazoelezwa
fusha wengi wasigundue hila za katika Biblia huziona kuwa si ya-
adui wao. Amefaulu kuwapo- kini, na hafifu. Watu wasiotumaini
toshea maana ya Biblia halisi na habari za Agano la kale na Agano
kuweka badala yake maelezo ya Jipya, mara nyingi huendelea kiasi
watu. Sheria ya Mungu imetu- cha kutoamini kuwa Mungu yuko.
piliwa mbali, na makanisa yamo Basi kinachowabakia ni kutan-
katika utumwa wa dhambi, wakati gatanga tu, kama meli isiyokuwa
yakidhani kuwa yako huru. na nanga. Huendelea kuishi ka-
Mungu amewajalia watu wawe na tika ukafiri, Ni makusudi ya Shet-
nuru nyingi ya elimu ya sayansi. ani kuwashikilia watu katika giza
Walakini hata wataalamu maa- la kubahatisha bahatisha, na ku-
rufu wa elimu kama hawaongozwi jaribu kugundua mambo ambayo

141

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 141 16-03-2009 14:31:20


Mungu hakuyadhihirisha. Shetani naukataa ukweli wa Biblia, kwani y
au Lusifa hakuridhika kwa sababu unahusiana na msalaba. Wote t
Mungu hakumfunulia siri zake, na wanaofuata kanuni ya kupendeka
makusudi yake, na sasa anawatia ulimwenguni, wataachwa wapokee k
watu nia ya namna ile ile, hata wa- uharibifu usiokawia” 2Pet. 2:1. p
sijali amri za Mungu. Wote wanaoangalia udanganyifu F
kilegevu watapambana na hatari. w
Kweli Ilikataliwa kwa Kuwa “Kwa hiyo Mungu atawaletea ngu- k
Huhusu Msalaba. vu ya upotevu, wauamini uongo, a
Kwa kadiri mambo ya kiroho ya- ili wahukumiwe wote ambao ha- “
napopuuzwa, na mkazo wa ku- wakuiamini kweli, bali walikuwa 2
jikana nafsi unapofifia, ndivyo wakijifurahisha katika udhalimu”. k
watu wanavyopenda na kujiingiza 2Thes. 2:11-12.
kwa wingi makanisani. Shetani h
huwa tayari kutoa mambo kama Makosa ya hatari m
hayo yasiyohitaji mkazo wa kiro- Baadhi ya makosa ya hatari am- y
ho. Badala yake huleta maneno bayo Mwovu hutumia kwa ufanisi h
rahisi yenye kupendeza masikioni zaidi ni ishara za uongo za kuongea h
mwa watu. Hivyo ndivyo mapapa na wafu. Watu wanapokataa uk- b
walivyopata nafasi ya kujiimari- weli huangukia ndani ya madan- h
sha na kupendelewa. Na Wa- ganyo. h
protestanti wanafuata barabara Kosa jingine ni kule kukana k
ya namna hiyo, ndiyo maana wa- Uungu wa Kristo, wakisema kuwa s
kabla ya kuzaliwa hapa duniani, f
hakuwako kamwe. Jambo hili K
hupingana na elezo lake mwe- s
nyewe linalozungumza juu ya uhu- w
siano wake na Baba yake kabla ya y
kuja hapa duniani. Fundisho hili k
huharibu ukweli wa Biblia kuhu- m
su uhusiano huo. Iwapo watu w
wanakanusha ushahidi wa Biblia
kuhusu Uungu wa Kristo, ni kazi
bure kubishana nao. Hakuna hoja
itakayowaamisha. Mwenye kushi- m
kilia mambo hayo hawezi kufaha- v
mu habari za Kristo, wala mpango k
wa Mungu wa wokovu wa Biblia. k
Katika mojawapo ya mbinu zinazofaulu sana Kosa jingine ni kule kukanusha u
za yule mwongo ni viini macho vya kufanya kuwa shetani siye kiumbe kami- c
miujiza ya umizimu. Akijifananisha na ma-
laika wa nuru, husambaza nyavu zake kwa
li chenye utu na nafsi. Husema u
upana usiotegemewa. kwamba jina hilo hutumika kuon- M

142

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 142 16-03-2009 14:31:25


i yesha mawazo ya watu waovu na
e tamaa zao ovu.
a Kosa jingine ni lile lifundishwalo
e kwamba kuja kwa Kristo mara ya
. pili ni kule kunakotukia mtu afapo.
u Fundisho hilo hupotosha ukweli
. wa Biblia kuhusu kuja kwake kati-
- ka mawingu ya mbinguni. Shetani
, amekuwa akiwaambia watu kuwa,
- “Tazameni yuko sirini” Mathayo
a 24:23-26. na wengi wamepotea
. kwa kuamini uongo huo.
Tena wanasayansi husema kuwa
hakuna jawabu la kweli katika
maombi. Hilo ni uvunjaji wa sheria
- ya kawaida ya miujiza, na miujiza
i haipo. Husema kuwa ulimwengu
a hutawaliwa na sheria za asili, am-
- bazo Mungu hahusiki nazo. Hivyo
- huonyesha kwamba Mungu pia Mbinu nyingine ambayo ni yakushangaza
hutawaliwa na sheria hizo, kana sana na inaenea sana ni kuwaigiza watu
a kwamba yeye hana la kufanya na waliokufa kama watu hai tena.
a sheria hizo. Je, Kristo na wana- yamekwaza watu wengi na kuwatia
, funzi wake hawakufanya miujiza? mashakani. Inakuwa vigumu kwa
i Kristo yule yule yu tayari kusikiliza mtu kupokea ukweli ambao ndani
- sala za watu wake, sawasawa na yake anakuta dhuluma, ukatili, na
- wakati ule alipokuwa akiishi kati ubatili.
a yao. Ni mpango wa Mungu kwetu Neno la Mungu linaonewa kiji-
i kujibu maombi yetu, na kutenda cho upande, kwa sababu huke-
- maajabu, ambayo kama tusingem- mea dhambi. Wale wasiotaka ku-
u womba, yasingelitendeka. litii hulikataa. Wengi hulikana ili
a lisiwaingilie katika mipango yao.
i Vionyesho Vya Neno Wengine hulikataa kwa sababu
a Makosa yanayofundishwa huwazuia wasiwe wataka makuu.
- makanisani huondoa vionyesho Wengi huona kuwa ni vyema
- vya Neno vilivyowekwa na Mungu kusimama upande wa watu wa-
o katika Neno lake. Wachache hu- sioamini wenye kutatanika na ku-
kataa ukweli fulani na wengine tangatanga na watu wenye adili,
a ukweli mwingine, mwisho hua- ila mambo hayo yaliyotajwa, huya-
- cha kweli na kuendesha hali ya ficha ndani. Wengi hutafuta kitu
a umizimu katika jina la kanisa. katika Biblia cha kuwagongea
- Makosa ya wataalamu wa Biblia wengine. Na wengine hujipanga

143

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 143 16-03-2009 14:31:26


mtu atakayeimarisha imani yake
bila kujitahidi. Watu wakijilegeza,
mashaka yatawagharikisha.
Wala wenye mashaka, wasiamini
humdharau Kristo. Wao ni miti
isiyozaa, na huzuia miti mingine
isipate nuru huwafunika na maja-
ni yao yanayozuia mwanga wa jua
usiwafikie. Maisha ya watu hawa
watawashuhudia kama watu wa-
siofaa.
Kuna njia moja ya kufuata kwa
Mungu ametoa ndani ya neno lake maelezo ya
kutosha kuhusu tabia yake. Ukweli kuhusu wale wenye mashaka. Badala ya
wokovu wetu viko wazi. kushughulika na mambo ambayo
kwanza upande mbaya ili wapate hawayajui wakazanie nuru ile
kubishana na baadaye hupatia waliyokwishaangaziwa na ndipo
huko kutokomea ukafirini. watapokea nuru zaidi. k
Shetani ataleta vitu vinavyofa- k
Ushahidi Utoshao nana na ukweli ili uwapotoshe a
Mungu ametoa ushahidi utoshao wenye mashaka. Lakini hawezi a
katika Neno lake kuonyesha tabia kamwe kumpotosha mtu mtafuta
yake halisi, walakini mawazo hafi- ukweli kwa uaminifu. Kristo ndi- m
fu ya binadamu hayawezi kufaha- ye kweli, “Nuru inayomwangazia y
mu mawazo ya Mungu. “Jinsi zili- kila mtu ajaye ulimwenguni” “Mtu
vyokuu, tajiri, hekima na maarifa akipenda kuyatenda mapenzi yake
ya Mungu! Hukumu zake hazic- atajua habari ya yale mafunzo.
hunguziki, wala njia zake hazita- “Yohana 1:9; 7:17.
futikani” Warumi 11:33. Tunawe- Bwana huwaruhusu watu wake
za kuufahamu upendo wa Mungu waingie majaribuni, si kwa kuwa
kwa uwezo wake tu. Baba yetu wa anapendezwa iwe hivyo, ila kwa
mbinguni atatufunulia kadiri ya sababu ni muhimu kwao kwa ajili
vile inavyotufaa, ili tuweze kufaha- ya ushindi wao wa mwisho. Ange-
mu zaidi ya hayo tumtumaini tu. taka kuwaficha wasiingie majaribu
Mungu hawezi kuondoa udhuru kwa utukufu wake, lakini hafanyi
wa kutoamini. Wanaotafuta vicha- hivyo, kwa kuwa majaribu hu-
ka vya kujificha ili wasiamini wat- waandaa kushindana na hali zote
avipata. Na wale wanaotoa vikwa- za uovu. Hakuna kitakachowa-
zo vyote viondoke kwanza ndipo tenga na Mungu, wale wanaomtu-
waamini, hawatafikia nuru. Roho maini kamili. Hakuna kitu, shetani
isiyoongoka ni adui wa Mungu. au wanadamu waovu hawetaweza
Lakini imani inayochochewa na kuwatenganisha na Mungu. Kila
Roho Mtakatifu itastawi. Hakuna jaribu la wazi au la siri linaweza

144

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 144 16-03-2009 14:31:28


e anajua kuwa mtu mnyonge anay-
, emtumaini Kristo, huwa na nguvu
kuliko majeshi yote ya mwovu. Kwa
i hiyo hutafuta kuwatoa askari wa
i msalaba watoke katika ngome yao,
e aliwashawishi kutoka apate ku-
- waaangamiza wote watakaothubu-
a tu kutoka. Kuambatana na Mun-
a gu na kushikilia ari zake tu, ndipo
- tutakuwa salama.

a Hakuna mtu atakayekuwa sala-


Balamu anakutana na malaika,
a Hakuruhusiwa kutoa laana kwa watu wa ma kwa siku au saa bila maombi.
o Mungu, Lakini alifanikiwa kutumia mbinu za Msihi Bwana akupe hekima ujue
kulaghai na kuingiza dhambi.
e Ndipo walipojitenga na ulinzi Mungu.
Neno lake. Shetani ni hodari ku-
o soma Maandiko, akiyatafsiri kama
kushindwa, “si kwa ushujaa au aonavyo, hasa sehemu anazoona
- kwa nguvu, bali kwa Roho yangu, kuwa zitakunasa. Tunapasa kuji-
e asema Bwana wa majeshi”. Zek- funza kwa unyenyekevu na kuom-
i aria 4:6. ba, wakati wote katika imani, ili
a “Ni nani atakayewadhuru, iwapo tupate kujua hila za shetani. Ombi
- mnafuata mambo ya kweli na yali- letu na liwe: “Usitutie majaribuni”
a yo mema?” 1 Pet. 3:13. Shetani Mathayo 6:13
u
e
.

e
a
a
i
-
u
i
-
e
-
-
i
a
a
a

145

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 145 16-03-2009 14:31:30


w
M
r
M
s
a
k
k
d
l

e
a
c
k
c
k
z
a
y
h
a
a
n
i
y
M
m
a
h

146

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 146 16-03-2009 14:31:30


33

Baada ya
Kufa Kuna Nini?

S
hetani ambaye alianzisha anajua ya kwamba siku mtakay-
uasi huko mbinguni, ana- okula matunda ya mti huo mta-
tamani kuwaunga weneyji fumbuliwa macho, nanyi mtakuwa
wa dunia hii katika vuta yake na kama Mungu mkijua mema na
Mungu. Adamu na hawa kwa fu- mabaya”. Mwanzo 3:1-5.
raha walikuwa watiifu wa sheria ya Hawa akakubali kushindwa,
Mungu, utii wao ulikuwa hakiki- na kwa mvuto wake Adamu naye
sho la daima kwa madai ya Shet- akaingia dhambini. Wote wakay-
ani kwu sheria ya Mungu ni ya akubali maneno ya nyoka, waka-
kukandamiza. Shetani aliazimia onea mashaka maneno ya Mwum-
kuwaangusha, ili apate kutawala baji wakaona nafsini mwao kuwa
duni hii, na kuusimamisha utawa- aliingilia uhuru wao.
la wenye kupingana na Mungu. Lakini Adamu aligundua nini
Adamu na hawa walikuwa wam- maana ya maneno ya Mungu, “Siku
etahadharishwa kuhusu hatari ya mtakayokula matunda ya mti huo,
adui huyu. Lakini Shetani alijifi- mtakufa hakika? Je, yalikuwa na
cha kabisa akitenda mambo yake maana ya kumzuia asiingie katika
kisirisiri. Akimtumia nyoka kama hali bora zaidi? Adamu hakuona
chombo chake, nyoka ambaye ali- kuwa maana ya maneno ya Mungu
kuwa kiumbe kizuri alimzungum- ilikuwa hivyo alivyosema nyoka.
zia Hawa, akisema, “Eti hivi ndivyo Mungu akasema kuwa adhabu
alivyosema Mungu, msile matunda
ya miti yote ya bustanini?” hawa
hakuthubutu kushauriana na
adui akaanguka kwa ulaghai wake
adui; “Mwanamke akamwambia
nyoka; Matunda ya miti ya bustan-
ini twaweza kula; lakini matunda
ya mti ulio katikati ya busatani
Mungu amesema Msiyale wala
msiyaguse msije mkafa. Nyoka
akamwambia mwanamke, hakika
Kutokufa, kuliahidiwa mwanadamu kwa
hamtakufa; kwa maana Mungu sharti la kutii, ukabadilishwa na uasi.

147

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 147 16-03-2009 14:31:33


ya kutotii maneno yake ni kurudi huko Edeni, alisema, “Hamtaku- k
mavumbini, yaani kufa. “Maana fa hakika”. Hilo lilikuwa tangazo r
wewe ni mavumbi, na mavumbini lake la kwanza kuhusu kutokufa d
utarudi”. Mwanzo 3:19. Mane- kwa roho. Walakini tangazo hili h
no ya shetani kuwa, macho yenu ambalo ni uwongo wa Shetnai ni b
yatafumbuliwa, yalikuwa na uk- mwangwi unaohubiriwa na wa- k
weli tu katika sehemu hii, maana hubiri wengi, na hupokelewa na S
macho yao yalifumbuliwa wakaona watu maelfu, sawa kama vile lili- k
upumbavu wao. Wakajua mabaya vyopokelewa na wazazi wetu wa w
na kuonja uchungu wa matunda kwanza. Tangazo la Mungu ni k
ya uasi wao. hili” “Roho itendayo dhambi ita- t
Mti wa uzima ulikuwa na uwezo kufa (Eze. 18:20) lakini Shetani g
wa kuendeleza uzima. Adamu ali- akageuza kuwa, maana yake ni m
kuwa na hiari ya kuuendea mti roho itendayo dhambi haitakufa. j
wa uzima bila kikomo na kuyafu- Kama mtu ageruhusiwa kutwaa M
rahia matunda yake, naye angei- matunda ya mti wa uzima baada h
shi milele. Lakini alifanya dhambi ya kukosa, dhambi ingedumishwa b
akazuiliwa asiyale tena matunda milele. Lakini hakuna hata mmoja S
ya mti wa uzima, hivyo akawa mtu wa wazao wa Adamu aliyeruhusi- k
wa kufa. Hali ya kutokufa ilikuja y
kwa ajilia ya uasi, na mwanadamu u
asingekuwa na tumaini lolote la h
kuishi milele, kama Mungu kwa
rehema zake asingemtoa Mwa- f
nawe kuwa dhabihu kwa ajili ya w
dhambi za mwanadamu. “Mauti k
ikawafikia watu wote, kwa sababu w
wote wametenda dhambi” Kristo N
Yesu aliyebatilisha mauti na ku- h
funua uzima na kutokuharibika B
kwa ile Injili” Ni kwa njia ya Yesu Ni ukatili wa kuhuzunisha wa kila tendo la k
tu ndipo hali ya kutokufa hupa- upendo na huruma, hata katika fahamu zetu m
za haki, ni msingi unaosema kuwa
tikana. “Amwaminiye Mwana yu waovu waliokufa huteseka na moto
m
na uzima wa milele, asiyemwami- huko jehanamu milele zote. m
ni Mwana hataona uzima” Rumi m
5:12; Tim 1:10; Yohana 3:36. wa kula matunda ya uzima. Kwa
hiyo hakuna mwenye dhambi am- m
Uwongo Mkuu baye hudumu milele. w
Aliyewaahidi watu uzima kwa Baada ya anguko la mwan- v
kutotii sheria, alikuwa mwongo adamu, shetani aliwaagiza malai- z
mkuu, na mdanganyaji mkuu. ka zake wawafundishe wanadamu J
Akizungumza kwa njia ya nyoka waamini kuhusu umilele wa roho, w

148

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 148 16-03-2009 14:31:37


- kwamba hata kama mtu amekufa, Mungu Mwenyenzi mwenye pen-
o roho yake huendelea kuishi. Baa- do? Hayo ni makufuru na matusi
a da ya kuwaaminisha watu namna kwa Mungu. Utukufu wa Mun-
i hiyo, huwaongoza waamini kwam- gu hauongezwi na kustawishwa
i ba mtu mbaya afapo huendelea kwa mateso ya dhambi milele na
- kuteseka katika uharibifu milele. milele.
a Sasa mwovu huyu hutupa lawama
- kwa Mungu kwamba huwaadhibu
a wote ambao hawampendezi, na ya
i kwamba wakati wanapoteseka mo-
- toni namna hii, Mungu huwachun-
i gulia na kutosheka. Hivyo ndivyo
i mwovu anavyompaka Mwumba-
. ji matope. Ukatili ni wa shetani.
a Mungu ni Upendo. Shetani ndiye
a huwashawishi watu kufanya dham-
a bi na kuwaharibu ikiwa anaweza.
a Shetani hupindua mafundisho
- kuhusu upendo, rehema, haki,
yakaonekana kuwa machukizo ya
ukatili wa kutesa watu katika moto
huko ahera milele na milele.
Je, katika Neno la Mungu ma-
fundisho ya jinsi hiyo yanapatikana Nadharia ya kuteseka milele zote ni moja ya
wapi? Hali ya kawaida ya kujisikia msingi wa uongo ambao ni jumuisho la mvinyo
wa Babiloni, ambao huwanywesha
kwa kibinadamu ndiyo ilinganish- mataifa yote.
we na ukatili wa kishetani? La,
Neno la Mungu halifundishi namna
hiyo “Kama mimi niishivyo, asema
Bwana Mungu, sikufurahii kufa Uzushi Kuhusu Mateso ya
kwake mtu mwovu; bali aghairi Milele.
mtu mwovu na kuiacha njia yake Mwovu ameleta uzushi wa ma-
mbaya, akaishi, ghairini, ghairini, fundisho kuhusu mateso ya milele.
mkaache njia zenu mbaya; mbona Dini ya Biblia yenye kujaa pendo
mnataka kufa?” Eze. 33:11. na wema wa kila hali, imetiwa giza
a Je, Mungu hupendezwa kuona na kufunikwa na hali ya hofu na
- mateso ambayo hayana mwisho ya ushirikina. Shetani amechafua
watu wake? Je, hufurahia kuona tabia ya Mungu kwa kumsingizia
- viumbe wake wakiomboleza siku mambo ya kila namna. Mwum-
- zote katika moto anaowachoma? baji wetu mwenye rehema ana-
u Je, vilio hivyo vya huzuni vinaku- hesabiwa kana kwamba ni mkatili
, wa nyimbo tamu za kusikilizwa na mwenye kuogopwa kwa hofu na

149

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 149 16-03-2009 14:31:41


kutetemeka kiasi cha kuchukiwa. Wokovu wa Jumla Maandiko g
Hali ya kutisha ya tabia ya Mun- Hayausemi. w
gu imeelezwa ulimwenguni pote Watu wanaoamini kuwa uko
na wahubiri, hata imewafanya wokovu wa jumla, hufuta maan- w
watu mamilioni kuwa watu wenye diko ya Biblia. Wahudumu wa k
mashaka kwa Mungu na wakafiri. Kristo huukariri kariri uwongo s
Fundisho la mateso ya milele ule nyoka aliousema katika Edeni, s
ni moja ya mafundisho mapoto- y
fu, mvinyo ya makufuru (Ufunuo w
14:8; 17:21) ambayo Babeli ime- w
walevya mataifa yote. Wajumbe wa k
Kristo wameyapokea mafundisho h
haya kutoka kwa Rumi, kwa vile
walivyokubali kuipokea sabato N
bandia, ambayo ni siku ya jumapi- w
li. Tunapoliacha neno la Mungu na h
kugeukia mafundisho ya uwongo w
kwa ajili ya mapokeo kutoka kwa H
baba zetu, pale tunatumbukia ka- v
tika hukumu iliyotangazwa juu ya h
Babeli; yaani tunakunywa mvinyo d
wa uasherati wake. k
Watu wengi wamevutwa kusi-
mama upande mpotovu. Wao hu-
ona jinsi Biblia inavyomwonyesha
Mungu kwamba ni Baba mwenye
huruma na upendo hawawezi
kukubali kuwa hawezi kuwatia
viumbe wake katika hali ya kuwa
matesoni milele na milele. Waki- Msingi wa uongo unaoenea dunia nzima hutu-
ongoza tuamini kuwa wakovu wa mbinguni
amini kuwa roho za binadamu haz- hauhusiani na lolote tulifanyalo katika uhai
ifi kamwe; na tena kwamba watu wetu, hata katika badiliko la moyo sasa, au
imani ya sasa, au elimu yoyote ya dini.
wote wataokolewa. Hivyo basi
mwenye dhambi anaweza kuishi
katika anasa za dhambi bila kujali kwama “Hamtakufa hakika” Siku m
maagizo ya Mungu, na baadaye mtakayokula matunda ya mti huo,
Mungu atampokea tu. Mafundisho macho yenu yatafumbuliwa, nanyi
ya namna hiyo husisitiza juu ya re- mtakuwa kama Mungu” alise- M
hema za Mungu na kupuuza haki ma kuwa mdhambi mashuhuri w
yake. Mambo kama haya huwafu- –mwuaji, mwizi, mzinzi, baada ya d
rahisha watu wawezao mambo ya kufa huingia katika raha ya milele. k
kimwili tu. Jambo ambalo ni hadithi ya uwon-

150

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 150 16-03-2009 14:31:43


o go kabisa. Hivyo huwafurahisha uasi na hatia ya mwanadamu, aki-
wapenda anasa za ulimwengu. fichwa uso wa Babaye mpaka roho
o Kama ingalikuwa kweli kwamba yake ilipovunjika na uhai wake
- watu wote huenda mbinguni moja kutoweka kabisa, yote hayo yali-
a kwa moja wakati wanapokufa, basi tendeka ili mwanadamu akom-
o sote tungalitamani kifo kuliko kui- bolewe. Na kila mtu anayekataa
, shi. Wengi wameongozwa na imani kupokea toleo hilo lililotolewa kwa
ya jinsi hii. Wamejiua wenyewe ili gharama kuu namna hiyo, lazima
wapate kwenda katika ulimwengu apate mshahara ambao ni malipo
wa raha huko mbinguni kuliko ya uasi wake mwenyewe. Adhabu
kuhangaika hapa chini na maisha hiyo ataibeba mwenyewe.
haya ya taabu.
Mungu amesema wazi katika Masharti Yamewekwa
Neno lake kuwa atawaadhibu wote “Nami nitampa mwenye kiu
wavunjao sheria yake. Je, anazo chemichemi za maji ya uzima
huruma nyingi kiasi cha kuwaacha bure”. Ahadi hii ni ya wenye kitu
wenye dhambi bila kuwaadhibu? tu “Yeye ashindaye atayarithi haya
Hebu tazameni msalaba wa kal- yote, nami nitakuwa Mungu wake,
vari. Kifo cha Mwana wa Mungu naye atakuwa mwanangu” ufun-
huthibitisha kuwa, “Mshahara wa uo 21:6-7. Masharti yamewekwa.
dhambi ni mauti” Warumi 6:23, Ili kurithi mambo yote, ni lazima
kwamba kila uvunjaji wa sheria ya tushinde dhambi, “Haitakuwa heri
kwa mwovu” Mhubiri 8:13. Mw-
ovu anajiwekea akiba ya hasira
kwa siku ile ya hasira ya ufunuo
wa hukumu ya haki ya Mungu
atakayemlipa kila mtu kwa kadiri
ya matendo yake” “Dhiki na shida
juu ya kila nafsi ya mwanadamu
- atendaye uovu” Warumi 2:5-6,9.
“Hakuna mwasherati wala mcha-
fu, aliye na urithi katika ufalme wa
Kristo na Mungu” “Heri wazishikao
amri zake, wawe na amri kuuen-
Mungu ametoa ushahidi wa kutosha katika dea huo mti wa uzima na kuingia
u maandiko yake ambao utasukumia mbali uasi
, wa sheria yake. mjini kwa milango yake. Huko nje
i wako mbwa, na wachawi, na wa-
- Mungu ni lazima upate mshahara zinzi na wauaji, na hao waabuduo
i wa namna hiyo. Kristo asiye na sanamu, na kila mtu apendaye
a dhambi akafanywa kuwa dhambi uongo na kuufanya” Waefeso 5:;
. kwa ajili ya wanadamu. Aliuchukia ufunuo 22:15.
-

151

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 151 16-03-2009 14:31:45


Mungu amewaonyesha wan- wengu, na hata kwa manufaa ya
adamu namna anavyofanya na hao wanaopatilizwa. Angetaka ku-
dhambi. “Wote wasio haki atawa- wafanya wajisikie wenye furaha.
haribu” “Wakosaji wataangamiz- Huwazungushia na kila aina ya
wa pamoja. Wasio haki mwisho upendo wake na rehema zake.
wao wataharibiwa” Zab. 145:20; Wakipokea vipaji vyake, lakini bila
37:38. Mamlaka ya Mungu yata- kujali. Daima wanapokea vipawa
komesha maasi walakini malipo vyake lakini hawamtii Mungu.
ya haki yatadumishwa katika ta- Bwana amevumilia muda mrefu
bia ya Mungu mwenye rehema na upotovu wao lakini wakiendelea
fadhili. kuasi tu. Je, atawafunga kwa min-
Mungu halazimishi dhamiri ya yororo upande wake ili wafanye
mtu. Hana haja ya utii wa juu juu. mapenzi yake?
Anataka viumbe vyake wampende
kwa sababu anastahili upendo. Hawako Tayari Kuingia
Anataka wamtii kwa kuwa wana- Mbinguni
tambua kuwa kwa yote anayowa- Wale waliomchagua Shetani
tendea wanaona ni haki na inapa- kuwa kiongozi wao hawako tayari
sa kutoa shukrani, kwa hekima na kuingia mbingui mbele za Mungu,
haki na fadhili zake. Kiburi, udanganyifu, ufedhuli,
Kanuni ya serikali ya Mungu in- ukatili vimekwisha kukazwa kati-
aafikiana na maneno ya Kristo, ka tabia zao. Je, wanaweza kwen-
kwamba “Wapendeni adui zenu” da mbinguni wakaishi pamoja na
Mathayo 5:44. wale waliowachukia walipokuwa
Mungu huwapatiliza waovu kwa duniani? Ukweli hautakubaliana w
ajili ya manufaa ya wote wa ulim- na uwongo; unyenyekevu hauen- h
di pamoja na majivuno; usafi wa f
maisha hautapatana na udhalimu; w
upendo usio na ubinafsi hautaaf- g
ikiana na hali ya ubinafsi. Mbingu k
itawapa kitu gani wale waliozama m
katika kujipenda nafsi? k
Ingewezekana kwa watu ambao t
wanamchukia Mungu, na ukweli, l
na utakatifu, kuunganika na kun- i
di la mbingu, linalopenda kuimba o
nyimbo za furaha na sifa? w
Walipata muda wa miaka mingi k
Kanuni za upole, unyenyekevu na upendo, h
zilizofundishwa na kukuzwa na mwokozi, ni ya kujirekebisha, lakini hawaku-
maandishi ya tabia ya Mungu na mapenzi jishughulisha kupenda usafi wa h
yake. Mungu hutekeleza haki kwa waovu,
maisha. Wala hawakujifunza lugha s
hata kwa wema wa hao watakao pitiwa na
hukumu yake. ya mbinguni. Sasa, wamechelewa. g
k
152

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 152 16-03-2009 14:31:46


a
-
.
a
.
a
a
.
u
a
-
e

i
i
,
, Kwa ajili ya kunusuru ulimwengu Mungu aliwafutilia mbali waovu nyakati za Nuhu. Kwa
- huruma aliwaangamiza waovu walioishi Sodoma. Sanamu ya Willia Miller.
-
a
a Muda wa miaka mingi ya kum- ovu ambayo watu walijichagulia
a wasi Mungu imewathibitisha kuwa kupata. Nia zao zimejizoeza kuasi.
- hawafai lo lote, wala hawawezi ku- Na wanapokufa, hufa na hali ile ile
a faa kuingia mbinguni. Utakatifu ambayo haibadiliki kuwa na utii.
; wa mbinguni na amani yake vin- Huwa wenye chuki wala sio up-
- galiwawia mateso makuu. Utu- endo.
u kufu wa Mungu, wao ungekuwa
a moto uteketezao. Wangalitamani Mshahara wa Dhambi
kukimbia kutoka mahali hapo pa- “Mshahara wa dhambi ni mauti,
o takatifu, hata kutamani kufa ku- lakini karama ya Mungu ni uzima
, liko kukaa mbele za yule aliyewafia wa milele katika Yesu Kristo Bwa-
- ili kuwaokoa. Maangamizi ya wa- na wetu” “Mauti ya pili” inachu-
a ovu wanasababishwa na uchaguzi kua mahali pa uzima wa milele”
wao wenyewe. Kufungiwa wasi- Warumi 6:23; ufunuo 20:14.
i kanyage mbinguni kunatokana na Katika dhambi ya Adamu mauti
- hiari yao wenyewe. Mungu ni wa iliwafikia watu wote. Wote hufa
a haki na mwenye fadhili. Moto wa sawasawa, bila tofauti. Kwa njia
a siku ya mwisho, sawa na maji ya ya mpango wa wokovu, wote wata-
gharika ya siku za Nuhu, ni hu- toka makaburini. “Kutakuwako
kumu ya Mungu kwa ajili ya ma- ufufuo wa wenye haki na waovu”.
153

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 153 16-03-2009 14:31:47


“Kwa kuwa kama katika Adamu wale ambao hawakutubu na ku- h
wote wanakufa, kadhalika ka- pata msamaha kwa imani, lazima n
tika Kristo wote watahuishwa. wapokee “msamaha wa dhambi”
Lakini patakuwa na tofauti ka- adhabu kwa kadiri ya matendo m
tika makundi mawili. “Wote yao” nao watamalizikia katika h
waliomo makaburini watasikia “mauti ya pili” n
sauti yake, nao watatoka, wale Kwa kuwa haikuwezekana Mun- k
waliofanya mema kwa ufufuo gu kumwokoa mdhambi, kwa 6
wa uzima na wale waliofanya kuwa hakutaka kuokolewa, basi a
mabaya kwa ufufuo wa hu- humwondolea hali ya kutokui- b
kumu” Matendo 24:15 1kor. shi ambayo uasi wake mwenyewe n
15:22, Yoh. 5:28-29. umeisababisha, na kwa vile ame- a
jithibitisha mwenyewe kuwa hafai H
Ufufuo wa Kwanza lolote. “Maana bado kitambo kidogo w
Wale “wanaohesabiwa kuwa wa- asiye haki hatakuwapo, utapaan- z
nastahili kuupata ule ufufuo wa galia mahali pake wala hatakuwa- w
wafu” “ni heri na watakatifu” juu po” “Nao watakuwa kama kwam-
yao mauti ya pili haina nguvu. ba hawakuwepo kwemwe” Zaburi u
Luka 20:35; Ufunuo 20:6. Lakini 37:10; Obadia 16. Watazama m
k
b
m
i
k
n
d
k
f
d
n
s
t

h
p
u
y
k
w
n
Umuzimu na ukristo wa uongo husema kuwa wafu wanafaham zao,
Biblia husema “…siku hiyo mawazo yake hupotea”Zaburi 146:4
h
“Kwa kuwa hakuna kazi, wala shauri, wala maarifa, wala hekima, n
huko kuzimu uendako wewe.” Mhubiri 9:10.

