You are on page 1of 165

HOTUBA YA WAZIRI WA NCHI---OFISI YA RAIS,

MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA


UTAWALA BORA. KAPT (MST) GEORGE H.
MKUCHIKA (MB.), AKIWASILISHA BUNGENI
MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI YA
FEDHA KWA MWAKA WA FEDHA 2019/20

1
A.UTANGULIZI

1. Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja kwamba, kutokana


na taarifa iliyowasilishwa ndani ya Bunge lako Tukufu na
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na
Serikali za Mitaa iliyochambua bajeti ya Ofisi ya Rais, Ikulu
(Fungu 20 na 30), Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa
Umma (Fungu 33), Menejimenti ya Utumishi wa Umma
(Fungu 32), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma
(Fungu 67), Tume ya Utumishi wa Umma (Fungu 94), Bodi ya
Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa Umma (Fungu 09),
na Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa (Fungu 04).
Bunge lako Tukufu sasa lipokee na kujadili Mapitio ya
Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha wa
2018/19 Aidha, naliomba Bunge lako Tukufu likubali
kupitisha Mpango wa Utekelezaji na Makadirio ya Fedha kwa
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora kwa Mwaka wa Fedha wa 2019/20.

2. Mheshimiwa Spika, Awali ya yote, napenda kumshukuru


Mwenyezi Mungu kwa kutupatia uwezo wa kutekeleza
majukumu ya kuwahudumia wananchi. Pia namshukuru
Mheshimiwa Rais, kwa kuendelea kuniamini katika nafasi ya
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa
Umma na Utawala Bora; Ninamuahidi kuwa nitatekeleza
wajibu wangu kwa ufanisi na uadilifu wa hali ya juu. Aidha,
nawashukuru wapiga kura wa Jimbo la Newala Mjini kwa
ujumla kwa kuendelea kunipa ushirikiano wakati wote
ninapoendelea kuwawakilisha. Vilevile, naishukuru familia
yangu ushirikiano wanaonipatia na kwa kuwa wavumilivu
ninapotekeleza majukumu ya taifa. Aidha, napenda
kumpongeza Dkt. Mary M. Mwanjelwa (Mb.) kwa kuteuliwa
kwake na pia namshukuru kwa kunisaidia katika kazi za kila
siku za kuiongoza ofisi yangu.

2
3. Mheshimiwa Spika, Naomba kumpongeza Mwenyekiti wa
Kamati na Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya
Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa kwa kuendelea na
nafasi zao. Pia, nawapongeza Wenyeviti na Makamu
Wenyeviti wa Kamati zote za Kudumu za Bunge kwa
kuchaguliwa na wanaoendelea katika nafasi zao zenye
dhamana ya kusimamia Kamati katika kuishauri Serikali na
kutoa mapendekezo mbalimbali ya kuboresha utendaji kazi.
Vilevile nawapongeza wajumbe wapya wa kamati yetu,
Mheshimiwa Ibrahim Hasanali Raza (Mb), Mwigulu Lameck
Nchemba (Mb), Njalu Saudi Silanga (Mb), Philipo Mulugo
(Mb) na Mheshimiwa Mansoor Hirani Shanif (Mb).

4. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee naishukuru


Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala na Serikali za Mitaa
chini ya Mwenyekiti wake Mheshimiwa Jasson Samson
Rweikiza,Mbunge wa Jimbo la Bukoba Vijijini na Makamu
wake Mheshimiwa Mwanne Ismail Mchemba, Mbunge wa
Viti Maalum Tabora kwa ushirikiano, maelekezo na ushauri
mzuri walioutoa wakati wa kupitia Taarifa ya Utekelezaji wa
Mpango na Bajeti ya Mwaka wa Fedha wa 2018/19 na
Mapendekezo ya Mpango wa Utekelezaji na Makadirio ya
Mapato na Matumizi ya fedha kwa Mwaka wa Fedha wa
2019/20. Maoni na ushauri wa Kamati hiyo yametuwezesha na
yataendelea kutuwezesha kutekeleza majukumu yetu kwa
ufanisi zaidi.

5. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee, naomba kutumia


nafasi hii kumpongeza Mheshimiwa Dkt. John Joseph Pombe
Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa
uongozi wake mahiri unaohimiza uadilifu, uwajibikaji,
uchapakazi na utendaji wenye matokeo katika Utumishi wa
Umma na usimamizi wa miradi mikubwa ya kimkakati kwa
Taifa. Pili, nampongeza Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan,
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa
3
namna anavyomsaidia Mheshimiwa Rais katika utekelezaji wa
Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi.

6. Mheshimiwa Spika, Pia napenda kumpongeza


Mheshimiwa Dkt. Ali Mohamed Shein, Rais wa Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,
kwa uongozi wake shupavu na nia yake thabiti ya kuleta
maendeleo Zanzibar na kuimarisha Muungano, amani na
utulivu. Vilevile, nampongeza Mheshimiwa Balozi Seif Ali
Iddi, Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar kwa kuendelea kuwatumikia wananchi wa Zanzibar
kwa ushupavu na uadilifu mkubwa.

7. Mheshimiwa Spika, napenda kuchukua fursa hii


kumpongeza Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa, Waziri
Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwa kuendelea
kuwa nguzo muhimu ya utekelezaji, usimamiaji na uratibu wa
kazi za kila siku za Serikali na kuwa Kiongozi wa shughuli za
Serikali Bungeni. Aidha, napenda kumpongeza kwa uratibu
makini wa kufanikisha zoezi la Serikali kuhamia Dodoma hasa
ujenzi wa ofisi mpya kwenye Mji wa Serikali.

8. Mheshimiwa Spika, naomba nikupongeze wewe binafsi na


Naibu Spika, kwa kuliongoza Bunge letu Tukufu kwa busara
na hekima. Nawapongeza pia Wenyeviti wa Bunge kwa
umahiri na kazi nzuri wanayoifanya ya kukusaidia wewe
kuliongoza Bunge letu Tukufu.

9. Mheshimiwa Spika, Nawapongeza pia Mawaziri wote wa


Serikali ya Awamu ya Tano kwa mafanikio wanayoendelea
kuyapata katika utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM na
Dira ya Maendeleo ya Mwaka 2025. Kwa namna ya pekee,
nampongeza na kumshukuru Mheshimiwa Selemani Said Jafo
(Mb), Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na
Serikali za Mitaa, na Mheshimiwa Mwita Waitara (Mb) na
4
Mheshimiwa Joseph Kandege (Mb) kwa ushirikiano wao
mkubwa wanaonipa katika utekelezaji wa majukumu ya Ofisi
ya Rais.

10. Mheshimiwa Spika, naomba kuchukua fursa hii


kuwapongeza Waheshimiwa Wabunge waliochaguliwa hivi
karibuni ambao ni Mheshimiwa Christopher Kajoro Chizza
kwa kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Buyungu,
Mheshimiwa Julius Kalanga Laizer kwa kuchaguliwa kuwa
Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mheshimiwa Mwita
Mwikwabe Waitara kwa kuchaguliwa kuwa Mbunge wa
Jimbo la Ukonga, Mheshimiwa Timotheo Paul Mnzava kwa
kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Korogwe Vijijini,
Mheshimiwa Zuberi Mohamed Kuchauka kwa kuchaguliwa
kuwa Mbunge wa Jimbo la Liwale, Mheshimiwa James
Kinyasi Millya kwa kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la
Simanjiro, Mheshimiwa Joseph Michael Mkundi kwa
kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Ukerewe,
Mheshimiwa Ryoba Chacha Marwa kwa kuchaguliwa kuwa
Mbunge wa Jimbo la Serengeti, Mheshimiwa Paulina Philip
Gekul kwa kuchaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Babati
Mjini, Mheshimiwa Abdallah Ally Mtolea kwa kuchaguliwa
kuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke. Vile vile, kwa masikitiko
makubwa natoa pole kwa msiba wa Mheshimiwa Stephen
Hillary Ngonyani aliyekuwa Mbunge wa Korogwe Vijijini
kilichotokea tarehe 2 Julai, 2018. Tunaomba Mola aiweke
roho ya marehemu mahali pema peponi, Amina!

5
11. Mheshimiwa Spika, naomba kuchukua fursa hii
kuwapongeza Mheshimiwa Joseph George Kakunda (Mb.)
kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Viwanda na Biashara,
Mheshimiwa Japhet Ngailonga Hasunga (Mb.) kuteuliwa
kuwa Waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Anjellah Kairuki (Mb.)
kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
anayeshughulikia Uwekezaji, Mheshimiwa Doto Biteko (Mb.)
kwa kuteuliwa kuwa Waziri wa Madini, Mheshimiwa Balozi
Dkt. Augustine Philip Mahiga (Mb.) kwa kuteuliwa Kuwa
Waziri wa Katiba na Sheria, na Mheshimiwa Prof.
Palamagamba John Aidan Kabudi (Mb.) kwa kuteuliwa kuwa
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki. Mheshimiwa Mary Machuche Mwanjelwa (Mb.)
kuteuliwa kuwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais,
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,
Mheshimiwa Constantine John Kanyasu (MB) kuteuliwa kuwa
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Mwita
Mwikwabe Waitara (Mb.) kuteuliwa kuwa Naibu Waziri Ofisi
ya Rais – TAMISEMI na Mheshimiwa Innocent Lugha
Bashungwa (Mb.) kuwa Naibu Waziri wa Kilimo, Wote hao
nawatakia mafanikio katika nafasi walizopewa na
Mheshimiwa Rais.

12. Mheshimiwa Spika, nawashukuru Balozi Mhandisi John


William Kijazi, Katibu Mkuu Kiongozi; Dkt Moses Kusiluka
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Ikulu; Dkt. Laurean J. Ndumbaro,
Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa
Umma; Dkt Francis Michael, Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya
Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora;
Makamishna, Watendaji Wakuu wa Taasisi; Wakurugenzi na
Watumishi wote wa Ofisi ya Rais Ikulu na Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa kazi nzuri
wanazozifanya katika kutekeleza majukumu yanayoiwezesha
Ofisi kufikia malengo yake, ikiwa ni pamoja na kukamilisha
Hotuba hii kwa wakati.
6
13. Mheshimiwa Spika, kwa namna ya pekee napenda
kuzishukuru Nchi Wahisani na Washirika wa Maendeleo
ambao wamechangia jitihada zetu za kuleta maendeleo kwa
wananchi. Hivyo, nachukua fursa hii kuzishukuru na kuzitaja
nchi chache ambao ni:- Jamhuri ya Watu wa China, Japan,
Uingereza, India, Korea ya Kusini, Ujerumani, Canada,
Marekani, Sweden, Australia, Umoja wa Ulaya, Denmark,
Norway, Uholanzi, Finland, Uswisi, Indonesia, Brazil, Italia,
Malaysia, Misri, Pakistan, Singapore, Thailand, Ireland, Israel,
Kenya, Rwanda, Somalia, Afrika Kusini, Botswana,
Msumbiji, Malawi, Mali, Ghana, Ethiopia, Jamhuri ya
Kidemokrasia ya Kongo, Nigeria, Sierra Leone, Liberia, Ivory
Coast, Namibia, Niger, Togo, Zimbabwe, Trinidad & Tobago
na Ubelgiji. Vilevile, nawashukuru Mashirika ya Maendeleo
ya Kimataifa ambayo ni: Benki ya Maendeleo ya Afrika
(AfDB), Benki ya Dunia, OFID-OPEC Fund for International
Development, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii wa Japan
(Japanese Social Development Fund), DfID, KOICA, GIZ,
DFATD, USAID, SIDA, UNDP, Jumuiya ya Madola,
DANIDA, NORAD,JICA, Mfuko wa Fedha wa Kimataifa
(IMF) na Taasisi ya Bill and Melinda Gates Foundation.

14. Mheshimiwa Spika, mwisho kabisa ninapenda kutoa


shukrani zangu za dhati kwa Watumishi wote wa Umma kwa
kutekeleza wajibu wao kwa ufanisi mkubwa. Uzalendo wao na
imani yao kwa Uongozi wa Serikali ya Awamu ya Tano
umewezesha Serikali kutekeleza majukumu yake ya
kuwahudumia wananchi, kwa ufanisi mkubwa.

15. Mheshimiwa Spika, naomba kulithibitishia Bunge lako


Tukufu kwamba, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa
Umma na Utawala Bora itaendelea kutekeleza maelekezo
yaliyotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
kwa nyakati mbalimbali kuhusu kupunguza urasimu ili
kuongeza kasi ya utekelezaji, kubana matumizi na kurejesha
7
nidhamu ya Serikali na Utumishi wa Umma kwa kuongeza
uwazi na kusimamia Sheria, Kanuni Miongozo na Taratibu za
uwajibikaji wa viongozi na watumishi wa umma ili
wawajibike kwa wananchi ambao ndio wateja na waajiri
wakuu wa watumishi wa umma. Vilevile, tunamuunga mkono
Mheshimiwa Rais katika vita dhidi ya rushwa, ubadhirifu wa
mali ya umma, ufisadi, uzembe, uvivu, ukiukwaji wa maadili
na watumishi hewa na wasio na sifa stahiki kwa
kuwawajibisha wanaodhihirika kujihusisha na vitendo hivyo.
Hatua anazoendelea kuchukua Mheshimiwa Rais zinatakiwa
kuungwa mkono na Bunge lako Tukufu pamoja na wale wote
wanaoitakia mema nchi yetu. Dhamira ya Mheshimiwa Rais
ya kuwa na Serikali inayowahudumia wananchi wa kawaida
itatimia kwa watumishi wa umma wote kufanya kazi kwa
weledi, juhudi, maarifa na uadilifu mkubwa. Tunaendelea
kusisitiza utoaji wa huduma bora, kwa haraka na kwa staha ili
kuwaondolea wananchi usumbufu.

16. Mheshimiwa Spika, kwa masikitiko makubwa natoa pole


kwa Watanzania wenzetu ,Viongozi na Watumishi wa umma
waliopoteza maisha yao kutokana na majanga mbalimbali
yaliyotokea katika kipindi hiki ikiwemo ajali za Magari kwa
watumishi wa umma waliofariki wakiwa kazini tunamuomba
Mwenyezi Mungu aziweke roho za marehemu mahali pema
peponi. Amina.

17. Mheshimiwa Spika, hotuba yangu itazungumzia maeneo


makuu mawili ambayo ni: Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango
wa Mwaka wa Fedha wa 2018/19 pamoja na Mpango wa
Utekelezaji na Maombi ya Fedha kwa Mwaka wa Fedha wa
2019/20.

8
MAPITIO YA UTEKELEZAJI WA MPANGO WA
MWAKA WA FEDHA 2018/19
18. Mheshimiwa Spika, utekelezaji wa Mpango na Bajeti
kwa Mwaka wa Fedha 2018/19 ulizingatia Dira ya Taifa ya
Maendeleo ya 2025, Mpango wa Maendeleo wa Miaka Mitano
(2016/17 – 2020/21) na Ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala
ya mwaka 2015 Shughuli zilizotekelezwa na kila Taasisi ni
kama ifuatavyo:-

OFISI YA RAIS, IKULU NA TAASISI ZAKE


19. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha wa 2018/19,
Fungu: 20 Ofisi ya Rais, Ikulu ilidhinishiwa Shilingi
22,644,912,748 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Hadi
kufikia Machi, 2019 Shilingi 16,131,509,229 zilipokelewa na
kutumika.

20. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza majukumu yake, katika


Mwaka wa Fedha wa 2018/19, Ofisi ya Rais na Sekretarieti ya
Baraza la Mawaziri (Fungu 30) inayojumuisha Taasisi zilizo
chini ya Ikulu, iliidhinishiwa Shilingi 576,213,769,000. Kati
ya fedha hizo, Shilingi 401,158,280,000 kwa ajili ya Matumizi
ya Kawaida na Shilingi 175,055,489,000 kwa ajili ya Miradi
ya Maendeleo. Hadi kufikia Machi, 2019 Shilingi
427,830,330,741 zilipokelewa na kutumika. Kati ya fedha hizo
Shilingi 304,632,948,634 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida
na Shilingi 123,197,382,107 kwa ajili ya Miradi ya
Maendeleo. Yafuatayo ni maelezo kwa kila Taasisi:-

a. Ofisi ya Rais - Ikulu


21. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais, Ikulu imeendelea
kuongoza, kufuatilia na kusimamia utekelezaji wa shughuli za
Serikali. Katika kipindi cha mwezi Julai, 2018 hadi Machi,
2019, kazi zifuatazo zilitekelezwa:-

9
(i) Huduma ziliendelea kutolewa kwa Mheshimiwa
Rais na familia yake.
(ii) Ushauri umeendelea kutolewa kwa Mheshimiwa
Rais kuhusu ratiba ya kila siku.
(iii) Ushauri umeendelea kutolewa kwa Mheshimiwa
Rais katika masuala ya Siasa, Uchumi, Jamii,
Sheria, Diplomasia na ushauri mwingine wowote
kwa lengo la kumsaidia Rais kufanya Uamuzi.
(iv) Mikutano 31 ya Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri
ilifanyika, ambapo nyaraka 59 zilichambuliwa.
Mikutano 12 ya Kamati Maalum ya Makatibu
Wakuu (IMTC) ilifanyika na nyaraka 18
zilichambuliwa na ushauri kutolewa. Mikutano tisa
(9) ya kazi ya Makatibu Wakuu ilifanyika ambapo
mada 20 ziliwasilishwa na kujadiliwa. Mikutano
mitano (5) ya Baraza la Mawaziri ilifanyika ambapo
nyaraka 14 zilijadiliwa na kufanyiwa maamuzi.
Aidha, mikutano minne (4) ya Kamati ya Katiba na
Bunge ya Baraza la Mawaziri ilifanyika ambapo
miswada 16 ilijadiliwa;
(v) Kumbukumbu za mikutano ya Sekretarieti ya
Baraza la Mawaziri, Kamati Maalum ya Makatibu
Wakuu na Baraza la Mawaziri ziliandaliwa na
kusambazwa kwa wahusika kwa wakati. Aidha,
ufuatiliaji na tathmini ulifanyika na taarifa ya
utekelezaji wa Uamuzi wa Baraza la Mawaziri
iliandaliwa;
(vi) Mafunzo kwa Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri
kuhusu utayarishaji na uwasilishaji wa Nyaraka za
Baraza la Mawaziri yalifanyika Dodoma kuanzia
tarehe 1 – 3 Februari, 2019;

10
(vii) Mafunzo kwa Makatibu Wakuu na kwa
Wakurugenzi wa Sera na Mipango/ Waratibu wa
Shughuli za Baraza la Mawaziri Wizarani kuhusu
utayarishaji nuwasilishaji wa Nyaraka za Baraza
lamMawaziri yalifanyika Dodoma tarehe 15 –16
Februari, 2019 na 2 – 3 Machi, 2019;
(viii) Taarifa Jumuishi ya Robo Mwaka ya Utekelezaji wa
Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu
(NACSAP III) kutoka kwa Wizara, Taasisi za
Umma, Mikoa na Halmashauri kwa kipindi cha
Robo Mwaka inayoishia mwezi Septemba na
Desemba, 2018 ziliandaliwa;
(ix) Kikao cha kupitia kwa pamoja Mipango Kazi ya
Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa na Wizara/Sekta
za Kimkakati kilifanyika Dar es Salaam na Dodoma
tarehe 21 - 28 Septemba, 2018;
(x) Vikao vya Kamati ya Taifa ya Kitaalam ya Ushauri
ya Uratibu wa Utekelezaji wa Mkakati wa Taifa
Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu (2017 - 2022)
vilifanyika tarehe 24 Agosti, 2018 na tarehe 26
Oktoba, 2018 Dar esSalaam;
(xi) Mafunzo yalitolewa kuhusu maudhui na usimamizi
wa utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya
Rushwa, Awamu ya Tatu kwa Wakuu wa Mikoa na
Makatibu Tawala wa Mikoa tarehe 7 Desemba,
2018;
(xii) Wajumbe wa Kamati za Kudhibiti Uadilifu kwa
Mikoa nane (8) ya Geita, Njombe, Songwe, Katavi,
Manyara na Pwani; Wizara zote na Taasisi za
Umma walipatiwa mafunzo ya kuandaa mipango
kazi kutekeleza Mkakati wa Taifa Dhidi ya Rushwa

11
mwezi Februari na Machi, 2019;
(xiii) Rufaa 124 za Watumishi wa Umma, Mamlaka za
Nidhamu na Waajiri zilichambuliwa na kutolewa
uamuzi na Rais na Katibu Mkuu Kiongozi ambapo
wahusika walijulishwa. Aidha, malalamiko 689 ya
Watumishi wa Umma na wananchi wengine
yalichambuliwa na kutolewa maelekezo;
(xiv) Ziara ya ufuatiliaji wa uzingatiaji wa Sheria na
maelekezo yanayotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi na
Mkuu wa Utumishi wa Umma zilifanyika katika
Mikoa ya Mbeya, Songwe, Njombe, Ruvuma, Mara na
Mwanza na Mamlaka za Serikali za Mitaa 42 za Mikoa
hiyo;
(xv) Kwa kushirikiana na Ofisi ya Mwanasheria Mkuu
wa Serikali, Ofisi ilishiriki katika kutoa majibu na
ushahidi kwenye kesi za madai 14 zinazohusu
Watumishi wa Umma na wananchi wengine
zilizoko Mahakama Kuu zinazopinga uamuzi wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania au
Katibu Mkuu Kiongozi; na
(xvi) Programu za Maboresho za Serikali za Mitaa
(LGRP), Maboresho katika Utumishi wa Umma
(PSRP) na Maboresho katika Sekta ya Sheria
(LSRP) ,zimekamilisha michakato ya kuandaliwa
upya kwa lengo la kuboresha mifumo na utendaji
kazi katika Utumishi wa Umma, Serikali za Mitaa
na Sekta ya Sheria.
b. TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA
RUSHWA (TAKUKURU)
22. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa imeendelea kutekeleza majukumu yake kwa

12
kuzingatia Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Sura
ya 329. Majukumu hayo ni pamoja na kuelimisha umma
kuhusu athari za rushwa, kuchunguza tuhuma za makosa ya
rushwa, kuwafikisha watuhumiwa mbele ya vyombo vya
sheria na kuishauri Serikali kuhusu masuala mbali mbali ya
rushwa.

23. Mheshimiwa Spika, Matokeo ya juhudi zinazochukuliwa


na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
inayoongozwa na Mheshimiwa. Dkt. John Joseph Pombe
Magufuli katika kukabiliana na rushwa nchini zimeleta
mafanikio makubwa kwa kuongeza nidhamu na uwajibikaji
wa watumishi wa umma, kujengeka kwa uadilifu katika
biashara, ukusanyaji mapato na matumizi ya umma. Mafanikio
haya yameijengea Serikali msingi/uwezo mpana wa kukuza
uchumi na kuongeza kasi ya utoaji huduma za msingi kwa
wananchi wake.

24. Mheshimiwa Spika, Taarifa mbali mbali zinazotolewa na


Taasisi za Kimataifa na za Kitaifa kuhusiana na hatua
zinazochuliwa na Serikali katika mapambano dhidi ya
Rushwa zimedhihirisha Tanzania inapiga hatua kubwa katika
kudhibiti vitendo vya rushwa na ufisadi nchini.

25. Mheshimiwa Spika, Kiashiria cha Transparency


International (CPI) kimeonesha kuwa kwa mwaka 2018,
Tanzania imefanya vizuri kwa kiwango cha juu ya wastani
ukilinganisha na nchi nyingine za Kusini mwa Jangwa la
Sahara kwa kufikia kiwango cha asilimia 36 na kushika nafasi
ya 99 kati ya nchi 180 ikilinganishwa na nafasi ya 103 ya
mwaka 2017. Aidha, kwa kutumia kiashiria cha Mo Ibrahim,
kiashiria kinaonesha kuwa Tanzania ilipiga hatua katika
nyanja ya Utawala Bora kwa kupata asilimia 58.5
ikilinganishwa na asilimia 57.5 ya kiwango kilichofikiwa
mwaka 2016.
13
26. Mheshimiwa Spika, Utafiti uliofanywa na
AFROBAROMETER mwaka 2014 ulionesha kuwa asilimia
66 ya waliohojiwa walisema kuwa kiwango cha rushwa
kimeongezeka. Hata hivyo, matokeo ya utafiti uliofanyika wa
mwaka 2017 yanaonesha kuwa asilimia 72 ya waliohojiwa
walisema kuwa kiwango cha rushwa kimepungua. Aidha,
matokeo ya utafiti uliofanywa na TWAWEZA mwaka 2017
nao umebainisha kuwa asilimia 85 ya wananchi waliohojiwa
walieleza kuwa rushwa imepungua ukilinganisha na asilimia
11 ya waliohojiwa mwaka 2014.

27. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha mwezi Julai, 2018


hadi Machi, 2019 shughuli zifuatazo zilitekelezwa:-
(i) Uchunguzi wa majalada 170 ulikamilika na
kuwasilishwa kwa Mkurugenzi wa Mashtaka
kuombewa kibali. Majalada 107 kati ya yaliyopelekwa
kwa Mkurugenzi wa Mashtaka yalipata kibali cha
kuwafikisha watuhumiwa mahakamani. Aidha,
majalada mengine yanaendelea kufanyiwa kazi;
(ii) Kesi mpya 276 zilifunguliwa mahakamani katika
kipindi hiki na kufanya jumla ya kesi zilizoendeshwa
mahakamani kufikia 704. Kati ya kesi mpya
zilizofunguliwa mahakamani, kesi tano (5)
zilifunguliwa katika mahakama ya Rushwa na
Uhujumu Uchumi (Mahakama ya Mafisadi). Katika
kipindi hiki, kesi 253 ziliamuliwa mahakamani
ambapo kesi 101 watuhumiwa wake waliachiwa huru
na kesi 152 watuhumiwa wake walipatikana na hatia
na kuhukumiwa kifungo au kulipa faini. Aidha, kesi 40
ziliondolewa mahakamani kutokana na sababu
mbalimbali. Kesi 411 zinaendelea mahakamani;

14
(iii) Utafiti wenye lengo la kuimarisha mifumo ya udhibiti
wa mianya ya rushwa umefanyika katika maeneo ya
kimkakati ya Jiji la Dar es Salaam ulifanyika kwa
kuichambua mifumo ya ukusanyaji wa mapato katika
Kituo Kikuu cha Mabasi Yaendayo Mikoani cha
Ubungo, ushuru unaotokana na maegesho ya magari,
Huduma ya usafiri kwa njia ya treni zinazoendeshwa
na TAZARA na TRC na udhibiti wa mianya ya rushwa
wakati wa maandalizi na usimamizi wa mitihani ya
kitaifa ya kidato cha pili na cha nne. Matokeo na
mapendekezo ya kuziba mianya ya rushwa katika
maeneo haya yamewasilishwa kwa Mamlaka husika ili
hatua stahiki zichukuliwe;
(iv) Kazi 255 za uchambuzi wa mifumo zilifanyika katika
sekta 24 na warsha/vikao 172 vya wadau kujadili
matokeo ya kazi za utafiti na uchambuzi wa mifumo
kwa lengo la kuweka mikakati ya kudhibiti rushwa
vilifanyika katika sekta 21. Aidha, kazi 343 za
ufuatiliaji wa utekelezaji wa maazimio yatokanayo na
mapendekezo ya uchambuzi wa mifumo zilifanyika;
(v) Miradi ya maendeleo 91 yenye thamani ya Shilingi
bilioni 706.2 ilifuatiliwa katika Sektaza Vipaumbele za
Maji, Ujenzi, Afya na Elimu. Kati ya miradi hiyo,
miradi sita (6) yenye thamani ya Shilingi bilioni 1.15
ilionekana kuwa na kasoro mbalimbali na inaendelea
kufanyiwa uchunguzi. Pia wananchi walielimishwa ili
kuimarisha usimamizi wa miradi ya maendeleo katika
maeneo yao. Aidha, Taasisi inaendelea na ufuatiliaji
wa Miradi 42 ya Ujenzi wa Hospitali za Wilaya yenye
thamani ya shilingi bilioni 63;
(vi) Shilingi milioni 977.92 ziliokolewa kutokana na
operesheni zilizofanywa na TAKUKURU na
15
kurejeshwa serikalini kutokana na kudhibiti rushwa
katika eneo la ukusanyaji mapato ya Serikali, uzuiaji
wa malipo hewa na ukaguzi wa miradi ya maendeleo;
(vii) Elimu kuhusu athari za rushwa na juhudi za Serikali za
kuidhibiti ili kupata uungwaji mkono ilitolewa kupitia
njia mbalimbali zikiwemo semina 1,654, mikutano ya
hadhara 1,992, vipindi vya redio na Runinga 231
maonesho 168 na taarifa kwa umma 123 zilitolewa
kupitia vyombo vya habari. Aidha, habari/makala 315
ziliandaliwa kwa ajili ya wavuti na nakala za
machapisho 11,600 zilisambazwa
(viii) Vijana walio shuleni, vyuoni na ambao hawapo
shuleni walipatiwa elimu kuhusu rushwa na Klabu
mpya za wapinga rushwa 1,373 zilifunguliwa na 1,887
ziliimarishwa. Aidha, klabu rika 29 za vijana walio nje
ya mfumo wa elimu zilifunguliwa;
(ix) TAKUKURU kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi wako
katika Kampeni iliyopewa jina la UTATU
inayoshirikisha pande tatu yaani TAKUKURU, Jeshi
la Polisi na wadau/wananchi yenye lengo la kuzuia
vitendo vya rushwa kwenye eneo la Usalama
Barabarani;
(x) TAKUKURU imeendelea kutoa huduma ya kupokea
malalamiko na taarifa kutoka kwa wananchi kwa saa
24 ambapo wananchi 225,688 wameweza kuifikia
TAKUKURU kupitia simu namba 113 ambapo
walipata fursa ya kutoa maoni, ushauri, kuuliza
maswali na kutoa taarifa za vitendo vya rushwa;
(xi) Filamu ya BAHASHA iliyoandaliwa na TAKUKURU
kwa kushirikiana na Kampuni ya filamu ya Media for

16
Development International (MfDI) kwa ufadhili wa
Ubalozi wa Uswisi na Ubalozi wa Uholanzi nchini
Tanzania ilizinduliwa. Uzinduzi wa filamu hii yenye
maudhui kuhusu mapambano dhidi ya rushwa na
maadili ulifanyika katika ukumbi wa Pius Msekwa
katika eneo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania ambapo mgeni rasmi alikuwa Spika wa
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
Mheshimiwa Job Ndugai;
(xii) Elimu kwa umma imeendelea kutolewa kupitia
vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kubeba
agenda ya mapambano dhidi ya rushwa ambapo jumla
ya matangazo (graphics) matatu (3) na 11 (video spots)
yaliandaliwa na kusambazwa kupitia mitandao ya
kijamii (social media) ya TAKUKURU (Facebook,
Instagram na Twitter) na WhatsApp. Aidha,
TAKUKURU imepata usajili wa PCCB Online TV ili
kuwafikia wananchi wengi kwa gharama nafuu;
(xiii) Kazi ya kuimarisha mfumo wa TEHAMA ndani ya
TAKUKURU unaendelea ambapo wazabuni
wanaendelea kuunganisha Ofisi 58 za wilaya kwenye
mtandao wa Taasisi, kuboresha njia za mawasiliano
katika Mikoa 17 na kununua Kompyuta 78 ili
kurahisisha na kuwezesha mtiririko mzuri wa
majalada, takwimu na mawasiliano kutoka ngazi za
Wilaya, Mkoa na Makao Makuu; na
(xiv) Watumishi 198 walipatiwa mafunzo ili kuwajengea
uwezo wa kumudu majukumu kwa ufanisi.
c.TAASISI YA UONGOZI
28. Mheshimiwa Spika, Taasisi ya UONGOZI imeendelea
kusimamia malengo yake ya kuwa Kituo cha utaalam wa hali

17
ya juu cha kuendeleza Viongozi Barani Afrika kwa kuanzia na
Tanzania, Ukanda wa Afrika Mashariki na hatimaye Afrika
kwa ujumla. Walengwa ni Viongozi Waandamizi waliopo na
wanaojitokeza wakiwemo wanasiasa, watumishi wa Serikali
na Mahakama.

29. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Mwaka wa Fedha


2018/19, kazi zifuatazo zimetekelezwa:-
(i) Programu ya Stashahada ya Uzamili ya Uongozi
iliyozinduliwa rasmi tarehe 21 Aprili,2017 iliendelea
kutekelezwa. Stashahada hii inalenga kuwajengea
viongozi uwezo wa kufanya uamuzi wa kimkakati,
kusimamia rasilimaliwatu na rasilimali nyingine na
kujenga sifa binafsi za kiongozi. Stashahada hii yenye
moduli 10 inatekelezwa kwa kushirikiana na Chuo
Kikuu cha Aalto kilichoko Helsinki, Finland. Katika
kipindi hiki, awamu ya pili ya mafunzo
inayojumuisha Maafisa Waandamizi 32 kutoka
Wizara, Taasisi na Mashirika ya Umma iliendelea
kutekelezwa. Moduli sita zinazohusu masuala ya
Uongozi wa matokeo; Ubunifu; Maendeleo Endelevu;
Uongozi wenye Maadili; Mawasiliano na Usimamizi
wa rasilimaliwatu zilitekelezwa;
(ii) Kozi saba (7) za muda mfupi zimetolewa kwa
Viongozi wa Umma 431 kwa lengo la kuimarisha
utendaji wao. Kozi hizi ni kwenye maeneo ya Uongozi
wa kimkakati; Utawala; Mitazamo na Dira; Kiongozi
Muadilifu; Uongozi Binafsi na Wenye Maadili;
Mapambano Dhidi ya Rushwa, Utawala Bora na
Uwajibikaji; Usimamizi wa Mipango yenye Matokeo;
na Huduma kwa wateja;
(iii) Mafunzo ya uongozi yalitolewa kwa Wajumbe wa
18
Kamati tatu za Kudumu za Bunge ya Uongozi; Haki,
Maadili na Madaraka; na ya Utawala na Serikali za
Mitaa tarehe 16 Agosti, 25 – 26 na 30 Machi, 2019,
Zanzibar, Arusha na Dodoma;
(iv) Mafunzo ya kuwajengea uwezo Viongozi wa kisiasa
na watendaji wa Serikali katika ngazi za Mkoa na
Wilaya yalitolewa kwa Wakuu wa Mikoa na Makatibu
Tawala wa Mikoa,Wakuu wa Wilaya na Wakurugenzi
wa Mamlaka za Serikali za Mitaa. Mafunzo haya
yalilenga kuwajengea uwezo viongozi hawa katika
masuala ya Uongozi, Utawala Binafsi, Hisia na
Uhusiano Wenye Tija Kati ya Viongozi Watendaji na
Viongozi wa Kisiasa, Uwajibikaji, Majukumu na
Mipaka ya Kazi, Mawasiliano Fanisi, Usimamizi wa
Vihatarishi na Udhibiti wa Ndani, Ununuzi katika
Sekta ya Umma, Masuala ya Itifaki, Usalama wa
Serikali na Ulinzi na Usalama wa Taifa. Jumla ya
Viongozi 117 walipata mafunzo kwa mchanganuo
ufuatao: Wakuu wa Mikoa 26 na Makatibu Tawala 25;
na Wakuu wa Wilaya 27 na Wakurugenzi 39 wa
Mamlaka za Serikali za Mitaa walioteuliwa na
Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania miezi ya Julai na Agosti 2018. Wakuu wa
Wilaya na Wakurugenzi waliobaki walishapatiwa
mafunzo hayo;
(v) Kwa kushirikiana na Taasisi za ndani na nje ya Nchi,
makongamano nane (8) ya Kimataifa, Kikanda na
Kitaifa yalifanyika kwa lengo la kukutanisha viongozi
ili kubadilishana taarifa, maarifa na uzoefu na
kuwaongezea uelewa wa masuala ya Uongozi na
Maendeleo Endelevu. Jumla ya viongozi 586
walishiriki kutoka Tanzania na nchi mbalimbali ndani

19
na nje ya Bara la Afrika. Mikutano ifuatayo
ilifanyika:-
(a) Kongamano la Kikanda la Viongozi wa Afrika
kuhusu “Namna ya Kupata Mitaji kwa ajili ya
Maendeleo Endelevu Afrika” lilifanyika tarehe 2 na
3 Agosti, 2018. Kongamano hili liliandaliwa kwa
kushirikiana na Taasisi ya Rais Mstaafu
Mheshimiwa Benjamin William Mkapa.
Kongamano hili lilihudhuriwa na Viongozi 200
wakiwemo Rais Paul Kagame wa Rwanda, Marais
Wastaafu kutoka Tanzania, Somalia, Msumbiji,
Nigeria na Tunisia; Wakuu wa Taasisi za Kikanda
za SADC, EAC, UNECA, na AfDB;
wafanyabiashara, Wakuu wa Taasisi za Kiraia na
wasomi kutoka nchi 20;
(b) Mkutano wa Kitaifa juu ya “Nafasi ya Serikali ya
Mapinduzi ya Zanzibar katika Mageuzi ya
Kiuchumi na Kijamii” ulifanyika tarehe 9, Julai,
2018. Mkutano huu uliandaliwa kwa kushirikiana
na Wizara ya Fedha na Mipango ya Serikali ya
Mapinduzi Zanzibar na kuhudhuriwa na Viongozi
40;
(c) Kongamano la Kimataifa kuhusu “Mchango wa
Mashirika ya Umma katika Utekelezaji wa Ajenda
ya Viwanda Tanzania Bara” liliandaliwa kwa
kushirikiana na Ofisi ya Msajili wa Hazina tarehe
10 Julai, 2018. Kongamano hili lilihudhuriwa na
Viongozi 51 kutoka Mashirika ya Umma;
(d) Mkutano wa Kitaifa kuhusu “Kukuza na
Kuimarisha Uongozi na Viongozi Tanzania”

20
uliandaliwa na kufanyika tarehe 2 Novemba, 2018
na kuhudhuriwa na viongozi 48 na viongozi wa
wanafunzi wa Vyuo Vikuu 10;
(e) Mkutano kuhusu “Rasilimali za Asili na Ujenzi wa
Viwanda: Je, Gesi inaweza kuchochea mabadiliko
ya kimuundo?” uliandaliwa kwa kushirikiana na
Taasisi ya Umoja wa Mataifa (UNU - WIDER) na
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Idara ya Uchumi)
tarehe 30 Novemba, 2018. Mkutano huo
ulihudhuriwa na washiriki 52;
(f) Mkutano kuhusu “Mipango kwa ajili ya Maendeleo:
Uzoefu kutoka Tume ya Mipango ya Jimbo la
Kerala, India” ulifanyika tarehe 9 Novemba, 2018
na kuhudhuriwa na Maafisa Mipango 57 kutoka
Serikalini na Taasisi za Serikali. Mkutano huu
ulifanyika kwa kushirikiana na Kavazi la Mwalimu
Nyerere;
(g) Mkutano wa Kitaifa juu ya “Sera Shirikishi katika
Menejimenti ya Uchumi” uliandaliwa kwa
kushirikiana na Taasisi ya REPOA tarehe 20
Desemba, 2018. Mkutano huu ulihudhuriwa na
wadau 28;
(h) Mkutano wa Kitaifa juu ya “Mapendekezo ya
Kanuni ya Madini ya Mwaka 2019 ya Kuanzisha
Masoko na Vituo vya Kuuza Madini” ulifanyika
kwa kushirikiana na Wizara ya Madini tarehe 11 na
12 Februari, 2018. Mkutano huu ulihudhuriwa na
viongozi wa Serikali, na wadau wa madini wapatao
100;

