Professional Documents
Culture Documents
Bara la Maasai ina mbuga ya wanyama bora zaidi Afrika Mashariki. [8] Serikali ya Tanzania na Kenya hutunza idadi kadha ya maeneo yaliyochunwa: mbuga, maeneo ya hifadhi, mapori ya akiba, nk, ambayo hutoa ulinzi wa kisheria kwa zaidi ya 80% ya Serengeti. [9] Ol Doinyo Lengai, ikiwapo mlima wa moto ulio bado na uhai katika eneo la Serengeti, ni mlima wa moto pekee ambao bado hutoa "carbonatite lava". "Carbonatite lava", unapo fichuliwa kutoka kwa hewa, hubadilisha rangi kutoka samawati hadi nyeusi na kufwanana na "washing soda". Tabaka nzito ya jivu unaweza geuka kuwa hardpan iliotajirika na kalsiamu ngumu kama saruji baada ya kunyeshewa. Mizizi ya mti haiwezi kupenya safu hii, na kimsingi tambarare bila miti ya Serengeti, ambayo yako magharibi na upepo chini ya Ol Doinyo Lengai, ni matokeo. [10]
Miinuko ya mwamba, au "koppes", katika tambarare ya Serengeti. Eneo la Kusini-Mashariki ambalo lipo katika kivuli mvua ya miinuko ya Ngorongoro na linajumuisha tambarare lenya majani mafupi bila miti na "dicot" tele ndogo ndogo. Udongo yana rutuba kwa wingi, yakiwa juu ya "calcareous hardpan" fupi. "Gradient" ya urefu wa udongo kaskazini-mashariki ukipita tambarare husababisha mabadiliko katika jamii na herbaceous na nyasi refu. Baadhi ya 70 km magharibi, misitu ya Acacia huonekana ghafla na kunyoosha magharibi kuelekea ziwa Victoria na kaskazini kelekea katika tambarare za Loita,[onesha uthibitisho] kaskazini mwa mbuga ya wanyama ya kitaifa ya Maasai Mara. Aina 16 tofauti ya Acacia yapo katika msitu huu, usambazaji wao ukiamuliwa na hali "edaphic" na urefu wa udongo. Karibu na Ziwa Victoria kuna tambarare yenye mafuriko yaliyitokana na "lakebeds" za kale. Katika kaskazini magharibi, misitu ya Acacia yamebadilishwa na misitu ya "Terminalia-Combretum" yenye majani mapana, uliodhamiria kutokana na mabadiliko katika geologi. Eneo hili lina kiwango cha juu zaidi ya mvua katika mfumo na huunda kimbilio kwa kwa wanyama wanaohama mwisho wa msimu wa kiangazi. [11] Muinuko katika Serengeti huanzia mita 920 hadi 1850 na joto wastani kuanzia digrii 15 hadi digrii 25 "Celsius". Ingawa kwa kawaida hali ya hewa huwa joto na kavu, mvua hutokea katika misimu miwili ya mvua: Machi-Mei, na msimu mfupi katika Oktoba na Novemba. Kiasi cha mvua inatofautiana kutoka kiwango cha chini cha 508 mm katika upande wa "lee" ya miinuko ya Ngorongoro na kiwango cha juu cha 1,200 mm katika pwani ya Ziwa Victoria. [12] Nyanda za juu, ambazo ni baridi kuliko tambarare na kufunikwa na misitu ya "montane", ndio alama ya mpaka wa mashariki ya bonde ambayo Serengeti uko. Tambarare la Serengeti wazi ina miinuko ya "granite" inayojulikana kama "koppes". Miinuko haya ni matokeo ya shughuli kutokana na volkeno. "Koppies" hutoa makazi madogo kwa nyanda
zisizo wanyamapori. "Koppe" moja unao uwezekano kuonekana kwa wageni huko Serengeti ni Simba Koppe (Lion Koppe). Serengeti ilitumika kama jukwaa utengeneza filamu ya "Disney" ya The Lion King na baadae uvumbuaji wa filamu za jukwaa. Eneo hilo pia ni nyumbani kwa eneo lililohifadhiwa la Ngorongoro, ambayo ina "Olduvai Gorge", ambapo baadhi ya "hominid fossils" kongwe hupatikana, vilevile pia "Ngorongoro Crater", caldera ya volkeno kubwa zaidi ulimwenguni.