Professional Documents
Culture Documents
Mitandao Ya Kijamii
Mitandao Ya Kijamii
i
Solly & Flory Corporation
E-mail: www.sollydaddy92@gmail.com
www.frolidahilali5@gmail.com
Contact: +255 (0)769 567 263 / +255 (0)753 907 403
ii
MITANDAO YA KIJAMII
2
Athari za Kijamii na Kisaikolojia: Mitandao ya kijamii ina athari
za kijamii na kisaikolojia kwa watumiaji wake. Inaweza kusaidia
kujenga uhusiano, kuhamasisha mabadiliko ya kijamii, na kutoa
fursa za kujifunza. Hata hivyo, matumizi mabaya, kama vile
unyanyasaji mtandaoni au utegemezi wa mitandao ya kijamii,
yanaweza kuathiri afya ya kihisia na ustawi wa watu .
3
na ubunifu wao. Instagram imekuwa maarufu hasa miongoni mwa
vijana na watu wenye kiu ya kuwasilisha hadithi vizuri na kuunda
umaarufu wa mtandaoni. Hata hivyo, inaweza pia kuathiri afya ya
kihisia kutokana na shinikizo la kuonekana vizuri na idadi ya
"likes" au "followers".
4
WhatsApp: Ni programu ya ujumbe wa
papo hapo inayotumiwa sana duniani.
Inatoa uwezo wa kutuma ujumbe wa
maandishi, sauti, picha, na video kwa
watu binafsi au kwenye vikundi vya
mazungumzo.
Faida za WhatsApp:
5
Usalama wa data: WhatsApp inajulikana kwa usalama wake wa
data. Inatumia teknolojia ya end-to-end encryption, ambayo
inamaanisha kuwa ujumbe na mazungumzo ni salama na hayawezi
kusomwa na watu wasiohusika, ikiwa ni pamoja na WhatsApp
yenyewe.
6
i. Kuwasiliana na kuungana: Mitandao ya kijamii inawezesha watu
kuwasiliana kwa urahisi na kuungana na marafiki, familia, na watu
kutoka sehemu mbalimbali duniani. Inatoa jukwaa la kushiriki
mawazo, habari, na matukio na kuwezesha uhusiano wa kijamii
kuendelea hata kama watu wako mbali kimwili.
7
v. Kuburudisha na kujenga utamaduni wa dijitali: Mitandao ya
kijamii inatoa burudani na mizaha, kama vile video za komedi,
picha, na maudhui ya kuvutia. Inawezesha watu kujenga na
kushiriki maudhui yao ya ubunifu, kama vile michoro, uandishi, na
muziki. Mitandao hii pia inachangia katika kuunda utamaduni wa
dijitali ambapo watu wanaweza kushiriki katika shughuli za kisanii
na burudani.
1. Kupoteza umakini
Mitandao imefanya watu kupoteza umakini mara nyingi kwa sasa mda
mwingi umekua ukitumika kujadili mambo katika familia zetu kwa
sababu tunahitaji tumia mda Zaidi kusisitiza jambo kwa sababu mtu
anasikiliza huku akiwa facebook au watsap na Instagram.
2. Kuharibu mahusiano
Mitandao imeharibu ndoa mbalimbali katika maisha watu wamekua
watiifu kujibu post toka kwenye mitandao kuliko kuhudumia familia zao
au kuwajibu watu wao wa karibu vizuri lakini mtu yupo radhi atumie
mda mrefu kufikiri namna ya kujibu katika mtandao kuliko ajibu vipi kw
amtu wa karibu.
8
3. Kupoteza mda na hasara katika kazi na biashara
Kupoteza mda mwingi watu wamekua wakitumia mda mwingi katika
mitandao ya kijamii kuliko mda unaotumika katika kutenda kazi zao
hivyo kupoteza na kuleta hasara katika mashirika mbalimbali na
biashara zao mfano mtu anauliza bei ya bidhaa mhudiaji anakujibu
macho yakiwa whatsap au instagram bila kumuangalia mteja hivyo
mteja huweza kuamua kwenda anakoona anathaminiwa.na pia mda
mwingi mtu anatumia Zaidi ya masaa matatu akiangalia kinachoendelea
katika mitandao ya jamii na mda mwingine katika kazi watu wamekua
watumwa kwamba lazima ajibu awe active katika mitandao ya kijamii.
