Professional Documents
Culture Documents
AlQiraaah SW
AlQiraaah SW
Al-Madaniyyah
Ta'liimu al-qiraa-ati lilmubtadi-iina
Al-Qaai'datu
Al-Madaniyyah
Utangulizi
Sifa njema zote ni za Allah Mola mlezi wa viumbe, na swala na salamu
zimshukie Nabii wetu Muhammad, famila yake na masahaba wake wote:
Ama baada ya hayo:
Kwa hakika Umma huu umetukuka kwa elimu; kwani aya ya kwanza
ilioteremshwa ni katika kuhimiza na kutilia mkazo jambo hili; Amesema
aliyetukuka:
﴾ Soma kwa jina la Mola wako aliyeumba﴿, na kwa kuwa usomaji ndio msingi
wa kujifunza elimu; nimekusanya misingi yake, nikakusudia kwa umakinifu
kuikusanya, kuwepesisha na kusahilisha, na kukitisha usomaji kwa
wanaoanza kujifunza, pamoja na kufupisha muda wa kusoma, na nikakiita
[kitabu hiki]: (Al-Qaaidatu Al-Madaniyyah - Ta'liimu alqiraati lil Mubtadiina -
)
Namuomba Allah awanufaishe watu nayo (Qaaidah hii), na aijalie iwe ni
kwa ajili ya kukusudia Uso wake Mtukufu.
5
Niliyoyafanya katika
hiki kitabu
Niliyoyafanya katika
hiki kitabu
7
Mazuri ya Alqaaidatu
Almadaniyyah
Mazuri ya Al-Qaaidatu
Al-Madaniyyah
8
Malengo ya Alqaaidatu
Almadaniyyah
Malengo ya Alqaaidatu
Almadaniyyah
9
Ngazi fafanuzi ya
silabasi
Ngazi fafanuzi ya
silabasi
Mlango wa saba
7 'Al-Maddi At-Twabi-i'
Mlango wa sita
'Hamzatu alqat-i' na 'hamzatu 6
alwaswli'
Mlango wa tano
5 Herufi zikiwa na 'shaddah' na
'tanwiin'
Mlango wa nne
Herufi zikiwa na 'shaddah' na 4
'harakaat'
Mlango wa tatu
3 Herufi zikiwa na 'Tanwiin'
Mlango wa pili
Herufi zikiwa na 2
'harakaat' na 'sukuun'
Mlango wa kwanza
Herufi za Alfabeti
1
10
Utangulizi
Utangulizi
Maelekezo kwa mwalimu
1) Majina ya herufi yanasomwa kwa kuweka sukuun kwenye herufi ya mwisho, na tanwiini iliyo
na dhwamma mbili unapounganisha.
2) Alif ni herufi ‘layyin’ nayo ni herufi yenye sukuun, inayokuja kabla yake herufi yenye fat-ha, na
kwa hivyo, sauti yake haijitokezi isipokuwa ikisomwa pamoja na herufi kabla yake, mfano: ,
» تَا- «بَا, na sauti inavutwa kiwango cha harakah mbili.
3) Sauti yake inavutwa kiwango cha harakah moja, vivyo hivyo herufi zilizobakia
11
Mlango wa Kwanza
Herufi za Alfabeti
Malengo:
Baada ya kumaliza kusoma mlango huu, mwanafunzi
ataweza- kwa idhini ya Allah-:
13
Mlango wa
Kwanza
herufi za alfabeti
Somo la kwanza
Herufi za Alfabeti
15
Mlango wa
Kwanza
herufi za alfabeti
Somo la Pili
Michoro ya herufi za alfabeti
16
Mlango wa
herufi za alfabeti Kwanza
17
Mlango wa
Kwanza
herufi za alfabeti
18
Mlango wa
herufi za alfabeti Kwanza
19
Mlango wa
Kwanza
herufi za alfabeti
Somo la tatu
'Hamza'
Michoro ya
hamzah
Somo la nne
'Hamza Mamduudah'
Michoro ya 'hamza
mamduudah'
Somo la tano
'Alif Maqswuurah'
20
Mlango wa Pili
Herufi Pamoja na
'Harakaat' na 'sukuun'
Malengo:
Baada ya kumaliza kusoma mlango huu, mwanafunzi
ataweza- kwa idhini ya Allah-:
21
Herufi pamoja na
Mlango wa Pili
'harakaat' na 'sukuun'
Maelekezo kwa
mwalimu
Somo la kwanza
'Fat-ha'
23
Herufi pamoja na
Mlango wa Pili
'harakaat' na 'sukuun'
Mifano ya
'Fat-ha'
24
Herufi pamoja na
Mlango wa Pili
'harakaat' na 'sukuun'
25
Herufi pamoja na
Mlango wa Pili
'harakaat' na 'sukuun'
Somo la pili
'Kasra'
26
Herufi pamoja na
Mlango wa Pili
'harakaat' na 'sukuun'
Mifano ya
'kasra'
27
Herufi pamoja na
Mlango wa Pili
'harakaat' na 'sukuun'
28
Herufi pamoja na
Mlango wa Pili
'harakaat' na 'sukuun'
Somo la tatu
'dwamma'
29
Herufi pamoja na
Mlango wa Pili
'harakaat' na 'sukuun'
Mifano ya
'dwamma'
30
Herufi pamoja na
Mlango wa Pili
'harakaat' na 'sukuun'
31
Herufi pamoja na
Mlango wa Pili
'harakaat' na 'sukuun'
Somo la nne
'Sukuun'
32
Herufi pamoja na
Mlango wa Pili
'harakaat' na 'sukuun'
Mifano ya
'Sukuun'
33
Herufi pamoja na
Mlango wa Pili
'harakaat' na 'sukuun'
34
Mlango wa tatu
Herufi na 'Tanwiin'
Malengo:
Baada ya kumaliza kusoma mlango huu,
mwanafunzi ataweza- kwa idhini ya Allah-:
• Kutambua 'tanwiin'.
• Kusoma vizuri herufi zilizo na 'tanwiin'.
35
Mlango wa tatu Herufi na 'Tanwiin'
Maelekezo kwa
mwalimu
36
Herufi na 'Tanwiin' Mlango wa tatu
Somo la kwanza
'Fat-hataan' (' Fat-ha '
mbili)
37
Mlango wa tatu Herufi na 'Tanwiin'
Mifano ya
'fat-ha' mbili
38
Herufi na 'Tanwiin' Mlango wa tatu
Somo la pili
'Kasrataan' ('kasra' mbili)
39
Mlango wa tatu Herufi na 'Tanwiin'
Mifano ya
'kasra' mbili
40
Herufi na 'Tanwiin' Mlango wa tatu
Somo la tatu
'dwamataan' ('dwamma' mbili)
41
Mlango wa tatu Herufi na 'Tanwiin'
Mifano ya
' dwamma ' mbili
42
Mlango wa nne
Herufi zikiwa na 'shadda'
na 'harakaat'
Malengo:
Baada ya kumaliza kusoma mlango huu, mwanafunzi
ataweza- kwa idhini ya Allah-:
43
Herufi zikiwa na 'shadda'
Mlango wa nne
na 'harakaat'
Maelekezo kwa
mwalimu
44
Herufi zikiwa na 'shadda'
Mlango wa nne
na 'harakaat'
Somo la kwanza
'shadda' ikiwa na 'fat-ha'
45
Herufi zikiwa na 'shadda'
Mlango wa nne
na 'harakaat'
Mifano ya
' shadda ' ikiwa na ' fat-ha '
46
Herufi zikiwa na 'shadda'
Mlango wa nne
na 'harakaat'
Somo la pili
'shadda' ikiwa na 'kasra'
47
Herufi zikiwa na 'shadda'
Mlango wa nne
na 'harakaat'
Mifano ya
'shadda' ikiwa na 'kasra'
48
Herufi zikiwa na 'shadda'
Mlango wa nne
na 'harakaat'
Somo la tatu
'shadda' ikiwa na ' dwamma'
49
Herufi zikiwa na 'shadda'
Mlango wa nne
na 'harakaat'
Mifano ya
' shadda' ikiwa na ' dwamma'
50
Mlango wa tano
Herufi zikiwa na
'shadda' na 'tanwiin'
Malengo:
Baada ya kumaliza kusoma mlango huu,
mwanafunzi ataweza- kwa idhini ya Allah-:
51
Herufi zikiwa na
Mlango wa tano
'shadda' na 'tanwiin'
Maelekezo kwa
mwalimu
'Shadda' pamoja na 'fat-ha' mbili: Ni kichwa cha 'siin' ndogo juu yake 'fat-ha'
mbili
» «ـ.
