Professional Documents
Culture Documents
NA
MAJIBU
Sheria za Tanzania
Toleo la 2
Angalizo: Maelezo yaliyomo katika kitabu hiki yanalenga kutoa mtazamo wa jumla wa kisheria.
Sio mbadala wa mshauri wako wa masuala ya kisheria. Ikiwa una changamoto za kisheria,
tunakusihi sana uwasiliane na mwanasheria wako. Tafadhali kumbuka na zingatia kuwa,
sheria ambazo ndio msingi wa majibu na hoja zetu hapa zinaweza kuwa zimebadilika kitambo.
Toleo la 2.
Kimechapishwa na Kusanifiwa katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
ISBN 978-9976-5241-2-3
i
Dibaji
Karibu kwenye toleo la pili la ‘Maswali & Majibu na FB Attorneys’ (Maswali na Majibu Kuhusu
Sheria za Tanzania).
Safu ya Maswali & Majibu na FB Attorneys ilichapishwa kwa mara ya kwanza mwaka 2009
katika gazeti la Daily News, na kuifanya kuwa safu ya kwanza ya maswali na majibu ya
kisheria katika ukanda wa Afrika Mashariki. Kutokana na kupokelewa vyema na mrejesho
chanya wa Toleo la 1, FB Attorneys tumeamua kuandaa Toleo la 2, ambalo linajumuisha maswali
na majibu kutoka mwaka 2012 hadi 2014 juu ya Sheria za Tanzania na kimataifa. Kitabu hiki ni
mwongozo muhimu kwa wasomaji wa kawaida, wanafunzi, walimu, wanasheria na umma kwa
ujumla. Toleo la pili lina Sura 14 na linajumuisha mada za ziada kama vile Migogoro ya Biashara,
Sheria ya Uhamiaji, Mali isiyohamishika, Sheria ya Madini, Uhalifu wa Kibiashara, Sheria ya
Mazingira, Sheria ya Ushuru na Mamlaka ya Mapato Tanzania.
Kitabu kina lengo la kuwafikia wasomaji kutoka kila nyanja ya maisha na kuelimisha umma juu
ya sheria na madhara ya kuvunja sheria. Sheria inaweza kuchanganya, kukatisha tamaa na wakati
mwingine inaweza hata isiwe upande wako, lakini utaratibu ni kwamba inapaswa kufuatwa.
Kitabu hiki kitakuelimisha juu ya sheria, haki zako na mambo yote unayopaswa kufanya au
kutokufanya. Pamoja na kujibu maswali mazito juu ya sheria, kitabu hiki kina ucheshi ndani
yake na hivyo kufanya safu/makala hizi zinazochapishwa kila wiki kuwa ni somo zuri la Jumatatu
asubuhi huku ukiwa na kikombe cha kahawa pembeni.
Tunapenda kutoa shukrani zetu za dhati kwa Daily News, gazeti la Kiingereza linaloongoza
nchini Tanzania, ambalo linachapisha safu ya Maswali & Majibu kila Jumatatu
(www.dailynews.co.tz). Kumekuwa na ushirikiano bora kati ya Daily News na FB Attorneys.
FB Attorneys
FB Attorneys ni kampuni ya kisheria iliyopo jijini Dar es Salaam na yenye uzoefu limbikizi wa
zaidi ya miaka sabini (70) katika ukanda wa Afrika Mashariki. Tunashughulikia masuala yote
ya kisheria na tumebobea zaidi katika Mambo ya Mashirika na Biashara ikiwa ni pamoja na
Madini, Mafuta na Gesi, Kodi, Kesi za Madai, Mabenki, Ushindani, Mali zisizohamishika, Sheria ya
Haki Miliki na Sheria ya Ardhi, miongoni mwa mambo mengine mengi.
Tunaheshimiwa sana kwenye ukanda wetu na kimataifa. Sifa yetu imejengwa na umahiri wetu
katika kushughulikia kwa mafanikio changamoto ngumu za kibiashara ambazo zinahitaji
mbinu na ufanisi wa hali ya juu. Hutegemewa mara nyingi na wateja kama chaguo namba moja
miongoni mwa makampuni ya kisheria katika kesi za madai, FB Attorneys hutoa ushauri wa
kisheria wa kipekee katika masuala mbalimbali ya makampuni na ya kibiashara.
Kuhusu Waandishi
FAyaz A. Bhojani, Wakili.
BCom (McGill), LLB (London), LLM (Berkeley)
FAyaz Bhojani ni Mbia Mwendeshaji wa kampuni mwenye miaka 20 ya ujuzi katika masuala ya
sheria za kampuni na msimamiaji mwenza wa idara ya kesi. FAyaz ni mhitimu wa Shule maarufu
ya Sheria ya Berkeley, katika Chuo Kikuu cha California, inayoheshimika sana duniani. Katika
Shahada ya kwanza, FAyaz alisomea Sayansi ya Takwimu-Bima chini ya Taasisi ya Wataalam wa
Takwimu-Bima (Society of Actuaries - SOA), na hivyo kumjengea ujuzi thabiti wa hisabati.
Baada ya kuwa mshauri katika baadhi ya makampuni makubwa ya kimataifa, FAyaz hutumia
uzoefu huo wa kibiashara katika shughuli zake za kisheria na ameshiriki na kufanikisha
majadiliano mbalimbali ya mikataba mikubwa ya kibiashara katika sekta ya uchimbaji (madini,
mafuta na gesi). Utaalamu wake unajumuisha sekta muhimu za uchumi kama vile huduma za
kifedha, mawasiliano, nishati, madini, kodi, ushindani wa kibiashara, na Uunganishaji na Ununuzi
Mashirika. Anafahamika kwa uwezo wake wa kutatua masuala magumu/tata ya kibiashara na
migogoro ambayo inahitaji umakini mkubwa. Ni mbia ambaye anasimamia na kushiriki katika
majadiliano na kuandaa nyaraka za wateja, na mara zote huorodheshwa na Chamber & Partners,
IFLR 1000 na Legal 500 miongoni mwa wanasheria nguli na mahiri nchini Tanzania.
Gaudiosus Ishengoma, Wakili.
LLB (UDSM)
Baada ya kufanya kazi kama Mwanasheria wa Serikali kwa miaka minane, Ishengoma anaongoza
Idara ya Mashtaka Mahakamani na ana uzoefu mkubwa katika kusimamia migogoro nyeti na
masuala yote ya usuluhishi. Katika kazi zake za kisheria kwa muda wa miaka ishirini na sita (26),
amesimamia kesi ngumu na sehemu kubwa ya migogoro mbalimbali ya kibiashara katika nyanja
kama vile ardhi, sekta ya uchimbaji (madini, mafuta na gesi), fedha/mabenki, mawasiliano,
ushindani wa kibiashara na mikataba.
Amehusika katika kesi kubwa zilizofunguliwa Mahakama Kuu ya Tanzania (Kitengo cha Ardhi
na Kitengo cha Biashara), na Mahakama ya Rufaa na kuwa na rekodi nzuri katika ufuatiliaji wa
madeni ya benki. Ishengoma alifundishwa mbinu za uendeshaji mashtaka na Baraza la Uingereza
(British Council) chini ya timu ya wataalamu kutoka Bunge la Mabwanyenye (House of Lords)
na ana uzoefu mkubwa kuhusu masuala ya ushindani wa kibiashara, migogoro ya wanahisa/
wabia, rufaa za kodi pia jinai ya kampuni (uhalifu wa kibiashara). Ameorodheshwa na Chamber
& Partners, IFLR 1000 na Legal 500 miongoni mwa wanasheria nguli na mahiri nchini Tanzania.
Yaliyomo
Migogoro ya Kibiashara dhidi ya Viongozi wa Serikali ...................................................................................1
Haki za Walaji..................................................................................................................................................................59
Migogoro ya Kibiashara
dhidi ya Viongozi wa
Serikali
Kila siku, na nchini kote, wafanyabiashara huwa na muingiliano na maafisa wengi wa serikali.
Ingawa muingiliano huo mara nyingi huwa ni wenye tija na kiungwana, siyo mara zote huwa
hivyo. Wakati mwingine maafisa wa serikali hutumia madaraka yao vibaya na hivyo kukiuka
sheria. Hakika, siyo maafisa wa serikali pekee, hata Mawaziri huweza kuvunja sheria.
Katika sura hii, tunatoa mifano kadhaa inayoonesha namna ambavyo maafisa wa serikali
wanapitiliza na kuvunja sheria, na namna ambayo wafanyabiashara wanaweza kudai haki zao.
Vilevile tunatoa mifano mahususi kuhusiana na idara ya uhamiaji ambapo maafisa wa serikali
wanatekeleza majukumu yao kwa mujibu wa sheria ingawa hatua hizo huwa ni kero kwa
wafanyabiashara.
Sura hii pia inajumuisha mifano ya wahalifu wanaojifanya ni maafisa wa serikali au hata polisi
(vishoka/matapeli) ili kupata taarifa na kuingia mahala pa biashara. Tunawashauri wenye
kampuni kuchukua tahadhari na kuwakabili “maafisa” wanaowatilia mashaka.
2 • Maswali na Majibu na FB Attorneys
nzima. Serikali ya Tanzania inakusudia kufanya atawajibika kwa faini isiyopungua milioni
vitu vingi sana kwa ajili ya kuiendeleza nchi, moja au kifungo kisichozidi miezi sita au
yaani kujenga barabara, hospitali, vyuo n.k. vyote kwa pamoja.
Hata hivyo, siyo siri kwamba Serikali haina Sheria ya Utalii pia imeweka sifa ambazo
pesa za kutosha kugharamia miradi hiyo ni lazima mtu awe nazo ili aweze kusajiliwa
mingi kwa haraka. Sheria hii inakusudia kama muongoza watalii. Sifa hizo ni pamoja
kuzishirikisha sekta binafsi na makampuni na umri angalau miaka 21, elimu ya angalau
yenye uwezo wa kifedha kujenga miundo kidato cha nne, uwe na cheti cha huduma ya
mbinu hiyo na kurejesha faida pamoja na kwanza, ujuzi wa kutosha wa eneo husika na
gharama zao za ujenzi kwa kipindi fulani uelewa wa kutosha wa kazi yenyewe pamoja
na baadaye miundo mbinu hiyo inarudi na na kuwa na sifa nyingine ambazo waziri wa
kuwa mali ya Serikali. Ni kweli itahusisha utalii atazibainisha kwenye Gazeti la Serikali.
wanachi kulipa kiasi fulani cha pesa kwa ajili Kwa kuwa kaka yako anafanya kazi
ya matumizi ya miundo mbinu hiyo lakini ya kuongoza watalii kwa kukiuka sheria,
ni kwa maendeleo ya nchi. Sheria kama hizi kukamatwa kwake kulikuwa ni halali. Suala
zipo kwenye nchi nyingi ambapo sekta binafsi kwamba kujuana kwenu na mkubwa fulani
imekuwa mstari wa mbele kwenye miradi kulisaidia kuachiwa kwake kunaweza
hiyo. Umeelewa vibaya Serikali haiuzi nchi bali kusiwasaidie huko mbeleni kama mtaendelea
inafanya kazi ili kuleta maendeleo ya haraka. kufanya kazi ya kuongoza watalii bila
kusajiliwa.
Usajili wa waongoza watalii Mwisho, hata kama tungewaonea huruma
kiasi gani kwamba sheria haijazingatia
Nimekua kwenye kijiji kimoja kilichopo chini
uzoefu wenu wa toka enzi kwenye suala
ya Mlima Kilimanjaro. Tangu enzi na enzi,
la kuongoza watalii, bado tunapendekeza
familia yetu imekuwa ikijipatia kipato kwa
kufuata masharti yaliyowekwa na Sheria ya
shughuli za kuongoza watalii. Kwa kipindi
chote hicho hatujawahi kuingiliwa na mtu Utalii kwa kuwa ni sheria na ni lazima tuifuate.
yeyote na kazi hii tumeirithi kutoka vizazi Vinginevyo, unaweza kushawishi sheria
vingi vilivyopita. Hivi karibuni, kaka yangu ifanyiwe mabadiliko kwa kumwandikia barua
mkubwa alikamatwa kwa kuongoza watalii waziri wa utalii ili mahitaji yako yaingizwe
bila kusajiliwa. Tulifanikisha kuachiwa kwenye marekebisho ya sheria.
kwake kwa sababu tulikuwa tunajuana na
Kukataa kutoa nyaraka za mapato kwa
mkubwa fulani. Ninashangaa kwa nini sheria
afisa kazi
inatulazimisha kujisajili. Tumefanya kazi hii
kwa miaka mingi sasa na wengi wetu hatuna Mimi ni mwanamke mfanyabiashara, kwa
sifa za kufanya kazi nyingine. Je, sababu za sasa nimefungua ofisi zangu hapa jijini
kukamatwa kaka yangu zilikuwa ni sawa? Mwanza. Biashara yangu kuu ni uingizaji
Tafadhali nisaidie. na uuzaji bidhaa kutoka China. Nimeajiri
31 Desemba 2012 Watanzania saba kama wasaidizi wangu.
Hivi karibuni mtu ambaye alijitambulisha
Kwanza kabisa tunataka kukueleza kama afisa kazi alikuja ofisini kwangu na
kwamba kila mwongoza watalii anatakiwa kuomba vitabu na nyaraka mbalimbali.
kusajiliwa kwa mujibu wa maelekezo ya Sheria Alisema alikuja hapo ili kuhakikisha
ya Utalii Na. 29 ya 2008. Mtu anayekiuka kwamba tunafuata sheria za kazi. Nilimpa
sheria hii anatenda kosa na akikutwa na hatia nyaraka alizohitaji lakini nilikataa kumpa
Migogoro ya Kibiashara dhidi ya Viongozi wa Serikali • 7
misingi ya haki badala ya upendeleo katika Sheria ya Benki Kuu ya Tanzania inatamka
utoaji wa huduma, kutimiza wajibu kwa wazi kwamba isipokuwa kwa idhini ya
kufanya kazi kwa ufanisi kwa kiwango cha juu maandishi ya Benki, hakuna benki itasajiliwa
na kuzikamilisha katika muda unaotakiwa, hapa nchini kwa masharti ya sheria yoyote,
isipokuwa kama imeruhusiwa vinginevyo, kwa jina ambalo linajumuisha maneno yoyote
watumishi wa umma wanapaswa kuwa kati ya haya: “Central”, “State”, “Government”
waaminifu na kutumia muda wao wa kazi and “Reserve”. Benki Kuu imefungwa na Sheria
kutekeleza wajibu wao. Hawaruhusiwi hii na hakuna uwezekano wa kuwakubalia
kutumia muda wa kazi kwa shughuli zao kusajili benki yenye jina lililo na neno “Central”
binafsi au kwa mapumziko isipokuwa kama ndani yake. Benki Kuu siyo kali bali inajaribu
wamepewa idhini ya kufanya hivyo. kuhakikisha kwamba, miongoni mwa mambo
Kutokana na maelezo hapo juu, unaweza mengine, hakuna mkanganyiko wa soko
kuona kwamba sheria inawataka maafisa unatokea.
