Professional Documents
Culture Documents
kama
nyenzo
muhimu
kimaisha,
kijamii,
kiuchumi,
na
kiusalama.
Vifaa vya mkononi vya mawasiliano ambavyo vinatumia laini ya simu, yaani
SIM card kuwasiliana vina namba maalum inayoitambulisha, ambayo inaitwa
IMEI kifupisho cha International Mobile Equipment Identity.
Mfumo wa Rajisi kuu ya Namba Tambulishi ni wa kielektroniki na unahifadhi
kumbukumbu za namba tambulishi za vifaa vya mawasiliano vya mkononi
(IMEI). Lengo la Rajisi ni kufuatilia namba tambulishi za vifaa vinavyoibiwa,
kuharibika, kupotea au ambavyo havikidhi viwango (bandia) vya matumizi
katika soko la mawasiliano.
1
mwaka 2011.
Uzimaji wa Simu
Usiku wa manane tarehe 16 Juni, 2016 simu ambazo zilikuwa hazina viwango
(bandia) zilizimwa kwa kuzingatia uchambuzi wa kina uliofanyika ili kubaini
namba tambulishi ambazo hazikuwa na viwango. Namba tambulishi ambazo
zilikuwa hazina viwango ilikuwa ni asilimia 2.96 ya simu zilizokuwa
zinatumika kwenye mitandao ya makampuni ya simu hapa nchini. Simu
zilizokuwa na namba tambulishi ambazo zimenakiliwa, yaani duplicates
zilikuwa asilimia 0.09 na asilimia 96.95 ilikuwa ni idadi ya namba tambulishi
za simu halisi (genuine).
Hadi kufikia sasa idadi ya namba tambulishi ambazo hazikidhi viwango
zimefikia 1,713,337.
Baada ya kukamilika kwa zoezi la kuzimwa kwa simu zenye namba
tambulishi ambazo hazikuwa za viwango (invalid IMEIS) na namba tambulishi
zilizonakiliwa (Duplicate IMEIs) hadi sasa idadi ya namba tambulishi
zilizonakiliwa ambazo zimezimwa imefikia 117,389.
Uelewa wa wananchi umechangia kwa kiasi kikubwa katika kufanikisha
mpango huu.
Kama mnavyokumbuka, Mamlaka ya Mawasiliano iliratibu na kuendesha
mpango wa elimu kwa umma kuhusu rajisi kuu ya namba tambulishi nchini
kote na kupitia vyombo vya habari kati ya 17 Desemba 2015 na 16 Juni
2016.
Baadhi
simu zao katika kipindi cha mpito. Kwa mfano, wengi walikuwa
wanakosea kutuma ujumbe wenye Namba tambulishi kwenda 15090.
ambazo
zimenunuliwa
hapa
nchini
na
hivyo
kulalamika
ya
Mawasiliano
Tanzania
inaendelea
kuwakumbusha
biashara
za
kuingingiza
simu
hapa
nchini
kutoka
nje
IMETOLEWA
NA
KAIMU
MKURUGENZI
MKUU,
TANZANIA
4 JULAI, 2016
MAMLAKA
YA
MAWASILIANO