Professional Documents
Culture Documents
Na.
Mkoa
1. Morogoro
Wilaya
Eneo
Morogoro
a. Manispaa ya
Morogoro
b. Mto Morogoro
(Mambogo)
c. Bwawa la
Mindu
d. Mto Mzinga
Kilosa
Kilombero
2. Iringa
Kilolo
a. Mto Mkondoa
b. Kijiji cha
Mbwade
c. Kijiji cha
Twatwatwa
a. Kijiji cha
Katurukila
b. Mto Lumemo
c. Bonde la
Lower Kihansi
a. Kijiji cha
Mwatasi na
Lukosi
b. Vyanzo vya
Maji Mwatasi
c. Shamba la
Miti Lukosi
a. Kituo cha
Maji
Iringa
2
Manispaa
b. Shule ya
Msingi
Mlandege
c. Mto Ruaha
Mkuu
3. Mbeya
Mbarali
a. Kijiji cha
Madibira
b. Mashamba ya
Mpunga
Mbarali
a. Jiji la Mbeya
b. Safu za
Milima ya
Mbeya
c. Kituo cha
Kusambaza
Maji Mbeya
Mjini
Mbeya
4. Njombe
Wangingombe
Makete
Njombe
5. Songwe
Ileje
6. Rukwa
Sumbawanga
Manispaa
Sumbawanga
Vijijini
Kalambo
Nkasi
3
Mfili)
b. Mradi wa Maji
wa
Namanyere
7. Katavi
Mpanda
Tanganyika
8. Kigoma
Kigoma
Uvinza
Kasulu
9. Tabora
Kaliua
a. Manispaa ya
Mpanda
a. Kijiji cha
Kabage
b. Kijiji cha
Bugwe
c. Kijiji cha
Mwese
a. Bonde la Mto
Katuma
b. Hifadhi ya
Taifa ya
Katavi
a. Hifadhi ya
Taifa ya
Gombe
b. Vijiji vya
Mwambao wa
Ziwa
Tanganyika
(Mtanga)
c. Taasisi ya
Jane Goodal
a. Shamba la
Chumvi la
Uvinza
a. Kambi ya
Wakimbizi
Nyarugusu
b. Msitu wa
Makere Kusini
c. Kijiji cha
Kagerankand
a
a. ISAWIMA
katika kijiji
cha Igagala
No.5 eneo la
Ufulaga
b. Matanuru ya
Tumbaku
Ufugala
Urambo
Tabora
Nzega
Igunga
a. Urambo Mjini
a. Manispaa ya
Tabora
(Kiwanda cha
Mkaa cha
Kuja na
Kushoka)
a. Kiwanda cha
Dhahabu
Ipilili
b. Bwawa la
Maji Uchama
c. Bwawa la
Maji Kilimi
d. Eneo la
Wachimbaji
Wadogo No. 7
a. Kijiji cha
Mazingira
(eco-village)
Mbutu
10.
Kujaa tope (siltation) kwenye mito na maziwa, hasa
Ziwa Rukwa ambalo lipo hatarini kupotea, kutokana na
shughuli za kibinadamu kufanyika kingoni kwa mito na
maziwa;
11.
Tumeona hatari kubwa ya mafuriko kwenye baadhi ya
miji, ikiwemo Kilosa na Kilombero, kutokana na mito
kutengeneza mikondo mingine kwasababu ya uharibifu wa
mazingira.
Hatua tulizochukua
Katika ziara hiyo, kuna baadhi ya hatua tulizochukua mara
moja na kwa haraka katika kukabili changamoto tulizozikuta.
Baadhi ya hatua hizo, ni kama zifuatazo:1. Kwa kutumia mamlaka niliyopewa katika Sheria ya
Mazingira, nimeanza taratibu za kutangaza baadhi ya
maeneo
kuwa
maeneo
ya
mazingira
nyeti
(environmentally-sensitive areas) ambapo yatapata ulinzi
wa ziada kwa kutangazwa kwenye Gazeti la Serikali.
Maeneo hayo ni pamoja na eneo linalozunguka Ziwa
Rukwa na maeneo ya Safu za Milima ya Mbeya;
2. Nilielekeza mamlaka za Serikali za Mikoa, Wilaya,
Halmashauri na Vijiji kuweka alama (beacons) katika mita
60 kutoka kwenyevyanzo vya maji na kingo za mito, na
kuweka mabango ya kuzuia watu kutofanya shughuli za
kibinadamu katika maeneo hayo;
3. Nilielekeza kwamba watu waliovamia vyanzo vya maji
waondolewe haraka sana;
4. Nilielekeza kwamba watu wote waliochepusha mito
washtakiwe na michepusho iliyojengwa ibomolewe
haraka ili mito itiririke katika mitiririko ya asili;
5. Nilielekeza kwamba wachimbaji wote wanaochimba
madini kwa kutumia sumu bila vibali wala kuzingatia
kanuni za mazingira wasimamishwe shughuli zao na
wapewe jukumu la kurekebisha hali ya mazingira kwenye
maeneo wanayofanyia kazi.
7
tunayapa
10