Professional Documents
Culture Documents
Bible Swahili Job
Bible Swahili Job
Utangulizi
Kitabu cha Ayubu kimepewa jina la aliye mhusika mkuu, mtu mwenye haki mbele za Mungu na aliyekuwa
tajiri sana. Ayubu maana yake Yule anayemrudia Mungu daima.Hata baada ya kuondokewa na vitu vyote
alivyokuwa navyo na kuteseka kwa majipu hatari, Ayubu bado alikiri kwamba anampenda Mungu.
Kitabu kinauliza sababu za kuteseka, hasa kuteseka kwa watu ambao wanampenda Mungu nao ni wema.
Marafiki wa Ayubu walisisitiza kwamba alikuwa anateseka kwa sababu alikuwa ametenda dhambi na ya kwamba
hiyo ilikukwa ni adhabu yake. Ayubu alijitetea kwa kusisitiza kwamba hajafanya uovu ambao ungemstahilisha
hiyo adhabu na ya kwamba yeye anamwamini Mungu.
Ndipo Mungu alipozungumza na kuonyesha uweza wake mkubwa. Mwisho wa yote Ayubu alikubali kwamba
Mungu ni Mkuu na wa ajabu kwetu kiasi kwamba hatuwezi kumuelewa.
Wazo Kuu
Kumtumaini Mungu wakati wote na katika hali zote. Majaribu, mateso na mambo mabaya yanayompata mcha
Mungu si lazima yawe matokeo ya dhambi au mabaya aliyotenda. Watu wana mitazamo tofauti nyakati za
majaribu, hasa wengi huona ni mapatilizo kwa ajili ya dhambi. Wakati mwingine Shetani huushambulia uadilifu
wa mtu ili amkufuru Mungu, ila kwa kuwa Mungu yu pamoja na wale wamchao, huwaokoa na mabaya yote.
Shetani alimshtaki Ayubu kwamba hamchi Mungu bure bali ni kwa sababu Yeye Mungu alikuwa amemzunguka
pande zote. Mungu ametuwekea ugo pande zote. Hivyo Shetani hawezi kutushambulia bila Mungu kujua, bali
wakati mwingine Mungu hutoa ruhusa ili kumthibitishia adui juu ya uelekevu na uadilifu wa mtu. Kwa hiyo kazi ya
majaribu yale ambayo Mungu anayaruhusu ni:(1) Kututhibitisha katika imani (2) Kuonyesha uweza na uaminifu
wa Mungu, (3) Kudhihirisha kushindwa kwa Shetani, (4) Baraka zinazoandamana na ushindi baada ya majaribu.
Ayubu alisimama katika uaminifu na uadilifu wake mpaka mwisho bila kutishwa na yale yaliyompata yote wala
maneno ya rafiki zake, akashinda na kubarikiwa maradufu.
Jambo Muhimu
Ayubu ni kitabu cha kwanza chenye ushairi katika Biblia ya Kiebrania. Wengine wanaamini kwamba hiki
kilikuwa kitabu cha kwanza kabisa kuandikwa katika Biblia. Kitabu hiki kinatupatia mwanga jinsi Shetani
anavyofanya kazi. Ezekieli 14:14,20 na Yakobo 5:11 vinamtaja Ayubu kama mtu wa historia. Kitabu hiki kinatoa
habari za mateso ya Ayubu, hoja zilizotolwa kati ya Ayubuna rafiki zake kuhusu sababu za kuteseka kwake na
utatuzi wa tatizo lenyewe.
Mwandishi
Haijulikani kwa dhahiri ni nani aliyeandika kitabu hiki, huenda ikawa ni Ayubu. Wengine wamesema ni Mose,
Solomoni au Elihu.
Mahali.
Nchi ya Usi, inawezekana ilikuwa kaskazini mashariki mwa Palestina, karibu na Jangwa katikati ya Dameski
na Mto Eufrati.
Wahusika Wakuu.
Ayubu, Elifazi Mtemani, Bildadi Mshuhi, Sofari Mnaamathi, Elihu wa kabila la Buzi
Tarehe
Tarehe ya kuandikwa kwa kitabu hiki haijulikani kwa uhakika ila kianadhaniwa kuwa kitabu cha zamani sana,
huenda kuliko vingine vyote katika Biblia.
Mgawanyo
Habari za awali. (1:1-3:26)
Mazungumzo ya Ayubu na rafiki zake watatu.
