Udahili wote kufanywa na NA!E "asio#uhusiwa na ku$ingatia uta#atibu kutotambuliwa "aomba%i masomo ya &esabu na Sayansi ku'atiwa miko'o Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE) limetangaza 6 Oktoba kuwa ni tarehe ya kuanza kwa mafunzo ya tahahada ya ualimu wa hule za mingi (Ordinary !i"loma in #rimary Edu$ation (O!#E)) katika %yuo teule %ya ma&aribio na 'tahahada maalumu ya Ualimu wa 'ekondari kwa waliomaliza kidato $ha nne ((iabati na 'ayani) itakaendehwa katika $huo kikuu $ha !odoma) *oezi la uomba&i wa mafunzo hayo kwa mwaka +,-./-0 lilianza rami tarehe +1 2une +,-. na litakoma 1- Agoti +,-. na mafunzo yataendehwa katika %yuo teule %ili%yoteuliwa na Baraza (NACTE) amba%yo %itaendeha mafunzo $hini ya uangalizi wa karibu wa Baraza hilo3 Taaii ya Elimu na 4izara ya Elimu na 5afunzo ya Ufundi) 6atibu 5tenda&i wa Baraza hilo !k) #rimu Nkwera ameema waomba&i wote wanatakiwa kuzingatia utaratibu wa uomba&i ambao ni ku"itia n&ia ya mtandao ku"itia 5fumo wa Udahili wa #amo&a (Central Admiion 'ytem 7 CA') inayo"atikana kwenye to%uti ya CA' inayo"atikana www)$a)a$)tz au Baraza www)na$te)go)tz na kwamba Baraza halitomtambua mwomba&i yeyote atakayeomba kinyume na utaratibu uliowekwa) !k) Nkwera ameema lengo la mafunzo hayo ni kutoa nafai kwa walimu wa hule za mingi kuongeza uwezo na ku&iendeleza kwa maomo ya ngazi ya &uu) 6wa muda mrefu walimu wa hule wa hule za mingi wamekuwa hawana namna ya kuongeza na kuboreha taaluma yao kutokana na kutokuwa"o kwa kozi ya namna hiyo) 'tahahada hiyo haitamuhita&i mwalimu tara&ali au yule aliye"o kazini kufanya mafunzo ya kidato $ha ita na badala yake anatakiwa kufanya mafunzo ya kuendeleza ualimu wake kwa tahahada hiyo) 8Baraza lina"enda kuufahamiha umma na wahitimu wa kidato $ha Nne na ngazi ya $heti na tahadaha katika fani mbalimbali kwamba uomba&i wa mafunzo ya ngazi ya tahahada ya elimu ya ualimu wa hule za mingi kwa mwaka +,-./-0 unakoma tarehe 1- Agoti +,-.)9Aliema !k) Nkwera Ameema kuwa maombi yatafanywa kwa n&ia ya mtandao ku"itia 5fumo wa Udahili wa #amo&a (Central Admiion 'ytem) inayo"atikana kwenye to%uti ya Baraza www)na$te)go)tz au kwa ku&aza fomu maalumu za maombi zinazo"atikana katika to%uti ya baraza na kwamba waomba&i watakuwa na uwezo wa ku$hagua %yuo wana%yo%i"enda baada ya kulinganiha gharama za mafunzo na huduma za ziada zitolewazo na %yuo huika) 8:li kudhibiti ubora katika "rogramu hii3 Baraza limeweka mfumo wa udahaili wa "amo&a ambao ndio "ekee utakaotumika katika kudahili wanafunzi kwenye %yuo huika3 tunaiitiza kwamba yeyote atakaekwenda kinyume na utaratibu huu Baraza halitomtambua)9Aliiitiza !k) Nkwera amewataka waomba&i wote "amo&a na %yuo kuzingatia taratibu za uomba&i na udahili zilizowekwa ili kue"uka uumbufu unaoweza ku&itokeza ikiwemo kutotambuliwa kwa wadahaliwa kwa kuwa %yuo kwa aa ha%iruhuiwi kudahili wanafunzi mo&a kwa mo&a kwa kuwa &ukumu hilo aa ni la Baraza)
6uhuu walimu wa maomo ya ayani3 !k) Nkwera amezungumzia &itihada zinazo$hukuliwa na erikali ku"itia 4izara ya Elimu na 5afunzo ya Ufundi katika kukabiliana na u"ungufu wa walimu wa maomo ya ayani ikiwemo hule za mingi) Ameema erikali imeamua kuwa waomba&i wote waliomaliza kidato $ha Nne wenye ufaulu wa dara&a la kwanza na la "ili na wenye ufaulu wa maomo ya ayani na walimu wenye $heti $ha ualimu dara&a la 8A9 wenye ufaulu wa maomo ya ayani na ambao wanafundiha maomo hayo wata"atiwa mko"o na Bodi ya 5iko"o ya 4anafunzi wa Elimu ya 2uu) 8'erikali inaguwa ana na $hangamoto iliyo"o ya uhaba wa waalimu wa maomo ya ayani na ina imani kuwa kwa kuwa"atia miko"o waomba&i wote wanaokidhi ifa na %igezo ni $ha$hu mo&awa"o ya kuli"atia uluhu tatizo hilo kwa kuwa"a motiha wote wanaofaulu na walio tayari kufundiha maomo hayo)9Aliongeza 6atibu 5tenda&i huyo wa NACTE) Ameema maelezo ya kina kuhuu ifa za udahili3 nafai za udahili kwa kila $huo "amo&a na ada inayotozwa yanaonekana katika mtandao mara mwomba&i ana"obofya kitufe $ha u$haguzi wa $huo) 4aomba&i wote wanaweza "ia kutumia ofii za kanda za NACTE zilizofunguliwa hi%i karibuni *anzibar na Aruha (6wa mikoa 6akazini)3 5beya (5ikoa ya 6uini)3 !odoma (5ikoa ya kanda ya kati) na 5wanza kwa a&ili ya mikoa ya kanda ya *iwa) 4adau wote walio &irani na mikoa hiyo wanaweza ku"ata huduma zote "ai"o kulazimika kwenda !ar e 'alaam) #ia waomba&i wote wa "rogramu za hahada wanaoendelea kutuma maombi yao kwa n&ia ya mtandao wanahauriwa kuwailiana na ofii za kanda kwa ku"ata maada wa haraka zaidi "ale wana"okutana na matatizo ya kiufundi) Namba za imu na mahali ofii zili"o %ina"atikana kwenye to%uti)
MAELEZO YA MWENYEKITI WA TUME YA MABADILIKO YA KATIBA, JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA KATIKA MKUTANO WA TANZANIA CENTER FOR DEMOCRACY, KUHUSU TAFAKURI NA MARIDHIANO KUELEKEA KATIBA MPYA: WHITESANDS HOTEL, DAR ES SALAAM, 12 FEBRUARI, 2014
Madhara Yatokanayo Na Ajali Za Barabarani Yamemeendelea Kuwa Sababu Namba Tisa Katika Kusababisha Vifo Vya Watu Wengi Zaidi Duniani Ambapo Inakadiriwa Zaidi Ya Watu Milioni 1