Professional Documents
Culture Documents
Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib
Mwandishi:
شيخ اإلسالم أمحد بن تيمية
Mhakiki:
لإلمام حممد ناصر الدين األلباين
Mfasiri:
Abu Bakr Khatwiyb al-Atrush
www.wanachuoni.com
1
Yaliyomo
2
38. Kupiga chafya (kuchemua) na kupiga miayo..........................................................81
39. Du´aa wakati wa ndoa..................................................................................................83
40. Du´aa wakati wa kuzaa................................................................................................85
41. Du´aa wakati jogoo, punda na mbwa inapolia........................................................87
42. Du´aa wakati wa kikao.................................................................................................88
43. Du´aa wakati wa khasira..............................................................................................90
44. Du´aa wakati wa kuona mtu aliyepewa mtihani....................................................91
45. Du´aa ya kuingia sokoni..............................................................................................92
46. Du´aa wakati mnyama wa mpando anapojikwaa...................................................93
47. Du´aa wakati wa kupokea zawadi.............................................................................94
48. Du´aa wakati wa kuona matokeo ya kwanza..........................................................95
49. Du´aa kwa kitu kinachopendwa ambacho kinakhofiwa juu yake kijicho.......96
50. al-Fa´l na mkosi.............................................................................................................97
3
01. Utangulizi wa Swahiyh-ul-Kalim at-Twayyib ya Ibn Taymiyyah
ِ الذاكِر
ات َّ ِ َّ الذاكِ ِر َّ َو
َ ين اللـهَ َكث اريا َو
َ
“Na Wanaume wanaomdhukuru Allaah kwa wingi na Wanawake
wanaomdhukuru.” (al-Ahzaab 33 : 35)
4
ودا َو َعلَ ٰى ُجنُوِبِِ ْم ِ ِ َّ
ين يَ ْذ ُك ُرو َن اللَّ َـه قيَ ااما َوقـُعُ ا
َ الذ
“Ambao wanamdhukuru Allaah (kwa) kusimama, na (kwa) kukaa na
(kwa) kulala ubavuni mwao.” (al-´Imraan 03 : 190)
5
02. Fadhila za Dhikr
6
03. Fadhila Za Tahmiyd, Tahliyl na Tasbiyh
“Mwenye kusema:
وهو على كل شيء قدير، له امللك وله احلمد، ًل إله إًل اهلل وحده ًل شريك له
“Hakuna mola anayeabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah, Mmoja
asiyekuwa na mshirika. Ana ufalme na himdi na Yeye juu ya kila kitu
ni Muweza.”
kwa siku mara mia analipwa kuwa ameachia huru watumwa kumi,
anaandikiwa thawabu mia na hufutiwa madhambi mia. Anakingwa na
Shaytwaan siku iliyobaki mpaka inapofika jioni. Hakuna yeyote anayekuja na
kitu bora kuliko yeye isipokuwa mtu aliyesema hayo zaidi yake.”
“Mwenye kusema:
mara mia kwa siku hufutiwa madhambi hata kama yatakuwa ni mengi kama
povu la kwenye bahari.”
“Kuna maneno mawili ambayo ni khafifu kwenye ulimi, mazito katika mizani
na yanapendwa kwa Ar-Rahmaan:
سبحان اهلل واحلمد هلل وًل إله إًل اهلل واهلل أكرب
7
“Ametakasika Allaah na himdi zote ni za Allaah na hapana mola
anayeabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah na Allaah ni Mkubwa.”
“Ni nani kati yenu anayeshindwa kuchuma kila siku thawabu elfu
moja?” Mtu mmoja katika kikao akauliza: “Na ni vipi mmoja kati yetu
ataweza kuchuma thawabu elfu moja?” Akasema: “Aseme:
“Ametakasika Allaah” mara mia. Hivyo ataandikiwa thawabu elfu
moja na atafutiwa madhambi elfu moja.”
سبحان اهلل عدد خلقه سبحان اهلل رضا نفسه سبحان اهلل زنة عرشه سبحان اهلل مداد كلماته
“Ametakasika Allaah kiasi cha idadi kama ya viumbe Wake.
Ametakasika Allaah kama Radhi Zake Mwenyewe. Ametakasika
Allaah kama uzito wa ´Arshi Yake. Ametakasika Allaah kama idadi ya
Maneno Yake.”
“Sema:
8
ًل إله إًل اهلل وحده ًل شريك له اهلل أكرب كبريا واحلمد هلل كثريا سبحان اهلل رب العاملي ًل حول وًل قوة إًل باهلل
العزيز احلكيم
9
04. Kumdhukuru Allaah (Ta´ala) mwanzoni wa asubuhi
ِ يا أَيـُّها الَّ ِذين آمنُوا اذْ ُكروا اللَّـه ِذ ْكرا َكثِريا وسبِّحوه بكْراة وأ
َص ايال َ َ ُُ ُ ََ ُ َ ا ا َ َ َ َ
“Enyi mlioamini! Mdhukuruni Allaah kwa dhikri ya wingi. Na
Mtakaseni asubuhi na jioni.” (al-Ahzaab 33 : 41-42)
ِ
ِ س وقَـْبل الْغُر
وبُ َ َ ِ َّم ْ وع الش َ ِّاصِ ْرب َعلَ ٰى َما يَـ ُقولُو َن َو َسبِّ ْح ِحبَ ْمد َرب
ِ ُك قَـْب َل طُل ْ َف
“Subiri juu ya yale wanayoyasema, na msabbih kwa Sifa njema Mola
wako kabla ya kuchomoza (kwa) jua na kabla ya kuchwa.” (Qaaf 50 :
39)
ِ َّ ِ
ُ ين يَ ْدعُو َن َربـَّ ُهم بِالْغَ َد ِاة َوالْ َع ِش ِّي يُِر
ُيدو َن َو ْج َهه َ َوًَل تَطُْرد الذ
“Na wala usiwafukuze wale ambao wanamwomba Mola wao asubuhi
na jioni wanataka Uso Wake.” (al-An´aam 27 : 52)
10
(Allaah) asubuhi na jioni.” (Maryam 19 : 11)
ُّج ِوم ِ ِ
ُ َوم َن اللَّْي ِل فَ َسبِّ ْحهُ َوإ ْدبَ َار الن
“Na katika usiku msabbih na zinapokuchwa nyota.” (at-Twuur:49)
ِ السيِّئ
ات ِ ِ ْ الص َالةَ طَر َِِف النـَّها ِر وزلَافا ِّمن اللَّي ِل ۚ إِ َّن
َّ َوأَقِ ِم
َ َّ ْب َ ْ احلَ َسنَات يُ ْذه ْ َ َُ َ َ
mara mia hakuna yeyote atayekuja siku ya Qiyaamah na kitu bora kuliko
hicho isipokuwa mtu ambaye amesema mfano wa aloyasema au zaidi.”
ٍ وهو على كل ش، له املـلك وله احلمـد، ًل إله إًلّ اللّه وحده ًل شريك له، أَمسيـنا وأَمسـى املـلك هلل واحلمد هلل
يء َ ّ َُ َْ ُ ُ ُ ُ ُ َ َ ُ َ َ ُ َ ُ َ َ ُ ْ َ َْ ْ
ِ وأَعـوذُ بِك ِمن َش ِّـر ه، ـذه اللَّـيـلَ ِة وخـري ما بـع َـدهـا
ِّ َر، ـذه اللَّ ْـي ِلة َو َشِّر ما بـَ ْع َـدهـا
ب ِ ب أسـأَلُـك خـري ما ِف ه
ْ َ َ َْ َ َ َ ْ َ َ َ ْ ِّ َر، قدير
ٍ ـذاب ِف النّـا ِر و َع ٍ ك ِمن َع ِ ِ أَعـوذُبِك ِمن الْ َكس ِـل وس
ِّ َر، ـوء الْ ِك َـرب
ـذاب ِف ال َق ْـرب َ ْ َ ب أَعـوذُ ب َ َ َ َ
“Tumeingia wakati wa jioni na umekuwa Ufalme ni wa Allaah na
himdi zote ni Zake Allaah. Hapana mola mwenye haki ya kuabudiwa
isipokuwa Allaah, hali yakuwa ni Mmoja asiyekuwa na mshirika.
11
Niwake Ufalme na nizake sifa njema na Yeye juu ya kila kitu ni
Muweza. Ee Mola! Nakuomba kheri ya usiku huu wa leo na kheri ya
baada yake. Ninajikinga Kwako kutokana na shari ya usiku huu wa
leo na shari ya baada yake. Ee Mola! Najikinga Kwako kutokana na
uvivu na ubaya wa uzee (uzee ubaya). Ee Mola! Najikinga Kwako
kutokana na adhabu ya Moto na adhabu ya kaburi.”