(4:1-31:40)
Mungu anahusikaje na mateso ya Ayubu? (4:114:22)
AYUBU
13Siku
AYUBU
3BWANA
2Akasema:
3Siku
11Kwa
AYUBU
19Wadogo
20Mbona
2Kama
8Kwa
AYUBU
22Utayacheka
maangamizo na njaa,
wala hutakuwa na sababu ya kuwaogopa
wanyama wakali wa mwituni.
23Kwa kuwa utakuwa na agano na mawe ya
mashamba,
nao wanyama wa mwitu watakuwa na
amani nawe.
24Utajua ya kwamba hema lako li salama,
utahesabu mali zako wala hutakuta cho
chote kilichopungua.
25Utajua ya kuwa watoto wako watakuwa wengi,
nao wazao wako wengi kama majani ya
nchi.
26Utaingia kaburini ukiwa na umri wa uzee
mtimilifu,
kama masuke ya ngano yakusanywapo kwa
wakati wake.
27Tumelichunguza
2Laiti
AYUBU
11Ninazo
28Lakini
14Mtu
11Kwa
hiyo sitanyamaza,
nitanena kutokana na maumivu makuu ya
roho yangu,
nitalalama kwa uchungu wa nafsi yangu.
12Je, mimi ni bahari au mnyama mkubwa mno
akaaye vilindini,
hata uniweke chini ya ulinzi?
13Ninapofikiri kwamba kitanda changu kitanifariji,
a29 Au haki yangu bado inasimama.
a9 Kaburini hapa ina maana ya kuzimuni, Kiebrania Sheol.
AYUBU
2Hata
vizazi vilivyotangulia
na uone baba zao walijifunza nini,
9kwa kuwa sisi tumezaliwa jana tu na hatujui lo
lote,
nazo siku zetu duniani ni kama kivuli tu.
10Je, hawatakufindisha na kukueleza?
2Naam,
AYUBU
14Ni
waovu,
yeye huwafunga macho mahakimu wake.
Kama si Yeye, basi ni nani?
25Siku
10
a30 Au theluji.
AYUBU
8Mikono
11
2Je,
AYUBU
17Maisha
12
2Bila
14Kile
13
AYUBU
9Je,
28Hivyo
14
Mwanadamu aliyezaliwa na
mwanamke siku zake ni chache nazo
zimejaa taabu.
2Huchanua kama ua kisha hunyauka,
huwa kama kivuli kipitacho upesi, wala
hadumu.
3Je, unamwekea jicho lako mtu kama huyo?
Je, utamleta mbele yako katika hukumu?
4Ni nani awezaye kutoa kitu safi kutoka katika
kitu najisi?
Hakuna awezaye!
5Siku za mwanadamu zimewekewa mpaka,
umekwisha kutangaza idadi ya miezi yake
na kuweka mpaka ambao hawezi kuuvuka.
6Hivyo angalia mbali umwache,
hadi awe amekamilisha muda wake kama
mtu aliyeajiriwa.
7Kwa
11
AYUBU
17Makosa
18Lakini
15
2Je,
7Je,
AYUBU
mwanadamu ye yote,
nyumba zinazokuwa vifusi.
29Hatatajirika tena nao utajiri wake hautadumu,
wala mali zake hazitakuwa nyingi juu ya
nchi.
30Hatatoka gizani,
mwali wa moto utanyausha machipukizi
yake,
nayo pumzi ya kinywa cha Mungu
itamwondolea mbali.
31Asijidanganye mwenyewe kutumainia ubatili,
kwa kuwa hatapata malipo yo yote.
32Atakuwa amelipwa kikamilifu kabla ya wakati
wake,
nayo matawi yake hayatastawi.
33Atafanana na mzabibu uliopukutishwa
matunda yake kabla hayajaiva,
kama mzeituni unaodondosha maua yake.
34Kwa kuwa jamii ya wasiomcha Mungu
watakuwa tasa,
nao moto utateketeza hema za wale
wanaopenda rushwa.
35Hutunga mimba ya madhara na kuzaa uovu,
matumbo yao huumba udanganyifu.
Hotuba ya Tano ya Ayubu
Ayubu Anathibitisha Tena Hali Yake ya
Kutokuwa na Hatia.
Kisha Ayubu akajibu:
16
2Nimepata
9Mungu
wangu
nami nimekizika kipaji cha uso wangu
kwenye vumbi.
