Professional Documents
Culture Documents
Wilbrod Peter Slaa (amezaliwa tarehe 29 Oktoba 1948) alikuwa mbunge wa jimbo la Karatu katika bunge la kitaifa nchini Tanzania.[1] Baada ya kugombea urais mwaka 2010 si mbunge tena, ila anaendelea kuwa katibu mkuu wa chama cha CHADEMA.
Tazama pia
Wabunge wa Tanzania
Marejeo
1. Mengi kuhusu Wilbrod Peter Slaa (13 Julai 2006). Iliwekwa mnamo 11 Novemba 2011. Makala hiyo kuhusu wanasiasa wa Tanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari.