Professional Documents
Culture Documents
Ebook - Homa Ikamwacha - Mwl. Francis M. Langula 2
Ebook - Homa Ikamwacha - Mwl. Francis M. Langula 2
Sehemu ya Kwanza
HOMA
IKAMWACHA
FRANCIS M. LANGULA
2
Haki zote zimehifadhiwa
Hairuhusiwi kwa namna yoyote ile kunakili au kudurufu sehemu ya
kitabu hiki, kuuza au kusambaza kitabu hiki bila idhini ya mwandishi,
kwani kufanya hivyo ni ukiukwaji wa haki za mwandishi.
3
4
YALIYOMO
UTANGULIZI ................................................................................... 7
Kuhusu Pona kwa Neno la Mungu .................................... 7
Kuhusu Homa Ikamuacha .................................................... 7
Sehemu Ya Kwanza ...................................................................... 9
HOMA IKAMWACHA, AKAPONA ................................ 9
Homa, dalili ya ugonjwa ...................................................... 11
Homa, kitu halisi kabisa, ndio chanzo cha mateso .. 13
Ameshikwa na homa kali .................................................... 13
Sehemu Ya Pili ............................................................................. 16
SIRI AMBAZO ZA KUPONYA NA KUHUDUMU
UPONYAJI .................................................................................. 16
Siri ya 1: Jitofautishe na ugonjwa.................................... 19
Siri ya 2: Ugonjwa (Magonjwa) ni kitu hai na halisi
chenye uwezo wa kusikia na kuelewa .......................... 24
Siri ya 3: Homa (ugonjwa) ni mgeni asiye na uhalali
kukaa katika mwili wako ..................................................... 34
Siri ya 4: Ugonjwa haubembelezwi kuondoka ........... 39
5
Sehemu Ya Tatu........................................................................... 42
UMEPEWA MAMLAKA ..................................................... 42
Nini maana ya kukemea? ................................................... 42
Tumepewa mamlaka ............................................................ 43
Tamka ukiwa na NIA MOJA TU ......................................... 45
Chukua hatua sasa................................................................. 47
HITIMISHO .................................................................................... 50
6
UTANGULIZI
8
Sehemu Ya Kwanza
Mathayo 8:14-17
[14] Hata Yesu alipofika nyumbani kwa Petro,
akamwona mkwe wa Petro, mamaye mkewe,
amelala kitandani hawezi homa. [15]Akamgusa
mkono, homa ikamwacha; naye akaondoka,
akawatumikia. [16]Hata kulipokuwa jioni,
wakamletea wengi wenye pepo; akawatoa pepo
kwa neno lake, akawaponya wote waliokuwa
hawawezi, [17]ili litimie lile neno lililonenwa na
nabii Isaya, akisema, Mwenyewe aliutwaa udhaifu
wetu, Na kuyachukua magonjwa yetu.
9
Yesu anafika nyumbani kwa Petro, anamkuta
mama mkwe wa Petro, yaani mama wa mke wa
Petro akiwa ni mgonjwa, ana homa. Yesu
akamuwekea mikono Yule mama, HOMA
IKAMUACHA, mama mkwe wa Petro akaondoka
akawatumikia au kuwahudumia.
Luka 4:38-39
[38] Akatoka katika sinagogi, akaingia katika
nyumba ya Simoni. Naye mkwewe Simoni,
mamaye mkewe, alikuwa ameshikwa na
homakali, wakamwomba kwa ajili yake.
[39] Akasimama karibu naye, akaikemea ile
homa, ikamwacha; mara hiyo akaondoka,
akawatumikia.
10
Tafsiri ya kingereza ya andiko hilo la Luka
inasema “The fever left her, and she was healed”
yaani “homa ikamuacha, akapona”.
12
Kwa hiyo, kwa lugha ya sasa na kwa ambayo
nimeyasema, homa inaweza kusimama badala ya
ugonjwa wowote.
14
Unapoendelea kujifunza, pokea uzima ikiwa
wewe ni mgonjwa, lakini pokea upako na neema
ya kuponya wagonjwa na kumdhihirisha Kristo
aponyaye.
