Professional Documents
Culture Documents
Mashairi Ya Kisasa Na Mashairi Ya Kimapo
Mashairi Ya Kisasa Na Mashairi Ya Kimapo
www.antidius-nsiga.com
USHAIRI.
karibu wote kwa pamoja wanaamini kuwa shairi lazima liwe na:
• lugha inayoeleweka, na
Aidha wataalamu hawa kwa upande mwingine wanatofautiana katika baadhi ya maeneo.
1
• mpangilio wa urari wa vina na mizani,
• mabeti, na
• kibwagizo au bahari.
Kutokana na tofauti hizi, tunapata aina mbili ya mashairi yaani mashairi ya kimapokeo na
mashairi ya kisasa. Wataalam nao wapo wanaounga mkono mashairi ya kimapokeo na wale
(a).WANAMAPOKEO
Hawa ni washairi wa jadi wanaoshikilia kuwa ili tungo fulani iweze kuingia katika
kundi la mashairi, ni lazima tungo hiyo ifuate sheria au kanuni fulani kama vile urari wa vina,
mizani , idadi ya mishororo katika beti (mishororo mine kila ubeti),ambazo huitwa arudhi.
ndicho kitu kilicho bora sana katika maongozo ya dunia kwa kutumia maneno ya mkato,
lugha nzito na yenye kunata iliyopangwa kwa urari wa mizani na vina maalum kuwa ushairi”.
wa lugha ya mkato ambayo ndani yake ina vina, urari wa mizani na muwala maalum
ambavyo kwa pamoja huwa na fani na maudhui yahusuyo hisi fulani au tukio juu ya maisha
(b)WANAMAPINDUZI
Hawa ni washairi wa kisasa wanaoamini kuwa ili tungo fulani iweze kuingia katika
kundi la mashairi, si lazima tungo hiyo izingatie arudhi kama vile urari wa vina, mizani, idadi
ya mishororo katika beti na mengine mengi. Kundi hili husisitiza kuwa la muhimu katika
2
tungo siyo sheria au kaida hizi bali ni ujumbe au maudhui aliyokusudia mtunzi kwa hadhira
yake. Baadhi ya wana usasa ni pampja na Pr. Kezirahabi, Pr. Mlokozi, Pr. Kahigi, Wangari na
Mwai.
mpangilio maalum wa maneno fasaha yenye muwala kwa lugha ya mkato, picha, au sitiari
katika usemi, maandishi au mahadhi ya wimbo ili kuelekeza wazo au mawazo, kufunza au
kuelezea tukio au hisi fulani kuhusu maisha au mazingira ya binadamu kwa njia inayogusa
moyo”.
kwetu kutokana na upangaji mzuri wa maneno fasaha yenye mizani kwa kifupi ili kuonesha
lugha ya mkato katika usemi, maandishi, wimbo unaoelezea wazi juu ya mawazo, hisia au
tukio juu ya maisha na ambayo hufuata utaratibu wa urari na muwala maalum unaoheshimu
jamii kisanaa. Kwa ujumla shairi lolote lile ni utungo ambao hubuniwa na mtunzi kuelezea au
kutoa mawazo fulani kuhusu jamii au kitu fulani. Tungo hizi hutungwa kwa ufundi au ustadi
wa hali ya juu ili kugusa mawazo na hisia za walenga. Ufundi unaotumika kupanga mawazo
3
na kuteua lugha katika tungo hutumia sanaa ya kipekee kulingana na hitaji, kusudi pamoja na
Aina zote hutumia maneno machache kuwakilisha dhana pana mno. Mashairi hutumia
maneno au lugha teule zilizoundwa kisanaa kamavile tamathali za semi, na mbinu nyingine
za kisanaa kwa njia yenye mvuto ambayo haimchoshi msomaji au msikilizaji. Mfano, katika
“Elimu jamii na chemsha bongo”, iliyoandikwa na Charles Mloka, shairi la “Lifuti yako ya
Katika ubeti huu, mwandishi ametumia maneno machache kuelezea athari ya misaada toka
Aina zote hutumia picha au taswira zenye uwezo wa kutoa maelezo kamili. Matumizi
ya picha na taswira hukusudiwa zaidi kumfanya msomaji au msikilizaji kufikiri kwa mapana
migogoro ya kimasilahi kati ya mtunzi na tabaka la juu, na kuifanya kazi kuwa na mvuto kwa
