Professional Documents
Culture Documents
SURA YA 16
_______
KANUNI YA ADHABU
_______
MPANGO WA MAFUNGU
_______
SEHEMU YA 1
_______
MASHARTI YA KAWAIDA
SURA YA 1
UTANGULIZI
1. Jina fupi.
2. Kazi yake badala ya Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi.
3. Kuepusha sheria kadha.
SURA YA II
TAFSIRI
SURA YA III
KUTUMIKA KWA KANUNI HII NCHINI
SURA YA IV
KANUNI YA KAWAIDA KUHUSU JUKUMU YA JINAI
8. Kutojua sheria.
9. Dai la haki kwa uaminifu.
10. Kusudio na sababu.
11. Kukosea hakika.
12. Kudhaniwa kuwa na akili timamu.
13. Wenda mazimu.
14. Kulewa.
15. Umri mchanga.
16. Maafisa wa mahakama.
17. Lazima.
1
18. Kutetea nafsi au mali.
19. Utumiaji wa nguvu katika kukamata.
20. Kulazimishwa na mume.
21. Watu wasipewe adhabu mara mbili kwa kosa moja.
22. Wakosaji wakuu.
23. Makosa ya kushirikiana.
24. Kumshauri mwingine afanye makosa.
SURA YA VI
ADHABU
SURA YA II
UHALIFU
______
Kigawe cha I. – Makosa ya Kuvunja Utulivu
_______
SURA YA VII
2
43. Kuletesha vita vya wenyeji.
44. (Imebatilishwa).
45. Kuchochea uasi.
46. Kusaidia katika vitendo vya uasi.
47. Kushawishi utorokaji.
48. Kusaidia mateka wa vita kutoroka.
49. Ufafanuzi wa kitendo cha dhahiri.
50. Maelezo.
51. Uwezo wa kuzuia kuingiza matangazo.
52. Makosa yanayohusu matangazo ambayo uingizaji wake umepigwa marufuku.
53. Upelekaji wa tangazo lililopigwa marufuku kwa Sheha au kituo cha Polisi
54. Uwezo wa kukagua vifurushi.
55. Nia ya ufitina.
56. Makosa ya fitina.
57. Mashitaka.
58. Ushahidi.
59. Viapo visivyo halali ili kutenda makosa ya mauaji.
60. Viapo vingine visivyo halali ili kutenda makosa.
61. Kiasi cha malazimisho kuwa ni utetezi.
62. Kwata isiyo halali.
63. Tangazo la habari za uwongo ziwezazo kuleta hofu na mshituko kwa watu.
63A. Uchochozi wa kutumia nguvu.
63B. Kuchamua kutoridhika na chuki kwa madhumuni yasio halali.
SURA YA VIII
SURA YA IX
MIKUSANYIKO ISIYO HALALALI NA GHASIA NA MAKOSA
MENGINE YA KUVUNJA UTULIVU WA WATU
67.-73. (Zimebatilishwa).
74. Ufafanuzi wa mkusanyiko usio halali na ghasia.
75. Adhabu ya mkusanyiko usio halali.
76. Adhabu ya ghasia.
77. Kutoa ilani kwa wafanya ghasia kutawanyika.
78. Kutawanyika kwa wafanya ghasia.
79. Ghasia baada ya ilani.
3
80. Kupinga utoaji wa ilani.
81. Wafanyi ghasia kubomoa majengo, n.k.
82. Kuhasiriwa majengo na wafanya ghasia.
83. Kuyaingilia kwa ghasia reli, magari, n.k.
84. Kutembea na silaha hadharani.
85. Kuingia kwa nguvu.
86. Kukamata kwa nguvu.
87. Mapigano.
88. Kusai mapigano ya wawili.
89. (i) Matusi na mzozo;
(ii) Kutishia utumiaji nguvu.
89A. Kuvinjari.
89B. Kutishia.
89C. Kushawishi watu wasisaidie mipango ya kujitolea.
90. Mkusanyiko kwa ajili ya kufanya magendo.
SURA YA X
KUTUMIA MADARAKA VIBAYA
91.-93.(Zimebatilishwa).
94. Maafisa wenye kazi maalumu juu ya mali.
95. Madai ya uwongo ya maafisa.
96. Kutukana madaraka.
97. Maafisa kutoa shahada za uwongo.
98. Kulisha kiapo kisichoruhusiwa na Sheria.
99. Kujipa mamlaka ya uwongo.
100. Kujifanya mtumishi wa Serikali.
101. Kutishia kuwajeruhi watumishi wa Serikali.
SURA YA XI
4
111. ……… makosa makubwa.
112. …….. mashtaka yapasayo adhabu.
113. ……… mali iliyoibiwa.
114. ……… mahakama.
115. ……… kukinga uwasilishaji au utimilizaji wa hati.
SURA YA XII
…… NA KUWAKINGA WATUMISHI WA MAHAKAMA ZA SHERIA
116. ….
117. Kuhudhuria kwenye kazi ya kifungo cha jela baridi.
118. ….wafungwa kutoroka.
119. … mali iliyokamatwa kwa halali.
120. Imebatilishwa.
CHAPTER XIII
…YA MCHANGANYIKO KUITENDEA SERIKALI
SURA YA XIV
MAKOSA YAHUSUYO DINI
SURA YA XV
MAKOSA KINYUME CHA UTU
5
138. Mume kunajisi mkewe aliye chini ya miaka kumi na mbili, n.k.
139. Ukuwadi.
140. Kufanya mwanamke anajisiwe kwa kuhofisha, n.k.
141. Mwenye nyumba kuruhusu kunajisiwa wasichana walio chini ya umri wa miaka
kumi na mbili nyumbani mwake.
142. Mwenye nyumba kuruhusu kunajisiwa wasichana walio chini ya miaka kumi na
sita nyumbani mwake.
143. Kuzuia kwa nia fulani au katika danguro.
144. Uwezo wa kupekua.
145. Kuishi juu ya chumo la umalaya.
146. Mwanamka anayesaidia umalaya.
147. Uwezo wa kupekua.
148. Madanguro.
149. Njama ya kunajisi.
150. Kutoa mimba.
151. Kutoa mimba kwa mwanamke mwenye mtoto.
152. Dawa ya vifaa vya kutolea mimba.
153. Kujua umri katika kuwafanyia makosa wanawake.
154. Makosa kinyuma cha maumbile.
155. Jaribio la kutenda makosa kinyume cha maumbile.
156. Shambulio la aibu kwa mtoto wa kiume chini ya miaka kumi na nne.
157. Matendo ya aibu baina ya wanaume.
158. Mwanamume kuzini na maharimu.
159. Amri ya uwalii.
160. Wanawake kuzini na maharimu.
161. Upambanuzi wa ndugu.
162. Idhini ya Mkurugenzi wa mashitaka wa Serikali.
SURA YA XVI
MAKOSA YANAYOHUSU NDOA NA LAZIMA ZA NYUMBANI
SURA YA XVII
ADHA NA MAKOSA KINYUMA CHA AFYA NA RAHA
6
173. Bahati nasibu.
173A. Barua za msururu.
174. Mwekaji nyumba afafanuliwa.
175. Upitishaji wa matangazo ya kinyaa.
176. Wazembe na wakorofi.
176A. Kukaribisha Malaya wa kawaida.
177. Wahuni.
177A. Kuacha kueleza juu ya fedha zilichangishwa katika hadhara.
178. Uvaaji wa vazi rasmi bila mamlaka.
179. Kupuuza kuenea kwa maradhi.
180. Kughushi chakula.
181. Uuzaji wa chakula cha madhara.
182. Kughushi dawa.
183. Uuzaji wa dawa zilizoghushika.
184. Kuchafua maji.
185. Kuchafua hewa.
186. Biashara za makuruhu.
SURA YA XVIII
KUUMBUA
SURA YA XIX
KUUWA KWA KUNUWIA NA KUUWA BILA KUNUWIA
7
205. Kikomo cha muda wa kifo.
SURA YA XX
SURA YA XXI
SURA YA XXII
8
SURA YA XXIII
KUTOJALI NA KUPUUZA KWA JINAI
SURA YA XXIV
MASHAMBULIO
SURA YA XXV
MAKOSA JUU YA UHURU WA WATU
SURA YA XXVI
WIZI
9
260. Fedha iliyozuiwa kwa dhamana au kwa maagizo Fulani.
261. Maajenti wa uuzaji.
262. Fedha iliyopokewa kwa ajili ya mtu mwingine.
263. Wizi wa mmiliki.
264. Mume na Mke.
265. Adhabu ya kawaida kwa wizi.
266. Kuiba wasia.
267. Kuiba kitu kilichotiwa posta.
268. Kuiba mifugo.
269. Kumuibia mtu, kuiba bidhaa inayosafirishwa, n.k.
270. Kuiba kwa watumishi wa Serikali.
271. Kuiba kwa makarani na watumishi.
272. Kuiba kwa wakurugenzi na maafisa wa kampuni.
273. Kuiba kwa ajenti.
274. Kuiba kwa wapangaji au wafikiaji.
275. Kuiba baada ya kuwa na makosa zamani.
276. Kuficha madaftari.
277. Kuficha wasia.
278. Kuficha hati.
279. Kuuwa wanyama kwa dhamira ya kuiba.
280. Kutunga kwa kusudi la kuiba.
281. Kuarifu kwa udanganyifu vitu vilivyowekwa rahani.
282. Kushughulika na madini machimboni kwa hadaa.
283. Kujipa uwezo kwa hadaa.
284. Kuhawilisha kusikofikia wizi.
SURA YA XXVII
MAKOSA YALIYO SAWA NA WIZI
SURA YA XXIX
UVUNJAJI WA NYUMBA USIKU, UVUNJAJI WA NYUMBA MCHANA NA
MAKOSA SAWA NA HAYO
10
297. Kuvunja na kuingia nyumba kwa dhamiri.
298. Kuwa na silaha kwa dhamiri ya kutenda kosa kubwa.
299. Jinai ya kuingilia bila idhini.
300. Kuhodhi.
SURA YA XXX
KUJISINGIZIA
SURA YA XXXI
KUPOKEA MALI ILIYOIBWA AU ILIYOPATIKANA BILA HALALI NA
MAKOSA KAMA HAYO
SURA YA XXXII
UDANGANIFU WA WADHAMINI NA WATU WA KAZI ZA MUAMANA NA
HESABU ZA UWONGO
11
SURA YA XXXIII
MAKOSA YALETAYO UHARIBIFU WA MALI
Kigawe cha VII. – Maandishi ya Kubuni, Utengenezaji sarafu na makosa sawa na hayo
SURA YA XXXIV
MAFAFANUZI
SURA YA XXXV
ADHABU KWA KUBUNI MAANDISHI
12
352. Maelezo ya uwongo kwa kuandikisha.
SURA YA XXXVI
MAKOSA YAHUSUYO SARAFU
353. Mafafanuzi.
354. Kubuni sarafu.
355. Matayarisho ya kutengeneza sarafu.
356. Kupunguza sarafu.
357. Kuyeyusha sarafu.
358. Kuzuia na kuharibu sarafu ya kubuni.
359. Kuwa na vikato.
360. Kutoa sarafu ya kubuni.
361. Kukariri utoaji.
362. Kutoa nishani au madini kuwa ni sarafu.
363. Kusafirisha sarafu ya kubuni.
364. Kuhodhi.
SURA YA XXXVII
MIHURI YA KUBUNI
SURA YA XXXVIII
KUBUNI ALAMA ZA BIASHARA
SURA YA XXXIX
KUJIFANYA MTU MWINGINE
13
SURA YA XL
TUME ZA SIRI
329. (Zimebatilishwa)
SURA YA XLI
MAJARIBIO
SURA YA XLII
NJAMA
334. Njama ya kutenda kosa kubwa.
335. Njama ya kutenda kosa dogo.
336. Njama nyinginezo.
SURA YA XLIII
WAFICHA UHALIFU
SURA YA XLIV
USHAWISHI WA UCHOCHEZI
14
SURA YA 16
______
KANUNI YA ADHABU
______
SEHEMU YA I
MASHARTI YA KAWAIDA
_______
SURA YA I
UTANGULIZI
Jina fupi Sh. ya 1. Sheria hii iitwe Kanuni ya Adhabu na baada ya hapa itakuwa
1945 No.21 f.2
ikitajwa “Kanuni hii”.