154

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 154 16-03-2009 14:31:49


- huko kusikokuwa na matumaini
a na kusahauliwa milele.
” Hivyo ndivyo dhambi itakavyoko-
o meshwa. “Umemwangamiza md-
a halimu, umelifuta jina lao milele
na milele. Adui wamekoma na
- kuachwa ukiwa milele” Zab. 9:5-
a 6. Yohana mwandishi wa ufunuo,
i alisikia nyimbo za sifa zikiimbwa
- bila machafuko yoyote. Haku-
e na mpotevu yeyote aliyekuwa
- akiteswa na kumkufuru Mungu.
i Hakuna vilio vya mateso vilivyoku-
o wa vikichanganyikana na nyimbo
- za furaha za kumtukuza Mungu za
- waliookolewa.
- Juu ya kosa la asili la hali ya
i umilele, sasa kunakuwa na ufaha-
a mu wa kifo. Kama ilivyodhaniwa Martyr Tyndale, alipokuwa akizungumzia juu
ya hali ya wafu, alitangaza. “Nakiri wazi,
kuwa kuna mateso ya milele am- sishurutishwi kuwa tayari wako katika tukufu
bayo ni kinyume cha maandiko na alionao Kristo, au malaika au Mungu alipo.”
mawazo ya binadamu. Kufuata
imani ya wengi ni kwamba walioo- lote lililofanyika chini ya jua. Kwa
kolewa ambao wako mbinguni wa- kuwa kuzimu hakuwezi kukusifu;
nafahamu mambo yote ya hapa mauti haiwezi kuadhimisha.
duniani. Lakini itawezekanaje Wale washukao shimoni ha-
kuwa na furaha kwa wafu ku- wawezi kuitarajia kweli yako.
fahamu maisha ya kusumbuka na Aliye hai naam aliye hai, ndiye
dhiki waliyo navyo wenyeji wa du- atakayekusifu, kama mimi leo”
niani? Kungekuwa na machukizo “Maana mautini hakuna kumbu-
sana kujua mtu afapo huingia mo- kumu yako, katika kuzimu ni nani
toni huko ahera. atakayekusifu? “ Zab. 146:4;
Lakini Biblia inasemaje? Mtu Mhubiri 9:5-6; Isaya 38:18-19;
hafahamu neno lo lote wakati afa- Zab. 6:5.
po. “Pumzi yake hutoka, hurudia Siku ya Pentekoste Petro alisema
udongo wake, siku hiyo mawazo kuwa Daudi “alikufa, akazikwa,
yake hupotea”. “Walio hai wanajua na kaburi lake liko kwetu hata leo”
kwamba watakufa; lakini wafu ha- “Maana hututhibitishia kuwa we-
wajui neno lolote …. Mapenzi yao nye haki wanapokufa hawaendi
na machukio yao, na husuda yao mbinguni.
hupotea yote pamoja. Wala hawa- Paulo alisema “Maana kama watu
na sehemu tena katika jambo lo- hawafufuliwi, Kristo naye haku-

155

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 155 16-03-2009 14:31:52


fufuka. Na kama Kristo hakufu- maelfu maelfu, ili afanye hukumu b
fuka imani yenu ni bure: na hao juu ya wale wote”. Matendo 17:31. a
waliolala katika Kristo wamepotea Yuda 15. k
1Kor. 15:16-18. kama kwa muda Sasa, kama watakatifu wako t
wa miaka 4000 wenye haki walio- mbinguni tayari, au waovu wamo h
kufa wamekwenda mbinguni moja motoni tayari, kuna maana gani w
kwa moja, Paulo aliwezaje kusema ya kukaa na kuwahukumu watu y
kuwa, kama hakuna ufufuo, wali- tena? Maneno ya Mungu yanaweza
olala katika Kristo wamepotea? kufahamiwa na watu wa kawaida. a
Yesu alipokuwa karibu kuwaa- Lakini watu wanyofu hawewezi ku- k
cha wanafunzi wake hakuwaambia ona hekima au haki katika mane- m
kuwa watakwenda kwake karibuni, no ya kawaida? Je, watu hawa w
bali alisema, “nakwenda kuwaan- watapewa heko na Bwana, waki- p
dalia mahali, nikienda kuwaan- ambiwa “Vema mtumishi mwema y
dalia mahali nitakuja tena, niwa- na mwaminifu, na kuingizwa ka- I
karibisheni kwangu” Yoh. 14:2-3. tika furaha ya Bwana, wakati wa- s
Paulo anatuambia zaidi kuwa, meishi muda huo wote? Je, waovu h
“Bwana mwenyewe atashuka ku- nao watatolewa katika moto, hala- k
toka mbinguni pamoja na mwa- fu waambiwe “Ondokeni kwangu u
liko na sauti ya malaika mkuu, na ninyi nyote mtendao maovu? Ma- l
parapanda ya Mungu, nao walio- thayo 25:21,41. t
kufa katika Kristo watafufuliwa Mafundisho yale yanayohusu
kwanza. Kisha sisi tulio hai, tu- kutokufa kwa roho ni madangan-
liosalia tutanyakuliwa pamoja nao yo yaliyokazwa na kanisa la Rumi, w
katika mawingu, ili tumlaki Bwana kutokana na imani ya wakafiri. m
hewani; na hivyo tutakuwa pamo- Mafundisho, kutokana na imani ya y
ja na Bwana milele”. Na kisha wakafiri. Mafundisho hayo Luther b
aongeza kusema “Basi farijianeni huyaita hadithi chafu za kipum- k
kwa maneno haya” 1 Thes. 4:16- w
18. Wakati wa kuja kwa Kristo z
makaburi yatafunguliwa, na walio- t
kufa katika Kristo watafufuliwa ili M
wapate uzima wa milele. m
Wote watahukumiwa kufuatana E
na mambo yaliyokuwa yamean- K
dikwa vitabuni, nao watapokea
thawabu kadiri ya kazi yao ilivyo.
Hukumu hii haitendeki wakati
mtu afapo. “Kwa maana ameweka m
siku atakayowahukumu walim- Kabla yeyote hajaingia katika utukufu wa mb-
inguni, lazima shauri lake lipelelezwe, tabia
wengu kwa haki”. “Angalia, Bwa- na matendo yake lazima yapitiwe
na anakuja na watakatifu wake, tena mbele za Mungu.

156

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 156 16-03-2009 14:31:53


u bavu na udanganyifu mbaya mno,
. ambazo kanisa la Rumi huzishi-
kilia kama chombo chao cha kupo-
o teza na kupumbaza watu. Biblia
o hufundisha kuwa watu waliokufa
i wanalala makaburini mpaka siku
u ya ufufuo.
a Wenye haki hupumzika katika ta-
. abu zao. Kwa muda wa kupumzi-
- ka ni mfupi tu, ingawa huonekana
- mrefu. Kwao muda ni mfupi. Wao
a wanalala, wataamshwa na para-
- panda ya Mungu ili wapokee hali
a ya kutokufa. “Maana parapanda
- Italia, na wafu watafufuliwa, wa-
- siwe na uharibifu ….. Basi mwili
u huu wa kuharibika utakapova
- kutokuharibika, na huu wa kufa
u utakapovaa kutokufa, hapo ndipo
- litakuwa neno lililoandikwa: mau- Martin Lutter aliweka nadharia ya kutokufa
ti imemezwa kwa kushinda” 1Kor. kwa roho na ‘Uongo wa kulipia kwa wafu”
u 15:52-54. uliokuwa unaendeshwa na Rumi”
kitabu cha E. Petavel, The problem of
- Wakiamshwa kutoka usingizini Immortality, Uk255.
, wa mauti, hawataanza kufikiri
. mahali walikofia na maisha yao
a ya mwisho, kabla ya kuingia ka-
r burini. Watakapoamshwa kuto-
- ka makaburini kitu cha kwanza
watakachoona ni ushindi na kelele
za ushindi. “Ku wapi Ewe mau-
ti kushinda kwako? U wapi ewe
Mauti ushindi wako? U wapi ewe
mauti uchungu wako? Ku wapi
Ewe kaburi kushinda kwako? 1
Kor. 15:55.

Marejeo:
E. Peteavel. The Problem of Im-
morality p. 225.
-

157

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 157 16-03-2009 14:31:53


w
k
g
k
u
M
h
W
w
h
o

k
s
m
w
m
w
t
I
j
h
w
a
M
H

158

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 158 16-03-2009 14:31:54


34

Mizimu ni Nani
Katika Imani
ya Roho?

M
afundisho yahusuyo ku- yake. Malaika waovu huonekana
tokufa kwa roho kwanza kama wajumbe katika ulimwengu
yalitokana na imani ya wa roho.
wapagani, na wakati wa giza la Mkuu wa uovu yaani shetani
kiroho mafundisho haya yaliin- anao uwezo wa kuleta sura za watu
gizwa katika imani ya kikristo na waliokufa ambao ni jamaa. Maigizo
kuhesabika kuwa ni mojapo ya ya watu hao ni kamili kabisa. Hu-
ukweli, na yakashika mahali pa onekana kama wao halisi. Watu
Maandiko yasemayo kuwa, “wafu wengi hufarijika kuwa ndugu na
hawajui neno lo lote” Mhubiri 9:5. rafiki zao wako wanaishi huko mb-
Watu wengi huamini kuwa roho za inguni. Bila kujihadhari na hatari
wafu ndizo zile, zisemwazo kuwa- yo yote, hutega masikio kwa “roho
hudumu wale watakaourithi wok- zidanganyazo, na mafundisho ya
ovu” Waebrania 1:14. mashetani” 1 Tim. 4:1.
Imani ya kuwako roho za wafu Waliokufa bila kujitayarisha,
kuja kuwahudumia watu wanaoi- yaani bila kujitoa kwa Kristo, hu-
shi, imeandaa njia ya kuingizia dai kuwa wako katika furaha kuu
mambo ya kisasa ya kuongea na huko mbinguni. Watu hawa ban-
wafu. Kama watu wanaoufaha- dia wanaojidai kuwa wanakaa
mu unaozidi ule waliokuwa nao rahani mbingu, mara nyingine
wakati walipoishi, mbona hawaji husema maneno ambayo huwa
tu kiwazi na kuwaelimisha watu? ya kweli. Wakishakuaminiwa,
Ikiwa roho za wafu huwazungukia hutoa mafundisho yaliyo kinyume
jamaa zao walioko duniani, mbona cha Biblia. Kwa kuwa mara ny-
hawakai na kuongea nao? Mbona ingine husema maneno ya kweli
wanaoamini kuwa mtu akifa huwa na kutabiri mambo fulani ambayo
anajua mambo, hukataa nuru ya hutokea kuwa kweli, hivyo ma-
Mungu inayoeleza mambo ya roho? fundisho yao ya uongo hukubaliwa
Hapa ndipo Shetani hufanyia kazi kama mafundisho ya kweli ya Bib-

159

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 159 16-03-2009 14:31:55


wazi ambayo hawawezi kuyakanu- z
sha, hukubali kuwa hayo kutoka k
kwa Mungu. H
Kwa msaada wa shetani wachawi a
wa Farao waliigiza kazi ya Mungu a
na kufanya miujiza. Soma Kutoka n
7:10-12. Paulo ashuhudia kuwa k
kuja kwa Bwana kutatanguliwa n
na “Kutenda kwake Shetani, kwa M
uwezo wote, na ishara na maajabu
za uongo, na katika madanganyo k
yote ya udhalimu kwa hao wanao- k
potea” 2Tes. 2:9-10. Yohana naye y
anasema, “Naye, afanye ishara k
kubwa, hata kufanya moto kushu- w
ka kutoka mbinguni uje juu ya nchi n
mbele ya wanadamu. Naye awa- h
kosesha wale wakaao juu ya nchi, m
kwa ishara zile alizopewa kuzifan- …
ya” ufunuo 13:13-14. Hapa sio M
ujanja wa kibinadamu unaoelez- y
wa. Watu hudangaywa na shetani s
Wengi watakumbwa na kuamini kuwa
umizimu ni watu wakawaida tu, lakini kwa ishara ambazo wajumbe wake h
watakapoletwa uso kwa uso na uwezo wa huzifanya, sio wanazojifanya kuzi- m
umizimu ambao hawatauona tena hivi, ila ku- fanya.
danganywa, na wataongozwa kuamini kuwa
ni uwezo unaotoka kwa Mungu. w
Mwito wa Shetani Wenye Akili a
lia. Sheria ya Mungu imewekwa Kwa kuwa wataalamu na wenye m
kando, na Roho wa neema amed- akili, Shetani huwaingilia kwa njia y
harauliwa. Hiyo ndiyo mizimu, ya kuwaletea mizuka ya kiroho k
na roho za mashetani. Roho hizi kwa njia ya akili sana, yaani sura u
hukataa Uungu wa Kristo na kum- z
hesabu Mwumbaji kuwa na hali y
sawa na yao. p
Wakati matokeo ya udangan- k
yifu huo hukubaliwa kama uk- K
weli, hutokea ishara ambazo ni m
kazi za yule mwovu huwadangaya
watu wakaziamini kama ishara M
za Mungu. Watu wengi huamini
kuwa hali ya kuongea na wafu. Au Shetani hurubuni watu leo kama alivyo
w
mizimu ni ujinga wa kibinadamu. mrubuni Hawa kule Edeni, kwa kuwasha
tamaa ya kupata ujuzi uliokatazwa, kwa v
Wanapokabiliwa na maonyesho ya kuamsha nia ya ubinafsi wa kujikweza.

160

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 160 16-03-2009 14:31:56


- za rafiki na jamaa zao waliokufa, kwao kidogo tu. Kwa kuwa hali zao
a kana kwamba wanaweza kuongea. hufanana na zao. Shetani huona
Hupendelea kuwaza mawazo ya aina ya dhambi ambazo kila mtu
i ajabu ya kusisimua na ya utaal- huzipenda, halafu hutafuta nafasi
u amu, yaliyojaa mambo ya upendo ya kuzihimiza ili zifanywe. Huwa-
a na fadhila tele. Huwafanya watu jaribu watu na kuwatumbukiza
a kupendelea mambo ya jinsi hiyo, katika hali ya kutokuwa na kiasi,
a na kupuuzia mambo ya milele ya ili apate kuwadhoofisha miili yao,
a Mungu. akili na hali ya utambuzi ili wawe
u Shetani huwadanganya watu sasa watu wasiofaa. Huwaharibu watu
o kama vile alivyomdanganya Hawa
- katika bustani ya Edeni, kwa njia
e ya kuwafanya wawe na hamu ya
a kujitukuza. Huwaambia “Mtaku-
- wa kama miungu”, mkijua mema
i na mabaya” Mwanzo 3:5. Wenye
- hali ya mizimu hufundisha kuwa
, mtu ni kumbe chenye maendeleo
- … ambayo huchunguza mambo ya
o Mungu. Tena, husema, maamuzi
- yote ni sawa kutokana na ubinaf-
i si. Husema, “Mtawala”. Mwingine
Mungu kwa kusisitiza amekataza ania zote
e husema, “Ye yote wa kweli aliye hata zakujifanya kuwasiliana na mizimu,
- mkamilifu ni Kristo” hutangaza uasi kwa Bwana,
Hivyo shetani amejiweka na kum- hii inakatazwa kabisa.

weka mtu wa dhambi kama mtaal-


amu na mtawala wa haki. Haya ni maelfu kwa njia ya tamaa na kuu-
e maendeleo, siyo kupanda juu, bali haribu utu wote. Ili kukamilisha
a ya kudidimia chini. Mtu hawezi kazi yake, mizimu husema kuwa,
o kupanda zaidi ya kipeo chake cha “elimu halisi ni ile inayomweka mtu
a uzuri na wema. Kama kujituku- awe na sheria ya Mungu” kwam-
za nafsi ndilo kusudi la shabaha ba cho chote ni cha haki, hata ni
yake kuu, hataweza kamwe kufika dhambi ya aina yo yote Mungu ha-
popote. Neema ya Mungu ndiyo pe- hukumu, yaani hana la kusema
kee yake iwezayo kumkweza mtu. juu yake, na kwamba dhambi zote
Kama mtu akiachwa ajiendeshe hazina hatia” watu wanapoamini
mwenyewe, ataanguka tu. kuwa dhamiri zao na matakwa yao
ndiyo tosha kabisa, wala hawana
Mwito Kwa Wapenda Anasa haja na sheria, na kuwa huo ndio
Kwa watu wenye kupenda anasa, uhuru, kwamba mtu ni juu yake
wataka makuu, na wenye maji- kujiamulia yote. Je, katika hali
vuno hali ya mizimu hufanya hila kama hiyo, uharibifu, si utajaa

161

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 161 16-03-2009 14:31:58


kila upande? Watu maelfu huwa ka wanasayansi, wameshambulia
tayari kukubali mambo ya tamaa. makanisa, na kupata ukubali kati-
Shetani huwakumba watu maelfu ka vikao vya bunge, hata na katika
katika mtego wake ambao hujidai mahakama na ofisi za watawala.
kuwa ni wafuasi wa Kristo. Udanganyifu huu mkuu ni umbo
Lakini Mungu ametoa nuru ya jingine la wachawi wa zamani.
kutosha ili kugundua mitego hiyo. Kwa kuwa anayatukuza mambo
Misingi hasa ya mizimu ni mapiga- ya kibinadamu kana kwamba ni
no makuu ya Maandiko Matakati- ya mbinguni, shetani huambia
fu. Biblia husema wazi kuwa wafu ulimwengu, “Si kitu, au haidhuru,
hawajui neno lolote. Kwamba uamini Mungu au usiamini, uku-
mawazo yao yamepotea, wala ha- baliane na Biblia au la, ishi upen-
wana sehemu katika watu wanaoi- davyo tu, mbingu ni yako” neno la
shi nchini. Mungu husema, “Ole wao waitao
Zaidi ya hayo Mungu amekataza baya jema na jema baya waitao giza
kabisa hali yo yote ya kujifanya nuru, na nuru giza” Isaya 5:20.
kana kwamba mtu ameongea na
mizimu. Maongezi ya mizimu, am- Biblia Huhesabiwa Kama
bayo watu hudai kuwa wanaongea Hadithi
na watu wa ulimwengu mwingine, Mitume, ambao wanaigizwa na
huitwa na Biblia, kuwa ni “roho roho hizi au mizimu hufanywa
za mashetani” Soma Hes. 25:1- watofautiane katika usemi na vile
3; Zab. 106:28; 1Kor. 10:20; Ufu. walivyoandika walipokuwa wakii-
16:14. Kufuata mambo yao ku- shi duniani. Hivyo ndivyo mizimu
likatazwa na adhabu ya kifo ili- huwafanyia wale wanaojifanya
yotolewa kwa mwenye kuzifuata. kuwa wanaongea na wafu. Shetani
Lawi. 19:31; 20:27. Lakini mizimu huwafanya walimwengu waamini
au miungu hawa wameingia kati- kuwa Biblia ni hadithi tu za kupiga
chuku sawa na zinginezo, kinawa- n
faa watoto wa jamii lakini sasa m
hakifai kutumika siku hizi. Kitabu z
ambacho kitamhukumu pamoja y
na wafuasi wake, hukiweka katika y
kivuli. Mwokozi wa ulimwengu hu- h
fananishwa na mtu tu. Wale wa- B
naoamini katika kuongea na roho k
hizi, hawaoni mwujiza wowote ka- n
tika maisha ya Mwokozi. Wanas- h
ema kuwa miujiza yao inazidi ile ya h
Kristo alipokuwa hapa duniani. y
Ni kweli umizimu sasa unabadili mtazamo k
wake na, kuondoa baadhi ya vitu vilivyo
Uzungumzaji wa wafu sasa ume-
utambilisha, Sasa huonekana kama Ukristo hesabiwa kuwa dini ya Kikristo, e
kwa Mtazamo wa juu. d
162

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 162 16-03-2009 14:31:59


a
-
a
.
o

o
i
a
,
-
-
a
o
a

a
a
e
-
u
a
Wengi wataridhika na roho za Shetani zilizojiigiza wapendwa wao waliokufa na rafiki
i wakitangaza baadhi ya uongo mkuu na kufanya miujiza ili kuthibitisha uwepo wao hai tena.
i
a
- na umevaa sura ya Kikristo, na kuhusu utakatifu hufichwa bila
a mafundisho yake hukubaliwa wa- kutajwa. Hadithi huwafanya watu
u ziwazi. Katika hali yake ya sasa ni wasione kuwa Biblia ndiyo msingi
a ya hatari sana, ya kijanja sana, na wa imani yao. Kumkiri Kristo kwa
a ya hila sana. Wenye kuamini hali kinywa tu, lakini kwa kweli hum-
- hiyo hukubali mambo ya Kristo na kataa kimatendo.
- Biblia, lakini kwa ujanja na hila Ni watu wachache sana ambao
o kubwa. Biblia hutafsiriwa kwa wamegundua hila hiyo ya kuongea
- namna ya kupotosha ili iwafura- na mizimu, au wafu. Wengi hu-
- hishe wale wasioongoka. Upendo jaribu ili kufanya utafiti. Huwa
a husisitizwa kuwa ndiyo tabia kuu na hali ya hofu juu ya kuongea na
ya Mungu, lakini hupotoshwa na roho hizo, lakini huthubutu kwen-
- kumwelekeza katika njia za uash- da mahali palipokatazwa. Hivyo
, erati. Chuki ya Mungu kuhusu mwovu huwakamata kwa hila na
dhambi, na kanuni ya Mungu kuwashikilia katika hali ya mate-
163

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 163 16-03-2009 14:32:00


ka. Hakuna kinachoweza kuwa- go. Lakini watu wengi hufumba
toa katika hali hiyo ila maombi ya macho yao wasione nuru kuhusu
kweli kweli. jambo hili, na shetani huwafuni-
Watu wanaopendelea kufaya kiza nawavu wake. “Kwa sababu
dhambi, hali wanajua kuwa ni hawakukubali kuipenda ile kwe-
dhambi, hujiweka wenyewe katika li, wapate kuokolewa. Kwa hiyo
mikono ya shetani. Hujitenga na Mungu amewaleta nguvu ya upo-
Mungu kwa hiari yao, na malai- tevu, wauamini uwongo” 2 Thes.
ka walizi huwaacha peke yao bila 2:10-11.
ulinzi. Wale wanaopinga mambo ya
“Na wakati watakapokuambia, pepo humshambulia Shetani na
Tafuta habari kwa watu wenye mamlaka zake. Shetani hatakub-
pepo na kwa wachawi; waliao ali kushindwa hata kidogo, isi-
kama ndege na kunog’ona; je, pokuwa afukuzwe na wajumbe wa
waende kwa watu waliokufa kwa mbinguni. Atataja Maandiko hali
ajili ya watu walio hai? Na waende akiyapotosha, ili ashinde. Watu
kwa sheria ya ushuhuda; ikiwa watakaoshinda hatari ya wakati w
hawasemi sawasawa na neno hili, huu, lazima wafahamu ushuhuda w
bila shaka kwa hao hapana asu- wa Maandiko barabara. W
buhi” Isaya 8:19-20. Roho za mashetani, hujionye- a
Kama watu wamepata ma- sha kama ndugu na marafiki wa n
fundisho ya kweli kuhusu hali watu ambao walikufa, hutujia na y
ya wafu na asili ya mtu, wataona kutushauri mambo fulani fulani. g
wazi kuwa wenye pepo wanaojidai Halafu hufanya maajabu. Lazi- n
kuwa waongea na wafu, ni uwezo ma tuwapinge kwa Biblia na uk-
wa shetani ufanyao kazi ndani yao, weli wake, kwamba wafu hawajui k
kwa maajabu na ishara za uwon- neno lolote, kwa hiyo hawa wanaa-
onekana kama kwamba ni jamaa
zetu waliokufa ni roho za mashet-
ani yaani pepo.
Wale ambao imani yao haikujen-
geka kwa neno la Mungu, yaani
Biblia, watadanganyika na kupo-
tezwa na shetani. Maana Shetani
hufanya kazi yake kwa madangan-
yo yote ya upotevu”, na madangayo
haya yatazidi kadiri tunavyokaribia
mwisho. Lakini wote wanaotafuta
Kwa mshangao mkubwa wa upofu usioeleze- ukweli wa Biblia na kutakasa roho
ka watu wa karne hii. Wengi wao watakataa zao kwa njia ya kulitii neno la Mun-
neno la Mungu lenye maana,
na badala yake kwa ushupavu wa moyo
gu, watashinda. Mwokozi atawatu-
watapokea uongo wa Shetani. mia malaika wote wa mbinguni ku-

164

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 164 16-03-2009 14:32:01


a su mpango wa wokovu na adhabu
u itakayowapata katika mizimu wa-
- naoikataa kweli, na kujiona wako
u salama. Watatajihafifisha kabisa,
- kiasi cha kutojali sheria ya Mungu.
o Kadiri walivyojiunga na shetani,
- itakuwa vigumu kujitenga naye na
. hila zake.

a Msingi wa kazi ya shetani ni ule


a uliowekwa katika Edeni kwa Hawa,
- kwamba, “Kufa hamtakufa” “Siku
Shetani kwa mda mrefu sana amekuwa aki-
- andaa kwa juhudi zote kuudanganya ulim- mtakayokula matunda ya mti huo,
a wengu. Msingi wa kazi yake upo pale Edeni macho yenu yatafumbuliwa, na
alipo mwambia Hawa. “hakika hautakufa.”
i mtakuwa kama Mungu, mkijua
u mema na mabaya” Mwanzo. 3:4-
i walinda. Hatamwaacha hata mtu 5. Madangayifu yake yatafikia
a wake mmoja ashindwe na Shetani. mpaka kwenye masalio ya mwisho
Wale wanaojifariji kwamba hakuna ya Mungu. Nabii asema, “Nikaona
- adhabu yo yote itakayowapata we- roho tatu za uchafu zilizofanana
a nye dhambi, na kudharau maonyo na vyura …. Hizo ndizo roho za
a ya mbinguni watapotezwa na udan- mashetani zifanyazo ishara, zito-
. ganyifu wa shetani katika mizimu kazo na kuwaendea wafalme wa
- na kuangamia. ulimwengu wote, kuwakusanya
- Wenye mizaha wataendelea ku- kwa vita vya siku ile kuu ya Mun-
i kataa maonyo ya mbinguni, kuhu- gu Mwenyenzi.
-
a
-

-
i
-
i
-
o
a
a
o
-
-
-

165

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 165 16-03-2009 14:32:02


w
K
u
h
w
b
n
v
k
n
t
k
k
y

k
k
w
g
w
w

m
R
h
m
n

m
j

166

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 166 16-03-2009 14:32:02


35

Uhuru wa
Dhamiri Unatishwa

S
asa makanisa ya Kiprotes- sana, baadaye Rumi ikapata uwezo
tanti yanaliona kanisa la Ki- wake wa kwanza itafufua hali yake
rumi kuwa rafiki yao zaidi ya ya mateso.
walivyoliona katika miaka iliyopita. Ni kweli kwamba wako wakristo
Katia nchi hizo, ambako ukatoliki halisi katika kanisa la Rumi. Watu
umeenea sana, mawazo ya wengi maelfu wanamtumikia Mungu kwa
huona kuwa tofauti kati yetu na kadiri ya ujuzi walio nao katika
wao sio kubwa, bali katika mam- kanisa hilo. Mungu huwaangalia
bo makuu ya imani tunakubalina kwa huruma watu hao. Wao wame-
nao, ila kuwa vipengele vidogo tu potoshwa na kufundishwa kinyume
vikirekebishwa, tutakubalina nao cha ukweli. Mungu atawaletea
katika mambo yote. Kulikuwako nuru, na wengi watajiunga pamo-
nyakati hapo zamani, Waprotes- ja na watu wake, katika kanisa la
tanti walipowafundisha watoto wao kweli.
kuwa kukubaliana na wakatoliki Lakini kama kanuni za Ukatoliki
kidini kumwasi Mungu. Sasa hali zilivyo, wanaachana na Biblia kabi-
ya maoni yao inatofauti kiasi gani!. sa, sawa kama walivyokuwa hapo
Watetezi wa Ukatoliki husema kwanza.
kuwa kanisa lilifanya vibaya sana Kanisa la Rumi hutumia kila njia
kufikiri kuwa waprotestanti waliku- ili lipate kukubalika katika ulim-
wa wapotofu. Hizi zilikuwa zama za wengu, ili liweze kurudisha hali
giza, za ujinga. Wanalaumu ukatili yake ya zamani ya kutesa, na kuvu-
waliowatendea watu kuwa ulikuwa ruga mambo yote ya Kiprotestant.
wa kinyama wakati huo. Wakatoliki wanaendelea kufau-
Je, watu hawa sasa wamesahau lu katika makusudi yao. Angalia
madai yao kuwa wao (Kansia la jinsi makanisa yao yanavyozidi ku-
Rumi) hawakosi? Kanisa la Kirumi ongezeka na tazama Koleji zao na
hudai kwamba, “kanisa halikosi ka- vyuo vyao vinavyozidi na kujazwa
mwe, wala halitakosa kamwe. Hivyo na wanafunzi wa Kiprotestanti.
ndivyo Maanandiko yanavyosema. Angalia jinsi kawaida zao za ibada
Kanisa la mapapa halitapunguza zinavyoongezeka huko Uingereza,
madai yake kuwa halikosi. Ngo- na maasi yanavyozidi kwa upande
ja serikali izuie mambo ya ukatili wa wakuu wa Katoliki.