wa Serikali kutekeleza majukumu yao kwa
kiwango fulani na kuzingatia misingi ya haki. Polisi bandia ofisini kwangu
Hivyo kutokujali muda ni kuvunja sheria Sekretari wangu alinitaarifu kwamba kuna
na unaweza ama kupeleka malalamiko polisi wawili wamekuja kunihoji kuhusu
rasmi kwa wakubwa zao ama kwa Waziri tuhuma fulani. Nikiamini kuwa ni polisi
anayeshughulikia Menejimenti ya Utumishi kweli, niliwaruhusu kuingia na wakaanza
wa Umma. kunitishia kuhusu kitu ambacho hata
Tunakubaliana na wewe kwamba sikijui. Hata gari waliyokuja nayo ilikuwa
kutokujali muda au kutokusimamia muda ni na namba ya polisi. Sikujua kwamba watu
tabia mbaya ambayo inafanywa na maafisa. hao walikuwa ni maafisa polisi ambao
Kimsingi, kwenye nchi nyingine kutunza walifukuzwa kazi na sasa wanazunguka
muda kwao ni muhimu na hata uchelewaji wakitapeli watu fedha kwa kujifanya
wa dakika tano tu, mchelewaji hulazimika kama bado wapo kazini. Je kuna sheria ya
kuomba msamaha. Wanasheria wako kuwaadhibu?
wanaweza kukuongoza zaidi. 8 Julai 2013
Benki Kuu ya Tanzania kukataa jina letu Chini ya Sheria ya Usalama wa Taifa hili
ni kosa kubwa. Kifungu cha 6 cha Sheria hii
Sisi ni benki yenye kusifika kimataifa na
kinatamka kwamba mtu yeyote ambaye,
tumekuwa tukitumia jina letu ambalo pia
kwa malengo ya kuingia au kumsaidia mtu
lina neno “Central” ndani yake. Majadiliano
yetu yasiyo rasmi na Benki Kuu yameonesha mwingine kuingia sehemu inayolindwa au
kwamba Benki hiyo haifurahii matumizi ya kwa malengo mengine yanayohatarisha
neno ‘Central’ kwa sababu wakati mwingine usalama au maslahi ya Jamhuri ya Muungano
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaitwa (a) bila mamlaka halali anatumia au anavaa
“Central Bank”. Hata hivyo jina letu sio Benki sare za majeshi ya ulinzi au jeshi la polisi au
Kuu lakini neno ‘Central’ lipo ndani yake sare nyingine rasmi ya Jamhuri ya Muungano
na ni miongoni mwa maneno mengine. au zinazofanana sana kiasi cha kuonekana
Tunawezaje kuishawishi Benki Kuu? Kwa kupotosha, au anajifanya kuwa ni mtu
nini Benki Kuu inakuwa kali sana kwenye anayestahili kuvaa au kutumia sare hizo; (b)
suala hili? bila kibali halali anatumia gari ya Serikali au la
10 Juni 2013 ofisi yake, au gari yoyote ambayo kwa sababu
Migogoro ya Kibiashara dhidi ya Viongozi wa Serikali • 9
ya namba batili au sababu nyingine, au haki ya kutoa vitisho hivyo isipokuwa kama
anajifanya kuwa ni mtu anayestahili kutumia sheria inayoanzisha wakala huo au sheria
gari hiyo anatenda kosa na akikutwa na hatia nyingine yoyote inampa mamlaka mapana
atawajibika kwa kifungo kisichozidi miaka 20. namna hiyo. Tunatilia mashaka kama Waziri
Nenda katoe taarifa polisi, kama hujafanya ana mamlaka hiyo. Waziri anaweza kuwa
hivyo. ametoa maneno yake, na wewe unatakiwa
kumkumbusha matakwa ya mkataba wa ubia.
Ubia na Wakala wa Serikali Kama bei ya bidhaa unayosema
imeshuka na kupelekea hasara, na kushuka
Tumeingia kwenye ubia na Wakala wa
Serikali, ambao mtendaji wake mkuu huko hakujachangiwa na uzembe wenu,
yupo chini ya Wizara fulani. Ubia wetu upo hatuoni kwa nini kuwe na uvunjifu. Miradi
kwenye changamoto za kifedha kutokana inapoanzishwa, inaanzishwa kwa misingi ya
na kuongezeka kwa wazalishaji wa kigeni dhahania fulani, ambayo inabadilika kadiri
pamoja na kushuka kwa bei ya bidhaa muda unavyokwenda. Kama mkataba wa
tunazozalisha. Makadirio yetu ya faida ubia una kipengele cha usuluhishi na Waziri
hayajafikiwa na Waziri amesema kwamba anatishia kuvunja, tunawashauri mara
anakusudia kuvunja ubia. Tumewekeza moja muuwasilishe mgogoro huu kwenye
mamilioni ya Dola kwenye mradi na usuluhishi. Kama mtahitaji amri ya Mahakama
tumeshtushwa sana na kitisho hicho. Hata wakati usuluhishi unaendelea, mnaweza
mtendaji mkuu wa Wakala ameguswa na kupeleka maombi husika Mahakamani kwa
anasema Waziri ana mamlaka mapana ajili ya kupata nafuu ya zuio, wakati mkisubiri
kisheria ya kutusitishia hata kama kuna matokeo ya usuluhishi.
kipengele kwenye mkataba wa ubia Inaweza kuwa muhimu kumueleza Waziri
kinachotoa njia ya utatuzi wa mgogoro kwa na mshauri wake wa masuala ya sheria
njia ya usuluhishi. Tafadhali tuongoze kama Wizarani kwamba utaratibu wa kisheria ni
kuna sheria hiyo ambayo inampa Waziri lazima ufuatwe na kwamba kuvunja mkataba
mamlaka makubwa namna hiyo. kutakuwa ni kinyume cha sheria. Serikali
29 Julai 2013 imewawajibisha maafisa wengi tu wa ngazi
za juu kwa kushindwa kutekeleza masharti ya
Inakuwa ni vigumu sana kwetu mikataba ambayo maafisa hawa waliivunja
kujibu swali hili bila kujua huo uwakala kinyume na sheria kwa kisingizio cha jina la
unaouzungumzia ni upi na ni Wizara gani Serikali ambapo ilipelekea Serikali kupata
ambayo Wakala ipo. Wakala zote za Serikali hasara ya mabilioni na matrilioni ya Shilingi
zinaanzishwa chini ya sheria fulani ambayo kwenye usuluhishi. Mkataba ambao pande
ndiyo huanisha mamlaka ya wakala na wakati zinaingia ni lazima uheshimiwe kwa mapana
mwingine mamlaka ya Wizara husika. Hivyo yake; na lazima usomwe na sheria nyingine
tunajibu swali hili kwa ujumla na tunashauri za nchi.
utafute ushauri maalum.
Kwa kuanzia, mkataba wa ubia unatakiwa Duka la dawa lisilo la mfamasia
kueleza haki na wajibu wa pande zote ikiwemo Nilikuja Tanzania kama mtalii wa tamaduni
kipengele cha kuuvunja. Kutegemea na aina na nilishuhudia kwamba usambazaji wa
ya ukiukwaji, aina mbalimbali za kuvunja, madawa maeneo ya vijijini haukuwa wa
kurekebisha, kuponya n.k. zitaelezwa. Hivyo kuridhisha. Ninataka kuja na kufungua
Waziri anabanwa na mkataba wa ubia na hana biashara ya maduka ya dawa maeneo
10 • Maswali na Majibu na FB Attorneys
wazi. Ibara ya 27: Nchi mwenyeji ni lazima ya bodi. (3) Kwa madhumuni ya kufanya
iruhusu na kulinda mawasiliano baina maamuzi ya Bodi chini ya kifungu kidogo (2)
ya wanadiplomasia/ubalozi na nchi zao. kuhusu mwanabodi aliyeeleza maslahi yake
Ibara ya 29: Hairuhusiwi kuwakamata wala chini ya kifungu kidogo (1), (a) hatakuwepo
kuwafunga wanadiplomasia. Wana kinga wakati wa majadiliano na katika kutoa
dhidi ya mashtaka ya madai na jinai, ingawa maamuzi ya Bodi; au (b) hatamshawishi
nchi iliyomtuma inaweza kuondoa kinga mwanabodi yeyote wala kushiriki katika
hii chini ya Ibara ya 32. Chini ya Ibara ya 34, kuifanya Bodi kutoa maamuzi. (4) Iwapo
wanadiplomasia wana msamaha wa kodi akidi ya kikao haitatimia kwa sababu ya
mbalimbali, mathalani chini ya Ibara ya 36 mwanabodi kuondolewa kwenye majadiliano
wamesamehewa kulipia ushuru wa forodha. juu ya jambo ambalo ameeleza kuwa na
Ibara ya 31(1)(c) inahusu mambo ambayo maslahi nalo, wanabodi waliobaki wanaweza
hayakingwi na kinga ya kidiplomasia; (a) kuahirisha majadiliano juu ya jambo hilo
shughuli ya kitaalam nje ya shughuli mpaka akidi itimie bila mwanabodi husika; au
rasmi za kidiplomasia, na ndiyo maana (b) kuendelea kujadili na kutoa maamuzi juu
wanadiplomasia wengi hawafanyi kazi yoyote ya jambo hilo kana kwamba akidi imetimia.
nje ya kazi za kidiplomasia. Kwa hiyo, mwanabodi wa TRA ambaye
anamaslahi binafsi ni lazima afichue maslahi
Mgongano wa maslahi kwenye bodi husika, na ikiwa hatofanya hivyo, atakuwa
ya TRA amekiuka Sheria. Adhabu ya juu kabisa ya
Miongoni mwa mambo mengine, kukiuka Sheria hii ni kufungwa jela kwa miaka
nimegundua kwamba kuna wanabodi wa miwili.
TRA ambao wana mgongano wa kimaslahi
Kuishtaki serikali
kwenye masuala ya manunuzi/ugavi. Je,
hakuna Sheria inayowazuia kuwa sehemu Kwa nini nisubiri siku 90 kuishtaki serikali?
ya wafanya maamuzi kwenye manunuzi Au mwanasheria wangu ananichukulia
husika? mbumbumbu? Nini kitatokea kama idara
23 Juni 2014 ninayoishtaki haitoi utetezi wake? Kitu gani
zaidi unaweza kunishauri?
Jedwali la 2 aya ya 4 ya Sheria ya Mamlaka
18 Agosti 2014
ya Mapato inajibu swali lako. Sheria hii
inaeleza kama ifuatavyo: 4(1) Mwanabodi Sheria ya Mwenendo wa Mashtaka ya
ambaye anamaslahi ya moja kwa moja Serikali inaeleza wazi katika Kifungu cha 6
ama yasiyo ya moja kwa moja katika jambo kwamba (1) bila kujali masharti ya vifungu
linalojadiliwa au linalotaka kujadiliwa, baada vingine kwenye Sheria hii, kesi za madai
ya kufahamu jambo husika, atapaswa kuweka zinaweza kufuguliwa dhidi ya serikali kwa
wazi maslahi hayo haraka iwezekanavyo. masharti ya kifungu hiki. (2) Hakuna kesi dhidi
(2) Maslahi yaliyoelezwa chini ya kifungu ya serikali itakayo funguliwa na kusikilizwa
kidogo (1) yatarekodiwa kwenye muhtasari isipokuwa pale tu mlalamikaji atakuwa
wa kikao cha Bodi, na mwanabodi aliyefichua amewasilisha kabla kwenye wizara ya serikali,
maslahi yake, isipokuwa kama Bodi itaamua idara au afisa anayehusika notisi siyo chini ya
vinginevyo kuhusu suala hilo (a) hatahudhuria siku tisini juu ya nia yake ya kuishtaki serikali,
kwenye majadiliano yoyote ya Bodi kuhusu ikieleza msingi wa dai lake dhidi ya serikali na
jambo hilo; (b) hatakuwa sehemu ya maamuzi atatuma nakala ya dai lake kwa Mwanasheria
Migogoro ya Kibiashara dhidi ya Viongozi wa Serikali • 13
Mkuu wa Serikali. (3) Kesi zote dhidi ya Mkurugenzi Mkuu atampa ofisa wa Taasisi
serikali, baada ya kuwasilishwa kwa taarifa kitambulisho ambacho kitakuwa ni ushahidi
zifunguliwe dhidi ya Mwanasheria Mkuu wa utumishi wake kwenye Taasisi (2) Kila
wa Serikali, na nakala ya hati ya mashtaka ofisa wa Taasisi atapaswa kumuonesha mtu
ipelekwe kwenye wizara husika, idara au afisa atakayehitaji kitambulisho chake cha kazi
ambaye anatuhumiwa kutenda kosa hilo (3) Ofisa wa Taasisi anayefanya upelelezi wa
ambalo ni msingi wa shtaka la madai. (4) Kesi kosa linaloshukiwa kufanywa kwa mujibu wa
zote dhidi ya serikali zitafunguliwa Mahakama Sheria hii au Sheria nyingine zinazohusiana
Kuu kwenye Kitengo cha Mahakama Kuu na rushwa anaweza kumuomba msaada ofisa
katika eneo ambalo dai limetokea. (5) Bila yeyote wa umma kwa kuzingatia matumizi
kujali masharti ya kifungu kidogo cha (3), yanayofaa ya mamlaka yake au utekelezaji wa
Mwanasheria Mkuu anaweza, isipokuwa majukumu yake kwa mujibu wa sheria hii.
kama mtu mwingine anastahili kushtakiwa, Kifungu cha 12 kinahusu upekuzi ambapo
kushtakiwa au kuunganishwa kama kinaeleza: (1) Mkurugenzi Mkuu anaweza,
mshtakiwa mwenza/pacha, kwenye kesi kwa maandishi, kumuidhinisha ofisa yeyote
yoyote dhidi ya serikali. (6) Vifungu vya Sheria kumpekua mtu yeyote iwapo, kwa sababu
ya Watumishi wa Umma (Malipo ya Madeni) za msingi, itashukiwa kuwa mtu anayehusika
vitatumika kwa afisa yeyote aliyeisababishia anamiliki mali iliyopatikana kwa njia ya
serikali hasara, gharama na fidia kutokana rushwa au kwa njia nyingine yoyote haramu
na kushindwa kwake kupata uwakilishi wa au kupekua mahali popote, chombo cha
kisheria katika kesi husika. usafiri, boti/meli, ndege au gari lingine lolote
Ingawa haihusiani, iwapo idara ya serikali iwapo kuna sababu za msingi za kuamini
ikishtakiwa na haijajitetea kwa kupeleka kuwa mali yeyote iliyopatikana kwa njia
utetezi, basi kesi itaendelea upande mmoja ya rushwa au kwa njia haramu imewekwa,
na inawezekana ukafanikiwa katika madai imetunzwa au kufichwa humo.