'Shadda' Pamoja na 'kasra' mbili: Ni kichwa cha 'siin' ndogo chini yake 'kasra'
mbili »«ـ.
'Shadda' pamoja na 'ḍwamma' mbili: Ni kichwa cha 'siin' dogo juu yake
'dwamma' mbili » «ـ.
________________________________________________________________
______
* Njia ya kusoma:
Maelezo ya somo la kwanza, la pili, na la tatu «Uk. 53, 55, 57»:
Mwanafunzi ataisoma herufi ya kwanza ikiwa na 'haraka' yake »َ «أ, kisha
atasoma herufi ya kwanza Pamoja na ya pili iliyo na 'shadda' na 'tanwiin'
pamoja na 'haraka’ zao
» « اَبا
________________________________________________________________
______
Maelezo ya somo la kwanza, la pili na la tatu «Uk. 54, 55, 58»:
Ikiwa neno lina herufi tatu: basi ataisoma herufi ya kwanza ikiwa na 'haraka'
yake » » قَـ, Kisha ataisoma herufi ya pili ikiwa na 'haraka' yake » « ـو, kisha
atazisoma zote mbili pamoja » « قَو, kisha ataisoma herufi ya pili na ya tatu
iliyo na 'shadda' na 'tanwiini' pamoja na 'haraka' zao » « ـويا, kisha atalisoma
neno lote kamili » « قَويا
________________________________________________________________
______
Maelezo ya somo la nne «Uk. 59»:
Ikiwa neno lina herufi mbili zenye ‘shadda' zinazofuatana, basi atasoma kuanzia
mwanzo wa neno hadi herufi ya kwanza yenye ‘shadda’ kama iliyoitangulia,
kisha ataisoma herufi ya kwanza yenye 'shadda’ pamoja na herufi iliyo kabla
yake, kisha atasoma kuanzia mwanzo wa neno pamoja na herufi ya kwanza
yenye 'shadda’, kisha atazisoma herufi zote mbili zenye 'shadda' pamoja na
herufi iliyo kabla yao, kisha atalisoma neno lote kuanzia mwanzo pamoja na
herufi mbili zenye 'shadda'.
________________________________________________________________
______
Mfano wa usomaji wa neno lenye herufi mbili «»َلضلنه ْمَ Uk. 59»:
Ataisoma 'laam' pamoja na 'haraka' yake » « لَـ, kisha ataisoma 'hamza' ikiwa na
'haraka' yake » « أ, Kisha atazisoma herufi zote mbili » « ََل, Kisha ataisoma
'ḍwaad' na 'haraka' yake » « ضـ, 52 kisha atazisoma herufi zote zikiwa na
'haraka' zao » « ََلضـ, kisha ataisoma ‘ḍwaad' na 'laam' ikiwa na 'shadda' na
'haraka' zao » « ضلـ, kisha atzisoma zote pamoja na 'laam' yenye 'shadda' na
Herufi zikiwa na
Mlango wa tano
'shadda' na 'tanwiin'
Somo la kwanza
'shadda' ikiwa na ' fat-ha' mbili
53
Herufi zikiwa na
Mlango wa tano
'shadda' na 'tanwiin'
Mifano ya
'shadda' ikiwa na ' fat-ha' mbili
54
Herufi zikiwa na
Mlango wa tano
'shadda' na 'tanwiin'
Somo la pili
' shadda' ikiwa na ' kasra ' mbili
55
Herufi zikiwa na
Mlango wa tano
'shadda' na 'tanwiin'
Mifano ya
' kasra' ikiwa na ' kasra'
mbili
56
Herufi zikiwa na
Mlango wa tano
'shadda' na 'tanwiin'
Somo la tatu
'shadda' ikiwa na 'dwamma' mbili
57
Herufi zikiwa na
Mlango wa tano
'shadda' na 'tanwiin'
Mifano ya
'shadda ikiwa na 'dwamma' mbili
58
Herufi zikiwa na
Mlango wa tano
'shadda' na 'tanwiin'
Somo la nne
herufi mbili zilizo na 'shadda'
59
Mlango wa sita
'Hamzatu alqat-i' na
'Hamzatu alwaswli'
Malengo:
Baada ya kumaliza kusoma mlango huu, mwanafunzi
ataweza- kwa idhini ya Allah-:
• Kutofautisha baina 'hamzatu alqat-i' na 'hamzatu
alwaswli' katika kusoma na kuandika.