9
5. Upotoshaji
Upotoshaji wa kijamii mfano kumekua na kesi katika nchi mfano
marekani kwamba uchaguzi uliathiriwa na mitandao ya kijamii ambayo
ilikua ikifanya kampeni zisizotakiwa fanyika hivyo kusababisha watu
kupiga kura kwa watu labda walitakiwa wasipigiwe kura mpaka ikafikia
kiongozi wa facebook kwenda kushtakiwa hivyo kuna upotoshaji wa
namna nyingi katika mitandao ya kijamii.taarifa za uongo uzushi
nakuharibiana wadhifu na mambo mengine ya kuharibu wadhifu wa
mtu.
6. Uongo
Mitandao ya kijamii imekua njia ya watu kujificha na kudanganya
kupotosha watu ukiangalia mitandao ya kijamii watu wamekua
wakitumia picha a watu wengine au vitu vya watu wengine mfano
magari nyumba au mavazi kumbe wameazima na hivyo kuwapotosha
vijana kuwafikirisha wanafanya mambo Fulani au kuwavutia watu
kufanya baadhi ya mambo kana kwamba mafanikio yake ni rahisi
kumbe si kitu cha kweli kwamba ukweli kupata vitu hivyo ya pasa mtu
kufanya kazi kwa bidii kujifunza sana kujua uvumilivu wa hali ya juu
kufikia katika viwango hivyo lakini watu wamekua wakipata marafiki
kwa kuangalia sura ambazo mda mwingine sio za kwao hivyo kuleta
matatizo pale wanapokuja kuonana kutokana yaliyoonekana katika
mitandao na uhalisia havifanani na baadhi ya watu wamewahi kupata
matatizo ya kukutana na watu wa ajabu tokana na uongo uliomo katika
mitandao ya kijamii.
10
Ili kujisajili katika mitandao ya kijamii imekua ikidai baadhi ya taarifa
ambazo imekua ikiziainisha hivyo watu wengine wasio wema kuweza
kuzitumia vibaya.hivyo ni vyema kua makini wakati wa kujisajili katika
mitandao ya kijamii ujue kwa nini unajisajili na ujue nini madhara au
faida ya tarifa unazojaza hiyo imetokea kwa watu mbalimbali hivyo
twapaswa kua makini katika hilo na kuifahamu vizuri mitandao hiyo.
11
imepelekea vilio kila kukicha kwenye baadhi ya familia. Chanzo cha
huo uozo kikiwa ni mitandao ya kijamii.
12
juu ya wale wenye mioyo myepesi zaidi na kupaniki kwa haraka? Baada
ya tukio lile, wangapi katika familia za wafiwa wameendelea
kuweweseka kutoka na tukio lenyewe? Nadhani, tufike mahala tuwe
makini na namna ya kutumiana ujumbe, picha na kadhalika. Si vema
sana kwa matukio ya kuogofya kuyasasisha kupitia mitandao ya kijamii.
Ni kweli tunahabarishana lakini tuangalie namna. Watu wengine
waliendelea kusasisha picha hata baada ya watoto wale kuzikwa. Hii
ilikuwa na maana gani? Je, ni kuamsha upya hisia za wafiwa kila
watizamapo picha hizo?
13
wao. Bila kutambua athari za uzushi, wazushi hao wamejipatia
umaarufu.
14
Kupungua uwezo wa kutafakari. Akili ya mwanadamu ipo kwa
namna ya ajabu sana. Kuna muda, akili hutafakari yale yote
yaliyoonwa, hisiwa, guswa, onjwa na kadhalika. Hata wakati
umelala, michakato ya akili huendelea haisimami. Inapotokea
unatumia sana mitandao ya kijamii, unapunguza uwezo wa
kutafakari na hali hii pia inaathiri utendaji kazi wako. Angalia jinsi
vijana wa shule wanatazama masuala yasiyoendana na vile
wanavyosoma.
16
17