You are on page 1of 3

MAASAI MARA UNIVERSITY

REGULAR UNIVERSITY EXAMINATIONS


2015/2016 ACADEMIC YEAR
SECOND YEAR SECOND SEMESTER

SCHOOL OF ARTS & SOCIAL SCIENCES


B.ED (ARTS)

COURSE CODE: KIS 221


COURSE TITLE: KISWAHILI MORPHOLOGY

DATE: 13TH MAY,, 2016 TIME: 8.30 – 10.30AM

MAAGIZO

Jibu maswali matatu. Swali la kwanza ni la lazima


1. Eleza aina tatu za lugha kimofolojia huku ukizitolea aina hizo mifano.
(alama 30)
2. Eleza uhusiano na tofauti zilizopo kati ya dhana za mofu, alomofu na
mofimu. Tumia mifano katika maelezo yako. (alama 20)
3. Eleza mofolojia kama kiwango cha lugha huku ukionyesha upeo wake.
(alama 20)
4. Eleza mbinu zozote nane zinazotumiwa kuundia maneno katika lugha
ya Kiswahili.
(alama 20)
5. Eleza aina tano za ugeuzaji maumbo kwa mujibu wa nadharia ya sarufi

zalishi geuzamaumbo. (alama 20)

….MWISHO…..

You might also like