yako. Hata hivyo, mkuu wa idara ambaye Hivyo, ingawa upekuzi wa majengo
ameshindwa kupeleka utetezi dhidi ya kesi unaruhusiwa chini ya sheria, kama maafisa
anaweza kuwajibishwa yeye mwenyewe waliopo hawataki kuonesha utambulisho
kwa kiasi cha fedha hizo chini ya Sheria ya wao, watakuwa hawatoki TAKUKURU na
Watumishi wa Umma (Malipo ya Madeni). inawezekana ulikuwa unashughulika
na waharifu hasa ukizingatia kwamba
Mamlaka ya TAKUKURU kufanya walilazimisha kuingia ndani.
upekuzi
Zabuni kufunguliwa kabla ya muda
Maafisa wa TAKUKURU walikuja kufanya
mwafaka
upekuzi kwenye eneo letu. Tuliwasihi
wajitambulishe, lakini walikataa na Kampuni yetu iliomba zabuni kubwa
kulazimisha kuingia. Je, hii inaruhusiwa? ya ujenzi wa barabara. Wakati zabuni
15 Septemba 2014 zinafunguliwa tuligundua kwamba lakiri
ya zabuni ilikuwa imechezewa na bahasha
Hujatuambia nini kilitokea baada ya wao imefunguliwa. Je, hili siyo tatizo kubwa?
kulazimisha kuingia. Tunaona jambo hili ni
22 Septemba 2014
kinyume cha sheria kwa sababu Sheria ya
Kuzuia na Kupambana na Rushwa inaeleza Ikiwa lakiri ya zabuni ilifunguliwa, zabuni
yafuatayo kwenye Kifungu cha 11(1)-(1) inaweza kufutwa. Hata hivyo hii itategemea
14 • Maswali na Majibu na FB Attorneys
Watoto, Mahusiano,
Sheria za Ndoa na
Talaka
Stahiki baada ya talaka Kwa kawaida, mgawo haujali kama mali zipo
kwa jina la mmeo au la kwako.
Niliolewa miaka kumi iliyopita, Mmeo anadhani anaweza tu kukufukuza.
nimemchoka mume wangu na ninataka
Hiyo siyo kweli na sheria inakulinda. Mmeo
talaka. Nimekuwa mama wa nyumbani na
anapaswa kusoma baadhi ya kesi maarufu
sikuwa na mchango wa moja kwa moja
za talaka ambapo wanaume wamekuwa
wa kifedha kwenye kununua mali ambazo
masikini zaidi kwa sababu ya talaka kama
mume wangu alizichuma wakati wa ndoa
yetu. Mara zote amekuwa akiniambia ilivyo kwa kesi ya mwandishi maarufu Rupert
nimekuwa baraka kwake, kwa kuwa tangu Murdoch, aliyekuwa mcheza kikapu maarufu
amenioa ameingiza pesa nyingi sana. na nyota Michael Jordan, aliyekuwa mcheza
Anajua ninataka takala lakini ameniambia gofu maarufu, Tiger Woods, muongoza filamu
wazi kuwa kama nikifungua kesi kudai Steven Spielberg, muigizaji Harrison Ford na
talaka nitaishia mtaani na hatonipatia muimbaji Lionel Richie ambapo wote hao
pesa ya matunzo wala kunilipa (kifuta talaka ziliwagharimu mabilioni.
jasho) chochote. Na anasisitiza kuwa mali Tunakuonya pia kuwa kama wakati
zote ni za kwake na wanafamilia yake. Ni wowote uliwahi kutumia mali za familia vibaya
kweli sijaleta pesa taslimu nyumbani lakini kwa mfano kununua vito vya thamani visivyo
nimemsaidia kusimamia biashara zake zote. vya lazima au ulitumia pesa kwa anasa, pesa
Hivi, ni kweli sistahili chochote? Nifanyeje? hizo zitakatwa kwenye kiasi unachostahili
Kusema kweli, sitaweza kuishi hata kidogo kupewa. Ushauri wetu hapa ni kwa ajili ya
kwenye dunia hii kama mume wangu kukuongoza tu na siyo kuharibu au kuvunja
dhalimu atanifukuza bila kunipa chochote. uhusiano wenu. Unaweza kumtafuta mshauri
6 Februari 2012 wa masuala ya ndoa kwa ushauri zaidi.
Hujatuambia kwa nini unataka talaka. Mke anataka talaka
Nchini Tanzania, hamuwezi tu kukubaliana
kupeana talaka. Sheria ya ndoa inatoa Mimi na mke wangu tulioana na kuishi
sababu maalum kama vile uzinzi, ukatili, au kwa furaha hadi siku za hivi karibuni
kutelekezwa ambazo ni lazima uzieleze ili alipoanza kuibua barua-pepe za kabla ya
uweze kupata talaka. Mahakama pia, kabla ndoa yetu ambapo alikuta zenye ujumbe
ya kutoa amri ya talaka, ni lazima ijiridhishe wa mapenzi kutoka kwa mpenzi wangu wa
kwamba ndoa yenu imevunjika kabisa na zamani. Anasema ningemwambia kuhusu
uhusiano huo kabla ya ndoa. Nilimjibu
kwamba haiwezi kurekebishika kabla ya
kuwa hakuniuliza na sijawahi kuwasiliana
kutoa amri ya talaka.
na mpenzi huyo baada ya ndoa. Hata yeye
Iwapo utaamua kuomba talaka
alikuwa na wapenzi wake ambao taarifa zao
Mahakamani, kuna maamuzi mengi ya
sikuwahi kuzifuatilia kwa kuamini kwamba
Mahakama, ikiwemo kesi maarufu ya ya kale yamepita. Mke wangu anataka
Mahakama ya Rufani ya Tanzania ambayo talaka. Nifanyeje?
iliamua kwamba kazi za nyumbani zina
20 Februari 2012
mchango katika kuchuma mali za ndoa.
Kwa kuwa umemsaidia mmeo kuangalia Sheria ya Ndoa ya Tanzania ina vifungu
nyumba yenu, pale anapokuwa mbali, pamoja mahususi ambavyo vinaeleza sababu
na kusimamia mali za familia, unastahili zinazoweza kutolewa wakati wa kuomba
mgawo sawa kwa mali mlizozichuma pamoja. talaka. Kwa mfano, mtu hawezi tu kupewa
Watoto, Mahusiano, Sheria za Ndoa na Talaka • 17
Sheria ya Ndoa ya 1971 kinasema kwamba Kushika ujauzito kwa kawaida ni baraka
kama idhini imekataliwa unaweza kuomba na siyo laana na kama ulivyosema siyo kosa
Mahakamani ambayo baada ya kuridhika kisheria. Sheria ya Mtoto inamruhusu mama
kwamba idhini imekataliwa bila sababu za anaetarajia kujifungua kupeleka maombi
msingi, inaweza kutoa idhini hiyo ambayo ya matunzo Mahakamani na kama itaona
itakuwa sawa na idhini inayotolewa na wazazi sababu za msingi za kuamini kwamba
au mlezi kutegemea na aliyepo. mwanamume anaedhaniwa kuwa ni baba
Hata hivyo, inashauriwa kuoa/kuolewa wa mtoto kweli ndiye na kwamba maombi
katika umri mkubwa zaidi baada ya msichana ya matunzo yameletwa kwa nia njema na
kupata elimu ya juu zaidi. Ulimbwende wa siyo kwa malengo ya kutishia au kwa shari,
msichana unaweza ukaishia miaka 20, lakini maombi yako yanaweza kufanikiwa. Hivyo
elimu yake itabakia; na inawezekana hicho una hiari ya kufungua maombi Mahakamani
ndicho wazazi wake wanafikiria, na sisi ukiomba amri ya matunzo kwa kipindi cha
tunadhani siyo vibaya kuwa na fikra hizo. ujauzito. Kwa msaada zaidi tafadhali wasiliana
Lazima pia tulilete suala hili moja kubwa na mwanasheria wako.
kwenye akili yako. Tunachukulia kwamba
unashiriki ngono na huyo msichana. Tafadhali Uhalali wa ndoa
elewa kwamba kifungu cha 130(2) (e) cha Mimi ni Mkatoliki ambaye niliolewa miaka
Kanuni ya Adhabu kinatamka kwamba mtu minne iliyopita na kubarikiwa kupata
wa jinsia ya kiume atakuwa ametenda kosa watoto wawili. Hivi karibuni nimegundua
la kubaka kama atakuwa amefanya tendo kwamba mume wangu ana mke mwingine
la ndoa na msichana au mwanamke kwa Dar es Salaam ambaye alimuoa kwa ndoa
idhini au bila ya idhini akiwa chini ya umri ya kikristo. Baada ya kufuatilia kwa karibu,
wa miaka kumi na nane, isipokuwa kama nimegundua kwamba alimtelekeza mke
mwanamke ni mke wake ambaye ana na familia yake kwa ajili yangu na hakuna
umri wa miaka kumi na tano au zaidi na talaka iliyotolewa. Je, inawezekana mume
hajatengana na mumewe. wangu kuoa wake wawili?
Kutokana na maelezo hapo juu unaweza 2 Julai 2012
kuona kwamba hata kama mpenzi wako
anaridhia kufanya ngono na wewe, kwa umri Sheria ya ndoa ya Tanzania inatambua
wake, siku akitoa taarifa hii polisi, unaweza ndoa kama ni muungano wa mume na mke
kushtakiwa kwa ubakaji ambalo ni kosa ambayo inakusudia kudumu mpaka mwisho
kubwa sana. wa maisha yao. Pia sheria inatambua ndoa
ya kikristo kuwa ni doa ya mke mmoja. Ndoa
Kuhudumia ujauzito ya mke mmoja ni ndoa kati ya mke mmoja
Mimi ni mtu mzima na nimepata ujauzito na mume mmoja tu. Pia sheria inatambua
na najua siyo kosa kisheria. Mpenzi njia zifuatazo ambazo zinaweza kufanya
wangu ambaye alinipa ujauzito, hana tena ndoa kufika mwisho; (a) kifo cha mmoja
mapenzi na mimi kwa sababu ananiona wa wanandoa (b) amri/tuzo ya Mahakama
ati ni mkubwa na sivutii tena. Anashindwa inayotangaza kuwa mmoja wa wanandoa
kunisaidia na kusahau kuwa na yeye ana anadhaniwa kuwa amefariki; (c) amri/tuzo
mama ambaye pia aliubeba ujauzito wake. ya Mahakama ya kubatilisha ndoa; (d) amri/
Nifanye nini? tuzo ya talaka; au (e) kwa talaka iliyotolewa na
25 Juni 2012 Mahakama nje ya Tanzania.
Watoto, Mahusiano, Sheria za Ndoa na Talaka • 21
Kwa kuwa mume wako hakupata talaka hutaki kumsajili mwanao kwa sababu ana
kabla ya kukuoa, ndoa yake ya kwanza ni uwezo wa kipekee haitambuliki kwenye
halali na bado ipo. Sheria pia inazuia mtu sheria zetu. Hakuna uwezekano kwamba
mwenye ndoa ya mke mmoja kuingia uwezo huo utapotea kwa kumsajili mwanao.
kwenye ndoa nyingine. Kifungu cha 15 cha
Sheria ya Ndoa kinasema kwamba hakuna Kuolewa tena
mwanamume, akiwa kwenye ndoa ya mke Nilikuwa kwenye ndoa kwa miaka 10 kabla
mmoja, kufunga ndoa nyingine. Wakati mume ya mume wangu kufariki miaka miwili
wako alipokuoa, alikuwa hana sifa za kufanya iliyopita. Wakati wa ndoa yetu tulichuma
hivyo, na ndoa yako inaweza kuwa batili. mali kwa pamoja kwa sababu sote
Tunakushauri uwasiliane na mwanasheria tulikuwa na kazi nzuri. Nimekutana na mtu
wako kwa muongozo zaidi. ambaye ananipenda na tunataka kuoana.
Ndugu wa mume wa zamani wanajaribu
Kusajili uzazi/mtoto aliyezaliwa kunizuia kuolewa tena wakisema kwamba
Mimi na mke wangu tuna mtoto mzuri wa hairuhusiwi na kama nikifanya hivyo moja
kiume ambaye mke wangu alizalishwa kwa moja wao watachukua mali zangu.
nyumbani na mkunga wa jadi kijijini Tafadhali naomba muongozo.
kwetu. Ninaamini mwanangu ana uwezo 6 Agosti 2012
wa kipekee na sitaki kumsajili kama mtoto
Kifungu cha 68 cha Sheria ya Ndoa
aliyezaliwa. Nifanye nini? Je, ni lazima
hakimkatazi mwanamke kuolewa tena na
nimsajili?
kinaeleza kwamba bila kujali mila zozote
9 Julai 2012
zinazoenda kinyume, mwanamke aliyefiwa
Sheria ya Uandikishaji Vizazi na Vifo na mume atakuwa huru (a) kwenda kuishi
inakulazimisha kumsajili mtoto wako mahala popote apendapo; na (b) kukaa
aliyezaliwa. Sheria inatamka wazi kwamba bila mume au kuolewa na mume yeyote
kila mtoto aliyezaliwa hai baada ya kuanza atakayeridhika naye kwa kuzingatia masharti
kutumika Sheria hii na ambaye usajili wake ya kifungu cha 17; Isipokuwa, kama aliolewa
ni wa lazima, itakuwa ni jukumu la baba au katika ndoa ya kiislamu, mjane huyo
mama, na kama baba au mama wakishindwa, hatakuwa na haki ya kuolewa tena mpaka
mkazi wa nyumba ambaye kwa uelewa pale kipindi cha eda kitakapokwisha.
wake, mtoto huyo amezaliwa, na kila mmoja Kuhusiana na ndugu wa upande wa mume
aliyekuwepo wakati mtoto anazaliwa, wako, kama mlimiliki mali hizo kama wamiliki-
kumsajili mtoto huyo ndani ya miezi mitatu wenza (joint occupiers), basi umiliki wa mali
tangu kuzaliwa. hizo moja kwa moja unahamia kwako kama
Chini ya Sheria hii, kama mtu mwenye mmiliki mwenza uliyesalia baada ya kifo cha
wajibu wa kusajili kizazi au kifo cha mtoto mume wako. Lakini kama umiliki wa mali
anashindwa kufanya hivyo atawajibika kulipa hizo ulikuwa ni umiliki-shirika (occupiers
faini isiyozidi Shilingi laki tano au kifungo in common), basi sehemu yako katika
kisichozidi mwezi mmoja au vyote kwa umiliki itabaki kwako na sehemu ya mume
pamoja. wako itahamishiwa kwa yeyote (mshirika
Hivyo, kumsajili mtoto wako ni lazima na mwingine) aliyetajwa kwenye wosia. Utofauti
kuna kifungo ikiwa utakiuka. Sababu kwamba kati ya umiliki-wenza na umiliki-shirika ni
22 • Maswali na Majibu na FB Attorneys
muhimu na watu wengi hawajui kutofautisha maisha yangu. Anauvunja moyo wangu kitu
haya. ambacho ni sawa na kosa la jinai. Je, siwezi
kupata zuio, kumzuia kutoka na mpenzi
Zawadi kwa msichana mzuri wangu? Ninawezaje kumrudisha mpenzi
wangu kisheria? Tafadhali niongoze.