wasomaji na wasikilizaji pia. Aidha yapo baadhi ya mashairi ambayo hutumia lugha ya wazi
katika shairi la 12 “Adhabu gani tuwape” (shairi la kimapokeo) uk.29, ubati wa 2, mshairi
anasema:
4
“Adhabu gani tuwape, wenye kosa la kunyonya
Pia katika Elimu jamii na chemsha bongo kwa mashairi, iliyoandikwa na Charles Mloka,
shairi la Arobaini ya simba (shairi li kisasa) uk.43, ubeti wa kwanza, msahairi anasema:
1. Arobaini ya samba ni tukio la septemba 11, 2001 kupigwa kwa jengo la kibiashara
5
2. Simba ikimaanisha Taifa la Marekani,
mawazo ya mtunzi kwa ujumla kuhusiana na hali fulani katika jamii. Ili kuirekebisha hali
hiyo au kuleta mabadiliko, mtunzi lazima atengeneze kazi itakayogusa hisia na mioyo ya
walengwa wa kazi yake. Kufaulu kwa mshairi katika kuirekebisha jamii husika kupitia kazi
yake ndiko kunakoonesha ni kwa jinsi gani mshairi amefanikiwa kugusa mioyo na hisia za
Aina zote za mashairi huelezea hisia za watu kutoka ulimwengu halisi wa kila siku.
pengine ni uzoefu wa maisha ya kila siku. Mfano, mwandishi anaweza kuzungumzia masuala
ya kijamii kama vile elimu, afya, na dini, masuala ya kiuchumi, kisiasa au kiutamaduni
ambayo kwa ujumla hufungamana na maisha ya kila siku ya jamii hiyo. Mfano, katika Elimu
jamii na chemsha bongo kwa mashairi iliyoandikwa na Charles Mloka, shairi la Udini na
Ubeti huu unazungumzia migogoro ya kidini ndani ya jamii kati ya waisilamu na wakristo.
6
Aina zote za mashairi hutumia lugha ya mkato na yenye mnato. Kwa ujumla mawazo
ya mwandishi katika shairi huelezewa kwa ufupi na kwa muhtasari ambao hubeba mawazo
maneno au sehemu ya neno (ukiushi) hufanywa ili kupunguza wingi wa maneno na kufanya
iliyoandikwa na Honero na wenzake, shairi la Hizi ni fanaka zetu myaka kumi ya uhuru,
Aina zote ni tanzu za ushairi zenye lengo la kufikisha ujumbe au fundisho fulani
katika jamii. Pamoja na kazi nyingine, mashairi hufanya kazi ya kuionya, kuelimisha na
Nyanja hizo za maisha katika jamii ili kuunda jamii bora zaidi. Mfano, katika “Elimu jamii
7
“Hebu nieleze Juma, uonavyo kwa hakika,
Wanafunzi!”
Katika ubeti huu mwandishi anazungumzia suala la kuporomoka kwa taaluma miongoni mwa
Mshairi anazungumzia suala la utamaduni kama kiini cha maisha ya jamii yoyote ile.
makongwe zaidi kuliko mashairi ya kisasa. Tangu miaka ya 850-323 BK, Plato aliweka
msimamo juu ya kazi ya sanaa (ushairi) akisema kuwa lazima ifuate sheria maalum ambazo
mwalimu wake na ndio ukawa mwanzo wa mashairi ya kisasa (mashairi huru) ambayo kwa
namna ya pekee kati ya miaka ya 1969 mpaka 1970 baadhi ya wanafunzi wa chuo kikuu cha
Dar es salaam na ambao pia walikuwa watunzi wa mashairi,n mfano; Pr. Mlokozi, Pr. Kahigi,
8
Mashairi ya kimapokeo hufuata idadi maalum ya mizani (8+8 kwa kila mshororo), hii
ikiwa ni kaida ya msingi katika mashairi ya kimapokeo. Kwa mfono; katika diwani ya mloka
anasema;
Katika ubeti huu, kwa kila mshiroro kuna mizani 16 (8+8). Kwa upande wa mashairi ya
kisasa si lazima kufuata utaratibu wa mizani 16 kwa kila ubeti. Mizani zinaweza kupungua au
kuzidi. Mfano; shairi la ‘siasa’ katika ‘Elimu jamii na chemsha bongo kwa mashairi’, uk.25,
ubeti wa 1, mshororo wa 1;
Mashairi ya kimapokeo huzingatia urari wa vina yaani vina vya kati na vya mwisho.