• Kusoma 'hamzatu alqat-i' na 'hamzatu alwaswli' usomaji
sahihi.
61
'Hamzatu alqat-i' na
Mlango wa sita
'Hamzatu alwaswli'
Maelekezo kwa
mwalimu
62
'Hamzatu alqat-i' na
Mlango wa sita
'Hamzatu alwaswli'
Somo la nne
'Hamzatu alqat-i'
Mifano ya
'hamzatu alqat-i'
63
'Hamzatu alqat-i'
Phonemic and Non-na
Mlango waSix
Chapter sita
'Hamzatu
Phonemic alwaswli'
Glottal Stops
Somo la kwanza
'hamzatu alwaswli'
Mifano ya
'hamzatu alwaswli'
64
Mlango wa saba
'Al-Maddu At-twabi-i'
(kuvuta kusikozidi mvuto wa asili
wa herufi)
Malengo:
Baada ya kumaliza kusoma mlango huu, mwanafunzi
ataweza- kwa idhini ya Allah-:
• Kuzitambua herufi za 'maddi twabi-i’.
• Kuzisoma herufi za 'maddi twabi-i' usomaji sahihi.
65
Mlango wa ’Almaddu attwabi-i’
saba (’maddi’ ya kawaida)
Maelekezo kwa
mwalimu
66
’Almaddu attwabi-i’ Mlango wa
یعبطElongation
The Natural دم
(’maddi’ ya kawaida)
ابsaba
اسوتاںب
Chapter Seven
'Maddi twabi-i'
67
Mlango wa nane
'Alif' baada ya 'waaw
aljama-ah' ('waaw' ya wengi)
Malengo:
Baada ya kumaliza kusoma mlango huu, mwanafunzi
ataweza- kwa idhini ya Allah-:
• Kuitambua 'alif' inayokuwa baada ya 'waaw' ya wengi.
69
Mlango wa ’Alif’ baada ya ’waaw aljama-ah’
nane (’waaw’ ya wengi)
Maelekezo kwa
mwalimu
*Njia ya kusoma:
Maelezo «uk. 71»:
1- Anafuata njia iliotangulia katika kuisoma mifano ya somo
hili.
2- 'Alif' inayokuwa baada ya 'waaw’ ya wengi; inaandikwa
wala haisomwi katika hali zote.
70
’The
Alif’ baada
Alif ya ’waawMasculine
After aljama-ah’ Mlango wa
(’waaw’ yaNoun
Chapter
naneEight
Plural wengi)
71
Mlango wa tisa
‘Attau Al-marbuutwah'
Malengo:
Baada ya kumaliza kusoma mlango huu, mwanafunzi
ataweza- kwa idhini ya Allah-:
• Kuitambua ‘Attau Al-marbuutwah'.
• Kuisoma vizuri ‘Attau Al-marbuutwah' kwa kuunganisha
na kukoma.
73
Mlango wa tisa 'Attau Almarbuutwah'
Maelekezo kwa
mwalimu
*Njia ya kusoma:
Maelezo «uk. 75»:
1- Mwanafunzi anafuata njia iliyopita katika kusoma mifano
ya somo hili.
2- Ataisoma 'taa marbuutwah' mara kwa kuunganisha na
mara nyingine kwa kukoma.
Hali ya kuunganisha: itasomwa kama 'taa' » « تpamoja
na 'haraka' yake
Na katika hali kukoma: inasomwa kama 'haa' » « هـiliyo
na 'sukuun'.
