You are on page 1of 7

UMUHIMU WA

KUSAJILI
MAWAKALA WA
MILKI
(MADALALI)
KWA
MAENDELEO YA
SEKTA YA MILKI
NCHINI
SEKTA YA MILKI NCHINI TANZANIA
 Sekta ya milki ni msingi wa maendeleo ya taifa letu, ikigusa maisha ya kila raia.
 Sekta hii inaumuhimu katika maendeleo ya kiuchumi ya Tanzania, ikichangia kwa kiasi kikubwa kwenye Pato la Taifa
kwa takribani Shilingi Trilioni 2.9 mwaka 2021 kulingana na takwimu, na pia imetoa fursa za ajira kwa watanzania.
 Miaka ya hivi karibuni, sekta hii imekua kwa haraka ikiongozwa na mambo kama vile utandawazi, ongezeko la idadi ya
watu, na uwekezaji mkubwa katika miundombinu na miradi ya maendeleo inayovutia wawekezaji wa ndani na wa
kigeni.

WADAU WA SEKTA YA MILKI


 Wajenzi na Makampuni ya Ujenzi
 Mawakala wa milki (Madalali)
 Taasisi za Fedha
 Vyombo vya Serikali
 Wawekezaji
 Mamlaka ya Upangaji Miji na Vijiji
 Vyama vya sekta ya milki
ATHARI ZA KUTOSAJILI MAWAKALA WA MILKI
(MADALALI) NCHINI TANZANIA
ATHARI KWENYE UCHUMI WA NCHI
 Ukosefu wa uwajibikaji
 Uhaba wa Mafunzo
 Migogoro ya ardhi
 Usalama mdogo kwa wateja
 Kudhoofika kwa shughuli za uwekezaji
 Kudhorota kwa uchumi

ATHARI KWA MAWAKALA WA MILKI (MADALALI)

Kutokuaminika, Uwanja wa kucheza usio sawa, Maendeleo hafifu kwa mawakala


wa milki waliobobea, kuharibika kwa mtazamo juu ya kazi za mawakala wa milki
FAIDA ZA KUSAJILI MAWAKALA WA MILKI
(MADALALI) NCHINI TANZANIA
FAIDA KWA SERIKALI
 Udhibiti na Usimamizi
 Uzalishaji wa Mapato
 Ulinzi wa Wateja
 Ukusanyaji wa Takwimu

FAIDA KWA MAWAKALA WA MILKI (MADALALI)


 Ulinzi wa Kisheria
 Kutambulika katika Soko
 Viwango vya Sekta
 Ushirikiano wa Kitaalamu
 Imani kwa wateja
 Upatikanaji wa Raslimali
 Maendeleo ya Kitaalamu )
ORODHA YA NCHI ZENYE MAFANIKIO KWENYE
KANUNI ZA SEKTA YA MILKI
NCHI SITA ZILIZOENDELEA NA ZENYE KANUNI NZURI ZA SEKTA YA MILKI
 Canada
 Marekani
 Uingereza
 Ujerumani
 Ufaransa
 Japani

FAIDA ZA KUSAJILI MAWAKALA WA MILKI (MADALALI) KATIKA NCHI HIZO SITA


 Ulinzi wa Mteja
 Uhakika wa Ubora
 Uwazi wa Soko
 Viwango vya Maadili
 Kutatua Migogoro
 Utulivu wa Soko
MIPANGO YA KANUNI ZINAZOPENDEKEZWA

Sheria ya Milki (Usajili na Maendeleo) ya 2016

Sehemu ya 20: Usajili wa mawakala wa milki (madalali)

Sehemu ya 21: Majukumu ya mawakala wa milki (madalali)


waliosajiliwa
HITIMISHO

Kutambua na kusajili mawakala wa milki (madalali) kama wataalamu rasmi sio


tu muhimu bali pia ni yenye kuleta mabadiliko.
Kanuni hizi ni za ulinzi, zikihakikisha sekta ya milki ni yenye haki, ya maadili,
na yenye mafanikio kwa Watanzania wote.

ASANTENI KWA KUNISKILIZA

You might also like