Kazi yake 2. Toka Kuanzia kwake Kanuni hii na baadaye, ile Kanuni ya
badala ya
Kanuni ya Adhabu ya bara Hindi itakoma kutumika nchini Tanganyika. Habari yoyote
adhabu ya Bara kuhusu sharti lolote liliyomo kwenye Kanuni ya Adhabu ya Bara Hindi juu
Hindi ya Sheria yoyote iliyoko mnamo tarehe ya kuanzi Kanuni hii, kwa kadri
yatakavyolingana maelezo yake, itafikiriwa kuwa ni sawa na sharti liliyomo
ndani ya kanuni hii.
15
kuahirisha utimizaji wa hukumu yoyote iliyokwishatolewa au
itakayotolewa; au
(6) mojawapo ya sheria yoyote au vifungu vyovyote vya sheria hizo
wakati vitumikapo kwa ajili ya Jeshi la Vita la Serikali ya
Tanganyika au katika jeshi lolote la Polisi ambalo limewekwa na
sheria.
Isipokuwa kwamba iwapo mtu ametenda kosa ambalo laweza
kutolewa adhabu chini ya kanuni hii na pia laweza kutolewa adhabu
chini ya sheria nyingineyo au sheria mojawapo ya namna hizo
zilizokwishatajwa katika fungu hili, mtu huyo hatapewa adhabu kwa
kosa hilo chini ya sheria au amri hiyo na vile vile chini ya kanuni
hii.
Angalia – Sheria ya 1963 No. 29 Mafungu 4 na 5 yanatoa masharti juu ya
chanzo cha adhabu ya kifungo na kutandikwa kwa makosa na majaribio ya
kutenda makosa kinyume cha mafungu 265, 268, 270, 271, 286, 294, 296
na 311 au Sura uya 16.
SURA YA II
TAFSIRI
16
"dhara kubwa" maana yake ni dhara yoyote ambayo yafikia kulemaza aushi
au ambayo huenda ikadhuru afya kuleta kilema cha aushi au kuleta
jeraha lolote la aushi au baya sana kwenye sehemu yoyote ya nje au
ndani ya mwili, kiungo au akili;
"shauri la mahakama" lachanganya shauri lolote ambalo lapelekwa mbele
ya mahakama yoyote, baraza, tume ya upelelezi, au mbele kwa
kiapo, au shauri litakalopelekwa katika baraza au mbele ya baraza la
wenyeji, liwe baraza hilo lachukua ushahidi kwa kiapo au sivyo;
"kwa kujua" hutumiwa kuhusu neno lolote ambalo laonyesha utoaji au
utumiaji, huonyesha hali ya kujua namna ya kitu hicho
kilichotolewa au kutumiwa;
"utawala wa mitaa” maana yake ni utawala wa mitaa ambao umewekwa
kwa mujibu wa sheria yoyote;
"kulemaza" maana yake kuiharibu au kutomwezesha aushi sehemu yoyote
ya nje au ya ndani ya mwili, kiungo au akili;
"kosa dogo" maana yake ni kosa lolote ambalo si …………………..
"fedha" inachanganya nyaraka za benki, noti za sarafu cheki na nyaraka
nyinginezo zozote au …………….fedha;
"usiku" au"wakati wa usiku" maana yake ni kile …………. moja magharibi
na saa kumi na mbili asubuhi.
“kosa” maana yake ni kitendo, jaribio au kuto……… kutolewa adhabu ya
sheria;
“mtu” na “mwenyewe” na maneno mengine kama ……kuhusu mali
yanachanganya shirika za namna …. Kingine chochote cha watu
wawezao kumiliki yatumiwapo hivyo, yanachangana na Jamhuri;
“mtumishi wa Serikali’ maana yake ni mtu yeyote ….mojawapo yoyote ya
ofisi zifuatazo au ambaye ofisi hizo, iwe kwa niaba ya mwengine
au ….
(i) afisi yoyote ya serikali kuchanga na …afisi yoyote ambayo
uwezo wa kuajiri mtu au kumtoa mtu kazini umepewa Rais au
…au Halmashauri; au
(ii) afisi yoyote ambamo mtu ameajiriwa au ame…… au sheria ya
Serikali; au
(iii)afisi yoyote ya Serikali ambayo uwezo wa kufanya kazi humo
au kumtoa umepewa watu wowote wenye kushika afisi ya
namna afisi mojawapo ya zile afisi zilizotajwa kati ……..
zilizotangulia za fungu hili; au
(iv) afisi yoyote ya muamuzi au mpatanishi kat……. Jambo lolote
lililopelekwa ili lipatanishwe lifany… kwa idhini ya mahakama
yoyote au kwa .. yoyote;
na zaidi ya hayo neno hilo pia lachanganya –
(i) mlinzi wa amani;
(ii) mjumbe wa tume ya kutafiti iliyoteuliwa … yoyote au kwa
kufuata Sheria yoyote;
(iii)mtu yeyote iliyeajiriwa kutimiliza utoaji wa ……. Mahakama,
pamoja na baraza la kienyeji;
17
(iv) watu wote waliomo katika jeshi la vita la …. Watumishi wote
wa Huduma ya Taifa;
(v) watu wote wafanyakazi katika idara yoyote ya ………
(vi) mtu ambaye ni mwalimu wa dini ya madhehebu …..mdhali
ashughulika na kazi zinazohusu taarifa ………. Kufunga ndoa
kwenyewe au zinazohusu ufanyaji …..wa daftari ya shahada
zozote za ndoa, uzazi, ……. Au mazishi, lakini si za kuhusu
jambo lolote ……..
(vii) mjumbe wa manispali;
(viii) muajiriwa katika utawala wa mitaa;
“kuwa na” (a) “iwe nacho” au “kuwa nacho’ si tu kwamba ….. na kitu
mikononi mwake mwenyewe bali pia kwachan…..hali ya kujua,
kuwa na kitu chochote mikononi mwingine yeyote au chini ya
ulinzi wa mtu huyo, au …….
…mahali popote (ikiwa ni mali yake, au chakaliwa naye au … kwa ajili ya
matumizi au faida yake au ya mtu mwingine …..(b) iwapo kuna watu
wawili au zaidi na mmoja kati yao …zaidi ya mmoja wao, kwa kujulikana
na kwa idhini ya wale wengine anacho au wanacho kitu chcohcote chini ya
ulinzi wake ulinzi wao au mikononi mwake au mikononi mwao,
huhesabiwa kchukuliwa kuwa kimo chini ya ulinzi na mikononi mwa kila
mmoja katika wao;
……. inachanganya kila kitu chenye uhai na kisicho uhai ambacho
kinaweza kumilikiwa;
….haina maana tu ya watu wote waliomo Tanganyika, lakini pia .. maana
ya watu wakaao au watumiao mahali popote mahsusi, …… idadi yoyote ya
watu kama hao na pia watu wasiojulikana …. Waweza kuhusika na maana
ya neo hili kwa namna utakavyotumiwa;
… serikali’ inachanganya njia yoyoe ipitwayo, mahali pa soko, … barabara,
daraja au njia nyingineyo ambayo ni halali kutumiwa na watu;
….pa hadhara” au “nyumba ya hadhara” inachanganya njia yoyote ya
kupita watu na nyumba yoyote, mahali au chombo chochote cha kusafiria
ambacho, kwa wakati huo, watu wana haki … wanaruhusiwa kuingia ama
bila ya sharti au kwa sharti la kulipa chochote, na jengo lolote au mahali
ambapo kwa wakati ule anatumiwa kwa ajili ya mikutano ya hadhara au ya
kidini, au … mkusanyiko au mahakama ya hadhara;
… likitumiwa kuhusu vitendo vinavyotendwa lina maana (a) kwamba
vyatendwa mahali popote pa hadhara ambapo vyaweza kuonekana na mtu
yeyote awe au asiwe mtu huyo katika mahali pa hadhara; au (b) kwamba
vyatendwa mahali popote pasipokuwa pa hadhara ambapo huenda
vikaonekana na mtu yeyote aliyeko mahali pa hadhara;
… ina maana ya Sheria ya Bunge la Uingereza au Sheria ya Bunge la Bara
Hindi na inachanganya amri zozote, kanuni, sheria, … za mji au sheria
nyinginezo ndogo ndogo zilizofanywa au kupitishwa chini ya mamlaka ya
Sheria yoyote ya Bunge la …….
…….. kunachanganya, kukitumia au kukishughulikia na kujaribu kutumia
au kukishughulikia na kujaribu kumshawishi mtu yeyote …
18
kukishughulikia au kukitenda hicho kitu chenyewe;
………muhimu: inachanganya hati yoyote ambayo ni mali ya mtu ………
na ambayo ni ushahidi wa kimiliki mali yoyote au yenye ………. Ya kudai
au kupokea mali yoyote.
“………..” kinachanga meli, mashua na kila namna ya chombo
kutumiwacho kwa kusafiria baharini au maji ya bara na inachanga ndege;
………….. mana ya mchanjo wowote au kutoboka ambako …………….
kwatia tundu sehemu yoyote nje ya mwili, na kwa ……….. ufafanuzi,
sehemu ya nje ya mwili ni sehemu yoyote ya ……….. ambayo yaweza
kuguswa bila ya kuchanjwa au kutobolewa.
SURA YA III
KUTUMIKA KWA KANUNI HII NCHINI
SURA YA IV
KANUNI ZA KAWAIDA KUHUSU JUKUMU YA JINAI
Dai la haki kwa 9. Mtu hawi na jukumu ya jinai kwa ajili ya kosa lihusikalo na mali,
uaminifu
iwapo kitendo alichotenda au alichoacha kukitenda kwa ajili ya mali hiyo
alitenda ili kutimiza dai la haki kwa uaminifu na bila ya kusudio la
kudanganya.
19
Isipokuwa imetamkwa vingine wazi wazi, hiyo sababu ambayo
imemshawishi mtu kutenda au kuacha kutenda kitendo au kuleta nia sababu
hiyo hadhuru kitu kuhusu jukumu ya jinai.