15
Sehemu Ya Pili
18
Siri ya 1:
Jitofautishe na ugonjwa
Luka 4:38-39
[38] Akatoka katika sinagogi, akaingia katika
nyumba ya Simoni. Naye mkwewe Simoni,
mamaye mkewe, alikuwa ameshikwa na homa
kali, wakamwomba kwa ajili yake.
[39] Akasimama karibu naye, akaikemea ile
homa, ikamwacha; mara hiyo akaondoka,
akawatumikia.
19
sana. Habari njema ninayokuletea leo ni kwamba,
wewe sio ugonjwa wala wewe sio mgonjwa.
Ninasisitiza kwamba, Wewe sio ugonjwa, wala
wewe sio mgonjwa, isipokuwa kuna kitu halisi
kinaitwa Homa (Ugonjwa) kimekushika ndio
kinakufanya ujisikie hivyo unavyojisikia, na hicho
kitu kinaweza kukuacha ukabaki wewe uliye na
afya yako.
22
Tukianza kuyaona magonjwa kwa mtazamo huu,
tutashughulika nayo vizuri zaidi.
Acha kujichanganya wewe halisi na huo ugonjwa,
kwa sababu wewe ni kitu kingine na ugonjwa ni
kitu kingine, Mimi sio ugonjwa wala mimi sio
mgonjwa.
23
Siri ya 2:
26
‘Watu’ wawili, Homa na Mama mkwe wa Petro
28
Unaposoma kitabu hiki, kama unaumwa, anza
kujitofautisha wewe na ugonjwa, uone huo
ugonjwa sio wewe na wewe sio huo ugonjwa,
lakini pia anza kuuona kama kitu halisi, unaweza
ukausemesha huo ugonjwa nao ukakuelewa kwa
sababu una masikio na miguu ya kuondokea. Ni
kweli kuna magonjwa mengine yanakuwa
matukutu yanajifanya hayasikii wala kuelewa,
lakini ukweli ni kwamba yanasikia na kuelewa,
ukiendelea kuyang’ang’ania yakuachie lazima
yataondoka; kila unapoutamkia ugonjwa, unasikia
na kukuelewa.
Marko 11:23
[23] Amin, nawaambia, Ye yote atakayeuambia
mlima huu, Ng’oka ukatupwe baharini, wala
asione shaka moyoni mwake, ila aamini kwamba
hayo asemayo yametukia, yatakuwa yake.
30
Kwa hiyo, unaposema kwa kumaamisha “kwa jina
la Yesu”, kila kitu kinasikiliza ni nini kinafuata, ni
agizo lipi linafuatia.
Wafilipi 2:9-11
[9] Kwa hiyo tena Mungu alimwadhimisha mno,
akamkirimia Jina lile lipitalo kila jina;
31
[10] ili kwa jina la Yesu kila goti lipigwe, la vitu
vya mbinguni, na vya duniani, na vya chini ya
nchi;
[11] na kila ulimi ukiri ya kuwa YESU KRISTO NI
BWANA, kwa utukufu wa Mungu Baba.
33
Siri ya 3
35
Mpangaji anaondolewa kwa nguvu
Kwa mfano una nyumba yako, umeweka
wapangaji halafu wale wapangaji muda wao wa
kukaa humo umeisha, utakachofanya utawapa
taarifa ya kuwalazimu waondoke (notice),
wakikataa kuitikia ile taarifa na kuondoka,
hauwezi kusema kwa sababu wamekataa
kuondoka basi nitawaacha waendelee kuishi
humu bila uhalali.
38
Siri ya 4
40
Luka ameeleza hivi, Luka 4:39 “[Yesu]
Akasimama karibu naye, akaikemea ile homa,
ikamwacha; mara hiyo akaondoka,
akawatumikia.”
41
Sehemu Ya Tatu
UMEPEWA MAMLAKA
Tumepewa mamlaka
46
Chukua hatua sasa
47
MAOMBI YA UPONYAJI
49
HITIMISHO
52