Professional Documents
Culture Documents
Z'BAR Kiswahili 2 F6
Z'BAR Kiswahili 2 F6
121/2 KISWAHILI 2
Maelekezo:
2. Jibu maswali yote katika sehemu A na maswali matatu (3) tu kutoka sehemu B. Swali la tano
ni la lazima.
6. Andika namba yako ya mtihani katika kila ukurasa wa kijitabu cha kujibia
SEHEMU A (Alama 40)
Jibu maswali yote kutoka sehemu hii
3. Ukitumia mifano Madhubuti fafanu aina mbili za tamathali za semi za Mafumbo na aina
tatu za tamathali za semi za Mlinganisho
4. Soma shairi lifuatalo kisha fafanua vipengelevya kisanaa vilivyotumika katika shairi hilo
Ukurasa wa 2 kati ya 4
Kiule ng’ambo nimeona, kutengana kumezidi,
Kuna wale walonona, anasa imewazidi,
Wengine wanajikuna, chakula kimekaidi,
Shwari isiyo na dhati, naona itaumuka.
USHAIRI
Kimbunga – Haji Gora
Mapenzi Bora – Shaaban Robert
Chungu Tamu – Theobald Mvungi
Fungate ya Uhuru – Mohamed S. Khatibu
RIWAYA
Usiku utapokwisha – Mbunda Msokile
Kufikirika – Shaaban Robert
Mfadhili – Hussein Tuwa
Vuta n’kuvute – Shafi Adam Shafi
TAMTHILIYA
Kwenye Ukingo wa Thim – Ebrahim Hussein
Morani – Emanuel Mbogo
Kivuli kinaishi – Said Mohamed
Nguzo Mama – Penina Muhando
5. Ukitumia vipengele vinne (4) vya lugha fafanua jinsi waandishi walivyozipamba kazi zao
na kukamilisha lengo lao kwa hadhira kusudiwa. Tumia hoja tatu (3) kwa kila diwani
Ukurasa wa 3 kati ya 4
7. Hakuna jamii inayokosa changamoto na matatizo. Onesha jinsi waandishi wa riwaya mbili
ulizozisoma waloivyoonesha matizo yanayoikabili jamii ya Kitanzania kwa sasa. Tumia
hoja nne (4) kwa kila Riwaya
8. Kila mwanajamii ana wajibu wa kuhakikisha haki na usawa vinasimama katika jamii.
Ukitumia tamthilia mbili ulizosoma onesha jinsi waandishi walivyotimiza wajibu huo kwa
jamii zao kwa kutoa hoja tatu kwa kila Tamthilia.
Ukurasa wa 4 kati ya 4