Mashairi haya yana vina vya kati na vina vya mwisho vyenye ulinganifu. Kwa mfano, katika
9
Katika shairi hili tunaona vina vya kati ni ‘KI’ Na vina vya mwisho ni ‘NI’. Katika mashairi
ya kisasa si lazima kufuata utaratibu wa vina vya kati na vya mwisho. Mfano, katika diwani
katika shairi hilo vina vya kati ni ‘MU na CHA’ na vina vya mwisho ni ‘RI na NI’ hivyo basi
na mashairi ya kisasa na hivyo huweza kuimbika kwa urahisi. Hii ni kutokana na matumizi ya
vina na mizani. Matumizi ya vina na mizani katika mashairi, hulifanya shairi liwe na ladha na
mwandishi anasema;
Mashairi ya kisasa pamoja na baadhi ya mashairi hayo kufuata utaratibu wa vina na mizani
“mwanadamu na maisha” (shairi la kisasa) uk.18, ubeti wa 1 na wa 2 kwa kila ubeti una
10
mishororo 12, na ubeti wa 3 una mishororo 18. Katika ubeti wa 1, mshairi anaandika;
Mashairi ya kimapokeo huwa na urari wa mishororo (mishororo mine kwa kila ubeti),
kwa ujumla mashairi ya kimapokeo huwa na mishororo minne kwa kila ubeti. Mfano; katika
Ubeti huu una mishororo minne. Katika mashairi ya kisasa si lazima ubeti uwe na mishororo
minne, huweza kuwa na mishororo pungufu ya minne au hata zaidi ya minne. Mfano, katika
Elimu jamii na chemsha bongo kwa mashairi, iliyoandikwa na Charles Mloka, shairi la ‘sina
11
“Mwana kogela chinyala, kolonga kabule ng’anda,
Sina mbone!”
hadi ubeti. Wazo linalotoka katika ubeti wa kwanza huendelezwa katika beti zinazofuata.
Mfano, katika matunda ya azimio, shairi la “Bora kujitegemea” (shairi la kimapokeo) uk. 34,
shairi lina beti 8. Ubeti wa 1 unaanza kwa maneno “Hodi hodi uwanjani, mimi ningali kijana,
na ubeti wa mwisho unaanza kwa maneno “Beti nane nimefika, kalamu sitaishika”. Utaratibu
Mashairi ya kimapokeo huwa na idadi maalum ya vipande kwa kila mshororo. Kwa
kawaida katika mashairi ya kimapokeo kila mshororo huwa na vipande viwili vyenye mizani
nanenane. Mfano, katika diwani ya mloka, shairi la utu ni nini? Uk 23, ubeti wa kwanza,
mshairi anasema;
Mashairi ya kisasa hayazingatii sana idadi ya vipande kwa kila mshororo. Mashairi haya
huweza kuwa na kipande kimoja, vipande viwili, na hata vitatu kwa kila mshororo. Mfano
mzuri ni katika shairi la “Moyo” lililopo katika Wamitila (2005) kama ilivyonukuliwa
12
Moyo waniambia woga, ndiyo mwanzo wa maafa”.
Katika ubeti huu, kipande cha kwanza huitwa ukwapi, kipande cha pili huitwa utao, na
Pamoja na kufanana na kutofautiana kwa aina zote mbili za mashairi yaani mashairi
jamii.
13
MAREJEO;
Mloka, C. (2002), Diwani ya Mloka. Mkuki na Nyota Publishers LTD. Dar es salaam.
Mloka, C. (2004), Elimu jamii na chemsha bongo kwa mashairi. Mkuki na Nyota Publishers
14