Professional Documents
Culture Documents
2023 Siri Ya Kcpe Mwinyi P. Kuria (Masharubu) 0727 064403 Lengo La KCPE 99%
2023 Siri Ya Kcpe Mwinyi P. Kuria (Masharubu) 0727 064403 Lengo La KCPE 99%
SIRI YA KCPE
Mwinyi P. Kuria (Masharubu) 0727 064403
Lengo la KCPE 99%
Alfabeti ya Kiswahili
a,b,ch,d,dh,e,f,g,gh,h,i,j,k,l,m,n,ng`,ny,o,p,r,s,sh,t,th,u,v,w,y,z
a,e,i,o,u b,ch,d,dh,f,g,gh,h,j,k,l,m,n,ng`,ny,p,r,s,sh,t,th,v,w,y,z
a) Anayejipendekeza c) Iliyowambwa
a-na-ye-ji-pe-nde-ke- za I - li-yo-wa-mbwa= silabi 5
1 2 3 4 5 6 7 8 1 2 3 4 5
b) kitakacholetwa d) Mwanasheria
ki-ta-ka-cho-le- twa= silabi 6 Mwa- na –she-ri-a
1 2 3 4 5 6 1 2 3 4 5
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Jambo muhimu la kukumbuka katika mtihani
Herufi/ sauti ch, dh, gh, ng`, ny, sh, th huhesabiwa zikiwa sauti/ herufi mojamoja
(Nouns) Maalum, za pekee Kenya, Kuria, Selina, ziwa Viktoria, shule ya Alliance,
(uncountables)
(collective)
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
.Kivumishi -A- unganifu Wa Cha La wa wa Ya Ya Kwa Pa Mwa
hueleza
a- Vya Ya za ya Za Ya- Ku- Pa- Mu-
nomino:
wa ya ku pa mu
Ki- li- u- u- i-
ikoje?
u-u vi ya zi ya zi i-i
ni ngapi?
iko umbali Viulizi -pi? , ngapi? gani?
pekee?
Vivumishi nomino Nomino moja inapoeleza nomino ya kwanza
Mkulima msomi analima vizuri.
VITENZI/VIARIFA( verbs) Rudi, stahi/ heshimu, kama, toa, iba, waza, chuma, katana,
salimiana, kata, (vitenzi vya silabi moja) -fa, -ja, -la, -wa, -
Maneno ambayo huarifu kuhusu kitendo
nywa.
kinachofanywa
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Maneno ambayo Dharau/chuki na hasira Ebo! Kefule! Kha! Pukachaka!
huonyesha hisia.
Kuapa Wallahi ! Billahi! Tallahi! Haki ya Mungu!
Huruma Maskini!
Mradi, ilmradi, Bora tu, Sijali ukinichukia mradi unipe haki yangu.
Almuradi Unaweza kukinunua kitu chochote ukitamanicho
Haidhuru
(as long as, almradi uwe na pesa.
provided, so long as: ) Si kitu ukinyamaza mradi ufike mkutanoni.
Angalau, angaa, Hueleza jambo lililo Mgombea yeyote wa urais lazima awe na angaa miaka
angalao, walau, bora zaidi thelathini na mitano.
falau Ili upate fursa ya kujiunga na shule ya kitaifa lazima
(at least) upate falau alama mia nne.
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Sembuse, Seuze Hutumika Mwalimu ameshindwa kujibu swali hilo seuze wewe?
kefu, kaifa, fakaifa kulinganisha Umeshindwa kuandika insha moja kaifa kitabu?
(why not; what mambo. Wanyama wanaathirika na ukame kefu binadamu.
about, let alone, not Umeshindwa kununua mandazi fakaifa pizza?
to mention)
Lau, kama Huonyesha majuto Lau si kwa mjomba wake tungeshindwa na kazi hiyo.
Lau ningalikuwa tajiri ningalinunua gari kubwa.
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
(if only)
Kwa ajili ya, Kuonyesha sababu ya Tulienda hospitalini kwa minajili ya kutafuta matibabu.
Kwa minajili ya jambo Fulani Wakili alienda kortini kwa ajili ya kumtetea mteja wake.