(vi) Vipindi saba (7) vya mahojiano na viongozi


21
waandamizi na wataalam wa masuala ya Uongozi na
Maendeleo Endelevu viliandaliwa na kurushwa
kwenye runinga na kuwekwa kwenye tovuti ya Taasisi
ya UONGOZI na mitandao ya kijamii kwa lengo la
kubadilishana taarifa, maarifa na uzoefu. Vipindi hivi
vinaonyeshwa na kuonekana Bara zima la Afrika;
(vii) Tafiti inayohusu Uchumi wa Viwanda vya Kijani
iliendelea kufanyika; Maandalizi ya Tafiti tano(5)
zitakazofanyika kwa kushirikiana na Taasisi ya Umoja
wa Mataifa, UNU-WIDER, iliyoko Finland
yamekamilika;
(viii) Maandalizi ya chapisho linaloelezea maisha ya Rais
Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mheshimiwa Benjamin
William Mkapa lilikamilika na liko kwenye hatua za
uchapishaji. Chapisho la Rais Mstaafu wa Awamu ya
Pili Mheshimiwa Ali Hassan Mwinyi linaendelea
kuandaliwa. Machapisho (memoirs) haya yanaelezea
maisha binafsi na michango ya Marais hawa Wastaafu
katika jamii, kabla, wakati na baada ya urais;
(ix) Jumla ya Machapisho manne (4) juu ya masuala ya
Uongozi na Maendeleo Endelevu yalitolewa; na
(x) Ushauri wa kitaalam ulitplewa kwa Wizara ya Sheria
na Katiba katika kuandaa Awamu ya pili ya Programu
ya Maboresho ya Sekta ya Sheria. Aidha, Taasisi
iliwezesha Tume ya Madini kutengeneza Mpango
Mkakati wake wa Mwaka 2018/19 – 2022/23.
d. MPANGO WA KURASIMISHA RASILIMALI NA
BIASHARA ZA WANYONGE TANZANIA
(MKURABITA)
30. Mheshimiwa Spika, Mpango wa Kurasimisha Rasilimali
na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA)
22
umeendelea kutekeleza Majukumu ya kuandaa na kusimamia
mfumo wa Kitaifa wa umiliki wa rasilimali na uendeshaji wa
Biashara nchini unaotambulika na kukubalika kisheria. Katika
kipindi cha Julai, 2018 hadi Machi, 2019. MKURABITA
imetekeleza kazi zifuatazo:-
(i) Wakulima 586 na viongozi 147 wa Vyama vya
wakulima wamejengewa uwezo wa kutumia Hati za
Haki Miliki za Kimila kupata Mitaji katika Benki na
Taasisi nyngine za Fedha katika Halmashauri za
Wilaya za Mvomero, Magu na Chamwino. Mafunzo
yaliyotolewa yamewezesha Wakulima 151 kufungua
akaunti katika benki. Aidha, katika kipindi cha
mafunzo Vyama viwili (2) vya Msingi vya Mazao na
Masoko (AMCOS) vilianzishwa katika Vijiji vya
Membe na Mahama Wilayani Chamwino;
(ii) Kwa kushirikiana na Halmashauri za Wilaya za
Singida na Njombe, Vituo viwili (2) vya Urasimishaji
wa Biashara (One Stop Formalization Centre)
vimeanzishwa katika Halmashauri ya Mji wa Njombe
na Manispaa ya Singida ambapo huduma muhimu za
utoaji leseni za biashara, utoaji wa Namba ya
Utambulisho wa Mlipa kodi (TIN), usajili wa jina la
biashara, huduma za benki na mifuko ya hifadhi ya
jamii zinapatikana sehemu moja. Aidha,
wafanyabiashara 1,527 wamepata mafunzo ya
urasimishaji na uendeshaji wa biashara.
Katika kipindi husika Vituo vimesajili biashara 738 na
wafanyabiashara 400 wamefungua akaunti katika
benki kwa ajili ya kuweka akiba na kukopa fedha ili
kujiongezea mitaji. Uanzishwaji wa Vituo vya
Urasimishaji wa Biashara katika Halmashauri ya
Manispaa ya Mtwara, Geita na Jiji la Tanga
unaendelea na utakamilika ifikapo Juni, 2019;
23
(iii) Urasimishaji wa biashara katika Wilaya za Magharibi
A, Unguja na Mkoani, Pemba umeanza ambapo
wafanyabiashara 100 watapata mafunzo na kusajiri
biashara zao;
(iv) Kwa kushirikiana na Ofisi za Taifa za Takwimu
Tanzania Bara na Zanzibar, MKURABITA imefanya
utafiti kuhusu Sekta isiyo Rasmi nchini kwa lengo la
kubaini ukubwa na thamani ya Sekta isiyo Rasmi.
Taratibu za kutoa tarifa kwa umma juu ya matokeo ya
tathmini hiyo zinaandaliwa;
(v) Mkakati wa Mawasiliano umepitiwa kwa kushirikiana
na wataalam kutoka Wizara za Kisekta ili kuandaa
Mkakati mpya kwa lengo la kuongeza ufanisi katika
kufanya mawasiliano kwa Umma. Taasisi hizo ni Ofisi
ya Rais TAMISEMI, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Chuo cha
Utumishi wa Umma, Tume ya Mipango Zanzibar,
Wizara ya Viwanda na Biashara na Wizara ya Ardhi,
Nyumba na Maendeleo ya Makazi;
(vi) Mikakati mbalimbali imetekelezwa na MKURABITA
kwa lengo la kujitangaza kwa wadau ikiwemo:
Kuandaa na kurusha vipindi 51 vya redio na Runinga
ambavyo vimerushwa TBC na ZBC. Adha,
vipeperushi 4,000 vimesambazwa kwa wadau. Vilevile
ziara ya wanahabari watano (5) kutoka vyombo
mbalimbali vya habari imefanyika katika maeneo
ambayo urasimishaji umefanyika;
(vii) MKURABITA imeingia makubaliano na benki ya
National Microfinance Bank (NMB) kwa ajili ya
utekelezaji wa Miradi ya majaribio ya Mfuko
Endelevu wa Urasimishaji wa Wilaya. Utekelezaji

24
umeanza katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa
ambapo Serikali imeweka fedha za dhamana katika
benki ya NMB ili kuziwezesha Halmashauri kukopa na
kuendesha shughuli za urasimishaji endelevu; na
(viii) Ufuatiliaji na tathmini ya utekelezaji wa shughuli za
urasimishaji umefanyika katika Halmashauri za
Wilaya za Urambo na Bariadi kwa Tanzania Bara ili
kuona mchango wa “Kituo Kimoja cha urasimishaji na
uendelezaji biashara” ambapo utekelezaji wa
urasimishaji biashara kwa kupitia Vituo
vilivyoanzishwa vya uendelezaji unarahisisha na
kuongeza ukusanyaji wa Mapato ya ada za leseni na
Kodi. Kwa upande wa Zanzibar, tathmini na ufuatiliaji
imefanyika katika Wilaya za Mjini Magharibi,
Kaskazini B, Kati, Wete na Chakechake.

e.MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII (TASAF)


31. Mheshimiwa Spika, Mfuko wa Maendeleo ya Jamii
umeendelea kutekeleza Awamu ya Tatu kwa kuyapa
kipaumbele maeneo ya Ukuzaji wa uchumi na kupunguza
umaskini wa kipato; Kuinua ubora wa maisha na ustawi wa
jamii; na Utawala bora na uwajibikaji. Kazi zilizotekelezwa
katika kipindi cha Julai, 2018 hadi Machi, 2019 ni kama
ifuatavyo:
(i) Ruzuku ya jumla ya Shilingi bilioni 163.5
lihawilishwa kwa kaya maskini 1,007,588
zilizoandikishwa zenye jumla ya watu zaidi ya milioni
5 Tanzania Bara na Zanzibar katika
Vijiji/Mitaa/Shehia 9,835. Kaya hizo zimeweza kupata
ruzuku hiyo kwa masharti ya lishe, afya na elimu;
(ii) Mpango wa kutoa ajira za muda umetekeleza miradi
3,567 kutoka katika Vijiji, Mitaa na Shehia zipatazo
25
2,590 ambapo kaya za walengwa 288,837 zilipata ajira
za muda katika Mamlaka za Serikali za Mitaa 42 na
Wilaya zote za Zanzibar. Miradi hiyo ina thamani ya
Shilingi bilioni 15.1. Miradi iliyotekelezwa ni pamoja
na ujenzi na ukarabati wa malambo ya maji, uanzishaji
wa vitalu vya miche ya miti, uchimbaji wa visima
vifupi, uboreshaji wa barabara, uhifadhi wa vyanzo
vya maji, na hifadhi ya mazingira. Aidha, watoa
huduma 152 wa ngazi ya jamii wamefundishwa namna
ya kusimamia miradi ya kutoa ajira za muda katika
Maeneo 19 ya Utekelezaji;
(iii) Uhakiki endelevu wa Kaya za Walengwa ili kubaini na
kuziondoa kaya zinazopoteza vigezo vya Mpango
uliendelea kufanyika. Katika kipindi cha Julai 2018
hadi Machi jumla ya kaya 4,840 zilibainika kupoteza
vigezo au sifa na kuondolewa katika Mpango kwa
sababu mbalimbali kama ifuatavyo:-
a. Kaya zilizokuwa na mwanakaya mmoja ambaye
alifariki au wote wamefariki ni hizi hutolewa
kila kipindi cha malipo;
b. Kaya zilizohamia Vijiji/Mitaa/Shehia ambapo
Mpango haujaanza kutekelezwa
ni 235. Kaya hizi huwa na fursa ya vya na
baadaye hutolewa kwenye Mpango;
c. Kaya ambazo hazikujitokeza mara mbili
mfululizo kupokea ruzuku na wakati wa
mzunguko wa tatu kuondolewa ni 3,774. Kaya
hizi hujifuta zenyewe kwenye Mpango au
kuondolewa;
d. Kaya ambazo baadhi ya wanakaya ni wajumbe

26
wa Kamati za Usimamizi za Jamii, Halmashauri
za Vijiji/Kamati za Mitaa, viongozi na watendaji
ni 9. Kaya hizi huondolewa mara moja kwenye
Mpango baada ya kubainika.
(iv) Miradi 97 ya miundombinu ya elimu, afya na maji
yenye thamani ya Shilingi bilioni 4.4 inaendelea
kutekelezwa katika Halmashauri 16 za Mikoa ya
Arusha, Njombe, Tanga, Mtwara na Tabora. Aidha,
wawezeshaji wa ngazi ya Halmashauri na wajumbe wa
kamati za usimamizi za jamii walipewa mafunzo
kuhusu taratibu za utekelezaji na usimamizi wa miradi
katika maeneo yao;
(v) Mfumo wa malipo kwa Walengwa kwa njia za
kielektroniki (kupitia mitandao ya simu na Benki)
umeandaliwa na majaribio yamefanyika katika
Mamlaka ya Maeneo ya utekelezaji 16 ambayo ni; Jiji
la Arusha, Manispaa ya Ilala, Manispaa ya Kinondoni,
Manispaa ya Temeke, Halmashauri ya Bahi, Mpanda
Mji, Halmashauri ya Siha, Halmashauri ya Kilwa,
Halmashauri ya Bagamoyo, Halmashauri ya
Kisarawe,Manispaa ya Kigoma – Ujiji, Halmashauri
yaMkuranga, Manispaa ya Songea, Halmashauri ya
Urambo, Halmashauri ya Muheza, na Halmashauri
zote Unguja na Pemba kwa upande wa Zanzibar. Hadi
kufikia Machi, 2019 Walengwa 55,763 wamenufaika
na shilingi bilioni 16.2 zimelipwa kwa kutuma njia
hiyo;
(vi) Miongozo ya utekelezaji wa shughuli za kuweka akiba
na kukuza uchumi wa kaya ilikamilika na kuanza
kutumika. Jumla ya vikundi vya kuweka akiba 11,769
vyenye walengwa 151,821 vimeundwa katika
Mamlaka ya Maeneo ya Utekelezaji 44. Vikundi hivyo
27
vimeweza kuweka jumla ya akiba ya shilingi bilioni 2
na kukopeshana shilingi milioni 802;
(vii) Mfumo wa Teknolojia, Habari na Mawasiliano
(TEHAMA) wa utunzaji wa kumbukumbu za
walengwa, uendeshaji na utoaji taarifa umeendelea
kuboreshwa na kuimarishwa. Aidha, Mfumo wa
kuwasilisha na kupokea malalamiko umekamilika na
umeanza kutumika katika maeneo yote ya utekelezaji
Mifumo ya TASAF imeunganishwa na mifumo
mingine ya kitaifa kama vile NIDA na Malipo
Mtandao (Government e-Payment Gateway). Aidha,
Kituo cha Huduma kwa Wateja kimeanzishwa TASAF
Makao Makuu;
(viii) Tathimini ya kupima matokeo na manufaa ya
utekelezaji wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini
imefanyika. Ofisi ya Taifa yaTakwimu kwa Tanzania
Bara na Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Serikali kwa
Zanzibar zimekamilisha kazi ya kukusanya taarifa za
kiutafiti za Awamu ya Kati kutoka maeneo mbalimbali
(Midline survey). Kazi ya kuchambua taarifa hizo
imekamilika na imeonesha mafanikio katika kuboresha
maisha ya walengwa kama ifuatavyo:-
(a) Kupungua kwa kiwango cha umaskini uliokithiri
kwa kuongeza upatikanaji wa mahitaji ya msingi
katika kaya;
(b) Ongezeko la upatikanaji wa vyakula vya aina
mbalimbali ambavyo vinasaidia kuongeza uwezo
wa watoto kujifunza na watu wazima kufanya
kazi za uzalishaji;
(c) Ongezeko la uandikishwaji na mahudhurio ya

28
watoto kutoka kaya masikini shuleni;
(d) Ongezeko la matumizi ya huduma za afya
miongoni mwa kaya za walengwa na
kuongezeka kwa mahudhurio kwenye vituo vya
kutolea huduma za afya kwa watoto wenye umri
kati ya miezi 0-24 kutoka Kaya Maskini;
(e) Kuongezeka kwa akiba na rasilimali za kaya
ambazo zinawezesha kaya kujikinga na majanga;
(f) Kuongezeka kwa shughuli za kilimo na
matumizi ya pembejeo ambazo zinaongeza tija
kwenye uzalishaji;
(g) Kuchochea uwekezaji katika shughuli zisizo za
kilimo na kuongeza ajira; na
(h) Kuboresha makazi ya Kaya.
(ix) Mapitio ya pamoja ya Timu ya Serikali na Washirika
wa Maendeleo kuhusu utekelezaji wa shughuli za
Mpango yamefanyika katika vipindi viwili , Oktoba
17 - 25, 2018 na Desemba 03 - 07, 2018. Taarifa zote
za mapitio zimeonesha utekelezaji wa Mpango
unaenda vizuri na unawasaidia Walengwa kuondokana
na umaskini na kuwajengea uwezo wa kiuchumi na
kuwaendeleza watoto katika afya na elimu bora;
(x) Maandalizi ya kipindi cha pili cha Mpango wa
Kunusuru Kaya Maskini (Productive Social Safety Net
PSSN II) yamekamilika na utekelezaji unatarajiwa
kuanzia Julai, 2019. Lengo kubwa likiwa ni kuwafikia
wananchi wote maskini katika Vijiji/Mitaa yote ya
Tanzania Bara na Shehia zote za Tanzania Zanzibar.
Utekelezaji wake utakuwa wa miaka mitano (5).

29
Msisitizo mkubwa wa Serikali katika Kipindi cha Pili
ni Walengwa kufanya kazi zaidi na kujishughulisha na
shughuli za uzalishaji na kuongeza kipato; na
(xi) Ukaguzi wa ndani ulifanyika ili kuhakikisha kama
fedha zilitumika ipasavyo katika utekelezaji wa
Mpango wa TASAF Awamu ya Tatu kwa mwaka wa
fedha 2017/18. Ukaguzi ulifanyika TASAF Makao
Makuu pamoja na Maeneo yote 161 ya Utekelezaji.
Aidha, Wakaguzi wa nje kutoka Ofisi ya Taifa ya
Ukaguzi (NAO) walifanya ukaguzi wa uhawilishaji
fedha kwa walengwa, ununuzi, uendeshaji na thamani
ya fedha. Matokeo ya ukaguzi huo yalikuwa mazuri na
kuwezesha kupata hati safi.
f. MFUKO WA RAIS WA KUJITEGEMEA
32. Mheshimiwa Spika, Majukumu ya Mfuko wa Rais wa
Kujitegemea yameendelea kutekelezwa kupitia huduma ya
utoaji wa mikopo mbalimbali kwa wajasiriamali wadogo na
wa kati. Aidha, Huduma za ushauri na mafunzo ya kibiashara
yameendelea kutekelezwa. Baadhi ya kazi zilizotekelezwa
katika kipindi cha Julai, 2018 hadi Machi, 2019 ni kama
ifuatavyo:-
(i) Mikopo 2,556 yenye thamani ya Shilingi bilioni 2.05
ilitolewa kwa vijana waliohitimu mafunzo katika Vyuo
vya Ufundi Stadi vinavyotambuliwa na VETA na
SIDO na wanawake wajasiriamali katika Mikoa ya Dar
es Salaam, Pwani, Morogoro, Njombe na Lindi;
(ii) Walengwa 3,794 wa Mfuko walipata mafunzo ya
ujasiriamali wa namna ya kujitambua na taratibu za
mikopo ya Mfuko. Aidha, mafunzo kuhusu uendeshaji
wa miradi endelevu kwa wateja 1,337 yalitolewa;
(iii) Taratibu za awali za kufungua tawi Bukoba Vijijini
30
zilifanyika;
(iv) Vituo vipya vya huduma Iringa Mjini na Urambo
Mjini vilifunguliwa mwezi Julai, 2018;
(v) Utafiti kuhusu huduma za mikopo kwa walengwa
kwenye Wilaya ya Bukoba, Wilaya ya Urambo na
Wilaya ya Kakonko ulifanyika na kubaini kuwa
utayari na uhitaji wa huduma za mikopo ni mkubwa na
hivyo ni fursa nzuri kwa Mfuko; na
(vi) Maofisa mikopo 30 walipata mafunzo ya utoaji
huduma na sera za mikopo.
OFISI YA RAIS, SEKRETARIETI YA MAADILI YA
VIONGOZI WA UMMA
33. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha wa 2018/19
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ilitengewa
Shilingi 11,511,874,000. Kati ya fedha hizo Shilingi
7,461,874,000 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na
Shilingi 4,050,000,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.
Hadi kufikia Machi, 2019 Shilingi
4,683,239,577.21 Matumizi ya Kawaida zilipokelewa na
kutumika. Kwa upande wa Miradi ya Maendeleo, Shilingi
1,030,744,696.91 zilipokelewa na kutumika.

34. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai, 2018 hadi


Machi, 2019 shughuli zifuatazo zilitekelezwa:-
(i) Malalamiko 146 ya ukiukwaji wa maadili dhidi ya
Viongozi wa Umma yalipokelewa na
kuchambuliwa. Kati ya malalamiko hayo,
malalamiko 100 yalihusu Sheria ya Maadili ya
Viongozi na malalamiko 46 hayakuhusu Sheria ya
Maadili ya Viongozi wa Umma. Malalamiko
ambayo si ya kisheria yanajumuisha maeneo ya

31
migogoro ya ardhí, rushwa, jinai, nk. Uchunguzi
wa awali umefanyika kwa malalamiko yote
yanayohusu ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya
Viongozi wa Umma na walalamikaji kupewa
mrejesho. Kwa yale malalamiko ambayo
hayakuhusu ukiukwaji wa Sheria ya Maadili ya
Viongozi wa Umma walalamikaji walipewa ushauri
na mengine yalielekezwa kwenye Mamlaka
zinazohusika;
(ii) Jumla ya Viongozi wa Umma 13,945 ambao ni
sawa na asilimia 89 kati ya Viongozi 15,937
wamerejesha Fomu za Tamko la Rasilimali na
Madeni kwa kipindi kilichoishia tarehe 31
Desemba, 2018 ikilinganishwa na Viongozi 15,391
waliorejesha kipindi kama hicho mwaka Wengi wa
Viongozi ambao hawakurejesha Tamko kwa wakati
walitokea katika kanda za: Dar es Salaam (525);
Kusini (263) na Nyanda za Juu Kusini (225).
Viongozi walioshindwa kurejesha Matamko yao
kwa wakati wametumiwa barua za kukumbushwa
na wale ambao hawatatoa sababu za msingi za
kutorejesha kwa wakati watafikishwa katika Baraza
la Maadili;
(iii) Viongozi 2,000 walipangwa kuhakikiwa katika
mwaka wa fedha 2018/19. Awamu ya kwanza ya
uhakiki wa viongozi imehusisha viongozi 594 kati
ya 1,000 waliopangwa kuhakikiwa. Viongozi
waliosalia hawakuhakikiwa kutokana na sababu
mbalimbali ikiwemo uhaba wa fedha. Viongozi
walioonekana kuwa na tofauti au kasoro katika
matamko yao wametakiwa kutoa maelezo ya
kasoro au tofauti hizo na wale ambao hawatakuwa
32
na maelezo yatakayoridhisha watafikishwa kwenye
Baraza la Maadili kwa uchunguzi wa kina;
(iv) Elimu kwa umma ilitolewa kwa viongozi na
watumishi wa Taasisi mbalimbali za umma juu ya
Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma (sura ya
398) ikijumuisha elimu kuhusu Hati ya Ahadi ya
Uadilifu. Jumla ya Viongozi wa Umma 1,945,
Watumishi wa Umma 6,673 na wananchi 10,852
walipatiwa elimu kuhusu Maadili ya Viongozi wa
Umma kupitia warsha na semina. Aidha, kupitia
vipindi vya Radio hususan zile za kijamii,
Sekretariati imerusha zaidi ya vipindi 80 kupitia
radio za: Planet FM (Morogoro), Safari FM
(Mtwara); Alternative FM (Dodoma) na Nuru FM
(Iringa). Radio hizi zinarusha kipindi cha maadili
mara moja kwa wiki kwa mwaka mzima. Vilevile,
vipindi vingine vilirushwa na Radio za: Uhai FM
na Voice of Tabora - VoT FM (Tabora); TBC Taifa
FM (Dar es Salaam); Arusha One FM (Arusha), na
Luki FM, Lulu FM, Highland FM, na Big Star FM
(Mbeya);
(v) Siku ya Maadili Kitaifa iliadhimishwa Kitaifa
Mkoani Dodoma tarehe 10 Desemba, 2018 kwa
kushirikiana na Taasisi za Serikali zinazosimamia
masuala ya utawala bora, uwajibikaji, haki za
binadamu, mapambano dhidi ya rushwa na maadili.
Maadhimisho ya Siku hii yalienda sambamba na
Sekretarieti kugawa vifaa kwa baadhi ya shule za
msingi na sekondari ambazo ni wanachama wa
Klabu za Maadili;
(vi) Jumla ya Viongozi Wakuu wa Kitaifa 63

33
ikijumuisha Mawaziri na Makatibu Wakuu
walisaini Hati ya Ahadi ya Uadilifu wakati
walipoapishwa kushika nyadhifa mbalimbali ikiwa
ni moja ya eneo la kuwakumbusha Viongozi kuwa
waadilifu kwa kutimiza wajibu wao na kuepuka
mgongano wa masilahi. Aidha, wale ambao
hawajasaini Hati ya Ahadi ya Uadilifu wanaendelea
kupewa elimu juu ya umuhimu wa kusaini hati
hiyo;
(vii) Rasimu ya Kanuni za Maadili kwa ajili ya
utekelezaji wa Sheria ya Maadili ya Viongozi wa
Umma imeandaliwa na maoni ya wadau
mbalimbali yanaendelea kupokelewa ili kuboresha
kanuni husika;
(viii) Mdahalo wa Kitaifa kuhusu suala la Mgongano wa
Maslahi ulioshirikisha wadau mbalimbali
uliandaliwa na kufanyika mwezi Desemba,
Dodoma;
(ix) Ujenzi wa Ofisi za Sekretarieti ya Maadili Makao
Makuu Dodoma unaendelea na uko kwenye hatua
ya msingi; na
(x) Ujazaji Tamko la Rasilimali na Madeni kwa njia ya
mtandao upo katika hatua za kujenga mfumo
ambapo Kituo cha Kompyuta cha Chuo Kikuu cha
Dar es Salaam kinaandaa rasimu ya mwanzo ya
muundo wa mfumo.

34
OFISI YA RAIS MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA
UMMA NA WAKALA ZILIZO CHINI YAKE
a.Menejimenti ya Utumishi wa Umma
35. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha wa 2018/19,
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma: Fungu 32
inayojumuisha Wakala zilizo chini yake iliidhinishiwa jumla
ya Shilingi 41,403,499,261.00 kwa ajili ya utekelezaji wa
Mpango wa mwaka. Kati ya fedha hizo, Shilingi
30,464,499,261.00 ziliidhinishwa kwa ajili ya 42
Matumizi ya Kawaida na Shilingi 10,939,000,000.00 kwa
ajili ya utekelezaji wa Miradi ya Maendeleo, Hadi kufikia
mwezi Machi, 2019 kiasi cha Shilingi 28,934,685,773.36
zilikuwa zimepokelewa. Jumla ya Shilingi
28,934,685,773.36 zimetumika hadi Machi, 2019.

36. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya


Utumishi wa Umma pamoja na Wakala zake imeendelea
kutekeleza majukumu yake ya msingi ya kuhakikisha kuwa
Utumishi wa Umma unaendeshwa kwa kuzingatia misingi ya
Utawala Bora. Aidha, watumishi wa umma wanawajibika
kuwa wasikivu kwa wananchi, pale wanapotoa huduma
mbalimbali kwa kuzingatia Sera, Sheria, Kanuni na Taratibu
zilizowekwa.

37. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha kuanzia Julai,


2018 hadi Machi, 2019 Ofisi ya Rais, Menejimenti ya
Utumishi wa Umma ilitekeleza shughuli zifuatazo:-
(i) Taasisi za Serikali zimejengewa uwezo wa
kuandaa nyaraka zinazozingatia utafiti (Evidence
Based Policy – EBP) pamoja na kuandaa Sera za
Kisekta zilizowianishwa ili kuondoa migongano
na urudufu wakati wa utekelezaji kwa kutumia
wajumbe wa timu ya Sera inayojumuisha

35
wataalamu kutoka Serikalini waliopo katika
Wizara mbalimbali na ambao walifunzwa
ipasavyo;
(ii) Miundo 38 ya Maendeleo ya Utumishi
imehuishwa, kuwianishwa na kuoanishwa na
mishahara ya Watumishi wa Umma katika Taasisi
na Mashirika ya Umma;
(iii) Nyaraka za kiutumishi za kuanzishwa kwa Mfuko
wa Hifadhi ya Jamii wa Watumishi wa Umma
(PSSSF) zimeandaliwa. Vile vile, Tume ya
Madini, Hospitali ya Benjamini Mkapa, Taasisi
ya Utafiti wa Kilimo (TARI) na Taasisi ya Utafiti
wa Mifugo (TALIRI) nazo zilipata huduma;
(iv) Ufuatiliaji wa utekelezaji na ujumuishwaji wa
masuala ya Anuai za Jamii (Jinsia, UKIMWI na
Ulemavu) katika Taasisi za Umma 25
umefanyika;
(v) Mkutano wa ujumuishwaji wa masuala ya Jinsia
Mahala Pa Kazi umefanyika kwa Wakurugenzi
Wasaidizi wa Utawala na Rasilimaliwatu kutoka
Wizara 23, Ofisi ya Rais – Ikulu, Ofisi ya Waziri
Mkuu na Ofisi ya Makamu wa Rais.
(vi) Malalamiko 708 yanayotokana na ukiukwaji wa
Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo
yamepokelewa. Kati ya hayo, malalamiko 515
sawa na asilimia 72 yalishughulikiwa na
yaliyobaki yanaendelea kushughulikiwa.
Malalamiko haya yanahusiana na masuala ya
upandishwaji vyeo, stahili za ajira,usitishwaji wa
ajira, mafao ya hitimisho la kazi, nidhamu, fidia

36
ya kuumia na kufariki kazini. Vile vile, hoja 433
kuhusu uteuzi, mikataba ya ajira, uhamisho,
likizo bila malipo zimepokelewa ambapo hoja
405 sawa asilimia 94 zimejibiwa;
(vii) Ofisi imeshughulikia na kuwezesha utoaji wa
Vibali vya uhamisho 13,417, Kushikizwa
Kuazimwa 460 na Likizo Bila Malipo 216 kwa
watumishi na baina ya waajiri mbalimbali.
Aidha, Ofisi hii imesaidia kupatikana kwa
watumishi kwa njia ya uhamisho kwa Taasisi
mbalimbali. Taasisi hizo ni pamoja na NSSF,
PSSSF, Tume ya Madini, TASAC, Taasisi ya
Utafiti wa Kilimo Tanzania, Hospitali za Rufaa za
Mikoa (RRHs), ofisi ya wakili mkuu wa serikali
,ofisi ya Taifa ya mashitaka ,Ofisi ya
Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Wakala ya Vyuo
vya Mafunzo ya Mifugo Tanzania (LITA);
(viii) Mapendekezo ya nafasi za uteuzi 1,332
yalipokelewa, kati ya hayo, 1,074 sawa na
asilimia 81 yalirejeshwa kwa waajiri baada ya
taratibu kukamilika. Aidha, vibali vya uteuzi 50
vilitolewa kwa nafasi za uongozi na mikataba ya
ajira 74 ilishughulikiwa;
(ix) Vikao Kazi vitatu (3) vilifanyika vilivyohusisha
Ofisi ya Rais na Waajiri kuhimiza utendaji kazi
wenye matokeo;
(x) Vibali vya ajira mpya na mbadala vyenye nafasi
41,698 kwa kada mbalimbali vimetolewa;
(xi) Watumishi wa Umma 27,439 wa Kada
mbalimbali walipandishwa vyeo;

37
(xii) Madai ya malimbikizo ya Mishahara ya
Watumishi wa Umma 34,346 yenye thamani ya
Shilingi. 79,855,525,090.03 yamepokelewa kati
ya madai hayo madai ya watumishi wa Umma
12,663 yenye thamani ya Shilingi.
29,095,985,072.78 yamehakikiwa na
kuidhinishwa kwa ajili ya uhakiki wa mwisho wa
Wizara ya Fedha na Mipango kabla ya malipo.
Aidha, madai ya Watumishi wa Umma 21,683
yenye thamani ya Shilingi. 50,759,540,017.25
yanaendelea kuhakikiwa;
(xiii) Mafunzo ya namna ya kutumia Mfumo wa
Taarifa za Kiutumishi na Mishahara yametolewa
kwa maafisa Rasilimaliwatu 76 kutoka Wizara,
Idara zinazojitegemea, Sekretarieti za Mikoa na
Mamlaka za Serikali za Mitaa;
(xiv) Miundo na Mgawanyo wa Majukumu ya Wizara,
Idara zinazojitegemea, Wakala za Serikali na
Mashirika ya Umma ambapo jumla ya miundo na
mgawanyo wa majukumu 71 (Wizara 17, Idara
Zinazojitegemea 17, Wakala za Serikali 16 na
Mashirika ya Umma 21) imeidhinishwa na
kuanza kutumika;
(xv) Taasisi tano (5) zimewezeshwa kuandaa mahitaji
ya watumishi na Maelezo ya Kazi kwa ajili ya
kutekeleza majukumu na kazi za Miundo ya
Taasisi iliyoidhinishwa. Taasisi hizo ni Ofisi ya
Bunge, Tume ya Haki za Binadamu na Utawala
Bora, Wakala ya Vipimo (WMA), Mfuko wa
Bima ya Afya (NHIF), Ofisi ya Taifa ya

38
Mashtaka na Bodi ya Utalii Tanzania (TTB);
(xvii) Upatikanaji wa fursa za Mafunzo ya Watumishi
wa Umma 801 waliofadhiliwa na Washirika wa
Maendeleo uliratibiwa kwa nchi mbalimbali:
Jamhuri ya Korea (51), India (273), JICA (115),
China (277), Uholanzi (46) na Australia (39);
(xviii) Utekelezaji wa utoaji wa Mafunzo Elekezi kwa
waajiriwa wapya katika Utumishi wa Umma
kwenye Wizara, ulifuatiliwa na kubaini kuwa;
jumla ya watumishi 586 wamepatiwa mafunzo
elekezi kupitia Chuo cha Mahakama (23), Chuo
cha Utumishi wa Umma (515) na Chuo cha
Serikali za Mitaa- Hombolo (209);
(xix) Taasisi saba (7) zilijengewa uwezo wa namna ya
kufanya tathmini ya mahitaji ya mafunzo na
kuandaa Mipango ya Mafunzo. Taasisi hizo ni
Mamlaka ya Bandari Tanzania, Shirika la
Viwango Tanzania, Wizara ya Afya Maendeleo
ya Jamii, Jinsia Wanawake, Wazee na Watoto,
Chuo cha Maendeleo ya Jamii Tengeru, Tume ya
Maendeleo ya Ushirika Tanzania, Taasisi ya
Uhasibu Tanzania na Mamlaka ya Udhibiti wa
Ununuzi wa Umma;
(xix) Taasisi mbili zimewezeshwa kuandaa Mipango
ya Rasilimaliwatu ambazo ni Mahakama ya
Tanzania, na Baraza la Taifa la Uhifadhi wa
Mazingira (NEMC). Aidha, Ofisi imewezesha
Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma
kuandaa mpango wa kurithishana madaraka;
(xx) Usanifu wa mfumo wa Taarifa za Kiutumishi na

39
Mishahara (HCMIS) umekamilika mwezi
Desemba, 2018. Ujenzi wa mfumo uliosanifiwa
unaendelea na unatarajia kukamilika mwezi Juni,
2019;
(xxi) Maandalizi ya uanzishwaji wa Vituo vya Huduma
Pamoja yamekamilishwa kwa kushirikiana na
wadau. Uanzishwaji wa Vituo hivyo utafanyika
Mwaka Fedha 2019/ 20;
(xxii) Maandalizi ya awali ya zoezi la tathmini ya
wataalamu wa TEHAMA yamefanyika na
kukamilika. Zoezi rasmi la tathmini litafanyika
Mwaka Fedha 2019/20;
(xxiii) Ufuatiliaji wa uzingatiaji wa Mwongozo wa
Serikali Mtandao ulifanyika kwa Taasisi zote za
Umma katika matumizi ya Intaneti, mitandao ya
kijamii na tovuti za Serikali;
(xxiv) Mpango Mkuu wa Utekelezaji wa Serikali
Mtandao (e-Government Master Plan)
umeandaliwa kwa hatua za awali;
(xxv) Maandalizi ya Programu ya Digital Tanzania
yaliratibiwa na sasa Programu ipo katika hatua za
mwishi kabla ya kuanza utekelezaji;
(xxvi) Utekelezaji wa Mfumo wa Mikataba ya Utendaji
Kazi serikalini umeidhinishwa na mwongozo
wake umesambazwa katika Taasisi za Umma 472
(Wizara 22, Idara zinazojitegemea 28, Wakala za
Serikali 29, Sekretarieti za Mikoa 26, Mamlaka
za Serikali za Mitaa 184 na mashirika ya Umma
183);
(xxvii) Taasisi za Umma zimejengewa uwezo kuhusu

40
utekelezaji wa Mfumo wa Wazi wa
Mapitio na Tathmini ya Utendaji Kazi (OPRAS)
kwa watumishi wa Umma;
(xxviii) Kampeni za Maadili zimefanyika kwa kufanya
mafunzo ya Maadili ya Utendaji kwa
Menejimenti 31 za Taasisi za Umma;
(xxix) Uhamasishaji wa Ukuzaji wa Maadili
umeendelea kufanyika, watumishi 1,979 kutoka
taasisi 26 za umma wamepatiwa mafunzo ya
Maadili na Vipindi 30 vinavyohusu Ukuzaji wa
maadili katika Utumishi wa Umma
vimeandaliwa, kurekodiwa na kurusha vipindi
imetolewa na vituo vya redio nchini;
(xxx) Uhamasishaji wa Uadilifu katika Utumishi wa
Umma umefanyika katika wiki ya uadilifu na
kuhitimishwa Kitaifa tarehe 10/12/2018 kwa
kushirikiana na Taasisi zinazozimisha maadili
katika Utumishi wa Umma;
(xxxi) Ufuatiliaji wa uzingatiaji wa Maadili kwa mwaka
2018/2019 umefanyika katika Taasisi za Umma
20. Aidha matokeo ya Ufuatiliaji wa Uzingatiaji
wa Maadili kwa mwaka 2017/2018 yameonesha
kiwango cha uzingatiaji wa Maadili cha Taasisi
13 zilizofanyiwa ufuatiliaji kimefikia 75.5%
ambapo mashauri ya nidhamu 101 kati ya 133
yaliyoanzishwa yalikamilishwa;
(xxxii) Ufuatiliaji wa ushughulikiaji wa malalamiko ya
wananchi katika Taasisi 623 yaliyopokelewa
umeonyesha kuwa malalamiko 357 (57.3%)
yaliyoshughulikiwa;

41
(xxxiii) Utekelezaji wa Ahadi za Uadilifu unaendelea
ambapo jumla ya watumishi 180,429 kutoka
taasisi 180 wamejaza Ahadi ya Uadilifu na taarifa
za watumishi hao kuweka katika Mfumo wa
Taarifa za Kiutumishi na Mishahara (HCMIS);
(xxxiv) Serikali kupitia Watumishi Housing
imekamilisha ujenzi wa nyumba 271 kwa ajili ya
kuuza katika Mkoa wa Dar-es- salaam (162),
Morogoro (50) na Mwanza (59) Wilaya ya Magu
eneo la Kisesa. Ujenzi wa nyumba 92 katika jiji la
Dodoma unaendelea. Aidha, nyumba 7 kwa ajili
ya jeshi la polisi katika wilaya mpya ya
Nyang’wale Mkoa wa Geita zilikamilika na zipo
tayari kukabidhiwa;
(xxxv) Huduma kwa viongozi wakuu wa kitaifa
wastaafu iliendelea kutolewa kwa mujibu wa
sheria.

b. Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC)


38. Mheshimiwa Spika, Chuo cha Utumishi wa Umma
Tanzania kilianzishwa ili kutoa mafunzo, ushauri, kufanya
utafiti tumizi na kutoa machapisho mbalimbali katika nyanja
za Uongozi, Menejimenti na Utawala. Aidha, Chuo
kinaendesha kozi za kitaaluma kwa ngazi za Cheti, Stashahada
na Shahada katika nyanja za Uhazili, Utunzaji Kumbukumbu,
Menejimenti ya Rasilimaliwatu, Utawala na Ununuzi ya
Umma. Chuo kinatekeleza majukumu hayo katika Kampasi
sita zilizoko kwenye Mikoa ya Dar es Salaam, Tabora,
Mtwara, Singida, Tanga na Mbeya. Katika kipindi cha Julai,
2018 hadi Machi, 2019 shughuli zifuatazo zimetekelezwa:
(i) Watumishi wa Umma 536 walipatiwa mafunzo ya
kujiandaa kufanya Mitihani ya Utumishi wa

42
Umma hiyo ni sawa na asilimia 38 ya Watumishi
waliolengwa;
(ii) Watumishi wa Umma 1,980 wamepatiwa
Mafunzo yahusuyo Uongozi na Maendeleo;
pamoja na Manejimenti na Usimamizi wa Ofisi
katika Taasisi za umma, hiyo ikiwa ni sawa na
asilimia 58 ya lengo la mwaka;
(iii) Mafunzo ya Awali yalitolewa kwa Watumishi wa
Umma wapatao 515 sawa na asilimia 44 ya lengo
la mwaka, pia hamasa kwa waajiri ilitolewa kwa
waajili kuwasisitiza kupeleka watumishi kupata
mafunzo ya awali mara baada ya kuajiriwa;
(iv) Wanafunzi 9,793 walidahiliwa katika ngazi ya
Shahada ya Kwanza, Stashahada na Cheti, kwa
ajili ya mafunzo ya muda mrefu katika fani za
utunzaji wa kumbukumbu, uhazili, kompyuta,
utunzaji wa fedha za umma, na Menejimenti ya
Rasilimaliwatu, usimamizi wa ununuzi ya umma,
uongozi na utawala bora;
(v) Maandiko ya ushauri katika maeneo matano (5)
ya kitaalamu yameandaliwa na kuwasilishwa
kwa wateja. Aidha, shauri katika maeneo matatu
(3) ya kitaalam katika Menejimenti ya Utumishi
wa Umma ulitolewa;
(vi) Makala saba za kitaalamu katika Utumishi wa
Umma zimechapishwa katika majarida
mbalimbali ndani na nje ya nchi. Aidha, Jarida
moja la Chuo cha Utumishi wa Umma (TPSC
Journal) lipo katika hatua za uchapishaji;
(vii) Watumishi 165 wa Chuo cha Utumishi wa Umma

43
wamewezeshwa kujenga uwezo katika taaluma
mbalimbali, kama ifuatavyo: Shahada ya uzamivu
11, Shahada ya uzamili 10 na mafunzo ya muda
mfupi watumishi 144;
(viii) Ujenzi wa jengo la ghorofa mbili (2) kwa awamu
ya pili ya jengo litakalotumika kwa ajili ya
madarasa, maktaba na ofisi katika Kampasi ya
Tabora umeendelea;
(ix) Mradi wa ukarabati wa jengo la Chuo lililopo
Dodoma utaanza hivi karibuni kwa kuwa taratibu
za kumpata Mkandarasi zimekamilika;
(x) Ukarabati wa mfumo wa umeme na kuweka
mfumo wa mawasiliano ya ndani ya
kielektroniki (LAN) katika majengo ya Kampasi
ya Dar es Salaam, ulifanyika na kukamilika kama
ulivyopangwa; na
(xi) Ukarabati wa Hostel za Kampasi ya Tabora,
ulifanyika na kukamilika kama ulivyopangwa.

c. Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao


(TaGLA)
39. Mheshimiwa Spika, Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya
Mtandao (TaGLA) ina jukumu la kuwajengea uwezo
Watumishi wa Umma na Sekta binafsi kwenye maeneo
mbalimbali kwa kuratibu na kuendesha mafunzo na midahalo
maalum ya muda mfupi kwa kutumia Teknolojia ya Habari na
Mawasiliano ili kuhimili kasi ya mabadiliko ya utoaji wa
huduma kwa wananchi.

40. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha kuanzia Julai,


2018 hadi Machi 2019 Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya
Mtandao imetekeleza kazi zifuatazo:-

44
(i) Mafunzo yametolewa kwa washiriki 1,060 kutoka
Wizara, Idara Zinazojitegemea, Wakala za
Serikali na sekta binafsi. Mafunzo haya
yalitolewa katika maeneo ya Uongozi, Utawala
Bora, Maadili, Anuai za Jamii, Mazingira,
Kupunguza Umaskini, Afya na Stadi za kazi;
(ii) Midahalo kumi 10 kwa mtandao wa video ndani
na nje ya Nchi imeratibiwa. Midahalo hii ni
pamoja na Majiji Endelevu, Magonjwa
Yasiyoambukiza na matumizi ya TEHAMA
Serikalini;
(iii) Mikutano ya kazi kwa njia ya video kwa Wizara,
Idara Zinazojitegemea, Wakala, Mashirika ya
Umma na Sekretarieti za Mikoa iliratibiwa. Jumla
wa watumishi 250 walishiriki katika wa mikutano
hii;
(iv) Mashauri manne (4) ya mahakama ya kesi
zilizohusisha mashahidi yaliratibiwa kutoka nje
ya nchi kwa njia ya video kutoka Marekani na
Uholanzi na kwa kushirikiana na Tume ya
Upatanishi na Usuluhishi (CMA);
(v) Kuongeza wigo wa huduma za Wakala kuwafikia
wateja 311 waliopo mikoani ikiwemo Arusha,
Mwanza na Morogoro;
(vi) Kuongeza ushirikiano na taasisi za ndani na nje
ya nchi katika kutoa mafunzo na midahalo ya
maendeleo, kwa mwaka huu tumeongeza taasisi
tano; na
(vii) Watumishi 21 wamepata mafunzo ya muda
mfupi ndani na nje ya Nchini, kati yao watumishi

45
17 wamepata mafunzo ya usalama na zimamoto
mahali pa kazi, watumishi watatu (3) wamepata
mafunzo nje ya Nchi ili kuboresha utendaji kazi
na mtumishi mmoja (1) amepata mafunzo ya
kujiandaa kustaafu. Aidha, mtumishi mmoja (1)
anaendelea na mafunzo ya Shahada ya Uzamili
katika fani ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu.

d. Wakala ya Serikali Mtandao (eGA)


41. Mheshimiwa Spika, Wakala ya Serikali Mtandao (eGA)
ina jukumu la kutekeleza Sera ya Teknolojia ya Habari na
Mawasiliano (TEHAMA) ya Mwaka 2016 katika Utumishi wa
Umma ili kuongeza ufanisi na uwajibikaji katika utoaji wa
huduma kwa wananchi. Aidha, Wakala ina jukumu la kuratibu
na kusimamia matumizi ya TEHAMA Serikalini ili
kuwezesha utoaji wa huduma bora kwa wananchi kwa
usalama, urahisi na kwa gharama nafuu.

42. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai, 2018 hadi


Machi, 2019, Wakala imetekeleza shughuli zifuatazo:-
(i) Wakala ikishirikiana na Wizara ya Fedha na
Mipango imefanikiwa kuongeza Taasisi za
Umma zilizounganishwa kwenye Mfumo wa
Kielektroniki wa Ukusanyaji Mapato ya Serikali
(GePG) kutoka Taasisi 28 zilizotolewa taarifa
kwenye bunge lililopita la bajeti mpaka Taasisi
355 zinazojumuisha TANESCO (LUKU), TRA,
TPA, EWURA;
(ii) Kwa kushirikiana na Chuo Kikuu cha Dodoma,
ukamilishaji wa ukarabati wa Kituo Kidogo cha
Utafiti, Ubunifu na Maendeleo ya Serikali
Mtandao upo hatua za mwisho. Vile vile, mradi

46
mkubwa wa kuwa na Kituo hicho unafanyiwa
maandalizi ya mwisho na fedha zimetengwa
katika bajeti ijayo;
(iii) Matumizi ya Mifumo na Miundombinu shirikishi
ya TEHAMA Serikalini yamesimamiwa na
kuboreshwa ili kuongeza ufanisi na usalama wa
taarifa za Serikali pamoja na kupunguza gharama
ya uhifadhi na uendeshaji wa mifumo ya Taasisi
za Serikali. Mifumo na Miundombinu hiyo ni
pamoja na Vituo Vikuu vya Kuhifadhi Mifumo
na Taarifa za Serikali (Government Data
Centres) kwa kuongeza Taasisi mpya 13 hivyo
kufanya jumla ya taasisi zilizohifadhi mifumo na
taarifa zao kufikia 43, Mfumo wa barua pepe
Serikalini (GMS) kwa kuongeza taasisi mpya 39
na kufanya jumla ya taasisi zilizounganishwa
kufikia 398, Mfumo wa Ofisi Mtandao (e-office)
kwa kuongeza taasisi mpya 15 na kufanya
jumla ya taasisi zilizounganishwa kufikia 48,
Mfumo wa kutoa huduma kwa Umma kupitia
simu za Mkononi (Government Mobile Platform
(GMP) kwa kuongeza taasisi mpya 24 na kufanya
jumla ya taasisi zilizounganishwa kufikia 146,
Mfumo wa vibali vya kusafiria nje ya nchi (e-
Vibali) kwa kuziunganisha jumla ya Taasisi 374;
(iv) Mafunzo ya utekelezaji wa Serikali Mtandao
yametolewa kwa Viongozi, Wasimamizi wa
TEHAMA na watumiaji wa huduma za Serikali
Mtandao kwa Taasisi za Umma 98 ili kuongeza
uelewa na uwezo wa Taasisi hizo katika kutumia

47
TEHAMA, kuongeza ufanisi wa kiutendaji na
utoaji wa huduma kwa wananchi. Vile vile,
kilifanyika kikao kazi cha pili cha Serikali
Mtandao kilichofanyika Dodoma kwa lengo la
kujenga uwezo na ushirikiano katika matumizi ya
Serikali Mtandao ambapo walishiriki wadau 786;
(v) Ushauri wa kitaalam kwenye maeneo ya Serikali
Mtandao umetolewa kwa Taasisi za Umma 23 ili
kuhakikisha kwamba uwekezaji unaofanywa na
Serikali kwenye TEHAMA unatoa matokeo
yaliyokusudiwa. Aidha, msaada wa kiufundi
umetolewa kwa Taasisi za Umma 252 kupitia
Mfumo wa Kutoa Msaada na Huduma kwa
Wateja (Helpdesk System) unaopatikana saa
ishirini na nne (24/7);
(vi) Utekelezaji wa Serikali Mtandao umeendelea
kuratibiwa kwa kutoa viwango na miongozo ya
TEHAMA Serikalini ili kuondoa urudufu,
kupunguza gharama na kuongeza ubora wa
huduma zinazotolewa kwa umma na
kuhakikisha usalama wa mawasiliano. Vile vile,
Sheria ya Serikali Mtandao iko katika hatua za
mwisho za uidhinishaji Serikalini;
(vii) Mifumo mikubwa ya TEHAMA imetengenezwa
kwa Taasisi za Umma kwa lengo la kuboresha
utendaji kazi, kuboresha utoaji huduma kwa
umma, kurahisisha ukusanyaji wa mapato na
kuondoa mianya ya rushwa. Baadhi ya mifumo
iliyotengenezwa ni: Mfumo wa Tiketi za
Kieletroniki kwa Shirika la Reli Tanzania (TRC)

48
na Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL);
Mfumo wa kufanya hesabu za bei ya petrol kwa
Energy and Water Utilities Regulatory Authority
(EWURA); Mfumo wa kusajili wahandisi kwa
Bodi ya Usajili wa Wahandisi (ERB) na Mfumo
wa kufanya usajili wa wataalam wa ununuzi na
ugavi kwa Bodi ya Wataalam wa Ununuzi na
Ugavi (PSPTB);
(viii) Wataalam wa Wakala ya Serikali Mtandao 11
wamewezeshwa kupata mafunzo yanayotolewa
na Bodi mbalimbali za Kitaalam kwenye maeneo
ya usalama mtandao, miundombinu na
utengenezaji wa Mifumo. Vile vile watumishi 7
wamewezeshwa kupata mafunzo ya muda mrefu
katika ngazi ya Stashahada, Uzamili na Uzamivu.
Aidha watumishi 110 wamewezeshwa kupata
mafunzo ya muda mfupi ya ubobezi na umahiri
katika maeneo mbalimbali ya TEHAMA na
mengine ya kiutendaji; na
(ix) Ili kuwezesha Serikali kuweza kuwa na
mawasiliano ndani na nje ya Mji wa Serikali
Dodoma, Wakala imeanza ujenzi wa Kituo cha
Usaidizi wa Masuala ya Serikali Mtandao kwenye
eneo hilo. Kituo hiki kitakuwa kitovu cha
mawasiliano pamoja na kulinda usalama wa
mifumo na mitandao kwenye mji wa Serikali.
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA
UMMA
43. Mheshimiwa Spika, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi
wa Umma (imeanzishwa kwa mujibu wa Kifungu 29 (1) cha
Sheria ya Utumishi wa Umma Sura 298.
49
44. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha wa 2018/19
Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma ilitengewa
Shilingi 3,641,184,299.24. Kati ya fedha hizo Shilingi
1,677,678,299.24 ni kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida,
Shilingi 1,264,506,000 ni kwa ajili ya Mishahara na Shilingi
750,000,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo. Hadi kufikia
Machi 2019 Shilingi 957,703,699.24 za Matumizi ya Kawaida
zilipokelewa na kutumika na Shilingi 735,375,000 zimetumika
kulipia Mishahara. Kwa upande wa Miradi ya Maendeleo,
Shilingi 122,360,000 zilipokelewa na kutumika.

45. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha wa 2018/19,


Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma, imetekeleza
majukumu yafuatayo:-
(i) Ofisi ilipokea vibali 107 ambapo vibali vipya
vilikuwa 51 na vibali mbadala 56 kujaza nafasi
wazi 1,910 katika Taasisi 80. Ili kukamilisha hili,
jumla ya saili saba (7) zilifanyika na nafasi zote
zimejazwa. Kati ya nafasi hizo 1,910 zimejazwa
ambapo waajiriwa wanne (4) ni kutoka Zanzibar
ambapo mwanamme ni mmoja (1) na wanawake
ni watatu (3), vilevile kati ya waajiriwa hao
walemavu wa viungo ni wanne (04) kati ya hao
mwanaume ni mmoja (1) na wanawake ni watatu
(3);
(ii) Ofisi imeendelea kusimamia uendeshaji wa saili
katika Mamlaka za Serikali za Mitaa 32 na vyuo
vikuu saba (7) vya Umma nchini kwa kuzingatia
sheria, kanuni na taratibu za ajira. Jumla ya nafasi
wazi 1,758 zilitolewa na kati ya hizo nafasi 1,736
zimejazwa na nyingine 22 zinaendelea na
mchakato;
50
(iii) Kuendelea kuimarisha utendaji kazi wa Taasisi
kwa kutumia TEHAMA; Kwa mara ya kwanza
ofisi imeweza kuendesha usaili kwa kutumia
teknolojia ya “Video Conference” kwa kuendesha
usaili Dar es Salaam na Msailiwa akiwa Mbeya.
Zoezi hili lilifanikiwa kwa asilimia mia moja.
(iv) Ofisi imekamilisha kujenga mfumo wa maombi
ya kazi kwa njia ya Kielektroniki ikiwa ni pamoja
na kukamilisha ujenzi wa mfumo wa kupanga
nafasi za kazi kwa waombaji waliofaulu kwenye
usaili wa ana kwa ana (Placement Management
Information System). Kukamilika kwa mfumo
huu kutapunguza muda wa usaili kutoka siku 52
za sasa hadi siku 45. Pia, wasailiwa watakuwa
wakipata taarifa kupitia akaunti zao kwa kila
hatua ya usaili mpaka kupangiwa kituo cha kazi.
Mwajiri pia ataweza kupata tarifa za waajiriwa
wapya ikiwa ni pamoja na vyeti vyake.
Maboresho haya yatawezesha mfumo kuweza
kubadilishana taarifa na Mfumo wa Taarifa za
Watumishi na Mishahara (HCMIS)
unaosimamiwa na OR-MUUB.
(v) Pia jitihada zinaendelea za kuunganisha mfumo
wa maombi ya kazi (recruitment portal) na
mifumo mingine ya wadau wa mchakato wa ajira
ambao ni NIDA, NECTA na UTUMISHI ili zoezi
la uhakiki wa taarifa za waombaji kazi liweze
kufanyika kwa njia ya kieletroniki;
(vi) Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira iliyopo Zanzibar
imeendelea kuimarishwa na baadhi ya usaili wa

51
mchujo umeendelea kufanyika Zanzibar ili
kupunguza gharama kwa wasailiwa kutoka
Zanzibar. Mathalani usaili wa mchujo wa TRA
ulifanyika Zanzibar;
(vii) Kanzidata ya taarifa za waliosailiwa na
kukubalika imeendelea kutunzwa kwa ajili ya
rejea na kama chanzo cha watumishi
wanaotakiwa. Vile vile taarifa za wahitimu wa
vyuo vikuu zimeendelea kuandaliwa na
kutunzwa;
(viii) Taarifa ya uhakiki wa vyeti vya elimu ya
Sekondari vya kidato cha nne, kidato cha sita na
elimu ya juu kwa wasailiwa imeandaliwa;
(ix) Tathmini ya utekelezaji wa Mkataba wa Utendaji
Kazi imefanyika ili ufanyiwe mapitio. Aidha,
mikutano mbalimbali na wadau imefanyika na
kupata maoni ya kuboresha utendaji kazi;
(x) Umefanyika utafiti kwa waajiri na wadau
mbalimbali ikiwa ni hatua ya kupata mrejesho wa
utekelezaji wa shughuli za uendeshaji wa
michakato ya ajira pamoja na utendaji kazi wa
ofisi; na
(xi) Ofisi imeendesha mikutano mitano (5) na
waandishi wa habari lengo likiwa ni kutoa taarifa
kwa Umma kuhusu utekelezaji wa majukumu
mbalimbali ya Taasisi.
OFISI YA RAIS, TUME YA UTUMISHI WA UMMA
46. Mheshimiwa Spika, Tume ya Utumishi wa Umma ni
Mamlaka ya Rufaa kwa Watumishi wa Umma dhidi ya
Uamuzi unaotolewa na mamlaka zao za nidhamu. Tume ni

52
chombo REKEBU na inayo mamlaka na wajibu wa
kuhakikisha kuwa masuala ya Rasilimaliwatu katika Utumishi
wa Umma yanasimamiwa na kuendeshwa kwa kuzingatia
Sera, Sheria, Kanuni, Miongozo na Taratibu mbalimbali kama
inavyotolewa na Mamlaka. Wajibu huu wa Tume una lengo la
kuimarisha Utawala Bora unaozingatia matokeo. Katika
kutekeleza wajibu huu pamoja mambo mengine Tume
imeendelea kufanya ukaguzi wa Rasilimaliwatu kwa Mamlaka
za Ajira na Nidhamu.

47. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa fedha 2018/19,


Tume ya Utumishi wa Umma iliidhinishiwa kiasi cha Shilingi
4,403,479,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida. Kati ya
fedha hizo, Shilingi 1,919,493,000 zilikuwa za Mishahara na
Shilingi 2,483,986,000 zilikuwa za Matumizi Mengineyo.
Hadi kufikia Machi, 2019 kiasi cha Shilingi 2,917,064,635 za
Matumizi ya Kawaida zilikuwa zimetolewa na HAZINA. Kati
ya hizo Shilingi 1,211,987,549.94 zilikuwa kwa ajili ya
Mishahara na Shilingi 1,705,077,085.06 ni za Matumizi
Mengineyo.

48. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai, 2018 hadi


Machi, 2019 Tume ya Utumishi wa Umma imetekeleza
majukumu yafuatayo:-
(i) Ukaguzi wa kawaida umefanyika katika Taasisi
33 kati ya Taasisi 150 zilizopangwa kukaguliwa
katika Mwaka wa Fedha 2018/19;
(ii) Ukaguzi maalumu umefanyika katika Taasisi sita
(6);
(iii) Mikutano miwili (2) ya Tume imefanyika na
kutolea uamuzi rufaa 117 na malalamiko manne
(4) ya Watumishi wa Umma. Aidha Sekretarieti
ya Tume ilihitimisha malalamiko 313 ya

53
Watumishi wa Umma;
(iv) Uelimishaji wadau kupitia maadhimisho ya Wiki
ya Maadili na Haki za Binadamu umefanyika;
(v) Taarifa ya Hali ya Utumishi wa Umma na
Utekelezaji wa Majukumu ya Tume ya Mwaka
2017/18 iliandaliwa na kuwasilishwa kwenye
mamlaka;
(vi) Huduma kwa Watumishi wa Tume wanaoishi na
VVU na UKIMWI imeendelea kutolewa; na
(vii) Watumishi 39 wa Tume wamewezeshwa kupata
mafunzo ya muda mrefu na mfupi ya kuongeza
ujuzi katika kada zao na Watumishi 77 kupata
mafunzo maalum ya Ukaguzi wa Rasilimali
Watu.

BODI YA MISHAHARA NA MASILAHI KATIKA


UTUMISHI WA UMMA
49. Mheshimiwa Spika, Bodi ya Mishahara na Masilahi
katika Utumishi wa Umma ina jukumu la kufanya mapitio ya
mara kwa mara na kupendekeza viwango vya mishahara na
masilahi mengine; na kuzishauri mamlaka kuhusu misingi ya
miundo ya mishahara katika Utumishi wa Umma.

50. Mheshimiwa Spika, Katika Mwaka wa fedha 2018/29,


Bodi iliidhinishiwa jumla ya Shilingi 1,652,435,000 kwa ajili
ya Matumizi ya Kawaida. Kati ya fedha hizo, Shilingi
1,012,817,000 zilikuwa kwa ajili ya Matumizi Mengineyo na
Shilingi 639,618,000 kwa ajili ya Mishahara ya Watumishi.
Hadi kufikia mwezi Machi 2019, Bodi imepokea jumla ya
Shilingi 832,178,368.38. Kati ya fedha hizo Shilingi
559,379,600 kwa ajili ya matumizi mengineyo na shilingi
272,798,768.38 kwa ajili ya mishahara.

54
51. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha Julai 2018 hadi
Machi 2019, Bodi imetekeleza majukumu yafuatayo:-
(i) Bodi imefanya Utafiti wa hali ya Masilahi katika
Utumishi wa Umma na mifumo ya upimaji
utendaji kazi. Utafiti huo umehusisha sampuli ya
taasisi 130 kati ya taasisi 474 ambazo
zimegawanyika katika makundi mbalimbali
zikiwemo Wizara, Sekretarieti za Mikoa,
Mamlaka za Serikali za Mitaa, Bunge,
Mahakama, Idara Zinazojitegemea, Wakala za
Serikali na Mashirika ya Umma. Takwimu
zimekusanywa, kuchambuliwa na rasimu ya
kwanza ya taarifa imeandaliwa;
(ii) Taarifa mbili za gharama za maisha zimeandaliwa
ambazo zitatumika kama msingi wa kukadiria
malipo ya kiwango cha mshahara wenye staha
kwa Watumishi wa Umma; na
(iii) Taarifa ya Tathmini ya Kazi na Uhuishaji wa
Madaraja katika Utumishi wa Umma ya mwaka
2015 hadi 2017, imewasilishwa katika ngazi ya
juu Serikalini mwezi Disemba 2018 kwa hatua
zaidi.

OFISI YA RAIS, IDARA YA KUMBUKUMBU NA


NYARAKA ZA TAIFA
52. Mheshimiwa Spika, kwa mujibu wa Sheria ya
Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa Na. 3 ya mwaka 2002,
Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa imepewa jukumu
la kusimamia na kuratibu utekelezaji wa Sera, Sheria, Kanuni,
Miongozo na Taratibu za utunzaji kumbukumbu na nyaraka
katika Taasisi za Umma. Aidha, Idara ina jukumu la
kusimamia utekelezaji wa Sheria ya Kuwaenzi Waasisi wa
55
Taifa Na. 18 ya Mwaka 2004 katika kukusanya, kutunza na
kuhifadhi kumbukumbu na vitu vya Waasisi wa Taifa letu
(Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani
Karume).

53. Mheshimiwa Spika, Katika mwaka wa fedha 2018/2019,


Fungu 4: Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na Nyaraka za
Taifa, iliidhinishiwa jumla ya Shilingi 8,148,504,000. Kati ya
fedha hizo Shilingi 2,969,632,000 ni kwa ajili ya Matumizi ya
Kawaida na Shilingi 5,178,872,000 kwa Miradi ya Maendeleo.
Hadi kufikia Machi, Shilingi 1,575,186,000 zilipokelewa na
kutumika kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida ambapo Shilingi
725,245,500 kwa ajili ya Mishahara na Shilingi 818,366,000
kwa ajili ya Matumizi Mengineyo na Shilingi 31,575,000 kwa
Miradi ya Maendeleo.

54. Mheshimiwa Spika, katika kipindi cha Julai, 2018 hadi


Machii, 2019 Idara ya Kumbukumbu imetekeleza shughuli
zifuatazo:-
(i) Mfumo wa utunzaji kumbukumbu za kiutendaji
umewekwa katika Taasisi za Umma 23 ambazo ni
Ofisi Binafsi ya Waziri Mkuu, Wakili Mkuu wa
Serikali, Mahakama Kuu Kanda ya Ziwa – Mwanza,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki, Wizara ya Madini, Wizara ya Nishati,
Wizara ya Maliasili na Utalii, Tume ya Madini,
Mamlaka ya Bandari ya Tanzania (TPA), Mamlaka
ya Mapato Tanzania (TRA), Baraza la Michezo la
Taifa, Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI),
Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto (IJA),
Makumbusho ya Taifa, Wakala wa Majengo
Tanzania (TBA), Chuo Kikukuu cha Tiba na Sayansi
Shirikishi (MUHAS), Ofisi ya Mkemia Mkuu wa
56
Serikali, Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA),
Bodi ya Kitaaluma ya Wahasibu na Wakaguzi
(NBAA), Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo,
Bohari Kuu ya Madawa (MSD), Chuo cha Mipango,
Wizara ya Maliasili na Utalii, Wizara ya Nishati na
Mamlaka ya Hifadhi za Taifa (TANAPA). Aidha,
Ukaguzi wa mifumo ya utunzaji kumbukumbu za
kiutendaji umefanyika katika Ofisi kumi na moja
(11) za Wakuu wa Mikoa ambayo ni Dodoma,
Morogoro, Pwani, Tanga, Lindi, Mtwara, Singida,
Tabora, Geita, Iringa na Kilimanjaro.
(ii) Maandalizi ya awali ya mikutano kazi na mafunzo
kwa watumishi wa umma kuhusu Sheria, Kanuni,
Taratibu na Miongozo ya utunzaji kumbukumbu na
nyaraka za Serikali yamefanyika. Mikutano na
mafunzo haya yatafanyika katika robo ya nne ya
mwaka wa fedha wa 2018/19;
(iii) Uwekaji wa mfumo wa kielektroniki wa masijala (e-
file management system) umefanyika katika Taasisi
za Umma saba (7). Taasisi hizo ni Wizara ya
Maliasili na Utalii, Wizara ya Madini, Tume ya
Utumishi wa Walimu (TSC), Ofisi ya Wakili wa
Serikali, Jiji la Dodoma, Bodi ya Wahasibu na
Wakaguzi (NBAA) na Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi,
Vijana, Ajira na Watu wenye Ulemavu;
(iv) Ukaguzi wa mifumo na hali ya utunzaji wa
kumbukumbu katika Taasisi za Umma umefanyika
katika Taasisi za Umma 41ambazo ni Ofisi ya Rais,
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora, Ofisi ya Makamu wa Rais, Ofisi ya Waziri

57
Mkuu, TAMISEMI, Wizara Ujenzi Uchukuzi na
Mawasiliano, Wizara Viwanda na Biashara, Wizara
ya Katiba na Sheria, Tume ya Walimu, Chuo cha
Utumishi wa Umma (TPSC), Mikoa ya Geita, Iringa,
Morogoro, Dodoma, Kilimanjaro, Tanga, Mtwara,
Tabora na Pwani;Wizara ya Elimu, Sayansi,
Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi, Taasisi ya
Teknolojia Dar es Salaam (DIT), Hospitali ya Rufaa
ya Bukoba, Halmashauri za Wilaya za Kisarawe,
Kwimba, Sengerema, Kilolo, Busokelo, Makete na
Manispaa ya Jiji la Mbeya (MCC), Mfuko wa Rais
wa Kujitegemea, Mamlaka ya Uwanja wa Ndege wa
Julius Kambarage Nyerere, Benki ya Afrika (BOA),
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Shirika la
Reli Tanzania (TRC), Mamlaka ya Vitambulisho
Tanzania (NIDA), Ofisi ya Taifa ya Mashtaka
(DPP), Mamlaka ya Elimu ya Ufundi Tanzania
(VETA), Shirika la Viwango Tanzania (TBS),
Wakala wa Nyumba na Utafiti wa Ujenzi (NHBRA),
Wakala wa Elimu kwa Njia ya Mtandao (TaGLA),
Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Baraza la Michezo
Tanzania (BMT) na Tume ya Ushindani;
(v) Taasisi tatu (3) za umma zimewezeshwa kutengeneza
miongozo ya kutunza na kuteketeza kumbukumbu.
Taasisi hizo ni Mahakama ya Tanzania
(kumbukumbu za kiutawala); Mfuko wa Maendeleo
wa Jamii (TASAF) na Mfuko wa Fidia kwa
Wafanyakazi (WCF);
(vi) Taarifa, kumbukumbu na nyaraka zinazohusu
historia ya Nchi yetu kutoka Taasisi za Umma na

58
watu binafsi zenye jumla ya majalada 2,805 yenye
umuhimu wa kudumu yamekusanywa kutoka katika
Mikoa nane (8) ambayo ni Kilimanjaro (754),
Morogoro (373), Dodoma (409), Singida (419),
Tabora (606), Ruvuma (80), Lindi (47) na Mtwara
(117);
(vii) Jumla ya majalada 256,445 ya mashauri
yaliyofungwa ya Mahakama ya Tanzania
yamechambuliwa na kuhamishiwa katika Kituo cha
Taifa cha Kumbukumbu Dodoma. Majalada hayo ya
mashauri yametoka katika Mahakama zifuatazo:
Mahakama ya Rufani (6,892); Mahakama Kuu
Kanda ya Dar es Salaam (31,628); Mahakama Kuu
Divisheni ya Biashara (2,798); Mahakama Kuu
Divisheni ya Ardhi (6,135); Mahakama Kuu
Divisheni ya Kazi (13,213); Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kisutu (77,221); Mahakama ya Hakimu
Mkazi Kinondoni (31,000); Mahakama ya Hakimu
Mkazi Sokoine Drive (20,448); Mahakama ya
Wilaya ya Ilala (33,057); Mahakama ya Wilaya ya
Temeke (24,953) na Mahakama ya Wilaya ya
Kinondoni (9,100).
(viii) Jumla ya kumbukumbu za Waasisi wa Taifa 295
zilitambuliwa, ambapo 180 zilikusanywa. Aidha,
kazi ya” scanning” ya kumbukumbu hizo inaendelea
katika Maktaba ya Azimio la Arusha. Vile vile,
kumbukumbu 160 za Waasisi wa Taifa
zilizohifadhiwa idarani zimechambuliwa,
kuhakikiwa, kupangwa katika makundi na
kuhifadhiwa katika Maktaba ya Dar es Salaam kwa

59
ajili ya kutumiwa na watafiti;
(ix) Uimarishaji wa mifumo ya kielektroniki katika
usimamizi wa taarifa, kumbukumbu na nyaraka za
Taifa kwa kuingiza kumbukumbu na nyaraka katika
mfumo wa kidijitali wa kuhifadhi Nyaraka (Digital
Records Management and Preservation System) ili
kurahisisha upatikanaji na kulinda nakala halisi
umefanyika. Jumla ya Mikataba 3,100 kutoka Wizara
ya Fedha na Mipango imefanyiwa” scanning”.
Aidha, mikataba 2,700 imefanyiwa uhakiki kwa ajili
ya kuingizwa kwenye mfumo wa kidijitali wa
kuhifadhi Nyaraka;
(x) Uhakiki wa kumbukumbu tuli umefanyika katika
Taasisi za Umma nne ambazo ni Wizara ya Ujenzi,
Mawasiliano na Uchukuzi (Uchukuzi), Wizara ya
Mambo ya Ndani ya Nchi na Wizara ya Maliasili na
Utalii na SUMATRA. Aidha, Idara imefanya
tathmini ya kumbukumbu za iliyokuwa Jumuiya ya
Afrika Mashariki;
(xi) Ujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu cha Kanda ya
Ziwa Mwanza umekamilika kwa asilimia 84 kwa
awamu ya kwanza, Mradi huu unatarajiwa
kukamilika katika awamu ya pili ya ujenzi ya mwaka
wa fedha 2019/20;
(xii) Ukarabati wa jengo la Idara lililopo Upanga Dar es
Salaam umekamilika kwa asilimia 90 kwa awamu
ya kwanza. Aidha, Idara imewasilisha viambatisho
Wizara ya Fedha na Mipango kwa ajili ya maombi
ya fedha ili kukamilisha ukarabati wa jengo na
kuanza utekelezaji wa kazi ya ukarabati wa Ghala la

60
Taifa la kuhifadhi nyaraka;
(xiii) Utekelezaji wa Mipango ya hadhari ya kudhibiti na
kukabiliana na majanga kwenye Kituo cha Taifa cha
kumbukumbu na Ghala la Nyaraka la Taifa pamoja
na kuweka vifaa vya kudhibiti hali ya hewa kwenye
maghala ya kuhifadhia nyaraka umefanyika kwa
awamu ya kwanza kwa kumpata mshauri mwelekezi
kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu na tayari
ameshawasilisha Mpango kazi kwa ajili ya kuanza
utekelezaji wa kazi kamili; na
(xiv) Maandalizi ya awali ya kununua mitambo ya kupiga
picha nyaraka kwa ajili ya kuhifadhi kwenye mifumo
ili kulinda nakala halisi na kuweka urithi wa Taifa
yamefanyika kwa kutangaza zabuni.

C. MPANGO WA UTEKELEZAJI KWA MWAKA


2019/20 NA MAMBO MUHIMU YA KUZINGATIWA
55. Mheshimiwa Spika, baada ya kutoa maelezo kuhusu
Mapitio ya Utekelezaji wa Mpango na Bajeti kwa Mwaka wa
Fedha 2018/19, sasa naomba kutoa Mapendekezo ya Mpango
na Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2019/20.

56. Mheshimiwa Spika, Mipango na Bajeti kwa Mwaka wa


Fedha 2019/20 kwa Mafungu yafuatayo 20; 30; 32; 33; 67; 94;
09 na 04 imeandaliwa kwa kuzingatia vipaumbele
vilivyoainishwa katika Ilani ya Uchaguzi ya Chama Tawala ya
Mwaka 2015, Mwongozo wa Taifa wa Kuandaa Mpango na
Bajeti kwa Mwaka wa Fedha 2019/20 - 2021/22 pamoja na
maeneo muhimu ya kuzingatiwa kama yalivyoainishwa na
Serikali ya Awamu ya Tano.