َ ِور َوإِ َذا أ َْمسى فَـ ْليَـ ُق ْل اللهم بك أ َْم َسْيـنَا َوب
ك ُ ُّش َ وت َوإِلَْي
ُ ك الن ُ ُك ََن َ ِك ََْنىي َوب َ ِك أ َْم َسْيـنَا َوب
َ َِصبَ ْحنَا َوب َ ِالله َّم ب
ْ كأ ُ
ك املصري َ وت وإِلَْي
ُ ُك ََن َ ِك ََْنىي َوبَ َِصبَ ْحنَا َوب
ْأ
“Ee Allaah kwa sababu yako tumeingia katika asubuhi, na kwa ajili
yako tumeingia jioni, na kwa ajili yako ndio tumekuwa hai, na kwa
ajili yako tutakufa na Kwako tutafuliwa.” Na kunapoingia jioni na
anasema: “Ee Allaah kwa ajili yako tumefika jioni, na kwa ajili yako
tumefika asubuhi, na kwa ajili yako tuko hai na kwa ajili yako
tutakufa na ni Kwako tu marejeo.”
12
ك ِم ْن َشِّر َما ِ ِ
َ ِت أَعُوذُ ب ْ ت َخلَ ْقتَِين َوأَنَا َعْب ُد َك َوأَنا َعلَى َع ْهد َك َوَو ْعد َك َما
ُ استَطَ ْع َ ْت َرِِّّب ًل إِلهَ إًِلَّ أَن
َ ْالله َّم أَن
ُ
تَ ْوب إًِلَّ أَن ُّ ك بِنِ ْع َمتِك َعلَ َّي وأَبوء بِ َذنِِْب فا ْغ ِف ْر ِل فِإنَّه ًلَ ي ْغ ِفر
َ ُالذن َ َت أَبوءُ ل ُ صنَـ ْع
َ
ُ ُ
“Ee Allaah! Wewe ni Mola wangu. Hapana mola mwenye haki ya
kuabudiwa isipokuwa Wewe. Umeniumba mimi na mimi ni mja
wako. Nami niko juu ya ahadi Yako na agano lako kiasi cha uwezo
wangu. Najikinga Kwako kutokana na shari ya nilichokifanya.
Nakiri Kwako kwa kunineemesha. Nakiri kwa madhambi yangu, basi
nakuomba unisamehe kwani hasamehi madhambi isipokuwa Wewe.”
Mwenye kuisoma pindi inapoingia jioni na akafa usiku huo huo anaingia
Peponi. Mwenye kuisoma pindi inapoingia asubuhi na akafa mchana huo huo
anaingia Peponi.
“Sema:
ٍ ب ُكل
َّ شيء َوَملِي َكهُ أَ ْش َه ُد أ ِ السمو ِ َب والشَّهاد ِة ف ِ اللهم ع
َ ِت أَعُوذُ ب
ك من َ َْن ًل إِ َله إًِلَّ أَن ِّ َّ ض َر ِ ات واأل َْر َّ اطَر ََ ِ اِلَ الْغَْي َ َّ ُ
ان َو ِشركِهِ ََشِّر نـَ ْف ِسي و َشِّر الشَّيط
ْ َ
“Ee Allaah! Wewe ni Mjuzi wa yaliyofichika na yaliyowazi. Wewe ni
Muumba wa mbingu na ardhi. Wewe ni Mola wa kila kitu na Mfalme
wake. Nashuhudia kwamba hapana mola mwenye haki ya kuabudiwa
isipokuwa Wewe. Najilinda Kwako kutokana na shari ya nafsi yangu
na shari ya Shaytwaan na shirki yake.”
“Hakuna mja yeyote anayesema mara tatu kila siku asubuhi na jioni:
13
ِ الس ِم ِ َّ ض وًلَ ِف ِ ِْ بِس ِم اهللِ الَّ ِذي ًلَ يضُّر مع
يم
ُ يع ا َلعل
ُ َّ الس َماء َوُه َو َ ِ األر
ْ اْسه َشيء ِف ََ ُ َ ْ
“Kwa jina la Allaah ambaye hakidhuru kwa jina Lake kitu chochote
kile kilicho ardhini wala mbinguni, Naye ni Msikivu na ni Mjuzi.”
23- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa haachi kuomba Du´aa
hizi inapoingia asubuhi na jioni:
14
05. Du´aa wakati wa kulala
ِْ ِب
َح َىي ُ ك اللَّ ُه َّم أ َُم
ْ وت َوأ َ اْس
“Kwa jina Lako, Ee Allaah ninakufa na ninakuwa hai.”
ِ ِ
ور ُ َحيَانَا بَـ ْع َد َما أ ََماتَـنَا َوإِلَْي ِه الن
ُ ُّش ْ احلَ ْم ُد هلل الَّذي أ
“Himdi zote ni Zake Allaah ambaye Ametupa uhai baada ya kutufisha
na Kwako tutafufuliwa.”
25- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alipokuwa akilala kila usiku
alikuwa akikusanya vitanga vyake, akivitemea cheche za mate na akisoma
ndani yake: “Qul huwaAllaahu ahad”, “Qul a´udhubi Rabbil-Falaq” na “Qul
a´udhubi Rabbin-Naas”.” Kisha anajipangusa navyo mwili wake kadri na
anavyoweza. Akianza kwa kichwa chake, uso wake na sehemu ya mbele ya
mwili wake. Alikuwa akifanya hivyo mara tatu.”
26- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anhu) ameeleza kwamba kuna mtu
alimjia kila usiku na anataka Swadaqah ambayo Mtume (Swalla Allaahu
´alayhi wa sallam) alikuwa amemuachia aichunge. Usiku wa tatu akasema:
“Nitakupeleka kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).”
Akasema: “Niache. Nitakufunza maneno ambayo Allaah Atakunufaisha nayo.
Unapolala soma Aayah ya Kursiy yote:
... وم
ُ ُّالْ َقي ْ اللّهُ ًلَ إِلَهَ إًِلَّ ُه َو
احلَ ُّي
15
28- Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Kwa jina Lako, Mola Wangu, nimeweka ubavu wangu na kwa ajili
Yako nitaunyanyua. Ukiichukua nafsi yangu basi irehemu na
ukiirudisha basi ihifadhi kwa kile unachowahifadhi nacho waja wako
wema.”
´Aliy amesema:
16
ث ِعبَ َاد َك ِ
ُ ك يـَ ْوَم تَـْبـ َع
َ َالله َّم قين َع َذاب
ُ
“Ee Allaah! Nikinge kutokana na adhabu Yako siku ambayo
Utawafufua waja Wako.”
ِ ِ ِ َّ ِ ْ
َ اِف لَهُ َوًل ُم ْؤِو
ي َ فَ َك ْم ِم َّْن ًل َك، َو َآوانَا،احلَ ْم ُد هلل الذي أَطْ َع َمنَا َو َس َقانَا َوَك َفانَا
“Himdi zote ni Zake Allaah ambaye ametulisha, ametunywesha,
akatutosheleza na akatuhifadhi. Ni wangapi ambao hawana wa
kuwatosheleza wala wa kuwahifadhi?”
ِب والنـَّو ومْن ِزَل التـَّوراة ْ يء فَالِ َق ٍ ب ُكل ش ِ السمو
َْ ُ َ َ َ ِّ َاحل َ ِّ َّ ب الْ َع ْر ِش الْ َع ِظي ِم َربـَّنَا َوَر ِ ب األ َْر
َّ ض َوَر َّ ات َوَر َ َّ ب َّ اللَّ ُه َّم َر
ِ ك َشيء وأَنْت ِِ ِ ِ ْك ِمن َشِّر ُك ِّل ِذي َشٍّر أَن ِ ِ
اْلخ ُر َ َ ٌ َ َس قَـْبـل َ ت األََّو ُل فَـلَْيَ ْت آخ ٌذ بِنَاصيَته أَن َ ِ
ْ َ وا ِإل ْْن ِيل والْ ُف ْرقَان أَعُوذُ ب
ض َعنَّا الدَّيْ َن وا ْغنِنَا ِم َن الْ َف ْق ِرِ ْك َشيءٌ اق َ َاطن فليس ُدون ِ فَـلَيس بـع َد َك َشيء وأَنْت الْب
َ َ ٌ َْ َ ْ
“Ee Allaah! Mola wa mbingu saba na Mola wa ´Arshi tukufu! Mola
Wetu na Mola wa kila kitu Mwenye kuichanua tembe ya mbegu na
kokwa na Alieteremsha Tawrat, Injiyl na Furqaan. Najikinga Kwako
kutokana na shari ya kila kitu ambacho Wewe ndiye mwenye
kukamata utosi wake. Ee Allaah! Wewe ndiye wa Mwanzo; hakuna
kabla yako kitu. Wewe ndiye wa Mwisho; hakuna baada yako kitu. Na
Wewe ndiye adh-Dhwaahir; hakuna juu Yako kitu chochote. Na Wewe
17
ndiye al-Baatwin; hakuna kilicho karibu zaidi kuliko Wewe. Tulipie
madeni yetu na utuepushe na ufakiri.”
