Professional Documents
Culture Documents
Mkataba Wa Pango
Mkataba Wa Pango
KAT I YA
NA
UMETAYARISHWA NA:
Dr.GWAMBAYE O.K,
P.O. BOX 335,
NZEGA.
MKATABA WA PANGO
INATHIBITISHWA kwamba:-
a) Mwenye nyumba au mtu yeyote mwenye haki juu ya nyumba hiyo anaahidi kutoingilia
upangaji endappo atazingatia mashariti na makubaliano yaliyomo katika
mkataba.
b) Mwenye nyumba atalipa kodi aina zote zilizopo na nyingine zitakazoikabili nyumba
5. Taarifa yeyote kwa mujibu wa mkataba huu itakua kwa mandishi na taarifa yeyote kwa
Mpangaji itachukuliwa kuwa imefika endapo imeandaliwa kwa anuani ya Mpangaji na
kupelekwa katika makazi ya Mpangaji au kwenye anuani yake ya mara ya mwisho mahali popote
pale alipokuwa katika Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania na taarifa yoyote kwa Mwenye
Nyumba itachukuliwa kuwa imemfikia yeye au mtu yeyote menye idhini yake kuipokea siku kumi
na nne ( 14) tangu itumwe kwa njia ya Posta.
INATHIBITISHWA na pande zote mbili kuwa mkataba huu umesainiwa katika tarehe na mwaka
kama inavyoonekana.
Saini
Anuani
Sifa
.... MPANGAJI
Mbele yangu leo tarehe.mwezi20..
Saini
Anuani
Sifa
.... SHAHIDI
Mbele yangu leo tarehe.mwezi20 ..
Saini
Anuani
Sifa
UMETAYARISHWA NA:-
Dr. GWAMBAYE O.K
P.O.BOX 335,
NZEGA.