61
57. Mheshimiwa Spika, Vile vile, Mipango na Bajeti kwa
Mwaka wa Fedha 2019/20 imezingatia utatuzi wa changamoto
katika utoaji huduma kwa umma kwa kadri inavyowezekana.
Kwa ujumla changamoto hizo ni kama ifuatavyo: Baadhi ya
ofisi za utoaji huduma kutokuwepo katika mikoa yote ya
Tanzania; Bado kumekuwepo na malalamiko kutoka kwa
wananchi juu upatikanaji wa huduma zitolewazo na Taasisi za
Umma, kuendelea kuwepo na kaya maskini, ushirikiano
mdogo wa wananchi katika suala la utoaji wa ushahidi
mahakamani dhidi ya watuhumiwa wa rushwa; kukosekana
kwa sheria ya kuwabana wahusika wanaoshindwa kutekeleza
ushauri wa TAKUKURU kuziba mianya ya rushwa katika
maeneo yao; na Mabadiliko ya TEHAMA yamekuwa yakiibua
changamoto katika upelelezi.
OFISI YA RAIS, IKULU NA TAASISI ZAKE
a.Ikulu
58..Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2019/20 Ofisi ya Rais,
Ikulu imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-
(i) Kutoa huduma kwa Mhe Rais na familia yake;
(ii) Kutoa huduma za ushauri kwa Rais katika maeneo
ya Uchumi, Siasa, Masuala ya Jamii, Sheria,
Mawasiliano na Habari kwa Umma, Uhusiano wa
Kikanda, Kimataifa na maeneo mengine;
(iii) Kuratibu utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi ya
Rushwa Awamu ya Tatu kwa kushirikisha wadau
wa Sekta ya Umma na Sekta Binafsi;
(iv) Kuratibu, kuandaa na kushiriki mikutano 60 ya
Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri, mikutano 40 ya
Kamati Maalum ya Makatibu Wakuu (IMTC) na
mikutano 20 ya Baraza la Mawaziri;
(v) Kuandaa mkutano wa tathmini wa mwaka kati ya

62
Waratibu wa Shughuli za Baraza la Mawaziri wa
Wizara, Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri na
wadau wengine;
(vi) Kutoa mafunzo kuhusu utayarishaji na uwasilishaji
wa Nyaraka za Baraza la Mawaziri na uchambuzi
wa sera kwa Maofisa wa Sekretarieti ya Baraza la
Mawaziri na Waratibu wa Shughuli za Baraza la
Mawaziri wa Wizara;
(vii) Kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mkakati wa
Taifa Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu (NACSAP
III) na Programu za Maboresho katika ngazi za
Wizara, Mikoa na Serikali za Mitaa;
(viii) Kuandaa Taarifa za Utekelezaji wa Mkakati wa
Taifa Dhidi ya Rushwa Awamu ya Tatu za Robo
mwaka na Mwaka. Aidha, mfumo wa Ufuatiliaji na
Tathmini wa utekelezaji wa Mkakati wa Taifa Dhidi
ya Rushwa Awamu ya Tatu (NACSAP III)
utatengenezwa;
(ix) Kupokea, kupitia na kuchambua rufaa na
malalamiko ya watumishi wa umma na wananchi;
(x) Kuendesha mikutano miwili (2) ya Watendaji na
Maafisa wa Serikali kuhusu utaratibu wa
kushughulikia malalamiko na rufaa pamoja na
kufuatilia utekelezaji wa maagizo mbalimbali ya
Katibu Mkuu Kiongozi;
(xi) Kuratibu na kuendesha mikutano nane (8) ya uratibu
wa Maboresho kwa Makatibu Wakuu na Waratibu
wa Programu za Maboresho kwa lengo la
kuimarisha usimamizi, uongozi na umiliki wa
mchakato wa Maboresho katika Sekta ya Umma

63
nchini;
(xii) Kuratibu na kusimamia Miradi ya Maendeleo ya
Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), Mpango
wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za
Wanyonge Tanzania (MKURABITA) na Mfuko
wa Rais wa Kujitegemea;
(xiii) Kuendelea na uboreshaji wa Ikulu ya Chamwino; na
(xiv) Kukarabati majengo ya Ikulu Ndogo za Mwanza,
Arusha, Mbeya, Zanzibar, Lushoto na nyumba mbili
(2) za wafanyakazi Tabora.

b.TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA


RUSHWA (TAKUKURU)
59. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2019/20,
TAKUKURU imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-
(i) Kuendelea na ukamilishaji wa uchunguzi wa
majalada ya tuhuma za rushwa unaoendelea pamoja
na tuhuma mpya zitakazojitokeza;
(ii) Kuendelea na uendeshaji wa kesi 416 zinazoendelea
na mpya zitakazofunguliwa Mahakamani;
(iii) Kuhuisha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na
Rushwa Na. 11 ya mwaka 2007;
(iv) Kufanya utafiti wa msingi kuhusu hali ya rushwa
nchini, utafiti na udhibiti wa mianya ya rushwa
katika uendeshaji na usimamizi wa Mamlaka za
Serikali za Mitaa pamoja na utafiti wa mianya ya
rushwa katika usimamizi wa maliasili;
(v) Kufanya uchambuzi wa mifumo katika sekta na
idara mbalimbali katika ngazi ya mikoa na wilaya;
(vi) Kuweka mikakati kwa kushirikiana na wadau ili
kudhibiti mianya ya rushwa na kufanya ufuatiliaji

64
wa utekelezaji wa mikakati hiyo;

(vii) Kufuatilia matumizi ya fedha za Umma katika


utekelezaji wa miradi ya maendeleo ili kuhakikisha
utekelezaji wake unazingatia thamani halisi ya
fedha;
(viii) Kutekeleza Mkakati wa Mawasiliano wa
TAKUKURU ili kujenga uwezo na uelewa kuhusu
rushwa na ufisadi na juhudi za Serikali katika
kupambana na rushwa kwa makundi mbalimbali
katika jamii kwa kutumia njia mbalimbali za
mawasiliano kuyashawishi makundi haya kuunga
mkono na kushiriki katika mapambano dhidi ya
rushwa nchini;
(ix) Kutumia njia za mawasiliano za kimkakati kulifikia
kundi la vijana ili washiriki katika shughuli
zinazowajenga kimaadili na kushiriki kupambana na
rushwa ili kuwa na jamii inayochukia rushwa;
(x) Kutumia vyombo vya habari na mitandao ya kijamii
kubeba agenda ya mapambano dhidi ya rushwa ili
kuushirikisha Umma katika mapambano hayo;
(xi) Kujenga majengo ya ofisi za TAKUKURU katika
Mikoa na Wilaya;
(xii) Kujenga nyumba ya Makazi ya Naibu Mkurugenzi
Mkuu - Dodoma na Mkuu wa TAKUKURU Wilaya
ya Chato;
(xiii) Kujenga karakana kwa ajili ya kutengeneza magari
ya Taasisi ili kupunguza gharama za uendashaji
zinazotumika katika kutengeneza magari hayo;
(xiv) Kuimarisha mfumo wa TEHAMA katika Taasisi ili
kurahisisha na kuwezesha mtiririko mzuri wa
65
majalada, takwimu na mawasiliano kutoka ngazi za
wilaya, mkoa na makao makuu; na
(xv) Kutoa mafunzo ya weledi kwa watumishi ili
kuongeza ufanisi.

c.TAASISI YA UONGOZI
60. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2019/ Taasisi ya
UONGOZI imepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-
(i) Kutoa mafunzo ya “Stashahada ya Uzamili ya
Uongozi” (Post Graduate-Diploma in Leadership),
kwa lengo la kuwajengea uwezo Viongozi katika
maeneo ya kufanya Uamuzi wa kimkakati,
kusimamia rasilimaliwatu na rasilimali nyingine na
kuimarisha sifa binafsi za kiongozi;
(ii) Kutekeleza Programu ya kuwajengea uwezo
wataalam wa Wizara na Taasisi za Serikali kuhusu
majadiliano ya mikataba yenye thamani kubwa;
(iii) Kutoa mafunzo ya muda mfupi kwa lengo la
kuwajengea uwezo Viongozi katika maeneo ya
Uongozi na Maendeleo Endelevu, kutokana na
mahitaji na maombi ya walengwa. Kozi 13
zitatolewa;
(iv) Kuandaa mikutano miwili (2) ya kimataifa na
kikanda; na tisa (9) ya kitaifa katika masuala ya
Uongozi na Maendeleo Endelevu;
(v) Kuandaa vipindi vya Runinga 12
vitakavyoshirikisha viongozi waandamizi na
wataalam mbalimbali ndani na nje ya Nchi, juu ya
Uongozi na Maendeleo Endelevu. Vipindi hivi
vitarushwa kwenye runinga, tovuti na mitandao ya
kijamii na kuonekana katika Bara zima la Afrika;

66
(vi) Kufanya utafiti kwenye maeneo 11 kuhusu masuala
ya Uongozi na Maendeleo Endelevu;
(vii) Kutoa ushauri wa kitaalam katika maeneo
yanayohusu masuala ya Uongozi naMaendeleo
Endelevu pale utakapohitajika; na
(viii) Kuendelea kuratibu na kuwezesha timu za Kitaifa za
Majadiliano ya Mikataba yenye thamani kubwa,
kulingana na uhitaji.

d.MPANGO WA KURASIMISHA RASILIMALI NA


BIASHARA ZA WANYONGE TANZANIA
(MKURABITA)
61. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2019/ MKURABITA
imejipanga kutekeleza kazi zifuatazo:
(i) Kuanzisha Vituo vitano (5) vya Urasimishaji
Biashara ili kuwawezesha wafanyabishara kupata
huduma muhimu sehemu moja (1) katika
Halmashauri za Wilaya Tano (5) za Kahama,
Tabora, Nyamagana, Songea na Babati. Aidha,
mafunzo ya kurasimisha na kuendesha biashara
yatatolewa kwa wafanyabishara 5,000 kwa lengo la
kuwawezesha kusajili biashara zao;
(ii) Kuanzisha Kituo cha urasimishaji wa biashara
Zanzibar, katika Manispaa ya Mjini, Mkoa wa
Magharibi ili kuwawezesha wafanyabiashara kupata
huduma muhimu sehemu moja ambapo
wafanyabiashara 1,000 watapata mafunzo na
kusajili biashara zao;
(iii) Kutoa mafunzo kuhusu fursa na matumizi bora ya
Hati za Haki Miliki za Kimila kwa wakulima 800
waliorasimisha ardhi zao na viongozi 80 wa vyama

67
vya wakulima katika Halmashauri za Wilaya nne
(4) za Butiama, Muleba, Moshi na Kilosa;
(iv) Kukamilisha urasimishaji wa ardhi mjini katika
Halmashauri za Miji ya Morogoro, Tunduma,
Babati, Iringa, Arusha, Njombe na Miji Midogo ya
Tandala na Ikonda Tanzania Bara. Kwa upande wa
Zanzibar, urasimishaji wa ardhi mjini utafanyika
Chakechake na Unguja Mjini. Jumla ya Hati Milki
6,500 zitaandaliwa na kutolewa;
(v) Kukamilisha uandaaji na utoaji Hati za Hakimiliki
za Kimila 11,766 kwa wananchi katika
Halmashauri za Wilaya za Rufiji, Musoma,
Butiama, Chamwino, Nyang’wale, Makete,
Mpwapwa, Bukoba Vijijini na Newalaza Tanzania
Bara. Aidha, urasimishaji wa ardhi vijijini
utafanyika katika eneo la Chanjamjawiri Wilaya ya
Chakechake Pemba na Mahonda Wilaya ya
Kaskazini B Unguja ambapo Hati Miliki 2,000
zitaandaliwa na kutolewa;
(vi) Kukamilisha ujenzi wa Masijala za Ardhi za Vijiji
katika Halmashauri za Wilaya saba ambazo ni
Chamwino (vijiji 2), Itigi (kijiji 1), Mbarali (kijiji1),
Mbinga (kijiji 1), Mpwapwa (kijiji 1), Mvomero
(kijiji 1), na Nachingwea (vijiji 3). Aidha, ujenzi wa
Masjala za Ardhi za vijiji viwili utaanza katika
Halmashauri ya Wilaya ya Newala;
(vii) Kuendelea na urasimishaji wa Wachimbaji Wadogo
wa Madini katika maeneo ya Mkoa wa Geita;
(viii) Kwa kushirikiana na TAMISEMI, MKURABITA
itaratibu na kufuatilia utekelezaji wa Miradi ya

68
majaribio ya Mfuko Endelevu wa Urasimishaji wa
Wilaya katika Manispaa ya Iringa na Halmashauri
ya Wilaya ya Njombe;
(ix) Kufanya Ufuatiliaji na Tathmini ya Utekelezaji wa
shughuli za Urasimishaji katika Halmashauri za
Mufindi, Itigi, Morogoro, Njombe, Mbarali na
Rungwe ili kufuatilia utekelezaji wa Mapendekezo
ya Maboresho ya sheria za ardhi na biashara katika
Wizara za Kisekta;
(x) Kufuatilia utekelezaji wa mapendekezo ya
maboresho ya sheria za ardhi na biashara katika
Wizara za Kisekta; na
(xi) Kuandaa vipindi 20 vya redio na Runinga kuhusu
utekelezaji wa Shughuli za urasimishaji Tanzania
Bara na Zanzibar.

e.MFUKO WA MAENDELEO YA JAMII (TASAF)


62. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2019/20 TASAF
imejipanga kutekeleza kazi zifuatazo:
(i) Kufanya utambuzi na uandikishaji wa kaya maskini
katika maeneo ya Vijiji 4,408, Mitaa 1,189 na
Shehia 96 ambazo hazikufikiwa katika Awamu ya
Kwanza ya Mpango. Zoezi hili linategemea
kuzifikia kaya za walengwa zipatazo 355,000;
(ii) Kufanya maandalizi ya zoezi la kutambua hali za
ustawi wa maisha ya walengwa wa Mpango wa
kunusuru Kaya Maskini iwapo zimeboreka. Zoezi
hili litatoa fursa ya kuwaondoa wale watakaobainika
kuwa sio maskini tena kwa vigezo vitakavyotumika
kupitia utaratibu wa wazi utakaoandaliwa na
kukubalika na wadau wote;

69
(iii) Kuhawilisha ruzuku kwa kaya maskini zote
zilizoandikishwa kwa kuzingatia utaratibu mpya wa
Kipindi cha Pili cha Mpango. Malipo yatafanyika
katika vipindi vya mizunguko sita (6) ya kila miezi
miwili (2) kwa kufuata kalenda ya malipo katika
Halmashauri zote za Tanzania Bara na Zanzibar
(Unguja na Pemba);
(iv) Kutoa ajira za muda kwa jumla ya kaya za
walengwa 292,188 ambazo zitahusika katika
utekelezaji wa miradi 2,640 ya kutoa ajira za muda
itakayoibuliwa na jamii. Walengwa hawa watatoka
katika Halmashauri 44 pamoja na Unguja na Pemba;
(v) Kuendeleza utekelezaji wa Mkakati na Miongozo ya
Kuweka Akiba na Kuwekeza Katika maeneo ya
utekelezaji. Wawezeshaji 1,440 katika Halmashauri
72 watapatiwa mafunzo ya kuunda vikundi endelevu
vya kuweka akiba kwa kaya za walengwa. Jumla ya
vikundi 247,840 vya walengwa vitaundwa, kupewa
mafunzo na vitendea kazi;
(vi) Miradi 134 ya afya, elimu, maji, ujasiriamali na
barabara za vijijini itatekelezwa chini ya Mpango
wa Kuendeleza Miundombinu katika Halmashauri
134. Wawezeshaji 804 watapewa mafunzo juu ya
namna ya kutekeleza na kusimamia miradi. Aidha,
miradi 160 itatekelezwa katika Halmashauri 13 za
Mikoa ya Arusha na Njombe kupitia program
inayofadhiliwa na Taasisi ya Maendeleo ya Mataifa
Yanayozalisha Mafuta kwa Wingi Duniani (OPEC);
(vii) Kuhamasisha Mamlaka zote 187 za utekelezaji
kuingia kwenye mfumo wa malipo ya walengwa

70
kwa njia ya Kielektroniki (kupitia mitandao ya simu
na Benki). Njia hii ya malipo itawezesha fedha
kutumwa moja kwa moja kwa mlengwa na kumfikia
kwa haraka ambapo gharama za uendeshaji
zitapungua kwa kiasi kikubwa;
(viii) Kuimarisha mifumo ya TEHAMA ya utunzaji wa
kumbukumbu za walengwa, uendeshaji na utoaji wa
taarifa ili kuwezesha utekelezaji wa shughuli za
Mpango hususan kuimarisha mawasiliano kati ya
maeneo ya utekelezaji na TASAF Makao Makuu
Dodoma;
(ix) Kujenga uwezo wa watumishi katika ngazi
mbalimbali za utekelezaji ikiwa ni pamoja na
TASAF Makao Mkuu, Mikoa, Halmashauri na jamii
ili kuweza kusimamia na kutekeleza shughuli za
Mpango kwa ufanisi;
(x) Kuimarisha usimamizi, ufuatiliaji na tathmini za
shughuli za Mpango pamoja na matumizi ya
rasilimali ili kuongeza ufanisi na uwajibikaji katika
ngazi zote za utekelezaji wa Mpango;
(xi) Kufanya mapitio ya pamoja baina ya Timu ya
Serikali na Wadau wa Maendeleo kuhusu
maendeleo ya utekelezaji wa shughuli za Mpango
wa Kunusuru Kaya Maskini; na
(xii) Kufanya maandalizi ya tathmini ya Mpango kwa
awamu ya mwisho (End line Survey) ili kubaini
matokeo ya Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini
katika kupunguza umaskini kwa walengwa.

71
f. WAKALA YA NDEGE ZA SERIKALI
63. Mheshimiwa Spika, Wakala ya Ndege za Serikali ambayo
ulikuwa chini ya Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano
ilianzishwa rasmi tarehe 17 Mei, 2002 kwa mujibu wa Sheria
ya Wakala za Serikali Sura 245. Aidha kwa sasa Wakala
imehamishwa kutoka Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano kwenda Ofisi ya Rais, Ikulu tarehe 23 Aprili,
2018 kwa Tangazo la Serikali Namba 252 (GN 252) la tarehe
8 Juni, 2018. Wakala ina jukumu la kutoa huduma ya usafiri
wa anga kwa Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania na Viongozi wengine Wakuu wa Kitaifa. Wakala
ilianzishwa ili kuboresha huduma na kuimarisha usalama wa
usafiri wa ndege kwa viongozi wanaotumia huduma hizo.
Aidha, Wakala imeongezewa jukumu lingine la kuratibu kwa
niaba ya Serikali, ununuzi wa ndege, kuzikodisha kwa
Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) na kusimamia mikataba
ya ukodishwaji wa ndege hizo.

64. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2019/20 Wakala ya


Ndege za Serikali umepanga kutekeleza kazi zifuatazo:-
(i) Kutoa huduma ya usafiri wa anga kwa viongozi
wakuu wa kitaifa;
(ii) Kusimamia mikataba ya ukodishaji wa ndege kwa
Kampuni ya Ndege ya Taifa (ATCL);
(iii) Kufanya matengenezo na ununuzi wa vipuri vya
ndege za Serikali;
(iv) Kufanya ukarabati wa karakana ya ndege za
Serikali;
(v) Kulipia gharama za bima za ndege;
(vi) Kugharamia uendeshaji wa Ofisi na kulipia gharama
za mafuta ya ndege; na
(vii) Kutoa mafunzo kwa wanahewa yanayohusu
uhuishaji wa leseni zao.
72
65. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza Mpango wa Mwaka wa
Fedha wa 2019/20, Fungu 20 Ofisi ya Rais, Ikulu inaomba
Shilingi 23,144,913,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida.
Aidha, Fungu 30 Ofisi ya Rais na Sekretarieti ya Baraza la
Mawaziri inaomba Shilingi 564,312,423,717 kwa ajili ya
Matumizi ya Kawaida na Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha
hizi, Shilingi 410,123,039,000 ni Matumizi ya Kawaida na
Shilingi 154,189,384,717 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.

MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA


WAKALA ZILIZO CHINI YAKE
a.Menejimenti ya Utumishi wa Umma
66. Mheshimiwa Spika, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya
Utumishi wa Umma katika mwaka wa fedha 2019/20
itaendelea kutekeleza majukumu yake ya msingi ya
kuhakikisha kuwa Utumishi wa Umma unaendeshwa kwa
kuzingatia misingi ya utawala bora na kwamba Sera, Sheria,
Kanuni na Taratibu mbalimbali za Utumishi wa Umma
zinazingatiwa. Aidha, Watumishi wa Umma wanawajibika na
kuwa wasikivu kwa wananchi wanapotoa huduma mbalimbali.

67. Mheshimiwa Spika, katika mwaka 2019/20 Ofisi ya Rais,


Menejimenti ya Utumishi wa Umma imepanga kutekeleza kazi
zifuatazo:-
(i) Kuzijengea uwezo Taasisi mbalimbali za Serikali
katika kuandaa Sera zinazozingatia utafiti (Evidence
Based and Coherent Policy) pamoja na kuandaa
Sera za Kisekta zilizowianishwa ili kuondoa
migongano na urudufu wakati wa utekelezaji.
(ii) Kufanya mapitio ya Sheria na Miongozo mbalimbali
ya kiutumishi katika Utumishi wa Umma kwa lengo
la kuboresha utendaji kazi.
(iii) Kuhuisha miundo ya Maendeleo ya Utumishi,
73
kuwianisha na kuoanisha mishahara katika Utumishi
wa Umma kwa kuzingatia matokeo ya zoezi la
Tathmini ya Kazi.
(iv) Kufanya ufuatiliaji kwa kutumia mfumo maalum
“framework” na kuhamasisha ujumuishwaji wa
masuala ya Anuai za Jamii katika Utumishi wa
Umma ili kutoa huduma bora kwa wananchi.
(v) Kuandaa Mwongozo wa ujumuishwaji wa masuala
ya Jinsia Mahala Pa kazi katika Utumishi wa
Umma;
(vi) Kutoa miongozo ya kuimarisha Menejimenti ya
Utumishi Umma kupitia Nyaraka za Kiutumishi;
(vii) Kushughulikia mahitaji ya vibali vya uhamisho,
kushikizwa, kuazimwa na likizo bila malipo kwa
watumishi na baina ya waajiri mbalimbali katika
Utumishi wa Umma;
(viii) Kuendelea kupokea na kushughulikia mapendekezo
ya nafasi za uteuzi, mikataba ya ajira na vibali vya
kukaimu nafasi za uongozi kadili maombi hayo
yatakavyokuwa yanawasilishwa na waajiri
mbalimbali;
(ix) Kuelimisha Watumishi wa Umma na Waajiri
kuhusu umuhimu wa kupunguza malalamiko ya
wateja na kushughulikia ipasavyo malalamiko
yanayowasilishwa;
(x) Kusimamia ajira za Watumishi wa Umma ambapo
katika mwaka wa fedha 2019/20 Serikali inatarajia
kuajiri watumishi wapya 44,807 wa kada ya Elimu
(13,526), Afya (9,467), Kilimo, Mifugo na Uvuvi
nafasi (2,141) Jeshi la Polisi (3,725), Magereza

74
(685), Jeshi la Zimamoto na Uhamiaji (500) na
Hospitali za Mashirika ya Kidini na hiari (1,262).
Aidha, Serikali inatarajia kuajiri watumishi 13,002
wa kada nyinginezo wakiwemo wahadhiri wa vyuo
vikuu vya umma nchini. Vile vile, watumishi
290,625 wa kada mbalimbali watapandishwa vyeo
kulingana na maelekezo yatakayotolewa;
(xi) Kuchambua na kuhakiki madai ya malimbikizo
ya mishahara ya Watumishi wa Umma 21,683
yenye thamani ya Shilingi 50,759,540,017.25 na
kuchukua hatua ipasavyo;
(xii) Kuendelea na uidhinishaji wa taarifa za Kiutumishi
na Mishahara kwenye Orodha ya Malipo ya
Mishahara;
(xiii) Kufanya uhakiki wa watumishi kwenye Sekretarieti
za Mikoa ili kuhakikisha kunakuwa na matumizi
bora ya Rasilimaliwatu katika Utumishi wa Umma;
(xiv) Kuhakikisha kuwa taarifa za watumishi zinakuwa
sahihi na kuboresha taarifa za kiutumishi na
mishahara kupitia HCMIS;
(xv) Kuhuisha miundo na mgawanyo wa Majukumu ya
Taasisi za Umma 100 zikiwemo Ofisi/Wizara
Zinazojitegemea, Wakala za Serikali na Mashirika
ya Umma na kuziwasilisha kwa Mheshimiwa Rais
kwa ajili ya kupata idhini ya utekelezaji; - Lengo
likiwa ni kuongeza ufanisi katika utoaji huduma
pamoja na kupunguza ukubwa na matumizi ya
Serikali ili fedha zitakazopatikana zielekezwe
kwenye miradi ya maendeleo;
(xvi) Kuwezesha taasisi zitakazopata idhini ya utekelezaji

75
wa Miundo kuandaa Mahitaji ya Watumishi na
Maelezo ya Kazi ili kupata uwiano mzuri katika
kutekeleza majukumu ya Taasisi husika;
(xvii) Kuzijengea Uwezo Idara Zinazojitegemea,
Sekretarieti za Mikoa, Mamlaka za Serikali za
Mitaa, na Wakala za Serikali kuhusu uimarishaji wa
mifumo ya Ufuatiliaji na Tathmini;
(xviii) Kuboresha michakato ya utoaji huduma na
kuimarisha usimamizi wa Mifumo na Viwango vya
Utendaji Kazi kwa kufanya ufuatiliaji pamoja na
kutoa ushauri wa kitaalam katika Taasisi za Serikali
ili kuongeza ufanisi katika utoaji wa huduma kwa
wananchi;
(xix) Kukamilisha ujenzi wa mfumo mpya wa HCMIS,
kutoa mafunzo kwa watumiaji na kuusambaza
katika taasisi za Serikali;
(xx) Kuendelea kuratibu uanzishwaji wa vituo vya
HUDUMA PAMOJA kwa ajili ya kutolea Huduma
za Serikali sehemu moja;
(xxi) Kufanya tathmini na kuwajengea uwezo wataalamu
wa TEHAMA katika taasisi za Serikali ili
kuwawezesha kujenga, kusimamia na kuendeleza
mifumo ya TEHAMA ya Serikali;
(xxii) Kuendelea kufuatilia uzingatiaji wa mwongozo wa
kusimamia utekelezaji wa Serikali Mtandao ya
Mwaka 2017 katika taasisi za Serikali;
(xxiii) Kukamilisha maandalizi ya Mpango Mkakati wa
Taifa wa utekelezaji wa Serikali Mtandao;
(xxiv) Kuratibu maandalizi ya Kanuni mbalimbali za
utekelezaji wa Sheria inayotungwa ya Serikali

76
Mtandao;
(xxv) Kuendelea kuratibu maandalizi na utekelezaji wa
Programu ya Digital Tanzania;
(xxvi) Kujenga uelewa wa Viongozi wa Kisiasa na Kisera
katikaTaasisi za Umma, Menejimenti na watumishi
kuhusu Mikataba ya Utendaji Kazi Serikalini;
(xxvii) Kuziwezesha Taasisi za Umma kuandaa na
kutekeleza Mikataba ya Utendaji Kazi;
(xxviii) Kufanya ufuatiliaji wa utekelezaji wa Mfumo wa
Wazi wa Mapitio na Tathmini ya Utendaji Kazi
(OPRAS) kwenye Taasisi za Umma;
(xxix) Kutoa huduma kwa Viongozi Wakuu wa Kitaifa
(Wastaafu 11 na wajane 5) kwa mujibu wa sheria;
(xxx) Kuanza utekelezaji wa Programu ya Maboresho
katika Utumishi wa Ummakwenye maeneo ya
matokeo ya Motisha na Uwajibikaji; Michakato ya
Utoaji Huduma na Menejimenti ya Rasimaliwatu;
(xxxi) Kutoa mafunzo kwa Watumishi wa Umma
wanaotarajiwa kustaafu mwaka 2019/20 ili
kuwaandaa kwa maisha ya baada ya kustaafu kwa
mujibu wa sheria katika Utumishi wa Umma;
(xxxii) Kuendelea kuratibu fursa za mafunzo yanayotolewa
na wafadhili wa Serikali na Washirika wa
Maendeleo kwa mwaka 2019/20;
(xxxiii) Kuwezesha Taasisi tano (5) za Umma kuandaa
Mipango ya Rasilimaliwatu, Mipango ya Mafunzo
na Urithishanaji wa madaraka;
(xxxiv) Kufanya Ufuatiliaji wa Uzingatiaji wa Maadili
katika Sekretariati za Mikoa (2), Mamlaka za
Serikali za Mitaa (10) na Taasisi nyingine za Umma

77
(5);
(xxxv) Kufanya Kampeni za Kimaadili katika menejimenti
za Taasisi za Umma 30;
(xxxvi) Kushiriki katika Maadhimisho ya Siku ya Uadilifu
Kitaifa;
(xxxvii) Kuhamasisha Uzingatiaji wa Maadili kupitia
Vyombo vya Habari;
(xxxviii) Kufanya Ufuatiliaji wa Uzingatiaji wa Maadili
katika Taasisi za umma 35; na
(xxxix) Kukamilisha Mapitio ya Kanuni za Maadili ya
Utendaji katika Utumishi wa na kujenga uelewa wa
Kanuni hizo kwa Wadau.
(xl) Kupitia Watumishi Housing miradi ya ujenzi
nyumba 500 katika mikoa mbalimbali itatekelezwa,
ambapo nyumba 300 zitajengwa jijini Dodoma;
(xli) Serikali kupitia Watumishi Housing imepewa fedha
na Benki ya Dunia vifaa vya kisasa kwa ajili ya
upimaji ardhi vyenye thamani ya shilingi Bilioni
1.5; vifaa hivyo vitatumika kutoa huduma ya
upimaji ardhi kwa bei nafuu katika wilaya
mbalimbali kwa lengo la kuwezesha upatikanaji wa
ardhi iliyoendelezwa kwa bei nafuu;

b. Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC)


68. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2019/20
Chuo kinatarajia kutekeleza malengo yafuatayo:
i) Kutoa mafunzo ya kujiandaa kufanya Mitihani ya
Utumishi wa Umma kwa watumishi wa Umma 970;
ii) Kutoa mafunzo ya Uongozi na Maendeleo,
Menejimenti na Usimamizi wa Ofisi kwa
Watumishi wa Umma 3,370;

78
iii) Kutoa Mafunzo ya Awali katika Utumishi wa
Umma kwa Watumishi wa Umma 1,720;
iv) Kutoa mafunzo ya muda mrefu kwa washiriki
9,980 katika fani za Utunzaji wa Kumbukumbu,
Uhazili, Kompyuta, Utunzaji wa Fedha za Umma,
na Menejimenti ya Rasilimaliwatu, Usimamizi na
Ununuzi wa Umma, Uongozi na Utawala Bora;
v) Kutoa ushauri katika maeneo mbalimbali 11 ya
kitaalamu kwa Taasisi za Umma;
vi) Kufanya utafiti wa aina sita (6) katika maeneo
yanayolenga kuboresha Utumishi wa Umma;
vii) Kuandaa machapisho mbalimbali kama vile
majarida na makala za kitaalamu katika Utumishi
wa Umma katika nyanja za Uongozi, Menejimenti
na Utawala;
viii) Kuwezesha mafunzo ya muda mrefu kwa watumishi
25 wa Chuo cha Utumishi wa Umma katika ngazi za
Shahada ya Uzamivu (13) na Shahada ya Uzamili
(12);
ix) Kuendelea na awamu ya pili ya ujenzi wa jengo la
ghorofa mbili (2) litakalotumika kwa ajili ya
madarasa, maktaba na ofisi katika Kampasi ya
Tabora; Kuandaa michoro ya usanifu majenzi
(architectural design) kwa ajili ya mradi wa ujenzi
wa majengo ya Kampasi ya Dodoma katika eneo la
Mtumba;
xi) Kufanya Ukarabati wa majengo ya Hostel katika
Kampasi ya Tabora;
xii) Kuweka “Paving Blocks” katika eneo la nje –
Kampasi ya Mtwara; na

79
xiii) Kutafuta eneo kwa ajili ya ujenzi wa Kampasi ya
Tanga.
c. Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao (TaGLA)
69. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2019/20,
Wakala ya Mafunzo kwa Njia ya Mtandao imepanga
kutekeleza kazi zifuatazo:-
(i) Kuwezesha watumishi wa umma na sekta binafsi
kutumia miundombinu na mtandao wa Wakala
kujenga uwezo wa utendaji kazi kwa kutoa
mafunzo kwa Washiriki 2,800 katika maeneo ya
Uongozi, Utawala Bora, Maadili, Anuai za Jamii,
Mazingira, Kupunguza Umaskini, TEHAMA, Afya
na stadi za utendaji kazi;
(ii) Kuongeza ushirikiano na taasisi za ndani na nje ya
Nchi ili kutoa mafunzo kwa kutumia teknolojia za
kisasa na kwa gharama nafuu;
(iii) Kuboresha vitendea kazi ili viweze kuweka
mazingira rafiki na kuongeza uwezo wa kutoa
huduma bora zinazoendana na ukuaji wa mahitaji;
(iv) Kukamilisha maandalizi kwa ajili ya kujenga ofisi
za Wakala Dodoma;
(v) Kuratibu mafunzo na mikutano ya kazi ya Wizara
mbalimbali, Sekretarieti za Mikoa, Mamlaka za
Serikali za Mitaa, Idara Zinazojitegemea, Wakala
za Serikali na shirika ya Umma kwa kutumia
huduma ya daraja-video na kutoa ushauri wa
kitaalamu;
(vi) Kukuza mtandao wa Wakala kikanda ili kuwafikia
wateja kwa urahisi; Kujenga uwezo wa watumishi
wa Wakala ili kukidhi ongezeko la wateja na

80
mabadiliko ya haraka katika teknolojia;
(vii) Kufanya utafiti na majaribio ya teknolojia rafiki
katika nyanja za mawasiliano ya video na mafunzo
na kuziboresha.
d. Wakala ya Serikali Mtandao (eGA)
70. Mheshimiwa Spika, Katika kipindi cha mwaka wa fedha
cha 2019/20, Wakala ya Serikali Mtandao inatarajia
kutekeleza kazi zifuatazo:-
(i) Kutoa msaada wa kiufundi na kujenga uwezo wa
Taasisi za Umma katika kutengeneza na kuboresha
mifumo ya ukusanyaji mapato na maduhuli ili iweze
kusomana na mfumo mkuu wa kielektroniki wa
ukusanyaji wa mapato serikalini (GePG);
(ii) Kuimarisha taratibu za kiusalama kwa Mifumo na
miundombinu ya TEHAMA Serikalini;
(iii) Kufanya utafiti, kuhamasisha ubunifu na maendeleo
ya Serikali Mtandao kupitia Kituo cha Utafiti,
Ubunifu na Maendeleo ya Serikali Mtandao cha
muda kilichopo Chuo Kikuu cha Dodoma. Vile vile
kujenga kituo kikubwa cha kuratibu shughuli hizo;
(iv) Kuongeza uwezo wa Miundombinu Shirikishi ya
Serikali Mtandao kwa Taasisi zote za Serikali, hii ni
pamoja na kuendelea kusambaza Miundombinu ya
Mtandao wa Serikali (GovNet), Ujenzi wa mfumo
utakaowezesha mifumo mbalimbali ya TEHAMA
Serikalini kubadilishana taarifa (Information
Exchange Platform), Mfumo mkubwa kwa ajili ya
kuhifadhi data za Serikali kwa pamoja (Government
Data Central Repository or Government Data
Warehouse (GDW), Miundombinu ya Pamoja ya

81
Kuhifadhi mifumo ya Serikali Mtandao
(Government Cloud). Aidha, Kituo cha kusimamia
mawasiliano ya Serikali Ihumwa kitaimarishwa;
(v) Kusimamia na kuboresha matumizi ya Mifumo na
Miundombinu Shirikishi ya TEHAMA Serikalini ili
kuongeza ufanisi na usalama wa taarifa za Serikali
pamoja na kupunguza gharama ya uhifadhi na
uendeshaji wa mifumo ya Taasisi za Umma.
Mifumo na Miundombinu hiyo ni pamoja na
Mfumo wa barua pepe Serikalini (GMS), Mfumo
wa Ofisi Mtandao (e- office), Mfumo wa kutoa
huduma kwa Umma kupitia simu za Mkononi
(Government Mobile Platform (GMP), Mfumo wa
Vibali vya kusafiria nje ya nchi (e-Vibali) na
Mfumo wa Tovuti za Serikali (Government Website
Framework);
(vi) Kutoa mafunzo ya Serikali Mtandao kwa Viongozi,
Wasimamizi wa TEHAMA na watumiaji wa
huduma za Serikali Mtandao kwa Taasisi za Serikali
140 ili kuongeza uelewa na uwezo wa Taasisi za
Umma katika kutumia TEHAMA, kuongeza ufanisi
wa kiutendaji na utoaji wa huduma kwa wananchi;
(vii) Kutoa ushauri wa kitaalam na msaada wa kiufundi
kwenye maeneo ya TEHAMA kwa Taasisi 50 za
umma ili kuhakikisha kwamba uwekezaji
unaofanywa na Serikali kwenye TEHAMA unazaa
matokeo yaliyokusudiwa;
(viii) Kufuatilia na kusimamia matumizi ya viwango vya
ubora wa mifumo ya TEHAMA ya kimkakati na ya
kisekta kwa kutumia Viwango na Miongozo ya

82
TEHAMA ili kuondoa urudufu, kupunguza gharama
na kuongeza ubora wa huduma zinazotolewa kwa
umma na kuhakikisha usalama wa mawasiliano;
(ix) Kujenga uwezo wa wataalam wake ambapo
watumishi 50 watapatiwa mafunzo ya ubobezi
kwenye maeneo ya usalama, miundombinu na
utengenezaji wa Mifumo. Watumishi 10 watapatiwa
mafunzo ya muda mrefu na watumishi 150
watapatiwa mafunzo ya muda mfupi katika
maeneo mbalimbali ya kiutendaji; na
(x) Kukamilisha kituo cha Usaidizi wa Masuala ya
Serikali Mtandao kwenye mji wa Serikali, Ihumwa,
kwa kuweka vifaa vinavyoimarisha mawasiliano
kwenye mji huo pamoja na kulinda usalama wa
mifumo na mitandao ya mawasiliano.

71. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza Mpango wa mwaka wa


fedha 2019/20 kwa ufanisi, Fungu Ofisi ya Rais, Menejimenti
ya Utumishi wa Umma inaomba kiasi cha Shilingi
72,572,322,000. kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Miradi
ya Maendeleo. Kati ya fedha hizi, Shilingi 31,512,322,000, ni
kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi 41,060,000,000
kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.
SEKRETARIETI YA MAADILI YA VIONGOZI WA
UMMA
72. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha wa 2019/20,
shughuli zilizopangwa kutekelezwa ni kama ifuatavyo:
(i) Kuendelea kupokea Matamko ya Viongozi wa
Umma kuhusu Rasilimali na madeni yanayopaswa
kutolewa kwa mujibu wa Sheria ya Maadili ya
Viongozi wa Umma;

83
(ii) Kuendelea kupokea na kushughulikia malalamiko
na taarifa za ukiukwaji wa Maadili kwa mujibu wa
Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma kutoka
kwa wananchi;
(iii) Kuchunguza tuhuma za ukiukwaji wa Sheria ya
Maadili ya Viongozi wa Umma dhidi ya Viongozi
wa Umma;
(iv) Kufanya uhakiki wa matamko ya Rasilimali na
Madeni kwa Viongozi wa Umma 2,000;
(v) Kuratibu na kuwezesha utekelezaji wa majukumu ya
Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma;
(vi) Kutoa elimu kwa Viongozi wa Umma na Wananchi
kwa ujumla kuhusu Sheria ya Maadili ya Viongozi
wa Umma na Hati ya Ahadi ya Uadilifu;
(vii) Kuandaa taarifa ya mwaka ya utekelezaji wa
shughuli za Sekretarieti na kuiwasilisha kwa
Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania;
(viii) Kuanzisha na kuendeleza Klabu za Maadili katika
shule na vyuo nchini;
(ix) Kuendelea na ujenzi wa ofisi ya Sekretarieti ya
Maadili ya Viongozi wa Umma ya Makao Makuu
Dodoma; na
(x) Kuendelea na mchakato wa kutumia mfumo wa
ujazaji wa fomu za matamko ya rasilimali na
madeni kwa viongozi wa umma kwa njia ya
mtandao (online application) baada ya kukamilika
kwa Mfumo wa Kielektroniki wa Menejimenti ya
Taarifa za Kimaadili (Ethics Management
Information System – EMIS).