167

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 167 16-03-2009 14:32:05


Mapatano na Kuridhiana
kwa vito mbalimbali madhabahu ya
dhahabu, na rangi zing’aazo, huwa-
vutia wenye kupenda uzuri. Vinan-
da vikubwa vya kuimbia na mambo
mengi ya kurembesha huwafanya
waabuduo kuwa na hali ya kicho
kamili inayostahili ibada ya kweli.
Mambo haya nje na maadhimisho
ya ibada humwacha mwenye dham-
bi katika hali ya mzaha, ambao hau-
mtoshelezi na kumridhisha hasa.
Dini ya Kristo haina haja na mambo
kama hayo. Nuru inayong’aa ku-
toka msalabani hung’aa kwa uzuri
na upendo kwamba hakuna ma-
pambo ya nje yanayolinganishwa
kwa thamani yake na uzuri moyo-
Katiba ya Marekani hutoa uhuru wa dhamira ni. Mapambo na urembo wa kuvu-
ya mtu. Papa Pius IX, alisema: “Huru wa tia upendezao macho hutumiwa na
dhamira ya mtu ni msingi uliopotoka kabisa
na nikosa baya sana lisilovumilika. shetani kuwasahaulisha watu haja
ya roho, na kuwafanya wawe wap-
enda mambo ya ulimwengu tu.
Mashindano ya ibada ya Kikatoliki
yana hali ya kuwapumbaza watu
Waprotestanti wamewafadhili wapate kudangayika. Wanatazama
wakatoliki, wamefanya mapatano kanisa la Kikatoliki kana kwamba
na kuridhiana nao, kiasi kwamba ndio mlango wa mbinguni. Hakuna
hata mapapa wenyewe wanashan- awezaye kukanusha mambo yake k
gaa. Watu wanafumba macho wa- kuwa ya uongo, isipokuwa wale h
siione tabia hasa ya ukatoliki. In- waliosimama imara katika mwam- n
awapasa watu kupigana hatari hii ba ambao wanaimarishwa na Roho n
inayoukabili uhuru wa watu na uh- Mtakatifu katika ukweli wa Maan- k
uru wa dini pia. diko Matakatifu. Watu hutaka k
Ijapokuwa ukatoliki unaendesh- kuwa na mfano tu wa utawa lakini m
wa kwa njia ya hila na udangan- wakikana nguvu zake. h
yifu, lakini siyo ovyo. Ibada zao Madai ya kanisa kwamba lina haki g
hufanywa kwa heshima kubwa na na uwezo wa kumsamehe dhambi w
kicho halisi. Hali ya mambo ka- yalifanya kanisa la Kirumi lijisikie s
tika ibada kanisani na mapambo kuwa lina uhuru kufanya dhambi y
yote huwafanya waabuduo kuwa bila kizuizi, na ile hali ya maunga- t
na kicho kabisa na utulivu. Ma- mo huwaelekeza watu kutenda ma- k
cho hupendezwa sana. Makanisa ovu. Mtu anayepiga magoti mbele u
makubwa sana yenye kupambwa ya mwanadamu mkosaji, na kuun- r
gama makosa yake mbele yake, na n
168

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 168 16-03-2009 14:32:06


-
o
a
o

o
-
-
.
o
-
i
-
a
-
-
a
a
-

i
u
a
a
a Maonyesho ya nje tu kwa ibada na taratibu za watawa na kutamani kwao kuwa na roho
inayougua kwa dhambi, hudhihirisha uovu uliopo ndani yao.
e
e
- na kujiondolea uthamani wake na kujitenga nayo. Mtu anaona
o na kujitia unajisi. Mawazo yake urahisi wa kujitesa yeye mwenyewe
- kuhusu Mungu hushuka chini na kwa njia mbalimbali kuliko kuusu-
a kumfananisha na mwanadamu lubisha mwili na tamaa zake.
i mwenye dhambi, maana kwa mtu
huyo padri huwa badala ya Mun- Mfanano wa Kushangaza
i gu. Maungamo haya yanayofany- Wayahudi wakati wa Kristo, wa-
i wa kwa binadamu mwenye dhambi likuwa wamezikanyaga amri za
e sawa na yule anayeungama, ndiyo Mungu, lakini kwa juu juu wali-
i yamekuwa asili ya uovu uliojaa ka- kuwa wakionekana kuwa wacha
- tika ulimwengu mzima. Hata hivyo Mungu wa kweli, wakikaza sana
- kwa mwenye kupenda anasa za amri za Mungu na kuzifanya kuwa
e ulimwengu, huonekana kuwa faha- mzigo kwa watu. Jinsi Wayahudi
- ri kuliko kujidhili mbele za Mungu walivyokuwa wakidai kwamba wa-
a na kumfunulia siri za moyo wake. nashika sheri ya Mungu, hali kad-
a Humfurahisha mtu kulipa malipo halika Warumi hujifanya kuwa wa-
e ya kitubio kuliko kuacha dhambi nautukuza msalaba.
169

17073 DSS 39 tysk rettet.indd 169 25-03-2009 15:58:52


halika Warumi hujifanya kuwa wa- Mwungano wa Umizimu na h
nautukuza msalaba. Ukristo k
Huweka misalaba kila mahali: Kanisa la Romani Katoliki, liki- k
makanisani, madhabahuni, kwenye unganisha ukafiri na ukristo, nalo g
mavazi, n,k. Kila mahali wanautu- kama wamizimu walivyo, wanai- y
kuza msalaba kijuu juu. Lakini ma- elezea tabia ya ukristo, nalo kama a
fundisho ya Kristo wakiyazika chi- wamizimu walivyo, wanaielezea ta-
ni, na kuyainua mapokeo ya bure bia ya Mungu vibaya, wametafuta s
ya kibinadamu. Dhamira za watu njia ya utesaji. Njia ya kanuni za s
zikitishwa daima kuwa wasipotim- kusababisha mateso hukubaliana h
iza hayo Mungu atawaadibu, huku na mafundisho yao. Waongozi wa y
wakuu wao wakiishi katika anasa kanisa walichunguza na kubaini n
na uasherati. mambo yatakayosababisha mate- n
Daima Shetani hujitahidi kuiele- so kwa wale ambao hawatakubali- z
za vibaya tabia ya Mungu, asili ya ana na kanuni zao. Hivyo ndivyo M
dhambi, na msingi wa mashindano walivyofanya. Lakini wale waliotes- z
makuu. Hila zake huwapa watu wa waliona kuwa ni afadhali kufa M
uhuru wa kutenda dhambi. Wakati na kupumzika kuliko kukubaliana p
ule ule hueleza uongo kuhusu tabia na mambo ya kinyume cha imani z
ya Mungu ili watu wamwone Mungu yao. M
kuwa ni katili asiye na huruma ye Kwa waumini wa Rumi, walikuwa a
yote, wala hana upendo. Kwa ku- wakiadhibiwa kwa kushindishwa v
potosha tabia ya Mungu, mataifa ya kwa njaa na mateso mengineyo. u
kikafiri waliongozwa kuamini Mun- Hivyo ndivyo ilikuwa njia ya kuwa- T
gu awakubali. Katika ibada hizo rudi, na kuwaadibisha. Ili kusudi y
za sanamu na matoleo yao ukatili waingie mbinguni, walifundish- l
mwingi umefanyika. wa kukataa mafundisho ambayo j
Mungu ameyaweka kwa ajili ya m
hawa wasafiri wa mbinguni, wakati d
wakipewa wangali duniani. Uwan- w
ja wa kanisa ulikuwa umejaa watu k
hawa wenye kujitesa ili wapate up-
endeleo kwa Mungu, nayo ni kazi B
bure isiyokuwa na faida.
Mungu hakuwawekea wanadamu h
mizigo hiyo mizito ili apate kuwa- a
fadhili. Kristo hakuwapa watu k
kielelezo cha kujifungia katika ma- k
jumba ya watawa, ili wapate kufaa h
kuingia mbinguni. Hakufundisha i
kuwa upendo lazima ulazimishwe. u
Ibada ya sanamu na kuheshimu watakatifu,
na kumkweza Papa ni mbinu za Shetani za
Papa anajidai kuwa yeye ni mjumbe t
kuwavuta mawazo yao yatoke kwa Mungu na wa Kristo. Lakini alipokuwa hapa h
Mwana wake.

170

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 170 16-03-2009 14:32:08


hakuwafunga watu magerezani, eti ukatolliki kuliko ilivyokuwa siku
kwa kuwa hawakumheshimu na za watengenezaji wa kanisa.
- kumtukuza kama mfalme wa mbin- Makanisa ya Kiprotestanti kwa
o guni. Je, alifanya hivyo? Je, sauti ajili ya kutaka yapendeke ulim-
- yake ilisikika ikiwahukumu watu wenguni huamini mema ya uovu
a ambao hawakumwamini? wote, na katika hayo matokeo yake
- Kanisa la katoliki sasa linajionye- yatakuwa kuamini uovu wote kuwa
a sha katika ulimwengu kama lina- wema. Sasa kama hapo kwanza
a sikitikia vitendo vyake vya zamani, wanaomba samahani kwa Rumi
a hali likijaribu kufunika tabia yake kwa kutokuwa na mawazo ya up-
a ya utesaji na ukatili. Limejifunika endo kwao.
i na vazi la kikristo, lakini hali yake Wakiomba msamaha kwa ajili ya
- ni ile ile. Kanuni ya upapa tangu ushupavu wa wengi hudai kuwa
- zamani ni hiyo hiyo, ilivyo siku hizi. ufedhuli na ushirikia uliokuwako
o Mafundisho yao ya wakati wa zama wakati wa giza ulisaidia Rumi kuwa
- za giza, ndiyo hayo waliyo nayo. mkatili; sasa wakati huu wa elimu,
a Msimamo wa mapapa kuhusu wa- na kuongezeka kwa hali bora katika
a protestanti ni ule ule; tangu siku mambo ya dini, mambo ya karaha
i za watengenezaji, wakati watu wa yamezuilika. Mambo ya jinsi hiyo
Mungu walipokuwa hatarini kwa hayawezi kufikiriwa katika nyakati
a ajili ya kupinga papa. Upapa ni hizi. Lakini ni lazima ikumbukwe,
a vile unabii ulivyotabiri kuwa uasi kuwa, kadiri nuru kubwa inavyo-
. utaendelea kuzidi siku za mwisho 2 zidi kung’aa, ndivyo giza kuu lina-
- Thes. 2:3-4. Kama vile mabadiliko vyozidi kuwafunika wale wanaoip-
i ya kinyonga ndivyo unavyojibadili, inga nuru.
- lakini hali yake ikiwa ni ya sumu ya Siku bora za hali nzuri ya mwisho,
o joka. Je, kanisa asi hili ambalo kwa ndizo zimeleta hali ya giza zaidi kwa
a miaka maelfu historia yake imean- Warumi, na kuimarishwa kwa upa-
i dikwa katika damu ya watakatifu pa. Hali bora ya kinuru inalingana
- waliouawa nalo, litabadilika kuwa na hali ya kigiza. Zamani wakati
u kanisa la Mungu? watu hawakujua neno la kweli,
- watu maelfu walinaswa katika mi-
i Badilio katika Uprotestanti tego ya mwovu, bila kujua lolote.
Katika nchi za Kiprotestanti watu Wakati wa kizazi hiki wengi pia ha-
u husema kuwa, imani yao hutofauti- waoni mitego iliyotegwa miguuni
- ana na ile ya Kikatoliki kidogo sana pao, hujinasa kama vipofu. Watu
u kuliko ilivyokuwa zamani. Kume- wanapotukuza mawazo yao zaidi
- kuwako na badiliko; lakini badiliko ya Neno la Mungu, hali ya kitaal-
a hilo haliko upande wa Wakatoliki, amu hufanya madhara mengi zaidi
a ila upande wa waprotestanti, Sasa kuliko katika hali ya ujinga. Kwa
ukatoliki unafanana na uprotes- hiyo sayansi ya uongo ya siku zetu,
e tanti kwa sababu uprotestanti ume- hutimiza sehemu kubwa sana ya
a haribika sana ka kurudia hali ya kufaulisha upapa, na kukubaliwa

171

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 171 16-03-2009 14:32:09


kwake, kama ilivyofanyika katika y
zama za giza. w
K
Utunzaji wa Jumapili l
Utunzaji wa Jumapili ni desturi y
iliyoanzishwa na kanisa la Rumi,
ambayo hujidai kuwa hiyo ndiyo al- u
ama ya uwezo wake. Roho ya Upa- U
pa, ambayo ni ya kujiambatanisha k
na ulimwengu, na desturi zake za k
kujali mapokeo ya wanadamu zaidi f
ya sheria za Mungu, roho hiyo hiyo G.W. Bush katika Imani iliyojengeka katika v
Mwanzo wa uwazi. Ni mwenendo wa kuen- w
imeenea katika makanisa ya Kip- deleza Marekani ichukue kanisa na kulitumia
rotestanti na kuwaongoza kushika katika kuunga mkono shughuli za serekali, t
Jumapili kama Warumi walivyofan- Waprotestanti wanafwata nyayo za Upapa. B
ya zamani. m
Amri za kitawala na za mabara- katika siku ya Jumapili, yaani siku k
za, pamoja na mpango ya kanisa ya Bwana”. h
na kanuni zake, ambazo zilisaid- Upapa ulipoimarika, utunzaji wa u
iwa na serikali ndizo zilikuwa Jumapili uliendelea. Kwa muda, m
hatua za kuingiza ukafiri katika siku ya saba iliendelea kuheshi- z
makanisa ya Kiristo, na kuheshi- miwa kama Sabato, lakini badiliko m
miwa na ulimwengu. Hatua ya lilikuwa linafanyika. Baadaye papa k
kwanza ya kuiheshimu Juma- aliamuru kwamba wakuu wa ma- n
pili, ilikuwa amri iliyotolewa na jimbo, lazima wawaadhibu wote wa- h
mfalme Constantine. Ingawa ili- naovunja Jumapili wasije wakaleta Y
kuwa karibu kuwa kawaida ya balaa kwao wenyewe na majirani. G
kishenzi, ilisisitizwa na mfalme Maagizo ya mabaraza ya kanisa, d
iwekwe katika upande wa dini, hayakutosha, hivyo walitafuta z
baada ya kuongoka msaada wa serikali ili amri ya ku-
Eusebius, kasisi aliyetafuta msaa- tofanya kazi Jumapili ikazwe kishe-
da wa serikali ili atekeleze mambo ria. Katika baraza la wakuu lililo-
ya kanisa, na ambaye alikuwa rafi- fanyika Rumi, lilirudia mashauri
ki mpendwa wa mfalme Constan- yote yahusuyo kutunza Jumapili,
tine, ndiye alieneza habari kuwa yaliyofanyika nyuma, na kuyakaza
Kristo amehamisha heshima ya Sa- upya, kuwa amri ya kanisa likika-
bato kutoka Jumamosi na kuiweka zwa na mamlaka ya serikali.
Jumapili. Hakuwa na ushahidi wa Hata hivyo kutokuwako na fun-
Biblia kuhusu madai hayo. Eusebi- gu la Biblia linalounga mkono juu
us mwenyewe alikiri kuwa ni uongo ya utunzaji wa Jumapili, kulizidi
bila kujua kuwa anakiri. Alisema, kuwatia wasiwasi. Watu waliuli-
za sababu ya kupuuza usemi wa B
“Mambo yote yaliyopaswa kutende-
ka siku ya Sabato yalihamishiwa Mungu, unaoamuru, “Lakini siku

172

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 172 16-03-2009 14:32:09


ya saba ni Sabato ya Bwana Mungu wa na mapapa wa Rumi.
wako” na kuheshimu siku ya jua. Lakini juhudi zote za kuimarisha
Kwa kuwa walikosa fungu la Biblia utunzaji wa Jumapili kuwa saba-
la kuthibitisha, walitoa maelezo yo to zimetokana na mapapa ambao
yote waliyoona kuwa yanafaa. hukiri wazi sabato iliwekwa na
Mtu mwenye juhudi ya kusisitiza Mungu. Katika karne ya kumi na
utunzaji wa Jumapili, alitembelea sita, baraza la mapapa lilitangaza
Uingereza mwishoni mwa karne ya hivi: “Wakristo wote wajue kuwa
kumi na mbili mtu huyo alipofika siku ya saba ya juma ilitoka kwa na
katika makanisa ya huko na ku- Mungu mwenyewe, nayo imekuwa
fundisha mambo hayo, alipingwa ikitunzwa siku zote, wala si Waya-
vibaya na mashahidi waaminifu hudi peke yao, bali na watu wote
wa ukweli, na kwa kuwa hakupa- wanaokiri kumwabudu Mungu; in-
ta matunda, aliondoka kwa muda. gawa sisi wakristo tumeibadili Sa-
Baadaye aliporudi tena alikuja na bato na kuifanya iwe jumapili, am-
maandiko aliyodai kuwa yametoka bayo ndiyo siku ya Bwana” Wale
u kwa Mungu mwenyewe. Maandiko walioharibu amri ya Mungu, wali-
hayo yalikuwa yanasema juu ya jua aina ya kazi yao.
a utunzaji wa Jumapili, na kwamba
, mtu yeyote atakayepinga utun- Adhabu Kali
- zaji huo ataona cha mtema kuni, Kielelezo cha kushangaza cha
o maandiko haya ilisememekana kanuni ya Rumi, kilitolewa kati-
a kuwa yameanguka kutoka mbingu- ka mateso ya Waldenses ya muda
- ni, kwamba yalikutwa juu ya mad- mrefu na kumwaga damu sana,
- habahu ya kanisla la Simeon huko ambayo yaliwakumba baadhi wa-
a Yerusalemu, kwenye kilima cha shika sabato. Historia ya makanisa
Golgota. Lakini kwa kweli yalian- yaliyokuwa katika Ethiopia na Ab-
, dikwa na papa wa Rumi. Hila zote yssinia ni ya muhimu sana. Katika
a za udanganyifu vimekuwa vikifany- ukiwa wa wakati wa giza wakristo
- wa Afrika ya kati walisahauliwa ka-
- tika malimwengu, yaani hawakuju-
- likana na kwa hiyo walikuwa sal-
i ama, wakiufurahia uhuru wao wa
, kuabudu. Baadaye Rumi ikawa-
a gundua na mfalme wa Abyssinia
- akavutwa kwa ujanja ili amkiri
papa kuwa ndiye wakili wa Mungu.
- Amri ilitolewa ya kutangaza watu
u kutunza sabato, na mtu asipoi-
i Ubatizo wa Kostantini ulikuwa ni hatua ya jali atapata adhabu kali. Baadaye
- kuunganisha kanisa na serekali. Mwaka 321 utawala wa papa ukawawia watu
a BK alitangaza sheriaa ya Jumapili bila msingi
wo wote katika Biblia. Kwa taratibu tangazo
mzigo mchungu, kwamba Abyssin-
u hili likapewa nguvu na kanisa. ia akakusudia kuuvunjilia mbali.

173

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 173 16-03-2009 14:32:10


Mnyama Mwenye Pembe Mbili d
Kama Kondoo J
Unabii wa Ufunuo 13 unasema
kuwa mnyama afananaye na mwa- t
na kondoo mwenye pembe mbili, t
utawafanya watu wote wakaao du- S
niani wamsujudie papa ambaye afa- o
nanishwa na mnyama kama chui. k
Mnyama afananaye na mwana- w
kondoo atawaambia watu wakaao k
duniani wamfanyie mnyama chui e
sanamu. Zaidi ya hayo mnyama l
huyu atawaamuru watu, wadogo s
na wakubwa matajiri na maskini, B
walio huru na wafungwa, wado- k
go na wakubwa, matajiri maskini, g
walio huru na wafungwa watiwe M
alama ya mnyama. Ufunuo 13:11- m
16. Marekani ndiyo inayofananish- h
wa na mnyama kama mwanakon- r
doo, mwenye pembe mbili. Unabii
huu utatimia wakati Marekani ita- L
Kwa miaka mingi misa za Jumapili taratibu kapolazimisha watu washike Ju- k
zilitukuzwa, wakati Sabato ya kweli taratibu mapili ambayo Rumi hudai kuwa
ilishushwa na baadaye kufutwa kabisa.
ndiyo alama ya ukuu wake. “Nika-
ona kimoja cha vichwa vyake kana
Basi urumi ukapigwa marufuku kwamba kimetiwa jeraha la mau-
katika nchi hiyo na imani yao ya ti, na pigo lake la mauti likapona.
kwanza ikawarudia. Dunia yote ikamstaajabia mnyama
Wakati makanisa ya Afrika yali- yule” ufunuo 13:3. Pigo la mauti
pokuwa yakiishika sabato ya siku ya linaelekeza kwenye anguko la upa-
saba, ambayo ndiyo amri ya Mungu pa la mwaka 1798. Baada ya haya,
lakini walijiepusha kufanya kazi na unabii husema, “pigo lake la mauti
siku ya Jumapili kufuata kawaida lilipona, dunia yote ikamstaaja-
ya kanisa. Rumi iliikanyaga amri bia mnyama yule”. Paulo asema
ya Mungu ili kutukuza amri yake kuwa “mtu wa dhambi” atatenda
mwenyewe, lakini makanisa ya Af- kazi yake ya udanganyifu mpaka
rika ambayo hayakujulikana karibu mwisho wa wakati 2 Thes. 2:3-8.
miaka elfu moja, hayakuingia kati- “Na watu wote wakaao juu ya nchi
ka uasi huu. Walipoletwa chini ya watamsujudia, kila ambaye jina
Rumi walilazimishwa kuiacha Saba- lake halikuandikwa katika kitabu
to ya kweli na kushika ile ya uongo. cha uzima cha mwana kondoo”.
Lakini hawakuweza kupata uhuru Ufunuo 13:8. Katika nchi zote za
wa kurudi kushika amri ya nne.
174

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 174 16-03-2009 14:32:10


i dunia papa atatukuzwa kwa ajili ya rotestanti yanaliheshimu, kwa vile
Jumapili aliyoibuni. yanakubali kushika jumapili, am-
a Tangu kati ya karne ya kumi na bayo ni sabato ya uongo, na kwam-
- tisa wanafunzi wa Biblia walile- ba linajitayarisha kulazimisha watu
, ta ushuhuda huu ulimwenguni. kuishika Jumapili kwa nguvu, kwa
- Sasa utimizo wa unabii huu una- kutumia njia zile zile zilizotumika
- onekana kuwa unaharakisha sana zamani. Jinsi litakavyokuwa tayari
. kutimizwa kwake. Hata walimu kuunga mkono Uprotestanti ili ku-
- wa Kiprotestanti wanakutimizwa timizia shabaha yake ni wazi.
o kwake. Hata walimu wa Kiprot- Kanisa la katoliki limebuni shiri-
i estanti wanakubaliana na mam- ka kuu linalosimamiwa na papa.
a laka hii iliyoweka Jumapili kuwa Washiriki au ajumbe wake, am-
o sabato, na wala hawana fungu la bao ni mamilioni wako kila nchi,
, Biblia linalowaunga mkono, sawa na kila mahali, wote wakiwasiliana
- kama wakatoliki walivyokosa fun- na papa, bila kujali taifa gani au
, gu. Thibitisho kuwa hukumu ya serikali gani wao waliomo. Ingawa
e Mungu itawaangukia washikao Ju- hula kiapo cha kutumikia nchi na
- mapili, litarudiwa tena na hata sasa serikali yao lakini kwa chini chini
- hukumu ya Mungu inaanza kuha- huwa na kiapo kingine cha kutimiza
- rakisha. maazimio ya papa wa Rumi.
i Kanisa la Rumi lina werevu sana. Historia inaonyesha jinsi kanisa
- Linasoma mambo yanayoonekana hili linavyojihusisha na mambo
- kuwa kwamba makanisa ya Kip- mbalimbali ya nchi na mataifa
a
-
a
-
.
a
i
-
,
i
-
a
a
a
.
i
a
u
. Unabi wa Ufuno 13 unatangaza kuwa nguvu inazowakilishwa na manyama ambaye ni mfano
a wa kondoo mwenye pembe atawalazimsha “wote wakaao juu ya nchi”mwabudu papa-anaye
wakilisha mnyama “Kama chui”

175

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 175 16-03-2009 14:32:12


Rangi ya dhambarau katika ramani huonyesha dunia zote amabzo walituma wakuu wao kwa
kifo cha Papa John wa Pili katika mazishi yake, hii ni dalili tosha ya kuonyesha jinsi
Ukatoliki ulivyo sambaa katika dunia hii.

mbalimbali. Hivyo hufaulu kuin- Mwungano wa makanisa ya Kip-


gilia mambo hata ya mapinduzi ya rotestanti kwanza; halafu mwun-
watawala, ili mradi watimize maku- gano wa makanisa ya Kiprotestanti
sudi yao. na Rumi; mwisho, mwungano wa
Wanajivuna kuwa wao hawab- kanisa na serikali.
adiliki kwa vyo vyote. Waprotes- Makanisa ya Kiprotestanit yata-
tanti wanajua kidogo sana kuhusu kuja kung’amua makusudi ya s
mhimizo wao wa mwungano wa Rumi, yakiwa yamechelewa tayari,
dini, kwamba Rumi ina makusudi wala hayataweza kujitoa mtegoni. b
mbalimbali vile hawa wanavyod- Kanisa la Rumi linaendelea kupata
hani. Hata kule kushika Jumapili uwezo kimya kimya. Mvuto wao S
hawana habari juu yake. unaingia katika majumba ya ku-
Waprotestanti wanaposhughulika tunga sheria, makanisa, na katika D
na kutafuta mwungano wa Rumi, mioyo ya watu. Wanajiimarisha ili
Warumi wao hushughulika na jinsi waweze kukamilisha maazimio yao;
ya kujiimarisha na kushika uwezo wakati ukifika watatenda mam-
wote mikononi mwao, ule walio- bo yao. mambo yao ni kupigana
kuwa nao zamani, ambao uliwapo- vita na Mungu na neno lake. Hivi
tea. Kusudi lao ni kuweza kuwa kila mwenye kutii neno la Mungu
na uwezo wa kutawala kanisa na atakabiliana na mashutumu na
serikali pia, ili ikiwezekana kwam- mateso.
ba matakwa ya kanisa yaweze ku-
timizwa kwa nguvu ya serikali, si
muda mrefu ujao mwungano baina Marejeo:
ya kanisa na serikali utafikiwa, na John L. Von Mosheim – Institutes
hapo ushindi wa Rumi utakamilika. of Eccelesistical History

176

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 176 16-03-2009 14:32:14


-
-
i
a

- Book 3 Century II, sehemu ya 2 nation and Observation of the


a sura kifungu 9 Note 17. Lord’s Day pp. 281, 282
, Robert Cox Sabbath laws and Sab- Angalia Michael Geddes Church
. bath Duties p. 558 History of Ethiopia pp. 311, 312.
a Angalia Heylyn. History of the Angalia kwa ajili ya mfano John
o Sabbath pt. 2 sura 5 sec 7. Dowling. The History of Romaism
- Thomas Morer – Discourse in Six bk. 5, sura 6 sec 55 and Mosheim
a Dialogues on the Name, bk 3 cent 11 part 2 chap . 2 see sec.
i 9 note 17.
;
-
a
i
u
a

177

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 177 16-03-2009 14:32:14


T
b
H
y
b
m
j
h
r
k
w
y

y
f
u
b
s
f
d
w
t
k
k
n
u
d
y
w
h
m

178

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 178 16-03-2009 14:32:14


36

Mapambano
Yaliyo Karibu Sana

T
angu mwanzo wa mapamba- Ni vyepesi kufanya sanamu ya
no huko mbinguni, limeku- mafundisho ya uongo, sawasawa
wa azimio la shetani kuhari- na kufanya sanamu za kuchonga.
bu sheria ya Mungu na kuondoa. Kule kumweleza Mungu kwa njia
Haidhuru ama ni kuindoa sheria potofu, yaani kuitafsiri tabia yake
yote nzima, au kukataa kutam- vibaya, shetani huwaongoza watu
bua sehemu moja tu ya sheria, kwa njia potofu. Sanamu ya wenye
matokeo ni yale yale. Mtu avun- elimu inatwalishwa na kuabudi-
jaye sehemu moja ya seria hudhi- wa, badala ya kumwabudu Mun-
hirisha nia yake ya kuvunja she- gu. Kama anavyofunuliwa katika
ria nzima, maana mvuto wake na Neno Lake, na katika Kristo, na
kielelezo chake huelekea upande katika kazi zake za kuumba Mun-
wa kuasi. Basi “amekosa juu ya gu na wenye elimu, watungaji wa
yote” Yakobo 2:10. mashairi, wana siasa, waandishi
Shetani amepotosha mafundsiho wa magazeti, wa vyuo vikuu vingi,
ya Biblia, kwa hiyo makosa yame- hata vyuo vya kufunza mambo ya
fanywa na watu maelfu katika dini, anazidi Baali kidogo tu, mun-
ukristo wao. Pamoja na mwisho gu jua ambaye ni mungu wa Wa-
baina ya ukweli na uovu ni kuhu- foeniki kama ilivyo siku za Eliya
su sheria ya Mungu, baina ya ma- nabii.
fundisho ya Biblia na sehemu ya Hakuna kosa la ujasiri kabisa
dini. Biblia inaweza kufikiwa na kuhusu mamlaka ya Mungu le-
watu wote lakini ni watu wachache nye matokeo ya hatari zaidi kuliko
tu wanaoikubali Biblia kuwa ndiyo kosa la kufundisha kuwa sheria ya
kiongozi wa maisha yao. Katika Mungu imefutika. Tuseme kuwa,
kanisa wengi hukataa misingi au wachungaji mashuhuri wahubiri
nguzo za imani ya Kikristo, yaani waziwazi kuwa, sheria ya mtawala
uumbaji, anguko la mwanadamu wa nchi yao haina ulazima kui-
dhambini, upatanisho na sheria shika, kwamba inazuia uhuru wa
ya Mungu. Nguzo hizi zimekatali- watu, kwa hiyo haina lazima ya
wa, yote au sehemu yake. Wengi kutiiwa. Je, mtu kama huyu an-
huona kuwa ni udhaifu tu kuitege- gevumiliwa muda gani aendelee
mea Biblia peke yake. kufundisha hivyo?