Ukifa usiku huo basi umekufa juu ya maumbile ya asli. Fanya ndio ya mwisho
unayosema.”
18
06. Du´aa wakati wa kumka usiku (kushtuka)
احلمد هلل الذي عافاين ِف جسدي ورد علي روحي وأذن ِل بذكره
19
ِ ات ِمن َغضبِ ِه و ِع َقابِِه وِمن َشِّر ِعب ِاد ِه وِمن ََهز
ِ ات الشَّي
ِ اط ِ َّام ِ أَعوذُ بِ َكلِم
َّ ات اهللِ الت
ُ ي َوأَ ْن ََْي
ض ُرو َن َ ََ ْ َ َ ْ َ َ َ ْ َ ُ
20
07. Anachotakiwa kufanya mwenye kuota
21
08. Fadhila ya ´ibaadah za usiku
ِ ِ ِ ِ
َ ص ِمْنهُ قَل ايال أ َْو ِزْد َعلَْي ِه َوَرت ِِّل الْ ُق ْرآ َن تَـ ْرتِ ايال إِنَّا َسنُـ ْلقي َعلَْي
ك قَـ ْواًل ْ يَا أَيـُّ َها الْ ُمَّزِّم ُل قُ ِم اللَّْي َل إًَِّل قَل ايال ن
ْ ص َفهُ أَ ِو ان ُق
ثَِق ايال
ِ
ك َم َق ااما َّْحم ُم ا
ودا َ ُّك َرب َ ََّوِم َن اللَّْي ِل فَـتَـ َه َّج ْد بِِه نَافلَةا ل
َ َك َع َس ٰى أَن يـَْبـ َعث
”Na katika usiku, amka ufanye ‘ibaadah nayo (Qur-aan katika Swalaah
ya Tahajjud) ninaafilah (Sunnah ziada) kwako. Huenda Mola wako
Akakuinua cheo kinachosifika.” (al-Israa´ 17 : 79)
ِ
ْ ََوم َن اللَّْي ِل ف
اس ُج ْد لَهُ َو َسبِّ ْحهُ لَْي اال طَ ِو ايال
22
“Hakika usiku kuna saa ambayo hakuna Muislamu yeyote anayemuomba
Allaah (´Azza wa Jalla) kheri katika mambo ya dunia au Aakhirah isipokuwa
Anampa nacho. Hilo huwa katika kila usiku:
ِ
ْ ين بِ ْاأل
َس َحا ِر َ َوالْ ُم ْستَـ ْغف ِر
“Na watoaji na waombao maghfirah kabla ya Alfajiri.” (al-´Imraan 03 :
17)
23
09. Du´aa wakati wa kutoka nyumbani
ت َعلى اهللِ َوًلَ َح ْو َل َوًلَ قُـ َّوَة إًِلَّ باهللِ تَـ َعاىل ِ
ُ بِ ْس ِم اهلل تَـ َوَّك ْل
“Kwa jina la Allaah. Ninamtegemea Allaah. Hapana mabadiliko wala
uwezo isipokuwa kwa msaada wa Allaah (Ta´ala) mwambie:
“Umekingwa, umelindwa na kuongozwa.” Ataokolewa na Shaytwaan
na kumwambia Shaytwaan mwengine: “Utamfanya nini mtu ambaye
ameongozwa, amekingwa na amelindwa?”
ِ ِ
لي ْ ُض َّل أَو أَ ِزَّل أ َْو أ َُزَّل أ َْو أَظْل َم أَو أُظْلَ َم أ َْو أ
َّ َج َه َل أ َْو ُُْ َه َل َع َ ِاللَّ ُه َّم إِ ِّين أَعُوذُ ب
َ ك أَ ْن أَض َّل أ َْو أ
24
10. Du´aa ya kuingia nyumbani na wakati wa kula
25
11. Du´aa ya kuingia Msikitini
َ ِاب َر ْمحَت
ك َ الله َّم افْـتَ ْح ِِل أَبْـ َو
ُ
“Allaah! Nifungulie milango ya Rahmah Zako.”
الرِجي ِم ِ َأَعوذُ باهللِ الْع ِظيم وبِوج ِه ِه الْ َك ِرِمي وبِس ْلطَانِِه الْ َق ِد ِمي ِمن الشَّيط
َّ ان ْ َ ُ َ ََْ َ ُ
26
Akasema:
27
12. Adhaana na mwenye kuisikia
“Muadhini anaposema:
28
“Allaah ni Mkubwa, Allaah ni Mkubwa” basi mmoja wenu aseme:
َّ أَ ْش َه ُد أ
َُن ُحمَ َّمدا َر ُسوًلهلل
”Nashuhudia kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah” na aseme:
َّ أَ ْش َه ُد أ
َُن ُحمَ َّمدا َر ُسوًلهلل
”Nashuhudia kwamba Muhammad ni Mtume wa Allaah” na halafu
anaposema:
ِ
الصالة َح َّي َعلى
29
اهلل أَ ْكبَـ ُر اهللُ أَ ْك ُرب
60- Sahl bin Sa´d (Radhiya Allaahu ´anhu) ameeleza kwamba Mtume wa
Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
30
“Mambo mawili hayarudishwi – au ni mara chache yanarudishwa:
Du´aa wakati wa adhaana na wakati wa matatizo ambapo watu
wanachinjana wao kwa wao.”
31
13. Du´aa ya kufungulia Swalah
ِ َّ ِ ِ ِ
ب َ َي الْ َم ْش ِرق والْ َم ْغ ِرب الل ُه َّم نـَق ِِّين م ْن َخطَاي
ُ اي َك َما يـُنَـقَّى الثـ َّْو َ ْ َت بـَ باع ْد
َ اي َك َما
َ َي َخطَاي َ ْ َاللَّ ُه َّم بَاع ْد بـَْي ِين َوبـ
اي بالثـَّ ْل ِج والْ َم ِاء والْبَـَرِد ِ ِ َّ ض ِمن
َّ ِ َالدن
َ َس الل ُه َّم ا ْغس ْل ِين م ْن َخطَاي ُ َاألَبْـي
“Ee Allaah! Niweke mbali mimi na madhambi yangu kama
ulivyoweka mbali baina ya mashariki na magharibi. Ee Allaah!
Nitakase na madhambi yangu kama inavyotakaswa nguo nyeupe na
uchafu. Ee Allaah! Nisafishe na madhambi yangu kwa theluji, maji na
kwa barafu.”
32
“Kutakasika ni Kwako, Ee Allaah na himdi zote ni Zako. Limetukuka
jina Lako, Utukufu ni Wako, na hapana mwenye haki ya kuabudiwa
isipokuwa Wewe.”
64- Imepokelewa kutoka kwa ´Umar (Radhiya Allahu ´anhu) alikuwa akifanya
Takbiyr na halafu ndio anasoma Du´aa ya kufungulia Swalah.