Nilikutana na msichana mzuri na tulianza
mahusiano. Baada ya kumshawishi na 27 Agosti 2012
yeye kukubali kuhusu kuoana, na ili Ingawa tunasononeka sana moyo
kumfanya aridhike, nilimpatia zawadi wako kuvunjika, tafadhali elewa kwamba
nyingi sana, mojawapo ikiwa ni gari langu. mwanamume unayetembea naye ni mpenzi
Hivi karibuni nimeshtuka kuona kwamba
tu na siyo mume wako. Ingawa kimaadili
ana mwanamume mwingine ambaye
inaweza isiwe sahihi kwake kutembea na
alikuwa anajifanya kama ni dereva wake
nyie wote wawili, hakuna sheria inayomzuia
na yupo kwenye mahusiano naye na
kutembea na mwanamke mwingine. Sheria
tayari amekwisha toa mahari. Anakataa
ni tofauti na maadili, kwa bahati mbaya sana,
kunirudishia zawadi nilizomnunulia,
hatujawahi kuona sheria inayozuia jambo hili.
likiwemo gari langu. Nifanye nini?
Tabia za rafiki yako zinaweza kuwa
13 Agosti 2012
za kikatili, zisizo na maadili na pengine
Zawadi zilizotolewa wakati wa uchumba zisikubalike; lakini siyo kinyume cha sheria
zinaweza kurudishwa kisheria kama uchumba na hivyo haiwezekani kushtaki. Sisi kama
huo usipozaa ndoa. Kifungu cha 71 cha Sheria wanasheria hatuna utaalamu na masuala ya
ya Ndoa kinamruhusu mtu kufungua shauri mahusiano na hivyo unaweza kufikiria kupata
Mahakamani ili kurudisha zawadi zilizotolewa ushauri kuhusu mpenzi wako kama unaona
wakati wa kusubiria ndoa ambayo hata hivyo anaweza kubadili tabia zake. Kinyume na
haikufanikiwa, na inaweza kurudishwa kama hapo, huna jinsi, zaidi ya kuachana naye na
Mahakama itajiridhisha kwamba zawadi hizo kutafuta rafiki na mpenzi mwingine.
zilitolewa kwa sharti kwamba ndoa ifanyike na Zuio haliwezi kutolewa kwa sababu
siyo vinginevyo. Wanasheria wako wanaweza ulizoziainisha hapo juu. Rafiki yako havunji
kukuongoza zaidi. sheria kwa kutembea na mpenzi wako.
Tuchukulie mpenzi wako na rafiki yako
Rafiki yangu anatembea na mpenzi wanashiriki mapenzi, hakuna sheria
wangu inayomzuia yeye wala mtu mwingine yeyote
kujihusisha kwenye mahusiano ya kimapenzi,
Mimi ni msichana mrembo na niliyeelimika.
Nina mpenzi ambaye tupo kwenye ilimradi tu kama kuna idhini, wapenzi wana
mahusiano kwa miaka mitatu. Hivi karibuni umri sahihi, na hakuna kitu kingine kisicho
kuna mtu amenidokeza kwamba rafiki cha kawaida kwenye mahusiano hayo ya
yangu wa karibu anatoka kimapenzi na kimapenzi.
mpenzi wangu. Ninakumbuka kipindi Mama hawatunzi/kawatelekeza watoto
cha nyuma rafiki yangu alikuwa akimsifia
mpenzi wangu na kumtamani. Kuna ujumbe Kuna mwanamke mmoja ambaye ana
wa kufurahisha ambao alikuwa anamtumia watoto wanne lakini hawatunzi Wanao-
mpenzi wangu ukionyesha kwamba kuna nekana kuzurura na kulala maeneo ya
kitu kinaendelea. Nataka nimfundishe Gymkhana. Je hakuna sheria inayowalinda
rafiki yangu kwa kumshtaki kwa kuingilia watoto hao bila kujali kwamba ni mama yao
Watoto, Mahusiano, Sheria za Ndoa na Talaka • 23
wanapinga ukweli huu, lakini nitakueleza pande zote wakati wa ndoa walikua na imani
wazi kwamba niliamua kuolewa na mtu moja na ambapo kwa mujibu wa sheria za
tajiri. Kabla ya ndoa, aliahidi kuninunulia imani hiyo, kubadilisha dini kunafuta ndoa au
gari jipya aina ya Mercedes-Benz S-Class ni moja ya misingi ya kutengua ndoa.
la mwaka 2011, gari ambalo hajaninunulia Kutokana na maelezo hapo juu, ni
mpaka sasa. Anasema “amefulia”, ingawa dhahiri kwamba kukosa kwako Mercedes
najua sio kweli, pengine anatumia faida hakujitoshelezi kuingia kwenye vigezo
ya kuwa tayari ameshanioa kutokutimiza vilivyoainishwa hapo juu. Hakika
ahadi yake. Je, ninaweza kufungua madai kutokununuliwa Mercedes Benz hakuwezi
ya talaka kwa kuwa sitaki kuishi na kuchukuliwa kuwa ni ukatili. Ikiwa unaomba
mwanamume asiye mwaminifu? Naamini tu talaka kwa sababu ya kutokununuliwa
sheria inataka wanawake warembo kama Benz, tunadhani huenda usifanikiwe kupata
mimi kuhudumiwa vizuri. talaka hiyo. Tukudokezee tu kwamba katika
7 Januari 2013 nchi nyingine, tofauti na Tanzania, madai
Sheria ya Ndoa ya Tanzania inatoa vigezo ya talaka yanaweza kufunguliwa kwa idhini
ambavyo vinapaswa kuzingatiwa katika ya pande zote. Kwa Tanzania, hali ni tofauti
kudai talaka pale ambapo ndoa inapokuwa kwa kuwa hamuwezi kukubaliana kwenda
imevunjika bila uwezekano wa kurekebishika. Mahakamani kuomba talaka. Ni kweli Sheria
Sababu zifuatazo zimetolewa: (a) uzinzi ya Ndoa ipo nyuma ya wakati, lakini bado
uliofanywa na mmoja wa wanandoa, hasa inabaki kuwa ni sheria nzuri hata leo. Mwisho,
kama tendo la uzinzi limefanyika zaidi sheria haitofautishi wanawake wazuri na
wanawake wabaya - kwanza uzuri wa mtu
ya mara moja au kutokoma kwa tabia hii
upo machoni pa mtazamaji. Mwanasheria
licha ya kuonywa; (b) tabia ya uzinzi kwa
wako anaweza kukuongoza zaidi.
upande wa mlalamikiwa; (c) ukatili, uwe
wa kiakili au wa kimwili, unaosababishwa Harusi/Ndoa ya siri na kutokutoa taarifa
na mlalamikiwa kwa mlalamikaji au kwa
watoto; (d) kupuuzwa kwa makusudi kwa Ninataka kuoa lakini nataka harusi/ndoa ya
mlalamikiwa; (e) mlalamikiwa kumtelekeza faragha sana. Sitaki kuujuza umma kuhusu
mlalamikaji kwa kipindi cha angalau miaka nia yangu ya kutaka kuoa na sitaki mtu
mitatu, na Mahakama imethibitisha kwamba yeyote kuhudhuria ibada ya ndoa. Mimi
ni mtu msiri sana na hivyo ningependa
ni kwa makusudi; (f) kutengana kwa hiari au
kujua kama sheria za Tanzania zinaruhusu
kwa amri ya Mahakama, ambapo utengano
sherehe hizo.
huo umeendelea kwa angalau miaka mitatu;
7 Januari 2013
(g) kifungo cha maisha kwa mlalamikiwa au
kipindi kisichopungua miaka mitano, kwa Sheria ya Ndoa inatamka bayana
kuzingatia urefu wa muda wa kifungo na kwamba pale mwanamume na mwanamke
hali ya kosa ambalo alihukumiwa nalo; (h) wanapotaka kuoana, watatoa taarifa
ugonjwa wa akili kwa mlalamikiwa, ambapo angalau siku ishirini na moja kabla ya siku
angalau madaktari wawili, mmoja wao awe wanayopendekeza kufunga ndoa. Hata
aliyehitimu au awe na uzoefu wa ugonjwa wa hivyo, Msajili Mkuu anaweza, kwa leseni na
akili, kuwe na uhakikaa kuwa hakuna tumaini kwa fomu maalum, kuondoa sharti la utoaji
la kutibika au kupona kwa mlalamikiwa; (i) taarifa, kama inavyotakiwa chini ya sheria
kubadilisha dini kwa mlalamikiwa, ambapo ikiwa, tu, ameridhika kwamba watu hao
26 • Maswali na Majibu na FB Attorneys
umri wa miaka 18, au kwa ruksa maalum ya huku nikimwambia Msajili tatizo lililopo.
Mahakama, baada ya mtoto kufikisha umri wa Nina maswali mawili; moja inawezekana
miaka 18. mwanamke mzee kama yule akamrubuni
Kuhusu kurudishiwa gharama za wakati mtoto huyu wa miaka 20? Mbili, kwa kuwa
wa ujauzito, na mama wa mtoto akiwa hati zilichanwa na hivyo hakuna ushahidi
amekwishafariki, hatuna uhakika utamshtaki wa ndoa, je ndoa hii bado ni halali?
nani ili akurudishie gharama hizo. Hakuna 24 Juni 2013
uwezekano wa shtaka lako kufanikiwa dhidi
Kwa kuanzia, mwanao yupo juu ya umri
ya baba halisi wa mtoto, lakini wanasheria
wa kisheria wa kuoa, hivyo wewe ujue au
wako wanaweza kukuongoza zaidi.
usijue, bado yeye anaweza kuoa. Hata hivyo,
Swali kuhusu malezi ya mtoto linahitaji
tunaelewa hisia zako kwamba kwa umri wake
umakini zaidi. Lengo kuu la sheria ni
anaweza kuwa bado ni mdogo na hasa kuwa
kuhakikisha kwamba maslahi bora ya mtoto
katika ndoa na mwanamke ambaye amemzidi
yanazingatiwa. Kama mtoto ni wa kwako
sana umri. Ndoa ilifanyika pale walipokwenda
kweli, uwezekano ni mkubwa wa kuruhusiwa
kwa Msajili na kusaini hati zilizowekwa mbele
kumlea mtoto, baada ya kuzingatia uwezo
wako wa kumtunza na kumlea, uwezo wa yao na tunachukulia hati hizo zilishuhudiwa
kifedha, n.k. vyema. Inaonekana hilo lilifanyika hivyo
Inafahamika kwamba mtoto anaweza wakati unaingia chumbani, mwanao alikuwa
kulelewa vizuri zaidi na mwanamke kuliko tayari ameshaoa. Kuchana tu hati za ndoa
mwanamume. Hivyo, uwepo wa mama yako hakumaanishi kwamba ndoa imebatilishwa
au mwanamke mwingine kwenye familia au haikufungwa. Ndoa bado ipo na namna
yako mwenye uwezo wa kutoa mwongozo pekee mwanao anaweza kutoka kwenye ndoa
wa malezi au msaada stahiki, itasaidia sana hiyo ni kufungua talaka. Hivyo kama mwanao
iwapo kutakuwa na mgogoro juu ya malezi ya atatoa au anahitaji talaka ni uamuzi wake
mtoto. na siyo wako. Wanasheria wako wanaweza
kukuongoza zaidi.
Kuchanwa kwa hati za ndoa
Hadhi ya ndoa ya kimila
Bila mimi kujua, mwanangu wa kiume
wa miaka 20 alikuwa anatembea na Mimi na mchumba wangu ni wakristo
mwanamke ambaye anamzidi kama miaka lakini mchumba wangu anataka kwanza
15 hivi. Mwanamke huyo alifanikiwa tufunge ndoa ya kitamaduni kabla ya
kumshawishi mwanangu amuoe na ndoa ya kanisani. Je, hilo linawezekana?
walikwenda kufunga ndoa ya Serikali jijini Madhara yake ni yapi? Je, ndoa ya kimila
Dar es Salaam. Kwa bahati nzuri, dreva inatambulika Tanzania?
wangu ambaye nimekuwa nae kwa miaka 1 Julai 2013
30, ndiye aliyemwendesha mwanangu
mpaka sehemu ambayo walitakiwa kusaini Sheria ya Ndoa inatambua ndoa za
hati za ndoa. Alihisi kuna kitu hakiendi kimila, kidini na kiserikali. Ndoa za kimila
sawa na hivyo akanipigia simu. Kwa haraka ndiyo hizo unazoziita ndoa za kitamaduni;
nilikwenda na kuingia kwenye ofisi ambayo ndoa za kidini ni zile zinazofungwa kidini,
zoezi la kutia saini lilikuwa likifanyika na yaani, kiislamu, kikristo, kihindi n.k. Ndoa za
sikuamini kumbe walikuwa wameshasaini. kiserikali ni zile zinazofungwa na maafisa wa
Nilichukua hati zile na kuzichanachana Serikali walioruhusiwa. Tanzana inatambua
Watoto, Mahusiano, Sheria za Ndoa na Talaka • 29
ndoa za kimila na zina hadhi sawa na ndoa kwamba taarifa hizo ni za siri na hawawezi
nyingine zozote yaani, za kiserikali na kidini. kuzidukua/kuzivujisha kwangu. Ninawezaje
Unatakiwa kufahamu kwamba ndoa za kupata taarifa hizo kutoka kampuni ya
kimila zinachukuliwa kama ni ndoa za wake simu? Tafadhali elewa, ninahitaji kuzipata
wengi na hivyo anaweza kuoa mke zaidi bila yeye kujua. Napenda kuuliza pia, je
ya mmoja na hivyo hivyo wewe unaweza kupiga busu ni uzinzi? Je, inawezekana mtu
usiwe mke pekee. Sheria ya Ndoa inatamka anayezini na mke wangu kuunganishwa
kwamba ndoa iliyofungwa Tanganyika kwenye kesi ya talaka?