179

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 179 16-03-2009 14:32:16


Ulimwengu utakuwa mahali pa w
wanyang’anyaji na mauaji tu. Am- h
ani na furaha vingefutika duniani.
Fundisho hili la kufuta amri ya n
nne limekwisha kufungua mlango k
tayari wa maovu duniani. Ujeuri k
na uharibifu huingia duniani g
kama mkondo wa maji. Hata ka- B
tika nchi za Kikristo unafiki ume- m
jaa tele. Kumekuwako na usaliti w
na tamaa kwa wingi. Kanuni za l
Hata hivyo ingekuwa rahisi kama dini ambazo ndizo msingi wa mai- h
taifa kuondoa sheria zao kuliko sha zimebomolewa vibaya, karibu y
mfalme wa malimwengu kutangua kuanguka. Uasi na maovu hufu- w
sheria yake. Jaribio la kuziepuka rahiwa sana na wenye kuyatenda t
sheria za Mungu lilifanywa ufar- kama vile kitu kizuri. Magazeti p
ansa, wakati nchi ilipotawaliwa huandika matokeo ya uovu kila w
na makafiri. Ilionekana kuwa ku- aina; unyang’anyi, uharamia na w
ondoa ua wa ulinzi uliowekwa na mauaji. w
Mungu, na kukubali kuweka nchi Mambo haya ya ufedhuli na uovu k
hiyo mikononi mwa utawala wa usio na kipimo budi uwashitushe g
mfalme wa uovu. watu wote. Kutafanywa nini ili y
kuyakomesha mabaya haya? u
Kuweka Kando Sheria ya Mungu n
Watu wanaofundisha wengine Ulevi umewafumba Wengi k
kuipuuzia sheria ya Mungu, huwa Mahakama yamechafuka na y
wanapanda mbegu za uasi zita- kuwa mahali pa ufedhuli, wa- k
kazozaa uasi. Hebu basi uzio un- tawala wamekumbwa na tamaa ya
aowekwa na sheria ya Mungu uon- kupata faida ya haramu pamoja
dolewe, hapo matokeo yatakuwa na uasherati. Ulevi wa pombe na
kutojaliana huyu na huyu, na mai- kutokuwa na kiasi vimewafumba
sha yatakuwa ovyo yasiyo na maa- watu wengi wasitambue lo lote,
na. Mali hazitakuwa katika hali ya kwa hiyo shetani amewatawala
usalama. Watu atanyang’anyana kabisa. Mahakimu wanaongoza
mali kwa nguvu, na mwenye nguvu katika kula rushwa. Ulevi wa kila
ndiye atatajirika. Maisha yenyewe aina, utovu wa uaminifu, vimewa-
hayataheshimiwa, kiapo cha ndoa tawala wanasheria. Na sasa kwa
hakitajaliwa tena, mwenye nguvu vile shetani hawezi kuwashikilia
atachukua mke wa jirani kwa ngu- walimwengu ili waache kusoma
vu. Amri yatano itawekwa kando Maandiko matakatifu amebuni
na ya nne. Watoto watawainukia njia nyingine ili apate kukamilisha
wazazi wao ili wapate watakavyo. kazi yake. Kuharibu imani za watu

180

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 180 16-03-2009 14:32:17


a wasiamini Biblia pia sawa na kui- walimu wanaopendwa na watu
- haribu Biblia yenyewe. wake wameitupilia mbali sheria
. Kama ilivyokuwa hapo mwanzo- ya Mungu pamoja na sabato. Kwa
a ni, amefanya kazi yake ya upotovu kadiri msistizo wa sabato una-
o kupitia katika makanisa. Katika vyoenea, kuikataa sabato pia ku-
i kupotosha Maandiko, amewaon- taenea ulimwenguni. Viongozi wa
i goza kutafsiri vibaya mafungu ya makanisa wanafungua milango ili
- Biblia, na kwa hali hiyo amepanda ukafiri uingie, na kuamini pepo na
- mbegu za ukafiri kwa watu. Watu kukataa sheria ya Mungu. Kuna
i wakishikilia maneno ya Wakato- hali ya kutisha ya umizimu katika
a liki kuwa mtu afapo, roho yake makanisa ya kikristo leo, katika
- haifi, wamekataa maneno ya kweli ulimwengu.
u ya msingi ambao Mungu ameu- Hata hivyo, watu hawa wanaji-
- weka, wakaandamana na mapo- dai kuwa kule kushika Jumapili
a tofu ya giza, kwa hiyo hawezi kue- kutaleta uheri katika jamii. Ni ku-
i pushwa na udanganyifu wa pepo sudi la shetani kuchanganya kweli
a wanaojifanya kuwa ni jamaa za na uongo, halafu kuwafanya watu
a watu waliokufa wanaowatembelea wajione kuwa wanaridhika na hali
walio hai. Mafundisho ya kwamba hiyo. Wanaosisitiza ushikaji wa
u kuna moto wa milele unaowaun- Jumapili wanaweza kutangaza
e guza watu wakati wanapokufa, matengenezo watu wanayotaka
i yamewapotosha wengi wauache wakiunganisha ukweli wa Biblia,
ukweli wa Biblia. Kama amri ya ambao huwa kinyume cha sheria
nne inavyohimiza, inaonekana ya Mungu. Watumishi wa Mungu
kuwa utunzaji wa Sabato ya siku hawawezi kujiunga na watu wa
a ya saba unalazimishwa, na kwa jinsi hii. Hakuna kitu kinach-
- kuwa hawapendi kufanya hivyo, otosheleza kutoa sheria ya Mungu
a na kuweka kitu kingine, ambacho
a ni cha mwanadamu.
a Shetani atawaingiza watu katika
a madangayo yake kwa njia ya ma-
, kosa mawili makuu, yaani kosa
a la kwanza ni lile la kutokufa kwa
a roho, na kosa la pili ni kushika
a jumapili badala ya sabato ya siku
- ya saba. Shetani ataweka watu
a katika udanganyifu wake. Kosa
a la kwanza huweka msingi wa ku-
a Mafundisho ya viongozi wa dini yamefungua ongea na wafu, na kosa la pili hu-
i mlango wa udanganyifu na kuridhika kuwa tia kifungo cha kuwafungamani-
ndivyo sheria za Mungu zilivyo, wakati wana-
a dai kuwa uenezaji wa kile kinchadaiwa kuwa
sha na Rumi. Waprotestanti wa
u wakristo wa sabato ndio wanaoleta Marekani watakuwa wa kwanza
machafuko.

181

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 181 16-03-2009 14:32:19


v
y
k
t
a
a
w
a
a
f
w
M
t
i
g

n
Umizimu leo unaigiza karibu sana na ukristo wa leo, tena una nguvu sana ya kudanganya na h
kupotosha. Shetani mwenyewe ameongoka, katika maendeleo ya leo. w
kunyosha mikono yao kuvusha wote wataona katika mwungano m
ghuba na kuunganisha na uon- huo kuwa ulimwengu unaongole-
geaji wa wafu; wataunganika na wa na Kristo.
Rumi; na chini ya nguvu hizi tatu, Kwa njia ya pepo hawa Shetani
nchi hii itafuata nyayo za Rumi za ataonekana kana kwamba ndi-
kutawala uhuru wa dhamiri. Kwa ye mfadhili wa wanadamu, aki-
vile imani ya kuongea na wafu, ita- waponya wagonjwa na kuwaletea
jifananisha na dini ya kikristo ya dini ya namna mpya, lakini wakati
kisasa, itakuwa na uwezo wa ku- ule ule akiwapeleka watu katika
danganya. Shetani mwenyewe at- uharibifu. Ulevi huaribu uwezo wa
ajigeuza kuwa mfano wa malaika kufikiri. Kupenda anasa na uash-
wa nuru. Kwa njia ya pepo hao wa erati, ugomvi na kumwaga damu
kuongea, miujiza itafanyika, wag- ndiyo matokeo yake.
onjwa watapona, na ishara nyingi Vita husisimua tamaa mbaya ya
zisizoweza kukanushwa zitatende- rohoni na kuingiza hali hiyo mpa-
ka. ka ndani, kwenye damu. Ni kusu-
Mapapa ambao hujidai kuwa di la shetani kuwachochea mataifa
dini ya kweli hujulikana kwa is- wapigane, ili kuwazuia wasijiandae
hara hizo watadanganyika kabisa kusimama mbele za Mungu.
kwa ishara hizo, na Waprotestanti Shetani amejifunza siri za vitu
wakiwa wametupa ngao ya ukweli, vya asili, naye anaweza kutumia
wao pia watadanganywa. Wakato- vitu vya asili ili kuleta madhara
liki, Waprotestanti na walimwengu kwa kadiri ile Mungu aruhusu-

182

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 182 16-03-2009 14:32:20


vyo. Mungu ndiye huzuia madhara jo matupu. Ajali zinazotokea ka-
yanayoweza kuletwa na shetani tika bahari na nchi kavu. Katika
kwa viumbe vyake. Lakini wakris- milipuko ya moto, katika tufani
to wameidharau sheria yake, naye na dhoruba katika matetemeko
atafanya kama alivyosema, yaani ya nchi, na katika kuumuka kwa
ataondoa ulinzi wake kwao na ku- mawimbi, na mafuriko makub-
waacha watupu bila kinga. Shet- wa na mambo mengi ya kutisha
ani huwashika wale ambao Mungu yanayoangamiza maisha ya watu,
amewaondolea ulinzi wake. Atawa- shetani hutumia uwezo wake aji-
fanikisha wengine na wengine ku- onyeshe alivyo. Hugharikisha ma-
wapa taabu ili wapate kumlaumu vuno mashambani, ili kusababisha
Mungu, kuwa ndiye anasababisha njaa. Hukoroga hewa na kuwa ya
taabu yao. Hayo yote huyatenda hatari iwezayo kuangamiza watu
ili kuendeleza kazi yake ya udan- maelfu.
ganyifu. Kisa mwovu mkuu huyo huwas-
Wakati shetani anapojidai kuwa ingizia watu wanaoshika amri za
ni mfadhili wa watu wakati ule ule Mungu kuwa ndio wanaosababi-
huwaletea magonjwa na dhiki kub- sha maafa hayo yote. Pia huse-
wa mpaka wengi waangamie, na ma kwamba kwa sababu watu
o miji mikubwa ibaki katika magan- wamemkosea Mungu kwa kuto-
-

i
-
-
a
i
a
a
-
u

a
-
-
a
e

u
a
a Mungu kamwe hatalazimisha nguvu za dhamira ya mtu; lakini mara zote Shetani hujitahidi
- kuzitawala kwa kuwarubuni hata kutenkeleza kwa kutumia ukatili.

183

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 183 16-03-2009 14:32:22


y
n
s
w
n
W
w
c
M
k
K
r
a
W
w
y

shika siku ya Jumapili, ndiyo saba- pili wanafanya makosa. Watauom-


bu ya kutokea mambo haya, nayo bolezea uovu uliomo ulimwenguni,
hayatakoma mpaka siku ya juma- na ushuhuda wa pili wa walimu wa
pili itakapoheshimiwa na kushikwa dini walivyohafifisha hali ya kiroho
barabara. “Wale wanaoasi siku ya kwa kutoiheshimu jumapili.
jumapili huzuia mibaraka ya Mun- Chini ya uongozi wa Rumi, wale
gu. Kwa hiyo mashitaka waliyo- walioteseka kwa ajli ya Injili wali-
shitakiwa watu wa Mungu zamani, shutumiwa kama watenda ma-
yatarudiwa tena. “Wakati Ahabu ovu, wakihesabiwa katika jamaa
alipomwona Eliya. . . Ahabu alim- ya Shetani. Hivyo ndivyo itaka-
wambia wewe ndiye unayetaabisha vyokuwa sasa. Shetani atawaletea
Israeli? 1Fal. 18:17-18. Uwezo wa mateso wale wanaoshika sheria ya
kutenda miujiza utawavutia watu Mungu, ili washitakiwe kuwa ndio
kuwaelekeza kwa wale wanaom- wanaosababisha maafa duniani.
tii Mungu kuliko jumuia. Roho Atajitahidi kuwatisha kwa njia ya
watamwaambia kuwa wametumwa hofu, akiwachochea watu pamoja
na Mungu ili kuwahakikishia kuwa, na serikali wapingane na sheria ya
wale wanaopinga utunzaji wa juma- Mungu.

184

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 184 16-03-2009 14:32:23


Wale wanaoiheshimu sabato Wakuu wa kanisa na waongozi
ya Biblia watashutumiwa kuwa wa serikali watashirikiana kuwala-
ni maadui wa nchi, na wavunja zimisha watu wote kushika Ju-
sheria, ya jamii, Ni watu wakorofi mapili. Hata watu wa Marekani,
wasio na utaratibu, nao ndio wa- ambao ni nchi huru, watu wataji-
naosababisha maafa haya yote. tolea kufuata mkumbo wa wengi
Watashitakiwa kama wahaini, na kulazimisha watu kushika ju-
walio kinyume cha serikali. Wa- mapili. Uhuru wa dhamiri ambao
chungaji wanaovunja sheria ya umegharimu gharama kuu, hauta-
Mungu, hujipendekeza kana heshimiwa, wala kujaliwa. Wakati
kwamba ni wapenzi wa serikali. wa mapambano yaliyo karibuni,
Katika majumba ya kutunga she- tutaona maneno ya nabii yas-
ria na katika mahakama, watunza emayo, “Joka akamkasirikia yule
amri za Mungu watashutumiwa, mwanamke, akaenda zake afanye
Watatajwa vibaya kila mahali na vita juu ya wazao wake waliosa-
wapakwa matope katika mambo lia, wazishikao amri za Mungu,
yao yote, kwa uongo. na kuwa na ushuhuda wa Yesu”
Ufunuo 12:17.

-
,
a
o

e
-
-
a
-
a
a
o
.
a
a
a

185

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 185 16-03-2009 14:32:24


w
y
n
w
m
w
i
b
k
y
y
k
i
m

z
h
m
f
y
t
u
y
y
H
w
u
k

186

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 186 16-03-2009 14:32:24


37

Usalama Wetu
wa Pekee

W
atu wa Mungu wa- ba, atauawa na kufufuka tena.
meelekezwa kwa Neno la Malaika waliokuwako ili kuyaka-
Mungu kuwa ndilo litaku- zia maneno yake katika mioyo ya
wa usalama wao katika udangan- watu. Lakini maneno yake yali-
yifu wa giza. Shetani hutumia kila toweka katika mioyo ya wanafunzi
njia anayobuni ili kuwafanya watu wake, na wakati jaribu lilipokuja,
wasipate ukweli wa Biblia. Kila na Yesu alipokufa, matumaini
mara kazi ya Mungu inapoanzish- yao yalitoweka, wakafanana kama
wa, yeye naye huamka kwa juhudi kwamba hawakuonywa juu ya
ili kuinga. Mapambano ya mwisho mambo hayo. Vivyo hivyo unabii
baina ya Kristo na wafuasi wake umetufunulia mambo yajayo wa-
karibu yatatokea waziwazi, mbele ziwazi, kama wanafunzi walivyofu-
yetu. Shetani ataigiza mambo nuliwa na Kristo. Mungu anapo-
yafanane na yale ya kweli, mpa- tuma maonyo, hutazamia kuwa
ka itakuwa vigumu kupagundua, kila mtu atatega sikio na kuyajali,
isipokuwa kwa njia ya Maandiko lakini makundi mengi hawaelewi
matakatifu peke yake. ukweli huu muhimu na wakati wa
Wale wanaojitahidi kushika amri taabu utawapata bila kuwa tayari.
za Mungu, watapingwa na kudhi- Adhabu ya kutisha itakayowaan-
hakiwa. Ili kusudi waweze kusi- gukia watakaomwabudu mnyama
mama na kushinda, ni lazima wa- na sanamu yake (Ufunuo 14:9-
fahamu mapenzi ya Mungu jinsi 11) ingewafanya watu waamke na
yalivyofunuliwa katika Biblia. Wa- kuchunguza maana ya alama ya
taweza kumheshimu tu wakiwa na mnyama, na jinsi ya kujiepusha
ufahamu wa kweli kuhusu tabia nayo. Lakini watu hawashughuliki
yake serikali yake, na makusudi na ukweli wa Biblia na mafundisho
yake; halafu watende kama yalivyo. yake, kwa sababu huwapa kile wa-
Hakuna wengine, isipokuwa wale nachotaka, yaani udanganyifu.
waliojiimarisha kiroho kwa njia ya Lakini Mungu atakuwa na watu
ukweli wa Biblia, ndio watafaulu wenye kushika Biblia na ma-
katika mapambano ya mwisho. fundisho yake peke yake, kuwa
Kabla mwokozi hajasulubishwa ndiyo kanuni ya maisha ya msingi
aliwaeleza wanafunzi wake kwam- wa matengenezo yote. Mawazo ya

187

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 187 16-03-2009 14:32:27


t
d
n
m
u
o
h
w
Mungu atakuwa na watu ambao wataendeleza Biblia na Biblia peke yake,
kama kipimo cha misingi yote na matengenezo n
m
wataalamu, na tafsiri potofu za iwatawale dhamiri. Hekima hii K
Biblia wanazoeleza watu wa say- imekuwa laana kuu katika vizazi k
ansi, na mashauri yanayofanywa vyote. Maonyo yake ya kutofuata u
na kuamuriwa na mabaraza kwa waongozi wa kibinadamu, katika w
kura ya wengi, hata mojawapo lis- hali ya upofu yameandikwa ili ku-
ingefikiriwa kuwa ushahidi wa ma- waonya watu wa vizazi vijavyo. k
fundisho. Sisi tungeshikilia neno Kanisa la Rumi limewapa tu vion- k
kuwa, “Ndivyo asemavyo Bwana” gozi wa kanisa uwezo wa kutafsiri y
Shetani anawatazamisha watu Biblia kama wapendavyo, na ku- u
kwa wachungaji wao, na wataal- waaminisha watu wafuate hivyo.
amu wa theolojia kuwa ndio wa- Ingawa watengenezaji wa kanisa
naotosha kuwaongoza, badala ya walitoa Biblia isomwe na watu
kuangalia Biblia na kujisomea we- wote, lakini msingi ule ule ulioshi-
nyewe. Kwa vile anavyowaongoza kiliwa na Rumi huzuia watu wengi
wawategemee viongozi hawa, basi katika makanisa ya Kiprotestanti
anawavuta wengi. wasichunguze Biblia wao wenyewe,
Kristo alipokuja watu wa kawaida walifundishwa kufuata tafsiri ya
tu walimsikiliza kwa furaha. Laki- kanisa. Maelfu hawakupata cho-
ni wakuu wa makuhani waongozi chote. Ingawa Biblia hueleza wazi
wa watu, walizama katika chuki, kilicho kinyume cha imani yao.
wakamkataa masihi. Waliuliza, Watu wengi wako tayari kujitolea
“Inakuwaje watawala wetu na we- roho zao kwa waongozi wao wa
nye maarifa na akili hawamwami- kanisa. Mafundisho ya Mwokozi
ni Yesu? Walimu hao waliongoza huyasoma kijuu juu tu bila kuy-
taifa la Kiyahudi kumkataa Mkom- ajali. Je, hao wachungaji wao ni
bozi. watu wasioweza kukosa? Hawana
upungufu wo wote? Tunawezaje
Kutukuza mamlaka ya kuwategemea watuongoze, tusi-
Kibinadamu powathibitishawa kwa Neno la
Kristo alikuwa na maono kuhu- Mungu kuwa ni wachukuzi wa
su jinsi watu watakavyoitukuza nuru. Upungufu wa unyofu ndio
hekima ya kibinadamu, mpaka husababisha watu wengi kuwa-
188

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 188 16-03-2009 14:32:28


tegemea wataalamu, na kujitun- chagua njia za giza kuliko nuru.
dika katika makosa yao bila kuwa Kutojua hakuwezi kuwa udh-
na habari. Huona ukweli wao uru wa kutenda dhambi, ambavyo
mambo katika Biblia, na huona kuna uwezekano wa kujua map-
uwezo wa Roho Mtakatifu ukiwa- enzi ya Mungu. Msafiri akifikia
ongoza wahubiri wa Injili, walakini mahali pa njia panda, na vidokezo
hata hivyo hukubali waongozi wao vinaonyesha mahali kila njia ina-
wawapotoshe kutoka nuru. kokwenda, asipojali hizi alama, na
Shetani hunasa watu wengi kwa akafuata njia yo yote tu anayopen-
njia ya kuwaunganisha pamoja na da, anaweza kusafiri kwa makini,
maadui za Mungu, na msalaba wa lakini kwa kweli atakuwa amepo-
i Kristo. Mwungano huu unaweza tea njia.
i kuwa wa kuzaliwa, kuoana, au
a urafiki. Watu wa namna hii ha- Wajibu wa Kwanza wa Mkuu
a watamani kutimiza wajibu wao. Kuwa na nia njema peke yake ….
- Wengi husema kuwa, haidhuru Na kufanya kama vile mchungaji
kitu, mtu aweza kuamini katika anavyomwambi kuwa ndivyo haki
- kanisa lolote, bora tu maisha yake hakutoshi.
i yawe safi, ukweli upo, lakini hatu- Inampasa kila mtu kuchungu-
- ujali, mwisho tutaukataa, na ku- za maandiko kwa ajili yake mwe-
. nyewe. Humo ataona vibao vina-
a vyooneysha baraka ya mbinguni
u na wala asibahatishe.
- Ni wajibu, tena wajibu mkuu wa
i kila mtu kujifunza kutoka katika
i Maandiko ili apate kujua ukweli wa
, Mungu ulivyo, halafu atembee ka-
a tika nuru ya ukweli huo; na kuwa
- na mawazo yetu wenyewe, kwa vile
i tutakavyosimama wenyewe mbele
za Mungu.
a Watu wasomi pamoja na majivuno
a yao ya hekima, hufundisha kuwa
i Maandiko yanazungumza kwa njia
- ya siri sana, na lugha ya kifumam-
i bofumbo isiyoeleweka kwa watu
a wa kawaida. Watu hawa ni waa-
e limu wa uongo. Lugha ya Biblia
- ingeelezwa kwa maana yake hasa
a kama ilivyoandikwa, isipokuwa pale
a Tutawezaje kuwapatia uaminifu wa roho zetu
mifano, au vielelezo vilipotumiwa.
watuongoze, isipokuwa mpaka tufahamu
o kuwa wanao ufunuo wa Mungu Kama watu wangeichukua Biblia
- katika kubeba nuru?

189

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 189 16-03-2009 14:32:29


ndiye hutuwezesha na kutufanya M
tufahamu mambo ya Biblia, au ku- u
tuzuia tusiny’ang’anywe ujumbe b
unaoonekana kama mgumu. Ma-
laika wa Mungu huandaa mioyo h
ili kulipokea Neno la Mungu. Tut- m
apendezwa na uzuri wake, na kui- u
marishwa na ahadi zake. Maja- t
ribu kila mara huonekana kana k
kwamba ni magumu, kwa sababu u
mwenye kujaribiwa huwa hakum- h
buki ahadi za Mungu, na kuku- y
tana akiwa na silaha ya Maan- n
diko Matakatifu. Lakini malaika i
wa Mungu huzungukia wale walio w
tayari kufundishwa, na watawa- d
kumbusha ukweli wanaouhitaji. y
Ndondoo nyingi za maandiko ziliwaelimisha “Atawafundisha yote, na kuwa- n
watu wakafaham siri za maelekezo zilizoleta kumbusha yote niliyowaambia”
faraja. Sababu moja ambayo wanathiologia
wengi hawana uelewa mzuri wa neno la
Yoha. 14:26. Lakini mafundisho p
Munguni, wanafungia macho ukweli ambao ya Kristo lazima yawe yameota ka- m
hawako tayari kuingiza takita mazoea ya mili mioyoni, ndipo Roho mtakati- n
fu apate kuwakumbusha, wakati j
wa hatari. t
jinsi ilivyo, kama inavyosomeka,
Mambo ya mwisho ya dunia iliyo- w
kazi ya kuwaleta watu maelfu zizini
jaa watu karibu kuamuliwa. Kila m
mwa Kristo, ingekamilika. Watu
mfuasi wa Kristo lazima aulize,
hao ambao sasa wanatangatanga
“Bwana unataka nifanye nini?”
katika makosa.
Matendo 9:6. Lazima sasa tuta-
Maandiko mengi ambayo wata-
fute kwa uhakika kuwa na mambo
alamu huyapitia bila kuyajali,
makuu ya Mungu katika maisha
humfaa sana kumfariji, mtu yule
yetu. Hatuna muda wa kupote-
aliyejifunza katika skuli ya Kristo.
za. Tumo katika ardhi ya shetani.
Kuielewa Biblia hakutegemei akili
Msilale enyi walinzi wa Mungu.
ya mtu na elimu aliye nayo, bali
Wengi hujifariji kwamba hawa-
hutegemea jinsi mtu anavyotia nia
fanyi makosa kadha wa kadha.
yake, na kuwa na kiu ya haki ya
Kule kuwa mti katika bustani ya
Neno la Mungu.
Mungu hakutoshi. Lazima wazae
matunda. Katika vitabu vya mbin-
Matokeo ya Kutosoma Biblia na
guni watu hawa huandikwa kama
Kuomba.
wanaoharibu ardhi. Walakini wale
Biblia isingalisomwa kamwe bila
ambao wameidharau rehema ya
kuomba. Roho Mtakatifu pekee

190

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 190 16-03-2009 14:32:30


a Mungu na kushutumu neema yake
- upendo na uvumilivu wa Mungu
e bado unawashughulikia.
- Wakati wa kiangazi miti yote
o huwa haina tofauti, ya kijani na
- mingine lakini wakati wa baridi
- ukifika, miti ya kijani hubaki ka-
- tika hali ile ile na mingine hupu-
a kutisha kabisa majani yake. Hebu
u upinzani wa aina fulani utokee,
- hebu dhiki itokee, hebu mateso Tunahitaji kuongozwa na Roho wa kweli. Kila
- yachemke, wakati huo wanafiki mfuasi wa Kristo lazima atafute kwa makini
uongozi wa “Bwana, unahitaji
- na wajipendekezao wote watakana nikufanyie nini?’
a imani yao, lakini wakrsito wa kweli
o watasimama imara, imani yao ita-
- dumu kuwa imara, matumaini yao
. yatang’aa kuliko wakati wa raha
- na mafanikio.
” “Maana atakuwa kama mti ulio-
o pandwa kando ya maji, uenezao
- mizizi yake karibu na mto; hautao-
- na hofu wakati wa hari ujapo; basi
i jani lake litakuwa bichi, wala hau-
tahangaika mwaka wa uchache
- wa mvua, wala hautaacha kuzaa
a matunda “. Yeremia 17:8.
,

-
o
a
-
.