84
73. Mheshimiwa Spika, katika kutekeleza majukumu yake
kwa Mwaka wa Fedha wa 2019/20 Fungu 33: Ofisi ya Rais,
Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma inaomba
kuidhinishiwa Shilingi 9,999,945,000. kwa ajili ya Matumizi
ya Kawaida na Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizi,
Shilingi 7,382,075,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na
Shilingi 2,617,870,900 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI
WA UMMA
74. Mheshimiwa Spika, katika Mwaka wa Fedha wa 2019/20,
Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma,
imepanga kutekeleza majukumu yafuatayo:-
(i) Kusimamia na kuendesha michakato ya ajira ili
kuwezesha waajiri kupata watumishi wenye sifa
zinazotakiwa kwa mujibu wa miundo ya utumishi
husika;
(ii) Kushiriki kama Wataalam waalikwa kwenye usaili
unaoendeshwa na Taasisi zinazotumia Sheria
zilizokasimiwa kwa Taasisi husika;
(iii) Kuendelea kuimarisha Ofisi ya Sekretarieti ya Ajira
iliyopo Zanzibar kurahisisha michakato ya ajira kwa
ajira za Muungano;
(iv) Kuendelea kuimarisha Ofisi za kanda ikiwemo Ofisi
ya Dar es salaam baada ya kuhamia Dodoma;
(v) Kuhamisha watumishi wa ofisi kutoka Dar es
Salaam kuja Makao Makuu Dodoma;
(vi) Kufanya utafiti kwa waajiri na wadau mbalimbali
ikiwa ni hatua ya kupata mrejesho wa utekelezaji wa
shughuli za uendeshaji wa michakato ya ajira
pamoja na utendaji kazi wa ofisi;
(vii) Kuendelea kuimarisha utendaji kazi wa Taasisi kwa

85
kutumia TEHAMA.
(viii) Kuboresha mifumo ya uendeshaji wa usaili kwa
kutumia mbinu za kisasa, ikiwemo matumizi ya
“psychometric test”; na
(ix) Kutoa taarifa na elimu kwa Umma ili kukuza
uelewa kuhusu shughuli zinazotekelezwa na
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma;

75. Mheshimiwa Spika, katika kutekeleza majukumu yake


kwa mwaka wa fedha wa 2019/20 Fungu 67: Ofisi ya Rais,
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inaomba
kuidhinishiwa Jumla ya Shilingi 2,376,443,000 kwa ajili ya
Matumizi ya Kawaida.
OFISI YA RAIS, TUME YA UTUMISHI WA UMMA
76. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha 2019/20,
Tume imepanga kutekeleza majukumu yafuatayo:-
(i) Kufanya Ukaguzi wa kawaida katika Taasisi 150 na
Ukaguzi Maalum katika Taasisi 10 kuangalia
uzingatiaji wa Sheria, Kanuni, Taratibu na
Miongozo ya usimamizi wa Rasilimaliwatu katika
Utumishi wa Umma;
(ii) Kufanya mikutano minne (4) ya kisheria ya Tume
kujadili na kutolea uamuzi rufaa, malalamiko,
taarifa za ukaguzi na masuala mengine ya
kiutumishi kadri yatakavyopokelewa;
(iii) Kuhuisha Miongozo ya Tume ya uzingatiaji wa
masuala ya Ajira na Nidhamu na kuisambaza kwa
Waajiri, Mamlaka za Ajira na Nidhamu;
(iv) Kuelimisha Taasisi za Umma na Watumishi wa
Umma kuhusu majukumu ya Tume na utekelezaji
wa Sheria, Kanuni, Taratibu na Miongozo ya
86
Utumishi wa Umma kupitia, ziara za Makamishna,
vikao vya kazi, vyombo vya habari, machapisho na
Tovuti;
(v) Kuandaa Taarifa ya Hali ya Utumishi wa Umma na
Utekelezaji wa Majukumu ya Tume kwa kipindi cha
mwaka wa fedha wa 2018/19 na kuiwasilisha kwa
Rais;
(vi) Kutoa huduma kwa watumishi wa Tume wanaoishi
na VVU na UKIMWI; na
(vii) Kutoa elimu kwa watumishi wa Tume kuhusu VVU,
UKIMWI, magonjwa sugu yasiyoambukiza na
mapambano dhidi ya rushwa.

77. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza Mpango wa Mwaka wa


Fedha 2019/20, Fungu 94: Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi
wa Umma inaomba kuidhinishiwa jumla ya kiasi cha Shilingi
4,889,606,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida.
BODI YA MISHAHARA NA MASILAHI KATIKA
UTUMISHI WA UMMA
78. Mheshimiwa Spika, kwa kipindi cha mwaka wa fedha
wa 2019/20, Bodi ya Mishahara
na Masilahi katika Utumishi wa Umma (Fungu 09)
inatarajia kutekeleza majukumu kama ifuatavyo:-
(i) Kufanya utafiti wa hali ya mishahara na masilahi
katika vyombo vya ulinzi na usalama ambavyo ni
Polisi, Magereza, Uhamiaji, Zimamoto na Jeshi la
Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ili kushauri namna
bora ya kutoa motisha kwa kuzingatia viwango
stahiki vya kuongeza ufanisi katika kazi za vyombo
hivyo; na
(ii) Kuandaa taarifa nne (4) za gharama za maisha kama
87
msingi wa kukadiria kiwango cha mshahara wenye
staha; taarifa hizi zinawezesha kushauri kuhusu
kiwango cha mshahara unaoendana na gharama za
maisha.

79. Mheshimiwa Spika, Ili kutekeleza mpango huu wa


mwaka 2019/20, Fungu 09: Bodi ya Mishahara na Masilahi
katika Utumishi wa Umma inaomba kutumia jumla ya Shilingi
1,474,241,000 kwa ajili ya matumizi ya kawaida.
OFISI YA RAIS, IDARA YA KUMBUKUMBU NA
NYARAKA ZA TAIFA
80. Mheshimiwa Spika, katika mwaka wa fedha
wa 2019/20, Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu
na Nyaraka za Taifa itatekeleza shughuli zifuatazo:-
(i) Kukusanya taarifa na machapisho mbalimbali
yanayohusu historia ya Nchi yetu kutoka Taasisi za
Umma na watu binafsi;
(ii) Kufanya ukarabati wa nyaraka zilizohifadhiwa
katika Ghala Kuu la Nyaraka na zile zinazotarajiwa
kukusanywa na Idara;
(iii) Kuimarisha mifumo ya kielektroniki katika
usimamizi wa taarifa, kumbukumbu na nyaraka za
Taifa kwa kuhifadhi kumbukumbu na nyaraka
katika teknolojia ya kisasa kwa kuingiza taarifa
katika mifumo ya kidijitali ya kuhifadhi
kumbukumbu na nyaraka (Digital Records and
Archives Management and Preservation Systems) ili
kurahisisha upatikanaji na kulinda nakala halisi;
(iv) Kuweka na kuhuisha mifumo ya utunzaji wa
kumbukumbu katika Wizara, Idara Zinazojitegemea
na Wakala za Serikali na Mamlaka za Serikali za
88
Mitaa ili kuongeza ufanisi na tija katika utoaji wa
huduma Serikalini;
(v) Kujenga uwezo wa Taasisi za Umma katika
usimamizi wa kumbukumbu na nyaraka za Serikali
kwa kuandaa mikutano kazi kwa Menejimenti za
Taasisi za Umma na mafunzo kazi kwa Waratibu na
Watunza kumbukumbu kuhusu Sheria, Kanuni,
Taratibu na Miongozo ya utunzaji wa taarifa,
kumbukumbu na nyaraka za Serikali;
(vi) Kufanya tathmini (appraisal) ya kumbukumbu tuli
za Taasisi za Umma zilizohifadhiwa katika Kituo
cha Taifa cha Kumbukumbu Dodoma ili kubaini
zenye umuhimu wa kuendelea kuhifadhiwa na zile
ambazo umuhimu wake umekoma ili kuteketezwa
kwa mujibu wa Sheria;
(vii) Kukagua, kuchambua na kuhamisha kumbukumbu
tuli kutoka katika Taasisi za Umma kwenda Kituo
cha Taifa cha Kumbukumbu;
(viii) Kusaidia Taasisi za Umma kutengeneza Miongozo
ya kuhifadhi na kuteketeza kumbukumbu;
(ix) Kutambua, kukusanya, kutunza na kuhifadhi
kumbukumbu na vitu vya Waasisi waTaifa;
(x) Kutoa elimu kwa wananchi kuhusiana na umuhimu
wa utunzaji na uhifadhi wa kumbukumbu na
nyaraka;
(xi) Kuimarisha uwezo wa utendaji wa Watumishi wa
Idara;
(xiii) Kuanzisha na kuimarisha Vituo vya Kanda kwa lengo
la kuongeza uwezo wa Idara katika ukusanyaji na
utunzaji wa kumbukumbu na nyaraka kwenye Kanda

89
husika.
(xiv) Kuendelea kuratibu na kuhamisha kumbukumbu na
nyaraka za Taasisi za Umma zinazohamia Makao
Makuu Dodoma.
(xv) Kuendeleza ukarabati wa jengo la Idara lililopo Dar es
Salaam na ukarabati wa Ghala la Taifa la kuhifadhi
nyaraka (National Repository); na
(xv) Kuendeleza ujenzi wa Kituo cha Kumbukumbu katika
Kanda ya Ziwa Mwanza.

81. Mheshimiwa Spika, ili kutekeleza Mpango wa mwaka wa


fedha wa 2019/20, Fungu 04: Ofisi ya Rais, Idara ya
Kumbukumbu na Nyaraka inaomba kuidhinishiwa jumla ya
Shilingi 4,774,066,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na
Miradi ya Maendeleo. Kati ya fedha hizi, Shilingi
2,774,066,000 kwa ajili ya Matumizi ya Kawaida na Shilingi
2,000,000,000 kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo.

D. MAJUMUISHO
82. Mheshimiwa Spika, Ofisi yangu ndiyo inayohusika na
uwezeshaji wa maamuzi ya juu ya nchi sambamba na
Menejimenti ya Utumishi wa Umma ambayo wote ni
mashahidi kuwa ni mtambuka kwa taasisi zote za Umma. Vile
vile, wote tunajua jinsi ambavyo Utumishi wa Umma ulivyo
nguzo muhimu katika uendeshaji wa Nchi na hivyo kutoa
mchango mkubwa sana katika maendeleo ya nchi
inayodhamiria kuwa na uchumi wa Watanzania wa kipato cha
kati ifikapo mwaka 2025. Aidha, maendeleo hayo
yanatarajiwa kupatikana kwa kuimarisha uchumi wa viwanda
kama inavyowekwa wazi katika Mpango wa Pili wa
Maendeleo wa Miaka Mitano.

90
83. Mheshimiwa Spika, Ofisi yangu itaendelea kuimarisha
uwezeshaji wa vyombo vinavyosaidia kwenye maamuzi ya
nchi, usalama na kuimarisha vita dhidi ya rushwa. Maadili
kwa viongozi wote na watumishi wa umma yanatarajiwa
kuchangia ipasavyo kwenye nchi kupata tija ya rasilimaliwatu
na rasilimalifedha kwa kuwa na matumizi yenye tija wakati
wote ya rasilimali hizo. Kati ya mambo ambayo Serikali
itayapa kipaumbele ni usimamizi thabiti wa maeneo hayo.

84. Mheshimiwa Spika, Serikali kwa ujumla inafanya


maboresho ya kisekta na mtambuka, wajibu wa Ofisi yangu
itakuwa ni kuhakikisha maboresho yanayofanywa katika nchi
yetu hayana urudufu na yanaleta tija katika Utumishi wa
Umma na kuchochea maendeleo. Aidha, itahakikisha
kunakuwepo na utawala bora ulio imara kuanzia ngazi ya juu
hadi chini ya uongozi. Katika kuimarisha uwazi Ofisi yangu
itahakikisha wananchi wanapata taarifa sahihi kuhusu Uamuzi
wa Serikali kuhusu masuala mbalimbali.

85. Mheshimiwa Spika, kwa nchi yetu na kwa mujibu wa


miundo na mgawanyo wa majukumu kwa mawaziri,
utekelezaji kwa ujumla unajumuisha, Ofisi ya Rais Ikulu;
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora; Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma; Ofisi ya
Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma; Ofisi ya
Rais, Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma; Ofisi ya
Rais, Bodi ya Mishahara na Masilahi katika Utumishi wa
Umma; na Ofisi ya Rais, Kumbukumbu na Nyaraka za Taifa.

86. Mheshimiwa Spika, Mipango na Bajeti kwa Mafungu


niliyoyataja yamezingatia vipaumbele vya Serikali ya Awamu
ya Tano kwenye eneo la kuimarisha utendaji kazi wa Utumishi
wa Umma na kuifanya nchi yetu iondokane na matumizi
mabaya ya rasilimali fedha, ukiukwaji wa maadili ya uongozi

91
na kupunguza urasimu usio wa lazima katika utoaji huduma na
hivyo kuongeza tija katika kutekeleza masuala yenye masilahi
mapana kwa Taifa letu.

87. Mheshimiwa Spika, Bajeti ya Mafungu yote yaliyo chini


ya Ofisi ya Rais, Ikulu na Ofisi ya Rais, Menejimenti ya
Utumishi wa Umma na Utawala Bora imelenga kuwa na
Utumishi wa Umma unaotoa huduma bora kwa haraka na
staha, kuzingatia Katiba, Sera, Sheria, Kanuni, Miongozo na
taratibu ili kujenga imani zaidi kwa wananchi. Katika
kuendana na wakati jitihada zaidi zitawekwa kwenye kujenga
uwezo na mifumo ya kimenejimenti na utoaji huduma
ikiwemo matumizi sahihi na salama ya fursa zinazopatikana
katika utoaji huduma kwa TEHAMA ndani ya Serikali.

88. Mheshimiwa Spika, baada ya kueleza kwa kina


utekelezaji wa majukumu kwa Mwaka wa Fedha wa 2018/19
na Mipango na Bajeti ya Ofisi ya Rais, Ikulu na Ofisi ya Rais,
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora kwa
Mwaka wa Fedha wa 2019/20, sasa naomba kuwasilisha rasmi
mapendekezo ya maombi yetu kwa Mwaka wa Fedha 2019/20
kwa muhtasari kama ifuatavyo:-
a. Fungu 20: Ofisi ya Rais, Ikulu
i.Matumizi ya Kawaida Sh. 23,144,913,000
Jumla Sh. 23,144,913,000
b.Fungu 30: Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Baraza la Mawaziri
i. Matumizi ya Kawaida Sh. 410,123,039,000
ii. Matumizi ya Miradi ya
Maendeleo Sh. 154,189,384,717
Jumla Sh. 564,312,423,717
c. Fungu 32: Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma
i. Matumizi ya Kawaida Sh. 31,512,322,000
ii. Matumizi ya Miradi ya
Maendeleo Sh. 41,060,000,000

92
Jumla Sh 72,572,322,000
d. Fungu 33: Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi
wa Umma
i.Matumizi ya Kawaida Sh. 7,382,075,000
ii. Matumizi ya Miradi ya
Maendeleo Sh. 2,617,870,900
Jumla Sh 9,999,945,900
e. Fungu 67: Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Ajira katika
Utumishi wa Umma
i.Matumizi ya Kawaida Sh. 2,376,443,000
Jumla Sh. 2,376,443,000
f. Fungu 94: Ofisi ya Rais, Tume ya Utumishi wa Umma
i. Matumizi ya Kawaida Sh. 4,889,606,000
Jumla Sh. 4,889,606,000
g.Fungu 09: Ofisi ya Rais, Bodi ya Mishahara na
Masilahi katika Utumishi wa Umma
i. Matumizi ya Kawaida Sh. 1,474,241,000
Jumla Sh 1,474,241,000
h.Fungu 04: Ofisi ya Rais, Idara ya Kumbukumbu na
Nyaraka za Taifa
i.Matumizi ya Kawaida Sh. 2,774,066,000
Matumizi ya Miradi ya
Maendeleo Sh. 2,000,000,000
Jumla Sh. 4,774,066,000

89. Mheshimiwa Spika na Waheshimiwa Wabunge, Jumla


kuu ya Bajeti ninayoomba kwa mafungu yote yaliyo chini ya
Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala
Bora kwa mwaka 2019/20, ni kama ifuatavyo:-

93
Jumla kuu - Matumizi ya Kawaida Sh. 483,676,705,000
Jumla kuu - Matumizi ya
Miradi ya Maendeleo Sh. 199,867,255,617
Jumla kuu kwa Mafungu yote Sh. 683,543,960,617

90. Mheshimiwa Spika na Waheshimiwa Wabunge,


mwisho naomba kuwasilisha maombi haya ili muweze
kuyajadili na kuyaidhinisha.
Mheshimiwa Spika, naomba kutoa hoja.

Kapt. (Mst) George H. Mkuchika (Mb.)


WAZIRI WA NCHI, OFISI YA RAIS
(MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA NA
UTAWALA BORA)

94
KIAMBATISHO NA. 1

TAASISI YA KUZUIA NA KUPAMBANA NA RUSHWA

TWAKIMU ZA UCHUNGUZI KWA KIPINDI CHA JULAI, 2018 – MACHI, 2019

MAELEZO JUL’18 AUG’18 SEP’18 OCT’18 NOV’18 DEC’18 JAN’19 FEB’19 MACH’ 19 JUMLA
Malalamiko Yaliyopokelewa 644 687 709 855 752 655 839 708 503 6,352
Majalada Yaliyofunguliwa 113 103 116 127 163 102 170 120 211 1,225
Majalada yaliyokamilika 43 41 42 55 68 58 63 57 63 490
Majalada Yanayoendelea na Uchunguzi 1,928 1,849 1,947 1,867 1,973 1,989 1,998 2,025 1,619 1,619
Majalada Yaliyofungwa 23 17 11 21 25 52 30 115 9 303
Majalada Yaliyopelekwa kwa DPP 22 13 41 9 24 9 21 1 30 170
Majalada yaliyorudi na kibali cha DPP 16 10 8 16 21 15 7 3 11 107
Majalada Yaliyohamishiwa Idara Nyingine za
9 0 3 6 6 2 8 4 6 44
Serikali
Hatua za Kinidhamu/Kiutawala 7 3 3 5 2 1 2 10 7 40
Kesi Mpya Zilizofikishwa Mahakamani 27 31 24 29 35 42 27 43 18 276
Kesi Zinazoendelea Mahakamani 411 408 402 407 383 387 355 416 411 411
Kesi Zilizoshinda 15 16 11 21 20 20 19 11 19 152
Kesi Zilizoshindwa 11 9 11 13 12 23 10 9 3 101
Kesi Zilizoondolewa Mahakamani 10 5 4 7 0 6 2 5 1 40
Thamani ya Fedha Iliyookolewa (Tshs) 166,578,235 48,984,271 79,280,696 65,928,600 48,800,604 294,089,231 87,806,375 133,709,984 52,745,448 977,923,446

95
Kiambatisho Na. 2

UHAWILISHAJI FEDHA KWA WALENGWA KWA MAENEO YOTE YA UTEKELEZAJI

PAMOJA NA FEDHA ZA USIMAMIZI NGAZI YA MKOA, HALMASHAURI, KATA, KIJIJI/MTAA/SHEHIA KWA KIPINDI CHA KUANZIA JULAI 2018 HADI MACHI 2019

IDADI YA MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI MALIPO YA AJIRA ZA


MALIPO YA MALIPO YA JUMLA YA
VIJIJI/ MALIPO KWA YA WILAYA NA KATA MUDA
ENEO LA UTEKELEZAJI IDADI YA KAYA USIMAMIZI NGAZI YA USIMAMIZI NGAZI FEDHA KILA
MITAA/ WALENGWA IDADI YA MALIPO KWA
KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA YA MKOA KATA HALMASHAURI
SHEHIA WILAYA MIRADI WALENGWA

ARUSHA
Arusha 45 9107 1,187,652,000 18,000,000 5,400,000 47,194,860 2,700,000 1,260,946,860
Arusha Mjini 70 4664 620,428,000 28,000,000 8,400,000 55,539,800 4,200,000 716,567,800
Karatu 39 7420 1,058,560,000 15,600,000 4,680,000 49,947,180 2,340,000 1,131,127,180
Longido 27 5641 762,420,000 10,800,000 3,240,000 57,202,680 1,620,000 835,282,680
Meru 47 5485 691,032,000 18,800,000 5,640,000 48,154,320 2,820,000 766,446,320
Monduli 31 5864 844,180,000 12,400,000 3,720,000 56,798,080 1,860,000 918,958,080
Ngorongoro 31 5727 809,044,000 12,400,000 3,720,000 76,098,640 1,860,000 903,122,640
Jumla Ndogo 290 43908 5,973,316,000 116,000,000 34,800,000 390,935,560 17,400,000 6,532,451,560

DAR ES SALAAM
Ilala 72 4787 691,608,500 28,800,000 8,640,000 56,680,100 4,320,000 790,048,600
Kinondoni 114 7032 1,012,508,000 45,600,000 13,680,000 75,634,120 6,840,000 1,154,262,120
Temeke 120 8753 1,226,450,000 48,000,000 14,400,000 78,797,460 7,200,000 1,374,847,460
Jumla Ndogo 306 20572 2,930,566,500 122,400,000 36,720,000 211,111,680 18,360,000 3,319,158,180

DODOMA
Bahi 37 7900 959,760,000 14,800,000 4,440,000 55,714,420 2,220,000 1,493,622,420 57 548,667,373
Chamwino 50 17793 2,100,950,000 20,000,000 6,000,000 71,216,220 3,000,000 3,307,627,220 191 1,329,308,083

96
IDADI YA MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI MALIPO YA AJIRA ZA
MALIPO YA MALIPO YA JUMLA YA
VIJIJI/ MALIPO KWA YA WILAYA NA KATA MUDA
ENEO LA UTEKELEZAJI IDADI YA KAYA USIMAMIZI NGAZI YA USIMAMIZI NGAZI FEDHA KILA
MITAA/ WALENGWA IDADI YA MALIPO KWA
KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA YA MKOA KATA HALMASHAURI
SHEHIA WILAYA MIRADI WALENGWA
Chemba 42 4925 634,632,000 16,800,000 5,040,000 62,454,600 2,520,000 721,550,100
Dodoma Mjini 73 6326 763,117,700 29,200,000 8,760,000 63,263,180 4,380,000 1,100,981,780 125 279,039,471
Kondoa 84 10066 1,304,389,000 33,600,000 10,080,000 76,830,080 5,040,000 2,432,150,280 151 1,204,061,823
Kongwa 43 7877 1,054,140,000 17,200,000 5,160,000 53,992,340 2,580,000 1,133,072,340
Mpwapwa 57 5931 719,951,000 22,800,000 6,840,000 69,572,460 3,420,000 1,188,784,860 88 439,956,294
Jumla Ndogo 386 60818 7,536,939,700 154,400,000 46,320,000 453,043,300 23,160,000 11,377,789,000 612 3,801,157,388

GEITA
Bukombe 42 5060 754,360,000 16,800,000 5,040,000 64,553,440 2,520,000 843,273,440
Chato 71 7667 1,131,980,000 28,400,000 8,520,000 63,662,760 4,260,000 1,236,822,760
Geita 94 8186 1,268,792,000 37,600,000 11,280,000 82,827,500 5,640,000 1,406,139,500
Geita Mjini 40 4642 708,232,000 16,000,000 4,800,000 44,561,940 2,400,000 775,993,940
Mbogwe 60 4318 634,682,600 24,000,000 7,200,000 56,647,200 3,600,000 906,758,000 96 217,007,672
Nyang'hwale 40 3086 461,604,000 16,000,000 4,800,000 46,000,440 2,400,000 530,804,440
Jumla Ndogo 347 32959 4,959,650,600 138,800,000 41,640,000 358,253,280 20,820,000 5,699,792,080 96 217,007,672

IRINGA
Iringa 82 8080 1,078,464,000 32,800,000 9,840,000 114,332,000 4,920,000 1,240,356,000
Iringa Manispaa 98 2894 405,828,000 9,600,000 11,760,000 54,961,770 5,880,000 488,029,770
Kilolo 70 6176 721,120,000 28,000,000 8,400,000 80,128,560 4,200,000 841,848,560
Mufindi 95 7627 890,660,000 38,000,000 11,400,000 84,081,280 5,700,000 1,489,484,780 183 552,218,126
Jumla Ndogo 345 24777 3,096,072,000 108,400,000 41,400,000 333,503,610 20,700,000 4,059,719,110 183 552,218,126

KAGERA
Biharamulo 50 6922 926,152,000 20,000,000 6,000,000 66,440,400 3,000,000 1,021,592,400
Bukoba 64 8061 1,032,128,000 25,300,000 7,590,000 56,351,000 3,795,000 1,125,164,000
Bukoba Manispaa 45 3124 440,472,000 18,000,000 5,400,000 44,221,960 2,700,000 510,793,960

97
IDADI YA MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI MALIPO YA AJIRA ZA
MALIPO YA MALIPO YA JUMLA YA
VIJIJI/ MALIPO KWA YA WILAYA NA KATA MUDA
ENEO LA UTEKELEZAJI IDADI YA KAYA USIMAMIZI NGAZI YA USIMAMIZI NGAZI FEDHA KILA
MITAA/ WALENGWA IDADI YA MALIPO KWA
KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA YA MKOA KATA HALMASHAURI
SHEHIA WILAYA MIRADI WALENGWA
Karagwe 54 8975 1,217,228,000 21,600,000 6,480,000 61,824,420 3,240,000 1,310,372,420
Kyerwa 54 7848 1,142,156,000 21,600,000 6,480,000 54,815,500 3,240,000 1,228,291,500
Missenyi 50 5800 759,788,000 20,000,000 6,000,000 53,740,500 3,000,000 842,528,500
Muleba 109 14577 1,960,364,000 43,600,000 13,080,000 81,599,320 6,540,000 2,105,183,320
Ngara 52 7748 1,044,232,000 20,800,000 6,240,000 55,922,000 3,120,000 1,495,015,800 90 438,154,667
Jumla Ndogo 478 63055 8,522,520,000 190,900,000 57,270,000 474,915,100 28,635,000 9,638,941,900 90 438,154,667

KATAVI
Mlele 28 2593 329,320,000 11,200,000 3,360,000 49,166,316 1,680,000 394,726,316
Mpanda 21 2063 272,393,300 8,400,000 2,520,000 36,687,546 1,260,000 430,756,946 30 131,549,192
Mpanda Mji 19 1886 234,633,600 7,600,000 2,280,000 28,397,730 1,140,000 350,986,330 19 92,430,115
Nsimbo 13 1001 118,576,000 5,200,000 1,560,000 24,767,454 780,000 150,883,454
Jumla Ndogo 81 7543 954,922,900 32,400,000 9,720,000 139,019,046 4,860,000 1,327,353,046 49 223,979,307

KIGOMA
Buhigwe 36 8086 972,516,000 14,400,000 4,320,000 43,966,440 2,160,000 1,037,362,440
Kakonko 32 7427 969,676,000 12,800,000 3,840,000 44,129,920 1,920,000 1,032,365,920
Kasulu 42 8145 1,080,124,000 16,800,000 5,040,000 62,197,040 2,520,000 1,166,681,040
Kasulu Mji 22 4845 596,324,000 8,800,000 2,640,000 36,178,880 1,320,000 645,262,880
Kibondo 40 9694 1,278,469,300 16,000,000 4,800,000 77,220,000 2,400,000 1,933,074,300 124 665,800,783
Kigoma 32 5070 784,172,000 12,800,000 3,840,000 68,220,000 1,920,000 870,952,000
Kigoma Manispaa 49 10045 1,379,708,000 19,600,000 5,880,000 48,420,560 2,940,000 1,456,548,560
Uvinza 25 3776 558,252,100 10,000,000 3,000,000 62,556,180 1,500,000 739,068,180 40 124,657,691
Jumla Ndogo 278 57088 7,619,241,400 111,200,000 33,360,000 442,889,020 16,680,000 8,881,315,320 165 790,458,474

KILIMANJARO
Hai 43 3901 492,948,000 17,200,000 5,160,000 45,391,480 2,580,000 563,279,480
Moshi 93 7218 841,008,000 37,200,000 11,160,000 69,578,000 5,580,000 964,526,000

98
IDADI YA MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI MALIPO YA AJIRA ZA
MALIPO YA MALIPO YA JUMLA YA
VIJIJI/ MALIPO KWA YA WILAYA NA KATA MUDA
ENEO LA UTEKELEZAJI IDADI YA KAYA USIMAMIZI NGAZI YA USIMAMIZI NGAZI FEDHA KILA
MITAA/ WALENGWA IDADI YA MALIPO KWA
KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA YA MKOA KATA HALMASHAURI
SHEHIA WILAYA MIRADI WALENGWA
Moshi Manispaa 35 1463 197,696,000 14,000,000 4,200,000 29,227,638 2,100,000 247,223,638
Mwanga 48 3428 441,836,000 19,200,000 5,760,000 52,244,000 2,880,000 521,920,000
Rombo 43 5146 626,668,000 17,200,000 5,160,000 46,950,540 2,580,000 698,558,540
Same 59 8100 1,027,340,000 23,600,000 7,080,000 67,005,540 3,540,000 1,128,565,540
Siha 24 1846 264,728,000 9,600,000 2,880,000 37,891,840 1,440,000 316,539,840
Jumla Ndogo 345 31102 3,892,224,000 138,000,000 41,400,000 348,289,038 20,700,000 4,440,613,038

LINDI
Kilwa 58 5410 619,211,400 23,200,000 6,960,000 91,647,000 3,480,000 1,023,596,500 81 335,309,930
Lindi 88 8883 990,827,500 35,200,000 10,560,000 83,201,500 5,280,000 1,125,069,000
Lindi Manispaa 30 2452 273,344,000 12,000,000 3,600,000 39,754,500 1,800,000 330,498,500
Liwale 46 2910 336,345,300 18,400,000 5,520,000 48,751,362 2,760,000 495,475,962 62 100,556,781
Nachingwea 69 5390 587,223,700 27,600,000 8,280,000 72,101,500 4,140,000 699,345,200
Ruangwa 52 6162 679,140,000 20,800,000 6,240,000 59,253,840 3,120,000 768,553,840
Jumla Ndogo 343 31207 3,486,091,900 137,200,000 41,160,000 394,709,702 20,580,000 4,442,539,002 143 435,866,710

MANYARA
Babati 63 11147 1,618,544,000 25,200,000 7,560,000 66,516,000 3,780,000 1,721,600,000
Babati Mji 21 1055 136,380,000 8,400,000 2,520,000 19,565,454 1,260,000 168,125,454
Hanang 43 4867 764,264,000 17,200,000 5,160,000 52,882,640 2,580,000 842,086,640
Kiteto 39 5688 723,908,000 15,600,000 4,680,000 76,629,300 2,340,000 823,157,300
Mbulu 77 4794 716,904,000 30,800,000 9,240,000 68,289,260 4,620,000 829,853,260
Simanjiro 41 3825 537,224,000 16,400,000 4,920,000 76,133,730 2,460,000 637,137,730
Jumla Ndogo 284 31376 4,497,224,000 113,600,000 34,080,000 360,016,384 17,040,000 5,021,960,384

MARA
Bunda 71 6198 787,540,000 28,400,000 8,520,000 63,706,600 4,260,000 892,426,600
Butiama 44 7031 969,424,000 17,600,000 5,280,000 49,114,000 2,640,000 1,044,058,000

99
IDADI YA MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI MALIPO YA AJIRA ZA
MALIPO YA MALIPO YA JUMLA YA
VIJIJI/ MALIPO KWA YA WILAYA NA KATA MUDA
ENEO LA UTEKELEZAJI IDADI YA KAYA USIMAMIZI NGAZI YA USIMAMIZI NGAZI FEDHA KILA
MITAA/ WALENGWA IDADI YA MALIPO KWA
KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA YA MKOA KATA HALMASHAURI
SHEHIA WILAYA MIRADI WALENGWA
Musoma 34 5387 797,184,000 13,600,000 4,080,000 41,891,800 2,040,000 858,795,800
Musoma Manispaa 30 2396 340,492,000 12,000,000 3,600,000 37,997,340 1,800,000 395,889,340
Rorya 52 7079 912,728,000 20,800,000 6,240,000 52,360,000 3,120,000 995,248,000
Serengeti 57 3423 505,036,000 22,800,000 6,840,000 79,647,440 3,420,000 617,743,440
Tarime 66 5552 775,552,000 26,400,000 7,920,000 57,248,640 3,960,000 871,080,640
Jumla Ndogo 354 37066 5,087,956,000 141,600,000 42,480,000 381,965,820 21,240,000 5,675,241,820

MBEYA
Chunya 57 9801 1,281,976,000 22,800,000 6,840,000 123,060,000 3,420,000 1,438,096,000
Ileje 50 4315 499,884,000 20,000,000 6,000,000 53,891,200 3,000,000 582,775,200
Kyela 67 4835 610,500,000 26,800,000 8,040,000 56,921,440 4,020,000 706,281,440
Mbarali 75 10541 1,278,516,000 30,000,000 9,000,000 96,562,860 4,500,000 1,418,578,860
Mbeya 105 9495 1,135,520,000 42,000,000 12,600,000 79,274,880 6,300,000 1,275,694,880
Mbeya Jiji 128 5501 734,772,000 16,000,000 15,360,000 83,745,000 7,680,000 857,557,000
Mbozi 81 9260 1,185,864,000 32,200,000 9,660,000 69,990,920 4,830,000 1,302,544,920
Momba 51 6225 770,956,000 23,200,000 6,120,000 62,381,320 3,060,000 865,717,320
Rungwe 118 6045 750,764,000 47,000,000 14,100,000 84,344,700 7,050,000 1,071,913,100 146 202,622,286
Jumla Ndogo 732 66018 8,248,752,000 260,000,000 87,720,000 710,172,320 43,860,000 9,519,158,720 146 202,622,286

MOROGORO
Gairo 42 6887 946,228,000 16,800,000 5,040,000 47,888,760 2,520,000 1,018,476,760
Kilombero 53 7405 894,488,000 21,200,000 6,360,000 84,520,980 3,180,000 1,009,748,980
Kilosa 88 6692 929,852,000 35,200,000 10,560,000 101,754,040 5,280,000 1,251,502,840 108 202,865,450
Morogoro 100 11688 1,492,284,000 40,000,000 12,000,000 117,320,000 6,000,000 1,667,604,000
Morogoro Manispaa 164 2889 403,248,000 14,400,000 19,680,000 56,345,730 9,840,000 503,513,730
Mvomero 73 7498 911,832,000 29,200,000 8,760,000 74,294,420 4,380,000 1,028,466,420
Ulanga 47 4835 637,300,000 18,800,000 5,640,000 87,592,500 2,820,000 752,152,500

100
IDADI YA MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI MALIPO YA AJIRA ZA
MALIPO YA MALIPO YA JUMLA YA
VIJIJI/ MALIPO KWA YA WILAYA NA KATA MUDA
ENEO LA UTEKELEZAJI IDADI YA KAYA USIMAMIZI NGAZI YA USIMAMIZI NGAZI FEDHA KILA
MITAA/ WALENGWA IDADI YA MALIPO KWA
KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA YA MKOA KATA HALMASHAURI
SHEHIA WILAYA MIRADI WALENGWA
Jumla Ndogo 567 47894 6,215,232,000 175,600,000 68,040,000 569,716,430 34,020,000 7,231,465,230 108 202,865,450

MTWARA
Masasi 97 10550 1,151,682,000 38,800,000 11,640,000 77,656,440 5,820,000 1,600,767,440 128 378,645,699
Masasi Mji 39 2773 321,821,100 15,600,000 4,680,000 43,223,220 2,340,000 456,248,020 46 82,396,819
Mtwara Manispaa 36 1291 167,544,000 14,400,000 4,320,000 23,260,638 2,160,000 250,421,238 47 46,538,356
Mtwara Vijijini 99 9988 1,197,412,000 39,600,000 11,880,000 77,676,080 5,940,000 1,645,719,780 134 376,294,189
Nanyumbu 56 7412 843,596,000 22,400,000 6,720,000 62,896,220 3,360,000 1,351,737,120 77 495,897,928
Newala 97 5377 545,036,900 38,800,000 11,640,000 72,031,220 5,820,000 1,021,849,420 131 418,715,328
Tandahimba 88 7140 783,048,000 35,200,000 10,560,000 68,331,520 5,280,000 1,132,815,120 120 276,798,489
Jumla Ndogo 512 44531 5,010,140,000 204,800,000 61,440,000 425,075,338 30,720,000 7,459,558,138 682 2,075,286,809

MWANZA
Ilemela Manispaa 69 3896 529,372,000 27,600,000 8,280,000 55,058,700 4,140,000 624,450,700
Kwimba 86 9056 1,349,488,000 34,400,000 10,320,000 70,755,960 5,160,000 1,470,123,960
Magu 55 5594 815,884,000 21,900,000 6,570,000 52,282,200 3,285,000 899,921,200
Misungwi 60 8792 1,454,268,500 24,000,000 7,200,000 57,466,460 3,600,000 1,829,602,860 59 340,079,268
Nyamagana Manis 73 5695 760,156,000 29,200,000 8,760,000 56,621,420 4,380,000 859,117,420
Sengerema 106 14490 1,998,544,000 42,400,000 12,720,000 79,279,220 6,360,000 2,139,303,220
Ukerewe 55 6321 890,856,000 22,000,000 6,600,000 49,920,720 3,300,000 972,676,720
Jumla Ndogo 504 53844 7,798,568,500 201,500,000 60,450,000 421,384,680 30,225,000 8,795,196,080 59 340,079,268

NJOMBE
Ludewa 54 3171 404,316,000 21,600,000 6,480,000 56,412,954 3,240,000 492,048,954
Makambako Mji 30 2293 286,384,000 12,000,000 3,600,000 37,297,230 1,800,000 341,081,230
Makete 71 3803 455,068,000 28,400,000 8,520,000 66,189,040 4,260,000 563,321,390
Njombe 44 4554 509,124,000 17,600,000 5,280,000 52,807,520 2,640,000 587,451,520
Njombe Mji 44 3409 428,200,000 17,600,000 5,280,000 53,065,080 2,640,000 506,785,080