16Uso wangu umekuwa mwekundu kwa kulia,
macho yangu yamepigwa na giza kuu,
17lakini mikono yangu haijafanya jeuri na
maombi yangu ni safi.
18Ee
22Ni
17
3Ee
AYUBU
18
Anasema:
Mungu
Huwaadhibu
2Je,
ya mwovu imezimwa,
nao mwali wa moto wake umezimika.
6Mwanga hemani mwake umekuwa giza,
taa iliyokaribu naye imezimika.
7Nguvu za hatua zake zimedhoofishwa,
shauri lake mwenyewe litamwangusha.
8Miguu yake imemsukumia kwenye wavu
naye anatangatanga kwenye matundu ya
wavu.
9Tanzi litamkamata kwenye kisigino,
mtego utamshikilia kwa nguvu.
10Kitanzi kimefichwa ardhini kwa ajili yake,
mtego uko kwenye njia yake.
11Vitisho vimemtia hofu kila upande
na adui zake humwandama kila hatua.
12Janga linamwonea shauku,
maafa yako tayari kwa ajili yake aangukapo.
13Nayo yatakula sehemu ya ngozi yake,
mzaliwa wa kwanza wa mauti atakula
maungo yake.
14Atangolewa kutoka katika salama ya hema
lake
na kupelekwa kwa mfalme wa vitisho.
15Moto utakaa katika hema lake,
moto wa kiberiti utamwagwa juu ya makao
yake.
16Mizizi yake chini itakauka
na matawi yake juu yatanyauka.
17Kumbukumbu lake litatoweka katika dunia,
wala hatakuwa na jina katika nchi.
18Ameondolewa nuruni na kusukumiwa gizani
naye amefukuzwa mbali atoke duniani.
19Hana mtoto wala mzao miongoni mwa watu
wake,
wala aliyenusurika mahali alipoishi.
20Watu wa magharibi watashangaa yaliyompata,
watu wa mashariki watapatwa na hofu.
21Hakika ndivyo yalivyo makao ya mtu mwovu,
ndivyo palivyo mahali pake mtu asiyemjua
Mungu.
Hotuba ya Sita ya Ayubu
Ayubu Anajibu: Najua Mkombozi wangu Yu
Hai
Ndipo Ayubu akajibu:
19
2Je,
AYUBU
4Kama
ni kweli nimepotoka,
kosa langu ninabaki kuhusika nalo
mwenyewe.
5Kama kweli mngejitukuza wenyewe juu yangu
na kwa kutumia unyonge wangu dhidi
yangu,
6basi jueni kuwa Mungu amenitendea yaliyo
mabaya
naye amekokota wavu wake kunizunguka.
7Ingawa
23Laiti
mkisema, Tutamwindaje,
maadam mzizi wa tatizo uko ndani yake,
29ninyi wenyewe uogopeni upanga,
kwa kuwa ghadhabu italeta adhabu kwa
upanga,
nanyi ndipo mtakapojua kwamba kuna
hukumu.
Sofari Anasema: Uovu Hupokea Malipo ya
Haki
Ndipo Sofari Mnaamathi akajibu na
kusema:
20
2Mawazo
yanayonisumbua yananisukuma
kujibu,
kwa sababu nimehangaika sana.
3Ninasikia makaripio ambayo yananivunjia
heshima,
nao ufahamu wangu unanisukuma kujibu.
4Hakika
15
AYUBU
12Ingawa
21
2Yasikilizeni
16
AYUBU
16Lakini
17Lakini
34Hivyo
22
2Je,
AYUBU
15Je,
23
2Hata
8Lakini
24
18
AYUBU
25
2Mamlaka
wa
Mungu
26
2Tazama
AYUBU
27
2Hakika
6Nitadumisha
7Watesi
AYUBU
28
12Lakini
20Ni
29
2Tazama
AYUBU
18Nikafikiri,
yake,
nikawa kama yeye anayewafariji
waombolezaji.
30
AYUBU
upepo,
salama yangu imetoweka kama wingu.
16Sasa
31
23
AYUBU
32
6Elihu
akasema:
AYUBU
9Sio
10Hivyo
33
wangu.
yangu yanatoka katika moyo mnyofu,
midomo yangu hunena kwa uaminifu yale
niyajuayo.
4Roho wa Mungu ameniumba,
pumzi ya Mungu Mwenye Nguvu hunipa
uhai.
5Unijibu basi, kama unaweza,
jiandae kunikabili mimi.
6Mimi ni kama wewe mbele za Mungu,
mimi pia nimetolewa kwenye udongo.
