Professional Documents
Culture Documents
Thamani ya shilingi ya Tanzania dhidi ya dola ya Marekani katika soko la jumla la fedha za
kigeni (Interbank foreign exchange market-IFEM) ilishuka kutoka shilingi 1,318 kwa dola
moja mwezi Januari 2010 na kufikia kiwango cha shilingi 1,543 kwa dola moja ya Marekani
mwezi Juni 2011. Katika kipindi hicho thamani ya shilingi katika soko la rejareja ilishuka
kutoka shilingi 1,333 kwa dola moja ya Marekani na kufikia shilingi 1,547 kwa dola.
Kushuka kwa thamani ya shilingi kulichangiwa na mfumuko mkubwa wa bei pamoja na
mauzo hafifu nje ya nchi hasa kufuatia mdororo wa uchumi duniani.
Thamani ya shilingi ilishuka kwa kasi zaidi kati ya mwezi Juni 2011 hadi Oktoba 2011
kufuatia baadhi ya washiriki wa soko la fedha za kigeni kucheza kamari/kufanya biashara ya
dola kwa lengo ya kujinufaisha (speculation). Kufuatia hali hii, hatua mbalimbali
zilichukuliwa na Benki Kuu ikiwa ni pamoja na kuongeza viwango vya akiba ambavyo
mabenki yanatakiwa kuhifadhi Benki Kuu (SMR) kutoka asilimia 20 mpaka asilimia 40 kwa
amana za serikali; kupunguza kiwango cha fedha za kigeni ambazo mabenki yanaruhusiwa
kubaki nazoambazo zinaweza kutumika kutafuta faida kwa miamala ya fedha za kigeni
(net open position, NOP)kutoka asilimia 20 hadi asilimia 10 na hatimaye asilimia 7.5.
Benki kuu pia iliongeza kiwango cha mauzo ya fedha za kigeni kwenye soko la jumla.
Kufuatia juhudi hizo, thamani ya shilingi iliimarika tena na kubaki tulivu kwa takribani
miaka mitatu hadi kufikia robo ya mwisho ya mwaka 2014 (Jedwali Na. 1 na Chati Na. 1a
& 1b).
Kama inavyoonekana katika Chati Na. 2 hapo chini, thamani ya shilingi ilipungua kwa
wastani wa asilimia 8.6 kwa mwaka kati ya Januari 2010 hadi Mei 2011. Baada ya hapo kasi
ya kushuka thamani ilipanda hadi wastani wa asilimia 11.7 kwa mwaka kati ya Juni 2011
hadi Novemba 2011. Kutokea Desemba 2011 hadi Septemba 2014 thamani ya shilingi ilitulia
ambapo ilipungua kwa wastani wa asilimia 1.8 kwa mwaka.
Machi 2015
Badiliko
1,629.6
1,786.3
9.6%
1,631.9
1,844.5
13.0%
Machi 2014
1,629.60
0.60
0.73
103.27
59.97
86.55
2,588.73
10.57
Machi 2015
1,786.30
0.68
0.93
119.86
62.50
92.40
3,030.32
12.18
Badiliko
9.62%
12.65%
28.27%
16.07%
4.23%
6.76%
17.06%
15.26%
Chati Na. 3: Mwenendo wa Mauzo ya Dhahabu Nje ya Nchi kwa Mwaka Unaoishia
Machi (Dola Million)
13.0
1.5
-11.7
-4.2
10.1
6.2
-3.2
0.3
8.0
12.6
12.0
9.1
6.7
5.5
7.8
11.2
US dollar
Great Britain Pound
Euro
Japanese Yen
Indian Rupee
Kenyan shilling
Ugandan Shilling
South African Rand
Kupanda kwa bei za kuagiza bidhaa nje (import bill) na hivyo kusababisha mfumuko
ii.
iii.
sekta binafsi.
Wasiwasi wa uchumi kwenda mrama unaweza kupunguza uwekezaji.
Wapo Walionufaika:
i.
Wanaouza bidhaa nje wanapata shilingi nyingi zaidi kwa kila dola. Kwa mfano
kwenye biashara ya utalii, wauzaji mazao ya kilimo, bidhaa za viwanda, madini na
ii.
iii.
Kuanza kwa msimu wa mapato ya utalii mwezi Mei 2015 ambapo inatarajiwa kuongeza
mapato yanayotokana na shughuli za utalii nchini. Mapato yatokanayo na mauzo ya
bidhaa za kilimo nje ya nchi nayo yanatarajiwa kuongezeka kuanzia mwezi Agosti
2015.
ii.
Kutolewa kwa fedha za wahisani (World Bank na AfDB) na kupatikana kwa mikopo
yenye masharti ya kibiashara (ENCB). Matarajio yetu ni kwamba fedha hizo kutoka nje
zitaingia kabla ya mwisho wa mwaka wa fedha 2014/15. Hali hii itaongeza upatikanaji
wa fedha za kigeni.
iii.
Benki Kuu imeongeza mauzo yake ya dola kwenye soko la jumla. Katika kipindi cha
Januari hadi Aprili 2015, Benki Kuu imeuza dola milioni 339 katika IFEM, takriban
sawa na kiasi kilichouzwa kipindi kama hicho mwaka 2014, ingawa malipo nje ya nchi
yalizidi yale ya mwaka 2014 kwa zaidi ya dola za milioni 300.
ii.
Kupunguza ujazi wa fedha katika uchumi ili kudhibiti kasi ya ukuaji wa miamala katika
soko la fedha za kigeni. Hii ikiwa ni pamoja na kuongeza SMR ili kupunguza uwezo wa
mabenki kutumia zaidi fedha walizonazo kufanya miamala katika IFEM ili
kujinufaisha.
iii.
10