-
.
a
e
-
a
e
a

191

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 191 16-03-2009 14:32:31


n
w
m
u
m
m
m
k
i
w
z
U

p
h
b
g

s
w
n
l
M
k
h
n

k
j
k
n
y

192

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 192 16-03-2009 14:32:34


38

Ujumbe wa
Mungu wa Mwisho

N
aliona malaika mwingine, malaika waovu iwe kanisani. Babeli
akishuka kutoka mbingu- imejaza kikombe cha ghadhabu ya
ni, mwenye mamlaka kuu; uovu wake, na uangamivu wake uko
na nchi ikaangazwa kwa utukufu karibu kutokea.
wake. Akalia kwa sauti kuu akise- Lakini Mungu bado anao watu
ma, umeanguka, umeanguka Babeli wake katika Babeli, na watu waami-
ule mkuu, umekuwa masikani ya nifu hawa lazima watolewe humo,
mashetani, na ngome ya kila roho ili wasishiriki dhambi zake na wasi-
mchafu, na ngome ya kila ndege pate mapigo yake” malaika anashu-
mchafu mwenye kuchukiza …. Ni- ka kutoka mbinguni aking’arisha
kasikia sauti nyingine kutoka mb- nchi kwa utukufu wake, na kutaja
inguni, ikisema, tokeni kwake enyi maovu ya Babeli. Wito unasikika,
watu wangu, msishiriki dhambi “Tokeni kwake enyi watu wangu”.
zake, wala msipokee mapigo yake” Wito huu ndio maonyo ya Mungu ya
Ufunuo 18:1-2,4. mwisho kwa ulimwengu.
Tangazo lililotolewa na malaika wa Uwezo wote wa ulimwengu ukiji-
pili wa ufunuo 14:8 linarudiwa tena una pamoja ili kupingana na sheria
hapa pamoja na nyongeza ya adha- ya Mungu, utatangaza wazi kuwa
bu inayomhusu Babeli, tangu tan- “watu wote, wadogo kwa wakubwa,
gazo la kwanza lilipotolewa. matajiri kwa maskini, walio huru na
Hapa inaelezwa hali ya kutisha watumwa” (Ufunuo 13:16) lazima
sana. Kwa kukataa ukweli, mioyo ya wafuate mpango wa kanisa, na ku-
watu itazidi kuwa giza zaidi na zaidi pumzika katika sabato ya uongo
nao watazidi kushupaa. Wataende- (Jumapili). Watakaokataa kufuata
lea kukanyaga mojawapo ya amri za amri hiyo mwishoni watatajwa kuwa
Mungu, mpaka watafikia hatua ya wanastahili kuuwa. Kwa upande
kuwatesa, wale wanaoitunza amri mwingine sheria ya Mungu inayo-
hiyo. Kristo atadharauliwa pamoja husiana na pumziko la Mwumbaji,
na Neno Lake na watu wake. yaani siku ya sabato, inatishia ad-
Jina la dini litakuwa kama vazi la habu kubwa kwa wale watakao-
kufunika maovu, yaani watu wata- ivunja.
jidai kuwa dini, lakini sivyo. Kule Tukiwa na jambo linalotangazwa
kuamini pepo kwamba ni maongezi wazi namna hii, mtu yeyote atakayei-
na wafu, kunafungulia mafundisho kanyaga siku ya Mungu, yaani sa-
ya shetani, na kuingiza mivuto ya bato ya siku ya saba, na kutii siku

193

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 193 16-03-2009 14:32:35


Jaribu Kuu la uaminifu
Sabato ambayo ndiyo jaribu kuu
la uaminifu wa mtu, ndiyo kiini cha
mapambano. Ingawa kutunza ju-
mapili ndiyo itakuwa ikiadhimish-
wa na wale wapiganao na Mungu,
lakini utunzaji wa Sabato ya kweli
utaonyesha uaminifu kweli kwa
wale wanaomtii Mungu, ambao ni
wanyofu wa kweli. Wakati kundi
moja litapokea alama ya mnyama,
kundi jingine litapokea Muhuri wa
Mungu.
Nguvu za nchi, zinzaungana kupiga vita amri
za Mungu, watatangaza kuthibitisha Utabiri kwamba makanisa na y
utamaduni wa kanisa kwa kutunza serikali watakuja kuwatesa watu w
sabato ya uongo. wa Mungu wazishikao amri zake, v
iliyoamriwa na binadamu, atapokea umedhaniwa kuwa hauna msingi k
alama ya mnyama na sanamu yake, wo wote, tena ni upuuzi mtupu. La-
alama ya uwezo wa kibinadamu, kini kwa vile utunzaji wa Jumapili M
mtu kama huyo huwa amechagua utakavyoenea na kustawi mambo l
kumtii mtu badala ya Mungu. yaliyodhaniwa kuwa upuuzi yata- k
onekana kukaribia sana, na ujumbe d
“Mtu yeyote akimsujudia huyo my- wa maonyo utatolewa kwa nguvu t
ama na sanamu yake, na kuipokea kuliko ulivyoelezwa zamani. s
chapa katika kipaji cha uso wake, Kwa kila kizazi Mungu amekuwa n
au katika mkono wake, yeye naye akituma wajube ili kukemea dham- d
atakunywa katika mvinyo ya ghad- bi, ulimwenguni na kanisani pia. g
habu ya Mungu iliyotengenezwa, Watengenezaji wengi walipofanya h
pasipo kuchanganywa na maji, ka- kazi yao, walitumia hekima kub- h
tika kikombe cha hasira yake, naye wa, katika kushambulia dhambi za w
atateswa kwa moto na kiberiti mbele makanisa na za taifa. Walitumia d
ya malaika watakatifu, na mbele za kuwavuta watu kwa njia ya maisha k
Mwana Kondoo”. Ufunu 14:9-10. yao manyofu ya kikristo, ili watu m
Hakuna mtu atakayestahi- wapate kurudi katika njia ya Bib- n
li kuteswa mateso hayo mpaka lia. Lakini badala ya kufanya kama t
awe amepata ukweli sawasawa na walivyokusudia, Roho wa Mungu k
akaukataa. Wengi hawajapata na- aliwavuvia, wakautangaza waziwazi w
fasi ya kusikia ujumbe maalum, ujumbe wa Mungu wenye maonyo
unaopasa kwa wakati huu Mungu yake bila hofu. h
aonaye mioyo yote hawezi kumwa- Hivyo ndivyo ujumbe wa mwisho y
cha mtu yeyote anayehitaji maonyo utakavyotangazwa. Bwana Mungu l
haya. Kila mtu atapata nafasi ya atafanya kazi kwa njia ya watu wa h
kufanya uamuzi wake kwa hakika. kawaida tu, ambao watajitoa kufan-
y

194

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 194 16-03-2009 14:32:36


u
a
-
-
,
i
a
i
i
,
a Walioiasi Rumi, na serekali za ulimwengu na uprotestsnti ulioanguka
wataungana kinyume na ukweli hai wa Biblia.

a ya kazi yake. Watu hao watakuwa liki na Waporotestanti wataungana.


u wamepata maandalizi yao kwa ku- Kwa kadiri msukumo wa kushika
, vuviwa na Roho Mtakatifu zaidi ya jumapili utakavyozidi kukazika,
i kupata katika vyuo. wale washikao amri za Mungu,
- Watu watabidishwa na Roho yaani wanaoshika sabato watak-
i Mtakatifu kwenda kulihubiri neno abiliwa na adhabu za kufungwa ku-
o la Mungu; kwa kadiri alivyowajalia lipa faini. Wengine watapandishwa
- kujua. Dhambi za Babeli zitatajwa vyeo ili kusudi waikane imani yao,
e dhahiri. Watu watataharuki na kus- wengine wataahidiwa zawadi kub-
u tuka. Watu wengi walikuwa hawaja- wa ili wauache unyofu wao. Lakini
sikia ujumbe wa namna hiyo. Babeli jawabu lao litakuwa “Tuonyesh-
a ni kanisa lililoanguka kwa sababu ya eni kosa letu katika Biblia”, Wale
- dhambi za kukataa ujumbe wa Mun- wataoletwa mahakamani, wataite-
. gu. Watu watakapowaendea Wac- tea kweli kwa uthabiti, kiasi cha
a hungaji wao na swali, “Je, mambo kuwaaminisha wasikilizaji kujiunga
- haya ni kweli, ndivyo yalivyo? Wao katika kundi hili, na kushika amri
a watawafariji kwa kuwaambia ha- za Mungu. Maelfu wasingejua uk-
a dithi za burezisizo za kweli. Lakini weli huu, kama isingalikuwa kwa
a kwa kuwa watu wathibitishwe kwa njia hiyo.
u maandiko. “Ndivyo asemavyo Bwa- Kule kumtii Mungu na kushika
- na” ndipo wasipopata maandiko wa- amri zake, kutahesabiwa kuwa ni
a tawaita wahubiri kuwa ni wazushi, uasi. Wazazi watawatendea watoto
u kwa hiyo watawachochea watu ili wao walioamini ukatili mkubwa.
i wawatese wahubiri hawa. Watoto wengine watafukuzwa ku-
o Viongozi wa makanisa, watajita- toka nyumbani kwao, na kunyimwa
hidi kwa nguvu zote ili kuzuia nuru urithi. “Wote wapendao kuishi mai-
o ya Injili, na kuzuia watu wasionge- sha ya utawa katika Kristo, wataud-
u lee swala hili; wala kuyajali mambo hiwa” 2Tim. 3:12. Kwa kadiri washi-
a haya yahubiriwayo. kao sabato watakavyokataa kushika
- Kanisa litaomba msaada wa nguvu jumapili, wengine watatupwa mag-
ya serikali kuingilia kati. Wakato- erezani, wengine watafukuzwa kuwa

195

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 195 16-03-2009 14:32:37


gozwa na Roho Mtaktifu. Hawaku-
zuilika kwa kutafuta faida zao, wala
kutafuta heshima na vyeo vya duni-
ani. Kazi hiyo ilikuwa kubwa zaidi
ya uwezo wao, lakini hawakuiacha.
Wakijisikia katika hali ya unyonge
na kutoweza kwao, walimkimbilia
mweza yote, ili awasaidie.
Katika vipindi mbalimbali vya his-
toria ya dunia kazi ya Mungu ime-
Farel, Calvin, Bezaog Knox na onyesha maendeleo makubwa, ku-
wanamatengenezo wengine waliomba misingi
yote iletwe mbele ya Biblia na kujaribiwa na fuatana na hali ya watu kwa vipindi
ndipo watatangaza kukana hivyo. Kila kipindi ukweli ulipenya
yote wanayoyasimamia. g
katikati ya upinzani. Wajumbe wa
wakimbizi na wengine watatendewa w
Bwana hutimiza wajibu wao, na
kama watumwa. Kadiri Roho wa w
kumwachia mwenyewe matokeo,
Mungu atakavyokuwa ameondolewa i
yaani Mungu.
kwa watu, ulimwengu utakuwa na w
hali ngeni. Watu watakuwa wakali m
Upinzani Kufikia Kikomo Kipya
na wakatili sana, kicho na upendo u
Mapingamizi yalifikia hali ya mate-
wa Mungu vitakapoondolewa. u
so makali, watumishi wa Mungu
n
walitiwa wasiwasi, maana huon-
Tufani yakaribia u
ekana kwamba wamejiletea ma-
Kwa kadiri tufani ikaribiavyo, m
tatizo. Lakini neno la Mungu hu-
watu waliojidai kuwa waumini ka- wathubutisha kuwa hawakukosa.
tika ujumbe wa malaika wa tatu, la- M
Basi imani yao huzidi na juhudi
kini hawakutakaswa kwa ile kweli, zao huongezeka. Usemi wao huwa
watauacha uamini wao na kujiunga m
“Kristo ameshinda uwezo wa dunia,
na upande wa upinzani. Kule ku- w
kwa hiyo sisi nasi tutahofuje ulim-
jiunga na ulimwengu wanafahamu U
wengu ulioshindwa tayari?
mambo ya kanisa vizuri, ingawa si t
Hakuna mtu anayemtumikia
kamili. Watu ambao zamani wali- U
Mungu bila kujiandikisha kati-
kuwa wakilitumikia kanisa vizuri, i
ka vita vya mwovu. Malaika wa-
sasa wanajiunga na upande wa w
ovu watamshambulia, kwa sababu
wengi kukwaza wengine na kuwapo- w
huwanyang’anya watu wao, yaani
teza. Wamekuwa maadui wakali wa t
huteka mateka. Watu waovu wata-
wale wa zamani walikuwa wenzao. h
jaribu kumtenganisha na Mungu
Waasi hawa ambao sasa wamekuwa m
kwa kumletea majaribu. Hayo yote
wajumbe wa shetani kuvuruga kazi l
yakishindwa, ndipo nguvu hutumi-
ya Mungu, na kuwainukia watunza ka kumlazimisha.
sabato, wataomba msaada wa seri- Lakini kwa kuwa Kristo ni mtetezi
kali ili kuwaudhi. wa binadamu katika hekalu la mbin-
Watumishi wa Bwana wametoa guni, mvuto wa roho Mtakatifu hu-
maonyo kwa ukamilifu, kwa kuon- wavuvia watawala na waamuzi. In-

196

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 196 16-03-2009 14:32:38


- Kazi itafanana na ile ya siku ya
a Pentekoste. “Mvua ya vuli ilitolewa
- ili kuotesha mbegu za Injili huko
i mwanzoni; “Kadhalika mvua ya
. masika itatolewa wakati Injili inapo-
e fungwa; ili kukomaza mavuno ya In-
a jili. Hosea 6:3; Yoeli 2:23.
Kazi kuu ya Injili haitafungwa vivi
- hivi tu, bila maonyesho makuu ya
- uwezo wa Mungu, kama ilivyofun-
- Malaika anayeunganisha utangazaji wa guliwa. Unabii uliotimizwa katika
ujumbe wa malaika watatu ataangaza dunia
i yote na nuru ya utukufu. kufunguliwa kwake, utatimizwa pia
a katika kufungwa kwake. Hapa ndipo
gawa wengi wa watawala ni wajumbe
a wakati wa kuburudishwa, ambako
wa shetani, lakini Mungu anao
a Petro alikutazamia Matendo 3:19-20.
wajumbe wachache watazuia tufani
, Watumishi wa Mungu wenye nyuso
iliyokuwa karibu kutokea. Upnzani
za kung’aa kwa kujitoa kwao kamili,
wa ukweli wa Mungu utazuilika
wataharakisha wakienda huku na
mpaka ujumbe wa malaika wa tatu
huko kuutangaza ujumbe wa mbin-
utangazwe. Ujumbe wa mwisho
- guni. Miujiza itatendeka, wagonjwa
utawashika baadhi ya wakuu hawa,
u wataponyeshwa. Shetani atafanya
na baadhi yao watakata shauri kuji-
- miujiza yake ya uongo, hata kushu-
unga na watu wa Mungu wakati wa
- sha moto kutoka mbinguni, machoni
matatizo.
- pa wanadamu, Ufunuo 13:13. Hivyo
. walimwengu watakabiliwa na ua-
Mvua ya Masika na Kilio Kikuu
i muzi halisi, kule watakakosimama.
Malaika ambaye anaungana na
a Ujumbe hautatangazwa kwa njia
malaika wa tatu ataung’azia ulim-
, ya mabishano, bali kwa njia ya ut-
wengu wote kwa utukufu wake.
- hibitisho kwa Roho wa Mungu. Ma-
Ujumbe wa malaika wa kwanza uli-
jadiliano yamefanyika, vitabu pia
tangazwa kwa kila kituo cha Misheni
a vimefanya sehemu yake, hata hivyo
Ulimwenguni pote. Katika nchi ny-
- wengi hawakuweza kuufahamu uk-
ingine palikuwa na mwitikio mkuu
- weli kamili. Sasa ukweli unadhihiri-
wa ujumbe, ambao tangu siku za
u ka. Kwa hiyo hakuna mtu awezaye
watengenezaji haukuonekana mwi-
i kuzuiwa na jamaa, au na waon-
tikio kama huo. Lakini mwitikio
- gozi wa kanisa asijiunge na kundi
huo utazidiwa na ule wa ujumbe wa
u la kweli la Mungu. Walakini watu
mwisho kwa ulimwengu, ule wa ma-
e wengi sana watajiunga upande wa
laika wa tatu.
- watu wa Mungu.

i
-
-
-

197

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 197 16-03-2009 14:32:39


w
n
h
w
w
w
a
D

t
w
y
y
k
i
w
k
w
k
M

w
a

k
a
n
f

198

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 198 16-03-2009 14:32:40


39

Wakati wa Taabu

W
akati huo Mikaeli atasi- amefuta dhambi zao. “Na ufalme
mama, jemadari mkuu, na mamlaka, na ukuu wa ufalme,
asimamaye upande wa chini ya mbingu (Daniel 7:27)
wana wa watu wako: na kutakuwa karibu kutolewa kwa warithi wa
na wakati wa taabu, mfano wake wokovu, na Yesu atatawala kama
haukuwapo tangu lilipoanzaa ku- mfalme wa wafalme, na Bwana wa
wapo taifa hata wakati huo huo, na mabwana.
wakati huo watu wako wataokole- Atakapotoka patakatifu, giza kuu
wa: kila mmoja atakayeonekana litawafunika watu dunaini. Wenye
ameandikwa katika kitabu kile”. haki hawana budi waishi machoni
Daniel 12:1. pa Mungu mtakatifu bila kuwa na
Wakati ujumbe wa malaika wa mwombezi. Kile kinachowalinda
tatu ufungwapo, watu wa Mungu waovu kimeondolewa, na shetani
watakuwa wamekamilisha kazi anachukua utawala kamili bila ki-
yao, Watakuwa wamepokea mvua zuizi kwa watu ambao hawakutu-
ya masika, nao sasa wako tayari bu. Roho wa Mungu ameondolewa
kukabiliana na saa ya kujaribiwa dunaini. Shetani atawatumbuki-
inayowajia, Ujumbe wa mwisho za wenyeji wa ulimwengu katika
wa kukata shauri umekwisha taabu kuu ya mwisho. Malaika
kutolewa ulimwenguni, na wote wa Mungu waliokuwa wakizuia
waliojithubutisha kuwa waaminifu pepo kuu, sasa wanaziachia pepo
kwa Mungu wametiwa “mhuri wa hizo ni fujo ya ajabu na mauaji
Mungu”. Ndipo Yesu anapokome- yasiyosemwa. Ulimwengu mzima
sha kazi yake kama mwombezi wa utahusikia katika kuangamizana
wanadamu huko mbinguni. Hapo bila huruma, zaidi ya maangamizo
atasema kwa sauti kuu, “imekwi- yaliyouangukia Yerusalemu wa za-
sha” “mwenye kudhulumu na azidi mani. Mpaka sasa majeshi yako
kudhulumu; mwenye uchafu na tayari, yanangoja tu ruhusa ya
azidi kuwa mchafu; mwenye haki Mungu ili yaanze kazi ya kuanga-
na azidi kufanya haki; na mtakati- mizi kila kona.
fu na azidi kutakaswa”. Ufunuo Wenye kushika sheria ya Mungu
22:11. Kristo amekwisha kufan- watahesabika kama ndio wenye
ya ukombozi kwa watu wake, na kusababisha maafa hayo, yali-

199

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 199 16-03-2009 14:32:41


m
n
y
h
b
l
k
b
K
r
k
t
h
i
n
h
m
a
u
k
h
t
n
Uharibifu wa hekalu la Yerusalemu ni tukio la picha ya kihistoria la mwisho wa wakati katika w
ulimwengu ambapo uwepo wa Mungu utaondolewa.
i
yojaa ulimwenguni. Nguvu na kadhalika, mstari wa ulimwengu t
uwezo uliofanya kazi ya kumaliza utakapokuwa umepigwa, na kesi a
Injili iliwachukiza waovu, na shet- yake imeshakatwa milele, wenye- a
ani atachochea roho ya chuki isiyo ji wa ulimwengu hawatatambua h
na kifani, ili kuwaandama wale hata kidogo. Aina za ibada am- w
waliopokea ujumbe na kujiunga bazo hazina misingi zitakuwa zi-
na kundi la Mungu. naendeshwa kimitindo, na watu k
Wakati Mungu alipowaacha ambao Mungu hayumo kati yao. f
Wayahudi wao pamoja na maku- Shetani ndiye atakuwa akiwaon- y
hani wao walikuwa bado wakijihes- goza ili kukamilisha kusudi lake la k
abu kuwa ni wapendwa wa Mun- udanganyifu. k
gu. Huduma za kanisani zilikuwa k
zinaendeshwa kama kawaida, kila Wakati wa Taabu ya Yakobo a
siku waliomba baraka kwa Mungu, Kwa vile Sabato itakuwa ndilo fi
kama watu wataua, na hali wame- jambo hasa la kushindania katika k
jaa uharibifu, wakiwa na hatia ya ulimwengu wa Kikristo, itaamuliwa b
damu ya Mwana wa Mungu. Hali kuwa watu wachache wanaosima- l

200

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 200 16-03-2009 14:32:41


ma peke yao kinyume cha kanisa
na serikali, ambao huabudu siku
ya jumamosi badala ya jumapili,
hawawezi kuvumiliwa zaidi. Ni
bora watu wachache washughu-
likiwe kikamilifu kuliko taifa zima
kuingia katika machafuko. Mam-
bo yale yale yaliyoletwa pia kwa
Kristo. Kayafa alisema, “Hamfiki-
rii ya kuwa yafaa mtu mmoja afe,
kwa ajili ya watu, wala lisiangamie
taifa zima” Yohana 11:50. Jambo
hili hili litaletwa tena ili kuwap-
inga washika sabato ya amri ya
nne. Itasemwa kwamba, kama
hawasikii na kuacha ibada ya ju-
mamosi baada ya muda fulani,
afadhali wauawe. Warumi katika Tumaini la Yakobo lilikuwa katika huruma za
Mungu; utetezi wake ulikuwa ni maombi tu.
ulimwengu wa zamani pamoja na Katika kujishusha, kutubu, na kujikana nafsi,
kanisa lililoasi walitumia jambo hali ya dhambi makosa na uovu vilizidi dhidi
hili, Waprotestanti waliasi ku- ya Ukuu wa mbingu.
toka ulimwengu mpya watafuata
njia ile ile. Ndipo watu wa Mungu ngao yake ikiwa maombi yake.
watakuwa na wakati mbaya, kama Akiwa peke yake na Mungu, ali-
ilivyoandikwa kwamba “wakati wa ungama dhambi zake kwa uny-
u taabu ya Yakobo” Yakobo wakati enyekevu na kujidhili mbele za
i aliposhindana katika maombi ili Mungu. Tatizo kuu katika maisha
- aokolewe mikononi mwa Esau, yake limefika. Aliendelea kuomba
a husimama kuwakilisha maisha ya gizani, kwa ghafla mkono uka-
- watu wa Mungu wakati wa taabu. mshika begani mwake. Alidhani
- Yakobo alikimbia kutoka kwao, kuwa ni adui fulani ataka kum-
u kwa sababu ya udanganyifu alio- wangamiza. Basi akashikana naye
. fanya ili apate mibaraka ya baba kwa nguvu zake zote, akashindana
- yake iliyokusudiwa kwa Esau. Ali- naye. Wakati wa mapambazuko,
a kimbia bila silaha yoyote, ili apate yule mgeni akatumia uwezo wa
kujiponya. Baada ya kukaa kati- pekee usiokuwa wa kibinadamu.
ka hali ya ukimbizi miaka mingi, Yakobo akaona kuwa amepooza,
alianza safari kurudi kwao. Alipo- na akaanguka chini hana ngu-
o fika mipakani, alitishwa na habari vu huku akilia na kuomba akiwa
a kwamba Esau alikuwa akimjia, shingoni mwa huyo mgeni wa ki-
a bila shaka kulipiza kisasi. Tumaini miujiza. Halafu alifahamu kuwa
- la Yakobo lilikuwa kwa Mungu tu; malaika wa agano ndiye aliyekuwa

201

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 201 16-03-2009 14:32:43


watu wa Mungu, lakini kundi lin- n
aloshika amri za Mungu litashin- n
dana na ukuu wake. Aona kuwa 2
malaika wa Mungu wanawalinda, r
na anafahamu kuwa dhambi zao w
zimesamehewa. Anajua dhambi n
zile alizowashawishi kutenda, kwa Y
hiyo anadai kuwa Mungu hawezi U
kuwakubali watu wa jinsi hiyo na k
waangamize shetani na malaika
zake. Akasema kuwa watu hao ni D
mali yake, ili waangamizwe pamo-
Walinyanyua mioyo yao mbele za Mungu,
wakisonda maungamo yao ya dhambi zao ny- ja. w
ingi za nyuma, na kuomba ahadi za mwokozi: Bwana humruhusu awajaribu d
“Naomba anishike kwa nguvu zake, ili afanye
amani nami; naye atafanya amani nami”
kabisa. Uaminifu wao kwa Mungu, m
imani yao, na matumaini yao vyote k
akishindana naye. Alikuwa na ma- vitajaribiwa na Shetani kabisa w
juto kwa ajili ya dhambi yake kwa kabisa. Shetani atawaogofya kwa a
muda mrefu, na sasa lazima awe bidii yake yote. Hutumaini kuwa y
na hakika kuwa amesamehewa. kwa kufanya hivyo atavunja matu- w
Malaika akasema, “niache kwani maini yao, na kuvunja imani yao u
kunapambazuka” lakini mzee Ya- kwa Mungu, ili wasalimu amri. m
kobo akasema, “Sikuachi, usiponi- z
bariki” Yakobo akatumaini rehema Uchungu Kwamba Mungu k
za Mungu kwa kushika maagano. Alaumiwe. k
Kwa njia ya toba na kujitoa kik- Walakini uchungu ambao
weli, mtu dhaifu huyu alishinda utawapata watu wa Mungu sio a
mheshimiwa wa mbinguni. ule wa kuogopa mateso. Huogopa k
Shetani alikuwa amemshitaki kwamba kwa kukosa kuangalia, u
Yakobo mbele za Mungu kwa ajili waweza kuwa na makosa yatakay- k
ya dhambi zake, alikuwa amecho- osababisha wasielewe ahadi ya b
chea Esau ili amshambulie. Waka- Mungu isemayo “Mimi nitakulinda w
ti mzee Yakobo alipokuwa akiom- utoke katika saa ya kujaribiwa ili- y
ba usiku ule, shetani alijitahidi yo tayari kuujilia ulimwengu wote” k
kumfisha moyo na kumkatisha ufunuo 3:10. Kama wangeoneka- W
tamaa, ili kuharibu ushirika wake na hawastahili kwa ajili ya makosa t
na Mungu. Alikuwa mashakani katika maisha yao, jina la Mungu b
kabisa; lakini alitubu kweli kweli takatifu lingeshutumiwa. t
na kumshikilia malaika, na kusihi Wanaonyesha jinsi walivyotubu
apate kibali mpaka akamshinda. dhambi zao za nyuma ambazo ni k
Jinsi shetani alivyomshitaki Ya- nyingi sana, wanaomba ahadi ya w
kobo, ndivyo atakavyowashitaki Mwokozi kwamba “Au azishike b

202

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 202 16-03-2009 14:32:44


- nguvu zangu, afanye amani nami,
- naam, afanye amani nami” Isaya
a 27:5. Ingawa wana maumivu ya
, rohoni sana na masumbuko, ha-
o wakomi kuomba na kusihi. Wa-
i namshikilia Mungu kiroho kama
a Yakobo alivyofanya kwa malaika.
i Usemi wao utakuwa ule ule, “si-
a kuachi, usiponibariki”
a
i Dhambi Zilifutwa
- Katika wakati wa taabu, kama
watu wa Mungu watakuwa na
u dhambi ambazo hazijaungamwa
, mbele yao wakati wakisumbu-
e ka kwa hofu na uchungu rohoni
a watashindwa. Kukata tamaa kut-
a aondoa matumaini yao na imani
a yao kwa Mungu, na kwa hiyo ha-
- watajishughulisha na kuomba
o ukombozi. Lakini hawakuficha
makosa yao yasionekane. Dhambi Wakati Shetani anatafuta kuwaangamiza
wale wanao mtafuta Mungu kwa kutubu,
zao zimewatangulia kwenda hu- Mungu atatuma malaika zake wawafariji na
kumuni, zimefutwa, nao hawewezi kuwalinda takita mda wa taabu.
kuzikumbuka.
o Kwa habari za Yakobo, Bwana kwa toba na kujitoa kabisa. Mun-
o ameonyesha kuwa hawezi kuchu- gu atawatumia malaika wawafariji
a kulina na ubaya. Wote wanaotoa wakati wa taabu. Macho ya Bwa-
, udhuru au kuficha dhambi zao, na na yako juu ya watu wake. Ndimi
- kuziacha ziwe vitabuni mbinguni za moto huonekana kuwateketeza,
a bila kuungamwa na kusamehewa, lakini mtakasaji atawaleta wam-
a watashindwa na shetani. Kadiri etakasika katika dhahabu iliyoja-
- ya madaraka makuu wanayoshi- ribiwa kwa moto.
” ka, ndivyo adui wao anavyofurahi.
- Wanaochelewa kujiandaa hawa- Imani Idumuyo
a taweza kujiandaa wakati wa taa- Wakati wa matatizo na dhiki ulio
u bu. Watu wa namna hiyo hawana mbele yetu unataka imani halisi,
tumaini. imani yenye kudumu, yenye kus-
u Habari ya Yakobo pia huonyesha tahimili taabu, uchelevu, na njaa,
i kuwa Mungu hawezi kuwatupa imani iliyo imara, ijapokuwa inaja-
a wale waliotumbukizwa dhambini ribiwa vikali sana, haitafifia. Ush-
e bila mipango, lakini wamemrudia indi wa Yakobo ni uthibitisho wa

203

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 203 16-03-2009 14:32:45


nguvu ya maombi. Wote wataka- w
ozishika ahadi za Mungu kama b
Yakobo alivyofanya watafaulu m
kama yeye. Kushindana na Mun- j
gu ni wachache kiasi gani wanajua W
maana yake! Wakati mawimbi k
ya mashaka na kukata tama ya- k
napomvamia mtu, ni watu wach- M
ache kiasi gani wenye kuzishikilai
ahadi za Mungu.
Wale wanaoonyesha imani kido-
go wakati huu, wamo katika hatari k
Sasa, wakati kuhani wetu mkuu anapofanya
kuu ya kutumbukia katika udan- upatanisho kwa niaba yetu, lazima tuutafute a
yanyifu wa shetani. Hata kama ukamilifu kupitia Kristo. Ni katika maisha ya k
Mwokozi ndipo tunaalikwa kujiunga naye,
watastahimili jaribu, hata hivyo kuunganisha udhaifu wetu na nguvu zake, M
watakumbwa na mashaka kwa ujinga wetu na hekima yake, i
sababu siyo mazoea yao kumtege- kutokufaa kwetu na ukamilifu wake.
a
mea Mungu. Lazima sasa tuhakik- ulimwengu huu, wala hana kitu n
ishe ahadi zake na kuzithibitisha. kwangu” Yohana 14:30. Shetani a
Kila mara matatizo huwa makub- hakuweza kupata jambo kwa Yesu y
wa wakati wa kutokea kuliko Mwanawa Mungu, ambalo kwalo k
wakati wa matazamio. Lakini sivyo angeweza kumshinda. Hapakuwa z
itakavyokuwa katika dhiki iliyo na dhambi yo yote ndani yake am- v
mbele yetu. Maelezo yanayoelezwa bayo angeingilia kwake. Hii ndiyo
kuhusu dhiki hiyo, hata yawe na hali ambayo wale watakaosimama m
ufundi namna gani hayatalinga- wakati wa taabu watakuwa nayo. c
na na jambo halisi. Katika muda Ni katika maisha haya ndiyo l
huo kila mtu lazima asimame peke inatupasa kujitenga na dhambi k
yake mbele za Mungu. kabisa, kwa imani katika damu “
Sasa wakati Kuhani wetu mkuu, ya ukombozi wa Kristo. Mwokozi w
anapofanya upatanisho kwa ajili wetu anatualika tuungane naye, n
yetu, ingetupasa tuwe wakamili- tuunge udhaifu wetu na nguvu l
fu katika Kristo. Mwokozi wetu zake, kutostahili kwetu na haki h
hakujitolea kwa majaribu ya mw- yake. Anatutegemea sisi kuunga- i
ovu hata kwa wazo. Shetani hupa- na na mbingu ili kurekebisha tabia y
ta vitu katika mioyo ya wanadamu zetu zifanane na za Mungu. w
ambavyo huvishikilia na kumweze- Mambo ya ajabu kuhusu tabia ya t
sha awaingilie; huwa na aina fu- kishetani zitaonekana mbinguni, k
lani za dhambi ambazo hupendele- kama alama ya pepo wachafu wa- w
wa na watu, ambazo humpa nafasi fanyao miujiza. Roho za mashetani m
washinde. Lakini Kristo alisema zitawaendea “wafalme wa dunia” n
kumhusu yeye: “Yuaja mkuu wa na ulimwengu wote kuwahimiza g

204

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 204 16-03-2009 14:32:46


waungane na shetani katika pam-
bano lake la mwisho na serikali ya
mbinguni. Watu watainuka waki-
jifanya kuwa Kristo mwenyewe.
Watafanya miujiza ya kuponya na
kudai kuwa wamepata mafunuo
kutoka mbinguni kupingana na
Maandiko.

