Professional Documents
Culture Documents
KUHUBIRI
KUHUBIRI
MAFUNDISHO YA UMISHENI
I
KUHUBIRI NA KUFUNDISHA
Muhtasari: Elekeza kwa mada ilioko hapa chini nayo itakuelekeza kwa mada hiyo.
A. Ufasili
B. Tafsiri ya Maandiko
C. Maana ya Maandiko
D. Kutumia Maandiko
III. Vifaa
IV. Kuhubiri
A. Utangulizi
B. Kuchagua Mahubiri
C. Mahubiri ya Ufasiri
1. Kuchagua Maandiko
2. Kukuza Muhtasari na Maandiko
3. Mazoezi ya Kuwasilisha
4. Kuwasilisha na Maoni
D. Mahubiri ya Mada
E. Uchunguzi wa Mhusika
V. Kufundisha
A. Utangulizi
B. Somo
1. Ufasiri
a. Kiini
b. Kifungu kwa kifungu
2. Mada
3. Kuchunguza Mhusika
VI. Habari Zaidi
VII. Kazi ya Ziada
A. Hubiri Mahubiri Mawili
B. Ongoza Madarasa Mawili
A. Ufasili
http://www.m-w.com/
B. Tafsiri ya Maandiko
Ungependa kutumia vifaa vya ziada katika masomo yako kwa kutumia tafsiri
iliyofafanuliwa- ambayo haifuati utaratibu katika kutafsiri Maandiko ili
kuyafanya kuwa rahisi kuelewa. Tafsiri iliyofafanuliwa hutaka kuwa “sawa
kabisa” na maandiko ya asili. Kwa sababu Biblia zilizofafanuliwa hazijatafsiriwa
neno kwa neno kutoka kwa Maandiko ya asili, sitayatumia kama Maandiko ya
msingi. Biblia ya Habari Njema ni tafsiri iliyofafanuliwa. Kama Kiswahili chako
siyo sanifu, waweza kutumia Biblia iliyoandikwa kwa lugha ya kimsingi.
Biblia inajumuisha Agano la Kale na Agano Jipya, na imeandikwa kwa kutumia
misamiati ya kimsingi ya maneno 1,000 pekee.1
http://preceptaustin.org/inductive_bible_study.htm
C. Maana ya Maandiko
D. Kutumia Maandiko
Ili uweze kujifunza Maandiko vyema, ni lazima tutumia mafunzo yake. Ni lazima
tuongozwe na Maandiko. Kenson Kuba anatoa chemshabongo inayotumika
kwa wingi kusaidia kutumia Maandiko.
DAMAMK
1
1. Kwa habari zaidi kuhusu Biblia katika lugha ya kimsingi, andika kwa
Cambridge University Press, New York, New York, USA.
2
Kenson Kuba, "Vitabu vya Bure vya masomo ya Uanafunzi ", Masomo ya
Uanafunzi kitabu cha 3, ukurasa 21 katika mtandao.
http://biblestudycd.com/books/book3.pdf
III. Vifaa
Vifaa vya mtandao vya kutafsiri Biblia vya bure vyaweza kupatikana katika wavuti
ufuatao.
http://www.preceptaustin.org/
Vifaa hivyo vya mtandao katika wavuti ulioko hapo juu vinajumuisha vifaa
vifuatavyo:
Wavuti uliko hapa chini unakuruhusu kupata mada ya Biblia, neno au kifungu
cha kumbukumbu katika tafsiri tofauti na katika lugha tofauti. Kwa hivyo
inatumika kama Biblia ya mada, Upatano, na hutafuta vifungu vya Biblia
kulingana na ukurasa na nambari ya kifungu.
http://www.biblegateway.com/
http://www.carm.org/dictionary.htm
Vifaa vya kujifunza Biblia (baadhi yake zinapatikana bila malipo) vyaweza
kupatikana katika:
http://bible.crosswalk.com
Mojawapo ya vifaa vya kujifunza Biblia vinavyopatikana katika wavuti uliko hapo juu
ni Biblia ya msambamba (katika lugha saba, ambayo inasaidia sana wakati
unatumia Biblia ya kujifunza lugha nyingine).
http://www.hebrew4christians.com/
IV. Kuhubiri
A. Utangulizi
Wahubiri hunena nyakati fulani katika histora, kwa watu fulani, katika mahali
fulani. Ukweli wa Maandiko haubadiliki, lakini lugha ambayo inatumiwa
kuwasilisha ukweli hubadilika na wakati, na kutoka kwa tamaduni moja hadi
nyingine. Kwa hivyo ni lazima muhubiri anene kwa lugha ya moyo wa
wasikilizaji. Lugha ya moyo kwa mtu mmoja ni lugha ya kujichagulia kwa
mwingine – lugha ambayo hutumika nyumbani.