ِات واألَرض حنيفا وما أَنا ِمن الْم ْش ِركِي إِ َّن صالَِِت ونُس ِكي وَْحمياي وِمََ ِاِت هلل ِ السمو ِ َّ ِ
ََ َ َ ُ َ َ َ ُ َ َ َ َ ْ َ َّ طر َ َت َو ْجهي للذي ف ُ َو َّج ْه
ِ ِِ ِ ِ َ ِيك لَه وبِ َذل ِ ِّ ر
ت َرِِّّب َوأَنَا َعْب ُد َكَ ْك ًلَ إِ َله إًِلَّ أَن ُ ت الْ َمل َ ْي اللَّ ُه َّم أَن َ ت َوأَنَا م َن الْ ُم ْسلمُ ك أُم ْر َ ُ َ ي ًلَ َش ِر َ ب الْ َعالَم َ
ََخالَ ِق ًل ِ ُّ َجيعا فِإنَّهُ ًلَ يـَ ْغ ِفرَِ ظَلَمت نـَ ْف ِسي و ْاعتَـرفْت بِ َذنِِْب فَا ْغ ِفر ِِل ذُنُ ِوِّب
ْ َح َس َن األ ْ ت و ْاهدِين أل َ ْوب إًِلَّ أَن
َ ُالذن ُ ْ ُ َ ُ ْ
ِ يـه ِدي أل
َ ْاْلَْيـ ُر ُكلُّهُ ِف يَ َدي
ك ْكو َ ْت لَبَّـْيك َو َس ْع َدي َ ْف َعين َسيِّئَـ َها إًِلَّ أَن ُ ص ِر
ْ َف َع ِّين َسيِّئَها ًلَ يْ اص ِر
ْ تو َ َْح َسن َها إًِلَّ أَن
ْ َْ
ِ والشَُّّر لَيس إِلَيك أَنا بِك وإِلَيك تَـبارْكت وتَـعالَيت أ
ك َ وب إِلَْي
ُ َُستَـ ْغف ُرَك وأَت ْ َ ْ َ َ َ ََ َ ْ َ َْ َ ْ َ
“Nimeuelekeza uso wangu kwa yule ambaye Ameumba mbingu na
ardhi, hali ya kumtakasia Yeye Dini yangu na sikuwa mimi ni katika
washirikina. Hakika Swalah yangu na kichinjwa changu, uhai wangu
na kufa kwangu ni kwa Allaah, Mola wa walimwengu, Yeye
asiyekuwa na mshirika; kwa hilo nimeamrishwa na mimi ni katika
Waislamu. Ee Allaah! Wewe ndiye Mfalme. Hapana mola mwenye
haki ya kuabudiwa isipokuwa Wewe. Wewe ndiye Mola Wangu na
mimi ni mja Wako. Nimeidhulumu nafsi yangu. Nimekiri madhambi
yangu. Nisamehe madhambi yangu yote. Hakika hakuna mwengine
asamehae madhambi isipokuwa Wewe. Niongoze katika tabia njema.
Hakuna aongozae katika tabia nzuri isipokuwa Wewe. Niepushe na
tabia mbaya. Hakuna mwengine mwenye kuepusha na tabia mbaya
isipokuwa Wewe. Naitikia mwito Wako na kufuata maamrisho Yako.
Kheri zote ziko Mikononi Mwako. Shari haitoki Kwako.
Nimepatikana kwa ajili Yako na ni Wako. Umetakasika na
umetukuka. Nakuomba msamaha na ninarejea Kwako.”
33
ي ِعبَادك فِيما ِ ب والش ِضع
ِ اِلَ الْغَْي ِ َّ اطر ِ ِال وإِسراف ِ ب ِج ِرب َّ
َ َّْه َادة أَن
َ ْ َت ََْت ُك ُم بـ َ َ ِ الس َموات واأل َْر َ َيل ف
َ َ ْ َ َ يل َومي َك َ ْ َّ الل ُه َّم َر
اٍ ُم ْستَ ِقيم ٍ َّك تَـه ِدي من تَ َشاء إِىل ِصر
َ ُ ْ َ ْ َ ك إن
ِ َ ِاحل ِّق بِإ ْذن ِ ِ ِ ِكانُوا فِ ِيه ََيْتَلِ ُفو َن اه ِدِين لِما اختُل
َْ ف فيه م َن
َ ْ َ ْ
“Ee Allaah! Mola wa Jibriyl, Mikaaiyl na Israafiyl! Muumba wa
mbingu na ardhi! Wewe ambaye ni Mjuzi wa mambo yenye kujificha
na yalio ya wazi! [Siku moja] utahukumu baina ya waja Wako katika
mambo ambayo walikuwa wakitafautiana! Niongoze mimi katika haki
katika yale waliotafautiana kwa idhini Yako – Hakika Wewe
unamuongoza umtakae katika njia ilionyoka.”
34
14. Du´aa katika Rukuu´, baada ya Rukuu´, katika Sujuud na baina
ya Sujuud mbili
35
ِِ
صَرهُ تَـبَ َارَك اهلل َ ت َس َج َد َو ْج ِهي للَّذي َخلَ َقهُ َو
َ َص َّوَرهُ َو َش َّق ْسَْ َعهُ َوب ُ َسلَ ْم
ْكأَ َت َول َ ِت َوب
ُ ك آَ َمْن َ َاللَّ ُه َّم ل
ُ ك َس َج ْد
ي ِِ ْ أَحسن
َ اْلَالق َُ ْ
“Ee Allaah! Nimesujudu kwa ajili Yako. Wewe nimekuamini. Kwako
nimejisalimisha. Umesujudu uso wangu kumsujudia Aliyeuumba na
akautia sura na akaufungua usikivu wake na uwoni wake. Ametukuka
Allaah, Muumbaji bora.”
ُّ ب الْ َمالئِ َك ِة و
الروح ُّ ُّوس َر
ٌ وح قُد
ٌ ُُّسب
“Mwingi wa kutakaswa Mtakatifu; Mola wa Malaika na Jibriyl.”
36
”Usiku mmoja nilikuwa nimesimama na kuswali pamoja na Mtume wa allaah
(Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Akasimama na kusoma al-Baqarah.
Hapitii Aayah inayozumgumzia juu ya Rahmah isipokuwa anasimama na
kuiomba, hapitii Aayah inayozungumzia juu ya adhabu isipokuwa
anasimama na kuomba kinga dhidi yake. Kisha baadaye akarukuu kiasi cha
kusimama kwake. Akasema katika Rukuu´:
احلَ ْم ُد
ْ ك َ ََربـَّنَا َول
”Ee Mola Wetu! Na ni Zako himdi zote.”
37
Wako. Sote ni waja Wako. Ee Allaah! Hakuna awezae kukizuia
Ulichokitoa na wala kutoa ulichokizuia. Tajiri hanufaiki na utajiri
wake mbele Yako.”
”Mimi.”
ِ ِ ِ ِ ِ ِ
ُالله َّم ا ْغف ْر ِِل َذنِِْب ُكلَّهُ دقَّهُ َوجلَّهُ وأ ََّولهُ وآخَرهُ َو َعالنيَتَهُ َوسَّره
ُ
“Ee Allaah! Nisamehe dhambi zangu zote, ndogo na kubwa, za
mwanzo na za mwisho, za dhahiri na za siri.”
38
79- ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anha) amesema:
َ ْ أَن.ك
ت َك َما َ ُحصي ثـَنَاءا َعلَْي
ْ ك منك ًلَ أ َ ِمن عُ ُقوبَت
َ ِك َوأَعُوذُ ب ْ ك َ ِك َوِِبَُعافَات
َ اك ِم ْن َس َِ ِط
َض َ اللَّ ُه َّم إِ ِّين أَعوذُ ب ِر
كَ ت على نـَ ْف ِس َ أَثْـنَـْي
“Ee Allaah! Hakika mimi najikinga kutokana na Khasira Zako kupitia
Radhi Zako na kutokana na adhabu Yako kupitia msamaha Wako.
Najikinga Kwako kutokana na Wewe. Mimi siwezi kufikia kukusifu
itakikinavyo. Wewe ni kama ulivyojisifu Mwenyewe.”
