Professional Documents
Culture Documents
Telephone: 255-22-2114512,
2116898
E-mail:
ikulucommpress@googlemail.co
m
Website : www.ikulu.go.tz
Fax: 255-22-2113425
Utangulizi:
1.1
1.2
2.0
2.2.
3.0
2.3.
2.4.
2.5.
2.6.
3.2
4.0
4.2
5.2
5.3
5.4
5.5
5.7
5.8
5.9
6.0
7.0
Mawaziri Waliojiuzulu
Tume ilijiridhisha kuwa Mawaziri wote waliojiuzulu, yaani Mhe. Dkt.
Emmanuel J. Nchimbi, Mb., Mhe. Balozi Khamis Kagasheki, Mb., Mhe.
Mathayo D. Mathayo, Mb., na Mhe. Shamsi V. Nahodha, Mb.,
hawakuhusika moja kwa moja na makosa yoyote ya utekelezaji kwenye
Operesheni Tokomeza. Hivyo, waliwajibika kisiasa tu na hakuna hatua
nyingine inayostahili dhidi yao.
Imetolewa na;
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu Dar es Salaam.
8 Mei, 2015