Kukosea 11. Mtu ambaye atenda au aacha kutenda kitendo akiwa na imani
hakika
kamilifu na ya kukubalika, lakini kwa kukosea, kuhusu kuwapo kwa au
kutotenda kwake kutakakozidi hali ya mambo au kama ingelikuwa kama
alivyoamini.
Kutumika kwa kanuni hii kwaweza kuondolewa na masharti
yatakayotamkwa wazi au yatakayofahamika ya sheria kuhusu kanuni hii.
Kudhaniwa 12. Kila mtu anadhaniwa kwamba akili zake ni timamu, na kwamba
kuwa na akili
timamu ana akili timamu wakati wo wote ule mpaka itibitishwe kinyume cha hivyo.
Wenda wazimu 13. Mtu hawi na jukumu ya jinai kwa kutenda au kutotenda iwapo
wakati akitenda kitendo hicho au akiacha kukitenda yumo ndani ya hali ya
ugonjwa wo wote wa kuathiri akili yake na hawezi kujua kwamba hapasiwi
kutenda au kutotenda kitendo hicho.
Lakini mtu aweza kuwa na jukumu ya jinai kwa kutenda au kutotenda
ingawaje akili yake iliharibika kwa maradhi, iwapo maradhi yenyewe
hayamletei mojawapo katika shida zilizotajwa juu kuhusu kutenda au
kutotenda.
Kulewa 14.- (1) Isipokuwa kama yalivyo masharti ya fungu hili kulewa
haitakuwa utetezi katika kosa lo lote la jinai.
(2) Kulewa kutakuwa utetezi kwa shtaka lo lote la jinai iwapo
kwa sababu ya kulewa huko mshtakiwa wakati wa kitendo au kutotendeka
kulikolalamikiwa alikuwa hajui atendalo na–
(a) hali ya kulewa hiyo ililetwa bila ya hiari yake kwa kitendo
kiovu au cha kupuuza cha mtu mwingine; au
(b) kwa sababu ya ulevi akili ya mshatakiwa iliharibika kwa muda
au vinginevyo, wakati wa kitendo hicho au kutotendeka huko.
Sura 20 (3) Iwapo utetezi chini ya fungu lililotangulia umethibitika basi
kesi inayoangukia kwenye fasili yake ya (a) mshtakiwa ataruhusiwa na
katika kesi inayoangukia kwenye fasili (b) masharti ya kanuni hii na ya
Kanuni ya Mwenendo wa Jinai kuhusu wenda wazimu yatatumika.
(4) Kulewa kutafikiriwa kwa ajili ya kukata shauri kama
mshtakiwa alileta nia yoyote halisi au vinginevyo, ambayo kama
isingekuwapo asingelikuwa mkosaji.
(5) Kwa ajili ya fungu hili kulewa kutafikiriwa kuwa
kwachanganya hali inayoletwa na dawa ya kupoteza akili (nakotiki) au
madawa mabaya yanayolevya.
Umri mchanga 15. Mtu mwenye umri wa chini ya miaka saba hana jukumu ya jinai
kwa kutenda au kutotenda lolote.
Mtu mwenye umri wa chini ya miaka kumi na mbili hana jukumu ya
20
jinai kwa kitendo au kutotendeka, ila ithibitishwe kwamba wakati wa
kutenda au kuacha kutenda kitendo hicho aliweza kujua kwamba hapaswi
kukitenda au kuacha kukitenda -
Mtu mwenye umri wa chini ya miaka kumi na mbili anafikiriwa
kuwa hawezi kuundama.
Lazima 17. Mtu hana jukumu ya jinai kwa kosa iwapo kosa hilo limefanya
na wakosaji wawili au zaidi, naiwapo kitendo hicho kimetendwa au
kimeachwa kutendwa kwa sababu tu kwamba katika wakati wote ambao
kitendo hicho kikitendeka au kikiachwa kutendwa mtu huyo analazimishwa
kukitenda au kuacha kukitenda kwa vitisho vya mkosaji mwingine au
wakosaji wengine vya kumuuwa papo hapo au kumtia dhara ya maumivu
makuu mwilini iwapo atakataa; lakini vitisho vya kumuumiza baadaye
haviwi ni udhuru wa kosa lolote.
Kutetea nafsi 18. Kwa kufuata masharti yaliyoelezwa katika Kanuni hii au sheria
au mali
nyingineyo yoyote itumikayo Tanganyika, jukumu ya jinai kwa utumiaji wa
nguvu katika kumtetea mtu au mali itaamuliwa kwa mujibu wa misingi ya
sheria ya Kiingereza.
Utumiaji wa 19. Iwapo mtu yeyote anashtakiwa kwa kosa la jinai litokanalo na
nguvu katika
kukamata kukamata ua kujaribu kumkamata mtu ambaye anapinga kukamatwa kwa
kutumia nguvu au anajaribu kuepuka kukamatwa, katika ku… kama njia
zilizotumiwa au kiasi cha nguvu kilichotumiwa ili kumkamata mtu huyo
kilikuwa cha kufaa, mahakama itafikiria uzito wa.. ambalo lilikuwa
limefanywa au likifanywa na mtu huyo na jinsi .. kosa hilo lilikuwa
limefanya au likifanywa na mtu huyo.
Mtu asipewe 21. Mtu hatapewa adhabu mara mbili, ama kwa kufaata ma… ya
adhabu mara
mbili kwa kosa kanuni hii au kwa kufuata masharti ya sheria nyingine yoyoe .. kosa moja.
moja Sheria
1955No. 49 f.3
21
SURA YA V
WASHIRIKI WA MAKOSA
Makosa 23. Iwapo watu wawili au zaidi wanafanya nia moja ya kutumiza
yanayofanywa
na wakosaji kusudio lisilo halali kwa kuungana mmoja na wengineo na katika kutimiza
walioshikiana kusudio hilo kosa latendeka la namna ambayo kutendeka kwake yamkini
katika kutimiza kulikuwa ni tokeo la kutimiwa kwa kusudio hilo, basi kila mmoja wao
kusudio moja
atahesabiwa kwamba ni mtendaji wa kosa hilo.
Kumshauri 24. Iwapo mtu anamshauri mtu mwingine kufanya kosa, baadaye
mwingine
afanya kosa kosa hilo likafanywa hasa na huyo anayeshauriwa
SURA YA VI
ADHABU
22
(7) Kutaka dhamana kwa kutunza amani na kuwa na tabia njema,
au kwa kuhudhuria kupewa hukumu.
(8) Adhabu nyingineyo yoyote inayotolewa na Kanuni hii au
sheria nyingineyo yoyote au amri.
Hukumu ya Kifo 26.-(1) Iwapo mtu yeyote amehukumiwa kifo, hukumu itaamuru
kwamba mtu huyo aning’inizwe kwa kitanzi shingoni mpaka awe
amekufa.
Sura 455 f.16 (2) Hukumu ya kifo haitatamkwa au kuandikwa juu ya mtu
yeyote ambaye, kwa maoni ya mahakama, mtu huyo ni wa chini ya umri
wa miaka kumi na nane, lakini badala yake mahakama itamuhukumu mtu
huyo awekwe kizuizini mpaka atakapotaka Rais, na ikiwa atahukumiwa
hivyo atapasiwa kuzuwiwa mahali ambapo kwa masharti ambayo Waziri
aliyepo mwenye madaraka ya mambo ya sheria ataamuru, na awapo
kizuwizini hivyo atahesabiwa kuwa yumo katika ulinzi wa halali.
(3) Iwapo mtu amehukumiwa kuwekwa kizuizini mpaka
atakapotaka Rais kwa mujibu wa kifungu cha mwisho kilichotangulia,
Kadhi anayehukumu atampelekea Waziri aliyepo mwenye madaraka ya
mambo ya sheria nakala ya maandishi ya ushahidi uliochukuliwa naye
ikiwa na mapendekezo au maoni yake juu ya shauri hilo kama
atakavyoona yafaa kufanya.
Adhabu ya 28. Iwapo katika kanuni hii yaamriwa kwamba mtu yeyote
kutandikwa
atapasiwa kupata adhabu ya kutandikwa, apewapo adhabu hiyo, adhabu
hiyo atapewa kwa kufuata masharti ya Sheria ya Adhabu ya Kutandikwa..
Sura 17 Faini 29. Iwapo hukumu ya faini imetolewa chini ya sheria yoyote, basi
pakikosekana masharti yaliyo wazi kuhusu faini hiyo katika sheria hiyo
masharti yafuatayo yatatumika:–
(i) Iwapo hakuna kiasi kilichoelezwa kwamba faini hiyo yaweza
kukomea, basi kiasi cha faini ambacho chaweza kutozwa
hakina kikoma, lakini hakitakuwa cha kuzidi sana.
(ii) Kwenye kosa linalopasiwa adhabu ya faini au kifungo,
utozaji wa faini hiyo au kifungo hicho litakuwa ni jambo la
hiari ya hiyo mahakama.
(iii) Kwenye kosa ambalo laweza kutolewa hukumu ya adhabu ya
kifungo pamoja na faini kwa ambalo mkosaji amehukumiwa
adhabu ya faini pamoja na au bila ya kifungo na kwnye kila
kosa ambalo laweza kutolewa hukumu ya adhabu ya faini tu
na mkosaji akahukumiwa adhabu ya kulipa faini tu,
mahakama inayopitisha hukumu hiyo yaweza kwa hiari yake
23
(a) kuamuri katika hukumu yake kwamba kukikosekana
malipo ya faini hiyo ni mkosaji aingine kifungoni kwa
muda fulani, kifungo ambacho kitaongezwa kwenye
kifungo kingine chochote ambacho amehukumiwa nacho
na ambacho aweza kupasiwa nacho kwa mujibu wa
tahafifu ya adhabu; na pia
(b) Kutoa hati ya kutoza kiasi cha faini hiyo kutokana na
mali isiyohamishika na inayohamishika ya mkosaji huyo
kwa kuishika na kujuza chini ya hati:
Isipokuwa kwamba ikiwa hukumu yaamuru kwamba
pakikosekana malipo ya faini hiyo mkosaji atiwe kifungoni, na
ikiwa mkosaji huyo ametumikia kifungo hicho chote kwa kukosa
kulipa faini, hakuna mahakama itakayotoa hati ya kushika na
kuuza mali ya mkosaji huyo ila kwa sababu maalum ambazo
zitaandikwa ikifikiria ni lazima kufanya hivyo.
(iv) Muda wa kifungo ulioamriwa na mahakama kwa ajili ya
kukosekana Malipo ya kiasi chochote cha fedha
kilichohukumiwa kulipwa kwa kuonekana na hatia au kwa
ajili ya kukosekana mali ya kuuzwa ili kutosheleza kiasi
hicho muda wa kifungo hicho utakuwa ule ambao mahakama
imeona utatosheleza kwa jinsi ya shauri hilo lilivyo lakini
kwa vyo vyote hautapindukia kikomo kilichowekwa cha kiasi
kifuatavyo:–
Kuhodhi Sh.1958 30. Iwapo mtu yeyote ameonekana na hatia kwa kosa mojawapo
No. 19 f.15 CA,
Act 2 f.12 chini ya lolote katika mafungu yafuatayo, yaani mafungu 111 au 112,
mahakama yaweza ikiwa ni ziada au badala ya adhabu inayoweza kutoa,
kuamuru mali yoyote ihusikayo na utendaji wa kosa hilo kuhodhiwa na
Jamhuri; au iwapo mali hiyo haiwezai kuhodiwa au kupatikana,
mahakama yaweza kuamuru kuhodhiwa kiasi cha fedha ….. kwamba ni
thamani ya mali hiyo. Malipo ya kiasi cho ………….kihodhiwe yaweza
kulazimishwa kwa namna ile ile …….. mwenendo ule ule kama ulivyo
kwenye malipo ya faini.