رب ا ْغ ِف ْر ِل
ِّ ب ا ْغ ِف ْر ِِل
ِّ َر
39
15. Du´aa katika Swalah na baada ya Tashahhud
ِ َّج ِال وأَعوذُ بِك ِمن فِْتـنَ ِة الْمحيا والْمم ِ ك ِم ْن فِْتـنَ ِة الْ َم ِس ِ ك ِمن َع َذ
ات َ َ َ َْ َ ْ َ ُ َ َّ يح الد َ ِاب الْ َق ِْرب َوأَعُوذُ ب ِ ِ
ْ َ اللَّ ُه َّم إ ِّين أَعُوذُ ب
الإإِ َّن َ ال لَهُ قَائِ ٌل َما أَ ْكثَـَر َما تَ ْستَعِي ُذ ِم َن الْ َم ْغَرِم يَا َر ُس
َ فَـ َق.ول اللَّ ِه ِ ِ َ ِاللَّه َّم إِ ِّين أَعوذُ ب
ْ َ قَال.ك م َن الْ َمأْ ََِث َوالْ َم ْغَرم
َ ت فَـ َق ُ ُ
فَ ََخل ْ ب َوَو َع َد فَأ َ َّث فَ َك َذ َ الر ُج َل إِ َذا َغ ِرَم َحد
َّ
84- ´Abdullaah bin ´Amr (Radhiya Allaahu ´anhumaa) ameeleza kwamba Abu
Bakr as-Swiddiyq (Radhiya Allaahu ´anhu) alisema kumwambia Mtume wa
Allaah:
اللهم إين ظلمت نفسي ظلما كثريا وًل يغفر الذنوب إًل أنت فاغفر ِل مغفرة من عندك وارمحين إنك أنت الغفور
الرحيم
40
ِِ ِ
َ ْت أ َْعلَ ُم بِه م ِّين أَن
ت الْ ُم َقدِّم َ ْت َوَما أَن
ُ ْأسَرف
ْ ت و ما
ُ ت َوَما أ َْعلَْن ْ اللَّ ُه َّم ا ْغف ْر ِل ما قدمت وما أَخرت َوَما أ
ُ َسَرْر
َ ْؤخر ًلَ إِله إًِلَّ أَن
ت َ ْوأَن
ِّ ت الْ ُم
ك ِم َن النَّا ِر
َ ِاْلَنَّة َوأَعُوذُ ب ْ اللَّ ُه َّم إِين أ
ْ َسأَلُك
ِ ِ
ت الْ َوفَاةَ َخ ْريا ِِل اللَّ ُه َّم َ احلَيَاةَ َخ ْريا ِِل َوتَوفَّين إِذَا َعل ْم
ْ ت َ َحيِين ما َعل ْم ْ اْلَْل ِق أ
ْ ك على َ ِب َوقُ ْد َرت َ ك الْغَْي َ اللَّ ُه َّم بِعِْل ِم
صد ِف الْ َف ْق ِر والْغِىن َ ك الْ َق َ َُسأَلْ ضب َوأِ َضا و الْغ ْ َك َكلِ َمة
َ َ احلَ ِّق ِف الِّر َ َُسأَل
ِ ب والش
َ َ ِ ك ِف الْغَْي
ْ َّه َادة َوأ َ َك َخ ْشيَت َ َُسأَلْ إِ ِّين أ
ِ ش بعد الْم ِ ك بـَ ْرَد الْ َعْي ِ الرضا بـعد الْق ٍ ْ ك قـَُّرَة َع ِ َ ُوأَسأَل
وت َ َ َُسأَل ْ ضاء َوأ َ َ َ ْ َ َ ِّ ك َ َُسأَل
ْ ي ًلَ تَـْنـ َقطع َوأ َ َُسأَل
ْ ك نَعيم ا ًلَ يـَْنـ َف ُد َوأ ْ َ
ِ ينة ا ِإل َْي ِ ضَّرةٍ وًلَ فِْتـنَ ٍة م
ِ ضلَّ ٍة اللَّه َّم زيـِّنَّا بِ ِز ِ ِ
َ ِك والش َّْو َق إِىل ل َقائ َ َلك لَ َّذ َة النَّظ ِر إِىل َو ْج ِه
ان َ ُ ُ َ ضَّراءَ ُم َ ك ِف غ ِري َ َسأ ْ َوأ
ين ِ
َ اج َع ْلنَا ُه َدا اة ُم ْهتَد
ْ َو
“Ee Allaah! Ninakuomba kupitia Elimu Yako ya mambo
yaliyofichikana na uwezo wa uumbaji Wako. Niweke hai mrefu
41
endapo uhai ni bora kwangu. Nifishe endapo kufa ni bora kwangu. Ee
Allaah! Hakika mimi nakuomba kuwa na khofu Kwako katika siri na
dhahiri. Ninakuomba kuzungumza neno la haki katika hali ya furaha
na katika hali ya khasira. Ninakuomba uwastani katika utajiri na
umaskini. Ninakuomba neema isiyokwisha. Ninakuomba furaha
isiyokatika. Ninakuomba kuridhia baada ya kuwa umeshapanga
(makadirio). Ninakuomba maisha mazuri baada ya mauti.
Ninakuomba ladha ya kutazama Uso Wako na shauku ya kukutana na
Wewe pasina madhara yanayodhuru wala fitina yenye kupoteza. Ee
Allaah! Tupambe kwa kipambo cha imani na utufanye tuwe wenye
kuongoka waongofu.”
ِ ِ ٍ
َ احلَ ْم ُد َوُه َو َعلى ُك ِّل َشيء قَد ٌير اللَّ ُه َّم ًلَ َمان َع ملا أ َْعطَْي
َت َوًل ْ ُك َولَه َ ًل إِلهَ إًِلَّ اهلل َو ْح َدهُ ًلَ َشر
ُ لَهُ الْ ُم ْل،ُيك لَه
ِ ِ
َ اْلَ ِّد ِمْن
ك اْلَ ُّد ْ ت َوًلَ يـَْنـ َف ُع ذَا
َ ُم ْعطي ل َما َمنَـ ْع
“Hakuna mola anayeabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah, Mmoja
asiyekuwa na mshirika. Niwake Ufalme na himdi na Yeye juu ya kila
kitu ni Muweza. Ee Allaah! Hakuna awezae kukizuia Ulichokitoa na
wala kutoa ulichokizuia. Tajiri hanufaiki na utajiri wake mbele
Yako.”
42
kitu ni Muweza. Hapana uwezo wala nguvu isipokuwa vyote
vinatokana na Allaah. Hakuna mola anayeabudiwa kwa haki
isipokuwa Allaah, na wala hatumuabudu yeyote isipokuwa Yeye. Ni
Zake neema na fadhila. Nizake sifa nzuri zote. Hakuna mola
anayeabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah, hali ya kumtakasia dini,
hata kama wanachukia makafiri.”
43
anasamehewa madhambi yake hata kama yatakuwa mfano wa povu la
bahari.”
95- Mu´aadh bin Jabal (Radhiya Allaahu ´anhu) ameeleza kwamba Mtume wa
Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimshika mkono na kusema: ”Ewe
Mu´aadh! Mimi ninaapa kwa Allaah nakupenda. Hivyo basi, usiache kusema
baada ya kila Swalah:
ِ
َ َِع ِّين على ذ ْك ِرَك َو ُش ْك ِرَك َو ُح ْس ِن ِعبَ َادت
ك ِ اللَّه َّم أ
ُ
”Ee Allaah! Nisaidie kuweza kukukumbuka, kukushukuru na
kukuuabudu vizuri.”
44
-------------------------
(2) Bi maana kwa mkono wake wa kulia. Kufanya Tasbiyh kwa mikono yote
miwili ni jambo linaenda kinyume na Sunnah. Ajabu ni kuona baadhi ya watu
wanakula kwa mikono yao ya kushoto na wanafanya Tasbiyh kwa yote
miwili.
45
16. Istikhaarah
46
”Hakuna watu watakaotaka ushauri wengine wakikusudia kupata ujira wa
Allaah isipokuwa wataongozwa kwa yale ambayo ni kheri kwao.”
47
17. Du´aa wakati wa janga, hamu na huzuni
ب العرش
ُّ ب األَرض َوَر ِ السمو
ُّ ات َوَر ُّ ب الْ َع ْر ِش العظيم ًلَ إِلهَ إًِلَّ اهلل
َّ رب ُّ يم ًلَ إِله إًِلَّ اهلل َرِ ْ ًل إِله إًِلَّ اهلل الْع ِظيم
ُ احلَل ُ َ ُ
الْ َك ِرمي
ُ َِستَغ
يث ْكأَ ِوم َبر ْمحَت
ُ ُّيَا َح ُّي يَا قَـي
“Ee Uliyehai! Ee Msimamizi wa kila kitu! Ninaomba msaada kwa
Rahmah Zako.”
99- Abu Bakrah (Radhiya Allaahu ´anhu) ameeleza kwamba Mtume wa Allaah
(Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
ِ اللَّه َّم ر ْمحتك أَرجو فَالَ تَ ِك ْلين إِىل نفسي طَرفَةَ عي وأ
َ َْصلح ِِل َشأِْين ُكلَّهُ ًل إِ َله إًِلَّ أَن
ت ْ َ َْ ْ ُ ْ َ ََ َ ُ
“Ee Allaah! Nataraji Rahmah Zako. Usinitegemeze kwenye nafsi
yangu japo kwa muda wa kukapua kwa jicho. Nitengenezee mambo
yangu yote. Hapana mola anayeabudiwa kwa haki isipokuwa Wewe.”