74
'Attau)Almarbuutwah'
وگلبا (ة وناںباب
Mlango wa tisa
'Taa marbuutwah'
Mifano ya
'taa marbuutwah'
75
Mlango wa kumi
'Allaamu Alqamariyyah' na
'Allaamu Asshamsiyyah'
Malengo:
Baada ya kumaliza kusoma mlango huu, mwanafunzi
ataweza- kwa idhini ya Allah-:
• kutofautisha baina ya 'Allaamu Alqamariyyah' na
'Allaamu Asshamsiyyah'
• kuzisoma 'Allaamu Alqamariyyah' na 'Allaamu
Asshamsiyyah' usomaji sahihi.
77
'Allaamu Alqamariyyah' na
Mlango waTen
Chapter kumi The Lunar and Solar Lāms
'Allaamu Asshamsiyyah'
Maelekezo kwa
mwalimu
Somo la kwanza
'laam qamariyyah'
Mifano ya
'laam qamariyyah '
79
'Allaam Alqamariyyah' na
Mlango waTen
Chapter kumi The Lunar and Solar Lāms
'Allaam Asshamsiyyah'
Somo la kwanza
'laam shamsiyyah'
Mifano ya
'laam' shamsiyyah'
80
Mlango wa
kumi na moja
Kusoma maneno
Malengo:
Baada ya kumaliza kusoma mlango huu, mwanafunzi
ataweza- kwa idhini ya Allah-:
• Kusoma maneno, sentensi, na maandishi kwa vizuri na
usomaji sahihi.
81
Mlango wa
Kusoma maneno
kumi na moja
Maelekezo kwa
mwalimu
* Njia ya kusoma:
- Maelezo ya somo la kwanza, la pili, la tatu, la nne, na la tano «Uk: 82, 84, 85,
86, 87»:
1- Mwanafuzi atalisoma neno la kwanza kama iliyobainishwa katika masomo
yaliotangulia.
2- Atalisoma neno la pili kama ilivyobainishwa katika masomo yaliotangulia.
3- Na ikiwa mfano una maneno mawili, atarejea na kulisoma neno la kwanza
na pili kwa pamoja.
4- Na ikiwa mfano una maneno matatu, basi ataunganisha neno la kwanza na
la pili, kisha ataunganisha neno la pili na la tatu, kisha arudie kuusoma
mfano kamili.
5- Na ikiwa mfano una maneno manne, basi ataunganisha neno la kwanza na
la pili, kisha aunganishe la tatu na la nne, kisha arudie kuusoma mfano
kamili.
6- Atafuata njia hii hii ikiwa maneno yaliyo katika mfano yatazidi manne, na
huenda nikazingatia maana [ya maneno] katika kuunganisha..
_____________________________________________________________________
_
Tanabahisho:
1- Pindi itakuja herufi yenye 'haraka’ iliofuatiwa na 'maddi' mwisho wa neno,
na ikaja herufi iliyo na sukuun kwenye neno la pili, basi herufi ya kwanza
itaondoshwa katika matamshi wakati wa kuunganisha.
Mfano wa hayo: » ' « َوأَقيموا الص ََلةmiim' ni herufi iliyo na 'haraka', na
inafuatiwa na herufi mbili zenye 'sukuun'- nazo ni 'waaw' na 'swaad’:- basi
'waaw' itaondoshwa, isomwe: » « َوأَقيمص ََلة, ama 'alif' iliyo baada ya 'waaw'
ya wengi, 'hamzatu alwaswli', na ‘Allaam Asshamsiyyah', hazisomwi wakati
wa kuunganisha.
Kadhalika: » ' « َذا ا ْلق ْربَىdhaal' ni herufi iliyo na 'haraka', na baada yake
kuna herufi mbili zenye 'sukuun'- nazo ni 'alif' na ‘Allaam Alqamariyyah’:-
basi 'alif' itaondoshwa, isomwe: » « َذ ْلق ْربَى, ama hamzatu alwaswli haisomwi
wakati wa kuunganisha.
