Professional Documents
Culture Documents
Sheria Ya Ardhi
Sheria Ya Ardhi
Hati miliki kwa mujibu wa sheria hutolewa na Hati miliki ni kielelezo cha uhakika cha Baraza la Ardhi la kijiji halina nguvu za shurti (kutoa
Kamishna wa Ardhi. Upatikanaji wa hati miliki umiliki wa Ardhi na mastawisho yake. hukumu) bali kusuluhisha tu. Halina uwezo wa
Ni rahisi kutumia haki miliki kama dhamana kuweka kizuizi au kutoza faini wala kupitisha
kwa mijini husimamiwa na Halmashauri au maombi ya rufaa.
Serikali kuu. ya mkopo au penginepo.
Kubadilisha umiliki huwa rahisi kwa mtu
Maombi yote ni budi yawasilishwe kwa mwenye hati miliki. Hata hivyo, kupeleka mgogoro wa ardhi mbele ya
kujaza fomu maalum yenye picha ya Baraza la Ardhi la kijiji ni hiari, kama mtu hapendi
mwombaji na malipo na kuwasilishwa kwa Migogoro ya Ardhi anaweza kuupeleka mgogoro wakemoja kwa moja
afisa wa Ardhi aliyeteuliwa kushughulikia kwanye Baraza la Ardhi la Kata.
maombi. Neno mgogoro linaashiria hali ya kutoelewana/
Maombi pia yataambatanishwa na maelezo ugomvi katika mambo fulani kati ya pande mbili
mengine kama Kamishna wa Ardhi atakavyo ambapo kila upande una maslahi katika jambo 2) Baraza la Ardhi la Kata
elekeza. hilo.
Maombi yote yatachambuliwa na hati Baraza la Ardhi la Kata lina uwezo wa kusikiliza na
kutoa maamuzi juu ya mgogoro wowote ambao mali
kutolewa na Kamishna. Kuna aina mbili za migogoro ya Ardhi, au ardhi inayogombaniwa thamani yake haizidi
Hati ya toleo (offer) itaonyesha masharti ya ambayo ni: shillingi milioni tatu. Mali au ardhi hiyo lazima iwe
umiliki ikiwa ni pamoja na sharti la ndani ya eneo la Kata.
kuendeleza kiwanja. I) Migogoro ya Mipaka - Kati ya Kijiji na Kijiji au
Kijiji na mamlaka nyingine (mfano Hifadhi ya Majukumu yake
Taratibu za kupata Hati Miliki ya Ardhi maliasili).
II) Migogoro ya Ardhi iliyomo ndani ya mipaka ya
ya Kijiji Kuleta AMANI na UTULIVU katika Kata husika
Kijiji - yaani kati ya mtu na mtu, mtu au kundi la
watu na Kijiji au mamlaka fulani. kwa njia ya Usuluhishi na kwa kuhimiza wa-
Mtu mmoja mmoja au kundi kuwasilisha kwa daawa kufikia mwafaka katika suala lolote li-
Mwenyekiti wa Kijiji mipango yao ya kuweka Migogoro ya aina hii ni pamoja na; Mgongano wa nalohusu Ardhi.
makazi ya kudumu hapo kijijini. maslahi kati ya wakulima na wafugaji – kama vile Kuchunguza na kutatua migogoro ya Ardhi
kugombea maeneo ya kilimo au malisho. yenye thamani isiyozidi Tshs. 3 milioni.