48
”Dhuun-Nuun aliomba pindi alipokuwa tumboni mwa nyangumi:
ِِ ِ ك إِ ِّين ُك
َ نت م َن الظَّالم
ي ُ َ ًَّل إِلَهَ إًَِّل أ
َ ََنت ُسْب َحان
“Hapana mola wa haki isipokuwa Wewe! Umetakasika! Hakika
nilikuwa katika madhalimu.”
ْ ك بِ ُك ِّل
اس ٍم ُه َو َ َُسأَل
ْ ض ُاؤ َك أ
َ َِف ق
َّ ك َع ْد ٌل َ ْم
ُ ِف ُحك ٍ ك نَاصييت بيَ ِد َك
َّ ِ ماض ِ
َ ِابن َعْبد َك وابْ ُن أَمت ِ ُ
ُ الله َّم إين َعْب ُد َك و
ب ِعْن َد َك أَ ْن ِ
ِ ت بِه ِف علم الْغَْي َ ك أ َْو َعلَّ ْمتَهُ أَحدا ِمن َخ ْلق
َ ك أَ ِو ا ْستَأْثـَ ْر َ ِك أ َْو أَنْـَزلْتَهُ ِف كِتَاب
َ يت بِِه نـَ ْف َس
َ َّك َْس
َ َل
َ ص ْد ِري وجالءَ ُح ْزِين َو َذ َه
اب ََهِّي َ ونور
َ العظيم َربيع قَـ ْلِب
َ َِْت َع َل الْ ُق ْرآ َن
49
18. Du´aa wakati wa kukutana na adui na mtawala
يلِ ِ
ُ َح ْسبُـنَا اللّهُ َون ْع َم الْ َوك
“Allaah Anatutosheleza. Naye ni Mbora wa kutegemewa.”
50
19. Shaytwaan anakuja kwa mwanaadamu
الرِجي ِم من ََهْ ِزِه ونـَ ْف ِِ ِه ونَفثِه ِ أَعوذ باهلل السميع العليم من الشَّي
َّ طان ْ
”Ninajikinga kwa Allaah, Msikivu, Mjuzi, kutokana na Shaytwaan
aliyewekwa mbali na Rahmah za Allaah; kwa kiburi chake, kupulizia
kwake na kutia kwake wasiwasi.”
51
Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anhu) akieleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu
´alayhi wa sallam) amesema:
ِ ٍ ِ ِ ِ ِ
ٌ ُه َو ْاأل ََّو ُل َو ْاْلخ ُر َوالظَّاه ُر َوالْبَاط ُن ۚ َوُه َو ب ُك ِّل َش ْيء َعل
يم
“Yeye Ndiye Al-Awwal (wa Awali hakuna kitu kabla Yake) na Al-
Aakhir (wa Mwisho hakuna kitu baada Yake) na Adhw-
Dhwaahir (Hakuna kitu juu Yake), na Al-Baatwin(Hakuna kitu
52
karibu kuliko Yeye), Naye kwa kila kitu ni ‘Aliym (Mjuzi daima).”
(Faatwir 35 : 10)
53
20. Kujisalimisha na Qadhwaa pasina kushindwa na kutelekeza
ِِ ِ َّ ِ َّ
َ ض أ َْو َكانُوا غًُّز لَّْو َكانُوا ِع
ندنَا َما َ ين َك َف ُروا َوقَالُوا ِِإل ْخ َواِن ْم إِذَا
ِ ضَربُوا ِِف ْاأل َْر َ يَا أَيـُّ َها الذ
َ ين َآمنُوا ًَل تَ ُكونُوا َكالذ
ِ ك حسرةا ِِف قـُلُوِبِِم ۚ واللَّـه َُييِي وَُيِيت ۚواللَّـه ِِبَا تَـعملُو َن ب
ص ٌري ِ ٰ َّ ِ ِ
َ َْ ُ َ ُ َ ْ ُ َ ْ َ ْ َ َ َماتُوا َوَما قُتلُوا ليَ ْج َع َل اللـهُ ذَل
“Enyi mlioamini! Msiwe kama wale waliokufuru na wakasema
kwa ndugu zao; waliposafiri katika ardhi au walipokuwa vitani: “Lau
wangelikuwa kwetu wasingelikufa na wala wasingeliuawa,” ili Allaah
Afanye hayo (yaliyoeleweka vibaya) majuto katika nyoyo zao. Na
Allaah Anahuisha na Anafisha. Na Allaah kwa myatendayo
ni Baswiyr (Mwenye kuona yote daima).” (al-´Imraan 03 : 156)
112- Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
54
21. Du´aa wakati mtu anapopata neema
ِ احلم ُد
هلل َعلى ُك ِّل حال ْ َْ
“Himdi zote ni Zake Allaah kwa kila hali.”
55
22. Du´aa wakati muumini anaposibiwa na kitu kidogo au kikubwa
ِ صيبيت وأ
ِ ِ
ف ِل َخ ْريا منها
ْ َخل ُ إِنَّا هلل وإِنَّا إِلَْيه راجعو َن
ْ َ َ الله َّم أَج ْرين ِف ُم
“Sisi ni wa Allaah na Kwake ndipo tutarejea. Ee Allaah! Nilipe kwa
ujira wangu na nipe bora kuliko hichi.”
isipokuwa humlipa kwa msiba wake na kumpa bora kuliko kitu hicho.”
56
23. Du´aa wakati wa deni
116- ´Aliy bin Abiy Twaalib (Radhiya Allaahu ´anhu) ameeleza kwamba kuna
mtumwa mmoja alikuja na kujaribu kujinunua huru kwake na kusema: “Mimi
siwezi nashindwa kujinunua huru. Nisaidie.” Akasema: “Nisikufunze maneno
aliyonifunza Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)? Lau
utakuwa na deni mfano wa jibali Allaah Atakulipia nalo. Sema:
سو َاك ِ الله َّم ا ْك ِف ِين ِحبالَلِك عن حر ِامك وأَ ْغنِِين بَِف
َ ك َع َّم ْن
َ ضل
ْ َ َ ْ َ َ ُ
“Ee Allaah! Nitosheleze mimi kwa halali yako kutokana na haramu
yako. Nitajirishe kwa fadhila zako nisiwahitaji wengine usio Wewe.”
57
24. Du´aa ya tiba (Ruqyah)
Mtu yule akawa mchangamfu kana kwamba ameachwa huru kutoka kwenye
uenyekiti. Akaanza kutembea na kutohisi maumivu yoyote. Wakawapa ujira
ambao walikubaliana. Baadhi yao wakasema: “Ugawiwe.” Wengine
wakasema: “Msifanye lolote mpaka mtapofika kwa Mtume wa Allaah (Swalla
Allaahu ´alayhi wa sallam) na kumweleza yaliyopitika, tuangalie atatuamrisha
nini.” Wakafika kwa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na
kumweleza yaliyopitika. Akasema: “Umejua vipi kuwa [Suurah hii] inatibu?”
Kisha akasema: “Mmefanya jambo la sawa. Igaweni na mnipe sehemu” na
akaanza kucheka.”
ًلم ٍة
َّ يٍ ْ ان وَه َّام ٍة وِم ْن ُك ِّل َع
ٍ ِ ِ َّ اهلل الت
ِ ات ِ أ ُِعي ُذكما بِ َكلِم
َ َ ََّامة م ْن ُكل َشْيط َ
58
“Ninawakinga kwa Maneno ya Allaah yaliyotimia awakinge dhidi ya
kila Shaytwaan, uvamizi na kila kijicho chenye kudhuru.”
Anasema:
اللهم رب الناس أذهب الباس اشفه وأنت الشاِف ًل شفاء إًل شفاؤك شفاء ًل يغادر سقما
ِ بِس ِم
اهلل ْ
“Kwa jina la Allaah.”
59
“Ninaomba kinga kwa Ukuu na Uwezo wa Allaah dhidi ya kila shari
(maumivu) ninayopata na ninayotahadharisha nayo.”
60
25. Du´aa ya kutembelea makaburi
61
26. Du´aa ya mvua
62
waliokuwa nayo ya kuchukua kinga akaanza kucheka mpaka magego yake
yakaonekana na akasema: “Ninashuhudia kwamba Allaah juu ya kila jambo
ni Muweza na kuwa mimi ni mja Wake na ni Mtume Wake.”
63
27. Du´aa wakati wa upepo
ك ِم ْن َشِّرَها
َ ِالله َّم إِِين أَعُوذُ ب
ُ
“Ee Allaah! Ninakuomba kinga dhidi ya shari yake.”