Tendo la Kutawazwa
Katika mfululizo wa mambo ya Kama kilele cha onyesho la uongo, Shetani
mwenyewe ataingiza umbo la Kristo. Mwongo
kutawazwa ya udanganyifu, Shet- mkubwa tafanya ionekane kuwa
ani mwenyewe atajifananisha Kristo amekuja mara ya pili.
kama Kristo. Kanisa limemtazamia
Mwokozi kwa muda mrefu kutimil- naamini uchawi huo na kusema
iza matumaini yake. Sasa mdang- “uwezo huu mkuu ni wa Mungu”
anyaji mkuu atajifanya kwamba Matendo 8:10.
u ndiye Kristo anakuja. Shetani at-
i ajionyesha mwenyewe katika hali Watu wa Mungu hawapotoshwi
u ya mng’ao, kama kiumbe maarufu Lakini watu wa Mungu hawata-
o kabisa chenye kung’aa kikimwigi- potoshwa. Mafundisho ya huyu
a za Mwana wa Mungu kama ana- kristo bandia hayalingani na
- vyoelezwa katika Ufunuo 1:13-15. Maandiko. Mibaraka yake ameitoa
o Utukufu unaomzunguka ni kwa waabudu mnyama na sanamu
a mwingi sana unashinda kitu cho- yake, watu ambao watamwagiwa
chote macho ya wanadamu wa- ghadhabu ya Mungu isiyo na hur-
o lichopata kuona. Kishindo cha uma, kama Biblia isemavyo.
i kelele ya ushindi kinasikika, Zaidi ya hayo, shetani hata-
u “Kristo amekuja! Watu wanam- ruhusiwa kuigiza kabisa jinsi Kris-
i wangukia. Anainua mikono yake to atakavyokuja. Mwokozi amewa-
, na kuwabariki. Sauti yake ni onya watu wake kuhusu sehemu
u laini, imejaa muziki. Kwa sauti ya hii, ya udanganyifu. Amesema
i huruma anaeleza mambo ya mb- “kwa maana watatokea makristo
- inguni ambayo ni ya kisasa yali- wa uongo, na manabii wa uon-
a yosemwa na Mwokozi. Anaponya go, nao watatoa ishara kubwa,
wagonjwa halafu akiwa kama Kris- na maajabu wapate kuwapoteza,
a to, asema kuwa amebadili Sabato kama yumkini, hata wateule …
, kuwa Jumapili. Anasema kuwa Basi wakiwaambia, Yuko jangwani,
- wale watunzao sabato ya Juma- msitoke; yuko nyumbani msisadi-
i mosi wanalikufuru jina lake. Hili ki. Kwa maana kama vile umeme
” ni danganyo kuu katika madan- utokavyo mashariki ukaonekana
a ganyo yake. maelfu ya watu wa- hata magharibi, hivyo ndivyo kuta-

205

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 205 16-03-2009 14:32:46


kavyokuwa kuja kwake Mwana wa madanganyo? Je, katika matatizo k
Adamu”. Mat. 23:24-27. Soma kama hayo wataambatana na Bib- g
pia Mathayo 25:31; ufunuo 1:7; lia tu? w
1Thes. 4:16-17. Kuja kwa jinsi hii, Kwa vile amri itakavyotolewa na v
hakuna uwezekano wa kukuigiza. makanisa ya kikristo mahali ma- w
Kutaonekana katika ulimwengu hali ili kuwapinga washika sabato, w
mzima. serikali haitawalinda, ila itawaa- w
Wanafunzi wa kweli wa Biblia tu, cha kusudi watendwe mabaya na k
waliopokea upendo wa kweli ndio wale wanaotaka kuwatenda vibaya. e
watakingwa na madanganyo haya Ndipo watu wa Mungu watakimbia
makuu, yatakayoukumba ulim- kutoka mijini na vijijini, na kuji- w
wengu. Ushuhuda wa Biblia pe- kusanya vikundi vikundi, wakii- h
kee ndio utakaompinga mdangan- shi mahali pa shida huko nyikani. m
yaji katika hila zake. Je, watu wa Wengi watapata makao mapangoni Y
Mungu sasa wameimarika katika mwa milima, sawa kama wakristo z
Neno la Mungu, kwamba hawata- wa mabonde ya Piedmonti. Lakini h
tikiswa na kuangukia mbali katika wengi sana wa mataifa yote na wa k
k
l
e
n
i
p
k

g
k
g
I
3
u
w
k
n

h
N
v
k
k
Mataifa mengi yatakuwa yametupwa katika kifungo kikatili, Je Bwana atawasahahu watu y
wake katika saa ya kujaribiwa? Je alimsahahu Nuhu? Vipi Lutu? Je alimsahahu Jermia? Je
alimsahahu Daniel katika tundu la samba?

206

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 206 16-03-2009 14:32:47


o kabali zote, watu wakuu na wado-
- go, matajiri na maskini weusi na
weupe watatupwa katika vifungo
a vibaya sana. Wapenzi wa Mungu
- watapitia wakati mgumu sana,
, wakifungwa katika magereza,
- wakitajwa kuuawa, wakionekana
a kuwa watakufa katika giza mager-
. ezani.
a Je, Bwana atawasahau watu
- wake katika wakati wa dhiki kama
- hiyo? Je, alimsahau Nuhu mwa- Kristo atakapoacha kazi ya upatanisho
. minifu au Lutu, Yusufu, Eliya, katika hekalu, ghadhabu kali juu ya wale
i Yeremia au Danieli? Ingawa adui walimwabudu mnyama na sanamu yake na
kupokea alama yake (Ufu 14:9.10)
o zao wawatupe magerezani, hata itamwagwa juu yao.
i hivo kuta za magereza haziwezi
a kuwatenganisha na mbingu, wala katika patakatifu pa mbinguni,
kutenga roho zao na Kristo. Ma- ghadhabu yake isiyochanganyika-
laika watawazuru katika mager- na na huruma itawakabili wote
eza ukiwa penye giza patang’azwa waabuduo mnyama, itamwagwa.
na nuru ya mbinguni kama ile Mapigo ya Misri yalikuwa sawa na
iliyong’ara pale Paulo na Sila wali- ghadhabu ya Mungu itakayomwag-
pokuwa wakifungiwa, na kuimba wa ulimwenguni, ila itakuwa kali
katika mji wa Filipi. zaidi. Ghadhabu hii itamwagwa
Hukumu za Mungu zitawaan- kwa muda mfupi kabla ya ukom-
gukia wale waliokuwa wakitaka bozi wa watu wa Mungu. Mwandi-
kuangamiza watu wake. Kwa Mun- shi wa Ufunuo asema, “pakawa na
gu, kutoa mapigo ni jambo geni. jipu baya, bovu, juu ya watu wenye
Isaya 28:21. Soma pia Ezekieli chapa ya huyo mnyama, na wale
33:11. Bwana ni “mwingi wa hur- wenye kuisujudia sanamu yake”
uma, mwenye fadhili, si mwepesi “Basi ikawa damu kama damu ya
wa hasira, mwingi wa rehema na mfu”.
kweli… mwenye kusamehe uovu “Na mito, na chemichemi za maji
na makosa na dhambi” Hata hivyo zikawa damu…. Malaika akatan-
“hatamhesabia mtu mwovu kuwa gaza, wewe u mwenye haki …. Ee,
hana hatia kamwe” Kutoka 34:6-7; Bwana… Kwa kuwa umehukumu
Nahumu 1:3. Taifa ambalo ameli- hivi... Kwa kuwa walimwaga damu
vumilia muda mrefu, na limekijaza ya watakatifu na manabii wako,
kikombe cha uovu, mwishowe lita- nawe umewapa wainywe; nao
kinywea kikombe cha ghadhabu wamestahili” ufunuo 16:2-6, 8-9.
ya Mungu isiyokuwa na huruma. Kwa kuwahukumia kifo watu wa
Kristo amalizapo maombezi yake Mungu, wamejipatia hatia ya damu

207

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 207 16-03-2009 14:32:50


yao; kana kwamba wameimwaga wa Mungu hawataachwa wapotee.
kwa mikono yao. Kristo alisema Malaika watawaletea mahitaji yao.
kuhusu Wayahudi wa siku zake, “atapewa chakula chake maji yake
kuwa walikuwa na hatia ya damu hayatakoma” “Mimi Bwana nita-
ya watakatifu wote, tangu ziku za wasikia, mimi Mungu wa Israeli si-
Habili (Mathayo 23:34-36) maana tawaacha “Isaya 33:16; 41:17.
hata wao wanayo roho ile ile ya Kwa kibinadamu itaonekana
uuaji wa manabii. kuwa karibuni watu wa Mun-
Pigo litakalofuata litatolewa kwa gu watamwaga damu yao, yaani
jua. Jua litapewa uwezo wa ku- watauawa, kama wafia dini wen-
waunguza watu kwa joto. Nabii gine waliowatangulia. Ni kitambo
asema kuhusu wakati huo wa kuti- cha utisho wenye uchungu. Wa-
sha: “maana mavuno ya mashamba ovu wanashangilia na kusema “Je,
yamepotea, . . “Mizabibu imesinyaa, imani yenu iko wapi. Mbona Mun-
mtini nao umeiva, nao mkomaman- gu hakuwaokoa mikononi mwetu,
ga, na mtende, na mtofaa, naam, iwapo kweli ninyi ni watu wake?
miti yote ya mashamba imekauka, Lakini watu wa Mungu wanakum-
maana furaha imekauka katika buka Yesu alivyokufa mslabani.
wanadamu. Jinsi wanyama wa- Kwa hiyo wanaendelea kushuhu-
navyougua! Makundi ya ng’ombe diana na Mungu tu kama Yakobo.
wamefadhaika, kwa sababu hawa-
na malisho; naam makundi ya kon- Makundi ya Malaika Walinzi
doo yamepata mateso. Vijito vya Malaika wameamuriwa kuwalin-
maji vimekauka, na moto umeyate- da wana wa Mungu wenye kushi-
keteza malisho nyikani. Yeremia. ka Neno lake. Malaika wameona
1:11-12, 18-20. dhiki zao na kusikia maombi yao. t
Mapigo haya hayatapiga ulim- Wanangojea amri ya jemadari w
wengu wote, lakini yatakuwa Mkuu ili apate kuwaondoa mara w
mabaya sana sana kwa wale moja. Ila lazima wangojee kidogo.
watakaoyapata. Mapigo yote ya Watu wa Mungu lazima wakinywee i
Mungu yaliyotokea kabla ya ku- kikombe na kubatizwa kwa ubati- l
fungwa kwa mlango wa rehema, zo. Mathayo 20:20-23; lakini kwa W
yamekuwa yenye huruma ndani ajili ya wateule wakati wadhiki uta- b
yake. Damu ya Kristo imemkinga fupishwa. Mwisho unakuja upesi w
mwenye dhambi asipate adhabu kiasi mtu asivyodhani. w
inayostahili hali yake. Lakini kati- Ijapokuwa amri ya kuwaangam- k
ka hukumu ya mwisho, mapigo ya iza wasabato imekwisha tangazwa, n
adhabu ya Mungu hayatakuwa na adui zao mahali pengine wataja- b
huruma. Watu watatafuta kificho ribu kuitekeleza. Lakini hakuna
cha Mungu waliyemdharau. awezaye kupenya ngome ya malai- y
Wakati watakaposumbuka kuona ka walinzi ili kuwafikia. Wengine o
dhiki, wakitafuta chakula, watu watawarukia, lakini silaha zao zi- k

208

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 208 16-03-2009 14:32:51


.
.
e
-
-

a
-
i
-
o
-
,
-
,
?
-
.
-

-
- Hebu watu na waone njozi ya mbinguni, watawaona malaika wakiwa katika makundi
a wakiimarisha ulinzi kwa wale walioshika neno la Kristo kwa subira.

. tavunjika kama mabua. Wakrsto zuia maangamizi kwa ajili ya watu


i wengine watapiganiwa na malaika wake wachache walio kati ya wa-
a wenye umbo la binadamu. ovu, na kuongea muda zaidi wa
. Katika vizazi vyote wakaao mb- usalama. Wenye dhambi hawana
e inguni wamekuwa wakijishughu- habari kuwa maisha yao yanahi-
- lisha na mambo ya wanadamu. fadhiwa na watu wa Mungu wa-
a Wengine wamekaribishwa kama chache walio kati yao, ambao hu-
- binadamu, wengine kama wasafiri waudhi.
i wameingizwa katika nyumba za Kila mara katika mabaraza ya
watu, wengine katika magereza na walimwengu malaika wamekuwa
- kuwafungulia wafungwa wa Bwa- wasemaji. Masikio ya wanadamu
, na. Walikuja kuvingirisha jiwe ka- yamesikia maombi yao, na midomo
- burini pa Yesu. ya watu imeyadharau mashauri
a Malaika huzuru mikusanyiko yao. Malaika hawa wa mbinguni
- ya waovu, kama waliyozuru Sod- wamethititisha hali ya binadamu
e oma, ili kuona la kuwatendea hao; ilivyo kwa kweli wamewashinda na
- kama kuangamizwa. Bwana hu- kuwakamata malaika waovu wa-

209

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 209 16-03-2009 14:32:51


K
w
v
n
k
p
n
Ingawaje watawala wadunia hii hawajui, lakini mara kwa mara katika mashauri yao malaika
k
kwa njia ya watu wamesema. Macho ya binadamu yamewatazama; masikio ya wanadamu
yamewasikia, ndimi za wanadamu zimekanusha maamuzi yao katika vikao.

naowatesa wanadamu, ambao ni lakini kila mwumini budi aone jinsi


wacha Mungu. imani inavyoleta ahadi za Mungu
Wana wa Mungu wanangojea kutuzungukia. “Waliokombolewa
kwa subira ishara za Mfalme wao na Bwana, watarudi, watakuja Sa-
anayekuja. Kwa kadiri wanavyoka- yuni wakiimba. Furaha za milele
zana na mapambazuko ya milele. watapata, huzuni na kuugua zita-
Neno likasikika likiwa kama wim- kimbia” isaya 51:11.
bo mtamu, “Kristo yu aja” Sauti Kama damu ya mashahidi wa
ya Kristo ikasikika kutoka katika Kristo ingemwagika wakati huu,
lango jinsi lilivyokuwa likifunguka uaminifu wao usingaliwaamin-
“Mimi sasa nipo nanyi. Msiogope. ishwa watu wengine. Kwa kuwa
Nimewapigania vita, na kwa jina ugumu wa mioyo yao umeisuku-
langu sasa ninyi ni washindaji”. mia rehema mbali, wala haitarudi
Mwokozi atatumia msaada wake tena. Kama wenye haki wangalian-
tunapouhitaji. Wakati taabu ni gamizwa na adui zao na kunyama-
muhimu sana kwa watu wa Mungu zishwa mwovu angelishangilia.

210

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 210 16-03-2009 14:32:52


Macho ya Mungu, yametazama katika karne zote, kwa kukazia mateso ambayo watu wake
wamekumbana nayo, wakati nguvu za dunia zilipokabiliana nao.

Kristo alikuwa amesema, “Njooni kwa sababu ya uovu wao” Isaya


watu wangu, ingia wewe ndani ya 26:20-21.
vyumba vyako, ukafunge mlango Itakuwa fahari ya ukombozi wa
nyuma yako ukajifiche kitambo watu hao ambao wamengoja kwa
kidogo, mpaka ghadhabu hii itaka- uvumilivu kurudi kwake Mwokozi,
popita. Kwa maana tazama, Bwa- watu ambao majina yao yamean-
na anakuja kutoka mahali pake, ili dikwa katika kitabu cha uzima.
kuwaadhibu wao wakaao duniani

i
u
a
-
e
-

a
,
-
a
-
i
-
-
.

211

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 211 16-03-2009 14:32:52


W
k
k
n
W
g
w
i

m
m
g
w
w
l
m
w
u
t
w
w
n
u
y
j
m

b
w
l
u
n
a
K
l
212

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 212 16-03-2009 14:32:53


40

Watu wa Mungu
Wakombolewa

W
akati ulinzi wa kibinadamu macho juu ya ishara ya agano la Mun-
wa kisheria utakapoon- gu, na wanataka wafunikwe wasione
dolewa kwa watu wenye mng’aro huo.
kuiheshimu sheria ya Mungu ndipo Kwa watu wa Mungu sauti ilisiki-
kutakuwa miondoko kadhaa katika ka ikisema, “Tazamameni juu”
nchi mbalimbali ya kuwaangamiza. Wakatazama juu wakauona utukufu
Wakati unapokaribia wa kuwaan- wa Mungu na Mwana Kondoo katika
gamiza, kama ilivyoamuriwa, watu kiti cha enzi, kama Stefano alivyoona.
wataazimu kuwavamia usiku mmoja Matendo 7:55-56. Walizitambua al-
ili kuwanyamazisha kabisa. ama za misumari, ambazo ni alama
Watu wa Mungu, wengine wamo za kujidhili kwake. Kisha wakasikia
magerezani, wengine wamo misituni neno “nataka hao ulionipa wawe
milimani, wanaendelea kumsihi Mun- pamoja nami” Yohana 17:24. Sauti
gu awahifadhi. Watu wenye silaha, ilisikika ikisema, “Wanakuja, wam-
wakihimizwa na malaika wa shetani, etakaswa, hawana waa lolote, wala
wanajitayarisha kuwaangamizia mba- uchafu! Wameshika neno la uvumil-
li. Sasa katika muda wa wasiwasi ivu wangu”.
mno, Mungu ataingilia kati. “Mtaku- Kwenye usiku wa manane Mun-
wa na wimbo kama vile wakati wa gu aonyesha uwezo wake wa ajili ya
usiku kama vile mtu aendapo … ka- kuwaokoa watu wake. Jua latokea
tika mlima wa Bwana, aliye mwamba liking’aa kwa nguvu. Maajabu na is-
wa Israeli. Naye Bwana atawafanya hara vyafuata. Waovu wakaangalia
watu kusikia sauti yake ya utukufu, kwa hofu kuu juu ya mambo hayo,
naye atawaonyesha jinsi mkono wake wakati wateule wanaona kuwa hizo
ushukavyo, na ghadhabu ya hasira ndizo ishara za ukombozi wao. Ka-
yake na mwako wa moto ulao, pamo- tikati ya mbingu zilizokasirika, ku-
ja na dhoruba, na tufani, na mvua ya natokea nafasi wazi yenye utukufu
mawe ya barafu” Isaya 30:29-30. usioelezeka, ambako sauti ya Mungu
Makundi ya watu waovu yako kari- inatokea ikinguruma kama maporo-
bu kuwavamia wana wa Mungu, moko ya maji, ikisema, “Imekwisha
wakati giza kuu, na kuu kabisa ku- kuwa! Ufunuo 16:17.
liko usiku lilifunika dunia. Kisha Sauti hiyo hutetemesha mbingu
upinde wa mvua ukatanda mbinguni na nchi. Litatokea tetemeko la nchi.
na ukaonekana kama upinde huo un- “Kubwa, ambalo tangu wanadamu
awazungushia hawa wana wa Mungu. kuwako juu ya nchi, hapakuwa nam-
Kundi la waovu linazubaa. Kusudi na ile”. Ufunuo 16:18. Miamba mi-
lao limesahaulika, sasa wanakodolea kubwa ikatupwa huku na huko juu
213

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 213 16-03-2009 14:32:57


b
m
w
a
d

w
n
w
k
h
s
g
u
y
s
h
t
M
Ni katika usiku wa manane ndipo nguvu za Mungu zitawaokoa watu wake. i
Sauti ya Mungu itatikisa mbingu na dunia.
c
ya nchi. Bahari ikasukasuka kwa “Na wale waliomchoma Kristo, walio-
fujo na ghasia. Kukasikika sauti ya kuwa wakimdhihaki na kuchekelea m
kilio na mvumo wa tufani kama sauti kifo chake cha uchungu mkuu” na u
ya mashetani. Uso wa nchi ukavunji- wale waliokuwa wapingaji wakuu wa n
kavunjika. Msingi wake ukaonekana ukweli, watafufuliwa wapate kuona H
kana kwamba umeng’oka. Bandari heshima watakayopewa waaminifu u
kuu zilizofananishwa na Sodoma na watiifu wa sheria ya Mungu” Dan. n
kwa uchafu na ufisadi wake, zikaza- 12:2 Ufu 1:7. g
mishwa na bahari yenye msukosuko. Umeme mkali unametameta uki- k
Babeli mkuu, amekumbukwa mbele zunguka nchi, ukiwa kama mwali M
za Mungu, ampe kikombe cha ghad- wa moto. Juu ya ngurumo za ajabu, l
habu ya uchafu wake. Ufunuo 16:19. sauti, za sirisiri na masikitiko zikitan- a
Mvua ya mawe makubwa inafanya gaza ajali ya waovu. Wale waliokuwa i
kazi yake ya kuponda watu. Miji mi- wenye majivuno na wapinzani wakuu,
kuu yenye kiburi inaangushwa chini. wakatili kwa watumishi wa Mungu, n
Majumba makubwa, ambamo wakuu sasa wanagwaya kwa hofu. Mashet- k
na matajiri walifanyia anasa zao yak- ani wanatetemeka, wakati watu wa- s
abomolewa machoni mwao. Mager- naomba msamaha. u
eza yakapasuliwa na watu wa Mungu p
waliofungiwa huko wakatoka. Siku ya Bwana n
“Makaburi yakafunguliwa, na wengi Nabii Isaya asema, “Siku hiyo kila n
wao waliolala mavumbini... wakaam- mtu atazitupilia mbali sanamu zake W
ka, wengine wapate uzima wa milele, za fedha, na sanamu zake za dhaha- g
na wengine wapate aibu na kudharau- bu, walizojifanyia ili kuziabudu, kwa u
liwa milele” fuko na popo; ili aingie ndani ya pam- k

214

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 214 16-03-2009 14:32:59


bo za majabali, na ndani ya tundu za
miamba iliyopasuka, mbele ya utisho
wa Bwana na utukufu wa enzi yake
atakapoondoka ili aitetemeshe mno
dunia” Isaya 2:20-21.
Wale waliotoa yote kwa Kristo
watakuwa salamini. Mbele ya dunia
na katika kifo wamemshuhudia jinsi
walivyo waaminifu kwake aliyekufa
Maneno ya waumini yatapanda kwa Mungu
kwa ajili yao. Nyuso zao, ambazo kutoka katika waaminifu, na mawingu
hapo mbele zilikuwa na wasiwasi, yatatawanya, utukufu usio semekana
sasa zimejaa kutabasamu na mshan- ukilinganishwa na weusi wa dhiki
gao. Sauti zao zinaimba wimbo wa kuu kwa upande wa pili.
ushindi, wakisema, “Mungu ni ngome
yetu na nguvu, ni msaada kwenye
ye hai. Wanaona, lakini wamechelewa
shida ulio karibu sana. Kwa hiyo
msingi wa mchanga walikuwa wame-
hatutaogopa ijapobadilika nchi ijapo-
jenga; lakini wamechelewa. Walikuwa
tetemeka milima moyoni mwa bahari.
wakipigana na Mungu wakati wakid-
Maji yake yajapovuma na kuumuka,
hani kuwa walikuwa wanamwabu-
ijapopepesuka milima kwa kiburi
du. Walimu wa dini waliowaongoza
chake”. Zaburi 46:1-3.
watu kwenda ahera, wakati walidhani
- Maneno haya yenye matumaini
kuwa wanawapeleka mbinguni. We-
a matakatifu yanapopaa kwa Mungu,
nye madaraka kanisani wanao wajibu
a utukufu wa mji mtukufu unaoneka-
mzito kiasi gani! Wachungaji wasio wa
a na wakati malango yanapofunguliwa.
kweli wana ole mzito kiasi gani.
a Halafu ukaonekana mkono angani
u ukishikilia mbao mbili za mawe. Hizo
Mfalme wa Wafalme Atokea
. ni mbao za amri za Mungu zilizotan-
Sauti ya Mungu inasikika ikitanga-
gazwa huko Sinai. Sasa zinadhihirika
za siku na saa ya kuja kwake Yesu.
- kuwa ndizo kipimo katika hukumu.
Waisraeli wa Mungu wanasimama
i Maneno yake ni dhahiri, rahisi kue-
wakisikiliza. Nyuso zao ziking’aa
, leweka kwa wote. Kumbukumbu in-
kwa utukufu wa Mungu. Mara ika-
- aamshwa. Hali ya ushirikina ufedhuli
onekana ishara, wingu dogo jeusi lik-
a inaondolewa mawazoni.
aonekana upande wa mashariki. Ni
, Haiwezekani kuelekeza hali ya hofu
wingu ambalo linamzunguka Mwo-
, na fadhaa itakayowapata wale walio-
kozi. Watu wa Mungu wanalikodolea
- kanyaga sheria ya Mungu. Waliihalifu
macho wakiwa kimya kabisa. Wingu
- sheria ya Mungu ili kupata furaha ya
linazidi kukaribia. Kumbe ni wingu
ulimwengu, na wakawafanya wengine
jeupe kubwa kabisa, kitako chake
pia kuihalifu. Sasa wanahukumiwa
kinang’aa kwa utukufu mwingi, kama
na sheria ile ile waliyoidharau. Wa-
moto uwakao, juu yake kama upinde
a naona kuwa hawana udhuru wo wote.
wa agano ukilizunguka. Sasa huyu
e Watu hao, maadui wa sheria za Mun-
ajaye siye “mtu wa huzuni”, bali ni
- gu sasa wanaona wazi upya juu ya
“mshindaji mkuu” Malaika, ambao
a ukweli na wajibu wao. Sasa wanaona
ni wengi mno wasiohesabika, wana-
- kuwa sabato ni muhuri wa Mungu ali-
fuatana naye. Ni wengi mno, maelfu
215

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 215 16-03-2009 14:32:59


Mambo ya mizaha imekoma, mido-
mo ya uongo imenyamzishwa. Haku- w
na sauti inayosikika sana, ila vilio na W
maombolezo. Waovu wanaomba wa- w
fukiwe ardhini, kuliko kumwona yule k
waliyemdhihaki na kumchezea. Sauti k
ile inayopenya mpaka katika masikio k
ya wafu waijua. Sauti hiyo iliwasihi h
mara ngapi ili atubu. Ilisikiwa mara “
nyingi ikiwaita watu kwa kuwasihi U
kwa rafiki, ndugu na mkombozi. Sauti K
inakumbusha juu ya maonyo yaliyod-
harauliwa na miito iliyokataliwa. w
Ndipo kunatokea wingu zeusi dogo upande
wa mashariki, kama nusu ya kiganja cha Kuna wale waliomdhihaki Kristo c
mkono wa mtu. Ni wingu linalo mzunguka wakati wa mateso yake. Alisema, “Tan- n
Mwokozi na linalooneka kama gu sasa mtamwona mwana wa Adamu a
limezungukwa na giza. t
ameketi mkono wa kuume wa nguvu
elfu mara elfu kumi, elfu mara mael- akija juu ya mawingu ya mbinguni” h
fu. Kila jicho linamwona Mkuu wa Mathayo 26:64. Sasa wanamwanga- w
uzima. Taji ya utukufu imo kichwani lia katika utukufu wake, na bado at- m
mwake. Uso wake unang’aa kuliko amwona tena ameketi mkono wa ku- i
jua la mchana. Katika vazi na paji lia wa nguvu. Yuko shupavu Herode n
la uso wake analo jina limeandikwa, aliyemcheka. Wako wale waliomvika n
“MFALME WA WAFALME NA BWANA taji ya miiba kichwani mwake. Wako n
WA MABWANA” Ufunu o19:16. wote waliomtendea ufedhuli waliomte- 4
Mfalme wa wafalme anakuja juu mea mate wote waliomchoma na mis- w
ya wingu, likizungukwa na miale ya umari wanaoa alama hizo kwa hofu w
moto. Nchi ikatetemeka mbele yake. wa kila aina na kumtesa. Wote hao W
“Mungu wetu atakuja wala hatan- wanatafuta kukimbia wasionekane y
yamaza, moto utakula mbele zake, kwake. l
na tufani yavuma sana ikimzunguka Makuhani na wakuu wanakumbuka
pande zote. Ataziita mbigu zilizo juu, mambo ya kalwari jinsi walivyokuwa w
na nchi pia awahukumu watu wake” wakisema kuwa, aliponya wengine, j
Zab. 50:3-4. basi na ajiponye” Mathayo 27:42. a
“Na wafalme wa dunia na wakuu, Walivyokuwa wakipiga kelele, “Asu- f
na majemadari na matajiri na wenye lubiwe, asulubiwe” “Ni mwana wa i
nguvu na kila mtumwa na mwung- Mungu. Wote wanaukimbia uso wake w
wana, wakajificha katika pango na mfalme wa wafalme. p
nchi ya miamba ya milima, wakaiam- Wote waliukataa ukweli, kutakuwa h
bia milima na miamba, Tuangukieni, wakati watakapokumbuka, na kuta- t
tusitirini, mbele za uso wake aketiye fakari walivyopata nafasi wakazikataa c
juu ya kiti cha enzi na hasira ya Mwa- watatetembea ajabu. Katika fadhaa z
nakondoo. Kwa maana siku iliyo kuu yao watasikia sauti za wenye haki w
ya hasira yao imekuja; naye ni nani zikisema “Tazama huyu ndiye Mungu m
awezaye kusimama?” Ufunuo 6:15- wetu. Ndiye tuliyemngoja, naye atat- t
17. uokoa” Isaya 25:9. n