24
yaweza kuwa ni ziada ua ni badala ya nyingine yoyote.
Dhamana kwa 33. …….. ambaye ameonekana na kosa ambalo halitolewi ……..
kutunza amani
ya, au ziada ya adhabu yoyote ambayo anapa……… kujidhamini yeye
mwenyewe, pamoja na au bila …….. kiasi ambacho mahakama yafikiri
kuwa chafaa, …….atatunza amani na kuwa mwenye tabia njema kwa
……. Na mahakama, na aweza kuamriwa kufungwa ……..pamoja na
wadhamini, ikiwa imeamriwa hivyo……. …. Kwa kutojidhamini
hakitazidi mwaka hicho pamoja na muda wa kifungo kingine, kama
……..cha muda ambao aweza kuhukumiwa kifungo.
Kuzidi kwa 36. …. Baada ya kuonekana na hatia kwa kosa moja .. kwa kosa
adhabu isipokuwa
imeamriwa jingine, ama kabla ya kupitishiwa ya mwanzo au kabla ya kumalizika
vingine adhabu hiyo, … adhabu ya kifo au ya kutandikwa ambayo … peke kwa
sababu ya kosa lililofuata adhabu hiyo … kumalizika kwa adhabu ya
kwanza isipokuwa …. Kwamba adhabu hiyo itimilizwe pamoja na ile …
au na sehemu yoyote ya adhabu ya kwanza.
.. haitakuwa halali kwa mahakama kuamuru … kifungo kwa
kukosa kulipa faini itatimulizwa … ya kwanza chini ya fungu 29 (iii) (a)
au pamoja na adhabu hiyo.
Wafungwa 37. …….. hukumu yapitishwa chini ya Kanuni hii juu ya … ikiwa
wafungwa
waliotoroka ya kifo, faini au adhabu ya kutandikwa … ya kanuni hii hukumu hiyo
watumike baki ya itatimizwa mara kifungo, itatimizwa kwa mujibu wa kanuni zifuatazo,
vifungo
wakamatwapo
tena.
(a) …. mpya ni kali zaidi kuliko ile ambayo mfungwa …
akitumika alipotoroka, adhabu mpya itaanzia .. atatumika
muda wowote uliobaki katika kifungo cha kwanza ambacho
hakikumalizika wakati alipotoroka….adhabu yake mpya;
(b) Iwapo adhabu mpya si kali zaidi kuliko ile ambayo
mfungwa huyo alikuwa akitumika alipotoroka, basi adhabu
mpya itaanza baada ya kumaliza muda uliobakia wa
kifungo chake cha kwanza ambao ulikuwa haujamalizika
wakati alipotoroka.
25
Kuachilia kwa 38.-(1) Iwapo mahakama ambayo imemuona mtu na hati kwa
sharti au bila ya
sharti Sh. 1961 kuangalia mambo yalivyo na namna ya kosa hilo na tabia ya mkosaji
No.5 huyo, yaona kwamba haifai kutoa adhabu, na kwamba pia si sawa kutoa
amri ya kumuweka mkosaji huyo aachiliwe kabisa au, iwapo mahakama
hiyo yaona kwamba yafaa, yaweza kumuachilia kwa sharti kwamba
asitende kosa ndani ya muda utakaowekwa na amri hiyo ambao hautazidi
miezi kumi na mbili toka tarehe ya amri hiyo.
(2) Amri ya kuachilia kwa sharti iliyotajwa katika kifungu
itajulikana kama “amri ya kuachilia kwa sharti” na muda utakaowekwa
kwenye amri yoyote ya namna hiyo utajulikana ni muda wa kuachiliwa
kwa sharti.
(3) Kabla ya kutoa amri ya kuachilia kwa sharti, mahakama
itamueleza mkosaji kwa lugha ya kawaida kwamba wapo atatenda kosa
jingine ndani ya muda wa kuachiliwa sharti, atapasiwa adhabu kwa kosa
la mwanzo.
(4) Iwapo amri ya kumuachilia mkosaji imetolewa chini ya fungu
hili, mahakama yaweza kumuamuru kulipa fidia yoyote iliyoamriwa chini
ya fungu 31 au gharama zozote zilizoamriwa chini ya fungu 32 ya Kanuni
hii.
Kutenda kosa tena 38A.-(1) Iwapo yaonekana na kadhi au hakimu yeyote kwamba
Sh.1961 No. 5 f.3
mtu aliyeachiliwa kwa sharti ameonekana na hatia kwa kosa ambalo
amelitenda ndani ya muda wa kuachiliwa kwa sharti, kadhi au hakimu
huyo aweza kutoa Kuitwa Shaurini kwa mtu huyo kuhudhuria mahli na
wakati utakaotajwa au hati ili akamatwe;
Isipokuwa kwamba hakimu huyo hataitoa kuitwa shaurini
hiyo au hati ya kukamatia hiyo ila kwa taarifa ya maandishi na juu ya
kiapo.
(2) Kuitwa shaurini hati ya kukamatia inayotolewa chini ya fungu
hili itamuamuru mtu aliye na hatia huyo kuhudhuria au kuletwa mbele ya
mahakama ambayo iliamuru aachiliwe kwa sharti.
(3) Iwapo mtu ambaye ameachiliwa kwa sharti ameonekana na
hatia na hakimu kwa kosa ambalo amelifanya ndani ya muda wa
kuachiliwa kwa sharti, hakimu huyo aweza kumweka mtu huyo
korokoroni au kumuachilia kwa dhamana, pamoja na wadhamini au bila
ya wadhamini, hadi atakapoweza kuletwa au kuhudhuria mbele ya
mahakama ambayo imetoa amri hiyo ya kuachilia kwa sharti.
(4) Iwapo yathibitishwa kwa kuitosheleza mahakama ambayo
imetoa amri ya kuachiliwa kwa sharti kwamba mtu aliyetolewa amri hiyo
ameonekana na hatia kwa kosa ambalo amelitenda ndani ya muda wa
kuachiliwa kwa sharti, mahakama hiyo yaweza kumpitishia hukumu
yoyote ambayo ingeliweza kumptitishia kama mahakama hiyo ingemuona
na hatia kwa kosa la mwanzo.
(5) Iwapo mtu ambaye ametolewa amri ya kuachiliwa kwa sharti
na hakimu, akionekana na hatia na Mahakama kuu kwa kosa ambalo
amelitenda ndani ya muda wa kuachiliwa kwa sharti, Mahakama Kuu
26
yaweza kumpitishia hukumu ambayo mahakama iliyotoa amri hiyo
ingeliweza kumpitishia kama mahakama hiyo ingelimuona na hatia kwa
kosa la mwanzo.
(6) Iwapo chini ya masharti ya fungu hili mtu ambaye
ameachiliwa kwa sharti anahukumiwa adhabu kwa kosa ambalo lilitolewa
amri ya kuachiliwa kwa sharti, amri hiyo itakomea hapo.
Matokeo na hatia 38B.-(1) Kwa kufuata masharti ya kifungu (2), iwapo mtu
na kuachiliwa
Sh.1961 No.5 f.3 ameonekana na hatia akiachiliwa kabisa au kwa sharti chini ya masharti
ya fungu 38. Kuonekana kwake na hatia ya kosa hilo hakuatafikiriwa
kwamba si kuonekana na hatia kwa ajili nyingine yoyote isipokuwa kwa
ajili ya mashauri ambayo yalitolewa amri hiyo na kwa ajili ya mashauri
yoyote ya baadaye ambayo yaweza kufanywa juu yake chini ya masharti
ya fungu 38A.
Isipokuwa kwamba iwapo mtu ambaye ameachiliwa kwa sharti
baadaye akahukumiwa chini ya fungu la 38A kwa kosa ambalo lilitolewa
amri hiyo, fungu hili litakoma kutumika kwa ajili ya kosa ambalo naye
atafikiriwa kwamba ametiwa hatiani kwenye tarehe ya hukumu hiyo.
(2) Hakuna jambo katika fungu hili ambalo litadhuru–
(a) haki ya mtu yeyote ambaye ameonekana na hatia na
kuachiliwa kabisa au kwa sharti kuchukua rufani kupinga
kuonekana na hatia kwake au kuitegemea hukumu hiyo iwe
kingamizi yake kwa mashtaka yoyote ya baadaye kwa kosa
hilo hilo; au
(b) kurejesha au kurudisha mali yoyote kwa matokeo ya
kuonekana na hatia kwa mtu huyo.
SEHEMU YA II
UHALIFU
SURA YA VII
UHAINI NA MAKOSA MENGINE JUU YA MAMLAKA YA UTAWALA
Uhaini C.A. 39.-(1) Mtu yeyote ambaye yumo katika utii wa Jamhuri ya
ACT.2 F.36
Tanganyika–
(a) akifanya vita na Jamhuri ya Tanganyika, au
(b) akiambatana na maadui wa Jamhuri katika nchi ya Tanganyika
au mahali pengine; au
Mtu huyo atakuwa amekosa kosa la uhaini na kosa likithibiti atapasiwa
kupata adhabu ya kifo.
27
Kuficha uhaini 41. Mtu yeyote ambaye–
(a) atakuwa mfichaji uhalifu wa uhaini; au
(b) atajua kwamba yuko mtu yeyote mwenye nia ya kutenda uhaini
na akaacha kutoa taarifa ya jambo hilo, kwa haraka ya kutosha,
kwa Bwana Shauri, Hakimu au Ofisa Mkuu wa Polisi au
akaacha kufanya juhudi ya kutosha ya kuzuia utendaji wa kosa
hilo, mtu huyo amekosa kosa kubwa liitwalo “kupurukusha
uhaini” na atapasiwa kifungo cha maisha.
Makosa 42. Mtu yeyote ambaye atakuwa na nia ya kutimiza lolote katika
makubwa ya
kihaini C.A. madhumuni haya yafuatayo, yaani –
Act 2 f.36
(a) kushika silaha ndani ya Tanganyika ili kwa lazima ya kwa
nguvu kuilazimisha serikali igeuze mwengo wake au
maongozaji yake au ili kutia lazima au nguvu juu ya baraza la
taifa (Bunge) au ili kulitishia au kulifadhaisha Bunge;
(b) kumchochea mtu yeyote kufanya mashambulio ya silaha katika
Tanganyika.
Na akadhihirisha nia hiyo kwa tendo lililowazi, au akatangaza kwa
kuchapisha au kwa kuandika, mtu huyo amekosa kosa kubwa na atapasiwa
kifungo cha maisha.