101
IDADI YA MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI MALIPO YA AJIRA ZA
MALIPO YA MALIPO YA JUMLA YA
VIJIJI/ MALIPO KWA YA WILAYA NA KATA MUDA
ENEO LA UTEKELEZAJI IDADI YA KAYA USIMAMIZI NGAZI YA USIMAMIZI NGAZI FEDHA KILA
MITAA/ WALENGWA IDADI YA MALIPO KWA
KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA YA MKOA KATA HALMASHAURI
SHEHIA WILAYA MIRADI WALENGWA
Wanging'ombe 66 4705 516,540,000 26,400,000 7,920,000 62,465,600 3,960,000 617,285,600
Jumla Ndogo 309 21935 2,599,632,000 123,600,000 37,080,000 328,237,424 18,540,000 3,107,973,774
PWANI
Bagamoyo 67 10237 1,131,040,500 26,500,000 7,950,000 76,335,880 3,975,000 1,581,309,280 92 403,080,961
Kibaha 45 4496 510,793,300 18,000,000 5,400,000 47,915,480 2,700,000 833,993,080 65 299,371,333
Kibaha Mji 40 2058 284,992,000 16,000,000 4,800,000 43,534,440 2,400,000 351,726,440
Kisarawe 49 1941 263,160,000 19,600,000 5,880,000 39,188,862 2,940,000 382,465,962 58 62,109,169
Mafia 23 1591 205,892,000 9,200,000 2,760,000 28,448,730 1,380,000 247,680,730
Mkuranga 77 4644 646,760,000 30,800,000 9,240,000 65,278,000 4,620,000 756,698,000
Rufiji 65 5235 735,244,000 26,000,000 7,800,000 85,480,000 3,900,000 858,424,000
Jumla Ndogo 366 30202 3,777,881,800 146,100,000 43,830,000 386,181,392 21,915,000 5,012,297,492 214 764,561,462
RUKWA
Kalambo 66 4546 689,204,000 26,400,000 7,920,000 68,326,460 3,960,000 795,810,460
Nkasi 54 5340 846,124,000 21,600,000 6,480,000 74,677,760 3,240,000 952,121,760
Sumbawanga 66 5097 802,172,000 26,400,000 7,920,000 67,359,240 3,960,000 907,811,240
Sumbawanga Mjini 94 5863 885,740,000 37,600,000 11,280,000 69,001,460 5,640,000 1,009,261,460
Jumla Ndogo 280 20846 3,223,240,000 112,000,000 33,600,000 279,364,920 16,800,000 3,665,004,920
RUVUMA
Mbinga 107 10047 1,400,356,000 42,800,000 12,840,000 84,341,600 6,420,000 1,546,757,600
Namtumbo 42 5556 807,664,000 16,800,000 5,040,000 102,116,100 2,520,000 934,140,100
Nyasa 50 4706 681,560,000 20,000,000 6,000,000 56,028,400 3,000,000 766,588,400
Songea 45 5777 749,204,000 18,000,000 5,400,000 82,233,980 2,700,000 1,177,040,180 97 383,851,629
Songea Manispaa 53 4868 633,076,000 21,200,000 6,360,000 48,953,040 3,180,000 712,769,040
Tunduru 88 13842 1,608,796,000 35,200,000 10,560,000 113,174,360 5,280,000 2,716,870,560 171 1,133,958,624
Jumla Ndogo 385 44796 5,880,656,000 154,000,000 46,200,000 486,847,480 23,100,000 7,854,165,880 268 1,517,810,252
SHINYANGA
Kahama Mji 45 3890 656,527,800 18,000,000 5,400,000 47,534,620 2,700,000 826,969,420 54 116,304,441
Kishapu 78 5924 868,980,000 31,200,000 9,360,000 69,778,680 4,680,000 983,998,680
Msalala 64 5635 859,316,000 25,600,000 7,680,000 59,379,900 3,840,000 955,815,900
Shinyanga Manispaa 40 3909 552,756,000 16,000,000 4,800,000 43,120,700 2,400,000 619,076,700
Sinyanga 82 8761 1,236,516,000 32,800,000 9,840,000 69,856,320 4,920,000 1,353,932,320
Ushetu 51 4333 645,404,000 20,400,000 6,120,000 60,992,140 3,060,000 735,976,140
Jumla Ndogo 360 32452 4,819,499,800 144,000,000 43,200,000 350,662,360 21,600,000 5,475,769,160 54 116,304,441

SIMIYU

102
IDADI YA MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI MALIPO YA AJIRA ZA
MALIPO YA MALIPO YA JUMLA YA
VIJIJI/ MALIPO KWA YA WILAYA NA KATA MUDA
ENEO LA UTEKELEZAJI IDADI YA KAYA USIMAMIZI NGAZI YA USIMAMIZI NGAZI FEDHA KILA
MITAA/ WALENGWA IDADI YA MALIPO KWA
KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA YA MKOA KATA HALMASHAURI
SHEHIA WILAYA MIRADI WALENGWA
Bariadi 73 11638 1,780,032,000 29,200,000 8,760,000 71,148,900 4,380,000 1,893,520,900
Busega 41 3915 562,444,000 16,400,000 4,920,000 45,634,880 2,460,000 631,858,880
Itilima 66 6537 1,048,064,000 26,400,000 7,920,000 65,890,600 3,960,000 1,152,234,600
Maswa 80 10374 1,612,816,000 32,000,000 9,600,000 69,244,840 4,800,000 1,728,460,840
Meatu 69 4848 771,556,000 27,600,000 8,280,000 79,066,580 4,140,000 890,642,580
Jumla Ndogo 329 37312 5,774,912,000 131,600,000 39,480,000 330,985,800 19,740,000 6,296,717,800

SINGIDA
Ikungi 56 8120 1,026,672,000 22,400,000 6,720,000 72,919,140 3,360,000 1,132,071,140
Iramba 50 5859 676,644,100 20,000,000 6,000,000 58,294,380 3,000,000 1,118,359,280 94 425,803,019
Manyoni 61 7693 1,006,752,000 24,400,000 7,320,000 130,119,160 3,660,000 1,172,276,460
Mkalama 43 6073 789,785,900 17,200,000 5,160,000 51,471,540 2,580,000 1,407,366,740 74 650,163,652
Singida 40 7778 1,041,624,300 16,000,000 4,800,000 48,176,000 2,400,000 1,627,335,500 57 617,925,023
Singida Mjini 28 2826 370,340,500 11,000,000 3,300,000 38,072,800 1,650,000 590,529,100 39 199,632,469
Jumla Ndogo 278 38349 4,911,818,800 111,000,000 33,300,000 399,053,020 16,650,000 7,047,938,220 264 1,893,554,558

TABORA
Igunga 54 5782 879,928,000 21,600,000 6,480,000 67,115,360 3,240,000 978,363,360
Kaliua 54 7382 1,084,304,000 21,600,000 6,480,000 90,079,300 3,240,000 1,205,772,300
Nzega 102 7751 1,130,376,000 40,800,000 12,240,000 90,427,360 6,120,000 1,279,963,360
Sikonge 46 4071 637,808,000 18,400,000 5,520,000 84,889,500 2,760,000 749,377,500
Tabora Manispaa 118 4521 655,780,000 47,200,000 14,160,000 79,923,140 7,080,000 804,143,140
Urambo 44 3890 546,688,000 17,600,000 5,280,000 58,197,100 2,640,000 630,405,100
Uyui 73 5675 845,349,600 29,200,000 8,760,000 88,909,580 4,380,000 1,248,224,580 102 326,332,189
Jumla Ndogo 491 39072 5,780,233,600 196,400,000 58,920,000 559,541,340 29,460,000 6,896,249,340 102 326,415,086

TANGA

103
IDADI YA MALIPO YA USIMAMIZI NGAZI MALIPO YA AJIRA ZA
MALIPO YA MALIPO YA JUMLA YA
VIJIJI/ MALIPO KWA YA WILAYA NA KATA MUDA
ENEO LA UTEKELEZAJI IDADI YA KAYA USIMAMIZI NGAZI YA USIMAMIZI NGAZI FEDHA KILA
MITAA/ WALENGWA IDADI YA MALIPO KWA
KIJIJI/ MTAA/ SHEHIA YA MKOA KATA HALMASHAURI
SHEHIA WILAYA MIRADI WALENGWA
Handeni 54 7175 1,003,222,100 21,600,000 6,480,000 65,649,460 3,240,000 1,226,843,360 101 152,160,141
Handeni Mji 40 2855 392,056,000 16,000,000 4,800,000 44,233,140 2,400,000 459,489,140
Kilindi 67 6224 886,352,000 26,800,000 8,040,000 71,133,820 4,020,000 996,345,820
Korogwe 80 7066 957,000,000 32,000,000 9,600,000 67,976,220 4,800,000 1,071,376,220
Korogwe Mjini 24 2841 373,276,000 9,600,000 2,880,000 35,302,540 1,440,000 422,498,540
Lushoto 146 9985 1,247,244,000 58,400,000 17,520,000 114,652,080 8,760,000 1,446,576,080
Mkinga 57 4521 579,668,000 22,800,000 6,840,000 56,510,880 3,420,000 669,238,880
Muheza 90 6853 844,324,000 36,000,000 10,800,000 67,704,520 5,400,000 964,228,520
Pangani 35 3902 505,896,000 14,000,000 4,200,000 44,211,440 2,100,000 570,407,440
Tanga 88 5256 706,600,000 35,200,000 10,560,000 64,479,080 5,280,000 822,119,080
Jumla Ndogo 681 56678 7,495,638,100 272,400,000 81,720,000 631,853,180 40,860,000 8,649,123,080 101 152,160,141

ZANZIBAR
Pemba 78 14169 2,089,805,000 0 0 159,400,680 0 2,668,670,480 86 503,947,224
Unguja 126 18111 2,676,343,500 0 0 235,627,260 0 3,401,309,560 142 587,894,216
204 32280 4,766,148,500 0 0 395,027,940 0 6,069,980,040 228 1,091,841,440
JUMLA KUU 9,835 1,007,680 134,859,078,100 3,737,900,000 1,155,330,000 10,562,755,164 577,665,000 163,497,472,314 3,567 15,143,406,000

104
KIAMBATANISHO NA 3

TAASISI ZILIZOUNGANISHWA KATIKA MFUMO WA BARUA PEPE WA


SERIKALI (GMS)

Na. TAASISI
1. ACCOUNTANT GENERAL’S OFFICE
2. ATTORNEY GENERAL’S CHAMBERS
3. AGRICULTURAL INPUTS TRUST FUND
4. AMANA REGIONAL REFERRAL HOSPITAL
5. ARCHITECT QUANTITY REGISTRATION BOARD
6. ARDHI UNIVERSITY-TABORA
7. ARUSHA REGION
8. AGENCY FOR THE DEVELOPMENT OF EDUCATIONAL MANAGEMENT
(ADEM)
9. ARUSHA CITY COUNCIL
10. AGRICULTURAL SEED AGENCY
11. PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
12. AIR TANZANIA COMPANY LIMITED (ATCL)
13. TANZANIA AIRPORTS AUTHORITY (TAA)
14. ARUSHA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
15. MINISTRY OF WATER
16. BABATI DISTRICT COUNCIL
17. BABATI MUNICIPAL COUNCIL
18. BARIADI DISTRICT COUNCIL
19. BAGAMOYO DISTRICT COUNCIL
20. BAHI DISTRICT COUNCIL
21. BARIADI TOWN COUNCIL
22. NATIONAL ARTS COUNCIL OF TANZANIA – BASATA
23. BUCHOSA DISTRICT COUNCIL
24. BUHIGWE DISTRICT COUNCIL
25. BUKOBA DISTRICT COUNCIL

105
Na. TAASISI
26. BIHARAMULO DISTRICT COUNCIL
27. BUKOBA MUNICIPAL COUNCIL (BMC)
28. BUKOMBE DISTRICT COUNCIL
29. BUNDA DISTRICT COUNCIL
30. BUNDA TOWN COUNCIL
31. BUNDA WATER SUPPLY AND SEWARAGE AUTHORITY
32. BUSEGA DISTRICT COUNCIL
33. BUTIAMA DISTRICT COUNCIL
34. BUSOKELO DISTRICT COUNCIL
35. NATIONAL ARTS COUNCILS
36. BUSINESS REGISTRATIONS AND LICENSING AGENCY (BRELA)
37. BUKOMBE DISTRICT COUNCIL
38. PARLIAMENT OF TANZANIA
39. CAPITAL DEVELOPMENT AUTHORITY
40. CEREALS AND OTHER PRODUCE BOARD OF TANZANIA – CPB
41. CHALINZE WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
42. CHALINZE DISTRICT COUNCIL
43. CHAMWINO DISTRICT COUNCIL
44. CHATO DISTRICT COUNCIL
45. CHEMBA DISTRICT COUNCIL
46. CHUNYA DISTRICT COUNCIL
47. COMMISSION FOR MEDIATION AND ARBITRATION
48. MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY
AND CHILDREN
49. COMMAND AND STAFF COLLEGE DULUTI
50. DAR ES SALAAM RAPID TRANSPORT
51. DAR ES SALAAM WATER AND SEWERAGE AUTHORITY
52. DAR ES SALAAM WATER AND SEWAGE COOPERATION
53. DAR ES SALAAM CITY COUNCIL
54. DRILLING AND DAM CONSTRUCTION AGENCY

106
Na. TAASISI
55. DAR ES SALAAM MARITIME INSTITUTE
56. DRUG CONTROL AND ENFORCEMENT AUTHORITY
57. DODOMA REGIONAL COUNCIL
58. DODOMA MUNICIPAL COUNCIL
59. DEEP SEA FISHING AUTHORITY
60. DODOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
(DUWASA)
61. e-GOVERNMENT AGENCY
62. EXPORT PROCESSING ZONES AUTHORITY .
63. ETHICS SECRETARIAT
64. ENGINEERS REGISTRATION BOARD
65. TANZANIA FIRE AND RESCUE FORCE
66. GAIRO DISTRICT COUNCIL
67. GEITA DISTRICT COUNCIL
68. GEITA TOWN COUNCIL
69. GOVERNMENT PROCUREMENT SERVICES AGENCY (GPSA)
70. GEOLOGICAL SURVEY OF TANZANIA
71. GEOLOGICAL SURVEY OF TANZANIA (GST)
72. MINISTRY OF INFORMATION, CULTURE, ARTS & SPORTS
73. HANANG‘ DISTRICT COUNCIL
74. HANDENI DISTRICT COUNCIL
75. MINISTRY OF FINANCE AND PLANNING
76. IFAKARA TOWN COUNCIL
77. PRESIDENT’S OFFICE – STATE HOUSE
78. IKUNGI DISTRICT COUNCIL
79. ILEMELA DISTRICT COUNCIL
80. ILEJE DISTRICT COUNCIL
81. ILALA MUNICIPAL COUNCIL
82. MINISTRY OF HOME AFFAIRS, IMMIGRATION DEPARTMENT
83. ICT COMMISSION

107
Na. TAASISI
84. INSTITUTE OF JUDICIAL ADMINISTRATION (IJA)
85. IRAMBA DISTRICT COUNCIL
86. IRINGA REGION
87. IRINGA DISTRICT COUNCIL
88. IRINGA MUNICIPAL COUNCIL
89. IRINGA URBAN WATER SUPPLY & SANITATION AUTHORITY (IRUWASA)
90. ITILIMA DISTRICT COUNCIL
91. ITIGI DISTRICT COUNCIL
92. JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE
93. THE JUDICIARY OF TANZANIA
94. PRIME MINISTER’S OFFICE, LABOUR, YOUTH EMPLOYMENT AND
PERSONS WITH DISABILITY
95. KAGERA REGION
96. KAHAMA DISTRICT COUNCIL
97. KAHAMA TOWN COUNCIL
98. KAHAMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
99. KAKONKO DISTRICT COUNCIL
100. KALIUA DISTRICT COUNCIL
101. KALAMBA DISTRICT COUNCIL
102. KARAGWE DISTRICT COUNCIL
103. KARATU DISTRICT COUNCIL
104. KASULU DISTRICT COUNCIL
105. KATAVI REGION
106. KIBAHA DISTRICT COUNCIL
107. KIBITI DISTRICT COUNCIL
108. KIBONDO DISTRICT COUNCIL
109. KIBAHA TOWN COUNCIL
110. KIBAHA EDUCATION CENTRE
111. KIGAMBONI MUNICIPAL
112. KIGOMA REGION

108
Na. TAASISI
113. KILIMANJARO REGION
114. MINISTRY OF AGRICULTURE
115. KILOLO DISTRICT COUNCIL
116. KILOMBERO DISTRICT COUNCIL
117. KINONDONI MUNICIPAL COUNCIL
118. KISARAWE DISTRICT COUNCIL
119. KITETO DISTRICT COUNCIL
120. KONDOA TOWN COUNCIL
121. KONDOA DISTRICT COUNCIL
122. KONGWA DISTRICT COUNCIL
123. KOROGWE DISTRICT COUNCIL
124. KOROGWE TOWN COUNCIL
125. KIGOMA URBAN WATER SUPPLIES AND SEWERAGE (KUWASSA)
126. KIGOMA DISTRICT COUNCIL
127. KIGOMA UJIJI MUNICIPAL COUNCIL
128. KWIMBA DISTRICT COUNCIL
129. KILINDI DISTRICT COUNCIL
130. KYERWA DISTRICT COUNCIL
131. LINDI DISTRICT COUNCIL
132. KILOSA DISTRICT COUNCIL
133. KILWA DISTRICT COUNCIL
134. KINONDONI MUNICIPA COUNCIL
135. KISARAWE DISTRICT COUNCIL
136. KISHAPU DISTRICT COUNCIL
137. LIWALE DISTRICT COUNCIL
138. LONGIDO DISTRICT COUNCIL
139. KYELA DISTRICT COUNCIL
140. MINISTRY OF LANDS, HOUSING & HUMAN SETTLEMENT
141. LINDI MUNICIPAL COUNCIL

109
Na. TAASISI
142. LAW REFORM COMMISSION
143. LUDEWA DISTRICT COUNCIL
144. MANYARA REGION
145. MADABA DISTRICT COUNCIL
146. MINISTRY OF MINERALS
147. MIKOCHENI AGRICULTURAL RESEARCH INSTITUTE
148. MASASI DISTRICT COUNCIL
149. MAFIA DISTRICT COUNCIL
150. MAGU DISTRICT COUNCIL
151. MASASI TOWN COUNCIL
152. MASWA DISTRICT COUNCIL
153. MBEYA REGION
154. MBEYA MUNICIPAL COUNCIL
155. MBEYA CITY COUNCIL
156. MBINGA DISTRICT COUNCIL
157. MBINGA TOWN COUNCIL
158. MERU DISTRICT COUNCIL
159. MBOZI DISTRICT COUNCIL
160. MBULU DISTRICT COUNCIL
161. MBULU TOWN COUNCIL
162. MISENYI DISTRICT COUNCIL
163. MISUNGWI DISTRICT COUNCIL
164. MKALAMA DISTRICT COUNCIL
165. MKINGA DISTRICT COUNCIL
166. MKURANGA DISTRICT COUNCIL
167. MINISTRY OF EAST AFRICAN CO-OPERATION.
168. MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY
AND CHILDREN
169. MEATU DISTRICT COUNCIL
170. TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY

110
Na. TAASISI
171. CENTRE FOR AGRICULTURAL MECHANIZATION AND RURAL
TECHNOLOGY
172. TANZANIA AIRPORTS AUTHORITY
173. MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES
174. NATIONAL ECONOMIC EMPOWERMENT COUNCIL
175. MINISTRY OF INDUSTRY AND TRADE
176. MLELE DISTRICT COUNCIL
177. MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY
178. MINISTRY OF NATURAL RESOURCES AND TOURISM
179. MINISTRY OF DEFENCE AND NATIONAL SERVICES
180. MAKAMBAKO TOWN COUNCIL
181. MINISTRY OF COMMUNICATION, SCIENCE AND TECHINOLOGY
182. MAKETE DISTRICT COUNCIL
183. MALINYI DISTRICT COUNCIL
184. MANYONI DISTRICT COUNCIL
185. MARA REGION
186. MARINE PARK INSTITUTE
187. MINISTRY OF HOME AFFAIRS
188. MUHIMBILI ORTHOPAEDIC INSTITUTE
189. MONDULI DISTRICT COUNCIL
190. MOMBA DISTRICT COUNCIL
191. MOROGORO REGION
192. MOROGORO MUNICIPAL COUNCIL
193. MOROGORO DISTRICT COUNCIL
194. MOSHI DISTRICT COUNCIL
195. MOSHI MUNICIPAL COUNCIL
196. MINISTRY OF INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT
197. MPANDA MUNICIPAL COUNCIL
198. MPANDA DISTRICT COUNCIL
199. MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS

111
Na. TAASISI
200. MINISTRY OF COMMUNICATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY
201. MTWARA URBAN WATER AND SANITATION AUTHORITY
202. MTWARA REGION
203. MBARALI DISTRICT COUNCIL
204. MPIMBWE DISTRICT COUNCIL
205. MPWAPWA DISTRICT COUNCIL
206. MSALALA DISTRICT COUNCIL
207. MTWARA MIKINDANI MUNICIPAL COUNCIL
208. MAFINGA DISTRICT COUNCIL
209. MULEBA DISTRICT COUNCIL
210. MUHEZA DISTRICT COUNCIL
211. MFINDI DISTRICT COUNCIL
212. MUSOMA MUNICIPAL COUNCIL
213. MUSOMA DISTRICT COUNCIL
214. MVOMERO DISTRICT COUNCIL
215. MWANGA DISTRICT COUNCIL
216. MWANZA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
217. MWANZA REGION
218. MWANZA CITY COUNCIL
219. NACHINGWEA DISTRICT COUNCIL
220. NAMTUMBO DISTRICT COUNCIL
221. NANYAMBA TOWN COUNCIL
222. NANYUMBU DISTRICT COUNCIL
223. NATIONAL BOARD OF ACCOUNTANTS AND AUDITORS (NBAA)
224. UNESCO NATIONAL COMMISSION OF TANZANIA( NATCOM)
225. NATIONAL CONSTRUCTION COUNCIL
226. NATIONAL COLLEGE OF TOURISM
227. NATIONAL DEFENCE COLLEGE
228. NATIONAL ENVIRONMENT MANAGEMENT COUNCIL (NEMC)

112
Na. TAASISI
229. NATIONAL FOOD RESERVE AGENCY
230. NGARA DISTRICT COUNCIL
231. NATIONAL HOUSING AND BUILDING RESEARCH AGENCY (NHBRA)
232. NATIONAL IRRIGATION COMMISSION
233. MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND INTERNATIONAL CO-OPERATION
(MOFAIC)
234. NSIMBO DISTRICT COUNCIL
235. NEGLECTED TROPICAL DISEASES CONTROL PROGRAMME
236. NEWALA DISTRICT COUNCIL
237. NEWALA TOWN COUNCIL
238. NATIONAL ELECTORAL COMMISSION (NEC)
239. NATIONAL FISHERIES QUALITY CONTROL LABORATORY
240. NATIONAL RECORDS AND ARCHIVE MANAGEMENT DEPARTMENT
241. NZEGA DISTRICT COUNCIL
242. NZEGA TOWN COUNCIL
243. OCEAN ROAD CANCER INSTITUTE
244. NGORONGORO DISTRICT COUNCIL
245. NJOMBE DISTRICT COUNCIL
246. NJOMBE TOWN COUNCIL
247. NJOMBE REGION
248. NKASI DISTRICT COUNCIL
249. NATIONAL LAND USE PLANNING COMMISSION (NLUPC)
250. NEGRECTED TROPICAL DIESEASE PROGRAM
251. NYASA DISTRICT COUNCIL
252. REGISTRAR OF POLITICAL PARTIES
253. OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH (OSHA)
254. PRIME MINISTER’S OFFICE
255. PANGANI DISTRICT COUNCIL
256. CENTER FOR FOREIGN RELATION
257. PRESIDENT OFFICE PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT

113
Na. TAASISI
258. PUBLIC SERVICE COMMISSION
259. PHARMACY COUNCIL OF TANZANIA
260. PROCUREMENT AND SUPPLIES PROFESSIONAL AND TECHNICIAN
BOARD (PSPTB)
261. PUBLIC REMUNERATION SECRETARIET
262. PWANI REGION
263. ROMBO DISTRICT COUNCIL
264. RORYA DISTRICT COUNCIL
265. RUANGWA DISTRICT COUNCIL
266. RUFIJI DISTRICT COUNCIL
267. RUKWA REGION
268. RUVUMA REGION
269. SUGAR BOARD OF TANZANIA
270. SAME DISTRICT COUNCIL
271. SENGEREMA DISTRICT COUNCIL
272. SERENGETI DISTRICT COUNCIL
273. MINISTRY OF JUSTICE AND CONSTITUTIONAL AFFRS
274. SHINYANGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
275. SHINYANGA REGION
276. SHINYANGA DISTRICT COUNCIL
277. SHINYANGA MUNICIPAL COUNCIL
278. SIHA DISTRICT COUNCIL
279. SIMANJIRO DISTRICT COUNCIL
280. SIKONGE DISTRICT COUNCIL
281. SIMIYU REGION
282. SINGIDA REGION
283. SINGIDA DISTRICT COUNCIL
284. SINGIDA MUNICIPAL CCOUNCIL
285. TANZANIA SISAL BOARD (TSB)
286. SONGEA MUNICIPAL COUNCIL

114
Na. TAASISI
287. SONGEA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
288. STATE MINING CORPORATION
289. TABORA REGION
290. TABORA MUNICIPAL COUNCIL
291. TANZANIA COMMISSION FOR AIDS (TACAIDS)
292. TANZANIA LIVESTOCK RESEARCH INSTITUTE
293. PRESIDENT‘S OFFICE - REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL
GOVERNMENT
294. TANDAHIMBA DISTRICT COUNCIL
295. TANGA REGION
296. TANGA URBAN WATER SUPPLY & SEWERAGE AUTHORITY
297. TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY
298. TANZANIA NATIONAL PARKS (TANAPA)
299. TARIME DISTRICT COUNCIL
300. TANZANIA SOCIAL ACTION FUND
301. TANZANIA WILDLIFEAUTHORIATY
302. TANZANIA BUILDING AGENCY
303. TANZANIA BUREAU OF STANDARDS
304. TANZANIA MILK BOARD
305. ANTI-DRUG COMMISSION
306. TEMEKE MUNICIPAL COUNCIL
307. TANZANIA ELECTRICAL, MECHANICAL AND ELECTRONICS SERVICES
AGENCY (TEMESA)
308. TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY
309. TANZANIA GEOTHERMAL DEVELOPMENT COMPANY LIMITED (TGDC)
310. TANZANIA INSURANCE OMBUDSMAN (TIO)
311. TANZANIA MEAT BOARD
312. TANZANIA NATIONAL BUSINESS COUNCIL
313. TANZANIA TOBACCO BOARD
314. TANZANIA OFFICIAL SEED CERTICATION INSTITUTE (TOSCI)

115
Na. TAASISI
315. TANZANIA PORTS AUTHORITY
316. TANZANIA PEOPLE DEFENCE FORCE
317. TANZANIA REGIONAL IMMIGRATION TRAINING ACADEMY(TRITA)
318. TANZANIA RAILWAY COMPANY
319. TEACHERS SERVICE COMMISSION
320. TUNDURU DISTRICT COUNCIL
321. UBUNGO MUNICIPAL COUNCIL
322. MINISTRY OF TRANSPORT
323. UNIVERSAL CUMMUNICATION SERVICES ACCESS FUND (UCSAF)
324. ULANGA DISTRICT COUNCIL
325. UONGOZI INSTITUTE
326. TANZANIA COOPERATIVE DEVELOPMENT COMMISSION
327. PRESIDENT’S OFFICE - PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD
GOVERNANCE
328. WORKERS COMPENSATION FUND
329. WATER DEVELOPMENT AND MANAGEMENT INSTITUTE (WDMI)
330. WEIGHTS AND MEASURES AGENCY
331. RUNGWE DISTRICT COUNCIL
332. SMALL INDUSTRIES DEVELOPMENT ORGANISATION, TANZANIA (SIDO)
333. TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE
334. MINISTRY OF HEALTHY, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER,
ELDERLY AND CHILDREN (MOHCDGEC)
335. NATIONAL SPORTS COUNCIL
336. JUDICIAL SERVICE COMMISSION
337. TANZANIA NATIONAL SERVICE (JKT)
338. TANZANIA PATIENT RECRUITING AGENCY (TPRA)
339. TANZANIA WILDLIFE RESEARCH INSTITUTE (TAWIRI)
340. TROPICAL PESTICIDES RESEARCH INSTITUTE (TPRI)
341. HAI DISTRICT COUNCIL
342. TANZANIA VETERINARY LABORATORY AGENCY

116
Na. TAASISI
343. MBEYA REFERAL HOSPITAL
344. NATIONAL BOARD OF ACCOUNTING AND AUDIT (NBAA)
345. SUMBAWANGA REFERAL HOSPITAL
346. TANZANIA SHIPPING AGENCIES CORPORATION (TASAC)
347. TANZANIA INDUSTRIAL RESEARCH AND DEVELOPMENT ORGANISATION
(TIRDO)
348. LUSHOTO DISTRICT COUNCIL
349. DODOMA REGIONAL REFERAL HOSPITAL
350. PRESIDENTIAL TRUST FUND
351. FOREST INDUSTRIES TRAINING INSTITUTE (FITI)
352. KAHAMA SHINYANGA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
353. GEITA REGIONAL
354. MASASI NACHINGWEA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
355. OFFICE OF SOLICITOR GENERAL
356. TABORA DISTRICT COUNCIL
357. TABORA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
(TUWASA)
358. NYANGHWALE DISCTRICT COUNCIL
359. NATIONAL PROSECUTION SERVICES OFFICE
360. DAR-ES-SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY (DIT)
361. PROPERTY AND BUSINESS FORMALIZATION PROGRAM (MKURABITA)
362. LOCAL GOVERNMENT TRAINING INSTITUTE (LGTI)
363. TANZANIA FERTILIZER REGURATORY AUTHORITY (TFRA)
364. NACHINGWEA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
(MANAWASA)
365. BUKOBA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY ( BUWASA )
366. DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHINOLOGY – MWANZA CAMPUS
367. DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHINOLOGY – MYUNGA CAMPUS
368. TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY (TCRA)
369. TANZANIA INSTITUTE OF EDUCATION (TIE)
370. TANZANIA TREE SEED AGENCY (TTSA)

117
Na. TAASISI
371. LINDI REGIONAL ADMINISTRATIVE SECRETARIAT (RAS – LINDI)
372. MAFINGA TOWN COUNCIL
373. TANZANIA AGRICULTURAL RESEARCH INSTITUTE (TARI)
374. ARTS AND CULTURE INSTITUTE (TASUBA)
375. TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY(TCAA)
376. VOCATIONAL EDUCATION AND TRAINING AUTHORITY (VETA)
377. SINGIDA URBAN WATETR SUPPLY AND SANITATION
AUTHORITY(SUWASA)
378. SUMBAWANGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION
AUTHORITY(SUWASA-RUKWA
379. MPANGO WA KURASIMISHA RASILIMALI NA BIASHARA TANZANIA
(MKURABITA)
380. NATIONAL INSTITUTE FOR MEDICAL RESEARCH
381. PETROLEUM BULK PROCUREMENT AGENCY (PBPA)
382. SINGIDA MUNICIPAL COUNCIL
383. MAKAMBAKO URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
(MAKUWASA)
384. LUSHOTO DISTRICT COUNCIL
385. MUSOMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION
AUTHORITY(MUWASA
386. NEWALA TOWN COUNCIL
387. ZANZIBAR PORT COOPERATION
388. MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA
389. ARCHITECS ENGINEERS AND QUANTITY SURVEYORS REGISTRATION
BOARD OF ZANZIBAR
390. FISHERIES EDUCATION AND TRAINING AGENCY (FETA)
391. MBARALI DISTRICT COUNCIL
392. TANZANIA BRODCASTING COOPORATION (TBC)
393. ILEJE DISTRICT COUNCIL
394. SONGWE DISTRICT COUNCIL
395. INSTITUTE OF FINANCE MANAGMNT(IFM)
396. LINDI URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY(LUWASA)
397. NATIONAL BUREAU OF STATISTICS(NBS)
398. CO-OPERATIVE AUDIT AND SUPERVISION CORPORATION (COASCO)

118
KIAMBATANISHO NA 4

TAASISI ZILIZOUNGANISHWA KATIKA MFUMO OFISI MTANDAO e-


OFFICE)

Na. TAASISI
1 UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM (UDSM )
MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY
2 AND CHILDREN
3 MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES (MUHAS)
4 SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE (SUA)
5 MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND EAST AFRICA COOPERATION
6 BANK OF TANZANIA (BOT)
7 MINISTRY OF AGRICULTURE
8 TANZANIA REVENUE AUTHORITY
9 TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY (TCAA)
10 TANZANIA BUREAU OF STANDARDS (TBS)
11 MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL (MNH)
12 MINISTRY OF FINANCE AND PLANNING
13 UNIVERSITY OF DODOMA (UDOM)
PRESIDENT'S OFFICE - REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL
14 GOVERNMENT
15 TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY (TFDA)
16 ARDHI UNIVERSITY (ARU)
17 MZUMBE UNIVERSITY (MU)
18 MINISTRY OF INDUSTRY, TRADE AND INVESTMENT
NELSON MANDELA AFRICAN INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY
19 (NMAIST)
20 AIR TANZANIA COMPANY LIMITED (ATCL)
21 NATIONAL INSTITUTE FOR MEDICAL RESEARCH (NIMR)
22 TANZANIA POLICE FORCE (TPF)
23 TANZANIA NATIONAL ROAD AGENCY (TANROADS)
24 TANZANIA PORTS AUTHORITY( TPA )
25 TANZANIA PETROLEUM DEVELOPMENT CORPORATION ( TPDC )
26 DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION (DUCE)
27 OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA (OUT)
28 DAR-ES-SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY (DIT)
29 TANZANIA COMMUNICATION REGULATORY AUTHORITY (TCRA)

119
Na. TAASISI
30 IMMIGRATION SERVICES DEPARTMENT
31 TANZANIA COMMISSION FOR SCIENCE AND TECHNOLOGY (COSTECH)
32 MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY
33 TANZANIA BROADCASTING CORPORATION (TBC)
34 MINISTRY OF WATER
35 JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE (JKCI)
MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION
36 (TRANSPORT)
37 KINONDONI MUNICIPAL COUNCIL
38 TANZANIA ATOMIC ENERGY COMMISSION (TAEC)
39 TANZANIA TELECOMMUNICATION COMPANY LIMITED (TTCL)
40 MUHIMBILI ORTHOPAEDIC INSTITUTE (MOI)
41 ILALA MUNICIPAL COUNCIL
42 MINISTRY OF ENERGY
43 NATIONAL BUREAU OF STATISTICS (NBS)
44 OCEAN ROAD CANCER INSTITUTE (ORCI)
45 TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY (TMA)
46 MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES (FISHERIES)
47 MINISTRY OF INFORMATION, CULTURE, ARTS AND SPORTS
48 TANZANIA INVESTMENT CENTRE (TIC)
49 NATIONAL INSURANCE CORPORATION (T) LIMITED (NIC)
50 MEDICAL STORES DEPARTMENT (MSD)
51 UBUNGO MUNICIPAL COUNCIL
52 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION (WORKS)
53 NATIONAL AIDS CONTROL PROGRAM (NACP)
54 TANZANIA AIRPORT AUTHORITY (TAA)
55 TANZANIA INSTITUTE OF EDUCATION (TIE)
56 TEMEKE MUNICIPAL COUNCIL
57 MINISTRY OF NATURAL RESOURCES AND TOURISM
58 MINISTRY OF HEALTH - COMMUNITY DEVELOPMENT
59 MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY
60 NATIONAL EXAMINATION COUNCIL OF TANZANIA (NECTA)
61 MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES (LIVESTOCK)
62 MBEYA ZONAL REFERRAL HOSPITAL
63 TANZANIA SHIPPING AGENCIES CORPORATION (TASAC)
64 TANZANIA RAILWAY CORPORATION (TRC)
65 TANZANIA NATIONAL PARKS (TANAPA)
66 PRESIDENT'S OFFICE - PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD

120
Na. TAASISI
GOVERNANCE
67 THE INSTITUTE OF FINANCE MANAGMENT (IFM)
68 MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY (MNMA)
69 TANZANIA STANDARD (NEWSPAPERS) LIMITED (TSN)
70 MKWAWA UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION (MUCE)
PRIME MINISTER'S OFFICE - LABOUR, YOUTH, EMPLOYMENT AND
71 PERSONS WITH DISABILITY
72 EXPORT PROCESSING ZONES AUTHORITY (EPZA)
73 TANZANIA RURAL AND URBAN ROADS AGENCY (TARURA)
MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION
74 (COMMUNICATION)
75 TANGA CITY COUNCIL
76 MOSHI CO-OPERATIVE UNIVERSITY
77 DODOMA MUNICIPAL COUNCIL
SURFACE AND MARINE TRANSPORT REGULATORY AUTHORITY
78 (SUMATRA)
79 NATIONAL ELECTROL COMMISSION (NEC)
80 GOVERNMENT CHEMIST LABORATORY AUTHORITY (GCLA)
81 TANZANIA VETERINARY LABORATORY AGENCY (TVLA)
82 TANZANIA BUILDINGS AGENCY (TBA)
83 PRIME MINISTER'S OFFICE - POLICY AND PARLIAMENTARY AFFAIRS
84 PUBLIC SERVICE SOCIAL SECURITY FUND (PSSSF)
85 OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH AUTHORITY (OSHA)
86 TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES (TCU)
87 SMALL INDUSTRIES DEVELOPMENT ORGANIZATION (SIDO)
88 TANGA RAS
89 TANZANIA TRADE DEVELOPMENT AUTHORITY (TANTRADE)
90 KIGOMA REGION
91 MOROGORO RAS
92 KILIMANJARO AIRPORT DEVELOPMENT COMPANY LIMITED (KADCO)
93 COLLEGE OF BUSINESS EDUCATION (CBE)
94 DAR ES SALAAM MARITIME INSTITUTE (DMI)
MINISTRY OF LANDS, HOUSING AND HUMAN SETTLEMENTS
95 DEVELOPMENTS
96 EASTERN AFRICA STATISTICAL TRAINING CENTRE
97 NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT (NIT)
98 TANZANIA POSTAL BANK
99 TANZANIA INSURANCE REGULATORY AUTHORITY (TIRA)
100 e-GOVERNMENT AGENCY (eGA)

121
Na. TAASISI
101 DAR RAPID TRANSIT (DART)
102 SOCIAL SECURITY REGULATORY AUTHORITY (SSRA)
TANZANIA INDUSTRIAL RESEARCH AND DEVELOPMENT ORGANIZATION
103 (TIRDO)
104 TANZANIA DRUGS CONTROL AND ENFORCEMENT AUTHORITY
105 TANZANIA CENTRE FOR FOREIGN RELATIONS
106 BENJAMIN MKAPA HOSPITAL
107 TIB DEVELOPMENT BANK LIMITED
108 BUKOBA DISTRICT COUNCIL
109 TANZANIA COMMISSION FOR AIDS
110 NGORONGORO CONSERVATION AREA AUTHORITY
111 TANZANIA FOOD AND NUTRITION CENTRE (TFNC)
112 ARUSHA INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE
113 ARUSHA TECHNICAL COLLEGE
114 BUSINESS REGISTRATIONS AND LICENSING AGENCY (BRELA)
115 DAR ES SALAAM CITY COUNCIL
116 TANZANIA PRISONS SERVICE
117 KILIMANJARO RAS
118 ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
119 KIBAHA TOWN COUNCIL
120 TANZANIA TOURISM BOARD
121 MBEYA REGION
122 MWANZA CITY COUNCIL
123 FAIR COMPETITION COMMISSION (FCC)
124 SIMIYU RAS
125 MINISTRY OF HOME AFFAIRS
126 MOROGORO MUNICIPAL COUNCIL
127 KIGAMBONI MUNICIPAL COUNCIL
128 MARA REGION
129 COPYRIGHT SOCIETY OF TANZANIA (COSOTA)
130 LUSHOTO DISTRICT COUNCIL
131 TANZANIA FIRE AND RESCUE FORCE
132 TANZANIA COOPERATIVE DEVELOPMENT COMMISSION (TCDC)
133 TANZANIA GOVERNMENT FLIGHT AGENCY (TGFA)
134 KISARAWE DISTRICT COUNCIL
135 COLLEGE OF AFRICAN WILDLIFE MANAGEMENT (MWEKA)
136 TREASURY REGISTRAR (TR)
137 ARUSHA CITY COUNCIL