30 "Basi kwa sababu hiyo, Mimi ni juu ya manabii hao, asema BWANA,
wanaompokonya kila mtu jirani yake maneno yangu. 31 Tazama," mimi
ni juu ya manabii, asema BWANA, wanaotumia ndimi zao na kusema,
Yeye asema,' 32 Tazama, mimi ni juu ya hao wanaotabiri ndoto za uongo,
asema BWANA, na kuzisema, na kuwakosesha watu wangu kwa uongo
wao, na kwa majivuno yao ya upuzi, lakini mimi sikuwatuma, wala
sikuwapa amri; wala hawatawafaidi watu hawa hata kidogo, asema
BWANA. (Yeremia 23:30-32)
B. Kuchagua Mahubiri
C. Mahubiri ya Ufafanuzi
1. Kuchagua Maandiko
http://www.biblegateway.com/
Wakati mwingine waweza kupata kuwa una muda mfupi kuliko unaohitaji
wa kutayarisha mahubiri. Ni vyema kuweka kando muda wa kutosha wa
kujifunza na kutafakari Maandiko. Watu hutoa wakati wao kuja kusikiza
mahubiri. Wakati wa mahubiri ni wakati ambao unao usikivu wa kundi la
watu au umati wa watu. Maneno yako wakati huo ni ya muhimu sana.
Hata kama unataka kufanya utafiti wa mahubiri yako, wakati mwingine,
hauna muda. Pengine ulitakiwa kufanya ibada ya wafu au uwe pamoja na
mshiriki mahututi. Ni vyema ukiweza kutayarisha mahubiri kadhaa
kabla, na kuyaweka kwa ajili ya wakati maalum ambao hautakuwa na
nafasi ya kutayarisha mahubiri. Kuna wakati ambao ni lazima utoe
mahubiri bila kupata nafasi ya kujiandaa. Njia moja ya haraka ya kukuza
mahubiri ya ufasiri ni kama ifuatayo:
e. Kama una muda na vifaa, somo kifungu katika zaidi ya tafsiri moja ya
Biblia. Weka maanani tofauti zilizoko kwenye tafsiri tofauti.
g. Amua kiini cha kifungu. Kiandike chini. Utataka kuweka mkazo kwa
kiini hiki. Unapotoa mahubiri, utataka kurudia kiini, labda ukitumia
maneno sawa kwa ajili ya kusisitiza, au labda kwa kutaja kiini tena
kwa maneno tofuati.
j. Fikiria juu ya kielezo kwa kila wazo. Kwa kawaida kielezo kimoja kwa
kila wazo kinatosha. Vielezo hufanya msikilizaji afurahie mahubiri.
Vielezo viwe vitu ambavyo washiriki wanaelewa. Vielezo ni daraja
kutoka kwa Maandiko ya Biblia hadi kwa maisha ya wasikilizaji. Kwa
hivyo jiweke katika nafasi ya wasikilizaji, na uchague vielezo
ambavyo wataelewa.
s. Hubiri kwa njia mabayo ni rahisi kukumbuka. Panga fikira zako, ili
uweze kuzikumbuka kwa kutumia maneno machache ya ukumbusho
au bila kutumia hata kidogo. Kama hutakumbuka mahubiri, yaweza
kuwa vigumu kwa msikilizaji kukumbuka yale utakayohubiri.
3. Mazoezi ya Kuwasilisha
Watu wengi wana hofu ya kunena mbele za watu. Vitu ambavyo husaidia
kushinda uoga wa aina hii ni kama zifuatazo:
• Usiige mtu mwingine. Nena kutoka kwa roho yako. Waweza kutumia
mbinu kutoka kwa wanenaji wengine maarufu, lakini wewe si nakili wa
mnenaji mwingine.
4. Kuwasilisha na Maoni
Unapowasilisha ujumbe wako kwa washiriki, ongea kwa sauti ili walio katika
viti vya nyuma waweze kusikia. Njia moja ya kuwa na uhakika ni kutazama
mtu mmoja aliye nyuma kabisa , na kuongea kama vile unazungumza naye.