(for the purpose
of)
Licha ya Viunganishi vya Elaine Nyambu ni msichana mrembo. Ana sauti ya ninga. Isitoshe,
Isitoshe, vilevile, kuongezea
ana macho ya gololi. Aidha, meno yake ni meupe pepe na
kando na,
yamepangika vizuri. Isitoshe, ana shingo ya upanga na nywele za
halikadhalika, pia,
singa. Fauka ya hayo, ana ngozi laini na midomo yenye wekundu
mbali na, zaidi ya,
juu ya, fauka ya, wa ini. Hakika yeye ni malaika.
Aidha, waaidha,
(in addition to;
furthermore;
besides)
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Viambishi
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Siri nyingine muhimu
Tahadhari sana na vitenzi ambavyo huishia kwa irabu/vokali mbili zikifuatana mwishoni na
ambavyo, aghalabu, vikinyambuliwa huambishiwa ‘ li’ au ‘le’. Hiyo `li`au ‘le’ hushikanishwa
na viambishi vya mnyambuliko( isipokuwa katika kauli ya kutendeana ambapo ‘li’au ‘le’
hujisimamia).
mifano
Aina za sentensi
Hutoa taarifa kuhusu jinsi mtu alivyo, kitu kilivyo au hali ilivyo.
Mifano
Mnyambuliko wa vitenzi
Kutendea/kutendewa
Kutendwa
Hutumiwa kuonyesha kuwa kitu au mtu anayepokea kitendo lakini si moja kwa moja.Aidha
huonyesha kuwa jambo lilifanywa kwa niaba ya mtu.
Mfano
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Kutendesha/kufanyiza
Mfano
Kutenda Kutendesha/kufanyiza
Kutenda Kutendesha/kufanyiza
Kutendana
Mhusika mmoja anamtenda mwenzake kitendo na yeye anamtenda vivyo hivyo alivyotendwa.
Uundaji wa maneno
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Vitenzi Nomino/majina
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Vivumishi vya sifa kutokana na vitenzi
Kitenzi Sifa kitenzi Sifa
Kinyume
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Ezeka Ezua Cheka Lia
Kwea Shuka
Kataa Kubali
Haramisha Halalisha
Heshimu Dharau
Twika Tweka
Tekeleza Telekeza
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Vinyume vya sifa
Sifa Kinyume Sifa Kinyume
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
mtanashati Mrembo mfalme Malkia
gumba Tasa
Ujinga Werevu
Ukanushaji
Mfano
Kukanusha sentensi yenye ‘ka’ ya
Mtoto amekula na ameshiba.
mfuatano wa vitendo
Mtoto hajala wala hajashiba.
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Jambo muhimu katika kujibu swali kwenye mtihani
Bainisha sehemu zote zitakazobadilika kwanza
Njeo/nyakati
Ukanusho
Wingi
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Karai - makarai Waya - nyaya Jogoo – magoo
Kabati - makabati Uga - nyuga Sogora – masogora
Kufuli - makufuli Uwanja - Nyanja Chura – vyura
Blanketi - mablanketi Ubawa - mbawa Chura – machura (matopasi)
Bao - mabao Ukanda - kanda Wakili -mawakili
Soko - masoko Wadhifa - nyadhifa Hakimu-mahakimu
Bawa - mabawa Uta-uta Jaji-majaji
Ua-nyua Rubani -marubani
Wakati-wakati Dereva-madereva
Moyo-nyoyo
I-ZI U-YA YA-YA
Familia - familia Unyoya - manyoya maradhi-maradhi
Taa - taa Ulezi - malezi mazingira-mazingira
Dawa - dawa mandhari-mandhari
Saa - saa matibabu-matibabu
Pua - pua makao-makao
Timu - timu mafuriko
Shule - shule I-I
Barabara - barabara Sukari-sukari
Chupa - chupa Chai-chai
Bahari-bahari Damu-damu
Nchi-nchi Hewa-hewa
Asali-asali
Mvua-mvua
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
(a) Viashiria vya karibu huwa Hii Hiyo/ile
vya mbali/mbali sana Huyu Huyo/Yule
(b) Nafsi ya kwanza na ya pili Mimi (ni) na wewe (u) Yaya (a)
huwa nafsi ya tatu Sisi (tu) na nyinyi (m) wao (wa)
(c) Vimilikishi vya nafsi ya -angu na -ako -ake
kwanza na nafsi ya pili -etu na –enu -ao
huwa vya nafsi ya tatu
(d) Wakati hali timilifu huwa Me ….likuwa…me
wakati timilifu hali ya “Nimeandika insha,” akasema. Alisema kuwa alikuwa ameandika
kuendelea insha.
