You are on page 1of 1

Pole sana kwa kuuguza.

Kuna tiba ya pumu nimeipata kwenye rmail yangu na


maelezo ni kama ifuatavyo: (nanukuu maelezo yote) DAWA YA PUMUIkiwa una
maradhi ya pumu watumie wengine ambao watafaidikaHii ni dawa muhimu kwa
uwezo wa Allah kwa wale wenye maradhi ya pumu imevumbuliwa bi Fadhl Allah na
muhandis (Engineer) kutoka Sudan ambaye alikuwa na maradhi haya na alikuwa
akibanwa na pumu sana ikikaribia kuomba mauti hasa wakati wa kubadilika hali ya
hewa. Kuna watu wameshajaribu na imewafaa mmoja alikuwa akipelekwa hospital
kutiliwa oxygen na mwingine akitumia inheler na wote wamepona baada ya kutumia
dawa hii. Dawa yenyewe ni :Chukuwa karafuu 6 zitowe vicha vyake kisha roweka
hizo karafuu katika nusu gilass ya maji usiku kisha unakunywa maji yake asubuhi
kabla hujala kitu. Fanya hivyo kwa muda wa siku 15. Sisemi kuwa inampa nafuu
mgonjwa bali inamponyesha kabisa kwa uwezo wa Allah.Usifanye ubahili kuwatumia
na watu wengine wapate manufaa.

You might also like