216

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 216 16-03-2009 14:33:02


- Sauti ya Mwana wa Mungu yawaita Mpaka Mji Mtakatifu
- wateule ambao wamelala mavumbini. Watu wote waliokombolewa ambao
a Watu wataisikia sauti yake popote hesabu yao ni kama mchanga, macho
- walipolala, nao watatoka wakiwa jeshi yao wote wanamwangalia Yesu. Kila
e kubwa sana, watu wa kila taifa, na jicho linautazama utukufu wake am-
i kabila, na jamaa, na lugha. Watatoka baye, “Uso wake ulikuwa umeharibi-
o katika gereza la kifo wakiwa wamevaa ka sanaa zaidi ya mtu yeyote, na
i hali ya kutokufa, huku wakisema, umbo lake zaidi ya wanadamu” Isa-
a “Ku wapi ewe mauti kushinda kwako? ya 52:14. Juu ya vichwa vya wash-
i Uwapi ewe mauti uchungu wako?” 1 indaji, Yesu anaweka taji za utukufu.
i Kor. 15:55. Kila mtu ana taji yenye jina lake lile
- Wote wanatoka makaburini mwao jina jipya (Ufunuo 2:17) na andiko
wakiwa na kimo kile walicokufa na- lisemalo, “Utakatifu kwa Bwana”.
o cho. Lakini wote wanatoka na kuwa Kila mtu akapewa tuzo ya ushindi,
- na hali ya ujana wa milele. Kristo na kinanda au kinubi cha kuimbia,
u alikuja ili kurudisha kile kilichopo- chenye kung’aa sana. Halafu malai-
u tea. Ataibadili miili yetu ya hali ya ka, mwimbaji anapopiga wimbo, kila
” hafifu ipate kufanana na mwili wake mtu anashika kinubi chake akiimba
- wa utukufu. Miili ya kufa, ambayo ni kwa ufundi wa ajabu. Kila sauti ikai-
- miharibifu iliyoharibiwa na dhambi, nuliwa kwa sifa za shukrani ikisema,
- itakuwa kamili kabisa, yenye sura “Kwake yeye atupendaye na kutuoo-
e nzuri, na isiyoharibika. Vilema wote sha dhambi zetu katika damu yake,
a na hali ya ugonjwa vitaachwa kaburi- na kutufanya kuwa ufalme, na maku-
o ni. Walikombolewa watakua (Malaki hani kwa Mungu, naye ni Baba yake;
- 4:2) wafikie kimo cha ukamilifu wa utukufu na ukuu una yeye hata milele
- waliokuwa nao wanadamu kabla ha- na milele” Ufu. 1:5-6.
u wajaasi. Laana yo yote imeondolewa. Mbele ya jeshi la waliokombole-
o Wateule wa Kristo watakuwa na sura wa uko mji mtakatifu Yesu afungua
e ya Bwana wao katika ukailifu wa mii- malango, na mataifa ambao wame-
li, mawazo na roho. tunza sheria yake wanaingia ndani.
a Wenye haki walio hai wanabadilish- Kisha sauti yake inasikika ikisema,
a wa; kitambo kufumba na kufumbua “Njooni mliobarikiwa na Baba yangu,
, jicho. Kwa agizo la Mungu wanab- urithini ufalme mliowekewa tayari
. adilika na kuvaa kutoharibika, hala- tangu kuumbwa ulimwengu” Ma-
- fu wanaungana na wale waliofufuka thayo 25:34. Kristo anawapeleka
a ili kumlaki Bwana Hewani. Malaika watu walionunuliwa kwa damu yake
e watawakusanya wateule wote kutoka mbele ya Baba yake na kusema “Mimi
pande nne za nchi, kutoka upande niko hapa pamoja na watoto ulionipa”
a huu mpaka upande mwingine. Ma- Wale ulionipa, nimewatunza”. Wae-
- thayo 24:31. Watoto wachanga wana- brania 2:13; Yohana 17:12. Wakati
a chukuliwa na kupelekwa kwa mama huo Baba awatazamapo kundi hili
a zao Marafiki waliotengwa na kifo sasa la waliokombolewa, naona sura yake
i wanaungana tena, bila kuachana ka- mwenyewe ndani yao. Alama ya
u mwe, na wote watapanda kwenda ka- dhambi imeondolewa, na sasa ubin-
- tika mji wa Mungu huku wakiimba adamu na Uungu umeungana.
nyimbo za furaha kuu. Furaha ya Mwokozi inazidi anapoo-

217

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 217 16-03-2009 14:33:02


aliyesababisha, alijuta kabisa. Akafa y
katika tumaini. Na sasa kwa kuwa W
alisamehewa, amerudishiwa hali yake e
ya kwanza. w
Akijaa furaha tele, aliuona mti wa w
uzima uliokuwa chakula chake. Aka- U
ona miche na miti ambayo yeye aliku- i
wa akiishughulikia kwa mikono yake. e
Akaona maua mazuri. Kweli Edeni w
imerudishwa! h
Likiin dunia ikiwa imekabiliwa na mwanga Mwokozi anamwongoza kwenda w
wa radi, na sauti ya ngurumo za radi, sauti ya kwenye mti wa uzima na akaambiwa w
Mwana wa Mungu ikiita watakatifu waliolala. ale matunda yake. Adamu aliona h
na kundi lililokombolewa kutokana maelfu ya ukoo wake ambao wame- k
na mateso yake. Na wateule hawa kombolewa. Ndipo akaitupa taji yake k
watashiriki katika furaha yake. Wa- miguuni mwa Mwokozi, akamsujudia. U
nawaona wale waliowahudumia kwa Akashika kinubi chake na kuimba
njia ya maombi yao, kazi yao, na kwa shangwe kuu; “Anayestahili, b
sadaka zao. Furaha yao itazidi wa- anayestahili ni Mwana Kondoo peke d
navyoona jinsi muungano wa kazi aliyechinjwa”. Ufu. 5:12. Ndipo ukoo m
ulivyo, yaani huyu akamleta yule na wote wa Adamu wakazitupa taji zao m
yule akamleta wingine kadhalika. miguuni pa Mwokozi wakamwabu- m
du. Wakati Adamu alipoasi malaika t
Adamu Wawili Wakutana waliomboleza, lakini Kristo alipofun- v
Waliokombolewa walipokaribishwa gua makaburi wakatoka wenye haki M
katika mji wa Mungu, kulikuwa na huku ilikuwa shangwe kuu. Waka- o
shangwe kuu, Adamu wawili karibu ona kazi ya ukombozi ilivyotimizwa. t
wakutana. Mwana wa Mungu atam- Ndipo wakaungana na waliokombo- i
pokea baba wa taifa la kibinadamu, lewa katika nyimbo za kusifu. K
ambaye alimwumba, akamtenda Juu ya bahari ya kioo iliyochang- a
dhambi ambazo zilisababisha kusu- anyika na moto, likasimama jeshi la t
lubishwa kwa Mwokozi, na kupata washindaji, walipata ushindi juu ya M
alama katika mwili wake. Adamu mnyama na sanamu yake, na chapa k
anapoona alama za misumari katika 7
mikono yake, anajitupa chini ya miguu
ya Kristo. Mwokozi anamwinua na W
kumwambia atazame tena bustani ya
Edeni, ambayo alifukuzwa kwa siku k
nyingi. Maisha ya Adamu yamekuwa n
ya huzuni nyingi. Kila mara alipoo- t
na majani yakinyauka na alipouona K
mnyama wa sadaka, ili kumpatani- m
sha na Mungu yote hayo yalimkum- g
busha ubaya wa dhambi. Aliona uc- d
hungu wa ajabu, mambo hayo yote Kabla ya kuingia katika Mji Mtakatifu, Yesu y
yalipotupwa kwake, kwamba ni yeye anafungua mlango kwa upana, na mataifa W
yaliyotunza ukweli yataingia.

218

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 218 16-03-2009 14:33:03


a ya jina lake, na hesabu ya jina lake.
a Watu mia moja na arobaini na nne
e elfu waliokombewa kutoka katika
watu. Hao waliimba wimbo mpya,
a wimbo wa Musa na Mwana Kondoo.
- Ufunuo 15:2-3. Hakuna wengine,
- ila ni wale mia na arobaini na nne
. elfu peke yao, ndio waliweza kuimba
i wimbo huo maana ni wimbo unao-
husu mambo yaliyowapata, ambayo
a wengine hawakuyapitia. “Hawa ndio Katika baraha nyeupe mbele ya kiti cha
a wamfuatao mwana Kondoo kila ma- enzi, katika barahi ile ya kioo ikioneka kama
a hali aendako” hawa wamebadilishwa imechanganywa na moto, -huo utukufu wa
Mungu upo pale,- wamekusanyika jumuia ya
- kati ya watu hai, ndio malimbuko wale waliomshinda mnyama…’
e kwa Mungu na kwa Mwana Kondoo.
. Ufunuo 14:4-5. Kuifahamu dhabihu ya Mwokozi kwa
a Wamepitia wakati wa taabu kuu am- ajili yao, kumwafanya kuwa wany-
, bayo ilikuwa haijatokea wamevumilia enyekevu na wapole. Wamependa
e dhiki ya taabu ya Yakobo; walisima- sana kwa sababu wamesamehewa
o ma peke yao bila mtetezi wakati wa mengi Luka 7:47. Kwa kuwa wame-
o mapigo saba ya Mungu. “Wamefua kuwa washiriki wa mateso ya Kristo,
- mavazi yao na kuyafanya meupe ka- wamestahili pia kuwa washiriki wa
a tika damu ya mwana Kondoo. Katika utukufu wake.
- vinywa vyao haukuonekana uongo. Warithi wa Mungu wanatoka ma-
i Maana hawana mawaa”. “Hawata- hali hafifu, vijumba vya ovyo, ger-
- ona njaa kamwe, wala hawataona kiu ezani, mapangoni, milimani, jang-
. tena, wala jua halitawapiga, wala hari wani mwituni. Ni watu wa dhiki tu
- iliyo yote. Kwa maana huyo mwana daima. Waliteswa wengi walilala
Kondoo, aliye katikati ya kiti cha enzi, makaburini katika hali ya dhiki na
- atawachunga, naye atawaongoza ka- fedheha, kwa sababu walikataa ku-
a tika chemichemi ya maji ya uhai, na salimu amri kwa shetani. Sasa ha-
a Mungu atayafuta machozi yote kati- wana dhiki tena wala masumbuko.
a ka macho yao”. Ufunuo 7:14; 14:5; Hivyo sasa wanasimama katika fu-
7:16-17. raha isiyosemekana, na kuvaa ma-
vazi ya utukufu. Wanavaa taji tu-
Waliokombolewa Katika Utukufu kufu, ambayo kamwe havikuvaliwa
Katika vizazi vyote wateule wa Mwo- na mfalme ye yote duniani. Mfalme
kozi wamekuwa wakitembea katika wa utukufu amefuta machozi yote
njia nyembamba. Walitakiwa ka- katika macho yao. Wanaimba tu
tika tanuru la mateso. Kwa ajili ya nyimbo za kusifu safi na tamu. Mb-
Kristo walivumilia chuki masingizio, ingu inajaa na nyimbo zikisema
masengenyo, kujikana, na machun- “wokovu una Mungu aketiye katika
gu mengi. Wamejifunza ubaya wa kiti cha enzi, na Mwanakondoo” na
dhambi, nguvu ya dhambi, na hatia wote wanaitikia wakisema “Amina,
ya dhambi, na matokeo ya dhambi. Baraka, na utukufu, na hekima na
Wameiona katika hali ya kuichukia. shukrani na heshima, na uwezo na

219

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 219 16-03-2009 14:33:05


M
k
U
a
m
k
n
k
b
a
y
Warithi wa Mungu wanakuja kutoka katika dhiki, katika taabu, wakitoka mahali hatari…
mamilioni waliingia kaburini wakibebeshwa I
lawama kwa sababu walikana kukubali uongo alioudai Sheteni. M
b
nguvu zina Mungu wetu hata milele ambao watakuwa wakishangaa na m
na milele” ufunuo 7:10-12. kujifunza wakati wote. Ijapokuwa k
Katika maisha haya tunaweza tu masikitiko na magonjwa na uchovu y
kuanza kufahamu mpango wa wok- pamoja na majaribu ya dunia vime- k
ovu. Kwa akili yetu ndogo tunaweza kwisha, na laana imeondolewa, watu n
kuelewa mambo ya aibu na ya utu- wa Mungu watakuwa na akili timamu p
kufu, uzima na mauti, haki na rehema ya kujua kwa kweli kila kilichoghari- n
ambayo hukutania msalabani; lakini misha wokovu wao. k
kwa ajili ya uhafifu wetu tunashind- Msalaba ndio utakuwa kiini cha
wa kuelewa mambo yayo hayo katika elimu ya kujifunza na wimbo wa kui-
umuhimu wake. Urefu, na upana na mba milele na milele zote. Katika
kwenda juu na kina cha upendo wa Kristo mwenye utukufu, watamwona
ukombozi tunavifahamu kidogo sana jinsi alivyosulubishwa. Kamwe hai-
kigizagiza. Mpango wa wokovu hau- tasahauliwa kuwa mkuu wa utukufu
tafahamika kamili hata kama walio- mbinguni alijinyenyekeza ili kusudi
kombolewa watafika huko na kuona apate kuwainua walioanguka dham-
mambo waziwazi; na kujua kama wa- bini. Kwamba alichukua maovu
navyojulikana, lakini kwa maisha ya na masikitiko yote, na uso wa Baba
milele na milele, kweli mpya, mpya yake alificha usimwelekee Yesu, na
zitaendelea kufunuliwa kwa watu ole wa ulimwengu mzima ukamkalia
wenye mawazo ya utambuzi kamili, mpaka roho yake ikavunjika na kufa.
220

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 220 16-03-2009 14:33:06


Itaonekana kuwa yeye asiye na mwisho
katika maarifa angeandaa kama mpango wa
pekee wa kafara ya mwanae.

Mwumbaji wa ulimwengu aliacha tu-


kufu wake ili kumwokoa mpotevu.
Upendo huu wa Yesu kwa binad-
amu, kamwe hautasahaulika katika
malimwengu yote. Mataifa ya walioo-
koka watakapomwangalia Mwokozi,
na kujua kuwa ufalme wake hauna
kikomo, basi wanapaza sauti wakim-
ba: “Anayestahili ni Mwanakondoo,
aliyechinjwa akatukomboa kwa damu
yake, na kutufanya wana wa Mungu”
Siri ya msalaba inafunua siri zote.
Itaonekana wazi kuwa mwenyenzi
Mungu mwenye hekima yote asinge-
buni njia nyingine ya kumwokoa
a mwanadamu isipokuwa ni hiyo ya
a kujitoa kwa mwana wake. Matokeo
u ya kujitoa huku ni kujaza watu kati-
- ka dunia, ambao waishio milele. Hiyo
u ndiyo thamani ya roho, ambayo ilili-
u piwa gharama hiyo na Baba aliridhika
- nayo. Na Kristo aonapo matunda ya
kafara yake kuu ataridhika.
a
-
a
a
-
u
i
-
u
a
a
a
.
221

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 221 16-03-2009 14:33:11


W
k
p
f
m
k
w
u
h
v
a
k
b
l
z
k
k
k
a
m
n
n
l
h

e
m
m
k
f
u
s
n
n

222

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 222 16-03-2009 14:33:12


41

Dunia Katika
Maangamizi

W
akati sauti ya Mungu itakapo- na kuwatwawanya … Angalieni ni-
fungulia watu wake, kutaku- tawapatiliza uovu wa matendo yenu.”
wa na mwamko wa kutisha “Mnemhuzunisha moyo wenye haki
kwa wale walioshindwa, katika ma- ya uongo, ambaye mimi sikumhu-
pambano haya ya maisha. Wakipo- zunisha, na kuitia nguvu mikono ya
fushwa na madanganyo ya shetani, mtu mbaya hata asigeuke na kuiacha
matajiri wakijivuna juu ya wale walio- njia yake mbaya” Yeremia 23:1-2;
kuwa na mali kama zao. Lakini ha- Eze.13:22.
wakuwajali maskini, wenye njaa, walio Wachungaji wa watu wao wanaona
uchi, wala hawakutenda matendo ya kuwa, kumbe walikuwa wamemwasi
haki, huruma na upendo. Sasa vitu Mwenye sheria zote za haki, yaani
vyao vyote wamenyag’anywa wame- Mungu. Walipoiacha sheria, waka-
achwa fukara. Wakaangalia kwa hofu fungua njia ya maasi yote, mapaka
kuu uangamivu wa sanamu zao am- nchi ikawa ziwa la uharibifu. Lugha
bavyo walivifanyia miungu yao. Wa- haitoshi kuelezea hali ya kutamani
liuza roho zao katika furaha na anasa waovu waliyo nayo ya kupata uzima.
za dunia. Maisha yao yamekuwa kati- Lakini saa wamepoteza milele, uzima
ka hali ya ufukara. Mali walizochuma wa milele.
katika maisha yote zimeyeyuka kwa Watu wanashitakiana wao kwa
kitambo. Matajiri wanaombeleza, kwa wao kwamba wamekoseshwa mpaka
ajili ya maangamizi ya majumba yao wamepotea, lakini wote wakaelekeza
makubwa. Mtawanyiko wa dhahabu matusi yao ya kuwalaani wachungaji
na fedha zao. Wana hofu kuangamia ambao wamewakosesha.
na sanamu zao. Waovu wanaombo- Wachungaji ambao walisema mane-
leza kwa sababu matokeo yamekuwa no laini (Isaya 30:10) ambayo yaliwa-
hivyo, wala hawakutubu. fanya watu wajiepushe na sheria ya
Mchungaji aliyeacha ukweli ili ap- Mungu. Watainuka na kusema “Tu-
endwe na watu anafahamu sasa kuwa mepotea, na ninyi ndio mliotukose-
mafundisho yake yalikuwa na mvuto sha” Mikono ile iiyokuwa ikiwasifu na
mbaya. Kila mstari ulioandikwa na kuwatukuza, sasa inawainukia ipate
kila neno lililonenwa ambalo liliwa- kuwaangamiza. Kila mahali palijaa
fanya watu watulie katika ngome ya mapigano na kumwaga damu!
uongo, lilikuwa mbegu iliyopandwa, Mwana wa Mungu pamoja na wenyeji
sasa wanaona mavuno yalivyo. Bwa- wa mbinguni wamekuwa wakipamba-
na asema “Ole wao wachungaji wa- na na uovu, huku wakiwamulikia, na
naoharibu kondoo za malisho yangu, kuwavuta watu ili watoke katika njia

223

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 223 16-03-2009 14:33:13


w
m
a
B
a
n
i
k
h
w
l
d
o
w
I

w
l
m
M
m
y
Mchungaji aliyetoa kafara kwa ukweli ili kupata umaarufu wa watu sasa wameacha tabia
njema yatokanayo na mafundisho yake.
K
za uovu na kuelekea nuru ya uzima. “Kwa maana, tazama, Bwana anakuja
Na sasa kila mtu ameamua upande wa kutoka mahali pake, ili kuwaadhibu y
kusimama. Waovu waliamua kuun- wakaao duniani, kwa sababu ya uovu h
gana na shetani ili kushindana na wao, ardhi nayo itafunua damu yake, t
Mungu. Kwa hiyo mapambano si ya wala haitawafunuka tena watu wake z
shetani peke yake, bali ni wanadamu waliouawa”. “Mashaka makubwa ya- k
pia. “Bwana anayo mateto pamoja na tokanayo kwa Bwana yatakuwa kati m
mataifa”. Yeremia 25:31. yao, na kila mmoja wao atakamata y
mkono wa jirani yake, na mkono wake d
Malaika wa Mauti utainuliwa ili kushindana na mkono k
Sasa malaika wa mauti anatoka, wa jirani yake” Isaya 26:21; Zekaria w
katika njozi ya Ezekieli akifananish- 14:12-13. H
wa na watu wenye silaha za kufisha. Mashindano yao ya kinyama, pamo- K
“Waueni kabisa, mzee, na kijana na ja na mapigo ya Mungu yasiyochang- i
msichana na watoto wachanga na anywa na huruma, wataanguka wa- p
wanawake; lakini msimkaribie mtu ovu, makuhani, wakuu, na watu kwa b
ye yote mwenye hiyo alama, tena an- ujumla. “Na waliouawa na Bwana z
zeni katika patakatifu pangu”. Basi siku ile watakuwako, toka upande m
wakaanza kwa wazee waliokuwa mmoja wa dunia na hata upande wa k
mbele ya nyumba “waliodai kuwa wa- pili”. Yeremia 25:33. a
ongozi wa watu” Eze. 9:6. Walinzi Katika kurudi kwake Kristo, waovu v
wa uongo ndio wa kwanza kuanguka. watauawa kwa mng’aro wa utukufu p

224

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 224 16-03-2009 14:33:14


wake. Kristo anachukua watu wake
mpaka katika jiji la Mungu. Nchi in-
abaki tupu bila wakaaji. “Tazama,
Bwana ameifanya dunia kuwa tupu,
aifanya ukiwa, aipindua na kuwatawa-
nya wakaao ndani yake… Dunia hii
itafanywa tupu kabisa, na kuharibiwa
kabisa; maana Bwana amenena neno
hilo... Kwa maana wameziasi sheria,
wameibadili amri, wamelivunja agano
la milele. Ndiyo sababu laana imeila
dunia hii, na hao wanaoikaa wame-
onekana kuwa na hatia, ndiyo sababu Dunia yote imeonekana ukiwa. Mabaki ya
watu wanaoikaa dunia wameteketea. uharibifu katika miji na vijiji vilivyo haribiwa
Isaya 24:1,3,5-6. na tetemeko, mti iliyongolewa, majabali
Dunia inaonekana kama jang- yaliyotupwa kutoka baharini na kuichakaza
dunia yametawanyika katika uso wa nchi.
wa. Miji imeharibiwa na tetemeko
la nchi, miti imeng’oka, miamba na
mawe makubwa yametawanyika kote. hali kadhalika Shetani naye atafung-
Mashindano makubwa yanaonyesha wa katika dunia hii iliyoharibika am-
mahali milima ilipokuwa. Misingi bayo ni ukiwa kabisa.
yake imetoweka. Baada ya kutaja habari za kurudi
kwake Kristo, mwandishi wa ufunuo
Kifungu cha Shetani anaendelea asema, “Kisha nikaona
a Sasa mambo yanayotokea ni yale malaika akishuka kutoka mbinguni,
u yaliyokuwa kivuli chake wakati wa mwenye ufunguo wa kuzimu na mny-
u huduma ya mwisho wa siku ya upa- ororo mkubwa mkononi mwake. Aka-
, tanisho. Wakati dhambi za Waisraeli mshika yule joka, nyoka wa zamani,
e zilipohamishwa kutoka patakatifu ambaye ni Ibilisi na Shetani, akam-
- kwa njia ya sadaka ya mbuzi, yule funga miaka elfu; akamtupa katika
i mbuzi wa Azazeli aliletwa hai mbele kuzimu, akamfunga, akatia muhuri
a ya Bwana. Kuhani mkuu akiungama juu yake, asipate kuwadanganya ma-
e dhambi zote za watu wote, ziliwe- taifa tena, hata ile miaka elfu itimie;
o kwa juu ya kichwa cha huyo mbuzi na baada ya hayo yapasa afunguliwe
a wa Azazeli. Mambo ya Walawi 16:21. muda mchache”. Ufunuo 20:1-3.
Hali kadhalika, kazi ya upatanisho ya “Kuzimu” Kunafananishwa na dunia
- Kristo katika patakatifu pa mbinguni, iliyoharibika na kuvurugika. Yeremia
- itakapokamilika mbele za Mungu, ndi- akiangalia siku kuu ya Mungu, alise-
- po jeshi la malaika wote na waliokom- ma “Naliiangalia nchi, na tazama, ili-
a bolewa wote, ambao dhambi zao zote kuwa ukiwa haina watu; naliziangalia
a zitawekwa juu ya Shetani kama juu ya mbingu, nazo zilikuwa hazina nuru.
e mbuzi wa Azazeli. Sasa atatangazwa Naliiangalia milima, na tazama, ina-
a kuwa mwenye hatia ya dhambi zote tetemeka, na milima yote inasogea
alizowafanya watu wazitende. Kama huko na huko. Nikaangalia, na taza-
u vile mbuzi wa Azazeli alivyopelekwa ma hapakuwa na mtu hata mmoja na
u porini mahali pasipokuwa na watu, ndege wote wa angani wamekwenda

225

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 225 16-03-2009 14:33:17


asiyefungua wafungwa wake waende
kwao? Isaya 14:12-17.
Kwa Muda wa miaka 6,000 shetani
amewafunga watu wa Mungu katika
gereza lake, lakini Kristo amelivunja
na kuwafungulia watu wake. Shet-
ani peke yake na malaika zake wa-
ovu wataona matokeo ya dhambi.
“Wafalme wa dunia, wote wakilala
katika utukufu, kila mmoja nyumba
yake mwenyewe (kaburi) Bali wewe
Katika huduma ya hekalu, mbuzi
alimwakilisha Shetani naye aliongozwa na umetupwa mbali na kaburi lako,
watu wenye nguvu kwenda nyikani, Hii ili- kama chipukizi lililochukiza kabisa
wakilisha jinsi ambavyo atafungwa peke yake …. Hutaungamanishwa pamoja nao
katika siku za mwisho.
katika mazishi kwa maana umeihari-
bu nchi yako, umewaua watu wako”
zao. Nikaangalia, na tazama shamba Isaya 14:18-20.
lililozaa sana limekuwa ukiwa, miji Kwa muda wa miaka 1000 Shetani
yake yote imebomoka mbele za Bwa- ataangalia matokeo ya uasi wake juu
na, na mbele za hasira yake. Yeremia ya Mungu. Maumivu yake yatakuwa
4:23-26. machungu sana. Ameachwa atafak-
Hapo ndipo shetani na malaika zake ari kazi yake ya uasi na matokeo yake,
waovu watakapoishi kwa muda wa na kufikiri juu ya adhabu atakayopa-
miaka 1000. hataruhusiwa kutoka ta kama malipo ya kazi yake. a
katika dunia zingine kuwajaribu we- Katika miaka 1000 baina ya ufufuo h
nyeji wa huko. Hakuna mtu aliyebaki wa kwanza na wa pili, ndipo adhabu m
ambaye atamjaribu. Amekatwa kabi- ya waovu itakatwa. Paulo anataja l
sa na kazi ya udanganyifu ambayo jambo hilo kama hivi, “Basi ninyi msi- h
aliipenda sana. hukumu neno kabla ya wakati wake, m
“Nabii Isaya akiangalia siku za kush- hata ajapo Bwana” Wenye haki wa- s
indwa kwa shetani, alisema, “Jinsi natawala kama wafalme na maku-
ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe hani. Yohana naye asema “Niliona viti p
nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi, vya enzi, wakaketi juu yake, wakape- w
jinsi ulivyokatwa kabisa, ewe uliye- wa hukumu….. watakuwa makuhani w
waangusha mataifa!…. Nawe ulisema wa Mungu na wa Kristo, nao wata- Z
moyoni mwako, Nitapanda mpaka tawala pamoja naye hiyo miaka elfu”. w
mbinguni, nitakiinua kiti changu juu Ufunuo 20:4-6. Wakati huo wenye s
kuliko nyota za Mungu…. Nitafanana haki watauhukumu ulimwengu. 1Kor. m
na yeye aliye juu. Lakini utashush- 6:12. Wakishirikiana na Kristo, wa- a
wa mpaka kuzimu, mpaka pande za tawahukumu waovu, wakiwakatia hu- k
mwisho za shimo. Wao wakuonao kumu kufuatana na matendo ya kila k
watakukazia macho, watakushan- mtu. Mambo yao yote yatakuwa yame- g
gilia sana wakisema, je huyu ndiye andikwa katika kitabu cha mauti. j
aliyeitetemesha dunia, huyu ndiye Shetani na malaika zake wanahuku-
aliyetikisa falme aliyeufanya ulim- miwa na Kristo na watu wake. Paulo
wengu ukiwa, akaipindua miji yake,