(e) Wakati uliopo hubadilika Na ….likiwa... ki
kuwa wakati uliopita hali “Tunajivunia shule yetu,” Mwanafunzi alisema kuwa
ya kuendelea mwanafunzi akasema. alikuwa akijivunia shule yao.
(f) Wakati ujao huwa hali Ta Nge
tegemezi Akasema,”Nitaenda kesho.” Alisema kuwa angeenda siku
ambayo ingefuata.
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
1. Yaanzayo kwa Ondoa M Mguu- guu Pachika
silabi ‘M-‘ pekee Mlima- lima Ki (umoja)
na hufuatwa na Mzigo -zigo Vi (wingi)
silabi mbili au Mkoba -koba mwanzoni
zaidi Mkoba-koba Mwa
neno
2. Yaanzayo kwa Ondoa M Mto - jito lililo
silabi ‘M-‘ pekee Weka Ji Mke - jike katika
na kufuatwa na Mji - jiji ukubwa
silabi moja tu. Mbwa – jibwa
3. Yaanzayo kwa Ondoa K Kiatu - jiatu
silabi ‘Ki-‘ Weka J Kisu - jisu
Kikombe - jikombe
4. Yaanzayo kwa Ondoa Mw Mwana - jana
Mw- Weka J Mwizi - jizi
Mwanamke - janajike
Mwanaume - janadume
5. Yaanzayo kwa U- Ondoa U Uteo - jiteo
na kufuatwa na Weka Ji Ufagio - jifagio
silabi mbili au Ubao - jibao
zaidi
6. Yaanzayo kwa U- Ongeza Ji mwanzoni Ua - jiua
na kufuatwa na Uta - jiuta
silabi moja tu Ufa - jiufa
7. Yaanzayo kwa JI- Ongeza Ji mwanzoni Jina - jijina
Jino - jijino
Jiko - jijiko
8. Yaanzayo kwa Ongeza JI- Nyundo - jinyundo
Ny- mwanzoni. Nyati - jinyati
ISIPOKUWA Nyani-jinyani
Nyoka Nyoka - joka
Nyumba Nyumba - jumba
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
9. Yaanzayo kwa Ondoa N/M Ndege - dege
sauti Ndoo - doo
mwambatano Ndizi - dizi
Nd- Mbuga - buga
Mb- Mbuzi - buzi
Ng- Nguo - guo
Nj- Ngazi - gazi
Ng’- Ng’ombe – gombe
10. Majina mengine Ongeza Ji- mwanzoni Samaki - jisamaki
Kofia - jikofia
Kanzu - jikanzu
Pete – jipete
Uakifishaji
(b) ; Nukta mkato, (a) Hutenganisha sentensi kuonyesha kuwa maneno baada ya
Semi koloni nukta mkato (;) ni ufafanuzi wa sehemu iliyotangulia.
Mfano
Hasira hasara; Mtu akikasirika huharibu mambo.
(c) ( )Mabano/parandesi Hufungia maelezo ya ziada kwenye sentensi.
Mfano:mwalimu wetu(Masharubu Mwinyi)hufunza vyema.
(d) / Mkwaju Huonyesha visawe.
Mfano:mtu/mja/binadamu/adinasi/mahuluku/insi
(e) “ ”Vinukuu/Alama za Kufungia maneno halisi yasiyosemwa.
usemi Kumbuka:
Kama nukuu imekatizwa, sehemu ya pili huanza kwa herufi ndogo.
Mfano
KCPE 2018-23
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
“Naam,” akasema, “nitakusaidia.”
(f) ‘ ’ (a) Huonyesha nukuu ndani ya nukuu.
Mfano
Mwalimu alisema, “Hayati Nyerere alipenda kusema, ‘Ukabila ni
hatari,’ hivyo basi tusiwe wakabila.”
(b) Kutaja majina ya: Magazeti, sinema, vitabu n.k
Mfano
Tutasoma gazeti la ‘Taifa Leo.’
...nukta za dukuduku Huonyesha kuwa maelezo Fulani yameachwa na kwamba kauli
inaendelea
Mfano
Hakika,asiyesikia la mkuu...