2- Neno » « ّللاhuandikwa bila ya 'alif' baada ya 'laam' iliyo na 'shadda'; kwa
sababu ya wingi wa matumizi yake, na linasomwa » « الَله
3- Neno » َ « إلَهlinaandikwa bila 'alif' baada ya 'laam'; kwa sababu ya wingi wa
82
matumizi yake , na linasomwa » « إ ََل َه
4- Neno » « الرحْ َمنlinaandikwa bila ya 'alif' baada ya 'miim'; kwa sababu
Mlango wa
Kusoma maneno
kumi na moja
Somo la kwanza
mifano ya kusoma maneno mawili
83
Mlango wa
Chapter Eleven
kumi na moja Reading Words
Kusoma maneno
Somo la pili
mifano ya kusoma maneno matatu
84
Mlango wa
Reading Words
Kusoma maneno Chapter
kumi naEleven
moja
Somo la tatu
mifano ya kusoma maneno manne
85
Mlango wa
Chapter Eleven
kumi na moja Reading Words
Kusoma maneno
Somo la nne
mifano ya kusoma sentensi
86
Mlango wa
Reading Words
Kusoma maneno Chapter
kumi naEleven
moja
Somo la tano
mifano ya kusoma maandishi
87
Mlango wa
kumi na mbili
Istilahi ya mwandiko
wa Msahafu
Malengo:
Baada ya kumaliza kusoma mlango huu, mwanafunzi
ataweza- kwa idhini ya Allah-:
• Kuzitambua baadhi ya istilahi ya mwandiko wa
Msahafu.
• Kutofautisha baina ya mwandiko wa kiuthmani na
maandishi ya kisasa.
Tanabahisho
Mwandiko wa Msahafu unatofautiana na maandishi ya kisasa katika
baadhi ya maneno na 'harakah'
89
Mlango wa Istilahi ya mwandiko
kumi na mbili wa Msahafu
Maelekezo kwa
mwalimu
90
Istilahi ya mwandiko Mlango wa
Terms of the Quranic Script Chapter Twelve
kumi na mbili
wa Msahafu
Somo la kwanza
kichwa cha 'ḥaa' ndogo
Somo la pili
kichwa cha 'swaad' ndogo
91
Mlango wa Istilahi ya mwandiko
Chapter Twelve Terms ofwa
theMsahafu
Quranic Script
kumi na mbili
Somo la tatu
alama za 'maddi'
Mifano ya alama za
'maddi'
Somo la nne
'Hamza' inayofuatwa na 'alif'
Mifano ya 'hamza'
inayofuatwa na 'alif'
92
Istilahi ya mwandiko Mlango wa
Terms of the Quranic Script Chapter Twelve
kumi na mbili
wa Msahafu
Somo la tano
Herufi ndogo baada ya herufi kubwa
Mifano ya 'waaw'
ndogo
93
Mlango wa Istilahi ya mwandiko
Chapter Twelve Terms ofwa
theMsahafu
Quranic Script
kumi na mbili
Somo la sita: 'alif' ndogo ( )اau 'siin' ndogo ( )سjuu ya herufi kubwa
Mifano ya
herufi ndogo juu ya herufi kubwa
Mifano ya
duara dufu liliosimama
94
Mlango wa
Termsاالطصاحت طخامثعینیکScript
Istilahi ya mwandiko
of the Quranic
wa Msahafu اروہاںباب
Chapter
kumi ب
Twelve
na mbili
Mifano ya
duara kamili
95
Mlango wa
kumi na tatu
Nambari
Malengo:
Baada ya kumaliza kusoma mlango huu, mwanafunzi
ataweza- kwa idhini ya Allah-:
• Kuzisoma nambari kwa vizuri na sahihi.
97
Mlango nambari
kumi na tatu Nambari
Maelekezo kwa
mwalimu
Ah'ada
Asharah
Asharah Tis'ah
Tis'ata Thamaaniyata
Ishruun Asharah Asharah
98
Mlango Nambari
ادعاد
Numbers
Nambari ریتوہاںباب
Chapter Thirteen
kumi na tatu
Nambari
2 1 0
5 4 3
8 7 6
11 10 9
14 13 12
17 16 15
20 18 18
99
Faharisi ya maudhui
Faharisi ya maudhui
Utangulizi……………………………………………………………………………….………………………..……………………5
Utangulizi…………………………………………………………………………………………………..………………….……11
Faharisi ya maudhui…………………………………………………………………………………………….……100
TAASISI YA TWALIBUL ILM YA KUNUSHURU NA KUGAWA
00966506090448
Dār ad-Dulayqān ya uchapishaji
Kwa ombi piga: 0564448454
100