(Tanzania Bara) inaweza kubadilishwa, kama 16 Septemba 2013
mwanamume alikuwa na mke mmoja, kutoka
Kanuni za Mawasiliano (Ulinzi kwa
ndoa ya mke mmoja kwenda wake wengi,
Mtumiaji) zinatamka mwenye leseni
kwa tamko maalum lililotolewa na mume na
kutofuatilia wala kutoa maudhui ya taarifa
mke, kwamba wote kwa hiari yao wenyewe
zozote za mteja zinazopitia kwenye
wamekubali mabadiliko hayo. Tamko hilo
mfumo uliopewa leseni, isipokuwa kama
litatolewa mbele ya Jaji, Hakimu Mkazi au
inavyotakiwa na kuruhusiwa na sheria
Hakimu wa Wilaya na litakuwa la maandishi,
litasainiwa na mke na mume na mbele ya mtu inayotumika. Hivyo kampuni ya simu ipo
anayeshuhudia wakati wa kulitoa. sahihi kukuzuia kupata kumbukumbu za
Unatakiwa uelewe kwamba, hakuna ndoa simu za mke wako.
inayoweza kubadilishwa, kutoka mke mmoja Unatakiwa pia kuelewa kwamba haki ya
kwenda wake wengi na kutoka wake wengi faragha inalindwa na Katiba ya Jamhuri ya
kwenda mke mmoja kwa namna nyingine Muungano wa Tanzania. Kisheria, kampuni
zaidi ya njia ya tamko kama ilivyoelezwa hapo za mawasiliano zitawajibika kutoa taarifa hizo
juu. Hivyo kama mtaoana kwa ndoa ya kimila, kama mwenye namba ataziomba au kwa
ni lazima muibadilishe kuwa ndoa ya mke amri ya Mahakama yenye mamlaka husika
mmoja kwanza ndipo muendelee kuoana au kama polisi wanazihitaji kwa malengo ya
kanisani isipokuwa kwamba mmeo hatakiwi kiuchunguzi.
kuwa na mke mwingine kwa sababu kubadili Kama unaona ni lazima kwako kuthibitisha
kwenda ndoa ya mke mmoja hakutakuwa iwapo mke wako ni mwaminifu au siyo,
halali kama mmeo atakuwa na mke zaidi tunakushauri uwasiliane na mkeo ili aiombe
ya mmoja. Kama mtaoana kwa ndoa ya kampuni ya mawasiliano impatie taarifa
kikristo wakati ana mke mwingine, ndoa ya zake za mawasiliano ambazo unaweza
kikristo haitakuwa halali kwa sababu ndoa kuziangalia, vinginevyo, hakuna uwezekano
ya kimila itakuwa juu ya ndoa ya kikristo. kwamba Mahakama itatoa amri hiyo kwa
Tunapendekeza umuulize kwa nini anataka sababu za udanganyifu pekee. Maelezo yako
kwanza ndoa ya kimila. Pia tunashauri nyote yanayofuata ni kwamba mke wako ambaye
mumtafute mtaalam wa masuala ya ndoa. siyo mwaminifu (au mume kwa maana hiyo)
hatoi ushirikiano kwa mwenzi wake. Hilo ni
Kupata taarifa za simu kweli na kwa bahati mbaya mke na mume
Nadhani mke wangu anafanya udanganyifu wanachukuliwa tofauti pale linapokuja suala
kwa sababu wakati wote ametingwa sana la faragha.
na simu yake. Nilijaribu kupata meseji na Kuhusu swali lako la pili, iwapo kubusu
historia ya miito kutoka kampuni ya simu ni uzinzi. Kwa bahati nzuri au mbaya,
anayotumia lakini walikataa kwa sababu uzinzi haujafafanuliwa kwenye Sheria ya
30 • Maswali na Majibu na FB Attorneys
Ndoa ya Tanzania. Kupiga busu nako pia Ni kweli Sheria ya Ndoa ya Tanzania
hakujafafanuliwa kwa sababu unaweza kuwa imepitwa na wakati na hairuhusu talaka ya
na busu la mdomo, shavuni na aina nyingine maridhiano. Sheria inataka kwamba ni lazima
za busu, na baadhi yake zinategemea na aina kuwe na sababu, miongoni mwazo ni , uzinzi,
ya mila na desturi za mahala ambapo mtu tabia za kingono zisizokubalika n.k. ili uwe na
anaishi. Wakati mwingine zinaweza kuwa kitu sababu halali za kuomba talaka. Muonekano
cha kawaida bila kuchukuliwa kama ni uzinzi. au mabadiliko ya muonekano, kama ilivyo
Kwa mfano pale busu la mdomo linapochukua kwa kesi yako hapa, siyo sababu ya msingi ya
muda mrefu kidogo inaweza kuchukuliwa ni kuomba talaka na haiwezi kutolewa chini ya
dalili za wazi kwamba mahusiano ya kiuzinzi
sheria zetu.
yapo, wakati busu la shavu ni la kawaida
Kwa kuwa ndoa yako ipo chini ya miaka
siku hizi. Ni ngumu kukujibu swali lako bila
miwili, isipokuwa kama unaweza kuthibitisha
kujua aina ya busu, muda, mara ngapi, watu
ugumu wa kipekee, sheria inazuia talaka
wanaohusika n.k. Mara nyingi, ngono ya aina
yoyote huchuliwa kama uzinzi. ndani ya muda huo. Kuna kama kipindi cha
Mwisho, ni iwapo mtu anayehisiwa kupoa/mpito ambacho, kwa miaka ya sasa,
kutembea na mkeo anaweza kuunganishwa kimsingi kimepitwa na wakati.
kwenye maombi ya talaka, jibu ni ndiyo lakini Ziko juhudi za kubadilisha sheria yetu
kwa maelekezo ya Mahakama husika unaweza ya ndoa lakini kwa sasa huo ndiyo ukweli.
kumuunganisha mtu huyo kama mdaiwa Tunakushauri uwasiliane na mshauri wa ndoa
mwenza. Unaweza pia kudai fidia kutoka ili aweze kuzungumza na nyote wawili juu ya
kwa mtu huyo. Tunakushauri uwasiliane na jambo hili. Tunakutakia kila la heri.
mwanasheria wako kwa mwongozo zaidi.
Picha za harusi magazetini
Mume anafuga ndevu na kuvaa hereni
Mimi ni mtu maarufu sana na nilifunga ndoa
mbili
na kufanya harusi ya kifahari. Wakati wa
Nimeolewa na mwanamume ambaye harusi, baadhi ya mapaparazi/wapiga picha
nimekuwa kwenye mahusiano naye kwa walijipenyeza na kunipiga picha. Nilitokea
zaidi ya miaka kumi. Tulioana mwaka kwenye magazeti yote makubwa/maarufu
jana na ghafla ameamua kufuga ndefu na sasa mpenzi wangu/kimada amekasirika
na kuvaa hereni mbili, kitendo ambacho kuhusu ndoa yangu na mwanamke huyu
kinamwondolea mvuto na hivyo mpya. Je, mnaweza kunisaidia? Ninaweza
kunikera. Mwanzoni nilidhani ni utani, kuwashtaki wenye magazeti?
sasa chaguo liko wazi kati ya ndevu zake 10 Machi 2014
na talaka. Jambo hili ni la kushangaza
lakini ndiyo ukweli wenyewe. Nimekubali Hatujui ni msaada gani unahitaji kutoka
matokeo na sitaki kuendelea tena. Hata kwetu. Kinachotuchanganya zaidi ni kwamba
hivyo mwanasheria wangu anasema umeoa na bado unaendeleza mahusiano na
kupata talaka kwa sasa na kwa sababu mpenzi wako/kimada, ikiwa na maana kuwa
hizo haiwezekani. Hata hivyo, huyu ni una mahusiano ya kizinzi nje ya ndoa. Bila
mwanasheria yule yule ambaye mume kujali kama wewe ni maarufu na kama hujui,
wangu anamtumia na anaweza kuwa na uzinzi ni sababu mojawapo ya talaka na
maslahi binafsi. Je, ushauri wa mwanasheria anayepaswa kukasirika ni mke wako na siyo
huyu ni wa kweli? Tafadhali niongoze. mpenzi wako. Unatakiwa kukumbuka kiapo
9 Desemba 2013 chako kwenye ndoa na unahitaji kuonana
Watoto, Mahusiano, Sheria za Ndoa na Talaka • 31
kushiriki tendo la ndoa; au (ii) upande Kifungu cha 20 cha Sheria ya Ndoa
wowote unaugua ugonjwa wa akili au kifafa; kinazungumzia hali kama yako. Kifungu hicho
au (iii) mmoja wa wanandoa kudhihirika kinatamka kwamba iwapo mwanamume
kuwa alikuwa na ugonjwa wa zinaa; au aliyefunga ndoa ya wake wengi/mitala
(iv) mwanamke kudhihirika kuwa alikuwa anatoa tangazo la kusudio la kufunga ndoa,
na mimba ya mwanamume mwingine; mke wake, au kama ana mke zaidi ya mmoja,
au (b) mwanandoa mmoja kukataa kwa yeyote kati ya wake zake anaweza kuweka
makusudi kushiriki tendo la ndoa tangu ndoa pingamizi kwa Msajili au afisa msajili ambaye
ilipofungwa; au (c) mwanamke hajatimiza tangazo la kufunga ndoa limetolewa kwa
misingi kwamba kwa kuzingatia hali ya kipato
umri wa miaka 18 na ridhaa iliyotakiwa
cha mume, kuoa mke mwingine kunaweza
kutolewa chini ya kifungu cha 17 haijatolewa
kupelekea ugumu wa maisha usiomithilika
na Mahakama inaona kuna sababu nzuri za
kwa mke au wake zake wa sasa na watoto
kutengua ndoa. Kifungu cha 40, ndoa batilifu
kama wapo; au mwanamke anayekusudia
itaendelea kuwa ndoa halali hadi hapo
kumuoa ni mwenye tabia mbaya au anaugua
Mahakama itakapoitengua. magonjwa ya kuambukiza au ya zinaa au
Kutokana na maelezo hapo juu, anaweza kuleta ugomvi/kutoweka utulivu.
unaweza kuona kwamba kwa kuwa mume Mara pingamizi linapotolewa kwa Msajili au
ameshindwa kushiriki tendo la ndoa, ndoa afisa msajili, ndoa hiyo haitafungwa mpaka
itakuwa batilifu, yaani, inaweza kutenguliwa pingamizi hilo litakapoamuliwa na Baraza la
na hivyo unaweza kuomba talaka. Sheria Usuluhishi wa Ndoa.
haisemi kwamba ndoa hiyo ni batili, yaani Tunashauri wewe na mke mwenzio
haipo tokea mwanzo, ikiwa na maana kufuata njia iliyoelezwa hapo juu. Hili pia
kwamba huwezi kuomba talaka. Wanasheria linaweza kutatuliwa na wazee kwenye ukoo
wako wanaweza kukuongoza zaidi. wako. Vinginevyo unaweza kuwasiliana na
mshauri wa masuala ya sheria za familia kwa
Kukataa kuongeza mke mwingine hatua stahiki.
katika ndoa ya mitala
Ndoa za jinsia moja nchini Tanzania
Mimi ni mmoja wa wake wawili wa
mwanamume fulani. Mume anatutegemea Tumefunga ndoa ya jinsia moja na tunataka
sana ili kuweza kuishi. Mimi mwenyewe kutembelea Tanzania wakati wa siku za
nafanya kazi kwa bidii kwa ajili ya familia mapumziko. Ninataka kujua, je ndoa za
yetu. Cha kushangaza, mume wetu anataka jinsia moja zinaruhusiwa nchini Tazania?
kuongeza mke mwingine. Tumemkatalia 31 Machi 2014
lakini anasisitiza kwamba sisi sote
tumeolewa kwenye ndoa ya mitala na Ndoa za jinsia moja haziruhusiwi
hivyo hatuwezi kumzuia. Nina hofu juu ya kabisa nchini Tanzania. Sheria ya Ndoa
ndoa yake mpya kwa sababu mwanamke inatambua ndoa kama ni muunganiko
anayetaka kumuoa afya yake inatiliwa wa mwanamke na mwanamume na siyo
mashaka. Tumetonywa kwamba tangazo mwanamume na mwanamume mwingine.
la kusudio la kufunga ndoa limeshatolewa Jambo hilo pia ni geni kwenye tamaduni
kwenye ofisi ya Msajili. Je, kuna namna ya za kitanzania na linachukuliwa kuwa ni
kuepuka au kuzuia ndoa hii? utovu/ukosefu wa maadili. Mahusiano kama
31 Machi 2014 hayo ya mwanamume na mwanamume
Watoto, Mahusiano, Sheria za Ndoa na Talaka • 33
yanaadhibiwa vikali chini ya Sheria ya Kanuni nyumba yangu. Hata hivyo, benki inataka
ya Adhabu. ridhaa ya mke wangu na haitaki kuelewa
Ingawa hauzuiliwi kuja nchini Tanzania, kwamba mimi na mke wangu tumetengana.
lakini tunakushauri kuwa makini na tabia Nahitaji sana mkopo huu. Nifanye nini?
na vitendo vyako. Unaweza kuwasiliana na 12 Mei 2014
mwanasheria wako kuhusu nini cha kufanya
Sheria ya Ndoa inatambua kwamba
na cha kutokufanya.
ingawa mali inaweza kuwa kwa jina la
Akaunti ya pamoja ya mke na mume mwenza mmoja, mwenza mwingine anaweza
kuwa na mchango katika kupatikana,
Mimi na mume wangu tumefungua akaunti kusimamia na/au kulinda mali hiyo ingawa
ya pamoja benki Jijini Dar. Mimi pekee maslahi yake kwenye mali hiyo yanaweza
ndiye ninayefanya kazi kwenye familia yasiwe yamesajiliwa. Kuna kesi moja maarufu
na mume wangu hafanyi kazi yoyote na ambapo Mahakama ilikuwa na maoni
anatumia muda wake mwingi kuangalia
kwamba hata kazi za ndani/nyumbani
televisheni. Kwa bahati mbaya nimekuwa
zinazofanywa na mke zinachukuliwa/
nikiweka fedha kwenye akaunti ya pamoja
zinahesabika kama mchango wake katika
kwa muda wa miaka 7 na sasa ninahitaji
kupatikana na kusimamia mali ya familia.