-kistari Kuyafungia maneno ya ziada kwenye sentensi ambayo si lazima
yawepo kwenye sentensi.Mfano Mwalimu Mwinyi – aliyestaafu
mwaka jana- alikuwa gwiji wa lugha wa Kiswahili.
` Ritifaa/king’ong’o Hutumiwa : a) kuonyesha kwamba herufi imeachwa katika neno
Mfano : ‘sikate tamaa - usikate tamaa.
b) kuonyesha maneno yaliyo na sauti ya king’ong’o
(zinazotamkiwa puani) .
Mfano : nga’aa,ng’oa.
MATUMIZI YA NA MATUMIZI YA KA
1.Ufupisho wa nafsi 1. Na mimi - 1.Mfululizo/mfuatano/ 1. Nilimfunza
nami Evans akajua.
2. Na sisi - Mwandamano wa 2. Alishinda
nasi vitendo akashangiliwa.
3. Na wewe - 3. Alituzwa
nawe akafurahi.
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
4. Na wao -
nao
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
9.Makubaliano 1. Mgeni naaje 4.Kitenzi 1. Messi ni gwiji
akitaka. wa soka
2. Haya nawafanye (kishirikishi 2. Kiswahili ni
watakavyo. kipungufu) somo rahisi
10.Mnyambuliko Tendeana 5.kulinganisha 1. Beyonce ni
tendana ninga.
Tendeana (sitiari) 2. Kinjabi ni
tendana Pimiana mpingo;mweusi
pimana pi!
3. Elimu ni uti wa
Someana
mgongo bora ya
somana siku za usoni.
Tumiana
tumana
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
7.Nahau/sem 1. Ana kwa ana.
i 2. Sako kwa bako.
Matumizi ya PO 3. Bega kwa bega.
4. Moja kwa moja.
5. Shilingi kwa ya pili.
8.A – 1. Kufunza kwa Masharubu ni
Unganifu kuzuri sana.
2. Kuimba kwa Rihanna
Hutumiwa na kunapendeza.
kitenzi jina 3. Kuzunguza kwa Stephen
hupendeza.
9.Umilikaji 1. Nyumbani kwangu kuna
wakati maua.
mahali 2. Kwao kuna vinywaji vyovyote.
3. Kucheza kwako na masomo
kutakuletea shinda.
1. Yeye hugugumiza 1. Hapo 10.Swali 1. Kwa nini umechelewa?
anapozungumza. pamechafuka. najibu Nimechelewa kwa sababu ya
2. Nilipomkataza 2. Waliposimama msongamano wa magari.
alikataa pana mavumbi.
kusikiliza. 3. Nlipoketi ndipo 2. Umekosa kumaliza kazi kwa
3. Nyumba pana siafu. sababu ipi?
ilipoanguka 4. Panapolimwa Samahani ,nilishindwa kumaliza
tuliponea chupu lazima pawe na kazi kwa kuwa nyumbani hakuna
chupu. rutuba. umeme.
11.Kuonyesha 1.Alifungwa kwa miaka mingi.
kipindi cha
2.Tulikaa gwarideni kwa saa tatu
wakati
mfululizo.
3.Nimekuwa rubani kwa karibu
miaka kumi.
Maamkuzi
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Wambaje/wasemaje Sina la Wowote Buriani Buriani dawa Maagano ya muda
kuamba mrefu
chewa chewa Wowote Ugua pole Asante nishapoa Kumpa pole mtu
mgonjwa
(Kwa watoto pekee)
Maneno ya adabu
1. Hodi Karibu/kongoni Neno la kubishia mlango ,uombaji ruhusa ya kuingia kama vile nd
nyumba.Piga hodi au bisha hodi.
2.Tafadhali Unayo mara Kumwomba mtu afanye jambo kwa hisani yako.
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
9.samahani Umesamehewa a)Upochachawiza ,kumdakiza au kumkata kalima mtu katika
mazungumzo.
10. hongera Asante au nimehongera Kumpongeza mtu aliyefanya jambo zuri sana k.v. kupita
mtihani,kujifungua mtoto n.k.