226

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 226 16-03-2009 14:33:18


e

i
a
a
-
-
.
a
a
e
,
a
o
-

i
u
a Kwa miaka elfu moja, Shetani atazunguka
- mpaka miisho ya dunia akitazama uasi wake
, dhidi ya sheria za Mungu.
-
anasema, “Hamjui ya kuwa tutawa-
o hukumu malaika?” Yuda asema, “Na
u malaika wasiolinda enzi yao wenyewe,
a lakini wakayaacha makao yaliyowa-
- husu, amewaweka katika vifungo vya
, milele chini ya giza kwa hukumu ya
- siku ile kuu” Yuda 6.
- Mwisho wa miaka 1000 ufufuo wa
i pili utatokea. Waovu watafufuka
- waje mbele za Mungu wapate kupe-
i wa hukumu yao kama ilivyoandikwa.
- Zaburi 149:9. Hivyo basi mwandishi
. wa ufunuo asema, “Hao wafu walio-
e salia hawakuwa hai hata itimie ile
. miaka elfu”. Ufunuo 20:5 Isaya naye
- asema, “Nao watakusanywa pamoja
- kama vile wakusanywavyo wafungwa
a katika shimo, nao watafungwa katika
- gereza; na baada ya siku nyingi wata-
jiliwa”. Isaya 24:22.
-
o

227

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 227 16-03-2009 14:33:20


l
f
a
h
w
k
f

M
w

n
k
u
k
w
f
n

y
z
u
1
k
j
K
l

228

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 228 16-03-2009 14:33:20


42

Amani ya Milele:
Mwisho wa
Mapambano

M
wisho wa miaka 1000 Kristo mtu wa kudanganya alikuwa katika
anarudi duniani akifuatana hali mbaya sana, lakini sasa aonapo
na waliokombolewa na jeshi waovu wamefufuka jeshi kubwa, ma-
la malaika. Anawaita waovu walioku- tumaini yake yanamrudia. Anakusu-
fa waamke ili wapate malipo yao ya dia kuendelea na mapambano tu, wala
ajali. Wanatokea wengi sana wasio- asisalimu amri. Atalipanga jeshi lake
hesabika, kama mchanga wa pwani vema, maana wote hao ni waasi kama
wakiwa na hali zao za maradhi na yeye, wako tayari kufanya kama apen-
kifo. Tofauti kubwa na wale waliofu- davyo. Hajitaji kuwa yeye ni shetani,
fuliwa mara ya kwanza. bali ajitaja kuwa mtawala wa ulim-
Kila jicho linamwangalia Mwana wa wengu kihalali. Anatumia hila zake ili
Mungu jinsi alivyo mtukufu. Waovu kuwahadaa. Kwamba ni yeye mrithi
wanapaza sauti kwa umoja wakisema, wa ufalme ila ananyang’anywa haki
“Amebarikiwa ajaye kwa jina la Bwa- yake kwa dhuluma. Anajidai kuwa
na”. Mathayo 23:39. Hasemi hivyo yeye ni mkombozi, anao uwezo wa
kwa upendo, ila tu ukweli wa mambo kushinda vita, kwamba uwezo wake
unawalazimisha kusema hivyo bila ndio umewatoa makaburini. Shetani
kutaka. Jinsi waovu walivyokufa anawatia nguvu wote walio dhaifu, na
wakiwa na hali ya ukafiri, ndivyo wata- kuwachochea kwa bidii ili wakauteke
fufuka wakiwa na hali hiyo. Hakuna mji wa Mungu. Anaona jeshi kubwa
nafasi ya kurekebisha tabia zao. la watu waliofufuka na kusema kuwa
Nabii asema, “Na siku hiyo miguu yeye kama kiongozi wao atashinda na
yake itasimama juu ya mlima wa Mi- kutwaa enzi yake.
zietuni …. Nao mlima wa mizeituni Katika jeshi hilo yamo majitu ya za-
utapasuka katikati yake” Zekaria mani yaliyoishi kabla ya gharika, ma-
14:4. mji wa Yerusalemu unaposhu- jitu makubwa yenye akili na uwezo
ka chini, kutoka mbinguni, utatua mwingi kimawazo, ambao walikuwa
juu ya mahali palipotayarishwa na waasi waliosababisha gharika. Pia
Kristo pamoja na watu wake na jeshi kulikuwamo na wafalme na maje-
la malaika, wanaingia mjini. madari wakuu ambao siku zao ha-
Wakati shetani alipofungwa asipate wakushindwa vita kamwe. Watu

229

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 229 16-03-2009 14:33:24


dunia iliyobomoka bomoka waki-
uelekea mji wa Mungu. Yesu akaagiza
milango ya mji ifungwe. Na jeshi la
shetani lajiweka tayari kuushambulia
Sasa Kristo akaonekana machoni
mwa adui zake. Mbali kule mjini,
mahali panapong’aa kwa dhahabu
na kuna kiti cha enzi. Juu ya kiti
hicho ameketi mwana wa Mungu na
kumzunguka wako waliokombolewa,
raia zake. Utukufu wa Baba unam-
zunguka mwanawe. Utukufu wake
unang’aa ukipenya mjini mpaka nchi
yote ikazungukwa.
Karibu na kiti cha enzi wanaketi watu
waliokuwa watumishi mashuhuri wa
shetani hapo kwanza, ambao walin-
yakuliwa kama kinga cha moto, na n
sasa wanamtumikia Kristo kwa uami- a
nifu sana. Baada ya hao wako wale n
walioishi katika nchi ya maovu, lakini k
Sasa Shetani anaandaa mpango wake mkuu wakaishi maisha safi bila kuambukiz- r
wa mwisho dhidi ya nguvu za Mungu. wa na maovu hayo. Watu walioshika “
Ataamrisha majemadari wote walioshindwa sheria ya Mungu wakati watu wen- c
chini ya bendera yake.
gine walipoasi. Na watu mamilioni b
waliouawa kwa ajili ya Yesu, watu wa w
hawa hawakubadilika, maana katika n
vizazi vyote. Halafu ndipo linakuja
kifo hakuna kubadilika. Walipofufu- w
“jeshi kubwa, ambalo hakuna mtu
ka walikuja na hali yao ile ya vita na k
awezaye kuwahesabu, watu wa kila
ukatili. w
taifa, na kabila, na jamaa, na lugha
…. Wamevikwa mavazi meupe, wana a
Shambulio la Mwisho Juu ya w
matawi ya mitende mikononi mwao”
Mungu y
Matawi ya mitende ni alama ya ush-
Shetani alishauriana na watu hawa w
indi. Mavazi meupe ni alama ya haki
hodari. Wakasema kuwa jeshi lili- 2
ya Kristo, ambayo ni yao sasa.
lomo mjini ni dogo, ukilinganisha na
Katika kundi hilo lote, hakuna hata
lao. Kwa hiyo watalishinda tu. Basi w
mtu anayedai kuwa amepata mambo
mafundi wanaanza kuunda silaha k
hayo kwa haki yake na wema wake
kwa haraka sana. Majemadari wana- y
mwenyewe. Hakuna kitu kisemwa-
panga majeshi katika vikosi vyao. m
cho kuhusu dhiki iliyopatikana duni-
Mwisho amri ikatolewa ili kusham- c
ani. Neno kuu lao ni, “Wokovu una
bulia. Jeshi kubwa mno likaanza y
Mungu wetu na mwana kondoo”
kwenda kusogelea mji wa Mungu. Ni n
jeshi kubwa mno halijapata kutokea w
Waasi watamkiwa Hukumu
vizazi vyote, halihesabiki. Anatangu- p
Kutawazwa kwa Kristo kunafanyika
lia shetani na wafalme na majemadari u
mbele ya wakaaji wambinguni na we-
wanakuja nyuma. Wakasikia katika
230

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 230 16-03-2009 14:33:25


- tubu, vyote vyaonekana kama viean-
a dikwa kwa herufi za moto.
a Juu ya kiti cha enzi msalaba ulifu-
a nuliwa. Mfululizo wa maono kama
i picha ya mfululizo ikionyesha an-
, guko la Adamu, na hatua zilizofuata
u katika mpango wa wokovu kuzaliwa
i kwa Mwokozi; maisha ya Mwokozi
a ya hali ya unyenyekevu na kujidhili,
, ubatizo wake kaitka mto wa Yordani,
- kuomba na kuanguka kwake jang-
e wani, majaribu yake, huduma yake
i na huruma kwa wanadamu, ikionye-
Mwokozi anaanzisha wimbi wa sifa na
mwangwi wake ulisikika tena na tena huko sha mibaraka ya mbingu, kukesha
u mbinguni: “Mwokovu ni kwa Mungu wetu kwake usiku katika kuomba mlimani,
a akaaye katika kiti cha enzi, matendo yake mema yasiyo na kifani,
na kwa mwana Kondoo. matendo ya kihaini na usaliti aliyo-
-
a nyeji wa duniani. Na sasa Kristo akik- fanyiwa kufuata wema wake. Kute-
- abidhiwa utukufu na nguvu, akiwa seka kwake katika Getsemane aki-
e ndiye mfalme wa wafalme, awatam- ona mzigo wa dhambi za ulimwengu
i kia waovu ambao wameivunja she- ukimkalia. Kusalitiwa na kukamatwa
- ria yake na kuwatesa wafuasi wake.
a “Kisha nikaona kiti cha enzi, kikubwa
- cheupe, na yeye aketiye juu yake; am-
i baye nchi na mbingu zikakimbia uso
a wake, na mahali pao hapakuoneka-
a na. Nikawaona wafu wakubwa kwa
u wadogo, wamesimama mbele ya hicho
a kiti cha enzi, na vitabu vikafunguli-
a wa; na kitabu kingine kikafunguliwa
a ambacho ni cha uzima; na hao wafu
” wakahukumiwa katika mambo hayo
- yaliyoandikwa katika vitabu vile, sa-
i wasawa na matendo yao”. Ufunuo
20:11-12.
a Macho ya Yesu yalipokuwa yaki-
o watazama waovu wao waliona ku-
e kumbuka kila aina ya dhambi wali-
- yotenda maishani mwao. Wanaona
- mahali miguu yao ilipoteleza na kua-
a cha njia nyofu. Wanaona majaribu
yaliyowavuta na kuwaingiza dhambi-
ni kwa ajili ya tamaa. Wanaona jinsi
walivyowadharau wajumbe wa Mungu Sasa mbele ya umati wote wanapokea tukio
a pamoja na ujumbe wao. Ugumu wa la mwisho – wenye subira wakieleke
- ukaidi wa mioyo yao uliwazuia wasi- katika njia ya Klwari.

231

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 231 16-03-2009 14:33:26


Hapo yuko Nero, mkuu wa ukatili,
anawaangalia wale aliowatesa katika
hali ya unyama, watu hawa wametu-
kuzwa kwa ajabu. Hata mamaye ali-
yemtia moyo wa ukatili kwa mfano
wa mvuto wake, alikuwako akiyaona
mazao ya matunda yake ya uasi ulio-
tetemesha dunia.
Mapapa na wakuu wao wapo hapo,
waliokuwa wakijidai kuwa wao ndio
mawakili wa Mungu duniani ambao
kwake na kundi la wauaji usiku wa walitumia ukatili kwa wana wa Mun-
vitisho akiwa mikononi mwa makuta- gu; ukatili wa kila aina; kufunga watu,
no, mfungwa asiyekaidi ameachwa na kupiga kuchoma moto, na mateso ya
wanafunzi wake; katika majumba ya namna namna. Mapapa waliojivuna
hukumu na kwa wakuu katika jumba majivuno makuu sana kuliko Mungu
la hukumu la Pilato mbele ya mwoga kiasi cha kutaka kubadili sheria ya
Herode, kutukanwa, kudhihakiwa, Mungu. Sasa wamechelewa kugun-
kuteshwa kupita kiasi, na mwisho dua kuwa mwenyezi Mungu siyo wa
kusulubishwa msalabani. Yote yana- kudhihakiwa kiasi hicho. Hawana
onekana wazi. udhuru wo wote sasa. Waasi wote
Na sasa mbele ya majeshi yanayo- wanashangaa pale kwa kujua kuwa
tetemeka yanafunuliwa maneno ya walikuwa wanashindana na Mungu.
mwisho, mteswaji mvumilivu akikan- Hawana la kujitetea. Tamko linatam-
yaga njia ya kwenda kalwari. Mfalme kwa juu yao kuwa, watapata kifo cha
wa mbinguni akifa msalabani waandi- milele kuwa ndiyo malipo yao. Waovu
shi na makuhani huku wakimdhiha- wanaona kuwa hayo ndiyo matunda
ki. Mavumilivu yake makali wakati ya uasi wao. Kwa hiyo wanapaza sau-
akifa. Giza laifunika dunia wakati ti kwa umoja wakisema, “Tumepo-
akikata roho. tea mambo haya yote tungaliyapata,
Haya yote yalipoonekana shetani na kama tungalijali maonyo! Tumebadi-
wafuasi wake hawakuwa na la kusema, li, furaha, amani, heshima, na uzima n
wala njia ya kujificha wasiyaone. Kila badala yake tumepata uharibifu aibu k
jambo lilimgonga sehemu aliyoifanya. na kifo. Katika maisha yao walitan-
Herode aliyechinja watoto wadogo wa gaza “hatumtaki Yesu atutawale”. k
Bethlehemu, Herodias mwenye hatia k
ya damu ya Yohana Mbatizaji, Pilato Shetani Ashindwa k
mwamuzi dhaifu, majeshi yaliyoku- Wakati waovu wakiangalia kutawa- h
wa pale katika kumdhihaki Mwokozi, zwa kwa mwana wa Mungu, waliona k
makundi ya waliopagawa waliopaza katika mikono yake alishika mbao B
sauti zao na kusema, “Damu yake na mbili za amri zake ambazo walizid- s
iwe juu yetu na watoto wetu”. Wote harau, kumbe ndio sheria ya serikali l
hao walitafuta kutoroka, wasiweze. ya Mungu. Walishuhudia ibada ya n
Wakati huo waliokombolewa, wakiz- waliokombolewa, ndipo waovu walise-
itupa taji zao miguuni pa Mwokozi na ma, “Ni haki na za kweli njia zako, z
kusema “Alikufa kwa ajili yangu”. Ee, Bwana Mungu mwenyenzi” Wa- y

232

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 232 16-03-2009 14:33:27


,
a yake katika ulimwengu na matokeo
- yake, kuwa ni chuki tu kati yao na
- uharibifu wa maisha. Akaona kuwa
o kilichomo ulimwenguni ni vita na ku-
a pinduana siku zote ni fujo na gha-
- sia tu kila mahali. Akatafakari jinsi
alivyojitahidi kupinga kazi ya Kristo.
, Alipoona matunda ya juhudi yake
o akaona kuwa hakuambulia chochote.
o Tena na tena katika vita vyake na
- Kristo amekuwa akishindwa kwa kila
, hatua, na kuombwa asalimu amri.
a Kusudi la uasi wake lilikuwa ku-
a onyesha ufanisi wake zaidi ya seri-
u kali ya Mungu. Amewashawishi watu
a majeshi na majeshi kukubaliana naye
- katika mipango yake. Kwa muda wa
a miaka maelfu mkuu wa uovu huyu
a ameeneza uongo wake pote. Sasa
e wakati umefika ambao tabia halisi
a ya shetani itadhihirika wazi. Katika
. juhudi yake ya mwisho ya kumwon-
- doa Kristo, kuangamiza watu wake, na
a kuuteka mji wa Mungu, mdanganyaji
u mkuu huyu amejidhihirisha kuwa ni
Shetani ataona jinsi uasi wake wa kujitolea
a ulivyomfanya asistahili mbingu. Na kurudiwa mwongo, wala hana uwezo wa kufau-
- kwa kumbebeshwa lawama na YEHOVA lu lo lote kama alivyowaahidia wafua-
- mwenyewe. Sasa Shetani anainama si wake. Watu waliomfuata wanaona
na kukiri haki katika hukumu hii. kuwa mambo yote, na mipango yake
,
- yote imekuwa bure.
a nasema hivyo huku wakianguka na Shetani anaona kuwa uasi wake
u kusujudu. Ufu. 15:3. umemwondoa asifae kukaa mbingu-
- Shetani alichanganyikiwa kiasi cha ni. Alijizoeza kushindana na Mungu;
kufa ganzi. Aliyekuwa kerubi wa kwa hiyo uzuri wa mbingu ni fahari
kusitiri, alikumbuka alikojikwaa na ya huko, kwake ingekuwa mateso
kuanguka, kutoka mahali pake pa matupu.
- heshima mbinguni. Alimwona malai-
a ka mwingine amesimama karibu na Anainama chini na kukubali adhabu
o Baba, katika cheo alichokuwa nacho inayomstahili.
- shetani. Akajua kuwa kama anga- Kila jambo la udanganyifu katika
i lidumu kuwa mwaminifu angalikuwa vita yake limedhihirika wazi, na uk-
a na cheo chake. weli umeonekana ulivyo. Matokeo
- Alikumbuka jinsi alivyokuwa hapo ya kuacha sheria ya Mungu yame-
, zamani na heshima yake, amani ali- onekana yalivyo. Historia ya sheria
- yokuwa nayo. Alijikumbusha kazi ya Mungu yenye kumletea kila mtu

233

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 233 16-03-2009 14:33:28


Mwisho Mbaya wa Waovu
Tabia ya Shetani inabaki ile ile bila
kubadilika. Anaendelea na uasi wake
tu. Wala hakutaka kusalimu amri
kwa mfalme wa uzima. Na katika jeshi
lake la watu mamilioni, hakuna mwe-
nye imani naye. Waovu bado wangali
na chuki kwa Mungu kama shetani
alivyowapandia, walakini wanaona
kuwa wameambulia ng’anda. “Kwa
sababu umejitukuza kama Mungu
tazama basi nitawaleta wageni juu
yako, taifa la kutisha nao watavuta
panga zao juu ya uzuri wako na hek-
ima yako, nao watakuharibu kung’aa
kwako. Watakushusha mpaka shi-
moni... Nitakuharibu, ewe kerubi wa
Shetani amelazimishwa tena kutambua haki
ya Mungu, lakini tabia yake inabaki vile vile
kustriri, katikati ya mawe ya moto...
bila kubadilika. Roho ya uasi ikaibuka tena. Nitakutupa chini, nitakulaza mbele
Akakimbilia katia kiini cha somo lake na ku- ya wafalme ili wakuone... Nitakuleta
wasawishi kwa ari yake na kuanzisha kwenye makapi katika nchi mbele ya
vita mara moja.
wakuonao... utakuwa utisho, wala
hutakuwako tena kabisa”. Ezekiel
raha na amani, inasimama kwa wote, 28:6-8, 16-19. “Bwana ana ghadhabu
ikiwa kama mashahidi wa kushuhu- juu ya mataifa yote” Awanyeshe wasio
dia kuwa Mungu anakusudia ku- haki mtego, moto na kiberiti na up-
waletea viumbe wake furaha daima. epo wa hari na liwe fungu la kikombe
Viumbe vyote pia, vyenye kumtii na chao” Isaya 34:2; Zaburi 11:6. Moto
vilivyoasi, pamoja na shetani vinapa- unashuka kutoka mbinguni. Nchi
za sauti na kusema “ni za haki na za inavunjika vunjika. Ndimi za moto
kweli njia zako, Ee Bwana, mfalme zinafumuka kutoka katika mashimo a
wa watakatifu” yote ya nchi ambayo yamezibuliwa. w
Wakati umefika ambapo Kristo Miamba yote itawaka moto. “viumbe n
atatukuzwa kupita majina yote. Kwa vya asili vitaunguzwa na kufumuliwa, n
ajili ya furaha iliyowekwa mbele yake nchi na kazi zilizomo ndani yake zi- t
ya kuwaleta wana na binti katika tateketea” 2Pet. 3:10. Uso wa dunia a
utukufu, ilimfanya avumilie msalaba. utayeyuka na kuwa kama fungu la w
Anawatazama waliokombolewa waki- takataka, itafanana kama ni ziwa la k
wa na sura yake mwenyewe. Anaona maji linalotokota, katika moto. “Ni h
mazao ya taabu ya nafsi yake na ku- siku ya kisasi cha Bwana mwaka wa y
ridhika. Isaya 53:11. Mbele ya walio- malipo, ili kushindania Sayuni” Isaya S
kombolewa na waovu, anatamka, 34:8 l
“Tazameni walionunuliwa kwa damu Waovu wanaadhibiwa kwa kadiri ya
yangu! Kwa ajili yao niliteseka na matendo yao. Shetani hataadhibiwa w
kufa” kwa ajili ya uasi wake tu, bali kwa k

234

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 234 16-03-2009 14:33:28


a
e
i
i
-
i
i
a
a
u
u
a
-
a
-
a
.
e
a
a
a
l
u
o
-
e
o Ujumbe wa Malaika wa kwanza na wapili ulitolewa kwa wakati mwafaka,
na kumaliza kazi Mungu aliyokusudia kumaliza.
i
o
o ajili ya dhambi, alizosababisha watu waovu, moto ulao, kwa wenye haki
. wa Mungu kufanya pia. Kadhalika ni ngao. Soma Ufunuo 20:6; Zaburi
e ndimi za moto waovu wanateketea 84:11.
, na kumalizika kabisa, shina na ma- “Nikaona mbingu mpya na nchi
- tawi vyote vinaungua kabisa. Shet- mpya, maana mbingu za kwanza na
a ani ambaye ndiye shina, na wafuasi nchi za kwanza zimekwisha kupita”
a wake ndio matawi. Adhabu kamili ya Ufunuo 21:1. Moto utakaowateketeza
a kuvunja sheria imelipwa, madai ya waovu, utaitikasa nchi. Kila alama
i haki yametimizwa. Kazi ya shetani ya laana imefutika kabisa. Moto huo
a ya uharibifu imekwisha, kwa milele. hautawaka milele mbele ya waliokom-
a Sasa viumbe wa Mugu wamekombo- bolewa, ambao ni kama kumbukum-
lewa milele kutokana majaribu yake. bu ya dhambi.
a Wakati nchi inapochomwa motoni,
a wenye haki wanakaa salamini mjini Ukumbusho wa Kusulubiwa
a kwa Mungu. Mungu anapokuwa kwa Jambo moja tu litabaki ambalo ni

235

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 235 16-03-2009 14:33:29


u
w
s
b
m
p
b
y
z

w
l
y
k
h
w
k

u
P
o
m
y
d
k
t

v
m
m
d
M
m
m

n
k
m
n
z
w
h
m
a
Katika Biblia urithi wa waliookolewa huitwa “nchi” c
Waebrania 11:14-16. Pale Mchungaji wa mbinguni an- …
aongoza kundi lake kwenye kundi la maji ya uzima.

236

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 236 16-03-2009 14:33:30


ukumbusho wa ukatili uliosababish- watadhuru wala hawataharibu katika
wa na dhambi, nalo ni alama ya ku- mlima wangu wote mtakatifu”. Isaya
sulubishwa kwake mwokozi. Mkom- 65:2,22; 35:1, 11:6-9.
bozi wetu ataendelea daima kuwa na Huko hakuna magonjwa. Hakuna
makovu ya kusulubiwa kwake alama kilio wala mazishi yoyote. “Wala mau-
pekee ya ukatili ulioletwa na dham- ti hayatakuwapo tena; wala maombo-
bi. Milele zote makovu ya kalvari lezo, wala kilio kwa kuwa mambo ya
yataendelea kung’aa yakionyesha sifa kwanza yamekwisha kupita”. “Wala
zake na kutangaza uwezo wake. hapana mwenyeji atakayesema, Mimi
Kristo aliwahakikishia wanafunzi mgonjwa; watu wakaao humo wa-
wake kuwa anakwenda kuwaanda- tasamehewa uovu wao” Ufunuo 21:4;
lia makao huko mbingu kwa Baba Isaya 33:24.
yake. Lugha ya kibinadamu haitoshi Hapo kuna Yerusalemu mpya, mji
kuelezea zawadi watakazopata wenye mkuu wa nchi mpya iliyotakaswa.
haki. Zawadi hizo zitajulikana tu na “Mwanga wake ulikuwa mfano wa
wale watakaoziona. Mawazo hafifu ya kito chenye thamani nyingi kama kito
kibinadamu hayawezi kuzielewa. cha yaspi, safi kama bilauri” “Na ma-
Katika Biblia urithi wa waliookoka taifa watatembea katika nuru yake,
unatwa “nchi” Waebrania 11:14-16. na wafalme wa nchi huleta utukufu
Pale mchungaji wa mbinguni atawa- wao ndani yake” Maskani ya Mungu
ongoza watu wake katika malisho ni pamoja na wanadamu, naye ata-
mema na kwenye chemichemi za maji fanya maskani yake pamoja nao, nao
ya uzima. Huko maji hububujika watakuwa watu wake. Naye Mungu
daima, maji maang’avu kama kioo, na mwenyewe atakuwa pamoja nao”
kando yake kuna miti inayotupa ma- Ufunuo 21:11, 24. 3
tawi yake kwenye njia ya waliookoka. Katika mji wa Mungu hakutakuwako
Uwanda mpana unapandia kwenye na usiku. Ufunuo 22:5 Hapatakuwa-
vilima maridadi kabisa, na vilele vya po na hali yo yote ya wasiwasi. Tuta-
milima ya Mungu vyenye kupendeza jisikia katika hali ya utulivu daima.
mno. Katika nyanda nzuri hizo, kan- Nuru ya jua inapatilizwa na utukufu,
do ya maji matulivu ndiko wana wa na kutoa nuru safi isiyo na ukali wo
Mungu ambao wamekuwa wasafiri wote. Nuru yake inazidi nuru ya jua
muda mrefu, watatulia na kufurahia wakati wa adhuhuri. Waliokombole-
maisha ya milele na milele. wa watatembea katika nuru kamilifu
“Watajenga nyumba na kuishi kabisa.
ndani yake; watapanda mizabibu na Sikuona hekalu ndani yake kwa
kula matunda yake. Hawatajenga na maana Bwana Mungu Mwenyenzi na
mwingine akakaa, wala hawatapanda Mwana Kondoo ndio hekalu lake”.
na mwingine akala. Maana kama siku Ufunuo 21:22. Watu wa Mungu wata-
za mti ndivyo zitakuwa siku za watu pata bahati ya kuongea na Mungu na
wangu”. “Nyika na ukame patafura- Mwana Kondoo. Tutamwona Mungu
hi, jangwa litashangilia na kuchanua uso kwa uso, sio kwa fumbo tena.
maua kama waridi”. “Mbwa wa mwitu
atakaa pamoja na mwanakondoo, na Ushindi wa Pendo la Mungu
hi” chui atalala pamoja na wana mbuzi Hapo pendo la Mungu alilopanda
an- …. Na mtoto mdogo atawaongoza. Ha- mwenyewe mioyoni mwa watu lita-
ma.

237

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 237 16-03-2009 14:33:36


M
k
k
w
K
u
n
n
n
s
m
m
n
v
m

Katika miaka ya umilele, inapoendelea, itazidi kufunua utukufu wa Mungu na wa Kristo.


Jinsi mwanadamu atakvyopata elimu hii ya kumjua Mungu,
Ndvyo kutakavyo kuwepo kufanana zaidi naye kitabia.

kamilika. Ushirikiano na viumbe vi- mwisho wala hakuna kuchoka.


takatifu, na umoja wa haki usio na Hazina zote za Mungu zitafunguliwa
kasoro, jamii yote ya mbinguni na ya kwa wana wa Mungu waliokombole-
duniani vitadumisha furaha ya milele wa. Watatembea dunia nyingine bila
iliyo kamili. Waefeso. 3:15. Hapo ka- kuwa na safari za kuchosha. Wana
tika mawazo makamilifu tutaona maa- wa nchi hii wataingia katia ulimwengu
jabu ya uwezo wa Mungu wa kuum- wa wasiokuwa na dhambi na kushiri-
ba, na siri za upendo wa ukombozi. ki maajabu ya elimu yao isiyokuwa na
Kila kiungo kitakuwa na kuendelea. kasoro, ambayo wao wamekuwa nayo
Maarifa ya kujifunza hayatakua na vizazi kwa vizazi.
kikomo. Mambo makuu ya ajabu Wataangalia utukufu wa uumbaji
yatafikiwa na hali ya juu ya mawazo bila kuwa na kiwi machoni. Na jua,
na vifiko vyote vitafikiwa. Hata hivyo nyota na sayari zote zikikizunguka
kutakuwa na mambo mengi ya ajabu kiti cha enzi.
ya kupekua. Kwa milele na milele Kadiri miaka ya milele inavyokwen-
kutakuwa na mafunzo yasiyo na da, ndivyo ufunuo wa utukufu wa

238

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 238 16-03-2009 14:33:39


Mungu na Kristo utakavyofunuliwa na uweza una yeye aketiye juu ya kiti
kwa ajabu. Kwa kadri watu wata- cha enzi na yeye Mwana Kondoo hata
kavyojifunza tabia ya Mungu ndivyo milele na milele” ufunuo 5:13
watazidi kumwabudu na kumpenda. Mapambano makuu yamekoma.
Kadri Yesu anavyowafunulia siri za Dhambi na wenye dhambi hakuna
ukombozi wa vita kuu kati ya wema tena. Ulimwengu mzima sasa ume-
na ubaya ulivyoletwa na shetani, shafika. Umoja na ushirikiano ulio
ndivyo watakavyozidi kumtukuza kamili kabisa umeenea ulimwenguni.
na kumtumikia, na kumwimbia kwa Kutoka kwa Muumbaji hufurika uzi-
sauti za watu maelfu mara maelfu ma, nuru na furaha na kuenea mah-
makumi, “Na kila kiumbe kilichoko ali pote. Tangu kwa kitu kidogo mno
mbinguni na juu ya nchi na chini ya mpaka kwa kikubwa kilinganacho na
nchi ya juu ya bahari na vitu vyote ulimwengu mzima, vitu vyote, vilivyo
vilivyo ndani yake, nalivisikia, vikise- hai na visivyo hai, katika hali yote,
ma, Baraka na heshima na utukufu hutangaza kuwa Mungu ni pendo.

a
-
a
a
u
-
a
o

i
,
a

-
a

239

17073 DSS 36 swahili rettet.indd 239 16-03-2009 14:33:40

You might also like