kuchukua fedha zangu. Mume wangu
Sheria ya Ardhi inazitaka taasisi za fedha
anakataa kusaini fomu ya kuchukua fedha
kupata ridhaa ya mwenza kabla ya kukubali
iwapo sitampatia nusu ya fedha hizo. Benki
haitaki kutoa fedha kwangu peke yangu. mali ya ndoa kuwa dhamana ili kulinda
Ninaweza kuishtaki benki? maslahi ya mwenza mwingine. Sheria ya Ndoa
inatambua kwamba wanandoa wanaweza
21 Aprili 2014
kuwa wametengana, ama kwa amri ya
Upo kwenye hali tatanishi sana. Umeweka Mahakama au kwa hiari yao wenyewe. Hata
fedha zako ulizozipata kwa shida kwenye hivyo, kutengana siyo kuachana na wakati
akaunti ya pamoja. Kisheria, akaunti ya wanandoa wanapokuwa wametengana,
pamoja ni deni la wamiliki wote wa akaunti hakuna mgawanyo wa mali unaofanyika,
ya pamoja. Kuna kesi moja iliwahi kuamuliwa ikiwa na maana kwamba, haki za mke wako,
kwamba sababu tu kwamba mmoja wa kama zipo, kwenye nyumba yenu bado zipo.
wamiliki wa akaunti hachangii hakumzuii mtu Isipokuwa kama umepata talaka, hakuna
huyo kunufaika. Benki ipo sahihi kwamba namna yoyote halali ya kutatua jambo hili
fedha zinamilikiwa kwa pamoja na haziwezi isipokuwa kwa kumtafuta mke wako na
kutolewa kwako peke yako. Hatuoni namna kupata ridhaa yake kwa ajili ya kuweka
ya kufanikiwa iwapo utaishtaki benki. Hata dhamana nyumba yako. Kama hana maslahi
hivyo unaweza kuwasiliana na wanasheria yoyote kwenye mali, hatuoni kwa nini akatae
wako kwa mwongozo zaidi. kutoa ridhaa. Namna nyingine ni kutafuta
dhamana nyingine kama vile mali binafsi au
Idhini ya mwenza wakati wa kutengana dhamana ya mtu mwingine. Mwanasheria
Nilikwenda benki kuomba mkopo na wako anaweza kukuongoza zaidi.
niliulizwa iwapo nimeoa. Niliwaarifu Daktari anaruhusu uzinzi
nimeona lakini tumetengana kwa miaka
minne sasa. Benki ilikubali kunipa mkopo Daktari wangu anasema kwamba nina
kwa sharti kwamba niweke dhamana moyo dhaifu na kwamba ili afya yangu
34 • Maswali na Majibu na FB Attorneys
kabla ya miezi 12 ya maombi awe ameishi Kuhusu talaka, Sheria ya Ndoa hairuhusu
ndani Jamhuri ya Muungano kwa muda talaka bila sababu za msingi. Kwa bahati
ambao ni wastani wa miaka isiyopungua mbaya kupoteza kwako mvuto wa mapenzi
saba; na (c) anajua vizuri lugha ya Kiswahili au kwa mume wako siyo moja ya sababu
Kiingereza; na (d) ni mtu mwenye tabia nzuri; iliyoelezwa na sheria. Kunenepa na kuzeeka
(c) kwa kuzingatia historia yake, anaonesha siyo sababu za kuzitumia pia. Kama ingekuwa
kuwa na nafasi ya kuwa na mchango mkubwa ni uzinzi, kushindwa kufanya mapenzi/ngono
kwa maendeleo ya taifa katika nyanja ya au ukatili, hapo sheria ingekuruhusu kuomba
uchumi na sayansi. talaka. Tunakushauri kuwasiliana na mshauri
wa ndoa ili kuokoa ndoa yako.
Kupoteza mvuto wa mapenzi Unatakiwa kufikiri zaidi hatua zako kwa
Niliolewa na mwanamume mwenye mvuto sababu inawezekana wakati huu ndiyo
kwa kadri mwanamume anatakiwa kuwa. mume wako anakuhitaji zaidi kuliko wakati
Kwa bahati mbaya benki anayofanyia kazi mwingine wowote. Isije kuonekana kama
inamfanyisha kazi mpaka usiku sana, eti tunahubiri, usisahahu viapo vyenu vya ndoa,
vitabu vya benki vinatakiwa kufungwa ndo na usisahahu pia kwamba hata wanawake
aondoke. Hivi sasa mume wangu ana kilo nao mara nyingi wanaongezeka uzito.
zaidi ya 150, mara mbili ya uzito wa awali,
na hanivutii tena. Nimepoteza mvuto wa Mume analazimisha kumpa mtoto jina
mapenzi naye. Ninawezaje kumpa talaka Mimi nimeolewa na ninaishi Dar. Mimi na
haraka mume wangu kwa sababu simuoni mume wangu ni wasomi na tunafanya
akipungua uzito? Amejaribu mara nyingi kazi Serikalini. Mungu ametubariki kupata
lakini ameshindwa. Benki inapata faida watoto watatu na hivi karibuni tunatarajia
kubwa, mume wangu hapati kitu, wakati mtoto wetu wa nne, kwa kuwa ni mjamzito.
wafanyakazi wengine wa benki wanapata Kwa bahati mbaya mume wangu ndiye
ujira mnono. Je, ninaweza kuishtaki benki pekee aliyewapa watoto wetu majina
pia? na amekuwa akiwapatia majina ya ukoo
11 Agosti 2014 wake. Ameshamchagulia jina hata mtoto
tunayemtarajia, na kupelekea kubishana
Tunaanza na benki na tunaamini kwamba
kwa kuwa na nami nataka kumpatia jina
haki yako ya kuishtaki benki ipo mbali sana
mtoto huyu. Je, kuna sheria inayosimamia
na hivyo huwezi kuishtaki. Hata hivyo, mume watoto kupewa majina? Tafadhali niongoze.
wako anaweza kuishtaki ila anatakiwa kuwa
29 Septemba 2014
na sababu za msingi sana za kuegemea. Kwa
mfano, je analipwa malipo ya muda wa ziada Sheria ya Mtoto, Na. 21 ya 2009 chini
kwa kazi anazozifanya mpaka saa za usiku? ya kifungu cha 6 inaeleza kwamba mtoto
Anafanya kazi kwenye mazingira salama? Je, atakuwa na haki ya kupewa jina, utaifa na
benki inamjali kwa mujibu wa mkataba wa kuwafahamu wazazi wake wa kumzaa na
ajira? Je, kuna mazingira ya ndani ya benki ndugu/jamaa wengine wa ukoo/familia
ambayo yanachangia kuongezeka uzito kwa tandaa. Inaeleza zaidi kwamba, mtu
mfano kuwapatia wafanyakazi vyakula visivyo hatamnyima mtoto haki yake ya jina, utaifa
bora? Unahitaji kuwa na uelewa wa haya na kufahamu wazazi wake wa kumzaa na
yote ili kuweza kuelewa haki ya mume wako ndugu zake wengine kwa kuzingatia masharti
kushtaki. ya sheria nyingine. Pia, kila mzazi au mlezi
36 • Maswali na Majibu na FB Attorneys
Sheria za Biashara,
Migogoro ya Kibiashara
na Haki Miliki
hicho kiliandikwa kwa maneno. Kwa kawaida na maeneo. Mamlaka ndiyo mmiliki wa
kwenye tafsiri, maandishi ya maneno makaburi na ndiyo yenyewe inayoamua tozo
yanasimama, ikiwa na maana kama kiasi za huduma ambazo zipo kwenye makaburi
kiliandikwa milioni 110 lakini maneno haya. Chini ya Kanuni hizo, hakuna maiti
yakasomeka milioni kumi na moja, basi ya mtu yeyote itakayoruhusiwa kuzikwa
uwezekano ni kwamba Mahakama itatafsiri sehemu nyingine yoyote nje ya maeneo hayo,
kiasi cha Shilingi milioni kumi na moja na si isipokuwa tu kwa kibali maalum kutoka kwa
mamlaka husika. Hii ina maana kwamba
milioni 110 (za tarakimu).
mabaki yote ya marehemu yanatakiwa
Kilichoelezwa hapo juu kinaweza kuleta
kuzikwa kwenye makaburi yaliyotengwa.
shida kama usambazaji wa huduma ulikuwa
Sheria ipo kimya iwapo mtu binafsi
si wa kiwango maalum. Unaweza kupitia
anaweza kumiliki makaburi yake binafsi
majadiliano yenu yote mliyoyafanya na kwa malengo ya kibiashara. Hata hivyo, kwa
kuyafanya sehemu ya ushahidi ili kuonesha kuwa inawezekana kwa jamii fulani ya dini
kwamba huduma mliyokubaliana ilikuwa ni kuwa na makaburi yake, hatuoni kwa nini
milioni 11 na siyo milioni 110. mtu binafsi asiruhusiwe kuwa na makaburi
Kwa kawaida Mahakama haiingilii kile yake iwapo makaburi hayo yapo kwenye
pande zimekubaliana, isipokuwa kama kuna maeneo ambayo yanaendana na mipango
uharamu/ubatili kwenye mkataba. Kama ya maendeleo ya miji kwenye mji husika.
nyaraka zako ziko sawa, hatuoni kwa nini Tunakushauri uwasiliane na mamlaka za
Mahakama isiamue upande wako. Wanasheria manispaa kwa ufafanuzi na muongozo zaidi.
wako wanaweza kukuongoza zaidi. Tozo yako ya pango ya kila mwaka
inafurahisha sana. Unachojaribu kushawishi
Sehemu za mazishi/makaburini ni kwamba utaingia mkataba na familia
ya marehemu ambapo utakuwa unapata
Kadiri muda unavyokwenda, gharama za
kiasi fulani cha pesa kila mwaka, ni kama
kupata sehemu za mazishi ya binadamu
kwenye makaburi ya Jiji zinazidi kumpangisha marehemu ili abaki kaburini.
kuongezeka. Ni nani anamiliki makaburi Tunajaribu kufikiria utafanya nini kama
haya? Je, mtu binafsi anaruhususiwa kuwa ikitokea hujalipwa, tuna hakika huwezi
na makaburi yake binafsi kwa malengo ya kufukua kaburi ili utoe mwili wa marehemu
kibiashara? Ninataka kuanzisha makaburi kwa sababu, kwa kufanya hivyo, utakuwa
yangu binafsi ambapo familia ya marehemu unavunja sheria. Angalia kwanza mpango
italipa kodi ya pango kila mwaka, ambayo wako wa biashara kwenye suala hili kabla ya
itajumuisha utunzaji wa makaburi yote kwa kuanza.
ujumla.
Mkataba wa kimataifa wa mauzo ya
16 Aprili 2012 bidhaa
Chini ya Kanuni za Serikali za Mitaa Niliagiza bidhaa kutoka kwa muuzaji
(Mamlaka za Miji) (Udhibiti Maendeleo) mchina nchini China ambazo ziliharibika
za 2008 ambazo zimetokana na Sheria ya sana zikiwa njiani kuja Tanzania. Mkataba
Serikali za Mitaa (Mamlaka za Miji), mamlaka ulikuwa ni muuzaji anawajibika hadi bidhaa
pekee iliyopewa jukumu la kuteua au zitakapopakiwa kwenye meli kwa ajili ya
kutenga maeneo kwa ajili ya mazishi ni miji, kusafirishwa (FOB). Tatizo pekee ni kwamba
manispaa na majiji yanayohusika kutegemea hatuna hakika ni wapi tufungue shauri -
44 • Maswali na Majibu na FB Attorneys
Tanzania au China. Swala hili limetolewa Turudi kwenye swali lako. Kwanza uliuliza
taarifa kwenye ubalozi wa China ambao kama unaweza kulitolea taarifa Umoja wa
wanatupa ushirikiano lakini wanasema Mataifa. Jibu ni kwamba unaweza usifanikiwe
hili ni suala la kibiashara ambalo linahitaji kwa sababu UNICITRAL ilisaidia kuandaa
utatuzi wa pande husika. Makubaliano sheria, lakini haisimamii sheria hii moja kwa
yetu yanaongozwa na Mkataba wa Umoja moja.
wa Mataifa wa Mauzo ya Bidhaa (CISG). Swali lako la pili ni unawezaje kuendelea.
Je, tunaweza kufungua kesi Umoja wa Kama kuna njia zozote za kutatua mgogoro
Mataifa. Tafadhali tushauri tunaendeleaje. huu kwa amani bila kwenda Mahakamani
Mwanasheria wetu anasema tunatakiwa au usuluhishi, unatakiwa kuzingatia sana
kufungua shauri hapa. chaguo hilo. Katika utatuzi wa mgogoro kwa
23 Aprili 2012 njia mbadala, kwa kawaida kutakuwa na
kutoa na kuchukua (kuuma na kupuliza) na
Mkataba wa Kimataifa wa Mauzo ya Bidhaa,
unatakiwa kuwa mwepesi kubadilika wakati
ambao wakati mwingine unaitwa Mkataba
wa majadiliano.
wa Vienna, ni Mkataba unaosimamia biashara
Tuchukulie mkataba hauna kipengele
za mauzo ya bidhaa kimataifa. Mpaka kufikia
cha usuluhishi na njia mbadala ya utatuzi
Agosti 2010 ulikuwa umeridhiwa na nchi
imeshindikana, hapo huna uchaguzi
wanachama 77 na hivyo kuwa na idadi kubwa
mwingine zaidi ya kuendelea Mahakamani.
ya nchi wafanyabiashara, na kuufanya kuwa
Swali linalofuata ni utamshtaki wapi muuzaji.
ni miongoni mwa sheria zenye mafanikio
Hatujaona mkataba wa mauzo lakini kwa
makubwa sana. Tanzania haijaridhia mkataba
maoni yetu unatakiwa kufungua shauri
huu na hivyo hauwezi kutumika moja kwa
nchini China kwa sababu ni rahisi tu kwamba
moja hapa.
iwapo utashinda kesi utakuwa kwenye nafasi
Mkataba huu unaepusha matatizo ya
nzuri ya kutekeleza hukumu hiyo dhidi ya
kuchagua sheria za kutumika kwa sababu
msambazaji wa kichina. Kama utashtaki
wenyewe unatoa kanuni zinazokubalika,
Tanzania, hukumu iliyotolewa Tanzania haina
ambapo nchi wanachama, Mahakama na nguvu ya kisheria nchini China kwa kuwa
wasuluhishi wanaweza kuzitumia. Mkataba hakuna makubaliano ya utekelezaji hukumu
huu uliendelezwa na Tume ya Umoja wa kati ya China na Tanzania. Ni dhahiri upo
Mataifa inayoshughulika na Maendeleo ya kwenye wakati mgumu hivyo unatakiwa
Sheria za Biashara za Kimataifa (UNCITRAL) na kuonana na wanasheria wa Tanzania na China.
ulianza kutumika mwaka 1988.