Kuletesha vita 43. Mtu yeyote ambaye bila ya mamlaka ya halali atafanya, au
vya wenyeji
kusaidia au kushauri ufanyaji na au utayarishaji wa vita vyovyote au
shughuli za kivita kwa namna yoyote kupigana na chifu wa kienyeji au kwa
namna yoyote kupigana na kikundi cha wenyeji, mtu huyo amekosa kosa
kubwa na atapasiwa kifungo cha maisha.
Kuchochea uasi 45. Mtu yeyote ambaye, kwa kusudi anajaribu kutimiza yo yote
C.A. Act 2 f.8
katika madhumi haya yafuatayo, yaani–
(a) kumshawishi mtu ye yote anayetumika katika jeshi la vita la
Tanganyika au yeyote katika jeshi la polisi aache wajibu na utii
wake juu ya Jamhuri; au
(b) kuwachochea watu wo wote na namna hiyo kutenda kitendo
cha uasi au kutenda kitendo chochote cha uhaini au cha uasi;
(c) kuwachochea watu wowote wa namna hiyo kufanya au
kujitahidi kufanya mkusanyiko wa uasi,
Mtu huyo amekosa kosa kubwa na atapasiwa kifungo cha maisha.
28
Tanganyika au ofisa wa polisi yeyote mtu huyo amekosa kosa dogo.
Kushawishi 47. Mtu yeyote ambaye kwa njia ya namna yoyote iwayo–
askari jeshi au
maofisa wa (a) atauma au kushawishi au atajaribu kutuma au kushawishi
polisi kutoroka kutoroka kwa; au
(b) atasaidia au atakuwa msalata wa utorokaji wa; au
(c) baada ya kuwa na sababu ya kuamini kwamba ni mtorokaji
akamficha au kumsaidia kumficha.
Akida mdogo au askari wa daraja ya chini wajeshi la vita lililotajwa au ofisa
wa polisi yeyote, mtu huyo amekosa kosa dogo na atapasiwa kifungo cha
miezi sita.
Uwezo wa …ataona kwamba uingizaji wa tangazo lolote .. manufaa ya watu, kwa hiari
kuzuia kuingiza
matangazo yake kamili .. uingizaji wa tangazo hilo kwa kutoa amri, ….anaweza kupiga
Sh.1955 No.49 marufuku uingizaji wa toleo … lililopita au litakalokuja kwa amri ile ile au
f.5 kwa …
29
uingizaji wa matangazo ya badaye ya mtu huyo, ama yote pia ama kwa
kufuata vidakizo au masharti yaliyotajwa.
Makosa 52. – (1) mtu yeyote ambaye ataingiza, atatangaza, atauza, atatoa
yanayohusu
matangazo kwa ajili ya kuuza, atagawanya au atazalisha tangazo lolote ambalo
ambayo uingizaji wake umepigwa marufuku kwa mujibu wa fungu la 51 au dondoo
uingizaji wake lolote la tangazo hilo mtu huyo amekosa na kwa kosa la kwanza atapasiwa
umpigwa
marufuku C.A. kifungo cha miaka miwili au kutozwa faini ya shilingi elfu mbili au yote
Act 2 f.12 mawili pamoja kifungo na faini pia na kwa kosa lifuatalo ni kifungo cha
miaka mitatu; na tangazo hilo au dondoo hilo la tangazo litahodhiwa na
jamhuri.
(2) Mtu yeyote ambaye bila ya udhuru wa halali analo
mikononi mwake tangazo lolote ambalo uingizaji wake umepigwa
marufuku kwa mujibu wa fungu la 51 au analo dondoo la tangazo hilo mtu
huyo amekosa na kwa kosa la kwanza atapasiwa kifungo cha mwaka mmoja
au kutozawa faini ya shilingi elfu moja au adhabu zote mbili hizo na
dondoo la tangazo hilo litahodhiwa na Jamhuri.
30
anbaye ana tuhuma nayo kuwa ina tangazo au dondoo la tangazo
ambalo kwa mujibu wa fungu la 52 ni kosa kuliingiza, kulitangaza,
kuliuza, kulitoa kwa kuuza, kuligawanya, kulizalisha au kuwa nalo;
na wakati huo wa kukagua anaweza kumzuia mtu yeyote
anayeingiza au kugawanya au kutia posta kifurushi hicho au bahasha
hiyo au yule mtu ambaye mikononi mwake anacho kifurushi hicho
au bahasha hiyo.
31
(a) atafanya au atajaribu kufanya, au kujitayarisha kufanya au kula
njama na mtu yeyote kufanya kitendo chochote kwa nia ya
fitina;
(b) atatamka maneno yoyote kwa nia ya fitina;
(c) atachapisha, kutangaza, kuuza kutoa kwa kuuza, kugawa au
kuzalisha tangazo lolote la fitina;
(d) ataingiza tangazo lolote la fitina na iwapo hana sababu ya
kuamini kwamba tangazo hilo ni la fitina.
mtu huyo ni mkosaji na atapasiwa. Kwa kosa la kwanza na kifungo cha
miaka miwili au kutozwa faini ya shilingi elfu mbili au adhabu zote mbili
pamoja na kwa kosa lifuatazo atapata kifungo cha miaka mitatu na tangazo
lolote la fitina litahodhiwa na Jamhuri;
(2) Mtu yeyote ambaye analo mikononi mwake bila udhuru wa
halali, tangazo la fitina mtu huyo amekosa na atapasiwa kwa kosa la
kwanza na kifungo cha mwaka mmoja au faini ya shilingi elfu mbili au
adhabu zote mbili na kwa kosa lifuatialo atapata kifungo cha miaka miwili;
na tangazo litahodhiwa na Jamhuri.
(3) Itakuwa ni utetezi wa kutosha kwa mashtaka chini ya
kifungu kilichotanguia iwapo mtu aliyeshtakiwa na kujua kama tangazo hilo
lilikuwa la fitina wakati lilipoingia mikononi mwake na mara tu alipoyajua
yaliyomo katika tangazo hilo akalipeleka kwa Sheha wa karibu naye zaidi
au kwa afisa muangalizi wa kituo cha polisi kilicho karibu naye zaidi.
(4) Mtambo wowote wa kuchapia ambao umetumiwa au kwa
sababu ya namna umetuhumiwa kutumiwa kwa kuchapisha au kuzalisha
tangazo lolote la fitina mtambo huo waweza kukamatwa au kuhifadhiwa na
afisa wa polisi kungojea kesi na kuhukumiwa makosa au kuruhusiwa
tangazo lolote hilo la fitina; na iwapo mtu ye yote ataonekana na makosa ya
kuchapa au kuzalisha tangazo la fitina mahakama yaweza, baada ya adhabu
nyingine yoyote kutoa amri kwamba mtambo huo uhodhiwe na Jamhuri na
mahakama inaweza kutoa hukumu hiyo, iwe mtu huyo aliyehukumiwa
makosa wakati wa kuchapwa au kuzalishwa tangazo hilo mtambo wa
kuchapia ulikuwa ni mali yake au sivyo. Mtambo wa kuchapia
utakaohodhiwa kwa mujibu wa kifungu hiki utauzwa na fedha
zitakazopatikana, zikipunguzwa gharama za uuzaji, zitatiwa katika Hazina.
(5) Iwapo mwenye mali, mtangazaji, mchapaji, au mhariri wa
gazeti kama lilivyoelezwa katika Sheria ya Magazeti, ataonekana na
makosa ya kuchapisha au kutangaza tangazo la fitina katika gazeti
mahakama baada ya adhabu nyingine yoyote iliyotoa, na ni sawa kama
ilitoa amri chini ya kifungu cha (4) cha fungu hili au sivyo, inaweza kutoa
amri ya marufuku utoaji wa gazeti hilo kwa muda usiozidi mwaka mmoja.
(6) Wakati wowote mahakama itakapoombwa na wakili Mkuu
wa Serikali na kuchukua dhamana, kama ipo, ya kuwa na tabia nzuri kama
mahakama itakavyoona yafaa kuamuri, mahakama hiyo inaweza kutangua
amri yoyote iliyoitoa ya kuhodhi au kutwaa mtambo wa kuchapishia au ya
kupiga marufuku utangazaji zaidi wa gazeti fulani.
(7) Mahakama kabla ya kutoa amri ya kuhodhi au kutwaa
32
mtambo wa kuchapishia kwa mujibu wa fungu hili ni lazima itoshe kwamba
mtambo huo wa kuchapishia ndio hasa mtambo ambao ulitumika kwa
kuchapishia au kuzalishia tangazo hilo la fitina.
(8) Popote iwapo mtambo wa kuchapishia umewekwa katika
hifadhi au umetwaliwa kwa mujibu wa fungu hili Mkuu wa Polisi kwa
hiyari yake anaweza –
(a) kufanya mtambo huo au sehemu yake iondolewe; au
(b) kufanya sehemu yoyote ya mtambo huo ifungwe ili kuzuia
kutumika.
Isipokuwa kwamba mwenye mtambo huo au ajenti wake atakuwa na
haki ya kuufikia mtambo huo ili kuuweka katika hali
itakayowezesha mtambo huo kufanya kazi.
(9) Mkuu wa Polisi au afisa wa polisi yeyote anayefanya kazi
kwa kufuata uwezo uliotolewa na fungu hili hatapasiwa na kulipa hasara
yoyote itakayopatikana katika mtambo wa kuchapishia iwe hasa ilipatikana
kwa kupuuza kwake au vinginevyo madhali hasa hiyo kwenye mtambo huo
haikufanywa kwa kunuia.
(10) Mtu yeyote ambaye atatumia au kujaribu kutumia mtambo
wa kuchapishia uliowekwa katika hifadhi au uliotwaliwa kwa kufuata
kifungu cha (4) cha fungu hili mtu huyo amekosa na atapasiwa kifungo cha
muda usiozidi miaka mitatu.
(11) Mtu yeyote ambaye atachapisha au kutangaza gazeti kwa
kuvunja amri iliyotolewa chini ya kifungu (5) cha fungu hili atakuwa
amekosa na atapasiwa kifungo cha muda usiozidi miaka mitatu.
(12) Katika fungu hili neno “mtambo wa kuchapishia”
linachanganya kiwanda cha kupiga chapa, mtambo wa kutolea nakala,
mashine ya taipureta, chombo cha kupigia picha maneneo au cha kutoa
nakala nyingi au cha kukatia herufi au mashine yoyote au chombo chochoe
ambacho kimetumika au kimehusiana na uchapishaji au uzalishaji wa
matangazo na herufi na vyombo vyovyote vingine vya mashine au mtambo
huo.
33
Mkurugenzi wa Mashitaka wa Serikali.
Ushahidi 58. Mtu yeyote asihukumiwe makosa chini ya fungu ….. kwa
ushahidi wa mtu mmoja bila ya ushahidi mwingine wowote.
34
jeshi la polisi atoe taarifa mbele ya mkuu wake kueleza yote anayoyajua
kuhusu shauri hilo la kiapo na kutaja mtu au watu waliolisha kiapo au
kuhudhuria na mahali na wakati kiapo kilipolishwa au ahadi
ilipochukuliwa; au kama mtu amezuilika kwa nguvu fulani zilizotumika au
kwa ugonjwa atoe habari hizo ndani ya siku kumi na nne tangu
kuondokewa na kuzuilika huko.