Badili sauti na mwendo wa hotuba yako, unaposisitiza mambo muhimu. Tua
kwa muda kwa wakati ufaao, ili uwape watu nafasi ya kufikiria kuhusu wazo
muhimu. Unapotua kwa muda , endelea kutazama wasikilizaji, ukitarajia
wafikirie kuhusu yale ambayo umesema.
Kuna nyakati ni lazima uonye washiriki kutoka kwa dhambi au kosa. Kuna
wakati pia utahitaji kuwatia moyo wale wanaoumia. Kuna msemo
unaosema kuwa mhubiri “huumiza walio starehe, na kufariji walioumia.”
D. Mahubiri ya Mada
3. Kama kuna marejeo mengi juu ya mada hiyo, utahitaji kupunguza mada
yako. Kwa mfano, badala ya kuhubiri kuhusu dhambi kwa jumla, unaweza
kupunguza mada yako ili iseme, “dhambi dhidi ya Roho Mtakatifu.”
Marejeo ya Biblia yaliyo katika wavuti ilioko hapo juu yaweza kukusaidia
kupunguza uchunguzi wako.
8. Ili kupunguza makosa, pata maoni kutoka kwa Wakristo wenye maarifa
kabla ya kuwasilisha mahubiri.
E. Kuchunguza Mhusika
V. Kufundisha
A. Utangulizi
“Kila mmoja wenu anaweza kutwambia jina lake na jambo linalo kuhusu
ambalo hatufahamu?”
“Kama ungependa doto yako itimike, doto yako yaweza kuwa gani?”
Washiriki wakiendelea kujuana, hautahitaji kuuliza maswali ya kuanzisha
mazungumzo. Badala yake, mwalimu atawauliza kwa kawaida washiriki
waweze kushiriki mambo yale yametendeka katika maisha yao katika wiki
moja iliyopita. Na watu wanaweza kuuliza maombi.
Watu katika kanisa wanatakiwa kuwa kama familia. Mtu akiwa mgonjwa, watu
walio katika kundi la kujifunza Biblia wanatakiwa kumtembelea. Ikiwa washiriki
wana mahitaji, washiriki wa kundi dogo mara nyingi watajua mahitaji hayo. Ili
kudumisha uhai wa washiriki kanisani, na kusaidia kuanzisha ushirika na
kukua kiroho, washiriki ni lazima wawe sehemu ya kundi dogo katika
mwili wa kanisa.
B. Somo
1. Ufasiri
a. Kiini
2. Mada
Kwa habari za zaidi kuhusu Kujifunza Biblia, Kuhubiri na Kufunza, tazama wavuti
ufuatao. Elekeza kwa “Vitabu vya Kujifunza Uanafunzi vya Bure” na uchague
Kitabu cha Mafunzo ya Uanafunzi cha 3.
http://biblestudycd.com/
Shule ya Biblia ya Ames inatoa kitabu cha kurasa 259- cha bure kwenye mtandao
ambacho kinapeana kanuni za kujifunza Biblia. Tazama “Mitindo bunifu za
Kujifunza Biblia” katika wavuti ufuatao.
http://www.amesbible.org/download.html
Elekeza kwa “Wavuti wenye majina ya Masomo ya Biblia” kwa habari muhimu
kuhusu hermeneutics na mada nyinginezo katika wavuti ufuatao.
http://www.bible-researcher.com/
Huduma za RBC hutoa mafunzo ya Biblia na Kuishi kwa Mkristo. Ili kujiandikisha
lazima mwanafunzi awe na anwani ya imeli na awe na namba ya siri. Enda kwa
kiunganishi kifuatacho.
http://cc.christiancourses.com/
Wavuti ufuatao unatoa habari kuhusu kujifunza Biblia. Elekeza kwa “Wavuti wenye
majina ya Masomo ya Biblia” arafu uelekeze kwa “hermeneutics.”
http://www.bible-researcher.com/
http://www.crosssearch.com/
Kwa mfano, wavuti ulioko hapo juu unatupa kiunganishi kifuatacho, ambao unatoa
Mafunzo ya Bure ya Biblia kwa Mtandao kwa watoto.
http://www.ebibleteacher.com/index.html
Kama unaweza kuipanga, ni lazima uhubiri mahubiri mawili ili kumaliza darasa
hili.