Professional Documents
Culture Documents
#0006.utavuna Unachopanda
#0006.utavuna Unachopanda
#0006
Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna.
Wagalatia 6 :7
Kama ukimfanyia mwenzako vibaya, kwa hila, ukimsema vibaya, ukimuhukumu, ukimtoa mahali kwa
hila, ukimsengenya, ukimchafua isivyo haki,
Kama ukiwasaidia watu wenye uhitaji, kuwatia moyo waliovunjika moyo, kuzungumza mazuri kuhusu
wengine, kuwafundisha wengine, kuwathamini wengine, kutoa muda kwa ajili ya wengine, kuwatendea
mema wengine.
Ni jambo la muda
MUNGU AZIDI KUKUBALI NA UZIDI KUANGALIA VYEMA UNAVYOPANDA MBEGU ZAKO.
"AMEN"
harrisonhumphrey25@gmail.com
Ubarikiwe sana Na nakuomba unisaidie kuishare kwa marafiki zako ili na wao wajifunze Neno la Mungu