122
Na. TAASISI
138 PUBLIC PROCUREMENT REGULATORY AUTHORITY (PPRA)
139 NATIONAL ECONOMIC EMPOWERMENT COUNCIL
140 MKINGA DISTRICT COUNCIL
141 PWANI RAS
142 DODOMA REGION
143 WORKERS COMPENSATION FUND (WCF )
144 HIGHER EDUCATION STUDENT'S LOANS BOARD (HESLB)
145 BAHI DISTRICT COUNCIL
146 MVOMERO DISTRICT COUNCIL
147 WEIGHT AND MEASURES AGENCY (WMA)
148 NATIONAL BOARD OF ACCOUNTANTS AND AUDITORS (NBAA)
149 LOCAL GOVERNMENT TRAINING INSTITUTE (LGTI)
150 TIB CORPORATE BANK LIMITED
151 LIWALE DISTRICT COUNCIL
152 MWANZA REGION
153 MIREMBE MENTAL HEALTH HOSPITAL (MMHH)
154 TANZANIA ZAMBIA RAILWAY AUTHORITY (TAZARA)
155 NATIONAL SPORTS COUNCIL
156 MOROGORO DISTRICT CONCIL
157 BUGANDO MEDICAL CENTRE
158 NATIONAL SWAHILI COUNCIL (BAKITA)
159 GAMING BOARD OF TANZANIA
160 MANYARA REGION
161 ROAD FUND BOARD (RFB)
162 MOSHI MUNICIPAL COUNCIL
163 MBEYA CITY COUNCIL
164 NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND (NHIF)
165 ARUSHA REGION
166 DAR ES SALAAM RAS
167 TANZANIA EDUCATION AUTHORITY (TEA)
168 INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT PLANNING
169 KILOMBERO DISTRICT COUNCIL
170 MISUNGWI DISTRICT COUNCIL
171 TARIME DISTRICT COUNCIL
172 LINDI MUNICIPAL COUNCIL
173 KARATU DISTRICT COUNCIL
174 KONGWA DISTRICT COUNCIL
175 KILOSA DISTRICT COUNCIL

123
Na. TAASISI
176 NATIONAL SOCIAL SECURITY FUND ( NSSF )
177 TANZANIA WILDLIFE RESEARCH INSTITUTE
178 MULEBA DISTRICT COUNCIL
179 KAGERA REGION
180 RUVUMA RAS
181 BABATI TOWN COUNCIL
182 MASWA DISTRICT COUNCIL
TANZANIA ENGINEERING AND MANUFACTURING DESIGN
183 ORGANIZATION (TEMDO)
184 SIMANJIRO DISTRICT COUNCIL
185 BAGAMOYO COLLEGE OF ARTS (TASUBA)
186 TANZANIA OFFICIAL SEED CERTIFICATION INSTITUTE (TOSCI)
187 TARIME TOWN COUNCIL
188 TANZANIA COTTON BOARD (TCB)
189 TANZANIA WILDLIFE MANAGEMENT AUTHORITY (TAWA)
190 VOCATIONAL EDUCATION AND TRAINING AUTHORITY (VETA)
191 BAGAMOYO DISTRICT COUNCIL
192 IRINGA RAS
193 SAME DISTRICT COUNCIL
194 FISHERIES EDUCATION AND TRAINING AGENCY (FETA)
195 TANZANIA FOREST RESEACH INSTITUTE (TAFORI)
196 KITETO DISTRICT COUNCIL
197 HANDENI DISTRICT COUNCIL
198 SINGIDA MUNICIPAL COUNCIL
199 INSTITUTE OF ADULT EDUCATION (IAE)
200 ROMBO DISTRICT COUNCIL
201 ARUSHA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
202 PETROLEUM UPSTREAM REGULATORY AUTHORITY (PURA)
203 MUSOMA DISTRICT COUNCIL
204 NATIONAL COLLEGE OF TOURISM
205 MOSHI DISTRICT COUNCIL
206 IRINGA MUNICIPAL COUNCIL
207 MAGU DISTRICT COUNCIL
208 GOVERNMENT PROCUREMENT SERVICES AGENCY (GPSA)
209 TABORA REGION
210 CAPITAL MARKETS AND SECURITIES AUTHORITY (CMSA)
211 NATIONAL DEVELOPMENT CORPORATION (NDC)
212 TANZANIA FORESTRY SERVICES AGENCY

124
Na. TAASISI
UNESCO NATIONAL COMMISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF
213 TANZANIA
214 MONDULI TEACHERS COLLEGE
215 PUBLIC SERVICE COMMINISION (PSC)
216 IKUNGI DISTRICT COUNCIL
TANZANIA ELECTRICAL,MECHANICAL AND ELECTRONICS SERVICES
217 AGENCY (TEMESA)
218 MTWARA MIKINDANI MUNICIPAL COUNCIL
219 GEITA REGION
220 KIBONGOTO HOSPITAL
221 ENGINEERS REGISTRATION BOARD (ERB)
222 ARUSHA DISTRICT COUNCIL
223 TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE
224 CONTRACTORS REGISTRATION BOARD (CRB)
225 KWIMBA DISRTRICT COUNCIL
226 SONGWE RAS
227 NATIONAL IDENTIFICATION AUTHORITY (NIDA)
228 MWANZA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
229 UKEREWE DISTRICT COUNCIL
230 NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE)
231 CHAMWINO DISTRICT COUNCIL
232 MERU DISTRICT COUNCIL
233 GEITA TOWN COUNCIL
234 TANZANIA AGRICULTURAL DEVELOPMENT BANK LIMITED
235 TANZANIA GLOBAL LEARNING AGENCY (TAGLA)
236 SHINYANGA REGIONAL REFERRAL HOSPITAL
237 HAI DISTRICT COUNCIL
238 PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
239 MAKAMBAKO TOWN COUNCIL
240 GAIRO DISTRICT COUNCIL
241 ITILIMA DISTRICT COUNCIL
242 UNIVERSAL COMMUNICATION SERVICES ACCESS FUND (UCSAF)
243 MWANGA DISTRICT COUNCIL
244 KAHAMA TOWN COUNCIL
245 TANZANIA TOBACCO BOARD (TTB)
246 WATUMISHI HOUSING COMPANY
247 KARAGWE DISTRICT COUNCIL
248 MKURANGA DISTRICT COUNCIL

125
Na. TAASISI
249 MINISTRY OF MINERALS
250 LIVESTOCK TRAINING AGENCY
251 PHARMACY COUNCIL OF TANZANIA
252 PUBLIC SERVICE REMUNERATION BOARD (PSRB)
253 TANZANIA FERTILIZER REGULATORY AUTHORITY (TFRA)
254 BUSEGA DISTRICT COUNCIL
255 WATER MANAGEMENT INSTITUTE
256 NATIONAL HOUSING CORPORATION (NHC)
257 NATIONAL CONSTRUCTION COUNCIL (NCC)
258 TABORA MUNICIPAL COUNCIL
259 MASASI DISTRICT COUNCIL
260 BUKOBA MUNICIPAL COUNCIL
261 KALIUA DISTRICT COUNCIL
262 OFFICE OF THE REGISTRAR OF POLITICAL PARTIES
263 IRINGA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
264 BABATI DISTRICT COUNCIL
265 SELF MICROFINANCE FUND
PROCUREMENT AND SUPPLIES PROFESSIONALS AND TECHNICIANS
266 BOARD
267 TANZANIA COFFEE BOARD
268 IFAKARA TOWN COUNCIL
269 KYERWA DISTRICT COUNCIL
270 KATAVI REGION
271 BUKOMBE DISTRICT COUNCIL
272 TUNDUMA TOWN COUNCIL
273 TANZANIA FERTILIZER COMPANY (TFC)
274 SHINYANGA MUNICIPAL COUNCIL
275 LUDEWA DISTRICT COUNCIL
276 ULANGA DISTRICT COUNCIL
277 RORYA DISTRICT COUNCIL
278 KOROGWE TOWN COUNCIL
279 PANGANI DISTRICT COUNCIL
280 ILEJE DISTRICT COUNCIL
281 NATIONAL LAND USE PLANNING COMMISSION
282 USHETU DISTRICT COUNCIL
283 NGORONGORO DISTRICT COUNCIL
284 LINDI REGION
285 CHEMBA DISTRICT COUNCIL

126
Na. TAASISI
286 MUFINDI DISTRICT COUNCIL
287 SONGEA TEACHERS' COLLEGE
288 SUGAR BOARD TANZANIA (SBT)
289 MARINE SERVICES COMPANY LIMITED (MSCL)
290 MOROGORO TEACHERS COLLEGE
291 SONGEA MUNICIPAL COUNCIL
292 FAIR COMPETITION TRIBUNAL (FCT)
293 TANZANIA NATIONAL BUSINESS COUNCIL
294 SIHA DISTRICT COUNCIL
295 TUNDURU DISTRICT COUNCIL
296 TANZANIA GEMOLOGICAL CENTRE (TGC)
297 TANZANIA MERCANTILE EXCHANGE (PLC)
298 MUSOMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
299 MTWARA REGION
300 KAKONKO DISTRICT COUNCIL
301 MPANDA MUNICIPAL COUNCIL
302 MPANDA DISTRICT COUNCIL
MWALIMU JULIUS K. NYERERE UNIVERSITY OF AGRICULTURE AND
303 TECHNOLOGY (MJNUAT)-BUTIAMA
304 NACHINGWEA DISTRICT COUNCIL
305 NJOMBE RAS
306 ITIGI DISTRICT COUNCIL
307 NATIONAL FOOD RESERVE AGENCY (NFRA)
308 MKALAMA DISTRICT COUNCIL
309 MINERAL RESOURCES INSTITUTE
310 MAFINGA TOWN COUNCIL
311 MAFIA DISTRICT COUNCIL
312 KISHAPU DISTRICT COUNCIL
313 MARANGU TEACHER COLLEGE
314 KIBAHA EDUCATION CENTRE
315 MBULU TOWN COUNCIL
316 KIBAHA DISTRICT COUNCIL
317 MBINGA DISTRICT COUNCIL
318 MUHEZA DISTRICT COUNCIL
319 NGARA DISTRICT COUNCIL
320 BUTIAMA DISTRICT COUNCIL
321 SINGIDA DISTRICT COUNCIL
322 CEREALS AND OTHER PRODUCE BOARD

127
Na. TAASISI
323 STATE MINING CORPORATION (STAMICO)
324 BUNDA DISTRICT COUNCIL
325 TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
326 TANDAHIMBA DISTRICT COUNCIL
327 TABORA TEACHERS COLLEGE
328 SHINYANGA RAS
CENTRE FOR AGRICULTURAL MECHANIZATION AND RURAL
329 TECHNOLOGY (CAMARTEC)
330 PUBLIC PROCUREMENT APPEALS AUTHORITY (PPAA)
331 KILWA DISTRICT COUNCIL
332 RECORDS AND ARCHIVES MANAGEMENT DEPARTMENT (RAMD)
333 PATANDI TEACHER’S TRAINING COLLEGE NORTHERN ZONE
334 RUKWA RAS
ARCHITECTS AND QUANTITY SURVEYORS REGISTRATION BOARD
335 (AQSRB)
336 KIGOMA UJIJI MUNICIPAL COUNCIL
337 WAREHOUSE RECEIPTS REGULATORY BOARD (WRRB)
338 KALAMBO DISTRICT COUNCIL
339 KONDOA DISTRICT COUNCIL
340 IRINGA DISTRICT COUNCIL
341 NATIONAL ARTS COUNCIL (BASATA)
342 KIBONDO DISTRICT COUNCIL
343 KASULU TOWN COUNCIL
344 GEITA DISTRICT COUNCIL
345 KAHAMA SHINYANGA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
346 CHATO DISTRICT COUNCIL
347 KONDOA TOWN COUNCIL
348 IGUNGA DISTRICT COUNCIL
349 MEATU DISTRICT COUNCIL
350 RUFIJI DISTRICT COUNCIL
351 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL
352 PRESIDENT'S OFFICE - STATE HOUSE
353 NYASA DISTRICT COUNCIL
354 NYANG'HWALE DISTRICT COUNCIL
355 KARIAKOO MARKET CORPORATION
356 SIKONGE DISTRICT COUNCIL
TABORA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
357 (TUWASA)
358 TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY
128
Na. TAASISI
359 SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
360 SINGIDA REGIONAL SECRETARIAT
361 NJOMBE TOWN COUNCIL
362 NEWALA DISTRICT COUNCILL
363 MANYONI DISTRICT COUNCIL
364 MASASI TOWN COUNCIL
365 MALINYI DISTRICT COUNCIL
366 LONGIDO DISTRICT COUNCIL
367 URAMBO DISTRICT COUNCIL
368 MBEYA DISTRICT COUNCIL
369 MBOZI DISTRICT COUNCIL
370 MUSOMA MUNICIPAL COUNCIL
371 MPWAPWA DISTRICT COUNCIL
372 TAX REVENUE APPEALS TRIBUNAL
373 TANZANIA DAIRY BOARD
374 KOROGWE DISTRICT COUNCIL

KIAMBATANISHO NA 5

JUMLA YA TAASISI ZILIZOUNGANISHWA NA KUTUMIA DAWATI LA


KUTOA HUDUMA KWA WATEJA (HELPDESK SYSTEM)

Na. JINA LA TAASISI YA UMMA


1 ACCOUNTANT GENERAL (ACGEN)
2 AGENCY FOR THE DEVELOPMENT OF EDUCATIONAL MANAGEMENT
(ADEM)
3 AGRICULTURAL INPUTS TRUST FUND (AGITF)
4 AIRTANZANIA COMPONY LIMITED (ATCL)
5 ARCHITECT‘S AND QUANTITY SURVEYORS REGISTRATION BOARD
(AQRB)
6 ARDHI INSTITUTE TABORA (ARITA)
7 ARDHI UNIVERSITY (ARU)
8 ARUSHA CITY COUNCIL
9 ARUSHA DISTRICT OUNCIL
10 ARUSHA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARIAT
11 ARUSHA URBAN SUPPLY AND SEWEREGE AUTHORITY (AUWSA)

129
Na. JINA LA TAASISI YA UMMA
12 ATTORNEY GENERAL‘S CHAMBERS (AGC)
13 BABATI DISTRICT COUNCIL
14 BABATI TOWN COUNCIL
15 BAGAMOYO DISTRICT COUNCIL
16 BAHI DISTRICT COUNCIL
17 NATIONAL ARTS COUNCIL TANZANIA (NACT)
18 BARIADI DISTRICT COUNCIL
19 BARIADIDISTRICT COUNCIL TOWN COUNCIL
20 BOKOBA MUNICIPAL OUNCIL
21 BUHIGWE DISTRICT COUNCIL
22 BUKOBA DISTRICT COUNCIL
23 THE NATIONAL ASSEMBLY OF TANZANIA
24 BUSINESS REGISTRATION AND LICENCING AGENCY (BRELA)
25 BUTIAMA DISTRICT COUNCIL
26 CAPITAL MARKET AND SECURITY AUTHORITY (CMSA)
27 CEREALS AND OTHER PRODUCE BOARD OF TANZANIA (CPB)
28 CHALINZE DISTRICT COUNCIL ( CHALINZE.GO.TZ)
29 CHALINZE WATER SUPPLY AND SEWEREGE AUTHORITY
30 CHATO DISTRICT COUNCIL
31 CHUNYA DISTRICT COUNCIL
32 MINISTRY OF HEALTHY, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER,
ELDERLY AND CHILDREN (MOHCDGEC) COMMUNITY DEVELOPMENT
33 DAR ES SALAAM CITY COUNCIL
34 DAR ES SALAAM MARINE INSTITUTE (DMI)
35 DAR ES SALAAM RAPID TRANSPORT (DART)
36 DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION (DUCE)
37 DAR ES SALAAM WATER AND SEWERAGE COOPERATION (DAWASCO)
38 DAR ES SALAAM WATER AND SEWEREGE AUTHORITY (DAWASA)
39 DEEP SEA FISHING AUTHORITY (DFSA)
40 DODOMA REGIONAL AND ADMNISTRATIVE SECRETARIAT (RAS
DODOMA)
41 DODOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWEREGE ATHORITY (DUWASA)
42 DRILLING AND DAM CONSTRUCTION AGENCY (DDCA)

130
Na. JINA LA TAASISI YA UMMA
43 EAST AFRICA STATISTICAL TRAINING INSTITUTE
44 ENGINEERING REGISTRATION BOARD
45 ETHICS SECRETARIAT
46 EXPORT PROCESSING ZONES AUTHORITY (EPZA)
47 TANZANIA FIRE AND RESCUE FORCE
48 GAIRO REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARIATE
49 GEITA DISTRICT COUNCIL
50 GEOLOGICAL SURVEY OF TANZANIA
51 GOVERNMENT PROCUREMENT SERVICE AGENCY
52 HANANG DISTRICT COUNCIL
53 HANDENI DISTRICT COUNCIL
54 HANDENI TOWN COUNCIL
55 HIGHER EDUCATION STUDENT‘S LOAN BOARD (HESLB)
56 IFAKARA TOWN COUNCIL
57 IKUNGI DISTRICT COUNCIL
58 ILALA MUNICIPAL COUNCIL
59 ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
60 MINISTRY OF HOME FFAIR (IMMIGRATION DEPARTMENT)
61 INSTITUTE OF ACCOUNTANCY ARUSHA
62 INSTITUTE OF JUDICL ADMINISTRATION
63 IRAMBA DISTRICT COUNCIL
64 IRINGA DISTRICT COUNCIL
65 IRINGA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS-IRINGA)
66 IRINGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
(IRUWASA)
67 ITILIMA DISTRICT COUNCIL
68 JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE (JKCI)
69 THE JUDICIARY OF TANZANIA
70 KALAMBO DISTRICT COUNCIL
71 KALIUA DISTRICT COUNCIL
72 KARAGWE DISTRICT COUNCIL
73 KARATUDISTRICT COUNCIL
74 KASULU TOWN COUNCIL

131
Na. JINA LA TAASISI YA UMMA
75 KATAVI REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS KATAV
76 KIBAHA EDUCATION CENTRE
77 KIBAHA TOWN COUNCIL
78 KIGOMA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS KIGOMA)
79 KIGOMA DISTRICT COUNCIL
80 KIGOMA UJIJI MUNICIPAL COUNCIL
81 KILIMANJARO REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS
KILIMANJARO)
82 KILINDI DISTRICT COUNCIL
83 KILOLO DISTRICT COUNCIL
84 KILOMBERO DISTRICT COUNCIL
85 KINONDONI MUNICIPAL COUNCIL
86 KISARAWE DISTRICT COUNCIL
87 KISHAPU DISTRICT COUNCIL
88 KITETO DISTRICT COUNCIL
89 KONGWA DISTRICT COUNCIL
90 KOROGWE DISTRICT COUNCIL
91 KWIMBA DISTRICT COUNCIL
92 KYERWA DISTRICT COUNCIL
93 MINISTRY OF LANDS, HOUSING AND HUMAN SETTLEMENT
(LANDTENURE SUPPORT PROGRAM ( LANDTENURE.GO.TZ) )
94 LAW REFORM COMMISSION
95 LINDI MUNICIPAL COUNCIL
96 LONGIDO DISTRICT COUNCIL
97 LUDEWA DISTRICT COUNCIL
98 MADABA DISTRICT COUNCIL
99 MAFIA DISTRICT COUNCIL
100 MAGU DISTRICT COUNCIL
101 MAKETE DISTRICT COUNCIL
102 MANYARA REGONAL ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS MANYARA)
103 MANYONI DISTRICT COUNCIL
104 MARA REGIONAL AND ADMINISTARIVE SECRETARY (RAS MARA)
105 THE MARINE PARKS AND RESERVES UNIT

132
Na. JINA LA TAASISI YA UMMA
106 MASASI DISTRICT COUNCIL
107 MASASI REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS MASASI)
108 MASASI TOWN COUNCIL
109 MASWA DISTRICT COUNCIL
110 MBEYA CITY COUNCIL
111 MBEYA DISTRICT COUNCIL
112 MBEYA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS MBEYA)
113 MBINGA TOWN COUNCIL
114 MBOZID ISTRICT COUNCIL
115 MBULU DISTRICT COUNCIL
116 MEATU DISTRICT COUNCIL
117 MEDIAL STORE DEPARTMENT
118 MERU DISTRICT COUNCIL
119 MIKOCHENI AGRICULTURAL RESEARCH INSITUTE (MARI)
120 MIKOCHENI RESEARCH INSTITUTE
121 MINISTRY OF DEFENCE AND NATIONAL SERVICE (MODANS)
122 MINISTRY OF EAST AFRICAN COOPERATION (MEAC)
123 MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY (MEST)
124 MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS
125 MINISTRY OF HOME AFFAIRS
126 MINISTRY OF INDUSTRY TRADE AND INVESTMENTS (MITI)
127 MINISTRY OF LANDS, HOUSING AND HUMAN SETTLEMENT
DEVELOPMENT (MLHHSD)
128 MINISTRY OF NATURAL RESOURCES AND TOURISM (MNRT)
129 MINISTRY OF WORK, TRANSPORT AND COMMUNICATIONS (MWTC)
130 MINISTY OF FINANCE AND PLANNING (MoFP)
131 MISSENYI DISTRICT COUNCIL
132 MISUNGWI DISTRICT COUNCIL
133 MKALAMA DISTRICT COUNCIL
134 MKINGA DISTRICT COUNCIL
135 MKURANGA DISTRICT COUNCIL
136 MONDULI DISTRICT COUNCIL
137 MOROGORO MUNICIPAL COUNCIL

133
Na. JINA LA TAASISI YA UMMA
138 MOROGORO REGIONAL AND ADMINISTATIVE SECRETARY (RAS
MOROGORO)
139 MOROGORO URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
(MORUWASA)
140 MOSHI DISTRICT COUNCIL
141 MOSHI MUNICIPAL COUNCIL
142 MPANDA DISTRICT COUNCIL
143 MPIMBWE DISTRICT COUNCIL
144 MTWARA DISTRICT COUNCIL
145 MTWARA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS MTWARA)
146 MTWARA URBAN WATER AND SEWERAGE AUTHORITY (MTUWASA)
147 MTWARA MIKINDANI MUNICIPAL COUNCIL
148 MUFINDI DISTRICT COUNCIL
149 MUHEZA DISTRICT COUNCIL
150 MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL
151 MUHIMBILI ORTHOPAEDIC INSTITUTE (MOI)
152 MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCEINCE (MUHAS)
153 MUSOMA DISTRICT COUNCIL
154 MUSOMA MUNICIPAL COUNCIL
155 MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY
156 MWANGA DISTRICT COUNCIL
157 MWANZA CITY COUNCIL
158 MWANZA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
(MWAUWASA)
159 NANYAMBA TOWN COUNCIL
160 NANYUMBU DISTRICT COUNCIL
161 NATIONAL AUDIT OFFICE
162 NATIONAL BOARD OF ACCOUNTANTS AND AUDITORS (NBAA)
163 NATIONAL COLLEGE OF TOURISM
164 UNESCO NATIONAL COMMISSION OF THE UNITED REPUBLIC OF
TANZANIA (NATCO
165 NATIONAL CONSTRUCTION COUNCIL (NCC)
166 NATIONAL DEFENSE COLLEGE (NDC)
167 NATIONAL ECONOMIC EMPOWERMENT COUNCIL (NEEC)

134
Na. JINA LA TAASISI YA UMMA
168 NATIONAL ELECTORAL COMMISSION (NEC)
169 NATIONAL ENVIRONMENT MANAGEMENT COUNCIL (NEMC)
170 NATIONAL FISH QUALITY CONTROL LABORATORY (NFQCLAB)
171 NATIONAL FOOD RESERVE AGENCY (NFRA)
172 NATIONAL HOUSING AND BUILDING RESEARCH AGENCY (NHBRA)
173 NATIONAL INSTITUTE OF TRANSPORT (NIT)
174 NATIONAL LAND USE PLANNING COMMISION (NLUPC)
175 NATIONAL SPORTS COUNCIL (NSC)
176 NEGLECTED TROPICAL DISEASES CONTROL PROGRAMME (NTDCP)
177 NEWALA DISTRICT COUNCIL
178 NGARA DISTRICT COUNCIL
179 NGORONGORO CONSERVATION AREA AUTHORITY
180 NGORORNGORO DISTRICT COUNCIL
181 NATIONAL IDENTIFICATION AUTHORITY (NIDA)
182 NJOMBE DISTRICT COUNCIL
183 NKASI DISTRICT COUNCIL
184 NATIONAL RECORDS AND ARCHIVES. MANAGEMENT DEPARTMENT
185 NYASA DISTRICT COUNCIL
186 NZEGA DISTRICT COUNCIL
187 NZEGA TOWN COUNCIL
188 OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH AUTHORITY (OSHA)
189 OCEAN ROAD CANCER INSTITUTE (ORCI)
190 OFFICE OF THE REGISTRAR OF POLITICAL PARTIES (ORPP)
191 TREASURY REGISTRAR OFFICE (TRO)
192 PANGANI DISTRICT COUNCIL
193 PHARMACY COUNCIL OF TANZANIA
194 PLANNING COMMISSION
195 PRIME MINISTER’S OFFICE (PMO)
196 PROCUREMENT AND SUPPLIES PROFESSIONALS AND TECHNICIANS
BOARD (PSPTB)
197 PUBLIC SERVICE PENSION FUND (PSPF)
198 PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT (PSRS)
199 PUBLIC SERVICE REMUNERATION BOARD (PSRB)

135
Na. JINA LA TAASISI YA UMMA
200 PUBLIC SEVIRVICE COMMISION (PSC)
201 PWANI REGIONAL AND ADMINISRATIVE SECRETARY (RAS PWANI)
202 ROMBO DISTRICT COUNCIL
203 RUVUMA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS RUVUMA)
204 SAME DISTRICT COUNCIL
205 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL
206 SERENGETI DISTRICT COUNCIL
207 SHINYANGA MUNICIPAL COUNCIL
208 SHINYANGA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS-
SHINYANGA)
209 SHINYANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
(SHUWASA)
210 SIHA DISTRICT COUNCIL
211 SIKONGE DISTRICT COUNCIL
212 SIMIYU REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS-SIMIYU)
213 SINGIDA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS-SINGIDA)
214 TANZANIA SISAL BOARD (TSB)
215 SOCIAL SECURITY REGULATORY AUTHORITY (SSRA)
216 SONGEA MUNICIPAL COUNCIL
217 SONGEA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHOURITY
(SOUWASA)
218 SONGWE DISTRICT COUNCIL
219 STATE MINING CORPORATION (STAMICO)
220 SUMBAWANGA DISTRICT COUNCIL
221 SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
222 TABORA DISTRICT COUNCIL
223 TABORA MUNICIPAL COUNCIL
224 TABORA REGIONAL AND ADMINISTATIVE SECRETARY (RAS TABORA)
225 PRESIDENT‘S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL
GOVERNMENT (PO-RALG)
226 TANDAHIMBA DISTRICT COUNCIL
227 TANGA CITY COUNCIL
228 TANGA REGIONAL AND ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS TANGA)
229 TANGA URBAN WATER AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA UWASA)

136
Na. JINA LA TAASISI YA UMMA
230 TANZANIA TRADE DEVELOPMENT AUTHORITY (TANTRADE)
231 TANZANIA AIRPORTS AUTHORITY (TAA)
232 TANZANIA BUILDING AGENCY (TBA)
233 TANZANIA BUREAU OF STANDARDS (TBS)
234 TANZANIA COMMISSION FOR AIDS (TACAIDS)
235 TANZANIA DAIRY BOARD (TDB)
236 TANZANIA DRUG CONTROL COMMISSION
237 TANZANIA EDUCATION AUTHORITY
238 TANZANIA ENGINEERING AND MANUFATURING DESIGN ORGANIATION
(TEMDO)
239 TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY (TFDA)
240 TANZANIA FOOD AND NUTRITION CCENTRE (TFNC)
241 TANZANIA FOREST SERVICES AGENCY (TFSA)
242 TANZANIA GEOTHERMAL DEVELOPMENT COMPANY (TGDC)
243 TANZANIA GLOBAL LEARNING AGENCY (TAGLA)
244 TANZANIA GOVERNMENT FLIGHT AGENCY (TGFA)
245 TANZANIA INDUSTRIAL RESEARCH AND DEVELOPMENT ORGANIZATION
(TIRDO)
246 TANZANIA INSURANCE OMBUDSMAN
247 TANZANIA LIVESTOCK RESEARCH INSTITUTE (TALIRI)
248 TANZANIA MEAT BOARD
249 TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY (TMA)
250 TANZANIA NATIONAL BUSINESS COUNCIL
251 TANZANIA NATIONAL PARKS (TANAPA)
252 TANZANIA OFFICIAL SEED CERTICATION INSTITUTE (TOSCI)
253 TANZANIA PEOPLE‘S DEFENCE FORCE (TPDF)
254 TANZANIA RAILWAYS LIMITED (TRL)
255 TANZANIA REGIONAL IMMIGRATION TRAINING ACADEMY (TRITA)
256 TANZANIA ROADS AGENCY (TANROADS)
257 TANZANIA RURAL AND URBAN ROADS AGENCY (TARURA)
258 TANZANIA SOCIAL ACTION FUND (TASAF)
259 TANZANIA WILDLIFE AUTHORITY (TAWA)
260 TANZANIA WILDLIFE RESEARCH INSTITUTE (TAWIRI)

137
Na. JINA LA TAASISI YA UMMA
261 TARIME DISTRICT COUNCIL
262 TARIME TOWN COUNCIL
263 BAGAMOYO COLLEGE OF ARTS (TASUBA)
264 TEACHER‘S SERVICE COMMISION (TSC)
265 TEMEKE MUNICIPAL COUNCIL
266 TANZANIA ELECTRICAL, MECHANICAL AND ELECTRONICS SERVICES
AGENCY (TEMESA)
267 THE NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA. (NECTA)
268 THE NATIONAL MUSEUM OF TANZANIA (NMT)
269 TANZANIA TOBACCO BOARD (TTB)
270 UBUNGO MUNICIPAL COUNCIL
271 ULANGA DISTRICT COUNCIL
272 UNIVERSAL COMMUNICATION SERVICES ACCESS FUND (UCSAF)
273 UONGOZI INSTITTE
274 TANZANIA COOPERATIVE DEVELOPMENT COMMISSION (TCDC)
(USHIRIKA.GO.TZ)
275 VICE PRESIDENT’S OFFICE, REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL
GOVERNMENT AUTHORITIES)
276 WAKF AND TRUST COMMISSION (WTC)
277 WATER DEVELOPMENT &MANAGEMENT INSTITUTE (WDMI)
278 WORKERS COMPESATION FUND ( WCF)
279 WEIGHTS AND MEASURES AGENCY (WMA)
280 MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY
AND CHILDREN
281 MINISTRY OF INFORMATION, CULTURE AND SPORTS
282 MINISTRY OF CONSTITUTIONAL AND LEGAL AFFAIRS
283 PRIME MINISTER‘S OFFICE, LABOUR, YOUTH, EMPLOYMENT AND
PERSONS WITH DISABILITY
284 MINISTRY OF AGRICULTURE
285 MINISTRY OF MINERALS
286 MINISTRY OF WATER
287 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATIONS
(COMMUNICATION)
288 MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES
289 MINISTRY OF ENERGY

138
Na. JINA LA TAASISI YA UMMA
290 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATIONS
(TRANSPORT)
291 PRESIDENT’S OFFICE PUBLIC SERVICES MANAGEMENT AND GOOD
GOVERNANCE
292 TABORA DISTRCICT COUNCIL
293 IGUNGA COUNCIL
294 URAMBO DISCTRICT COUNCIL
295 GEITA DISCTRICT COUNCIL
296 MBOGWE DISCTRICT COUNCIL
297 NYANGHWALE DISCTRICT COUNCIL
298 NATIONAL PROSECUTION SERVICE
299 MOROGORO REGIONAL ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS
MOROGORO)
300 URAMBO DISCTRICT COUNCIL
301 BUSEGA DISTRICT COUNCIL
302 NJOMBE DISTRICT COUNCIL
303 ZANZIBAR BUSINESS AND PROPERTY REGISTRATION AGENCY
304 MVOMERO DOSTRICT COUNCIL
305 DRUG CONTROL AND ENFORCEMENT AUTHORITY
306 CHAMWINO DISTRICT COUNCIL
307 TANZANIA SHIPING AGENCIES COOPERATION (TASAC)
308 OFFICE OF SOLICITOR GENERAL
309 SONGWE REGIONAL ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS-SONGWE)
310 TANZANIA POSTAL BANK (TPB)
311 LINDI REGIONAL ADMINISTRATIVE SECRETARY (RAS LINDI)
312 NELSON MANDELA AFRICAN INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY
(NM-AIST)
313 TANZANIA BROADCASTING CORPORATION (TBC)
314 MWANZA RAS
315 LIWALE DISTRICT COUNCIL

KIAMBATANISHO NA 6

TAASISI ZILIZOUNGANISHWA KATIKA MFUMO WA SIMU KWA NJIA YA


MTANDAO (GOVERNMENT MOBILE PLATFORM SYSTEM)
139
Na TAASISI
1 MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND EAST AFRICA CO-OPERATION
2 NATIONAL AUDIT OFFICE (NAO)
3 BUSINESS REGISTRATIONS AND LICENSING AGENCY (BRELA)
4 NGORONGORO CONSERVATION AREA AUTHORITY (NCAA)
5 TANZANIA NATIONAL ROADS AGENCY (TANROADS)
6 PARASTATALS PENSION FUND (PPF)
7 SUMBAWANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
(SUMBAWANGA UWASA)
8 SURFACE AND MARINE TRANSPORT AUTHORITY (SUMATRA)
9 MWANZA URBAN WATER AND SEWERAGE AUTHORITY (MWUWASA)
10 EXPORT PROCESSING ZONES AUTHORITY (EPZA)
11 TANZANIA INSURANCE REGULATORY AUTHORITY (TIRA)
12 NATIONAL HOUSING BUILDING RESEARCH AGENCY (NHBRA)
13 DAR ES SALAAM RAPIT TRANSIT AGENCY (DART)
14 DODOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DUWASA)
15 TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY (TCRA)
16 PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT (PSRS)
17 MOROGORO URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
(MORUWASA)
18 TANZANIA POLICE FORCE (TPF)
19 ARDHI INSTITUTE TABORA (ARITA)
20 NATIONAL SOCIAL SECURITY FUND (NSSF)
21 OCCUPATIONAL HEALTH AND SAFETY AUTHORITY (OSHA)
22 PUBLIC SERVICE PENSIONS FUND (PSPF)
23 LINDI URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
24 REGISTRATION, INSOLVENCY AND TRUSTEESHIP AGENCY (RITA)
25 DRUG CONTROL COMMISSION (DCC)
26 MINISTRY OF OF CONSTITUTION AND LEGAL AFFAIRS (MCLA)
27 NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND (NHIF)
28 TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES (TCU)
29 DAR ES SALAAM STOCK EXCHANGE (DSE)
30 TANZANIA BUREAU OF STANDARDS (TBS)
31 TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY (TFDA)
32 PREVENTION AND COMBATING OF CORRUPTION BUREAU (PCCB)
33 IRINGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (IRUWASA)
34 MINISTRY OF AGRICULTURE, FOOD SECURITY AND CO-OPERATIVES
35 LOCAL AUTHORITY PENSIONS FUND (LAPF)
36 WEIGHT AND MEASURES AGENCY (WMA)

140
Na TAASISI
37 NATIONAL ELECTORAL COMMISSION (NEC)
38 MINISTRY OF HOME AFFAIRS (MHA)
39 TANZANIA TRADE DEVELOPMENT AUTHORITY (TANTRADE)
40 MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY
AND CHILDREN
41 MINISTRY OF FINANCEAND PLANNING (MoFP)
42 MINISTRY OF WATER
43 NATIONAL IDENTIFICATION AUTHORITY (NIDA)
44 MBEYA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (MUWASA)
45 ARCHITECTS AND QUANTITY SURVEYORS REGISTRATION BOARD (AQSRB)
46 PRESIDENT‘S OFFICE - PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD
GOVERNANCE
47 TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY (TMA)
48 TANZANIA BUILDING AGENCY (TBA)
49 MINISTRY OF HOME AFFAIRS (IMMIGRATION DEPARTMENT)
50 TANZANIA NATIONAL PARKS (TANAPA)
51 WATER DEVELOPMENT AND MANAGEMENT INSTITUTE (WDMI)
52 EASTERN AFRICA STATISTICAL TRAINING CENTRE (EASTC)
53 JUDICIAL SERVICE COMMISSION
54 NATIONAL BUREAU OF STATISTICS (NBS)
55 STATE MINING CORPORATION (STAMICO)
56 TANZANIA TOURIST BOARD (TTB)
57 TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (TANGA-
UWASA)
58 NATIONAL ECONOMIC EMPOWERMENT COUNCIL (NEEC)
59 PUBLIC PROCUREMENT REGULATORY AUTHORITY (PPRA)
60 MARINE SERVICES COMPANY LIMITED (MSCL)
61 ENERGY AND WATER UTILITIES REGULATORY AUTHORITIES (EWURA)
62 VOCATIONAL EDUCATION AND TRAINING AUTHORITY (VETA)
63 TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE (TPSC)
64 BANK OF TANZANIA (BOT)
65 NATIONAL HOUSING CORPORATION (NHC)
66 AGENCY FOR THE DEVELOPMENT OF EDUCATIONAL MANAGEMENT(ADEM)
67 MINISTRY OF LANDS, HOUSING AND HUMAN SETTLEMENTS
DEVELOPMENTS
68 DAR ES SALAAM CITY COUNCIL (DCC)
69 SONGEA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (SOUWASA)
70 KINONDONI HOSPITAL
71 NATIONAL INSURANCE CORPORATION (NIC)