64
28. Du´aa wakati wa kusikia radi
65
29. Du´aa wakati mvua inapoteremka
”Kuna mtu mmoja aliingia Msikitini siku ya Ijumaa wakati Mtume wa Allaah
(Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa amesimama na kutoa Khutbah.
Akasema: ”Ee Mtume wa Allaah! Mali imeangamia na njia zimekatika.
Muombe Allaah Atupe mvua.” Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa
sallam) akanyoosha mikono na kuomba kwa kusema:
َّج ِر ِِ ِ ِ ِ
َ الله َّم َعلَى اْلكام والظَِّراب َوبُطُون األَودية َوَمنَابت الش
ُ الله َّم َح َوالَْيـنَا وًل َعلَْيـنَا
ُ
66
”Ee Allaah! [Jaalia inyesheleze] kwetu wala isiwe dhidi yetu. Ee
Allaah! [Jaalia inyesheleze] kwenye vichaka, milima, mabonde na
kwenye mizizi ya miti.”
-------------------------
67
30. Du´aa wakati mwezi unapochomoza
68
31. Du´aa wakati wa safari
ِ ِ ِ أ
ُضيع َوَدائعُه
ُ ََستَـ ْودعُ ُك ْم اهلل الذي ًل ت
ْ
”Ninawaacha chini ya ulinzi wa Allaah ulinzi ambao hauendi hivi
hivi.”
ك ِ ِ ِ
َ يم أ َْع َمال
َ ك َو َخوات
َ َك وأمانـَت
َ ََستَودعُ اهللَ دين
ْأ
”Ninaacha Dini yako, amana yako na kitendo chako cha mwisho
katika ulinzi wa Allaah.”
136- Kuna mtu alikuja kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na
kusema:
137- Abu Hurayrah (Radhiya Allaahu ´anhu) ameeleza kwamba kuna mtu
alisema:
69
“Ee Mtume wa Allaah! Mimi nataka kusafiri. Niusie.” Akasema: “Mche Allaah
na sema “Allaahu Akbar” katika kila sehemu ya kupanda.” Wakati mtu yule
alipotoka pale akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
70
32. Du´aa ya kupanda vyombo vya safari au mnyama
بسم اهلل
احلَ ْم ُد هلل
ْ
Kisha akasema:
Halafu akasema:
”Himdi zote ni Zake Allaah. Himdi zote ni Zake Allaah. Himdi zote ni
Zake Allaah. Allaahu Akbar. Allaahu Akbar. Allaahu Akbar.”
Kisha akasema:
َ َوب إًِلَّ أ
نت ُّ ت نـَ ْفسي فا ْغ ِف ْر ِل فِإنه ًل يغفر
َ ُالذن ُ ك اللهم إِين ظَلَ ْم
َ َُسْب َحان
ُ
”Umetakasika. Ee Allaah! Hakika mimi nimeidhulumu nafsi yangu.
Hivyo nisamehe. Hakika hakuna anayesamehe madhambi isipokuwa
Wewe.”
71
Kisha akaanza kucheka. Kukasemwa: ”Ee kiongozi wa waumini! Kwa nini
unacheka?” Akasema: ”Nilimuona Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)
akifanya kama nilivyofanya kisha akacheka. Nikasema: ”Ee Mtume wa
Allaah! Kwa nini unacheka?” Akasema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)
akasema:
Kisha anasema:
Kisha akasema:
ِ
ُالله َّم َه ِّو ْن َعلَْيـنَا َس َفَرنَا َه َذا واطْ ِو َعنَّا بَـ ْع َده
ُ .ضى َّ ك ِف َس َف ِرنَا ه َذا
َ الرب والتَّـ ْق َو َوم َن الْ َع َمل ما تَـ ْر ْ الله َّم إِ ِّين أ
َ َُسأَل ُ
ِالسفر وَكبب ِة الْمْنظَ ِر وسوء ِ ِ ِ ِ
ُ َ َ َ َ َ َّ ك م ْن َو ْعثَاء َ ِاْلَلي َفةُ ِف األ َْه ِل اللَّ ُه َّم إِين أَعُوذُ ب
ْ الس َف ِر و
َّ ب ِف ُ ت الصاح َ ْاللَّ ُه َّم أَن
الْ ُمْنـ َقلِب ِف الْ َم ِال واأل َْه ِل
”Ee Allaah! Hakika sisi tunakuomba katika safari yetu hii wema,
Taqwa na matendo unayoyaridhia. Ee Allaah! Tusahilishie safari yetu
hii na tufupishie umbali wake. Ee Allaah! Wewe ndiye mwenye
kutulinda katika safari na Mchungaji wa familia iliyobaki. Ee Allaah!
Hakika mimi najikinga kwako kutokana na ugumu wa safari,
mtazamo mbaya na uovu wa kubadilikiwa katika mali na familia.”
72
“Tunarudi, hali ya kuwa tunatubia, tunaabudu na Mola wetu
tunamhimidi.”
اهلل أَكرب
”Allaahu Akbar.”
”Ametakasika Allaah.”
73
33. Du´aa ya kuingia kwenye kijiji au mji
ِ ب الشَّي
ِ اط ِ َّ السب ِع وما أَظْلَْلن ور ِ َّ ب
الرياح َوَما
ِّ بَّ للن َوَر
َ َضْ ي َوَما أ َ َّ السْب ِع َوَما أَقْـلَْل َن َوَر
َّ يَ ب األ َْرض ََ َ َ َ ْ َّ السموات َّ الله َّم َر
ُ
ك ِم ْن َشِّرَها َو َشِّر أ َْه َلها َو َشِّر َما فيه ِِ
َ ِخري هذه الْ َق ْريَِة َو َخْيـَر أ َْه َلها َو َخْيـَر ما فيها وأَعوذُ ب
َ ك َ َُسأَل
ْ ذَ َريْ َن أ
“Ee Allaah! Mola wa mbingu saba na kila ambacho zimekifunika.
Mola wa ardhi saba na kila ambacho zimebeba. Mola wa
Mashaytwaan na kila wanachokipoteza. Mola wa upepo na kila
wanachokibeba. Ninakuomba kheri ya kijiji hichi, kheri ya
watu wake na kheri ya vilivyomo ndani yake. Na ninajikinga Kwako
na shari ya kijiji hichi, shari ya watu wake na shari iliyomo ndani
yake.”
74
34. Du´aa katika kukaa mahala fulani
ِ التام
ات من َشِّر َما َخلَ َق ِ أَعوذُ بِ َكلِم
َّ ات اهلل َ ُ
“Najikinga kwa Maneno ya Allaah yaliyotimia na shari ya
Alichokiumba.”
75
35. Du´aa wakati wa chakula na kunywa
ُ س اَند ِبَ اسِبُحسَََِّااح ُِبسَا َه ََِِّاسُِه ََُّسَُِبس ُِاَِبسََُه سحسسَحسَاََطحساه ُوَاساُاِذاس ُِ ِذ
ُ اسُاسهاْيد
حاسا ا ا َ ِا ا ِ َِ ا اا َ ا
“Enyi mlioamini! Kuleni vizuri Tulivyokuruzukuni na mshukuruni
Allaah mkiwa mnamwabudu Yeye Pekee.” (al-Baqarah 02: 172)
”Ewe mwanangu! Taja jina la Allaah. Kula kwa mkono wako wa kulia
na kula vilivyo karibu nawe.”
”Mmoja wenu akila ataje jina la Allaah (Ta´ala) mwanzoni. Akisahau kutaja
jina la Allaah (Ta´ala) mwanzoni aseme:
76
148- Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
149- Kuna mtu ambaye alikuwa akimhudumia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi
wa sallam) ameeleza kwamba alikuwa akimsikia Mtume (Swalla Allaahu
´alayhi wa sallam) pindi anapoletewa chakula husema:
ِ بس ِم
اهلل ْ
”Kwa jina la Allaah.”
ت
َ احلَ ْم ُد على َما أَعطَْي
ْ ك َ َت ل
َ اجتَبَـْي َ ت َوأَقْـنَـْي
ْ ت َوَه َديْت َو َ ت َوأَ ْغنَـْي
َ َس َقْي َ اللَّ ُه َّم أَطْ َع ْم
ْ ت َوأ
”Ee Allaah! Umelisha na kunywisha, kutajirisha, kukinaisha,
kuongoza na kubuni. Ni Zako himdi zote kwa ulichokitoa.”
77
36. Du´aa kwa mnasaba wa mgeni
الله َّم بَا ِرك َلم فيما َرَزقْتهم وا ْغ ِف ْر ََلُ ْم و ْارمحَْ ُه ْم
ُ
“Ee Allaah! Wabariki katika ulichowaruzuku, uwasamehe na
uwarehemu.”