TAMATHALI ZA USEMI
Tashbihi/tashbiha
Misemo na nahau
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Vimba kilemba cha Kumpa mtu sifa za urongo Kula mwata/mumbi Pata taabu
ukoka
Kula mwande Kosa kupata ulichotarajia
Jitia purukushani kupuuza
Kisebusebu na kijoyo Kujifanya hutaki kiyu ilhali
Msemo au nahau maana ki papo unakitamani
Kaa kitwea Kaa bila kusema wala Kuwa na inda kama Wivu wa kuzuia wengine
kutenda jambo kutokana na joka la mdimu kutopata kitu usichokitumia
woga
Istiara/sitiari
mfano
Tashhisi/uhuishi/uhaishaji- personification
i. Bw.Majivuno-mtu anayejidai
Tasfida
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Kutumia maneno ya adabu au fiche kuficha ukali wa maneno yanayokera watu.
Mfano
Tasfida/tauria Si adabu
Amejifungua/amejikopoa amezaa
Kutabawali/kubeua/haja kukojoa
ndogo
Kinaya/stihizai
Mfano
Chuku- exergeration
Mfano
i. Ni mrefu sana ;maji ya bahari humfika magotini na anaweza kugusa kilele cha mlima Kilimanjaro kwa
mkono
ii. Hapumui anapozungumza ;anaweza kusema maneno mia moja kwa dakikka moja.
Ishara
Mfano
iii. Jua kuchomoza vizuri na sauti za ndege wakiimba ni ishara kuwa siku itakuwa nzuri yenye mafanikio.
Ushairi
Aina/bahari za mashairi
1. Mmoja Tathmina
2. Miwili Tathnia
3. Mitatu Tathlitha
4. Mine Tarbia
5. Mitano Takhimisa
6. Sita Tasdisa
Majina ya mishororo
1. Mshororo wa kwanza mwanzo
2. Mshororo wa pili mloto
3. Mshororo wa tatu mleo
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
4. Mshororo wa nne kimalizio
Mshororo wa mwisho unaorudiwarudiwa:
Kibwagizo/kiitikio/kipokeo/mkarara/pambio.
Nomino makundi/jamii
Nyakati za siku
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Kasorobo - enye upungufu wa robo ; imebakisha dakika kumi na
tano.
Mfano: saa nane kasorobo ni sawa na saa saba na
dakika arubaini na tano
Malipo
Michezo
Mpira wa pete-netbali Kwata-mazoezi ya kuvinyoosha
Mpira wa magongo-hoki viungo vya mwili
ukoo
Kiswahili si kigumu; ni kitamu. Kuwa na MTAZAMO CHANYA. Mwalimu Mwinyi P. Kuria 0727064403
Mkaza - Mke wa mtu;mkazamjomba-mke wa mjomba.
Umbu - wanavyoitana kaka na dada.
Mnuna -(younger sibling )– ndugu mdogo.
Mkwe/mcheja - Mzazi wa mke wa mtu.
Mkoi/binamu - Mtoto wa ami, shangazi, mjomba au hale.
Mpwa - Mtoto wa umbu; wa kaka au dada yako.
Mwanyumba - Wanavyoitana wanaume waliooa madada.
Mwamu/mlamu - Kaka wa mke au mtu.
Kivyere - Waitanavyo wazazi wa mke au wa mume.
Wifi - Wanavyoitana mke na dada wa mume wake.
Vikembe 8.Simba...Shibli
9.Sungura..Kitungule
1.Bata-kiyoyo. 10.Nyuki..jana
2.Chui.Kisui. 11.Nyati..ndama
3.Chura..kiluwiluwi 12Ndege...kinda
4.Farasi...mwanafarasi 13Mbwa.kidue,kilebu
5.Kondoo...Katama, mwanakondoo 14.Papa..kinegwe
6.Mbuzi.kimeme,mwanambuzi 15.Kipepeo.kiwavi
7.Punda..kihongwe 16.Fisi .....bakaya
2. Namna…..
Vile……….
Jinsi……… hufuatwa na‘–vyo-‘
Kadri…….
Mfano
6. ‘-ni’ ya mahali itumikapo, vihusishi vifuatavyo havitumiki: ndani ya, katika, kwenye,
penye na mwenye.
Mfano
Tunaenda kwenye darasani. (kosa)
Tunaenda darasani. (sahihi)
Tunaenda kwenye darasa. (sahihi)
7. Ni makosa ‘-enye-‘ kufuatwa na kitenzi