Professional Documents
Culture Documents
Wamalwa Aks 402 - Kiswahili Poetry
Wamalwa Aks 402 - Kiswahili Poetry
SCIENCE
2. Kwa kurejelea diwani ya Sauti ya Dhiki, onyesha namna mazingira yanavyoweza kuathiri
utunzi wa kazi za kishairi. (20 marks)
3. Onyesha namna suala la uongozi katika Kenya huru lilivyoshughulikiwa na Kithaka wa
Mberia (Bara Jingine). (alama 20)
4. Huku ukirejelea utenzi wa Mwanakupona, onyesha wajibu wa mke kwa mumewe.
(alama 20)
5. Jadili namna mgogoro katika ushairi wa Kiswahili ulivyochangia katika maendeleo ya utanzu
huu. (alama 20)