Professional Documents
Culture Documents
Kipindi Elimu Kwa Jamii
Kipindi Elimu Kwa Jamii
Bendera ya Taifa
Page 2 of 10
zitafanikiwa kwa msaada wa Mungu. Kwa hiyo Wimbo wa Taifa ni
dua maalum la kitaifa kuombea ustawi wa nchi na Wananchi wa
Nchi husika.
C. NEMBO YA TAIFA
Tarehe 23/11/1962, Bunge la Tanganyika, The Constituent Assembly
of Tanganyika lilipitisha The Public Seal ambayo ilihesabiwa kuwa ni
mali ya Mtukufu Rais. The Public Seal ni aina yaMuhuri wenye
Nembo ya Taifa (wakati huo Tanganyika). Katika Transitional
Decree, 1964, para ya 10 iliridhia Public Seal ya mwaka 1962
iendelee kutumika hadi marekebisho yatakapofanyika.
Page 4 of 10
wameshika Kipusa cha Tembo kulia na kushoto.Pia katika nembo
yapo Maandishi Uhuru na Umoja.
Page 5 of 10
MASWALINAMAJIBU
6.1Swali la Kwanza
Kwa nini Mwenge wa Uhuru umewekwa katika Nembo ya Taifa?
Page 6 of 10
Ujinga, Umaskini na maradhi, watamke bayana kila mradi umegusa
eneo lipi la malengo ya Mwenge. Maadui Ujinga, Maradhi na
Umaskini, kila adui anayo tafsiri pana, mfano Ujinga, Inagusa
kufunguliwa kwa vyuo, shule za sekondari na vikundi vya elimu ya
watu wazima n.k. Kwa hiyo nawasisitiza wakimbiza Mwenge kutoa
tafsiri ya kila mradi waufunguao na kwamba umetokana na dhima ya
kuwasha mwenge.
Page 7 of 10
and Immunities na kupewa uzito mkubwa kiasi kwamba Katibu
Mkuu wakati huo, mwaka 1961 aliitisha Mkutano kule Vienna
(Vienna Conference). Katika Mkutano huo nchi mbalimbali duniani
zilishiriki na kujadili suala la Mashirikiano na Mahusiano na
kukubaliana kuwepo kwa utaratibu maalum wa kimahusiano Baada
ya makubaliano hayo yanayojukiana kw jina la Vienna Convention,
1961, tarehe 24 April, 1964, The Vienna Convention ikapitishwa
rasmi (came into force) na kuwepo kwa Aya (Articles) mbalimbali za
kuzingatiwa kama miongozo ya utendaji wao wa kazi mfano; Nchi
inayopokea Mabalozi wana jukumu kubwa la kuwalinda watumishi
wa ubalazi katika nchi wanazotumikia., hii imo katika Aya ya 22
(Article 22 of the Vienna Convention). Taratibu za utendaji kazi za
mabalozi zinazingatia makubaliano yao ya Vienna Convention of
1961 na sio sheria za nchi wanayoishi (Receiving State)
Page 8 of 10
zitaendelea kuhudhuriwa na CHARGE DAFFAIRES aliyeachiwa
Ofisi na Balozi aliyeondoka. Huyu anaweza kutumia bendera
kwenye gari. Najua hilo linawasumbua wengi lakini ukweli ndio huu
na hii ndiyo DIPLOMACY AT WORK.
Bendera ina maana kubwa sana katika utambulisho wa nchi,
bendera inaheshimu sana Taratibu, Mila na Desturi ya nchi husika.
6.3.SWALI LA TATU
Mpigachapa Mkuu wa Serikali, unaweza kutupatia tathimini ya Vita
vyako ulivyoanzisha dhidi ya Wachapishaji wa Nyaraka Bandia?
Page 9 of 10
zinazojihusisha na uchapishaji. Uchapishaji ni wito na una maadili
yake hivyo lazima kuyazingatia na kama huyawezi tafuta biashara
nyingine. Wito wangu, nawaomba wachapishaji wote kujiorodhesha
katika Ofisi za Mpigachapa Mkuu wa Serikali ili tukutambue na
umma ukutambue siyo kujificha ficha kama wale wanaoogopa
kujulikana kuwa wanaitumikia Serikali kwa kutoweka bendera ya
Taifa mbele ya Ofisi zao (za Serikali) Tujiandikishe hadi ifikapo
tarehe 30/03/2017 ambapokutakuwa na Mkutano ujao ambao
wachapishaji halali wote watakaojiorodhesha watakaribishwa ili nao
watoe mawazo ya kuiweka nchi mahali salama kupitia nyaraka.
Page 10 of 10