7Huna sababu ya kuniogopa,
wala mkono wangu haupaswi kukulemea.
3Maneno
8Lakini
umesema nikakusikia,
nilisikia maneno yenyewe,
9Mimi ni safi na sina dhambi,
mimi ni safi na sina hatia.
10Lakini bado Mungu amepata dosari kwangu,
naye ananiona kama adui yake.
11Ananifunga miguu kwa pingu,
tena anaziangalia njia zangu zote kwa
karibu.
12Lakini
AYUBU
34
2Sikieni
AYUBU
31Kama
35
2Je,
nikujibu wewe
pamoja na marafiki zako walio pamoja
nawe.
5Tazama juu mbinguni ukaone,
yaangalie mawingu yaliyo juu sana juu yako.
6Je, ukitenda dhambi, inamdhuruje Mungu?
Kama dhambi zako zikiwa nyingi,
hilo linamfanyia nini Mungu?
7Kama wewe ni mwadilifu,
unampa nini,
au yeye anapokea nini mkononi kwako?
8Uovu wako unamdhuru tu mtu mwingine kama
wewe,
nayo haki yako inawafaa wanadamu tu.
9Wanadamu
36
2Nivumilie
AYUBU
19Je,
37
28
AYUBU
sikiliza hili,
nyamaza na uyafikiri maajabu ya Mungu.
15Je, unajua jinsi Mungu anavyoyaongoza
mawingu
na kufanya umeme wake wa radi utoe
mwanga?
16Je, wajua jinsi mawingu yanavyokaa yakiwa
yametulia,
hayo maajabu yake Yeye aliyemkamilifu
katika maarifa?
17Wewe unayeshindwa na joto katika nguo zako
wakati nchi imenyamazishwa kimya bila
upepo wa kusini,
18je, waweza kuungana naye katika kuzitandaza
anga,
zilizo ngumu kama kioo cha shaba ya
kuyeyushwa?
19Tuambieni
yatupasayo kumwambia,
hatuwezi kutayarisha shauri letu kwa
sababu ya ujinga wetu.
20Je, aambiwe kwamba nataka kuongea?
Je, yuko mtu ambaye angeomba kumezwa?
21Basi hakuna awezaye kulitazama jua,
kwa jinsi linavyongaa angani upepo
ukishafagia mawingu.
22Kutoka kaskazini Yeye huja na fahari kuu,
Mungu huja katika utukufu wa kutisha.
23Mungu Mwenye Nguvu hatuwezi kumfikia na
ametukuzwa katika uweza,
katika hukumu zake na haki yake kuu,
hataonea.
hiyo, wanadamu mheshimuni,
kwa kuwa Yeye hamstahi ye yote
anayejidhania kuwa anayo hekima.
24Kwa
38
2Nani
AYUBU
19Njia
39
AYUBU
40
2Je,
3Ndipo
4Mimi
kama mwanaume,
nitakuuliza maswali, nawe utanijibu.
8Je,
kiboko, niliyemwumba
kama nilivyokuumba wewe,
ambaye anajilisha kwa majani kama
ng'ombe.
16Tazama basi, nguvu alizo nazo kwenye viuno
vyake,
uwezo alionao kwenye misuli ya tumbo lake!
17Mkia wake hutikisika kama mwerezi,
mishipa ya mapaja yake imesukwa pamoja.
18Mifupa yake ni bomba za shaba,
maungo yake ni kama fito za chuma.
19Yeye ni wa kwanza miongoni mwa kazi za
31
AYUBU
Mungu,
lakini Mwumba anaweza kumsogelea kwa
upanga wake.
20Vilima humletea yeye mazao yake,
nao wanyama wote wa porini kucheza
karibu naye.
21Hulala chini ya mimea ya yungiyungi,
katika maficho ya matete kwenye matope.
22Hiyo mimea ya yungiyungi humficha kwenye
vivuli vyake,
miti mirefu karibu na kijito humzunguka.
23Wakati mto ufurikapo, yeye hapati mshtuko
wa hofu,
yeye yu salama, ingawa Yordani ingefurika
hadi kwenye kinywa chake.
24Je, mtu ye yote anaweza kumkamata yeye
akiwa macho,
au kumnasa kwa mtego na kutoboa pua
yake?
41
yangu.
12Sitashindwa
AYUBU
31Huvisukasuka
42
2Ninajua
4Ulisema,
AYUBU
34