141
Na TAASISI
72 GOVERNMENT PROCUREMENT SERVICE AGENCY (GPSA)
73 TANZANIA PORTS AUTHORITY (TPA)
74 TANZANIA GOVERNMENT CHEMISTRY LABORATORY AGENCY (GCLA)
75 TANZANIA BROADCASTING CORPORATION (TBC)
76 TANZANIA TELECOMMUNICATIONS COMPANY LIMITED (TTCL)
77 MOSHI URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
78 e-GOVERNMENT AGENCY
79 KIGOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (KUWASA)
80 MINISTRY OF COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER AND CHILDREN
81 MEDICAL STORE DEPARTMENT (MSD)
82 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION (WORKS)
83 MUHEZA DESIGNATED DISTRICT HOSPITAL
84 SOCIAL SECURITY REGULATORY AUTHORITY (SSRA)
85 MTWARA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
86 TANZANIA INVESTMENT CENTER (TIC)
87 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION(TRANSPORT)
88 ARUSHA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (AUWSA)
89 TANZANIA SOCIAL ACTION FUND (TASAF)
90 TANZANIA REVENUE AUTHORITY (TRA)
91 MUHIMBILI ORTHOPAEDIC INSTITUTE (MOI)
92 MINISTRY OF INFORMATION, YOUTH, CULTURE AND SPORTS
93 PHARMACY COUNCIL OF TANZANIA
94 OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA
95 TANZANIA PEOPLE DEFENCE FORCE (TPDF)
96 HIGHER EDUCATION STUDENT LOAN BOARD (HESLB)
97 SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE (SUA)
98 UNIVERSITY OF DODOMA (UDOM)
99 SHINYANGA MUNICIPAL COUNCIL
100 MISUNGWI DISTRICT COUNCIL
101 ILALA MUNICIPAL COUNCIL
102 MWANGA DISTRICT COUNCIL
103 CHALINZE WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY(CHALIWASA)
104 THE JUDICIARY OF TANZANIA
105 DAR ES SALAAM WATER AND SEWERAGE CORPORATION (DAWASCO)
106 PROCUREMENT AND SUPPLIES PROFESSIONALS AND TECHNICIANS
BOARD (PSPTB)
107 SINGIDA URBAN WATER AND SANITATION AUTHORITY
108 THE PARLIAMENT OF TANZANIA

142
Na TAASISI
109 JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE (JKCI)
110 TANZANIA LIVESTOCK RESEARCH INSTITUTE (TALIRI)
111 TANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY LIMITED
112 ARUSHA REGIONAL COMMISIONER
113 ARUSHA TECHNICAL COLLEGE
114 WORKERS COMPENSATION FUND (WCF)
115 SHINYANGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
(SHUWASA)
116 MOROGORO REGIONAL SECRETARY (RAS MOROGORO)
117 OCCUPATIONAL HEALTH AND SAFETY AUTHORITY (OSHA)
118 PRESIDENT‘S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL
GOVERNMENT
119 MINISTRY OF NATURAL RESOURCE AND TOURISM
120 MZUMBE UNIVERSITY
121 NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE)
122 ARDHI UNIVERSITY
123 ETHICS SECRETARIET
124 MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL (MNH)
125 COLLEGE OF BUSSINESS ADMINISTRATION (CBE)
126 KAHAMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (KUWASA)
127 MAKAMBAKO URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
(MAKAMBAKO UWASA)
128 TANZANIA FIRE AND RESCUE FORCE
129 MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL
130 TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL (TNMC)
131 COLLEGE OF BUSINESS EDUCATION (CBE)
132 TABORA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (TUWASA)
133 MUSOMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY MUWASA
134 KAHAMA SHINYANGA WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
(KASHWASA)
135 CONTRACTORS REGISTRATION BOARD (CRB)
136 SHINYANGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
(SHUWASA)
137 KAHAMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
138 SINGIDA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (SUWASA)
139 TANZANIA FERTILIZER REGULATORY AUTHORITY
140 TEMEKE MUNICIPAL COUNCIL
141 PRESIDENT OFFICE, REVOLUTIONARY COUNCIL-ZANZIBAR
142 BUKOBA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY

143
Na TAASISI
143 KINONDONDI MUNICIPAL COUNCIL
144 SENGEREMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
145 MASASI-NACHINGWEA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
146 MEDICAL COUNCIL OF TANGANYIKA

KIAMBATANISHO NA 7

TAASISI ZILIZOUNGANISHWA KATIKA MFUMO WA KUSIMAMIA


MIFUMO YA TEHAMA SERIKALINI (GOVERNMENT ICT PORTIFORIO
SYSTEM (GIP)

Na TAASISI
.
1 AGENCY FOR DEVELOPMENT OF EDUCATION MANAGEMENT (ADEM)
2 AGRICULTURAL INPUTS TRUST FUND (AGITF)
3 NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE)
4 NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA (NECTA)
5 DAR ES SALAAM CITY COUNCIL
6 DAR ES SALAAM WATER SUPPLY AND SEWERAGE CORPORATION
(DAWASCO)
7 DODOMA URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (DUWASA)
8 e-GOVERNMENT AGENCY (e-GA)
9 ENGINEERS REGISTRATION BOARD (ERB)
10 GEPF RETIREMENT BENEFITS FUND
11 HANDENI DISTRICT COUNCIL
12 IRINGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (IRUWASA)
13 KAHAMA SHINYANGA WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY (
KASHWASA)
14 MEDICAL STORE DEPARTMENT (MSD)
15 TANZANIA PORTS AUTHORITY (TPA)
16 TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY (TFDA)
17 TANZANIA NATIONAL PARKS (TANAPA)
18 TANZANIA REVENUE AUTHORITY (TRA)

144
Na TAASISI
.
19 TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY (TCRA)
20 ENERGY AND WATER UTILITIES REGULATORY AUTHORITY (EWURA)
21 SURFACE AND MARINE TRANSPORT REGULATORY AUTHORITY (SUMATRA)
22 NATIONAL IDENTIFICATION AUTHORITY (NIDA)
23 MBEYA CITY COUNCIL
24 NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND (NHIF)
25 MOROGORO REGION
26 MZUMBE UNIVERSITY
27 NATIONAL ECONOMIC EMPOWERMENT COUNCIL (NEEC)
28 NZEGA DISTRICT COUNCIL
29 OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH AUTHORITY (OSHA)
30 PRESIDENT OFFICE- REGIONAL ADMINISTRATIVE AND LOCAL
GOVERNMENT
31 PRESIDENT’S OFFICE-PUBLIC SERVICE MANAGEMENT AND GOOD
GOVERNMENT
32 PRIME MINISTER‘S OFFICE, LABOUR, YOUTH EMPLOYMENT AND PERSONS
WITH DISABILITY
33 PUBLIC SERVICE COMMINISION (PSC)
34 ROMBO DISTRICT COUNCIL
35 ETHICS SECRETARIAT
36 SHINYANGA DISTRICT COUNCIL
37 SUMBAWANGA DISTRICT COUNCIL
38 TANZANIA AGRICULTURAL DEVELOPMENT BANK LIMITED (TADB)
39 TANZANIA AIRPORT AUTHORITY (TAA)
40 TANZANIA BUREAU OF STANDARDS (TBS)
41 TANZANIA ELECTRICAL MECHANICAL AND ELECTRONICS SERVICES
AGENCY (TEMESA)
42 TANZANIA MEAT BOARD
43 TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY (TMA)
44 TANZANIA NATIONAL ROAD AGENCY (TANROADS)
45 TANZANIA SOCIAL ACTION FUND (TASAF)
46 TEMEKE DISTRICT COUNCIL

145
Na TAASISI
.
47 TANZANIA TOBACCO BOARD (TTB)
48 TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES (TCU)
49 GOVERNMENT PROCUREMENT SERVICES AGENCY (GPSA)
50 REGISTRATION INSOLVENCY AND TRUSTEESHIP AGENCY (RITA)
51 BUSINESS REGISTRATION AND LICENSING AGENCY (BRELA)
52 WEIGHT AND MEASURE AGENCY (WMA)
53 WORKERS COMPENSATION FUND (WCF)
54 MINISTRY OF COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER AND CHILDREN
55 MINISTRY OF LANDS, HOUSING AND HUMAN SETTLEMENTS
DEVELOPMENTS
56 MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY
57 MINISTRY OF FINANCE AND PLANNING
58 MINISTRY OF AGRICULTURE, LIVESTOCK AND FISHERIES (AGRICULTURE)
59 MINISTRY OF AGRICULTURE, LIVESTOCK AND FISHERIES (LIVESTOCK)
60 MINISTRY OF WATER
61 MINISTRY OF TOURISM AND NATURAL RESOURCES
62 MINISTRY OF HOME AFFAIRS
63 MINISTRY OF MINERALS
64 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATIONS (TRANSPORT)
65 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATIONS
(CONSTRUCTION)
66 TANZANIA POSTS CORPORATION (TPC)
67 MINISTRY OF DEFENCE AND NATIONAL SERVICE (MODANS)
68 WORKERS COMPESATION FUND (WCF)
69 ARUSHA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY (AUWSA)
70 RELI ASSEST HOLDING COMPANY
71 TANZANIA GOVERNMENT CHEMISTRY LABORATORY AGENCVY (GCL)
72 TANZANIA POSTS CORPORATIONS (TPC)
73 PHARMACY COUNCIL OF TANZANIA
74 TANZANIA SHIPPING AGENCIES CORPORATION (TASAC)
75 TANZANIA WILDLIFE MANAGEMENT AUTHORITY (TAWA)

146
KIAMBATANISHO NA 8

TAASISI ZILIZOWEZESHWA KUHIFADHI MIFUMO KWENYE VITUO VYA


KUHIFADHI TAARIFA NA MIFUMO YA SERIKALI (GOVERNMENT DATA
CENTRES)

Na. TAASISI
1 TANZANIA SOCAIL ACTION FUND (TASAF)
2 MUHIMBILI ORTHOPAEDIC INSTITUTE (MOI)
PRERSIDENT’S OFFICE - REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL
3 GOVERNMENT
4 NATIONAL HEALTH INSURANCE FUND (NHIF)
5 MINISTRY OF WATER
6 THE JUDICIARY OF TANZANIA
7 TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES (TCU)
8 MINISTRY OF WORKS, TRANSPORT AND COMMUNICATION (WORKS)
9 ENERGY AND WATER UTILITIES REGULATORY AUTHORITY (EWURA)
10 SOCIAL SECURITY REGULATORY AUTHORITY (SSRA)
11 MINISTRY OF EDUCATION, SCIENCE AND TECHNOLOGY (ESMIS)
12 MEDICAL STORE DEPARTMENT (MSD)
13 WEIGHT AND MEASURES AGENCY (WMA)
14 PUBLIC PROCUREMENT REGULATORY AUTHORITY (PPRA)
15 TANZANIA LIVESTOCK RESERACH INSTITUTE (TALIRI)
16 SMALL INDUSTRIES DEVELOPMENT ORGANISATION (SIDO)
17 MINISTRY OF INDUSTRY, TRADE AND INVESTMENT
18 REGISTRATION INSOLVENCY AND TRUSTEESHIP AGENCY (RITA)
19 NATIONAL BUREAU OF STATISTICS (NBS)
20 WORKER’S COMPENSATION FUND (WCF)
21 ETHICS SECRETARIAT
22 GOVERNMENT PROCUREMENT SERVICES AGENCY (GPSA)
23 ARDHI INSTITUTE TABORA (ARITA)
24 OCEAN ROAD CANCER INSTITUTE (ORCI)
25 TROPICAL PPESTICIDS RESEARCH INSTITUTE (TPRI)
26 MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES
27 ROADS FUND BOARD (RFB)
MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY
28 AND CHILDREN/CHAI
29 OFFICE OF THE INSPECTOR GENERAL

147
Na. TAASISI
30 MINISTRY OF FINANCE AND PLANNING
31 TANZANIA PORTS AUTHORITY (TPA)
32 DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY (DIT)
33 DAR ES SALAAM MARITIME INSTITUTE (DMI)
34 TANZANIA BROADCASTING CORPORATION (TBC)
PROCUREMENT AND SUPPLIES PROFESSIONALS AND TECHNICIANS
35 BOARD (PSPTB)
36 TANZANIA FIRE AND RESCUE FORCE
37 TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY (TFDA)
38 BANDARI COLLEGE
39 NATIONAL ECONOMIC EMPOWERING COUNCIL (NEEC)
40 TANZANIA INSURANCE REGULATORY AUTHORITY (TIRA)
41 MINISTRY OF CONSTITUTIONAL AND LEGAL AFFAIRS
42 NATIONAL COLLEGE OF TOURISM
43 PUBLIC SERVICE COMMISSION (PSC)

KIAMBATANISHO NA 9

MAJINA YA TOVUTI ZILIZOTENGENEZWA

Na. JINA LA TOVUTI


1 alat.go.tz
2 arusha.go.tz
3 arushacc.go.tz
4 arushadc.go.tz
5 arushamc.go.tz
6 babatidc.go.tz
7 babatitc.go.tz
8 bagamoyodc.go.tz
9 bahidc.go.tz
10 bariadidc.go.tz
11 bariaditc.go.tz
12 biharamulodc.go.tz
13 buchosadc.go.tz
14 buhigwedc.go.tz

148
Na. JINA LA TOVUTI
15 bukobadc.go.tz
16 bukobamc.go.tz
17 bukombedc.go.tz
18 bumbulidc.go.tz
19 bundadc.go.tz
20 bundatc.go.tz
21 busegadc.go.tz
22 busokelodc.go.tz
23 butiamadc.go.tz
24 chalinzedc.go.tz
25 chamwinodc.go.tz
26 chatodc.go.tz
27 chembadc.go.tz
28 chunyadc.go.tz
29 dcc.go.tz
30 ddca.go.tz
31 dodoma.go.tz
32 dodomacc.go.tz
33 dodomacc2.go.tz
34 dsm.go.tz
35 gairodc.go.tz
36 geita.go.tz
37 geitadc.go.tz
38 geitatc.go.tz
39 haidc.go.tz
40 hanangdc.go.tz
41 handenidc.go.tz
42 handenitc.go.tz
43 ifakaratc.go.tz
44 igungadc.go.tz
45 ikungidc.go.tz
46 ilalamc.go.tz

149
Na. JINA LA TOVUTI
47 ilejedc.go.tz
48 ilemelamc.go.tz
49 irambadc.go.tz
50 iringa.go.tz
51 iringadc.go.tz
52 iringamc.go.tz
53 itigidc.go.tz
54 itilimadc.go.tz
55 kagera.go.tz
56 kahamatc.go.tz
57 kakonkodc.go.tz
58 kalambodc.go.tz
59 kaliuadc.go.tz
60 karagwedc.go.tz
61 karatudc.go.tz
62 kasuludc.go.tz
63 kasulutc.go.tz
64 katavi.go.tz
65 kibahadc.go.tz
66 kibahatc.go.tz
67 kibitidc.go.tz
68 kibondodc.go.tz
69 kigambonimc.go.tz
70 kigoma.go.tz
71 kigomadc.go.tz
72 kigomaujijimc.go.tz
73 kilimanjaro.go.tz
74 kilindidc.go.tz
75 kilolodc.go.tz
76 kilomberodc.go.tz
77 kilomberotc.go.tz
78 kilosadc.go.tz

150
Na. JINA LA TOVUTI
79 kilwadc.go.tz
80 kinondonimc.go.tz
81 kisarawedc.go.tz
82 kishapudc.go.tz
83 kitetodc.go.tz
84 kondoadc.go.tz
85 kondoatc.go.tz
86 kongwadc.go.tz
87 korogwedc.go.tz
88 korogwetc.go.tz
89 kwimbadc.go.tz
90 kyeladc.go.tz
91 kyerwadc.go.tz
92 lindi.go.tz
93 lindidc.go.tz
94 lindimc.go.tz
95 liwaledc.go.tz
96 longidodc.go.tz
97 ludewadc.go.tz
98 lushotodc.go.tz
99 madabadc.go.tz
100 maelezo.go.tz
101 mafiadc.go.tz
102 mafingadc.go.tz
103 mafingatc.go.tz
104 magudc.go.tz
105 makambakotc.go.tz
106 maketedc.go.tz
107 makuwasa.go.tz
108 malinyidc.go.tz
109 manyara.go.tz
110 manyonidc.go.tz

151
Na. JINA LA TOVUTI
111 mara.go.tz
112 masasidc.go.tz
113 masasitc.go.tz
114 maswadc.go.tz
115 mbaralidc.go.tz
116 mbeya.go.tz
117 mbeyacc.go.tz
118 mbeyadc.go.tz
119 mbingadc.go.tz
120 mbingatc.go.tz
121 mbogwedc.go.tz
122 mbozidc.go.tz
123 mbuludc.go.tz
124 mbulutc.go.tz
125 meatudc.go.tz
126 merudc.go.tz
127 missenyidc.go.tz
128 misungwidc.go.tz
129 mkalamadc.go.tz
130 mkingadc.go.tz
131 mkurangadc.go.tz
132 mleledc.go.tz
133 mombadc.go.tz
134 mondulidc.go.tz
135 morogoro.go.tz
136 morogorodc.go.tz
137 morogoromc.go.tz
138 moshidc.go.tz
139 moshimc.go.tz
140 mpandadc.go.tz
141 mpandamc.go.tz
142 mpandatc.go.tz

152
Na. JINA LA TOVUTI
143 mpimbwedc.go.tz
144 mpwapwadc.go.tz
145 msalaladc.go.tz
146 mtwara.go.tz
147 mtwaradc.go.tz
148 mtwaramikindanimc.go.tz
149 mufindidc.go.tz
150 muhezadc.go.tz
151 mulebadc.go.tz
152 musomadc.go.tz
153 musomamc.go.tz
154 mvomerodc.go.tz
155 mwangadc.go.tz
156 mwanza.go.tz
157 mwanzacc.go.tz
158 nachingweadc.go.tz
159 namtumbodc.go.tz
160 nanenanezima.go.tz
161 nanyambatc.go.tz
162 nanyumbudc.go.tz
163 newaladc.go.tz
164 newalatc.go.tz
165 ngaradc.go.tz
166 ngorongorodc.go.tz
167 njombe.go.tz
168 njombedc.go.tz
169 njombetc.go.tz
170 nkasidc.go.tz
171 nsimbodc.go.tz
172 nyanghwaledc.go.tz
173 nyasadc.go.tz
174 nzegadc.go.tz

153
Na. JINA LA TOVUTI
175 nzegatc.go.tz
176 panganidc.go.tz
177 pwani.go.tz
178 rombodc.go.tz
179 roryadc.go.tz
180 ruangwadc.go.tz
181 rufijidc.go.tz
182 rukwa.go.tz
183 rungwedc.go.tz
184 ruvuma.go.tz
185 samedc.go.tz
186 sengeremadc.go.tz
187 serengetidc.go.tz
188 shinyanga.go.tz
189 shinyangadc.go.tz
190 shinyangamc.go.tz
191 sihadc.go.tz
192 sikongedc.go.tz
193 simanjirodc.go.tz
194 simiyu.go.tz
195 singida.go.tz
196 singidadc.go.tz
197 singidamc.go.tz
198 songeadc.go.tz
199 songeamc.go.tz
200 songwe.go.tz
201 songwedc.go.tz
202 sumbawangadc.go.tz
203 sumbawangamc.go.tz
204 tabora.go.tz
205 taboradc.go.tz
206 taboramc.go.tz

154
Na. JINA LA TOVUTI
207 tamisemi.go.tz
208 tandahimbadc.go.tz
209 tanga.go.tz
210 tangacc.go.tz
211 tarimedc.go.tz
212 tarimetc.go.tz
213 temekemc.go.tz
214 tundumatc.go.tz
215 tundurudc.go.tz
216 ubungomc.go.tz
217 ukerewedc.go.tz
218 ulangadc.go.tz
219 urambodc.go.tz
220 ushetudc.go.tz
221 uvinzadc.go.tz
222 wangingombedc.go.tz

KIAMBATANISHO NA 10

TAASISI ZILIZOUNGANISHWA KATIKA MFUMO WA MALIPO YA SERIKALI


KWA NJIA YA MTANDAO (GOVERNMANE e-PAYMENT GATEWAY-GEPG)

Na. TAASISI
1 TEMEKE MUNICIPAL COUNCIL
2 TANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY LIMITED
3 MINISTRY OF ENERGY AND MINERALS
4 TANZANIA PORTS AUTHORITY
5 TANZANIA FOREST SERVICE AGENCY
6 MINISTRY OF LANDS, HOUSING AND HUMAN SETTLEMENTS DEVELOPMENT
7 IMMIGRATION SERVICES DEPARTMENT
8 TANZANIA NATIONAL PARKS
9 TANZANIA POLICE FORCE
10 DAR ES SALAAM WATER AND SEWERAGE CORPORATION
11 TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY

155
Na. TAASISI
12 PMO - LABOUR, YOUTH, EMPLOYMENT AND PERSONS WITH DISABILITY
13 TANZANIA BUREAU OF STANDARDS
14 ENERGY AND WATER UTILITIES REGULATORY AUTHORITY
15 MEDICAL STORES DEPARTMENT
16 DODOMA CITY COUNCIL
17 TANZANIA REVENUE AUTHORITY
18 DAR RAPID TRANSIT AGENCY (BUS FARE TICKETING)
19 NATIONAL HOUSING CORPORATION
20 MAMLAKA YA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA JIJINI MWANZA
21 HIGHER EDUCATION STUDENTS LOANS BOARD
22 UNIVERSITY OF DAR ES SALAAM
23 UNIVERSITY OF DODOMA
24 WEIGHTS AND MEASURES AGENCY
25 MINISTRY OF INDUSTRY,TRADE AND INVESTMENT
26 MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES-FISHERIES
27 DODOMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
28 MINISTRY OF LIVESTOCK AND FISHERIES-LIVESTOCK
29 BUSINESS REGISTRATIONS AND LICENSING AGENCY
30 INSTITUTE OF FINANCE MANAGEMENT
31 OCCUPATIONAL SAFETY AND HEALTH AUTHORITY(OSHA)
32 MINING COMMISSION
33 WORKERS COMPENSATION FUND
34 GOVERNMENT CHEMIST LABORATORY AUTHORITY
35 TANGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
36 TANZANIA BUILDINGS AGENCY
37 SURFACE AND MARINE TRANSPORT REGULATORY AUTHORITY
38 ARUSHA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
39 TANZANIA INSTITUTE OF ACCOUNTANCY
40 ARDHI UNIVERSITY
41 ARUSHA CITY COUNCIL
42 SOKOINE UNIVERSITY OF AGRICULTURE
43 MWANZA CITY COUNCIL
44 TANZANIA CIVIL AVIATION AUTHORITY
45 TANZANIA FOOD AND DRUGS AUTHORITY
46 NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
47 REGISTRATION INSOLVENCY AND TRUSTEESHIP AGENCY
48 GEITA TOWN COUNCIL
49 MOSHI CO-OPERATIVE UNIVERSITY

156
Na. TAASISI
50 MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL
51 THE OPEN UNIVERSITY OF TANZANIA.
52 UBUNGO MUNICIPAL COUNCIL
53 JUDICIARY FUND
54 ILEMELA MUNICIPAL COUNCIL
55 KAHAMA TOWN COUNCIL
56 MBEYA CITY COUNCIL
57 CHALINZE DISTRICT COUNCIL
58 MINISTRY OF NATURAL RESOURCE AND TOURISM-TOURISM DIVISION
59 TANGA CITY COUNCIL
60 IRINGA URBAN WATER SUPPLY AUTHORITY
61 KINONDONI MUNICIPAL COUNCIL
62 TANZANIA ATOMIC ENERGY COMMISSION
63 NATIONAL BOARD OF ACCOUNTANTS AND AUDITORS
64 TANZANIA NATIONAL ROAD AGENCY
65 ILALA MUNICIPAL COUNCIL
66 TANZANIA FERTILIZER REGULATORY AUTHORITY
67 MKURANGA DISTRICT COUNCIL
68 GEITA DISTRICT COUNCIL
69 KIBAHA TOWN COUNCIL
70 INSTITUTE OF ACCOUNTANCY ARUSHA
71 MOSHI MUNICIPAL COUNCIL
72 INSTITUTE OF RURAL DEVELOPMENT PLANNING
73 TANZANIA RURAL AND URBAN ROADS AGENCY
74 MZUMBE UNIVERSITY
75 TUNDUMA TOWN COUNCIL
76 MBEYA UNIVERSITY OF SCIENCE AND TECHNOLOGY
77 MOSHI DISTRICT COUNCIL
78 TARIME DISTRICT COUNCIL
79 KARATU DISTRICT COUNCIL
80 KILOMBERO DISTRICT COUNCIL
81 MBARALI DISTRICT COUNCIL
82 TANZANIA RAILWAYS CORPORATION
83 MOROGORO MUNICIPAL COUNCIL
84 MISUNGWI DISTRICT COUNCIL
85 KALIUA DISTRICT COUNCIL
86 VOCATIONAL EDUCATION AND TRAINING AUTHORITY
87 MWANGA DISTRICT COUNCIL

157
Na. TAASISI
88 MULEBA DISTRICT COUNCIL
89 MUFINDI DISTRICT COUNCIL
90 NJOMBE TOWN COUNCIL
91 KIGAMBONI MUNICIPAL COUNCIL
92 MUHIMBILI UNIVERSITY OF HEALTH AND ALLIED SCIENCES
93 MBEYA DISTRICT COUNCIL
94 SHINYANGA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
95 MBINGA DISTRICT COUNCIL
96 PHARMACY COUNCIL OF TANZANIA
97 KILWA DISTRICT COUNCIL
98 KISHAPU DISTRICT COUNCIL
99 SINGIDA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
100 HANANG DISTRICT COUNCIL
101 TANZANIA TREE SEED AGENCY
102 NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION
103 TANZANIA VETERINARY LABORATORY AGENCY
104 USHETU DISTRICT COUNCIL
105 TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE
106 MEATU DISTRICT COUNCIL
107 THE MWALIMU NYERERE MEMORIAL ACADEMY
108 MBOZI DISTRICT COUNCIL
109 MISENYI DISTRICT COUNCIL
110 IRINGA MUNICIPAL COUNCIL
111 GOTHOMIS - MWANANYAMALA REGIONAL REFERRAL HOSPITAL
112 TABORA MUNICIPAL COUNCIL
113 ARUSHA TECHNICAL COLLEGE
114 KISARAWE DISTRICT COUNCIL
115 MAFINGA TOWN COUNCIL
116 RUNGWE DISTRICT COUNCIL
117 MPWAPWA DISTRICT COUNCIL
118 SINGIDA MUNICIPAL COUNCIL
119 MUHEZA DISTRICT COUNCIL
120 SONGEA MUNICIPAL COUNCIL
121 MUSOMA MUNICIPAL COUNCIL
122 NGORONGORO DISTRICT COUNCIL
123 HAI DISTRICT COUNCIL
124 MAKAMBAKO TOWN COUNCIL
125 MPANDA DISTRICT COUNCIL

158
Na. TAASISI
126 KONGWA DISTRICT COUNCIL
127 MINISTRY OF EDUCATION,SCIENCE AND TECHNOLOGY
128 MINISTRY OF AGRICULTURE
DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY INSTITUTE OF ADULT EDUCATION E-
129 GOVERNMENT AGENCY
130 BABATI DISTRICT COUNCIL
131 KILOLO DISTRICT COUNCIL
132 LOCAL GOVERNMENT TRAINING INSTITUTE
133 KYELA DISTRICT COUNCIL
134 SUMBAWANGA MUNICIPAL COUNCIL
135 LIVESTOCK TRAINING AGENCY
136 ROADS FUND BOARD
137 SIKONGE DISTRICT COUNCIL
138 KILOSA DISTRICT COUNCIL
139 MPANDA TOWN COUNCIL
140 TENGERU INSTITUTE OF COMMUNITY DEVELOPMENT
141 MOROGORO URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
142 MASWA DISTRICT COUNCIL
143 KASULU TOWN COUNCIL
144 SERENGETI DISTRICT COUNCIL
145 BUCHOSA DISTRICT COUNCIL
146 MTWARA/MIKINDANI MUNICIPAL COUNCIL
147 SHINYANGA MUNICIPAL COUNCIL
148 NZEGA DISTRICT COUNCIL
149 UYUI DISTRICT COUNCIL
150 ROMBO DISTRICT COUNCIL
151 BUNDA TOWN COUNCIL
152 TANZANIA AIRPORTS AUTHORITY
153 TANZANIA FIRE AND RESCUE FORCE
154 KIBAHA DISTRICT COUNCIL
155 NKASI DISTRICT COUNCIL
156 NATIONAL COUNCIL FOR TECHNICAL EDUCATION (NACTE)
157 IRINGA DISTRICT COUNCIL
158 KITETO DISTRICT COUNCIL
159 MVOMERO DISTRICT COUNCIL
160 SHINYANGA DISTRICT COUNCIL
161 MUSOMA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
162 MALINYI DISTRICT COUNCIL

159
Na. TAASISI
163 KIBONDO DISTRICT COUNCIL
164 KARIAKOO MARKET CORPORATION
165 KAHAMA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
166 MOSHI URBAN WATER SUPPLY AND SEWERAGE AUTHORITY
167 SONGWE DISTRICT COUNCIL
168 MAGU DISTRICT COUNCIL
169 CHUNYA DISTRICT COUNCIL
170 SIMANJIRO DISTRICT COUNCIL
171 MTWARA DISTRICT COUNCIL
172 BUKOBA MUNICIPAL COUNCIL
173 BUKOMBE DISTRICT COUNCIL
174 IKUNGI DISTRICT COUNCIL
175 URAMBO DISTRICT COUNCIL
176 KASULU DISTRICT COUNCIL
177 IGUNGA DISTRICT COUNCIL
178 LONGIDO DISTRICT COUNCIL
179 NJOMBE DISTRICT COUNCIL
180 KILINDI DISTRICT COUNCIL
181 BARIADI DISTRICT COUNCIL
182 ARUSHA DISTRICT COUNCIL
183 MERU DISTRICT COUNCIL
184 TABORA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
185 IFAKARA TOWN COUNCIL
186 LUSHOTO DISTRICT COUNCIL
187 KYERWA DISTRICT COUNCIL
188 NZEGA TOWN COUNCIL
189 CHAMWINO DISTRICT COUNCIL
190 KWIMBA DISTRICT COUNCIL
191 HANDENI DISTRICT COUNCIL
192 BABATI TOWN COUNCIL
193 RUANGWA DISTRICT COUNCIL
194 MONDULI DISTRICT COUNCIL
195 UKEREWE DISTRICT COUNCIL
196 IMMIGRATION SERVICES DEPARTMENT ZANZIBAR
197 BARIADI TOWN COUNCIL
198 BAGAMOYO DISTRICT COUNCIL
199 ULANGA DISTRICT COUNCIL
200 SUMBAWANGA DISTRICT COUNCIL

160
Na. TAASISI
201 DAR ES SALAAM MARITIME INSTITUTE
202 DAR ES SALAAM CITY COUNCIL
203 MOROGORO DISTRICT COUNCIL
204 WANGING'OMBE DISTRICT COUNCIL
205 TANDAHIMBA DISTRICT COUNCIL
206 LIWALE DISTRICT COUNCIL
207 KIGOMA/UJIJI MUNICIPAL COUNCIL
208 ITIGI DISTRICT COUNCIL
209 MPIMBWE DISTRICT COUNCIL
210 SAME DISTRICT COUNCIL
211 NGARA DISTRICT COUNCIL
212 KIBITI DISTRICT COUNCIL
213 CHEMBA DISTRICT COUNCIL
214 CHATO DISTRICT COUNCIL
215 MBINGA TOWN COUNCIL
216 BIHARAMULO DISTRICT COUNCIL
217 ITILIMA DISTRICT COUNCIL
218 MUSOMA DISTRICT COUNCIL
219 BUKOBA DISTRICT COUNCIL
220 KARAGWE DISTRICT COUNCIL
221 BUSEGA DISTRICT COUNCIL
222 MAKETE DISTRICT COUNCIL
223 MSALALA DISTRICT COUNCIL
224 TANZANIA LIBRARY SERVICES BOARD
225 RUFIJI DISTRICT COUNCIL
226 MANYONI DISTRICT COUNCIL
227 NELSON MANDELA AFRICAN INSTITUTE OF SCIENCE AND TECHNOLOGY
228 IRAMBA DISTRICT COUNCIL
229 MBULU DISTRICT COUNCIL
230 SENGEREMA DISTRICT COUNCIL
231 GOVERNMENT PRINTER
232 BUSOKELO DISTRICT COUNCIL
233 NACHINGWEA DISTRICT COUNCIL
234 KOROGWE TOWN COUNCIL
235 BUNDA DISTRICT COUNCIL
236 MAFIA DISTRICT COUNCIL
237 STATE MINING CORPORATION
238 TANZANIA OFFICIAL SEED CERTIFICATION INSTITUTE

161
Na. TAASISI
239 MKALAMA DISTRICT COUNCIL
240 BAHI DISTRICT COUNCIL
241 TANZANIA BROADCASTING CORPORATION
242 LINDI DISTRICT COUNCIL
243 MASASI TOWN COUNCIL
244 DAR RAPID TRANSIT AGENCY(OTHER SOURCES)
245 BUTIAMA DISTRICT COUNCIL
246 UVINZA DISTRICT COUNCIL
247 SIHA DISTRICT COUNCIL
248 LUDEWA DISTRICT COUNCIL
249 TUNDURU DISTRICT COUNCIL
250 NYANG'HWALE DISTRICT COUNCIL
251 LINDI MUNICIPAL COUNCIL
252 KALAMBO DISTRICT COUNCIL
253 MAGOMENI HEALTH CENTER
254 KOROGWE DISTRICT COUNCIL
255 NAMTUMBO DISTRICT COUNCIL
256 HANDENI TOWN COUNCIL
257 RORYA DISTRICT COUNCIL
258 KONDOA TOWN COUNCIL
259 NATIONAL IDENTIFICATION AUTHORITY
260 PRIVATE HOSPITAL ADVISORY BOARD
261 TARIME TOWN COUNCIL
262 CAPITAL MARKETS AND SECURITIES AUTHORITY
263 KONDOA DISTRICT COUNCIL
264 PANGANI DISTRICT COUNCIL
265 MKINGA DISTRICT COUNCIL
266 ILEJE DISTRICT COUNCIL
267 PROCUREMENT AND SUPPLIES PROFESSIONALS AND TECHNICIANS BOARD
268 TANZANIA WILDLIFE RESEARCH INSTITUTE
269 AMANA HOSPITAL
270 NEWALA TOWN COUNCIL
271 MARINE SERVICES COMPANY LIMITED
272 ARUSHA INTERNATIONAL CONFERENCE CENTRE
273 MINISTRY OF WATER
274 MOMBA DISTRICT COUNCIL
275 SINGIDA DISTRICT COUNCIL
276 MBOGWE DISTRICT COUNCIL

162
Na. TAASISI
277 GAIRO DISTRICT COUNCIL
278 MAKAMBAKO UWASA
279 NATIONAL FISHERIES LABORATORY-NYEGEZI
280 SONGEA DISTRICT COUNCIL
MINISTRY OF HEALTH, COMMUNITY DEVELOPMENT, GENDER, ELDERLY AND
281 CHILDREN-COMMUNITY DEVELOPMENT
282 TANZANIA COMMISSION FOR SCIENCE AND TECHNOLOGY
283 TANZANIA WILDLIFE MANAGEMENT AUTHORITY
284 MKWAWA UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION
285 MBULU TOWN COUNCIL
286 NANYUMBU DISTRICT COUNCIL
287 NYASA DISTRICT COUNCIL
288 TANZANIA INSURANCE REGULATORY AUTHORITY
289 PRIVATE HEALTH LABORATORIES BOARD
290 BUKOBA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
291 NSIMBO DISTRICT COUNCIL
292 NATIONAL ARTS COUNCIL OF TANZANIA – BASATA
293 MASASI DISTRICT COUNCIL
294 KIGOMA DISTRICT COUNCIL
295 MLELE DISTRICT COUNCIL
296 KILIMANJARO AIRPORTS DEVELOPMENT COMPANY
297 NATIONAL SWAHILI COUNCIL - BAKITA
298 BUHIGWE DISTRICT COUNCIL
299 TANZANIA LIVESTOCK RESEARCH INSTITUTE
300 NEWALA DISTRICT COUNCIL
301 BUMBULI DISTRICT COUNCIL
302 MINISTRY OF INFORMATION,CULTURE,ARTS AND SPORTS
303 MADABA DISTRICT COUNCIL
304 KAKONKO DISTRICT COUNCIL
305 COPYRIGHT SOCIETY OF TANZANIA
306 LIVESTOCK MULTIPLICATION UNIT MABUKI
307 NATIONAL ARTIFICIAL INSEMINATION CENTRE
308 GEOLOGICAL SURVEY OF TANZANIA
309 NATIONAL COLLEGE OF TOURISM
310 GEITA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
311 AGENCY FOR THE DEVELOPMENT OF EDUCATIONAL MANAGEMENT ( ADEM )
312 SONGEA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
313 NANYAMBA TOWN COUNCIL

163
Na. TAASISI
314 OPTOMETRY COUNCIL OF TANZANIA
315 TANZANIA NURSING AND MIDWIFERY COUNCIL
316 MBEYA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
317 KAHAMA SHINYANGA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
318 MTWARA URBAN WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
319 HEALTH LABORATORY PRACTITIONERS COUNCIL
320 TANZANIA INSTITUTE OF EDUCATION
321 ANTIQUITIES DIVISION
322 NATIONAL SPORTS COUNCIL
323 DAR ES SALAAM UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION
324 FISHERIES EDUCATION AND TRAINING AGENCY
325 LIVESTOCK MULTIPLICATION UNIT SAOHILL
326 VIKUGE PASTURE SEED FARM
327 TAASISI YA SANAA NA UTAMADUNI BAGAMOYO
328 NATIONAL MUSEUM OF TANZANIA
329 ENVIRONMENTAL HEALTH PRACTITIONER REGISTRATION COUNCIL
330 THE PUBLIC PROCUREMENT REGULATORY AUTHORITY
331 LIVESTOCK MULTIPLICATION UNIT NANGARAMO
332 LIVESTOCK MULTIPLICATION UNIT NGERENGERE
333 INTERNAL DRAINAGE BASIN WATER BOARD
334 RADIOLOGY AND IMAGING PROFESSIONAL COUNCIL
335 TROPICAL PESTICIDES RESEARCH INSTITUTE LANGWIRA PASTURE SEED PROJECT
336 TANZANIA COMMISSION FOR UNIVERSITIES
337 LIVESTOCK MULTIPLICATION UNIT KITULO
338 LAKE NYASA BASIN WATER BOARD
339 TREASURY REGISTRAR
340 PANGANI BASIN WATER BOARD
341 TANZANIA POSTS CORPORATION
342 MASASI-NACHINGWEA WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
343 INSTITUTE OF SOCIAL WORK
344 LAKE RUKWA BASIN WATER BOARD
345 CHALINZE WATER SUPPLY AND SANITATION AUTHORITY
346 LINDI URBAN WATER AND SANITATION AUTHORITY
347 JAKAYA KIKWETE CARDIAC INSTITUTE
348 MWALIMU JULIUS K. NYERERE UNIVERSITY OF AGRICULTURE AND TECHNOLOGY
349 OCEAN ROAD CANCER INSTITUTE
350 ACCOUNTANT GENERAL'S DEPARTMENT
351 TANZANIA EDUCATION AUTHORITY

164
Na. TAASISI
352 TANZANIA PETROLEUM DEVELOPMENT CORPORATION
353 TANZANIA COFFEE BOARD
PRESIDENT'S OFFICE REGIONAL ADMINISTRATION AND LOCAL GOVERNMENT (
354 HAWKERS' ID CARD )
355 BENJAMIN MKAPA HOSPITAL

165

You might also like