35
Kuchamua 63.B – (1) Mtu yeyote ambaye katika mkusanyiko wowote atatoa
kutoridhika na
chuko kwa maneno ambayo huenda yakaleta kutoridhika kati ya wakazi wowote
madhumumuni Watanganyika au kuleta hisi za chuki kati ya mbari au jamii mbali mbali za
yasio halali watu wa Tanganyika, mtu huyo amekosa kosa dogo na atapasiwa faini
Sh,1955 No. 49
f.6 Sh.1959 isiyozidi shilingi elfu moja au kifungo cha muda usiozidi miezi kumi na
No.10 f.2 G.N. mbili au yote mawili faini na kifungo pia.
1961 No.236
C.A. Act 2 f.36
Isipokuwa kwamba hakuna mtu atakayekuwa amekosa chini ya
masharti ya fungu hili ikiwa maneno yake aliyoyatoa yalikuwa tu kwa ajili
ya moja au zaidi ya madhumuni haya yafuatayo, na uthibitisho wa hayo
utakuwa juu yake, madhumuni yenyewe ni –
(a) kuonyesha kwamba Serikali imeongozwa vibaya au imekosea
katika mwendo wake; au
(b) kutaja makosa au upungufu katika Serikali au siasa ya Serikali
au Katiba ya Tanganyika kama ilivyowekwa na sheria, au
sheria yoyote au katika usimamaji wa haki kwa kusudi la
kutaka kuondosha au kusahihisha upungufu au makosa hayo;
au
(c) kushawishi wakati wowote wa Tanganyika wajaribu kuleta
mageuzo ya jambo lolote katika Tanganyika kwa njia ya halali;
au
(d) kutaja kwa nia ya kuyaondosha mambo yoyote ambayo
yameleta au yanaelekea kuleta chuki kati ya wakazi wowote
wa Tanganyika au hisi ya chuki au uadui kati ya mbari au jamii
ya watu mbali mbali wa Tanganyika
(3) Mtu hatashitakiwa kwa kosa chini ya fungu hili bila ya idhini
ya maandishi ya Mkurugenzi wa Mashitaka wa Serikali.
64. Mtu yeyote ambaye bila ya hali yoyote ile au bila udhuru
utakaotosha kwa upande wa kumuumbua mtu mahsusi, atatangaza jambo
lolote kwa kukusudia lisomwe au kuonyesha ishara yoyote au maonyesho
ya wazi yanayoweza kutweza, kukebehi kumletea chuki au dharau mfalme,
mtawala balozi au mkuu yeyote wa kigeni kwa nia ya kuharibu amani na
urafiki kati ya Tanganyika na nchi yake mtu huyo amekosa kosa dogo.
65. Mtu yeyote atakuwa ametenda kosa dogo ambaye ataenda moja
wapo katika matendo haya yafuatayo bila ruhusa ya Rais yaani –
(a) atakakaetayarisha au kufanya msafara wowote wa manowari au
wa jeshi la vita kwenda kushambulia tawala za dola yoyote
iliyo rafiki au atakayeshughulika na maandalio au mafanyo ya
msafara au kusaidia au kuajiriwa kupewa cheo chochote katika
msafara huo, au
(b) atakayepokea hali ya kuwa yeye ni raia wa Tanganyika, au
36
kukubali kupokea ujumbe au shughuli yoyote ya kazi za kijeshi
la vita au za kimanowari za dola yoyote ngeni iliyo na vita na
dola ya kirafiki, au atakayeshawishi; akiwa ni raia wa
Tanganyika au si raia wa Tanganyika, mtu mwingine yeyote
kupokea au kukubali kupokea ujumbe wowoe au shughuli
yoyote ya kazi za kijeshi au za kimanowari za dola hiyo ngeni
iliyokwisha tajwa; au
(c) atakayeitoka, hali ya kuwa yeye ni raia wa Tanganyika, au
kwenda kujipakia katika chombo chochote kwa nia ya kuitoka
nchi ya Tanganyika kwa kusudi la kupokea ujumbe wowote au
shughuli yoyote ya kazi za kijeshi au za kimanowari za dola
ngeni yoyote iliyo katika vita na dola ya kirafiki; au
atakaeshawishi, akiwa ni rais au si rais wa Tanganyika, mtu
yeyote mwingine kuitoka au kujipakia katika chombo chochote
kwa nia ya kutoka nchi ya Tanganyika kwa kusudi kama hilo;
au
(d) atakayepakia, akiwa ni nahodha au mwenye chombo chochote
kwa makusudi, katika chombo chake au kujishughulisha katika
kupakia au anaye katika chombo hicho mtu aliyejiandikisha
uaskari wa vita bila ya uhalali; au
(e) atakayeunda, kukubali kuunda, kuundisha, kutayarisha,
kusafirisha au kuruhusu kusafirisha chombo chochote au
atakayetoa ujumbe wowote kwa chombo chochote, kwa nia au
kwa kujua au kuna sababu ya kutosha kuamini kwamba
chombo hicho au ujumbe huo utatumika katika kazi za kivita
au za kimanowari za dola ngeni iliyo katika vita na dola yoyote
ya kirafiki.
37
hivyo vilivyotajwa kabla.
Uharamia 66. Mtu yeyote ambaye atakosa kosa la uharamia au uhalifu wowote
unaoungana na au unahusiana au kufananana na uharamia mtu huyo
atapasiwa na kushtakiwa na kupewa adhabu kwa kufuata sheria ya England
itakayokuwapo ikifanya kazi.
SURA YA IX
MIKUSANYIKO ISIYO HALALI NA GHASIA NA MAKOSA MENGINE YA
KUVUNJA UTULIVU WA WATU
Mafafanuzi 74. Iwapo watu watatu au zaidi watakusanyika kwa nia ya kutaka
kutenda kosa, au wakiwa wamekusanyika kwa kutimiza madhumuni
Fulani kwa pamoja wakajiweka katika hali ambayo itawafanya watu
walio jirani wawe na sababu ya kuogopa kwamba watu hao
waliokusanyka watavunja amani, au kwa kukusanyika kwao kutachochea,
bure bure bila ya sababu ya maana, watu wengine wavunje amani, basi
mkusanyiko huo utakuwa mkusanyiko usio halali. Haitazamwi kama asili
ya mkusanyiko huo ilikuwa halali iwapo baada ya kukusanyika
walijiweka kwa madhumuni mamoja katika hali hiyo iliyokwisha tajwa
kabla.
Adhabu ya ghasia 76. Mtu yeyote atakeyeshiriki katika ghasia amekosa kosa dogo.
Kutoa ilani kwa 77. Hakimu yeyote au, kama hayupo, afisa wa polisi yeyote aliye
wafanyi ghasia
kutawanyika C.A. juu ya cheo cha muamuzi au akida wa jeshi la vita la Tanganyika,
Act.2 f.7 atakayeona watu kumi na mbili au zaidi wamekusanyika kwa ajili ya
ghasia au akachelea kwamba ghasa karibu itafanywa na watu kumi na
mbili au zaidi waliokusanyika machoni pake, anaweza kutoa au kutolesha
ilani kwa jina la Rais, kwa namna atakaoona yafaa, kuwaamrisa wafanyaji
ghasia hao au watu waliokusanyika hivyo kuwa watawanyike kwa amani.
Kutawanyika kwa 78. Ikiwa utapita muda wa kufaa baada ya ilani hiyo kutolewa
wafanyi ghasia
baada ya ilani baada ya ilani hiyo kufanywa ikazuiwa kwa nguvu, ikawa watu .. na mbili
kutolewa au zaidi wataendelea kukusanyika pamoja kwa ghasia, mtu yeyote
aliyepewa mamlaka ya kutoa ilani hiyo, au afisa wa .. yeyote, au mtu
38
mwingine yeyete mahali pa afisa huyo, au wa …. Yeyote, aliyepewa
mamlaka ya kutoa ilani hiyo, au afisa wa …. Mtu huyo aliyepewa
mamlaka au afisa huyo wa polisi, anaweza …… mambo yote
yaliyolazimu ili kuwatawanya watu hao wanaoe… kukusanya au
kuwakamata wote au mmoja wao yeyote, na …. Mtu yeyote atakaidi
anaweza kutumia nguvu zote zitakazolazimu kushinda ukaidi huo na
hatapasiwa na mashitaka yoyote ya jinai …. Madai kwa kudhuru au
kumuu mtu katika kutumia nguvu hizo.
Kuzuia ua 80. Mtu yeyote ambaye kwa kutumia nguvu atazuia au … utoaji
kupinga utoaji wa
ilani wa ilani kama ilivyo katika fungu la 77 lililotajwa amekosa .. kubwa na
atapasiwa kifungo cha miaka kumi; na kama utoaji ilani utazuiwa kwa
nguvu kila mtu ambaye atashiriki au ataend….. kushiriki katika ghasia
hiyo au mkusanyiko huo huku akijua kwamba ilani juu ya jambo hilo
imezuiwa kwa nguvu mtu huyu atapaswa kifungo cha miaka mitano.
Wafanyi ghasia 81. Watu wowote ambao wamekusanyika pamoja kwa kufanya
kubomoa
majengo n.k. ghasia wakibomoa au kuharibu, au kuanza kuboma au kuharibu jengo
lolote, njia ya reli yoyote, mtambo au matengenezo yoyote ya uhalali
watu hao wamekosa kosa kubwa na kila mmoja atapasiwa kifungo cha
maisha.
Wafanyi ghasia 82. Watu wowote ambao wamekusanyika pamoja kwa kufanya
wakihasiri
majengo n.k. gharia wakihasiri kitu chochote katika vitu vilivyotangulia …. Katika
fungu lililopita bila ya uhalali watu hao wamekosa kosa kubwa na kila
mmoja wao atapasiwa kifungo cha miaka saba.
Kuyaingilia kwa 83. Watu watakaokusanyika kwa ghasia na bila ya halali na nguvu
ghasiareli, magari
n.k. wakazuia, wakafingiza (hinder) au kupinga upakiaji au upakuaji wa reli
yoyote gari au chombo chochote au uwekaji au upitaji wa gari; au
utwekaji au kusafiri kwa bahari kwa chombo chochote bila ya uhalali na
kwa nguvu wakajipakia reline, garini au chombo ni kwa nia ya kufanya
hayo yaliyotajwa, wote watakuwa wamekosa kosa dogo.
Kuingia kwa 85. Mtu yeyote ambaye kwa ajili ya kutaka kumiliki ataingia
nguvu
katika ardhi yoyote au makao yoyote kwa namna ya nguvu ni sawa nguvu
39
.. kama zilikuwa za mabavu hasa yaliyotumika kwa mtu mwingine yeyote
au ni kutishia au ni kuvunja nyumba yoyote kupita ndani au ni …
kukusanya idadi ya watu isiyo kawaida, mtu huyo amekosa kosa dogo
liitwalo “kuingia kwa nguvu”.