152- Anas (Radhiya Allaahu ´anhu) ameeleza kwamba Mtume (Swalla Allaahu
´alayhi wa sallam) alimkaribisha Sa´d bin ´Ubaadah. Akamkaribisha kwa
kumpa mkate na mafuta. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akala
kisha baada ya hapo akasema:
-------------------------
78
37. Kutoa Salaam
“Kuna sifa tatu. Mwenye kuwa nazo basi amekusanya imani; uadilifu
juu ya nafsi yako, kuwatolea Salaam viumbe na kujitolea katika
kipindi kizito.”
“Kuna mtu alikuja kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) na kusema:
“as-Salaam ´alaykum.”
79
Akamuitikia kisha mtu yule akakaa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa
sallam) akasema: “Thalathini.”
“Watu walio na haki zaidi kwa Allaah ni wale wenye kuanza kwa
Salaam.”
80
38. Kupiga chafya (kuchemua) na kupiga miayo
ك اهلل
َ ُيـَ ْر َمح
“Allaah Akurahamu.”
Ama kuhusu miayo, inatoka kwa Shaytwaan. Pindi mmoja wenu anapopiga
miayo ajizuie awezavyo. Wakati mmoja wenu anapopiga miayo Shaytwaan
hucheka.”
احلَ ْم ُد هلل
ْ
ك اهلل
َ ُيـَ ْر َمح
“Allaah Akurahamu.”
ِ احلم ُد
هلل َعلى ُك ِّل َحال ْ َْ
“Himdi zote ni Zake Allaah kwa hali yoyote.”
81
163- Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
-------------------------
ك اهلل
َ ُيـَ ْر َمح
“Allaah Akurahamu.”
82
39. Du´aa wakati wa ndoa
ث ِمْنـ ُه َما ِر َج ااًل َكثِ ارياَّ َاح َد ٍة َو َخلَ َق ِمْنـ َها َزْو َج َها َوب
ِسو ِ َّ
َ ٍ َّاس اتـَّ ُقوا َربَّ ُك ُم الذي َخلَ َق ُكم ِّمن نـَّ ْف ُ يَا أَيـُّ َها الن
َونِ َساءا ۚ َواتـَّ ُقوا اللَّـهَ الَّ ِذي تَ َساءَلُو َن بِِه َو ْاأل َْر َح َام ۚ إِ َّن اللَّـهَ َكا َن َعلَْي ُك ْم َرقِيباا
ين َآمنُوا اتـَّ ُقوا اللَّـهَ َح َّق تـُ َقاتِِه َوًَل ُتَُوتُ َّن إًَِّل َوأَنتُم ُّم ْسلِ ُمو َن ِ َّ
َ يَا أَيـُّ َها الذ
“Enyi mlioamini! Mcheni Allaah kama apasavyo kuogopwa na wala
msife isipokuwa na nyinyi ni Waislamu.” (al-´Imraan 03 : 102)
83
“Enyi mlaomini! Mcheni Allaah na semeni kauli ya kweli (ya
sawasawa). Atakutengenezeeni ‘amali zenu, na Atakusameheni
madhambi yenu; na anayemtii Allaah na Mtume wake, basi kwa
yakini amefanikiwa mafaniko adhimu.” (al-Ahzaab 33 : 70-71)
Mtu akinunua ngamia basi aweke mkono wake juu ya nundu yake na kusema
hali kadhalika.”
84
40. Du´aa wakati wa kuzaa
170- ´Amr bin Shu´ayb amepokea kutoka kwa baba yake ambaye
amepokea kutoka kwa babu yake ambaye ameeleza kwamba Mtume
(Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) ameamrisha mtoto mwenye
kuzaliwa kupewa jina, kunyolewa na kuchinjiwa siku ya saba.”[1]
85
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) akasema: “Wewe unaitwa
Zur´ah.” Alibadilisha jina la ardhi ´Afrah (vumbi) na kuipa
Khadhwirah.
-------------------------
(1) Yaani nywele zake zitanyolewa siku ya saba sawa ikiwa ni mvulana au
msichana. Hali kadhalika mvulana atachinjiwa kondoo mbili na msichana
kondoo mmoja.
(2) Mapokezi haya ni Swahiyh. Hii ni dalili inayoonesha kuwa kitendo hichi
kinajuzu lakini bora zaidi ni siku ya saba.
86
41. Du´aa wakati jogoo, punda na mbwa inapolia
87
42. Du´aa wakati wa kikao
تك ما تـُبَـلِّغُنَا به َجنَّتَك َوِم َن الْيقي ما تَـ ُه ِّون َ اعَ َوبي َم َعاصيك َومن ط َ ك ما ََتو ُل به بيننا َ ِالله َّم اقسم لَنَا من َخ ْشيَت
ُ
ِ َ اعنَا وأَبصا ِرنَا وقـُ َّوتِنَا ما أَحيـيتَـنَا واجع ْله الو ِ َْس ِ
اج َع ْل ثَأَْرنَا على َم ْن ْ ارث منَّا و ُ َْ َْ ْ َ َ َ ْ َْ الله َّم ُمتـ َّْعنَا بِأ
ُ الدنْيا ُّ ب
َ به َعلَْيـنَا مصائ
الدنْـيَا أَ ْكبَـَر ََهِّنَا َوًل مبلَ ََ ِع ْل ِمنَا َوًل تُ َسلِّ ْط ِ ظَلَمنَا وانْصرنَا على من عادانا وًلَ َِْتعل م
ُّ صيبتنَا ِف ديننا َوًلَ َِْت َعل ُ َ َ ََ ْ ُْ َ
َعلَْيـنَا من ًل يـَ ْر َمحُنَا
88
Tufanye ni wenye kulipiza kisasi kwa wale wenye kutudhulumu.
Tunusuru dhidi ya maadui zetu. Usifanye msiba wetu ukawa katika
Dini yetu. Usiifanye dunia ikawa ndio hamu yetu kubwa wala kubwa
katika elimu yetu. Usitutawalishie wale wasiokuwa na huruma juu
yetu.”
-------------------------
89
43. Du´aa wakati wa khasira
“Mimi najua neno ambalo lau atalisema ataondokewa na kile anachohisi. Lau
atasema:
90
44. Du´aa wakati wa kuona mtu aliyepewa mtihani
ِ احلم ُد اهلل الَّ ِذي عافاين ِِمَّا ابـتَالك به وفَضَّلين على َكثِ ٍري ِِمَّن خلَق تَـ ْف
ضيالا َ َ ْ ْ ْ َْ
“Himdi zote ni Zake Allaah ambaye Ameniepusha na kile Alichokupa
mtihani na Akanifanya mimi kuwa bora kuliko wengi miongoni mwa
Aliowaumba.”
91
45. Du´aa ya kuingia sokoni
بيده اْلري َوُهو على ُك ِّل،يت و هو حي ًل َيوتِ َ ًل إِله إًِلَّ اهلل َو ْح َدهُ ًلَ َش ِر
ُ احلَ ْمد َُْييي وَُي
ْ ُ له امللك ولَه،يك له
ٍ
شيء قدير
“Hakuna mola anayeabudiwa kwa haki isipokuwa Allaah, Mmoja
asiyekuwa na mshirika. Ni Wake Ufalme na ni Zake himdi. Anahuisha
na Kufisha. Naye yu hai asiyekufa. Kheri iko Mikononi Mwake na
Yeye juu ya kila jambo ni Muweza.”
92
46. Du´aa wakati mnyama wa mpando anapojikwaa
بسم اهلل
93
47. Du´aa wakati wa kupokea zawadi
´Aaishah akasema:
94
48. Du´aa wakati wa kuona matokeo ya kwanza
ِ الله َّم با ِرْك لَنَا ِف ََثَِرنَا وبا ِرْك لَنَا ِف م ِدينَتِنَا وبا ِرْك لَنَا ِف ص
اعنَا َوبَا ِرْك لَنَا ِف ُم ِّدنَا َ ََ َ ََ ُ
”Ee Allaah! Tubarikie matunda yetu. Tubarikie mji wetu. Tubarikie
Swaa´ yetu. Tubarikie Mudd yetu.”
95
49. Du´aa kwa kitu kinachopendwa ambacho kinakhofiwa juu yake
kijicho
96
50. al-Fa´l na mkosi
193- Ama kuhusu mkosi Mu´aawiyah bin al-Hakam (Radhiya Allaahu ´anhu)
amesema:
97