Professional Documents
Culture Documents
Wasilisho Kwa Semina
Wasilisho Kwa Semina
• Motifu ya siri- matumizi ya mbinu ya kuficha mambo yanayojitokeza na kujirudiarudia katika kazi ya fasihi
na kuitawala kazi hiyo ya fasihi (Karama na wengeni, 2018).
• Mhusika- mtendaji katika kazi ya kifasihi na huwa ni kielelezo cha viumbe wanaopatikana ulimwenguni
ingawa si lazima sifa zote za mhusika zifungamane na za binadamu (Wamitila, 2008).
SUALA LA UTAFITI
• Wamitila (1997), amehakiki baadhi ya kazi za Kezilahabi kwa kuzingatia kigezo cha
motifu ya dunia na maisha.
• Maana ya matini haipatikani katika matini yenyewe, bali inajengwa na msomaji katika matini husika na
mseto wa matini nyingine zinazotajwa na kurejelewa katika usomaji.
• Mawasiliano baina ya mtunzi na msomaji huambatana na mwingiliano uliopo baina ya maneno na namna
yalivyokuwa katika matini za awali.
• Matini ya kifasihi inaweza kujidhihirisha au kujihusisha na matini nyingine kiwaziwazi, kwa kunukuu,
kudondoa, kutaja, kurejelea au kusilimisha sifa za matini za awali au kwa kuwa katika mkumbo mmoja
kifasihi.
Ulifanyika maktabani
• Mhusika mfoili- kinyume cha mhusika nguli na husaidia kuibua sifa halisi za nguli (Musa- mpelelezi, Mateso- mwoga)
• Mhusika kani- anabadilika mwanzoni na mwishoni mwa hadithi na kutoeleweka (Majimarefu, Mheshimiwa Assad)
• Mhusika akisi- habadiliki na hutumiwa na mwandishi kuyatazama mambo fulani ambayo yangepita bila kutambuliwa (Liyongo, Chiku,
Fadhili)
•SHUKRANI