Kupitishwa kwa mkataba huu kunatoa Hasara imesababishwa na zima moto,
sheria sawa na za kisasa kwa mauzo ya bidhaa bima inakataa dai langu
kimataifa ambazo zitatumika popote ambapo
Nilikuwa namiliki mgahawa mzuri na wa
mikataba ya mauzo ya bidhaa itafanyika
hali ya juu Dar es Salaam ambao uliungua
kwenye nchi wanachama. Katika mazingira kwa moto. Nashukuru zimamoto walikuja
hayo Mkataba huu utatumika moja kwa lakini moto ulikuwa mkubwa sana na
moja ili kuepuka kutumia kanuni za sheria ulisababisha hasara kubwa. Kampuni yangu
ya kimataifa binafsi ili kuchunguza sheria ya bima inataka kunilipa sehemu ndogo ya
zinazotumika kwenye mikataba, na hivyo dai halisi, inataka kupunguza kiasi hicho
kusaidia kuongeza uhakika na usanifu wa kutokana na uharibifu uliosababishwa na
mauzo ya bidhaa kimataifa. maji ya zima moto. Wakala wangu anasema
Sheria za Biashara, Migogoro ya Kibiashara na Haki Miliki • 45
Kwa madhumuni ya swali hili, tunachukulia zetu kwa sababu tuliwalipa pesa zao
kwamba kampuni yako imesajiliwa kwa jina zote? Muuzaji anasema tusome mkataba
hilo hilo chini ya Sheria ya Makampuni kama na siyo barua-pepe tulizotumiana kabla
ilivyo kwenye Sheria ya Alama za Biashara na ya mkataba. Barua-pepe zinasema wazi
Huduma. Wafanyabiashara wengi wanaamini kwamba mashine ni ya kisasa na imetumika
kwamba mara wanaposajili jina chini ya sheria kwa miezi michache tu. Tafadhali tuongoze.
ya Makampuni basi haina haja ya kusajili jina 16 Julai 2012
hilo kama nembo ya biashara. Wanakosea. Ni
Hii siyo mara yetu ya kwanza kusikia
rahisi zaidi kusajili sehemu zote mbili kuliko hospitali za ndani kutapeliwa na kununua
kupigana vita kama unayotaka kuianza. mashine za kitabibu zilizopitwa na wakati.
Ili kuondoa nembo ya biashara katika Ingawa tunakuonea huruma, maswali yako
orodha ya usajili, unahitaji kufanya maombi hayako moja kwa moja. Hivyo tunahitaji
maalum kwa Msajili wa Nembo za Biashara. kuona mkataba mlioingia ili tuweze
Utahitaji kutoa maelezo ambayo yanajikita kuwaongoza. Hata hivyo, tutajaribu kujibu
kwenye kesi yako. Mmiliki wa nembo maswali yako kwa ujumla.
iliyosajiliwa naye anayo haki ya kujibu madai Kwanza, kwenye mkataba huwa kuna
yako kabla hamjasikilizwa. ahadi na masharti/hakikisho. Mnahitaji kuona
Sababu unazoweza kuzitoa kwenye ahadi na masharti ambayo msambazaji
maombi yako ni pamoja na wewe kuwa wa aliwapatia. Moja ya hakikisho huwa ni
kwanza kuanza kuitumia, ushindani usio kwamba mashine lazima iwe kwenye hali
wa haki, na kuchanganya wateja. Ni vyema nzuri. Kama hakuna kipengele hicho na
kumtumia mtaalam wa nembo za biashara ili mkanunua mashine kama ilivyo, basi itawawia
aweze kukuongoza kwenye mchakato huu. vigumu kurudishiwa pesa zenu.
Pili, mnaweza kuangalia kama mkataba
Kutapeliwa na muuzaji wa kifaa cha unasema kwamba mkataba huu ni mkataba
kupima mionzi kamili kati ya pande zote kuhusiana na
masuala yaliyomo ndani yake na unachukua
Muuzaji wa vifaa vya kitabibu aliiuzia
nafasi ya makubaliano mengine ya aina
hospitali yetu mashine ya matibabu kwa
yoyote nje ya mkataba, kama yapo.
njia ya mionzi (CT-scan) ambayo ni ghali
sana. Tuliifunga na muuzaji alituhakikishia Wanahisa tajiri, kampuni masikini
kwamba inafanya kazi vizuri sana. Ilichukua
wiki mbili kuifunga na tulitekeleza masharti Kuna kampuni kubwa sana na yenye
yote ya ufungaji. Wakati wahandisi wa mafanikio makubwa hapa Tanzania kiasi
kigeni walipotukabidhi, ndani ya masaa kwamba imefungua makampuni mengine
mawili tu tuliwaarifu wahandisi hao na madogo kwa kila biashara inayofanya.
muuzaji kwamba mashine haifanyi kazi Ninaiuzia bidhaa moja ya hizi kampuni
vizuri kama walivyotuhakikishia. Sisi siyo ndogo, na mara zote inasumbua kulipa.
hospitali kubwa na ilituchukua miaka Maswali yangu mawili: inawezekanaje
mingi kuweka akiba ili kununua mashine kampuni ndogo ishindwe kulipa madeni
na mwishowe tumetapeliwa. Baada ya yake wakati wanahisa wake ni makampuni
kuchunguza tuligundua kwamba mashine makubwa na inamilikiwa na watu wenye
ile kwa sasa haitumiki kwani imeshapitwa pesa? Pili, je, ninaweza kudai pesa zangu
na wakati siku nyingi kutokana na teknolojia moja kwa moja kwa wanahisa?
mpya. Tufanye nini ili kurudishiwa pesa 29 Oktoba 2012
Sheria za Biashara, Migogoro ya Kibiashara na Haki Miliki • 47
kwamba (a) tuzo imebatilishwa kwenye Ikiwa uliingia kwenye aina hiyo ya
nchi ilikotolewa; au (b) mtu ambaye tuzo “makubaliano ya kutenganisha” na benki
inatakiwa kutekelezwa dhidi yake hakupewa yako, hapo benki inavunja wajibu wake. Hata
taarifa za usuluhishi kwa muda wa kutosha hivyo, kwa tujuavyo mazoea ya soko nchini
kumwezesha kupeleka utetezi wake au Tanzania na kwingineko, hatujawahi kukutana
alishindwa kutokana na sababu za kisheria na benki inayopokea fedha rundo na kuanza
na hakuwakilishwa vyema; au, (c) tuzo kuzitenganisha kabla ya kuziweka. Uhusiano
haijajibu maswali yote yaliyowasilishwa wa kawaida wa benki ya mteja ni kwa benki
au inamaamuzi juu ya mambo ambayo kulinda fedha zako. Unapaswa kushauriana na
yapo nje ya makubaliano ya usuluhishi: wanasheria wako lakini hakuna uwezekano
Isipokuwa kama tuzo haijajibu maswali yote wa kuiwajibisha benki.
yaliyowasilishwa Mahakama inaweza, ikiona
vyema, ama kuahirisha utekelezaji wa tuzo Kuvunja mkataba
au kuamuru utekelezaji wake kwa masharti Ninataka kuvunja mkataba ambao niliingia.
ya kutoa dhamana kwa mtu anayeomba Ni sababu gani za kisheria ambazo
kutekeza tuzo hiyo kama Mahakama itaona ninaweza kuzitumia ili kuvunja?
inafaa. (3) Kama mtu anayepinga utekelezaji 8 Julai 2013
wa tuzo ya kigeni anathibitisha kwamba kuna
sababu zaidi ya kutokuwepo kwa masharti Mikataba inatakiwa kuheshimiwa na
yaliyoainishwa kwenye aya (a), (b) na (c) ya sheria inakusudia kuhakikisha kwamba pande
kifungu kidogo (1) cha kifungu hiki, au uwepo zinazoingia mkataba zinaheshimu kusudio
wa masharti yaliyoainishwa kwenye aya ya (b) la mkataba ili kuhakikisha kwamba biashara
na (c) ya kifungu kidogo (2) cha kifungu hiki hazianguki. Sheria ya Mikataba, hata hivyo,
kinachompa haki ya kupinga uhalali wa tuzo, inawapa wahusika katika mkataba sababu
Mahakama inaweza, kama itaona inafaa, ama nyingi za kuvunja mkataba ikiwa tu sababu
kukataa kutekeleza hukumu ama kuahirisha hizo ni halali. Unaweza kuvunja mkataba
usikilizaji hadi kupita kwa muda ambao kama uliuingia kwa shurutisho, kudanganywa,
Mahakama itaona unafaa. Kabla hujajiamini yaani upande mwingine ulikuficha mambo ya
kupita kiasi kuhusu maoni yako, unatakiwa msingi kuhusu mkataba, ubatili wa mkataba
umtafute mwanasheria wako akuongoze. au kiini cha mkataba, kukosea jambo, yaani
akili za pande za mkataba hazikuendana,
Benki haifuati maagizo kama ni mdogo/mtoto, yaani yupo chini
ya miaka 18, kuvunja masharti ya mkataba,
Ninauza vocha za simu na kuweka
fedha zangu kwenye benki moja kubwa masharti ya awali hayakutekelezwa, n.k.
huko Mtwara. Ninapokwenda benki, Tunashauri mwanasheria wako akuongoze
nategemea msarifu kutenganisha noti za kwenye mkataba wako kabla hujafanya
Shilingi 500, 1000, 2000 na 5000. Tatizo chochote.
ambalo linanikabili kwa sasa ni kwamba
Kukodisha alama ya biashara
meneja mpya ameniambia nizitenganishe
mwenyewe kwa sababu inampotezea Ninamiliki alama fulani ya biashara ambayo
muda msarifu. Nashindwa kuelewa kwa inakua sokoni. Nimefuatwa na wageni
nini benki haitaki kufanya kazi yake. Je, kutoka nje ya nchi ambao wanataka
ninaweza kuishtaki benki? kutumia alama yangu ya biashara na
3 Juni 2013 wameniomba niwauzie. Sitaki kuuza alama
52 • Maswali na Majibu na FB Attorneys
sahihi, kwamba: “Kadiri vikwazo vya biashara mwaka mmoja sasa hawajanilipa. Kiasi
vinavyokuwa vingi, ndivyo biashara hiyo ninachowadai hivi sasa kinakaribia
inavyotegemewa kutoa faida kubwa”. mamilioni ya Dola na nimekuwa napewa
ahadi hewa. Nilitoa onyo la mwisho kwa
Upande mwingine kushindwa kumteua mamlaka husika lakini niliambiwa niende
msuluhishi kuonana na mtu mkubwa ambaye mara
ya kwanza aliniambia nitalipwa, lakini
Tupo kwenye mgogoro na upande mwingine
baada ya kujibu kwamba siamini jambo
ambapo mkataba unatoa usuluhisi wenye
hili na kwamba nitasitisha usambazaji
wasuluhishi watatu. Mimi nimeshamteua
na kuwashtaki, alinitishia kwamba kama
msuluhishi wangu lakini upande mwingine
nitafanya hivyo, nitashtakiwa chini ya Sheria
unapiga chenga/unachelewa kumteua
ya Makosa ya Uhujumu Uchumi. Kwa ufupi
msuluhishi wake kwa miezi 2 sasa. Je, nifanye
alisema kwamba chini ya sheria za Tanzania,
nini?
hasa sheria hii, bidhaa hizi ni muhimu
3 Februari 2014 kwenye mahospitali na sina hiari zaidi ya
Kifungu cha cha Sheria ya Usuluhishi kuendelea kuzisambaza. Pia ameniambia
kinaeleza wazi kwamba pale mkataba kwamba kosa hili halina dhamana. Nifanye
nini?
unaposema mgogoro utasuluhishwa na
wasuluhishi watatu, kila upande kuteua 3 Februari 2014
msuluhishi mmoja na msuluhishi wa watatu Hii ni mara yetu ya kwanza kusikia staili
kuteuliwa na wasuluhishi wawili walioteuliwa hiyo juu ya wajibu wa kulipa kimkataba. Kama
na pande mbili, isipokuwa kama kutakuwa alichokisema afisa huyo ni kweli, basi muuzaji
na nia tofauti – kama upande mmoja yeyote wa vitu muhimu kwa uchumi, iwe
umeshindwa kumteua msuluhishi ndani nishati, maji, au ulinzi hawezi kushtaki wala
ya siku saba baada ya upande mwingine kudai. Na hakuna mtu atakayekuwa tayari
kumteua msuluhishi wake, na ameupatia kufanya biashara na Serikali ya Tanzania na
upande unaokaidi notisi ya kufanya uteuzi, itakuwa inakiuka misingi muhimu ya sheria za
upande ulioteua msuluhishi unaweza mikataba.
kumteua msuluhishi huyo kuwa msuluhishi Kwa kujibu swali lako, tukichukulia
pekee kwenye mgogoro na tuzo ya umetupatia maelezo sahihi, hakuna
msuluhishi huyo itazibana pande zote mbili kinachokuzuia kusitisha huduma, kudai malipo
kama kana kwamba aliteuliwa kwa idhini na kushtaki kwa mujibu wa mkataba wa
ya pande zote. Hivyo, kwa kuwa upande uuzaji. Uhujumu uchumi umeelezewa chini
mwingine hauteui msuluhishi wake, unaweza ya sheria na unahusu vitendo vilivyofanyika
kuendelea na msuluhishi mmoja na tuzo bila sababu za msingi na kwa malengo ya
itaubana upande wa pili bila kujali kwamba kuzorotesha uchumi au maslahi ya Tanzania
kipengele cha usuluhishi kilikuwa kinatamka au vinavyoweza kuharibu, kuzuia au kuingilia
wasuluhishi watatu. Mwanasheria wako utoaji wa hudumu muhimu au uendeshaji
anaweza kukuongoza zaidi. wake.
Kutokana na tafsiri hiyo, huwezi kushtakiwa
Kutishiwa uhujumu uchumi
chini ya sheria hii kwa kuwa unadai kihalali
Mimi ni muuzaji wa bidhaa za madawa fedha zako chini ya mkataba wa uuzaji/
muhimu pamoja na mashine kwenye usambazaji. Kama ungekuwa unafanya hivyo
baadhi ya hospitali za Serikali na kwa kinyume na sheria kwa lengo la kuzorotesha
54 • Maswali na Majibu na FB Attorneys
uchumi au maslahi ya Tanzania, sheria hiyo fedha za kulipa? Je, Serikali inazingatia kwa
ingetumika. kiasi gani usuluhishi?
