You are on page 1of 2

MARIAN PRE & PRIMARY SCHOOL

P.O.BOX 230, BAGAMOYO, Tel: 0232440428 Picha


E-mail: marianprimary@gmail.com
Website: https://marianprimary.wordpress.com

FOMU - A
JINA LA MWANAFUNZI: ( Herufi Kubwa) ----------------------------------------------------------------------
YAH: MTIHANI WA KUJIUNGA NA SHULE MWAKA 2018 (DARASA LA I, II, III, IV, V & VI)
Tafadhali soma kwa umakini maelezo yafuatayo yenye sehemu mbili zilizopewa majina ya fomu ‘A’ na
fomu ‘B’. Fomu-A ina maelezo yote ambayo mtahiniwa anatakiwa kuyafahamu wakati fomu-B ina
maelezo binafsi ya mtahiniwa yanayohitajiwa na shule.Fomu-B ijazwe kwa umakini na usahihi kisha
irejeshwe shuleni kabla ya tarehe 10 December, 2017.

Fomu-A itabaki kwa mtahiniwa na siku ya mtihani itatumika kama kitambulisho kabla ya kuingia katika
chumba cha mtihani ikiwa imebandikwa picha (passport size) ya mtahiniwa iliyopigwa siku za karibuni.
Picha hii lazima ifanane na ile PICHA iliyowekwa kwenye fomu-B. KAMA HUTAKUJA NA FOMU “A”
HUTARUHUSIWA KUFANYA MTIHANI. Siku ya mtihani mwanafunzi aje na peni, penseli ,rula na
awe UMEVAA SARE YA SHULE ULIPO SASA.

Fomu-B ijazwe kwa umakini na IRUDISHWE KABLA YA TAREHE 10 December ikiambatanishwa


na Tsh 25,000 ( hakikisha unapewa risiti ufanyapo malipo , risiti iambatanishwe katika fomu-A)

Fomu-B irudishwe Marian Pre and Primary School (Bagamoyo)

OMBI lako la kutaka kujiunga na shule hii litategemea Matokeo ya Mtihani utakaotolewa na shule yetu
16th DECEMBER 2017, 09:00 am, Saturday [16 DEC 2017 saa tatu (3:00) asubuhi ,Jumamosi]
MAHALI: Marian Pre & Primary School- Bagamoyo

Mtihani huo utakaotolewa na shule yetu utakuwa katika masomo yafuatayo


Kujiunga darasa la I: English, Mathematics & Reading ( Kiingereza, Hisabati & Kusoma)
Kujiunga darasa la II & III: English, Mathematics & Science ( Kiingereza, Hisabati & Sayansi)
Kujiunga darasa la IV, V & VI: Mathematics, Science & Social Studies ( Hisabati, Sayansi & Maarifa)

Kila mwanafunzi aliyechukua fomu hii ya maombi ya kujiunga na shule asikose kufanya mtihani huu,
akikosa hatarudishiwa pesa na pia hatafikiriwa kwa mtihani mwingine. Siku ya mtihani ni moja tu.

Waliochaguliwa tu watajulishwa kwa njia ya simu kabla ya tarehe 20-12-2017.Kwa watakaohitaji


huduma ya malazi siku ya interview kwa bei inayoridhisha, tafadhali wasiliana moja kwa moja na Stella
Maris Hotel (Mr. Oswald 0655 525 069 au MWL Super Vedasto 0768 912028)

Nakutakia mafanikio mema,

S.Vedasto

MWL MKUU
MARIAN PRE & PRIMARY SCHOOL
P.O.BOX 230, BAGAMOYO, Tel: 0232440428 Picha
E-mail: marianprimary@gmail.com
Website: https://marianprimary.wordpress.com

FOMU - B
JINA LA MWANAFUNZI: ( Herufi Kubwa) ----------------------------------------------------------------------

MAOMBI YA KUJIUNGA NA MARIAN PRE & PRIMARY SCHOOL MWAKA 2018


JAZA FOMU HII KWA USAHIHI NA KWA HERUFI KUBWA KISHA UIRUDISHE SHULENI
KABLA YA TAREHE 10. 12. 2017

1. Jina Kamili: --------------------------------------------------------------------------------------JINSIA----------

2. Tarehe, mwezi na mwaka wa kuzaliwa -------------------------------------------------------------------------

3. Wilaya anayoishi sasa ------------------------------------- Mkoa------------------------------------------------

4. Darasa alilopo sasa (2017) ------------------------- Darasa analoomba kuingia (2018) ----------------------

5. Jina la Mzazi/Mlezi: BABA ----------------------------------------------MAMA:------------------------------

6. Kazi ya Mzazi/ Mlezi ---------------------------------------------------------------------------------------------

7. Anuani (physical address) ----------------------------------------------------------------------------------------

8. Namba za simu (Mobile#)(1--------------------------------- (2)-------------------------- (3)-----------------------------

9. Email: ______________________________Namba ya simu ya jirani (family friend)_______________


MWANAFUNZI WA
10. Weka alama ya ‘V’ panapohusika: Bweni Kutwa DARASA LA TANO & SITA
NI LAZIMA AWE BWENI.
Kwa Mzazi/Mlezi
(a) Kijana wangu akichaguliwa itambidi afuate sheria na taratibu zote za shule hii ya msingi Marian
(b) Nakubali kumlipia mwanafunzi karo (ada) ya shule na kumpa mahitaji mengine yanayohitajika
shuleni mwanzo wa kila muhula ili asiache masomo kufuata vitu hivyo nyumbani.

Jina la mzazi________________________ Sahihi________________Tarehe_______________________

Kwa mwanafunzi
Ninaahidi kutii sheria na taratibu zote za shule iwapo nitachaguliwa kujiunga na shule hii

Jina la mwanafunzi______________________________ Sahihi________________Tarehe____________

You might also like