Professional Documents
Culture Documents
kuhitimu
elimu
ya
sekondari,
cheti/vyeti
vya
mbili
ndogo
za
(passpot
size),
hati
haitakubaliwa.
Mwombaji aandike kazi aliyoomba juu ya bahasha.
ya
kiapo
SIFA ZA MWOMBAJI
Mwombaji awe Raia wa Tanzania.
Mwombaji wa nafasi ya Sajini awe na umri usiopungua miaka
18 na usiozidi miaka 30 na kwa nafasi ya konstebo umri
usiopungua miaka 18 na usiozidi miaka 28.
Mwombaji asiwe na kumbukumbu za kutenda uhalifu.
Mwombaji awe na urefu usiopungua sentimenta 155.
Mwombaji awe hajawahi kuajiriwa na Idara nyingine Serikalini.
Barua zote za maombi zitumwe kwa njia ya Posta.
Mwombaji awe tayari kuhudhuria mafunzo ya awali ya Jeshi la
Zimamoto na Uokoaji.
Mwombaji
awe
tayari
kufanya
kazi
mahali
popote
Waombaji
Tangazo la Ajira
wote
waliotuma
maombi
kwenye
yatashughulikiwa.
Imetolewa na
Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji (T)
DAR ES SALAAM.