Kuhusu dhamana, tafadhali elewa 17 Februari 2014
kwamba hili ni kosa lenye dhamana. Hata
hivyo, dhamana haitatolewa kwenye Serikali inaingia mikataba mingi tu
mazingira yafuatayo: (a) kama inaonekana ambayo usuluhishi ni njia mojawapo
kwamba mtuhumiwa hapo awali aliwahi inayotumika kutatua migogoro. Tanzania pia
kuhukumiwa kwa kifungo cha miaka inayozidi imeridhia mikataba ya kimataifa inayotambua
mitatu; (b) kama mtuhumiwa hapo awali utekelezaji wa tuzo zinazotokana na
aliwahi kupewa dhamana na Mahakama usuluhishi.
na alishindwa kutii masharti ya dhamana au Kifungu cha 30 cha Sheria ya Usuluhishi
alitoroka; (c) kama mtuhumiwa ameshtakiwa kinatoa masharti ya utekelezaji wa tuzo
kwa kosa la uhujumu uchumi linalodaiwa za kigeni kama ifuatavyo; (1) Ili tuzo
kufanyika wakati mtuhumiwa ameachiwa ya kigeni iweze kutekelezwa chini ya
kwa dhamana na Mahakama; (d) kama sehemu hii, ni lazima: (a) iwe imetokana
itaonekana mbele ya Mahakama kwamba na mkataba wa usuluhishi ambao ni
ni muhimu mshtakiwa awekwe mahabusu halali chini ya sheria iliyouongoza; (b)
kwa ulinzi au usalama wake; (e) kama kosa imetokana na baraza lililoundwa chini ya
ambalo mtu anashtakiwa nalo linahusu
makubaliano na liliundwa kwa namna
mali yenye thamani inayozidi Shilingi
pande zilivyokubaliana; (c) imetolewa kwa
milioni kumi isipokuwa kama mtu huyo
kuzingatia sheria zinazoongoza usuluhishi
ataweka dhamana ya mali inayolingana
kiasi cha kuuwezesha upande wowote
na nusu ya thamani ya mali iliyohusika na
kuchukua hatua muhimu kubatilisha tuzo
inayobaki imewekewa dhamana; na (f) Kama
ameshtakiwa kwa kosa lililo chini ya Sheria ya kwenye chombo chenye mamlaka; (d)
Madawa Hatarishi. imekamilika kwenye nchi ilikotolewa; na (e)
inahusu masuala ambayo ni halali kufanyiwa
Utekelezaji wa tuzo ya usuluhishi nchini usuluhishi chini ya Sheria za Tanzania na
Tanzania utekelezaji wake ni lazima uwe haukinzani
Tupo kwenye majadiliano na Serikali na sera ya umma au sheria za Tanzania. (2)
kuhusu mradi wenye thamani ya mabilioni Kwa kuzingatia masharti ya kifungu kidogo
ya Dola ambao tunataka uwe na kipengele hiki, tuzo ya kigeni haitatekelezwa chini ya
cha usuluhishi kinachoruhusu kutumia sehemu hii kama Mahakama imeridhika
ama sheria za Kituo cha Kimataifa cha kwamba (a) tuzo imebatilishwa kwenye
Utatuzi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) nchi ilikotolewa; au (b) mtu ambaye tuzo
au Mahakama ya Kimataifa ya Biashara inatakiwa kutekelezwa dhidi yake hakupewa
(ICC). Je, Serikali ya Tanzania inakubali
taarifa za usuluhishi kwa muda wa kutosha
kufanya usuluhishi na kama jibu ni ndiyo,
kumwezesha kupeleka utetezi wake au
je tuzo husika inaweza kutekelezwa
nchini Tanzania? Ni sababu zipi zinazoweza alishindwa kutokana na sababu za kisheria
kutumika kukataa tuzo ya usuluhishi na hakuwakilishwa vyema; au (c) tuzo
ya kigeni? Kama tukiishinda Serikali, je haijajibu maswali yote yaliyowasilishwa
inaweza kudai kwamba tuzo inakwenda au inamaamuzi juu ya mambo ambayo
kinyume na sera ya umma hasa ikiwa haina yapo nje ya makubaliano ya usuluhishi:
Sheria za Biashara, Migogoro ya Kibiashara na Haki Miliki • 55
Isipokuwa kama tuzo haijajibu maswali yote hili siyo jambo ambalo Tanzania inaweza
yaliyowasilishwa Mahakama inaweza, ikiona kulimudu katika hatua ya sasa ya ushindani
vyema, ama kuahirisha utekelezaji wa tuzo wa kimataifa. Tunashauri upate ushauri wa
au kuamuru utekelezaji wake kwa masharti kitaalam/maalum kutoka kwa mwanasheria
ya kutoa dhamana kwa mtu anayeomba wako.
kutekeza tuzo hiyo kama Mahakama itaona
inafaa. (3) Kama mtu anayepinga utekelezaji
Mgogoro wa mpaka kwenye eneo la
utafutaji gesi
wa tuzo ya kigeni anathibitisha kwamba kuna
sababu zaidi ya kutokuwepo kwa masharti Tuna mgogoro na jirani ambaye ni mmiliki
yaliyoainishwa kwenye aya (a), (b) na (c) ya wa kitalu/eneo la utafutaji gesi na ametishia
kifungu kidogo (1) cha kifungu hiki, au uwepo kupeleka mgogoro wetu kwa Kamishna
wa masharti yaliyoainishwa kwenye aya ya wa Nishati na Petroli. Je, Kamishna huyu
(b) na (c) ya kifungu kidogo (2) cha kifungu ana mamlaka ya kuamua mgogoro huu, na
hiki kinachompa haki ya kupinga uhalali kama ndiyo, je maamuzi yake yanaweza
wa tuzo, Mahakama inaweza, kama itaona kukatiwa rufaa?
inafaa, ama kukataa kutekeleza hukumu 24 Februari 2014
ama kuahirisha usikilizaji hadi kupita kwa
muda ambao Mahakama itaona unatosha ili Majibu ya maswali yako yote mawili ni
kuuwezesha upande huo kuchukua hatua ndiyo. Kamishna wa Masuala ya Nishati na
muhimu kuliwezesha baraza lenye mamlaka Petroli anaruhusiwa kuamua migogoro kama
kubatilisha tuzo. hiyo. Pia, ni kweli, maamuzi yake yanaweza
Jambo jingine ambalo umelionesha, na kukatiwa rufaa. Hili limeelezwa chini ya
ambalo mara nyingi linatumika ni sera ya Sheria ya Utafutaji na Uzalishaji Petroli, 1980,
umma ya kwamba iwapo tuzo itaruhusiwa ambapo inaeleza ifuatavyo:
kutekelezwa kwenye nchi ambayo inakwenda Kamishna anaweza kufanya uchunguzi
kutekelezwa ni kinyume na sera ya umma. juu ya na kuamua kuhusu migogoro
Kwa ujumla, kutokuwepo kwa fedha siyo baina ya watu wanaojihusisha na utafutaji
suala la sera ya umma na hivyo kuzuia au uendeshaji, ama miongoni mwao
utekelezaji wa tuzo ya usuluhishi. Kama wenyewe au miongoni mwao na pande
itathubutu kufanya hivyo, Tanzania itakuwa nyingine (isipokuwa Serikali) zisizohusika,
inavunja mikataba ya kimataifa ya usuluhishi. kuhusinana na (a) Mipaka ya eneo lolote la
Kuhusu Serikali inaupa uzito gani utafutaji au uendeshaji; (b) kitendo chochote
usuluhishi, tafadhali elewa kwamba kilichofanyika au kuacha kufanyika, au
Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kinachodaiwa kufanyika au kutokufanyika,
inajishughulisha na mashauri mengi tu katika, au kuhusiana na utafutaji uendelezaji;
ya usuluhishi nje ya nchi, na inauchukulia (c) makadirio na malipo ya fidia kwa mujibu
usuluhishi kwa uzito mkubwa. Pamoja na wa Sheria hii; au (d) masuala mengine yoyote
kuupa usuluhishi uzito mkubwa, kama ambayo yapo kwenye sheria.
Serikali haitakwenda kwenye usuluhishi Mtu yeyote ambaye hajaridhika na
au ikishindwa kusimamia mchakato wa maamuzi, tuzo au amri ya Kamishna
usuluhishi vizuri, itaharibu sifa ya nchi iliyotolewa kwa mujibu wa sehemu hii
kwenye nyanja za kimataifa za biashara. Na anaweza kukata rufaa kwenda Mahakama
56 • Maswali na Majibu na FB Attorneys
Kuu ndani ya siku 60 baada ya kutolewa kwa Kumshtaki Bwana Isaac Newton leo
maamuzi, tuzo au amri. hii haiwezekani kwa kuwa huna haki ya
kumshtaki. Pia, hakupandikiza fomula hii
Wanasayansi wa Magharibi kwetu na hivyo hauna haki ya kumshtaki kwa
wanadanganya uduni wa Afrika namna yoyote ile. Uwezekano wa kuwashtaki
Mimi ni mwanasayansi na nimegundua warithi wake pia uko mbali sana. Pamoja
mbinu/siri ambayo mataifa ya Magharibi na utafiti wako kuhusu F=MA, unaweza pia
yanaitumia kuhakikisha kwamba Afrika kuangalia mambo mengine yaliyopelekea
tunaendelea kubaki nyuma. Ninakaribia matatizo ya Afrika.
kutoa chapisho kwenye moja ya jarida Pia tunakushauri uzungumze na
maarufu kwamba fomula ya Kani = wataalamu wengine kwenye tasnia/fani
Tungamo X Mchapuko (F=MA) inapotosha yako ambao wanaweza kuoanisha F=MA
na haina uhalisia kwa Afrika. Kutumia kwetu na matatizo ya Afrika. Tunashindwa kuona
fomula hii kunatufanya tusiendelee. Nifanye uhusiano wowote na tumepata mtanziko.
nini kuiokoa Afrika? Ninaweza kumshtaki
mvumbuzi? Hakuna kampuni Tanzania yenye
4 Agosti 2014 uwezo wa kutukatia bima
matakwa ya vifungu vya sheria kuhusu fedha Kamishna anaelekeza madai yalipwe
za kigeni zitakazo kuwa zikitumika wakati huo
nchini Tanzania au chini ya udhibiti wa Benki Je, Kamishna wa Bima anaweza kuilazimisha
Kuu ya Tanzania. kampuni ya bima kulipa madai hata
kama hayalipiki? Je, ni kitu gani ambacho
Zaidi, kifungu cha 140 kinaeleza kwamba
kampuni ya bima inaweza kufanya dhidi
sera yoyote ya bima inayomgusa Mtanzania
ya uamuzi huo? Je, Kamishna anaweza
au inayoigusa kampuni iliyosajiliwa Tanzania,
kupindua uamuzi wa Mtendaji Mkuu wa
ukiachilia mbali kampuni ya bima iliyosajiliwa
Kampuni au bodi?
chini ya Sheria hii, inayotolewa na kampuni
22 Septemba 2014
ya bima ya kigeni itatolewa kupitia ofisi za
wakala wa bima aliyesajiliwa Tanzania. Kamishna wa Bima ana jukumu la
Kutokana na maneno ya vifungu tajwa kusimamia sekta ya bima nchini, pamoja
hapo juu, ingawa ni lazima kukata bima kwa na kazi nyingine kama ilivyoelezwa chini
makampuni ya bima ya ndani, una hiari ya ya Sheria ya Bima, Namba 10 ya 2009. Yeye
kupata msamaha wa kufanya hivyo kwa si meneja wa kampuni ya bima wala si
kumwandikia Kamishna wa Bima ili kupata mkurugenzi na hawezi kupindua maamuzi
idhini yake huku ukieleza kwa nini hatari yoyote yanayohusu madai yasiyolipika ya
husika haiwezi kukatiwa bima nchini. Kukosa kampuni ya bima, Mtendaji Mkuu wake au
uwezo kwa kampuni za ndani inaweza kuwa bodi.
ni sababu nzuri lakini kampuni za ndani za Hii ni mara yetu ya kwanza tunasikia
bima zinaweza kuikabili hatari kupitia wakala malalamiko kama hayo dhidi ya Kamishna
wa ndani. lakini ikiwa unashurutishwa/unalazimishwa
Hivyo, huwezi kujikatia bima wewe kulipa, unaweza kukata rufaa ya uamuzi huo
mwenyewe. Tunakusihi sana uwasiliane kwa Baraza la Bima chini ya kifungu cha 126(4)
na wakala wako wa bima na/au Kamishna ambacho kinasema kwamba “mtu ambaye
wa Bima ili kuona kwamba hatari husika hajaridhika na uamuzi wa Kamishna chini
inalindwa na sheria za ndani, vinginevyo ya Sheria hii anaweza, kwa muda wa mwezi
unaweza kupata changamoto wakati wa mmoja kuanzia tarehe ambayo amepewa
kuwasilisha madai ya fidia. uamuzi huo kwa maandishi, kukata rufaa
Pia, unaarifiwa kwamba bila idhini ya kwa njia ya maombi ya maandishi kwa Baraza
Kamishna, fedha utakayolipwa na kampuni ambalo linaweza, kuidhinisha, kubadilisha,
ya bima ya kigeni kama fidia ya madai yako, kupindua au kutofautiana na uamuzi huo.
itatozwa kodi nchini kwa sababu ulikata bima Hatua hii lazima ifanyike ndani ya miezi miwili
kwa kukiuka Sheria ya Bima. tangu siku ya kuwasilisha ombi hilo.”
Mwisho, njia mojawapo ya kuepuka Ikiwa bado hujaridhishwa na maamuzi
kukata bima kwenye kampuni za ndani ya Baraza kwenye hoja za kisheria, unaweza
ni kutumia kampuni mama kukatia bima kukata rufaa Mahakama Kuu ndani ya mwezi
mali zake zilizopo nje ya nchi. Hili haliwezi mmoja tangu uamuzi huo ulipowasilishwa
kuJulaikana kwenye sheria yetu kwa sababu kwako.
ni maslahi yako yaliyopo nje ya nchi. Hata Ikiwa unachosema ni kweli, ambacho
hivyo, hili linatakiwa kushughulikiwa kwa tunadhani kinashangaza, tunaamini una
kufanya uchambuzi wa kina wa jambo husika, nafasi nzuri ya kufanikiwa. Tafadhali kumbuka
mtaalam wako wa bima anaweza kukuongoza kuwa uamuzi wa Kamishna unaokusudia
juu ya hili. kuukatia rufaa ni lazima uwe kwenye
58 • Maswali na Majibu na FB Attorneys
Haki za Walaji
Kuna namna nyingi ambazo haki za walaji zinaweza kukiukwa na wafanyabiashara ambao
kimsingi wanapaswa kuzijua vyema. Vivyo hivyo, wakati mwingine walaji nao, kwa kubahatisha,
hushtaki pasipokuwa na madai yoyote ya msingi. Katika sura hii, tumeweka mifano mingi ya
tabia zote hizi mbili. Watu hudai haki katika hali zote mbili, lakini siyo wakati wote haki na madai
huwa ni kitu kimoja.