Haidhuru kama anayo haki ya kuingia katika ardhi hiyo au hana
isipokuwa kwamba mtu anayeingia katika ardhi au makao ambayo ni yake
mbali yake lakini yamo katika ulinzi wa mtumishi wake au mlinzi wake
haambiwi kama ametenda kosa la kuingia kwa nguvu.
Kuzuwia kwa 86. Mtu yeyote ambaye atakuwa nayo mikononi mwake ardhi bila
nguvu
ya haki yoyote na akashikilia kuwa nayo ardhi hiyo kwa namna ambayo
huenda ikaleta uvunjaji wa amani au kusababisha woga wa uvunjifu wa
amani juu ya mtu mwenye haki kwa sheria kuwa nayo ardhi hiyo, mtu
huyo amekosa kosa liitwlao “kuziwia kwa nguvu”.
Kusai mapiganao 88. Mtu yeyote ambaye atamsai mtu mwingine kwa mapigano ya
ya wawili
watu wawili, au atajaribu kuchochea mtu mwingine afanya mapigano ya
watu wawili au atajaribu kuchochea mtu mwingine amsai mtu mwingine
kwa mapigano ya watu wawili, mtu huyo amekosa kosa dogo.
40
kwa sheria anaweza kujizuia,
Mtu huyo amekosa kosa dogo na atapasiwa kifungo cha miezi sita;
Isipokuwa kwamba masharti ya fungu hili hayatatumika katika
kuvinjari ambako ni halali kwa mujibu wa sheria zinazohusu vyama vya
wafanyakazi au migogoro yao.
(2) Mtu hawezi kushitakiwa chini ya fungu hili bila ya idhini ya
maandishi ya Mkurugenzi wa Mashitaka wa Serikali.
Kutishia Sh.1961 89B.-(1) Mtu yeyote ambaye kwa dhuluma na bila ya mamlaka ya
No.f.4 G.N. 1961
No.236 sheria atamtishia mtu yeyote mwingine kwa nia ya kutaka kumlazimisha
mtu huyo mwingine –
(a) ajizue kufanya kitendo chochote ambacho ni haki yake
kukifanya; au
(b) afanya kitendo chochote ambacho ana haki kujizuia
asikifanye, mtu huyo amekosa kosa dogo na akionekana na
hatia atapasiwa kifungo cha mwaka mmoja.
(2) katika fungu hili neno–
“kutishia” lina maana ya kumfanya mtu akilini mwake awe na sababu ya
kuogopa kupata madhara yeye mwenyewe au mtu yeyote katika
ukoo wake au yeyote katika watu wanaomtegemea au kuogopa
utumiwaji wa nguvu kwa mtu yeyote au uharibifu wa mali yoyote;
neno –
“kuhasiri” linachanganya madhara kwa mtu kuhusu biashara, kazi amali
au njia nyingine ya kupatia pesa na vile vile linachanganya
dhuluma yoyote inayoweza kushitakiwa.
(3) Mtu hawezi kushitakiwa kwa kosa chini ya fungu hili bila ya
idhini ya maandishi ya Mkurugenzi wa Mashitaka wa Serikali.
Kushawishi watu 89C.-(1) Mtu yeyote ambaye, kwa nia ya kukinza, kuzuia,
wasisaidie
mipango ya kupinga au kuvunja mpango wowote wa kujitolea uliokubaliwa na Mkuu
kujitolea Act wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya au mpango wowote wa kujitolea wa namna
1962 No. 61 f.2 iliyokubaliwa na Mkuu wa Mkoa au Mkuu wa Wilaya, atamshawishi au
kujaribu kumshawishi mtu yeyote aliyejitolea kufanya kazi za mipango
hiyo au kusaidia asifanya hivyo, mtu huyo amekosa na akionekana na
hatia atapasiwa faini isiyozidi shilingi elfu moja au kifungo cha muda
usiozidi miezi sita au yote mawili faini na kifungo pia.
(2) Katika mashitaka yoyote kwa ajili ya kosa lililofanywa
kinyuma cha fungu hili Shahada ya mkuu wa Mkoa au mkuu wa Wilaya,
kama itakavyokuwa, kwamba mpango wa kujitolea uliotajwa au
ulioelezwa ulikubaliwa na yeye katika tarehe hiyo iliyotajwa au kwamba
mipango ya kujitolea ya namna hiyo iliyoelezwa ilikubaliwa na yeye
katika tarehe iliyotajwa au kabla ya tarehe hiyo, basi shahada hiyo
itakuwa ni ushahidi uliokamilika wa matukio hayo.
Mkusanyiko kwa 90. Watu wowote ambao watakusanyika pamoja kwa idadi ya
ajili ya kufanya
41
magendo watu wawili au zaidi kwa kusudi la kuteremsha, kuchukua au kuficha
bidhaa yoyote iliyolazimu kulipwa ushuru wa forodha na ipasiwayo na
kuhodhiwa chini ya sheria inayohusu forodha watu hao wamekosa kosa
dogo na kila mmoja wao atapasiwa kifungo cha miezi sita ua kutozwa
faini isiyozidi shilingi elfu mbili.
91.-93. [Zimebatilishwa Sh.1958 No. 19 f.15]
Maafisa wa kazi 94. Mtu yeyote ambaye, ni mtumishi wa Serikali, na kwa ajili ya
za kusimamia
mali ya aina utumishi wake amepewa kazi za kimahakama au za kusimamia mali ya
maalum au wa aina maalum, au kuhusu uendeshaji wa kiwanda chochote, biashara au
kazi za maalum kazi ya aina maalum, na akiwa amepata au anayo, kwa wazi au kwa siri,
maslahi ya binafsi katika mali hiyo, kiwanda, biashara au kazi hiyo
anatimiza kazi zote hizo kwa ajili ya mali hiyo, kiwanda, biashara, au kazi
ambayo anayo hayo masilahi ndani yake au atimiza kazi yake ya
kimahakama kuhusu tabia ya mtu yeyote anayehusikana na kazi hizo mtu
huyo ni mwenye hatia ya kosa dogo, na anapasiwa kifungo cha mwaka
mmoja.
Mdai ya uwongo 95. Mtu yeyote ambaye ni mtumishi wa Serikali, yumo katika
ya maafisa
cheo cha kumtaka au cha kumuwezesha kutoa kumbukumbu au taarifa
kuhusu kiasi chochote ambacho kimelipwa au chadaiwa kuwa kimelipwa
kwake au kwa mtu mwingine yeyote; au kuhusu jambo jingine fedha au
utoaji wa bidhaa kwa mtu yeyote akifanya kumbukumbu au taarifaa
kuhusu hayo hali anajua kwamba kumbukumbu au taarifa hiyo kwa jambo
lolote mahsusi ni ya uwongo, mtu huyo ni mwenye hatia ya kosa dogo.
Kutukana 96. Mtu yeyote ambaye yumo katika kazi ya Serikali anayetenda
madaraka G.N.
1961 No.256 ua kuamrisha kitendwe kwa kutukanisha madaraka ya kazi yake, kitendo
chochote cha dhuluma ambacho chadhuru mwingine mtu huyo ni mwenye
hatia ya kosa dogo.
Iwapo kitendo hicho chatendwa au chaamriwa kwa ajili ya faida,
yeye ni mwenye hatia ya kosa kubwa, na anapasiwa kifungo cha miaka
mitatu.
Mashtaka kwa kosa lolote chini ya fungu hili au fungu mojawapo
kati ya mafungu mawili ya mwisho yaliyotangulia hayaanzishwa ila kwa
idhini ya Mkurugenzi wa Mashtaka wa Serikali.
Maafisa kutoa 97. Mtu yeyote ambaye aruhusiwa au atakiwa na sheria kutoa
shahada za uongo
shahada yoyote, kuhusu jambo lolote ambalo, kwa sababu ya shahada
hiyo haki za mtu yeyote zaweza kuharibiwa, akatoa shahada ambayo ….
Kwamba ni ya uongo katika jambo lolote muhimu mtu huyo … mwenye
hatia ya kosa dogo.
Kulisha kiapo 98. Mtu yeyote anayelisha kiapo, au yeye mwenyewe afanya
kisichoruhusiwa
na sheria uthibitisho au kiapo cha aina yeyote kuhusu jambo lolote ambalo kwa
42
sheria hana mamlaka yoyote kufanya hivyo, yeye ni mwenye hatia ya
kosa dogo na apasiwa kifungo cha mwaka mmoja.
Isipokuwa kwamba fungu hili halitatumika kwa kiapo au
uthibitisho wa aina yoyote iwapo kiapo hicho kimelishwa na, au
uthibitisho huo umefanywa mbele ya hakimu, korona au mlinzi wa amani
katika jambo lolote lihusikalo na utunzaji wa amani au adhabu ya makosa
au lihusikalo na uchunguzi juu ya vifo vya ghafla, wala fungu hili
halitatumika kwa kiapo kilicholishwa au uthibitisho wa aina yoyote
uliofanywa kwa ajili ya jambo ambalo ni halali kwa mujibu wa sheria ya
nchi nyingine, au kwa ajili ya kutia nguvu kwa maandishi hati ambayo
yakusudiwa kutumiwa katika nchi nyingine.
Kutishia 101. Yoyote ambaye atoa kitisho chochote cha kumjeruhi mtu
kuwajeruhi
watumishi wa yeyote aliyeajiriwa katika kazi ya Serikali, au kutoa kitisho hicho kwa
Serikali mtu yeyote ambaye aamini kwamba ahusika naye, ili kumshawishi mtu
huyo kufanya kitendo chochote au kuvumilia au kuchelewesha kufanya
kitendo chochote ambacho chahusika na utimizaji wa kazi za Serikali za
mtu huyo, basi yeye ni mwenye hatia ya kosa dogo.
43
SURA YA XI
MAKOSA YAHUSUYO USIMAMIAJI WA HAKI
Ushahidi wa 102.-(1) Mtu yeyote ambaye, katika kesi yoyote, au kwa ajili ya
uwongo
kuanzisha kesi yeyote, kwa kujua, akitoa ushahidi wa uwongo kuhusu
jambo lolote ambalo ni muhimu kwa hoja yoyote inayotegemea au
inayokusudiwa kutolewa katika kesi hiyo, mtu huyo ni mwenye hatia ya
kosa dogo liitwlao “ushahidi wa uwongo”.
Haidhuru ikiwa ushahidi huo unatolewa kwa kiapo au kwa mujibu wa idhini
nyingine yoyote inayoamriwa na sheria.
Namna na kawaida zilizotumiwa kwenye kulisha kiapo hicho au
zinazomlazimisha mtoa ushahidi huo kusema kweli hazidhurishi neno
iwapo atazikiri namna na kawaida hizo zilizotumiwa hasa.
Haidhuru neno iwapo ushahidi wa uwogo huo unatolewa kwa mdomo au
kwa maandishi.
Haidhuru neno iwe mahakama hiyo imekamilika au baraza hilo lipo mahali
panpotakiwa au sivyo, iwapo yafanya kazi hasa kama mahakama au baraza
katika kesi ambayo yatolewa ushahidi huo.
Haidhuru neno iwe huyo mtu anayetoa ushahidi huo ni shahidi afaae au
sivyo, au kwamba ushahidi huo wakubalika katika kesi hiyo au sivyo.
Maelezo ya 103. Mtu yeyote ambaye, ameapishwa kwa halali kuwa mkalimani
uwongo ya
wakalimani katika kesi kwa makusudi, akatoa maelezo muhimu katika kesi hiyo,
maelezo ambayo ajua kuwa ni ya uwongo, au ambayo haamini kuwa ni
kweli, ni mwenye hatia ya kosa dogo liitwalo “ushahidi wa uwongo”.
Adhabu kwa 104. Mtu yeyote anayefanya kosa la kutoa ushahidi wa uwongo au
ushahidi wa
uwongo kushawishi ushahidi wa uwongo anapasiwa kifungo cha miaka saba.
Ushahidi juu ya 105. Mtu hawezi kuonekana na hatia kwa kosa la kutoa ushahidi wa
shtaka la kutoa
ushahidi wa uwongo au la kushawishi ushahidi wa uwongo kwa ushahidi wa shahidi
uwongo mmoja tu kuhusu uwongo wa habari yoyote inayoambiwa ni uwongo.
Ushahidi wa 106. Mtu yeyote ambaye, kwa kusudi la kuidanganya baraza yote
kutunga
katika kesi–
(1) atunga ushahidi kwa njia yoyote nyingine isiyokuwa ya
ushahidi wa uwongo au ya kushawishi ushahidi wa uwongo; au
(2) kwa makusudi autumia ushahidi huo wa kutunga, ni mwenye
hatia ya kosa dogo, na anaasiwa kifungo cha miaka saba.
44
kupokea matamshi ya jambo lolote lihusulo watu katika hali ambayo kuapa
uwongo hulo au kutoa matamshi ya uwongo huo kama kukitendwa katika
kesi kungelikuwa ni sawa na kutoa ushahidi wa uwongo, mtu huyo ni
mwenye hatia ya kosa dogo.
Kudanganya 108. Mtu yeyote afanyae hadaa au udanganyifu, au, kwa makusudi
mashahidi
atoa au adhihirisha maelezo yoyote ya uzushi, ishara au maandishi ya
uwogo, kwa mtu yeyote aitwae au atakayeitwa kuwa ni shahidi katika kesi
yeyote kwa kusudi la kuharibu ushahidi wa shahidi huyo, ni mwenye hatia
ya kosa dogo.
Kuharibu 109. Mtu yeyote ambaye, kwa kujua kwamba kitabu chochote, hati
ushahidi
au kitu cha namna yoyote iwayo chahitajika au chaweza kuhitajiwa kwenye
ushahidi katika kesi, kwa makusudio akakiondosha au kukiharibu au
kukifanya kisisomeke au kisifahamike kwenye ushahidi mtu huyo ni
mwenye hatia ya kosa dogo.
Kufifilisha 112. Mtu yeyote ambaye, ameleta au ajisingizia kuleta shtaka, juu
mashtaka
yapasayo ya mtu mwingine lihusikalo na sheria ya adhabu au sheria yeyote ili apate
adhabu adhabu kwa kosa lolote ambalo limetendwa au lasema limetendwa naye,
akalififilisha shtaka hilo bila ya amri ya idhini ya mahakama ambayo
analipeleka au atalipeleka, ni wenye hatia ya kosa dogo.
45
kukopa kwa ajili ya mali yoyote iliyoibiwa au kupotea,
kumrejeshea mali hiyo iliyoibiwa au kutangulizwa au kiasi
kingine chochote cha fedha au zawadi kwa ajili ya kurejeshwa
kwa mali hiyo; au
(3) achapisha au atangaza ahadi kama hiyo, mtu huyo, ni mwenye
hatia ya kosa dogo.
46
wa Mahakama Kuu kutoa adhabu kwa kosa la mahakama.
SURA YA XII
…………. KUWAKINGA WATUMISHI WA
MAHAKAMA YA SHERIA
47
(2) Adhabu yoyote ya kifungo ambayo inatolewa kwa kosa dogo
kwa mujibu wa kifungu (1) cha fungu hili itajumlishwa kwenye kifungo
chochote ambacho muhukumiwa huyo apasiwa nacho na kile ambacho
amehukumiwa kukitumikia chini ya kifungu (7) cha fungu la 87 la Sheria
ya magereza.
Uondoshaji n.k. 118. Mtu yeyote ambaye, mali yoyote imetiwa tanzi au
wa mali yoyote
iliyokamatwa imechukuliwa kwa hati ya mamlaka ya mahakama yoyote, kwa kujua, na
kwa halali kwa kusudi la kuzuwia au kupinga tanzi hilo au hati hiyo, aipokea,
aiondosha, aizuiwa, aificha, au aitoa mali hiyo, mtu huyo ni mwenye hatia
ya kosa kubwa, na apasiwa kifungo cha miaka mtiatu.
SURA YA XIII
MAKOSA YA MCHANGANYIKO KUITENDEA SERIKALI
Udanganyifu 120. Mtu yeyote aliyeajiriwa katika kazi ya Serikali ambaye katika
wa uvunjaji
uaminifu kwa kufanya shughuli za kazi yake, afanya udanganyifu wowote au uvunjaji
watumishi wa uaminifu ambao utadhuru watu, iwe udanganyifu huo au uvunjaji uaminifu
Serikali huo ungekuwa ni jinai au sivyo lau kama ungetendewa mtu raia, mtu huyo
ni mwenye hatia ya kosa dogo.
Kupuuza kazi 121. Kila mtu aliyeajiriwa katika kazi ya serikali ambaye, kwa
ya Serikali
makusudi, atapuuza kufanya shughuli yoyote ambayo yamlazimu kuifanya
kwa mujibu wa mila ya Kiingereza au sheria yoyote, mtu huyo atakua na
hatia ya kosa dogo, ila iwapo shughuli hiyo itakuwa na hatari kubwa zaidi
kuliko ile ambayo mtu hodari na mwenye juhudi ya kawaida aweza
kuikabili.
Kutoa taarifa 122. Mtu yeyote ambaye atoa taarifa yoyote kwa mtumishi wa
ya uwongo kwa
mtumishi wa Serikali kwa kujua au kwa kuamini kwamba taarifa hiyo ni ya uwongo, kwa
Serikali kusudi la kumfanya mtumishi huyo, au kwa kuamini kwamba taarifa hiyo
yaweza kumfanya mtumishi huyo–
(a) kufanya au kutofanya jambo lolote ambalo lampasa alifanya au
asilifanye kama angejua hali ya ukweli wa taarifa hiyo ulivyo;
au
48
(b) kutumia uwezo wa halali wa mtumishi huyo ili kumdhuru au
kumuudhi mtu yeyote,
Mtu huyo atakuwa ni mwenye hatia ya kosa dogo, na atapasiwa kifungo cha
miezi sita au faini ya shilingi elfu moja au yote mawili faini hiyo na kifungo
hicho.
Kutotiii wajibu 123. Kila mtu ambaye, kwa makusudi, hatii sheria yoyote kwa
wa Sheria
kutenda kitendo chochote ambacho chakatazwa na sheria au hatii sheria
kwa kutotenda kitendo chochote ambacho chahusika na watu au sehemu
yoyote ya watu, mtu huyo ni mwenye hatia ya kosa dogo, na isipokuwa
yaonekana kwamba sheria ilikusudia kutoa adhabu nyengine, atapasiwa
kifungo cha miaka miwili.
Kutotii amri za 124. Kila mtu ambaye hatii amri yoyote, hati ya kukamatia au
halali
amri inayowekwa, kutolewa au inayotokana na mahakama yoyote mtumishi
wa Serikali au mtu wa cheo chochote aliyeamriwa kufanya kazi ya Serikali,
mtu huyo ni mwenye hatia ya kosa dogo, na isipokuwa adhabu nyengine
yoyote au namna ya kesi kwa kutotii huko kuelezwa, atapasiwa kifungo cha
miaka miwili.
SURA YA XIV
MAKOSA YAHUSUYO DINI
Kusafihi dini 125. Mtu yeyote ambaye atavunja, kuharibu au kuchafua mahali
ya watu
wowote popote pa kuabudia a kitu chochote kinachoitakidiwa kitakatifu na watu wa
aina yoyote kusudi la kusasfihi dini ya aina yoyote ya watu au kwa kujua
kwamba watu wa aina Fulani huenda wakafikiria uvunjaji, uharibifu na
uchafuaji huo kuwa ni usafihi kwa dini yao mtu huyo amekosa kosa dogo.
Kufuja 126. Mtu yeyote ambaye kwa hiyari ataleta fujo katika mkusanyiko
mikusanyiko ya
dini wowote uliokusanyika kwa uhalali kufanya ibada au sharahe za dini
amekosa kosa dogo.
49
idhini mhali popote pa ibada au mahali popote maziara au kufanywa mahali
pa kuweka mabaki ya maiti au atafanya dharau yoyote kwa maiti ya
binadamu au atafanya fujo kwa watu wowote waliokusanyika kwa ajili ya
mazishi mtu huyo amekosa kosa dogo.
Kutamka 129. Mtu yeyote ambaye kwa dhamiri hasa ya kumuudhi mtu
maneno kwa
nia ya kuudhi yeyote juu ya imani yake ya dini akatamka maneno yoyote au akafanya
imani ya dini sauti yoyote itakayosikiwa na mtu huyo au akafanya ishara mbele ya mtu
huyo au akaweka kitu machoni pa mtu huyo, mtu afanyae hivyo amekosa
kosa dogo na atapasiwa kifungo cha mwaka mmoja.
SURA YA XV
MAKOSA KINYUME CHA UTU
Adhabu ya 131. Mtu yeyote ambaye atatenda kosa la kubaka atapasiwa adhabu
kubaka
ya kifungo cha maisha pamoja na kutandikwa au bila kutandikwa.
Jaribio 132. Mtu yeyote ambaye atajaribu kubaka amekosa kosa kubwa na
atapasiwa kifungo cha maisha pamoja na kutandikwa au bila ya
kutandikwa.
50
wa halali na madaraka juu ya msichana huyo, na akamchukua bila ya radhi
ya baba yake au mama huyo au huyo mtu mwingine, mtu huyo amekosa
kosa dogo.
Sshambulio la 135.-(1) Mtu yeyote ambaye bila halali atamfanyia shambulo la aibu
aibu kwa
wanawake mwanamke yeyote au msichana yeyote, amekosa kosa kubwa na atapasiwa
Sh.1954 No. 47 kifungo cha miaka kumi na nne.
f.3
(2) Iwapo shitaka la shambulio la aibu chini ya fungu hili linahusu
msichana aliye chini ya umri wa miaka kumi na mbili itakuwa si utetezi juu
ya shitaka hilo kudai kwamba alikubali mwenyewe kutanyiwa kitendo cha
aibu hicho.
Isipokuwa kwamba itakuwa ni utetezi wa kutosha juu ya shitaka lolote la
namna hiyo ikiwa itadhihirishwa mbele ya mahakama ambayo shitaka hilo
linapelekwa kwamba mtu huyo aliyeshitakiwa alikuwa na sababu ya
kutosha kumfanya aamini na ikiwa kwa hakika aliamini kwamba msichana
huyo alikuwa na umri wa kuzidi miaka kumi na mbili.
51